Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Waziri Mwakyembe Awataka Wasanii wa Filamu kuthamini kazi Zao

$
0
0
Na Anitha Jonas – WHUSM – MWANZA
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mheshimiwa Dkt. Harrison Mwakyembe amewataka wasanii wa filamu nchini kutambua thamani ya kazi zao za filamu.

Mheshimiwa Mwakyembe  ametoa agizo hilo leo jijini Mwanza alipokuwa akizindua filamu ya BROTHER  iliyotengenezwa na wasanii wa filamu wa mkoa huo kwa kushirikiana na msanii mkongwe wa filamu Bi.Johary Changula.

“Kwanza niwapongeze kwa kazi nzuri mliyofanya nimeanza kuona mabadiliko katika tansia hii sasa, kuna mabadiliko makubwa katika upande wa sauti, mwanga na hata namna ya uigizaji ongezeni bidii mkiendelea hivi mtapata mafanikio makubwa na pia msipende kuuza kazi zenu nje kwa bei chini tofauti kazi za nchi jirani,”alisema Dkt.Mwakyembe.

Akiendelea kuzungumza na Waziri Mwakyembe aliupongeza uongozi wa ukumbi wa Sinema wa Misterious wa jijini Mwanza kwa kutenga siku mbili ambazo ni Ijumaa na Jumamosi kwa ajili ya kuonyesha filamu za Kiswahili kutoka ndani ya nchi hii ni hatua kubwa ya uthubutu ningependa kuona na kumbi zote nchini zinaiga mfano huo.

Aidha,Nae Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Tanzania Bibi.Joyce Fissoo alifafanua kuhusu  changamoto ya upatikanaji wa stempu za TRA kwa kazi za filamu kwa kusema kuwa tayari serikali imeshaanza  kulishughulikia suala hilo kwa kuaandaa nakala laini ya stempu hizo zitakazo sambazwa katika ofisi za TRA mikoani ili kuondoa kero hiyo.

“Kufuatia maombi yenu ya kuitaka ofisi yangu ije tena kwa ajili ya kutoa elimu ya uandaaji wa kazi za filamu basi tutajipanga na tutahitaji kuona wadau wengi wakifika ili tuweze kuhakikisha wadau wa filamu wanaanda  kazi bora mara baada ya kupata elimu ya uaandaji wa miswada ya filamu,”alisema Bibi.Fissoo.

Pamoja na hayo Katibu Mtendaji huyo aliendelea kusisitiza kuwa ukaguzi wa kazi za filamu kwa mikoani upo kisheria chini ya bodi ya filamu katika Halmashauri ambapo inaongozwa na Afisa Utamaduni hivyo siyo lazima kazi ya filamu ipekwe katika ofisi za Bodi ya Filamu Dar es Salaam kwa ukaguzi.

Halikadhalika nae Mwenyekiti wa Chama cha Waandaji wa Filamu Mkoa wa Mwanza Bw.Abdallah Mohamed  alimweleza Waziri Mwakyembe kuwa umoja huo unatarajia kujenga jego la uandaaji wa kazi za filamu kwa kushirikiana na wawekezaji.

Waziri Mkuu Ataka Wachimbaji Wadogo Waende Benki Wakakope Mitaji

$
0
0

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wachimbaji wadogo wa madini waende Benki wakakope mitaji kwa sababu wana uhakika wa kudhaminiwa na Benki Kuu.

“Msihofu kukopa, kukopa ni jambo la kawaida sana. Nenda mkakope ili mpate mitaji ya kununua mitambo ya kuchenjua dhahabu na madini mengine,” amesema.

Ametoa wito leo (Jumapili, Septemba 30, 2018) wakati akifunga maonesho ya mkoa wa Geita ya dhahabu, madini, teknolojia ya madni na uwekezaji yaliyofanyika kwenye viwanja vya Kalangalala, mjini Geita. Maonesho hayo yalianza Septemba 24, mwaka huu.

Waziri Mkuu amesema, wakati akikagua mabanda ya maonesho kwenye viwanja hivyo, ameelezwa kwamba gharama ya mtambo unaohitajika kwa wachimbaji wa kati inafikia sh. milioni 10. “Naomba niwaeleze wanaGeita kwamba mnakopesheka, nendeni mkaombe mikopo ili mnunue mitambo ya kuchenjua dhahabu,” amesisitiza.

Hata hivyo, Waziri Mkuu amewaeleza wana-Geita kwamba siri kubwa ya kufanikiwa kupata mikopo ni kwa wao kuunganisha nguvu kwa kujiunga kwenye vikundi ili wawe na malighafi ya kutosha mitambo hiyo.

