Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Vigogo Kampuni ya Mabasi ya Mwendokasi Dar (UDART) Waendelea Kusota Rumande

$
0
0
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linaendelea kuwashikilia wafanyakazi wanane wa Kampuni ya Uda-Rapid Transit (UDART) akiwamo kigogo wa idara wa fedha ambao wanadaiwa kuhusika katika mtandao wa uhujumu wa mapato ya mabasi ya mwendokasi kwa kuchapisha tiketi feki kwa abiria.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, alisema kuwa watuhumiwa hao wanaendelea kuhojiwa huku wengine 18 wakiachiwa kwa dhamana.

Alisema upelelezi utakapokamilika watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani kwa kosa la uhujumu uchumi.

“Bado tunawashikilia watuhumiwa wanane ambao walishiriki moja kwa moja tukio hilo huku wengine 18 ambao walishiriki kwa mbali tumewapa dhamana wakati tunaendelea na upelelezi wetu,” alisema Mambosasa.

Kamnada Mambosasa alisema, watuhumiwa hao wamefanya kosa hilo la kuhujumu mradi wa Serikali ambao ni wa kitaifa na kimataifa kwa kutaka kufifisha jitihada za Serikali.

“Mradi huu unalitangaza Jiji la Dar es Salaam na taifa kwa ujumla kimataifa hivyo kwenda kinyume na jitihada hizo za serikali ni sawa na uhujumu uchumi, upelelezi unaendelea na watuhumiwa watafikishwa mahakamani haraka iwezekanavyo,” alisema Mambosasa.

Pamoja na hali hiyo alitoa tahadhari kwa Kampuni ya Udart, kuwa makini wakati wa kutoa ajira na kuwataka kufuata vigezo muhimu ili kuepuka kuajiri watu wasiokuwa na sifa.

Taarifa za kna zinaarifu kuwa  wafanyakazi hao kwa kushirikiana na baadhi ya viongozi ,  waliunda mtandao maalumu wa kufyatua tiketi feki na kujipatia mamilioni ya fedha.

Mradi huo wakati unaanza mwaka 2016, ulikuwa unabeba abiria 75,000 na kwa sasa idadi hiyo imeongezeka hadi kufikia 200,000 na  kwa kila safari hulazimika kulipa Sh 650 ukijumlisha kwa idadi hiyo mapato kwa siku yaliyokuwa yanakusanywa hufikia Sh milioni 130,000 ingawa kwa sasa yameshuka.

Katika mtandao huo imebainika mbali ya kufyatua tiketi feki pia wamekuwa wakifanya ujanja kwa kuwauzia watu wazima tiketi za wanafunzi ya Sh 200 badala ya Sh 650 huku kiwango kinachobaki kikingia katika mifuko ya wajanja.

Okoa Ndoa Yako Mke,Mume Na Afya Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Za Asili

$
0
0
Asilimia kubwa ya binadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wengi wamejaribu kutumia tiba sehemu tofauti bila mafanikio na  kukata tamaa hasa kina baba ambao ndoa zao au mahusiano yao na wapenzi wao yapo hatarini kuvunjika kwa sababu Mume hana uwezo wa kumridhisha mpenzi wake 

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MKE AU MPENZI WAKO SABABU ETI UNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME MDOGO: tumia dawa ya NSENWA POWER ;dawa hii hutibu na kuponesha tatizo la  nguvu za kiume .

1 itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
2 itakupa uwezo kuchelewa kukojoa mda wa dakika 15-20 na kumfanya mpenzi wako naye aridhike 
3 huimalisha misuri iliyo legea na kusinyaa 

JE UNA UUME MFUPI NA MWEMBAMBA : tumia dawa ya MASHESHE NO 2; hii huboresha uume saizi upendayo kuazia urefu wa inch 5,6,7,8 na unene  wa sentumita 2,3,4,5, dawa hizi hazina madhara yeyote kwa mtumiaji hata wazee hutumia na kupona 

MASANZA ni dawa ya vidonda vya tumbo zipo dawa za mvuto wa biashara ,mpenzi,uzazi ngiri,korodani kuvimba miguu. mgongo,kiuno kuuma nk 

MAHALI ILIPO OFISI UNAWEZA UKASHUKIA BUGURUNI MALAPA AU BUGURUNI ROZANA na MWANZA YUPO WAKALA pia unaweza ukaletewa popote ulipo wasiliana nami 0783185060  0752348593 DR AGU

Tunayo Hapa Habari Njema Toka Hospitali ya Taifa Muhimbili Kama Una Mgonjwa Anayesumbuliwa na Haya Magonjwa

$
0
0
Napenda kuwataarifu kuwa hivi karibuni, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeanzisha utoaji wa huduma za tiba radiolojia(interventional radiology)inayohusisha utaalam wa kutumia vifaa vya radiolojia kama MRI, CT-Scan, Ultra-Sound na X-RAY kutibu moja kwa moja au kuchukua sampuli kwa ajili ya uchunguzi.

