Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Saed Kubenea , Komu Waomba Radhi

$
0
0
Wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao walikuwa wakituhumiwa kwa makosa ya kutaka kumzuru moja ya kada wa Chama hicho ambao ni Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea pamoja na Mbunge wa Moshi Vijijini, Anthony Komu wameomba radhi baada ya kuhojiwa na kamati kuu ya Chama hicho.
 
Kwa mujibu wa Naibu Katibu Mkuu bara, John Mnyika wajumbe wa  kamati kuu ya chama hicho kiliwakuta  na hatia wabunge hao baada ya kukiri kuwa sauti zilizosambaa ni zao ambapo walitangaza kuwapa adhabu mbalimbali.

Akizungumza kwenye mkutano wa waandishi wa habari Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea na Athony Komu wameomba radhi kwa baadhi ya viongozi ambao wametajwa kwenye sauti iliyokuwa ikisambaa kwenye mitandao ya kijamii.

“Kwa niaba yangu binafsi wananchi wa ubungo na chama changu nichukue nafasi hii kusema yaliyotokea siku hiyo ilikuwa ni bahati mbaya sana, tunaomba radhi kwa chama chetu na wengine wote waliomuizwa na tukio hilo.”Amesema Kubenea

“Nataka niseme chama ni kikubwa kuliko sisi wote, tumeshawasilisha barua ya kuomba radhi kwa yaliyotokea na sasa tunaomba radhi kwa chama chenyewe na wapenzi wote wa chadema, na zaidi wale ambao walitajwa tunawaomba radhi, ninamuomba radhi sana mwenyekiti Mbowe, Meya Jakob Borniface wa Ubungo.” Amesema Komu

Katika kikao cha kamati kuu ya Chama hicho wabunge hao wamepewa adhabu nne ikiwemo kuvuliwa nafasi zao za uongozi ndani ya chama hicho, kuwa kwenye uangalizi kwa kipindi cha miezi 12, kuandika barua ya kuomba radhi kwa chama, pamoja na kupewa onyo kali.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Yatangaza Uchaguzi Majimbo ya Wabunge CHADEMA Waliotimkia CCM

$
0
0
Idara ya Habari-NEC
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo kwenye majimbo mawili na kata 26 za Tanzania Bara.

Majimbo hayo ni pamoja na Jimbo la Babati Mjini lililopo Halmashauri ya Mji wa Babati Mkoani Manyara na Jimbo la Ukerewe katika Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza

Akisoma taarifa kwa umma Jijini Dar es Salaam leo (Alhamisi) Makamu Mwenyekiti wa NEC, Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Mbarouk Salum Mbarouk amesema kwamba uchaguzi huo utafanyika sambamba na uchaguzi wa Jimbo la Simanjiro na Serengeti pamoja na kata 21 za Tanzania Bara uliotangazwa awali.

“Nafasi hizo wazi zimetokana na waliokuwa Wabunge wa Majimbo hayo Bwana. Joseph Michael Mkundi (Ukerewe) na Bi. Pauline Philipo Gekul (Babati Mjini) kujiuzulu kutoka kwenye Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),” alisema Jaji Mbarouk.

Alifafanua kwamba Tume ilipokea barua kutoka kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye kwa kuzingatia kifungu cha 37(3) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, aliitaarifu Tume uwepo wa nafasi wazi ya Ubunge katika Majimbo hayo mawili.

“Uchaguzi huu mdogo katika Majimbo ya Babati Mjini na Ukerewe utafanyika sambamba na uchaguzi katika Majimbo ya Serengeti, Simanjiro pamoja na Kata 21 zilizotangazwa awali….,” alisema.

Akisoma ratiba ya uchaguzi huo, Jaji Mbarouk amesema “fomu za uteuzi  wa  wagombea zitatolewa kati ya  tarehe 28 Oktoba hadi 3 Novemba mwaka huu, uteuzi wa wagombea utafanyika tarehe 3 Novemba mwaka huu, kampeni za uchaguzi zitafanyika kuanzia tarehe 4 Novemba  hadi tarehe 1 Desemba mwaka huu na siku ya uchaguzi itakuwa ni tarehe 2 Desemba, mwaka huu”.

Ametoa wito kwa wadua wa uchaguzi “Tunapenda kuvikumbusha Vyama vya Siasa na wadau wote wa uchaguzi kuzingatia Sheria, Kanuni, Maadili ya Uchaguzi, Taratibu, Miongozo na maelekezo yanayotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakati wa kipindi chote cha Uchaguzi huu mdogo”.

Katika hatua nyingine, Jaji Mbarouk amesema Tume imepokea taarifa kutoka kwa waziri mwenye dhamana na Serikali za Mitaa ambaye kwa kutumia mamlaka aliyopewa chini ya Kifungu cha 13(1) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, aliitaarifu Tume uwepo wa nafasi wazi za Madiwani katika Kata 26 za Tanzania Bara. 

Aliongeza kuwa kwa  kuzingatia matakwa ya kifungu cha 37 (1) (b) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, pamoja na kifungu cha 13(3) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi inatoa taarifa kwa Umma kuhusu uwepo wa Uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Majimbo ya Babati Mjini na Ukerewe   pamoja na Udiwani katika Kata Ishirini na Sita (26) za Tanzania Bara.

Majina ya Halmashauri na Kata zenye uchaguzi kwenye mabano ni kama ifuatavyo, Halmashauri ya Wilaya ya Temeke (Mtoni), Halmashauri ya Manispaa ya Ilala (Mnyamani), Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa (Salanka), Halmashauri ya Wilaya ya Magu (Kabila), Halmashauri ya Misungwi (Sumbugu, Buhingo), Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe (Bukiko), Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa (Miteja, Kivinje, Singino, Somanga na Mitole).

Nyingine ni Halmashauri ya Wilaya ya Songea (Matarawe, Ruvuma), Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa (Mtipwili), Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti (Magange, Ring’wani, Rung’abure, Natta na Rigicha), Halmashauri ya Mji wa Babati (Maisaka), Halmashauri ya Wilaya ya Meru (Nkoanekoli), na Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti (Salale).

Mwisho

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 11

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA       
‘Ethan”

Niliisikia sauti ya Ethan mwenzangu, ikiniita nyuma yangu ambaye uhalisia wake ni jini.
“Shitii umenistua sana”
‘Nisikilize sina muda mwingi sana. Kesho usiende hiyo safari kwa maana mukifika nchini Uingereza mmoja wenu kati ya baba yako au wewe atapigwa risasi na kufa hivyo musiendeee”
Maneno ya Ethan yakanistua sana moyo wangu, hakuhitaji hata nimuulize swali, akapotea mbele ya upeo wa macho yangu na kunifanya niwe katika wakati mgumu sana ulio iyeyusha furaya yangu mithili ya barafu katika jua kali.

ENDELEA
“Ethan kwa nini tusiende”
“Nimekuambia kwamba sina muda mwingi, hakikisha kwamba safari hii haifanikiwi sawa”
Ethan mara baada ya kuzungumza hivyo akapotea mbele ya uwepo wangu wa macho. Wasiwasi mwingi ukazidi kunitawala, hamu ya kwenda Uingeraza yote ikaniishia. Nikajikuta nikikaa chini na machozi yakianza kunimwagika.
‘Ethan niambie basi kama ulicho nieleza ni uongo’
Nilizungumza huku machozi yakinimwagika usoni mwangu.  Nikiwa katikati ya hali ya huzuni, mlango ukagongwa na nikasikia sauti ya Mery akiniita.
 
“Ethan umesha maliza?”
“Ndio dada ninakuja”
Nilizungumza huku nikianza kujifuta machozi yangu usoni. Nikaendelea kujifuta hadi nikamaliza. Nikanyanyuka kwa haraka na kufungua mlango. Mery akanitazama usoni mwangu huku macho yake akionekana kama mtu mwenye mashaka juu yangu.
“Ulikuwa una lia?”
Mery aliniuliza huku akiwa amenikazia macho.
“Hapana nilikuwa nina omba dada, kwa maana ni batati kubwa niliyo ipata”
 
“Ninaweza kuingia?”
“Ndio”
Mery akaingia na kukaa kitandani kwangu nami nikaka kitandani kwangu huku nikimtazama.
“Ethan ni mambo mangapi ulisha wahi kudanganya?”
Swali la Mery likanistua kidogo
“Kivipi dada?”
“Mimi ni daktari na ninauwezo mkubwa sana wa kumgundua mtu akifanya jambo hilo nikiwa nina mtazama tu machoni mwake. Natambua kwamba haukuwa una Sali, niambie ukweli ni kitu gani ambacho kimekukosesha furaha na amani?”
 
Nikajifikiria kwa muda huku nikiwaza nimueleze ukweli juu ya hili nililo ambiwa na Ethan, ila kusema kweli bado ninapata kigugumizi.
“Au Camila amekukataza kwenda huko?”
“Ndio dada”
“Ohoo usijali, nitazungumza na mama yake amshawishi ili akubali muende”
“Amesema kwamba tukienda huko anahisi kuna jambo baya litatokea”
“Hahaa…ana wivu tu, hakuna kitu kibaya ambacho kitakwenda kuwapata wewe na baba sawa. Kikubwa ni wewe ujiandae kwa safari kesho na hakikisha kwamba ukifika una muwakilisha baba vizuri, sawa Ethan”
Maneno ya Mery yakazidi kuniny’ong’onyeza japo nimejaribu kupindisha ukweli, ila anaonekana haelekei kabisa katika pointi yanug ya msingi ambayo nimeimaanisha.
 
“Sawa dada”
“Leo nitatoka kwenda mjini, nitakuletea nguo nzuri za kuvaa kesho sawa”
“Sawa dada”
Mery akatoka ndani humu huku akiwa ameishika simu yake mkononi. Nikajilaza kitandani huku nikijaribu kufikiria safari ya kesho ambayo tayari imesha anaza kuingia kikwazo. Nikajaribu kumuita Ethan kwa mara kadhaa ila hakuweza kuitika, wala kuzungumza nami katika ufahamu wangu wa akili. Usingizi taratibu ukanipitia kwani ukichanganya na uchovu wa mazoezi na kuamka asubuhi sana na mapema, sikuwa na sababu yoyote ya kuto kuacha kulala.
                                                                                                              **
Familia nzima ikatusindikiza hadi katika uwanja wa ndege huku tukiwa na wawakilishi wa wawili kutoka katika timu ya Liverpool. Kila mmoja wetu kusema kweli furaha imemjaa usoni mwake, kwani safari hii ni ya mafanikio na kila mtu ana amani kwamba ndio mwanzo wangu mzuri wa kuingia katika soka la kulipwa huku nikiwa na umri mdogo sana. 
 
Tukaingia katika ndege binafsi iliyo tumwa kutoka nchini Uingereza. Tukaingia na kukaa katika siti nzuri ambazo zimewekwa katika eneo lililo tengenezwa kwa mfumo kama wa sebleni, kwani kuna Tv na friji ndogo. Nikiwa katikati ya furaha, gafla akatokae Ethan na kusimama pembeni yangu, nikawatazama watu wote wa humu ndani na sikuweza kumona hata mmoja wao aliye weza kustuka kutokana na uwepo wa Ethan katika eneo hili.
 
‘Mbona umekaidi maneno yangu?’
Ethan alizungumza kwa sauti nzito ambayo kwa kipindi cha awali alipo kuwa akizungumza nami ndio alikuwa akiitumia.
‘Etha…..’
‘Hivi hujui kwamba nina kulinda eheee, nikikuambia kwamba usifanye kitu kwa nini hunielewi au unajiona kwamba wewe una uwezo mkubwa kuliko mimi si ndio?’
Ethan aliendelea kufoka kwa hasira. Kusema kweli leo ndio nimeweza kumuona jini huyu akifoka kwa fujo na uzuri wake wote ukatoweka. Mwili mzima ukaanza kunitetemeka.
‘Ethan nilishindwa kumshawishi baba na tayari alisha fanya mawasiliano na hawa watu ndio maana leo hii tupo humu ndani ya ndege’
 
Ethan akamtazama mzee Klopp anaye cheka na kururahi huku simu yake akiwa ameiweka sikioni mwake.
‘Ethan rafiki yangu nakuomba ubadilishe mambo mabaya yatakayo tokea huko mbeleni, tafadhali ninakuomba sana.’
Ethan hakuzungumza chochote zaidi ya kuniangalia kwa mcho ya hasira. Akapotea kwenye uwepo wa macho yangu na kunifanya nizidi kuogopa, nikashusha pumzi nyingi sana huku nikimtazama mzee Klopp anaye zungumza na marafiki zake. Nikatamani kuzungumza jambo ila ndege tayari imesha anza kutembea. Ndege ikaanza kupaa angani huku nikishuhudia tukiiacha ardhi ya nchini Ujerumani taratibu.
“Ethan sasa mwanangu unakwenda kuwa nyota wa dunia”
Mzee Klopp alizungumza kwa furaha sana.
“Asante baba”
“Ukijituma ndio siri kubwa ya mafanikio sawa”
“Sawa baba”
 
Ndege ikazidi kuchana mawingu. Gafl ikaanzaa kuyumba na kutufanya watu wanne yulipo katika eneo hili kuanza kupatwa na wasiwasi. Kwa haraka muwakilishi mmoja akajifunga mkanda siti yake vizuri. Hali ikazidi kuwa mbaya mara baada ya ngede kugeuka, juu chini, chini juu, nikamshuhudia kiti cha mzee Klopp kikichomoka na akagongeza kichwa chake kwenye meza ya tv na kikapasuka. 

