Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kumvuta Mpenzi Kwa Kutumia Mshumaa

$
0
0

Hii ni mojawapo ya njia za kumvuta mpenzi au kumrudisha mpenzi aliyetoroka au kuchukuliwa na mtu.


Chukua Mshumaa Mweupe, chagua ule ambao utayeyuka upesi kwa sababu utakapouwasha unatakiwa uwe unauangalia mpaka umalizike, usichukue mshumaa utakaowaka kwa masaa 24, Hakikisha mshumaa unakuwa mnene. 


Andaa sehemu utakapofanyia kazi ndani ya chumba.Tandika kitambaa cheupe, andaa sehemu nzuri ya kuweka mshumaa ili usianguke, na uweke chochote kinachomuhusu huyo unayemtaka umdhibiti akiwa mpenzi au bosi wako au yoyote yule. Unaweza kuweka picha yake, nguo yake, nywele zake, kucha, au kitu chake chochote ambacho aidha amekivaa au amekishika.

Mshumaa utakaotumia unatakiwa uandikwe maneno yafuatayo mara tatu, (3) "Mapenzi yako yote yaje kwangu" Maandishi hayo uyaandike kwa kutumia mwiba wa Mti wa Waridi au unaweza kutumia pini.


Kazi hi inatakiwa ifanyike usiku wa kuamkia ljumaa, kuanzia saa sita na dakika moja na kuendelea, na imalizike kabla ya jua halijatoka.


 Weka mshumaa kati kati ya kitamaba cheupe na uuwashe, Katika kipindi ambao mshumaa unawaka unatakiwa uuangalie mshumaa huo huku ukisema kwa sauti ndogo jinsi unavyotaka mapenzi kutoka kwa huyo unayemfanyia kazi au namna utakavyomdhibiti, useme unataka nini kwake. 

Awe vipi kwako. baada ya nusu saa ya kazi hiyo ondoka lala na uwache mshumaa uwake wenyewe mpaka utakapomalizika.

Mshumaa unapokwisha chukua mabaki yake na uyafunge na kitambaa cheupe ambacho ulikikalia wakati ukifanya kazi yako na uyahifadhi mabaki hayo mahala salama ambapo mtu yoyote hatayaona. 


Baada ya hapo toka Nje, elekea Kaskazini na ita jina la unayemkusudia mara saba (7) na urudi ndani bila kuangalia nyuma. 

Matokeo ya kazi hiyo ni kuwa utapata unachokitaka kutoka kwa huyo uliyemkusudia bila kukosa, Mapenzi yanaweza yakawa makubwa sana au yakawa ya kawaida, ila wewe ridhika na mapenzi yake na muonee huruma na uwe mkarimu kwake. 

Ikiwa imetokea hapo baadae wewe ukawa hutaki tena kuwa na huyo uliyemkusudia unaweza ukavunja penzi hilo kwa njia rahisi tu, inategemea na unavyotaka wewe... 

Wasiliana Chief Sultan kwa msaada zaidi +255 769160792

Serikali Yawataka Watendaji Sekta Ya Ardhi Nchini Kujisahihisha

$
0
0
Na Munir Shemweta, WANMM Kilimanjaro
Waziri wa Ardhi Nyumba na Mandeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka watendaji wa sekta ya ardhi nchini kujisahihisha ili kuepusha mogogoro ya ardhi ambayo imekuwa ikiwaumuzi wananchi wengi.

Lukuvi alitoa kauli hiyo jana alipozungumza na wananchi 97 wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi na Halmashauri ya Moshi Vijijini katika mkoa wa Kilimanjaro waliojitokeza kwa ajili ya kuwasilisha kero zao za ardhi kupitia program ya Funguka kwa Waziri.

Alisema, ni vyema katika kipindi hiki cha Serikali ya awamu ya tano watendaji wa sekta ya ardhi wakaanza kujisahihisha ikiwemo kuweka majalada yote ya ardhi vizuri kabla hajatembelea maeneo yao kinyume chake atawashughulikia wote watakaobainika kukaidi ama kutoweka sawa majalada ya ardhi.

