Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

MWIFU: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0782682648  au 0656 551 093  au 0746473974

Okoa Ndoa Yako Mke,Mume Na Afya Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Za Asili

$
0
0
Asilimia kubwa ya binadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wengi wamejaribu kutumia tiba sehemu tofauti bila mafanikio na  kukata tamaa hasa kina baba ambao ndoa zao au mahusiano yao na wapenzi wao yapo hatarini kuvunjika kwa sababu Mume hana uwezo wa kumridhisha mpenzi wake 

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MKE AU MPENZI WAKO SABABU ETI UNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME MDOGO: tumia dawa ya NSENWA POWER ;dawa hii hutibu na kuponesha tatizo la  nguvu za kiume .

1 itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
2 itakupa uwezo kuchelewa kukojoa mda wa dakika 15-20 na kumfanya mpenzi wako naye aridhike 
3 huimalisha misuri iliyo legea na kusinyaa 

JE UNA UUME MFUPI NA MWEMBAMBA : tumia dawa ya MASHESHE NO 2; hii huboresha uume saizi upendayo kuazia urefu wa inch 5,6,7,8 na unene  wa sentumita 2,3,4,5, dawa hizi hazina madhara yeyote kwa mtumiaji hata wazee hutumia na kupona 

MASANZA ni dawa ya vidonda vya tumbo zipo dawa za mvuto wa biashara ,mpenzi,uzazi ngiri,korodani kuvimba miguu. mgongo,kiuno kuuma nk 

MAHALI ILIPO OFISI UNAWEZA UKASHUKIA BUGURUNI MALAPA AU BUGURUNI ROZANA na MWANZA YUPO WAKALA pia unaweza ukaletewa popote ulipo wasiliana nami 0783185060  0752348593 DR AGU

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 104 na 105 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA       

Nilizungumza huku taratibu nikifungua kichupa hichi. Nikaanza kushuhudi jinsi kinavyo pungua maji yake taratibu. Nikashuka na kuwakuta Cajoli wakinisubiri,
“Kinapungua kweli aisee”   
“Yaa hiyo itakuwa ni kazi, hapa virusi hao wanakimbilia sehemu yenye maji. Na hewa hii itasambaa Tanzania mzima”
“Vipi kwa wale wa Kenya, kwa maana hii hewa haina mipaka?”
Ukimya ukatawala kati yetu huku kila mmoja akifikiria jambo hilo.
“Ngoja tuangalie itakuwaje, ikionekana vipi nao wacha waje tu. Ni moja ya biashara, unacho kihitaji wewe Dany ni pesa na nguvu”
Cajoli alizungumza kwa kujiamini na kuzidi kunifanya nijione mshindi katika kisasi changu ambacho kwa sasa sihitaji kutumia nguvu sana kulipiza, ila ninatumia akili kuhakikisha maadui zangu wanaisoma namba.

ENDELEA
Tukarudi ndani, huku kila mmoja akiwa na matumaini makubwa sana kwa kili ambalo tumelifanya.
“Kazi niliyo ibakisha ni kutengeneza antbiotic itakayo waua virusi hao endapo serikali itajitaidi na kushindwa kuhimili ugonjwa”
“Ila wataweza kweli kutafuta dawa?”
“Hakuna hawatoweza kutafuta dawa pasipo mimi. Kilicho salia hivi sasa ni kiwa macho katika vyombo vya habari kutazama ushindi wetu”
 
Cajoli alizungumza na kuzidi kunipa matumaini kwa kile ambacho amekifanya. Cajoli hakuwa na muda wa kupoteza, akaanza kutengeneza dawa ya kuua virusi ambao kwa sasa tayari wemesha anza kusambaa kwa kasi kama anavyo seme. Hadi inafika saa kumi na moja alfajiri akawa amemaliza kila kitu.
“Inabidi upumzike sasa mke wangu”
“Honey siwezi kupumzika hadi kufahamu ni majibu gani ambayo yatapatikana kwenye kile nilicho kifanya”
“Basi twendeni sebleni, tukiwa tunasubiri kupata majibu kwenye Tv, mimi ninaendelea kutengeneza kifungua kinywa”
“Shem hapo umenena la maana”
 
Tukaelekea sebeleni huku kila mmoja akiwa na hamu na shauku ya kufhamu kilicho tokea. Shem Cajoli akawasha tv yake, mimi na Cajol tukakaa kwenye sofa moja na kuendelea kuangalia ni kitu gani ambacho kinaendelea kwa maelefu ya watan
Hadi inatimu saa moja kamili asubihi hakuna taarifa yoyote ambayo inahusiana na ugonjwa ambao ni mpya.
“Jamani tunyweni chai kwanza”
“Labda virusi wangu hawajafanya kazi?”
Cajoli alizungumza kwa sauti ya unyonge na ya kukata tamaa, nikamvuta taratibu na kumlaza kichwa chake kwenye bega langu huku nikimpapasa pasasa kwa kiganja cha mkono wangu kwenye mgongo wake.
 
“Ngoja tuangalie muda mbona upo”
“Cajoli kwa hali hiyo hato kunywa chai mpaka jambo lake lifanikiwe”
“Honey twende tukanywe chai”   
“Hapana Dany, sina amani kabisa sipendi kufanya kitu na sikifanikiwe mpenzi wangu. Hususani kitu nimekifanya kwa ajili yako”
“Natambua hilo mpenzi wangu ila ninakuomba tukanywe chai tafadhali”
“Ngoja ngoja……”
Cajoli alizungumza huku akichukua rimoti na kuongeza sauti kwenye tv. Sote na macho na masikio yetu yakaelekea kwenye Tv kuangalia na kusikiliza taarifa hii ya dharura katika kituo cha taiafa
 
“Watu kumi, wamegundulika na ugonjwa ambao hadi sasa haujapatiwa jina. Ugonjwa huu ambao hadi sasa hivi haujajulikana umesababishwa na nini, umewakuta watu hao wambao kwa sasa wapo hospitali ya Taifa . Tujiunge na muandhishi wetu kwa taarifa kamili”
Nikajikuta nikikaa vizuri kwenye sofa huku nikiitazama taarifa hii.
“Majira haya ya asubuhi wagonjwa wapato kumi wameweza kufikishwa kwenye hospitali yetu. Ugojwa huu ambao nnaweza kuufananisha na mapunye, kusema kweli kwa miaka yangu thelathini ya kazi sikuwahi kuuona. Hadi sasa madaktari wanaendelea kufanya uchunguzu kuweza kubaini kwamba ugonjwa huu umesababishwa na nini”
 
Daktari alizungumza kisha taarifa hii ikakatishwa. Tukajikuta wote tukishangilia kana kwamba hili ambalo tumeliona ni jambo zuri.
“Baby umefanikiwa”
Nilizungumza huku nikimkumbatia Cajoli kwa nguvu. Shem Cajoli naye akatukumbatia kwa pamoja kwa maana huu ni  ushindi mkubwa sana kwenye maisha yetu. Tukajikuta sote watatu tukikaa kwenye meza moja na kupata kifungua kinywa kilicho andaliwa na shemeji.
“Jamani mimi inabidi niende mjini nikafanye uchunguzi kuangalia ni kitu gani kinacho endelea”
“Sawa”
 
“Wajina kama itawezekana ninakuomba umnunulie shemeji yako nguo. Si unamuona hana nguo za kueleweka”
“Sawa hilo halina shida kabisa”
“Shemji ikiwezekana ukiona wagonjwa huko mjini wewe wapige picha tuje kuwaona”
“Hilo hata usinge lizungumza mimi ningelifanya. Nina kamera yangu, nitarekodi matukio yote. Nitakwenda hospitali karibia zote za hapa Tanga mjini, ili mradi nijionee watu walivyo kuwa”
“Ila jamani tunashangilia kama mazuri”
“Mmm baby huu ndio mwanzo wa kulipiza kisasa. Hapa akili ndio inahiyajika. Sijui useme uende kutumia silaha utajikuta unaingia kwenye matatizo makubwa sana”
 
“Kweli mke wangu your genius”
Shem Cajoli akamaliza kupata kifungua kinywa, akaelekea chumbani kwake akajiandaa, hakuchukua muda mwingi akatoka akiwa amejiremba sana.
“Ehee shem umejiremba kama unakwenda harusini”
“Weee kwa staili hii hakuna ambaye anaweza kunigundua wala kunihisi kama mimi nipo nyuma ya mpango  wa huu wa hili gonjwa jipya”
“Kweli”
“Wajina hakikisha unakuja na make up za kumbadilisha sura bwana mkubwa”
“Usijali”
Shem Cajoli akatoka nje huku akiwa ameongozana na Cajoli ambaye anakwenda kufunga geti. Cajoli akarudi ndani, kwa haraka akanikumbatia na kuanz akuninyona midomo yangu.
“Siamini kama nimefanikiwa mume wangu”
 
“Sasa ninaanza kuona faida ya mimi kuwa na wewe”
“Real”
“Yeaa akili  yangu, mawazo yangu nikisha yapeleka katika utumiaji wa silha”
“Usijali mume wangu, nitahakikisha kwamba tunawaangusha maadui zako wote”
Taarifa nyingine ya habari inayo onyesha ongezeko la ugonjwa ambao kwa Tanzania ndio mara ya kwanza kuonekana, zikazidi kutawala kwenye kila televishion ya Tanzania. Hata mashirika makubwa kama BBC, SKY NEWS pamoja na CCN nayo yakaanza kutoa taarifa juu ya ungojwa huu. 
 
Kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo maelfu  walivyo zidi kuongezeka kwa kuugua.
“Ngoja niangalie meseji kwenye simu yangu”
Cajoli alizungumza huku akinyanyuka kwenye mapaja yangu, kwa maana muda wote alikuwa amelaza kichwa chake pajani. Akachukua simu yake kwenye meza ya chakula na kurudi nayo kwenye sofa.
“Wajina amenitumia picha Whatsapp”   
“Hembu zifungue”
Cajoli alaanza kufungua picha hizi ambazo nizaidi ya ishirini.
“Mungu wangu!!”
Cajoli alijikuta akishangaa, jinsi wananchi wanavyo pata shida juu ya ugonjwa huu. Mahospitalini wagonjwa wamejaa, si madaktari wala manesi nao wanaugua ugonjwa huu.
“Dany hembu angalia jamani”
 
“Unawaonea huruma”
“Ahaa jamaani roho inaniuma, sikudhani kama wale virusi wataathiri watu wengi kiasi hichi”
“Ndio hivyo honey, acha serikali ichanganyikiwe”
Katika picha alizo zituma shem Cajoli, nikaona picha ya baadhi ya askariwa NSS akiwemo mkuu wao Babyanka naye akiwa ni miongoni mwa wagonjwa walio toka mapunye uso mzima.
“Dany unaonaje ukatafuta njia ya kuonana na raisi”
“Ili?”
“Muweze kuyamaliza haya, roho inaniuma kuona hadi watoto wadogo wakiwa katika hali mbaya kama hii”
“Cajoli acha serikali itutafute, hadi jioni tutaangalia imekuwaje”
Cajoli  hakuwa na kipingamizi chochote katika nililo liamua. Majira ya saa tisa alasiri, wagonjwa ambao hadi sasa wameathirika wamefika idadi zaidi ya watu milioni ishirini.
“Dany kusema  kweli ninazidi kuogopa kila ninapo iona hii taarifa”
 
“Cajoli una niamini?”
“Ndio ninakuamini”
“Hili  swala niachie mimi usiogope chochote, kwa kuwa hadi sasa hivi hakuna mgonjwa hata mmoja ambaye amefariki basi kuwa na amani moyoni mwako”
“Sawa”
Majira ya saa kumi na moja jioni shem Cajoli akarudi akiwa na begi kubwa la nguo pamoja na begi jengine la mgongoni.
“Jamani, sijapata ona, kwa hili pigo seriikali isipo fanya maamuzi magumu kwa ajili ya huu ugonjwa basi hadi kesho nchiwatu watakuwa na mapunye mwili mzima”
Shem Cajoli alizungumza huku akikaa kwenye sofa.
“Rafiki yako hapa anaogopa”    
 
“Anaogopa nini?”
“Anawaonea huruma wagonjwa?”
“Weee, shosti kwa hili dili mimi ninakuambia tunakwenda kuwa matajiri”
“Ila jamani tuangalie utu, watu wanateseka”
“Honey ila hayo si mateso ya muda mchache”
“Sawa, ila mwenzenu roho yangu inaniuma sana”
Taarifa nyingine ya habari ikatufanya kukatisha mazungumzo yetu na kuitazama.
“Uchunguzi ambao tumeufanya hadi sasa hivi kwa kusaidia na madaktari kutoka nchini Marekani, tumegundua kwamba ugonjwa huu unasababishwa na maji. Tunawaomba ambao bado hawajakubwa na ugonjwa huu. Wahakikishe kwamba maji wanayo kunywa wanayechemsha kuhakikisha vilemelea vya ungonjwa huu vinakufa”
Waziri wa afya alizungumza na waandishi wa habari ambao wamemzunguka. 
 
“Bado wamefeli”
Cajoli alizungumza na kutufanya tumtazame.
“Una maanisha nini wajina?”   
“Hawawezi kuwaua virusi kwa kuchemsha maji, kwa maana virusi wangu hawafi kwa mji ya moto”
“Ngoja tuangalie”
“Ila nina wazo moja”
“Wazo gani?”
“Nahitaji tujichome sindano za dawa ya hawa virusi hata tukiwa nje huko, kuna kupitiwa mtu unaweza ukanywa maji na kujikuta ukipata ugonjwa”
 
“Sawa”
“Shem nimekuja na make up ambazo ninahitaji kukufanyia kuibadilisha sura yako, hata ukikutana na watu ambao wanakujua washindwe kukufahamu kabisa”
“Kweli, hilo mume wangu unaweza kulifanya hata ukutane na raisi”
“Akutane na raisi!!?”
“Ndio nimemuambia kwamba akutane na raisi ili kumshirikisha juu ya ugunduzi wa hii dawa yake”
“Huoni kama inaweza kuwa hatari kwa shemeji?”
“Hapana hiyo ndio itakuwa safari moja wapo ya yeye kuwa kulipiza kisasi”
“Hilo analo lizungumza Cajoli ni swala muhimu sana. Shem tuanza hiyo kazi haraka iwezekanavyo.”
“Sawa”
 
Cajoli akaelekea maabara akarudi akwia na chupa yenye dawa ambayo inaweza kutusaidi kujikinga na maambukizi ya gonjwa hili jipya. Akaanza kumchoma sindano shem Cajoli kisha, akanichoma na mimi, kisha na mimi nikachukua jukumu la kumchoma sindano hii aliyo weka dawa. Shem Cajoli akaanza kazi ya kunifanya mautundu ya sura kwa ajili ya kunibadilisha. Zoezi la shem Cajoli likachukua zaidi ya masaa mwaili.
“Hembu jiangalie kwenye kioo”
Shem Cajoli akanikabidhi kioo, nikajitazama kusema kweli sura yangu imebadilika kwa kiasi kikubwa sana. Hotuba ya raisi K2 ikatufanya kuacha kila tunacho kifanya na kuitazama.
 
“Habari za muda huu Wananchi. Kila mmoja ninaamini atakuwa anafahamu ugonjwa huu ambao umeibuka nchini mwetu. Wanasiasa mbali mbali kutoka duniani, wamajaribu kuhakikisha kwamba wanafumbua dawa ya kuweza kuuzuia ila hadi wakati huu hakuna ambaye ameweza kutupatia jawabu la kuweleweka.
Nikiwa raisi nimeamua kufungua milango kwa madaktari wa tiba asili nao kujaribu kuliokoa taifa kwa maana ni mamilioni ya watanzania wanaugua gonjwa hili la hatari”
“BINGO”
Cajoli alizungumza kwa haraka huku akinyanyuka kwa kasi katika sofa na kunikumbatia kwa furaha kwa maana mafanikio ya mpango wetu yanazidi kufanikiwa kadri muda unavyo zidi kwenda.

AISIIIII……….U KILL ME 105                                                                                               

 “Wameingia choo cha kike”       
Nilizungumza huku nikiwa nimejawa na furaha sana moyoni mwangu.
“Honey kuna wao ambalo nimelipata”   
“Zungumza”
 
“Kwa kuwa serikali imesha amua kuchukua hadi madaktari wa tiba hasili, ili kwenda kulishuhulikia hili jambo, ninakuomba uwezekutafuta namba ya simu ya raisi ili uzungumze naye moja kwa moj”
“Namba ya raisi!!?”
Shem Cajoli aliuliza huku macho yakimtoka.
“Ndio ninahitaji azungumze na raisi. Moja amuhakikishie kwamba ana dawa ambayo anaweza kutibu ugonjwa huu. Pili aingie makubaliano ya kulipwa kiasi ambacho yeye atakihitaji”
Nikaka kimya kwa sekunde kadhaa huku nikifikiria jambo alilo lizungumza Cajoli.
“Inabidi nibadilishe sauti yangu”   
“Kwa nini shem?”
“Sauti yangu K2 anaifahamu vizuri sana, alisha wahi kuwa bosi wangu na nimedumu naye kwenye kazi hiyo kwa kipindi fulani hivi”
 
“Hilo la kubadilisha sauti honey ni jambo la muhimu sana. Kama itawezekana hii ndio itakuwa nafasi ya pekee kwetu kuwa mabilionea”
“Itawezekana, inabidi kuwasiliana na NSS, baada ya hapo wao ndio wanaweza kuniunganisha na raisi moja kwa moja”
“Kama inawezekana basi fanya hivyo mume wangu”
“Ile computer kule chini ina internert?”
“Ndio inayo”
“Twendeni”
Tukaelekea katika chumba kilichopo chini ya ardhi. Shem Cajoli akawasha computer. Nikaingia kwenye mtando wa NSS, nikaingiza namba za siri ambazo ni kupitia akaunti ya K2. Nikachukua namba ya sekretari katika kitengo cha mawasiliano. Nikamuomba shem Cajoli simu yake na kuingiza namba hizo na kumpigia sekretari.
 
