Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asili

SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Dawa za Asili ya Kuzuia Mimba kutoka, Mtu Aliyepata Ajali, Degedege, Busha, Kuota Nyama Sehemu za Siri

0
0
Mbepe; ni dawa ya nguvu za kiume,kurefusha na kunenepesha maumbile madogo kwa muda mfupi.

MHOLA; ni dawa inayotibu kisukari,presha,degedege,kifafa,mwili kupooza, Kipanda uso,kiuno,mgongo,kuzuia mimba isotoke, Kuuma tumbo chini ya kitovu.

NDAGULA; ni dawa ya kuunga mifupa kwa mda mfupi kwa aliye pata ajali na kuvunjika,ataanza kupata nafuu ndani ya siku 14 na kufanya mazoezi

Inhondi; ni kwa wale wenye busha,kuota nyama sehemu ya Siri, Miguu kuwaka moto.

Lukomolo;  Ni dawa ya mvuto wa mapenzi Kumvuta mme, Mke, Mchumba hawala atakutafuta mwenyewe

Tupo mbagala rangi 3, kwa dar huduma utaletewa popote ulipo kwa tiba na ushauli piga no. 0742215230/0787131395/0712757594 dr MASELE

Vijana Nchini Waaswa Kuanzisha Miradi Ya Kimkakati itakayowawezesha kiuchumi.

0
0
Vijana nchini wametakiwa kubadili mtazamo kwa kuanzisha miradi ya kimkakati itakayowawezesha kiuchumi.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) alipofanya ziara hiyo Mkoa wa Iringa kwa lengo la Kuhamasisha na kukagua maeneo ya ujenzi wa Vitalu Nyumba (Green House) na uwepo wa miundombinu itakayotumika kwenye maeneo hayo.

Mheshimiwa Mhagama amesema sekta ya kilimo inaajiri na kuchangia katika pato la taifa kwa zaidi ya asilimia 60%, hivyo vijana ambao ndio nguvu kazi ya taifa wakatumie rasilimali ardhi kama mtaji wa kujiajiri na kuweza kuajiri wenzao.

“Lengo letu ni vijana kutumia sekta hii ya umahiri kwa ajili ya kuwaondoa kwenye mitazamo finyu na kuwa na mitazamo chanya ili waweze kunufaika na miradi itakayo buniwa na kutumika kama mfano kwa vijana nchi nzima.” Alisema Waziri Mhagama

Aliongeza kuwa vijana watafundishwa kilimo cha Kitalu nyumba ambavyo vitawawezesha kuongeza thamani kwenye mazao watakayozalisha na mradi huo ukawe sehemu ya ajira zao.

Aidha, Waziri Mhagama alitoa rai kwa vijana kuwa chachu ya maendeleo ya uchumi wa taifa kwa kushirikiana kwa pamoja bila kujali itikadi zao ili kutimiza adhima ya vijana wote.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Richard Kasesela alisema mradi huo utawawezesha vijana wa mkoa wa Iringa kuweza kuondokana na changamoto ya ajira kwa kuwa Serikali imewaletea teknolojia hiyo itakayo wawezesha vijana kujiajiri.

Naye mmoja wa vijana aliweza kuishukuru Serikali kwa kuanzisha mradi huo wenye tija ya kuwanufaisha vijana wote katika kuwaletea mabadiliko na ukombozi wa kiuchumi.

“Mradi huu utatuwezesha sisi vijana kunufaika na teknolojia hii ya kilimo cha kisasa kwa kutumia sehemu ndogo ya mashamba kuzalisha mazao mengi yatakayotusaidia kujipatia mtaji ili tuondokane na umaskini.” Alisema Peter Seni

Katika Ziara hiyo Waziri Mhagama alitembelea Chuo cha Ihemi kwa ajili ya kukagua majengo yatakayokuwa yanatumia kufundishia vijana elimu ya ujasiriamali na kilimo cha kitalu nyumba (Green House). 

Salute Yamponza Afisa Magereza Mbele ya Waziri Kangi Lugola

0
0
Heshima  ya saluti ambayo askari wamekuwa wakiwapigia viongozi au wakuu wao kama ishara ya utii na heshima, imemponza ofisa wa Magereza mkoani Mbeya.

Tukio hilo lilitokea juzi wakati Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, alipofanya ziara yake ya kikazi kwenye Gereza la Luanda, mkoani Mbeya.

Kwenye ujumbe wa video uliosambaa kwenye mitandao mbalimbali, Lugola anaonekana akiwasili kwenye gereza hilo na kupigiwa saluti na viongozi mbalimbali wa gereza hilo.

Viongozi hao wanaonekana wakimpigia saluti Waziri Lugola huku wakiwa wameweka fimbo zao kwapani kama ilivyo kawaida kwa maofisa wa majeshi ya ulinzi na usalama wanapopiga saluti.

Ilipofika zamu ya askari mmoja ambaye jina lake halijafahamika, alipiga saluti akiwa hana fimbo hiyo hali ambayo ilimshtua Waziri na kuhoji kwa nini hana fimbo kama wenzake.

"Hivi unaruhusiwa kupiga saluti kama huna fimbo? Nakuuliza unaruhusiwa kupiga saluti bila fimbo kama wenzako? Hilo ndilo swali langu," alihoji Lugola kwa ukali.

Waziri Lugola alihoji kama askari huyo anafahamu kuwa haruhusiwi kupiga saluti bila kuwa na fimbo hiyo na kama anajua ni kwa nini ameamua kufanya ubangaizaji.

"Kama hujui ulitakiwa ukae huko usiwepo hapa kwa sababu hujakamilika. Lazima tufundishane nidhamu," alisema Waziri Lugola huku sauti za viongozi zikisikika kumuombea msamaha ofisa huyo.

Ofisa huyo alikiri kuwa amefanya makosa kwa kutokuwa na fimbo hiyo kama wenzake na kuomba msamaha ndipo Waziri Lugola alipomwamuru kwenda kutafuta fimbo hiyo na kurudi kabla hajaondoka.

"Nenda ulete hiyo fimbo uje nayo ndipo unipigie saluti maana hii uliyonipigia haina tofauti na kughushi. Hii saluti umeighushi usifanye, hivyo rekebisha kuwa na heshima. Nenda kalete fimbo haraka kabla sijatoka hapa," aliagiza Lugola na askari huyo alitii amri hiyo na kuondoka haraka eneo hilo.

Kiongozi wa askari hao alipotaka kumtetea, Waziri Lugola alisema hakuna utetezi hapo kwa sababu hata kama angekuwa wapi, haruhusiwi kupiga saluti bila kukamilika.

Okoa Ndoa Yako Mke,Mume Na Afya Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Za Asili

0
0
Asilimia kubwa ya binadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wengi wamejaribu kutumia tiba sehemu tofauti bila mafanikio na  kukata tamaa hasa kina baba ambao ndoa zao au mahusiano yao na wapenzi wao yapo hatarini kuvunjika kwa sababu Mume hana uwezo wa kumridhisha mpenzi wake 

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MKE AU MPENZI WAKO SABABU ETI UNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME MDOGO: tumia dawa ya NSENWA POWER ;dawa hii hutibu na kuponesha tatizo la  nguvu za kiume .

1 itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
2 itakupa uwezo kuchelewa kukojoa mda wa dakika 15-20 na kumfanya mpenzi wako naye aridhike 
3 huimalisha misuri iliyo legea na kusinyaa 

JE UNA UUME MFUPI NA MWEMBAMBA : tumia dawa ya MASHESHE NO 2; hii huboresha uume saizi upendayo kuazia urefu wa inch 5,6,7,8 na unene  wa sentumita 2,3,4,5, dawa hizi hazina madhara yeyote kwa mtumiaji hata wazee hutumia na kupona 

MASANZA ni dawa ya vidonda vya tumbo zipo dawa za mvuto wa biashara ,mpenzi,uzazi ngiri,korodani kuvimba miguu. mgongo,kiuno kuuma nk 

MAHALI ILIPO OFISI UNAWEZA UKASHUKIA BUGURUNI MALAPA AU BUGURUNI ROZANA na MWANZA YUPO WAKALA pia unaweza ukaletewa popote ulipo wasiliana nami 0783185060  0752348593 DR AGU

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 93 na 94 )

0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588 
ILIPOISHIA   
“KU** WEWEEE”       
Nilimtukana baba Hawa, akaiweka ndoo chini kwa hasika. Akatembea hadi kwenye meza iliyomo ndani ya hichi chumba huku imejaa makorokocho, akachukua mkasi mrefu na wenye makali, akanisogelea, kisha akamshika jogoo wangu kwa mkono wake wa kushoto, akaupitisha mkasi katikati ya jogoo wangu na kuanza kumkata taratibu, jambo lililo nifanya niangue kilio kikali sana ambacho tangu kuzaliwa kwangu sikuwahi kulia kilo cha aina hiyo.
   
ENDELEA
Mlango ukafunguliwa hadi baba Hawa akasitisha zoezi la kumkata jogoo wangu japo alisha anza kumbana taratibu. Macho yetu yakamshuhudia Hawa akiingia kwa kasi ya ajabu, huku macho yake akiwa amemtumbulia baba yake.
“Umefwata nini humu?”    
 
“Baba hii sio haki, huyu Dany unakumbuka kwamba unamchukulia kama mwanao wa kiume iweje leo unamtesa kwa kiasi hichi”
“Unatambua kwamba mtu mwenye dharau, tena ni mpelelezi kwangu huwa hana msamaha”
“Hata kama, unatambua ni jinsi gani Dany alivyo kuwa mtiifu kwake, hata wawo la kwenda kuiba chakula cha wakimbizi na kuwalisha wanajeshi wako, lililotoka kwako. Tazama hali halisi ya matatizo yake aliyo kueleza, tazama hali halisi ya shida yake alivyo izungumza kwako, so leo hii unaona hakuna umuhimu  katika hilo si ndio.?”
 
Hawa alizungumza kwa sauti ya msisitizo huku akimtazama baba yake usoni mwake. Baba hawa akaka kimya pasipo kujibu kitu chochote kwa mwanye huyu.
“Hata kama ingekuwa ni mimni, wewe umeuliwa katika mazingira ya kutatanisha, na mtu mwengine ananijibu kama ulivyo kuwa unamjibu Dany, lazima ningebadilika na kuwa mkali kwako”
Maneno ya Hawa nikaanza kuhisi yanaweza kubadilisha msimamao wa huyu mzee, kwa maana akinikata jogoo wangu ndio basi tena, ujanja katika nyanja za vitumbua nduo nitausikia kwenye bomba, yaani ni bora hata unipige risasi kuliko kukata jogoo wangu ambaye kwa mara kadhaa ameniraisishia katika vitu vigumu kwenye maisha yangu.
 
