Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Waziri Mkuu Aitisha Nyaraka Za Uendeshaji Soko La Kibaigwa.....Ni baada ya wafanyabiashara na mbunge kulalamikia uendeshwaji wake

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wasimamizi na waendeshaji wa Soko la Kimataifa la Mazao Mchanganyiko la Kibaigwa pamoja viongozi wa Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (MVIWATA) kufika ofisini kwake Oktoba 22, 2018 wakiwa na nyaraka zote zinazoonesha uendeshaji wa soko hilo.

Pia Waziri Mkuu ameitaka Tume ya Uchunguzi iliyoundwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Tamisemi, Seleman Jafo kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa uendeshaji wa soko hilo kufika na ripoti ya uchunguzi uliofanywa kuhushu uendeshaji wa soko la Kibaigwa siku hiyo.

Waziri Mkuu alitoa maagizo hayo Alhamisi, Oktoba 11, 2018 wakati alipohutubia wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya Msingi ya Kibaigwa uliopo kwenye Mji Mdogo wa Kibaigwa wilayani Kongwa, Dodoma.

“Nawataka ofisini kwangu, bodi ya uendeshaji wa soko, menejimenti nzima pamoja na tume iliyoundwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI na viongozi wa MVIWATA, mkiwa na nyaraka zote za uendeshaji soko hili.”

Waziri Mkuu alisema baada ya kukutana na viongozi wanaoendesha soko hilo siku ya Jumatatu, Oktoba 22, mwaka huu, saa 2.00 asubuhi, pia atatuma wakaguzi wa ndani kwenda kufanya ukaguzi wa mapato na matumizi ya fedha za soko hilo.

Alisema kumekuwa na mambo yasiyoridhisha kuhusu uendeshaji wa soko la Kibaigwa, hivyo mara baada ya kukutana na menejimenti, bodi, MVIWATA na kupata nyaraka za uendeshaji, atatuma wataalamu kwenda kukagua mahesabu yake ili kubaini kinachoendelea.

Waziri Mkuu alitoa maagizo hayo baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi na wafanyabishara wakidai soko hilo limekuwa na matatizo mengi yakiwemo ya uchakavu na mapato yake kutowanufaisha wananchi.

Walisema pamoja na matatizo ya kiutendaji, pia mapato yanayopatikana katika soko hilo hayainufaishi Mamlaka ya Mji Mdogo wa Kibaigwa, hivyo viongozi wake wanashindwa kuboresha miundombinu yake pamoja na kuliendeleza.

Awali, Mbunge wa Jimbo la Kongwa, Job Ndugai alisema uendeshaji wa soko hilo umehodhiwa na MVIWATA hivyo kulifanya Baraza la Madiwani la Mji Mdogo wa Kibaigwa kutokuwa na sauti ya kuamua mambo yake.

Ndugai ambaye ni Spika wa Bunge, alisema MVIWATA walitakiwa kuwa washauri tu badala ya kuwa ndio wasemaji wakuu wa uendeshaji wa soko hilo la mazao mchanganyiko la kimataifa la Kibwaigwa, kwa sababu jukumu hilo ni la madiwani.

Taifa Stars Yapigwa 3-0 Na Cape Verde

$
0
0
Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars'  jana usiku kimekubali kichapo cha mabao 3-0 kutoka kwa Cape Verde  na sasa kitalazimika kuanza kupiga mahesabu ya mataifa yaliyopo kundi L ili kuona kama kinaweza kufuzu fainali za AFCON 2019 nchini Cameroon.
 
Tanzania imepokea kichapo hicho ugenini katika mchezo ambao ni wa tatu katika kundi L, lenye timu za Tanzania, Uganda, Lesotho na Cape Verde. Tanzania sasa imebaki na alama 2 katika nafasi ya 3 huku Cape Verde wakienda kileleni kwa kufikisha alama 4.

Tanzania sasa itaanza kusubiri matokeo ya wapinzani wake ikiwemo Uganda wenye alama 4 kwenye mechi mbili ambao leo  wanacheza na Lesotho yenye alama 2 baada ya mechi 2 ikiwemo alama moja waliyopata hapa nchini kwa kutoka sare na Tanzania kwenye mechi ya kwanza ya kundi hilo.

Timu za Uganda na Lesotho kila moja ina nafasi ya kuongoza kundi hilo endapo itashinda katika mchezo wa leo  ambao utapigwa nchini Lesotho. Uganda wakishinda watafikisha alama 7 na kurudi kileleni lakini Lesotho nao wakishinda watafikisha alama 6 na kupaa kileleni.

Baada ya mchezo wa jana Tanzania na Cape Verde zitarudiana Jumanne Oktoba 16, 2018 jijini Dar es salaam. Mabao ya Cape Verde yamefungwa na Gomes Ricardo dakika za 16 na 23 pamoja na Ianique Tavares dakika ya 85.

Viwanja Vinauzwa: Low, Medium and High Density plots for sale: Bunju & Mapinga

$
0
0
Low, Medium and High Density plots for sale: Bunju & Mapinga

Wenye uhitaji wa viwanja vikubwa kwa bei nafuu mnakaribishwa.


Kwa Mapinga Kimele, vipo viwanja vya ukubwa 10/20 bei milion 2, 20/20 bei milion 4, 20/30 bei milion 6, 20/40 bei milion 8, na 35/40 bei milion 18.


Bei hizi ni kwa wateja wanaolipa kwa awamu. Endapo mteja atalipa pesa yote (kwa mkupuo mmoja) bei itapungua kwa tsh 500,000 kila kiwanja. Umbali kutoka main road ni kilometa 3.

Pia vipo viwanja vikubwa sana (low density plots) eneo la Baobab sec (Mapinga to Kibaha Road) vyenye ukubwa sqm 1500 kwa tsh 20 mil, sqm 1900 kwa tsh 25 mil, sqm 2300 kwa tsh 30 mil, na sqm 3000 kwa tsh 39 mil.

Kwa Bunju (dsm) vipo viwanja kuanzia milion 50 kwa sqm 1700 mpaka milion 100 kwa sqm 3000.

Karibu Mapinga (mji wa baridi na hewa safi). Ujanja ni kununua/kuongeza akiba ya viwanja (assets) kwa ajili yako na kizazi chako. Wachumi wanasema "Money Is What It Does"
Ukipata taarifa hii mjulishe ndugu/jamaa/rafiki.

Hakuna dalali, mpigie mhusika: call 0758603077, whatsap 0757489709

Waziri Wa Kilimo Dkt Tizeba Ashuhudia Utiaji Saini Hati Ya Maridhiano Ukopeshaji Wa Matrekta

$
0
0
Na Mathias Canal-WK, Morogoro
Waziri wa kilimo Mhandisi Dkt Charles Tizeba  jana  tarehe 11 Octoba 2018 ameshuhudia utiaji saini hati ya makabidhiano ya ukopeshaji wa matrekta kwa vyama vya ushirika vya msingi.

Katika hafla hiyo iliyofanyika katika Ukumbi mdogo wa Mikutano katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha kilimo (SUA) Mjini Morogoro Waziri Tizeba amesisitiza matrekta hayo kutumika ipasavyo kwenye sekta ya kilimo ili kuongeza tija kwenye uzalishaji wa kilimo nchini jambo litakalokuwa na manufaa kwa mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.

Taasisi ambazo zimeshirikiana kufanikisha utiaji saini huo ni Bodi ya Pamba ambayo ipo chini ya wizara ya kilimo, Benki ya Maendeleo ya kilimo-TADB, Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) na Tume ya Maendeleo ya ushirika.

Dkt Tizeba alisema kuwa Vyama vya ushirika vya msingi vinapaswa kuongeza juhudi katika kilimo ili kuakisi kulipa gharama za mkopo ambao ni asilimia 20 ya mkopo wote katika kipindi cha miaka mitatu huku asilimia zingine 80 zikilipwa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo-TADB.

Utiaji huo wa saini hati ya makabidhiano ya ukopeshaji wa matrekta 300 kwa vyama vya msingi vya ushirika unajili wakati ambapo hivi karibuni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwaalimkabidhi Waziri wa kilimo Dkt Charles Tizeba jumla ya matrekta 500 ya Ursus kwa ajili ya kukopeshwa kwenye  vyama vya ushirika vya msingi ili wakulima kunufaika na tija katika kilimo hususani zao la Pamba.

Akizungumza mara baada ya kushuhudia utiaji saini Dkt Tizeba alisema kuwa sekta ya kilimo nchini bado inakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo tija ndogo inayosababishwa na matumizi madogo ya pembejeo, huduma duni za ugani na matumizi ya zana duni za kilimo ambapo wakulima wengi wanatumia majembe ya mkono au kutumia maksai wakati wa kulima.