Mlango wa ndege hii ukachomoka na upepe mwingi sana ukaingia ndani, muwakilishi mmoja naye akachomolewa huku akipiga makelele mengi sana na akapotelea hewani. Huyu muwakilishi wa pili naye nikamshuhudia akiangukiwa na firi miguuni mwake na ikakatia vipande vipande, friji hili linalo onekana ni zito kama shelf ya kuhifadhia zitu vya siri, likaanza kumbingiria na kunipabiza kwenye mbavu zangu na kujikuta nikitoa ukeleke mmoja mkali sana wa maumivu.
                                                                                                                **
Nikastuka kutoka usingizi huku nikipiga kelele nyingi sana, nikaanza kujipapasa kwenye upande wangu katika mbavu ambapo friji imenibamiza ila nikajikuta nikiwa nipo salama salmin. Nikashusha pumzi nyingi sana huku macho yakiwa yamenitoka kisawa sawa.
 
“Ethan, Ethan”
Bibi Jane Klopp akaingia ndani humu huku akiniita jina langu, akaka pembeni ya kitanda changu huku akinitazama jinsi ninavyo mwagikwa na jasho jingi.
“Una nini?”
Bibi Jane Klopp aliniuliza huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana usoni mwake.
“Ni ndoto mbaya mama”
“Ohoo pole mwanangu”
Bibi Jane Klopp alizungumza huku akinikumbatia kwa nguvu.
“Ndoto yako ina husiana na nini?”
“Ajali mama, naogopa”
“Ajali ya nini?”
 
Bibi Jane Klopp alizungumza kwa wasiwasi mwingi sana huku akinitazama usoni mwangu. Nikashusha pumzi taratibu, kwa viganja vyake akaanza kunifuta jasho linalo nimwagika usoni mwangu.
“Baba yupo?”
“Ndio yupo ofisini kwake”
“Naomba nizungumze ndoto hii mbele yake”
“Sawa twende”
Bibi Jane Klopp akanisaidia kushuka kitandani, tukaelekea hadi ilipo ofisi ya mzee Klopp, tukamkuta yupo na wanaume wawili, kwa kuwatazama vizuri moyo wangu ukastuka sana, kwani ndio wanaume ambao nimewaona kweney ndoto niliyo iota muda mchache ulio pita.
“Ethan wasalimie wawakilishi kutoka katika timu ya Liverpool wamekuja na private jet yao ambayo kesho ndio tutaondoka nao”
 
Mapigo ya moyo yakazidi kunienda mbio mara baada ya mzee Klopp kuzungumza maneno hayo. Nikajitahidi sana kuiweka sura yangu ya furaha mbele ya watu hawa ila nikajikuta nikishindwa kabisa, kwani picha ya ajali tuliyo ipata ndotoni kila mara ina jirudia kichwani mwangu.
‘Ehee Mungu naomba unisaidie hili lisitokee’
Nilijitahidi kuzungumza kimoyo moyo huku nikiwatazama watu hawa. Nikawasalimia kwa heshima sana na wao wakaonekena kufurahishwa.
“Kijana wako ni mzuri sana, kwa hakika akiendelea kuwa hivi, timu itakuwa imepata mtu mzuri sana”
“Ni kweli, nimemkuza kwenye maadili mazuri ambayo nyinyi nyote mutaipenda tabia yake”
 
“Ethan mimi nina itwa John Mendez”
Muwakilishi mmoja alizungumza kwa furaha huku akinipa mkono.
“Nashukuru kukufahamu”
“Na mimi ninaitwa Lucas Leivis pia ni muwakilishi wa uongozi mzima wa timu ya Liverpool.”
“Nina shukuru sana kwa kuwafahamu”
“Tumeleta hund ya benk ya pand milioni kumi kwa ajili yako tu, hiyo itakuwa ni pesa yako ya kuanzia maisha utakapo kuwa jijini Liverpool kwa maana tumezungumza na mzee hapa na amakubali kwamba makazi yako yote kuanzia kesho yatahamia jijini Liverpool Uingereza.”
Macho yakazidi kunitoka hata bibi Jane Klopp akaonekana kustuka kidogo kwa kauli hiyo.
 
“Samahani munaweza kutupa nafasi nikazungumza na mume wangu?”
Bibi Jane Klopp alizungumza huku akimtazama mzee Klopp usoni mwake.
“Ohoo samani, jamani kwa furaha niliyo kuwa nayo nimejisahau kumtambulisha mke wangu. Anaitwa Jane Klopp”
“Tunashukuru kukufahamu maam”
“Nami pia nina washukuru kuwafahamu karibuni sana na mujisikie kama mupo nyumbani”
“Sawa sawa mama, kutokana tumesha maliza kuzungumza na mzee hapa, basi sisi acha twende, na hundi hii tunamkabidhi Ethan na hundi ya meneja wake ambaye ni mzee hapo tumesha mkabidhi hundi ya paundi milioni thelathin”
 
“Sawa asanteni baba zangu na Mungu awabariki”
Bibi Jane alizungumza kwa upole huku akiwatazama wawakilishi hawa.
“Tunashukuru mama yetu”
Wawakilisha hawa wakanyanyuka kwenye viti walivyo kuwa wamekalia, na wakaanza kutoka huku mzee Klopp akiwafwata kwa nyuma, huku kwa ishara akituomba tuweze kumsubiria anakuja. Tukaka kwenye viti walivyo kwua wamekali, bibi Jane Klopp akaichukua hundi niliyo pewa, akaisoma kwa muda kidogo kisha akaiweka mezani huku akiachia msunyo unao onyesha dhairi amekasirishwa na maamuzi ya mume wake. Baada ya muda kidogo mzee Klopp akaingia huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana usoni mwake.
 
“Mke wangu Ethan amezidi kuing’aza familia yetu na jina langu sasa linazidi kwenda kukua”
“Hembu njoo ukae hapa na uniambie kwa nini umeamua kufanya maamuzi yako wewe kama wewe, ikiwa mtoto ni wa kwetu wote na hakuna jambo kubwa ambalo unalifanya bila ya kuhitaji ushauri wangu?”
Bibi Jane Klopp alizunguzma huku sura yake akiwa ameikunja kwa kweli.
“Jamani mke wangu, hili swala si lipo wazi?”
“Lipo wazi kivipi, umenitarifu hata walipo kuja hawa vijana eheee?”
 
“Mke wangu, tuliza basi jazba”
“Klopp siku zote za maisha yetu sikuwahi kukupinga kwa maamuzi yako yoyote ambayo ulikuwa unayafanya kama baba na mume kwenye maisha yangu. Ila kwa hili la Ethan kwenda kuishi Uingereza hapana. Mtoto bado ni mdogo, miaka nane na kiasi chote hicho cha pesa unahisi Ethan ataweza kuhimili vishawishi vya Uingereza tena katika jiji la Liverpool ambalo limejaa wendawazimu na walevi?”
Bibi Jane Klopp alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Furaha ya mzee Klopp yote ikaondoka usoni mwake na kujikuka akikaa kwenye kiti chake taratibu.
“Kwa nini umeingiwa na tamaa ya pesa mume wangu na kuamua kuchukua pesa za watu pasipo kusika chochote kutoka kwetu, kama ungeona mimi sifai kwenye hayo maamuzi yako, umeshindwa hata kumuuliza Ethan, kweli eheeee?”
“Mke wangu kwa hilo nina kuomba uni samehe, nakiri nimefanya kosa na sipendi kukuona unalia mbele ya mtoto. Ethan nina kuomba uweze kwenda nje kidogo nizungumze na mama yako”
 
“Hapana hawezi kwenda nje ana jambo muhimu anahitaji kulizungumza kwetu sisi na nilikuja naye humu ili aweze kuzungumza kile alicho kiota”
Mzee Klopp akanitazama usoni mwangu, akagundua wasiwasi mwingi sana ambao ninao.
“Eti Ethan mwanangu una wasiwasi wa kitu gani ehee?”
Mzee Klopp alizungumza kwa sauti ya upole na unyeyekevu sana huku akinitazama usoni mwangu. Nikajaribu kufungua kinywa ila nikajikuta nikishikwa na kigugumizi kwa maana sifahamu hata nianzie wapi kusimulia ndoto niliyo iota kwani watu wawakilishi hawa nilio waona kwa macho yangu ya nyama ndio hawa hawa nilio waona kwenye ndoto yangu.
“Baba”
“Naam”
“Mama”
“Bee mwanangu”
“Munanipenda na kunisikiliza kwa kile nitakacho waomba”
“Ndio mwanangu, zungumza chochote tutakupatia”
Mzee Klopp alizungumza kwa shahuku huku akitengeneza tabasamu zuri usoni mwake, akisubiri ni nini ambacho waomba.
“Kwa…..usala…ma wangu na nyinyi. Baba sitaki kwenda nchini UINGEREZA tena na pesa za watu nakuomba uzirudishe”
Mzee Klopp macho yakamtoka, akasimama kwa hasira huku mikono yake miwili akiipiga mezani kwa nguvu hadi mimi na bibi Jane Klopp tukastuka, kwani anaonekana kukasirika waziwazi kwa jambo nililo muomba.

==>>ITAENDELEA KESHO

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 108 na 109 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   
Nilizungumza huku nikimkabidhi shem Cajoli bastola mmoja, taratibu tukaanza kutembea kwa kunyata na kwa umakini katika hii kordo.
“Shem tunakwenda wapi?”   
“Kumtafuta K2”
“Shem ngoja kwanza, K2 ni wa kazi gani kwa sasa. Kwa nini tusitafute njia ya kuondokea humu ndani”
“Cajoli huu ndio muda wangu wa kuhakikisha kwamba ninaiondoa roho ya K2, sina nafasi nyingne nitakayo ipata kwenye maisha yangu zaidi ya hii”
Nilizungumza kwa msisitizo huku nikiwa nimekazia macho shem Cajoli, usoni mwake, hakuwa na cha kubisha zaidi ya kutingisha kichwa kukubali kwa kile nilicho kizungumza mimi.
           
ENDELEA       
Tukaendelea kusonga mbele kuhakikisha kwamba ninampata K2, sehemu tulipo hijika kuua na kupambana na magaidi hawa ambao hadi sasa hivi sifahamu wametokea wapi na wala wametumwa na nani, ilitubidi kupambana kuyaokoa maisha yetu. 
 
“Dany sidhani kama raisi anaweza kuwa hapa”
Shem Cajoli alizungumza huku jasho likimwagika usoni mwake.
“Turudi”   
Tukaanza kukimbia kwenye kordo hii ndefu huku tukiwa katika sana. Tukafika katika chumba ambacho tulimuacha Cajoli. Kila mmoja wasiwasi mwingi ulianza kupata baada ya kukuta chumba kikiwa kitupu kabisa.
“Cajoli”
Nilianza kuita huku nikiwa nimechanganyikiwa sana, tukawa tunasaidiana na shem Cajoli kumtafuta mke wangu ila hatukupata mafanikio yoyote. Hatukutaka kubaki ndani ya chumba hichi tukatoka na kueleka katika baadhi ya vyumba ambavyo tunahisi kwamba tunaweza kumpata Cajoli ila hatukufanikiwa kuweza kumpata.
Tukiwa katika kutafuta tafuta kwenye hivi vyumba, jeshi la ulinzi wa taifa likafika ikulu na kuwadhibiti magaidi ambao wamesalia katika ikulu.
 