Tayari tumeanza kuondoa uvimbe kwenye sehemu ya kinywa, uso na shingoni (sclerotherapy forhaemangioma and lymphangioma),kuweka mirija kwenye figo ambazo mirija ya kutoa mkojo imeziba(nephrostomy tube placement), kuzibua mirija ya nyongo iliyoziba(percutaneous trans hepatic biliary drainage) na kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba(fallopian tube recanalization). Tiba nyingine ni kunyonya usaha ndani ya tumbo(abscesses drainage)

Kutokana na mafanikio hayo, napenda kuwataarifu kuwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) pamoja na Chuo Kikuu cha Yale kilichopo nchini Marekani tumeandaa kambi maalumu ya kufanya uchunguzi na kutoa tiba radiologia kuanzia tarehe 22 Oktoba hadi 9 Novemba 2018, hivyo tunaomba mtume wagonjwa wenye matatizo yafuatayo:

Diagnosis/
Ugonjwa
Lung abscess/nodules/masses
Uvimbe / majipu kwenye mapafu
Liver abscesses/nodules/masses
Uvimbe / majipu kwenye ini
Kidney abscesses/nodules/masses
Uvimbe /majipu kwenye figo
Biliary system obstruction with dilatation
Mfumo wa nyongo ulioziba
Renal obstructive uropathy with severe hydronephrosis
Mfumo wa mkojo ulioziba
Abscesses/ collections anywhere (abdominal/pelvic/peritoneal)
Uvimbe /majipu ndani ya tumbo na nyonga
 
Gharama za Matibabu!
Wenye bima za afya waje nazo,wasiokuwa na uwezo tutawapa exemption.Kumbuka kuwapa barua za rufaa waje nazo.

Imetolewa na
Aminiel Aligaesha
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Umma na Huduma kwa Wateja
Hospitali ya Taifa Muhimbili

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Mzee Mwinyi: Rais Magufuli Mimi Nina Kuhusudu Kwasababu Unafanya Mambo Mazuri Kwa Wananchi

$
0
0
Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi hii leo October 2 alikuwa mmoja wa waalikwa kwenye Ikulu ya Rais Magufuli wakati wa hafla ya kuapishwa kwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje sambamba na kuapishwa kwa mkuu wa Skauti nchini. 

Mlezi huyo wa Skauti nchini Alhaj Ali Hassan Mwinyi akapewa nafasi ya kutoa neno kwa rais Magufuli.

Katita salamu zake fupi, Rais Mstaafu Mwinyi amesema kuwa aliomba kustaafu kuwa Mdhamini wa Skauti Tanzania ombi ambalo lilikataliwa na Rais Magufuli,na kusema kuwa bado vijana wana mambo mengi ya kujifunza kutoka kwake.

Pia Mzee Mwinyi amesema anamhusudu  sana Rais John Magufuli kwa sababu anafanya mambo mazuri kwa wananchi wa Tanzania  na yanamgusa sana.

==>>Naomba nisimalize utamu wote, Mzekilize Mzee Mwinyi hapo chini

Viwanja (Vimepimwa), Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab Sec)

$
0
0
Viwanja (Vimepimwa), Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab Sec)

Kwa Mapinga Kimele, vipo viwanja vya sqm 400 (20/20) kwa tsh 4 mil, sqm 600 (20/30) kwa tsh 6 mil, sqm 800 (20/40) kwa tsh 8 mil, sqm 400 (35/40) kwa tsh 18 mil. Viko umbali wa km 3 kutoka main road (Bagamoyo road).

Process ya upimaji wa viwanja hivi haijakamilika, bado inaendelea na hati zake ni za kusubiri. Pia maji katika viwanja hivi yako umbali wa km 1, umeme upo umbali wa mita 600 (nguzo 8 zinatakiwa).

Kwa Mapinga, Baobab sec, viko viwanja vya sqm 700 kwa tsh 9 mil, sqm 1500 kwa tsh 20 mil, sqm 2000 kwa tsh 30 mil, sqm 3000 kwa tsh 39 mil. Viko umbali wa km 2.5 kutoka main road (Bagamoyo road).
Process ya upimaji wa viwanja hivi imekamilika kwa 100% na hati zake ziko tayari. Maji na umeme viko site tayari.

Luksa kulipa kwa awamu 2 ndani ya miezi 3.

Kwa Bunju, viko viwanja 2 vya pamoja na vimegusa main road (Bagamoyo road) na kila kiwanja kina ukubwa wa sqm 1700 kwa bei ya tsh 45 milion, ukiviunganisha unapata sqm 3400 kwa tsh 90 milion.

Biashara hii haina dalali.
call 0758603077, whatsap 0757489709, email: menejadar@yahoo.com

Waziri Mkuu: Serikali Yawapa Wakulima Mikopo Ya Sh. Bil. 56.45

$
0
0
WAZIRIMKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetoa mikopo yenye thamani ya sh. bilioni 56.45 kwa ajili ya miradi mbalimbali ya kilimo katika mikoa 13 hapa nchini.

Amesema mikopo hiyo imetolewa katika kipindi cha kuanzia Agosti 2015 hadi Septemba 2018, kupitia Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB).

Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumatano, Oktoba 3, 2018) kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (MVIWATA) mjini Mororogo.

Mikopo hiyo imewanufaisha wakulima wadogo zaidi ya 527,000 waliopo kwenye mnyororo wa thamani wa mazao ya kahawa, karafuu, mahindi, mbogamboga na mazao mengine.

Amesema Serikali inatekeleza mipango mbalimbali kwa lengo la kutatua kero zinazowakabili na kuwawezesha wakulima wadogo kujikwamua kiuchumi kupitia kilimo.

Amesema Juni 14, mwaka huu Rais Dkt. John Magufuli, alizindua Awamu ya Pili ya Programu ya Kuendeleza Kilimo hapa nchini (ASDP II) yenye lengo la kuboresha sekta ya kilimo.

Waziri Mkuu amesema ASDP II inalenga kuhakikisha sekta ya kilimo inapewa kipaumbele stahiki ili iweze kuleta tija kwa wakulima wenyewe na Taifa kwa ujumla.

“Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuboresha sekta ya kilimo ikiwemo kutoa mikopo kwa wakulima wadogo; kuondoa baadhi ya tozo zenye kufifisha uzalishaji.”

Pia kuweka mipango mizuri ya matumizi bora ya ardhi na kutafuta masoko pamoja na kuongeza thamani kwenye mazao ya kilimo ili kumuongezea tija mkulima.

Kadhalika, Waziri Mkuu ameongeza kuwa mchango wa wakulima wadogo umewezesha Taifa kujitosheleza kwa chakula na hata kuuza nje ya nchi mazao ya kilimo.

Hivyo, Waziri Mkuu ametoa rai kwa viongozi na watendaji wa Serikali kujenga utamaduni wa kuhudhuria wa kukutana na kuzungumza na wakulima kuhusu mahitaji hayo.

“Tunafahamu kwamba wakulima mna changamoto nyingi zikiwemo za kisera, kirasilimali na kiutendaji kwenye masuala ya ardhi, masoko, mitaji na hata kero za tozo na ushuru.”

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu ameagiza Wakala wa Vipimo nchini (WMA) waendesha msako utakaowanasa wafanyabiashara wanaowaibia wakulima  kwa  njia ya udanganyifu wa kutumia vipimo visivyo sahihi.

Waziri Mkuu amesema mfanyabiashara yeyote atakayebainika kuwaibia wakulima  kwa kutumia vipimo visivyo rasmi achukuliwe hatua za kisheria.

“Utaratibu wa kutumia  vipimo visivyo rasmi ambavyo vimepewa majina ya lumbesa, kangomba, umejileta mwenyewe na mengine mengi lazima ukomeshwe.”

Waziri Mkuu  ameuagiza uongozi wa WMA kwa kushirikiana na halmashauri zote nchini wahakikishe mazao ya wakulima yanauzwa kwa kutumia vipimo rasmi ili wasiendelee kupunjwa.

Akizungumzia kuhusu kero ya ardhi, Waziri Mkuu amesema  Serikali itawapa wananchi  ardhi inayotwaliwa kutoka kwa  wawekezaji au wamiliki walioshidwa kukidhi masharti  na yale yasiyoendelezwa kwa muda mrefu.

 IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Waziri Mkuu Awasaidia Watoto Wenye Ulemavu....Ataka Uongozi Wa Jiji La Dodoma Utembelee Vituo Vyote Vya Watoto Wa Aina Hiyo

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa msaada wa vyakula na mahitaji mengine kwa watoto wenye ulemavu wa akili wenye thamani ya sh. 2,359,000.

Alikabidhi msaada huo jana jioni (Jumanne, Oktoba 3, 2018) mbele ya uongozi wa kituo cha Miyuji Cheshire Home kilichopo nje kidogo ya jiji la Dodoma wakiwemo wajumbe wa Bodi, walimu na walezi.

Vifaa hivyo ni mchele kilo 200, dengu (kg. 100), choroko (kg.30), mafuta ya kula (lita 40), sabuni ya mche katoni moja, asali (lita 20). Vingine ni sukari (kg. 51), maji katoni sita, juisi katoni mbili, majani ya chai katoni moja, kahawa na fedha taslimu sh. 226,000/-.

Akizungumza mara baada ya kukagua majengo na miradi ya shamba la zabibu, ufugaji na bustani ya kituo hicho, Waziri Mkuu alisema ameguswa sana na moyo wa kujituma unaooneshwa na masista, walimu na walezi kwa watoto wanaolelewa kwenye kituo hicho.

“Kazi ya kuwatunza hawa watoto ni kubwa sana inayohitaji upendo, moyo wa huruma na uvumilivu. Mimi nimekaa nao kwa dakika chache tu, kazi nimeiona, kwa kweli mnastahili pongezi sana,” amesema.

Alisema amefurahi kusikia kwamba watoto 442 walipatiwa fursa ya kulelewa kwenye kituo hicho na kusisitiza kwamba Serikali ya awamu ya tano imewaagiza watendaji wa vijiji wahakikishe watoto wenye ulemavu wanapelekwa shule.