“Katika kilimo cha Pamba msimu wa mwaka 2017/2018 ushahidi unaonyesha wakulima walichelewa kuanza kuandaa mashamba kwa sababu Maksai wakati wa kiangazi wanadhoofu sana,” Alikaririwa Dkt Tizeba na kuongeza kuwa

“Mara mvua inaponyesha hawawezi kulima mpaka majani yawe mengi ndio wapate nguvu za kuanza kulima, hali hii inaondoa uwezekano wa wakulima kutumia teknolojia mpya katika kilimo kama vile kilimo hifadhi ambacho kimedhihirika kuongeza tija zaidi ya mara mbili”

Tizeba alisema mtazamo wa mpango huo ni kuunganisha nguvu za mkulima mmoja mmoja ili kuharakisha kuleta maendeleo yao ambapo utatekelezwa kwa kutumia sehemu ya fedha zinazolipwa AMCOS kama kamisheni ya kusimamia ununuzi wa pamba ambapo matarajio ni kukusanya Bilioni 6 kama uzalishaji wa pamba utafika kilo milioni 400 kwa mwaka.

Alisisitiza kuwa Bodi ya Pamba pamoja na Tume ya Maendeleo ya ushirika zinapaswa kufuatilia kwa karibu hatua zote mwenendo wa ufanyaji kazi wa matrekta hayo ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa punde yanapoanza kufanya kazi yawe yanafanyiwa marekebisho ya mara kwa mara.

MWISHO.

African Export Import kuipatia Tanzania Zaidi ya Shilingi Trilioni moja Kugharamia Ujenzi Wa Reli Na Vituo Vya Biashara

$
0
0
Na: WFM,  Mjini Bali Indonesia
African Export Import Bank (Afreximbank) ya Misri, imeonyesha nia ya kuipatia Tanzania mkopo wa zaidi ya Shilingi trilioni moja (dola za Marekani zaidi ya milioni 500) kwa ajili ya kutekeleza miradi ya kipaumbele hasa ya miundombinu ya reli na kujenga vituo vya biashara (SEZ and Industrial parks).

Hayo yalibainishwa mjini Bali Indonesia, na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Isdor Mpango baada ya Mkutano na Makamu wa Rais wa Afreximbank Bw. Amr Kamel,  uliofanyika  wakati wa mikutano ya mwaka  ya Benki ya Dunia (WB) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ikiendelea.

Waziri Mpango, alisema kuwa Afreximbank imethibitisha kuwa ipo tayari kutoa mkopo wa  dola za Marekani milioni 125  (takribani Shilingi bilioni 285.9) kwa ajili ya ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha Kimataifa  (SGR),  kipande cha Morogoro hadi Makutupora mkoani Dodoma.

“Afreximbank wanania pia ya kutoa  dola milioni 400 (takribani Sh. Bilioni 914.9) ambazo wanaweza kutukopesha kwa ajili ya kugharamia miradi ya miundombinu itakayorahisisha biashara kati ya Tanzania na nchi jirani na Bara la Afrika kwa ujumla,  ili kuchochea kasi ya ukuaji wa biashara katika nchi hizo kwa lengo la kuondoa umasikini”, aliongeza Dkt. Mpango.

Alisema kuwa kwa kuwa tayari Tanzania ilikuwa na mkakati wa kufungua vituo vya biashara katika mikoa ya Dar es Salaam, Mtwara na mikoa mingine, suala la mkopo huo ni fursa kubwa kwa  maendeleo ya nchi, hivyo jambo hilo litafanyiwa kazi kwa kushirikiana na Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji  na Sekta Binafsi, ili Taifa liweze kunufaika na fedha ambazo benki hiyo ipo tayari kuzitoa.

Aidha, amesema kuwa  katika majadiliano na benki hiyo kuna umuhimu wa kuangalia namna ya rasilimali fedha ambazo Benki Kuu za nchi mbalimbali za Afrika zimekuwa zikiwekeza nje ya Bara hilo, ili ziweze kuwekezwa kwenye benki za Afrika kama Afreximbank ili kuleta maendeleo kwa haraka katika Bara hilo.

Vile vile benki hiyo imeikaribisha Tanzania kushiriki mkutano wa biashara utakaofanyika mwezi Desemba mwaka huu mjini Cairo Misri, ambapo kwa upande wa Tanzania ni fursa kwa Makampuni ya umma na binafsi kutangaza bidhaa mbalimbali zinazozalishwa kwa lengo la kukuza biashara ndani ya Bara la Afrika.

Makamu wa Rais wa Afreximbank Bw. Amr Kamel, alisema kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi za kimkakati kwa kuwa ina mchango mkubwa katika maendeleo ya nchi jirani, hivyo Afreximbank imeamua kusaidia miradi mbalimbali ya ujenzi wa miundombinu ili kuharakisha maendeleo ya nchi ya Tanzania na nyingine.

Waziri Dkt. Mpango ameishukuru Benki hiyo kwa kuisaidia Tanzania katika mkakati wa kufikia uchumi wa kati unaotegemea viwanda ifikapo mwaka 2025, hivyo kuwa Taasisi yenye tija si tu kwa maendeleo ya Tanzania lakini pia kwa Bara la Afrika.

Amber Lulu Azungumzia Kutoka Kimapenzi na Marioo.

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Amber Lulu amefunguka iwapo amewahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Marioo.

Wawili hao ambao kwa sasa wanatamba na wimbo wao mpya uitwao Yanamiminika walionekana zaidi pamoja hivi karibuni na kuibua maswali iwapo ni wapenzi.

"Marioo anaweza kuwa kibenten changu kwani kuna shida gani, sianavutia nini yupo vizuri. Lakini ukiangalia sisi tuna wimbo tayari, so ile ilikuwa tu attention," Amber Lulu ameiambia The Playlist ya Times FM.

May mwaka huu Amber Lulu alitaja orodha ya wasanii wa Bongo ambao amewahi kutoka nao kimapenzi, wasanii hao ni Barnaba, Aslay, Rammy Galis naYoung Dee.

VIDEO | Joel Lwaga Ft. Chris Shalom – Umejua Kunifurahisha | Download

$
0
0
Sikiliza hapa video mpya ya Joel Lwaga Ft. Chris Shalom – Umejua Kunifurahisha . Unaweza kuiDownload pia hapo chini

Wimbo Mpya | Engine – Sakata


Wimbo Mpya | Edo Mc - Sisikii

Taarifa kwa umma kutoka kwa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART)

$
0
0
Taarifa kwa umma kutoka kwa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) ikielezea chanzo cha tatizo la mabasi hayo kuchelewa kufika kwenye vituo pamoja na mabadiliko ya ratiba ikihusisha kuongezeka kwa muda wa kutoa huduma kwa usiku (hadi Saa Sita) na kuanza mapema saa 10:30 alfajiri

Kutana Na Shekhe Massory kutoka Pemba.....Anasafisha Nyota, Mvuto wa Biashara, Tatizo la Kutoshika Mimba, Miguu Kuwaka Moto

$
0
0
✨Je umekuwa ukihangaika na kusumbuliwa na Maisha ,Matatizo Mengi ya Kimaisha pasipo Mafanikio???

✨Bado haujachelewa....Kutana Na Shekhe Massory kutoka Pemba  Bingwa wa kutatua Matatizo Yote Yanayo husu Maisha na kukupa Dawa zitakazo kusaidia  Katika Maisha Yako kama vile;

✨Mvuto Wa Biashara 

Kuwa Na Wateja Wengi Katika Bishara YakoKumvuta Mpenzi Awe Mume Au Mkee aje Karibu Yako
Mtu Mwenye Tatizo La Kutoshika Mimba Au Akishika Inatoka...Tiba Hiyo Ipo 
Kumzuia Mume Au Mke Asitoke Nje Ya Ndoa Au Kwenye Mahusiano Yenu
✨kutibu Chango La Uzazi 
✨ Miguu Kuwaka Moto
 ✨ Kuweka Kinga  shambani Nyumbani na hata Dukani Au Sehemu Yako Ya BiasharaKusafisha Nyota 
Kurudiswa Kazini
✨Pia Kuna Pete Za Bahati

✨ Kwa Mawasiliano
+255 718 826768 -Tgo
+255 692 610596 -Airtel
+255 620 144631 -Halotel

Whatssap Namba
+255 620 144631


✨Wote Mnakaribiswa Mpate Dua Kutoka Pemba Kwa Shekhe Mansoory✨

✨Malipo Ni Baada Ya Mafanikio Inshaalah✨

*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾

✨Wabillahhi Tawfiq Asallam  Alaikum✨

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Masaa 48 Yamepita Mo Dewji Bado Hajapatikana.....Msako Mkali wa Kumtafuta Bado Unaendelea

$
0
0
Ni siku mbili zimepita tangu bilionea mashuhuri nchini, Mohammed Dewji ‘MO’  alipotekwa Alhamisi asubuhi katika Hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam.

