Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Habari MUHIMU Toka Kurugenzi Ya Mawasiliano ya Rais IKULU Leo October 9

0
0
Benki ya Dunia inatekeleza miradi ya maendeleo yenye thamani ya shilingi Trilioni 10.2 nchini Tanzania na sasa inaandaa miradi mingine katika sekta ya elimu itakayogharimu shilingi Trilioni 1.4 kabla ya kufika Desemba 2018. 


Profesa Lipumba Adai Mgombea Wa CUF Anahujumiwa Liwale, Amtaka Mkuu wa Mkoa Aache Kuwatisha Wanachama Wake

0
0
Profesa Ibrahim Lipumba, mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa amesema kuna njama za kukinyima ushindi chama hicho katika uchaguzi wa ubunge wa Liwale utakaofanyika Jumapili Oktoba 13, 2018.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumanne Oktoba 9, 2018, Lipumba amesema Liwale ni ngome ya CUF lakini wameanza kunusa harufu ya kupokwa ushindi.

“Mgombea wetu Mohamed Rashidi Mtesa anakubalika na tangu achaguliwe kuwa diwani kata ya Liwale amefanya mengi na hata kushirikiana na watendaji wa Serikali ila kwa sasa  tumeanza kuhisi kufanyiwa rafu, tunaiomba tume (Tume ya Taifa ya Uchaguzi-NEC)  itende haki," amesema Lipumba.

Amesema katika kudhihirisha kuwa Liwale ni ngome ya chama hicho, katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, CUF ilishinda kata 17 na CCM kata saba.

Amedai kuwa CCM inataka kulichukua jimbo hilo kwa nguvu kwa kuwatumia baadhi ya watumishi wa umma.

Amesema si vyema Taifa wakati likiadhimisha kumbukumbu ya miaka 19  ya kifo cha Mwalimu Julius Nyerere, likaingia kwenye vurugu za uchaguzi Liwale.

“Tufanye uchaguzi wa haki ili mshindi apatikane kwa haki. Liwale ni ngome yetu na hiyo inatokana na mizizi iliyowekwa na muasisi  wa chama chetu Mzee Shaban Mloo.

"Mawakala wetu wamekula viapo lakini mpaka sasa hakuna hata mmoja aliyepewa nakala za viapo hii ni dhahiri kwamba kuna njama ambazo zinafanyika kutowapitisha ili wajitangazie ushindi kwa kuiba kura"

"Tunamtaka Mkuu wa Mkoa wa Lindi aache mara moja tabia ya kufanya mikutano ya hadhara kwa madai anahamasisha maendeleo na kuwataja wanachama wa CUF kuwa atawakamata kwa sababu yeye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama " Amesema Prof Ibrahim Lipumba

Uchaguzi Liwale unafanyika baada ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya CUF, Zuberi Kuchauka kujiuzulu na kujiunga na CCM. Kuchakua ni mgombea wa CCM katika uchaguzi huo.

Okoa Ndoa Yako Mke,Mume Na Afya Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Za Asili

0
0
Asilimia kubwa ya binadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wengi wamejaribu kutumia tiba sehemu tofauti bila mafanikio na  kukata tamaa hasa kina baba ambao ndoa zao au mahusiano yao na wapenzi wao yapo hatarini kuvunjika kwa sababu Mume hana uwezo wa kumridhisha mpenzi wake 

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MKE AU MPENZI WAKO SABABU ETI UNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME MDOGO: tumia dawa ya NSENWA POWER ;dawa hii hutibu na kuponesha tatizo la  nguvu za kiume .

1 itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
2 itakupa uwezo kuchelewa kukojoa mda wa dakika 15-20 na kumfanya mpenzi wako naye aridhike 
3 huimalisha misuri iliyo legea na kusinyaa 

JE UNA UUME MFUPI NA MWEMBAMBA : tumia dawa ya MASHESHE NO 2; hii huboresha uume saizi upendayo kuazia urefu wa inch 5,6,7,8 na unene  wa sentumita 2,3,4,5, dawa hizi hazina madhara yeyote kwa mtumiaji hata wazee hutumia na kupona 

MASANZA ni dawa ya vidonda vya tumbo zipo dawa za mvuto wa biashara ,mpenzi,uzazi ngiri,korodani kuvimba miguu. mgongo,kiuno kuuma nk 

MAHALI ILIPO OFISI UNAWEZA UKASHUKIA BUGURUNI MALAPA AU BUGURUNI ROZANA na MWANZA YUPO WAKALA pia unaweza ukaletewa popote ulipo wasiliana nami 0783185060  0752348593 DR AGU

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Mch. Peter Msigwa apigwa marufuku kufanya mikutano jimboni kwake

0
0
Mbunge  wa Jimbo la Iringa mjini, Peter Msigwa, amepigwa marufuku na jeshi la polisi mkoani humo  kuendelea na mikutano yake ya hadhara ya kuzungumza na wananchi iliyoanza jana kwa kile ambacho polisi  wamedai kuwa mkutano wake alioufanya jana eneo la Kihesa uliambatana na lugha za matusi na uchochezi kinyume na lengo ambalo alilitaarifu jeshi hilo  kwamba anakwenda kufanya mikutano ya kuhamasisha maendeleo, kusikiliza kero za wananchi  na kuzitafutia ufumbuzi.

Mwenyekiti Kamati ya Uchaguzi TFF Ajiuzulu

0
0
Mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF) Wakili Revocatus Kuuli amejiuzulu wadhifa huo.

Kuuli amefikia hatua hiyo kwa kumuandikia barua Rais wa TFF, Walace Karia iliyoeleza kujiuzulu nafasi ya Uenyenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi wa TFF.

Kuuli ameeleza sababu  ya kufanya maamuzi hayo ni kutokana na kuingiliwa majukumu yake ya kazi na katibu mkuu wa TFF Wilfred Kidao.

Hivi karibuni Kuuli alitangaza kuupiga STOP mchakato wa uchaguzi wa klabu ya Simba baada ya kubainika ulikuwa na mapungufu kadhaa, na baadaye Kaimu Katibu Mkuu, Wilfred Kidao akamjia juu.

Kidao alikuja na kumtaka kuandika barua ya maelezo ikimtaka aeleze maamuzi hayo ameyatoa wapi huku akipewa siku tatu pekee awasilishe majibu.

Baada ya kupewa amri hiyo Kuuli alimjia juu pia Kidao na kueleza kuwa hawezi kuingiliwa katika majukumu yake na mpaka imepelekea atangaze maamuzi ya kuachia ngazi.

Waziri Mkuu Awaonya Walimu Kutojihusisha Na Wizi Wa Mitihani.....Asisitiza kwamba vitendo hivyo vinawadharirisha

0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaonya maafisa elimu na walimu kutojihusisha na vitendo vya wizi wa mitihani vinavyofanywa kwa lengo la kuwasaidia wanafunzi kwa sababu vinawadharirisha.

“Kama kweli umemuandaa mtoto huna sababu ya kuiba mitihani na mtoto hawezi kufikiria kuiba mitihani kwa sababu yuko nje ya mfumo. Walimu heshimuni maadili ya kazi ya ualimu.”

Waziri Mkuu ametoa onyo hilo leo (Jumanne, Oktoba 9, 2018) baada ya kukabidhiwa vyumba vya madarasa vya shule za msingi Nyakato na Kashozi, wilayani Bukoba.

Vyumba hivyo vilivyojengwa kwa msaada wa Serikali ya Japan baada ya kuathiriwa na tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera mwaka 2016.

Waziri Mkuu amesema tathmini ya elimu katika shule za msingi na sekondari hufanyika kwa kufanya mitihani, dosari ya udanganyifu wa mitihani iliyojitokeza katika mitihani ya darasa la saba mwaka huu isijirudie tena.

Wiki iliyopitaBaraza la Mitihani la Taifa (NECTA) lilifuta matokeo ya mitihani ya darasa la saba kwa shule za msingi zote za Halmashauri ya Chemba na baadhi ya shule katika halmashauri ya Kondoa, Kinondoni, Mwanza jiji na Ubungo kwa kosa la kuvujisha mitihani.

Waziri Mkuu amesema tayari Serikali imechukua hatua kali kwa watu wote walioshiriki katika kitendo hicho kwa sababu kinadumaza uelewa na ufikiri kwa wanafunzi, hivyo kuwaandaa watoto kuwa wategemezi.

“Hata hivyo, Serikali inaendelea na uchunguzi juu ya suala hili ili kubaini chanzo cha wizi huo. Walimu, kitendo cha kumpa mtoto mitihani ni sawa na kujiaibisha kwani mnaonekana hamjafanya kazi zenu ipasavyo. Sitarajii kusikia suala hili tena.”

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu ametembelea kiwanda cha kahawa cha Amimza ambacho ni kati ya viwanda vikubwa vitano vya kusindika kahawa Barani Afrika, ambapo ametumia fursa hiyo kumpongeza mwekezaji mzawa Bw. Amiri Hamza na kumuhamasisha aongeze uzalishaji.

Kadhalika, Waziri Mkuu ametembelea  kituo cha utafiti Maruku ambapo alikagua na kupokea taarifa za shughuli za utafiti wa zao la kahawa na alitumia fursa hiyo kuwashauri wakulima wenye miti mikongwe kung’oa na kupanda mipya kwa awamu.

