Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Bushoke awalilia wahanga wa MV Nyerere kwa wimbo huu wenye hisia


Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218,0789289945. TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya musanga

Diamond Platnumz: Mwili Wangu ni Juisi, Najua Unautaka Lakini Huwezi Kukabiliana na Stress

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz ameibuka na kueleza kuwa mwili  wake ni sawa na juice, anajua kuna ambao wanahitaji lakini hawatoweza kukabiliana na msongo wa mawazo. 

Kupitia ukurasa wake Instagram.

"You know this Body is Juicy!!!....and i know you want it..... but don't get fooled, you won't handle the stress!!!"

Hivi karibuni Diamond alikuwa kwenye mvutano na Hamisa Mobetto ambaye ni mzazi mwenzie, kwa kile kilichoelezwa kuwa alikuwa akihitaji kuoelewa naye. 

Hii ni baada ya hapo awali muimbaji huyo kuachwa na mzazi mwenzie pia Zari The Bossladay.

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Kusinyaa Na Kudumaa Kwa Maumbile Ya Kiume

$
0
0
Wanaume  wanao  jihusisha  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu  husalia  kuwa  na  maumbile  ya  kiume  yaliyo  sinyaa  na  kudumaa.

Kwa mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  huathiri  na  kuharibu  mishipa  na  misuli  ya  uume na  hivyo kusababisha  kujengeka  kwa  mafuta na  tishu  zisizo vutika  kwenye  mishipa  ya  ateri na  hivyo  kuzuia  mishipa ya  ateri  kupanuka na  kuongezeka  pamoja  na  damu  kutiririka  kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.

Mambo  hayo  mawili yanapotokea  huathiri  uzalishaji  wa homoni muhimu  zinazo  husika  na ukuaji wa misuli ya  uume, na hatimaye  hufanya  uume  wa  mhusika  kudumaa, kusinyaa, kunywea  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuufanya  uonekane  kama wa  mtoto.

 Homoni  hizo hujulikana   kitaalamu kama  HGH  na  huzalishwa  kwenye  ini.

Sababu nyingine   inayo  tajwa  na  wataalamu  ni kwamba, mtu  anaye fanya punyeto   hutumia  akili,  nguvu na  nishati  nyingi sana, jambo ambalo  huathiri utendaji  wa  ogani  nyingine  muhimu  katika  mwili , likiwemo  ini.

Na kwamba  ini  linapo kosa  nishati   ya kutosha  hushindwa  kufanya kazi  zake  vizuri  na  moja  kati  ya  kazi kubwa  za  ini  ni  pamoja  na  uzalishaji  wa  homoni  zijulikanazo  kitaalamu kama  HGH  ambazo  kama  ilivyo andikwa  hapo juu, zinahusika na  kuchochea  ukuaji  wa  sehemu mbalimbali  katika  mwili  wa  mwanadamu  ikiwemo   misuli  ya  uume.

Mbali na  kuathiri  utendaji  wa  ogani  nyingine  mwilini, upigaji  punyeto  husababisha  athari nyingine  kwenye  mwili wa  mwanadamu  kama  vile uchovu  sugu  wa mwili  pamoja na kunyonyoka kwa  nywele.

Athari nyingine  za  upigaji punyeto  ni  pamoja  na  kupoteza  kumbukumbu, kuwahi  kufika  kileleni  ambako  husababishwa  na  kulegea  kwa  mishipa  ya  ateri, kushindwa  kurudia  tendo  la  ndoa, kukosa  hamu  ya  tendo  la  ndoa, uume  kusimama  katika  hali  ya  ulegelege,   maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa  husuani  wakati  wa  kurudia  tendo  la pili na    mara  baada  ya  tendo  la  ndoa  la  kwanza.

KWANINI   WATU WENGI  WANAO  JIHUSISHA  NA  UPIGAJI  PUNYETO  WANA  MAUMBILE  MADOGO  YA  KIUME YALIYO  DUMAA, SINYAA  NA  KURUDI NDANI.