Jeshi la Polisi bado linafanya  jitihada za kumtafuta bilionea huyo wa Tanzania, ambaye  tangu alipotekwa amezua maswali miongoni mwa jamii wakitaka kujua sababu ambazo zimesababisha kutekwa.


Inaelezwa kuwa ulinzi umeimarishwa kila sehemu hasa  katika Pwani ya Bahari ya Hindi hususani katika hoteli zilizo ukanda huo ikiwamo Yacht Club.

Polisi  wamekuwa wakikagua kamera za video (CCTV) katika hoteli ya Yacht Club, lengo likiwa ni kumsaka mfanyabiashara huyo

Meneja Mkuu wa Yacht Club, Brian Fernandez jana alisema  kuwa tangu tukio la kupotea kwa Mo lilipotokea, polisi wameimarisha ulinzi na uchunguzi katika eneo hilo ambalo liko pwani ya Bahari ya Hindi.

Fernandez alisema Mo alikuwa mwanachama wa klabu hiyo na hakuonekana katika eneo hilo tangu juzi na hakuna boti ya mwanachama yeyote iliyoondoka tangu jana.

Waziri Jafo Afunguka Sakata la Mkurugenzi Aliyekamatwa Akitaka Kutoroka Nchi Kuelekea Nchi Jirani

$
0
0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Seleman Jafo, amesema walimkamata aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nyang’wale, Geita, Carlos Gwamagobe, akitaka kutoroka kwenda nchi jirani baada ya upotevu wa zaidi ya Sh bilioni 2.2.

Kauli hiyo aliitoa jijini hapa jana wakati akifunga mafunzo kwa wakuu wa wilaya wapya 27 na wakurugenzi 39 walioteuliwa Julai na Agosti, mwaka huu na Rais Dk. John Magufuli.

“Kwa mfano juzi juzi pale Nyang’wale watu wameiba zaidi ya shilingi bilioni 2.2, sio fedha za mchezo eti mfano Halmashauri ya Kakonko inakusanya shilingi milioni 343,” alisema na kuongeza:

“Halmashauri nyingine wameiba shilingi bilioni 2.2 sawa na miaka saba ya ukusanyaji wa Kakonko, lakini muda mfupi watu wamechukua akaunti inasoma ziro.

“Halafu hawana shaka wanafunga mikanda, nimpongeze mkurugenzi wa Nyang’wale, alionyesha ndani ya muda mfupi anafaa kuwa mkurugenzi.

“Alikataa baada ya kuona vitu havijakaa sawa, angeenda kichwa kichwa angewekewa mahindi katika gunia bovu na lingekuja kumpasukia yeye mbele ya safari.

“Yule mkurugenzi tuliyemwona hatoshi tulimtoa tena kwa bahati mbaya alikuwa anakimbia anaenda nchi jirani, amekamatwa akiwa anakimbia na hadi sasa bado tuna watu wa aina hiyo.

“Ndiyo maana tulielekeza wote weka ndani, tumewatia ndani wote na tumetoa maelekezo kwa vyombo vinavyohusika  vifanye kazi kwa mujibu wa sheria.

“Maana kuna staili mtu anasema mimi nafungwa ila watu wangu si wanakula tu. Nimevipa maelekezo kule vyombo vifanye kazi ikibainika kama wana rasilimali zozote ziendelee kushikiliwa na sheria ikiruhusu mali zile zitaifishwe zirejeshwe serikalini, hii ni nchi nyingine tofauti.”

Pia alisema Serikali itaendelea kulinda rasilimali fedha huku akiwataka na wakuu hao wa wilaya na wakurugenzi na wao kuzilinda kwa ajili ya maendeleo ya nchi.

Katika hatua nyingine, alisema moja ya sababu zilizofanya wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi wa halmashauri kutumbuliwa ni kutokana na kukosa nidhamu.

“Naomba niwaambie wenzenu waliotoka, wengine wametoka kwa kigezo cha nidhamu. Jambo lingine ambalo tumejifunza hapa kwa siku zaidi ya tano ni nidhamu, ajenda ya nidhamu ni muhimu kwa mtumishi wa Serikali, wewe mwenyewe kwanza ulivyo, unavyoongea unatakiwa uwe na nidhamu.

“Imani yangu ajenda ya nidhamu itaenda kufanyiwa kazi, niwasihi katika maisha yangu napenda watu wa chini wakue na nina historia hiyo washike nafasi za juu,” alisema.

Pia alimwagiza Katibu Mkuu wa Tamisemi, Musa Iyombe, kuwavua madaraka watendaji wasiotimiza wajibu wao.

“Katibu Mkuu unapoona kuna watendaji mizigo hakuna kuwahamisha ni kuwavua vyeo hakuna namna na nimshukuru sana amefanya kazi hiyo, amepitisha fagio lakini bado wapo,” alisema.

Aliwataka kujua mipaka yao ya kazi ili kupunguza migogoro inayojitokeza.

“Hapa mgogoro mkubwa ndipo unapotokea, nendeni mkachunge mipaka ya kazi, hapa mmejifunza DC mipaka yake inaishia wapi, mkurugenzi mipaka yake inaishia wapi hivyo naamini tutafuata mipaka ya kazi,” alisema Jafo.

Aliwataka kushughulikia kero za wananchi kabla ya viongozi wakubwa hawajafika katika maeneo yao.

“Ninachotaka kila mmoja atimize wajibu wake, leo kiongozi anafika anakuta mabango, kero hazishughulikiwi, hiyo ni kwamba kero hasizikilizwi,” alisema Jafo.

Pia aliwataka kusimamia haki za watu wa chini wanaodhulumiwa na matajiri.

“Kama kuna rasilimali zinatolewa kwa wanyonge na matajiri wamezichukua hili kaliangalieni ili wanyonge warudishiwe, mtu anawanyanyasa watu kwa fedha,” alisema Jafo.

Awali, Iyombe alisema hakuna jambo linalomsikitisha kama wakuu wa wilaya kuwaweka ndani watendaji.

“Wakuu wa wilaya mnatumia vibaya madaraka yenu hili si jambo linalokubalika, tuzingatie kutumia madaraka yenu ambayo Rais amewaamini.

“Hata ukisema leo, kesho ndiyo wanawasha moto kabisa, unamwona tu huyu hatadumu kabisa, hawa ndio viongozi wetu vijana, wazee tunang’atuka tutawaacha nyinyi.

“Halafu baada ya hapo mbona hujapanda cheo, tumeshuhudia baadhi yenu nimewaandikia ujumbe kwenye simu kwamba unachokifanya si mwongozo wa Serikali, nawaomba zingatieni sheria, kanuni na taratibu na mzisome,” alisema.

Veta wamuenzi Nyerere kwa kulifanyia ukarabati gari alilokuwa akilitumia wakati wa harakati za kutafuta Uhuru

$
0
0
Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) kimemuenzi Baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere, kwa kulifanyia ukarabati gari alilokuwa akilitumia wakati wa harakati za kutafuta Uhuru wa Tanganyika.

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa VETA Nchini, Dk. Pancras Bujulu, wakati wa maonyesho ya wiki ya vijana ambayo kitaifa inafanyika mkoani Tanga.

Dk. Bujulu amesema wameamua kulikarabati gari hilo ili kumuenzi hayati Mwalimu Nyerere, ambapo kazi hiyo imefanywa na vijana wanaopata mafunzo ya ufundi stadi kutoka Moshi, mkoani Kilimanjaro.

“Gari hilo aina ya Austene yenye namba ya usajili MS 5480, inahisiwa lilitengenezwa mwaka 1947, lilikuwa limehifadhiwa kwenye ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Kilimanjaro.

“Kwetu ilikuwa kama fursa kwa vijana wetu kuonyesha namna walivyoiva kwenye ufundi  tukaliomba na kupatiwa na kwa sasa tumelitengeneza na linatembea,” amesema mkurugenzi huyo.

Kwa mujibu wa Dk. Bujulu, gari hilo lilitumiwa na Mwalimu Nyerere mwaka 1961 wakati wa harakati za kutafuta uhuru.

Gari hilo linatarajiwa kukabidhiwa kwa Serikali Oktoba 14, siku ya kilele cha maonyesho hayo.