Watu 27 Wanaojihusisha Na Biashara Ya Ukahaba Watiwa Mbaroni Jijini Dodoma

0
0
Na.Alex Sonna,Dodoma
Jeshi la polisi mkoa wa Dodoma linawashikilia watuhumiwa 29 wakiwemo makahaba 22 waliokuwa wakifanya bishara ya ngono, wanaume watano waliokuwa wakinunua pamoja na wamiliki wanne wa maeneo yanayoruhusu biashara hizo.

Akizungumza na Waandishi wa habari Leo Kamanda wa polisi Mkoa wa Dodoma Gilles Muroto,amesema  kati ya watuhumiwa hao wanawake ni 22 na wanaume wa tano pia limewakamata wamiliki wanne wa maeneo yanayodaiwa kuruhusu kufanyika kwa ukahaba.

“Katika Operesheni hiyo wahalifu wanaofanya makosa ya udhalilisha wa utu dhidi ya Maadili  tumewakamata  watuhumiwa 29, Makahaba 22, wanaume watano watano na wamiliki  wanne wa maeneo ambayo yanaruhusu kufanyika kwa biashara ya ukahaba ,” amesema Muroto.

Kamanda Muroto amesisitiza kuwa biashara hiyo haitakiwi katika Jiji hili kwani kuna kazi nyingi za kufanya ili kujipatia kupata na si kuuza miili yao ambayo ni kinyume cha sheria ya kanuni ya adhabu sura 16 kifungu cha 146 hivyo watafikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili.

Katika tukio lingine jeshi la polisi limewakatama wahamiaji haramu wanne walioingia nchini bila kibali wakitokea mkoani Arusha kwenda mkoani Mbeya.

Kamanda Muroto amesema kuwa wahamiaji hao walikamatwa oktoba 6,2018 ambapo wawili walikamatwa katika kizuizi cha polisi Zamahero wilaya ya Bahi , huku wengine walikamatwa katika eneo la nane nane jijini hapa.

Kamanda Muroto amewataja  Waliokamatwa Wilayani Bahi ni Abdi Mussa (26) raia wa Somalia na Migafu Gezehani (18)  raia wa Ethiopia wakisafiri na basi la HAJI’s LINE UP lenye namba za sajili T. 298 DCH kutoka mkoani Arusha kwenda Mkoani Mbeya

“Waliokamatwa katika eneo la nane nane stendi kuu ya mabasi jijini Dodoma ni Abdi Mohamed na Mohamed Dai wote raia wa Solalia. Watuhumiwa hao tutawafikisha mahakamani pindi upelelezi utakapokamilika,” amesema Muroto.

Katika Operesheni hiyo kamanda amesema kuwa jeshi hilo limemkamata Malogo Sanja (41) mkazi wa wilaya ya Mpwapwa  akiwa na silaha aina ya gobole likiwa na risasi 16 ambazo ni vipande vya nyama vilivyotengezwa kienyeji.

“Silaha hiyo imekutwa ikitumika katika matukio mbalimbali ya kiuhalifu kama uwindaji haramu na unyang’anyi.Pia mtuhumiwa huyo alikutwa na bhangi kilo tatu na nusu pamoja na mbegu za bhangi kilo tano,” amesema Muroto

Kwa mujibu wa kamanda Muroto Operesheni ya vunja vijiweni katika mkoa wa Dodoma pia imekamata Luckas Andambile (42) mkazi wa Mbeya kwa kujifanya Askari na kufanya utapeli wa kiasi cha shilingi 60,000.

Wakati huo  Jeshi hilo linawashikilia watu 10 kwa tuhuma za kushiriki tukio la kuchoma nguzo za umeme wa rea katika kijiji cha Makang’wa wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma.

Kamanda Muroto amesema kuwa Operesheni hiyo waliitkeleza kuanzia oktomba 3 hadi 9, 2018 ambapo watuhumiwa wote watapandishwa  mahakamani pindi Upelelezi wa matukio hayo utakapokamilika

Polisi Dodoma Walivyo Nasa Lori la Oil Com Likiwa na Pombe Kali na Vipodozi Vilivyopigwa Marufuku

0
0
Mnamo tarehe 05.10.2018 majira ya saa 14:00 mchana huko maeneo ya Igawa, Kata ya Lugerele, Tarafa ya Rujewa, Wilaya ya Mbarali, Mkoa wa Mbeya katika barabara kuu ya
Mbeya-Iringa, Jeshi la Polisi likiwa katika Doria katika Barabara hiyo, askari walilitilia mashaka Gari lenye namba za usajili T.233 CXL aina ya IVECO likiwa na Tela lenye namba T.574 CNC Mali ya Kampuni ya OIL COM likiwa linaendeshwa na Dereva MICHAEL GODSON likitokea Zambia kuelekea Dar es Salaam na baada ya kulisimamisha na kufanya upekuzi katika gari hilo walikuta vipodozi vya aina mbalimba katoni 15 na katoni 02 za pombe kali zilizopigwa marufuku nchini aina ya Officer zikiwa zimefichwa kwenye tool box.

Vipodozi hivyo vilivyokamatwa ni:-
  1.     Dermotyl Lotion 30mls box mbili zikiwa na chupa 600
  2.    Dermotyl Cream 30gm box mbili zikiwa kwenye tube 600
  3.     Dermaclair Lotion 30mls box mbili zikiwa na chupa 600
  4.    Dermasol Pro-Active Cream 30gm box mbili zikiwa kwenye tube 600
  5.     Dermo-Gel 30gm box mbili zikiwa na kwenye tube 600
  6.     Perfect White Cream 150mls box nne zikiwa na chupa 192
  7.     Neoprosone –Gel 30gm box moja lenye tube 300
Pombe kali zilizopigwa marufuku nchini aina officers cane spirit 200ml chupa 20 na officers Verve Alco Energy Drink 200mls chupa 18.

Aidha Dereva wa gari hilo mara baada ya kusimamishwa na askari aliacha gari na kukimbia. Msako mkali wa kumtafuta unaendelea.

KUPATIKANA NA NYARA ZA SERIKALI.
Mnamo tarehe 07.10.2018 majira ya saa 00:30 usiku huko Katika kijiji cha Mwaoga, Kata ya Makongolosi, Tarafa ya Kiwanja, Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya, Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na askari wanyamapori wakiwa katika msako wa pamoja waliwakamta 1. PAUL PASPEL MWANIWITI [40] na 2. MWANDU SIMBILIGWI [38] wote wakazi wa Mwaoga Wilaya ya Chunya wakiwa na mnyamapori aina ya kakakuona ambaye thamani yake ni Usd 950 bila kibali. Upelelezi unaendelea.

KUPATIKANA NA NYARA ZA SERIKALI.
Mnamo tarehe 05.10.2018 majira ya saa 06:00 asubuhi Huko kitongoji cha Kisungu, kijiji cha Upendo, Kata ya Upendo, Tarafa ya Kipembawe, Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na askari wa Wanyamapori wakiwa katika Msako wa pamoja walimkamata HELENA IKUBI [36] Mganga wa kienyeji/asili na Mkazi wa Kijiji cha Kisungu akiwa na nyara za Serikali ngozi moja ya Chui, Ngozi moja ya Nguchilo, mkia wa Nyumbu, ngozi ya Nyegere, kipande cha ngozi ya Nyati, pamoja na kipande cha ngozi ya Simba bila kibali.  Upeleleezi unaendelea.

Watuhumiwa watafikishwa Mahakamani mara baada ya upelelezi wa mashauri haya kukamilika.

KUPATIKANA NA SILAHA {GOBOLE}
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mtu mmoja aitwaye SUZANA JULIUS @ MBENYA [28] Mkazi wa Itumbi Wilaya ya Chunya akiwa na silaha aina ya Gobole na risasi 10 za goroli pamoja na baruti.

Mtuhumiwa alikamatwa mnamo tarehe 08.10.2018 majira ya saa 13:15 mchana katika msako uliofanyika huko Kitongoji cha Itumbi, Kata ya Matundasi, Tarafa ya Kiwanja, Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya. Mtuhumiwa alikuwa ameificha silaha hiyo kwenye nyasi nyuma ya nyumba yake na risasi alikuwa amezificha juu ya paa la nyumba hiyo. Upelelezi unaendelea.

KUPATIKANA NA VIFAA VYA KUTENGENEZEA SILAHA {GOBOLE}
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mtu mmoja aitwaye MWITA WHATSON @ SHEGA [38] Mkazi wa Itumbi Wilaya ya Chunya akiwa na vifaa vya kutengenezea Silaha aina ya Gobole.

Mtuhumiwa alikamatwa mnamo tarehe 08.10.2018 majira ya saa 12:30 mchana katika msako uliofanyika huko Kitongoji cha Itumbi, Kata ya Matundasi, Tarafa ya Kiwanja, Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya. Vifaa alivyokamatwa navyo ni:-
  1.     Cocking handle,
  2.     Trigger,
  3.     Trigger guard,
  4.     Mtutu na mdeki.
Vifaa hivyo vilikuwa vimefukiwa shambani kwake. Upelelezi unaendelea na mara baada ya kukamilika mtuhumiwa atafikishwa Mahakamani.

JALADA LA UCHUNGUZI.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mwanamke mmoja aitwaye ASHA SIELI [35] Mkazi wa Iwanga Wilaya ya Mbeya Vijijini kwa kosa la kumvamia usiku EVA AMONI [35] Mkazi wa Iwanga akiwa amelala nyumbani kwake kwa nia ya kutenda kosa.

