Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

BREAKING: Taarifa RASMI Ya Jeshi La Polisi Kuhusu Tukio la Kutekwa Mo Dewji na Hali ya Usalama Nchini


Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 12

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA  

‘Ethan”
Niliisikia sauti ya Ethan mwenzangu, ikiniita nyuma yangu ambaye uhalisia wake ni jini.
“Shitii umenistua sana”
‘Nisikilize sina muda mwingi sana. Kesho usiende hiyo safari kwa maana mukifika nchini Uingereza mmoja wenu kati ya baba yako au wewe atapigwa risasi na kufa hivyo musiendeee”
Maneno ya Ethan yakanistua sana moyo wangu, hakuhitaji hata nimuulize swali, akapotea mbele ya upeo wa macho yangu na kunifanya niwe katika wakati mgumu sana ulio iyeyusha furaya yangu mithili ya barafu katika jua kali.

ENDELEA
“Ethan kwa nini tusiende”
“Nimekuambia kwamba sina muda mwingi, hakikisha kwamba safari hii haifanikiwi sawa”
Ethan mara baada ya kuzungumza hivyo akapotea mbele ya uwepo wangu wa macho. Wasiwasi mwingi ukazidi kunitawala, hamu ya kwenda Uingeraza yote ikaniishia. Nikajikuta nikikaa chini na machozi yakianza kunimwagika.
‘Ethan niambie basi kama ulicho nieleza ni uongo’
Nilizungumza huku machozi yakinimwagika usoni mwangu.  Nikiwa katikati ya hali ya huzuni, mlango ukagongwa na nikasikia sauti ya Mery akiniita.
“Ethan umesha maliza?”
“Ndio dada ninakuja”
Nilizungumza huku nikianza kujifuta machozi yangu usoni. Nikaendelea kujifuta hadi nikamaliza. Nikanyanyuka kwa haraka na kufungua mlango. Mery akanitazama usoni mwangu huku macho yake akionekana kama mtu mwenye mashaka juu yangu.
 
“Ulikuwa una lia?”
Mery aliniuliza huku akiwa amenikazia macho.
“Hapana nilikuwa nina omba dada, kwa maana ni batati kubwa niliyo ipata”
“Ninaweza kuingia?”
“Ndio”
Mery akaingia na kukaa kitandani kwangu nami nikaka kitandani kwangu huku nikimtazama.
“Ethan ni mambo mangapi ulisha wahi kudanganya?”
Swali la Mery likanistua kidogo
“Kivipi dada?”
“Mimi ni daktari na ninauwezo mkubwa sana wa kumgundua mtu akifanya jambo hilo nikiwa nina mtazama tu machoni mwake. Natambua kwamba haukuwa una Sali, niambie ukweli ni kitu gani ambacho kimekukosesha furaha na amani?”
 
Nikajifikiria kwa muda huku nikiwaza nimueleze ukweli juu ya hili nililo ambiwa na Ethan, ila kusema kweli bado ninapata kigugumizi.
“Au Camila amekukataza kwenda huko?”
“Ndio dada”
“Ohoo usijali, nitazungumza na mama yake amshawishi ili akubali muende”
“Amesema kwamba tukienda huko anahisi kuna jambo baya litatokea”
“Hahaa…ana wivu tu, hakuna kitu kibaya ambacho kitakwenda kuwapata wewe na baba sawa. Kikubwa ni wewe ujiandae kwa safari kesho na hakikisha kwamba ukifika una muwakilisha baba vizuri, sawa Ethan”
Maneno ya Mery yakazidi kuniny’ong’onyeza japo nimejaribu kupindisha ukweli, ila anaonekana haelekei kabisa katika pointi yanug ya msingi ambayo nimeimaanisha.
“Sawa dada”
 
“Leo nitatoka kwenda mjini, nitakuletea nguo nzuri za kuvaa kesho sawa”
“Sawa dada”
Mery akatoka ndani humu huku akiwa ameishika simu yake mkononi. Nikajilaza kitandani huku nikijaribu kufikiria safari ya kesho ambayo tayari imesha anaza kuingia kikwazo. Nikajaribu kumuita Ethan kwa mara kadhaa ila hakuweza kuitika, wala kuzungumza nami katika ufahamu wangu wa akili. Usingizi taratibu ukanipitia kwani ukichanganya na uchovu wa mazoezi na kuamka asubuhi sana na mapema, sikuwa na sababu yoyote ya kuto kuacha kulala.
                                                                                                              **
Familia nzima ikatusindikiza hadi katika uwanja wa ndege huku tukiwa na wawakilishi wa wawili kutoka katika timu ya Liverpool. Kila mmoja wetu kusema kweli furaha imemjaa usoni mwake, kwani safari hii ni ya mafanikio na kila mtu ana amani kwamba ndio mwanzo wangu mzuri wa kuingia katika soka la kulipwa huku nikiwa na umri mdogo sana.
Tukaingia katika ndege binafsi iliyo tumwa kutoka nchini Uingereza. Tukaingia na kukaa katika siti nzuri ambazo zimewekwa katika eneo lililo tengenezwa kwa mfumo kama wa sebleni, kwani kuna Tv na friji ndogo. Nikiwa katikati ya furaha, gafla akatokae Ethan na kusimama pembeni yangu, nikawatazama watu wote wa humu ndani na sikuweza kumona hata mmoja wao aliye weza kustuka kutokana na uwepo wa Ethan katika eneo hili.
 
‘Mbona umekaidi maneno yangu?’
Ethan alizungumza kwa sauti nzito ambayo kwa kipindi cha awali alipo kuwa akizungumza nami ndio alikuwa akiitumia.
‘Etha…..’
‘Hivi hujui kwamba nina kulinda eheee, nikikuambia kwamba usifanye kitu kwa nini hunielewi au unajiona kwamba wewe una uwezo mkubwa kuliko mimi si ndio?’
Ethan aliendelea kufoka kwa hasira. Kusema kweli leo ndio nimeweza kumuona jini huyu akifoka kwa fujo na uzuri wake wote ukatoweka. Mwili mzima ukaanza kunitetemeka.
‘Ethan nilishindwa kumshawishi baba na tayari alisha fanya mawasiliano na hawa watu ndio maana leo hii tupo humu ndani ya ndege’
 
Ethan akamtazama mzee Klopp anaye cheka na kururahi huku simu yake akiwa ameiweka sikioni mwake.
‘Ethan rafiki yangu nakuomba ubadilishe mambo mabaya yatakayo tokea huko mbeleni, tafadhali ninakuomba sana.’
Ethan hakuzungumza chochote zaidi ya kuniangalia kwa mcho ya hasira. Akapotea kwenye uwepo wa macho yangu na kunifanya nizidi kuogopa, nikashusha pumzi nyingi sana huku nikimtazama mzee Klopp anaye zungumza na marafiki zake. Nikatamani kuzungumza jambo ila ndege tayari imesha anza kutembea. Ndege ikaanza kupaa angani huku nikishuhudia tukiiacha ardhi ya nchini Ujerumani taratibu.
“Ethan sasa mwanangu unakwenda kuwa nyota wa dunia”
Mzee Klopp alizungumza kwa furaha sana.
“Asante baba”
“Ukijituma ndio siri kubwa ya mafanikio sawa”
“Sawa baba”
 
Ndege ikazidi kuchana mawingu. Gafl ikaanzaa kuyumba na kutufanya watu wanne yulipo katika eneo hili kuanza kupatwa na wasiwasi. Kwa haraka muwakilishi mmoja akajifunga mkanda siti yake vizuri. Hali ikazidi kuwa mbaya mara baada ya ngede kugeuka, juu chini, chini juu, nikamshuhudia kiti cha mzee Klopp kikichomoka na akagongeza kichwa chake kwenye meza ya tv na kikapasuka. Mlango wa ndege hii ukachomoka na upepe mwingi sana ukaingia ndani, muwakilishi mmoja naye akachomolewa huku akipiga makelele mengi sana na akapotelea hewani. Huyu muwakilishi wa pili naye nikamshuhudia akiangukiwa na firi miguuni mwake na ikakatia vipande vipande, friji hili linalo onekana ni zito kama shelf ya kuhifadhia zitu vya siri, likaanza kumbingiria na kunipabiza kwenye mbavu zangu na kujikuta nikitoa ukeleke mmoja mkali sana wa maumivu.
                                                                                                                **
Nikastuka kutoka usingizi huku nikipiga kelele nyingi sana, nikaanza kujipapasa kwenye upande wangu katika mbavu ambapo friji imenibamiza ila nikajikuta nikiwa nipo salama salmin. Nikashusha pumzi nyingi sana huku macho yakiwa yamenitoka kisawa sawa.
“Ethan, Ethan”
Bibi Jane Klopp akaingia ndani humu huku akiniita jina langu, akaka pembeni ya kitanda changu huku akinitazama jinsi ninavyo mwagikwa na jasho jingi.
“Una nini?”
Bibi Jane Klopp aliniuliza huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana usoni mwake.
“Ni ndoto mbaya mama”
“Ohoo pole mwanangu”
Bibi Jane Klopp alizungumza huku akinikumbatia kwa nguvu.
“Ndoto yako ina husiana na nini?”
“Ajali mama, naogopa”
“Ajali ya nini?”
 