“Tina kutoka NSS”
“Unazungumza na dokta Lameck, ninahitaji kuzungumza na raisi”
“Dokta Lameck unahitaji nini, hadi uzungumze na raisi?”
“Ametoa ofa kwa madaktari wa dawa za asili, ninahitaji kuzungumza naye moja kwa moja”
“Subiri”
Sikukata simu nikawa ninasikilizia anacho kizungumza sekretari huyu.
“Dokta Lameck raisi yupo hewani unaweza kuzungumza sasa”
“Habari yako muheshimiwa raisi”
“Salama ninazungumza na nani?”
“Ninaitwa dokta Lameck David, nipo mkoa wa Tanga, nimeona huu ungojwa pamojana hutoba yako. Tafadhali kama ulivyo zungumza ninaomba nafasi ya kuweza kutibu ugonjwa huu kupitia dawa yangu”
 
“Nita amni dawa yako inaweza kutibu?”
“Nina amini dawa zangu zinaweza kusaidia. Ila nitaifanya kazi hii kwa masharti mawili”
“Masharti gani?”
“Kwanza ninahitaji kuonana na wewe uso kwa uso, na uniandalie mgonjwa mmoja aliye athirika na huu ogonjwa, nimpatie dawa. Pili mgonjwa akipona, ili kulihudimia taifa nitahitaji serikali inilipe zaidi ya dola za Kimarekani Bilioni kumi, la sivyo sinto ifanya kazi hiyo”
 
Nikamshikia K2 akishusha pumzi nyingi, akakaa kimya kwa sekunde kadhaa nina amini anafikiria hili sharti langu la mwisho.
“Nimekubalina kuonana na wewe, na pia nimekubali kutoa kiasi hicho cha pesa. Sema ni saa ngapi tuweze kuonana hata kama ni usiku huu kazi hiyo iweze kuanza kufanyika mara moja”
“Muheshimiwa raisi kutokana nipo mkoa wa Tanga, ni vyema ukanitumia ndege mimi na timu yangu wa watu wawili. Wewe ndio utatuambia ni wapi tuweze kukuta na wewe”
 
“Ok nenda uwanja wa ndege hapo Tanga wewe na timu, mutachukuliwa katika ndege na moja kwa moja mutaeletwa hadi  ikulu”
“Sawa muheshimiwa raisi”
Nikakata simu na kuwageukia Cajoli.
“Tujiandae kwa safari, tunaelekea Dar es Salaam sasa hivi”
“Sawa”
“Ila honey huu kweli sio mtego?”
“Mtego kivipi?”
“Wanaweza kutuhisi kwamba sisi ndio tumetengeneza hawa virusi”
“Hakuna ambaye anaweza kutushuku katika hilo, kwa maana akili za viongozi wengi ni juu ya hili gonjwa”
“Wajina usiwe na shaka, endapo watatubadilika nchi hii tutaigeuza juu chini, chini juu”
“Umeona eheee”
“Yaa tujiamini na wala tusiwe na wasiwasi katika hili”
“Okay”
 
Tukaanza maandalizi ya haraka kuelekea jijini Dar es Salaam. Kichupa chenye dawa ya kutibu ugonjwa nikakiweka kwenye brufcase maalumu ambayo sio rahisi kwa kichupa hichi ambacho ni muhimu sana kuweza kuvunjika. Nikavaa suti nyeusi ambayo ameniletea shem Cajoli. Kila mtu alipo hakikisha kwamba tumemaliza kujiandaa. Nikabeba brufcase na kueleka kwenye gari.
“Dany utaendesha”
“Honey jina la Dany life kwa sasa, muzoee kuniita Dokta Lameck David”
“Sawa dokta tumekuelewa”   
Tukaingia kwenye gari, shem Cajoli akafungua geti, nikatoa gari nje, akafunga geti na kuingia kwenye gari na kuondoka hapa nyumbani kwake. Kutoka Kange hadi ulipo uwanje wa ndege ni muda wa dakika tano. Tukafika kwenye uwanja  wa ndege na kupokelewa na mkuu wa wilaya.
 
“Dokta Lameck David”
“Yes habari yako muheshimiwa?”
“Salama, nimepokea taarifa ya ujio wenu”
“Ndio, nilizungumza na muheshimiwa raisi muda mchache ulio pita. Maandalizi ya ndege yapo tayari”
“Shukrani muheshimiwa”
Sikuona haja ya kuwatambulisha Cajoli kwa mkuu wa wilaya. Kwa jinsi ya sura yangu ilivyo badilishwa na shem Cajoli pamoja na miwani hii niliyo ivaa ni ngumu sana kwa mtu kuweza kunitambua kwamba mimi ni gaidi ambaye wananitafuta kila kukicha. Tukaingia kwenye ndege ndogo ya abiria watano. Safari ikaanza taratibu kuelekea jijini Dar es Salaam.
“Siamini kama hili swala limekwenda kama tulivyo panga”
Cajoli alizungumza kwa sauti ya chini sana ambayo sisi peke yetu ndio tumemsikia, hata marubani waliopo mbele nina imani kwamba hawajasikia kitu chochote kile.
“Mungu ni mwema”
“Ila jamani tuwe makini”
“Usijali shemji kila jambo mutaniachia mimi tukifika ikulu, nyinyi wala musizungumze kitu cha aina yoyote”
“Sawa dokta”
 
Ndani ya dakika arobaini na tano, tukafika jijini Dar es Salaam. Jiji ambalo niliondoka miaka kadhaa nyuma kwa kujificha ficha. Uwanja wa ndege tukapolewa na msemaji wa ikulu  aliye jitambulisha mbele yetu kwa jina la Bwana Omary Saidi. Tukaingia kwenye helicopter ya ikulu iluyo kuja kutuchukua eneo hili kwa ajili ya kuepuka foleni pamoja. Taratibu helicopter ikashuka kwenye uwanja maalumu iliyopo hapa ikulu. Tukashuka kwenye helicopter, tukakaguliwa na walinzi wa hapa ikulu, kisha moja kwa moja tukapelekwa sehemu alipo raisi.
Tukaingia kwneye seble moja kubwa iliyo hapa ikulu, ambayo si mara yangu ya kwanza kuingia hapa. Kitu kilicho badilishwa kwenye hii seble ni thamani za ndani pamoja na rangi za ukutani tu.
“Muheshimiwa raisi atafika hapa ndani ya dakika tano kuna kikao ana kimalizia”
“Sawa”
 
“Labda muandaliwe kinywaji gani?”
“Hapana tupo vizuri”
Kama nilivyo walezea Cajoli, maswali yote wakaniachia mimi mwenyewe. Kweli baada ya dakika tano K2 na walinzi wake wawili wa kike wakafika ndani ya seble. Kwa heshima ikatubidi kusimama na kusalimiana naye. Kitendo cha kumpa mkono K2, hasira ikaanza kunipanda taratibu, mawazo ya mauaju ya familia yangu yakaanza kunijaa akilini mwangu.
‘Oohoo Mungu nisaidie’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama K2 usoni, huku nikiwa nimeachia tabasamu pana ila hasira ndio inafurukuta ndani ya moyo wangu.
 
“Karibuni”
“Asante muheshimiwa raisi. Ninaitwa dokta Lameck David. Huyu ni Cajol Lameck na huyu ni Cajoli Rajah”
“Ohoo ninashukuru kuwafahamu, huyu ni mke wako?”
“Ndio ni mke wangu na huyu ni shemeji yangu”
Sauti ambayo ninazungumza nayo hapa ni tofauti kabisa na sauti yangu ya kawaida ambayo K2 anaifahamu, cha kumshukuru Mungu nina uwezo mkubwa sana kwa kubadilisha sauti yangu na hata kipindi nilipo kuwa nimejibadilisha na kuwa msichana basi hakuweza kunifahamu kabisa.
 
“Karibuni sana wapendwa, hapa ndio ikulu "
“Asante muheshimiwa”
“Tunaweza kuzungumza kikao, sijui tuzungumzie hapa au ofisini kwangu”
“Popote tu muheshimiwa, kilicho tuleta hapa ni kuhakikisha kwamba dawa ambayo tumeitengeneza basi inaweza kwenda kukabiliana na ugonjwa huu mpya unao endelea kumiza mamilioni "
“Kweli hilo ndio jambo nilio penda kulisikia na ndio maana hata ulipo wasiliana nami niliweza kujawa na imani kubwa sana juu yako”
 
“Sawa muheshimiwa raisi, nitahakikisha kwamba hakuna jambo ambalo linakwenda kuharibika. Kikubwa ni kuanza kufanya majaribio ya haraka kwa mgonjwa ambaye ameathirika na huo ugonjwa”
“Mgonjwa yupo, na anasubiri matibabu yenu”
“Tunakuomba tumuone”
“Sawa”
Tukaondoka na raisi na kuelekea kwenye hospitali iliyomo humu ndani ya Ikulu. Tukaingia kwenye moja ya chumba, tukamkuta mtoto wa K2 akiwa hoi bin taabani.
 