“Tumetoa maelekezo kwa watendaji wa vijiji wafanye msako na kuwasisitiza wazazi wawatoe nje watoto wao wenye ulemavu na kuwapeleka shule. Tumegundua kuwa hawa watoto wakipelekwa shule wanafanya vizuri sana,” alisema.

Kuhusu changamoto ya uhaba wa walimu na wataalamu kwenye kituo hicho, Waziri Mkuu alisema jukumu la msingi la kusimamia masuala ya walemavu ni la Halmashauri. Amewataka Afisa Elimu wa Jiji la Dodoma na Mkurugenzi wa Elimu (TAMISEMI) watembelee vituo vyote vya mkoa huo vyenye watoto wenye mahitaji maalum na kuainisha changamoto zinazowakabili na wazitafutie ufumbuzi.

“Afisa Elimu wa Jiji na Mkurugenzi wa Elimu Maalum pale TAMISEMI wakae na kufanya tathmini ya hali ilivyo ili walimu wenye taaluma hii waletwe hapa kujaza mapengo yaliyopo,” alisema.

“Suala la wataalamu wa physiotherapy na speech therapy itabidi Naibu Waziri Mavunde afuatilie Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kuona watapatikanaje,” alisema.

Mapema, akitoa taarifa ya kituo hicho, Mkuu wa kituo cha Miyuji Cheshire Home, Sista Bertha Ligoha alisema kituo hicho chenye uwezo wa kutunza watoto 40, hivi sasa kina watoto 28 ambao kati yao 19 ni wa kiume na tisa ni wa kike.

Alisema kituo hicho kilichoanzishwa mwaka 1987, kimeshapokea watoto 442 ambao kati yao 165 ni wa kike na 477 ni wa kiume. Alisema hivi sasa kituo kina walimu wawili tu (mmoja yupo na mwingine yuko masomoni) na kinahitaji walimu sita zaidi.

Aliishukuru Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kuwapatia vitanda 40 na pia wabunge na Mawaziri ambao walichanga fedha na kuwanunulia magodoro 80.
Naye, Mwenyekiti wa Bodi ya kituo hicho, Bw. Peter Mavunde alisema wanakabiliwa na changamoto nyingine zikiwemo ukosefu wa vyanzo vya uhakika vya mapato vya kuendeshea kituo hicho, upungufu wa walimu na ukosefu wa gari la kupeleka watoto kwenye matibabu pindi wanapozidiwa.

“Tunakabiliwa na changamoto kubwa ya kupata fedha za kuwalipa wahudumu na walezi. Tulipoingia tulikuta wanalipwa sh.45,000 kwa mwezi, tukajipigapiga hadi wakaweza kulipwa sh. 60,000 kwa mwezi. Tunatamani tufikishe kiwango cha sh. 100,000 lakini hali ni ngumu kwetu,” alisema.

Alisema wanahitaji pia vifaa vya mazoezi kwa watoto hao na kuongeza kuwa wana shida ya kupata ulinzi wa eneo la kituo hicho kwa sababu makampuni ya ulinzi yanayataka wawepo walinzi watatu katika eneo hilo na kila mmoja alipwe sh.180,000.

Hafla hiyo fupi ilihudhuriwa na Naibu Waziri (OWM) Kazi, Ajira na Vijana, Bw. Anthony Mavunde, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Binilith Mahenge, Mwenyekiti wa Bodi ya Kituo, Mzee Peter A. Mavunde, Mwakilishi wa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma, Paroko wa Kanisa Kuu Dodoma, Padre Onesmo Wisi, Wajumbe wa Bodi ya Kituo na watendaji kutoka Jiji la Dodoma.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Waziri Mkuu: Waziri Tizeba Anafanya Kazi Kubwa

$
0
0
Na Mathias Canal-WK, Morogoro
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa (Mb) amepongeza juhudi za kiutendaji zinazofanywa na Waziri wa Kilimo Mhandisi Dkt Charles Tizeba (Mb) kuisimamia Wizara yake ikiwa ni pamoja na usimamizi madhubuti wa kufuta Kodi na Tozo ambazo sio rafiki kwenye sekta ya kilimo.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameyasema hayo leo tarehe 3 Octoba 2018 katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro akimuwakilisha Rais, John Pombe magufuli katika Maadhimisho ya Miaka 25 ya Mtandao wa wakulima Tanzania (MVIWATA),

Waziri Mkuu ameeleza kuwa Waziri Tizeba amefanya kazi kubwa kwa kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wakulima kote nchini hususani kero ya muda mrefu kuhusu tozo na kodi nyingi zilizokuwa zikiwasumbua wakulima kutokana na kutokuwa na tija badala yake kusalia na tozo na kodi muhimu pekee.

Waziri Mkuu alisema kuwa Waziri huyo  ametekeleza mambo mengi katika wizara yake katika mazao mbalimbali kwa kufuta tozo na Kodi zisizokuwa na tija kwa wakulima ambapo pia hivi karibuni alifuta tozo takribani 17 kwenye zao la kahawa.