Uzeofu  unaonyesha  kuwa,  asilimia  kubwa  ya  wanaume  ambao  wamewahi  kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu, wanakabiliwa  na  tatizo  la kuwa  na  maumbile  ya  kiume yaliyo dumaa, sinyaa  na  kurudi ndani.

SABABU  KUBWA   NI  HII  HAPA
Sababu  kubwa  ni kwamba   vijana wengi  wa  kiume, huanza  kujihusisha  na  punyeto   wakiwa  na  miaka  kumi  na sita , kumi na  saba  au  chini  ya  hapo.

Hiki ni  kipindi  ambacho  vijana  hawa  ndio  wanakuwa  wamebalehe.

Na kwa mujibu  wa  tafiti  za kisayansi, katika  kipindi  hiki cha  balehe  ndio  kipindi  ambacho  homoni za  HGH  ambazo huhusika  na  ukuaji  wa  sehemu  mbalimbali  za  mwili  ikiwemo  maumbile ya  kiume, huzalishwa  kwa wingi.

Kama  tulivyo ona  hapo  juu, upigaji  punyeto  huathiri  uzalishwaji  wa   homoni  hizo.

Mwisho wa  siku  maumbile  ya  kiume  ya  wahusika, hushindwa  kukua  na  kuishia  kudumaa na  kusinyaa.

Na  hii ndio  sababu  kubwa  wanaume  wanao  kabiliwa  na  tatizo  hili  husalia  kuwa  na  maumbile yenye  ukubwa  ule  ule  walio kuwa  nao wakati wa  kubalehe

NINI  TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  KUDUMAA, KUSINYAA  NA  KURUDI NDANI KWA  MAUMBILE  YA  KIUME.
Kama uume wako  umedumaa, sinyaa, legea, nywea  na  kurudi ndani  kwa  sababu  ulifanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  na  unataka  kuondokana  na  hali  hiyo. HII  NI HABARI NJEMA  SANA  KWAKO! 
 
Ipo dawa  ya ASILI   ambayo  HUTIBU  na  KUPONYESHA  KABISA  tatizo la  KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA  NA  KURUDI NDANI  KWA MAUMBILE  YA  KIUME kunako  tokana  na  ufanyaji  punyeto  wa  muda  mrefu.
 
Ni  dawa  ya  asili  kabisa ambayo  hutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la kudumaa  na  kusinyaa  kwa  uume  ndani ya siku thelathini.

JINSI YA  KUPATA  TIBA  HII : Kupata  tiba  hii  fika  ka6ika  duka  la  kuuza  dawa  za  aslili  la  NEEMA  HERBALIST.  Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

Kwa wateja  waliopo  jijini  Dar  Es  Salaam  ambao  hawana  nafasi  ya  kufika  ofisini  kwetu  watapelekewa  dawa  mahali  walipo  ( HOME & OFFICE  DELIVERY )  na kwa  wateja  waliopo  nje  ya  mkoa  wa  Dar  Es  Salaam  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabus  au  boti  kwa  waliopo  Zanzibar.

Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba  :    0693  005 189.

BREAKING: Mbunge Nape Nnauye apata ajali

$
0
0
Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi, Nape Nnauye amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akilitumia aina ya Land Cruiser VX (nyeupe) lenye namba za usajili T349 DEL, kupata ajali na kupindukua asubuhi ya leo Septemba 24, 2018.

Nape amepata ajali hiyo wakati alipokuwa anaelekea wilayani Liwale kuungana na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Taifa Dkt. Bashiru Ally anayezuru wilayani Liwale

Aidha, inadaiwa hakuna madhara makubwa yaliyotokea kwa waliokuwa ndani  ya gari ambapo kwa sasa Mbunge Nape amepatiwa usafiri mwingine ili kusudi aweze kuendelea na safari yake ya kuelekea wilayani Liwale.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, Renatha Mzinga amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema wameanza kuchunguza chanzo cha ajali hiyo licha ya kuwa eneo lililotokea ajali hakuna hitilafu ya aina yoyote

Updates: Waziri Mkuu amsimamisha kazi Mtendaji Mkuu wa TEMESA kupisha uchunguzi wa Ajali ya MV Nyerere

$
0
0
Kufuatia ajali ya kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere iliyotokea tarehe 20 Septemba, 2018 katika ziwa Victoria, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mtendaji Mkuu wa Temesa, Dr. Mussa Mgwatu kupisha uchunguzi.

