Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Wema Sepetu Akanusha Kurudiana na Diamond

0
0
Msanii wa Filamu Bongo, Wema Sepetu amesema licha ya ukaribu wake na familia ya Diamond Platnumz haimaanishi kuwa amerudiana na muimbaji huyo kwa sasa.
 
Kwenye Mahojiano na kipindi cha The Playlist cha Times FM amesema kuwa kwa sasa yeye ni Diamond ni zaidi ya washikaji na urafiki wake na dada (Esma Platnumz) pamoja na mama mzazi wa muimbaji huyo ni kitu ambacho kilikuwepo toka muda na sasa ni muendelezo.

Tazama Hapa Video ya Navy Kenzo ft. Diamond Platnumz - Katika

0
0
Kundi la muziki Bongo, Navy Kenzo wameachia video ya wimbo wao mpya unaokwenda kwa jina la Katika ambao wamemshirikisha Diamond Platnumz. Itazame hapa.

Wema Sepetu: Nimetumia Sana Mitishamba, Lakini Sijawahi Enda Kwa Mganga

0
0
Septemba 28 ni kumbukumbu ya  siku ya kuzaliwa msanii Wema Sepetu ambapo  Leo ameandaa tukio maalum kwaajili yake litakalofanyika pale Mlimani City. 

Tukio hilo litaambatana na uzinduzi wa filamu yake aliyofanya na Van Vicker kutoka Ghana ambaye yupo tayari nchini Tanzania.

Katika kuifanya siku hiyo kuwa nzuri, Wema amefanya interview na vituo mbalimbali vya habari ambapo siku ya jana kupitia ThePlaylist ya Times FM alifunguka kuzungumzia kama aliwahi kwenda kwa mganga katika maisha yake.

“Hapana sijawai kwenda lakini nimekuwa nikinywa sana mitishamba kwaajili ya tatizo langu la kukosa mtoto, nimekunywa sana mpaka wanahisi zimeniongezea tatizo,” alisema Wema Sepetu.

Mrembo huyo amedai tataizo la kutopata mtoto ndio kitu ambacho kimekuwa kikimsumbua kwa muda mrefu huku akidai baadhi ya wabaya wake wamekuwa wakitumia hiyo kama njia ya kumuumiza.

CHADEMA Wataja Sababu za Kutohudhuria Uzinduzi wa Flyover ya TAZARA

0
0
CHADEMA wameibuka na kutoa sababu za Wabunge wake kutofika katika shughuli ya uzinduzi wa barabara ya juu 'Flyover' katika eneo la Tazara jijini Dar es salaam iliyofanywa na Rais Magufuli.

Wabunge wa upinzani kupitia CHADEMA jijini Dar es salaam ni John Mnyika wa Kibamba, Halima Mdee wa jimbo la Kawe pamoja na Saed Kubenea wa Ubungo.

Kupitia taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema, amesema,  sababu zilizowafanya Wabunge wa Kawe Halima Mdee na wa Kibamba John Mnyika kutokufika katika uzinduzi uliofanyika jana ni  kwa sababu walikuwa na kesi katika Mahakama ya Kisutu.

“Tumemsikia Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akisema Wabunge wa CHADEMA walialikwa kwenye uUzinduzi huo na hawakufika, walikuwa Mahakamani wakati shughuli zikiendelea , hivyo wasingeweza kuwa Mahakamani na wakati huohuo wakahudhuria”, amesema Mrema.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asili

SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Viongozi Wa Kijiji Wafunga Ofisi, “watimka” Kisa Operesheni Ya Bhangi

0
0
Na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha
Wananchi wa kijiji cha Kisimiri Juu Kilichopo tarafa ya King’ori wilayani Arumeru walikiacha kijiji chao kwa muda huku viongozi wao wakifunga ofisi zao na kukimbia kisa operesheni ya bhangi iliyofanywa na vikosi vya Jeshi la Polisi jana Alfajiri .

