Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Kusinyaa Na Kudumaa Kwa Maumbile Ya Kiume

$
0
0
Wanaume  wanao  jihusisha  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu  husalia  kuwa  na  maumbile  ya  kiume  yaliyo  sinyaa  na  kudumaa.

Kwa mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  huathiri  na  kuharibu  mishipa  na  misuli  ya  uume na  hivyo kusababisha  kujengeka  kwa  mafuta na  tishu  zisizo vutika  kwenye  mishipa  ya  ateri na  hivyo  kuzuia  mishipa ya  ateri  kupanuka na  kuongezeka  pamoja  na  damu  kutiririka  kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.

Mambo  hayo  mawili yanapotokea  huathiri  uzalishaji  wa homoni muhimu  zinazo  husika  na ukuaji wa misuli ya  uume, na hatimaye  hufanya  uume  wa  mhusika  kudumaa, kusinyaa, kunywea  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuufanya  uonekane  kama wa  mtoto.

 Homoni  hizo hujulikana   kitaalamu kama  HGH  na  huzalishwa  kwenye  ini.

Sababu nyingine   inayo  tajwa  na  wataalamu  ni kwamba, mtu  anaye fanya punyeto   hutumia  akili,  nguvu na  nishati  nyingi sana, jambo ambalo  huathiri utendaji  wa  ogani  nyingine  muhimu  katika  mwili , likiwemo  ini.

Na kwamba  ini  linapo kosa  nishati   ya kutosha  hushindwa  kufanya kazi  zake  vizuri  na  moja  kati  ya  kazi kubwa  za  ini  ni  pamoja  na  uzalishaji  wa  homoni  zijulikanazo  kitaalamu kama  HGH  ambazo  kama  ilivyo andikwa  hapo juu, zinahusika na  kuchochea  ukuaji  wa  sehemu mbalimbali  katika  mwili  wa  mwanadamu  ikiwemo   misuli  ya  uume.

Mbali na  kuathiri  utendaji  wa  ogani  nyingine  mwilini, upigaji  punyeto  husababisha  athari nyingine  kwenye  mwili wa  mwanadamu  kama  vile uchovu  sugu  wa mwili  pamoja na kunyonyoka kwa  nywele.

Athari nyingine  za  upigaji punyeto  ni  pamoja  na  kupoteza  kumbukumbu, kuwahi  kufika  kileleni  ambako  husababishwa  na  kulegea  kwa  mishipa  ya  ateri, kushindwa  kurudia  tendo  la  ndoa, kukosa  hamu  ya  tendo  la  ndoa, uume  kusimama  katika  hali  ya  ulegelege,   maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa  husuani  wakati  wa  kurudia  tendo  la pili na    mara  baada  ya  tendo  la  ndoa  la  kwanza.

KWANINI   WATU WENGI  WANAO  JIHUSISHA  NA  UPIGAJI  PUNYETO  WANA  MAUMBILE  MADOGO  YA  KIUME YALIYO  DUMAA, SINYAA  NA  KURUDI NDANI.

Uzeofu  unaonyesha  kuwa,  asilimia  kubwa  ya  wanaume  ambao  wamewahi  kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu, wanakabiliwa  na  tatizo  la kuwa  na  maumbile  ya  kiume yaliyo dumaa, sinyaa  na  kurudi ndani.

SABABU  KUBWA   NI  HII  HAPA
Sababu  kubwa  ni kwamba   vijana wengi  wa  kiume, huanza  kujihusisha  na  punyeto   wakiwa  na  miaka  kumi  na sita , kumi na  saba  au  chini  ya  hapo.

Hiki ni  kipindi  ambacho  vijana  hawa  ndio  wanakuwa  wamebalehe.

Na kwa mujibu  wa  tafiti  za kisayansi, katika  kipindi  hiki cha  balehe  ndio  kipindi  ambacho  homoni za  HGH  ambazo huhusika  na  ukuaji  wa  sehemu  mbalimbali  za  mwili  ikiwemo  maumbile ya  kiume, huzalishwa  kwa wingi.

Kama  tulivyo ona  hapo  juu, upigaji  punyeto  huathiri  uzalishwaji  wa   homoni  hizo.

Mwisho wa  siku  maumbile  ya  kiume  ya  wahusika, hushindwa  kukua  na  kuishia  kudumaa na  kusinyaa.

Na  hii ndio  sababu  kubwa  wanaume  wanao  kabiliwa  na  tatizo  hili  husalia  kuwa  na  maumbile yenye  ukubwa  ule  ule  walio kuwa  nao wakati wa  kubalehe

NINI  TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  KUDUMAA, KUSINYAA  NA  KURUDI NDANI KWA  MAUMBILE  YA  KIUME.
Kama uume wako  umedumaa, sinyaa, legea, nywea  na  kurudi ndani  kwa  sababu  ulifanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  na  unataka  kuondokana  na  hali  hiyo. HII  NI HABARI NJEMA  SANA  KWAKO! 
 
Ipo dawa  ya ASILI   ambayo  HUTIBU  na  KUPONYESHA  KABISA  tatizo la  KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA  NA  KURUDI NDANI  KWA MAUMBILE  YA  KIUME kunako  tokana  na  ufanyaji  punyeto  wa  muda  mrefu.
 
Ni  dawa  ya  asili  kabisa ambayo  hutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la kudumaa  na  kusinyaa  kwa  uume  ndani ya siku thelathini.

JINSI YA  KUPATA  TIBA  HII : Kupata  tiba  hii  fika  ka6ika  duka  la  kuuza  dawa  za  aslili  la  NEEMA  HERBALIST.  Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

Kwa wateja  waliopo  jijini  Dar  Es  Salaam  ambao  hawana  nafasi  ya  kufika  ofisini  kwetu  watapelekewa  dawa  mahali  walipo  ( HOME & OFFICE  DELIVERY )  na kwa  wateja  waliopo  nje  ya  mkoa  wa  Dar  Es  Salaam  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabus  au  boti  kwa  waliopo  Zanzibar.

Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba  :    0693  005 189.

Wimbo Mpya: Rich Mavoko - Navumilia

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Rich Mavoko anakukaribisha kusikiliza wimbo wake mpya uitwao Navumilia. Usikilize hapa.

Dawa za Asili ya Kuzuia Mimba kutoka, Mtu Aliyepata Ajali, Degedege, Busha, Kuota Nyama Sehemu za Siri

$
0
0
Mbepe; ni dawa ya nguvu za kiume,kurefusha na kunenepesha maumbile madogo kwa muda mfupi.

MHOLA; ni dawa inayotibu kisukari,presha,degedege,kifafa,mwili kupooza, Kipanda uso,kiuno,mgongo,kuzuia mimba isotoke, Kuuma tumbo chini ya kitovu.

NDAGULA; ni dawa ya kuunga mifupa kwa mda mfupi kwa aliye pata ajali na kuvunjika,ataanza kupata nafuu ndani ya siku 14 na kufanya mazoezi

Inhondi; ni kwa wale wenye busha,kuota nyama sehemu ya Siri, Miguu kuwaka moto.

Lukomolo;  Ni dawa ya mvuto wa mapenzi Kumvuta mme, Mke, Mchumba hawala atakutafuta mwenyewe

Tupo mbagala rangi 3, kwa dar huduma utaletewa popote ulipo kwa tiba na ushauli piga no. 0742215230/0787131395/0712757594 dr MASELE

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Jeshi La Polisi Jijini Mwanza Laua Majambazi Wawili

$
0
0
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewaua majambazi wawili katika mapambano ya majibizano ya kurushiana risasi na majambazi hao huko katika Lodge ya Vatican iliyopo Mtaa wa Calfonia –Nyegezi kata ya Nyagezi Wilaya ya Nyamagana Jiji na Mkoa wa Mwanza.

Tukio hilo limetokea tarehe 07/10/2018 majira ya saa 23:40hrs, hii ni baada ya kupatikana kwa taarifa toka kwa wasiri kwamba hapa Mkoani Mwanza wameingia majambazi wawili wakiwa na silaha za moto kwa ajali ya kufanya uhalifu na wamefikia Vatcan Lodge iliyopo mtaa Calfonia –Nyegezi.

Majambazi hao baada ya kufika kwenye Lodge hiyo walichukua chumba namba tano na kuweka mabegi yao kisha waliondoka kwenda maeneo ya katikati ya Jiji la Mwanza kwenye eneo ambalo walipanga kuja kufanya tukio la kiuhalifu. Baada ya kupatikana kwa taarifa hizo Polisi tulikwenda mapema katika Lodge hiyo kisha tuliweka mtego.

Aidha ilipofika majira tajwa hapo juu, Polisi tulikwenda hadi kwenye chumba namba tano ambapo walifikia majambazi hao kisha tuligonga mlango mara kadhaa tukiwataka majambazi hao wafungue mlango ili tuwakamate wakiwa hai lakini waligoma. Ndipo baadae jambazi mmoja alifungua mlango ghafla kisha alifyatulia askari risasi, lakini kutokana na umahiri wa askari wetu waliweza kumpiga risasi jambazi huyo na kufariki dunia papo hapo.

Wakati jambazi huyo amepigwa risasi na askari, jambazi mwingine aliyekuwa ndani ya chumba alifunga mlango kisha alivunja dari ya lodge na kujificha kwenye dari hiyo. 

Polisi tulivunja mlango na kuingia ndani ya chumba hicho kisha alipelekewa moto mkali humohumo ndani ya dari ndipo baada ya kuona moto umekua mkali jambazi huyo alivunja paa la Lodge hiyo kisha alitoka na kuruka ukuta na kuanza kukimbia.

Polisi tulifyatua risasi kadhaa hewani na kumuamuru jambazi huyo asimame lakini alikaidi amri hiyo, ndipo baadae jambazi huyo alipigwa risasi wakati akiendelea kukimbia umbali wa mita mia moja toka ilipo lodge na kufariki dunia papo hapo.

Aidha katika tukio hilo, Polisi tumefanikiwa kukamata silaha moja iliyotengenezwa kienyeji inayotumia risasi za silaha aina ya short gun (Home made gun). Pia upekuzi ulifanyika katika chumba walichofikia majambazi hao na kupata risasi tano za silaha aina ya short gun ambazo hazijatumika.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, linatoa wito kwa wananchi kuwa waendelee kutupatia taarifa, watu wote wanaongia hapa Mkoani kwetu lakini haijulikani shughuli wanayoifanya watupatie ili Polisi tuweze kuwashughulikia kwa mujibu wa sheria. Pia tunatoa onyo kwa majambazi kwamba Mwanza wataingia lakini hawatatoka, hawa wameingia lakini hawajatoka.

Serikali yabariki Tanesco kuzikatia umeme taasisi zake

$
0
0
Serikali imesema Shirika la Umeme nchini (Tanesco), liendelee kukata umeme kwa wateja sugu wanaodaiwa malimbikizo ya Ankara zao za hata kama ni taasisi nyeti za serikali.

Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani ameyasema hayo kutokana na maombi maalumu yaliyotolewa na Mkuu wa Gereza la Handeni Miraj Katumbili na Meneja wa Mradi wa Maji wa HTM, Yohana Mgaza, waliotaka umeme usikatwe katika ofisi zao na wizara wakati zikitafuta ufumbuzi wa kulipa malimbikizo ya madeni yao.

Mrakibu Mwandamizi wa jeshi la Magereza SSP Katumbili, alisema mara nyingi umeme unapokatwa katika gereza hilo wanakuwa na wakati mgumu kutokana na aina ya watu wanaofungwa kwa makosa mbalimbali, hivyo wangeomba wasikatiwe.