“Mtu yeyote anayetaka kuingusha Serikali katika masuala ya ardhi tutamuangusha yeye na lazima tutekeleze ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa vitendo” alisema Lukuvi.

Kwa mujibu wa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Serikali itawanyoosha wale wote wanaoenda kinyume na maadili ya utumishi na kubainisha kuwa hata wale watendaji wa ardhi walioharibu huko nyuma watashughulikiwa.

Akigeukia migogoro ya ardhi, Lukuvi alisema migogoro mingi inayojitokeza sasa ni ile ya miaka ya nyuma ya kuanzia miaka ya themanini na kubainisha kuwa kupungua kwa migogoro mipya kunatokana na Serikali ya sasa kuweka mazingira mazuri ya kushughulikia masuala ya ardhi.

“Leo watendaji wa sekta ya ardhi wamenyooka na kazi ya serikali ya awamu ya tano ni kuwanyoosha wale wanaoenda kinyume na taratibu na sheria katika kushughulikia masuala ya ardhi.

Akigeukia suala la wamiliki wa ardhi kuchukuliwa maeneo yao bila kulipwa fidia, Lukuvi amewahakikishia wananchi waliohudhuria mkutano huo kuwa, Serikali inalipa kipaumbele suala la fidia kwa wale ambao maeneo yao yatachukuliwa.

Aliwaeleza kuwa hata ikitokea mtu hakufidiwa kipindi ambacho eneo lake limechukuliwa lakini malipo yake yataanza kuhesebiwa pale eneo lilipochukuliwa na kiwango cha fidia kitakuwa kikiongezeka kadiri malipo yake yanavyochelewa.

Pia aliwaeleza wananchi waliokusanyika katika ukumbi wa ofisi wa mkoa wa Kilimanjaro kuwa wale wote ambao maeneo yao yalishatolewa maamuzi na Mahakama hakuna mtu yoyote mwenye mamlaka ya kubatilisha ikiwemo Serikali.

Waziri Jafo Awapiga Marufuku Wakuu wa Mikoa na Wilaya Kuwaweka Selo Madaktari

$
0
0
Waziri  wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Selemani Jafo, amewapiga marufuku wakuu wa mikoa na wilaya kuchukua uamuzi wa kisiasa dhidi ya madaktari ikiwamo kuwaweka mahabusu.

Badala yake, Jafo amewataka viongozi hao kuunda tume maalumu za uchunguzi dhidi ya tuhuma zinazowakabili. 

Jafo alipiga marufuku hiyo jana jijini Dodoma alipokuwa akifungua mkutano wa 50 wa kitaaluma wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT).

Alisema kumekuwa na mazoea ya baadhi ya viongozi wa kisiasa, hasa wakuu wa mikoa na wilaya, kuwaweka ndani watumishi wa umma wakiwamo madaktari bila kujiridhisha juu ya tuhuma dhidi yao.

"Wakuu wa mikoa na wilaya nawaagiza pale ambapo daktari anatuhumiwa kufanya kosa la aina yoyote, iundwe tume ya kuchunguza, iangalie kama kuna makosa na vyombo vya usimamizi vitimize wajibu wake badala ya kuchukua uamuzi wa kisiasa,” alisema.

Alisema madaktari wanafanya kazi kubwa ya kuokoa maisha ya watu na wakati mwingine kosa linakuwa si lao bali ni la wagonjwa wenyewe, hivyo tume ichunguze na kama ni kweli hatua stahiki zichukuliwe.

"Mimi nilishuhudia mtu tena nilimbeba kwenye gari langu mwenyewe wakati huo nikiwa meneja shirika la Plan International. Yule dada alienda zahanati na kutokana na tatizo lake, aliambiwa aende hospitali ya wilaya lakini hakwenda. Alikwenda wakati wa kujifungua, sasa kesi kama hii unaweka selo daktari wakati matatizo mengine ni ya familia," alisema Jafo.

Aidha, Jafo alisema dhamira ya serikali iliyopo sasa ni kuhakikisha inajenga hospitali katika wilaya zote ifikapo mwaka 2020.