Kamanda wa Polisi mkoani hapa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Ramadhani Ng’anzi alisema kwamba walipata taarifa kwamba kuna kiasi kikubwa cha bhangi kinatarajia kusafirishwa siku jana ndipo walipoandaa askari hao ambao walifanikiwa kufika eneo la tukio na kupata jumla ya magunia 27 yenye uzito wa Kilogramu 25 kila gunia shambani kwa mtuhumiwa mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa pamoja na Misokoto 583 ya Bhangi.

Kamanda Ng’anzi alisema kwamba kwa sasa Jeshi la Polisi mkoani hapa linawatafuta viongozi wa kijiji cha Kisimiri Juu kwa kukiuka agizo la Serikali linalomtaka kila kiongozi katika eneo lake ahakikishe kwamba halilimwi bhangi.

“Tunaendelea kuwatafuta viongozi wa kijiji pamoja na kamati zake za ulinzi na usalama na mkondo wa sheria utachukua nafasi kwani wao kama viongozi wana wajibu mkubwa wa kuhakikisha katika eneo lao hakuna biashara yoyote ya Madawa ya kulevya inayofanyika”. Alifafanua Kamanda Ng’anzi.

Kamanda Ng’anzi alisema kwamba Jeshi hilo mkoani hapa lipo makini na litaendelea na mapambano dhidi ya Madawa ya kulevya katika maeneo mbalimbali na kubainisha kwamba katika eneo la mpaka wa Namanga matukio ya uingizaji wa madawa umedhibitiwa kwa kiasi kikubwa.

Kwa upande wake Mkuu wa Operesheni  wa Jeshi hilo mkoa wa Arusha, Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Polisi (SSP) Elias Mwita alisema kwamba  operesheni hiyo sio ya kwanza kufanyika katika eneo hilo na itakuwa endelevu kuhakikisha kwamba zao hilo haliendelei kulimwa.

Si mara ya kwanza kwa viongozi pamoja na wananchi hao kutotoa ushirikiano kwa Jeshi hilo pamoja na vyombo vingine vya usalama pindi wanapofanya operesheni ya bhangi katika eneo hilo ambapo huwa wanaacha makazi yao na kukimbilia milimani.


Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Waziri Mkuu: Wanajiosayansi Mna Wajibu Wa Kulinda Madini Yetu

0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wanajiosayansi nchini wawe walinzi wa kwanza wa rasilmali za madini, maji na mafuta bila kujali wako serikalini au kwenye sekta binafsi.

“Katika utendaji wenu wa kazi, mnapaswa kuwa wa kwanza kujua kinachoendelea katika sekta zote mnazohusiana nazo, yaani madini, maji na mafuta. Haijalishi unafanya kazi serikalini au shirika binafsi, wewe ni Mtanzania na una jukumu la kulinda rasilimali za nchi yako.” amesema.

Waziri Mkuu ametoa wito huo jana mchana (Alhamisi, Septemba 27, 2018), wakati akifungua warsha ya siku sita yaJumuiya ya Wanajiosayansi Tanzania iliyoanza leo kwenye hoteli ya New Dodoma, jijini Dodoma.

Waziri Mkuu ambaye amefungua warsha hiyo kwa niaba ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli, amewataka wanajiosayansi hao kutoka Serikalini, taasisi binafsi na vyuo vya elimu ya juu wasishiriki kulihujumu Taifa kwani kwa kufanya hivyo, watakuwa wasaliti namba moja.

“Msijihusishe au kushiriki kulihujumu Taifa lenu kwani kwa kufanya hivyo, mtakuwa wasaliti namba moja. Hakikisheni mnakuwa mabalozi wa Serikali katika mashirika haya kwa kutoa elimu juu ya sheria zinazosimamia sekta hizi huku mkisisitiza umuhimu wa kufuata sheria za nchi zenye kusimamia rasilimali zetu adhimu,” amesema.