Jana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliivunja Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA).

Bodi hiyo iliyo chini ya Mwenyekiti wake Brigedia Jenerali Mstaafu Mhandisi Mabula Mashauri ilivunjwa kuanzia tarehe 23 Septemba, 2018 wakati kamati ya uchunguzi kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama vikiendelea na uchunguzi wa ajali hiyo iliyotokea Mwanza.

Kutokana na ajali hiyo, Waziri Mkuu Majaliwa amesema Rais Magufuli  ameagiza kuitishwa kwa zabuni ya kutengeneza kivuko kipya cha uzito wa zaidi ya tani 50 na uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 200 ili kichukue nafasi ya Mv Nyerere wakati kikiendelea na matengenezo. 

BREAKING: Hii Ndo Tume Iliyoteuliwa na Waziri Mkuu Kufanya Uchunguzi Ajali ya MV Nyerere....Itaongozwa na Jenerali mstaafu, George Waitara

$
0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza tume ya kuchunguza ajali ya Kivuko cha Mv Nyerere, kilichozama Septemba 20 mwaka huu, Ukerewe jijini Mwanza na kusababisha vifo vya watu 224.

Majaliwa ameitangaza tume hiyo ya wajumbe saba itakayoongozwa na Jenerali mstaafu, George Waitara leo Jumatatu Septemba 24, katika Kijiji cha Bwisya, wilayani Ukerewe alipokwenda kushuhudia shughuli ya kunasua miili iliyobaki katika kivuko hicho.

Amesema tume hiyo itaanza kazi mara moja na itafanya kazi kwa muda wa mwezi mmoja.

Aidha, Waziri Mkuu amewataja baadhi ya wajumbe watakaokuwa katika tume hiyo ambao ni Mbunge wa Ukerewe,  Joseph Mkundi, aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Temesa, Mhandisi Celina Magessa na Wakili Julius kalolo ambaye atasaidia mapitio ya sheria na mfumo mzima wa uendeshaji wa vivuko.

“Lakini yumo pia Katibu Mkuu wa UWT, Queen Mlozi kwa ajili ya kusimamia stahili na kina mama, aliyekuwa Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, Bashiru Hussein kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia maafa .Wajumbe hao wanaanza kazi mara moja, waje niwape hadidu za rejea,” amesema Waziri Mkuu.

Updates: Mwili Mwingine Waonekana Ukielea Ajali Mv Nyerere

$
0
0
Mwili mmoja wa mtoto umepatikana saa nne asubuhi hii, wakati wazamiaji wakiweka sehemu ya chini Maputo (boya) yanayojazwa upepo ili kukiinua kivuko cha MV Nyerere, eneo la Bwisya kisiwani Ukara, jijini Mwanza.

Kazi ya kukinyanyua kivuko hicho  kilichozama Alhamisi iliyopita na kusababisha vifo vya watu  225 ilianza jana  Jumamosi Septemba 23.

Kazi hiyo inafanywa na kampuni ya Songoro Marine chini ya usimamizi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

Akizungumza mbele ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika Kijiji cha Bwisya Kisiwa cha Ukara kilipozama kivuko hicho, mtaalamu kutoka kampuni hiyo, Meja Songoro alisema hatua ya kwanza itakuwa kuingiza hewa ndani ya kivuko ili kuyatawanya maji na kuanza kukivuta.

