Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Hamissa Mobetto Ataja Sababu za Kublock Diamond

0
0
Mwanamitindo Hamisa Mobetto ameeleza sababu ya kum-block Diamond Platnumz kwenye ukurasa wa Instagram wa mwanae.

Kwenye Mahojiano na The Playlist ya Times FM, Hamissa amesema amefikia uamuzi huo kutokana na Diamond kumuingiza mtoto kwenye mambo yao na pia kushindwa kumuheshimu.

"Kwenye page ya mtoto sio kumfuta tu mpaka kum-block kwa sababu anakuwa kama mtu hajielewi, hata we have issues usimuingize mtoto ama mama mtoto wako,' amesema.

"Unajua sisi kwetu wanasema jitahidi umsitiri mtu aliyekuzalisha, mtu uliyemzalia ama mke wako wa ndoa, mume wako wa ndoa kwa sababu aibu yake ni ni yako pia," amesema Hamisa Mobetto.
 
Hamisa Motto ni mama wa watoto wawili, mmoja akiwa amezaa na Diamond Platnumz.

Rais Magufuli Ashiriki Ibada Ya Misa Takatifu Na Kukutana Na Baadhi Ya Askari Wa Usalama Barabarani Ikulu

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Askari wa Usalama barabarani (Trafiki),alipopata nao chai ya asubuhi mara baada ya kutoka kushiriki Ibada ya Misa Takatifu katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Osterybay Jijini Dar es salaam.Septemba 23,2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata chai ya asubuhi na baadhi ya Askari wa Usalama barabarani (Trafiki) Ikulu Jijini Dar es salaam mara baada ya kushiriki Ibada ya Misa Takatifu katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Osterybay Jijini Dar es salaam.Septemba 23,2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkewe Janeth Magufuli pamoja na Mke wa Waziri mkuu Mama Mary Majaliwa walipoungana na waumini wengine kusali Ibada ya jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay Jijini Dar es Salaam.Septemba 23,2018. 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mkono wa amani na mmoja wa  Masista wakati wa Ibada ya jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay Jijini Dar es Salaam.Septemba 23,2018. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipewa mkono wa pole na Paroko msaidizi Padre Batholomeo Bachoo kwa niaba ya Waumini wa Parokia hiyo kufutia ajali ya Kivuko cha Mv Nyerere iliyotokea katika Ziwa Victoria Septemba 20,2018.Wakati wa Ibada ya jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay Jijini Dar es Salaam.Septemba 23,2018. PICHA NA IKULU

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE;LUKUBA 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO   0658920640/ 0754372325 / 0620806813
 
HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za Kupandisha nyota , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Gigy Money Apigwa Onyo la Mwisho

0
0
Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imempa onyo la mwisho msanii wa bongo fleva na 'video vixen' nchini, Gift Stanford maarufu kama Gigy Money kuacha kutumia vibaya mitandao ya kijamii na endapo hatofanya hivyo basi watamchukulia sheria stahiki dhidi yake.

Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Juliana Shonza amesema kwamba hawata waangalia usoni wananchi pamoja na wasanii kiujumla watakao kuwa wanaenda kinyumae na sheria ya mitandao.

"Huyu Gigy Money naona bado hajaacha michezo yake kwenye mitandao, safari hii sidhani kama atapona katika huu mchakato wa kuwakamata wasanii. Lakini kupona kwake labda yeye mwenyewe abadilike na awe kama isheria ya mitandao inavyotaka. Niwasii wasanii na watanzania wote kwamba waheshimu, mila na tamaduni za kitanzania kwasababu serikali ipo macho", amesema Mh. Shonza.

Kwa upande mwingine, Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza amesema hawataacha kuelimisha jamii juu ya matumizi ya mitandao ya kijamii huku akisisitiza kwamba hawasita kuwachukulia hatua stahiki watu wote wanatao bainika wameenda kinyuma na matakwa ya sheria ya mitandao.

LIVE: Waziri Mkuu Akiongoza mazishi Ya Kitaifa Waliofariki Ajali ya MV Nyerere

0
0
Viongozi wote waliopanga kuhudhuria wameshawasili eneo la Ukara ambapo shughuli ya mazishi inaendelea
==>>Tazama hapo chini

Taarifa Toka Kurugenzi Ya Mawasiliano ya Rais IKULU

0
0
Rais John Magufuli amewapongeza askari wa usalama barabarani kwa juhudi zao za kusimamia usalama barabarani licha ya changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo.

Kiongozi mkuu huyo wa nchi ametoa pongezi hizo leo Jumapili Septemba 23, 2018 alipokutana na kunywa chai na baadhi ya askari hao Ikulu jijini Dar es Salaam, ikiwa ni muda mfupi baada ya kutoka katika Ibada ya Jumapili iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Petro, Oysterbay.

Taarifa ya Rais kukutana na askari hao wa kikosi cha usalama barabarani imetolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa.