Hawa akanitazama jinsi mwili wangu ulivyo chakaa kwa majeraha ya vidonda ambavyo nimevipata kwa kuchapwa kwa mjeledi.
“Mshusheni”
Hawa aliwaamrisha wanajeshi walio simama ila hakuna hata mmoja aliye weza kutii amri yake.
“NIMESEMA MSHUSHENI MWENZENUUU”
Hawa aliendelea kuzungumza kwa kufoka, ila wanajeshi wote wakabaki wakiwa wamesimama kikakamavu kama hawasikii kile anacho kizungumza.
“Toka humu ndani”
Baba Hawa alizungumza kwa ukali hadi mwili mzima ukanisisimka. Hawa akamtazama baba yake kwa mshangao mkubwa sana.
 
“Baba!!”
“Mkamateni na mumtoe humu ndani, hakikisheni munampeleka katika chumba cha uangalizi na anakaa humo hadi mimi mwenyewe nije”
Wanajeshi wakaifwata amri ya baba Hawa, wakataka kumkamata Hawa, ila kwa ishara ya mkono akawazuia wasimshike mavazi yake. Wakaongozana na Hawa wakiwa wamemuweka katika ulinzi mkali. Mlango ndani ya chumba hichi ukafungwa, nikabaki mimi na baba Hawa. 
 
Baba Hawa hakunisemesha kitu chochote zaidi ya kuchukua pasi iliyopo mezani, akachomeka waya wa pasi hiyo kwenye soketi ya umeme. Akaiwasha, hayo yote yakiendelea, moyo wangu, unanienda kasi, kiasi kwamba naanza kumuona malaika mtoa roho akiranda randa katika eneo hili la chumba, akisubiria muda wake tu, kuja kuichukua roho yangu. Pasi ilipo kolea moto, baba Hawa akapiga hatua hadi katika sehemu nilipo, akazunguka nyuma yangu. Nikafumba macho taratibu kwa maana maumivu ninayo kwenda kupata hapa ni makali zaidi.
 
Katikati ya mgongo wangu, nikasikia uzito wa pasi hii, jinsi inavyo unguza kwenye mwili wangu. Machozi yaliyo  anza kutulia kidogo, yakaanza kunibubujika kwa wingi sana, maumivu yakazidi kiwango ambacho binadamu hufikia, taratibu nikajikuta nikipoteza fahamu na nisijue kinacho endelea kuanzia hapo.
                                                                                                         ***
Mtetemeko mkali katika kifua changu, ukanifanya kuyafumbua macho yangu kwa haraka sana huku nikigema. Nikaona kundi la madaktari wakiwa wamanizunguka, huku daktari mmoja akiwa ameshika mashine ya umeme inayo tumia katika kustulia mapigo ya moyo.
“Ameamka”
Nesi mmoja alizungumza, wakaanza kunihudumia, huku mashine ya kuhesabu mapigo ya moyo ikiendelea kulia kijimlio kinacho ashiria mapigo yangu ya moyo kwamba yapo sahihi. Sindano za ganzia ambazo wamenichoma, zinanifanya nisijisikie chochote wanacho kifanya kwenye mwili wangu. Wakaendelea kufanya kila wanacho kifanya katika mwili wangu. 
 
“Dokta chumba cha ICU kipo tayari”
“Haya sasa ni muda wa kumtoa”
Taratibu wakanishika vizuri na kuniweka katika kitanda kingine cha matairi, manesi wawili wanao kiongoza kitanda changu, mmoja akiwa mbele na mwingine akiwa nyuma anakisukuma. Wakanitoa katika chumba hichi na kunipeleka nisipo pajua. Nikaingizwa kwenye chumba ambacho kipo kimya sana na kina mitambo kadhaa ya kuhemea na kuhesabu mapigo ya moyo. Wakaanza kuniwekea kifaa maalumu cha kuhemea kwenye mdomo wangu, kisha wakaniweka vifaa maalumu kwenye kifia changu ambavyo vinasaidia mimi kuhema.
 
Nikatamani kuzungumza ila nikajikuta nikishindwa kabisa, menesi hawa baada ya kuniandaa, wakatoka katika chumba hichi na kuniacha mwenyewe. Nikajaribu kukumbuka kitu kilicho tokea hadi mimi kufika katika hospitali hii ambayo sifahamu ipo nchi gani, ila sikuweza kukumbuka chochote.
    Muda na siku zikazidi kwenda, huku nikiendelea kuhudumiwa na manesi pamoja na madkatari katika hii hospitali. Kila siku nikatamani kufahamu imekuwaje kufika katika eneo hili, ila sikuweza kupata nafasi nzuri ya kumuuliza nesi wala daktari kwa maana kila wakija, wananihudumia na kuondoka zao.
 
“Habari yako bwana Dany?”
Daktari ambaye mara nyingi huwa anakuja kunihudumia alizungumza na mimi kwa mara ya kwanza tangu kuletwa katika hichi chumba.
“Salama”
Nilijibu kwa sauti ya unyonge huku nikimtazama usoni.
“Leo ni siku ya ishirini na mbili tangu kuletwa katika hospitali yetu. Kwa utaratibu wa kazi na huduma zetu pamoja na matatizo ambayo ulikuwa nayo. Ilitubidi tusikusemeshe ndani ya siku zote hizo ili tusiuvuruge mfomo wako wa ubongo ambao kidogo ulipata itilafu, ila tunashukuru Mungu kwa kupindi hicho chote mfumo wako wa ubongo umeweza kurudi katika hali ya kawaida”
 
Daktari alizungumza huku akinitazmaa usoni mwangu.
“Nilikuwa na tatizo gani?”
“Ubongo wako ulipata itilafu ya kupoteza uwezo fulani wa kukumbuka matukio ya nyuma, ila kwa siku zote hizi ishirini na moja tuliozo kaa kimya pasipo kuzungumza na wewe, ubongo umeweza kukaa sawa na hali yako kwa sasa inaendelea vizuri”
“Majeraha yote katika mwili wako yamesha funga kilicho baki hivi sasa ni kukupa dawa ambazo zinaweza kufuta majeraha hayo yote”
“Dokta ni nani aliye nileta katika hii hospitali?”
“Hakuhitaji kujulikana, ila aliweza kusema tukuhudumie hadi upone, kisha yeye atakuja. Ila garama zote za matibabu ameweza kuzilipa”
 
“Ni mwanamke au mwanaume?”
“Ni mwanaume”
Nikabaki nikiwa na maswali mengi kichwani mwangu kwa manaa sifahamu ni mwanaume gani ambaye anaweza kunisaidia mimi kutoka katika kifo nilicho kikosa kosa kwa baba Hawa.
‘Au ni baba Hawa? Hapana haiwezekani akawa yeye?’
Nilijiuliza maswali kadhaa kichwani mwangu, ila sikupata jibu sahihi ambalo lingeweza kunisaidia.
“Hapa nipo wapi?”
“Upo Nairobi Kenya, ulitetwa majira ya usiku, siku ishirini na mbili zilizo pita. Mwili wako wote ulijawa na majeraha mengi, tueyashuhulikia na sasa yanakwenda kuisha”
“Dokta je mbo** yangu?”
Niliuliza kwa shauku kubwa sana.
“Hahaa haina tatizo, japo kulikuwa na kijitatizo gidogo, ila sasa hivi ipo sawa sawa. Na tumeiweza kuifanyia kazi ambayo itakuwa bora zaidi ya ilivyo kuwa mara ya kwanza”
“Kweli dokta?”
 
Niliuliza huku nikiupeleka mkono wangu wa kushoto kwenye jogoo wangu, nikaanza kumpapasa, kweli nikahisi mabadiliko kidogo kwa maana, kitendo cha kumshika kidogo akaanza kusimama huku akiwa na uzito pamoja na urefu ambao ni tofauti na mwanzoni. Daktari akaachia tabasamu pana usoni mwake huku akitingisha tingisha kichwa. Nikashusha pumzi nyingi huku nikiwa nimejawa na furaha kubwa moyoni mwangu.
“Dawa ambazo tutakupatia zitakusafisha makovu yote mwilini mwako kwa siku  sana. Kwa hiyo tungekuomba uwe mvumilivu kwa manaa umesha pona kabisa”
“Sawa sawa dokta, nashukuru kabisa”
“Unaweza kushuka kitandani na kutembea tembea eneo la hospitali, ili uweze kuuchamsha changamsha mwili”
 
“Sawa sawa dokta”
Nikajikuta nikishuka kitandani huku nikiwa na furaha siku zote nilizoea kushuka kitandani na kuingia chooni au bafuni ambavyo vyote vipo ndani ya hichi chumba changu. Nikavaa vijindala ambavyo siku zote ninavivaa. Nikaongozana na daktari huyu hadi nje ya hospitali hii yenye majengo makubwa sana na yakupendeza.
“Hii hospitali mara nyingi huwa tunahudumia wagojwa walio patwa na majeraha makubwa ambayo wanaamini kwamba hawawezi kupona, ila wakija hapa wanapona kabisa na wanarudi katika hali zao za kawaida. Hata mtu akija amekatika mkono, kuna mbinu za kidaktari ambazo tunazifanya hadi mtu huyo mkono wake tunaweza kuurudisha”
 
“Dokta ina maana hata mkono uwe umekatika katika munaweza kuurekebisha?”
“Ndio tunaweza, kila kitu kinawezekana, yaani kitu tunacho kihangaikia sasa hivi ni kuweza kutengeneza roho ya binadamu, tukifanikiwa katika hilo basi tutakuwa matajiri kabisa”
Tuakiwa katika moja ya bustani ambayo pembeni yake kuna barabara, likapita gari jeusi la kifahari, likafika maeneo ya maegesho, likasimama wakashuka walinzi wawili, mmoja akapiga hatua hadi mlango wa nyuma wa gari hilo, akafungua mlango wa gari hilo. Akashuka kijana mmoja aliye valia suti nyeupe pamoja na miwani ya macho.
 
“Ohoo tena mtu aliye kuleta yule pale”
Daktari alizungumza huku akiondoka, ikabidi kumfwata kwa nyuma huku nikijaribu kumtazama kijana huyu ambaye inasadikika kwamba amenileta katika hii hospitali. Kusema kweli sijawhai kumuona siku hata moja kwenye maisha yangu. Tukafika hasi sehemu alipo wakapeana mikono na daktari huku wakiwa katika furaha kubwa sana.
“Ohoo hali ya Dany ninaiona jinsi ilivyo kamili gado”
“Yaaa tumejitahidi katika uwezo wetu wote na tumefanikiwa kufanya leo hii kuwa vizuri”
“Dany naamini utakuwa unanishangaa, ila tukikaa tutazungumza mambo mengi na utanijua mimi vizuri”
“Sawa sawa hakuna tabu”
 
Nikaendelea kumtazama huyu jamaa ambaye kwa haraka haraka anaonekana kunipita kiumri, kwa miaka kadhaa.
“Daktari kilicho bakia kwa Dany ni kitu gani?”
“Ni kufuta haya majeraha, atakaa hapa hospitali hadi siku saba, baada ya hapo tutaweza kumruhusu kuondoka”
“Ohooo sawa sawa, mimi kwangu hilo halina tatizo kabisa. Ila Dany tunaweza kupata muda wa kuzungumza mimi na wewe”
“Sawa kaka”
“Twende tukakae pale kwenye bustani”
Nikatembe na jamaa huyu hadi kwenye bustani, huku walinzi wake wakiwa nyuma yake. Tukaka kwenye moja ya benchi zilizo tengenezwa kwenye hii bustani. Jamaa huyu akatoa simu yake mfukoni, akaanza kutazama tazama baadhi ya vitu kisha akanipatia simu yake. Nikaiona picha ya K2 ikiwa katika kioo cha simu yake.
“Naamini kwamba unamfahamu huyo vizuri?”
“Yaa ninamfahamu, ila kabla hatujasonga mbele ninahitaji kuweza kukufahamu wewe ni nani, na kwa nini uliamua kunisaidia?”
 