“Huyu ni mwangu, huu ugonjwa ulimpata masaa matatu nyuma. Ujio wenu ninaimani mutamsaidia, hapa ninazunguma kama mama na si raisi. Dokta Lameck ninakuomba na timu yako kama kuna uwezekano wa mwangu kupona nitawaongezea mara mbili ya kiasi cha pesa ambacho mulikihitaji kutoka katika serikali yangu”
K2 alizungumza huku machozi yakimlenga lenga, nikatzamana na Cajoli, mwili mzima ukanisisimka baada ya kusikia maneno ya K2, hasira ya mauji ya mwangu pamoja na familia yangu ikaanza kunipanda mawazo ya kumuu mtoto wa K2 ikaanza kunijia kichwani mwangu taratibu na nikadhamiria kuhakikisha kweli leo ninaondoa maisha ya mtoto wa K2.

==>>ITAENDELEA KESHO

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 09

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588 
ILIPOISHIA   

“Tunaweza kurudisha?”
Niliwahimiza wachazaji wezangu huku nikipotea kitambaa cha kuongoza timu kutoka kwa golikipa. Mpira ukaanza kwa kasi ya ajabu huku wachezaji wezangu wakijitahidi kwa hali mali kuhakikisha kwamba tunakomboa hili goli moja lililo sali, nikafanikiwa kupata mpira huku mbele yangu kukiwa kumebakia mabeki wawili, mmoja ndio yule ambaye kocha aliniambia niwe naye makini. Mabeki hawa wawili wakanifwata kwa kasi sana, nikiwa katika harakati za kuwapita, kutokana na uwefu wa vimo vyao, nikahisi kisi kitu kizito kikinipiga kichwani mwangu na mzima mzima nikaanguka chini na giza nene taratibu likaanza kupoteza nuru ninayo iona kwenye mboni za macho yangu na baada ya sekunde kadhaa nikapoteza kumbukumbu.

ENDELEA
Vilio vya sauti ya Camila, vikaanza kuchukua nafasi kwenye ufahamu wangu wa akili, nikajaribu kuyafumbua macho yangu, ila sikuweza kuwaona watu vizuri, ila niliweza kumuona Camila pamoja na watu walio valia makoti meupe.
“Inabidi usubirie hapa, sisi tunaingia ndani”
Niliisikia sauti ya kiume, kisha nikaona muelekeo wa kitanda nilicho lalia ukibadilika, nikawaona madaktri wakisaidia kuniwe juu ya kitanda kingine, taa kubwa zilizo washwa, zikazidi kuyafanya macho yangu kushindwa kabisa kuweza kuona na kungundua ni kitu gani ambacho kinaendelea. Hali ya kusikia sauti za watu nayo ikaanza kupungua na mwishowe sikuweza kusikia kitu cha aina yoyote.
                                                                                                                 ***
    Nikafumbua macho yangu na kumuona Ethan rafiki yangu akiwa amesimama pembeni ya kitanda nilicho kilalia.
“Karibu tena duniani”
“Mbona upo hapa?”
Nilizungumza huku nikiandelea kutazama mazingira ya eneo hili.
“Nimekuja kukujulia hali kwani ni vibaya?”
“Hapaana, sasa hivi ni saa ngapi?”
“Saa nane usiku”
“Duu”
Nilizungumza huku nikihisi maumivu makali sana ya kichwa changu, nikajishika na kujikuta kichwa kikiwa kimezungushiwa bandeji kubwa.
“Kwa nini hukunisaidia, nilipo kuwa nina pata hii ajali?”
“Nilikuwa mbali”
 
Mlango ukafunguliwa na akaingia nesi mmoja, akanisogelea hapa kitandani pasipo kumuona Ethan.
“Unajisikiaje Ethan?”
“Kidogo nafuu japo kichwa kina nigonga sana”
“Pole sana mtoto mzuri utapona sawa”
“Sawa”
“Ugua pole na asubuhi daktari atakuja kukuona”
“Sawa nesi”
Nesi huyu akatoka na kuniacha na Ethan.
“Siku nyingine unatakiwa kuwa makini sana kwenye mpira”
“Ila uliniambia umenipa nguvi, la sijaona matumizi yake?”
“Kwa sasa nimekuambia kwamba muda wake bado. Ukifika wewe mwenyewe utaweza kuona ni kiasi gani cha nguvu na mamlaka ambayo unayo ila kwa sasa usiwe na haraka”
“Sawa”
 
Tukazungumza mambo mengi sana na Ethan, hadi majira ya asubuhi, akaondoka na kuniahidi kwamba atarudi mchana. Madaktari wakaingia ndani humu na kunijulia hali, wakanichoma sindano ya kupunguza maumivu na kunipatia vidonge. Nikawajaribu kuwadadisi ili niweze kutambu ni tatizo gani ambalo linanisumbua, ila hapakuwa na hata mmoja aliye weza kuniweka wazi na wakaniomba niweze kumsubiria wazazi wangu. 
Ilipo timu saa moja kamili bibi Jane Klopp na mume wake mzee Klopp wakafika hospigtalini hapa.
“Unaendeleaje?”
Mzee Klopp aliniuliza huku akionekana kuwa na wasiwasi nami.
 
“Naendelea vizuri tu baba”
“Pole sana mwanangu”
“Asante baba”
“Madaktari wamekuambia kwamba una sumbuliwa na nini?”
Bi Jane Klopp aliniuliza kwa sauti ya upole na iliyo jaa masikitiko.
“Hawajanieleza, jana niligongana na mchezaji mwenzangu na nikapoteza fahamu”
“Pole sana”
Daktari akaingia na akamuomba mzee waweze kwenda kuzungumza ofisini na hapa chumbani nikabaki na bibi Jane Klopp.
“Ethan kuna tetesi nimezisikia ila nahitaji kuzi dhibitisha kwako”
 
“Tetesi zipi?”
“Nilisikia kwamba jana mjukuu wa raisi alitaka kujiua na wewe ukamuokoa na yote ni kutokana ana kupenda?”
Nikastuka hadi bibi Jane Klopp akalitambua hilo.
“Sizungumzi hivyo kwa ajili ya kukuhukumu, hapana jambo la upendo ni la kila mmoja, si mkubwa na wala si mtoto. Wewe kupendwa si jambo baya”
“Ni kweli mama Camila alini……”
Kabla ya kuzungumza tukashuhudia mlango ukifunguliwa, akaingia mama Camila pamoja na mume wake. Bibi Jane Klopp akanyanyuka kitandanina kuwapokea kwa heshima sana, nikawasalimia wazazi wa Camila huku mama Camila akinikabidhi uwa zuri kubwa.
 
“Unaendeleaje?”
“Ninaendelea kidogo nafuu”
“Pole sana, jana kwa kweli tulipata mstuko mkubwa sana baada ya kuona ajali ile uwanjani”
“Naendelea vizuri”
“Jane huyu ni kijana wako?”
“Ndio nikijana wangu”
“Nina furaha sana kusika hivyo kwa kweli. Mzee Klopp akaingia ndani humu huku akiwa ameongozana na daktari. Wakasalimiana na wazazi wa Camila, daktari akanieleza kwamba nimepata ruhusa ya kuelekea nyumbani na atakuwa akija nyumbani kunitembelea.
 
“Kwa hiyo sinto rudi shule?”
“Hapana, inabidi upate muda mzuri wa kupumzika”
“Ila dokta hali yake si inaendelea vizuri”
“Yaa itakuwa vizuri maelekezo yote nimempatia mzee hapa”
“Sawa”
Taratibu za kutoka hapa hospitalini zikamalizika, tukaagana na wazazi wa Camila huku wakiniahidi kwamba jioni ya leo mtoto wao atakuja nyumbani kwetu kuniona. Tukaingia kwenye gari na safari ya kuelekea nyumbani ikaanza.
“Ethan kupata ajali kama hizi kwenye mpira ni jambo la kawaida sana, isije ikatoke ukachukia mpira”
Mzee Klopp alizungmza huku akinitazama usoni mwangu.
“Siwezi baba”
“Hivi unajua mzee wako naye zamani alikuwa ni mchezaji mzuri”
“Wee”
“Yaa alikuwa anachezea Dotmund”
“Tukifika nyumbani nitakuonyesha picha zangu kipindi nilipo kuwa mchezaji”
“Sawa”
 
Tukafika nyumbani, nikamkuta dada Mery sebleni, akanipokea kwa furaha tofauti na siku zote. Tukapata chakula cha mchana huku dada Mery akiniomba msamaha kwa yale yote ambayo yaliweza kutokea kwa siku za hapo nyuma.  Furaha na amani ikarudi katikati yetu. Mzee Klopp akaanza kunitembeza kwenye chumba chake ambacho kina picha na vifaa vyake vya zamani akiwa mchezaji toka alipo kuwa mtoto hadi umri ambao alimua kustafu mpira.
“Unataka kuniambia huyu alikuwa ni wewe?”
Nilizungumza huku nikiwa nimeshika picha moja, ikimuonyesha mzee Klopp akiwa kijana mdogo sana.
 