“Kivuko kinaendelea kuelea kwa sababu kuna hewa ndani yake. Wakati kinageuka (kupinduka) kilichota maji, tutaanza kuingiza hewa kutoa maji na kuanza kukivuta. Tutakapoanza kuyatawanya maji hayo, pia tutapeleka boya na hii itafanya chombo kizidi kuja juu. Baada ya hapo tutakisogeza taratibu hadi kwenye maji mafupi.”

 
Usisahau Kuinstall  Andoid Applicatuion yetu ili kupata habari zetu kwa haraka zaidi. Ingia Playstore, search Mpekuzi.

MBEYA: Mwanafunzi Atiwa Mbaroni Kwa Kutupa Mtoto Chooni....Mwingine Akamatwa kwa Kumuua Ndugu yake kisa Redio

$
0
0
 KUTUPA MTOTO – JIJINI MBEYA.
JESHIi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mwanamke mmoja ambaye amefahamika kwa jina la INES MTUNDU [19] Mwanafunzi wa Kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari Isengo kwa kosa la kumtupa chooni mtoto mchanga wa masaa kadhaa.

Tukio hilo limetokea mnamo tarehe 23.09.2018 majira ya saa 09:53 asubuhi huko maeneo ya Isengo – Airport ya zamani, Kata ya Iyela, Tarafa ya Iyunga, Jijini Mbeya. Inadaiwa kuwa mwanafunzi huyo alikuwa mjamzito na mara baada ya kujifungua chooni ndipo alimtupa mtoto huyo.

Mara baada ya taarifa kulifikia Jeshi la Polisi, jitihada za haraka zilifanyika kwa kushirikiana na Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji na kufanikiwa kumuokoa mtoto huyo akiwa hai. Mama na mtoto huyo wote wapo Hospitali ya Wazazi – Meta wakipatiwa matibabu. Upelelezi unaendelea na mara baada ya kukamilika mtuhumiwa atafikishwa Mahakamani.

KUPATIKANA NA BHANGI – KYELA.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mtu mmoja ambaye amefahamika kwa jina la GOLIATH EMANUEL [43] Mkazi wa Kasumulu Wilaya ya Kyela akiwa na dawa za kulevya aina ya bhangi debe sita nyumbani kwake.

Mtuhumiwa alikamatwa mnamo tarehe 22.09.2018 majira ya saa 23:47 usiku huko Kasumulu, Kata ya Ngana, Tarafa ya Unyakyusa, Wilaya ya Kyela katika msako uliofanyika maeneo hayo. Mtuhumiwa alikuwa ameificha bhangi hiyo katika mifuko ya salfeti nyumbani kwake. Upelelezi unaendelea na mara baada ya kukamilika mtuhumiwa atafikishwa Mahakamani.

MAUAJI – CHUNYA.
Mnamo tarehe 22.09.2018 majira ya saa 15:00 alasiri huko katika kitongoji cha kasisi, kijiji cha nkwangu, kata ya upendo, tarafa ya kipembawe, wilaya ya chunya, mtu mmoja aitwaye LUTONJA LUKELESHA [33] Mkazi wa Kasisi alifariki dunia akiwa anajipatia matibabu kienyeji nyumbani kwake.

Inadaiwa kuwa marehemu alipigwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na kukanyagwa kwa miguu kifuani na tumboni siku ya tarehe 12.09.2018 majira ya saa 12:09 mchana huko kijiji cha Kasisi na kaka yake aitwaye MASANILA LUKELESHA [45] Mkazi wa Kasisi akiwa na wenzake wawili.

Chanzo cha tukio hili ni tuhuma za wizi wa radio ndogo yenye thamani ya Tshs 15,000/= ya mmalila mchoma mkaa ambaye jina lake halisi bado kufahamika. Mtuhumiwa mmoja MASANILA LUKELESHA amekamatwa na msako mkali wa kuwatafuta watuhumiwa wengine wawili waliokimbia unaendelea.