Tukio hili limetokea mnamo tarehe 05.10.2018 majira ya saa 00:00 usiku huko Iwanga, Kata ya Ilembo, Tarafa ya Isangati, Wilaya ya Mbeya Vijijini ambapo EVA AMONI akiwa amelala katika nyumba yake anayoishi na watoto wake wawili alivamiwa na watu wawili mmoja mwanamke [amekamatwa] na mwingine mwanaume ambaye baada ya kuingia ndani alimkaba mhanga shingoni lakini alifanikiwa kuomba msaada kwa majirani na watuhumiwa walikimbia.

Kutokana na tukio hilo, Jeshi la Polisi lilifanya msako na kufanikiwa kumkamata ASHA SIELI ambaye ni shangazi wa mhanga wa tukio hilo baada ya kutambulika kwa sauti na mlalamikaji. Aidha msako mkali unaendelea kumtafuta mtuhumiwa mwingine aliyefahamika kwa jina la JUMA HORONGO ambaye alikimbia mara baada ya tukio hilo. Upelelezi zaidi kuhusiana na tukio hili unaendelea ili kubaini kiini cha tukio kwani mhanga ana watoto wawili ambao ni walemavu wa ngozi @ albino.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea na Operesheni, Misako na Doria katika maeneo mbalimbali ya mkoa ili kuimarisha ulinzi na usalama. 

Aidha Operesheni za usalama barabarani zinaendelea katika barabara kuu hasa katika maeneo ya Mlima Iwambi, Igawilo, Nyoka na Mwansekwa katika utaratibu wa kupitisha malori na magari madogo na ya abiria kwa awamu tofauti ili kuepuka madhara makubwa pindi ajali inapotokea. 

Pia zoezi la ukaguzi wa magari, ukaguzi na uhakiki wa leseni za madereva, kuwapima ulevi madereva pamoja na kudhibiti mwendo kasi linaendelea katika maeneo yote ya Mkoa wa Mbeya.

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 95 na 96 )

0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA           
Macho yangu yakawa yanacheza na saa ya ukutani, nikatamani masaa yasimame na nesi Linda aweze kufika, ila mawazo yangu sio sheria ya kufanya masaa wala dakika kuweza kusimmaa. 

Hadi inatimu saa nne usiku nesi Linda hajatokea, hata chakula ambacho huwa ninaletewa saa mbili na nusu usiku, sijaletewa. Nikajikuta nikinyanyuka kitandani kwangu, nikapiga hatua hadi mlangoni, taratibu nikaufungua mlango na kuchungulia nikaona askari wa ulinzi wakiranda randa kwenye kordo wakiimarisha ulinzi katika hii hospitali, jambo lililo nikatisha tamaa kabisaa ya kutoroka katika hii hospitali.

ENDELEA
Sikuwa na namna nyingine ya kufanya zaidi ya kurudi chumbani kwangu na kujitupa kitandani.
“Pisssss…….”
Nilisikia sauti ikitokea dirishani, kwa haraka nikanyanyuka kitandani.
 
“Zima taa”
Sauti ya nesi Linda niliisikia ikitokea dirishani, kwa haraka nikawahi kwenye swichi na kuzima taa ya chumbani kwangu. Nikafungua dirisha langu ambalo ni la kioo, nikachungulia nje, nikamkuta nesi Linda akiwa amevalia mavazi meusi huku  akiwa amejibanza kwenye ukuta na nisehemu ndogo sana amekanyaga katika ukuta huu.
“Ni muda wa kuondoka sasa”
Alizungumza kwa sauti ya chini huku akiendelea kuniangalia, nikabaki nikiwa nimemkodolea macho kwa maana sikujua ana ujuzi kiasi gani unao mfanya kuweza kufanya anacho kifanya.
“Dany ni muda wa kuondoka sasa unashangaa nini?”
“Po…poa poa “
Nikachungulia chini, japo kuna umbali, ila sikuwa na jinsi zaidi ya kufanya kama anavyo fanya nesi Linda. Taratibu nikatoka kwenye dirisha kwa umakini wa hali ya juu. Uzuri kwenye madirisha haya ya hospitalini hayana nondo ambazo zinaweza kumzuia mtu anapo hitaji kutoka. Nikasimama vizuri kwenye kijisehemu kidogo ambacho ni cha kukanyagia, huku mikono ikiwa nimeigandamiza vizuri kwenye ukuta.
 
Kwa mwendo wa taratibu tukaanza kutembea kuelekea kwenye dirisha la chumba kingine. Baada ya kufika katika dirisha hilo, nesi Linda akaingia, kisha nikafwatia mimi. Akawasha tochi kubwa ambayi sifahamu ameitoa wapi. Nesi Linda akanifwata na kunikumbatia kwa nguvu huku akihema kwa pumzi nzito ya mahaba.
“Dany hatuna muda wa kukaa hapa, niwakati wa kuondoka sawa mpenzi wangu”
“Sawa ila chumba hichi ni cha nini?”
“Hii ni stoo ya nguo za madkatari, sasa ni muda wa kuvaa nguo haraka haraka”
“Poa”
Nesi Linda akaanza kumulika baadhi ya makabati, akanitolea nguo za kidaktari pamoja na vitambaa malumu wanavyo jifunga kwenye midomo pamoja na pua zao kipindi wanapo kwenda kufanya upasuaju. Alipo hakikisha kwamba nimemaliza kuvaa nguo hizo na kukivunga kitambaa hichi chenye rangi ya kijani vizuri.
 
“Kuna viatu hivi vaa”
Nikavaa viatu hivyo, akanipatia kitambulicho nikakivaa shingoni kamba yake na kikaning’inia kifuani. Nesi Linda naye akamalizia kuvaa mavazi ya kidatkari, taratibu akausogelea mlango akachungulia nje.
“Dany njoo”
Nesi Linda aliniita kwa sauti ya chini, taratibu nikamfwata hadi sehemu alipo. Akazima tochi kisha taratibu tukatoka chumbani humu. Tukaanza kutembea kwenye kordo hii kwa kujiamini sana. Tukapishana na walinzi pasipo kusemeshana nao na kila mlinzi hakuwa na shaka na sisi kabisa. Tukaelekea maeneo ya maegesho ya magari, nesi Linda akaingia kwenye gari la wagonjwa na mimi nikaingia ndani ya gari hilo.
 
“Pale getini si kuna ukaguzi?”
“Hilo niachie mimi nitajua nini cha kufanya”
Tukatoka na gari la wagonjwa taratibu hadi getini. Kama kawaida askari wa getini wakaanza kutukagua.
“Tunakwenda kumchukua mgonjwa nyumbani kwake tumepigiwa simu ni dharura”
“Ohoo sawa dada munahotaji usindikizaji wa askari?”
“Hapana kaka sio mbali na hapa tunakwenda kumchukua mgonjwa”
“Sawa dada”
Nesi Linda akarudisha kitambaa chake usoni, akapandisha kioo cha gari na kuondoka eneo hili la hospitali pasipo walinzi kuweza kunistukia kwamba mimi niliye kaa pembeni sio daktari.
“Mbona imekuwa kirashisi hivyi tofauti na hata nilivyo kuwa nimefikiria”
“Ahaa hao ninawajua mimi, laiti tungetumia gari la kawaida, ingekuwa ni shida sana kwetu, kwa maana wangehitaji hata wewe kuvua kitambaa chako usoni”
 
“Shukrani sana Linda, kwa maana nilikuwa ninatamani sana kutoka katika ile hospitali ila nikawa ninashindwa”
“Kwa nini ulitaka kutoka, wakati upo pale kwa ajili ya matibabu?”
“Ni mambo mengi sana tukikaa na kutulia tutayazungumza vizuri”
“Usijali kuna sehemu nimeacha gari langu hapo”
“Na hili gari vipi?”
“Tutaltelekeza”
“Huoni kwamba unaweza kuisababisha kazi yako kuingia katika matatizo”
“Yaani mimi hapa Dany nimesha acha kabisa na ndoa sitaki tena”
“Eheee”
“Ahaa sasa unahisi ninaendelea kukaa kwenye ndoa kufanya nini wakati raha y ambo** siipati”
“Heee!!”
“Shangaa tu, ila Dany umenipa kitu ambacho sikuwahi kukipata katika maisha yangu, sijali ni kitu gani ambacho kinaweza kutokea kwenye maisha yangu ila ukweli ni kwamba umenichanganya kabisa, sioni wala sisikii”
 
Linda alizungumza huku akiongeza mwendo kasi wa gari lake. Tukafika kwenye moja ya kona, akasimamisha gari.
“Tushuke”   
“Ila hapa ni kwenye kona”
“Yaaa tushuke”
Tukashuka kwenye gari, pembezoni mwa barabara kuna korongo moja refu.
“Gari  naliweka free nalisukumia huko”
Linda alizungumza kwa kujiamini, akatafuta jiwe lenye uzito kiasi, akaliweka sehemu ya kukanyagia mafuta wakati wa kuendesha gari. Taratibu gari likaanza kusogea mbele akalikatisha kona kwa kutumia mskani huku akiwa nje. Gari likaanza kushuka kwenye korongo hilo na kuangukia chini. Tukaanza kuingia kwenye msitu na kuanza kutembea kwa kujiamini.
“Tunaelekea wapi?”
“Hapa tunavuka boda la Kenya na Tanzania, gari langu nimeliacha huko Tanzania ndio maana unaweza kuona kwamba nilichelewa kufika kukuchukua”
 