"Kwa sasa tumeshaboresha vituo vya afya 350 na katika mwaka huu wa fedha, zimetengwa Sh. bilioni 105 kwa ajili ya kujenga hospitali 67 za Wilaya na kwa sasa ziko 77," alisema.

Naye Mkurugenzi wa Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe kutoka Tamisemi, Dk. Ntuli Kapologwe, alisema mkutano huo umekuwa na fursa kwao ya kujadili mambo waliyotekeleza kwa mwaka uliopita na namna watakavyotekeleza kwa sasa ili kuifanya sekta hiyo iwe bora kuliko nyingine.

Alisema mikakati waliyo nayo ya kutoa sare kwa madaktari zikiwa na majina ili kukabiliana na tatizo la uwapo wa madaktari feki linaloripotiwa kutokea maeneo mbalimbali nchini.

Kwa upande wake, Rais wa MAT, Dk. Obadiah Nyongole, alisema mkutano huo unazungumzia weledi wa kitaaluma na maendeleo ya viwanda katika kutoa huduma bora za afya kwa wote.

"Kama kaulimbiu ya serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Magufuli, sisi wataalamu tuko tayari kushirikiana na serikali na wadau kusogeza huduma bora za afya kwa kutumia huduma ya hospitali tembezi na hilo liko kwenye mpango kazi wa MAT,"alisema.

Dk. Nyongole anatarajiwa kukabidhi mikoba ya urais wa MAT kwa Rais mpya wa 19 wa chama hicho, Dk. Elisha Osati.

Katibu Mkuu CCM Dk. Bashiru Ali Alipongeza Jeshi La Polisi Kwa Kufanikisha Kupatikana Kwa Mfanyabiashara Mo Dewji Aliyekuwa Ametekwa

$
0
0
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt.Bashiru Alli amelipomgeza Jeshi la Polisi nchini kwa kufanikisha kupatikana kwa Mfanyabiashara Mohamed Dewji maalufu Mo.

Dkt Bashiru ambaye alikuwa nchini China kwa ziara ya siku kumi ya kikazi ameyasema hayo jana baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa kimataifa na Mwalimu Nyerere na kuzungumza na waandishi wa habari kuhusiana na ziara yake.

Alisema jambo la kwanza analipongeza Jeshi hilo la Polisi kwa kumpata Mo Dewji nakwamba taswira ya nchi ingechafuka kama mfanyabiashara huyo asingepatikana.

” Ndugu zangu waandishi mnajuwa kuna baadhi ya watu walishaaza kulopoka na sasa wameumbuka hivyo nalipongeza Jeshi la polisi tena saana.”alisema

Akizungumzia safari yake hiyo ya China Dkt.Bashiru alisema wamekuwepo nchini humo kwa siku kumi na kwakweli wamejifunza mambo mengi na wameweza kukutana na makampuni mbalimbali kwa ajili ya kuja kuweka nchini.

” Kwakweli safari ilikuwa nzuri sana tumezungumza na watanzania ambao wanaishi kule,tumefanya mazungumzo na makampuni mengi takribani 12 madogo kwa makubwa na wamezungumzia suala la kufanya uwekezaji hapa Tanzania.” alisema Dkt Bashiru

Alisema kuwa mkoani Tanga utafanyika uwekezaji mkubwa wa kiwanda,pamoja na Bagamoyo na makampuni haya yalianza kufanya mazungumzo na Waziri mkuu Kassim Majaliwa akiwa nchini humo kwa ziara ya kikazi hivyo wanakuja .

Dkt.Bashiru alisema wamejifunza mambo mengi mno na kipekee wamejifunza mambo manne makubwa ambayo moja ni kujenga muafaka na mwelekeo wa nchi yao kwani kwao katika hilo si mjadala tena na hakuna siasa.

Pia pamoja na kuendelea kwao lakini bado wamejiweka katika nchi ambayo inaendelea na wanamfumo mzuri wa kuzalisha vijana nakuwapa mafunzo ambayo kimsingi si hiari ni lazima.

Dkt. Bashiru amesema kwa namna utaratibu au mfumo ambao wamejiwekea ni kwamba hakuna ambacho kinaweza kufanyalika pasipokujadiliana kwa pamoja .