Bibi Jane Klopp alizungumza kwa wasiwasi mwingi sana huku akinitazama usoni mwangu. Nikashusha pumzi taratibu, kwa viganja vyake akaanza kunifuta jasho linalo nimwagika usoni mwangu.
“Baba yupo?”
“Ndio yupo ofisini kwake”
“Naomba nizungumze ndoto hii mbele yake”
“Sawa twende”
Bibi Jane Klopp akanisaidia kushuka kitandani, tukaelekea hadi ilipo ofisi ya mzee Klopp, tukamkuta yupo na wanaume wawili, kwa kuwatazama vizuri moyo wangu ukastuka sana, kwani ndio wanaume ambao nimewaona kweney ndoto niliyo iota muda mchache ulio pita.
“Ethan wasalimie wawakilishi kutoka katika timu ya Liverpool wamekuja na private jet yao ambayo kesho ndio tutaondoka nao”
 
Mapigo ya moyo yakazidi kunienda mbio mara baada ya mzee Klopp kuzungumza maneno hayo. Nikajitahidi sana kuiweka sura yangu ya furaha mbele ya watu hawa ila nikajikuta nikishindwa kabisa, kwani picha ya ajali tuliyo ipata ndotoni kila mara ina jirudia kichwani mwangu.
‘Ehee Mungu naomba unisaidie hili lisitokee’
Nilijitahidi kuzungumza kimoyo moyo huku nikiwatazama watu hawa. Nikawasalimia kwa heshima sana na wao wakaonekena kufurahishwa.
“Kijana wako ni mzuri sana, kwa hakika akiendelea kuwa hivi, timu itakuwa imepata mtu mzuri sana”
“Ni kweli, nimemkuza kwenye maadili mazuri ambayo nyinyi nyote mutaipenda tabia yake”
“Ethan mimi nina itwa John Mendez”
Muwakilishi mmoja alizungumza kwa furaha huku akinipa mkono.
 
“Nashukuru kukufahamu”
“Na mimi ninaitwa Lucas Leivis pia ni muwakilishi wa uongozi mzima wa timu ya Liverpool.”
“Nina shukuru sana kwa kuwafahamu”
“Tumeleta hund ya benk ya pand milioni kumi kwa ajili yako tu, hiyo itakuwa ni pesa yako ya kuanzia maisha utakapo kuwa jijini Liverpool kwa maana tumezungumza na mzee hapa na amakubali kwamba makazi yako yote kuanzia kesho yatahamia jijini Liverpool Uingereza.”
Macho yakazidi kunitoka hata bibi Jane Klopp akaonekana kustuka kidogo kwa kauli hiyo.
 
“Samahani munaweza kutupa nafasi nikazungumza na mume wangu?”
Bibi Jane Klopp alizungumza huku akimtazama mzee Klopp usoni mwake.
“Ohoo samani, jamani kwa furaha niliyo kuwa nayo nimejisahau kumtambulisha mke wangu. Anaitwa Jane Klopp”
“Tunashukuru kukufahamu maam”
“Nami pia nina washukuru kuwafahamu karibuni sana na mujisikie kama mupo nyumbani”
“Sawa sawa mama, kutokana tumesha maliza kuzungumza na mzee hapa, basi sisi acha twende, na hundi hii tunamkabidhi Ethan na hundi ya meneja wake ambaye ni mzee hapo tumesha mkabidhi hundi ya paundi milioni thelathin”
 
“Sawa asanteni baba zangu na Mungu awabariki”
Bibi Jane alizungumza kwa upole huku akiwatazama wawakilishi hawa.
“Tunashukuru mama yetu”
Wawakilisha hawa wakanyanyuka kwenye viti walivyo kuwa wamekalia, na wakaanza kutoka huku mzee Klopp akiwafwata kwa nyuma, huku kwa ishara akituomba tuweze kumsubiria anakuja. Tukaka kwenye viti walivyo kwua wamekali, bibi Jane Klopp akaichukua hundi niliyo pewa, akaisoma kwa muda kidogo kisha akaiweka mezani huku akiachia msunyo unao onyesha dhairi amekasirishwa na maamuzi ya mume wake. Baada ya muda kidogo mzee Klopp akaingia huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana usoni mwake.
 
“Mke wangu Ethan amezidi kuing’aza familia yetu na jina langu sasa linazidi kwenda kukua”
“Hembu njoo ukae hapa na uniambie kwa nini umeamua kufanya maamuzi yako wewe kama wewe, ikiwa mtoto ni wa kwetu wote na hakuna jambo kubwa ambalo unalifanya bila ya kuhitaji ushauri wangu?”
Bibi Jane Klopp alizunguzma huku sura yake akiwa ameikunja kwa kweli.
“Jamani mke wangu, hili swala si lipo wazi?”
“Lipo wazi kivipi, umenitarifu hata walipo kuja hawa vijana eheee?”
 
“Mke wangu, tuliza basi jazba”
“Klopp siku zote za maisha yetu sikuwahi kukupinga kwa maamuzi yako yoyote ambayo ulikuwa unayafanya kama baba na mume kwenye maisha yangu. Ila kwa hili la Ethan kwenda kuishi Uingereza hapana. Mtoto bado ni mdogo, miaka nane na kiasi chote hicho cha pesa unahisi Ethan ataweza kuhimili vishawishi vya Uingereza tena katika jiji la Liverpool ambalo limejaa wendawazimu na walevi?”
Bibi Jane Klopp alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Furaha ya mzee Klopp yote ikaondoka usoni mwake na kujikuka akikaa kwenye kiti chake taratibu.
“Kwa nini umeingiwa na tamaa ya pesa mume wangu na kuamua kuchukua pesa za watu pasipo kusika chochote kutoka kwetu, kama ungeona mimi sifai kwenye hayo maamuzi yako, umeshindwa hata kumuuliza Ethan, kweli eheeee?”
 
“Mke wangu kwa hilo nina kuomba uni samehe, nakiri nimefanya kosa na sipendi kukuona unalia mbele ya mtoto. Ethan nina kuomba uweze kwenda nje kidogo nizungumze na mama yako”
“Hapana hawezi kwenda nje ana jambo muhimu anahitaji kulizungumza kwetu sisi na nilikuja naye humu ili aweze kuzungumza kile alicho kiota”
Mzee Klopp akanitazama usoni mwangu, akagundua wasiwasi mwingi sana ambao ninao.
“Eti Ethan mwanangu una wasiwasi wa kitu gani ehee?”
Mzee Klopp alizungumza kwa sauti ya upole na unyeyekevu sana huku akinitazama usoni mwangu. Nikajaribu kufungua kinywa ila nikajikuta nikishikwa na kigugumizi kwa maana sifahamu hata nianzie wapi kusimulia ndoto niliyo iota kwani watu wawakilishi hawa nilio waona kwa macho yangu ya nyama ndio hawa hawa nilio waona kwenye ndoto yangu.
“Baba”
“Naam”
“Mama”
 
“Bee mwanangu”
“Munanipenda na kunisikiliza kwa kile nitakacho waomba”
“Ndio mwanangu, zungumza chochote tutakupatia”
Mzee Klopp alizungumza kwa shahuku huku akitengeneza tabasamu zuri usoni mwake, akisubiri ni nini ambacho waomba.
“Kwa…..usala…ma wangu na nyinyi. Baba sitaki kwenda nchini UINGEREZA tena na pesa za watu nakuomba uzirudishe”
Mzee Klopp macho yakamtoka, akasimama kwa hasira huku mikono yake miwili akiipiga mezani kwa nguvu hadi mimi na bibi Jane Klopp tukastuka, kwani anaonekana kukasirika waziwazi 

==>>ITAENDELEA KESHO

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 110 na 111 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA  

Kwa haraka nikaufungua mlango na kukuta Beatrice akiwa amesimama na watu wake
“Haraka anda timu itakayo kwenda post, kuangalia ni gorofa gani lililo tegwa bomu”
“Sawa dokta”
Nikarufi katika chumba alipo Hassan Abdlah, nikamkazia macho kwa haraka nikamfwata hadi sehemu alipo kaa, nikamnyanyua na kumuangusha chini kwa nguvu.
“Ni wapi alipo Cajoli mke wangu la sivyo risasi zote hizi zitaishia kichwani mwako”
“Ca…..ca….caj…oli ni master plan”
“Master Plan una maana gani?”
“Cajoli mke wako ndio aliye panga haya yote”
Masikio yangu nikahisi yananiwasha kwa hichi nilicho kisikia kwa maana Cajoli ninaye mfahamu mimi sioamini kama ni mwanamke mwengine msaliti kwenye maisha yangu.
           
ENDELEA       
Sikutaka kumuamini Hassani moja kwa moja katika mambo aliyo yaseme, pasipo kuwa na huruma ya aina yoyote. Nikamminya kidonda chake nilicho mpiga risasi na kumfanya atoe ukelele.
“Cajoli katika hili anausika vipi?”   
Nilimuuliza kwa hali ya ukali sana huku nikiendelea kukiminya kidonda chake kwa nguvu sana.
“Sifahamu ila mi nilisikia tu wezangu wakizungumza”
“Kwa sasa amefichwa wapi?”
“Eheee”
 
Nikaona hanielewi, nikamtandika risasi nyingine ya paja na kumfanya azidi kulia kwa maumivu makali sana.
“Nimekuuliza ni wapi alipo Cajoli”   
“Yu…yupo kwenye mapango ya Amboni Tanga”
“Ndipo sehemu alipo shikiliwa?”
“Ndipo kundi zima lilipo jificha na hata bomu la nyuklia linaogozewa huko”
Nikamuacha Hassan na kutoka nje ya chumba hichi.
“Hassan amesemaje?”   
Beatrice aliniuliza huku akinitazama machoni.
“Sehemu walipo jificha magaidi ni katika Mapango ya ambani. Na sehemu hiyo ndipo wanapo ogoza mpango mzima wa kulipua bomu lilipo hapa Dar es Salaam”
“Inabidi kuandaa timu kwenda huko?””
 