“Sasa sawa, ila nikuulize kitu Linda”
“Niulize”
“Kabla ya kuwa nesi ulishawahi kufanya kazi gani?”
“Daaa ni story ndefu sana ila tuvuke huu mpaka ndio tutazungumza”
“Poa”
Mwanga wa mbalamwezi unatusaidia kuona tunapo elekea, japo ni porini kubwa tunalo likatiza ila hakuna ambaye ana wasiwasi, lengo letu kubwa ni kuweza kufika sehemu ambapo Linda ameliacha gari lake. Tukafanikiwa kufika katika sehemua mbayo Linda ameliacha gari lake aina ya Toyota VX V8.
“Kuna nguo nilizichukua zipo huku nyuma ya gari itabidi kubadilisha”
“Poa”
Linda akafungua gari lake kwa nyuma, na kweli nikakuta nguo kadhaa pamoja na begi moja juesi, sikujua linakitu gani ndani yake, na wala sikuhitaji kujishuhulisha kuweza kufahamu kwamba lina kitu gani. Tulipo hakikisha tumebadilisha mavizi yetu tuliyo kuwa tumeyavaa, tukaanza safari ya kulitafuta jiji la Arusha huku mimi nikiwa ni dereva kwa maana nina ufahamu vizuri mkoa wa Arusha na barabara zake.
“Tupumzikie Arusha?”
“Hapana nilikuambia kwamba mume wangu yupo hapa kikazi, so inaweza ikatokea bahati mbaya tukakutana naye ikawa ishu”
 
“Sawa”
Saa iliyopo kwenye gari inatuonyesha ni saa tisa usiku. Safari ikazidi kusonga mbele hadi inatimu saa kumi na moja alfajiri, tumefika Mombo.
“Dany upo vizuri katika kuendesha gari”
“Asante”
“Laiti ingekuwa ni mimi wala tusinge kuwa hapa, ndio kwanza tungekuwa nyuma huko”
“Uzuri wa gari lako lina uwezo wa kuhimili mwendo  kasi”
“Kweli eheee?”
“Yaaa, sasa tunaelekea mkoa gani kwa maana sasa, tupo mkoa wa Tanga?”
“Dany mimi nakusikiliza wewe tu yaani popote mimi nitakwenda”
Sikuona jaya ya kwenda mkoa wa mbali tofauti na Tanga, moja kwa moja nikaelekea Tanga mjini, ambapo tukafika katika hoteli moja iitwayo Nyinda, ambapo tumefika majira ya saa mbili asubihi, na ndio kwanza baadhi ya watu wanatoka kwenye hii hoteli kuendelea na maisha yao.
 
“Dada habari?”
“Salama vipi kaka”
“Safi, ninaweza kupata chumba”
“Yaa vipo, vimebaki vyumba vya V.I.P ni shilingi elfu stini kwa siku”
Ikanibidi kumgeukia Linda kwa maana hapa nilipo sina hata senti tano.  Linda akafungua pochi yake ndogo na kutoa kibunda cha elfukumi kumi za kitanzania, akanikabidhi.
“Nitalipia kwa siku nne ni kiasi gani?”
“Laki mbili na arobaini”
Nikahesabu kiasi anacho kihitaji huyu muhudumu, nikampatia kiasi hicho. Akatukabidhi funguo za chumba, akatupa maelekezo ni wapi chumba kilipo, nikalibeba begi jeusi la Linda na kueleka katika chumba chetu. Tukaingia na kufunga mlango kwa ndani, kwa haraka Linda akanifwata na kunikumbatia kwa haraka. Tukaanza kunyonyana midomo yetu, huku kila mmoja akiwa na hamu ya kupata penzi la mwenzake. 
 
Ndani ya dakika moja kila mtu nguo zake zikawa hazipo mwilini. Nikambeba juu juu Linda na kumuweka juu ya dreasing table kubwa iliyopo katika hichi chumba. Mikono yetu ikawa na kazi ya kukatiza kila sehemu ya miili yetu. Taratibu tukaianzisha safari ambayo Linda anaifurahia sana, sikuwa na hiyana zaidi ya kuhakikisha kwamba ninampa Linda kile anacho stahili kukipata kwa muda huu.
Mchezo ukamalizika, Linda akiwa anafuraha sana, tukaingia bafuni kuoga kwa pamoja na kurudi chumbani.
 
“Dany kwa nini ulitaka kuondoka pale hospitalini”
Swali la Linda likanifanya nimsogelee kitandani alipo kaa, nikakaa pembeni yake huku nikimtazamaa usoni mwake. Sikuhitaji kumuamini sana kwa maana kidonda cha kumuamini Livna bado hakijapona moyoni mwangu.
“Unajua kwenye maisha yangu sijazoea sana kuishi maisha ya kukaa ndani sehemu moja huwa siyapendi”
“Ahaa, ilikuwaje ikaletwa pale ukiwa na majeraha mengi mwilini mwako?”
“Nilitekwa na majambazi, wakanitesa hata na fika pale hospitalini kwenu sikumbuki hata ilikuwaje”
“Pole sana mpenzi wangu sasa kwa nini walikuteka?”
“Ahaa kuna siri yao moja walihisi kwamba ninaifahamu, ila kusema kweli sikuwa nina ifahamu kabisa. Vipi kwa upande wako?”
Mimi nilikuwa ni mmoja wa mabinti ambao nilikulia katika maisha ya kikamanda”
“Kivipi?”
 
“Nilipo kuwa mdogo niliweza kuchukuliwa na kupelekwa kwenye kambi moja, ambayo huko tulikuwa tunaishi watoto wa kike pekee. Ni kambi ambayo kazi yetu tulikuwa tunafundishwa kuua na kuwa na roho mbaya, nilipo bahatika kupata nafasi ya kutoroka katika kambi hiyo, basi niliweza kujichagulia maisha ya kuwa daktari”
“Hiyo kambi yenu ilikuwa wapi?”
“Kusema kweli hata mimi sifahamu kwamba ilikuwa wapi, ila tulikuwa tupo kwenye meli kubwa na katikati ya bahari”
Historia ya Linda inaendana kabisa na Mariam pamoja na Livna Livba. Sikutaka kujionyesha kama ninafahamu kitu chochote katika histori yake. Linda akasimama kwenye kitanda na kuanza kutembea kwa mwendo wa madoido huku akitingisha makalio yake. Akawasha Tv kisha akarudi kitandani nilipo kuwa nimekaa.
 
“Dany ninaomba unisaidie kitu kimoja”
“Kitu gani?”
“Ninahitaji kumuua raisi wa hii nchi”
“Unahitaji kumuu raisi wa Tanza!!”
Niliuliza kwa mshangao huku nikimtazama Linda usoni mwake, nikiwa ninajifanya mjinga mkubwa sana nisiye elewa ni kitu gani kinacho endelea.
“Ndio, nimekushirikisha hili swala ila ninakuomba usimuambie mtu wa ina yoyote, pia ninakuomba tushirikiane katika hili swala”
Moyoni mwangu nikajikuta nikijawa na furaha kwa maana mpango wangu unakwenda kukamilika, taratibu na kwa kumtumia Linda, nitakwenda kulipiza kisasi changu cha kimya kimya pasipo mtu yoyote kuweza kunistukia.

AISIIIII……….U KILL ME 96                                                                                                


“Siwezi kumuambia mtu wa aina yoyote. Ila ni kwanini unataka kumuua raisi?”
Niliuliza kuweza kumfahamu Linda vizuri.
“Raisi kuna mamb mengi ambayo amenifanyia kwenye maisha yangu moja wapo likiwa ni kuiangamiza familia yangu”
“Eheee, hembo ngoja mara moja, unataka kuaniambia raisi ameweza kuua familia yako?”
“Yaa kipindi walipo  kuwa wananichukua, kunipeleka katika kambi yake ya mafunzo, baba na mama yangu waliweza kuuwawa kikatili sana jambo ambalo hadi leo linausumbua sana moyo wangu na nilazima nilipize kisasi”
Taarifa ya ziara ya raisi mkoa wa Tanga, ikaanza kuonyeshwa kwenye Tv iluyopo humu ndani. Nikamuona K2 jinsi anavyo zungumza na wananchi huku maandishi madogo yakiandikwa kwa chini kwamba yeye ndio raisi wa hii nchi, jambo lililo anza kuniumiza kimya kimya moyoni mwangu. Sikuhitaji kumuonyesha Linda kwamba hata mimi nimejeruhiwa na K2, ambaye ninahisi ana maadui wengi kati hii nchi ya Tanzania.
“Nilazima kumuu huyu mwanamke”
Linda alizungumza huku akiyakaza macho yake kwenye Tv hii kubwa.
 
“Anakuja lini hapa Tanga?”   
“Wala sielewi, ila nitauliza uliza kuweza kufahamu kwamba ni siku gani ambayo anakuja”
“Dany fanya hiyo niweze kujua ni lini anakuja, tutatumia garama ya aina yoyote kuhakikisha kwamba mpango wetu unafanikiwa.”
“Sawa”
Nikachukua simu ya mezani, nikawasiliana na muhudumu na kumuagiza chakula. Linda akachukua begi lake jeusi na kuliweka kitandani. Akalifingua, ndani ya begi kuna baadhi ya nguo pamoja na silaha. Akatoa nguo na kuziweka juu ya meza, kisha akatoa bastola nne pamoja na magazine zake na kuziweka juu ya kitanda. Chini ya begi kuna pesa nyingi noti za Kenya, zilizo pangwa vizuri.
“Hii pesa inatutosha katika kuikamilisha kazi yetu”
“Ni kiasi gani?”
“Milion kumi za kenya”
“Nafikiri zitatosha, ila kuna jambo ambalo nimeliwaza”
“Jambo gani?”
 