“Dokta Lemeck David”       
Mkuu wa jeshi alinifwata huku akionyoosha mkono wake mbele.
“Ndio muheshimiwa”
“Ninaitwa generali Dickson Konzo. Kwanza tunaomba pole kwa kila jambo ambalo limejitokeza kwa wakati huu”
“Shurani muheshimiwa”
“Muheshimiwa raisi alitutuma tuweze kuja kukuchukua katika eneo hili wewe pamoja na timu yako na ninamshukuru Mungu kwamba tumefanikiwa kukukuta hai”
“Ni kweli, ila mke wangu hadi kwa sasa sijaweza kumuona”
“Timu mzima, hakikisheni kwamba munatafuta kila eneo kuhakikisha kwamba tunampata mke wa doka Lameck David, ana asili ya kiarabu”
Generali Dickson Konzo alizungumza kupitia simu yake ya upepo kufikisha ujumbe kwa vijana wake alio kuja nao katika eneo hili la ikulu.
“Muheshimiwa raisi anatusubiria kwenye kambi yetu ya jeshi”
“Sawa generali, ila siwezi kuondoka eneo hili hadi niweze kumpata mke wangu”
“Mke wako atapatikana, kikubwa ni kwenda kusikiliza wito wa raisi kwa kile anacho kuitia”
 
Tukatazama na shem Cajoli, akatingisha kichwa chake akiniomba nikubaliane na kile alicho kizungumza mkuuw a kikosi hichi kilicho kuja nacho hapa.
“Ninakuomba unahakikisha kwamba unamtafuta mke wangu popote pale alipo”
“Sawa dokta Lameck tutahakikisha kwamba mke wako anapatikana”
“Shukrani”
Tukaongozana na wanajeshi wanne, tukaingia kwenye gari nyeusi aina ya Hammer, ambazo nyingi zinatumiwa na wanajeshi. Katika gari letu kuna wanajeshi wawili walio kaa siti ya mbele huku nyuma kukiwa na gari jengine la jeshi likitusikindikaza katika safari hii. Safari ya kuepelekwa kwenye kambi ambayo hadi sasa hivi hatuitambui ikaanza.  Tukapia katika daraja la Kigamboni, hapo ndipo nikaelewa ni wapi tunapo elekea, tukiwa katikati ya daraja hili, kwa mbele tukaona gari mbili nyeusi zikitufwata kwa kasi.
 
“Dereva vipi?”
Niliuliza huku nikimtazama dereva wa huli gari.
“Hizi gari wala zizielewi”
Dereva huyu alizungumza huku mwili ukimtetemeka sana, nikashindwa hata kuelewa kama huyu ni mwanajeshi wa namna gani. Dereva wa gari letu akafunga breki za gafla, gari lililopo nyuma yetu, likatupita kwa pembeni na kutangulia.  Cha kushangaza gari mbili zilio kuwa zinakuja mbele yetu kwa wmendo wa kasi zikasimama na kugeuza kuelekea tunapo elekea sisi.
“Hawa ni NNS”
 
Dereva alizungumza kwa sauti iliyo jaa utetemeshi mwingi sana. Taratibu nikashusha pumzi huku kwa mkono wa kulia nikimshika shem Cajoli ambaye muda wote yupo kimya sana. Tukafika kwenye kambi ya jeshi iliyopo hapa Kigamboni. Tukasindikizwa kwenye ukumbi wa mikutano na kumkuta raisi pamoja na walinzi wake, huku kukiwa na wakuu wengine wa jeshi.
“Karibu dokta Lameck”
K2 alizungumza akiwa na tabasamu usoni mwake.
“Shukrani muheshimiwa raisi”
Nikaka kwenye moja ya kiti, kisha shem Cajoli naye akaka kiti cha pembeni yangu. 
 
“Dokta Lameck nimeshauriana na wakuu wa jeshi hapa, tukaona ni vyema tukushirikisha katika hali hii ambayo inaendelea hapa
K2 alizungumza huku akinitazama uosni mwangu. Nikabaki kimya nikiendelea kumsikiliza kwa umakini sana.
“Tanzan, katika siku chache zilizo pita, tuliingia katika mfarakano wa kidiplomasia na nchi ya Somali. Tatizo kubwa lililo tokea kati yetu sisi na Somalia, ni tukio la inchi ya Somalia kumtunza gaidi ambaye siku zote tulikuwa tunamtafuta kwa udi na uvumba”
 
Tv kubwa iliyopo katika chumba hichi cha mikutano ikaonyesha picha yangu kipindi nipo katika kiosi cha Al-Shabab. Mwili mzima ukaanza kuzizima huku mapigo ya moyo yakinienda mbio sana, kitendo hichi shem Cajoli aliweza kukistukia kwa haraka sana na kujikuta akinifinya taratibu pasipo mtu yoyote kutuona.
“Jina lake anaitwa Daniel, alikuwa ni miongoni mwa wasaidizi wangu katika kikosi cha NSS. Kwa hapo awali alikuwa ni kijana mzuri sana, mwenye werevu na msikivu. Ila alibadilika gafla, na kuwa miongoni mwa magaidi ambao ni hatari sana Afrika”
 
Maneno ya K2 yakaanza kunipandisha hasira taratibu hadi nikajikuta nikianza kukunja vidole vyangu vya miguuni taratibu japo nimevaa viatu vinavyo bana ila vidole vinamejikunja pasipo kupenda.
“Hii ni video ambayo inamuonyesha Dany akiwa katika mpango wa kulipua Tanz kwa bomu la nyuklia”
Video ikaanza kuonekana kwenye tv hii kubwa. Kitu kinacho nishangaza Dany ninaye muona kwenye hii video anafanana kabisa na mimi, sauti ni kama mimi, pembeni yake amesimama baba Hawa, pamoja na Hawa mwenyewe.
 
“Tanzani, ujumbe huu ninautuma kwa muheshimiwa raisi. Umeweza kuua vijana wangu katika uongozi wa raisi aliye pita kwa ukatili mkubwa sana. Nikaka kimya na kuiheshimu nchi yako kutokana ndio nyumbani kwangu nilipo zaliwa. Ukaona haitoshi, ukaua vijana wangu wengine ambao hawakuwa na mpango na wowote na nachi yako japo walikuwa wamejificha katika mapango ya Amboni kwa ajili ya usalama wao na mafunzo yao binafsi lakini wewe ukaingilia na kuwatekeza wanajeshi wangu hao. Hivyo basi muheshimiwa raisi K2 ifikapo tarehe kumi na mbili mwezi huu, tutahakikisha nchi yako itateseka na bomu la nyuklia litakwenda kulipuka majira ya saa sita mchaba baada ya wananchi wako kuteseka na kuumia vya kutosha.”
 
Nikajikuta nikishusha pumzi na kujiuliza Dany huyu ninaye muona kwenye hii video ametokea wapi na imekuwaje Al-Shabab wamemtumia mtu anaye fanana na mimi katika kuhitaji kutekeleza azimio lao.
“Magaidi hawa, tayari wao ndio wamesababisha virusi hawa kwa kutumia maji, na tunashukuru sana dokta Lameck David kwa kuweza kutuletea dawa, na nimepata ripoti muda mchache ulio pita kwamba wananchi walio anaza kutumia maji hayo wamepata nafuaa na wengine wamepona kabisa.”
“Asante muheshimiwa raisi kwa hilo”
“Sawa, katika mazungumzo yako uliniambia kwamba wewe ni daktari ambaye ni mgunduzi katika maswala ya madawa”
“Ndio muheshimiwa”
“Tunahitaji kufahamu ni madhara gani ambayo yanaweza kutokea baada ya bomu hili la nyuklia ambalo kesho saa sita kamili mcha hapa linaweza kulipuka, na kuathiri wananchi wengi sana”
 
“Muheshimiwa raisi, umeshasema kuna madhara makubwa sana ambayo yanaweza kutoke kwa wananchi wengi wa Dar es Salaam. Madhara makubwa ni vifo vya wananchi wasio na hatia”
“Nahisi hujanielewa doka Lameck, lengo langu na nia yangu ni kwamba ni dawa gani ambayo tunaweza kuitumia pale bomu litakapo kuwa limelipuka, na wananchi walio salia wakaweza kutibiwa na hiyo dawa”
Nikajikuta nikishusha pumzi, kabla sijazungumza kitu chochote, shem Cajoli akanikanyaga mguuni na akaanza kuzungumza yeye.
“Muheshimiwa raisi hilo swali ninaomba nilijibu mimi, kwa maana hapa kichwa cha daktari wangu ninakiona hakipo sawa kutokana na kutoweka kwa mke wake”
“Unaweza kujibu tu Cajoli”
 
“Ili tuweze kugundua dawa hiyo ni lazima tuweze kujua bomu hilo litakuwa limechanganywa na kemikali za aina gani, tukisha lifahamu hilo basi tunaweza kuingi maabara na kutengeneza dawa hiyo”
“Kweli muheshimiwa kama alivyo seme Cajoli ni lazima tuweze kugundua ni kemikali gani zimetumika katika bomu hilo. Pili kwa nini bomu hilo lisitafutwe na kuteguliwa kama inawezekana, kuliko kusubiria mamilioni ya watu wa Dar es Salaam yawakute matatizo ndio sisi tutengeneze dawa?”
Ukumbi mzima ukaka kimya huku viongozi hawa wakitafakari cha kuzungumza.
“Upelelezi na uchunguzi unaendelea kuweza kugundua ni wapi bomu hili litategwa”
 
‘Muheshimiwa raisi kuna video nyingine’
Simu maalumu  iliyopo mezani ilisikika ikizungumza, ikatubidi kukaa kimya, K2 akachukua rimoti mezani na kuiwasha Tv hii. Nikastuka sana baada ya kumuona Cajoli kwenye video hii akiwa amefungwa kwenye kiti huku akiwa amechuruzikwa na damu nyingi usoni mwake. Akasimama Dany huyu feki huku akitabasamu
“Kwenye ikulu yako tuligundua kwamba kuna mtu muhimu sana ambaye kupitia yeye basi tunaweza kubadilisha mawazo yetu. Tunamuhitaji dokta Lameck David ndani ya masaa mawili kuanzia hivi sasa, likishindikana hili basi mke wake na nchi nzima itaingia kwenye anguko”
Video hiyo ikaishia hapo, jasho jingi likaanza kunitiririka, nikasimama kwenye kiti nilicho kalia na kuwafanya watu wote kunitazama. Shem Cajoli akasimama, akanishika mkono.
“Samahani waheshimiwa ninaomba nizungumze na shemeji yangu mara moja”
 
Tukatoka katika chumba hichi, tukatafuta sehemu ambayo hakuna kamera ya ulinzi na kusimama.
“Shem shem hembu tulia”   
Shem Cajoli alizungumza huku akinishika mashavuni mwangu na kunifanya nimtazame usoni mwake.
“Kuna kitu ambacho kinaendelea hapa, siwezi kuamini huyu Dany ametokea wapi?”
“Shii shem usizingumze kwa sauti kubwa ambayo inaweza kusikika”
“Cajoli mbona nahisi kuchanganyikiwa”
“Shemmmmm nisikilize, vuta pumzi na uishushe taratibu”
Nikafanya kama anavyo nielekeza shem Cajoli, nikavuta pumzi nyingi kisha nikaishusha taratibu huku nikimtazama shem Cajoli usoni mwake.
“Cha kushukuru Mungu sura yako bado haijangundulika”
“Make up uliyo niweka bado haijabadilika?”
“Ndio badi ipo katika ubora wake. Ninaamini kwamba unawajua watu walio mteka wajina”
 
“Ndio ninawafahamu vizuri sana, ila kitu ambacho kinacho niumiza kichwa ni kuhusiana na wao kufahamu mpango wetu wa kupandikiza hawa virusi, ambao kazi yetu kubwa ilikuwa ni kupata pesa kisha tunaondoka”
“Hilo jambo ninahisi Cajoli baada ya kutekwa, basi wakaamua kumchunguza ili kuweza kujua ni kitu gani kinacho endelea”
“Haileti maana kabisa akilini mwangu”
“Ila tambua kwamba wanakuhitaji wewe”
“Sihitaji kurudi kwenye kundi la Al-Shabab, na kwa nini wametumia sura yangu?”
“Katika hilo swala la kutimiwa sura yako kusema kweli mimi siwezi kufahamu, ila kitu cha kujadili hapa ni wapi Cajoli alipo, pili ni kuhakikisha kwamba tunamkomboa. Dany sote tunafahamu uwezo wetu katika upambanaji, si wakati wa kusubiria serikali itufanyie nini, kikubwa ni kumpata mwenzetu kisha hayo mengine yatafwata”
 
Sikumjibu kitu chochote shem Cajoli zaidi ya kuanza kutembea kwa mwendo wa kasi hadi kwenye ukumbi wa mikutano. Nikaingia na kurudi katika kiti nilicho kuwa nimekalia, ila safari hii sikuhitaji kabisa kukaa kwenye kiti hichi.
“Muheshimiwa raisi, nitakuomba kuanzia sasa uniidhinishe niwe miongoni mwa watu watakao fanya kazi ya kumkomboa mke wangu na bomu la nyuklia, sinto hitaji kupelekwa katika kundi la Al-Shabab na taaluma yangu ikatumika vibaya tofati nay ale niliyo kuwa nimekusudia kuyapanga kwenye maisha yangu”
Kauli yangu niliizungumza kikakamavu na kumfanya K2 kuanza kunyanyuka taratibu kwenye kiti alicho kuwa amekali huku akiwa amenikodolea macho akishangaa kwa kile ninacho kizungumza.