“Niandalie helcopter, pamoja na vijana wawili unao waamini kama wanaweza kuifanya hii kazi vizuri”
“Kabla ya kufanya hivyo nilazima uzungumze na raisi”
“Sawa”
Nikaingia kwenye moja ya ofisi ambayo kuna tv kubwa inayo tumika kuwasiliana na raisi. Beatrice akaka kiti cha pembeni yangu huku sote tukiitazama Tv hii yenye nembo ya raisi. Baada ya sekunde kadhaa tukaunganishwa na raisi aliyopo katika chumba kingine na wakuu wa jeshi.
“Muheshimiwa raisi, dokta Lameck ameweza kutusaidia kuweza kufahamu ni wapi magaidi ni wapi walipo jificha kwa kumuhoji gaidi tuliye mkamata”
 
“Kazi nzuri sana dokta Lameck, ni sehemu gani ambayo wamejicha hao magaidi”
“Muheshima raisi, magaidi hao wamejificha katika mapango ya Amboni, na hapo ndipo wanapo fanya shuhuli zao za kuongoza bomu hili la nyuklia ambalo wamesema kwamba ifikapo saa kumi na mbili asubuhi linalipuka na sio saa sita mchana”
Nilizungumza na raisi huku nikimtazama kwenye Tv hii.
“Mungu wangu, na sasa hivi ni saa hivi umebaki muda mchache sana”
“Ndio muheshimiwa kikubwa ni kwenda kuhakikisha kwamba tunazuia ulipukaji wa bomu hili.”
“Na lipo sehemu gani?”
“Lipo katika gorofa refu maeneo ya Posta, sasa kazi ni kuhakikisha kwamba bomu hilo linaweza kuteguliwa mapema iwezekanavyo. Tuna dakika arobaini hadi sasa muheshimiwa raisi”
 
“Dokta Lameck unahitaji nini?”
“Ninahitaji  helcopter, pamoja na vijana wawili kwenda kuianza hii oparesheni, pili nitahitaji timu  nyingie kuja nyuma yangu. Hawa ni magaidi kwa hiyo siweze kujua wana mbinu gani nyingine ambazo wanaweza kuzifanya”
“Umepata”
“Beatrice andaa vijana wako, na kila hitaji analo litaka dokta Lameck, na kuwa karibu yake kwa kuwasiliana naye”
“Sawa muheshimiwa raisi”
“Dokta Lameck, nimekuamini na Mungu akubariki kwa kule unapo elekea kuifanya kazi hii”
“Asante muheshimiwa raisi”
Tukatoka katika chumba hichi na Beatrice, akanikabidhi simu pamoja na miwani maalumu ambayo inasaidia mtu kuweza kuona kwenye giza kali.
 
“Naamini unaweza kutumia hiyo miwani?”   
“Nafahamu, ninahitaji magazine nyingine za kutosha. Hakikisha timu yako itakayo kuja nyuma yangu, inawasiliana nami kwa ukaribu zaidi”
“Sawa dokta Lameck. Vijana ni hawa hapa. Agent Moris na Agent Emily”
“Habari zetu”
“Salama dokta”
“Naamini mumeshapewa maelezo ya awali kuhusiana na tukio zima jinsi linavyo endelea?”
“Ndio dokta na helcopter ipo tayari”
“Dokta Lameck magazine za bastola zako hizi hapa”
Agent Beatrice akanikabidhi kijibegi kidogo nikafungua ndani nikakuta magazine za kutosha pamoja na saa ya mkononi.
“Safari njema dokta”  
  
“Shukrani”
Tukatoka nje ya jengo hili na kuingia ndani ya helcopter. Taratibu helcopter ikaanza kuacha ardhi na kueleea hewani. Yote haya ninayafanya kwa ajili ya mke wangu na si kwajili ya nchi yangu.
“Dokta Lameck hii hiki ni kifaa maalumu chenye ramani ya pango zima la Amboni, tunaweza kufahamu ni wapi magaidi  walipo jificha”
Agent Moris akanikabidhi kifaa kidogo kilicho kaa kama simu aina za smartphone ila si simu. Nikaanza kuipitia ramani ya pango zima la Amboni.
“Shukrani”   
Nilimjibu Agent Morsi huku nikiweka kifaa hichi mfukoni mwa suruali yangu.
“Inatubidi kushuka umbali kidogo kutokea sehemu yalipo mapango”
 
“Ndio dokta hilo linaelekeweka”
“Sawa”
Hatukuchukua dakika nyingi, tukawa tumekaribia kwenye eneo la karibu kabisa na mapango ya Amboni, helicopter taratibu ikashuka chini, mimi na wezangu wawili tukashuka na helicopter ikaondoka eneo hili.
“Tuna dakika kumi za kuhakikisha kwamba oparesheni hii inakwisha”
“Dokta dakika kumi ni chache”
“Hata dakika moja pia ni nyingi, mimi ndio kiongozi wa hii oparesheni munatakiwa kufwata amri yangu”
Nilizungumza kwa kujiamini sana huku nkiwatazama vijana hawa machoni mwao. Wakakubaliana nami japo wanaonekena wana maswali mengi sana vichwani mwao kuhusiana na mimi kwa maana dokta na kazi ya kutafuta magaidi ni vitu viwili tofauti.
 
“Kutoka hapa hadi kwenye mapango ni mwendo wa dakika mbili kwa hatua za haraka”
“Sawa doka”
Nikachomoa bastola yangu moja kwenye kiuno changu sehemu nilipo kuwa nimeichomeka. Kwa haraka nikaanza kutembea kuelekea yalipo mapango. Vijana hawa wawili wa NSS, wakaanza kunifwata kwa nyuma, sikutaka kuonyesha udhaifu kwamba mimi ni daktari ila kitu ninacho kifanya hapa ni ukomandoo ambao nimejifunza shemeu mbali mbali kutokana na maisha yangu kubadilika kwa asilimia kubwa sana.
 
Tukafika kwenye mapango ya amboni, kila mmoja akavaa miwani yake inayo msaidia kuona kwenye giza totoro. Taratibu tukaanza kuingia ndani huku kila mmoja silaha yake akiwa ameishika mkononi mwake. Kuseme kweli haya ni mapango ambayo yanatisha sana, mapango ambayo yana historia kubwa sana kwenye nchi ya Tanzania. Takribani dakika tano zikakatika tukiwa tunatazama ni sehemu gani ambayo tunaweza kuwaona magaidi.
“Dokta au jamaa ametudanganya?”
“Hapana tuzidi kusonga mbele”
“Ila dokta kardi jinsi tunavyo zidi kwenda ndivyo jinsi tunavyo zidi kupotea sisi wenyewe”
 
“Nimewaambia kwamba ninahitaji tusonge mbele, kama mtu huitaji kuwa pomoja nami unaweza kurudi nyuma”
Agent Emily akatulia kwa muda huku akitafakari nini cha kuzungumza, akatingisha kichwa na kukubaliana kuendelea na mimi, ila Agent Moris anaonekana kuwa wasiwasi mwingi.
“Nisikilize agent Moris, hii ni oparesheni ya kwenda kuokoa maisha ya mamilioni ya Watanzania watakao kufa pasipo hatia ya aina yoyote. Huko tulipo toka kuna watoto, wake, wajane na watu wa kila aina. Ukishindwa kuyaokoa maisha yao leo basi wewe hii kazi huiwezi”
Nilizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa ushawishi mkubwa sana kwa agent Moris. Akanitazama kisha akatingisha kichwa cha kukataa kuendelea na safari hii ya kutafuta magaidi. Taratibu akaanza kurudi nyuma na kuanza kuondoka katika eneo hili la mapango.
“Agent Emily tunaweza kuendelea na safari?”
“Ndio dokta”
 
Tukaendelea na utafutaji wetu wa kukatiza kila eneo la haya mapango huku tukiongozwa na ramani iliyopo kwenye hichi kifaa maalumu. Tukaanza kusikia milio ya vyuma kama vinavyo gongwa gongwa.
“Dokta umesikia hivyo?”   
“Yeaa”
“Sauti zinasikika kutoka upande huu wa mashariki”
“Twende”
Taratibu tukaanza kutembea kwa taadhari, kadri jinsi tunavyo zidi kwenda mbele ndivyo jisni tulivyo zidi kusikia milio  ya vyuma hivyo jinsi vinavyo gongwa. Sasa tukaanza kuuona mwanga ukitokea kwenye moja ya njia. Tukazidi kusonga mbele kuufwata mwanga huu, hadi tukafanikiwa kufika katika njia hii nyembamba sana, ambayo inaruhusu mtu mmoja mmoja kupita.
 