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 101 na 102 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA 

Nikamvuta taratibu K2 kwa kutumia darubini ya hii bunduki. Nilipo hakikisha msalaba mwekundu ninao uona kwenye hii darubini umekaa vizuri kichwani mwake, taratibu nikaikoki bunduki, huku nikishusha pumzi nyingi. Nikamuangalia K2 jinsi anavyo furahi na wananchi huku akiwapa mikono ya hongera. Gafla mwili mzima ukaanza kunitetemeka huku jasho jingi likinimwahika mwili mzima. Nikajaribu kuhakikisha kwamba ninajikaza kumuweka K2 katika tageti yangu, ila ninashindwa kabisa. Mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi, taratibu nikajaribu kunyanyuka ila nikashindwa kabisa na kujikuta nikiiangusha bunduki pembeni na kulala chali, huku nikitazama juu na kuona jinsi dunia inavyo zunguka kwa kasi jambo ambalo kwenye maisha yangu sikuwahi kuliona hata siku moja.
       
 ENDELEA   
Nikaendelea kulala chini huku nikijishangaa sana kwa kitu hichi ambacho kimetokea kwenye maisha yangu. Taratibu nikajikaza kunyanyuka ila kwa kizunguzungu hichi nilicho nacho, nikajikuta nikishindwa kabisa na kurudi kulala chini tena. Zikapita zaidi ya dakika ishirini, nikajikuta nikipata nguvu na kunyanyuka tena. Nikachungulia eneo la uwanjani ila sikumuoa raisi katika eneo ambalo alikushudiwa kukaa.
“Sniper namba moja uanipata?”
Nilisikia sauti ya Babyanka kwenye masikio yangu, nikamtazama askari wa NSS, niliye mpiga kwa kitako cha bastola yangu akiwa amelala chini bado hajapata fahamu yoyote.
“Yaaa”    
 
Nilijibu kwa kifupi ili sauti yangu kuto kujulikana kwa maana imeniwia urahisi kufahamu kwamba huyu ni mdunguaji namba moja kutokana na ukaaji wake na sehemu aliyopo, kwa maana sio jambo geni kwangu  kwa maana mimi mwenyewe nilisha wahi kuwa katika kiosi cha NSS na ninawajua A hadi Z.
“Raisi yupo katika kugagua mabanda ya biashara”
“Nimekupata”
Nikaichukua bunduki na kuishika vizuri, nikaiweka sawa shemu ilipo kuwa kwa maana ina viguu vyake viwili  vya kusimamia hii ni kutokana na uzito wake. Nikaanza kupitosha pitisha macho yangu kwenye mabanda ya biashara ambapo raisi anakagua miradi ya biashara.
 
Nikaona kundi la walinzi kwenye moja ya jengo la biashara, nikatambua kwenye hilo banda ndani ni lazima K2 atakuwemo. Nikaikoki bunduki vizuri nikakadiria ni mita ngapi kutoka hapa nilipo hadi kwenye banda hilo, nikaiweka bunduki sawa, huku nikishusha pumzi yangu.
‘Toka toka’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikitazama kutitia darubini, sikumuona raisi. Nikaona baadhi ya wafanyakazi wa hilo banda wakitoka mmoja baada ya mwingine, nikagundua ni lazima raisi atakuwa anatoka, nikabana pumzi yangu vizuri kuhakikisha kwamba riasi nitakayo ipiga inafika kwa mtu sahihi na muda sahihi ambao nimepanga mimi uweze kufika kwake.
 
“Nikamuona K2 akitoka, ila kuna mzee mnene akiwa amemziba na hakuna sehemu ambayo ninaweza kumpiga risasi na akafaa kwa maana ninaiona mikono na muguu yake, kichwa wala kiwili wili chake sikioni.
‘Comoonnnnn mzee ondoka hapo’
Nilizungumza huku nikiwa ninahasira sana.
“Freeziiiii”
Nilisikia sauti kali ya kike nyuma yangu, nikajikuta nikishusha pumzi nyingi kwa maana ninesha kamatwa.
“Ukifanya ujinga wowote nitakuua”
Sauti hii ninaitambua kabisa ni sauti ya Babyanka.
“Kuna muuaji nimempata gorofani, timu nzima mlindeni rai……”
 
Sikutaka Babyanka amalizie sentensi yake, kwa haraka nikajigeuza na kumpiga mtama mkali Babyanka na kumfanya anguke chini. Kofia la sweta nililo vaa kichwani mwangu likafunuka na kumfanya Babyanka kunitolea macho.
“Dany!!”
Sikutaka kumjibu kitu chochote kwa maana ninatambua Babyanka ananifahamu vizuri na hana uwezo wa kunipiga riasi kwa maana anatembua na kuelewa kila kitu kilicho tokea kwenye maisha yangu. Nikaanza kutembea kuelekea sehemu ulipo mlango.
 
“Simama nitakupiga risasi”   
Babyanka alizungumza kwa ukali sana, nikasimama na kugeuka nyuma huku nikimtazama kwa macho makali sana usoni mwake.
“Timu mzima, kuna muuaji, narudia tena kuna muuaji kwenye gorofa namba moja. Sniper namba moja yupo chini”
Babyanka aliendelea kuwasiliana na wezake huku akiwa ameninyooshea bastola yake, nikatambua kabisa upendo wa Babyanka umetoweka juu yangu. Taratibu nikaanza kutafuta njia ya kuvuta bastola yangu niliyo ichomeka kwenye soski mguuni.
“Dany kwa nini unahitaji kumuua raisi. Huyui kwamba amechaguliwa na mamilioni ya Watanza”
 
Babyanka alizungumza kwa sauti ya upole, nikatambua lengo lake la kuzungumza hivyo. Antaka kunizubaisha ili mradi wezake waweze kufika katika eneo hili na kunikamta kirahisi. Askari niliye mpiga kwa kitako cha bunduki akanza kunyanyuka huku akijivuta vuta chini jambo lililo toa mlio na kumfanya Babyanka kutazama nyuma.

 Kwa kasi ya ajabu nikachomo bastoka yangu mguuni. Nikampiga risasi Babyanka ya kifuani mwake na akaanguka chini. Ninatambua kabisa kwamba sehemu hiyo niliyo mpiga si rahisi kwa yeye kuweza kufa hii ni kutokana na jaketi la kuzuia risasi alilo livaa. Kwa kasi ya ajabu nikaufungua mlango wa kuingilia kwenye za kushuka kwenye hili gorofa. Nikaanza kushuka kwa haraka, ila ikafikia sehemu ikanibidi kusita kidogo, nikachungulia chini, nikawaona wana askari wa kikosi cha NSS, wakipanda kwa kasi huku wakiwa na bunduki zao.
 
Sehemu niliyopo haina mlango kabisa ambao ninaweza kusema kwamba ninaweza kuingia. Ikanilazimu kuanza kupandisha juu kwa kasi. Juu napo nikamuona Babyanka na yule askari ambaye nilikuwa nimepiga kwa kitako cha bastola wakishuka kwenye ngazi kwa kasi huku kila mmoja akiwa ameshika bastola yake. 
 
Nikafyatua risasi sehemu wanapo shuka Babyanka na askari wake. Ikawawafanya askari wanao pandisha ngazi kujiahami kwa kufyatua risasi pasipo kutambua ni sehemu gani ambayo mimi nipo.
Nikaanza kujibu mashambulizi ya askari wote, wanao panda na wanao shuka, kwa bahati nzuri sehemu niliyo kuna mlango wa kuingilia kwenye chumba ambacho wala sitambui kina kitu gani ndani.
 
Nikaupiga kikumbo mlango huu, ila haukufunguka kwa kutumia bastola nipiga risasi kadhaa kwenye kitasha cha mlango, kisha nikaupiga kikumbo na ukafunguka. Chumba hichi kinacho tumika kama stoo, kina dirisha mmoja la vioo. Kwa haraka nikalisogelea dirisha hili, nikachungulia chini, nikaona kuna uwazi mdogo sana ambao ninaweza kupita kwa maana mbele kuna ukuta mwengine wa gorofa. Pembeni ya hili dirisha kuna bomba la maji ambalo ninaweza kulitumia kushuka chini kwa haraka. Akili yangu inayo fanya kazi kama compyuta, ikanituma kufanya hivyo. Kwa kasi ya ajabu nikaanza kushuka kuelekea chini. Nikafanikiwa kufika chini, sikuwa na muda wa kupoteza zaidi ya kuanza kukimbia kwenye kijiuchochoro hichi ambacho ni chembamba sana.
 