Aidha, alimpongeza Waziri huyo kwa kufanya kazi kubwa yenye weledi mkubwa ya kueleza na kutoa ufafanuzi katika maeneo mengi muhimu ili kuwajengea uelewa wakulima juu ya kufutwa kodi hizo sambamba na kutoa ufafanuzi wa kutosha kwa wawakilishi wa wananchi kupitia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Katika hatua nyingine Waziri Mkuu alimpongeza waziri wa kilimo kwa usimamizi na uratibu mzuri wa kilimo cha zao la Muhogo ambao umepata soko kubwa hivyo aliwataka wakulima kote nchini kuchangamkia kilimo cha Muhogo ili kuongeza tija ya kipato cha mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla.

Kwa upande  wake mlezi wa Mtandao wa wakulima Tanzania (MVIWATA) Mzee Steven Mashishanga ambaye ni Mkuu wa Mkoa mstaafu akitoa neno la shukrani katika maadhimisho hayo mara baada ya hotuba ya mgeni rasmi, alipongeza ushirikiano unaaonyeshwa na Wizara ya kilimo kupitia waziri mwenye dhamana hiyo Dkt Charles Tizeba kwa Mtandao huo kwani jambo hilo limeongeza ufanisi na tija katika utendaji.

Aliongeza kuwa ushirikiano huo umeimarisha MVIWATA ambao umeongeza wanachama kufikia zaidi ya 300,000 huku ukiwa na wakulima takribani milioni mbili ambao wamenufaika na shughuli za MVIWATA ikiwemo uanzishaji na uimarishaji wa vyombo vya akiba na mikopo zaidi ya 120, mafunzo kwa wakulima kuhusu taaluma mbalimbali zaidi ya 115,000; kujenga na kuboresha miundombinu ya masoko 10 ikiwemo masoko ya Kibaigwa, Tawa, Kinole, Nyandira, Igurusi, Kasanga, Mkata, Igagala, Malolo na Matai. 

MWISHO

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya October 4

Waziri Tizeba Aupongeza mtandao wa vikundi vya wakulima Tanzania (MVIWATA) Kwa Kuwaunganisha Wakulima Nchini

$
0
0
Na Mathias Canal-WK, Morogoro
Waziri wa kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba (Mb) ameupongeza mtandao wa vikundi vya wakulima Tanzania (MVIWATA) tangu kuanzishwa kwake mwaka 1993 kwa kuwa dira na Muungano wenye sauti moja yenye mshikamano na mafanikio makubwa kwa wakulima nchini.

Waziri Tizeba ametoa pongezi hizo jana tarehe 3 Octoba 2018 wakati akitoa salamu za Wizara ya kilimo mbele ya Mgeni rasmi ambaye ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa (Mb) kwenye Maadhimisho ya miaka 25 ya mtandao wa vikundi vya wakulima Tanzania (MVIWATA).

Katika hafla hiyo iliyohudhuriwa pia na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dkt Bashiri Ally, Waziri Tizeba alisema kuwa kipindi cha miaka 25 MVIWATA imekuwa mtandao wenye dhamira chanya kwa kuwaunganisha wakulima wadogo kwa kutetea maslahi yao na kujenga mikakati ya pamoja ya kujikwamua kijamii, kiuchumi na kiutamaduni.

Aliitaka MVIWATA kuwa inapaswa kusimamia zaidi maslahi ya wakulima nchini kwa kuwa wahusika wakuu na wamiliki wa mfumo wa uzalishaji na kuwa sehemu ya mfumo wa maamuzi ya masuala yahusuyo maisha ya wakulima wadogo hususani mfumo wa uzalishaji na rasilimali ardhi.

Dkt Tizeba aliwahakikishia wananchama hao zaidi ya 2000 walioshiriki katika kongamano hilo la siku tatu kuwa wakulima wanapaswa kueleza changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwa ni pamoja na kuzitafutia ufumbuzi wa haraka iwezekanavyo.

Naye, Mkurugenzi Mkuu wa Mtandao wa wakulima Tanzania (MVIWATA) Ndg Stephen Ruvuga akisoma risala ya maadhimisho hayo ameipongeza serikali katika kujenga uchumi wa Taifa katika kuimarisha sekta ya kilimo nchini.

Alisema kuwa kwa kutambua hilo na hususani katika matumizi ya fedha za umma aliongeza kuwa kunapaswa kuongeza msisitizo katika usimamizi wa matumizi ya fedha za umma na kuongeza ukusanyaji wa mapato.

Alisema kuwa pamoja na jitihada kubwa za serikali za kuimarisha sekta ya kilimo wakulima kwa ujumla bado wanachangamoto mbalimbali ikiwemo swala la ardhi, bei ya Mazao na soko la uhakika na mitaji ya uwezeshaji wakulima.

MWISHO.