Katika kudhibiti ajali za barabarani, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea na doria katika maeneo ya mlima nyoka [barabara kuu ya Mbeya-Njombe-Iringa], mlima iwambi [barabara kuu ya Mbeya – Tunduma], mlima Igawilo [barabara kuu ya Mbeya – Tukuyu] na Kawetele [barabara kuu ya Mbeya – Chunya]. Aidha katika operesheni ya kukamata bajaji zinazokiuka sheria za usalama barabarani ndani ya Jiji la Mbeya kuanzia mwezi Julai hadi Septemba 2018 jumla ya bajaji 170 zimekamatwa, madereva 31 wamefikishwa Mahakamani na bajaji 91 zimelipa tozo sawa na Tshs.2,730,000/= na bajaji 75 bado zipo kituoni kwa hatua zaidi za kisheria na watuhumiwa 14 wapo rumandewakiendelea na mashauri yao.

Imesainiwa na:
[ULRICH O. MATEI - SACP]
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA.

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE;LUKUBA 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO   0658920640/ 0754372325 / 0620806813
 
HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

$
0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za Kupandisha nyota , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Polisi yaua Watuhumiwa Watatu Wakijaribu Kutoroka

$
0
0
Polisi wilayani Nkasi, mkoani Rukwa, imewaua kwa kuwapiga risasi watu watatu wakati wakijaribu kutoroka wakiwa chini ya ulinzi.

Tukio hilo lilitokea Septemba 20, mwaka huu saa 5 usiku katika Barabara ya Nkundi kuelekea Kijiji cha Kate, wilayani humo, baada ya watu hao waliokuwa wakituhumiwa kufanya mauaji ya watu sita kwa kuwakata mapanga na mashoka baada ya kuruka katika gari la polisi na kutaka kukimbia.

Akitoa taarifa ya tukio hilo mwishoni mwa wiki, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, George Kyando, aliwataja waliouawa kwa kupigwa risasi na polisi kuwa ni Nching’wa Njige (44), Dashina Ngeseyamawe (46) ambao ni wakazi wa Kijiji cha Ntalamila pamoja na Joseph Jiuke(34) mkazi wa Kijiji cha Chonga.

Alisema watu hao walikuwa wamepakiwa kwenye gari la polisi ili waende kuonesha watuhumiwa wenzao ambao walikuwa wakitafutwa kwa kushiriki kufanya mauaji ya watu sita kwa kuwakata mapanga na shoka kutokana na imani za kishirikina.

Kamanda Kyando alisema waliokuwa wanatafutwa ni Mabula Sokoni, Said Tongela pamoja na mganga wa jadi, John Luchwela ambaye aliwapa dawa ili wasikamatwe baada ya kufanya mauaji hayo.

Wakiwa wanaelekea wanakopatikana watuhumiwa hao wengine, ndipo waliporuka katika gari la polisi ili watoroke kitendo kilichosababisha polisi kuwafyatulia risasi.

Kabla ya kuuawa kwa watuhumiwa hao waliokamatwa kufuatia msako ulioanza Julai 1 na walipohojiwa na polisi walikiri kufanya mauaji ya watu sita kwa kuwakata mapanga na mashoka.

Waliwataja  waliowaua kuwa ni Naomi Ng’wanamayunga, mkazi wa Kijiji cha Ntuchi,  Samweli Seki, mkazi wa Kijiji cha Ntalamila, Jibuta Majebele, mkazi wa Kijiji cha Mkole, Odoviko Sumuni, Salome Kisinza, wakazi wa Kijiji chalachima na Said Matenga mkazi wa Kijiji cha Mwai kwa madai kuwa ni wachawi.

Awali kabla ya kuuawa kwa kupigwa risasi na polisi, watu hao katika mahojiano walikiri pia kuwaua watu zaidi ya 15 kwa nyakati tofauti katika mikoa ya Rukwa, Katavi na Simiyu.