Nikafanikiwa kuingia kwenye moja ya nyumba eneo la uwani. Kwenye nguo ya hii nyumba kuna kamba iliyo anikwa nguo za kiume. Nikazichukua kwa haraka nguo hizi ambazo sikuli kama ni mbichi au zimekauka. Nikaona mlango wa chumba uliopo wazi, Kwa haraka nikabadilisha nguo zangu na kuvaa nguo hizi huku jaketi langu la kuzuia risasi nikiwa nimelivaa juu ya hii tisheti.
 
Nikachungulia nje, sikuona watu nikatoka kama mtu wa kaiwada na kuanza kutembea kwenye kordo ya hii nyumba. Nikafika mlango wa mbele, nikachungulia nje, nikaona gari za askari zikikatiza kila sehemu huku askari wa kikosi cha NSS wakikimbia wakihisi nimelekea huko wanapo eleka.
 
Raia ambao nao wamesikia milio ya risasi kila mmoja alihitaji kuokoa maisha yake. Nikatazama mazingira jinsi yalivyo kaa. Nikajitama na jaketi langu hili la kuzuia risasi, lipo tofauti na askari wa vikosi vyote waliopo katika hili eneo. Sikuwa na jinsi zaidi ya kulivua. Nijajichanganya kwenye kundi la wananchi wanao jaribu kuyaokoa maisha yao. Kitu kikubwa ambacho kinanisaidia ni hichi kifaa cha mawasiliano kilichopo masikioni mwangu, ninaweza kunasa mawasiliano ya wana NSS ambayo yaliweza kuniongoza na kupita sehemu ambazo wao hawapo. Kwa kutembea kwa kujihami na kujificha ficha nikafanikiwa kufika eneo la Makorora. Nikakivua kifaa hichi cha mawasiliano kwa maana nikizungumza na mtu basi sauti yangu itasikika. Nikakiangusha chini na kukikanyaga kwa kiatu na kukiponda ponda. Nikatembea hasi sehemu walipo waendesha pikipiki
“Inakuwaje wana”
 
“Poa vipi chief”
“Poa, oya mwana nirushe hapo Sahare”
“Buku nne mwana”
“Hakuna tabu”
“Oya wana ngona nimpeleke mchizi”
Dereva bodaboda, akawasha pikipiki yake, na mimi nikapanda tukaondoka eneo hili.
“Nasikia Tangamano kimenuka?”
“Kimetokea kitu gani?”
“Nasikia kuna milio ya risasi, wananchi wametawanyika kila mmoja ameokoa roho yake”
“Ahaaa, mimi sijaisikia hiyo ishu”
“Ahaa mwana kimenuka kishenzi aisee, yaani raisi timu, sijui hata raisi kama amesalimika”
Dereva huyu wa pikipiki aliendelea kunipa taarifa na mimi nikajifanya mgeni sana katika taarifa hii.
 
“Duu ila si anawalinzi raisi”
“Yaaa alafu raisi mwenyewe demu yaani tabu tupu”
“Ila si tulimchagua kwa kura zetu”
“Ahaa mimi sikumpa kura, nilikuwa ninamkubali yule raisi aliye pita ila sijui kwa nini aliumwa”
“Ahaa hayo ni mambo yao wenyewe.”
“Kweli kaka”
Nikamuelekeza hadi mtaa ambao ninaishi. Kitu kikubwa kilicho niumiza kichwa ni pesa, kwa maana nimeacha pesa zangu kwenye suruali niliyo ivaa, na nilijisahau kabisa kukagua mifuko ya suruali ambayo nimeivua. Nikaanza kuigiza kujipapasa mifukoni mwangu nikiwa kama sielewi hali halisi niliyo nayo.
“Vipi?”
Dereva boda boda aliniuliza huku akiwa amenitumbulia macho ya mshangao.
 
“Natafuta waleti yangu siioni mwana”
“Ahaa itakuwaje sasa?”
Dereva bodaboda sauti yake nikaona ikibadilika na kueleka katika hali ya hasira. Gari ya Cajoli ikasimama pembeni yetu.
“D”
Cajo aliniita baada ya kufungua kioo cha gari nikasogelea kwenye gari.
“Nipatie elfu tano”
Cajoli akanipatia shilingi elfu tano, nikampatia dereva bodaboda ambaye muda wote alikuwa akinitumbulia macho tu.
“Kaka pesa yako, shukrani”
Nikaingia kwenye gari na kuondoka na Cajoli.
“Nimesikia kuna tatizo limetokea Tangamano, wewe ndio umesababisha?”
“Ndio”
“Dany huoni kwamba hii hali itakuwa ni hatari kwako?”
“Natambua, ila nitahakikisha kwamba kila jambo linakwenda kutulia, ulikuwa unatoka wapi?”
 
“Nilikuwa ninakwenda huko Tangamano kushuhudia kwa maana niliona kwenye tv cha kumshukuru Mungu nimewexa kukukuta hapa”
Tukafika nyumbani n amoja kwa moja tukaelekea chumbani baada ya kushuka kwenye gari.
“Siamini kama nimeshindwa kumuua raisi”
“Dany ni kitu gani ambacho uliniahidi?”
“Yaa nilikuahidi, ila nikipata nafasi ni lazima nimuue”
“Dany”
“Cajoli hili swala ninakuomba usiliingilie kabisa natambua ni nini ninacho kifanya”
Nilizungumza kwa kufoka hadi Cajoli akaka kimya huku mwili ukimtetemeka kwa maana Cajoli kwa siku hizi mbili tangu tuanzishe uhusiano watu hakuwahi kuniona nikiwa nimekasirika kwa kiasi hichi.
 
“Am sorry mume wangu”
Cajoli alizungumza kwa sauti ya upole huku machozi yakianza kimwagika usoni mwake. Taratibu nikamshogelea na kumkumbatia.
“Usijali mke wangu nimekusamehe”
“Nimezungumza hayo yote kwa ajili ya upendo wangu tu kwako, sihitaji uondoke mikononi mwangu nimesha kuzoea.”
“Nimekuzoea pia mke wangu”
Nikamuachia Cajoli na kuwasha Tv, taarifa ambayo inaonyeshwa kwa wakati huu ni kusiana na tukio zima mashambulizi yaliyo tokea katika uwanja wa Tangamano. Muandishi akamuhoji mkuu wa ulinzi ambaye ni Babyanka kuhusiana tukio lililo tokea.
“GAIDI AMBAYE TUNAMTAFUTA ANAJULIKANA KWA JINA LA DANY, PICHA ZAKE TUTAANZA KUZISAMBAZA MUDA MFUPI KUANZIA HIVI SASA KWENYE VYOMBO VYA HABARI. ILA NINACHO TAKA KUMUELEZA DANY, POPOTE ULIPO NAJUA BADO UPO TANGA NITAHAJIKISHA SAA SITA USIKU HAIFIKI NITAKUWA NIMEKUKAMATA NA SHERIA ITACHUKUA SHERIA YAKE.”
Maeno ya Babyanka yakanifanya nichukue rimoti ya Tv na kuizima, Cajoli akabaki akiwa amenitumbulia macho na kukosa cha kuzungumza.

AISIIIII……….U KILL ME 102                                                                                                

Nikazima tv na kuirudisha rimoti juu ya meza. Nikaka kwenye sofa huku kichwa changu kikiwa kimejawa na mawazo mengi sana.
“Dany si wanaweza kuja hadi hapa?”   
“Sidhani, ila ninahitaji kuondoka hapa”
“Uondoke hapa!!?”
“Natambua utapata sana shida wakifahamu kwamba mimi nipo hapa”
“Dany no, siwezi kuruhusu hilo swala kuweza kutokea kwako, ni bora hata ufikiria mbinu nyingine ya kufanya ila si kuondoka hapa Dany”
“Cajoli ila hii unaona hii ni hatari kwenye maisha yako”
“Vyovyote Dany ila sitaki uondoke kwanguu”
Cajoli alizungumza huku akimwagikwa na machozi mfululizo. Nikakaa kimya huku nikiendelea kufikiria ni mbinu gani nyingine ambayo ninaweza kuifanya”
 
“Ok nimefikiria mbinu nyingine”
“Mbinu gani?”
“Nahitaji kukua”
“Kukua?”
“Ndio”
Nikanyanyuka kwenye sofa na kueleka katika chumba ambacho kina silaha ambazo tulizihifadhi.
“Dany ila maneno yako kusema kweli sijayaelewa”
“Najua kwa sasa hivi huto weza kuielewa”
“Naomba unifafanulie kwa maana mimi ndio mtu wako wa karibu ambaye unaweza kunieleza kila kitu kinacho kusumbua”
“Cajoli nimeishia kwa miaka minne sasa, nikiwa ninaonekana kwamba mimi ni gaidi, ila kusema la ukweli mimi sio gaidi, nilikuwa ni mpelelezi katika kikosi cha NSS”
“Imekuwaje ukaonekana wewe ni gaidi?”
“Ni mambomengi ambao yametokea, kwenye maisha yangu, nikianza kukusimulia ninaamini leo hii itaishia nikiwa ninakusimulia”
 
“Niambie kwa kifupi tu Dany, au huniamini?”
Nikamtazama Cajoli usoni mwake, taratibu nikaanza kumsimulia historia ya maisha yangu kwa ufupi. Kitu nilicho kiepuka ni kumsimulia kuhusiana na maswala ya mahusiano ambayo niliyapitia hapo nyuma.
“Kwa sasa sihitaji kuwa mtu mwema”   
Nilizungumza huku nikiwa nimeyakaza meno yangu kwa hasira kwa maana maisha yangu yameharibika kutokana na mambo ya ajabu ajabu kwenye hii nchini. Watu wachache wananifanya nishindwe kuishi kwa amani, nishindwe kufanya mambo yangu kwa uhuru kama mwananchi wa kawaida ambaye ninahitaji kuyafurahia haya maisha kama wananchi wengine.
 