Mkebe Spesho Wa Dawa Ya Mitishamba Yenye Uwezo Mkubwa Wa Kumsaidia Mtu Aliyeathirika Na Upungufu Wa Nguvu Za Kiume

$
0
0
Je, Unamatatizo haya na yamekusumbua kwa muda mrefu bila kupata tiba?

Wanaume wengi wanaupungufu wa nguvu za kiume. na kuwa na maumbile madogo ya kiume. 

Magonjwa kama. kisukari. presha, ngiri, kolodani kuvimba busha tumbo kuunguruma kujaa ngesi na kutopata choo vizuri , punyeto nk huchangia kwa kiasi kikubwa upotevu wa nguvu za kiume 

Tumia dawa nzuri ya mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe na miaka 80 ,    inatibu na kuponyesha matatizo haya yote         

 SUPER SHAFT;  ni dawa yenye uwezo mkubwa wa kuogeza nguvu za kiume mara dufu na maumbile madogo ya uume                                    
 (1) itakufanya uwe na nguvu za ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa                                        
 (2) inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka.                           
 (3) itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 na kuimalika uume zaidi                                  
(4) pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa 
    
NYATI POWER; inarefusha na kunenepesha uume saizi utakavyo kuazia 1_8 unene  sm 2_4 
(1) inaimalisha mirija ya uume iliyo legea ama kusinyaa                                                                       
(2) inasaidia kusafisha mirija ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuongeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume                        
(3) Husaidi kuurudisha nje uume uliyoigia ndani      
(4) inasaidia kuongeza manii nyingi ambazo zina viini vya uzazi                                                              
(5) Husaidia kutibu madhara ya punyeto matumizi makari ya madawa ya kizungu mirungi bangi na sigara

Tunatibu Magonjwa Yote Sugu Ngiri Kolodani Kuvimba Busha Bila Kufanyiwa Opresheni Tezi Dume Kisukari Presha Aina Zote Ugonjwa Wa Moyo Kwikwi Kichomi Miguu Kufa Ngazi Nk

Tunapatikana Magomeni Mikumi Karibu Na Kanisa Katoriki La Roma

Tumaini Tradition Clinc Ndiyo Sululisho La Matatizo Tote 

PIGA SIMU 0745_495181 AU  0682_ 644040                               
WOTE MNAKARIBISHWA TUMAINI TRADITION CLINC 
 

Madiwani CHADEMA, CCM Wachapana Makonde Uchaguzi wa Naibu Meya Ilala

$
0
0
Katika hali isiyokuwa ya kawaida ngumi zilipigwa jana  Oktoba 3, 2018 kwenye ukumbi wa Anatoglo uliopo Manispaa ya Ilala jijini Dar es salaam ambako kulikuwa na  uchaguzi wa Naibu Meya.

Katika uchaguzi huo, Omar Kumbilamoto (CCM) alitangazwa msindi kwa kura 27 dhidi ya kura 25 za  Adam Rajabu (CUF) aliyepata kura 25 huku Mgombea Patrick Assenga (CHADEMA) akikosa kura hata 1.

Ngumi hizo zilimhusisha Diwani wa Tabata (Chadema) Patrick Assenga  aliyechapana makonde na baadhi ya madiwani wa CCM katika Ukumbi huo baada kuwepo kwa sintofahamu wakati wa kutangazwa matokeo  hayo ya uchaguzi huo

Ikumbukwe, Uchaguzi huo ulifanyika baada ya Kumbilamoto aliyekuwa naibu meya Ilala kwa tiketi ya CUF kujiuzulu na kuhamia CCM, akieleza ameshindwa kuwatumikia wananchi kutokana na chama chake kuwa na mgogoro wa uongozi.

Assenga alisema chanzo cha vurugu hizo ni baadhi ya kura kuharibika lakini mkurugenzi wa manispaa hiyo, Jumanne Shauri alipinga na kusema hakuna kura iliyoharibika.

“Mzozo ulianzia katika chumba cha majumuisho ya kura, nikiwa kama mwangalizi wa kura niliona baadhi ya kura zimeharibika na hazifai kwa mujibu wa uchaguzi, lakini Shauri na watu wengine walikataa.

“Niliamua kuzishikilia zile kura nne zilizoharibika baada kuona hivyo Shauri alitoka nje ya chumba na kuwaita polisi ambao walikuja kuninyang’anya zile kura na kunitoa nje ya chumba.”alisema Assenga.

Alisema baada ya kutolewa katika chumba hicho alikwenda kuzungumza na madiwani wenzake wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ndipo wajumbe wa CCM walipomfuata na kuanza kurushiana maneno,  kisha kuanza kuchapana makonde.

Akizungumzia uchaguzi huo, mkurugenzi wa manispaa hiyo, Jumanne Shauri amesema ulikuwa wa haki na ulifuata taratibu zote na wajumbe walikuwa 52. CCM 26 na Ukawa kwa maana ya CUF na Chadema 26.

Amesema baada ya mchakato wa kuhesabu kura kukamilika, Kumbilamoto alipata kura 27 wakati Rajab  Penza wa CUF akipata 25.