“Yaa ni mimi, nilikuwa ninacheza namba kama unayo cheza wewe, ila kabla ya hapo nilikuwa nacheza kama beki, ila nilipo jigundua kwamba nina uwezo wa kufunga, kupiga chenga na kumiliki mpira kwa muda mrefu basi niliweza kujibadilisha mfumo wangu wa uchezaji na kuwa mfungaji, hadi nina stafu ndani ya kablu ya Dodtmud nimefunga magoli mia tatu na tano na historia yangu haijavunjwa na mtu wa aina yoyote hadi sasa hivi”
“Duuu, ina maana huku hama timu?”
“Yaa nilianza kwenye timu hiyo nikiwa mtoto na hadi nikastafu. Nikawa kocha wa timu hiyo kwa miaka saba baada ya hapo niliamua kustafu na kuendelea na mambo yangu ya biashara”
 
“Safi sana baba”
Mzee Klopp akanikabidhi tisheti yake moja”
“Hii tisheti itunze ukikua utaivaa. Hakikisha kwamba jina la baba yako huliangushi chini”
“Nakuahidi nitacheza mpira kwa jihudi zangu zote”
“Nafurahi kusika hivyo”
Tukaendelea kutembea maeneo mbali ya jumba hili, hadi jioni, tukarudi nyumbani na tukamkuta Camila akiwa na mama yake pamoja na bibi Jane Klopp. Camila alipo niona hakujali kuna watu wazima, alicho kifanya ni kunikimbilia na kunikumbatia kwa nguvu. Mzee Klopp akanikonyeza kisha akaondoka.
 
“Unaendeleaje mpenzi wangu?”
“Kidogo ninajisikia nafuu”
“Vipi madaktari wamesema kwamba umeumia sana?”
“Hapana, nahisi ni mtikisiko tu”
“Kichwa hakiumi?”
“Hakiumi nilikunywa dawa asubuhi”
“Pole mwanya, yaani leo siku nzima nimeshindwa kusoma. Nilipoteza furaha kabisa mpenzi wangu”
Camila alizungumza huku tukielekea kwenye moja ya bustan yenye majani mazuri.
“Usijali vipi timu yetu ilifanikiwa kusonga mbele?”
Camila akatingisha kichwa kwa masikitiko akimaanisha kwamba timu yetu iliweza kufungwa na kutolewa kwenye mashindano. Habari hii kusema kweli ikanisononesha moyo wangu.
 
“Tulifungwa goli ngapi?”
“Tano mbili”
“Mmmmm”
“Yaani baada ya kuanguka wewe, timu nzima nasikia ilichanganyikiwa, wachezaji wakapoteana uwanjani, yaani nasikia kipindi cha pili kilikuwa kibaya sana kwetu”
“Duu”
“Yaani inaonyesha dhairi wewe ndio roho ya timu”
“Mungu akijalia mwakani tutaendelea”
“Ucheze vizuri ili usije ukapata ajali kama hii”
“Usijali mpenzi wangu”
Tukaa chini pembezoni mwa bwawa lililopo katikati ya bustani hii, taratibu Camila akanilalia begani mwangu na akaanza kuimba nyimbo moja nzuri ambayo kusema kweli ikaniburudisha moyoni mwangu.
                                                                                                                          ***
    Kadri siku zilivyo zidi kusonga mbele ndivyo jinsi penzi langu mimi na Camila lilizidi kupamba moto, si shule tu, hata mitaani penzi letu ziliweza kuzungumziwa na watu wengi. Wapo baadhi waliponda mahusiano yetu wakidai sisi bado ni watoto wadogo sana na wapo ambao waliweza kutupongeza na kutuombea mema kwenye mahusiano yetu. Muhula wa mwisho, Camila akashika nafasi ya kwanza darasani huku mimi nikishika nafasi ya kumi jambo ambalo kidogo liliniuma. Sikusita kumpongeza mpenzi wangu kwa juhudi alizo ifanya.
“Tukiingia darasa la pili hakikisha kwamba unashindana nami kwenye masomo sawa”
 
“Sawa mpenzi wangu”
“Nataka siku na wewe ushike nafasi ya kwanza ili watu waweze kujua kwamba hata nyinyi watu weusi munaweza kuwazidi wazungu akili na kinato tutofautisha hapa ni rangi za miili yetu tu”
Maneno ya Camila kusema kweli yakanihimiza sana na kunipa moyo na hamasa ya kupania nikirudi mwakani ni lazima nishindana naye kwenye masomo yetu.
“Nashukuru mpenzi wangu kusikia hivyo”
“Sawa kesho nitakuja kwenu tushinde siku nzima”
“Sawa”
 
Camila akaingia kwenye gari lililo kuja kumchukua, kisha na mimi nikaingia kwenye gari latu na safari ya kurudi nyumbani ikaanza. Katika kipindi chote cha likizo mzee Klopp alinifundisha mbinu nyingi sana katika upande wa uchezaji wa mpira.
“Kesho tutaelekea kwenye kituo cha timu ya Dotmud kwa ajiki ya kuanza mazoezi na watoto wezako. Ukifanya vizuri utasajiliwa haraka sana, nina imani hoto niangusha”
“Siwezi kukuangusha baba”
 
Nilizungumza huku nikiwa nimejawa na furaha sana moyoni mwangu kwa maana hii ni habari nzuri kwangu na kipaji changu kwa ujumla.Kama alivyo niahidi mzee Klopp siku iliyo fwata alfajiri na mapema tukaingia kwenye gari na kuelekea kwenye makao makuu ya timu hiyo. Wachezaji wakubwa na makocha wote wakaonekana kumpa heshima kubwa sana.
“Ethan”
“Ndio baba”
“Ukijitahidi kwenye maisha yako, hii ndio heshima ambayo utaipata, hapa uwanjani nimeacha heshima yangu na kuna sanamu lililo chongeshwa na kufanana na mimi, lipo nje ya uwanja pale, nitakuonyesha tukitoka”
 
“Lina maanisha nini hilo sanamu?”
“Ni heshima, hakikisha kwamba una vunja rekodi yangu na una endeleza uhodari wa jina langu”
“Sawa baba”
Tukaingia kwenye moja ya ofisi, na kuwakuta wazee wawili ambao wote wakamsalimia mzee Klopp kwa heshima, nikawasalimia wazee hawa kwa heshima.
“Nimeleta mkombozi mpya wa timu, sasa jukumu liwe kwenu sasa kumuendeleza”
“Anaweza kweli?”
“Mimi sio muongeaji sana, si vijana wapo uwanjani, twendeni tukamjaribu”
 
Tukaondoka ofisi humu na kuelekea kwenye viwanja vya mazoezi, nikakuta timu ya watu wakubwa wakicheza katika kiwanja chao, huku timu ya vijana wenye umri wa kati wakicheza kwenye uwanja wao huku kiwanja cha tatu wakicheza wachezaji wenye umri kama wangu wa miaka saba hivi. Nikawatazama watoto hao, nikaona wanacheza kawaida.
“Baba ninaweza kujiunga na vijana hao wakubwa wakubwa?”
Kauli yangu ikawafanya wazee hawa kunitazama kwa mshangao.
 
“Kijana ana omba fursa nawasikiliza nyinyi”
“Twende tukakuombee kwa kocha wa vijana”
Tukafika kwa kocha wa vijana, kocha alipo elezwa kwamba nina hitaji kucheza kwenye timu yake, naye akaonekana kushangaa kidogo.
“Ila anapaswa akaanze kule chini”
“Nina omba nikishindwa basi nina toka nitaenda kucheza kule chini”
 
Nilizungumza kwa kujiamini. Kocha kanitazmaa kwa mshangao, kisha kwa ishara akaniomba nivue suruali yangu ili niweze kupewa jezi ya mazoezi. Kutokana nilisha jiandaa kwenye swala la viatu, sikuwa na haja ya kuvua viatu. Nikavaa bukta inayo nitosha, pamoja na tisheti. Mwalimu akagawa vikosi viwili huku wezangu ambao nimechaguliwa nao kwenye kikosi ninacho chezea, walianza kulalamika kwamba mimi ni mdogo sana na wengine wakaenda mbali sana na kudai kwamba ninatakiwa kujiunga na watoto wezangu. 

Kocha msaidizi, akaanzisha mechi hii. Wachezaji wezangu wakawa wazito sana katika kunipatia mipira huku wengi wao wakionekana kuto kuni amini. Ikanilazimu nicheze kwa kujitegemea, nikaanza kukaba, nikafanikiwa kupata mpira, kasi na nguvu alizo barikiwa zikaniwezesha kuweza kuwapiga chenga wachezaji wa kiosic ha pili, na nilipo fika karibu na goli, nikapiga shuti moja zito, kwa bahati mbaya likagonga mwamba hadi mwamba ukatingishika na kumfanya kipa kunikodolea macho. Wachezaji wote wakabaki wakishangaa kwa uwezo wangu nilio uonyesha, nikamtazama mzee Klopp nikamuona akiniyooshea dole gumba. 
 