“Dany”
“Mmmmm”
“Nipo tayari kuhakikisha kwamba unakuwa mtu yoyote. Nimeumbwa kwa ajili yako, nipo kwa ajili ya kukusaidia, hukustahili kupitia magumu yote hayo ambayo umeyapitia. Bado kijana mdogo, laiti leo hii usinge kuwa umepitia matatizo hayo uliyo nieleza, ninaamini leo hii ungekuwa mbali sana”
“Yaa”
“Sasa unataka kuwa nani?”
“Gaidi, gaidi kama wanaye msema wao”
“Hata mimi nipo tayari kwa hilo”
“Real”
“Ndio Dany”
Tukajikuta tukikumbatiana kwa nguvu huku kila mmoja akilia kwa uchungu, ninamshukuru Mungu kwa kunipatia Cajoli, japo nimepitia mambo mengi, ila Cajoli amekuwa ni msichana anaye jitoa maisha yake kwangu mimi, japo wapo wengi ambao walijitoa maisha yao kwa ajili yangu ila kila mmoja alikuwa na malengo yake kwenye haya maisha.
 
“Nakupenda sana Dany”
“Ninakupenda pia honey”
Taratibu tukajiuta tukianza kunyonyana midomo yetu, hisia za mapenzi zikaitawala miili yetu. Tukaanza kupeana raha ambayo inastahili kwenye mahusiano yetu, baada ya kuhakikisha kwamba tumeridhika na kila mmoja amepata haki kwa mwenzake, tukaingia bafuni na kuoga.
“Nahitaji umpigie shem Cajoli”   
“Nimueleze nini?”
“Nahitaji kuitingisha serikali kwa huu mpango ninao uhitaji kuufanya. Nahitaji viongozi wote walio ingia madarakani kwa njia za short cut, nilazima watoke”
“Sawa”
Cajoli akachukua simu yake na  kumpigia Cajoli.
“Unaweza kuja kwangu”
“Nakuomba ufanye hivyo”
“Poa best”
Cajoli akakata simu na kurudi kitandani nilipo kaa.
“Anakuja ndani ya dakika kumi atakuwa hapa”
 
“Yupo hapa hapa town?”
“Sijamuuliza, ila huwa Cajol akisema dakika kumi, basi ni kumi kweli”
“Unaweza ukaniletea zile nguo nyeusi nilizo zichukua kwa Cajoli”
“Yaa zipo humu kabatini”
Cajol akanitolea nguo hizo ambazo zipo kwa ajili ya mapambano tu. Nikazivaa, na kujitazama kwenye kioo vizuri.
“Hapa kazi inakwenda kuanza leo hii”
Ndani ya dakika kumi, Cajoli akafika nyumbani kwetu.
“Shem wewe ndio umesababisha varangati lile?”
“Yaani wee acha tu”
“Mmmm ni shida aiseee kumbe una mtiti yaani huko njiani magari full kukaguliwa. Tanga sijawahi kuona foleni ila leo foleni ipo”
“Watanisaka sana, ila nahitaji kuwakomesha kwa aina nyingine”
“Kiaina gani”
 
“Nahitaji kutega bomu la nyuklia na ninahitaji raisi atoke madarakani”
Cajoli wote wakaka kimya huku kila mmoja akitafakari ni nini cha kunishauri kwa maana swala la bumu tena la nyuklia ni swala jengine sana kwenye maisha haya ya Waanzania.
“Dany”
“Ndio shem”
“Unajua uzito wa bomu la nyuklia?”
“Ndio ninafahamu”
“Unajua madhara yake yanakuwaje?”
“Cajoli hadi kuzungumza hivyo ujue ninatambua kila kitu. Mimi nilikuwa ni agent wa NSS, hao unao waona sasa hivi barabarani wakinitafuta, mimi nilikuwa ni miongoni mwao”
“Dany mume wangu, ila hili swala tulitazame kwa jicho jengine, kuna mamilioni ya watu ambao hawana hatia kwenye kisasi chako, sasa kwa nini unataka hao nao wahusike kwenye vifo vya bomu hilo”
 
“Hamjanielewa maana yangu. Nilikuwa nina maanisha kwamba kwa kutumia bomu hilo nitaji raisi kuweza kuachia madaraka”
“Asipo achia na bomu unalo inakuwaje hapo shem?”
“Nina lilipua”
Taratibu nikamuona Cajoli akikaa kwenye sofa huku akionekana kuchoka, ninahisi moyoni mwake anajutia sana kuwa katika mahusiano na mimi.
“Shem”
“Naam”
“Hili swala ni kubwa sana, ninakuomba tufikirie mbinu nyingine”
“Munahitaji kunisaidia au laa?”
Nilizungumza kwa ukali hadi wote wakastuka.
“Tupo tayari kukusaidia”
“Shukrani shem, kuanzia sasa sihitaji muwasiliane na watu wengine zaidi yangu mimi”
“Sawa”
 
“Natambua NSS akili zao, kwa sasa wananitafuta kwenye barabara, viwanja vya ndege, baharini. Huku kwenye majumba hawatoweza  kunitafuta. Kama itawezekana nalihitaji lile bomu”
“Dany kusema kweli bomu kulileta  mjini hapa kwa njia ya gari ni ngumu sana. Labda cha kukushauri hapa twende Kange kule tunaweza kupanga kila kitu”
“Wazo zuri, honey nikuombe kitu?”
“Ndio”
“Nakupenda sana mke wangu, ninakuomba hili swala niweze kulifanya mimi na shem”
“Cajoli ni mtu muhimu kwetu ana uwezo mkubwa sana katika maswala ya computer na ugunduzi. Best au bado hukumueleza mumeo juu ya kipaji chako”
“Nilihitaji kumfanyia suprize, ili nitahakikisha kwamba kila jambo linakwenda vizuri”
“Basi nyinyi mutakwenda pamoja mimi nitajua wapi kwa kupitia”
“Sawa, ila itahitajika pikipiki kuhakikisha kwamba unafika kwa wakati”
 
“Pikipiki itapatikana wapi?”
“Ngoja niwasiliane na Hassani”
Shem Cajoli alizungumza, sikutaka kumzuia kwa maana ili niweze kufika kange kwa nja rahisi ni kuhakikisha kwamba ninapata pikipiki.
“Niletee pikipiki hapa kwa wajina”   
“Nahitaji mpya yenye uwezo mkubwa. Iwe full tank”
“Acha kunihoji mswali mengi wakati maelekozo nimekupatia”
Cajoli akakata simu na kututazama.
“Pikipiki italetwa baada ya muda mchache kuanzia sasa”
“Sawa, jiandaeni kwenda Kange. Hivi sasa ni saa mbili kasoro usiku”
 
Cajoli na mwenzake hawakupinga chochote, wakaanza kujianda. Haukupita muda mwingi Hassani akaleta pikipiki aina ya boksa, akamkabidhi shem Cajoli, kisha jamaa akaondoka pasipo kielewa kitu kinacho endelea.
“Mlinzi weko hivi anatambua uwepo wangu?”
“Sidhani honey”
“Kwa shem, mlizi hakuwahi kukuona?”
“Nikirudi nipo ndani ya gari, nikishuka ninaingia ndani. Hajawahi kuniona kabisa”
“Ngoja nimpe likizo”   
Cajoli akatoka na kuniacha na shemeji. Kwa kupitia dirishani nikamuona akizungumza na mlinzi. Kisha akarudi ndani, akachukua kiasi cha pesa na kwenda kumkabidhi mlinzi huyu ambaye hakuonekana kurishishwa na maamuzi haya ya muda mfupi.
 