“Usiwe na haraka mdogo wangu, kunifahamu utanifahamu tuu. Ila kwanza tuzungumzie kuhusiana na swala la huyu K2. Nimeweza kufwatalia wewe tangu upo katika kisosi cha NSS. Hadi walivyo kubambikia kesi, na kukufunga gerezani. Kipindi chote hicho nilikuwa nikikufwatilia kwa ukaribu sana pasipo wewe kuweza kufahamu kama unafwatiliwa.”
Nikastuka sana kumsikia jamaa akizungumza maneno kama haya, kwa maana kila anacho kizungumza ni ukweli na kimesha nitokea kwenye maisha yangu miaka kadhaa ya nyuma.
“Sikukata tamaa ya kukudwatilia kwa kipindi cha miaka yote hii, kwa manaa hata mfumo wa utawala nchini Tanzania kwa sasa umebadilika”
“Umebadilika. Tangu lini?”
“Hahaa ni kajihistoria kimoja kirefu japo si sana, ila mfumo wake umebadilika. Raisi ailiyo sasa madarakani sio yule ambaye unamjua.”
 
“Kwa sasa Tanzania inatawaliwa na mwanamke, jambo ambalo hakuna anaye penda kuliona nchi kubwa kama Tanzania ikitawaliwa na mwanamke”
“Ngo….ngoja kwanza, unataka kuniambia kwamba Tanzania raisi sasa hivi ni K2?”
“Yaaa na ameingia madarakani hivi juzi juzi tu kwa hiyo kuna kazi kubwa mbayo ipo mbele yetu. Picha hiyo unayo iona kwa sasa ni jinsi K2 alivyo ingia madarakani kama raisi”
Nilijihisi kichwa kikinigonga kwa maumivu, mwanamke mshenzi aliye niharibia mfumo wa maisha yangu leo hii anakuwa raisi wan chi yangu kirahisi namna hii, kusema kweli haiwezekani.
“Naamini unatambua kwamba familia yako kwa sasa ipo mbinguni?”
“Yaaa”
“Na pia nina imani una hisi kuwa kuna mtu au watu wapo nyuma ya tukio la mauji ya familia yako?”
“Ndio”
 
“Basi sogeza picha ya mbele utamuona muhusika wa mauaji ya familia yako”
Nikasogeza picha ya mbele katika simu hii. Nikamuona mwanaume mmoja ambaye ndio mara yangu ya kwanza kuweza kumuona.
“Huyu ni nani?”
“Anaitwa EDDY GODWIN, huyu ndio mster plan wa maujia ya famili yako. Akiwa bega kwa bega na K2 ambaye kwa sasa ni mtu na mke wake?”
Maneno ya huyu jamaa yakanifanya nibaki nimemtumbulia macho, nisielewe ni kitu gani kinacho endelea.
“Naitwa JONH ni mkuu wa D.F.E”
Jamaa huyu alizungumza huku akinipa mkono wake wa kulia, huku sura yake ikiwa imejawa na tabasamu  pana, nikabaki nikiwa ninautazama mkono wake pasipo kuupokea kwa maana bado sielewi ni kitu gani ambacho kinaendelea.

AISIIIII……….U KILL ME 94                                                                                                 

Taratibu nikaunyoosha mkono wangu wa kulia na kuukutanisha na mkono wake. John akaonekana kuwa na furaha sana baada ya kuukutanisha mkono wangu na mkonno wake.
“Samahani nina swali moja”
“Uliza tu Dany”
 
“D.F.E ndio nini kwa maana sijaelewa?”
“Ohoo kirefu chake Destination of my enemies. Kundi hili muasisi wake anajulikana kwa jina mzee Godwin, mtoto wake ndio huyo Eddy Godwin”
“Sasa mimi hapa nitahusika kwa jambo gani?”
“Tutayazungumza, kikubwa ni hali yako kuweza kuwa sawa kwa kipindi hichi”
“Na ulikuwaje nikatoka katika mikono ya Al-Shabab, wakati nilikuwa katika hati hati ya kupoteza maisha?”
“Ni mengi sana yametokea katika wiki hizi mbili tatu ila usiwe na shaka kila jambo litakwenda kuwa sawa. Umenielewa Dany?”
Ikanibidi kutingisha kichwa tu kwa ajili ya kumridhisha John ila kusema kweli sijaelewa jambo hata moja.
“Utabaki chini ya uangalizi wa madaktari, baada ya wiki moja niakuja rasmi kukuchukua”
“Sawa”
Tukasimama kwenye benchi tulilo kalia. Taratibu tukarudi hadi sehemu tulipo muacha daktari. 
 
“Dokta hakikisha mgonjwa hali yake inakuwa sawa”
“Usijali bosi, tutahakikisha kwamba anapona na kuwa fiti zaidi ya hapo mwazo”
“Shukrani dokta”
John na walinzi wake wakaingia kwenye gari na kuondoka, wakaniacha nikiwa nimesimama na daktari huku tukilisindikiza gari lao jinsi linavyo toka getini.
“Huyu John, miguu na mikono yake yote tuliipandikiza sisi, alikuwa amekatwa kabisa”
“Sijakuelewa?”
“Yaani hakuwa na miguu wala mikono, ila tulimfanyia Oparesheni, ambayo tulipandikiza miguu na mikono yake na kwa sasa kama unavyo weza kumuona anatembea yeye mwenyewe”
“Mmmm!!”
“Yaaa hii hospitali yetu ni mwisho wa matatizo”
“Sawa”
Tukaendelea kuzunguka katika maeneo haya ya hii hospitali huku akili yangu ikiwa na kazi ya kuhakikisha kwamba ninayahifadhi maeneo yote kwenye kumbukumbu ya kichwa changu, kwa maana hasira ya kulipiza kisasi kwa K2 bado ipo pale pale, na wala sihitaji mtu wa aina yoyote kuweza kunisaidia wala kuwa chini yake katika kulitekeleza azimio langu.
 
    Siku zikazidi kusonga mbele nikiendelea kupatiwa matibabu ya kuweza kufuta makovu yaliyo jaa mwilini mwangu. Wazo la kutoroka katika hii hospitali taratibu likaanza kunijia kichwani mwangu. Zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kutimia siku saba, nikaanza kuchunguza mfumo mzima wa magari yanayo ingia na kutoka katika hii hospitali. Kuna gari moja la mataka taka ambali kila ifikapo saa ukumi na mbili asubihi linakuja kwenye hii hospitali na linaondoka hospitalini hapa saa moja asubuhi, na huwa getini halikaguliwi kabisa. 
 
‘Hili ndio litanifanya mimi kuondoka hapa’
Nilisema huku nikilitazama gari hili linavyo tokomea nje ya geti. Nikarudi chumbani kwangu baada ya kumaliza kufanya mazoezi mepesi ya viongo. Nikaingia bafuni na kuanza kuoga taratibu, huku nikiwaza maneno ya John.
‘Haiwezekani K2 kuwa raisi wa Tanzania, kwanza ameanzia wapi?’
Nilijiuliza huku nikiyasikilizia maji ya bomba la mvua jinsi yanavyo mwagika mwalini mwangu, sikupata picha jinsi nchi yangu ya Tanzania hivi sasa jinsi inavyo ongozwa.
 
‘Nitajua mbele ya safari’
Nilizungumza huku nikifunga maji ya bomba hili, nikachukua taulo na kujifunga kiunoni mwangu, nikasimama mbele ya kioo kilichopo humu bafuni, nikajitazama kila kona ya mwili wangu, makovu ambayo yalikuwepo, sasa yananza kupotea, na mengine yamepotea kabisa. Misuli iliyo jijenga vizuri kwenye mwili wangu, bado ipo katika hali nzuri ya kuridhisha, na wala sijanenepa kwa siku hizi nilizo kaa kitandani nikiuguza majeraha yangu.
    Nikatoka bafuni na kurudi chumbani, nikamkuta nesi ambaye kila asubuhi huwa ananiletea kifungua kinywa na baadhi ya dawa.
“Habari yako dada Linda”
“Salama tu, eheee nilijua upo nje?”
“Hapana, nilikuwa nina oga oga”
“Naona sasa makovu yako yanapotea?”
“Yaa kweli dawa zenu zinasaidia”
 
“Kweli kikubwa ni kuhakikisha kwamba unafwata masharti ya dawa jinsi yanavyo hitaji. Tena leo nimekueletea mafuta ambayo ukipaka yatasaidia sana ngozi yako kuondoa makovu haraka iwezekanavyo”
“Kweli?”
“Yaa haya hapa”
Nesi Linda akanipatia mafuta ambayo yamekaa kama losheni, nikaanza kuyasoma taratibu na kweli yameandikwa yanasaidia katika kufuta makovu ya mwili.
“Sasa haya ninapaka kwa siku mara ngapi?”
“Pale unapo maliza kuoga basi unapaka”
“Inabidi uwe unanipaka kwa maana kama huko mgongoni mimi sinto weza kujipaka”
“Usijali lala kifudi fudi nikupake”
Nikajilaza kitandani huku nikiwa nimelalia tumbo. Nesi Linda akachukua mafuta kiasi akayamimina kwenye kiganja chake cha mkono wa kulia kisha akaanza kunipakaza mwilini mwangu taratibu. Mikono ya nesi Linda yakaufanya mwili wangu kusisimka sana, hadi nikaanza kujitingisha.
 
“Dany vipi?”
“Mikono yako ina nisisimu”
“Weee acha utani”
“Kweli dada Linda”
“Mimi mke wa mtu bwana”
“Ahaa kwani mke wa mtu umefungwa na kufulia”
“Hahahaaa Dany kumbe mjinga sana eheee”
Nesi Linda alizungumza huku akicheka kwa maana siku zote amezoe kuniona nikiwa mpole na mkimya sana.
“Ndio ukweli, ungekuwa mke wa mtu alafu amekufunga kufuli hapo sawa, ila ni mke wa mtu alafu ipo kama ilivyo…….”
“Ipo nini?”
“Si nanilio”
“Nanilio nini?”
“K***”
“Yesu wangu, Dany kumbe wewe ni muongeaji ehee?”
Nikajigeuza na kulala chali huku nikimtazama nesi Linda usoni mwake. Nikayashusha taratibu macho yangu hadi kifuani mwake kwenye chch zilizo jazia kiasi, sikuishia hapo nikazidi kushuka chini hadi kwenye kiuno chake kilicho shikilia hispi mbili zilizo jazia japo zimefunikwa na koti refu jeupe alilo livaa ila zimetanuka vizuri.
 