Amesema mbali ya kilimo, rasilmali miamba na madini ndivyo vyenye mchango mkubwa wa kukuza viwanda kote duniani na kwamba utaalamu wa jiosayansi una mchango mkubwa kwenye malighafi za viwandani, upatikanaji wa maji ya kutosha nchini, mafuta, gesi asilia na uzalishaji wa nishati kupitia jotoardhi.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amewataka wanajiosayansi hao waisaidie Serikali kutafuta vyanzo vya maji vya uhakika ili itumie kihalali fedha zinazotengwa kwenye uchimbaji visima vya maji na kuepuka upotevu wa fedha.

“Ni jukumu la wanajiolojia la kutuambia wapi maji yapatikana. Muandae utaratibu mzuri wa kutunza takwimu kuhusu kiwango cha maji, ni wapi maji yalipo na ujazo wake. Kwenye eneo hili tumepoteza fedha nyingi sana, tumepeleka fedha nyingi kwenye halmashauri ili tutoe huduma za maji wananchi lakini kwa sababu hatukuwashirikisha wanajiosayansi, wachimbaji wameenda kuchimba visima na wakakosa maji, yakabaki mashimo tu bila maji. Mna jukumu kubwa la kuisadia Serikali ili itumie vizuri fedha inazozitenga kwa ajili ya maji kwa kubainisha wapi kuna maji, yako kiasi gani na yako umbali gani,” amesema.

Wakati huohuo, Waziri wa Madini, Bibi Angella Kairuki amesema wizara hiyo inakusudia kuanzisha chombo maalum cha usajili cha kuwatambua wanajiosayansi kisheria kupitia Bodi ya Usajili wa Wanajiosayansi nchini (Geoscientists Registration Board -GRB) kama ilivyo kwa wahasibu, wahandisi na mabaraza ya wasajili mbalimbali ili kukabiliana na wataalamu feki wa fani hiyo.

“Wizara ya Madini inategemea wanajiosayansi wawe wazalendo kwa Taifa kwa kutoa taarifa za kitaalamu zinazoendama na uhalisia ili kuondoa malalamiko yanayotokana na baadhi ya watu wasiokuwa waaminifu hasa wale wanaojifanya wataalamu ilhali wakijua wazi hawana utaalamu wa fani hii,” amesema.

Amesema azma ya Serikali ni kumaliza changamoto zinazoikabili sekta hiyo ya madini zikiwemo ukiritimba uliokuwa ukifanyika katika mlolongo mzima wa utoaji leseni, utafutaji na uzalishaji wa rasilmali madini.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Mashirika Yatakiwa Kuhudumia Jamii Kwa Kurudisha Faida Wanayopata

0
0
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Taasisi na mashirika mbali mbali hapa nchini yametakiwa kurudisha sehemu ya faida wanayo ipata ili kuhudumia Huduma za kijamii zikiwemo Mausala ya afya elimu na watoto wasiojiweza Sanjari na maafa mbali mbali

Akizungumza  wakati akitoa msaada kwenye shule ya Msingi na ufundi Sing’isi wilayani Arumeru mkoani Arusha mkuu wa idara ya wateja masoko na mawasiliano wa Benki ya CBA bwana Julias Konyani amesema kwamba katika faida wanayo ipata watakikisha wanaendelea kusaidia sekta ya elimu nchini

Aidha ameyataka mashirika mbali mbali kuona namna ya kurudisha faida wanayopta katika kuhudumia masuala mbali mbali ya kijamii ikiwemo kusaidiana na serikali katika hatua mbali mbali za kuwaleta maendeleo wananchi hususani benki hiyo ilipokuwa ikikabidhi hundi ya kiasi cha shilingi milioni 4 katika shule ya msingi na ufundi ya Sing’isi 

Amezitaka taasisi mbali mbali kujitokeza katika kuunga mkono jitihada za serikali ya awamu ya tano ya ,kutoa elimu bure na kuwawezesha wanafunzi kupata elimu ya awali bila kuwepo na changamoto ya madarasa pamoja na uhaba wa vitabu vya kiada na ziada kwa ajili ya kusoma na kufundishia

Mwalimu mkuu wa shule hiyo ya Singisi Safira  Ndelwa ametaja changamoto mbali mbali zinazoikabili shule hiyo kuwa ni uchakavu wa miundo mbinu ya majengo katika shule hiyo  ikiwemo uhaba wa vyumba vya kusomea na uzio wa shule

