Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene amesema
Jaji Joseph Warioba alitunukiwa tuzo ya muungano iliyotukuka
kwa kuwa alistahili kupewa kama viongozi wengine na kuwa kitendo hicho si kumkejeli kama baadhi ya
vyombo vya habari vilivyoripoti hivi karibuni.
Hayo yalisemwa leo na Mkurugenzi huyo wakati
akizungumza na waandishi wa habari kuhusu suala hilo katika
Mkurugenzi Idara ya Habari Assah Mwambene atoa ufafanuzi juu ya tuzo ya Muungano aliyopewa Jaji Joseph Sinde Warioba.
↧
↧
Taswira za mkutano wa UKAWA katika viwanja vya Kibanda Maiti mjini Unguja, Zanzibar
Viongozi wa Wajumbe wa kundi la UKAWA (Umoja wa Katiba ya Wananchi) ndani ya Bunge Malaum la Katiba, wamehutubia maelfu ya watu waliohudhuria mkutano wao katika viwanja vya Kibanda Maiti mjini Unguja, Zanzibar jioni ya leo.
Kwa mujibu wa Katibu wa UKAWA ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CUF Tanzania Bara, Julius Mtatiro, kesho mkutano mwingine wa UKAWA unatarajiwa kufanyika Pemba kabla
↧
Wema Sepetu na Diamond wanaswa wakidendeka hadharani....
MASUPASTAA ambao ni wachumba (wanasema wenyewe), Miss Tanzania 2006,
Wema Sepetu na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, walijikuta
wakionesha upendo wao mbele za watu kwa kudendeka barabarani...
Ishu hiyo ambayo wapendanao wengi huifanya kwa faragha, ilijiri hivi
karibuni maeneo ya Bamaga- Mwenge jijini Dar es Salaam...
ILIVYOKUWA
Kwa mujibu wa watu walioshuhudia tukio hilo,
↧
Waziri wa fedha: Bajeti ya mwaka 2014/ 2015 ni sh. 19.6 Trilioni....Matumizi kuzingatia mfumo wa matokeo makubwa sasa, kipaumbele ni kilimo, Elimu, Maji,Nishati na miundombinu
Serikali
imetoa mwelekeo wa Bajeti ya mwaka wa fedha wa 2014/15 kuwa ni Sh19.6
trilioni, ikilinganishwa na Sh18.2 za Bajeti iliyopita.
Vipaumbele
vya Bajeti hiyo ni kuendeleza Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano
ulioanza mwaka 2011 na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) ambao
unajumuisha maeneo sita ya kitaifa ya kilimo,
↧
Rais Kikwete kuhutubia wafanyakazi leo katika kilele cha Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi)...Tucta yalilia mishahara
Wakati
Rais Jakaya Kikwete akitarajiwa kuhutubia wafanyakazi katika kilele cha
Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam,
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), limeitaka Serikali
kupandisha kima cha chini hadi kufikia Sh750,000.
Katibu
Mkuu wa Tucta, Nicolas Mgaya alisema jana kuwa
↧
↧
Magazeti ya leo tarehe 1 May 2014
↧
Gari la Mbowe lakamatwa nchini Kenya likihisiwa kuhusika na UGA*DI nchini humo.....Gari hilo lilikuwa na namba mbili, STK na KUB...Polisi Kenya yamsubiri Mbowe kwa mahojiano
GARI la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, limekamatwa na kuendelea kushikiliwa mjini Mombasa nchini Kenya, kutokana na kuwa na namba mbili.
Taarifa za jana kutoka Kenya zilieleza kuwa polisi nchini Kenya walipata taarifa za kuwepo kwa gari hilo na watu ambao walionekana kutokuwa na kazi maalumu.
Baada ya kupata taarifa hizo, Polisi hao walio katika msako wa
↧
Sherehe za Mei mosi jijini Mwanza:....Wafanyakazi waomba kodi ipunguzwe
Wafanyakazi wa Shirika la
Nyumba la Taifa wakipita ya mgeni wa heshima Mkuu wa Mkoa wa Mwanza
Eng.Evarist Welle Ndikilo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi
mkoa wa Mwanza ,matembezi hayo yalihitimishwa kwenye uwanja wa CCM
Kirumba.
Wafanyakazi wa Mkemia Mkuu wa
Serikali wakiingia uwanjani CCM Kirumba Mwanza wakati wa maadhimisho ya
Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza .
↧
Ray afunguka: "Msiniingilie maisha yangu ya Mapenzi...Mbona ninyi mnafanya uzinzi na hakuna anayewasema?"
Msanii wa filau, Vicent Kigosi "Ray" amesema kuwa anashindwa kuelewa ni kwa nini baadhi ya wanawake wamekuwa wakishabikia mahusiano yake wakati yeye hana habari nao wala hajawahi kufuatilia mambo yao....
Alisema kuwa kutokana na hilo sasa anaamua kufanya mambo yake kimya kimyan kwani baadhi ya wasanii wa kike wamekuwa na tabia ya kuingilia
↧
↧
Lulu Michael ashambuliwa baada ya kupost mtandaoni picha ya Rihanna akiwa nusu uchi
Muigizaji wa bongo movies Elizabeth ‘Lulu’ Michael ambaye huonesha
wazi jinsi anavyompenda Rihanna na hata kupozi kwenye jarida la VibeTz
kama Rihanna kwenye jarida la GQ, amejikuta katika wakati mgumu baada ya
kupost picha ya nusu uchi ya mwimbaji huyo kwenye Instagram.