“Dany unaniangalia nini jamani, hadi unanitisha”
Sikutaka kumjibu chochote, nikamshika mkono na kumvuta hadi kifuani mwangu, mkono wangu wa kushoto nikaupitisha kwa haraka kiunoni mwake. Tukabaki tumetazamana kwa macho yenye matamanio.
“Dany nimeolewa na ndoa yangu bado ni changa sana”
Nesi Linda alizungumza huku akinionyesha vidole vyake vya mkono wa kushoto, huku kidole kimoja kikiwa kimevishwa pete ya dhahabu ambayo ni ya ndoa.
“Kwa leo”
“Mmmm Dany”
“Noo, nani atakaye jua, utamuambia mume wako kwamba umenipa penzi?”
 
Nesi Linda akaka kimya akikosa cha kuzungumza, taratibu akayafumba macho yake, moyoni mwangu nikajawa na furaha kwa maana mpango wangu unaanza kuzaa matunda taratibu taratibu. Mkono wangu wa kushoto ukawa na kazi ya kucheza na kiuno chake huku nikikiminya taratibu. Nikazipeleka lipsi zangu hadi kwenye lipsi zake, nikaanza kumnyonya kwa fujo jambo lililo mfanya nesi Linda kulegea kisawa sawa. Nikamgeuza kwa haraka na kumlaza kitandani. Kwa haraka nikashuka kitandani na kuufunga mlango wangu kwa ndani, uzuri wa chumba changu kipo gorofani kwa hiyo hakuna haja ya kufunga pazia.
Nikarudi kitandani na kuendelea kumnyonya nesi Linda midomo yake ambayo ni milaini sana. Ndimi zetu zikawa na kazi ya kupigana pigana kwenye midomo, hapa ndipo nilipo amini kwamba ndoa ni bwebwe tu.
 
Nesi Linda yeye mwenyewe akaanza kuvua nguo zake haraka haraka huku akionekana kuhitaji kupata kile ambacho kipo mbele yetu sote wawili. Nesi Linda akanivuta taulo langu, nikabaki kama nilivyo zaliwa, taratibu akaanza kumshika jogoo wangu, aliye simama kidedea. Nikaanza kumuonyesha utundu wangu nesi Linda. Mikono yangu na ulimi wangu, vikawa na kazi ya kupita kila sehemu ya mwili wake. Nilipo muona amesha fikia hatu ya kumuhitaji jogoo wangu aweze kumla kitumbua chake, basi sikuwa na kipingamizi.
Taratibu jogoo wangu ambaye kidogo ameongezeka urefu na ujazo, akaanza kuzama kwenye kitumbua cha nesi Linda.
“Dany taratibu pleaseee”   
“Ok”
“Usiingize yote, utanichana”
 
Nesi Linda alizungumza kwa sauti nyororo, nikafanya kama anavyo hitaji, kwa mana ninahitaji kumpa burudani kabambe. Kilia mudu unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi nesi Linda alivyo zidi kumfurahia jogoo wangu na kutamani azidi kuingia ndani. Kwa mara zaidi ya nne, nesi Linda akawa analalamika kwamba anafika kileleni, ila kwa upande wangu, ndio kwanza ninazidisha kasi. Hadi ninawasikia waarabu weupe wakihitaji kutoka, nesi Linda amesha fika kileleni mara ambazo hata sikumbuki ni ngapi. Waarabu wangu nikawatolea kwenye kifua chake na kumfanya nesi Linda afurahi sana.
“Ahaa Dany mmmmmm”
“Nini?”
“Sijawahi kufika kileleni tangu nizaliwe”
“Heeee”
“Haki ya Mungu vile. Yaani leo ndio mara yangu ya kwanza kufikishwa kileleni na mwamaume”
“Mmmm mumeo ana kazi gani kwako?”
“Ahaa unajua hawa wanaume wetu wa hapa Kenya, wanaweka kusoma mbele na kazi ila kitandani ni sifuri sana”
“Poleni, hamieni Tanzania”
“Kwa staili hii hata leo ukiniambia twende nitakwenda”
“Hahaaa, upo kwenye ndoa lakini”
 
“Kwani ndoa, ni sheria ambayo itanifanya ninyongwee?”
“Si sheria ila mulifunga kanisani”
“Hata kama, huwezi amini ndoa yangu ina miezi sita, ila sijawahi kupata furaha y ambo** kama hii niliyo ipata leo. Kumbe Mungu naye anajua kuwakutanisha watu”
“Kwa nini unasema hivyo?”
“Laiti ningekuwa sijakuleta mafuta haya na kifunga kinywa si ningekuwa sijapata hii raha”
“Kwani kila siku si huwa unaniletea?”
“Ndio, ila nilikuwa ninakuchukulia wa kawaida sana, na wala sikuwa ninahitaji mazoe na wewe”
“Imekuwaje leo?”
“Yaani imetoke tu wala sijui imekuwaje”
“Hahaa pole”
“Asante, yaani sijui kwa nini sikukuzoea mapema nikawa ninapata hizi raha”
“Kama inawezekana leo tunaweza tukatoka nje ya hospitali tukaenda kupeana raha huko mbele ya safari”
Nesi Linda akaka kimya kwa sekunde kadhaa kama mtu ambaye anafikiria jambo fulani.
“Alafu kweli, ngoja nifanye mpango wa kukutorosha”
“Mumeo itakuwaje?”
 
“Mumewangu tangu jana amekwenda Arusha kwenye kikoa atakaa wiki nzima huko, sasa wiki yote si utakuwa umesha nikamua nyege zangu zote zitaisha”
“Usijali katika hilo”
“Ngoja nioge fasta fasta, nikaanze kutengeneza mazingira”
“Poa”
Nesi Linda akaingia bafuni, akaoga haraka haraka, akatoka, kwa kutumia taulo langu akajifuta maji mwilini mwake, kisha akavaa nguo zake. Akajiweka vizuri nywele zake, alipo hakikisha yupo vizuri, akatoka chumbani kwangu na mimi nikaelekea bafuni.
“Yes, mimi ndio Dany”
Nilijikuta nikizungumza kwa furaha huku nikiwa nimesimama kwenye kioo. Nikaoga kwa haraka nikarudi chumbani, nikapata kifungu kinywa, kisha nikameza dawa zangu za adubihi. Siku nzima nimejawa na furaha hata daktari anaye nihudumia aliligundua hilo.
 
“Dany leo una raha sana kuna nini?”
“Ahaa yani hali yangu kuwa vizuri ninafurahi sana”
“Utazidi kufurahi makovu yakiondoka, zimebaki siku chache utakuwa vizuri”
“Nitazidi kufurahi sana”
“Sasa mimi nilipita kukuona mara moja, ninatoka sasa hivi, kidogo kuna sherehe ya mdogo wangu ana olewa leo, kwa hiyo ninahitaji kuwahi”
“Hakuna shaka kaka, ninaamini kesho utanijia na keki kubwa kubwa”
“Hahaa, usijali tutaangalia uwezekano katika hilo”
“Sawa ndugu kesho”
“Poa ushinde salama”
“Sawa”
Daktari akatoka na kuniacha chumbani kwangu nikiwa na furaha yangu ambayo kusema kweli haifichiki. Masaa yakazidi kusonga mbele, nikaletewa chakula cha mchana na nesi mwengine, nikataka kumuuliza kuhusiana na nesi Linda ila nikasita, nikaona niachane nae. 

Nikapata chakula cha mchana na kuendelea kukaa ndani ya chumba changu, sikuhitaji kuubandua mguu wangu ndani ya chumba hichi, isije nesi Linda akaja akanikosa ikala kwangu. Hadi inafika saa moja usiku sikuona dalili yoyote ya nesi Linda kuweza kufika hapa hospitalini, furaha ikaanza kupungua taratibu, ikafika saa mbili usiku, sikumuona, hapo wasiwasi ukaanza kunijaa akilini mwangu. Macho yangu yakawa yanacheza na saa ya ukutani, nikatamani masaa yasimame na nesi Linda aweze kufika, ila mawazo yangu sio sheria ya kufanya masaa wala dakika kuweza kusimmaa.

 Hadi inatimu saa nne usiku nesi Linda hajatokea, hata chakula ambacho huwa ninaletewa saa mbili na nusu usiku, sijaletewa. Nikajikuta nikinyanyuka kitandani kwangu, nikapiga hatua hadi mlangoni, taratibu nikaufungua mlango na kuchungulia nikaona askari wa ulinzi wakiranda randa kwenye kordo wakiimarisha ulinzi katika hii hospitali, jambo lililo nikatisha tamaa kabisaa ya kutoroka katika hii hospitali.

ITAENDELEA KESHO

Raia Wawili Wa China Watimuliwa Nchini Kwa Kosa la Kuwatwanga Ngumi Watanzania

0
0
Serikali  imewatimua nchini raia wawili wa China kwa kosa la kuwatwanga makonde na kuwanyanyasa Watanzania walioajiriwa katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Chunya Makongorosi mkoani Mbeya, inayojengwa kwa kiwango cha lami.

Uamuzi wa kuwafukuza Wachina hao ulitolewa juzi na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, alipofanya ziara ya kushtukiza kwenye mradi huo, unaotekelezwa na Kampuni ya China Railway 15 Beaural Group Corporation Ltd.

Wakati akiendelea kukagua mradi huo, Waziri Kamwelwe alisimamishwa na wananchi wa kijiji cha Matundasi, ambao walimweleza manyanyaso wanayoyapata, ikiwamo kupigwa, na wasimamizi wa mradi huo, raia wa China.

Mmoja wa wananchi hao ambaye ni wafanyakazi kwenye kampuni hiyo, Wilson Pawa, alisema makandarasi hao wanawanyanyasa kwa kuwasingizia kuwa wanawaingizia hasara na ikitokea wakabishana huanza kuwapiga kung-fu na kutishia kuwaua kwa risasi.

"Hawa Wachina ukimaliza kazi wanasema umewatia hasara. ukibisha wanaanza kutupiga kung-fuu na wanatutishia kutuua na wanatupiga kweli kweli si mchezo. Mimi hadi sasa nina uvimbe na maumivu makali na nimechukua PF 3 (fomu ya matibabu kutoka polisi) kwa ajili ya matibabu," alisema Pawa.

Naye Mapuli Mbumba, ambaye ameajiriwa na kampuni hiyo katika nafasi ya dereva, alisema Wachina hao wanaajiri bila kuwapatia mikataba ya ajira na kila ikifika mwisho wa mwezi, wanakata mishahara yao bila sababu za msingi kinyume cha makubaliano.