“Upo tayari?”
“Ndio dokta”
“Twende”
Tukaanza kujipenyeza katika hii njia, na tukatokea katika sehemu ambayo sote mimi na agent Emily tukabaki tunashangaa. Sehemu hii imekaa kama ukumbi, na imefungwa taa kubwa katika kila ukuta ambazo zinamulika na eneo zima linaonekana vizuri. Kwenye kumbi huu kuna magaidi si chini ya hamsini, huku mabomu mawili makubwa ya nyuklia yakiwa yemeandaliwa vizuri sana.
“Naomba darubini”  
  
Agent Emily akanipatia darubini, uzuri wa sehemu tuliyopo ni juu kabisa na watu wote tunawaona kwa chini. Taratibu nikaanza kutazama mtu mmoja baada ya mwengine, nikamuona mke wangu Cajoli akiwa amesimamiwa na vijana wawili walio mshikia bunduki huku akiamrishwa kutengeneza bomu la nyuklia.
“Ohoo Mungu wangu”
“Nini dokta?”
“Yule pale ni mke wangu”
“Hembu”
Agent Emily akachukua darubini na kuangalia eneo alipo Cajoli, akatazama na maeneo mengi.
“Tunafanyaje hapa dokta?”
“Tutanakiwa kuvamia hili eneo kwa umakini sana, ila tukikosea tu basi mke wangu tutampoteza”
“Sawa dokta, inabidi tutafute njia ambayo tunaweza kupita”
“Hakuna tabu”
 
Hata kabla hatujatoka katika hili eneo tukastukia tukimulikwa na taa kubwa, tukataka kukimbia ila watu zaidi ya nane wakawa wametuzunguka wakiwa na bunduki zao.
“Wekeni silaha zenu chini”   
Mtu mmoja alizungumza huku akwia amejifunga kilemba kichwani mwake. Hatukuwa na ubishi wowote zaidi ya kuweka silaha zetu chini. Magaidi wawili wakatufwata na kutufunga mbingu huku mikono ikiwa nyuma. Wakaanza kutuongoza kushuka chini kwenye ukumbi huu, Cajoli alipo niona akataka kunikimbilia ila akauziwa kwa kunyooshewa bunduki, machozi mengi yakanedeleka kumwagika Cajoli. Kwa nguvu tukapigiswa magoti chini huku tukizungukwa na magaidi hawa ambao sasa nimewatambua kwamba wanatokea katika kundi la Al-Shabab.
 
“Mkuu tumempata dokta Lameck”   
Gaidi mmoja alizungumza kiarabu, kwa simu yake ya upepo. Haukupita muda sana nikamuona Yudia akiwa ameongozana na Dany feki wakitufwata sehemu tulipo. Hasira ikaanza kunipanda kwa maana Yudia ni adui yangu wa muda mrefu  sana.
“Ohoo Dany, ni muda mrefu sana sijakuona”
Yudia alizungumza huku akinishika kidevu changu, akanigeuza kichwa changu kushota na kulia, akamtazama Cajoli kwa jicho la dharau kisha akanipiga busu la mdomoni, japo nimejitahidi kulikwepa ila akanilazimisha, jambo lililo mfanya Cajoli kuzidi kulia kwa hasira.
 
“Dany pole kwa msiba wa mama yako, mkeo, mdogo wako na mwanao. Iliwabidi wafe kutokana na kiherehere chao.”
Tukiwa katika eneo hili, nikamuona Agent Moris akija katika eneo hili akiwa ameshika begi kubwa mkononi mwake.
“Moris asante sana kwa kutuletea hawa watu, sasa munaweza kumsindikiza”
“Wewe malaya wa kiume kumbe msaliti”
Agent Emily alizungumza huku akihitaji kunyanyuka, ila kwa haraka Yudia akachomoa bastola yake kiunoni na kumpiga risasi mbili za kichwa agent Emily na huo ukawa mwisho wake jambo lililo nifanya nizidi kupandwa na hasira hadi machozi yakaanza kunilenga lenga.
 
AISIIIII……….U KILL ME 111

“Na wewe ukileta ujinga basi nitahakikisha kwamba unakufa”   
Yudia alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, akairudisha bastola yake sehemu alipo itoa, akawaamrisha watu wake kuninyanyua. Wakanipapasa na kuchukua silaha zangu, simu, miwani pamoja na jaketi la kuzuia risasi. Walicho nibakisha ni nguo zangu tu.
“Mpelekeni mukamfunge”       
“Sawa mkuu”
 
Jamaa hawa wakanikokota kokota huku nikimtazama Yudia pamoja na Dany huyu feki, ambaye moja kwa moja ninaamini kwamba ametengenezewa sura hii ya bandia ambayo inafanana na mimi. Nikaingizwa kwenye moja ya chumba chenye geti la chuma. Wasiwasi mkubwa kuhusiana na nchi yangu kuingia katika hali nguvu ya kivita ikaanza kunitawala moyoni mwangu.
‘Ni nini nitafanya?’   
Nilijiuliza huku nikitazama kila sehemu ya chumba hichi kilichomo ndani ya haya mapango. Kila kitu nilicho kuja nacho magaidi hawa wamekichukua na kuniacha nikiwa na nguo zangu nilizo zivaa tu. Nikajaribu kutingisha geti hili halitingishiki kabisa na nje limefungwa kwa kufuli kubwa. Nikaendelea kukaa katika chumba hichi kwa zadi ya nusu saa, geti likafunguliwa na wakaingia wawili wakaniamrisha kunyoosha mikono yangu mbele ili wanifunge pingu ili wanitoe katika hichi chumba. Sikuhitaji kukubaliana nao kabisa katika kusubiri nipate mateso ambayo kusema kweli sifahamu yanaweza kuwa ni mateso ya namna gani.
“Nyoosha mikono yako”   
     
Gaidi mmoja alizungumza kwa hasira huku akininyooshe bunduki yake aina ya Ak47. Taratibu nikanyoosha mikono yangu mbele, kitendo cha mwenzake kuishika mkono wangu wa kushoto ili aufunge pingu, ikawa ni kosa kubwa sana kwake, kwa maana hiyo ndio ikawa nafasi yangu ya pekee kummvuta kwa harake, nikampiga kigoti cha kifua, hata kabla mwenzek hajafyatua risasi, tayari nilisha jirusha hewani na kumtumia teke moja la mikono yake, lililo pelekea kushindwa kuihimili kuishia bunduki hiyo na kujikut ikianguka chini.
 
Sikutaka magaidi hawa wafanye lolote, sikuwa na huruma na gaidi hata mmoja, kazi yangu ni kuhakikisha kwamba ninazisitisha pumzi zao zote na kuwaangamiza kimya kimya pasipo mtu yoyo kuweza kusikia na ndivyo nilivyo hakikisha kwamba ninawaangamiza kwa kuwavunja shingo zao. Nikaokota bunduki ya mmoja wao, nikachomoa magazine na kukuta risasi za kutosha, nikairudisha nilipo ichomoa na kuikoki bunduki tayari kwa kushambulia. 
 
Nikachukua kisu cha gaidi mmoja na kuichomeka kwenye soksi, kisha taratbu nikaanza kutoka humu ndani huku nikiwa nimeishika bunduki hii ya aina ya MK47 yenye sifa nzuri katika maswala ya utoaji wa risasi.
Nikaanzisha oparesheni ya kuua gaidi mmoja baada ya mwengine kwa kuwavunja shingo zao pasipo wao kugundua ni jambao gani linalo endelea ndani ya mapango haya yakutisha, cha kushukuru Mungu kuna taa hizi zinamulika katika kila eneo hili walilo jificha magaidi.
“Hei”   
Gaidi mmoja alizunumza baada ya kuniona nikinyata karibu ya mwenzake, kwa haraka akafanyatua risasi ambayo kwa uharaka wangu, nililimvuta mwenzake na kumuweka kama ngao mbele yangu na kumfanya riasasi hiyo kumpiga yeye. Mlio huu wa risasi ya huyu gaidi ikawa imeharibi kula kitu kwa manaa tangu nianze kuwaua hadi sasa hakuna ambaye aliweza kustukia hali halisi inavyo endelea ndani ya mapango haya. Nikachomoa kisu nilicho kichomeka kwenye soksi, nikakirusha kwa kasi na kutua kifuani mwagaidi huuyu ananye nishambulia.
 
Mashambulizi yakaanza kutawala ndani ya haya mapango kati yangu mimi na hawa magaidi, sikuwa na mbinu nyingine yoyote zaidi ya kujitahidi na mimi kulinda mwili wangu. Ubaya ambao magaidi hawa wamekutana nao kutoka kwangu ni kwamba ninawajua hadi katika kambi yao na nimesha kuwa miongoni mwao na nimeshirikiana nao kwenye baadhi ya kazi ambazo bila wao kunijua waliweza kuniamini. 

Hata mbinu zao na ubora wao katika kutumia silaha huwa ninaujua, hawana muda wa kusubiri, kumuona adui ili wamvamie, wao wakijua tu kwamba mbele yao kuna adui basi wanajifyatulia risasi kama wenda wazimu, kitu ambacho katika mashambulizi ni kibaya sana.
 
Ili kuto kuharibu risasi zangu, sihitaji kushambulia pasipo kumuona adui, nikaanza kufwata mfumo ambao nilisha fundishwa na mwalimu wangu katika chuo cha NSS, alikuwa anatueleza kila siku kwamba ‘save your bullet, one bullet one person’
“Zima taa zima taa”   
Magaidi nilianza kusikia kelel hizo za magaidi, wakaanza kushambulia taa zinazo mulika katika eneo hili na kupeleka giza kali ndani ya mapango haya na hapa ndipo walipo niweza kwa maana sina uwezo wowote wa kuona katika giza totoro kutokana sina miwani maamulu ambazo zinatumiwa kauona kwenye giza.
 