“Wakuu wa wilaya za Mkoa huu simamieni zoezi hili kwa sababu wilaya zenu zote zinachimba madini. Simamieni uundaji wa vikundi na mwende mkawasemee benki pale wanapokwama.”

Akielezea kuhusu makusanyo ya fedha kutokana na mauzo ya dhahabu kwenye mkoa huo, Waziri Mkuu amesema tangu Aprili mwaka huu, mapato yanayotokana na madini yameongezeka kutoka sh. milioni 400 na kufikia sh. milioni 850 Agosti, mwaka huu.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amewataka wazazi wawapeleke watoto wao kwenye vyuo vya ufundi vya VETA ili wakajifunze taaluma ya uchongaji wa madini na vito kama eneo jipya la ajira nchini.

“Nimemuona binti mmojakwenye banda la VETA akielezea vizuri kuhusu uchongaji wa madini na vito. Nikabaini kumbe jambo hili linaweza kufanyika hapa nchini kwetu. Ninawasihi Wazazi pelekeni watoto wenu kwenye vyuo vya VETA vya Mwanza, Geita na Moshi ambako kozi hii inafundishwa,” amesisitiza.

Mapema akimkaribisha Waziri Mkuu kuzungumza na mamia ya wananchi waliohudhuria maonesho hayo, Waziri wa Madini, Bibi Angella Kairuki alisema sekta ya madini ilichangia pato la Taifa kwa asilimia 4.8 tu, licha ya kuwa sekta hiyo iliongoza kwa kuingiza fedha za kigeni kutokana na bidhaa zinazouzwa nje ya nchi katika mwaka 2016/2017.

Alisema lengo la Serikali ni kuhakikisha kuwa sekta hiyo inachangia pato la Taifa kwa asilimia 10 ifikapo mwaka 2025. 

Alisema zaidi ya asilimia 90 ya thamani ya madini yanayouzwa nje ya nchi ni dhahabu na kwamba mkoa wa Geita unaongoza kwa uzalishaji wa dhahabu ambapo katika mwaka 2017, asilimia 41.2 ya dhahabu iliyouzwa ilitoka kwenye mkoa huo.

“Kwa upande wa wachimbaji wadogo wanaozalisha dhahabu, mkoa wa Geita unaongoza ambapo tani 1.175 za dhahabu zenye thamani ya shilingi bilioni 89 zilizalishwa, na kati ya hizo, asilimia 49 ilizalishwa na wachimbaji wadogo,” alisema.

Alisema takwimu hizo zilipatikana kabla Serikali haijachukua hatua ya kuzuia usafirishaji wa carbon yenye dhahabu kuvuka mipaka ya mkoa, hali iliyokuwa inachangia utoroshaji, ukwepaji wa kodi na jamii husika kushindwa kunufaika na madini yayiyopo kwenye maeneo yao.

Maonesho hayo yamekutanisha makampuni 250 kutoka maeneo mbalimbali hapa nchini na yataendelea hadi Jumatano jioni, Oktoba 3, 2018 kutokana na ombi la Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi Robert Gabriel kwa Waziri Mkuu ili wananchi wa mkoa wake wapate fursa zaidi ya kujifunza masuala ya madini, uwekezaji na matumizi ya teknolojia sahihi zinazozingatia utunzaji wa mazingira.

Kaulimbiu ya maonesho hayo ambayo ni ya kwanza kufanyika nchini, inasema: “Teknolojia bora ya uzalishaji dhahabu kwa maendeleo ya kijamii na uchumi wa viwanda”.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Maamuzi Ya Tume Ya Taifa Ya Uchaguzi Kuhusu Rufaa Ya Uchaguzi Mdogo Wa Udiwani Utakaofanyika Tarehe 13 Oktoba 2018

$
0
0
Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilipokea Rufaa moja (1) kutoka kwa mgombea Udiwani wa Kata ya Kibutuka katika Halmashauri ya Wilaya Liwale, Tume imefanya hivyo kwa kuzingatia Kifungu cha 44(5) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa kikisomwa pamoja na Kanuni ya 28(1) ya Kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa (Uchaguzi wa Madiwani) za mwaka 2015.

Rufaa hiyo iliwasilishwa na mgombea Udiwani kutoka Chama cha Wananchi CUF, Ndugu Mdohoma Bashiru Ismaili akitaka arejeshwe kuwa mgombea udiwani katika Kata ya Kibutuka kupitia chama hicho.