Tukaendelea kucheza mpira, wachezaji wa kikosi changu wakaanza kuniamini, na kunipatia pasi, katika mashuti sita niliyo piga golini, manne nikafunga na mawili yakagonga mwamba. Wachezaji wa timu kubwa, nikaanza kuwaona mmoja baada ya mwengine akijongea kwenye kiwanja chetu kutazama uwezo wangu.
Kitu kingine nilicho barikiwa, ninaweza kupiga chenga kiasi kwamba wachezaji wengine wanaogopa kunikabili kwani ninaweza kuwadhalilisha chenga zangu. Hadi mapumziko, nimefunga goli tano.
 
“Ethan”
Mzee Klopp aliniita, nikatoka uwanjani na kusimama mbele yao.
“Inatosha mwanangu, sasa wazee munaweza kuzungumza biashara hapa hapa, nimewaletea Klopp Jr ambaye atarudisha heshima ya timu na vikombe sasa vitaanza kurudi kwenye club yetu siku si nyingi. Wazee hawa wakabaki midomo wazi huku kila mmoja akiwa hana usemi.
“Huyu kijana ni nani?”
Kocha wa timu kubwa aliuliza huku akinitazama.
“Ninaitwa Ethan Klopp”
“Klopp ni mwanao?”
“Ndio”
“Nimeona kitu kikubwa ndani yake, kitu ambacho kusema kweli sinto hitaji kukipoteza”
“Bora na wewe umeona, wezako hapa wana shangaa. Sasa tuzungumzeni biashara, munamsajili au niondoke na kijana wangu akawe zao la timu nyingine”
“Weee tukikataa nahisi tutakuwa wendawazimu, mtu unaona kwamba tumeletewa Mess alafu tumkatae. Klopp mimi nipo tayari mkusajili”
 
“Kiwango cha chini ni paund milioni kumi kama munapesa tuingie mezani, ila kama hamuna kesho nina panda naye ndege ninaelekea naye Hispani na huko munafahamu kuna mapapa wakubwa R. Madrid na Bacelona”
“Klopp kumbuka wewe hapa una heshima, usitufanyie hivyo bwana?”
“Nina heshima, ila huku anakwenda kuvunja rekodi na heshima yangu, siwezi kumuachia bure kwa maana ni zao langu hili na si lenu”
Mzee Klopp aliendelea kushikilia msimamo wake wa kuhitaji kuniuza katika timu hii jambo ambalo ni jema sana kwenye maisha yangu ya mpira nikiwa bado ni kijana mdogo wa miaka saba.

==>>ITAENDELEA KESHO

Hans Poppe Asomewa Mashitaka Mawili na Kuachiwa Kwa Dhamana

$
0
0
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, Zakaria Hanspope leo Jumanne October 16 alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka mawili ya kughushi na kuwasilisha nyaraka za uongo.

Hanspoppe  ni mmoja wa washtakiwa katika kesi inayowakabili Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva na makamu wake Godfrey Nyange, ambaye alikuwa akitafutwa na Mahakama.

Hanspope alipandishwa kizimbani leo  na kuunganishwa na washtakiwa wenzake wawili, Aveva na Nyange, na kusomewa mashtaka yanayomkabili.

Kutokana na kuunganishwa katika kesi hiyo, upande wa mashtaka umelazimika kuwasomea mashtaka upya washtakiwa wote watatu.

Kati ya mashtka 10 yanayowakabili washtakiwa wote wanne katika kesi hiyo akiwemo mfanyabiashara Frankly Lauwo ambaye bado hajafikishwa mahakamani hapo, Hanspope anakabiliwa namshtaka mawili tu.

Akimsomea mashtaka hayo, Wakili wa Serikali Mwandamizi, Shadrack Kimaro amedai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba, kuwa Hanspope anakabiliwa na mashtaka mawili kati ya kumi yanayowakabili vigogo hao wa Klabu ya Simba.

Mashtaka hayo ni pamoja na shtaka la kughushi na kuwasilisha nyaraka za uwongo.

Katika shtaka la kwanza, inadaiwa Aveva na Kaburu wanadaiwa kula njama na kutenda kosa ya matumizi mabaya ya Ofisi na tukio hilo wanadaiwa kulitenda Mei 30, 2016, jiji Dar kwa nia ya kughushi walighushi hati ya malipo ya Mei 28, 2016 kuonesha kuwa Klabu ya Simba ilinunua nyasi bandia za thamani ya Dola za Marekani 40,577, wakati wakijua kuwa si kweli.

Katika shtaka la pili ambalo ni matumizi mabaya ya Ofisi kwa kuandaa nyaraka ya kuomba kuhamisha fedha linalomhusisha Hanspope,

Pia, wakili Kimaro amesema kuwa katika shtaka la tisa, washtakiwa wote kati ya Machi 10 na Mei 30, 2016, waliwasilisha nyaraka za uwongo kuonesha kuwa Klabu ya Simba ilinunua nyasi bandia kwa thamani ya Dola za Marekani 40,577, wakati wakijua kuwa ni uwongo kinyume cha Sheria ya Kodi ya Mapato.

Hanspope amekana mashtaka na wakili wa Hanspoppe, Augustine Shio alimuombea dhamana mteja wake akidai kuwa mashtaka dhidi yake yanadhaminika.

Hakimu Simba alitaja masharti ya dhamana ambayo ni kuwa na wadhamini wawili kutoka Taasisi inayotambulika Kisheria, watakaosaini saini bondi ya Sh 15milioni kila mmoja.

Hanspope ametimiza masharti ya dhamana na ameachiwa huru kwa dhamana.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi, Oktoba 19, mwaka huu ambapo washtakiwa hao watasomewa maelezo ya awali(PH).

BREAKING: Basi la New Force latambukia Mlima Kitonga

$
0
0
Watu kadhaa wamenusurika kifo katika Mlima Kitonga Mkoani Iringa baada ya basi la kampuni ya New Force lililokuwa likitokea Mbeya kuelekea Dar es Salaam kugongana na gari nyingine linalodaiwa kuwa ni la Kampuni ya Golden deer lilokuwa likitokea Dar kwenda Tunduma na kisha kuanguka chini ya mlima huo wenye mteremko mkali.

Kaimu Kamanda Polisi wa mkoa wa Iringa, Deusdedit Kashindo amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema kuwa taarifa za awali zinasema kuna majeruhi tu 

Serikali Yakataa Kuleta Wachunguzi wa Nje Kuja Kuchunguza Swala la Kutekwa Mo Dewji

$
0
0
Naibu Waziri wa Mambo  ya Ndani,  Hamad Masauni amesema Serikali haiwezi kuruhusu vyombo vya ulinzi na usalama kutoka nje ya nchi kuchunguza tukio la kutekwa mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’.

Masauni ametoa kauli hiyo leo Jumanne Oktoba 16, 2018 katika mkutano wake na waandishi wa habari.

Amesema ana amini polisi kuna wataalam wanaoijua kazi yao, wanaifanya kwa kuzingatia maadili.

“Kuna haja gani kuleta vyombo vya nje wakati tuna jeshi bora na lenye uelewa mkubwa licha ya kukabiliwa na changamoto za hapa na pale,” amesema.

Amesema  polisi hawajashindwa kuchunguza jambo hilo na lipo ndani ya uwezo wao.

Alipoulizwa kuhusu familia ya Mo Dewji kutangaza dau la Sh1bilioni kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazofanikisha kupatikana kwa mfanyabiashara huyo, Masuani amesema hawezi kulizungumzia suala hilo kwa kuwa si msemaji wa familia.

Hata hivyo, amesema wananchi wana nafasi ya kutoa taarifa kwa polisi  ili waweze kufanya kazi hiyo kwa haraka.

Credit: Mwananchi

Uteuzi wa Viongozi Wapya Uliofanywa Na Rais Magufuli Leo Jumanne October 16

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, amemteua Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, Mh. January Henry Msofe kuwa Mwenyekiti wa tume ya kurekebisha sheria.
 
Mbali na Mwenyekiti huyo mpya wa Tume hiyo, Rais pia amewateua Bw. Iddi Mandi na Bw. Julius Kalolo ambao wanakuwa Makamishna wa muda wa tume hiyo.

Katika hatua nyingine, Rais pia amemteua Bw. Paul Kimiti kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ranchi za Taifa (NARCO).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ikulu,  Uteuzi huo uliotangazwa leo Oktoba 16, 2018 umeanza tangu Oktoba 14, 2018.

Kamati Kuu ya CHADEMA kukutana kesho Kwa Dharura!

$
0
0
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kesho tarehe 17.10.2018 kitafanya kikao cha dharura cha Kamati Kuu ya chama hicho kitachokuwa na agenda kuu ya kujadili na kuazimia kuhusu masuala mbalimbali yanayoendelea ndani na nje ya chama kitakachofanyika jijini Dar es Salaam
 
Taarifa  hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema


Taifa Stars Yaichapa Cape Verde Bao 2-0 Uwanja wa Taifa Dar

$
0
0
Taifa Stars imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 leo dhidi ya Cape Verde kwenye mechi yake ya 4 Kundi L kuwania kufuzu fainali za AFCON 2019 nchini Cameroon.

Mabao hayo yaliyofungwa na  nahodha, Mbwana Samatta na Saimon Msuva sasa yamefufua upya  matumaini ya Taifa Stars kufuzu kwa fainali  hizo za Mataifa ya Afrika mwakani .