“Narudia nahitaji nimpate akiwa hai, narudia tena ninahitaji nimpate akiwa hai”
Nilisikia sauti ya Yudia ikitoea katika kipaza sauti cha gaidi niliye muaa mita chache kutoka sehemu nilipo. Kwa hisia za kuifwata sehemu ilipo tokea, nikaanza kutembea huku nikimtafuta gadidi huyo, kwa bahati nzuri nikamgonga kwa mguu wa kushoto, kwa haraka nikachuchumaa na kuanza kumpapasa kuanzia chini kuelekea juu, kwa bahati nzuri nikafanikiwa kukipata kichwa chake, nikampapasa machoni mwake kwa maana ninakumbuka nilimuona akiwa amevaa miwani kabla ya kumuaa, nikaishika miwani yake na kumvua. Nikaivaa machoni mwangu, ika badala ya kuona mbele nikajikuta nikiona giza totoro.
“Fuc***”   
Nikaivua miwani hiyo na kuitupa chini kwa maana sio miwani za ‘night vision’. Ukimya ndani ya pango hili ukaendelea kutawala na fika ninafahamu kwamba wananiwinda mimi, kwa maana nimesha sikia ninahitajika niwe mzima. Gafla nikastukia kitu kizito kikitua kichwani mwangu na kujikuta nikianguka
chini na kupoteza fahamu.   
                                                                                                    ***
Kitu chenye arufu kali na ya kustua, kikapita kwenye pua zangu na kujikuta nikikurupuka huku nikiweweseka. Mwanga mkali wa taa unao nimulika usoni mwangu, ukanifanya nizidi kuweweseka.
“Sogeza taa pembeni”
Sauti ya Yudia kusema kweli ninaifahamu vizuri sana, ni sauti ambayo hata nikiwa usinigizi nikiisikia basi nilazima nitambue kwamba mzungumzaji ni Yudia.
 
“Dany nakujua vizuri, sana na nilitambua kwamba ni lazima utaniletea fujo kwenye ngome yangu, pasipo kujua kwamba kwa sasa Yudia yule si yule mfanyakazi wa ndani kwenu na wala si mfanyakazi chini ya mwanaharamu K2”
Yudia alizungumza huku akiwa amesimama mbele yangu. Kiti nilicho kalia nimefungwa kisawa sawa na wala sina uwezo kabisa wa kusimama wala kufanya kitu chochote na pembeni yangu wamesimama wanaume wanne wenye bunduki huku nyuso zao zikiwa zimefunikwa na mabushori yalio waacha macho tu.
“Nilipo pata habari kwamba umempata daktari ambaye alikuwa ni target yangu ili aniwezeshe kunipa nguvu, basi nikaseme hiyo ndio nafasi yangu kuweza kukukamata wewe.”
“Sielewei unazungumza nini?”
“Mleteni ndani”
 
Mke wangu Cajoli akaingizwa ndani ya chumba hichi akiwa ameshikwa na wanaume wawili, uso wake umajaa michirizi ya damu na inavyo onekana amepigwa sana. Wakampigisha magoti kwa nguvu hadi nikajikuta niking’ata meno yangu kwa hasira nikitamani utokee muujiza kamba za manila walizo nifunga zifunguke, nimkamate Yudia, nimkamue kama miwa inavyo kamuliwa kwenye mashine na kutoa juisi, ila ndio hivyo sina uwezo.   
 
“Huyu unaye muita mke wako ni daktari wa uvumbuzi wa mambo, hata hilo jina la dokta Lameck ulilo pewa halikustahili wewe kupewa yeye ndio dokta na yeye ndio niliye kuwa ninamuhitaji kabla ya kufahamu kwamba wewe una mahusiano naye.”
“Leo ndio siku ya ukweli wako wote kutoka nje, la sivyo nitakuua wewe. Washa kamera”
Yudia akaendelea kuwaamuru watu wake, tukatazamana na Cajoli, nikamuona jinsi machozi yake yanavyo endelea kumchuruzika kwenye mashavu yake. Kimoyo moyo nikajikuta nikijutia na kujiuliza ni kwa nini niliamua kuingia kwenye mapenzi na Cajoli na kumsababishia matatizo haya yote mtoto wa watu asiye na hatia.
 
    Yudia akaamuru kiti kilichopo nyuma yangu kusogezwa mbele yangu, kisha Cajoli akakalishwa kwa nguvu huku akiendelea kumwagikwa na machozi. Kamera ikageuzwa kwake, kisha Yudia akanisogelea huku akiwa ameshika bastola yake. Akaniwekea bastola ya kichwa huku akimtazama Cajoli usoni mwake.
“Yudia ni kitu gani unacho hitaji kukifanya?”
“Hayakuhusu”
“Nahitaji kufanya ni nani aliye nyuma ya ugonjwa wa mapunye ulio enea Tanzan kuanzia siku ya jana?”
Yudia alizungumza huku akiwa amemkazia macho Cajoli na bastola yake akiwa ameiweka karibu kabisa na kichwa changu.
 
“Cajoli usizungumze chochote please baby”
Gaidi moja likanipiga ngumi nzito ya kifua hadi nikajihisi kutapika damu jambo lililo mfanya Cajoli kuzidisha kilio.
“Nasema nasema”       
“Zungumza sasa la sivyo mpenzi wako atakufa”
“Mimi, mume wangu Dany ndio tulikuwa na wazo la kuhakikisha kwamba tunatengeneza virusi ambao watakwenda kuwashambulia watanza, ikiwa ni njia moja wapo ya sisi kulipiza kisasi kwa raisi K2”
‘Ohoo Mungu wangu Cajoli kwa nini umezungumza?’
Nilijikuta nikijilaumu moyoni mwangu huku nikimtazama Cajoli jinsi anavyo zugumza huku machozi yakimwahiga.
“Na baada ya hapo ikawaje?”
 
“Tulitengeneza ant biotic ya kua virusi hao kwa makubaliano ya kuingia mkataba na serikali  ili tuweze kujipatia kiwango kikubwa cha pesa”
“Na zoezi lenu lilikwenda salama?”
“Ndio”
“Pesa zipo wapi?”
Taratibu Cajoli akanitazama mimi huku akiwa amejawa huzuni nyingi usoni mwake. Gaidi akanipiga kofi zito la uso lililo nifanya nijisikie maruwe ruwe, Cajoli akazidi kulia jambo lililo zidi kuniumiza moyo wangu.
“Usipo zungumza mumeo ataendelea kuteseka hadi atakufa mbele ya macho yangu”
‘Noo Cajoli nooo’
 
Nilizungumza kwa kunyanyua lipsi zangu tu pasipo kutoa sauti huku nikimtazama Cajoli aliye kaa kimya akiendelea kulia. Gaidi akatoa kisu chenye ncha kali na kukisogeza karibu na jicho langu kwa ajili ya kulitoa jicho langu la upande wa kulia.
“Moja, mbili, t……”
Ikambidi Cajoli kukatisha hesabu ya Yudia kuokoa kiungo changu muhimu kwenye maisha yangu.
“Nazungumza nazungumza”
“Zungumz”
“Pesa ipo kwenye akaunti yangu”
“Ni kiasi gani?”
“Dola bilioni moja”
“Muongo”
 
Taratibu gaidi huyu wa kiume akaanza kunichana kwenye shavu langu la kulia, kitendo cha Cajoli kuona damu zikinichuruzika kwenye shavu langu akaropoka.
“Dola bilioni kumi”
“Waoo vizuri sana. Rudisha Camera huku”
Yudia alizungumza na kusogea pembeni akachukua busholi na kulivaa kichwani mwake kuificha sura yake. Akasimama nyuma yangu huku sote tukitazama kamera hii inayo endelea kurekodi kila kitu kinacho endelea katika eneo hili.
“Raisi K2, si kila kitu kwamba serikali yako inaweza kufanya. Huyu ni gaidi uliye kuwa unamtafuta tangu kipindi ambacho haujawa raisi hadi leo umeshikilia nchi.”
Gaidi mmoa akanisogelea akiwa ameshika kitambaa chenye harufu mulani ambayo sijaielewa ni harufu ya maji maji gani, akaanza kunisugua usoni mwangu na kutoa make up yote ambayo nilifanyiwa kitaalamu na shem Cajoli na nikabaki katika sura yangu halisi.
 
“Huyu ni Daniel, siku zote ulikuwa ukimtafuta kwa udi na uvumba. Wananchi, huyu ndio aliye wafanya muteseke kwa kutokwa mapunye miilini mwenu. Ni mtu hatari sana kwa amani ya nchi yenu, gaidi huyu aliweza kuingia hadi ndani ya ikulu ya raisi wenu kwa ujanja wa kujiita daktari, ila si daktari na nilimtengeneza gaidi anaye fanania na yeye ili kuzidi kumpa nafasi ya kuaminika ndani ya ofisi ya raisi. Na tumekipata kile ambacho tulikuwa tunakihitaji kukipata.”
Yudia alizungumza maneno ambayo tayari yamesha nipandikizia chuki kwa kila mwananchi ambaye anaitazama video hii ambayo nina amini kwamba inaruka moja kwa moja kwenye vituo vya televishion kwa maana magaidi hawa wa Al-Shabab wana ujuzi mkubwa sana wa kuingiza video zao kwenye vituo vya televishion pasipo wahusika wa vituo hivyo kukubaliana na hilo.
 