Kwa upande wake Mgaza, alisema mradi wao wa maji wa HTM licha ya kukabiliwa na changamoto mbalimbali, wanakiri kwamba Tanesco wanawadai zaidi ya Sh milioni 900 ambazo Wizara ya Maji imeanza kulipa lakini wamekuwa wakikatiwa umeme mara kwa mara.

“Mheshimiwa Waziri sisi ni wateja wakubwa wa Tanesco, tunawahudumia wananchi kwa maana tunatoa huduma, ni kweli tunadaiwa zaidi ya Sh milioni 900, wizara yetu imejitahidi kulipa kiasi cha Sh milioni 500 lakini bado tunakatiwa umeme wananchi hawapati maji,” amesema Mgaza.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe, akichangia suala hilo alisema anasikitishwa na Ofisi ya Tanesco Mkoa wa Tanga, namna wanavyoshindwa kukaa pamoja kutafuta suluhisho la kudumu la kutatua tatizo hilo ambalo kimsingi kwa vile wizara imeanza kulipa linazungumzika.

“Wizara ilishaanza kuonesha jitihada za kumaliza deni lakini wanakata umeme na wananchi wanakosa huduma hii muhimu, nimeongea na ofisi ya mkoa kumaliza tatizo hili, nimelalamika kwenye kikao ch RCC nikitaka wakutane walimalize, lakini hadi leo Tanesco hawataki kukaa pamoja,” amesema Mkuu huyo wa Wilaya.

Akifafanua hilo Dk. Kalemani aliwapongeza kwa kuonesha jitihada za kulipa lakini akasisitiza madeni hayo lazima yalipwe kwa kuwa Shirika hilo na lenyewe limekuwa na madeni mbalimbali ya zaidi ya Sh bilioni 700 huku lenyewe likidai kwa wateja wake kiasi cha Sh bilioni 200.

“Ni kweli tunajua wananchi wanaumia lakini mnapolipa Ankara hizi inasaidia kuliwezesha shirika kuwasaidia wananchi kwa kuwasambazia nishati ya umeme,” amesema Waziri na kumwagiza Meneja wa Tanesco Mkoa wa Tanga, Julius Sabu, kuwafuata viongozi wa HTM kumaliza suala lao mapema iwezekanavyo.

Trump na Kim Jong UN Kukutana Tena Hivi Karibuni

$
0
0
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo na kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong UN wamekubaliana kupanga mkutano wa awamu ya pili kati ya Marekani na Korea kaskazini haraka iwezekanavyo, ofisi ya Rais wa Korea kusini ilisema Jumapili.

Tangazo hilo lilikuja muda mfupi baada ya Pompeo alipowasili Seoul kufuatia ziara yake ya siku nne kuelekea Korea kaskazini mahala ambapo alikutana na Kim. 

Pompeo alisema Marekani na Korea kaskazini walikubaliana kuendeleza mazungumzo na kuchagua tarehe maalumu pamoja na mahala ambako mkutano ujao utafanyika kulingana na taarifa kutoka ofisi ya Rais wa Korea kusini, Moon Jae-In.

Moon alimshukuru Pompeo kwa ziara yake na aliwatakia mafanikio mema kwenye mkutano ujao kati ya Kim na Rais Donald Trump wa Marekani. 

Viongozi hao wawili walikutana mara ya mwisho mwezi June mwaka 2018 huko Singapore.

Dr Kanengo: Bingwa Wa Tiba Asili Hutibu Matatizo Yafuatayo

$
0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo kupooza kupoteza fahamu 

MALABALA; hutibu kisukari , uti wa mgogo, Change, pumu, busha, kaswende, kifua kikuu, muwasho sehemu ya siri 

NKURUNGU,: Ni dawa kutibu  N, B, G, POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge 20 

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha , pia kuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe), maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu. 

NR SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu 

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana. (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete) ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,.(4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wachafu ndani ya mji,.

Haya yote yanawezekana kwa DR KANENGO popote ulipo . Muone  DR KANENGO,anatibu nguvu za kiume anarefusha na kunenepesha uume kwa saizi uipendayo kwa muda mfupi sana, pamoja na kuwa na hamu ya kurudia tendo la ndoa mara 4 bila hamu kuisha Na utachelewa kufika kileleni kwa muda wa dakika 40 bila kuchoka .

Angalizo usitume meseji wala kubipu..
 
You can get it in all East African countries,,our service is fast and easy... contact Whatsapp 0784,47,59,46.Dar es salaam Tanzania. ,..Dr. KANENGO 0744,92,29,82...You are welcome. Yuko pia Khahama Mjini, Bunda kwa sasa

Okoa Ndoa Yako Mke,Mume Na Afya Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Za Asili

$
0
0
Asilimia kubwa ya binadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wengi wamejaribu kutumia tiba sehemu tofauti bila mafanikio na  kukata tamaa hasa kina baba ambao ndoa zao au mahusiano yao na wapenzi wao yapo hatarini kuvunjika kwa sababu Mume hana uwezo wa kumridhisha mpenzi wake 

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MKE AU MPENZI WAKO SABABU ETI UNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME MDOGO: tumia dawa ya NSENWA POWER ;dawa hii hutibu na kuponesha tatizo la  nguvu za kiume .

1 itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
2 itakupa uwezo kuchelewa kukojoa mda wa dakika 15-20 na kumfanya mpenzi wako naye aridhike 
3 huimalisha misuri iliyo legea na kusinyaa 

JE UNA UUME MFUPI NA MWEMBAMBA : tumia dawa ya MASHESHE NO 2; hii huboresha uume saizi upendayo kuazia urefu wa inch 5,6,7,8 na unene  wa sentumita 2,3,4,5, dawa hizi hazina madhara yeyote kwa mtumiaji hata wazee hutumia na kupona 

MASANZA ni dawa ya vidonda vya tumbo zipo dawa za mvuto wa biashara ,mpenzi,uzazi ngiri,korodani kuvimba miguu. mgongo,kiuno kuuma nk 

MAHALI ILIPO OFISI UNAWEZA UKASHUKIA BUGURUNI MALAPA AU BUGURUNI ROZANA na MWANZA YUPO WAKALA pia unaweza ukaletewa popote ulipo wasiliana nami 0783185060  0752348593 DR AGU

Watumishi 11 wa Benki wanaswa na TAKUKURU

$
0
0
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), leo imewafikisha mahakamani, Mwasibu Mwandamizi Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Bw. Isaya Philipo na watumishi 11 wa Benki ya CRDB kwa kosa la kuisababishia serikali hasara ya shilingi milioni 569,325.