Alimaliza kwakusema kuwa wachina wamewekeza kwa mgawanyo kwa maana katika sekta ya afya,elimu … Lakini kubwa wamezungumza na makampuni hayo makubwa nakwamba wachina wako mbali .

Hata hivyo Dkt Bashiru amewataka waandishi wa habari kusaidia kukuza uchumi wa nchi kwa kuhabarisha jamii.mambo ambayo yanafanywa na jitihada zinazofanywa na watendaji.

Video Mpya ya Ray C - Roga Roga

$
0
0
Msanii Ray C anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya uitwao Roga Roga. Itazame hapa.

Mtalaam Wa Magonjwa Yote Sugu Nayaliyoshindikana Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha,

$
0
0
MTALAAM NA BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU NAYALIYOSHINDIKANA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni 3Power,Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1,hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

FINA Power; Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ISHOSHA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SHEPU EXRA,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

HUDUMA HIZI NANYINGINE NYINGI MTALAAM BINGWA DR ZENGO.

Anapatikana  Dar es Salaam.

SIMU NO; 0784,47,59,46 / 0744,92,29,82 / 0652121197

NAKAMA NAFASI YAKUFIKA OFISINI HAIPO UTALETEWA HAPO ULIPO.

Kauli Ya Lady Jaydee Kama Yuko Tayari Kufanya Kolabo na Mtoto wa X Wake, Gardner Habash.

$
0
0
Msanii nguli kwenye game ya bongo fleva Judith Wambura marufu kama Comando Jide, ameweka wazi kuwa tayari kufanya collabo na msanii Karen, ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mume wake mtangazaji Gardner Habash.

Jaydee amekiambia kituo cha EATV kwamba mikono yake iko wazi kumpokea binti huyo ambaye kwa sasa anakuja kwa kasi kwenye game ya bongo fleva, akiwa na kazi zake zinazoendelea kufanya vizuri.

Akimzungumzia Karen ambaye kwake alikuwa ni mama mlezi, amempongeza kwa kuwa binti mrembo na kuamua kuingia kwenye muziki rasmi, huku akimtaka kukaza buti.

“Kwanza nampongeza sana amekuwa binti mkubwa mrembo na anafanya mambo mazuri, kwa hiyo asikate tamaa kila kitu kinawezekana afuate ndoto zake ataweza kufanikiwa, kuhusu collabo anakaribishwa anytime mikono yangu iko wazi”, amesema Jaydee.

Hivi karibuni Karen alikuwa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema kwamba kwenye game anamkubali Jaydee na ndiye mtu aliyegundua kipaji chake, wakati anaishi naye kama mama mlezi.

Wimbo Mpya: G Nako ft Naphie - Tingisha

$
0
0
Msanii wa muziki kutoka kundi la Weusi, G Nako anakukaribisha kusikiliza wimbo wake mpya uitwao Tingisha. Utazame hapa.

Tromex Power : Dawa Bora Na Imara Ya Nguvu Za Kiume

$
0
0
TROMEX POWER DAWA BORA NA IMARA ya   NGUVU ZA KIUME; Baada ya kufanyiwa utafiti na majaribio sasa imeingia sokoni 

Habari njema kwa tanzania pamoja na africa nzima mkombozi wa ndoa yako ni dawa anbayoitwa TROMEX. 

Dawa hii imeonyesha uwezo wa hali ya juu katka kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ,dawa hii ni mpya na inapatikana katika clinic yetu 

Dawa hii ni dawa ya asilia ya mitishamba,mwaka juzi tuliipeleka nchini Ghana kwa ajili ya utafiti  katika utafiti ilishindanishwa na dawa zingine 4 kutoka nchi kenya, Uganda, msumbiji, pamoja na kongo, na imeonyesha asilimia 92 imeonyesha inauwezo mkubwa wa kutibu tatizo kwa mda mfupi sana 

Katika utafiti huo watu 1839 ambao walikuwa legelege walipewa dawa hii kwa ajili ya majaribio,baada ya kuitumia watu 1792 walipona kabisa na sasa wanaweza kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3 kwa wakati mmoja na watu 38 hawakupona kabisa pia watu 9 hawakurudi kuleta majibu 