‘’Shule hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo uzio uhaba wa vyumba vya madarasa mashine ya kuchapisha mitihani pamoja na nyumba za walimu ‘’alisema mwalimu Ndelwa

Mmoja wa wanafunzi wa shule hiyo Anjela Izack ameshukuru benki hiyo kwa msaada huo na kuomba kuongezewa madarasa mawili kwa lengo la kuondoa usumbufu wa wanafunzi wenzake kusoma kwa awamu mbili kwani wanachoka na masomo yao na kujikuta wakishindwa kushika masomo na maendeleo kushuka.

Pichani ni Mkuu wa idara ya wateja masoko na mawasiliano wa Benki ya CBA bwana Julias Konyani akiwa na mwalim mkuu wa shule ya ufundi na msingi Sing'isi Safira Ndelwa  wakati wa makabidhiano ya Hundi kutoka Benki ya CBA picha zote na mahamoud ahamd Meru

Sehemu ya Wanafunzi wa shule ya msingi na ufundi Sing'isi wakiwa na mfano wa hundi waliokabidhiwa na benki ya CBA jana wilayani Arumeru 

Ujumbe wa Lady Jaydee kutaka Kujiua Wazua Gumzo

0
0
Mashabiki wamekuwa na maswali mengi ni kitu gani anapitia Lady Jaydee kwa sasa kwenye maisha yake.

Hii ni kutokana na kuandika ujumbe akieleza jinsi alivyotaka kukatisha uhai wake ghafla. Kupitia mtandao wa twitter ameandika;'

"Jana nilihisi kunywa sumu ila kabla sijafanya nikajisuta na kujikumbusha nilipotoka na kujiuliza nitakuwa mjinga kiasi gani 😔😔 Nikajisikitikia tu kisha nikaacha. Na leo bado nipo kigumu gumu ila bado nipo"
Muimbaji huyo kwa sasa yupo kwenye maandalizi ya show yake inayokwenda kwa jina la Vocals Night ambayo itafanyika August 26, 2018 Milimani City, Dar es Salaam.

Kivuko cha MV Nyerere Kimeshaanza Kuvutwa....Tazama Hapa

0
0
Shughuli ya kukivutia nchi kavu kivuko cha Mv Nyerere kilichopinduka Septemba 20 imeanza.

Shughuli hiyo ilianza saa 5:21 asubuhi ya leo baada ya upepo mkali uliokuwa ukivuma katika Pwani ya gati ya kijiji cha Bwisya kisiwa cha Ukara kupungua kasi.

Pamoja na mitambo maalum ya kuvuta na kunyanyua vitu vizito, kazi hiyo pia inafanywa na meli kubwa ya mizigo ya Mv Nyakibalya ambayo imekibana ubavu wa kulia kivuko hicho ili kisipinduke tena wakati kikivutwa.


==>>Tazama Video Hapo Chini

Tanzania Yapewa Tuzo Ya Kimataifa Ya Kupambana Na Magonjwa Yasiyo Ya Kuambukiza Duniani

0
0
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu akipokea tuzo ya Kimataifa ya kupambana na Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza Duniani toka kwa Makamu Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani(WHO) Dkt.Soumya Swaminatha Mjini New York,Marekani.

Waziri Kalemani Azindua Matumizi ya Gesi Asilia Katika Kiwanda Cha Dangote

0
0
Waziri  wa Nishati, Dk Medard Kalemani jana amezindua mradi wa kuunganisha miundombinu ya gesi asilia kwa kiwanda cha saruji cha Dangote, hivyo sasa kuwezesha uzalishaji mkubwa kufanyika ambao utapunguza gharama za uzalishaji na hivyo kushusha bei ya saruji.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Dk Kalemani alisema Serikali ya Awamu ya Tano inataka kuhakikisha kila mwananchi anakua kiuchumi kutoka uchumi mdogo na kufikia mkubwa hasa nchi inavyoelekea kwenye uchumi wa viwanda, hivyo kuongezeka kwa uzalishaji wa saruji hapo ni fursa kubwa kwa wana-Mtwara na maeneo mengine nchini.