“Leo nahitaji kuingia mtaani kwenda kufanya upelelezi mdogo kisha badae nitarejea na jibu, ni wapi na niwakati gani ambao raisi anakuja Tanga”
“Sawa, ila mimi utaniacha ndani?”
“Yaa hii kazi ninahitaji kuifanya peke yangu”
Mlango wa hapa chumbani kwetu ukagongwa, nikajifunga taulo kiunoni mwangu  kisha nikausogelea taratibu kwa umakini, nikaufungua. Nikamkuta muhudumu akiwa ameshika sinia kubwa lenye sahani mbili zenye chakula, nikakipokea chakula na kuufunga mlango.
“Chaku mbona kinanukia vizuri?”
“Ndio mambo ya kitanga hayo”
“Mmmm hadi kimenipa hamasa ya kula”
Linda alizungumza huku akinyanyuka kitandani, akanipokea chakula hichi na kukiweka mezani. Taratibu tukaanza kula huku kila mmoja akiwa katika hali ya furaha, japo ni masiano yaliyo anza kwa muda mfupi tu ila mimi na Linda tunajikuta tukiwa katika furaha ambayo kwa mara ya kwanza ukituona unaweza kuhisi labda tumeonana siku nyingi za nyuma.
 
“Honey mimi niahitaji kwenda kuianza kazi”
“Sawa, ila Dany ninakuomba usichelewe mume wangu”
“Sinto chelewa mke wangu”
Nikavaa nguo zangu ambazo nilikuwa nimezivaa jana usiku, nikachukua kiasi cha kutosha cha pesa za kikenya. Nikatoka nje ya hoteli, sikutaka kutumia gari la Linda kwa maana bado sijamfahamu vizuri, nikakodi taksi, nikamuagiza dereva anipeleke kwenye moja ya duka la kubadilisha pesa.
“Barabara ya kumi na mbili, kuna duka moja la kubadilisha peza za kigeni”
“Hakuna tabu, baada ya hapo nitahitaji unipeleke chumbageni”
“Sawa bosi”
Hatukuchukua muda mwingi sana tukawa tumesha fika katika duka hilo la kubadilishia pesa, nikashuka na kuingia ndani ya duka hili. Nikakutana na dada mmoja wa kiarabu.
“Habari yako dada”
 
“Salama tu”
Nilimsalimia dada huyu huku nikitoa noti kadhaa mfukoni mwangu, macho ya dada huyu wa kiarabu muda wote yakawa yananitazama usoni mwangu hadi nikaanza kujistukia.
“Ahaa ninabadilisha elfu mbili”
“Sawa hakuna tabu”
Nikamkabidhi dada huyu noti za kikenya, akaanza kuzihesabu kwa mashine maalumu, ila muda mwingi huyu dada macho yake anayatupia kwangu.
“Dada mbona unanitazama sana”
“Ahaa kuna kaka mmoja ninakufananisha na kaka mmoja hivi”
“Ahaaaa”
“Yaa kuna kaka mmoja kuna siku alinipa lifti akiwa na mwenzake nilicha na basi pale Lugoba, ni miaka mingi ya nyuma sijui kama utakuwa unakumbuka?”
 
Tukio la dada huyu likarudi kichwani kwangu haraka sana, nikakumbuka siku ambayo tuliweza kumpatia dada huyu lifti nilikuwa ninatoka Dar es Salaam nikiwa na dererva wa kampuni baada ya kupewa likizo na K2 kutokana na kupata na majeraha ya kuungua na moto.
“Ohooo ninakumbuka sasa”
“Ndio wewe?”
“Yaa za masiku?”
“Safi kaka yangu, aissee yaani nilijaribu kusubiria simu yako nione kama utanipigia ila sikuona chochote hadi leo”
“Ahaa kuna matatizo kadhaa ambayo yalitokea ndio maana nikawa bize kwa miaka mingi hiyo”
“Pole asieee,  sasa sijui  leo tunaweza kupata hata muda wa kuzungumza mimi na wewe”
Dada huyu wa kiarabu anaonyesha hali ya uchangamfu mkubwa sana kwangu, nikajifikiria kwa muda, nikijaribu kuupanga muda wangu kama ikiwezekana niweze kuonana naye kwa leo.
 
“Ahaa kwa leo ninaona ratiba yangu haipo vizuri dada yangu, labda kwa kesho”
“Tafadhali kaka yangu ninakuomba kwa leo”
“Kuna jambo muhimu ambalo unahitaji kuniambia?
“Ndio ni la muhimu”
“Unaweza kuniachia namba yako ya simu, nikakutafuta?”
“Kwa leo?”
“Yaa kwa leo”
“Ninaweza kukutajia hapo?”
“Ahaa sina simu kwa sasa”
“Ngoja nikuandikie”
Dada huyu akaniandikia namba zake kwenye kikaratasi na kunikabidhi, akanikabidhi pesa zangu. Nikaagana naye na kutoka nje, nikaingia kwenye gari.
“Twende sasa chumbageni”
“Sawa mkuu”
Nikaanza kumpa maelekezo dereva hadi kwenye nyumba ambayo tulikuwa tunaishi hapo zamani na mama yangu. Taratibu nikashuka kwenye gari huku mwili mzima ukiwa unanisisimka, nikajikuta nikipiga hatua hadi kwenye geti. Nikaunyanyua mkono wangu taratibu ili niweze kubisha hodi ila nikajikuta nikishindwa kubisha hodi. 
 
Gafla nikasikia mlipuko mkubwa ukitokea eneo la mbali kutokea katika sehemu hii, si mimi peke yangu ila kila mwananchi aliweza kustuka kutokana na mlipuko huo. Nikapiga hatua za haraka hadi karibu na gari nikatazama upande wa kaskazini ambapo ndipo mlipuko huo umetokea.
“Ni nini hicho?”
Dereva taksi aliniuliza huku akishuka kwenye gari akiwa katika hali ya woga sana. Moshi mwingi unao samba hewani uliniashiria kabisa kwamba mlipuko huo ni wa bomu.
“Twende kwenye hiyo sehemu tukashuhudie hilo tukio”
Nilimuambia dereva taksi, akatii amri yangu kama mteja wake, japo anawasiwasi mwingi ila kutokana anahitaji pesa ikambidi kufanya ninacho muelezea.
“Hasani, mlipuko umetokea wapi?”
Dereva taksi alizungumza na simu huku akizidisha mwendo kasi wa gari.
“Weeee imekuwaje?”
“Poa poa ninakuja”
 
Dereva taksi akakata simu huku akiiweka pembeni.
“Umetokea wapi mlipuko”
“Pale hoteli ya Nyinda tulipo anzia safari yetu”
“NINI?”
“Yaa hapo hapo”
Nilihisi kuchanganyikiwa kwa maana katika hoteli hiyo ndipo nilipo muacha Linda.
“Ongeza ongeza mwendo bwana”
Nilimuhimiza dereva kuendesha gari kwa mwendo wa kasi sana. Dereca akazidi kuongeza kasi hadi kila sehemu ambayo anapita ikamlazimu kupiga honi ilimradi watu waweze kumpisha. Tukafika kwenye hoteli, kwa haraka nikachomoa pesa mfukoni wala sikujua ni kiasi gani, nikampa dereva na kwa haraka nikashuka kwenye gari na kuanza kukimbilia sehemu ya tukio japo, watu wengi walipo katika hili eneo wanaudhurika na tukio hili la mlipuko wa bomu. 
 
Asilimia kubwa ya jengo hili la hoteli limebomoka, na watu wengi wamefariki. Hata mlango wa kuingilia ndani ya hii hoteli hauonekani. Nilijihisi kuishiwa nguvu, gari la zima moto likafika eneo la tukio, huku magari ya wagonjwa yakizidi kumiminika katika eneo la tukio.
“Usinishike”
Nilizungumza kwa hasira huku nikumsukuma mtu aliye nishika nyuma yangu, akili yangu yote kwa wakati huu inamfikiria Linda.
“Ondoka eneo la tukio”
Ikanibidi kugeuka na kutazama mwanaume huyu aliye valia mavazi ya askari wa zima moto. Nikamtazama kwa macho ya hasira sana ila akaendelea kunisisitizia kuondoka katika eneo la tukio. Taratibu nikasogea katika eneo hili la tukio ambalo bado moshi mwingi unaendelea kurindima katika eneo zima. 
 
Eneo la maegesho ya magari katika eneo hili, silioni gari  la Linda, jambo lililo anza kunipa wasiwasi kidogo, nikatembea hadi katika eneo ambalo nililisimamisha, sikuliona kabisa. Taratibu nikamfwata dereva mmoja wa bodaboda ambaye muda ambao nilikuwa niondoka hapa hotelini alikuwepo.
“Vipi kaka?”
“Safi”
“Imekuwaje hapa “
“Daa kuna gari moja nyeusi iliondoka hapa kwa kasi, tazikupita hata dakika mbili mlipuko ukatokea”
“Gari ya aina gani?”
“Gari moja aina ya V8, yale wanayo tembelea nayo wabunge”
“Aliondoka nayo nani?”
“Dada mmoja hivi mrefu kiasi, mweupe”
Huyo dada ambaye ananieleza huyu dereva bodaboda, hafananii kabisa na Linda, kwa maana Linda ni mweusi japo ni mrefu kiasi.
“Alitoka katika mazingira ya aina gani?”
“Alitoka anakimbia, tena kama picha nilimpiga kwenye simu yangu, yaani ni bonge la totozi”
Dereva bodaboda alizungumza huku akinipatia simu yake, nikaichukua na kuitazama picha hiyo. Sikuamini macho yangu baada ya kumuona Yudia kwenye hii picha akiingia kwenye gari la Linda, jambo  lililo nifanya nijikute nikianza kufura kwa hasira kwa maanaYudia na mwenzake na K2 bado wananiandama sana kwenye maisha yangu.