Kuenguliwa kwake kulitokana na kuwekewa pingamizi na mgombea mwenzake kwa madai kuwa majina yake katika fomu ya uteuzi yalitofautiana  na Msimamizi wa uchaguzi kukubaliana na pingamizi hilo na hivyo kumuengua.

Tume katika kikao chake cha tarehe 30 Septemba 2018, imekubaliana na maelezo ya mrufani na kuelekeza arejeshwe kuendelea kuwa mgombea Udiwani katika Kata ya Kibutuka, Halmashauri ya wilaya ya Liwale kwa kuwa imejiridhisha kwamba mrufani wakati wa kujaza fomu yake ya uteuzi Na. 8C alianza na jina la mwisho likifuatiwa na majina mengine kwa kuwa ndilo alilotaka lianze kuandikwa kwenye karatasi ya kupigia kura.

Kwa mujibu wa Maelekezo ya Tume kuhusu ujazaji wa fomu Na. 8 C ya Uteuzi katika kipengele namba (2) yanatoa uhuru kwa mgombea kuanza na jina ambalo angetaka liandikwe kwa herufi kubwa kwenye  karatasi ya kupigia kura.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi inavikumbusha Vyama vya Siasa na Wagombea wanaoshiriki uchaguzi mdogo wa Ubunge katika jimbo la Liwale na Udiwani katika Kata mbalimbali za Tanzania Bara, utakaofanyika tarehe 13 Oktoba 2018 kuzingatia Sheria na Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2015, wakati wote wa kampeni na hata Siku ya Uchaguzi.

Imetolewa leo  tarehe  30 Septemba ,2018
Hamis Mkunga
KAIMU MKURUGENZI WA UCHAGUZI

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Octoba 1

Lugola Asema Polisi Watoe Dhamana Siku Zote Za Wiki, Saa 24 Bila Wananchi Kuombwa Rushwa

$
0
0
Na Felix Mwagara, MOHA-Kasulu
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amepiga marufuku tabia ya baadhi ya askari Polisi kutoza fedha kwaajili ya huduma ya dhamana kwa watuhumiwa waliopo mahabusu katika vituo vya polisi nchini.

Lugola pia alisema dhamana hizo zinapaswa kutolewa saa 24 na siku zote za wiki na sio vinginezo kwasababu vituo vya polisi nchini vinafanya kazi muda wote zikiwemo siku za mapumziko.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Basanza wilayani Uvinza, Mkoani Kigoma, jana, Waziri Lugola alisema ni marufuku kwa askari yeyote atakayeshindwa kutoa dhamana kwa kosa ambalo lina dhamana.

“Hii tabia sijui imetoka wapi ambayo imejengeka kwa baadhi ya askari polisi, eti mtu akiingia mahabusu ya polisi siku ya Ijumaa ikifika siku ya Jumamosi na Jumapili hawatoi dhamana wakisema dhamana mpaka Jumatatu, hii tabia sio sahihi na ife haraka iwezekananavyo,” alisema Lugola.

Lugola aliwataka wananchi nchini kuhakikisha wanaripoti matukio ambayo yanavunjwa na baadhi ya polisi hao ambao wengi wao wanatengeneza mazingira ya rushwa.

“Kuna tabia ambayo imezoelewa katika jamii, eti kuingia polisi ni bure ila kutoka ni fedha, hii kauli nataka ife, kwasababu nawajua polisi na hawanidanyi kwa lolote, hivyo ole wao ambao watawanyanyasa wananchi kuwaomba fedha,” alisema Lugola.

Lugola alisisitiza kuwa, dhamana ni haki ya mtu endapo hilo kosa linadhaminika hivyo mwanachi yeyote atakaeombwa fedha anapaswa kuripoti tukio hilo kwa viongozi wa polisi ili polisi achukuliwe hatua za kinidhamu.

Aidha, Waziri Lugola aliwataka maaskari wa usalama barabarani kuhakikisha wanafanya kazi zao kwa weledi na si kuwaandikia makosa madereva kwa kuwakomoa endapo magari yao yanamakosa.

“Gari likiwa na kosa liandikiwe faini, hilo sina shida nalo, lakini utakuta baadhi ya askari wanaandika makosa mengi ili watengeneze mazingira ya rushwa, hii ssi sahihi ” alisema Lugola.

Waziri Mkuu Ataka Wachimbaji Wadogo Waende Benki Wakakope Mitaji

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wachimbaji wadogo wa madini waende Benki wakakope mitaji kwa sababu wana uhakika wa kudhaminiwa na Benki Kuu.