Mradi huo unatekelezwa kwa awamu mbili, ya kwanza ikiwa ni kuunganishwa kwa miundombinu ya kusambaza gesi asilia kwa ajili ya uzalishaji wa umeme unaofikia megawati 45 utakaozalishwa kwenye mashine tatu zenye uwezo wa kuzalisha megawati 15 kwa moja. Hivyo, alisema kutokana na uwapo wa gesi hiyo kutasababisha uzalishaji huo kuwa mkubwa na utaleta mabadiliko ya kimaendeleo mkoani hapa.

“Kubwa niwaombe wananchi kutunza miundombinu yetu ili iweze kudumu na iweze kutusaidia kukuza zaidi uchumi wetu” alisema Dk Kalemani. 

Naye Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Emmanuel Gilbert alisema mradi huo unatarajia kusafirisha kiasi cha futi za ujazo milioni 30 za gesi asilia kwa siku, ambacho kitatumika kuendeshea mitambo ya kuzalishia saruji hadi ifikapo Novemba mwaka huu.

Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda hicho cha Dangote, Jagat Rathee alisema kuwepo kwa gesi hiyo kiwandani hapo kwa hivi sasa kutachochea mafanikio mkubwa kutokana kutapunguza gharama ya uzalishaji wa saruji ikilinganishwa na hapo awali, lakini pia kuongezeka kwa uzalishaji kwa jumla.

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Serikali Yaanza Kulipa Madai Ya Marejesho Ya Vat Ya Wafanyabiashara Nchini

0
0
Na Benny Mwaipaja, WFM, Tanga
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, amekutana na wafanyabiashara mkoani Tanga na kuwaeleza kuwa Serikali imeanza kulipa  madai ya marejesho ya kodi ya Ongezeko la thamani (VAT Refund) kwa kampuni na wafanyabiashara mbalimbali nchini wakiwemo waagizaji wa sukari za viwandani ambao madai yao yamehakikiwa kuanzia mwezi huu wa Septemba, 2018.

Kauli hiyo ya Serikali inafuatia maombi ya wafanyabiashara wa mkoa huo walioitaka Serikali kuwalipa wafanyabiashara wanaodai kurejeshewa fedha zao zinazotokana na kufanya biashara zao nje ya nchi pamoja na  wazabuni mbalimbali.

Waziri Mpango amesema kuchelewa kulipwa kwa madai hayo kunatokana na kuwepo kwa udanganyifu mkubwa kwa baadhi ya wafanyabiashara wasiokuwa waaminifu hivyo kutaka kuingizia Serikali hasara kwa kulipa madai hewa. ‘Kuna baadhi ya wafanyabiashara sio waaminifu, mfano tulipofanya uhakiki tuligundua madai hewa ya pembejeo ya zaidi ya Shilingi bilioni 87’, alisema Waziri Mpango.

Dkt. Mpango aliwahakikishia wafanyabiashara wote nchini kuwa serikali itahakikisha inaweka mazingira mazuri ili kila mwananchi mwenye nia njema aweze kufanya biashara halali itakayomletea faida na serikali iweze kukusanya kodi bila ya kumuonea mtu.

Awali Mwenyekiti wa wafanyabiashara Mkoa wa Tanga Bw. Deogratias Ruhinda, alisema kuwa wafanyabiashara hasa wakulima wa zao la Mkonge wanakutana na changamoto kubwa kutokana na serikali kuruhusu na kutoa msamaha wa baadhi ya kodi kwa wafanyabiashara wanaoingiza Kamba za manila hapa nchini, hivyo kulifanya zao la mkonge kutokuwa na soko hapa nchini kutokana na bei ya Kamba hizo za nje kuwa chini ukilinganisha na Kamba zinazotokana na mkonge.