“Sisi utatukuta Kange”   
“Sawa kuweni makini”
“Poa”
Cajoli na rafiki yake wakaondoka hapa nyumbani huku kila mtu akitumia gari lake. Nikakaa kwenye sofa huku nikisubiria masaa yazidi kusonga mbele ili hata nikuondoka basi asinione mtu yoyote. Nikawasha tv na kukuta habari yangu ikiwa ndio inatawala kwa wakati huu. Picha zangu zinarushwa kwenye kila kituo cha televishion huku mtu ambaye atafanikisha kukamatwa kwangu atazawadia shilingi bilioni moja ya Kitanzania.
 
“Wenda wazimu nyinyi”
Nilijikuta nikizungumza huku nikielekea ndani ya chumba chenye begi lenye silaha. Nikachukua begi na kurudi nalo sebleni. Nikaanza kukiko bastola moja baada ya nyingine huku nikizichomeka sehemu mbali mbali katika mwili wangu, nikianzia kiunoni hadi miguuni, na uzuri wa suruali niliyo ivaa ina sehemu nyingi ya kufichia silaha.
 
Ilipo timu saa tano kamili usiku nikatoka nje na begi langu. Nikaliweka kwenye pikipiki vizuri. Nikaufunga mlango wa kuingilia ndani kwa Cajoli kisha funguo nikaificha kwenye kopo la maua lililopo karibu na mlango. 

Nikapanda pikipiki, taratibu nikatoka getini huku nikiwa nimevaa kofia maalumu la pikipiki, kwenye viganja nimevaa glovos ngumu na zenye rangi nyeusi kuhakikisha kwamba mikono haitelezi. Safari yangu nikainza huku nikiwa makini sana kila ninapo pita. 

Nikiwa katika maeno ya msikiti wa Madina, gari mbili za polisi nikaziona zikija nyuma yangu kwa kasi huku zikiwasha ving’ora, jambo lililo nifanya nizidi kuongenza mwendo kasi wa piki piki yangu aina ya Boxer, ambazo husifika kwa mwendo kasi barabarani.

==>>ITAENDELEA KESHO

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

MWIFU: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0782682648  au 0656 551 093  au 0746473974

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 07

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA  

“Wewe ndio binadamu wa kwanza kuwa rafiki yangu.Ila ninakuomba usije ukanisaliti siku hata moja, ukinisaliti kila kitu kitamu kwako nitakibadilisha na kitakuwa kichungu na urafiki wangu mimi na wewe utakufa sawa”
Ethan mwenzangu alizungumza kwa ukali kidogo na msisitizo, nikatingisha kichwa nikimaanisha kwamba nimemuelewa anacho kizungumza.
“Unahitaji nguvu si ndio?”
“Ndio”
Kwa ishara Ethan akaniomba nisimame mbele yake, akaniamrisha nipige magoti mbele yake na nikapiga kweli magoti. Akaniweka mkono wake wa kulia kichwani mwangu, mwili wangu mzima nikahisi kuna nguvu fulani inaniingia, Ethana akaendelea kunipatia nguvu hadi mwili wangu ukaanza kutetemeka, na mwishowe nikajikuta nikianguka chini na kupoteza fahamu.

ENDELEA
“Ethan, Ethan”
Niliisikia sauti ya marafiki zangu wakiniamsha kutoka usingizini, nikafumbua macho yangu na kumuona rafiki yangu akiwa amepanda ngazi za kitanda changu huku akinitazama.
 
“Kumepambazuka, amka tuwahi darasani?”
“Ni saa ngapi?”
“Sa moja kasoro asubuhi”
Nikakurupuka kitandani kwa haraka sana, kwani muda wa kuamka siku zote ni saa kumi na mbili asubuhi. Nikakimbilia bafuni huku nikiwa nimejifunga taulo, nikaingia bafuni na kuanza kuoga haraka haraka huku nikijaribu kufikiria nimeruidije rudije hapa chuoni. Ila sikuhitaji kuliweka sana jambo hili akilini mwangu kwa maana ni mara nyingi huwa nina toka na Ethan mwenzangu ambaye jana niliweza kumtambua jina lake na muonekano wake, na kisha tunarejea sehemu anapo nitoa. Nikarudi chumbani, nika wakuta wezangu wamesha niandalia nguo zangu za kuvaa jambo ambalo kwa kweli lime nishangaza sana. 
 
“Asanteni”
Nilizungumza huku nikianza kuvaa nguo zangu, nilipo hakikisha kwamba nimemaliza, kuvaa na viatu tukatoka chumbani humu na kuelekea kwenye kiwanja ambacho tunakusanyika wanafunzi wote kila asubuhi na baada ya hapo tunaelekea kwenye madarasa yetu. Mkuu wa chuo akatutangazia kuhusiana na kuanzisha ligi ya mpira kwa shule nzima kuanzia msingi hadi sekondari, msindi atakaye patikana katika shule ya msingi atacheza fainali na mshindi atakaye shida katikashule ya sekondari. 

Furaha ikanijaa sana kwani hii ndio nafasi yangu ya pekee ya kuzidi kuonyesha kipaji changu cha mpira. Tukaruhusiwa kutawanyika darasani, kwa haraka Camila akanifwata sehemu nilipo simama na rafiki zangu, nikajitenga pembeni na rafiki zangu.
“Vipi mpenzi wangu”
Camila alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.
“Salama niambie”
“Safi, nimekuletea zawadi, usiifungue nenda kaifungue darasani kwako”
Camila akanipatia kiji boksi kidogo alicho kifunga vizuri na kuandika jina langu juu ya kiboksi hichi.
“Kuna nini?”
 
“Wewe nenda kafungulie darasani kwako”
Camila alinisisitizia na akaondoka huku akiwa ameongozana na kundi la rafiki zake. Nikiwa rafiki zangu watatano, tukaelekea darasani kwetu, ubaya mimi na Camila tupo madarasa mawili tofauti. Nikaka kwenye dawati langu, kwa haraka nikafungua kiboksi hichi na kukuta karatasi nyeupe iliyo kunjwa vizuri, kwa haraka nikaifungua, sikuamini macho yangu baada ya kukuta picha yangu ya jana nilipo funga goli la tikitaka, ikiwa imechora vizuri. Nikayashusha macho yangu hadi kwenye jina la mchoraji na nikakuta ni Camila.
“Ethan ni nani amekuchorea hivyo?”
Binti mmoja aliniuliza huku akichungulia picha yangu, kwa haraka nikaikunja na kuiweka katika mfuko wa kaptula yangu.
 
“Hamna kitu”
Nilimjibu kwa ufupi tu, akiangia mwalimu wa hesabu, somo ambalo kusema kweli silipendi hata kuliona, japo nipo darasa la kwanza ila kusema kweli lina nishinda nahata ufuliji wake kwa upande wangu si mkubwa kivile.
Mwalimu akaendelea kufundisha huku akilini mwangu nikiwa nina fikiria picha niliyo pewa zawadi na Camila mwanamke ambaye taratibu ana anza kuuteka moyo wangu.
Kitu nilicho weza kukigundua kwenye nchi hii, watu wana uhuru wa kueleza hisia zao kwa wanao wapenda haijalishi umri ua jinsi. Ni tofauti na bara letu la Afrika hususani katika nchi yangu ya Tanzania, ni marufuku watoto kupenda hadi wafikishe miaka kumi na nane au watoke nyumbani kwa wazazi.
 
“Ethan njoo ujibu swali hili ubaoni?”
Nikastuka sana baada ya mwalimu kunigusa begani mwangu, nikatazama swali lenyewe ubaoni, ni swali linalo husiana na maswala ya kuzidisha, hesabu ambazo kusema kweli zizipendi. Darasa zima wakanitazama, mwalimu akanikabidhi chaki, taratibu nikanyanyuka huku nikiwa nimejawa na wasiwasi mwingi sana.
‘Unashindwa wapi, waza’
Niliisikia sauti ya Etathan akiniongelesha. Nikasimama ubaoni, nikafikiria kidogo na nikaweza kupata jibu la swali hili, nikalijaza na mwalimu akawaamuru watu kunipigia makofi kwa maana nimepatia swali lake, jambo lililo anza kunipa faraja na kulipenda somo la hesabu.
                                                                                                                   ***
    Siku ya mapumziko ikafika, bibi Jane Klopp akafika shuleni hapa kunitembelea, kama ilivyo kuwa kawaida kwa wazazi wenye wanafunzi wengine kuja kunitembelea. Nikasalimiana naye kwa furaha huku tukikumbatia.
“Hongera sana Ethan”
“Hongera ya nini tena mama?”
 