“Kabla sijasahau, muheshimiwa raisi maovu yako nayo yanakuja muda mchache kuanzia hivi sasa, na ninatambua kwamba bomu la nyuklia lililo kuwa limetegwa katika eneo la Posta wamefanikiwa kulitegua, ila waambie wananchi wajiandae kuomboleza vilio vya kusaga meno kwa maana hamto jua muda wala saa ambayo nitaachia bomu jingine”
Yudia akatoka nyuma yangu na kamera ikazimwa, akavua bushori alilo vaa na kusimama mbele yangu kuku akinitazama.
“Nchi nzima sasa watakuwa wamesha tambua mbaya wao ni nani”
“Yudia umekwenda mbali sana katika hili”
“Hahaa Dany, nimekusaidia. Nimekufanya uwe maarufu kuliko mtu yoyote ”
“Sawa ninakuomba umuachie mke wangu aondoke zake”
“Hahaa Dany unahisi ninaweza kufanya ujinga wa namna hiyo. Narudi kama nilivyo kuambia, mke ndio alikuwa chaguo langu, ila ulivyo dandia basi kwa mbele sikuwa na budi ya kufanya hichi nilicho kifanya leo. Naamini kwamba utakuwa unafahamu ni nani aliye iangamiza familia yako?”
“Ndio”
 
“Kwa nini ulipata nafasi na ukashindwa kumuua?”
“Muda ukifika nitahakikisha nitamua?”
“Dany huna muda tena, kweli umekaa meza moja na K2 ukashindwa kumuua. Natambua kwa sasa hato kuwa rafiki yako tena atakusaka kama anavyo nisaka mimi”
“Imekuwaje hadi leo mnatafutana?”
“Maslai madogo, ubabe wake isitoshe nilikuwa nina familia yangu tayari”
“Familia kivipi?”
“Meya wa jiji la Tanga ambaye ulimuua, alikuwa ni baba yangu, yeye na baba Hawa ni mtu na mdogo wake. Tulimchukulia K2 kama mtu wa karibu sana, akatushirikisha katika kikosi chake na kunifanya niwe mtu  niliye muamini kwa asilimia kubwa sana, ila alinisaliti”
“Alikusaliti kivipi?”
“Alinichukulia mwanaume wa maisha yangu, alinichukulia mwanaume niliye mpenda. Isitoshe akamuaa mwanaume huyo mbele ya macho yangu”
“Mwanaume huyo ni nani?”
“Ni raisi aliye pita”
“Ina maana K2 alimuua kaka yake?”
“Ndio”
Moyo wangu ukajikuta ukipatwa na ubaridi mkali sana, japo nipo kwenye mateso ila maneno ya Yudia yamezidi kunifanya kumchukia K2 na kuapia nikipata nafasi nyingine nitahakikisha kwamba nitakikata kichwa chake kwa mikono yangu mimi mwenyewe.

==>>ITAENDELEA KESHO

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

MWIFU: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0782682648  au 0656 551 093  au 0746473974

Okoa Ndoa Yako Mke,Mume Na Afya Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Za Asili

$
0
0
Asilimia kubwa ya binadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wengi wamejaribu kutumia tiba sehemu tofauti bila mafanikio na  kukata tamaa hasa kina baba ambao ndoa zao au mahusiano yao na wapenzi wao yapo hatarini kuvunjika kwa sababu Mume hana uwezo wa kumridhisha mpenzi wake 

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MKE AU MPENZI WAKO SABABU ETI UNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME MDOGO: tumia dawa ya NSENWA POWER ;dawa hii hutibu na kuponesha tatizo la  nguvu za kiume .

1 itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
2 itakupa uwezo kuchelewa kukojoa mda wa dakika 15-20 na kumfanya mpenzi wako naye aridhike 
3 huimalisha misuri iliyo legea na kusinyaa 

JE UNA UUME MFUPI NA MWEMBAMBA : tumia dawa ya MASHESHE NO 2; hii huboresha uume saizi upendayo kuazia urefu wa inch 5,6,7,8 na unene  wa sentumita 2,3,4,5, dawa hizi hazina madhara yeyote kwa mtumiaji hata wazee hutumia na kupona 

MASANZA ni dawa ya vidonda vya tumbo zipo dawa za mvuto wa biashara ,mpenzi,uzazi ngiri,korodani kuvimba miguu. mgongo,kiuno kuuma nk 

MAHALI ILIPO OFISI UNAWEZA UKASHUKIA BUGURUNI MALAPA AU BUGURUNI ROZANA na MWANZA YUPO WAKALA pia unaweza ukaletewa popote ulipo wasiliana nami 0783185060  0752348593 DR AGU

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Serikali Yaipa NFRA Bil 15 Ununuzi Wa Nafaka Ili Kukabiliana Na Upungufu Wa Chakula Yanapotokea Majanga

$
0
0
Na Mathias Canal-WK, Tunduma-Mbeya
Katika kukabiliana na upungufu wa chakula unaoweza kujitokeza pindi nchi itakapokuwa kwenye majanga, Serikali imetoa jumla ya shilingi Billioni 15.0 za Kitanzania kwa ajili ya ununuzi wa mahindi kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi Chakula (NFRA) katika mwaka wa fedha 2018/2019.

Tayari Wakala wa Taifa wa Hifadhi Chakula (NFRA) umeanza msimu wa ununuzi tangu mwezi Agosti 2018 ambapo nafaka wanayonunua ni kutoka kwa wakulima na vikundi vya wakulima kote nchini.

Waziri wa Kilimo Dkt Charles Tizeba (Mb), amebainisha hayo jana tarehe 16 Octoba 2018 wakati akihutubia wananchi waliojitokeza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya Chakula Duniani Kitaifa ambayo yamefanyika kwenye viwanja vya JK Nyerere katika Halmashauri ya Mji wa Tunduma.

Vilevile, NFRA inaendelea kuboresha uwezo wake wa kuhifadhi nafaka kwa kuimarisha kanda zake kupitia mradi wa ujenzi wa vihenge na maghala ya kisasa ili Kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka.

Dkt Tizeba alisema kuwa Kupitia mradi huo miundo mbinu ya kisasa ya hifadhi ya chakula zikiwemo maghala na vihenge vya kisasa vinajengwa katika Halmashauri za Wilaya za Babati (Tani 40,000), Mpanda (Tani 25,000) , Sumbawanga (Tani 40,000), Mbozi (Tani 20,000), Songea (Tani 50,000), Shinyanga (Tani 35,000), Dodoma (Tani 20,000) na Makambako (Tani 30,000).

Alisema, Hifadhi hizo zitatumia teknolojia ya kisasa ya kuhifadhi mazao na hivyo kupunguza upotevu wa mazao ghalani kwa kiasi kikubwa.

Aliongeza kuwa, Kukamilika kwa mradi huo kutawezesha NFRA kuongeza uwezo wake wa kuhifadhi nafaka kutoka Tani 251,000 hadi kufikia Tani 501,000 ifikapo mwaka 2019/2020.

MWISHO.

DC Simiyu apiga marufuku mkutano wa Chadema

$
0
0
Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, mkoani Simiyu, Festo Kiswaga, amepiga marufuku kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendelo (Chadema), unaotarajiwa kufanyika Jumapili Oktoba 21, mwaka huu.

Mkuu huyo wa wilaya amesema ni marufuku kufanyika kwa mkutano huo Bariadi, kwani viongozi wake hawajatoa taarifa kuhusu huo mkutano kwa ajili ya kupewa kibali, lakini pia mkoa huo una ajenda ya maendelo na si siasa.

“Lakini pia, tarehe za kufanyika kwa mkutano huo kama wilaya na mkoa tutakuwa na ugeni mkubwa wa wiki ya maonyesho na Viwanda Vidogo Sido na atakuwepo Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa, hivyo hatutakuwa na uwezo wa kulinda mkutano wao.

Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema, amesema ni kweli watakuwa na kikao Bariadi, lakini kikao hicho kitakuwa cha ndani, na kitahusisha wanachama na viongozi wa Kanda ya Serengeti na ni kikao maalumu kwa ajili maandalizi na kuweka mikakati ya uchaguzi ngazi mbalimbali za chama hicho.

“Kutokana na kanda hiyo ni lazima kifanyikie Simiyu, mkoa ambao uko katikati ya mikoa ambayo inaunda kanda hiyo, kama Mkuu wa Wilaya amepiga marufuku hicho kikao kisheria hayuko sahihi na hana mamlaka ya kufanya hivyo, wala hatuwezi kusitisha hicho kikao tutaendelea na maandalizi yake na kitafanyika,” amesema.

Mahakama Ya Hakimu Mkazi Kisutu Imemwondolea Mashtaka Mfanyabiashara Peter Lauwo

$
0
0
Mahakama  ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuondolea mashtaka mfanyabiashara Peter Lauwo aliyetakiwa kuunganishwa katika kesi ya utakatishaji fedha  pamoja na viongozi wa Simba na mfanyabiashara Hans Pope kwa sababu hayupo.