Akizungumza katika ofisi za TAKUKURU jijini Dar es Salaam, Naibu Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Kinondoni, Bw. Eugenius Benard Hazinamwisho, amesema watuhumiwa hao wanakabiriwa na makosa 404 ya ubadhirifu na ufujaji wa mali za serikali na fedha za Mamlaka ya Elimu nchini.

Ameibainisha kuwa makosa hayo yapo chini ya kifungu kinachozuia na kupambana na rushwa No.11 cha mwaka 2007 cha sheria na kanuni ya adhabu sura ya 16.

“Watuhumiwa wote kutoka TEA, na CRDB, Wamefikishwa mahakamani kwa wizi wa fedha za Mamlaka ya Elimu, katika makosa waliyoyafanya kati ya mwaka 2010 na 2013'', amesema Hazinamwisho.

Amefafanua kuwa baada ya uchunguzi kukamilika, wamebaini fedha hizo zilielekezwa katika kusaidia elimu nchini katika uboreshaji wa mitaala na miundombinu ya elimu.” amesema Hazinamwisho.

Aidha Bw, Hazinamwisho amewataka watumishi wote wa serikali na taasisi binafsi za fedha nchini kuheshimu nyadhifa zao katika kutekeleza majukumu pamoja na kuzingatia sheria, kanuni na taratibu kwa kutojihusisha na vitendo vya rushwa na makosa ya jinai.

Hazinamwisho ametoa rai kwa wananchi kuendelea kutoa ushirikiano kwa taasisi hiyo juu ya taarifa za vitendo vya rushwa nchini.

Basi la Arusha Express Lapinduka....Wanne Wapoteza Maisha

$
0
0
Takribani watu wanne wameripotiwa kufariki Dunia katika ajali iliyohusisha basi la abiria la 'Arusha Express' lililokuwa likisafiri kutoka jijini Arusha kueleka mkoani Dodoma kupinduka katika wilaya Babati mkoani Manyara.

Kwa mujibu Kamanda wa Polisi mkoa wa Manyara Agustino Senga, ajali hiyo imetokea majira ya asubuhi ambapo taarifa za awali licha ya vifo hivyo vinne mpaka sasa kuna majeruhi 11 na kati yao watano wako mahututi huku chanzo cha ajali kikiwa bado hakijajulikana.

"Nitatoa taarifa kamili nikiwa nimetulia, mpaka dakika hii vifo ni vinne watatu wamefariki eneo la tukio, na mmoja amefariki hospitali na majeruhi wapo 11 japo hatujajua chanzo cha ajali lakini ajali imetokea upande wenye kona kali na basi likalala upande wa kushoto''. Amesema Kamanda Agustino

Aidha Kamanda huyo amesema bado jeshi hilo linaendelea na shughuli za  kufuatilia majina ya wanaotajwa kupoteza maisha kwenye ajali hiyo ili waweze kutambuliwa na ndugu zao.

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Diamond amlilia Mzee Kikwete ...."Wasanii hatuna thamani wala umuhimu tena"

$
0
0
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameamua kueleza hisia zake kupitia salamu za kumtakia kheri Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.

Diamond kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa, kwa sasa Wasanii wa muziki wamem-miss sana Mzee Kikwete kwani uongozi wa sasa umewazuia hata kutumbuiza kwenye kampeni.

“BONGO FLAVA GODFATHER…WE LOVE & MISSING YOU 😪😭😭😓😭. Vijana wako leo tumeambiwa hatuna tena umuhimu, hatutakiwi tena kwenye Kampeni. Hatuna tena thamani what can we say? sawa tunashukuru, ila tumeumia,“ameandika Diamond Platnumz.

Jana Oktoba 8 ilikuwa ni siku ya mfanano ya kuzaliwa kwa Dkt. Jakaya Kikwete ambapo alikuwa anaadhimisha miaka 67.

Ali Kiba Aguswa na Hali Ya Chid Benz, Ataka Watanzania Tumuombee Aache Madawa ya Kulevya

$
0
0
Msanii wa Bongo, Alikiba amesema kuwa licha ya Chid Benz kutumbukia kwenye matumizi ya Dawa za Kulevya bado anahitajika kwenye muziki huo.

Kwenye Mahojiano na kipindi cha Leo tena cha Clouds FM, Alikiba anaamini Mungu atamfanyia wepesi Chid Benz kuondoka kwenye kifungo hicho na pia anamuombea kwa sasa.

"Namuombea kaka yangu Chid Benz apate uwezo wa kushinda matamanio ya moyo wake, Allah amsaidie aushinde mtihani anaoupitia. Bado tunamhitaji, ana familia inayomtegemea.

"Tumuombee maana kama hatoamua mwenyewe basi hatoweza kutoka kwenye hili shimo. In Shaa Allah mwenyezi Mungu atamfanyia wepes” amesema Alikiba.

Kwa sasa Alikiba anafanya vizuri na wimbo mpya uitwao Mwambie Sina ambao ni kwanza kutoka chini ya lebo yake inayokwenda kwa jina la King's Music.

TAKUKURU Jiridhisheni Na Huduma Zinazotolewa Kwa Wananchi

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa TAKUKURU wajiridhishe huduma zinatolewa kwa wananchi bila ya rushwa, watakapobaini rushwa wachukue hatua.