ITAENDELEA KESHO

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 04

0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   

Mzee Klopp alizungumza kwa ukali kidogo.
“M…imi…nimehisi tu”
“Unahisi umekuwa malaika wewe?”
Mzee Ethan alizidi kufoka hadi sura ikaanza kuwa nyekundu jambo lililo nifanya nianze kupata woga.
“Na akifa mwanangu utanitambua”
“Likini bab…..”
“Koma mimi sio baba yako, mwanangu ni mmoja na anakimbizwa hospitalini sasa hivi unaniambia nini nikuelewe mjinga weweee”
Maneno ya mzee Klopp yakanikatisha tamaa kwa kweli ya kuendelea kuishi humu kwenye nyumba yake, kwa kweli kwa hapo awali nilihisi kwamba nitayafurahia maisha yangu ya hapa nchini Ujerumani, ila kile nilicho kifikiria sicho kinacho nitokea na nimekuwa ni tatizo toka niingie jana kwenye hili jumba.

ENDELEA
Mzee Klopp akatoka ndani humu na kuniacha nikiwa nimejawa na woga ulio ambatana na wasiwa mwingi sana.
“Utanata na huyu tumfanye nini?”
Sauti ya mwaume ambayo ninaihisi mimi mwenyewe ilizungumza na kunifanya nistuke kidogo.
“Ethan, unataka tumfanyaje na huyu mzee”
“Ngoja kwanza, unataka kuniambia kwamba wewe ndio msababishaji wa tatizo hili?”
“Ndio”
“Kwa nini sasa umesababisha”
“Kila ambaye anakujeruhi moyo wako, nilazima nihakikishe kwamba analipa kwa garama ya damu yake kumwagika”
“Ila umesikia nilichoa ambiwa hapa, kama dada wa watu akifa itanigarimu”
 
“Hawezi kufa”
“Kama hawezi kufa naomba unisaidie basi apone”
“Usijali, atapona”
“Sasa nitafanyaje?”
“Nenda sebleni, ukajumuike na bibi Jane, mutakwenda hospitali moja”
“Sawa”
Nikatoka ndani humu na kurudi sebleni, nikawakuta madaktari wakiwa wanampakiza bibi Jane Klopp kwenye machelea. Tukatoka ndani humu na wakamuingiza kwenye gari la wangonjwa na mimi nikaingia ndani ya gari hili na tukaondoka katika eneo hili.
‘Ehee nimekuja nipo na wewe, usizungumze kwa sauti, wewe niulize hata ndani ya nafsi yako ninaweza kukusikia na kukujibu’
Niliisikia sauti ya mwanaume huyu ikiendelea kuwa nami, jambo lililo nifanya nistuke kidogo ila manesi hawakuwea kugundua jambo lolote
 
‘Sasa kwa nini bibi Jane ameanguka’
‘Amestuka tu, ila atakuwa poa muda si mrefu’
‘Fanya azinduke sasa hivi bwana’
‘Ngoja tufike hospitalini’
‘Hapa huwezi ukamfanya akazinduka?’
‘Ninaweza, mshike mkono wake wa kulia’
Taratibu nikamshika bibi Jane Klopp mkono wake wa kulia, hazikupita hata sekunde tano bibi Jane Klopp akafumbua macho yake hadi manesi wakastuka kidogo.
“Ethan”
“Ndio mama”
Bibi Jane Klopp akawatazama manesi hawa.
“Mery yupo wapi?”
“Baba ametangulia hospitalini kumtazama”
“Amelazwa hospitali gani?”
Nikashindwa kulijibu swali hili kwa maana sifahamu ni hospitali gani.
‘Ni hospitali gani?’
‘Sio jukumu lako kumjibu subiri mutafika’
 
Baada ya muda tukafika hospitalini, bibi Jane Klopp akashuka huku akiwa kwenye kitanda hichi cha wagonjwa. Akapelekwa kwenye chumba cha mapumziko kwa muda huku nikijumuika naye. Baada ya muda kidogo akaja daktari aliye weza kutueleza juu ya eneo alipo Mery.
“Ethan hii ni hospitali yetu”
Bibi Jane Klopp alizugumza huku tukiwa tumeongozana na daktari huyu.
“Ahaa…hii ndio inayo simamiwa na dada Mery?”
“Ndio”
Tukafika nje ya mlango wa chumba cha upasuaji, tukamkuta mzee Klopp akiwa anazunguka zunguka tu. Akakumbatiana na mkewe, ila mimi hakushuhulika nami.
‘Usijali atakuwa salama’
Niliisikia sautu ya rafiki yangu huyu.
‘Una uhakika?’
‘Ndio’
Tukaendelea kusubiria zaidi ya masaa mawili. Mery akatolewa kwenye chumba cha upasuaji na kupelekwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi ambacho kimeandikwa kwa lugha ya kijerumani intensivmedizin. 
 
“Ahaa wewe usiingie”
Mzee Klopp alizungumza huku akinizuia kuingia katika chumba hichi, jambo lililo mshangaza sana bi Jane Klopp. Sikutaka kuwa mbishi zaidi ya kukaa nje ya chumba hichi nikisubiria watoke katika chumba hicho. Baada ya muda kidogo wakatoka wakiwa wamejawa na sura za tabasamu kidogo.
“Anaendeleaje dada?”
“Yupo vizuri kiasi, madaktari wamesema kwamba watamlaza kwa siku chache kisha watamruhusu kurudi nyumbani?”
Bi Jane Klopp alinijibu kwa upole na unyenyekevu sana.
“Ameumia vibaya?”
“Hapana ni majeraha macheche, ila mguu wa kushoto ulivunjika mara mbili”
Mzee Klopp alinijibu kwa upole hadi mimi mwenyewe nikashangaa. 
 
    Siku zikazidi kusonga mbele huku hali ya Mery ikazidi kuimarika. Urafiki wangu na huyu rafiki yangu nisiye muona ambaye kwa haraka haraka ninaamini kwamba ni jini, zikazidi kusonga mbele. Siku ya kuanza masomo yangu rasmi kwenye shule ya msingi ya Berlin Metropolitan.
Nikaongozana na Bi Jane Klopp hadi kwenye shule hii na kutokana na umaarufu wa bibi huyu, waalimu waliweza kunifahamu kwa haraka sana.
“Ujitahidi mwanangu”
“Sawa bibi nitajitahidi”
“Kitu kingine hakikisha kwamba unakuwa na upendo na wezako, heshima na ukarimu kwa kia mtu. Pia jifunze kuwa na utamaduni wa kuwasaidia wezako pale anapo shindwa kwenye masomo”
“Sawa sawa mama”
“Nitakuwa ninakuja kukutembelea kila mwisho wa wiki ili kufahamu una endeleaje”
“Sawa mama”
 
Tukaagana na bi Jane Klopp, kisha nikabaki chini ya uangalizi wa mwalimu aliye weza kujitambulisha kwamba ni mwalimu wa michezo. Nikapelekwa bwenini, na kuingizwa kwenye chumba chenye viyanda viwili vya juu na chini.
“Kuna mwenzako mmoja amefika leo amachagua kitanda hichi, wewe utapenda kulala kitanda cha juu au chini?”
“Hichi hapa”
Nilichagua kitanda cha juu, kisha nikachagua kabati langu la kuhifadhia nguo na vitabu. Katika siku mbili hizi, waalimu na walezi wa wanafunzi walikuwa bize katika kuwapokea wanafunzi wa darasa la kwanza kutoka maeneo mbali mbali ndani na nje ya nchi ya Ujerumani, katika wanafunzi wenye asili kutoka barani Afrika, hatuzidi kumi huku mimi ndio nikiwa Mtanzania pekee. Kitu nilicho weza kukigundua kwa haraka haraka kwa baadhi ya wanafunzi, ni wabaguzi wa rangi. Sisi wanafunzi weusi tunaonekana kama watu wa ajabu sana ambao hatuna thamani na uwezo wowote mbele yao.
 
‘Kwa nini wanatunyanyasa?’
Nimuuliza rafiki yangu huyu siku nikiwa nimekaa mwenyewe kwenye moja ya benchi la mapumziko, ambalo wanafunzi wengine wenye asili ya kizungu waliliacha kisa nimekaa mimi, kwa bahati mbaya sina rafiki zaidi ya yule ninaye lala naye chumba kimoja na yeye urafiki wetu ni usiku tu pale tunapo kuwa tumerudi kulala bwenini.
‘Unatakiwa kuhakikisha kwamba una wazidi kwa kila kitu’
‘Kwa kila kitu kivipi?’
‘Darasani hadi kwenye michezo’
‘Mmmm sasa masomo yenyewe ni magumu na wezangu wenyewe wana jibu maswali kuliko hata mimi’
‘Usijali huu ni mwanzo tu ila utafahamu kila kitu kinavyo kwenda’
 
Nikastuka baada ya kuguswa mgogoni, nikageuka nyuma nikakutana na kundi la watotoo wezangu kama sita hivi huku aliye nigusa ni kibonge na mrefu kwenda juu.
“Wewe mtu mweusi toka kwenye hili benchi”
Alizungumza kwa lugha ya Kijerumani huku akinitazama kwa sura inayo onyesha ana maanisha kwa kile anacho kizungumza.
“Hutusikii”
Kibonge alizungumza huku akinishika shati langu la shule, nikajaribu kukataa, ila kwa nguvu zake alizo nazo akanivuta kwa nguvu na kuniangusha chini. Wanafunzi wote katika hili eneo wakabaki wakishangaa tukio hili, machozi yakaanza kunilenga lenga, kwani Kibonge na wezake wote wananicheka huku wanafunzi wengine wasio na huruma nao wakinicheka.
 