AISIIIII……….U KILL ME 109 


Tukatazamana machoni na K2 kwa zaidi ya dakika mbili huku ukumbi mzima ukiwa kimya. Taratibu akaka kwenye kiti chake huku akiendelea kunitazama kwa umakini sana.
“Dokta Lameck una uhakika na kile unacho kizungumza?”
“Ndio muheshimiwa raisi nina uhakika na ninacho kizungumza”
“Ila wewe professional yako ni daktari?”
“Muheshimiwa raisi hapa tunazungumzia kuhusiana na nchi pamoja na mke wangu, nipe kazi hii kisha utaona”
Niliendelea kuzungumza kwa kujiamini huku nikimtazama K2 machoni mwake. 
 
“Meja Gerad, unaweza kumuandaa dokta Lameck na kuanza kumpa habari nzima za hili tukio”
“Sawa muheshimiwa”
“Ningeomba kuongozana na shemeji yangu katika hili swala”
“Hapana hili swala Cajoli ni hatari sana, kwa hiyo hauwezi kwenda kulifanya, tutahakikisha kwamba dokta Lameck anaongozana na timu mzima ya NSS, kwenda kulifanya hili tukio”
Shem Cajoli hakuwa na jambo la kuzungumza zaidi ya kuendelea kukaa kwenye kiti alicho kikalia. Nikaongozana na meja Gerad hadi kwenye chumba maalumu cha kujiandaa.
“Dokta Lameck kutana na Agent Leonard Thomas, ni kiongozi wa hii oparesheni”
“Nashukuru  kukufahamu dokta Lameck”   
“Hata mimi pia ninashukuru kukufahamu”
“Hapa kuna silaha za kila aina na unaweza kuchagua ni silaha gani ambayo unaweza kuichukua”
“Sawa musijali katika hilo”
 
Nikachukua bastola mbili pamoja na magazine kumi zenye ujazo mzuri wa risasi. Nikavaa jaketi la kuzuia risasi, nikakabidhiwa kifaa maalumu cha mawasiliano.
“Timu yetu ina watu wanne, ameongezeka dokta Lameck David, location ya bomu lipo maeneo ya Kariakoo, katika gorofa la Machinga. Ila hadi sasa hatujafahamu maadui hawa wapo sehemu gani na wanampango gani”
“Ngoja kwanza agent Leonard, mumejuaje kwamba bomu lipo maeneo ya gorofa la Machinga ikiwa hamfahamu kwamba magaidi hao wapo sehemu gani?”
Swali langu likawafanya ma agent hawa wa NSS kutazamana.
“Kutokana na taarifa ambayo tulipatiwa na wapelelezi wetu walihisi kwamba bumu hilo lipo katika gorofa hilo”
“Agent Leonard sahamani sana kama nitakuwa ninawaingialia kwenye kazi hii yenu. Ila kitu ambacho munakifanya hapa ni utoto, hamuweze kuapata habari zisizo na uhakika na kusema kwamba tunaweza kwenda eno hilo na kukuta bomu.”
 
Nilizungumza huku nikimtazama kila mtu usoni mwake.
“Hili ni bomu, na hili sio andazi wala muhogo ambao tunaweza kusema kwamba tunaweza kwenda kuukuta sehemu umetulia. Tazama leo magaidi wameweza kuvamia hadi ikulu, inaonyesha kuna mtu au watu ndani ya serikali ambao wameweza kusababisha swala la uvamizi wa Ikulu. Kwanza ni aibu na pili, zile video ambazo zimetumwa kwa raisi ni feki”
“Feki, una maana gani dokta Lameck?”
“Al-Shabab sio  kundi ambalo linanguvu sana ya kuweza kuvuka nchi kama Kenya, na kuja kuipiga ikulu yetu kirahisi namna ile, inaonyesha kwamba NSS haina imeishiwa uwezo wa utendaji wake wa kazi”
 
“Dokta Lameck wewe ni daktari na sisi ni wapelelezi wa serikali kwa kila tunacho kifanya tuna uhakika nacho, kwa hiyo kama unahitaji kuongozana nasi tuongozane, kama utahitaji kubaki unaweza kubaki kwa manaa hii sio siasa ni swala la ulinzi wa taifa”
Agnet mmoja alizungumza huku akinikazia macho, nikawatazama kisha kwa haraka nikachomoa bastola yangu na kumnyooshea agent huyu na kuwafanya wezake wote nao kuninyooshea bastola zao.
“Ninaujuzi mkubwa zaidi yako katika hili swala, sifanyi kazi ya kufwata upelelezi usio kamili, sijitoi sadaka kwa nchi, bali najitoa sadaka kwa ajili ya mke wangu. Nilisha mpoteza wa kwanza ila huyu sihitaji ujinga huo kuweza kujitokeza tena”
“Dokta Lameck weka bastola yako chini”
Agent Leonard alizungumza huku bastoka yake akiwa ameninyooshea mimi kichwani mwangu. Nikamtazama kwa jicho la pembeni kisha taratibu nikaushusha mkono wangu wenye bastola na kuirudisha sehemu nilipo itoa.
“Samahani kwa hili, ninaomba kuuliza, je kuna mtu amekamatwa katika uvamizi wa ikulu?”
“Ndio yupo mmoja”
“Ningeomba kuonana naye kisha nyie muendelee na utaratibu wenu ambao mumejiwekea”
“Agent Chris msindikize dokta Lameck katika chumba cha mahojiano”
“Sawa mku”
 
Nikaondoka na agent mwengine ambaye hajapangwa katika zoezi hili la kwenda kuvamia eneo la gorofa la Machinga linalo sadikika kwamba kuna bumo  la nyuklia ambalo limetegwa katika eneo hilo.
“Agent Beatricem hutu ni dokta Lameck anahitaji kumuona muhusika aliye shikwa katika tukio la kuivamia ikulu”
“Karibu dokta Lameck”
“Asante agent Beatrice”
“Ila kabla ya kuingia katika chumba cha mtuhumiwa, ningeomba kuuliza kwamba una professional yoyote ya kudili na swala la kigaidi?”
“Ndio”
“Na je umepewa mamlaka hayo na nani?”
“Mpigie raisi wako umuambie kwamba nipo katika chumba cha mahojiano”
Agnet Beatrice akanitazama usoni kwa kunikazia macho na mimi nikamkazia macho taratibu akatingisha kichwa akiashiria kuniamini kwa kile anacho kifanya.
“Twende huku”       
“Shukrani”
 
Tukaingia kwenye moja ya chumba chenye Tv zipatazo nne zinazo muonyesha mtuhumiwa aliyopo chumba cha pili katika chumba cha mahojiano akiwa amefungwa pingu na kukalishwa katika kiti cha chuma.
“Ameweza kuzungumza lolote juu ya ugaidi ambao umefanyika ikulu?”
“Hadi sasa hivi hakua alicho kizungumza japo tumempa mateso ya kutosha na hata kumchoma sindano ya maumivu ila hajazungumza chochote”
“Mumweze kufahamu ni wapi alipo tokea?”
“Ndio, jina lake ni Hassan Abdalah, ametokea nchini Somalia ana umri wa miaka ishirini na tisa”
“Ana familia yake?”
“Ndio”
Nikamtazama jamaa huyu kwenye tv iliyopo katika chumba hichi, nikaitazama saa ya ukutani inaonyesha ni saa kumi kamili alasiri
 
“Nipe dakika kumi”   
“Sawa dokta”
Nikaingia katika chumba alipo gaidi Hassan Abdalah. Alipo niona kidogo akastuka, inaonekana ni mtu ambaye ananifahamu kidogo labda kwa kuelekezwa au kwa kuonana.
“Ninaitwa dokta Lameck ninahitaji kukuuliza maswali machache ukinipa ushirikiano basi utakuwa salama”
Nilizungumza huku nikiwa nimesimama mbele ya meza yake.
“Ni wapi lilipo bomu la nyuklia pamoja mke wangu Cajoli”
Hassan Abdalah hakuzungumza kitu chochote zaidi ya kunikodolea macho ya dharau.
“Ninazungumza kwa upole tu, ila ninakuuliza ni wapi alipo mke wangu pamoja na bomu la nyuklia ambalo mumepanga kulilipua”
“Haahaaa umechelewa”
Hassani alizungumza kwa kujiamini sana hukua akinikodolea macho yake. Kwa haraka nikachomoa bastola yangu, nikaisogeza meza pembeni kisha nikamtandika risasi moja ya paja la mguu wa kulia, na kumfanya Hassan Abdalah kupiga ukelele wa maumivu makali.
 
“NI WAPI LILIPO BOMU LA NYUKLIA NA MKE WANGU CAJOLI”
Niliuliza kwa kufoka huku nikiwagandamiza mdomo wa bastola yangu kwenye jeraha lake la nguu. Mlango wa chumba hichi ukafunguliwa akaingia agent Baetrice pamoja na vijana wake wawili.
“Dokta Lameck huo sio uhojiji  mzuri wa maswali”
“Kaa pembeni hili swala halikuusu”
“Mimi ndio msimamizi wa hii kesi”
Agent Beatrice alizungumza kwa hasira huku akinikazia macho, nikamtazama kwa hasira, nikamsogele vijana wake wakachomoa bastola zao na kuninyooshea, sikuliogopa hilo zaidi ya kumsogelea karibu zaidi hadi nikaribia usoni mwake.
“Kuna mamilioni ya watu, muda wowote na siku yoyote wanakwenda kupotezama maisha kwa ajili ya hawa wajinga wachache, mke wangu ametekwa kwa ajili ya hawa wajinga wachache. Kuna walinzi wa raisi, pamoja na wafanyakazi wa ikulu kwa ajili ya hawa watu wachache leo hii unanimbia kwamba huu sio utaratibu wa kuhoji maswali. Unaakili kichwani mwako AGENT BEATRICE?”
 
Nilizungumza huku nikiwa nimeyang’ata meno yangu na kumfanya agent Beatrice kunitazama usoni mwangu kwa maana hasira niliyo kuwa nayo na haya niliyo yazungumza yana ukweli ndani yake.
“Waambie vijana wako  kushusha bastola zao na mutoke nje, kabla hili swala halijawabadilikia nyinyi”
Agent Beatrice taratibu akawaamuru vijana wake kushusha bastola zao chini. Wakatoka ndani ya chumba hichi taratibu kisha wakaufunga mlango. Nikamgeukia Hassan Abdalah huku nikiwa na bastola yangu mkononi.
 
“Ni wapi alipo Cajoli na bomu  la nyuklia lipo  wapi?”
“Si….sijuiii mimi, niliagizwa tu kufanya shambulizi ikulu”
“Uliagizwa na nani?”
“Mkuu wetu Yudia”
“YUDIAAA…….!!?”
“Ndio mkuu, ni Yudia”
“Yudia anafanya kazi na Al-Shabab?”
“Ndi…ioo mkuu, alikuja kutoa ada ya sisi kutekeleza hilo jambo”
“Yeye yupo wapi?”
“Sifahamu mkuu sisi ni vibaraka tu tunafwatisha amri”
“Bomu la nyuklia lipo wapi na Cajoli yupo wapi?”
“Sifahamu, ila nilisikia kwamba bomu la nyuklia litalipuliwa katika eneo la…la Posta”
“Na sio Machina Kariakoo”
“Ndio”
 
Na litalipuliwa saa ngapi?”
“Saa kumi na moja kamili alifajiri”
“Mungu wangu, lipo posta katika eneo gani?”
“Lipo eneo la gorofa refu katika magorofa yote ya posta”
Nikamtazama Hassan Abdlah jinsi anavyo zungumza kwa kumwagikwa na machozi mengi usoni mwake. Kwa haraka nikaufungua mlango na kukuta Beatrice akiwa amesimama na watu wake
“Haraka anda timu itakayo kwenda post, kuangalia ni gorofa gani lililo tegwa bomu”
“Sawa dokta”
Nikarufi katika chumba alipo Hassan Abdlah, nikamkazia macho kwa haraka nikamfwata hadi sehemu alipo kaa, nikamnyanyua na kumuangusha chini kwa nguvu.
“Ni wapi alipo Cajoli mke wangu la sivyo risasi zote hizi zitaishia kichwani mwako”
“Ca…..ca….caj…oli ni master plan”
“Master Plan una maana gani?”
“Cajoli mke wako ndio aliye panga haya yote”
Masikio yangu nikahisi yananiwasha kwa hichi nilicho kisikia kwa maana Cajoli ninaye mfahamu mimi sioamini kama ni mwanamke mwengine msaliti kwenye maisha yangu.