Alisema kutokana na unyanyasaji huo, wananchi hawana uhusiano mzuri na kampuni hiyo, jambo ambalo linahatarisha amani miongoni mwao.

"Tunajua sheria inataka wakituajiri watupatie mikataba ya ajira, lakini wenzetu hawa hawatoi mikataba na mwisho wa mwezi wanatukata mishahara na wakiamua wanakufukuza wanavyotaka. Kwa kweli wanatunyanyasa sana," alisema Mbuba.

Diwani wa Matundasi, Kimo Choga, alisema mbali na kero hizo, pia kuna tatizo upande wa magari yanayotumiwa na Wachina hao kujenga barabara kuwa ni mabovu na yanaweza kuhatarisha usalama wa wananchi.

Alisema magari hayo hayana taa, vioo vya kutazamia nyuma (site mirror) na taa za ishara (indicator), hali ambayo kama yakiongozana na gari lingine dereva hawezi kujua kama limesimama, hivyo ni rahisi kusababisha ajali.

Choga pia alidai kuwa makandarasi hao hawajali hata kumwaga maji kwenye barabara zinazojengwa na zile zinazotumika wakati wa ujenzi hali ambayo inasababisha makazi ya watu kujaa vumbi na kuhatarisha afya za wananchi.

Waziri Kamwelwe pia alihoji utendaji kazi wa Wachina hao katika utekelezaji wa mradi huo, ndipo Mwakilishi wa Kampuni ya SMEC Company Ltd inayosimamia mradi huo kwa niaba ya serikali, Gosbert Luburi, aliposema hadi sasa utekelezaji uko nyuma ikilinganishwa na ratiba ya mkataba.

Alisema hadi sasa ujenzi wa barabara hiyo umetekelezwa kwa asilimia 13 wakati kwa mujibu wa ratiba ya mkataba, ulipaswa kuwa umekamilika kwa asilimia 20.

Luburi alimweleza Waziri Kamwelwe kuwa kandarasi huyo aliahidi kuwa hadi Januari, mwaka huu, angekuwa ameleta wataalam saba kushugulikia mradi huo lakini hadi sasa wataalam waliopo ni watatu tu.

"Mkandarasi huyu aliahidi kuwa angeleta mitambo 74 kufikia Januari, mwaka huu, lakini hadi sasa mitambo iliyopo ni 34 hali ambayo inasababisha kazi hii kutofanyika kama ilivyopangwa," alisema Luburi.

Baada ya kusikiliza maelezo hayo, Waziri Kamwelwe alisema kuwa Serikali haiwezi kuvumilia unyanyasaji wa aina hiyo wa kuwapiga wananchi na aliufananisha unyanyasaji huo na ukoloni hivyo akatoa uamuzi wa kuwatimua nchini wasimamizi wawili wa mradi huo waliotajwa na wananchi kuhusika na unyanyasaji ikiwamo kuwashushia kipigo.

Alisema barabara hiyo inajengwa kwa kodi za Watanzania kwa asilimia 100 na kwamba kwa mantiki hiyo Watanzania wa chini ndio waliowaajiri Wachina hao kupitia kodi zao, hivyo hawatakiwi kupata manyanyaso yoyote.

"Ndugu wananchi najua mnayo mambo mengi lakini mimi nachukua uamuzi ufuatao. Kuanzia sasa, naamuru Wachina hawa wawili waondoke warudi kwao China. Sitaki tena kuwaona hapa nchini. Naagiza Tanroads (Wakala wa Barabara Tanzania) kuwa watu hawa waondoke," alisema Kamwelwe.

Aidha, Waziri Kamwelwe aliagiza kufutwa mara moja kwa vibali vya watu hao kufanya kazi nchini na kuamuru Tanroads kutekeleza agizo hilo mara moja.

Waziri Kamwelwe pia alitoa miezi mitatu kuanzia sasa hadi mwezi Januari, mwakani, kampuni hiyo kuhakikisha vifaa vyote vinavyohitajika katika ujenzi wa barabara hiyo vinafikishwa eneo la mradi na wataalamu wote wanaohitajika huku akiwataka kuhakikisha kazi hiyo inafanyika kwa mujibu wa ratiba iliyomo kwenye mkataba.

"Nitarudi hapa Januari na ninataka nikute maagizo yangu yametekelezwa, vinginevyo nitavunja mkataba huu na kumpatia mtu mwingine atujengee barabara," alisema.

Barabara ya Chunya – Mangongorosi yenye urefu wa kilomita 39 inajengwa kwa kiwango cha lami na serikali ya Tanzania kwa lengo la kuunganisha mikoa ya Nyanda za Juu Kusini na ile ya Kanda ya Ziwa kwa barabara ya lami.

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Zitto Kabwe Aipa Ujumbe Mzito CCM Kuhusu Rushwa Kwenye Chaguzi Mbalimbali

0
0
Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo na Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe amefunguka kuwa suala la rushwa limepigiwa kelele sana na vyama vya upinzani nchini, hivyo basi chama tawala kilitazame hilo kupitia vikao vyake vya ndani.

Zitto amefunguka hayo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa 'twitter' ambapo ameandika kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally azungumzie mambo yanayoendelea nchini katika vikao vya ndani na asiishie kuzungumza kwenye majukwaa ya nje pekee.

“Upinzani umelalamika sana suala la rushwa kwenye uchaguzi, tuangalie hili suala la chaguzi za marudio. Wananchi wamechoshwa na siasa za hamahama ya wabunge na madiwani, hilo nalo mwalimu Bashiru alizungumzie kwenye vikao vya CCM”, ameandika Zitto.

Ameongeza kuwa , “Siasa za nyimbo za mbele kwa mbele ni za CCM, sasa ni vyema mwalimu Bashiru akaeleza hayo katika vikao vya kamati Kuu na Halmashauri kuu ya chama chake, asiishe kwenye MVIWATA”.

Hayo yamekuja baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally kudai kuwa vitendo vya rushwa na kutowajibika vimesababisha wananchi kupuuza uchaguzi na kuuona kama maigizo hivyo kupelekea idadi ya kura za chama chake kupungua kutokana na wapiga kura kutokuwa na imani na uchaguzi.

Dkt. Bashiru alitoa kauli hiyo Oktoba 4, 2018 mjini Morogoro katika Kongamano la Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (MVIWATA) alipokuwa akizungumzia kuhusu umuhimu wa wananchi kuiwajibisha serikali.

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 02

0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA

‘Ethan…..Ethan…….Ethan……’
Niliisikia sauti ya kiume ikiniita kwa mbali, nikajaribu kuangaza macho yangu ndani ya chumba hichi ili niweze kuona ni nani anaye niita ndani ya hichi chumba ila sikuweza kuona zaidi ya mapazia kuendelea kutingishika sana. Woga ukanijaa, mwili mzima ukazidi kunitetemeka.
“ETHAN……..”
Sauti hii nzito nikaisikia vizuri kwenye masikio yangu, taa zote ndani ya chumba hichi zikazima na nikaona kivuli cha mtu chenye mwanga hafifu sana kikiwa kimesimama kwenye moja ya ukuta wa humu chumbani huku kivuli hicho kikionesha mtu huyo akiwa amevaa joho kubwa sana, ila haonekani kichwa ni kipi wala miguu ni ipi jambo lilo nifanya niaguke chini mzima mzima huku nikitamani kupiga kelele ila sauti yangu haikuweza kutoka.
   
ENDELEA
“Usiogope, mimi sio mbaya kwako”
Sauti ya mwanaume huyu ikazidi kuniongelesha, jasho lililo tokana na joto kali likazidi kuniandama.
“Najua nini unacho kiwaza na kukifikiria. Nitakusaidia, kadri siku zitakavyo zidi kwenda ndivyo kadri nitakavyo zidi kuwa rafiki yako na msaada wako kwako. Usimuambie mtu wa aina yoyote habari hii umenielewa?”
Nikamjibu kwa kutingisha kichwa nikimaanisha kwamba nimelewa.
 
“Endapo utazungumza chochote kwa mtu yoyote basi mtu huyo nitamuua. Lala salama na usiku mwema”
Mara baada ya mwanaume huyo kuzungumza hivyo, taa zote zikawaka na kila kitu kikarudi kwenye hali yake, hapakuwa na pazia hata moja ambalo liliweza kutingishika. NIkasimama kwa haraka na kuanza kutembea hadi mlangoni ili nikawaeleze Bi Jane Klopp na mumewe habari hizi, ila nilipo kumbuka kwamba endapo nitamualeza yoyote atakufa, basi hamasa hiyo ya kuwaambia, ikaanza kutetea na mwishowe nikajikuta nikirudi kitandani mwangu na kuaa. Kusema kweli katika siku ambazo sikuwahi kulala ni hii ya leo, sauti ya mwanaume huyu ambaye sifahamu ni nani ikazendelea kujirudia kwenye masikio yangu. 
 
Nikastuka baada ya kengele iliyo fungwa mlangoni humu kuanza kuita, nikatazama saa ya ukutani nikaona ni majira ya saa kumi  na moja kasoro alfajiri. Nikakumbuaka kwamba jana usiku bibi Jane Klopp aliniahidi kwamba atakuja kuniamsha muda huu ili nianze kuajiandaa kwa ajili ya safari kwa maana ndege yetu inaondoka saa kumi na mbili asubuhi. Kengele ikaendelea kuminywa, taratibu nikashuka kiyandani na kuanza kutembea hadi mlangoni, nikaufunga mlango nakweli nikamkuta bibi Jane Klopp akiwa amejawa na tabasamu  pana sana usoni mwake.
“Umeamkaje Ethan?”
“Salama mama, wewe je?”
Niliitikia huku nikijifanya kama nina usingizi mwingi, ila kwa namna moja ama nyingine sina usingizi wa aina yoyote zaidi ya woga wa tukioa ambalo nilikutano nalo jana usiku.
 
“Tumeamka salama, jiandae tuianze safari”
“Sawa mama”
“Haya”
Bi Jane Klopp akaondoka mlangoni kwangu, nikafunga mlango na moja kwa moja nikalifwata sehemu begi langu la nguo lilipo, nikafungua zipo ya pembeni, nikatoa mswaki wangu pamoja na dawa yake, kisha nikaelekea bafuni. Nikasafisha kinywa changu, ndani ya muda mfupi nikiwa tayari nimesha maliza kukisafisha kinywa hichi. Nikaoga haraka haraka kisha nikarudi chumbani, nikavaa nguo nilizo kusudia kuzivaa katika safari hii, ambayo tayari hamu yake imerudi kwenye mstari hata tukio lililo tokea jana usiku likaanza kunipotea kwenye upeo wangu wa akili.
 