Dawa hii ukiitumia itakufanya uwe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3 bila hamu kuisha

Dalili za upungufu wa nguvu za kiume ni kushindwa kurudia tendo la ndoa...Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa....Korodani moja kuvimba,tumbo kuunguluma na kujaa gesi, pia inazalisha homons za uzazi kwa mwanaume ambaye mbegu zake za uzazi ni nyepesi ambazo hazina virutubisho vya kuweza kumzalisha mwanamke 

Pia inauwezo wa kufanya maumbile yawe marefu kama yameingia ndani na kuwa mafupi sana, pia inatibu magonjwa zaidi ya 6 

Itumie sasa dawa hii inapatikana katika Clinic yetu iliyopo Kawe DAR mikoani tunatuma kwa njia ya mabasi 

Ukiwa nje ya nchi tunatuma kwa njia ya EMS ..maelezo zaidi 0756726865/ 0716096205 au tembelea    www.kihembehebalist.blogspot.com

BASATA: Amber Rutty Hatumtambui...Isome Hapa Barua Yao

$
0
0
Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limetoa barua maalum ambayo inatoa taarifa kuwa Amber Ruti sio msanii hapa nchini, kwani hatambuliki na hajasajiliwa na Baraza hilo.

Kwa mujibu wa barua hiyo imeelezea kwamba iwapo Amber Rutty atafanya kosa lolote na kuvunja sheria, wahusika watamchukulia hatua stahili na halitajihusisha nae.

Sambamba na hilo barua hiyo imewaasa wasanii wote kufuata maadili na kutovunja sheria za nchi, ili kutetea sanaa yao.

==>>Isome hapa

Ray C ampa pole Wema Sepetu Sakata la Video Chafu

$
0
0
Msanii Ray C ametia neno kile kinachoendelea kwa Wema Sepetu kwa sasa.

Msanii Ray C amemueleza Wema licha ya yote anayopitia bado anaamini anaweza kubadilika na kuwa kipenzi cha watu kama ilivyokuwa hapo mwanzo.kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika;

"Kiufupi Nakupenda mpaka leo Wema,Maisha ni Kama milima!wewe bado ni mdogo sana na una nafasi ya kuwa utakacho!pamoja na yanayoendelea sasa bado moyo wangu una imani na wewe kuwa utasimama tena zaidi ya juzi jana na leo na Utakua.Never give up!Dunia inaweza kukubadilikia kutoka kuwa kipenzi cha watu na kuwa Public enemy number one!Its normaL," amesema.

"Its ok!ila kumbuka Familia yako ndio kila kitu!Please usihuzunike ukajiona wewe ndo mkosaji dunia nzima maana kila binadamu ana majanga yake ni Mungu tu ndio mkamilifu ingawa sio sababu ya kutufanya kurudia makosa over and over again!Nakupenda na nina imani na wewe!Nakutakia kila la kheri katika maisha yako na natamani kumuona Wema mpya," ameeleza Ray C.

Licha ya Wema Sepetu kuomba radhi  kufuatia kuvuja kwa video yake ya faragha mtandaoni, jana alifungiwa kutojihusisha na sanaa kwa kipindi kisichojulikana na Bodi ya Filamu.

Ajali Mbaya ya Coaster Yaua Wanne Chalinze

$
0
0
Watu wanne wamefariki dunia papo hapo huku wengine 19 wakijeruhiwa baada ya basi ndogo la abiria aina ya Coaster walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori la kokoto jana usiku.

Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Wankyo Nyigesa alisema ajali hiyo ilitokea katika kijiji cha Chamakweza kata ya Vigwaza Chalinze mkoani Pwani.

Alisema kati ya waliofariki yumo pia dereva wa basi hilo na majeruhi 19 saba kati yao hali zao mbaya na 12 wamepata majeraha madogo madogo.

"Costa ilikua inakwenda Mbezi na imegongana uso kwa uso na lori la kokoto na kusababisha vifo vya watu wanne.”