Pia, Waziri Mkuu amewataka watumishi wa umma wajiepushe na vitendo vya rushwa pamoja na matumizi mabaya ya fedha za Serikali katika utendajikazi wao.

Ameyasema hayo leo (Jumatatu, Oktoba 8, 2018) wakati akizungumza na watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Biharamulo katika mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa JWTZ.

“Msiwalazimishe au kutengenezea mazingira ya kuomba rushwa kwa wananchi. Wananchi mkiona mnazungushwa katika kupatiwa huduma katoeni taarifa TAKUKURU.”

Waziri Mkuu amesema “tabia ya njoo kesho njoo kesho haikubaliki katika Serikali hii. Serikali haitaki mtumishi mzembe anayedharau wananchi, fanyeni kazi kwa kuzingatia maadili ya taaluma zenu.”

Amesema Rais Dkt. John Magufuli anataka kila Mtanzania afikiwe na huduma za jamii bila ya ubaguzi wa aina yoyote, mtumshi atakayeshindwa kutekeleza majukumu yake hatakuwa na nafasi Serikalini.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Biharamulo, Bi. Wende Ng’ahara awahamishe maafisa kilimo na kuwapeleka vijijini ili wakawahudumie wananchi.

Amesema maafisa kilimo wanaotakiwa kuwepo wilayani ni wawili tu, Afisa Kilimo wa wilaya pamoja na afisa kilimo anayeshughulikia mazao ya mbogamboga, wengine wanatakiwa kupelekwa vijijini kwa ajili ya kuhudumia wananchi.

Kadhalika, Waziri Mkuu amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo, Bibi Saada Malunde na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Bi. Wende wahakikishe wakuu wa idara wanakwenda vijijini kwa ajili ya kuwahudumia wananchi. Wanatakiwa kwenda siku nne kwa wiki.

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 03

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA
Bibi Jane akanionyesha chumba changu cha kulala, nikaweka begi langu kisha tukarudi sebleni na kupata chakula kilicho andaliwa vizuri sana. Ila muda wote nikajikuta nikimtazama Mery na kujiuliza ni kwa nini amenidharau.
“Mery unatakiwa kumuomba msamaha Ethan kwa kuto kuupokea mkono wake.”
Mzee Klopp alizungumza huku akinimtazama Mery.
“Baba na mama pasipo kuwavunjia heshima siwezi kumuomba huyo sokwe msahama, na inakuwaje munaleta Masokwe nyumbani kwetu na wala hamjanishirikisha eheee?”
Kauli hii, ikaulipua moyo wangu, hasira ikapanda na kunifanya mwili mzima kunitetemeka, glasi ya juisi niliyo ishika mkoni mwangu, nikajikuta ikiniponyoka na kuanguka chini jambo lililo wafanya watu wote kunishangaa.
   
ENDELEA
Nikanyanyuka kwa hasira kwenye kiti changu na kukimbilia chumbani kwangu huku machozi yakinimwagika usoni mwangu. Nikajitupa kitandani na kuendelea kulia, hazikupita hata dakika mbili bi Jane Klopp akaingia chumbani humu, taratibu akaka kitandani na kunikumbatia na kuanza kunibembeleza huku akioniomba niweze kuwa mvumilivu na mtoto wao atanielewa tu.
“Kwa hiyo mimi ni Sokwe?”
Nilizungumza kwa sauti ya chini iliyo jaa upole na masikitiko mengi sana, japo ni mtoto ila swala la kudharauliwa na kuitwa sokwe kusema kweli limeniumiza sana moyo wangu.
“Hapana Ethan, watu wote sisi ni sawa mwanangu, wala usijisikie vibaya”
 
Bibi Jane Klopp akatumia muda mwingi sana katika kunibembeleza hadi nikapitia wa usingizi. Ubaridi mkali ulioa ambatana na upepo ukanifanya niweze kuzinduka usingizini, nikatazama chumba kizima na kukuta mwanga hafifu wa mbala mwezi unao ingia kupitia dirisha ambalo lipo wazi. Taratibu nikashuka kitandani na kuanza kutembea kuelekea lilipo dirisha hilo ili niweze kulifungua. Kabla sijalifikia sauti ya mwanaume ambaye aliniita kipindi nilipo kuwa hotelini, ikaniita tena nyuma yangu. Nikastuka sana na kugeuka, nikaona kivuli kikiwa ukutani.
 
“Ethan pole sana kwa kile kilicho kukuta”
Sauti ya mwanaume huyu ilizungumza na kunifanya niingiwe na hofu.
“Usiogope, natambua kwamba umefedheheka sana moyoni mwako, ila nina kitu ninahitaji kukuonyesha”
“Kitu gani?”
“Twende nje”
“Nje, wapi?”
Niliuliza kwa kujikaza tu, ila kusema kweli nina wasiwasi mwingi.
“Wewe twende tu”
Nikahisi hali ya kujiamini moyoni mwangu, taratibu nikaanza kutembea kuelekea mlangoni.
“Hapana usipitie mlangoni”
Sauti ya mwanaume huyu iliendelea kunielekeza, na hali ya kuiogopa yote imenitoweka.
“Wapi nipitie?”
“Dirishani pale”
Nikatembea hadi dirishani na kuchungulia nje.
“Nitatokaje hapa wakati kuna gorofa?”
“Wewe ruka hadi chini?”
“Acha kunitania, nitarukaje hadi chini. Unataka nivunjike”
“Kumbuka kwamba nilisha kueleza nipo kwa ajili ya kukusaidia, kwa hiyo siwezi kukuacha uumie”
 
Nikajishauri kwa sekunde kadhaa, akili za utoto nahisi nazo zinachangia, kwani sikuhitahi kufikiria jambo hili kwa mapana na kujaribu kile ambacho nina ambiwa. Taratibu nikapanda dirishani na kujirusha kwenda chini huku nikiwa nimeyafumba macho yangu. 
Kitu kilicho nishangaza ni kuto kufika chini ya ardhi, nikafumbua macho yangu kwa haraka sana. Nikajikuta nikiwa nina ambaa hewani huku chini ya ardhi kukiwa na ukungu mwingi sana kama tulio zoea kuuona Moshi majira ya asubuhi au usiku.
“Usiogope”
“Umefanya nini sasa mbona sikanyagi chini?”
Niliuliza huku mapigo ya moyo yakinienda mbio.
“Unaniamini?”
 