April 29 Lulu alipost picha ya Rihanna aliyekava jarida la Lui
akiwa amepozi na ameacha maziwa yake wazi
↧
Picha: Victoria Kimani akianika kifua chake kisiwani Mbudya
↧
Ray C akanusha kurudiana na Mwisho Mwampamba ‘he is happily married, am single and happy’
Rehema Charamila aka Ray C amekanusha kilichoandikwa na gazeti la
Visa kuwa amerudiana na aliyewahi kuwa mwakilishi wa Tanzania kwenye
shindano la Big Brother Africa mara mbili Mwisho Mwampamba. Wawili hao
waliwahi kuwa na uhusiano miaka kadhaa iliyopita.
Kupitia Instagram Ray C ameandika: Sijamuona Mwisho na Kama mwaka
wa Sita huu!!!udaku Mwingine umezidi kwakweli sipendi……..He is
↧
Magazeti ya leo Ijumaa ya tarehe 2 April 2014
↧
↧
Kajala amcharukia Wema Sepetu......Asema hana mpango wa kumlipa zile milioni 13 alizotoa Wema Sepetu Mahakamani, aeleza mambo mazito
Zile shilingi milioni 13 alizolipa staa mkubwa wa kike Bongo, Wema
Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ mahakamani ili kumnusuru Kajala Masanja
kwenda gerezani, zinaendelea kusababisha fukuto na sasa Kajala amejibu
mapigo, akisema hatamlipa Wema fedha hizo.
Wema na Kajala wapo kwenye gogoro zito kwa muda mrefu huku mashabiki
wa mastaa hao waliojipa majina ya Team Wema (wanaomuunga mkono
↧
UKAWA waendelea na Kampeni yao Pemba
Kiongozi wa UKAWA Freeman Mbowe, akihutubia katika mkutano wa hadhara katika viwanja vya Gombani ya Kale, Chake Chake Pemba.
Mwenyekiti
wa NCCR Mageuzi James Mbatia, akihutubia katika mkutano wa hadhara
katika viwanja vya Gombani ya Kale, Chake Chake Pemba.
Mwenyekiti
wa CUF Prof. Ibrahim Lipumba, akihutubia katika mkutano wa hadhara
katika viwanja vya Gombani ya Kale
↧
Rais Kikwete awataka wabunge kuhakikisha katiba inapatikana ndani ya siku 60 alizowaongeza....Asisitiza ikishindakana basi
Rais Jakaya Kikwete, amesema iwapo siku 60 za nyongeza zitakwisha
bila wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kufikia maridhiano na kupata
Katiba mpya, hakutakuwa na nyongeza nyingine ya muda.
Rais Kikwete aliyasema hayo jana wakati akihutubia maelfu ya wafanyakazi
katika sikuku ya Mei Mosi ambazo Kitaifa zilifanyika kwenye Uwanja wa
Uhuru, jijini Dar es Salaam.
Rais Kikwete alisema hadi
↧
Hii ni video nyingine toka Kenya iliyofungiwa kuchezwa kwenye TV kutokana na kukiuka maadili
Mpaka sasa video hii imetazamwa zaidi ya mara laki moja na elfu 30
kwenye mtandao wa Youtube toka ianze kuonyeshwa April 29 2014 ikiwa ni
video ya kipekee na ya kiwango kingine cha juu tofauti na ilivyozoeleka
kwa Sauti Sol.
Mtandao wa Kenya ghafla.co.ke umeripoti kwamba imefahamika video hii
imezuiwa kuchezwa kwenye TV stations mbalimbali za Kenya kwa sababu
imevunja maadili.
↧
↧
Jack Wolper arudisha penzi kwa Ali Kiba
"Hakuna kitu kama hicho, hayo ni maneno tu ya watu.Mimi na Ali Kiba ni kama dada na kaka, hakuna linaloendelea.Kifupi ni kwamba huyo Kiba mwenyewe sijaonana nae muda mrefu sana"
Huo ni utetezi wa Wolper baada ya madai kwamba wamerudisha penzi lao lililokufa miaka mingi iliyopita na kwamba wawili hao hivi sasa wamekuwa wakikutana kwa siri
↧
Matukio katika picha Diamond Platnumz akiwasili Mtwara kwa burudani kali jioni ya leo.
↧
Ndoa ya Aunt Ezekiel Chali....Mume atupwa Jela, Aunt aponda raha....Yadaiwa Aunt haimuumi mumewe kuwa ndani
Habari za mjini zinadai kuwa, staa wa filamu Bongo, Aunt
Ezekiel yuko Dubai akiponda raha huku mumewe, Sunday Demonte akidaiwa
kuwa jela jijini Abu Dhabi katika nchi za Falme za Kiarabu (UAE).
Awali, ilidaiwa kuwa, Aunt aliondoka Bongo kwenda Dubai kuungana na
mumewe katika ndoa, lakini vyanzo vya karibu vikahoji mumewe yupi? Mbona
yuko jela baada ya kudakwa kwa kuishi kinyume cha
↧
More Pages to Explore .....