“Majeruhi saba wana hali mbaya wana majeraha makubwa na zaidi na 12 wameumia lakini wana afadhali tofauti na hao saba na wote wanapatia matibabu katika kituo cha afya Chalinze," alisema Nyigesa.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMBO ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744391089  au  0653182109

Lukuvi apiga marufuku kodi ya miezi sita NHC

$
0
0
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amepiga marufuku Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kutumia madalali kupangisha nyumba zake na kuwadai kodi ya zaidi ya miezi sita.

Waziri Lukuvi alitoa agizo hilo jana wakati akizungumza na watumishi wa NHC mkoa wa Kilimanjaro.

Alisema ni marufuku kwa baadhi ya watumishi wa shirika hilo kutumia vishoka na kulazimisha wananchi kulipa kodi ya nyumba kwa zaidi ya miezi sita.

Lukuvi alisema Serikali inakemea vikali na haitavumilia kuona tabia ya watumishi wa shirika hilo wakidai wananchi kodi ya zaidi ya miezi sita.

"Hii tabia Serikali tunaikemea na hatupendi kuona wananchi maskini wakinyanyasika katika nchi yao," alisema Lukuvi.

Waziri huyo alisema shirika hilo linatakiwa kuonyesha mfano bora wa kupangisha na kudai kodi ya mwezi mmoja tofauti na wapangishaji binafsi wanaodai kodi kwa maskini ya zaidi ya miezi 12.

"Ningependa shirika la nyumba muonyeshe huduma ya mfano bora wa kupangisha na kudai kodi ya mwenzi mmoja tofauti na wapangishaji binafsi wanadai maskini kodi ya zaidi ya miezi sita," alisema Lukuvi.

Awali, Meneja wa NHC mkoani humo, Juma Kiaramba alisema kwa mwaka 2017/18 walifanikiwa kukusanya Sh2.8 bilioni sawa na asilimia 100.58.

"Kutokana na utaratibu mzuri wa ukusanyaji wa kodi zetu tumefanikiwa kukusanya Sh.2.82 bilioni mwaka wa fedha ulioisha Juni wa 2017/18.”

“Tulifanya ukarabati wa majengo yetu kwa kutumia Sh255 milioni hadi sasa tunadai wapangaji wetu Sh54 milioni," alisema Kiaramba.

Alisema shirika hilo litaanza kujenga nyumba 25 za gharama nafuu na tayari wametenga kiasi cha Sh1.4 bilioni ambapo itachukua miezi 18 kuanzia sasa.

Waziri Lukuvi Alitaka Shirika La NDC Kulipa Kodi Ya Ardhi Kufikia Desemba 2018

$
0
0
Na Munir Shemweta, WANMM Kilimanjaro
Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya Makazi Mhe William Lukuvi amelitaka Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) kulipa kodi ya ardhi katika eneo inalolimiliki la Viwanda lililopo Weruweru wilaya ya Hai mkoa wa Kilimanjaro kabla ya desemba mwaka huu.

Aidha, Mhe Lukuvi amewataka wote waliokuwa katika eneo hilo bila ya hati wala offer kutoendelea kuwepo eneo hilo kwa kuwa hawana uhalali wa kumiliki maeneo katika eneo la Weruweru.

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, ameelekeza ufanyike ukaguzi kwa kila kiwanja katika eneo la viwanda la Weruweru lenye ukubwa wa ekari 1103 kwa lengo la kuwabaini viwanja vyote visivyoendelezwa na  watakaobainika watanyanganywa maeneo hayo kwa mujibu wa sheria.

Mhe. Lukuvi alitoa kauli hiyo jana alipotembelea eneo la viwanda la Weruweru wakati wa Ziara yake ya  kushughulikia migogoro ya ardhi katika wilaya za Hai, Moshi na Same mkoa wa Kilimanjaro.

NDC inamiliki eneo la viwanda lenye ukubwa wa ekari 626 kikiwemo kiwanda cha kutengeneza mashine mbalimbali kama vile za kusaga, kukoboa na kuranda mbao cha Kilimanjaro Machine Tools Manufacturing Co Ltd ambapo kati ya ekari hizo 80 tayari zina hati huku ekari 546 zikiwa na offer.