“Msihofu kukopa, kukopa ni jambo la kawaida sana. Nenda mkakope ili mpate mitaji ya kununua mitambo ya kuchenjua dhahabu na madini mengine,” amesema.

Ametoa wito jana (Jumapili, Septemba 30, 2018) wakati akifunga maonesho ya mkoa wa Geita ya dhahabu, madini, teknolojia ya madni na uwekezaji yaliyofanyika kwenye viwanja vya Kalangalala, mjini Geita. Maonesho hayo yalianza Septemba 24, mwaka huu.

Waziri Mkuu amesema, wakati akikagua mabanda ya maonesho kwenye viwanja hivyo, ameelezwa kwamba gharama ya mtambo unaohitajika kwa wachimbaji wa kati inafikia sh. milioni 10. “Naomba niwaeleze wanaGeita kwamba mnakopesheka, nendeni mkaombe mikopo ili mnunue mitambo ya kuchenjua dhahabu,” amesisitiza.

Hata hivyo, Waziri Mkuu amewaeleza wana-Geita kwamba siri kubwa ya kufanikiwa kupata mikopo ni kwa wao kuunganisha nguvu kwa kujiunga kwenye vikundi ili wawe na malighafi ya kutosha mitambo hiyo.

“Wakuu wa wilaya za Mkoa huu simamieni zoezi hili kwa sababu wilaya zenu zote zinachimba madini. Simamieni uundaji wa vikundi na mwende mkawasemee benki pale wanapokwama.”

Akielezea kuhusu makusanyo ya fedha kutokana na mauzo ya dhahabu kwenye mkoa huo, Waziri Mkuu amesema tangu Aprili mwaka huu, mapato yanayotokana na madini yameongezeka kutoka sh. milioni 400 na kufikia sh. milioni 850 Agosti, mwaka huu.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amewataka wazazi wawapeleke watoto wao kwenye vyuo vya ufundi vya VETA ili wakajifunze taaluma ya uchongaji wa madini na vito kama eneo jipya la ajira nchini.

“Nimemuona binti mmojakwenye banda la VETA akielezea vizuri kuhusu uchongaji wa madini na vito. Nikabaini kumbe jambo hili linaweza kufanyika hapa nchini kwetu. Ninawasihi Wazazi pelekeni watoto wenu kwenye vyuo vya VETA vya Mwanza, Geita na Moshi ambako kozi hii inafundishwa,” amesisitiza.

Mapema akimkaribisha Waziri Mkuu kuzungumza na mamia ya wananchi waliohudhuria maonesho hayo, Waziri wa Madini, Bibi Angella Kairuki alisema sekta ya madini ilichangia pato la Taifa kwa asilimia 4.8 tu, licha ya kuwa sekta hiyo iliongoza kwa kuingiza fedha za kigeni kutokana na bidhaa zinazouzwa nje ya nchi katika mwaka 2016/2017.

Alisema lengo la Serikali ni kuhakikisha kuwa sekta hiyo inachangia pato la Taifa kwa asilimia 10 ifikapo mwaka 2025. 

Alisema zaidi ya asilimia 90 ya thamani ya madini yanayouzwa nje ya nchi ni dhahabu na kwamba mkoa wa Geita unaongoza kwa uzalishaji wa dhahabu ambapo katika mwaka 2017, asilimia 41.2 ya dhahabu iliyouzwa ilitoka kwenye mkoa huo.

“Kwa upande wa wachimbaji wadogo wanaozalisha dhahabu, mkoa wa Geita unaongoza ambapo tani 1.175 za dhahabu zenye thamani ya shilingi bilioni 89 zilizalishwa, na kati ya hizo, asilimia 49 ilizalishwa na wachimbaji wadogo,” alisema.

Alisema takwimu hizo zilipatikana kabla Serikali haijachukua hatua ya kuzuia usafirishaji wa carbon yenye dhahabu kuvuka mipaka ya mkoa, hali iliyokuwa inachangia utoroshaji, ukwepaji wa kodi na jamii husika kushindwa kunufaika na madini yayiyopo kwenye maeneo yao.

Maonesho hayo yamekutanisha makampuni 250 kutoka maeneo mbalimbali hapa nchini na yataendelea hadi Jumatano jioni, Oktoba 3, 2018 kutokana na ombi la Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi Robert Gabriel kwa Waziri Mkuu ili wananchi wa mkoa wake wapate fursa zaidi ya kujifunza masuala ya madini, uwekezaji na matumizi ya teknolojia sahihi zinazozingatia utunzaji wa mazingira.