Hatua hiyo imekuja baada ya upande wa mashtaka kuwasilisha ombi la kumuondoa mshtakiwa Lauo chini ya kifungu cha 91 (1) cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai.

Aliwasilisha ombi hilo, Wakili wa serikali Mwandamizi, Shadrack Kimaro ameieleza mahakama kuwa, Laou aliahidi kuwa angejisalimisha Takukuru Jana ili leo aletewe hapa mahakamani lakini hajatokea.

Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba amekubaliana na ombi na mashtaka dhidi ya lauo yameondolewa nchini ya kifungu cha 91 (1) cha sheria mwenendo wa sheria ya makosa ya jinai.

 Baada ya kuondolewa na Laou, upande wa mashtaka unewasomea maelezo ya awali (PH)  Rais wa klabu ya Simba, Evans Aveva, Makamu wake, Godfrey Nyange maarufu kama Kaburu na mfanyabiashara Hans Pope.

 Akisoma PH, Kimaro amedai, Machi 12.2016 klabu ya Simba ililipwa USD 319,212 na Timu ya Etoile ya Tunisia kama Malipo ya mchezaji Emmanuel Okwi ambazo ziliwekwa kwenye benki ya CRDB tawi la Azikiwe account ambayo mtia saini wake alikuwa ni Aveva na Kaburu.

Amedai kuwa, Machi 3.2016 kiasi cha USD 300,000 zilihamishwa kwenda kwenye akaunti binafsi ya mshtakiwa Aveva iliyoko katika benki ya Barclays iliyopo mtaa wa Ohio ambayo Aveva ndio mtia saini baada ya kisainiwa na yeye Aveva pamoja na Kaburu.

Kimaro ameendelea ameendelea kudai kuwa, uhamishwaji wa fedha hizo haukuwa na Baraka na ya kamati tendaji ya klabu ya Simba sababu fedha hizo zinadaiwa kuwa zilikopwa na klabu ya Simba.

Imedaiwa, fedha hizo zilianza kuamishwa kidogo kidogo, mwanzo Aveva alihamisha USD 62,183 kwenda kwa kampuni ya Ninah... Kama malipo ya kununua nyasi bandia kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa klabu ya Simba uliopo Bunju Kinondoni. Na kwamba USF zililipwa kwa Lauo kwa ajili ya kujenga uwanja huo huku wakijua kuwa kampuni ya Laou haijasajiliwa na bodi ya wakandarasi.

Hata hivyo, washtakiwa Aveva na Kaburu walikubali anuani zao tu na kukan tuhuma zinazoqakabili huku Hanspope akikubali anuani yake na kusema kuwa, ni kweli alifanya mchakato manunuzi ya nyasi bandia.

Katika kesi hiyo, washtakiwa wote wanashtakiwa na makosa kumi yakiwemo ya Kughushi,kuwasilisha nyaraka za uongo kula njama, matumizi mabaya ya madaraka, utakatishaji na kuwa kuwasilisha nyaraka za kughushi na kuendesha biashara bila sheria.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Oktoba 31, mwaka huu, kesi hiyo itakapoanza kusikilizwa.

Japan na Georgia zaalikwa kushirikiana zaidi na Tanzania katika uwekezaji, biashara, utalii na viwanda.

VIDEO: IGP Sirro Akijibu Maswali ya Waandishi Kuhusu CCTV Camera Kuchezeshwa Mo Dewji Alivyotekwa

$
0
0
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amejibu tuhuma za CCTV Camera kuchezewa katika tukio la kutekwa Mo Dewji

Amesema; “Kuhusu kuchezewa camera  sio kweli, ile footage haikuwa very clear, lakini baadaye ukiunganisha dots imeweza kusaidia kupata lile gari” 

 “Camera za CCTV zimetusaidia, tumeweza kutambua hilo gari kwamba inawezekana ndio gari lililohusika kwenye tukio la kumteka Mfanyabiashara Mo DEWJI, namba za gari hilo ni AGX 404 MC na limetokea Nchi jirani.”

Msikilize hapo chini

BREAKING NEWS: Mo Dewji Kapatikana Akiwa Mzima

$
0
0
Mkurugenzi Mtendaji wa makampuni ya METL, Mohammed Dewji (MoDewji) amepatikana na kurudi nyumbani kwake salama, saa 9 na dakika 15 Alfajiri hii ya October 20.

Mzee Gulam Hussein amethibitisha mwanaye kupatikana na kurudi nyumbani salama

Pia 'personal Assistant ' (PA) wa Mohammed Dewji Barbara Gonzale amethibitishia  kuwa Mo amepatikana na kuzungumza maneno yafuatayo;

“Namshukuru Mwenyezi Mungu nimerudi salama nyumbani. Nawashukuru Watanzania wenzangu na watu wote kote duniani kwa dua na sala zao. Nashukuru mamlaka zote, ikiwemo Jeshi la Polisi, zilizofanya kazi ya kuhakikisha narudi salama.” — Mohammed Dewji

Breakimg News: Msikilize Hapa Mo Dewji Akiongea Baada ya Kupatikana Leo Usiku

$
0
0
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amethibitisha Mfanyabiashara Bilionea Mohamed Dewji maarufu kwa jina la Mo Dewji amepatikana na   Dewji mwenyewe amezungumza.

“Namshukuru Mwenyezi Mungu nimerudi salama nyumbani. Nawashukuru Watanzania wenzangu na watu wote kote duniani kwa dua na sala zao. Nashukuru mamlaka zote, ikiwemo Jeshi la Polisi, zilizofanya kazi ya kuhakikisha narudi salama.” — Mohammed Dewji

Kipande cha video kinachothibitisha kupatikana kwa Mo Dewji alfajiri ya leo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumamosi Ya October 20

VIDEO: Muonekano wa Gari Lililomteka Mo Dewji Baada ya Kutelekezwa Leo Asubuhi

$
0
0
Askari wa vikosi vya ulinzi na usalama leo asubuhi Oktoba 20, 2018 wameonekana wakikagua na kuchukua vielelezo katika gari inayodaiwa kutumika kumteka mfanyabiashara Mohamed Dewji ‘Mo Dewji’.

Gari hiyo aina ya Toyota Surf yenye namba T314AXX  imetelekezwa katika barabara ya Ohio karibu na lango kuu la kuingilia  viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam ikiwa ni saa chache baada ya mfanyabiashara huyo kutupwa na watekaji katika viwanja hivyo.

Kufuatia kuonekana kwa gari hilo, barabara hiyo imefungwa.

Jana, Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro alizungumza na waandishi wa habari na kuonyesha picha ya gari hilo, akieleza kuwa lilitumiwa na watekaji.

Hata hivyo, jana katika picha hizo gari hilo lilikuwa na namba AGX 404 MC.

Magari saba ya polisi yameegeshwa kando ya barabara hiyo huku askari wakiendelea na uchunguzi.

Video apo chini

Waziri Mkuu Amkabidhi Waziri Jafo Orodha Ya Watumishi.....Ni wa halmashauri ya wilaya ya Bahi waliogoma kuhamia kituo cha kazi

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemkabidhi Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI, Selemani Jafo orodha ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi ili awachukulie hatua baada ya kugoma kuhamia katika kituo chao cha kazi na kuendelea kuishi jijini Dodoma.

Amemkabidhi orodha hiyo jana (Ijumaa, Oktoba 19, 2018) baada ya mkuu wa wilaya hiyo Bibi Mwanahamisi Mukunda kusoma taarifa ya wilaya, ambayo pamoja na mambo mengine alieleza kuwa watumishi wote wameshamia kwenye kituo chao cha kazi na wanaishi. Waziri Mkuu alikuwa katika kikao na Watumishi wa Halmashuri hiyo.

“Mkuu wa wilaya umedanganywa watumishi bado wanaishi jijini Dodoma, walichokifanya baadhi wamejiunga watatu na wamekodi chumba kimoja. Namkabidhi Waziri wa TAMISEMI orodha ya watumishi hawa ambao wamegoma kuishi kwenye kituo chao cha kazi ili uwashughulikie”

Waziri Mkuu amesema watumishi hao wamegoma kuhamia katika kituo chao cha kazi licha ya Serikali kuwataka kufanya hivyo.”Maelekezo hatuyatoi kwa ajili ya kujifurahisha, bali tunataka utekelezaji ufanyike ili wananchi waweze kuhudumiwa ipasavyo.”

Jumatano, Juni 27, mwaka huu, Waziri Mkuu wakati akizinduavituo 51 vya kufuatilia taarifa za hali ya hewa, vituo 15 vya haidrolojia, kanzidata ya taarifa za hali ya hewa na kituo cha operesheni na mawasiliano ya dharura wilayani Bahi, aliwaagiza watumishi wa Halmashauri hiyo wanaoishi nje ya kituo chao cha kazi wahamie kituoni kwao.

Waziri Mkuu alisema Serikali inataka watumishi wa umma wawajibike na waishi katika vituo vyao vya kazi. “Nawataka watumishi wote wa wilaya hii wanaoishi jijini Dodoma wawe wamehamia hapa ifikapo Julai 30 mwaka huu na wasiohamia nipewe majina yao.”

Kadhalika, Waziri Mkuu amewataka viongozi na watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Bahi wakiwemo madiwani na wakuu wa idara wahakikishe wanamaliza tofauti zao na washirikiane katika kufanyakazi kwa lengo la kuboresha maendeleo ya wananchi.