Aidha wafanyabiashara hao waliiomba Serikali kuangalia uwezekano wa kuongeza kina cha Bandari ya Tanga ili meli kubwa ziweze kuja  katika bandari hiyo na kurahisisha usafirishaji wa bidhaa mbalimbali kwenda nje ya nchi tofauti na ilivyo sasa ambapo bidhaa nyingi kutoka Tanga zinasafirishwa kwa kutumia Bandari ya Dar es Salaam au Mombasa jambo linalowaongezea gharama kubwa wafanyabiashara wa Mkoa wa Tanga.

Akijibu hoja mbalimbali za wafanyabiashara hao, Dkt. Philip Mpango, aliwahakikishia kuwa Serikali itazipitia na kuzitolea ufafanuzi kero zote zinazohusu kodi ili kurahisisha biashara na kuweka mahusiano mazuri kati ya wafanyabiashara na Mamlaka ya Mapato Tanzania, hali ambayo itaongeza mapato kwa serikali. Pia amesema Serikali inalifanyia kazi suala la wingi wa kodi anazolipa mfanyabiashara kwa Taasisi mbalimbali za serikali ili kodi hizo ziweze kutozwa sehemu moja  na kupunguza adha wanazopata walipa kodi.

Waziri Mpango aliwataka wafanyabiashara hao kutosita kuishauri serikali njia bora ya kukusanya kodi na kutoa maoni yao jinsi ya tozo mbalimbali zinazotozwa na serikali kwa kuiandikia Mamalaka ya Mapato Tanzania au Wizara ya Fedha na Mipngo ili serikali iweze kuboresha maeneo yenye mapungufu kwa faida ya Taifa. Pia Mh.Waziri amewataka wafanyabiashara kote nhini kushiriki katika mikutano ya sera za kodi inayondaliwa na Wizara ya Fedha na Mipango ambayo huanza mwezi Disemba hadi Januari kila Mwaka.


Serikali Yanunua Mashine Mpya Za Kisasa Za Tiba Ya Mionzi

0
0
Na Fatma Salum – MAELEZO
Serikali kupitia Taasisi ya Saratani ya Ocean Road imenunua mashine mbili mpya za kisasa zenye thamani ya shilingi bilioni 9.56 kwa ajili ya kutoa tiba ya mionzi kwa wagonjwa wa Saratani hapa nchini.

Hayo yamebainishwa jana na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, wakati akizungumzia kuhusu utekelezaji wa wizara hiyo katika kipindi cha Tunatekeleza kilichorushwa na kituo cha Televisheni cha TBC.

“Mashine hizi za kisasa zimeboresha utoaji wa tiba ya mionzi hasa kupunguza muda kutoka wiki 6 hadi wiki 2 kwa mgonjwa mpya wa Saratani ambaye anapaswa kuanza tiba hiyo,” alisema Ummy.

Aidha alieleza kuwa hali ya upatikanaji wa dawa kwa wagonjwa wa Saratani katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Road imeimarika sana kutoka asilimia 4 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 85 mwezi Julai mwaka huu.

Katika hatua nyingine Ummy alisema kuwa Serikali imeboresha huduma za hospitali za rufaa za kanda kwa kufungua majengo mapya na kufunga mashine za mionzi ya tiba ya Saratani katika hospitali za KCMC mjini Moshi, Bugando Jijini Mwanza na Hospitali ya Rufaa ya Mbeya hatua ambayo itasaidia kupunguza msongamano wa wagonjwa katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Road.

Akizungumzia hali ya upatikanaji wa dawa muhimu kwa ujumla katika maeneo yote hapa nchini, Ummy alieleza kuwa katika vituo vya kutolea huduma za afya upatikanaji wa dawa umeimarika hadi kufikia asilimia 89.6 kutoka asilimia 35 mwaka 2015.

Alibainisha kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imeongeza kwa kiasi kikubwa bajeti ya dawa kutoka shilingi bilioni 31 iliyokuwepo mwaka 2015/2016 hadi kufikia bilioni 270 mwaka 2018/2019.