Mshambuliaji Difaa Jadidi, Msuva alifunga bao la kwanza kwa Stars akimalizia vizuri krosi ndogo ya Samatta aliyewatoka mabeki wanne wa Cape Verde na kupiga krosi iliyomkuta mfungaji.

Samatta alifanya kile walichosubiri mashabiki wa Tanzania katika kipindi cha pili kwa kufunga bao la pili kwa shuti kali akiwa ndani ya 18, baada ya kupokea pasi ya Mudhathir Yahya.

Ushindi huo unaifanya Taifa Stars kupanda hadi nafasi ya pili ikiwa na pointi 5, wakati Uganda wakiongoza Kundi L kwa pointi 7, wakati Cape Verde ya tatu na pointi 4 na Lethoso ya mwisho ikiwa na pointi 2.

PICHA: Lowassa Alivyoshiriki katika ibada ya mazishi ya Mtoto wa Mwakasege

$
0
0
Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Mh. Edward Lowassa ameshiriki katika ibada ya mazishi ya kijana Joshua Mwakasege ambae ni mtoto wa mwalimu wa neno la Mungu Christopher Mwakasege.

Ibada hiyo imefanyika katika kanisa la KKKT usharika wa Mbezi Beach, Dar es salaam mchana wa leo.

Joshua alifariki dunia Octoba 11, 2018 katika Hospitali ya Agha Khan baada ya kuugua ghafla wakati akiwa kazini.

Mwili wa Joshua ambaye ni mtoto pekee wa kiume mwalimu Mwakasege, utasafirishwa kuelekea Tukuyu mkoani Mbeya kwa maziko.


Alichokisema Hali Manara Baada Ya Kuachiwa Kwa Dhamana Leo

$
0
0
Msemaji wa klabu ya Simba, Haji Manara ametoa ujumbe wake wa kwanza tangu aachiwe huru na polisi baada ya kuwa chini ya ulinzi kwa muda akihojiwa kuhusu kutekwa kwa mwekezaji wa klabu hiyo, Mohammed Dewji 'Mo'.
 
Manara ambaye alikuwa miongoni mwa watu 26 wanaoshikiliwa na jeshi la polisi kwaajili ya mahojiano, ameachiwa leo Oktoba 16, 2018. 

Baada ya kuachiwa Manara amesema watu waendelee kumuombea Mo Dewji aweze kupatikana.

''Kila jambo huja na sababu yake, na mitihani ya kilimwengu tumeumbiwa sisi binaadamu, naendelea kuwasihi tuviache vyombo vinavyohusika vitimize wajibu wao, kubwa tuendeleze dua na sala kwaajili ya kiongozi wetu InshaAllah'', ameandika Manara katika ukurasa wake wa Instagram.

Mohammed Dewji ambaye ni mwanahisa mkuu wa klabu ya Simba akimiliki asilimia 49 ya hisa, alitekwa alfajiri ya Oktoba 11, 2018 maeneo ya Masaki jijini Dar es salaam.

Mwakasege: Pamoja Na Msiba Huu Mzito Kwetu, Bado Utabaki Kuwa Mungu na Tutaendelea Kukutumikia

$
0
0
Mwalimu Christopher Mwakasege ameongoza maombi kwa zaidi ya dakika 30 wakati wa ibada ya kuaga mwili wa mwanaye wa pekee wa kiume, Joshua aliyefariki dunia Oktoba 11, 2018 baada ya kuugua ghafla akiwa kazini.

Ibada hiyo ya mazishi imefanyika leo Jumanne Oktoba 16, 2018 katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Mbezi Beach na kuhudhuriwa na mamia ya watu, akiwemo Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

Akiwa amesimama mbele ya jeneza lenye mwili wa mwanaye, Mwakasege aliongoza maombi hayo baada ya waombolezaji kumtaka kuzungumza.

Huku akiwaomba wanaotaka kuokoka kupita mbele ya kanisa Mwakasege amesema, “Hata kama najiuliza maswali magumu bado utabaki kuwa Mungu wangu, sitaacha kuimba ni salama moyoni mwangu.”

Akizungumzia mazingira ya kifo cha mwanaye, Mwakasege amesema haikuwa rahisi kupokea taarifa hizo ila alilazimika kuendelea na semina ya siku tatu iliyokuwa inafanyika jijini  Mbeya.

Amesema kabla ya mwanaye kukutwa na mauti waliwasiliana na alimuahidi kuwa wangezungumza tena jioni baada ya kumaliza semina.

“Baada ya kumaliza semina nilimpigia simu lakini iliita bila kupokelewa. Baadaye mlinzi wa kazini kwao alipokea na akatueleza kuwa  Joshua amekimbizwa hospitali," amesema Mwakasege.

“Baadaye nilipigiwa simu na daktari na alinieleza kuwa mwanangu amefariki dunia. Ilikuwa ngumu kupokea taarifa ya daktari aliyenieleza kuwa walijitahidi kumuhudumia lakini ilishindikana.”

Amesema, “Kitu cha kwanza niliwaza namna ya kumshirikisha mke wangu kwa sababu wakati huo alikuwa akimuombea Joshua.”

Amesema hatua ya kwanza ya kumueleza mke wake ilifanikiwa na kubakiza jambo moja la iwapo aendelee na semina ama la.

“Kwa sababu taarifa za kifo zilikuja usiku tulikaa hoteli  tuliyokuwa tumefikia hadi usiku tulijiuliza tutamueleza  nini Mungu katika hali ile.  Tuliwaza watu zaidi ya 10,000 waliokuja kuhudhuria semina na tukaona tufikilie zaidi semina," amesema Mwakasege.

Huku akizungumza kwa umakini Mwakasege amesema, “haijalishi sehemu tunapita tunataka kukuhakikishia Mungu pamoja na jambo hili gumu utabaki kuwa Mungu kwetu. Tutaendelea kukutumikia na hatutakukasirikia.”

Amesema waliwashirikisha ndugu na kuwaeleza kuwa licha ya kifo cha Joshua, wataendelea na semina kwa siku tatu zilizobaki.

Amesema japo watu walikuwa na taarifa za kifo cha Joshua ila hawakusema chochote na waliendelea na semina hadi juzi Jumapili.

“Siku ya mwisho (ya semina) ndio nilitangaza kuhusu kifo cha Joshua nilikuwa namuita bwana mdogo. Nina ujumbe mwingi  sikuweza kusoma. Niwaombe tu radhi wote walionitumia ujumbe nikitulia nitasoma,” amesema Mwakasege.

Amesema aliwaeleza binti zake watatu kuhusu kifo cha Joshua na walimuuliza kuhusu semina kama ataendelea nayo au atasitisha.

Amesema pamoja na familia yake wanamshukuru Mungu kwa kuwa tangu wakianza huduma hiyo waliahidi kuwa watamtumikia Mungu siku zote za uhai wao.

Maziko ya Joshua yatafanyika Jumatano Oktoba 18, 2018 Tukuyu jijini Mbeya.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano ya October 17


Dr. Tizeba: Tanzania Yajitosheleza Kwa Chakula Miaka Mitano Mfululizo

$
0
0
Na Mathias Canal-WK, Tunduma-Songwe
Tanzania imeendelea kuwa ghala la chakula kwa nchi za jirani kwa kipindi kirefu baada ya kujitosheleza kwa chakula takribani kwa kipindi cha miaka mitano mfululizo.

Tanzania imeweza kuuza ziada ya mazao mbalimbali ya chakula katika nchi za nje. Kulingana na takwimu zilizotolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kipindi cha mwezi Juni 2017 hadi Juni 2018 yameuzwa mahindi kiasi cha Tani 64,477.95  zenye thamani ya Shillingi Billioni 90.6  za kitanzania na maharage  Tani 99,434.45 zenye thamani ya shillingi Bilioni 222.0 za Kitanzania.

Hayo yamebainishwa na Waziri wa Kilimo Dkt Charles Tizeba (Mb), jana tarehe 16 Octoba 2018 wakati akihutubia mamia ya wananchi waliojitokeza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya Chakula Duniani Kitaifa ambayo yamefanyika kwenye viwanja vya JK Nyerere katika Halmashauri ya Mji wa Tunduma.

Dkt Tizeba alisema kuwa mazao hayo yamekuwa yakiuzwa zaidi katika nchi za Kenya, Uganda, DRC, Rwanda, Burundi, Sudani Kusini na Uarabuni.

"Pamoja na kuuza mazao nje ya nchi, nchi yetu imekuwa ikitegemea kuagiza zao la ngano kutoka nje ya nchi kutokana na uzalishaji mdogo wa zao hilo hapa nchini. Serikali inatoa wito kwa wakulima hususani wa maeneo ambayo zao hili linalimwa na kukua vizuri waweze kuongeza maeneo ya uzalishaji na tija ili nchi iweze kupunguza utegemezi wa zao hili kutoka nchi za nje" Alikaririwa akisema

Alisema, Pamoja na uzalishaji mzuri wa chakula nchini, Lishe duni (utapiamlo) kwa jamii na kwa baadhi ya maeneo inaendelea kuchangia kwa kiasi kikubwa katika kuathiri maendeleo ya wananchi kiafya, kielimu na kiuchumi.