Hata hivyo, Shauri amekiri vurugu kutokea akidai zilisababishwa na Assenga lakini polisi walifanikiwa kumdhibiti.

Aunt Ezekiel Azungumzia Penzi Lake na Mose Iyobo

$
0
0
Msanii wa Filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuhusu maisha yake ya kimahusiano na Mose Iyobo ambaye pia ni dancer wa msanii Diamond Platnumz.

Aunt amesema kuwa wanapokuwa kwenye familia anasahau kabisa iwapo mumewe ni dancer kwani anapokuwa ndani anabeba majukumu kama baba.

"Huwezi kuamini kuna time nasahau kama ni dancer kwa sababu anaporudi nyumbani u-dancer anaacha njee, akifika ndani anakuwa baba, na hivi anavyosafiri ndio sijui kabisa kama anacheza au nini," Aunt ameiambia Wasafi TV.

Aunt Ezekiel na Mose Iyobo wamejaliwa kupata mtoto mmoja wa kike aitwae Cookie ambaye ni miongoni mwa watoto wanaofuatiliwa zaidi kwenye mtandao wa Instagram akiwa na followers zaidi ya laki nne.

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218,0789289945. TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya musanga

Ebitoke aondoka Rasmi kwenye kundi lake

$
0
0
Mchekeshaji ambaye amejizolea umaarufu mkubwa mtandaoni hivi karibuni, Ebitoke ameondoa kwenye kundi lake la Timamu.

Kwenye kundi hilo Ebitoke aliweza kushirikiana na wachekeshaji wengine kama Bwana Mjeshi Mr. Beneficial na Mamaa Ashura ambaye kitambo hajaonekana.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ebitoke ameeleza kuwa hatua hiyo imekuja kufuatia mkataba wake na Timamu TV kumalizika hivyo anaondoka na kuanza kufanya kazi sehemu nyingine.

"Napenda kuchukua nafasi hii na kuwatarifu Mashabiki na watu wote wanaonitazama na kusoma ujumbe huu, kuanzia sasa nitakua nikifanya kazi zangu nje ya Timamu TV, nikimaanisha mkataba wangu umeisha," ameeleza Ebitoke.

Pia utakumbuka ni mwaka huu ambao Ebitoke amecheza movie yake ya kwanza tangu kuanza kuigiza inayokwenda kwa jina la Sema ndani ya kundi hilo na uzinduzi wake wa awali ulifanyika Serena Hotel, Dar es Salaam.

Dreamliner Air Kuipeleka Stars Cape Verde....Waziri Mwakyembe Awaita Mashabiki 200 Kwenda Kuishangilia Timu

$
0
0
Na Lulu Ringo, DAR ES SALAAM
WAZIRI wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe amesema ndege ya DreamLiner ndiyo itaipeleka timu ya taifa, Taifa Stars nchini Cape Verde kwa ajili ya mchezo wa Kundi L kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2019 utakaofanyika Oktoba 12 mjini Praia.
 
Akizungumza na Waandishi wa Habari jana mjini Dar es Salaam, Waziri Mwakyembe alisema kwamba ndege hiyo itakayobeba na mashabiki pia, itausubiri msafara huo na kurejea nao baada ya mechi hiyo kwa ajili ya mchezo wa marudiano baina ya timu hizo Oktoba 16 mjini Dar es Salaam.
 
“Kitendo cha timu kushuka Cape Verde na Dreamliner, tena ndege ya nyumbani, tayari tumekwishawapiga goli mbili, hizo goli nyingine namuachia Amunike (Emmanuel) na benchi la ufundi waongezee,” alisema Waziri Mwakyembe.
 
Waziri huyo alisema kwamba kuna nafasi zaidi ya 200 za mashabiki kusafiri na timu kwa ajili ya mchezo huo, kwani ndege ya Dreamliner ina uwezo wa kuchukua watu (262), wakati msafara mzima wa Taifa Stars utakuwa na watu 31.
 
Waziri amesema kila shabiki atalazimika kiasi cha dola za Kimarekani 1,500 (zaidi ya Sh. Milioni 3.5) kwa safari ya kwenda na kurudi Cape Verde na kwamba wanaweza kukamilisha mpango huo kwa kufika ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) zilizopo Uwanja wa Karume, Ilala mjini Dar es Salaam. 
 
“Wachezaji na viongozi watakaokwenda Cape Verde hawatazidi 31, Dreamliner ina uwezo wa kuchukua watu zaidi ya 200, hivyo tunaomba mashabiki wajitahidi kununua tiketi tukaishabikie timu yetu ya taifa,” alisema Waziri Mwakyembe.
 
Tayari wachezaji 22 wamekwisharipoti kambini Taifa Stars hoteli ya Sea Scape iliyopo Kunduchi mjini Dar es Salaam kujiandaa na mechi mbili na asubuhi ya jana wote wamefanya mazoezi Uwanja wa JMK Park, eneo la Gerezani mjini Dares Salaam.
 