“Watu weusi nyinyi ni masokwe tu”
Kibonge alizugumza huku akitoa ndizi kwenye mfuko wa suruali yake. Akaimenya kisha akanipiga na ganda la ndizi hiyo usoni mwangu, jambo lililo zidi kuongeza vicheko kwa watu wengi. Nikiwa katika hali ya simnzi na kujisikia vibaya, akasimama dada mmoja mdogo mdogo kama sisi mbele yangua, akanitazama kwa sura ya huruma kisha akanipa kitama cheupe kwa ajili ya kujifuta machozi. Kibonge akampokonya mtoto huyu wa kike kitambaa hichi kabla ya hata sijakipokea.
 
“Mrudishie kitambaa chake”
Mtoto huyu wa kike mwenye asili ya Kijerumani alizungumza kwa ukali kidogo na kuwafanya bonge na wezake kucheka cheka. Mtoto huyu wa kike akamzaba bonge kofi zito la shavuni na kuwafanya wezake kuguna. Bonge akanyanyuka kwa hasira kwenye kiti alicho kikalia, akataka kumpiga mtoto huyu, ila jamaa wawili walio valia suti nyeusi na miwani yeusi wakafika katika eneo hili na kumkinga mtoto huyu.
“Mrudishie kitambaa”
Jamaa mmoja alizungumza kwa ukali kidogo, taratibu bonge akarudisha kwa msichana huyu, kisha akanipatia mimia.
“Pole mwaya”
 
“Asante”
“Unaitwa nani?”
“Ethan Klopp”
“Ohoo ni jina zuri, baadae”
Msichana huyu baada ya kuzungumza hivyo akaondoka na walinzi wake hawa wawili jambo lililo nishangaza sana, kwa maana wanafunzi wote hatuna walinzi, inakuwaje yeye awe na walinzi. Kutokana sina sehemu yak ukaa, nikaamua kurudi zangu darasani ili kumalizia kipindi cha mwisho kabla ya kuruhusiwa kwenda kula kisha baada ya bapo tutaendelea na mambo mengine.
‘Mbona umeniacha nidhalilike kwa kina Bonge?’
Nilimuliza rafiki yangu kwa maana yeye ndio niliye mzoea kuzungumza naye mambo mengi sana’
‘Ulitaka nikufanye shujaa wa kupigana au?’
‘Ndio’
‘Umesahau uliyo ambiwa na mama yako juu ya kuishi na watu vizuri?’
 
Kabla sijamjibu, wanafunzi wengine wakaingia darasani, akiwemo bonge na kundi lake. Wakanitazama kwa muda huku wakionekana kuchukizwa nami. Mwalimu akaingia na kuanza kutufundisha somo la historia. Kwa mara ya kwanza na mimi leo nikaulizwa swali na mwalimu na nikalijibu kwa ufasaha. Wanafunzi wezangu wakaombwa na mwalimu wanipigie makofi, ila wakanipigia wachache na wengine wakaa kimya. Sikuona hatua yoyote ambayo mwalimu aliichukua kwa wale ambao hawajanipigia makofi, nikajua kwamba ubaguzi wa rangi haupo kwa wanafunzi wezangu tu kumbe hata kwa waalimu. 
 
Somu hili likaisha na tukatoka darasani na kuelekea kwenye holi kubwa la kupatia chakula. Kama kawaida, nikapanga foleni ya kwenda kuchukua chakula. Bonge na wezake wakafika na wakakaa mbele yangu kinguvu.
“Mumenikuta lakini”
Niliwaambia kwa lugha ya Kijerumani. Bonge akanigeukia, kitendo cha kunitazamana tu, nikajikuta nikiwa nipo kimya kutokana na kumuogopa. Nikasubiria bonge na wezake wachukua chakula kisha ikafwata zamu yangu ya kuchukua.
“Leo lazima utakoma”
Bonge alizungumza huku akinipiga kikumbo kidogo, bado nusu niagushe chakula changu ambacho ni wali na kuku. Nikaangaza angaza kwenye kila meza, nikaoga meza moja ikiwa ina jamaa mmoja mkubwa kidogo, taratibu nikaisogelea kisha nikaka kwenye kiti, jamaa huyu akanitazama kwa mcho makali, hadi nikatamani kuhamia katika meza nyingine.
“Dogo hujaona wa kukaa nao?”
 
“Ehee?”
“Hujaona wa kukaa nao?”
Taratibu nikanyanyuka na sahani yangu, nikaangaza maeneo mengine, nikaona meza moja wakinyanyuka kundi la wavulana wakubwa, nikafika katika meza hiyo waliyo ichafua kwa kumwaga mwaga chakula, kisha nikaa na kuanza kula.
‘Nachukia haya maisha ni bora niache shule tu’
Nilizungumza kimoyo moyo huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu.
‘Kwa nini?’
‘Nitaishije hivi kwa kunyanyaswa siku zote?’
‘Wata kuheshimu siku moja, piga moyo konde na pambana’
‘Nipambane vipi sasa, ikiwa kila mmoja ananichukia’
‘Si kwa yule aliye kupatia kitambaa chake’
‘Yule kwani ni nani?’
 
‘Ni mjukuu wa kwanza wa raisi wa hii nchi’
‘Kwa hiyo ni mjukuu wa raisi’
‘Ndio’
‘Sasa kwa nini amesoma shule hii?’
‘Hivi unahisi kwamba shule hii ni ndogo, hadi wewe kusoma hapa tambua kwamba una bahati kubwa sana, na acha kujidharau, chukulia haya maisha ambayo unaishi hapa ni ya kawaida, pambana katika masomo’
‘Mbona umekuwa ni mtu wa kunishauri tu, ila hunisaidi kwenye shida’
‘Ethan kumbuka kwamba mimi sio mtu’
‘Ni nani sasa, ikiwa tunazungumza na wewe unanisikia’
‘Muda na wakati ukifika basi utanifahamu, baade nina mambo ya kushuhulikia’
 
‘Wewe…..wewe…..’
Nilijitahidi kumuita ila hakuitika. Nikamaliza kula na nikaacha chombo changu hapa hapa juu ya meza kama utaratibu wa kawaida, kwani kuna wafanyakazia maalumu hushuhulika katika swala la kuosha vyombo, nikarudi bwenini, nikavua nguo zangu, nikajifunga taulo na kueleka katika bafu ambalo tunatumia wanafunzi wa darasa la kwanza kwenye bweni hili. Nikavua taulo langu na kulitundika kwenye msumari, nikajifunga taulo langu kisha taratibu nikaanza kuoga, nikiwa nimejipaka mapovu mwili mzima, akaingia bonge na kundi lake na wakaanza kunicheka huku wakizunguka jambo lililo sababisha nijawe na woga mwingi sana.

==>>ITAENDELEA KESHO

Mtendaji wa Kijiji Ahukumiwa Miaka Miwili Jela

0
0
Mahakama ya wilaya ya Siha imemhukumu mtendaji wa kijiji cha Ngaritati, Dauson Mollel (63), kwenda jela miaka miwili au kulipa faini ya Sh1 milioni baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kutafuna michango ya wananchi Sh2.4 milioni.

Katika hukumu hiyo iliyosomwa Ijumaa Oktoba 5, 2018 na Hakimu Mfawidhi wa wilaya ya Siha, Jathmin Athman, mfungwa huyo ameamriwa kurejesha fedha hizo mara tu atakapomaliza kifungo chake.

Taarifa iliyotolewa na mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Holle Makungu, iliwaonya viongozi na watendaji wa vijiji kutojiingiza kukusanya michango kwa manufaa binafsi.

Upande wa mashitaka ukiongozwa na Wakili wa Takukuru, Rehema Mteta, umedai mshitakiwa alitenda makosa hayo mwaka 2007, na baada kutoroka hadi alipokamatwa na kufikishwa mahakamani Februari 23,2017.

Wakili Mteta amedai mwaka 2008, mtendaji huyo alikusanya fedha kutoka kwa wenyeviti wa vijiji mbalimbali, kwa ajili ya ujenzi wa hosteli ya wasichana katika shule ya sekondari ya Nuhu wilayani Siha.

Hata hivyo, badala ya kuiwasilisha kwa mwajiri wake ambaye ni Halmashauri ya wilaya ya Siha, mtendaji huyo anadaiwa kuzitumia fedha hizo kwa matumizi anayoyajua mwenyewe kinyume cha malengo yaliyokusudiwa.

Akitoa hukumu hiyo, Hakimu Jathmin Athman amesema ushahidi uliotolewa na mashahidi sita wa upande wa mashitaka, umeweza kuithibitishia mahakama bila kuacha mashaka, kuwa mtendaji alitenda kosa hilo.