Awali, Waziri Mkuu alikagua mradi wa ujenzi wa nyumba ya walimu katika shule ya sekondari ya Mpalanga yenye uwezo wa kukaliwa na walimu sita, ambapo amesema ameridhishwa na ujenzi huo. Mradi huo unagharimu zaidi ya sh. milioni 140.

Pia Waziri Mkuu amezindua daraja la Chipanga ambalo ujenzi wake umegharimu sh. bilioni 2.18 na kisha alitembelea kituo cha Afya cha Bahi ambako alikagua wodi ya wazazi na kuzungumza na akinamama ambao waliishukuru Serikali kwa kuboresha huduma za afya.

Baba Mzazi wa Mo Dewji Afunguka Alivyompata Mwanaye....Amshukuru Rais Magufuli

$
0
0
Familia ya bilionea Mohammed Dewji, imesimulia namna kijana wao alivyoachiwa na watekaji usiku wa kuamkia leo.

Baba yake mzazi Gullam Dewji Husseinameviambia vyombo vya habari kuw alipigiwa simu leo alfajiri Oktoba 20, 2018 akielezwa kuwa mwanae amepatikana.

Gullam amesema alijulishwa kuwa mwanaye amepatikana akiwa katika gari ambalo lilitelekezwa katika viwanja vya Gymkhana jijini hapa.

Amesema Mo Dewji baada ya kushushwa katika gari hilo alitembea kutafuta msaada wa simu.

Amebainisha kuwa baada ya kupokea simu hiyo alifika haraka eneo la tukio na kufanikiwa kumuona mwanaye.

“Namshukuru Mungu nimemkuta Mo akiwa salama na haraka nilimpeleka nyumbani lakini tumemkuta ana majeraha kidogo ila jambo la kushukuru ni kwamba yuko hai,” amesema Gullam.

“Tulipofika nyumbani tulianza kufanya mawasiliano na Jeshi la Polisi kwa kuwapa taarifa kuwa kijana wangu nimempata na wao (polisi) walifika nyumbani kwangu Oysterbay.”

Gullam amemshukuru Rais John Magufuli kwa kufanikisha kupatikana kwa mwanaye.

Mo alitekwa saa 11 alfajiri ya Oktoba 11 mwaka huu, katika hotel ya Colosseum iliyoko Oysterbay jijini Dar es Salaam, alipokwenda kufanya mazoezi.

BREAKING: IGP Sirro Anaongea na Waandishi wa Habari Muda Kuhusiana na Tukio la Mo Dewji

$
0
0

18."Watekaji wale walikuwa wanataka fedha,  kutokana na hitaji lao hilo Mo Dewji alipowapa simu aongee na wazazi wake watekaji wale kwa kuogopa na kujua uimara wa Jeshi la Polisi wakaogopa na kuona njia pekee ya salama kwao ni kulitelekeza gari lao na kumwachia MO"IGP Simon Sirro


17."Niwashukuru polisi na vyombo vya usalama kwa kufanikisha hili, wakati mwingine haya matukio yatusaidie kutuunganisha, matukio haya yasitugawe, tuwe wamoja" IGP Simon Sirro.
 

16."Watu wetu wako kwenye hizo nchi, tunataka kuwaonyesha ukizoea Tanzania siyo mahali salama, kama walizoea kwenye nchi zao siyo hapa kwetu. Kuacha gari hii na silaha siyo mwisho wa upelelezi. Najua kuna Mtanzania mmoja, tuwapate tuzungumze nao lugha nzuri" IGP Sirro.

15."Baada ya MO Kupatikana Kwenye biashara hii lazima tuwaonyeshe kuwa hii ni Tanzania, lazima tuwapate, na tukiwapata watueleze walikuwa wanataka kufanya nuini. - IGP Sirro.


14."Tulipofika hapa Gymkana tukalikuta gari lilimteka Mohammed Dewji limetelekezwa tukaona tulizuie mtu asiingie kwanza tufanye upekuzi, tumekuta silaha ya kivita AK 47 moja na bastola tatu"IGP Sirro

13."Mtandao wote tulikuwa tunaujua, namba ya gari na nchi waliyotokea na kimsingi tulikuwa tunakwenda kuwakamata na kuwakamata kwangu kungekuwa kwa aina yake.Nitoe rai kwa wageni wanaodhani Tanzania ni sehemu ya kufanya uhalifu na wakabaki salama wajue wanajidanganya"IGP Simon Sirro

12."Fikiria Mohammed Dewji amekuja  kutekwa kwa silaha nne, bastola zilikuwa na risasi 16, na hii AK 47 ilikuwa na risasi 19, ni silaha nzito ya kivita, inaweza kupiga risasi 19 mfululizo"-IGP Sirro

11.''Kwa mujibu wa ripoti niliyopewa, watekaji walikuwa wanaongea Kiingereza na Kiswahili cha hovyo hovyo na mimi baada ya hapa nitaenda kumjulia hali Mo na kumuuliza zaidi'' - IGP Sirro

10.''Hili gari walitaka kujaribu kutaka kulichoma ili wapoteze ushahidi lakini nadhani walikuwa na hofu juu ya hilo hawakufanikiwa'' IGP Sirro 

9."Nyinyi ni mashahidi jana nimezungumzia hii press nikiwa na uhakika lakini kuna watu wachache ambao sijui nia yao ni nini?, tukijaribu kufanya wao wanatufundisha" IGP Sirro

8.''Sikutaka kusema, lakini watu wetu wapo kwenye nchi zao wanafanya uchunguzi kwa kushirikiana na wenzetu wa Interpol na tunataka kuwaonyesha kuwa ukijaribu Tanzania sio sehemu sahihi labda wamezoea kwao huko'' - IGP Sirro

7.''Kumrudisha Mo na kutelekeza gari hili sio mwisho, Jeshi la polisi linaendelea na upelelezi, ninafahamu kati yao kuna mtanzania na tunataka tukiwapata tuongee lugha nzuri kuwa walikuwa wanataka nini''  IGP Sirro

6."Kuna kikundi cha watu wachache ambao ndio wamejenga imani ya kutoliamini jeshi la polisi, wao ndio wanajifanya wanajua upelelezi na wanajua zaidi ya jeshi la polisi hata kufikia hatua ya kutufundisha sisi jeshi la polisi namna ya kufanya kazi gani?" IGP Simon Sirro

5.''Kwenye gari tumekuta silaha za kivita kama AK47, 'Sub-machine gun' na Bastola 3. AK47 ikiwa na risasi 19 na risasi 16 za Bastola''  IGP Sirro

4."Mohammed Dewji amesema watekaji hao walikuwa na wasiwasi sana, baada ya kuona hawawezi kutoka, njia pekee  ni kuliacha hili gari hapa majira ya saa saba usiku, MO aliwapa taarifa wazazi wake wakaja kumchukua" - IGP Sirro.

3."Nimepata taarifa kwamba waliomteka Mohammed Dewji amesema walimwambia wanataka pesa, alipowauliza shilingi ngapi hawakusema. Aliwapa simu waongee na baba yake lakini waliogopa kwa sababu wanafahamu ulinzi wetu ni imara tungewakamata." - IGP Sirro

2.''Kuna watu tu wachache wanajaribu kuvuruga kazi za jeshi la  polisi na hatutawapa nafasi ya kufanya hivyo na sijui nia yao ni nini na wanatumwa nani kwa faida ya nani'' - IGP Sirro

1.''Wangechelewa tungewakamata na kuwakamata kwangu kungekuwa kwa tofauti, matukio haya yanapotokea yasitugawanye'' - IGP Sirro

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

MWIFU: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0782682648  au 0656 551 093  au 0746473974

Okoa Ndoa Yako Mke,Mume Na Afya Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Za Asili

$
0
0
Asilimia kubwa ya binadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wengi wamejaribu kutumia tiba sehemu tofauti bila mafanikio na  kukata tamaa hasa kina baba ambao ndoa zao au mahusiano yao na wapenzi wao yapo hatarini kuvunjika kwa sababu Mume hana uwezo wa kumridhisha mpenzi wake 

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MKE AU MPENZI WAKO SABABU ETI UNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME MDOGO: tumia dawa ya NSENWA POWER ;dawa hii hutibu na kuponesha tatizo la  nguvu za kiume .

1 itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
2 itakupa uwezo kuchelewa kukojoa mda wa dakika 15-20 na kumfanya mpenzi wako naye aridhike 
3 huimalisha misuri iliyo legea na kusinyaa 

JE UNA UUME MFUPI NA MWEMBAMBA : tumia dawa ya MASHESHE NO 2; hii huboresha uume saizi upendayo kuazia urefu wa inch 5,6,7,8 na unene  wa sentumita 2,3,4,5, dawa hizi hazina madhara yeyote kwa mtumiaji hata wazee hutumia na kupona 

MASANZA ni dawa ya vidonda vya tumbo zipo dawa za mvuto wa biashara ,mpenzi,uzazi ngiri,korodani kuvimba miguu. mgongo,kiuno kuuma nk 

MAHALI ILIPO OFISI UNAWEZA UKASHUKIA BUGURUNI MALAPA AU BUGURUNI ROZANA na MWANZA YUPO WAKALA pia unaweza ukaletewa popote ulipo wasiliana nami 0783185060  0752348593 DR AGU
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images