“Ehee…..!!?”
“Unaniamini kama rafiki yako?”
“Nitakuaminije ikiwa sikuoni sura yako”
“Unataka kuniona sura yangu?”
“Ndio”
“Twende”
Tartaibu nikaanza kuona nikiondoka katika eneo nililopo, nikatamani kujifinya ili mardi niweze kuona kama nipo ndotoni au laa, ila kila kinacho tokea ni jambo la ukweli na si ndoto kabisa. Tukazidi kupita juu yam situ huu uliopo karibu kabisa na msitu wa jumba la mzee Klopp na mkewe.
“Tunaelekea wapi?”
“Ninataka kukuonyesha Ujerumani jinsi ilivyo”
“Sasa utanionyeshaje ujerumani ilivyo ikiwa hutaki nikuone sura yako”
“Utaniona tu siku, muda bodo haujafika”
Nikaanza kuona majengo mengi makubwa kwa juu. Majengo haya yote yamejengwa kwa ustadi wa hali ya juu, akaanza kunielezea kila mji na sifa zake pamoja na asili ya watu wake. Kusema kweli ni jambo ambalo linanifurahisha moyoni mwangu na kuniburudisha.
“Kwa nini umekuwa rafiki yangu na unaitwa nani?”
“Hahaaa…..”
Sauti hii ya kiume ilicheka kidogo.
“Jina langu ni gumu sana, nitakutajia siku nyingine”
“Kwa nini?”
 
“Usijali nitakuambia, kuna mambo mengi sana nahitaji tufanye pamoja na yakikamilika basi nitakueleza na utanijua”
“Haya kwa nini umenipenda mimi?”
“Hahaa….niyauambia pia hiyo siku ikifika”
Tukaendelea kuzunguka hadi ilipo kuwa ikaribia majira ya asubuhi, akaniridisha hadi chumbani kwangu, kisha akaniaga na kuondoka jambo ambalo kusema kweli linazidi kunishangaza. Nikapanda kitandani taratibu huku nikiwa nimejawa na furaha kubwa sana ya kuiona miji ya nchi hii ya Ujerumani. Usingizi taratibu ukaanza kunipitia na nikalala fofofo.
    Bibi Jane Klopp akaniamsha, akanieleza juu ya safari ya matembezi na kwenda kuiona shule ambayo ninatakiwa kuanza masomo yangu ya shule ya msingi. 
 
“Jiandae”
“Sawa mama”
Nikaingia bafuni, nikajisafisha kinywa changu na kuoga, baada ya kumaliza, nikavaa moja ya suti ya kijivu ambayo bi Jane Klopp alininunulia. Nikatoka chumbani humu na kuelekea sebleni, nikakutana na Mery akiwa amevalia suti nyeusi, nikajaribu kumsalimia ila hakiniitikia zaidi ya kunipita.
“Dada Mery nimekusalimia”
“Wewe nguruwe mdogo nimekuomba salamu yako”
Mery alizungumza huku akinitazama usoni mwangu kwa hasira.
“Nikiwa kama mdogo wako ni lazima nikupatie heshima”
Nikastukia kofi usoni mwangu jambo lililo nifanya nijisikie vibaya sana.
“Mery ni nini unacho fanya?”
Mzee Klopp alizungumza kwa ukali huku akishuka kwenye ngazi.
 
“Nimewaambia huyu Sokwe, sijui nguruwe, sitaki kumuona huku”
“Hiyo sio tabia tuliyo kufundisha sisi wazazi wako lakini?”
Mzee Klopp alilalama kidogo.
“Kwa nini munanikosesha amani eheee, khaa”
Mery akatoka humu ndania kiwa na jazba, mzee Klopp akanifwata nilipo simama na kunikumbatia.
“Ethan, kila kitu kinakwenda kukaa vizuri sawa mwanangu”
“Sawa baba”
Nilijibu huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu. Nikaanza kuhisi magari yakigongana huku moja likipinduka vibaya sana. Katika ufahamu wangu wa akili nikamuona Mery akiwa ndani ya gari hilo lililo pinduka. Nikatamani kuzungumza hisia zangu ninazo zihisi ila nikashindwa kutokana na kuogopa, nikamuachia mzee Klopp na kuanza kukimbilia nje, kwa mbali nikaliona gari ambalo amepanda Mery likitoka kwenye geti na gari hilo ndio nililo liona kwenye hisia zangu na hii ndio mara yangu ya kwanza kuliona.
 
“Achana naye akirudi jioni tutazungumza naye”
“Baba”
“Naam”
“Nitakacho kuambia utaweza kukiamini?”
“Yaa kwa nini nisikuamini”
“Naomba umzuie dada Mery asiende anapo kwenda?”
“Kwa nini?”
“Ninahisi kuna ajali itatokea?”
“Ajali?”
“Ndio baba”
Mzee Klopp akaonekana kuelewa kile nilicho kizungumza. Akatoa simu yake mfukoni na kuanza kuminya minya, akaiweka sikioni kwa sekunde kadhaa ila akaishusha, akarudia tena kuiweka simu yake sikioni ila baada ya muda mchache tena akaishusha.
“Anakata simu”
Mzee Klopp alizungumza huku akiwa na wasiwasi mwingi sana. Bibi Jane Klopp akatoka ndani huku akiwa amependeza sana.
“Mbona muna wasiwasi kuna nini kinacho endelea?”
“Ethan muambie mama yako”
Mzee Klopp alizungumza huku akiendelea kumimnya minya simu yake na kuiweka sikioni.
 