Kaulimbiu ya maonesho hayo ambayo ni ya kwanza kufanyika nchini, inasema: “Teknolojia bora ya uzalishaji dhahabu kwa maendeleo ya kijamii na uchumi wa viwanda”.

Mkebe Spesho Wa Dawa Ya Mitishamba Yenye Uwezo Mkubwa Wa Kumsaidia Mtu Aliyeathirika Na Upungufu Wa Nguvu Za Kiume

$
0
0
Je, Unamatatizo haya na yamekusumbua kwa muda mrefu bila kupata tiba?

Wanaume wengi wanaupungufu wa nguvu za kiume. na kuwa na maumbile madogo ya kiume. 

Magonjwa kama. kisukari. presha, ngiri, kolodani kuvimba busha tumbo kuunguruma kujaa ngesi na kutopata choo vizuri , punyeto nk huchangia kwa kiasi kikubwa upotevu wa nguvu za kiume 

Tumia dawa nzuri ya mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe na miaka 80 ,    inatibu na kuponyesha matatizo haya yote         

 SUPER SHAFT;  ni dawa yenye uwezo mkubwa wa kuogeza nguvu za kiume mara dufu na maumbile madogo ya uume                                    
 (1) itakufanya uwe na nguvu za ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa                                        
 (2) inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka.                           
 (3) itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 na kuimalika uume zaidi                                  
(4) pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa 
    
NYATI POWER; inarefusha na kunenepesha uume saizi utakavyo kuazia 1_8 unene  sm 2_4 
(1) inaimalisha mirija ya uume iliyo legea ama kusinyaa                                                                       
(2) inasaidia kusafisha mirija ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuongeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume                        
(3) Husaidi kuurudisha nje uume uliyoigia ndani      
(4) inasaidia kuongeza manii nyingi ambazo zina viini vya uzazi                                                              
(5) Husaidia kutibu madhara ya punyeto matumizi makari ya madawa ya kizungu mirungi bangi na sigara

Tunatibu Magonjwa Yote Sugu Ngiri Kolodani Kuvimba Busha Bila Kufanyiwa Opresheni Tezi Dume Kisukari Presha Aina Zote Ugonjwa Wa Moyo Kwikwi Kichomi Miguu Kufa Ngazi Nk

Tunapatikana Magomeni Mikumi Karibu Na Kanisa Katoriki La Roma

Tumaini Tradition Clinc Ndiyo Sululisho La Matatizo Tote 

PIGA SIMU 0745_495181 AU  0682_ 644040                               
WOTE MNAKARIBISHWA TUMAINI TRADITION CLINC 
 

CHADEMA Yazidi Kupukutika....Madiwani Wawili Wahamia CCM

$
0
0
Ngome ya Chadema wilayani hapa inazidi kuporomoka kufuatia madiwani wawili akiwemo makamu mwenyekiti kubwaga manyanga.

Ndani ya siku tatu toka amejivua nyadhifa zote ikiwemo ubunge, Marwa Ryoba na kuhamia CCM, madiwani watatu wameshajitoa hali ambayo inaonyesha wazi chama hicho kiko hatarini kupoteza halmashauri.

Waliojivua nyadhifa na kuthibitishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo Juma Hamsini ni Pasto Maiso kata ya Ring'wani ambaye alikuwa makamu mwenyekiti wa halmashauri kwa vipindi viwili.

Mwingine ni George Mahemba kata ya Magange ambaye pia alikuwa mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Masinki kupitia Chadema.

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218,0789289945. TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya musanga

Lulu Michael Kavishwa Pete ya Uchumba na Majay

$
0
0
Ni kipindi kirefu sasa muingizaji Elizabeth Michael 'Lulu' amekuwa kwenye mahusiano na Majay, hatimaye sasa ndoa ya wawili hao imenukia.

Hii ni baada ya Majay kumvisha pete ya uchumba Lulu hapo jana tukio ambalo lilihudhuriwa na wazazi, ndugu, jamaa, marafiki na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Video Mpya ya Ray C: - Your Woman

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Ray C ameachia video ya wimbo wake mpya uitwao Your Woman. Isikilize hapa.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asili

SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Mbosso afunguka ukaribu wake na Esma Platnumz

$
0
0
Msanii wa muziki wa kizazi kipya aliyeko chini ya lebo ya WCB Wasafi Mbosso Khan amefunguka juu ya ukaribu wake na dada yake  Diamond Platnumz ambaye ni Esma. 