Aidha, ili kuyafikia malengo endelevu ya maendeleo (Sustainable Development Goals), alisema , Lishe ni moja ya muhimili muhimu wa kuwezesha kufikiwa kwa malengo yote 17 hivyo Serikali kwa kulitambua hilo, imeamua kujumuisha masuala ya lishe kuwa mojawapo ya maeneo ya kimkakati katika Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2016/17 – 2020/21.

Kadhalila, aliwataka wadau wote wa lishe nchini kushiriki na kuonyesha bayana mchango wao katika kukabiliana na utapiamlo.

Tarehe 16 ya mwezi Oktoba kila mwaka, Tanzania na nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa, huadhimisha Siku ya Chakula Duniani ambapo lengo la maadhimisho ya siku hiyo ni kukumbushana wajibu wa kila mmoja katika kupambana na njaa, kuanzia ngazi ya kaya hadi Taifa.

Maadhimisho ya mwaka huu yamebeba kaulimbiu inayosema “ Matendo yetu ni hatima yetu. Dunia bila njaa ifikapo 2030 inawezekana”. "Kaulimbiu hii inatutaka kufanya kazi kwa umahiri mkubwa ili tujitosheleze kwa chakula na kuwa na akiba ya kutosha kuendesha maisha yetu ya kila siku." Alisisitiza Dkt Tizeba na kuongeza kuwa

"Pia kaulimbiu hii inatukumbusha kuacha kufanya mambo kwa mazoea na badala yake tutumie utalaamu katika kuongeza kuzalisha mazao  ya kilimo, mifugo na uvuvi."

MWISHO.

Video Mpya: Lord Eyes ft. G Nako - Ushindi Tena

$
0
0
Rapper kutokea kundi la Weusi, Lord Eyes anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya uitwao Ushindi Tena ambao amemshirikisha G Nako. Itazame hapa.

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Kusinyaa Na Kudumaa Kwa Maumbile Ya Kiume

$
0
0
Wanaume  wanao  jihusisha  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu  husalia  kuwa  na  maumbile  ya  kiume  yaliyo  sinyaa  na  kudumaa.

Kwa mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  huathiri  na  kuharibu  mishipa  na  misuli  ya  uume na  hivyo kusababisha  kujengeka  kwa  mafuta na  tishu  zisizo vutika  kwenye  mishipa  ya  ateri na  hivyo  kuzuia  mishipa ya  ateri  kupanuka na  kuongezeka  pamoja  na  damu  kutiririka  kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.

Mambo  hayo  mawili yanapotokea  huathiri  uzalishaji  wa homoni muhimu  zinazo  husika  na ukuaji wa misuli ya  uume, na hatimaye  hufanya  uume  wa  mhusika  kudumaa, kusinyaa, kunywea  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuufanya  uonekane  kama wa  mtoto.

 Homoni  hizo hujulikana   kitaalamu kama  HGH  na  huzalishwa  kwenye  ini.

Sababu nyingine   inayo  tajwa  na  wataalamu  ni kwamba, mtu  anaye fanya punyeto   hutumia  akili,  nguvu na  nishati  nyingi sana, jambo ambalo  huathiri utendaji  wa  ogani  nyingine  muhimu  katika  mwili , likiwemo  ini.

Na kwamba  ini  linapo kosa  nishati   ya kutosha  hushindwa  kufanya kazi  zake  vizuri  na  moja  kati  ya  kazi kubwa  za  ini  ni  pamoja  na  uzalishaji  wa  homoni  zijulikanazo  kitaalamu kama  HGH  ambazo  kama  ilivyo andikwa  hapo juu, zinahusika na  kuchochea  ukuaji  wa  sehemu mbalimbali  katika  mwili  wa  mwanadamu  ikiwemo   misuli  ya  uume.

Mbali na  kuathiri  utendaji  wa  ogani  nyingine  mwilini, upigaji  punyeto  husababisha  athari nyingine  kwenye  mwili wa  mwanadamu  kama  vile uchovu  sugu  wa mwili  pamoja na kunyonyoka kwa  nywele.

Athari nyingine  za  upigaji punyeto  ni  pamoja  na  kupoteza  kumbukumbu, kuwahi  kufika  kileleni  ambako  husababishwa  na  kulegea  kwa  mishipa  ya  ateri, kushindwa  kurudia  tendo  la  ndoa, kukosa  hamu  ya  tendo  la  ndoa, uume  kusimama  katika  hali  ya  ulegelege,   maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa  husuani  wakati  wa  kurudia  tendo  la pili na    mara  baada  ya  tendo  la  ndoa  la  kwanza.

KWANINI   WATU WENGI  WANAO  JIHUSISHA  NA  UPIGAJI  PUNYETO  WANA  MAUMBILE  MADOGO  YA  KIUME YALIYO  DUMAA, SINYAA  NA  KURUDI NDANI.

Uzeofu  unaonyesha  kuwa,  asilimia  kubwa  ya  wanaume  ambao  wamewahi  kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu, wanakabiliwa  na  tatizo  la kuwa  na  maumbile  ya  kiume yaliyo dumaa, sinyaa  na  kurudi ndani.

SABABU  KUBWA   NI  HII  HAPA
Sababu  kubwa  ni kwamba   vijana wengi  wa  kiume, huanza  kujihusisha  na  punyeto   wakiwa  na  miaka  kumi  na sita , kumi na  saba  au  chini  ya  hapo.

Hiki ni  kipindi  ambacho  vijana  hawa  ndio  wanakuwa  wamebalehe.

Na kwa mujibu  wa  tafiti  za kisayansi, katika  kipindi  hiki cha  balehe  ndio  kipindi  ambacho  homoni za  HGH  ambazo huhusika  na  ukuaji  wa  sehemu  mbalimbali  za  mwili  ikiwemo  maumbile ya  kiume, huzalishwa  kwa wingi.

Kama  tulivyo ona  hapo  juu, upigaji  punyeto  huathiri  uzalishwaji  wa   homoni  hizo.

Mwisho wa  siku  maumbile  ya  kiume  ya  wahusika, hushindwa  kukua  na  kuishia  kudumaa na  kusinyaa.

Na  hii ndio  sababu  kubwa  wanaume  wanao  kabiliwa  na  tatizo  hili  husalia  kuwa  na  maumbile yenye  ukubwa  ule  ule  walio kuwa  nao wakati wa  kubalehe

NINI  TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  KUDUMAA, KUSINYAA  NA  KURUDI NDANI KWA  MAUMBILE  YA  KIUME.
Kama uume wako  umedumaa, sinyaa, legea, nywea  na  kurudi ndani  kwa  sababu  ulifanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  na  unataka  kuondokana  na  hali  hiyo. HII  NI HABARI NJEMA  SANA  KWAKO! 
 
Ipo dawa  ya ASILI   ambayo  HUTIBU  na  KUPONYESHA  KABISA  tatizo la  KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA  NA  KURUDI NDANI  KWA MAUMBILE  YA  KIUME kunako  tokana  na  ufanyaji  punyeto  wa  muda  mrefu.
 
Ni  dawa  ya  asili  kabisa ambayo  hutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la kudumaa  na  kusinyaa  kwa  uume  ndani ya siku thelathini.

JINSI YA  KUPATA  TIBA  HII : Kupata  tiba  hii  fika  ka6ika  duka  la  kuuza  dawa  za  aslili  la  NEEMA  HERBALIST.  Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

Kwa wateja  waliopo  jijini  Dar  Es  Salaam  ambao  hawana  nafasi  ya  kufika  ofisini  kwetu  watapelekewa  dawa  mahali  walipo  ( HOME & OFFICE  DELIVERY )  na kwa  wateja  waliopo  nje  ya  mkoa  wa  Dar  Es  Salaam  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabus  au  boti  kwa  waliopo  Zanzibar.

Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba  :    0693  005 189.

Video Mpya: Chin Bees - Inogire

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Chin Bees anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya uitwao Inogire. Itazame hapa.

Amber Lulu Awatolea Povu Zito Wanaodai Ana Sura Mbaya!

$
0
0
Amber Lulu ameamua kuwatolewa uvivu wale wote wanaomsema vibaya kuhusiana na muonekano wake.

Muimbaji huyo ameeleza kuwa ingawa anasemwa kuwa ana muonekano mbaya ila akijiremba basi anapendeza. Kupitia ukurasa wake Instagram ameandika;

"Raha kujivunia ulicho nacho ???? sura langu bayaa lakin make up inakaa nalipenda sura langu unanita sura mbaya wakati me ndo Mamakoo.
 
"Rafiki mzuri ni yule anaye kuface private na kukwambia ukweli pasipo kutaka sifa or kusema pembeni kama kweli anania ya kukushauli au kukuelewesha lakini life goes on tunashaish nao." ameeeleza  Amber Lulu.

Kwa sasa Amber Lulu ambaye alijizolea umaarufu mkubwa alipokuwa video vixen, anafanya vizuri na wimbo wake mpya uitwao Vuruga.

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images