“Nimesikia sifa zako kutoka kwa mwalimu wako wa mpira na amenitumia video hii ukicheza mpira”
Bibi Jane Klopp akanionyesha video iliyo rekodiwa na simu, nikiwa ninacheza mpira.
“Ukiendelea hivi nakuhakikishia kwamba utakuwa ni mchezaji mzuri sana mwanangu”
“Sawa mama, nakuahkikishia kwamba ninatakuwa mchezaji mzuri sana, na nitafanya kila liwezekanalo kuliweka jina la baba juu”
“Hahaaa safi sana, nimefurahi kusikia hivyo, nitakutengenezea jezi yako iliyo andikwa E.KLOPP au unasemaje”
“Yaa itakuwa ni nzuri sana mama. Vipi dada na baba wanaendeleaje?”
“Wanaendelea vizuri, dada yako amesha anza kutembea, nimewaacha leo wakielekea hospitalini kwa vipimo vya mwisho”
“Aha sawa sawa, atapona”
“Ni kweli atapona Mungu ni mwema”
Nikamuona Camila na walinzi wake wakika katika benchi hili tulilo kaa mimi na bibi Jane Klopp katika bustan hii. Camila akamsalimia bi Jane Klopp kwa heshima zote. Nikamtambulisha Camila kwa bibi Jane Klopp.
 
“Ninamfahamu huyu binti, mama yako si Priscar”
“Ndio bibi”
“Yaa wewe na mama yako ni marafiki sana. Ninafurahi sana kuona umekuwa rafiki wa mwanangu hapa shule, kikubwa hakikisheni kwamba muna zingatia masomo. Sawa”
“Sawa mama”
“Vipi mama yako amekuja kukutembelea leo?”
“Hapana, takuja babu baadae”
“Ahaa, ndio maana nimeona ulinzi umeimarishwa hapa”
“Ndio bibi”
Tukaendelea kuzungumza na bibi Jane Klopp hadi wakati wa mchana na tukapata chakula pamoja kisha akatuga na kuondoka.
“Babu yako atakuja muda gani?”
“Kwenye saa tisa hivi”
“Ila si raisi baba yako?”
 
“Ni raisi kwa watu wengine ila kwangu mimi ni babu yangu, nimemuomba aje kunitembelea na atakuja”
“Sawa, ngoja nipeleke hizi zawadia alizo niletea mama, bwenini”
“Twende wote”
“Wee Camila umeona wapi bweni la wavulana mukaingia nyinyi wasichana”
“Wewe twende”
“Mmmmm”
“Tena lete nikusaidie kubeba mfuko huo”
Camila akanisaidia kubeba mfuko mmoja mweusi. Tukaanza kutembea taratibu kuelekea bwenni huku walinzi wake wakitufwata kwa nyuma. Tukafika kwenye mlango wa chumba ninacho lala, nikamuomba aweze kunisubiria nje, ila akanikatalia, na akawaamuru walinzi wake wasubiri nje na tukaingia wote ndani.
 
“Camila ila tunavunja sheria za shule”
“Babu yangu anakuja leo, walimu wote akili zao zipo kwenye ugeni huu wala usihofie, hakuna atakaye jua hili”
Camila alizungumza huku akiufunga mlango kwa ndani. Mapigo ya moyo yakazidi kunienda kasi kwnai kusema kweli katika vitu ninavyo ogopa ni katika kuvunja sheria ya shule na isitoshe bibi Jane Klopp hata leo ametoka kunisisitizia hili. Camila akaitazama picha aliyo nipatia kama zawadi nikiwa nimeibandika ukutani pembeni ya kitanda changu.
 
“Nilikupatia”
“Aliye chora ni wewe?”
“Ndio ni mimi, mama yangu ni mchoraji mahiri sana na nimerithi kipaji chake”
“Hongera sana”
Camila akanisogela sehemu nilipo simama, akanikumbatia kwa nguvu.
“Ethan ninakupenda sana natamani miaka iende tukue, tuanze kuishi pamoja”
 
“Usijali, tutafikia tu umri wa kukua”
Taratibu Camila akanitazama usoni mwangu, kisha akayafumba macho yake huku akiusogeza mdomo wake karibu yangu, jambo lililo nishangaza sana na kunifanya nitetemeke mwili mzima hadi nikahisi haja ndogo inataka kunitoka. Midomo yetu ikagusana, hapo ndipo nikahisi ubaridi mkali ukikatiza mwilini mwangu kutoka utosini hadi kwenye nyanyo zamiguu yangu. Kitendo cha Camila kuupenyesha ulimi wake katikati ya lipsi zangu na kugusana na ulimi wangu, nikahisi msisimko ulio fanya uume wangu kusimama. Mlango ukagongwa, Camila akaniachia kwa haraka huku macho yakiwa yamelegea. 
 
“Madam, raisi anakaribia kufika shuleni, unaweza kutoka sasa”
Tuliisikia sauti ya mlinzi wake mmoja. Camila akashusha pumzi kwa nguvu.
“Nina kuja”
Camila alijibu kwa sauti ya ukali, kisha akanibusu shavuni mwagu.
“Nakupenda Ethan”
“Ninakupenda pia Camila.”
“Twende ukamuone babu yangu”
 “Ahaa…siku nyingine nitamuona”
“Twende bwana”
“Hapana Camila”
 
Nilizungumza huku nikiushika uume wangu nikiuweka vizuri kwenye suruali yangu hii ya kushindia niliyo ivaa. Camila akanitazama kwa muda kisha akatabasamu, akanibusu mdomoni kisha akatoka ndani humu na kuniacha nikiwa hakika hali ya mawazo yangu, kwani hali ninayo jihisi mwilini mwangu, leo hii ndio mara yangu ya kwanza. Nikajilaza kiyandani mwangu huku nikiwa bado siamini.
‘Hahaaaha…….’
Nilisikia kicheko cha Ethan ndani ya chumba hichi, nikaka kitako kitandani na kumkuta akiwa amekaa kitanda cha mbele yangu.
“Mbona umekuja saa hizi, watu si watakuona?”
“Hakuna ambaye anaweza kuniona zaidi yako. Mbona umeshindwa kufanya chochote kwa mchumba wako?”
“Ethan kumbuka mimi bado ni mtoto na mambo hayo wala siyaelewi”
“Hahaaa…utataka kuyaelewa?”
“Hapana kwa muda huu acha kwanza nisome”
“Sawa, ila kuwa makini sana na huyu binti”
“Makini kivipi?”
 
Mlango ukafunguliwa akaingia rafiki yangu mmoja ambaye analala chumbani humu.
“Mbona unazungumza peke yako au nimesikia vibaya?”
“Utakuwa umesikia vibaya.”
“Twende tukampokee raisi?”
“Najisikia vibaya nahitaji kupumzika kidogo”
“Ahaa….sawa, kwa maana nilikutafuta kule nikahisi kabisa kwamba utakuwepo huku”
“Vipi wazazi wako wamekuja?”
“Ndio wamekuja na wamesha ondoka”
“Sawa”
 
Rafael akatoka chumbani humu na kuniacha mimi na Ethan ambaye ni jini asiye onekana kwa watu wengine zaidi yangu mimi peke yangu.
“Ethan umesema kwa nini niwe makini na huyu binti”
“Anakupenda sana, sasa kukupenda kwake, kusije kukakuletea matatizo katika masomo yako na amani yako”
“Kivipi?”
“Ni mapema sana kuzungumzia mambo ya miaka mitano ijayo mbeleni, kwa sasa endeleeni kula maisha”
Ethan alizungumza huku akicheka.
“Hivi jana ilikuwae?”
“Imekuwa kama ilivyo kuwa au?”
“Mbona nilijikuta nikiwa kitandani?”
“Yaa nguvu ambazo nimekupatia utazitumia kwa miaka ijayo.”
“Miaka mingapi ijayo?”
“Ohooo Ethan”
“Nini?”
 
“Angalia mlangoni”
Nikatazama mlangoni, sikuona kitu chochote, nikageuka kumtazama katika sehemu ambayo alikuwa amekaa, ila sikumuona, nikastukia mlango ukifunguliwa, akaingia mzee mmoja aliye valia suti nzuri huku akiwa ameongozna na walinzi huku mkono wake wa kulia akiwa ameshika Camila ambaye usoni mwake ana mwagikwa na machozi. Nikanyanyuka kwa haraka kitandani na nikamsalimia mzee huyu kwa heshima sana, ila sura yake ikaonyesha kukasirika sana, na kwa haraka nikaweza kumtambua kwamba huyu ndio raisi wa hapa Ujerumani kwa maana picha yake ipo katika ofisi ya mkuu wa shule na waalimu wengine.

==>>ITAENDELEA KESHO
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images