Mbosso amesema Esma ni mshikaji wake sana na huwa wanaimba wote baadhi ya nyimbo na mara nyingi humfundisha kuimba pia hufikia kipindi hadi anamshawishi na yeye aweze kuimba yaani ajiingize kwenye mambo ya muziki.

Mbali na kuongelea ukaribu wake na Esma lakini pia amekanusha vikali taarifa zilizokuwa zinasema kuwa yeye ana mahusiano na dada mwingine wa Diamond ambaye pia ni msanii Queen darlin,na kusema hana mahusiano nae kabisa.

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Kusinyaa Na Kudumaa Kwa Maumbile Ya Kiume

$
0
0
Wanaume  wanao  jihusisha  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu  husalia  kuwa  na  maumbile  ya  kiume  yaliyo  sinyaa  na  kudumaa.

Kwa mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  huathiri  na  kuharibu  mishipa  na  misuli  ya  uume na  hivyo kusababisha  kujengeka  kwa  mafuta na  tishu  zisizo vutika  kwenye  mishipa  ya  ateri na  hivyo  kuzuia  mishipa ya  ateri  kupanuka na  kuongezeka  pamoja  na  damu  kutiririka  kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.

Mambo  hayo  mawili yanapotokea  huathiri  uzalishaji  wa homoni muhimu  zinazo  husika  na ukuaji wa misuli ya  uume, na hatimaye  hufanya  uume  wa  mhusika  kudumaa, kusinyaa, kunywea  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuufanya  uonekane  kama wa  mtoto.

 Homoni  hizo hujulikana   kitaalamu kama  HGH  na  huzalishwa  kwenye  ini.

Sababu nyingine   inayo  tajwa  na  wataalamu  ni kwamba, mtu  anaye fanya punyeto   hutumia  akili,  nguvu na  nishati  nyingi sana, jambo ambalo  huathiri utendaji  wa  ogani  nyingine  muhimu  katika  mwili , likiwemo  ini.

Na kwamba  ini  linapo kosa  nishati   ya kutosha  hushindwa  kufanya kazi  zake  vizuri  na  moja  kati  ya  kazi kubwa  za  ini  ni  pamoja  na  uzalishaji  wa  homoni  zijulikanazo  kitaalamu kama  HGH  ambazo  kama  ilivyo andikwa  hapo juu, zinahusika na  kuchochea  ukuaji  wa  sehemu mbalimbali  katika  mwili  wa  mwanadamu  ikiwemo   misuli  ya  uume.

Mbali na  kuathiri  utendaji  wa  ogani  nyingine  mwilini, upigaji  punyeto  husababisha  athari nyingine  kwenye  mwili wa  mwanadamu  kama  vile uchovu  sugu  wa mwili  pamoja na kunyonyoka kwa  nywele.

Athari nyingine  za  upigaji punyeto  ni  pamoja  na  kupoteza  kumbukumbu, kuwahi  kufika  kileleni  ambako  husababishwa  na  kulegea  kwa  mishipa  ya  ateri, kushindwa  kurudia  tendo  la  ndoa, kukosa  hamu  ya  tendo  la  ndoa, uume  kusimama  katika  hali  ya  ulegelege,   maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa  husuani  wakati  wa  kurudia  tendo  la pili na    mara  baada  ya  tendo  la  ndoa  la  kwanza.

KWANINI   WATU WENGI  WANAO  JIHUSISHA  NA  UPIGAJI  PUNYETO  WANA  MAUMBILE  MADOGO  YA  KIUME YALIYO  DUMAA, SINYAA  NA  KURUDI NDANI.

Uzeofu  unaonyesha  kuwa,  asilimia  kubwa  ya  wanaume  ambao  wamewahi  kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu, wanakabiliwa  na  tatizo  la kuwa  na  maumbile  ya  kiume yaliyo dumaa, sinyaa  na  kurudi ndani.

SABABU  KUBWA   NI  HII  HAPA
Sababu  kubwa  ni kwamba   vijana wengi  wa  kiume, huanza  kujihusisha  na  punyeto   wakiwa  na  miaka  kumi  na sita , kumi na  saba  au  chini  ya  hapo.

Hiki ni  kipindi  ambacho  vijana  hawa  ndio  wanakuwa  wamebalehe.

Na kwa mujibu  wa  tafiti  za kisayansi, katika  kipindi  hiki cha  balehe  ndio  kipindi  ambacho  homoni za  HGH  ambazo huhusika  na  ukuaji  wa  sehemu  mbalimbali  za  mwili  ikiwemo  maumbile ya  kiume, huzalishwa  kwa wingi.

Kama  tulivyo ona  hapo  juu, upigaji  punyeto  huathiri  uzalishwaji  wa   homoni  hizo.