BREAKING: Soudy Brown, Shaffih Dauda na watuhumiwa wengine Wafikishwa Mahakamani

$
0
0
Leo Septemba 24, 2018 Watangazaji wa Clouds Media, SoudyBrown, Shaffih Dauda, Msanii Maua Sama, Mpiga Picha, MX, Mshereheshaji MC Luvanda na watuhumiwa wengine wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Septemba 24, 2018, kwa ajili kusomewa mashitaka yanayowakabili.

Washatakiwa hao walishuka kwenye karandinga la Jeshi la Polisi wakitokea Kituo Kikuu cha Polisi (Central) walikokuwa wameshikiliwa huku wakiwa wamevalia kininja kuficha nyuso zao.

Soudy Brown na Maua Sama wanashikiliwa na jeshi hilo kwa tuhuma za udhalilisha nembo ya taifa baada ya kusambaa clips za video zinazowaonyesha watu wakichezea pesa halali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Watuhumiwa wengine wanashikiliwa na jeshi hilo kwa kosa la kuchapisha maudhui kwenye mitandao ya kijamii wanayomiliki (Blogs na YouTube) bila kuwa na kibali kutoka Mamalaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).


Kesi yao ya maombi ya dhamana inatarajiwa kusikilizwa leo mbele ya Hakimu Mkazi, Huruma Shaidi.


Tazama Video hapo chini

Shafii Dauda Kaachiwa Kwa Dhamana

$
0
0
Mtangazaji Shafii Dauda  na  mwenzake Benedict Kadege  wameshitakiwa kwa kosa la  kutuma maudhui mtandaoni bila kuwa na kibali. Walipandishwa kizimbani leo mchana Jumatatu Septemba 24, 2018.

Wakili wa serikali Mkuu,  Tumaini Kweka akishirikiana na mawakili Mutalemwa Kishenyi na Mwanaamina Kombakono wamewasomea shtaka hilo washtakiwa hao mbele ya hakimu Mfawidhi, Kelvin Mhina.

Akisoma shtaka hilo wakili Kombakono amedai  kati ya Juni 14  hadi Septemba, 2018 jijini Dar es Salaam kwa kutumia online Tv inayojulikana kwa jina la Shafii Dauda,   kinyume cha sheria  walitoa maudhui katika mtandao huo bila ya kuwa na kibali kutoka mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).

Baada ya kusomewa shtaka hilo washtakiwa hao walikana na upande wa mashtaka umedai kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika.

Hata hivyo,  wakili Jebra Kambole anayewatetea washtakiwa hao ameomba wateja wake wapewe dhamana kwa sababu shtaka linadhaminika.

Kweka amedai hawapingi kutoa dhamana ila kama mahakama itaridhia kutoa dhamana izingatie kifungu cha 148 (6)(7) cha sheria ya makosa ya jinai.

Akitoa masharti ya dhamana kwa washtakiwa hao,  Hakimu Mhina alimtaka kila mshtakiwa kuwa na wadhamini wawili kwenye vitambulisho vya kuwatambulisha na barua ambazo zinatambulika.

Pia,  kila mdhamini alitakiwa kusaini bondi ya Sh15milioni na kutoruhusiwa kusafiri nje ya Tanzania bila kupata kibali cha mahakama huku wakitakiwa Oktoba 8, 2018 kuwasilisha mahakamani hati zao za kusafiria.

Washtakiwa hao wamepata dhamana na kesi hiyo imeahirishwa hadi  Oktoba 8, 2018 itakapotajwa tena.

Rais Magufuli Apokea Taarifa Ya Utekelezaji Wa Mradi Wa Kufua Umeme Wa Stiegler”s Gorge Ikulu Jijini Dar Es Salaam Leo

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na viongozi waandamizi wa serikali wanaosimamia utekelezaji wa mradi wa kufua umeme katika Mto Rufiji wa Stiegler’s Gorge wakisimama kwa dakika kadhaa kuwakumbuka marehemu waliopoteza masiha kwenye ajali ya kivuko cha MV Nyerere huko Ukara wilayani Ukerewe mkoa wa Mwanza majuzi. 