“Katika kuhakikisha dawa hizo zinafika kwenye maeneo yote, Serikali imenunua magari 181 kwa ajili ya kusambaza dawa na hivi sasa dawa zinapelekwa moja kwa moja kwenye kituo cha afya badala ya kupelekwa kwenye makao makuu ya halmashauri kama ilivyokuwa awali,” alisisitiza Ummy.

Pia alisema kuwa Serikali imeimarisha huduma za matibabu ya kibingwa kwa kuboresha miundombinu ya kutolea huduma, ununuzi wa vifaa tiba vya kisasa na hivyo kupunguza rufaa za wagonjwa nje ya nchi kutoka wagonjwa 553 mwaka 2015 mpaka kufikia wagonjwa 103 mwaka 2018.

Alisisitiza kuwa hatua hiyo imewezesha wananchi wengi kupata huduma za kibingwa ndani ya nchi na pia kuokoa fedha nyingi za Serikali.

NGOs Zapewa Mwezi Mmoja Kuwasilisha Taarifa Za Matumizi Ya Fedha Kwa Msajili

0
0
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeyaagiza Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini kuwasilisha kwa Msajili wa Mashirika hayo taarifa za fedha zilizokaguliwa za mwaka 2016 na 2017 ndani ya siku thelathini kuanzia leo Septemba, 28, 2018.

Hayo yamesemwa leo jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari juu ya masuala mbalimbali yanayuhusu Usajili na Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini.

Dkt. Ndugulile  ameyataka pia Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kuwasilisha taarifa inayoonesha miradi iliyotekelezwa kwa fedha iliyopatikana  kwa mwaka wa 2016 na 2017 na kutoa taarifa ya vyanzo vya mapato husika ikiambatana na hati za makubaliano za vyanzo husika kwa kipindi cha miaka hiyo.

Naibu Waziri Dkt. Ndugulile ameeleza kuwa Sera ya Taifa ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali ya mwaka 2001 inasisitiza misingi ya uwazi na uwajibikaji kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini.

Amesisitiza  kuwa kwa mujibu wa Kifungu cha 29(a) na (b) cha Sheria ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali, Na. 24 ya mwaka 2002, Mashirika Yasiyo ya Kiserikali yana wajibu wa kuwasilisha taarifa za kazi na fedha kila mwaka kwa Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali na kwa Umma.

Ameongeza kuwa Kanuni za utendaji za Mashirika Yasiyo ya Kiserikali za mwaka 2008 zinasisitiza uzingatiaji wa misingi ya uwazi na uwajibikaji katika utendaji kazi, masuala ya fedha na utawala hivyo wanufaika wa miradi yao, Halmashauri wanapofanya miradi na vyombo vya habari wana haki ya kupata taarifa hizo.

Dkt. Ndugulile ameeleza kuwa pamoja na kuwepo kwa miongozo hiyo bado Mashirika Yasiyo ya Kiserikali mengi yamekuwa yakikiuka matakwa husika hivyo kuleta mkanganyiko katika jamii.

“Serikali itaendelea kufuatilia na haitosita kuchukua hatua kali za kisheria ikiwemo kuzifutia usajili NGOs ambazo zitashindwa kutekeleza agizo hili ndani ya muda uliopangwa” alisisitiza Dkt. Ndugulile.

Pia Dkt.Ndugulile ameziagiza NGOs nchini zizingatie ushiriki wa wazawa wa ndani katika miradi wanayoitekeleza kwa mujibu wa Sheria, kanuni na taratibu za uendeshaji wa shughuli za NGOs hapa nchini.

Aidha Dkt. Ndugulile ameyataka Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kutuma taarifa zao za fedha na za miradi kila mwaka kama ilivyoagizwa kupitia barua pepe ifuatayo dngo@communitydevelopment.go.tz .

Maagizo haya kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali yanakuja siku chache mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kumuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, JInsia, Wazee na Watoto (anayeshughulikia Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto) Dkt. John Jingu kufuatilia utendaji kazi wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini wakati alipokuwa akimuapisha kuwa Katibu Mkuu huyo katika Ikulu ya Chamwino Dodoma.