    Nilipo hakikisha kwamba nimemaliza kila kitu, nikamuomba Mungu kama nilivyo fundishwa na Bi Jane Klopp, ili awe kunitangulia katika safari hii, kisha nilipo maliza sala yangu, nikatoka chumbani humu huku nikilivuta begi langu. Kwa bahati nzuri nikakutana na Bi Jane Klopp  pamoja na mzee Klopp wakitoka kwenye chumba chao huku nao wakiwa tayari wamesha jianda. Nikamsalimia mzee Klopp kwa heshima zote, kisha tukaelekea nje ya hoteli hii na kumkuta yule dereva ambaye alituleta jana hapa hotelini akiwa tayari amesha fika kama vile alivyo elezwa na bi Jane Klopp aweze kuwahi asubuhi na mapesa kwenye hotel hii. 
Baada ya dereva kuingiza mabegi yetu nyuma ya taksi yake hii, mimi na bi Jane Klop tukaingia kwenye siti ya nyuma huku Mzee Klopp akipanda siti na kukaa siti ya mbele pamoja na dereva.
 
“Ethan mwanangu, unajisikiaje?”
Bi Jane Klopp aliniuliza huku akiwa amenishika mkono wangu wa kulia huku akiminya minya kiganja changu.
“Ndio mama, nina furaha sana”
“Unakwenda kuyaanza maisha mapya sasa Ethan”
“Kweli baba ninakwenda kuanza maisha mapya”
“Ila tutakuwa tunarudi Tanzania mara kadhaa, kuitembele hii nchi si unafahamu kwamba hii ndio nchi yako”
“Ndio mama”
“Hata ikatokea kwamba tumekufa, ila Tambua uhalisia wako wewe ni upi, wapi umetoka na tunaamini kwamba ipo siku utakuna na ndugu zako”
“Sawa mama”
 
Swala la ndugu zangu bado kwa upande wangu ni kitendawili, nina jaribu kuvuta kumbukumbu za kumkumbuka japo hata mama yangu wa kunizaa ila sipati hata taswira yake. Tukafika uwanja wa ndege, tukapitia hatua zote ambazo kama abiria anatakiwa kupitia, muda wa abiria kuelekea kwenye ndege tunayo paswa kusafiri nayo, ukawadia. Tukaingia kwenye ndege hiyo bibi Jane Klopp na mumewe wakaa katika siti za mbili huku mim nikikaa siti ya pembeni yao, ila na abiria mwengine ambaye ni mwana mama wa kiafrika. Nikamsalimia mwana mama huyu kwa heshima sana, hadi mwenyewe akanishangaa. Akaitikia salamu yangu huku akiwaametabasamu.
“Unaitwa nani mtoto?”
“Ethan Klopp”
“Anaa mimi naitwa mama Lukas”
“Nashukuru kukufahamu mama Lukas”
“Unasafiri peke yako?”
“Hapana, nipo na wazazi wangu, hao hapo”
Nikawaonyesha Bi Jane Klopp na mume, ambao nao kwa furaha wakasalimiana na mama huyu. 
 
“Kusema kweli nimetokea kumpenda sana huyu mtoto ana heshima na maadili mazuri sana”
“Hata sisi tunampenda Ethan wetu kwani ni kijana mtiifu na mwenye hekima sana”
“Aisee muendelee kumkuza kwenye maadili haya haya. Hapa ninawaambia muna tunda lilo bora”
“Tunashukuru”
“Munaelekea wapi?”
“Sisi tunarudi Ujerumani, tulikuwa Tanzania, kwa kazi ya mwaka mmoja, imeisha wiki hii basi tunarudi kwetu, japo Mungu ametubariki tunarudi tukiwa na mtoto wetu”
“Hahaha kweli Mungu amewabariki kwa kweli, yaani nina watoto kama huyu. Ila niwakorofi hakuna, ila nilipo muona huyu na jinsi alivyo nisalimia, hakika nikaona kwamba ndani ya huyu mtoto kuna tunda lililo jema”
 
“Shukrani sana”
Bibi Jane alijibu huku akiwa amejawa na furaha sana kwani nyota yangu ya kupendwa na watu inaanza kukua sasa.
“Wewe Ujerumani unakwenda matembezi au?”
“No, ninakwenda kikazi, raisi ameniteua kuwa balozi kule jana mchana, na leo nimegizwa nikawasili ubalozini haraka iwezekanavyo baada ya hapo, basi nitafanya hatua za kuwahamishia watoto wangu nchini humo”
“Ohoo hongera sana”
“Asante sana, nilikuwa ni mkurugenzi wa shirika la Afya, ila raisi alivyo ona anapendezwa na utendaji wangu wa kazi basi ameniteua katika nafasi hiyo”
“Kweli weli, vipi lakini una watoto wangapi?”
“Watu, wa kike wawili ni mapacha, Jane na Judy, hao wana miaka kumi na mbili sasa na Lukas cha ukorofi ana miaka sita”
 
“Waoo, naona hapo nina wajina wangu”
“Hee…unaitwa Judy na wewe?”
“No ninaitwa Jane Klopp”
“Okay safi sana, ninashukuru kwamba nimepata wenyeji wangu na hongera una fahamu Kiswahili vizuri sana”
“Yaa ni kweli, nilijifunza kwa juhudi mimi na mume wangu basi tumeweza kukifahamu. Na hata Ethan naye amesha kifahamu Kijerumani”
“Aisee Ethan inabidi unifundishe na mimi Kijerumani”
Nikamsalimia Mama Lukas kwa lugha ya kijerumani, akabaki akinitazama tu na kushindwa kunijibu.
“Ndio umesemaje?”
“Nimekusalimia habari yako mama”
Mama Lukas akacheka sana kwani nilimuacha njia panda.
“Haki ya Mungu nimefurahi sana. Ninawaomba siku nikihamishia familia yangu huku, ninawaomba basi mtoto wenu awe na urafiki na Lukas wangu”
 
“Usijali hilo hadi sasa hivi tumesha kuwa marafiki, Mungu atatutangulia kwenye maisha ya huko mbeleni”
“Kweli kweli”
Sauti ya muhudumu akituomba tuweze kufunga mikanda ya siti tulizo kalia, ikakatisha mazungumzo ya bi Jane Klopp na mama Lukas. Mama Lukas, alipo ona nina hangaika kuufunga mkanda wa siti yangu akanisaidia, na akaubana vizuri kiunoni mwangu.
Huku nikiwa ninachungulia dirishani, nikaanza kuona jinsi ndege inavyo tembea kwani baadhi ya ndege zilizo simama, tunaziacha zilipo simama.
 
“Huogopi kuangalia nje?”
Mama Lukas aliniambia huku akinitazama.
“Hahaa hapana siogopi”
“Kweli?”
“Ndio”
Ndege ikaanza kunyanyuka taratibu, matumaini ya kuishi maisha mapya yakazidi kujengeka. Machozi yakaanza kunilenga lenga, kwani ninaiacha nchi ambayo ndio niliyo zaliwa. Ila kutokana na maisha tu ina bidi niondoke nchini hapa, huku moyoni mwangu nikiendelea kujiapiza kwamba ni lazima siku moja nihakikishe kwamba nimeiutawala mji wa Dar es Salaam, japo sifahamu nitautawala vipi. Uchovu wa kuto kulala usiku kucha ukanitawala, taratibu nikaanza kusinzia na mwishowe usingizi mzito ukanipitia.. 
 
“Ethan….amka upate chakula”
Sauti ya Mama Lukas, ikasikika vizuri masikioni mwangu, nikayafumbua macho yangu na kumtazma, nikamuona muhudumu wa kike akiwa amesimama pembeni yetu akijawa na tabasamu.  Nikajiweka vizuri kwenye siti yangu huku nikijaribu kumtazama bibi Jane Klopp na mumewe sehemu walipo kaa wapo, bi Jane Klopp akanipungia mkono huku akiw ameshika sambusha mkononi mwake. Nikatabasamu kidogo kisha nikamtazama muhudumu.
 
“Unahitaji nini mtoto”
“Sambuza na juisi?”
“Ngapi?”
Nikamjibu kwa kumuonyeshea vidole vyangu vya mkono wa kulia, nikimaanisha kwamba ninahitaji sambusa tatu.
Muhudumu akaondoka na kutiacha na mama Lukas, ambaye naye anapata chakula aina ya tambi taratibu.
“Tumetembea sana enee?”
“Hahaa ndio hasi sasa tuna masaa manne angani”
“Sawa”
Muhudumu akaniletea nilicho muagiza, akanisaidia kunikunjulia kijimeza changu kilichopo pembeni ya siti yangu. Akaniweka chakula changu, akanikaribisha na kuondoka. Taratibu nikaanza kula sambusa moja huku nikiwa na furaha moyoni mwangu.
“Ethan”
“Naam”
“Unapenda kuwa nani mkubwani?”
Nikamtazama Mama Lukas kwa muda huku nikifikiria cha kumjibu, kwani maisha yangu ninahitaji kuwa mtu mwenye nguvu ila sifahamu ni nguvu ya namna gani ambayo ninatakiwa kuwa nayo.
 
“Aha…nahitaji kuwa mtu mzuri nitakaye pendwa na watu”
“Mbona hata sasa hivi ni mtu mzuri na unapendwa na watu. Maana ya swali langu ni kwamba unapenda kuwa nani, labda rubani kama hawa wanao endesha hii ndege, au mwalimu….”
“Ahaaa….ninataka kuwa mwana michezo”
“Mchezo gani unapenda?”
“Mpira”
“Kweli?”
“Ndio”
“Basi inabidi ujitahidi na kuwa kama kina Mbwana Samatta, je una mfahamu?”
Nikatingisha kichwa nikimaanisha kwamba simfahamu, mama Lukas akafungua pochi yake na kutoa simu. Akaanza kunionyesha picha za mchezaji huyo aliye nitajia jina.
“Huyu ni kijana Mtanzania, kwa sasa anacheza huko nchi za nje. Sasa na wewe kama unataka kuwa mchezaji wa mpira basi unatakiwa kujitahidi kuwa zaidi ya huyu”
“Ila yeye ni mkubwa tayari?”
“Yaa na wewe si utakuwa mkubwa, ukiwa tu mkubwa hakikisha kwamba unacheza mpira vizuri na uwe mahiri sawa”
“Sawa nitakua”
“Tupige”
 
Mama Lukas alizungumza huku akinionyesha kidole chake cha mwisho cha mkono wake wa kulia, tukakutanisha vidole vyetu na kumfanya bibi Jane Klopp na mume wake kutabasamu kwa kitendo hichi ambacho ni cha furaha sana.
“Yeah usipo kuwa tu mchezaji mzuri basi siku tukionana nitakuuliza kwa nini hujawa”
“Sawa”
Safari hii kusema kweli ni nzuri sana, sikujisikia unyonge hata kidogo kwenye ndege. Safari ya kutoka nchini Tanzania hadi Ujerumani, ikachukua msaa mia moja ha hamsini ambayo ni sawa na siku mbili na masaa saba. Tukafika nchini Ujerumani, ikiwa ni majira ya usiku. Baridi kali ya nchi hii, ni tofauti kabisa na baridi ya nchini Tanzania tena kule Arusha nilipo kuwa nikiishi. Tukaagana na mama Lukas, akaingia kwenye gari alilo kuja kuchukuliwa watu wa Ubalozini kisha nasi tukapanda gari nzuri sana ya milango sita ambayo mzee Klopp na mkewa wamekuja kuchukuliwa.
 