Hii ilikuwa ni kabla ya kuanza kwa kikao kazi ambapo alipokea taarifa ya maendeleo ya utekelezaji wa mradi huo Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 24, 2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na viongozi waandamizi wa serikali wanaosimamia utekelezaji wa mradi wa kufua umeme katika Mto Rufiji wa Stiegler’s Gorge pamoja na wataalamu wakati wa  kikao kazi ambapo alipokea taarifa ya maendeleo ya utekelezaji wa mradi huo Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 24, 2018.

Jishindie Gari la Bure Toka Japan.....Kushiriki Ni Bure Kabisa

CCM Yatoa Mil. 10 Kwa Ajili Ya Kusaidia Wahanga Wa Ajali Ya Mv Nyerere

$
0
0
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimetoa kiasi cha Sh. 10 milioni kwa ajili ya kusaidia wahanga wa ajali ya MV Nyerere iliyotokea tarehe 20 Septemba 2018.

Fedha hizo zimekabidhiwa kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi, Isaack Kamwele na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole.

Makabidhiano hayo yalifanyika  katika kijiji cha Bwisya kisiwani Ukara, Septemba 24, 2018 na kushuhudiwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Soudy Brown Ashitakiwa Kwa Kosa la Kurusha Maudhui Mtandaoni Bila Kusajiliwa....Arudishwa Cetral Polisi

$
0
0
Kesi inayomkabili mtangazaji wa Clouds Media Soudy Brown, leo imesikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, upande wa utetezi ukiwakilishwa na Wakili Peter Kibatala akisaidiana na Wakili Maghimbi.

Katika maelezo ya awali Soudy Brown anashtakiwa kwa kosa la kurusha maudhui kupitia akaunti yenye jina la Shilawadu ambayo haijasajiliwa

Baada ya Hakimu kusikiliza kesi hiyo upande wa utetezi umeomba mshtakiwa apewe dhamana ambapo Hakimu amekubali hivyo mshtakiwa ametakiwa kuwa na mdhamini mmoja na bondi ya shilingi milioni 2, kesi hiyo imeahirishwa hadi Octoba 18, 2018.

Hata hivyo, Soudy Brown bado anashikiliwa na amerudishwa tena  polisi  Central kwa kuwa ana kesi nyingine ya kujibu inayomhusu yeye pamoja na Msanii Maua Sama ambaye hakuletwa mahakamani leo.

Uteuzi Wa Wagombea Ubunge Katika Jimbo La Liwale Na Udiwani Katika Kata 37

$
0
0
Tume ya Taifa ya Uchaguzi  ilitangaza tarehe 13 Septemba 2018 kuwa siku ya uteuzi wa wagombea Ubunge  katika jimbo la Liwale Mkoani Lindi  na tarehe 21 Septemba 2018  kuwa siku ya uteuzi kwa wagombea Udiwani katika  kata 37 zilizopo katika Hamashauri ishirini na saba na mikoa kumi na tatu ya Tanzania Bara.  

Hata hivyo, baada ya uteuzi huo Tume imepokea malalamiko kupita vyanzo mbalimbali  juu ya kutotendewa haki kwa baadhi ya wagombea Udiwani katika baadhi ya maeneo yenye chaguzi hizo.

Tume, imefanya ufuatiliaji na kupokea taarifa za awali kutoka kwa baadhi ya  wasimamizi wa uchaguzi kwenye maeneo  yanayolalamikiwa.

Kwa mujibu wa maelezo ya wasimamizi hao wagombea ambao hawakuteuliwa ni kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo kuwekewa pingamizi, kutorejesha fomu siku ya uteuzi, kujitoa baada ya kuteuliwa na baadhi kutotimiza masharti ya  uteuzi ambayo ni ujazaji wa fomu za uteuzi kikamilifu na kutotimiza idadi ya wadhamini inayokubaliwa kisheria.