Lukuvi ameshangazwa na NDC kushindwa kulipa kodi ya ardhi katika kipindi chote wanachomiliki eneo hilo huku wakiwakodisha wananchi kwa ajili ya kuendesha shughuli za kilimo na kueleza kuwa Shirika hilo la Maendeleo la Taifa litakapo lipa kodi yote ya ardhi litapatiwa hati ya umiliki katika eneo lenye offer.

“Kosa lenu NDC mnakodisha watu masikini halafu ninyi hamlipi kodi ya ardhi sasa mnatakiwa kulipa kodi ya ardhi tangu mlipoanza kumilikishwa eneo hilo kufikia desemba mwaka huu 2018” alisema Lukuvi

Kwa mujibu wa Lukuvi katika eneo la viwanda la Weruweru kuna watu  wameshikilia maeneo kwa muda mrefu tangu mwaka 1985 bila kuyaendeleza huku wengine wakibadilisha matumizi hivyo aliagiza wote wapewe Ilani ya ubatilisho na ikibidi serikali itafuta miliki zao na kuyagawa maeneo hayo kwa watu wengine ili wajenge viwanda.

Meneja wa kiwanda cha Kilimanjaro Machine Tools Manufacturing Co Ltd Andreano Nyaluke  alijitetea kwa kusema kushindwa kulipa kodi  ya ardhi katika muda wote wa umiliki kunatokana na uwezo mdogo wa kiwanda  ingawa amesema jitihada zinafanyika ikiwemo kutafuta mkopo kwa ajili ya kuendeleza kiwanda.

Kauli hiyo haikumfurahisha waziri Lukuvi hasa baada ya kubaini NDC kukodisha sehemu ya eneo hilo kwa wananchi kwa ajili ya kuendesha shughuli za kilimo ambapo wastani wa watu 50 hadi 300 hukodishwa katika kila msimu wa kilimo kwa gharama ya shilingi laki moja kwa ekari moja.

Wakati huo huo, Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi mhe William Lukuvi ametaka kufanyika tathmini katika shamba la Fofo wilaya ya Hai mkoa wa Kilimanjaro na baadaye serikali itafanya maamuzi kulingana na uamuzi wa Mahakama.

Hatua hiyo ya Lukuvi inafuatia mgogoro uliopo katika shamba hilo ambapo kundi la watu 48 linamiliki shamba  hilo na kuacha wananchi wengine wakihangaika huku kiasi cha shilingi milioni 2.6 zikiwa zimelipwa kwa wahusika kama gharama za fidia .

Waziri Mkuu: Watanzania Tuendeleze Utamaduni Wetu-majaliwa

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Watanzania waendelee kuuheshimu na kuuendeleza utamaduni ambao ndio urithi wao ili kulifanya Taifa liendelee kuwa hai.

Amesema suala la kuuenzi utamadini ni jambo zuri ambalo linatoa fursa kwa watu wengine hususan wa mataifa ya nje kuja kujifunza historia ya Watanzania na maisha yao.

Waziri Mkuu aliyasema yao jana jioni (Ijumaa, Oktoba 26, 2018) alipotembelea shughuli za tamasha la utamadini wa Mtanzania kwa jamii ya watu wa Lindi.

Katika tamasha hilo linalofanyika kwenye Kijiji cha Makumbusho jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu alitumia fursa hiyo kuwataka Watanzania waendelee kuupenda utamaduni wao.

“Nimefurahi kuona nyumba zikiwa na zana mbalimbali za kitamaduni ambazo zilikuwa zikitumiwa na wazee wetu pamoja na namba ya utayarishaji wa vyakula vyetu vya asili.”

“Sikutarajia kuona haya ninayoyaona, nawashukuru wote walioshiriki katika kandaa tamasha hili pamoja na uongozi wa Wizara ya Maliasili na Utalii na Kijiji cha Makumbusho.”

Waziri Mkuu alisema tamasha hilo ambalo limewakutanisha Wanalindi kutoka katika wilaya mbalimbali linatoa fursa ya wao kujadili maendeleo ya mkoa wao na Taifa kwa ujumla.