Mwisho wa  siku  maumbile  ya  kiume  ya  wahusika, hushindwa  kukua  na  kuishia  kudumaa na  kusinyaa.

Na  hii ndio  sababu  kubwa  wanaume  wanao  kabiliwa  na  tatizo  hili  husalia  kuwa  na  maumbile yenye  ukubwa  ule  ule  walio kuwa  nao wakati wa  kubalehe

NINI  TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  KUDUMAA, KUSINYAA  NA  KURUDI NDANI KWA  MAUMBILE  YA  KIUME.
Kama uume wako  umedumaa, sinyaa, legea, nywea  na  kurudi ndani  kwa  sababu  ulifanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  na  unataka  kuondokana  na  hali  hiyo. HII  NI HABARI NJEMA  SANA  KWAKO! 
 
Ipo dawa  ya ASILI   ambayo  HUTIBU  na  KUPONYESHA  KABISA  tatizo la  KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA  NA  KURUDI NDANI  KWA MAUMBILE  YA  KIUME kunako  tokana  na  ufanyaji  punyeto  wa  muda  mrefu.
 
Ni  dawa  ya  asili  kabisa ambayo  hutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la kudumaa  na  kusinyaa  kwa  uume  ndani ya siku thelathini.

JINSI YA  KUPATA  TIBA  HII : Kupata  tiba  hii  fika  ka6ika  duka  la  kuuza  dawa  za  aslili  la  NEEMA  HERBALIST.  Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

Kwa wateja  waliopo  jijini  Dar  Es  Salaam  ambao  hawana  nafasi  ya  kufika  ofisini  kwetu  watapelekewa  dawa  mahali  walipo  ( HOME & OFFICE  DELIVERY )  na kwa  wateja  waliopo  nje  ya  mkoa  wa  Dar  Es  Salaam  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabus  au  boti  kwa  waliopo  Zanzibar.

Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba  :    0693  005 189.

Mbosso awaonya mashabiki wake wanaomfananisha na Aslay

$
0
0
Msanii kutokea WCB, Mbosso amesema si sawa kwa yeye kufananishwa na Aslay.

Muimbaji huyo akizungumza na Waandishi kwenye red carpet ya Biko Jibebe Challenge amesema kuwa Aslay ameenza muziki muda mrefu kuliko yeye, hivyo si sawa kuwashindanisha.

"Hakuna kitu ambacho najisikia vibaya mara kwa mara kama kuona nashindanishwa na Aslay, ni brother yangu, na isitoshe mimi nimeanza muziki kama solo artist nina miezi tisa tu. Aslay kaanza 2011 kwa hiyo ni mkubwa sana kwangu, mimi bado mchanga mno, ukinifananisha naye unamvunjia heshima yake," amesema Mbosso.

Aslay alianza kusikika kimuziki kabla ya kuundwa kwa kundi la Yamoto Band ambalo alikuwepo pia na wasanii wengine kama Mbosso, Beka Flavour na Enock Bella.

Ndalichako Atumbua Vigogo Wawili Wizara ya Elimu

$
0
0
Na Tiganya Vincent,Rs Tabora
WAZIRI Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amemwagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuwaondoa kwenye vyeo vyao Mratibu wa Miradi na Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo ya Ualimu kwa kushindwa kusimamia majukumu yao na kupelekea baadhi ya miradi kushindwa kukamilika kwa wakati.

Aliwataja viongozi ambao wanatakiwa kuondolewa katika nafasi zao na kuondolewa katika Wizara hiyo ni Mratibu wa Miradi Fredrick Shuma na Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo ya Ualimu Basiliana Mrimi.

Profesa Ndalichako alitoa kauli hiyo jana wilayani Nzega wakati akikagua mradi wa upanuzi wa Chuo cha Ualimu Ndala na kukutana miradi hiyo iko katika hali isiyoridhisha. Alisema utekelezaji wa mradi wa upanuzi wa Chuo cha Ualimu cha Ndala hauridhishi na kusababisha kushindikana wanachuo wengi kuanza katika mwaka huu wa masomo.

Profesa Ndalichako alisema watendaji hao ni miongoni mwa waliosababisha vifaa kwa ajili ya vyuo vya ualimu vya sayansi kupelekwa katika vyuo ambavyo havifundishi sayansi na kupelekea baadhi kupitwa na wakati na kusababisha hasara kwa Serikali. 