“Eti Ethan ni nini kinacho endelea?”
“Ninahisi kuna ajali mbaya itampata dada Mery”
Bibi Jane Klopp wasiwasi mwingi ukamjaa.
“Mume wangu tutafanya nini?”
“Najaribu kumpigia anakata simu, amempiga mtoto wa watu hapa anahisi labda ndio hilo jambo ninataka kuzungumza naye”
“Mpigie dereva wake”
Mzee Klopp akafwata ushauri wa mke wake.
“Ehee upo wapi?”
“Nyumbani…..unafanyaje?”
“Ohooo Mungu wangu haya”
Mzee Klopp akakata simu huku akionekana kuwa na wasiwasi mwingi.
“Alimuambia dereva wake asije leo kazini”
“Mungu wangu, ngoja nijaribu kumpigia mimi”
Bi Jane Klopp akatoa simu yake kwenye pochi, akapiga namba ya Mery, sura yake jinsi ilivyo anza kubadilika dhairi ikaonyesha kwamba kuna tatizo limejitokeza.
 
“Kuna nini mke wangu”
“Nimesikia kishindo kizito na siu ikakata”
“Ohooo…Mungu baba ni nini tena kimempata”
Bibi Jane Klopp akaanguka chini, jambo lililo tufanya tuchanganyikiwe. Wafanyakazi kwa haraka wakafika katika eneo hili na kusaidiana na mzee Klopp kumuingiza ndani bi Jane Klopp. Simu ya mzee Klopp ikaanza kuita, akaitazama kwa muda huku akinitazama usoni mwangu. Akaipokea simu yake na kuiweka sikioni.
“Ndio ni mimi”
Nikamuona Mzee Klopp machozi yakimlenga lenga. Taratibu akaka kwenye kochi akionekana dhairi kwamba amechoka kwa taarifa alizo pewa.
“Sawa ninakuja”
Mzee Klopp alizungumza kwa uonge huku akinitazama usoni mwangu. Taratibu akanyanyuka na kunishika mkono na tukaanza kupandisha kuelekea gorofani.
 
“Ethan umejuaje kama mwanangu atapata ajali?”
“Eheee?”
“Ulijuaje?”
Mzee Klopp alizungumza kwa ukali kidogo.
“M…imi…nimehisi tu”
“Unahisi umekuwa malaika wewe?”
Mzee Ethan alizidi kufoka hadi sura ikaanza kuwa nyekundu jambo lililo nifanya nianze kupata woga.
“Na akifa mwanangu utanitambua”
“Likini bab…..”
“Koma mimi sio baba yako, mwanangu ni mmoja na anakimbizwa hospitalini sasa hivi unaniambia nini nikuelewe mjinga weweee”
Maneno ya mzee Klopp yakanikatisha tamaa kwa kweli ya kuendelea kuishi humu  kwenye nyumba yake, kwa kweli kwa hapo awali nilihisi kwamba nitayafurahia maisha yangu ya hapa nchini Ujerumani, ila kile nilicho kifikiria sicho kinacho nitokea na nimekuwa ni tatizo toka niingie jana kwenye hili jumba.

Kahawa yamponza mkuu wa polisi mkoani Kagera....IGP Sirro Amhamisha Kituo Kupisha Uchunguzi

$
0
0
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro, amemhamisha kituo cha kazi kamanda wa Polisi Wilaya ya Kerwa mkoani Kagera, Justine Joseph, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zilitolewa dhidi yake na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa madai ya kusafirisha kahawa nje ya nchi.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo, Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini Barnabas Mwakalukwa amesema IGP Sirro pia amemwagiza RPC wa Kagera Augustine Ollomi, kuwachukulia hatua askari wote wa Kerwa, waliohusika na usafirisahaji wa Kahawa kwenda nje ya nchi.

"Kamanda wa polisi wilaya ya Kerwa amehamishwa kituo cha kazi kutoka Kerwa na kupelekwa Iringa ambako atakuwa mtumishi wa kawaida ili kupisha uchunguzi, na atakuwa chini ya usimamizi wa viongozi wengine." Amesema Mwakalukwa.

Aidha IGP Sirro amewataka askari wote nchini kufanya kazi kwa kuzingatia, sheria na maadili ya jeshi la polisi nchini. 

Mbali na hilo Sirro pia amewataka wananchi kuachana na imani ya kishirikina kwa kuwa vitendo hivyo vinasababisha kuongezeka kwa matukio ya kiuhalifu katika baadhi ya maeneo nchini.

Kauli hiyo ya IGP Sirro imekuja kufuatia vurugu za mkoani Songwe baada ya wananchi kuwazuia askari polisi kuwakamata waganga wakienyeji mkoani humo, maarufu kama 'rambaramba' ambao wamekuwa wakiendesha kampeni ya kufanya ramli inayolenga kuvuruga amani.

Viongozi Wampigia Simu Nay Wa Mitego Kupongeza Kwa Wimbo wake wa ALISEMA

$
0
0
Staa wa muziki wa Bongofleva Nay wa Mitego leo amedai kuwa Viongozi wengi nchini wameonekana kumshangaza, baada ya kumpigia simu na kumpa pongezi nyingi kutokana na ngoma yake mpya ya “Alisema” aliyoiachia rasmi October 6,2018.

Nay Wa Mitego amesema amekuwa akipokea simu nyingi kutoka kwa viongozi tofauti tokea aachie ngoma hiyo, kitu ambacho kinamshangaza na kumpa maswali mengi, kuwa ni kitu gani wamekipenda kwenye ngoma yake ya ‘Alisema’ mpaka kumpa pongezi hizo.

“Napokea simu na msg nyingi za pongezi kutoka kwa viongozi tofauti tofauti wengine sijawai kuwaza hata kuzungumza nao au kuhisi kama wanasikilizaga hata nyimbo zangu. Watu wa kawaida pia kuhusu huu wimbo  ‘Alisema’ najiuliza nini kikubwa kipo kwenye hii ngoma?