“Hapa ni Berlin ukiwa unasoma kwenye masomo ya historia, utaweza kusoma mji hu wa Berlin. Hapa ndipo ulipo fanyika mkutano wa kusuluhisha vita kuu ya dunia”
Mzee Klopp aliniambia huku akinionyesha majengo makubwa na mazuri kuliko hata yale niliyo yaona jijini Dar es Salaam.
“Ni pazuri?”
“Yaaa hapa ni pazuri sana, ila kesho mama yako akipata muda basi unaweza kukutembeza na ukazidi kufahamu uzuri wa eneo hilo”
“Usihofu Ethan, tutatembea karibia nchi nzima ili mradi tu uweze kuifahamu vizuri sana, kwa maana muda wa kuanza shule bado”
“Yaa utaanza mwezi ujao”
“Sawa sawa wazazi wangu”
 
“Sisi hapa Berlin tuna makampuni yetu mawili, moja inahusika na maswala ya kutengeneza magari  na nyengine ni hospitali inayo husika na magonjwa ya moyo”
“Ahaaa”
“Katika hiyo hospitali, dada yako ndipo anapo fanyia kazi, yeye ndio msimamizi mkuu wa hospitali hiyo”
Bibi Jane Klopp alinipa maelezo hayo niliyo yaelewa vizuri sana. Tukafika katika jumba moja kubwa sana lililo zungukwa na miti mingi na mirefu sana kwenda juu.
“Hapa ndipo tunapo ishi, kidogo tupo nje ya mji. Tumesha kuwa wazee sasa na hatuwezi kukaa mjini”
“Ahaa”
Taratibu geti likafunguka na gari likaanza kuingia taratibu hadi kwenye eneo la kusimamia. Nikamuona binti mmoja mrefu akiwa amesimama nje huku akionekana kujawa na shahuku kubwa sana ya kuweza kuwaona watu walipo ndani ya gari. Taratibu dereva akatufungulia mlango, akaanza kushuka mzee Klopp, binti huyo akamkumbatia baba yake kwa furaha sana, akashuka bibi Jane Klopp kisha nikafwatia mimia. Binti huyu akamkumbatia bibi Klopp.
 
“Mery kutana na Ethan”
“Mambo Ethan”
Binti huyu alizungumza kwa furaha kidogo.
“Safi tu dada”
Ethan huyu ni Mery ndio yule binti yetu tuliye kuambia.
“Nashukuru kukutana na wewe dada Mery”
Nilizungumza huku nikimpa Mery mkono, akautazama kwa muda mkono wangu kisha akaupotezea na kujifanya ana kwenda kusaidia kushusha mabegi kwenye gari. Kitend hichi kusema kweli kikanifanya nijisikie vibaya hadi Mzee Klopp na mkewa walakifahamu hilo.
“Mzoe si unajua madaktari wana mambo mengi”
Bi Jane Klopp alijitahidi kunifariji, ila hata wao hawakupendezewa na jambo hili. Tukangia ndani ya jumba hili kubwa, kusema kweli ni jumba ambalo limejengeka vizuri sana. Bibi Jane akanionyesha chumba changu cha kulala, nikaweka begi langu kisha tukarudi sebleni na kupata chakula kilicho andaliwa vizuri sana. Ila muda wote nikajikuta nikimtazama Mery na kujiuliza ni kwa nini amenidharau.
 
“Mery unatakiwa kumuomba msamaha Ethan kwa kuto kuupokea mkono wake.”
Mzee Klopp alizungumza huku akinimtazama Mery.
“Baba na mama pasipo kuwavunjia heshima siwezi kumuomba huyo sokwe msahama, na inakuwaje munaleta Masokwe nyumbani kwetu na wala hamjanishirikisha eheee?”
Kauli hii, ikaulipua moyo wangu, hasira ikapanda na kunifanya mwili mzima kunitetemeka, glasi ya juisi niliyo ishika mkoni mwangu, nikajikuta ikiniponyoka na kuanguka chini jambo lililo wafanya watu wote kunishangaa.

ITAENDELEA KESHO

BREAKING: Mbunge wa Simanjiro CHADEMA James Ole Millya Ajiuzulu Ubunge na Kuhamia CCM

0
0
Mbunge wa Simanjiro Kupitia chama cha Demokrasia (CHADEMA) Ndg. James Ole Millya amejivua uanachama wa chama hicho pamoja na nyadhifa zake zote na kutangaza  kuhamia CCM ambako alikuwa awali.

Waziri Mkuu: Miradi Ya Maji Kyerwa Itakaguliwa Na Waziri Wa Maji

0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa kwenda wilayani Kyerwa kwa ajili ya kukagua maendeleo ya miradi ya maji na endapo atabaini ubadhilifu achukue hatua kwa watakaohusika.

Ametoa kauli hiyo leo (Jumapili, Oktoba 7, 2018) baada ya kukagua kiwanda cha kukoboa kahawa cha Nkwenda wilaya Kyerwa katika siku ya pili ya ziara yake ya kikazi mkoani Kagera. Katika ziara hiyo Waziri Mkuu ameambatana na Mkewe Mama Mary Majaliwa.

“Waziri wa Maji na Umwagiliaji atakuja hapa kukakagua miradi yote ya maji inayotekelezwa katika wilaya hii na pale atakapobaini ubadhilifu achukue hatua.” Waziri Mkuu ameyasema hayo baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa viongozi na mananchi wa wilaya hiyo baada ya kutoridhishwa na ujenzi wa miradi ya maji.

Amesema Serikali ya Awamu ya Tano ina mikakati mizuri inayolenga kumaliza tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama katika maeneo mbalimbali nchini ikiwemo na wilaya ya Kyerwa ili kuwawezesha wananchi hasa wanawake kushiriki katika shughuli za maendeleo kuliko kutafuta maji.

Waziri Mkuu amesemaSerikali kupitia Kampeni ya Rais Dkt. John Magufuli ya kumtua mama ndoo kichwani, itahakikisha wananchi katika maeneo yote nchini wanapata huduma ya maji safi na salama katika umbali usiozidi mita 400 kutoka kwenye makazi yao. Amewataka wananchi nao kutunza vyanzo vya maji ili kuliepusha Taifa kugeuka jangwa.

Amesema nia ya Serikali ni kuhakikisha Watanzania wote wanapata huduma zote muhimu, hivyo amewataka waendelee kuwa na imani na Serikali yao ambayo imedhamiria kuwaboreshea maendeleo katika sekta za afya, maji, elimu , miundombinu na kilimo.

Kadhalika, Waziri Mkuu amewaagiza viongozi wa mkoa wa Kagera kuwahamasisha wananchi wake kujinga na Mfuko wa Afya wa Jamii (CHF), ambao utawapa fursa ya kupatiwa huduma za matibabu wao na familia zao kwa mwaka mzima bure.

Awali, Mbunge wa jimbo la Kyerwa, Bw. Inoncent Bilakwate pamoja na mbunge wa viti maalumu mkoa wa Kagera Bibi Oliver Semnguruka walimuomba Waziri Mkuu awasaidie katika uboreshwaji wa huduma za maji na afya.

Bw. Bilakwate alisema Serikali imetoa fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maji yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni tatu katika jimbo hilo, lakini ujenzi wake hauridhishi, hivyo  alimuomba Waziri Mkuu awasaidie.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMAPILI, OKTOBA 7, 2018.

Waziri wa Kilimo Dkt Tizeba Azuia Halmashauri Kutoa Vibali Vya Ununuzi Wa Kahawa

0
0
Na Mathias Canal-WK, Karagwe-Kagera
Waziri wa kilimo Mhandisi Dkt Charles Tizeba (Mb) amezuia Halmashauri zote nchini kujihusisha na utoaji wa vibali kwa wafanyabiashara vya kununua kahawa kwa wakulima.

Dkt Tizeba ametoa zuio hilo Leo tarehe 7 Octoba 2018 wakati akihutubia maelfu ya wanachi waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara uwanja wa Changarawe Wilayani Karagwe wakati wa muendelezo wa ziara ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa (Mb) aliyoianza Jana tarehe 6 Octoba 2018 mkoani Kagera.

"Wafanyabiashara wa kahawa ili wanunue zao hilo walikuwa wanaenda kuomba kibali cha ununuzi kilichokuwa kinatolewa na Halmashauri za wilaya, Hili jambo tumelitafakari na wenzangu wa Wizara hususani watendaji pamoja na Bodi ya kahawa tumeona halina maana tena" Alikaririwa Dkt Tizeba

Waziri Tizeba alisema kuwa Wafanyabiashara hawana sababu ya kuomba vibali kwenye Halmashauri vya kununua kahawa badala yake itatosha kuwa na leseni ya biashara ya Kahawa inayotolewa na Bodi ya Kahawa Tanzania, jambo ambalo linawatambulisha wafanyabiashara kwamba wanalipa kodi.

"Sasa hivi tunaingia kwenye mfumo wa ushirika hivyo Wafanyabiashara watanunua kahawa kupitia mfumo huo mahususi hivyo hakuna sababu ya kusumbuliwa na Halmashauri kwa kupewa vibali" Alisisitiza

Aidha, Kuhusu kahawa ya madaraja ya chini, Waziri Tizeba alisema kuwa kahawa hiyo kwa kipindi kirefu imekuwa ikizuiliwa kuuzwa nje ya nchi. Hivyo kwa mujibu wa utafiti wa kubaini namna inavyotumika nchini ilibainika kuwa kahawa hiyo inanunuliwa na watu wachache ambao ndio wanaratibu utaratibu wa kuuza nje huku waliokoboa wakizuiwa kuuza nje.

"Jambo hili sio sawa, sisi tunachotaka wakulima washiriki kwenye mnyororo wa thamani utakaowafanya wawe na uwezo wa kutafuta mnunuzi nchini au nje ya nchi watakapopewa bei nzuri" Alisema

Dkt Tizeba aliongeza kuwa Kahawa hiyo itauzwa popote Duniani kutegemea na kiasi cha fedha kitakachokuwa rafiki na chenye tija kwa mkulima.

MWISHO.

OCD Kyerwa Atuhumiwa Kusindikiza Kahawa Ya Magendo....Waziri Mkuu aagizwa achukuliwe hatua

0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Augustine Ollomi awachukulie hatua askari polisi wote wa wilaya ya Kyerwa wanaotuhumiwa kusindikiza kahawa ya magendo inayouzwa nchi jirani akiwemo Mkuu wa Polisi wa Wilaya hiyo, Justin Joseph.