Hakimu huyo amesema ametoa adhabu hiyo ili iwe funzo kwa watumishi wengine wa umma, ambao wana tabia au kuwa na mawazo kama ya mshitakiwa, ya kujihusisha na ubadhirifu wa fedha za umma.

Mara baada ya kutolewa kwa hukumu hiyo, mkuu wa Takukuru mkoa Kilimanjaro, Holle Makungu aliwaonya watumishi wa umma kufanya kazi kwa uadilifu, akisema taasisi yake haitamuonea haya mtumishi yoyote anayejihusisha na vitendo vya ufisadi.

Engineer wa TANESCO afikishwa Mahakamani

0
0
Mhandisi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Stanslaus Simbila amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kosa la kutumia madaraka yake vibaya ambayo yamepelekea Kampuni ya Zwart kupata kiasi cha EURO 491,622.42 sawa na BILIONI 1,293,248,789.

Akisomewa kosa lake na Wakili wa Serikali, Iman Nitume mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wanjah Hamza amedai kuwa mshtakiwa anakabiliwa na kosa moja.

Inadaiwa kuwa kosa hilo ni kutumia madaraka yake vibaya, ambapo amelitenda kati ya June 9 na 19,2010.

Anadaiwa akiwa kama Mhandisi wa TANESCO na Meneja mradi PA/001/08/HQ/G/123 kati ya TANESCO na Kampuni ya Zwart Technick B.V kwa nia ovu alisaini cheti kilichopelekea kampuni hiyo kupata EURO 491,622.42 kabla ya kumaliza kazi waliyopewa.

Baada ya kuelezwa hayo, mshtakiwa alikana kosa hilo ambapo Wakili Nitume amedai kuwa upelelezi upo katika hatua ya mwisho kukamilika.

Mshtakiwa aliachiwa kwa dhamana ya wadhamini 2, waliowasilisha hati ya Mali ya Sh.MIL 100. Kesi imeahirishwa hadi November 8,2018.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aagiza mtumishi TRA kusimamishwa kazi

0
0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kagera kusimamishwa kazi ofisa wa mamlaka hiyo, Victor Mtei anayedaiwa kuvujisha mapato katika mpaka ya Mutukula na Murongo.

Ametoa agizo hilo leo Jumanne Oktoba 9, 2018 mjini Bukoba wakati akifanya majumuisho ya ziara yake ya kikazi ya  siku nne mkoani Kagera

Amesema ofisa huyo amekuwa akibadilishwa vituo vya mpakani pamoja na kudaiwa kushindwa kukusanya mapato huku akimtuhumu kupokea rushwa ya Sh 2 milioni.

Waziri Mkuu amesema baadhi ya maofisa wa TRA wanahusika na kuruhusu kuvushwa kwa kahawa za magendo kupitia mipaka iliyopo Wilaya za Missenyi, Karagwe na Kyerwa na kuagiza ofisa huyo asimamishwe.

Meneja wa TRA Mkoa wa Kagera, Adam Ntoga amesema ofisa huyo alikuwa tayari ameondolewa kituo cha Mutukula baada ya kutoridhika na utendaji wake na kuhamishiwa kituo cha Murongo Wilayani Kyerwa.

Waziri Mkuu amemuagiza Ntoga, kumsimamisha mara moja huku akionya kuwa uchunguzi zaidi unakuja dhidi ya viongozi wenye dhamana kujihusisha na mtandao wa magendo ya kahawa.

Dreamliner Yashindwa Kuipeleka Taifa Stars Cape Verde.....Serikali Yakodi Ndege Nyingine

0
0
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars usiku wa leo October 9 2018 itasafiri kuelekea Cape Verde kwa ajili ya mchezo wa kuwania kufuzu kucheza michuano ya mataifa ya Afrika AFCON 2019 nchini Cameroon, Taifa Stars awali walikuwa wasafiri na ndege ya Air Tanzania Dreamliner lakini imeshindikana.

Waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo Dr Harrison Mwakyembe amethibitisha kuwa  Dreamliner haiwezi kwenda na badala yake wamekodi ndege nyingine maalum kwa ajili ya safari hiyo, Dreamliner imeshindwa kwenda kutokana na uwanja wa ndege waliopaswa kutua haiwezi kupokea ndege kubwa kama Dreamliner.

“Tumemtuma Mgohi aweze kuangalia namna sehemu ilivyo tutakayofikia, ametuambia kwamba uwanja ni mdogo kwahiyo tumeongea na wenzetu wa Airt Tanzania na tumeagiza ndege nyingine ambayo ina usajili wa Tanzania ambayo ina weza kushuka na kupaa kiurahisi,” alisema.

Breaking: Producer Pancho Latino afariki dunia kwa ajali ya maji

0
0
Producer maarufu wa B’ Hitz Record Pancho Latino maarufu kama Mafia, amefariki dunia kwenye ajali ya kuzama na maji wakati akiogelea jioni ya leo kwenye kisiwa cha Mbudya, jiijini Dar es Salaam.

Taarifa zaidi zitafuata. Mungu ailaze roho ya mpendwa wetu mahala pema peponi Amen.

Mastaa Mbalimbali Wamlilia Producer Pancho Latino

0
0
Wadau mbalimbali wa sanaa na burudani wameanza kutoa pole kwa ndugu jamaa na marafiki kufuatia msiba huu mzito wa  producer Pancho Latino uliotokea leo October 9,2018 katika kisiwa cha Mbudya Dar es Salaam.

==>>Hawa ndio baadhi ya mastaa walioguswa na taarifa hizo na kuziandika kupitia kurasa zao za instagram

“Pancho Pancho Pancho nimeumia sana sina mfano wa maumivu niliyopata dah! Pumzika kwa Amani na Asante kwa mchango wako mkubwa katika Muziki Wetu…Bwana alitoa na Bwana Ametwaa jina lake lihimidiwe” -Joh Makini

“Eh Mungu … 😭 Rest Easy Young Legend. Thankyou for everything you taught me, you raised me #BHitz you will live forever in the music 🙏🏾. Poleni Sana kwa familia nzima ya #BHitz #LatinoMafia@hermyb pigo kubwa kwenye tasnia ya muziki.” -Vanessa Mdee

“Rest In Power Latino Mafia!!!! 😔 I am Sad!! -Bdozen

“Doh..Upumzike kwa amani @pancholatino ..kazi ya Mungu na safari yetu ni moja..nimesikitika mno” -Mwana FA

“Daaah!!! Upumzike kwa Amani, sidhani kama ulikuwa umemaliza ulichokuwa nacho kichwani. Mapema sana, ila kazi ya Mungu haina makosa #RIP“-Marcochali

“Kutokana na msiba uliotufika hivi punde wa kuondokewa na producer Genius PANCHO LATINO kutoka B’HITS…Hatutaweza kuachia VIDEO Yetu ya#USHINDITENA kwa Leo…SO SAD Kwa kweli R.I.P PANCHO LATINO #RIP#genius#mafia #weusii“-Lordeyesmweusi

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano ya October 10

Vijana watakiwa kuwa wabunifu katika kujiajiri

0
0
Vijana wametakiwa kuwa wabunifu kwa kuonyesha uthubutu katika kujiajiri kwa kuzithamini kazi wazofanya.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa  Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi na Ajira, Anthony Mavunde, wakati wa ufunguzi wa wiki ya vijana kitaifa inayofanyika katika viwanja vya Tangamano, Jijini Tanga.

Amesema vijana wanatakiwa kuzithamini shughuli wanazofanya kwa kuzipa kipaumbele ili waweze kujikwamua kiuchumi na kuondokana na dhana ya kuajiriwa.

“Vijana muondokane na mawazo mgando kutegemea kuajiriwa badala yake wajikite katika kujiajiri na Serikali itawapa mikopo kwa ajili ya kukuza mitaji na kuboresha mazingira ya shughuli mnazofanya,” amesema Mavunde.

Katika hatua nyingine  Waziri mavunde amewataka vijana kujitokeza kwa wingi katika sherehe za kilele cha mbio za mwenge zitakazofanyika Oktoba 14, katika viwanja vya Mkwakwani, mjini hapa.

Kortini Kwa Kukutwa na Miguu Ya Nyumbu

0
0
Marwa Itembe (28),  mkazi wa kijiji cha Mbalimbali wilayani Serengeti Mkoa wa Mara amefikishwa mahakamani kwa makosa matatu ya uhujumu uchumi.

Mbele ya Hakimu mkazi mfawidhi wilaya ya Serengeti Ismael Ngaile, mwendesha mashtaka wa Polisi,  Paskael Nkenyenge jana Jumanne Oktoba 9, 2918 alisema  mshtakiwa alikamatwa na miguu miwili ya nyumbu yenye thamani ya Sh1.4milioni.

Akisoma hati ya mashitaka katika kesi ya uhujumu uchumi namba 111/2018 alisema kosa la kwanza ni kuingia ndani ya hifadhi ya Taifa, la pili ni  kupatikana na  silaha za jadi panga na kutega wanyamapori  ndani ya hifadhi kinyume cha sheria.

Alisema kosa la tatu ni kumiliki nyara za Serikali baada ya kukutwa na  miguu miwili ya mnyamapori huyo ikiwa na thamani ya Sh1.4milioni kinyume cha sheria.

Ametenda makosa hayo Oktoba 7, 2018 katika eneo la Nyamburi ndani ya hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Mshtakiwa huyo hakutakiwa kujibu chochote na  amerudishwa mahabusu hadi Oktoba 23, 2018 kesi hiyo itakapotajwa tena.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images