“Maneno niliyoongea? Beat? Style niliyoimba? Chorus? kama ni verse ipi ya kwanza ya Pili? Au watu wamechoshwa na nyimbo za mapenzi kila siku.? Huu ni wimbo wa Taifa🇹🇿”Ameandika Nay wa Mitego

==>>Usikilize hapo chini

TRA Yakusanya Trilioni 3.8 Robo Ya Kwanza Ya Mwaka Wa Fedha 2018/19

$
0
0
Na Veronica Kazimoto
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imefanikiwa kukusanya jumla ya Shilingi Trilioni 3.84 kwa kipindi cha miezi mitatu ya Mwaka wa Fedha 2018/19 ikiwa ni kuanzia Julai hadi Septemba, 2018 ikilinganishwa na shilingi trilioni 3.65 ambazo zilikusanywa kipindi kama hicho katika Mwaka wa Fedha wa 2017/18.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi Richard Kayombo amesema kiasi hiki ni sawa na ukuaji wa asilimia 5.32 na kuongeza kuwa ukusanyaji wa mapato hayo umekuwa ukiongezeka kila mwezi.

“Katika mwezi Julai, 2018, TRA ilikusanya jumla ya shillingi trillioni 1.20 sawa na ukuaji wa asilimia 9.20, mwezi Agosti, 2018 jumla ya shilingi trillioni 1.27 zilikusanywa ikiwa ni sawa na ukuaji wa asilimia 5.86 wakati mwezi Septemba, 2018 mamlaka ilikusanya jumla ya shilingi trillioni 1.36 ambayo ni sawa na ukuaji wa asilimia 1.65,” alisema Kayombo.

Kayombo amewashukuru walipakodi wanaoendelea kulipa kodi zao kwa hiari na wakati na amewahimiza wale wote ambao bado wanasuasua kujitokeza kulipa kodi hizo na wale wenye changamoto mbalimbali wametakiwa kufika katika ofisi za TRA mikoani na wilayani ili kuonana na mameneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania.

Aidha, Kayombo amesema TRA inaendelea na zoezi la kupokea maombi ya misamaha ya riba na adhabu katika malimbikizo ya madeni ya kodi za nyuma ambapo ameeleza kuwa mpaka sasa jumla ya walipakodi 1,950 wamewasilisha maombi ya kusamehewa riba na adhabu ambayo yanafikia jumla ya shilingi bilioni 185.4.

“Mwitikio wa walipakodi kuomba msamaha wa wa riba na adhabu ni mkubwa na unaridhisha na kuna baadhi ya walipakodi waliowasilisha maombi ambao wameshapewa majibu na wengine wako katika hatua mbalimbali za kushughulikiwa maombi yao. Hivyo, nachukua fursa hii kuwakumbusha wafanyabiashara ambao hawajawasilisha maombi wawahi kuwasilisha maombi hayo kabla ya tarehe 30 Novemba, 2018.

Mkurugenzi Richard Kayombo ametoa wito kwa walipakodi na wananchi wote kwa ujumla kuendelea kulipa kodi kwa hiari na wakati na kuwaasa wale wote wanaojishughulisha na vitendo vya kugushi risiti za kielektroniki za EFD nchi nzima hasa maeneo ya Kariakoo, kuacha mara moja kwa sababu wakibainika watachukuliwa hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani.

Mwisho.

Mfumuko wa Bei Mwezi Septemba Wapanda

$
0
0
Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwaka ulioishia mwezi Seotemba 2018 ambao umeongezeka hadi asilimia 3.4 kutoka asilimia 3.3 kwa mwaka ulioishia Mwezi Agosti,2018.

Akizungumza na Waandishi wa habari Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Bw.Ephraim Kwesigabo,amesema kuwa hii inamaanisha  kasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma kwa mwaka ulioishia mwezi Septemba 2018 imeongezeka kidogo ikilinganishwa na kasi iliyokuwepo kwa mwaka ulioishia mwezi Agosti 2018.

Aidha Bw.Kwesigabo amesema kuwa kuongezeka kwa mfumuko wa bei wa Taifa kwa mwaka ulioishia mwezi Septemba 2018 kumechangiwa na kuongezeka kwa bei za baadhi ya bidhaa zisizo za vyakula kwa kipindi kinacho ishia mwezi Septemba 2018 zikilinganishwa na mwezi septemba 2017.

Hata hivyo mfumuko wa bei za vyakula na vinywaji baridi kwa mwezi Septemba 2018 umeendelea kupungua hadi asilimia 2.0 kutoka asilimia 2.2 ilivyokuwa mwezi Agosti 2018.

Bw.Kwesigabo amesema kuwa baadhi ya bidhaa zisizo za chakula ambazo zilizochangia kuongezeaka kwa mfumuko wa bei wa mwezi Septemba 2018 ni pamoja na vileo na bidhaa za tumbaku kwa asilimia 1.9, nguo na viatu kwa asilimia 3.2, vifaa vya matengenezo na ukarabati wa nyumba kwa asilimia 5.2, mafuta ya taa kwa asilimia 18.7,Mkaa kwa asilimia 11.2,Gharama za kumuona Daktaria hospitali za binafsi kwa asilimia 5.5,Dizeli kwa asilimia 19.9 na Petroli kwa asilimia 15.8.

Aidha amesema kuwa hali ya mfumuko wa bei kwa baadhi ya nchi za Afrika Mashariki kwa mwaka ulioishia mwezi Septemba nchini Kenya umeongezeka hadi kufikia asilimia 5.70 kutoka asilimia 4.04 kwa mwaka ulioishia mwezi Agosti 2018.

Kwa upande wa Uganda mfumuko wa bei kwa mwaka ulioishia mwezi Septemba 2018 umepungua hadi asilimia 3.7 kutoka asilimia 3.8 kwa mwaka ulioishia mwezi Agosti 2018.

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images