Ametoa agizo hilo leo (Jumapili, Oktoba 7, 2018) baada ya kukagua kiwanda cha kukoboa kahawa cha Nkwenda wilaya Kyerwa katika siku ya pili ya ziara yake ya kikazi mkoani Kagera. Katika ziara hiyo Waziri Mkuu ameambatana na Mkewe Mama Mary Majaliwa.

“Askari polisi wa wilaya ya Kyerwa pamoja na OCD wao wanatuhumiwa kusindikiza kahawa inayosafirishwa kwa njia ya magendo kwenda nchi ya jirani kupitia njia mbalimbali zisizo rasmi zikiwemo za Kumisongo, Kashaijo na Omukatoma.”

Waziri Mkuu amesema ni jambo la hatari kama askari Polisi wanasindikiza kahawa inayouzwa kwa magendo, hivyo ameagiza jambo hilo lidhibitiwe haraka.”Marufuku kupeleka kahawa nje ya nchi kwa njia ya magendo na polisi msishiriki katika butura.”

Katika hatua nyingine,Waziri Mkuu amesema kuanzia msimu ujao wa kahawa, minada yote ya kahawa inayozalishwa mkoani Kagera itafanyika ndani ya mkoa huo badala ya kufanyika Moshi, mkoani Kilimanjaro.

Waziri Mkuu amesema minada yote ya kahawa ikifanyika mkoani Kagera itawawezesha wakulima kulipwa fedha zao kwa muda mfupi na pia itapunguza makato  yasiyokuwa ya lazima ambayo ni kero kwa wakulima.

“Wanunuzi watafuata kahawa ilipo, utaratibu huu utawawezesha wakulima kulipwa fedha zake kwa wakati. Mnada ukifanyika katika maeneo ya uzalishaji utamuwezesha mkulima kujua bei, tofauti na unavyofanyika Moshi kwani ni rahisi mkulima kuibiwa.”

Waziri Mkuu amewataka wananchi kuendelea kuwa na imani na Serikali yao ambayo imedhamiria kuwaletea maendeleo na kwamba itahakikisha kila mmoja anapata haki yake wakiwemo wakulima ambao watasaidiwa katika kutafutiwa masoko ya mazao yao.


IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMAPILI, OKTOBA 7, 2018.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu ya October 8


Polepole: Wanaohama Vyama Vyao Kuja CCM Mwisho Mwaka Huu

0
0
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema wabunge wa upinzani wanaotaka kujiunga na chama hicho mwisho wa kufanya hivyo ni Disemba, 2018.

Polepole ametoa kauli hiyo jana Jumapili Oktoba 7, 2018 kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa twitter ambapo amesema mwaka 2018 ndio mwisho wa chaguzi ndogo za ubunge, wale watakaoshindwa kuhamia CCM wabaki walipo.

“Tumezingatia na tunaweka jitihada zetu zote katika kushughulika na utatuzi wa shida za watu wetu wa Tanzania. Mwaka 2018 ndiyo mwisho kwetu kufanya chaguzi ndogo za ubunge kwa wale wanaohama vyama vyao na kujiunga na CCM. Watakaoikosa raundi hii mbaki hukohuko tutakutana 2020”, ameandika Polepole.

Jana kabla ya Polepole kutangaza maelekezo hayo mbunge wa Simanjiro (CHADEMA), James Ole Millya amejiuzulu nafasi zake zote ikiwamo ubunge na kujiunga  na chama hicho(CCM)
 

Viwanja Vinauzwa bei nafuu....Vipo Bunju na Mapinga

0
0
Viwanja bei nafuu: Bunju na Mapinga

Viwanja viko mpakani mwa Bunju na Mapinga, viwanja viko mtaa wa Kimele, km 3 kutoka main road (Bagamoyo Road).

Viwanja viko kwa size tofauti na bei tofauti. Vipo viwanja kuanzia milion 2 kwa sqm 200, milion 3.5 kwa sqm 400, milion 5.5 kwa sqm 600, milion 7.5 kwa sqm 800, milion 10 kwa sqm 1200. Kwa viwanja hivi, luksa lulipa kwa awamu. wahi upate kiwanja kizuri, location nzuri na ujenge.

Pia vipo viwanja eneo la Baobab secondary: vya sqm 1400 kwa milion 18, sqm 1500 kwa milion 20, sqm 1900 kwa milion 25, sqm 2300 kwa milion 30 na sqm 3000 kwa milion 39

Ukipata taarifa hii, mjulishe na mwenzio/ndugu/jamaa/rafiki.

Hakuna dalali, mpigie mhusika.

call 0758603077, whatsap 0757489709

Wimbo Mpya: Jux ft. Joh Makini - Tell Me

0
0
Msanii wa muziki Bongo, Jux anakukaribisha kusikiliza wimbo wake mpya uitwao Tell Me ambao amemshirikisha Joh Makini. Usikilize hapa.

Video Mpya: Bright - Ungaunga Mwana

0
0
Msanii wa muziki Bongo, Bright anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya uitwao Ungaunga Mwana. Itazame hapa

Mfumo Wa Utambuzi Wa Matukio Ya Binadamu Kuharakisha Maendeleo

0
0
Na Ismail Ngayonga- MAELEZO
SERIKALI inatekeleza Mpango wa Pili wa Maendeleo ya Taifa wa miaka mitano (2016/17- 2020/21) unaolenga katika kuimarisha ustawi na maendeleo ya jamii kwa kuongeza upatikanaji wa huduma bora za jamii ikiwemo elimu, afya na maji.

Ili kufanikisha malengo hayo, Serikali imeweka utaratibu wa kukusanya taarifa muhimu za wananchi wake kupitia takwimu mbalimbali ili kuweza kupanga mipango ya maendeleo.

Taarifa hizo zinazotolewa katika mfumo wa takwimu ikiwemo hali ya vizazi na vifo nchini zinalenga katika kuanisha mahitaji halisi ya wananchi ili kurahisisha uandaaji wa sera na mipango ya maendeleo kulingana na mahitaji na mazingira yaliyopo

Pamoja na jitihada hizo inaelezwa kuwa mfumo  wa usajili, utambuzi na uwekaji wa kumbukumbu wa matukio muhimu ya binadamu  ikiwemo vizazi, vifo, ndoa, talaka na hati za uasili wa watoto umekabiliwa na changamoto mbalimbali kutokana na mifumo ya sheria zilizopo.

Inaelezwa kuwa matukio mengi yanatokea katika ngazi za vjiji, vitongoji, mitaa na kata ambapo watendaji na viongozi wa mamlaka husika wanatambua uwepo wake yameshindwa kuingizwa katika taarifa rasmi kutokana na  Sheria za Serikali za Mitaa kutowapa jukumu la kusajili na kutunza takwimu za matukio hayo.

Wizara ya Katiba na Sheria kupitia Wakala wa Usajili, Ufulisi na Udhamini (RITA) inatekeleza Mkakati wa Taifa wa Usajili wa Matukio Muhimu ya Binadamu na Takwimu (CRVS) ambao unalenga kuimarisha shughuli za usajili wa matukio muhimu na upatikanaji wa takwimu muhimu kwa maendeleo ya nchi.

Kupitia Mkakati wa CRVS Wizara imedhamiria kukuza na kuendeleza matumizi ya TEHAMA katika usajili wa vizazi na vifo ambapo tayari imezindua mfumo wa kielektroniki wa usajili wa vizazi na vifo kwa kuzingatia mahitaji ambao ulianza kufanya kazi rasmi mwezi Novemba, 2017.

Akiwasilisha Hotuba ya Makadirio ya Bajeti ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2018/19, Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi anasema katika kipindi cha mwaka 2017/18, jumla ya vizazi 1,593,313, vifo 46,914, ndoa 15,866, talaka 91 na hati 44 za watoto wa kuasili zilisajiliwa nchini.

Anaongeza kuwa Kupitia mradi huo wananchi wanapata huduma za usajili wa vizazi na vifo kupitia ofisi za kata, vituo vya afya na hospitali, ambazo kwa kawaida zipo karibu na wananchi walio wengi, na vyeti vya kuzaliwa na kifo vinatolewa papo hapo.

“Hii ni ongezeko la usajili wa vizazi 201,110, vifo 9,038, hati za watoto wa kuasili 10 na talaka 69 ikilinganishwa na matukio yaliyosajiliwa katika kipindi kama hicho kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017 isipokuwa ndoa ambayo ni pungufu ya ndoa 1,907” anasema Prof. Kabudi.

Kwa mujibu wa Prof. Kabudi anasema jumla ya vizazi 929,938 vilisajiliwa na kupatiwa vyeti vya kuzaliwa kupitia Mpango wa Usajili wa Watoto walio Chini ya Miaka Mitano na kufanya kiwango hicho kwa Tanzania Bara kuongezeka kutoka asilimia 13 mwaka 2012 hadi kufikia asilimia 28 mwaka 2017 sawa na ongezeko la vizazi 2,673,806.

Prof. Kabudi anasema Ongezeko la usajili wa matukio ya vizazi na vifo ni kielelezo kuwa RITA imejiimarisha katika kusajili matukio muhimu ya binadamu na kuwataka wananchi kutoa taarifa za matukio hayo katika mamlaka mbalimbali.

Akifafanua zaidi Prof. Kabu vizazi 63,550 vimesajiliwa na kupatiwa vyeti vya kuzaliwa kupitia Mpango wa usajili wa watoto walio shuleni katika Mkoa wa Njombe.

Prof. Kabudi anasema kupitia mfumo huo RITA itaweza kubadilishana taarifa na mifumo mingine ya usajili kama Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Idara ya Uhamiaji kwa ajili ya kuziwezesha taasisi hizo kufanya maamuzi sahihi, kwa wakati na kwa gharama nafuu.

Anasema kuwa kufuatia taarifa ya utafiti ya mfumo wa Sheria ya Usajili wa Matukio Muhimu ya Binadamu iliyoandaliwa na Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania kwa kushirikiana na RITA, Wizara yake inatarajia kuwasilisha Bungeni Muswada wa Sheria ya Usajili wa Matukio Muhimu ya Binadamu ili kuwezesha matukio mengi zaidi kusajiliwa.

“Wizara, kupitia Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) pamoja na Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, imefanya maandalizi ya awali ya kufanyia utafiti mfumo wa kisheria wa ufilisi nchini ili kuweka msingi wa kutungwa upya kwa mfumo wa kisheria wa kuweka mazingira wezeshi ya kufanya biashara na uwekezaji nchini” anasema Prof Kabudi.

Ili mfumo wa CRVS uweze kuleta matokeo yaliyokusudiwa, ni wajibu wa taasisi za umma kuimarisha na kuwa mfumo mmoja wa wa taarifa na mawasiliano katika utambuzi wa matukio mbalimbali ili kuhakikisha kuwa  matukio yanaleta manufaa kwa wananchi na Taifa katika kupanga na kutekeleza mipango mbalimbali ya maendeleo.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images