==>>ITAENDELEA KESHO

Waziri Mwakyembe Ateua Wajumbe Watano Wa Bodi Ya Basata,yumo Msanii Mwana Fa Na Single Mtambalike

MAAJABU…. Jogoo aliyenyonyolewa manyoya na kuvishwa 'hirizi' Kanaswa Stendi Ya Mabasi Tabora

$
0
0
Shuhudia jogoo aliyenyonyolewa manyoya yote akiwa hai na kuzua mshangao katika Stendi ya mabasi mkoani Tabora. 

Meneja wa Kituo  hicho kaamua kumchukua na kumgeuza kitoweo bila kuogopa hayo mahirizi yake.  Tazama apo chini

Kampuni ya Mo dewji Yazungumzia Suala la Kusitisha Uzalishaji

$
0
0
Uongozi wa makampuni ya 'MeTL' unaomilikiwa na mfanyabiashara maarufu nchini, Mohamed Dewji umekanusha taarifa za uvumi juu ya kusitisha shughuli za uzalishaji kwenye makampuni kufuatia tukio la kupotea kwa mmiliki wake Alhamis ya wiki iliyopita.

Taarifa za kusitishwa kwa uzalishaji wa makampuni hayo zilianza kusambaa hivi karibuni kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, zikiinukuu makampuni juu ya azma yake ya kusitisha uzalishaji ifikapo Octoba 20 mwaka huu.

Kupitia mitandao yake ya kijamii, MeTL imeandika, “tunaendelea kusikitishwa na tukio lililomtokea Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni yetu, Mohammed Dewji. Pia tunapenda kutoa taarifa kwamba taarifa zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuwa tarehe 20/10/2018 tutasimamisha shughuli za uzalishaji katika makampuni yetu siyo za kweli.”

Afisa Mtendaji Mkuu wa makampuni hayo, Mohamed Dewji alitekwa na watu wasiojulikana Alhamisi ya wiki iliyopitana mpaka sasa hakuna taarifa rasmi za kupatikana kwake licha ya Jeshi la Polisi kuwashikilia na kuwahoji watu 26.

Mapema wiki hii, familia ya mfanyabiashara huyo ilitangaza kutoa kitita cha shilingi bilioni 1 kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa za kupatikana kwa mfanyabiashaa huyo, ambaye inatajwa kupitia makampuni yake ameajiri zaidi ya wafanyakazi elfu 25 nchi nzima, akichagia asilimia 3.5 ya pato la taifa.

Mwanafunzi Kidato ch Tano Ajinyonga Jijini Mwanza

$
0
0
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza  tunamshikilia mtu mmoja aitwaye Bilenjo Paul, miaka 46, mkazi wa Igombe, kwa kosa la kupatikana na pombe  ya moshi (gongo) kiasi cha lita arobaini (40) pamoja na dawa ya kulevya aina ya bhangi kiasi cha kilogram mbili (2) , huko maeneo ya Igombe Wilaya ya Ilemela  Jiji na Mkoa wa Mwanza, kitendo ambacho ni kinyume cha sheria.

Tukio hilo limetokea  tarehe 17.10.2018 majira ya saa 11:00hrs baada ya Polisi kufanya doria maeneo tajwa hapo juu  na kufanikiwa kumkamata mtuhumiwa huyo akiwa na kiasi hicho cha pombe ya moshi/ gongo pamoja na dawa ya kulevya aina ya bhangi. Jeshi la Polisi tunaendelea na uchunguzi  pindi uchunguzi ukikamilika mtuhumiwa atafikishwa mahakamani.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza  tunatoa onyo kali kwa wananchi wote wanaojihusisha na shughuli hizo za uuzaji na utumiaji wa pombe haramu ya gongo na dawa za kulevya waache mara moja na endapo mtu/watu watabainika hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

Katika tukio la pili, mwanafunzi mmoja  wa shule ya secondary ya Sengerema high school aitwaye  Ayoub Yahya @ Petro , miaka 19, anayesoma kidato cha 5 mchepuo wa PCB, mwenyeji wa Kyerwa-Kagera,  amekutwa akiwa amejinyonga hadi kufa kwa kutumia kamba ya neti (chandarua) aliokua ameifunga kwenye mti uliopo pembeni ya uwanja wa mpira wa shule hiyo, iliyopo  Wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza.

Tukio hilo limetokea tarehe 18.10.2018 majira ya saa 06:00hrs asubuhi, hii  ni baada ya wanafunzi wenzake kupita eneo la uwanja wa shule kisha kuona mwili wa marehemu ukiwa unaning’inia juu ya mti na kutoa taarifa kwenye uongozi wa shule ambao ulifikisha taarifa hizo kituo cha polisi.

Polisi tulifanya ufuatiliaji wa haraka hadi eneo la tukio na kuukuta mwili wa marehemu mahali hapo. Chanzo cha mauaji hayo bado hakijafaamika, Polisi bado tunaendelea na uchunguzi kuhusiana na tukio hilo. Mwili wa marehemu umehifadhiwa hospitali ya DDH Sengerema kwa ajili ya uchunguzi pindi uchunguzi ukikamilika utakabidhiwa kwa ndugu wa marehemu kwaajili ya mazishi.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linatoa wito kwa wananchi waendelee kutoa  ushirikiano kwa kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu ili waweze kukamatwa na na kufikishwa katika vyombo vya sheria.

Wanafunzi 14 waliojeruhiwa na radi Waruhusiwa Kutoka hospitali

$
0
0
Wanafunzi 14 kati ya 21 wa Shule ya Msingi Emaco Vision waliokuwa wamelazwa katika hospitali ya Mkoa wa Geita baada ya kupigwa na radi wakiwa darasani wameruhusiwa kutoka hospitali

Tukio la wanafunzi kupigwa radi mjini Geita lililotokea jana Jumatano Oktoba 17, 2018 wakati wanafunzi hao wakiwa darasani, lilisababisha wanafunzi sita kufariki dunia na kujeruhi 21 na walimu wawili.
 
Kaimu mganga mfawidhi wa hospitali hiyo, Moses Simon amesema wanafunzi wengi wamepata majeraha ya miguuni na shingoni.

Dk Simon amesema mwalimu mmoja amejeruhiwa zaidi baada ya kuungua sehemu kubwa ya mwili wake na bado wanaendelea kumpatia matibabu.

Mwalimu wa shule hiyo, Edward Bartholomeo amesema wamesitisha kufundisha kwa muda na wataendelea na masomo Jumatatu Oktoba 22..

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa ya October 19

Viwanja Vinauzwa: Low, Medium and High Density plots for sale: Bunju & Mapinga

$
0
0

Wenye uhitaji wa viwanja vikubwa kwa bei nafuu mnakaribishwa.
 
Kwa Mapinga Kimele, vipo viwanja vya ukubwa 10/20 bei milion 2, 20/20 bei milion 4, 20/30 bei milion 6, 20/40 bei milion 8, na 35/40 bei milion 18.
 
Bei hizi ni kwa wateja wanaolipa kwa awamu. Endapo mteja atalipa pesa yote (kwa mkupuo mmoja) bei itapungua kwa tsh 500,000 kila kiwanja. Umbali kutoka main road ni kilometa 3.

Pia vipo viwanja vikubwa sana (low density plots) eneo la Baobab sec (Mapinga to Kibaha Road) vyenye ukubwa sqm 1500 kwa tsh 20 mil, sqm 1900 kwa tsh 25 mil, sqm 2300 kwa tsh 30 mil, na sqm 3000 kwa tsh 39 mil.

Kwa Bunju (dsm) vipo viwanja kuanzia milion 50 kwa sqm 1700 mpaka milion 100 kwa sqm 3000.

Karibu Mapinga (mji wa baridi na hewa safi). Ujanja ni kununua/kuongeza akiba ya viwanja (assets) kwa ajili yako na kizazi chako.
 
Ukipata taarifa hii mjulishe ndugu/jamaa/rafiki.

Hakuna dalali, mpigie mhusika: call 0758603077, whatsap 0757489709

Serikali Yapiga Marufuku Usafirishwaji Wa Kaboni kutoka Mkoa Mmoja kwenda Mwingine

$
0
0
Na Greyson Mwase, Songwe
Serikali kupitia Wizara ya Madini imepiga marufuku usafirishwaji wa kaboni kwa ajili ya kuchenjulia madini ya dhahabu kutoka mkoa mmoja hadi mwingine na kusisitiza kuwa haitasita kumchukulia hatua za kisheria mchimbaji wa madini atakayekiuka agizo hilo.

Agizo hilo limetolewa jana tarehe 18 Oktoba, 2018 na Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo katika mkutano wake na wachimbaji wadogo wa madini katika kijiji cha Saza kilichopo wilayani Songwe mkoani Songwe ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku mbili katika mkoa huo yenye lengo la  kukagua shughuli za uchimbaji wa madini, kusikiliza na kutatua kero za wachimbaji wa madini.

Katika ziara yake Nyongo aliambatana na Mkuu wa Wilaya ya Songwe,  Samwel Jeremeah, Afisa Madini Mkazi katika Mkoa wa Mbeya, Sabai Nyansiri, Afisa Madini anayesimamia wilaya za Songwe na Chunya, Athuman Kwariko, Maafisa Madini kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Mbeya, Ndege Bilagi na Mhandisi Godfrey Nyanda, vyombo vya ulinzi na usalama vya Wilaya pamoja na waandishi wa habari.

Akizungumza na wachimbaji hao, Naibu Waziri Nyongo alisema kuwa lengo la Serikali kupitia Wizara ya Madini kupiga marufuku usafirishwaji wa kaboni kutoka katika mkoa mmoja kwenda mwingine tangu Juni mosi mwaka huu lilikuwa ni kuhakikisha kila mkoa unapata mapato stahiki kupitia ujenzi wa mitambo ya kuchenjua madini kwa kutumia kaboni.

“Kama Serikali tunataka kuhakikisha kila mkoa unajenga mitambo ya kuchenjua madini badala ya kwenda kuchenjulia katika mikoa ya jirani kwa kutumia kaboni na kukosa mapato stahiki,” alifafanua Nyongo.

Alisisitiza kuwa, Serikali haitasita kutaifisha kaboni itakayokamatwa ikisafirishwa kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine ikiwa ni pamoja na kuwachukulia wahusika hatua za kisheria.

Akielezea mikakati ya Wizara ya Madini katika kuwasaidia wachimbaji wadogo wa madini, Nyongo alisema kuwa Wizara imeshaanza kutenga maeneo kwa ajili ya wachimbaji wadogo nchini na kuwataka kuunda vikundi na kuomba leseni ili waweze kufanya shughuli zao za uchimbaji wa madini kwa kufuata sheria na kanuni za madini.

Aliongeza kuwa, Wizara ya Madini imeanza kujenga vituo vya umahiri kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa wachimbaji wadogo wa madini kuhusu namna bora ya kubaini, kuchimba na kuchenjua madini na kueleza zaidi kuwa moja ya kituo kinachotarajiwa kujengwa ndani ya kipindi cha miezi sita kitakuwa katika Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya.

Aidha, Nyongo aliwataka wachimbaji wadogo kuhakikisha wanalipa mrabaha na kodi mbalimbali zinazotakiwa  Serikalini na kuwataka maafisa madini nchini kuhakikisha wanasimamia vyema ukusanyaji wa mapato hayo.

Pia, aliwataka wachimbaji wadogo wa madini kuepuka uchenjuaji wa madini kwa kutumia zebaki kwani ina madhara makubwa katika uharibifu wa mazingira na binadamu.

Akielezea namna bora ya usimamizi wa viwanda vitakavyojengwa kwa ajili ya kuchenjua madini ya dhahabu kwa kutumia kaboni, Nyongo alisema mbali na kuhakikisha wamiliki wanakuwa na leseni za uchenjuaji wa madini, wataalam wa mazingira kutoka Wizara ya Madini watapita na kukagua ili kuhakikisha kuwa viwanda vinajengwa katika mazingira mazuri ambayo hayatakuwa na athari katika makazi ya wananchi.

Awali wakizungumza katika mkutano huo kwa nyakati tofauti wachimbaji wadogo waliwasilisha kero mbalimbali ikiwa ni pamoja na ukosefu wa maeneo kwa ajili ya kuendesha shughuli za uchimbaji na uchenjuaji wa madini, ushuru na tozo nyingi, pamoja na kutoshirikishwa katika mikataba baina yao na wawekezaji wakubwa wa madini.

Rais Magufuli Leo Atakutana na Timu ya Taifa Stars na Kula Nao Chakula cha Mchana

$
0
0
Rais Dkt. John Magufuli leo 19, Oktoba anatarajia kukutana na wachezaji wa timu ya taifa (Taifa Stars) Ikulu jijini Dar es salaam.

Kwa mujibu wa taarifa ya Mkurugenzi wa mawasiliano ya Ikulu, Gerson Msigwa, Rais Magufuli pia anatarajia kula chakula cha mchana pamoja na wachezaji hao.

“Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 19 Oktoba, 2018 atakutana na wachezaji wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) na baadaye kula nao chakula cha mchana Ikulu Jijini Dar es Salaam.”, imesema taarifa hiyo ya Gerson Msigwa.

Taifa Stars ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Cape Verde katika mchezo wake wa nyumbani wikiendi iliyopita na kuibua matumaini ya nafasi yake ya kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika AFCON itakayofanyika mwakani nchini Cameroon.

Baada ya ushindi huo, Taifa Stars inakamata nafasi ya pili katika kundi lake la L ikiwa na alama 5. Uganda ikiongoza kundi hilo kwa alama zake 10, huku Cape Verde ikiwa na alama 4 na Lesotho ikiburuza mkia kwa alama zake mbili.

LIVE TOKA IKULU: Rais Magufuli Akutana Na Kuzungumza Na Wachejazi Wa Timu Ya Taifa Stars Ikulu

$
0
0
Rais Magufuli amekutana Na Kuzungumza Na Wachejazi Wa Timu Ya Taifa Stars Ikulu. Tazama tukio hilo hapo chini

BREAKING: IGP Sirro Anazungumza Na Waandishi Wa Habari Kuhusu Kutekwa Kwa Mohammed Dewji

$
0
0

IGP Sirro Anazungumza Na Waandishi Wa Habari  Kuhusu Kutekwa Kwa Mohammed Dewji

BREAKING NEWS: Polisi Wamefanikiwa Kulitambua Gari Lililomteka Mo Dewji Pamoja na Dereva Aliyekuwa Akiliendesha

$
0
0
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema jeshi hilo limefanikiwa kutambua aina ya gari ambalo limetajwa kumteka mfanyabiashara maarufu nchini, Mohamed Dewji pamoja na dereva aliyekuwa akiendesha gari hiyo aina ya Surf.

Kwa mujibu wa Kamanda Sirro, jeshi hilo kupitia vyombo vya uchunguzi vilifanikiwa kukamata ganda la risasi yenye urefu wa milimita 9 ambazo ilitumika wakati wa tukio la kupotea kwa Mohamed Dewji.

Kamanda Sirro amesema gari hilo limesajiliwa kwa namba za usajili za kutoka nchi jirani ambapo inaelezwa gari hilo lilifanikiwa kuingia mwanzoni mwa mwezi septemba mwaka huu.

"Kamera zetu za CCTV zilituonyesha kuwa baada ya kufanya uhalifu huo wa utekaji, gari lile lilielekea kwenye barabara ya Ally Hassan Mwinyi, mpaka kwenye roundabout ya Kawe, sasa kuanzia pale ndio tunaendelea kufanya uchunguzi kuwa lilielekea upande gani

“Ila tumepata taarifa kwamba gari hilo limetokea nchi jirani, na watu wetu wamekwenda mpakani na wameona gari hii likipita mpakani tarehe moja septemba. Nani alikuwa dereva wa ile gari imefahamika, nani alikuwa dereva wa ile gari na watu wetu interpool wanalifanyia kazi.

"Huyo anayetaka kutuchafulia taswira ya nchi, tukimkamata ndio atajua kuwa hii ni Tanzania, mimi huwa napenda kutumia lugha ya 'nitakugonga kwa mujibu wa sheria' haiwezekani watu wangu hawalali hii siku ya tisa". Amesema IGP Sirro.

Aidha IGP Sirro amewataka watu wenye uwezo wa kifedha nchini kujiwekea ulinzi wa kutosha kwa ajili ya usalama wa maisha yao.

"Ndugu zangu waandishi wa habari kwa sababu sheria za nchi yetu zinaruhusu kumiliki siraha ni vyema kwa watu walio na uwezo na wanakidhi vigezo nashauri wafanye hivyo kwa sababu hatujui mhalifu anaweza kutoka wapi. "

Ijue Sayansi ya Kusimama na Kusinyaa kwa UUme ( Sayansi ya Nguvu za Kiume)

$
0
0

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani.

Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ?
Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu


Hatua  mbili  Muhimu  katika  Kusimama  kwa  Uume
Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo :

Hatua  ya  kwanza, ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari.

Na  hatua  ya  pili  ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION


JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA.
Jinsi  hatua  za  kusimama  kwa  uume zinavyotokea

1. Hatua  ya  Kwanza:

DAMU  KUTIRIRIKA  KWA  KASI KUINGIA  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME  NA  KUUFANYA  UUME  KUSIMAMA  NA  KUWA  MGUMU.

Unapopata  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  fahamu iliyopo  kwenye  ubongo,  hupeleka  ishara  kwenye  mishipa  ya  uti  wa  mgongo, ambayo  nayo  hupeleka  taarifa  hadi  kwenye  mishipa  ya  uume. 
 
Taarifa  inapofika  kwenye  mishipa  ya  uume  huifanya  mishipa hiyo  ku-relax  na  hatimaye   kufanya  mishipa  ya  ateri  kufunguka  na  kutanuka. Mishipa  ya  ateri  inapo  tanuka  na  kufunguka, huruhusu  damu  kuingia  kwa  kasi  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  huume  kusimama.

Ni  muhimu  kujua  kuwa, mishipa  ya  uume  inapo relax  hupelekea  kuisukuma na  hatimaye  kuiziba  mishipa  ya  vena  iliyo  karibu  na  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuiondolea  uwezo  wa  kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  sehemu  nyingine  za  mwili.

N.B: Kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyingine  za  mwili.  Au  kwa  lugha  nyingine  unaweza  kusema, kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  kwenye  mishipa  ya  uume.


2. HATUA  YA  PILI  :

DAMU  KUENDELEA  KUHIFADHIWA  KATIKA  UUME  WAKATI  UUME  UKIWA  UMESIMAMA  NA  HIVYO  KUUFANYA  UUME  UENDELEE  KUDUMU  KATIKA  TENDO LA NDOA   KWA  MUDA  MREFU.

Uume  ulio  simama, ili  uendelee  kusimama, ni  lazima  mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo   wa  kunyonya  damu  kutoka  katika  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyinginezo  za  mwili. .

Mishipa  ya  Vena  ndio  inayo  husika  na  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume na  kupeleka  sehemu  nyingine  za  mwili.  Ili  uume  uendelee  kusimama  lazima  mishipa  hii  ya  vena  iwe imezibwa. Ili  iweze  kuzibwa   ni  lazima  misuli  laini  ya  kwenye  uume  iwe - ime  relax na  hivyo  kuifanya  mishipa  ya  vena  kushindwa  ku  nyonya  damu  kutoka  kwenye  uume.

Endapo  mishipa  ya  vena  itazibuka , basi  itanyonya  na  kutoa  damu yote  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume uliosimama  na  kuipeleka  sehemu  nyinginezo  za  mwili  na  hatimaye  uume  huo ulio simama  na  utasinyaa  mara  moja.

JINSI  UUME  UNAVYO  SIMAMA  NA  KUSISIMKA.

Tumeisha  zifahamu  hatua  mbili  muhimu  katika  kusimama  kwa  uume

Jinsi  Uume  unavyo  simama: Katika  uume  kuna chemba  yenye  mishipa  laini  sana, ambayo  ndio  huufanya  uume  kusimama.

Mishipa  hii  ipo kama  sponji  hivyo  huweza  kunyauka  na  kutanuka.

Damu  inapoingia  ndani  ya  mishipa  hii  huufanya  uume  kusimama  na  kuwa  mgumu  kama  msumari.

Damu  inapoendelea  kuhifadhiwa  ndani  ya  mishipa  hii  wakati  wa  tendo  la  ndoa, huufanya  uume  uendelee  kusimama.

Mwanaume  unapo  patwa  na  wazo la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  fahamu  iliyo  kwenye  ubongo  hupeleka  ishara  kwenye  uti  wa mgongo, ambao  nao  hufikisha   taarifa  kwenye  mishipa  ya  uume.

Taarifa  ikisha  fika  kwenye  mishipa  ya  uume, huifanya  mishipa  ya  uume  ku-relax  na  mishipa  ya  uume  inapo  relax, hufanya  mambo  makuu  mawili;

i.  Kwanza  hufanya  mishipa  ya  ateri  kufunguka na  hivyo  damu  kutiririka  kwa  kasi  sana  kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume

( Mishipa  ya  ateri  ndio  inayo  tumika  kama  njia  ya  kuingiza  damu  kwenye  uume. Bila  mishipa  ya  ateri  imara  na  yenye  afya, damu  haiwezi kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, na  damu  isipoweza kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, basi  uume  hauwezi  kusimama )

ii. Pili huibana  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kuizuia    kunyonya  damu  kutoka  kwenye  uume  na  kuipeleka  kwenye  sehemu nyingine  za  mwili. Matokeo  yake  kuufanya  uume  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Kumbuka ,kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  neva  iliyo  karibu  na  mishipa ya  uume, ni kunyonya  damu kutoka  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  kwenye  sehemu  nyingine  za  mwili. Kwa  lugha  nyingine, kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  kwenye  mishipa  ya  uume ulio simama.

Kadri  damu  inavyo  zidi  kuingia  ndani  ya mishipa  ya  uume, ndivyo  uume  unavyo  zidi  kuwa  mgumu  na  kukakamaa.

Na  kadri  damu  inavyo  hifadhiwa  ndani  ya  mishipa  ya  uume, ndivyo  uume  unavyo endelea  kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa kwa  muda  mrefu.

Baada  ya  kumaliza  kufanya  tendo  la  ndoa,mishipa  ya  uume inarudi  katika  hali  yake  ya  kawaida (inanyauka ), ikisha  nyauka, mishipa  ya  ateri  inanyauka  pia, vena  zinafunguka  na  kunyonya  damu  katika  mishipa  ya  uume  na  kuirejesha  katika  sehemu nyinginezo  za  mwili  na  hatimaye  uume  kurudi  katika  hali  ya  kawaida  ( Flaccid ).

Hali  hii  itaendelea  kujirudia  kwa  kadri  utakavyo  kuwa  ukiendelea  kufanya  tendo  la  ndoa.

Mambo  Muhimu  Katika  Kuufanya Uume  Usimame na  Kuendelea  kudumu  katika  kusimama  kwa  muda  mrefu wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Ili  uume  uweze  kusimama  imara  kama  msumari na  uendelee  kusimama  imara  na  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo la  ndoa, ni  lazima  mambo  yafuatayo yawepo.

1. Mishipa ya   uume iliyo  imara  na  yenye  afya  njema.

2. Mfumo   mzuri  wa damu  katika   mwili  mzima.

3.Mtiririko  imara  wa  damu kuingia  na  kutoka  ndani  ya  mishipa  ya  uume.

4.Ushirikiano  wenye  afya  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  ya  kwenye  ubongo  (nerves), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  mishipa  ya  kwenye  uume.

Ili  mwanaume  aweze  kuwa  imara  katika  tendo  la  ndoa, ni  lazima  mambo  manne  niliyo yataja  hapo  juu  yawe  sawa  sawa  bila  hitilafu  yoyote. Kinyume  chake, mwanaume  hawezi  kuwa  na  nguvu  za  kiume.

MAMBO   YANAYO SABABISHA   UKOSEFU/UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Tumeshajua   nguvu za  kiume  ni  nini, jinsi  uume  unavyo  simama, hatua  za  kusimama  kwa  uume, pamoja  na  mambo  yanayo  fanya  uume  uweze  kusimama  na  kuwa  na  uwezo  wa  kuendelea  kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Ni  vyema  tukajua  mambo  yanayo  sababisha  kushindwa  kusimama  kwa  uume, mambo  yanayo  sababisha  uume  ushindwe kuendelea  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa   pamoja  na  mambo  yanayo  fanya  mtu  ashindwe  kurudia  tendo  la  ndoa.

Yafuatayo  ni  mambo  yanayo  sababisha  ukosefu wa  nguvu  za  kiume.

1.    MAGONJWA  YANAYO  SHAMBULIA  MFUMO  WA  DAMU  PAMOJA  NA  MISHIPA  YA  DAMU.

Damu  ndio  nishati  inayo wezesha  kusimama  kwa  uume  na kuufanya  kuwa  mgumu na  imara  kama  msumari.

Damu  ndio  nishati  inayo weza   kuufanya  uume uendelee kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Damu  ndio  nishati  inayo  upa  uume  uimara  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa  zaidi  ya  mara  moja.

Hivyo  basi  ili  uume  uweze  kuwa  imara na  wenye  nguvu, pamoja  na  kuwa  na  uwezo  wa  kumudu  na  kustahimili   tendo  la  ndoa  wakati  wowote , basi  ni  lazima   mwanaume  awe  na mfumo  imara  wa  damu  utakao  ruhusu  kutiririka  kwa  damu  kwenda  katika  sehemu mbalimbali  za  mwili  ikiwamo  uume.