Ofisa JWTZ asakwa kwa kusababisha vifo

0
0
ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), John Soko (25), anatafutwa na polisi kutokana na kusababisha mauaji ya watu watatu baada ya gari lake kupinduka.

Soko ambaye ni askari katika kikosi kimoja mjini Arusha, ambaye yuko likizo, alipinduka na gari aina ya Toyota Brevis lenye namba za usajili T920 DGH alilokuwa akiendesha na kusababisha vifo hivyo katika tukio lililotokea juzi katika kijiji cha Ligunga, wilayani hapa.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ruvuma, Jemen Mushy, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa baada ya tukio hilo, hiyo afisa huyo alikimbia na kutokomea kusikojulikana.

Kamanda Mushy alisema katika tukio hilo, ofisa huyo alikuwa akitokea katika Hositali ya Misheni ya Kiuma kuchukua mwili wa marehemu Msusa Mtetechi baada ya kuombwa na wanafamilia hao.

Alisema akiwa njiani ofisa huyo aliendesha gari kwa mwendokasi hali ambayo ilimfanya ashindwe kulimudu baada ya kuyumba na kupinduka mara tatu na kusababisha vifo vya watu hao.

Kamanda Mushy aliwataja waliopoteza maisha katika ajali hiyo kuwa ni Issa  Mtonyole (51), Fatuma Abeid (70) na kaka wa dereva huyo aliyetambulika kwa jina la Mbalale Hassan (31).

Kutokana na ajali hiyo, Kamanda Mushy amewataka wananchi ambao wana taarifa zake alikokimbilia mtuhumiwa huyo, kutoa taarifa zitakazosaidia kukamatwa kwa askari huyo na kuwezesha sheria kuchukua mkondo wake.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa ya Septemba 29

Mkebe Spesho Wa Dawa Ya Mitishamba Yenye Uwezo Mkubwa Wa Kumsaidia Mtu Aliyeathirika Na Upungufu Wa Nguvu Za Kiume

0
0
Je, Unamatatizo haya na yamekusumbua kwa muda mrefu bila kupata tiba?

Wanaume wengi wanaupungufu wa nguvu za kiume. na kuwa na maumbile madogo ya kiume. 

Magonjwa kama. kisukari. presha, ngiri, kolodani kuvimba busha tumbo kuunguruma kujaa ngesi na kutopata choo vizuri , punyeto nk huchangia kwa kiasi kikubwa upotevu wa nguvu za kiume 

Tumia dawa nzuri ya mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe na miaka 80 ,    inatibu na kuponyesha matatizo haya yote         

 SUPER SHAFT;  ni dawa yenye uwezo mkubwa wa kuogeza nguvu za kiume mara dufu na maumbile madogo ya uume                                    
 (1) itakufanya uwe na nguvu za ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa                                        
 (2) inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka.                           
 (3) itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 na kuimalika uume zaidi                                  
(4) pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa 
    
NYATI POWER; inarefusha na kunenepesha uume saizi utakavyo kuazia 1_8 unene  sm 2_4 
(1) inaimalisha mirija ya uume iliyo legea ama kusinyaa                                                                       
(2) inasaidia kusafisha mirija ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuongeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume                        
(3) Husaidi kuurudisha nje uume uliyoigia ndani      
(4) inasaidia kuongeza manii nyingi ambazo zina viini vya uzazi                                                              
(5) Husaidia kutibu madhara ya punyeto matumizi makari ya madawa ya kizungu mirungi bangi na sigara

Tunatibu Magonjwa Yote Sugu Ngiri Kolodani Kuvimba Busha Bila Kufanyiwa Opresheni Tezi Dume Kisukari Presha Aina Zote Ugonjwa Wa Moyo Kwikwi Kichomi Miguu Kufa Ngazi Nk

Tunapatikana Magomeni Mikumi Karibu Na Kanisa Katoriki La Roma

Tumaini Tradition Clinc Ndiyo Sululisho La Matatizo Tote 

PIGA SIMU 0745_495181 AU  0682_ 644040                               
WOTE MNAKARIBISHWA TUMAINI TRADITION CLINC 
 
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images