Kadhalika, Waziri Mkuu aliwaomba wananchi wote wajitokeze kwa wingi kwenda katika Kijiji cha Makumbusho kwa ajili ya kujifunza historia ya mkoa wa Lindi pamoja na fursa zilizoko.

Awali, Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Bw. Godfrey Zambi alisema mkoa umetumia tamasha hilo kutoa ujumbe kwa umma kuhusu vivutio mbalimbali walivyonavyo pamoja na fursa za uwekezaji.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMAMOSI, OKTOBA 27, 2018.

Kigwangala aandika historia nyingine, atoa sadaka baada ya ajali

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangala ameahidi kuwalipia ada ya masomo wanafunzi watano kila mwaka katika Chuo Cha Utabibu Tabora Institute, ikiwa ni sehemu ya kumshukuru Mungu kufuatia kunusurika kifo katika ajali ya gari aliyoipata August 4 mwaka huu huko mkoani Manyara ambapo mtu mmoja alifariki dunia na wengine kujeruhiwa.

==>>Msikilize hapo chini

Video Mpya: Frida Amani ft. G Nako - Tuone

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo na Mtangazaji wa Radio, Frida Amani anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya uitwao Tuone ambao amemshirikisha G Nako. Itazame hapa.

Mo Dewji Aibuka Kwa Mara Ya Kwanza, Atoa Sadaka

$
0
0
Hivi karibuni Mwekezaji Mkuu wa Simba, Mohamed Dewji 'Mo' alikumbwa na balaa la kutekwa na watu wasiojulikana alipokuwa akiingia katika Gym iliyopo Hoteli ya Collessium iliyopo jijini Dar es Salaam, aliachiwa huru baada ya siku tisa maeneo ya Gymkhana.

Jana kwa mara ya kwanza alijitokeza hadharani tangu aachiwe huru baada ya kwenda kufanya ibada ya swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Sinashiri uliopo Mtaa wa Indira Gandhi, Upanga kwa ajili ya kuwashukuru watanzania na waumini waliomuombea ili aweze kutoka salama.

Habari kutoka ndani ya Simba zimeeleza kuwa kikubwa alichokuwa akifanya Mo ni kuwashukuru kwani ni mahali pake pa ibada, pia alitoa sadaka ya shukurani .

"Baada ya ibada alitoa sadaka ya shukrani kwa baadhi ya watu waliokuwa msikitini hapo kisha akaondoka zake akiwa ameambatana na baadhi ya ndugu zake wa karibu," kilisema chanzo.

Kutoka kwa Mo kumechangia kwa kiasi kikubwa Simba kupata matokeo mazuri kwani mchezo wao wa kwanza waliifunga Stand United Mabao 3-0, kisha wakamfunga Alliance mabao 5-1 kesho watacheza na Ruvu Shooting.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa pekee iliyotibu watu wengi nchini na nje ya nchini kwa kufanya kazi Mara 3 kwa wakati mmoja 1 ...kurefusha uume na kunenepesha saizi upendayo, kuogeza nguvu za kiume na inatibu matatizo , ikisha tibu aina madhara inaimalisha mishipa ilio regea na uzalishaji wa mbegu za kiume. TAHADHARI HAKIKISHA UNA MKE AU    MPENZI. 

NINI HUCHANGIA MATAZO HAYA . Ngiri ni chanzo Kikubwa cha matatizo,haya kujua kwamba una ngiri dalili zake ni 1.kufika haraka kileleni wakati  watendo la ndoa 
2.Kushindwa kulundia tendo la ndoa 
3.Kutoa choo kama cha mbuzi 
4. Tumbo kujaa gesi na kuunguruma 
5 kukosa choo kabisa 
6 Maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi 
7 korondani moja kuvimba 
8 kutosikia hamu ya tendo la ndoa
 9 maumivu ya kiuno na mgongo  

Pia tunatibu busha bila kufanyiwa opresheni .Umeachwa na umpendae na bado unamwitaji?

WASILIANA  NA MTALAM  CHALLO 0714 006521. YUPO MBAGALA.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images