Ili  mfumo  uweze  kuwa  imara  ni  lazima  mhusika  awe  na  damu  ya  kutosha, na  pili  awe  na  mishipa  ya  damu  yenye  afya.

Katika  mwili  wa  mwanadamu,kuna  mishipa  inayo  tumika  kusafirisha  damu  kutoka  katika  sehemu moja  ya  mwili kwenda  katika  sehemu  nyingine  ya  mwili  ikiwemo  uume. Mishipa  hiyo  ni  kama  vile  vena (veins), atery ( ateri) na  capillary  ( kapilari )

Mishipa  hii  ya  damu  inapaswa  kuwa  imara  na  yenye  afya  njema  wakati  wote.   Mishipa  hii  ikipatwa  na  hitilifu, basi  itazuia  kusafirishwa  kwa  damu  katika  sehemu  mbalimbali za  mwili  wa  mwanadamu  na  hatimaye  kufanya  suala  la  kuwa  na  nguvu  za  kiume  kwa  mhusika  kuwa  ugumu  kwa  sababu   ya  kushindwa  kupeleka  damu  kwenye  mishipa  ya  uume.

Magonjwa  kwenye  mishipa  ya  damu  huzuia   kutirika  kwa  damu kwenye  ogani  muhimu   kama  vile  moyo, ubongo na  figo.

VIASHIRIA  VYA  MAGONJWA  KWENYE  MISHIPA  YA  DAMU.

Utajuaje  kwamba  una  magonjwa  kwenye  mishipa  yako  ya  damu ?

Ukiwa  una  matatizo  yafuatayo ya  kiafya, ni  ishara  kwamba, una  magonjwa  kwenye  mishipa  yako  ya  damu:

1.  Kolestrol ( Ama  lehemu  kwenye  damu )

Kolestrol  nyingi  kwenye  damu, huzuia  kutiririka  kwa  damu. Kolestrol  ikizidi  kwenye  damu,  hupelekea  kuziba   mishipa  ya  ateri  ambayo  kazi  yake  ni  kupeleka  damu  kwenye  uume. 
 
Matokeo  yake  ni  mhusika  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wake barabara  kwa  sababu uume  hauwezi  kusimama  bila  damu  kuingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume.  
 
Hivyo  basi pamoja  na  dawa  ya  nguvu  za  kiume, yakupasa  kutibu  kolestrol. Unaweza  kuondoa  kolestrol  kwenye  damu  kwa  kutumia  dawa  mbali  za  asili  kama  vile mdalasini,uwatu, habbat sodah  etc.  Jinsi  ya  kujitibu  kolestrol  kwa  kutumia dawa asilia  tafadhali  tembelea


2.      Shinikizo  Kubwa  la  Damu

Shinikizo  Kuu la  Damu husababisha  mishipa  ya  ateri  ambayo  hutiririsha  damu  iingiayo  kwenye  uume  kuziba  na  kushindwa kutanuka  kwa  kiwango  inachotakiwa  kutanuka.

Pia  huifanya  mishipa  laini  katika  uume   kushindwa  ku-relax  na  hivyo  kushindwa  kuizuia  mishipa  ya  vena  ya  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  kwenye  maeneo  mengineyo  ya  mwilini.

Matokeo  yake  kunakuwa hakuna  kiasi  cha  kutosha  cha  damu  iingiayo  kwenye  uume  na  hivyo  kufanya  uume  ushindwe  kusimama.

Vile  vile  hata  kiasi  kidogo  cha  damu  kinacho  ingia  kwenye  uume, kinashindwa  kuendelea  kuhifadhiwa  ndani  ya  uume  wakati uume  ukiwa  umesimama, na  matokeo yake  ni  uume  kusinyaa  ndani  ya  kipindi kifupi  sana  tangu  usimame.

Pamoja  na kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume, unapaswa   pia  kutumia  dawa  asilia  kujitibu  tatizo  la  shinikizo  kuu  la  damu.

Kufahamu  jinsi  ya  kujitibu  tatizo  la  shinikizo  la  damu  kwa  njia  ya  asilia, tembelea :


3.  Ugonjwa  wa  kisukari :

Ugonjwa  wa  kisukari  ni  miongoni  mwa  vyanzo  vikuu  vya  tatizo  la  ukosefu wa  nguvu  za  kiume.  Kusimama  kwa  uume  kunategemeana  na  kutiririka  kwa  damu  mwilini. Kisukari  huathiri  mishipa  ya  damu pamoja  na  usambazaji  wa  damu  kwenye  ogani  muhimu  mwilini  kama  vile  moyo, ubongo, figo  na  uume.

Kiukweli, mwanaume  mwenye  kisukari  yupo  katika  risk  kubwa  ya  kupatwa  na  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume,m tena  katika  kiwango  kikubwa  sana.

Unashauriwa pamoja  na kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume, tumia  pamoja  na  dawa  mbalimbali  za  asili  kwa  ajili  ya  kubalance  sukari  yako mwilini. Zipo  dawa  mbalimbali  za  asili  zinazo  saidia  kubalance  kiwango  cha  sukari  mwilini. 
 
Dwa  hizo  ni  pamoja na mdalasini, unga  wa  uwatu, mbegu  za  uwatu, manjano, majani  ya  manjano,mbegu  za  katani, nakadhalika. 
 
Namna  ya  kutumia  dawa  hizo  kujitibu  tatizo  la  sukari, tafadhali  tembelea : http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/jitibu-kisukari-presha-shinikizo-la.html

4. Magonjwa  ya  figo

Tatizo  la  ugonjwa  wa  figo  huathiri  vitu vingi  ambavyo  ni  muhimu  sana  katika  kuufanya  uume  uweze  kusimama  na  kuendelea  kudumu  katika  kusimama.

Tatizo  la  figo, huathiri  homoni, huathiri kutiririka   kwa  damu  kwenda  kwenye  mishipa  ya  uume. Huathiri  mfumo  wa mishipa  ya  neva  pamoja  na  nishati  ya  mwili mzima.

Pamoja  na  dawa  ya  kutibu  tatizo  la  nguvu  za  kiume, unapaswa  pia, kutibu  tatizo  la  figo. 
 
Kufahamu  jinsi  ya  kujitibu  magonjwa  mbalimbali  ya  figo  kwa  kutumia  dawa  mbalimbali  asilia, tembelea : http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/jitibu-kisukari-presha-shinikizo-la.html

5.        Ugonjwa  wa  moyo

Moyo  ndio  supplier  mkubwa  wa  damu  katika  sehemu  mbalimbali  za  mwili.  Ugonjwa  wa  moyo  hupunguza  uwezo  wa  moyo  kusambaza  damu  kwenye  mishipa  mbalimbali  ya  damu  na  hivyo  kuathiri  utendaji  kazi  wa  mishipa ya  damu  kama  vile  ateri  na  vena. 
 
Matokeo  yake  ni  mishipa  hiyo  kushindwa  kupeleka  damu  ya  kutosha  katika  uume  pamoja  na  kushindwa  kuifanya  mishipa  ya  uume  kurelax na  matokeo  yake,. Ukosefu  wa nguvu  za  kiume. 
 
Hivyo  basi, pamoja  na  dawa  ya  nguvu  za  kiume, unapaswa  pia   kutibu  tatizo  la  moyo. Kufahamu  jinsi  unavyo  weza  kutibu  ugonjwa  wa  moyo  kwa  dawa  asilia, tembelea :


6.  Kupwaya  kwa  mishipa  ya  vena.

Kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  kwenye  uume   kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyingine  za  mwili.  
 
Mishipa  ya  vena  iliyopo  karibu  na  uume  kazi  yake  kubwa  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  yoyote  kwenye  mishipa  ya  uume. ( KUMBUKA  KUWA  DAMU  NDIO  HUFANYA  UUMU  USIMAME, HIVYO  CHOCHOTE  KILE  KITAKACHO  FANYA  DAMU  ISIKAE  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME , KITAFANYA  UUME  USINYAE  )

Ili  uume  uendelee  kusimama  ni  lazima, mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo  wa  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  kupeleka  nje  ya  mishipa  ya  uume.

Na  ili  mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo  wa    kunyonya  damu  kutoka  kwenye   mishipa  ya  uume  ulio  simama  na  kuipeleka  kwenye  sehemu  nyingine  za  mwili,  ni  lazima  mishipa  ya  uume  iwe  imara  na  thabiti  isiyo  na  hitilafu  yoyote  ile.

Mishipa  ya  vena  ikipwaya, mwanaume  hutokuwa  na  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wako, na  ikitokea  umefanikiwa  kuusimamisha  basi  utasimama  ukiwa  legelege  sana  na  utasinyaa  ndani  ya  muda  mfupi  sana, kwa  sababu  damu  iliyo  ingia  ndani  ya  uume  wako  na  kuufanya  usimame, itanyonywa  ndani  ya  muda  mfupi  sana  na  kutolewa  nje  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  wako  usimame.

Tatizo  la  kupwaya  kwa  mishipa  ya  vena  linasababishwa  na  kupiga  punyeto  kwa  muda  mrefu  pamoja  na  ugonjwa  wa  kisukari.


Kupiga Punyeto kwa Muda Mrefu:   Kupiga  punyeto  kwa  muda  mrefu  ni  moja  kati  ya  vyanzo  vikuu  vya  tatizo  la  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  Asilimia  kubwa  ya  vijana  wenye  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, linasababishwa  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu.


Jinsi  Punyeto  inavyosababisha  Ukosefu  wa  Nguvu  za  Kiume

Unapopiga  punyeto  unakuwa  unaiminya  mishipa  ya  uume   ambayo  ndio  inaufanya  uume  usimame.

Matokeo  yake  unaifanya  mishipa  hiyo  ilegee na  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimama  tena.

Mishipa  ya  uume  iliyo  legea  kutokana  na  upigaji  punyeto, huleta  madhara  yafuatayo  :

i.  Huondoa  uwezo  wa  mishipa  ya  uume  kurelax.

( Unapopata  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  uume  ina relax  , mishipa  iki  relax  husababisha  mishipa  ya  ateri  kupanuka  na  kuruhusu  damu  kingie  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hatimaye  kuufanya  uume  usimame  na  kuwa  mgumu)

ii.Mishipa   ya  kiume  ikishindwa  ku relax  husababisha  mishipa  ya  ateri  kuziba

iii.Mishipa  ya  ateri  ikiziba, damu  haiwezi  kutiririka  kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, na  hata  ikitokea  damu  imeingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume  basi  huingia  kiasi  kidogo sana   tena  kwa  presha  ndogo  sana  hivyo  basi  hata  kama  uume  utasimama   basi  utasimama  ukiwa  legelege  sana

iv.Mishipa  ya  uume  ikishindwa  kurelax  basi  haitakuwa  na  uwezo  wa  kuipush  na  kuiziba  mishipa  ya  vena  ambayo  ndio  hunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  ulio  simama. 
 
Matokeo  yake  basi, damu  kidogo  iliyo  ingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuufanya  uume  kusimama, hunyonywa  na  kutolewa  nje  ya  mishipa  ya  uume  ndani  ya  sekunde  chache  sana  na  hivyo  kuufanya  uume usinyae  ndani  ya  muda  mfupi  sana.

v. Mishipa  ya  uume  kulegea

vi. Uume  kurudi ndani  na  kusinyaa  na  kuwa  kama  uume  wa  mtoto

6.  Tatizo  la  unene  kupita  kiasi : 
Tatizo  la  unene  na  uzito  kupita  kiasi  ni  miongoni  mwa  mambo  yanayo  sababisha  upungufu  wa  nguvu  za  kiume. 
 
Unene  kupita  kiasi  humuweka  mtu  katika  hatari  ya  kupatwa  na  magonjwa  kama  vile  kisukari, presha, moyo  na  shinikizo  kuu  la  damu.
 
 Na  magonjwa  ya  kisukari, moyo,presha  na  shinikizo  la  damu  husababisha  upungufu na  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, na  hivyo  kumuweka  muhusika  katika  hatari  kuu  ya  kupatwa  na  tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume.

Hivyo  basi  kwa  wewe  mwenye  tatizo  la  unene  na  uzito  kupita  kiasi , pamoja  na  kutumia  tiba  ya  nguvu  za  kiume,  ni  vyema  ukafanya  na  mpango  wa  kupunguza  unene  na  uzito  wako.

Jinsi  ya  kupunguza  Uzito  na  Unene  kwa  Kutumia  Tiba  Asilia. Tafadhali  Tembelea;

7.   Matatizo  Katika  mfumo  wa  Ubongo

Uume  hauwezi  kusimama   bila  ya  kuwa  na  ushirikiano  na  ubongo.  Ili mtu  uume  uweze  kusimama, mtu  lazima  apate  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa  (UBONGO  UNA HUSIKA  HAPO ), akishapata  wazo, ubungo  hupeleka  ishara  kwenye  mishipa  ya  fahamu  iliyopo  katika  uti  wa  mgongo  ambayo  nayo hupeleka  taarifa  kwenye  mishipa  ya  uume  then  uume  usimama.  
 