Hao ni makipa Aishi Manula (Simba SC), Beno Kakolanya (Yanga SC) na Mohamed Abdulrahman (JKT Tanzania), mabeki; Shomari Kapombe (Simba SC), Salum Kimenya (Tanzania Prisons), Gardiel Michael (Yanga SC), Paulo Ngalema (Lipuli FC), Ally Sonso (Lipuli FC), Aggrey Morris (Azam FC), David Mwantika (Azam FC), Abdallah Kheri (Azam FC), Kelvin Yondani (Yanga SC) na Andrew Vincent ‘Dante’(Yanga SC).
 
Wengine ni viungo ni Mudathir Yahya ( Azam FC), Frank Domayo (Azam FC), Jonas Mkude (Simba SC), Feisal Salum (Yanga SC) na Salum Kihimbwa (Mtibwa Sugar) na washambuliaji; John Bocco (Simba SC), Yahya Zayd (Azam), Kelvin Sabato (Mtibwa Sugar) na Thomas Ulimwengu (El – Hilal/Sudan).
 
Wote hao walikuwa chini ya usimamizi wa Kocha Mkuu Emmanuel Amunike, anayesaidiwa na Hemed Suleiman ‘Morocco’ na Mnigeria mwenzake, Emeka Amadi, wakati Mtunza Vifaa ni Ally Ruvu na Madaktari Richard Yomba na Gilbert Kigadya.
 
Ambao hawajaripoti ni mabeki Hassan Kessy wa Nkana FC ya Zambia na Abdi Banda Baroka FC ya Afrika Kusini, viungo Himid Mao wa Petrojet ya Misri, Simon Msuva wa Difaa Hassan El –Jadida ya Morocco na Farid Mussa wa CD Tenerife ya Hispania na washambuliaji Nahodha Mbwana Samatta wa KRC Genk ya Ubelgiji, Rashid Mandawa wa BDF XI ya Botswana na Shaaban Iddi Chilunda wa CD Tenerife ya Hispania.
 
Tanzania inashika nafasi ya tatu katika Kundi L ikiwa na pointi mbili tu baada ya sare zote katika mechi zake mbili za mwanzo, 1-1 na Lesotho nyumbani mwaka jana na 0-0 na Uganda ugenini mapema mwezi huu.
 
Uganda wanaendelea kuongoza Kundi hilo kwa pointi zao nne, wakifuatiwa na Lesotho mbili sawa na Tanzania na mabao mawili ya kufunga, wakati Cape Verde wanashika mkia kwa pointi yao moja. 
 
Kihistoria Tanzania imecheza fainali moja tu za AFCON, mwaka 1980 nchini Nigeria, tena enzi hizo bado zinajulikana kama Fainali za kombe la Mataifa Huru ya Afrika.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asili

SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

RC Makonda kuweka kitengo cha uwekezaji kuvutia wawekezaji Dar es Salaam

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ameweka wazi mpango wa kuweka kitengo cha uwekezaji (one stop center) ili kurahisisha uwekezaji na kuondokana na ukiritimba unaosababisha wawekezaji kukata tamaa.

Amesema kitengo hicho kitahusisha watendaji kutoka taasisi za Kituo cha Uwekezaji (TIC), Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela), Idara ya Uhamiaji na wadau wote wanaohusika na biashara na kuongeza kuwa hali hiyo ilikuwa ikisababisha mianya ya rushwa kwa wawekezaji na mwisho wa siku wawekezaji kukata tamaa ya kuwekeza jijini Dar es salaam.

Makonda amesema hayo jijini Dar es Salaam alipotembelea katika Ofisi ya Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) na kufanya mazungumzo ya kutafuta namna bora ya kuweka mazingira bora ya kibiashara ili kuondoa kero zinazowakabili wawekezaji na wafanyabiashara jijini humo.

“Naamini ushiriki wa TPSF katika ziara ya Rais Dk. John Magufuli jijini Dar es salaam hivi karibuni, itakuwa fursa kubwa kwa sekta zote ikiwamo biashara, uchumi, afya, elimu, miundombinu na maji hivyo niwahimize watu wote kuitumia vizuri ziara hiyo ili kufikia ndoto ya Dar es salaam kuwa jiji la kibiashara,” amesema Makonda.

Pamoja na mambo mengine, miongoni mwa mambo waliyoridhia kushirikiana ni pamoja na utoaji wa elimu ya biashara, usimamizi wa fedha pamoja na namna bora ya kutumia fursa ya asilimia 10 za mkopo zinazotolewa na serikali kwa ajili ya vijana, wanawake na walemavu ili fedha hizo ziwe na tija.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa TPSF, Godfrey Simbeye, amesema taasisi hiyo iko tayari kutoa ushirikiano wa kutosha kwa mkuu huyo wa mkoa, katika masuala mbalimbali yanayolenga kuliboresha jiji la Dar es salaam.

Live: Rais Magufuli Akipokea Hati Ya Utambulisho Kutoka Kwa Mabalozi Wanaowakilisha Nchi Zao

$
0
0
Live:  Rais Magufuli   Akipokea Hati Ya Utambulisho Kutoka Kwa Mabalozi Wanaowakilisha Nchi Zao
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images