 Aidha Waziri huyo ametoa onyo kwa Mhandisi wa Wizara hiyo George Sambali kwa kushindwa kukagua miradi ya ujenzi inayoendelea hadi wasubiri Waziri na Naibu wake watembelea ndio nao waonekana jambo ambalo linasababisha kujengwa kwa miradi ambayo sio mizuri na inachukua muda mrefu.

Alisema suala la kuhakiki ubora wa miradi ni kazi ya wataalamu na sio kungoja viongozi waendele ndio marekebisho yafanyike jambo linalosababisha baadhi ya miradi kuchelewa. Profesa Ndalichako alimwonya Mkuu wa Chuo cha Ualimu Ndala Abinego Ndikumwe kutopokea majengo yaliyokarabatiwa na United Builders ambayo yameonyeshwa huku yakiwa na mapungufu mengi.

Alisema kabla ya kuyapokea wahakikishe wahusika wamefanyia kazi mapungufu yote na kufikia Mwezi Novemba wakabidhi kazi ikiwa imekamilika. Kuhusu Kampumi ya Unite Builders ambayo inakarabati na kujenga baadhi ya majengo ameitaka kuhakikisha inakabidhi kazi ifikapo Novemba ikiwa katika hali nzuri na kuongeza nje hapo hawatapa kazi yoyote ya Serikali.

Alisema majengo ambayo watajenga lazima yaonyeshe thamani ya bilioni 3.1

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) yaongeza siku tatu za uhakiki

$
0
0
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inawajulisha waombaji wote wa mikopo kuwa imeongeza SIKU TATU za kufanya marekebisho kuanzia tarehe 1 hadi 3 Oktoba, 2018.

Waombaji ambao hawajakamilisha maombi yao, kutumia muda ulioongezwa kukamilisha maombi yao kupitia http://olas.heslb.go.tz 
 
Marekebisho yote yafanyike kwa ukamilifu ndani ya mfumo na waombaji hawalazimiki kutuma marekebisho kwa barua pepe au kwa njia ya ‘EMS’.

Kwa maelezo zaidi tupigie kupitia 0736 66 55 33 au 0739 66 55 33 kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 11:00 jioni.

Imetolewa na:
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu,
Dar es salaam,
Jumatatu, Oktoba 1, 2018

Official Linny: Nipo tayari kuolewa na Diamond, hata mpenzi wangu anajua

$
0
0
Video Queen maarufu nchini Tanzania, Lynn amesema kuwa yupo tayari kuolewa na msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz na hata mpenzi wake  anajua hilo.

Akizungumza na Waandishi kwenye red carpet ya Biko Jibebe Challenge, Linny amesema kitokea nafasi hiyo atakuwa tayari.

"Yeah! kwa sababu ni mwanaume, siwezi kusema hapana," amesejibu Lynn.

Utakumbuka kuwa Lynn alipata umaarufu mkubwa pindi alipotokea kwenye video ya msanii Rayvanny inayokwenda kwa jina la Kwetu.

Okoa Ndoa Yako Mke,Mume Na Afya Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Za Asili

$
0
0
Asilimia kubwa ya binadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wengi wamejaribu kutumia tiba sehemu tofauti bila mafanikio na  kukata tamaa hasa kina baba ambao ndoa zao au mahusiano yao na wapenzi wao yapo hatarini kuvunjika kwa sababu Mume hana uwezo wa kumridhisha mpenzi wake 

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MKE AU MPENZI WAKO SABABU ETI UNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME MDOGO: tumia dawa ya NSENWA POWER ;dawa hii hutibu na kuponesha tatizo la  nguvu za kiume .

1 itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
2 itakupa uwezo kuchelewa kukojoa mda wa dakika 15-20 na kumfanya mpenzi wako naye aridhike 
3 huimalisha misuri iliyo legea na kusinyaa 

JE UNA UUME MFUPI NA MWEMBAMBA : tumia dawa ya MASHESHE NO 2; hii huboresha uume saizi upendayo kuazia urefu wa inch 5,6,7,8 na unene  wa sentumita 2,3,4,5, dawa hizi hazina madhara yeyote kwa mtumiaji hata wazee hutumia na kupona 

MASANZA ni dawa ya vidonda vya tumbo zipo dawa za mvuto wa biashara ,mpenzi,uzazi ngiri,korodani kuvimba miguu. mgongo,kiuno kuuma nk 

MAHALI ILIPO OFISI UNAWEZA UKASHUKIA BUGURUNI MALAPA AU BUGURUNI ROZANA na MWANZA YUPO WAKALA pia unaweza ukaletewa popote ulipo wasiliana nami 0783185060  0752348593 DR AGU
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images