 Hivyo  basi  ili  mtu  aweze  kuwa  na uwezo  wa kusimamisha  uume  wake  ni lazima  kuwa  na  mawasiliano  mazuri  na  imara  kati  ya mishipa  ya  fahamu ( ubongo ), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo   na  mishipa  ya  kwenye    uume.  Bila  ushirikiano  kati  ya  vitu  hivyo  vitatu, uume  hauwezi  kusimama.

Magonjwa  yanayoweza  kuathiri  ushirikiano  kati  ya  mishipa  ya  ubongo  na  mishipa  ya  uume, yanaweza  kusababisha  kushindwa  kusimama  kwa  uume.

Magonjwa  hayo  ni  pamoja  na  kiharusi,kupoteza  kumbukumbu  (  Alzheimer ), multiple  sclerosis pamoja  na  ugonjwa  wa  Parkinson.

Ni  vyema  mgonjwa  akatibiwa  kwanza  magonjwa  hayo  kabla  ya  kuanza  kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume.  Kufahamu  jinsi  ya  kujitibu  magonjwa  tajwa  hapo  juu  kwa  njia  asilia,tafadhali  tembelea

Mambo   mengine  yanayo  sababisha  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  pamoja  na  maumivu & majeraha  kwenye  uti  wa  mgongo,  chango  la  kiume , ngiri  na  matatizo  katika  homoni.

Viashiria  vya  mtu  mwenye  tatizo  la  Ukosefu/Upungufu  wa  Nguvu  za  Kiume.
Mtu  mwenye  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume  huwa  na  dalili  zifuatazo ;

1. Kushindwa  kabisa  kusimamisha  uume  wake

2. Uume  kusimama  ukiwa  legelege

3. Kuwahi  kumaliza  tendo  la  ndoa

4. Mwanaume  kutokuwa  na uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  katika  baadhi  ya  staili  ( Mara  nyingi   mwanaume  huyu huwa  na  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa    staili  moja  tu ).  Hapa  mwanaume  anakuwa  na  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  staili  ya   “ missionary” pekee.  Ikibadilishwa   staili, mwanaume  anakuwa hana  tena  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wake  japo  katika  hali  ya  u lege  lege

5. Uume  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimama  wenyewe   bila  kushikwashikwa  ama  kutomaswa kwa  muda  mrefu.

6. Uume  kusinyaa  ukiwa  ndani  ya  mwanamke.

7. Uume  kusinyaa, pindi  inapotokea  activity  yoyote  ya  kiungo  ama  ogani  nyingine  ya  mwanaume  wakati  wa  tendo  la  ndoa. Kwa  mfano, wakati  wa  tendo  la  ndoa, ikitokea  mwanaume  amekohoa  au  kupiga  chafya, uume  nao  unasinyaa.

8. Uume  kusinyaa  mara  tu  baada  ya kutolewa  ndani  ya  uke ( Kwa  mfano  kama  unafanya  tendo  la  ndoa, halafu  uume  ukatoka  nje, kitendo  cha  kuushika  kuurudisha ndani, tayari  una  sinyaa )

9. Kutokuwa  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa.

10.  Kupatwa  na  maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.


Viashiria  vya  mwanaume  asiye  na  tatizo  la  Ukosefu  wa  nguvu  za  kiume
Mwanaume  asiye  na  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, huonyesha  ishara  zifuatazo ;

i. Uume  husimama  ukiwa  imara  kama  msumari.

ii.Hukaa  kifuani  kwa  muda  mrefu  ( Wastani  ni  kati  ya  dakika  20  hadi  45  )

iii.Huweza  kurudia  tendo  la  ndoa  zaidi  ya  mara  tatu  bila  misuli  ya  uume  kuchoka.

iv. Huweza  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  staili  yoyote  ile

v. Uume  husimama  wenyewe  bila  kushikwa  shikwa  wala  kuwa  stimulated  kwa  namna  yoyote  ile

vi.Kwa  ufupi  anakuwa  na  uwezo  wa  kufanya na  kukamilisha  tendo  la  ndoa  kwa  uukamilifu  mkubwa.

Tiba  Asilia  ya  Tatizo  la  Ukosefu/Upungufu  wa  Nguvu  za  Kiume.
Dawa  asilia  ya  JIKO   ni  dawa  asilia  inayo  tibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.

Mfumo wa Dawa
Dozi  ya  dawa  ya  JIKO ni  mkusanyiko  wa  dawa  nne  asilia  zenye  uwezo  mkubwa  sana  katika kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume.

Dawa  hizi  zipo  katika  mfumo  wa  MIZIZI  na  UNGA  UNGA.
 
Jinsi  Dawa  ya  Jiko Inavyofanya  kazi
Dozi  ya  dawa  ya  JIKO  inafanya  kazi  zifuatazo  katika  mwili  wa  mwanadamu.

Dawa  ya  JIKO  inasadia  katika  mambo  makuu yafuatayo:

1. Inasaidia   kuimarisha  mishipa  ya  uume  ulio legea  na  hivyo  kuufanya  uume  uwe  na uwezo  wa  kusimama  barabara  kama  msumari  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

2. Inasaidia  kusafisha  mishipa  ya  kwenye  uume  na  hivyo  kusaidia  katika  kuongeza  kasi  ya  msukumo  wa  damu  kwenye  mishipa  ya  kwenye  uume.

3. Huongeza  damu  mwilini

4. Husaidia  kuongeza  msukumo (pressure)  wa  damu  kwenye  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  kuwa  na  nguvu  za  ajabu.

5. Huipa  misuli  ya  uume  uwezo  wa  kuziba  wa  kuizuia  mishipa  ya  vena   kunyonya  damu  kwenye  mishipa  ya  uume  wakati  wa  tendo  la  ndoa  na  matokeo  yake  kukupa  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  muda  mrefu( Kuzuia  hali  ya  kufika  kileleni  haraka  )

6. Husaidia  kurelax  mind  na  hivyo  kumfanya  mtu  awe  na  uwezo  wa  kuconcentrate  wakati  wa  tendo la  ndoa   bila  kuathiriwa  na  msongo  wa  mawazo

7. Hurejesha, kuimarisha  na  kuboresha  ushirikiano  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  ya  kwenye  ubongo  (nerves), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  mishipa  ya  kwenye  uume

8. Humfanya  mwanaume  awe  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa  mara  nyingi  zaidi  bila  kuchoka.

9. Husaidia  kuongeza  hamu  ya  tendo  la  ndoa.

10. Husaidia  kuurudisha  nje  uume  ulio ingia  ndani.

11.  Husaidia  kutibu  side effects  za  punyeto  na  matumizi  ya  muda  mrefu  ya dawa  kali  za  (za  kizungu ) za  kuongeza  nguvu  za  kiume.

12. Husaidia  kutibu  chango  la  kiume.

13. Dawa  hii  huwasaidia  hata  wanawake  wanao sumbuliwa  na  tatizo  la  ukosefu  wa  hamu ya  tendo  la  ndoa.

Bei ya Dawa:  
Dozi  ya  dawa  ya  JIKO  inapatikana  kwa  gharama  ya  SHILINGI  ELFU  THEMANINI  TU  (Tshs.80,000/=)

Mahali Tunapopatikana :
Dozi  ya  dawa  ya  JIKO, inatolewa  na  duka  la  dawa  asilia  la  NEEMA  HERBALIST    NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC. Tunapatikana  jijini  DAR ES  SALAAM, katika  eneo  la  TABATA   karibu  na  SHULE  YA  SEKONDARI  YA  MTAKATIFU  ANUARITE.

Kwa  wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu, tunatoa  huduma  ya kuwapelekea  dawa  mahali  walipo  ( DELIVERY )

Kwa  wateja  waliopo  nje  ya  DAR  ES  SALAAM, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  mabasi, wateja  waliopo  Zanzibar, watatumiwa  dawa  kwa   njia  ya  boti  na  kwa  wateja  waliopo  Ulaya, America  na  Arabuni, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  DHL  au POSTA.

WASILIANA  NASI  KWA  SIMU  NAMBA

0766  53  83  84.
Na  kwa  maelezo  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, tembelea:
www.neemaherbalist.blogspot.com

Mambo 16 Aliyoyasema Rais Magufuli Leo IKULU Baada ya Kukutana na Timu ya Taifa "TAIFA STARS" Na Kuwapatia Milioni 50

$
0
0
16.''Rais Karia na Waziri Mwakyembe hakikisheni tunakwenda Cameroon 2019 ili mwisho wa siku mtengeneze historia kuwa mlikuwepo madarakani na Tanzania ilikwenda AFCON''-Rais Magufuli

15.''Mmekubali kuja hapa mmeingia kwenye mkataba mgumu kweli yaani nitafuatilia kila senti ya milioni 50 kujua imetumikaje na ole wao waile'' -Rais Magufuli

14."Mkifungwa na Lesotho nitajisikia aibu hata kwanini nimekuja kuwaona na kuwapa shilingi milioni 50 za walipakodi. Na najua watasema, Magufuli awatia mkosi vijana."- Rais 
 
13.“Nitawaongezea milioni 50 na ziwe kweli kwa watu wanaotakiwa kwenda kwasababu unaeza kuta wachezaji wanaoenda kucheza ni 15 viongozi wanaenda 30, ni lazima tuiache timu iende na watu wanaotakiwa kwenda hata posho zao zitaongezeka,”Rais

12."Nilitaka kutoa ndege iwapeleke Taifa Stars visiwa vya Cape Verde, lakini ikashindikana sababu ya uwanja ulikuwa mdogo. Lakini nilipofuatilia mchezo, dakika za mwanzo tu tumefungwa magoli mawili, nikasema bora hata sikutoa ndege."- Rais

11."Ukitaka kuwa mchezaji mzuri kuna mambo ni lazima uyaache kama vile pombe, na uhuni mwingine. Ukiendekeza uhuni hutaweza kufunga magoli ya uwanjani, utafunga yale magoli mengine lakini uwanjani hutaweza kitu."- Rais

10."Viongozi wa michezo msimuingilie kocha wa timu ya taifa anayotaka kupanga, kocha ndio anayejua nani anatakiwa acheze wapi ili hata mambo yakienda sivyo tuweze kumlaumu yeye, tumpe ushirikiano na tumwache afanye kazi" Mhe Rais

9."Nilipoingia madarakani nikaona timu ya taifa inashindwa shindwa, nikawaza sijui nichukue wachezaji kutoka jeshini. Yani wao wanakuwa wanafanya mazoezi tangu asubuhi hadi usiku, akikosea anawekwa 'lockup' akitoka ni mazoezi. Lakini sasa mmeanza kunivutia"- Rais

8."Mlipopigwa yale matatu na Cape Verde mlinichukiza sana lakini angalau mkarudisha mawili hapa, napo sijafurahi sana na nimewashangaa walioshangilia maana bado tunadaiwa bao moja" Rais

7."Nataka niwaeleze ukweli; Machungu ninayoyapata mimi (kufungwa kwa Timu ya Taifa na timu nyingine) na Watanzania wanayapata"Rais

6."Niseme kwa uwazi kwamba mimi napenda michezo, lakini siyo shabiki wa timu yoyote kwa sababu kila timu ambayo nikiipenda, ikijitahidi ikakaribia mwisho, inashindwa, na mimi sipendi kushindwa"Rais

5."Nafahamu na Rais wa TFF  naona na wewe umejaribujaribu kwenda vizuri, Sijui utaenda hivi hivi au nawe utaingia kwenye mtego wa wale wengine, nimeamua niseme hapa" Mhe Rais

4."Watanzania wengi wanapenda kutaja majina ya wachezaji wa nje, utakuta wanataja wachezaji wa Arsenal, Manchester na timu zingine kwasababu timu za nyumbani zinawaangusha"

3."Mnachukua tu vikombe vya hovyohvoyo na mnapongezana mara mnaitwa bungeni lakini vikombe vya maana hatujawahi kushiriki tangu enzi za mwalimu''

2."Nilikuwa nikicheza mpira nikiwa mdogo. Nilianza kwa kuwa 'forward' (mshambuliaji), lakini baadae nikapenda kuwa kipa. Nilipoanza kuvaa miwani nikaacha sababu nilijua miwani itavunjika."- Rais

1."Niseme wazi kabisa mimi nilicheza kuanzia kidato cha kwanza hadi cha tatu nafasi ya Mshambuliaji lakini baadae nikawa golikipa, napenda mpira lakini naogopoa kuegemea kwenye timu moja kushabikia kwa kuwa sipendi kushindwa" Mhe Rais

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images