Maeneo ambayo wagombea wake wamewekewe Pingamizi na wagombea wenzao ni pamoja na kata ya Kibutuka  Halmshauri ya wilaya ya Liwale, Kata ya Ruvu Halmashauri ya Wilaya Kibaha, Kata ya Njianne Halmasahuri ya wilaya Mkuranga, Kata ya Jibondo na Kilindoni Mafia na  Kata ya Ikwiriri  Halmashauri ya Rufiji, ambapo ni Wagombea wa CUF waliowekewa Pingamizi.

Aidha, katika Halmashauri zote ambazo wagombea wa CHADEMA walichukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya udiwani hawakurejesha fomu hizo kwa ajili ya uteuzi.

Vile vile, Baadhi ya  wagombea mfano Mgombea wa CUF kata ya Ruaruke, Wagombea ACT WAZALENDO na CUF katika  kata ya Mailimoja  na Mgombea wa ACT WAZALENDO katika kata ya Mbwawa zote kutoka Halmashauri ya Mji wa Kibaha hawakuteuliwa kwa sababu hawakurejesha fomu za uteuzi.

Wengine ambao hawakurejesha fomu ni mgombea wa CUF kata ya Kisiju Halmshauri ya Mkuranga, mgombea wa CUF na mgombea TLP  kata ya Mjimwema Halmashauri ya Kigamboni.

 Aidha, katika kata  ya  Kagando wagombea wa CUF,TLP NCCR-MAGEUZI  na ACT WAZALENDO na  Kata ya Hamugembe Mgombea wa CUF wote wa  Halmashauri ya  Manispaa ya Bukoba hawakurejesha fomu ili wateuliwe.

Vile vile, katika Halmashauri ya Kakonko kata ya Rugenge mgombea wa CUF hakurejesha fomu na mgombea wa NCCR-MAGEUZI Katika Halmashauri ya Sumbawanga kata ya Ikozi hakurejesha fomu pia.

Katika Halmashauri ya wilaya ya Geita wagombea wa Vyama CCK na ADC hawakurejesha Fomu kwa Msimamizi wa Uchaguzi kata ya Nyankumbu, wakati huo huo wagombea wa CUF na NCCR-MAGEUZI kata ya QURUS hawakurejesha fomu za uteuzi. Wakati katika Halmashauri ya Monduli Mji mgombea wa ACT WAZALENDO hakurejesha Fomu.

Baadhi ya wagombea  hawakuteuliwa kwa kuwa hawakujaza fomu za uteuzi kikamilifu ikiwemo kutotimiza idadi ya wadhamini  na wengine kutodhaminiwa na Vyama vyao vya Siasa. Mfano; Wagombea wa CUF katika kata za Jibondo na Kilindoni Halmashauri ya wilaya Mafia, wagombea wa CUF na ACT WAZALENDO Kata ya Mabatini Halmashauri ya Nyamagana hawakuteuliwa kutoka na mapungufu haya.

Vile vile, kuna baadhi ya wagombea waliojitoa baada ya uteuzi, hili limejitokeza katika Halmashauri ya Babati mji ambapo mgombea wa CUF kata ya Sigino alijitoa baada ya kurejesha fomu kabla ya muda wa uteuzi kumalizika, na pia Halmashauri ya Geita Mji kata ya Nyankumbu ambapo wagombea wa ACT WAZALENDO na CUF walijitoa pia baada ya kuteuliwa.

Kwa ujumla hiyo ni taarifa ya awali katika zoezi la uteuzi wa wagombea Ubunge na Udiwani katika kata 37 uliofanyika katika  maeneo mbalimbali yenye uchaguzi. Katika Uchaguzi huu vyama vya ACT WAZALENDO, CCM, CUF, DP, NCCR –MAGEUZI, NRA na SAU vitashiriki kwa kuwa vimesimamisha wagombea.

Taarifa kamili kuhusu  zoezi la uteuzi ikiwemo matokeo ya rufaa  itatolewa hapo baada  mchakato wote kukmilika.

Imetolewa na,
Mkurugenzi wa Habari na Elimu kwa Umma Tume ya Taifa ya uchaguzi
23 Septemba 2018
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images