“Ninawapongeza trafiki wote kwa kazi mnazofanya, nafahamu mnakabiliwa na changamoto nyingi, mnafanya kazi zenu kwenye jua na mvua, wakati mwingine mnakwazwa na watumia barabara lakini mnaendelea na kazi,” amesema Rais.

“Nataka kuwatia moyo chapeni kazi, wanaovunja sheria za barabarani wachukulieni hatua, msitishwe na mtu yeyote lakini na nyie msimuonee mtu yeyote.”

PICHA: Mazishi ya Watanzania Wenzetu Waliofariki Ajali ya MV Nyerere

0
0
Majeneza yaliyobeba miili ya watu waliofariki katika ajali ya Kivuko cha MV Nyerere, kilichozama Septemba 20, mwaka huu Ukerewe jijini Mwanza, ambayo haijatambuliwa na ndugu zao ikiwa tayari kuzikwa katika makaburi ya Bwisya, Ukerewe.


Updates: Waziri Kamwele Asema Waliofariki Dunia Kivuko cha MV Nyerere ni 224 Hadi Mchana huu

0
0
Waziri Uchukuzi, Isack Kamwelwe amesema kivuko cha MV Nyerere kilikuwa kimebeba watu 265 tofauti na uwezo wake wa kubeba watu 101.
   
Kawele ametoa kauli hiyo leo Jumapili Septemba 23, 2018  wakati wa ibada ya Mazishi ya miili ambayo haijatambuliwa na ndugu zao.

Amesema idadi ya watu waliopoteza maisha kufuatia ajali hiyo  iliyotokea Ukara Wilayani Ukerewe imefikia 224. Kati ya hao; 
  1. Wanawake 126
  2. Wanaume 71, 
  3. Watoto wa kike 17, 
  4. Watoto wa kiume 10, 
  5. Wanaozikwa leo ni 9.

Serikali yasema michango ya ajali MV Nyerere iko sehemu salama

0
0
Serikali imesema fedha zote zilizochangwa kwa ajili ya ajali ya kuzama kwa Kivuko cha MV Nyerere, zimehifadhiwa sehemu salama.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, amesema hayo leo katika Kijiji cha Bwisya, wilayani Ukerewe akitoa salamu katika mazishi ya halaiki.

Amesema fedha hizo zilizochangwa na Watanzania na wasio Watanzania zinahifadhiwa sehemu salama kwa shughuli husika na tayari imefunguliwa akaunti kwa ajili hiyo.

“Pia tutafungua akaunti ya Tigopesa ili watu waendelee kuchangia na kama nilivyosema awali zitafanya shughuli husika,” amesema Jenista.

Pamoja na mambo mengine, amesema pamoja juhudi zilizofanywa na wananchi na watu mbalimbali serikali imefanya kazi kubwa ikiwamo kutoa mchango mkubwa wa vifaa tiba kwa walionusurika na kuhifadhi waliofariki.

MAZISHI: Miili Ya Wapendwa Wetu Waliofariki Ajali ya MV Nyerere Inapumzishwa Muda Huu

0
0
Miili ya watu tisa waliofariki kwenye ajali ya Kivuko cha MV Nyerere ndiyo inazikwa muda huu katika eneo la Bwisya kisiwani Ukara.

Kati ya hao tisa, miili ya watu wanne ni ile ambayo haikutambuliwa.

Waziri Mkuu Aongoza Mamia Ya Watu Mazishi ya Waliofariki Ajali ya MV Nyerere

0
0

*Awataka Watanzania waiache Serikali na dola vifanye kazi yake
*Asema tume ya uchunguzi itatangazwa karibuni, wahusika kuchukuliwa hatua
*Waziri Mhagama atangaza namba ya tigopesa kupokea michango


WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameongoza maelfu ya wakazi wa wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza na mkoa jirani wa Mara katika mazishi ya kitaifa ya watu waliopoteza maisha kwenye ajali ya MV Nyerere Septemba 20, mwaka huu.

Waziri Mkuu ambaye ameongoza mazishi hayo leo (Jumapili, Septemba 23, 2018) kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, amewataka Watanzania waiache Serikali na vyombo vya dola viendelee kufanya kazi yake.

“Wito wa Serikali kwenu wote, ni kuwasihi tushikamane na wenzetu waliopoteza ndugu zao, wakiwemo wazazi, kaka, dada na watoto. Ninaomba tuiache Serikali na vyombo vya dola viendelee kufanya kazi yake. Tuendelee kuwa wavumilivu,” amesema.

Akiwasilisha salamu za rambirambi kutoka kwa Rais Magufuli mbele ya wafiwa na waombolezaji, Waziri Mkuu amesema: “Mheshimiwa Rais alipokea tukio hili kwa mshtuko mkubwa na anawapa pole sana wafiwa wote pia anawaombea majeruhi wote wapate ahueni mapema.”

Amesema jumla ya watu 224 walipoteza maisha kutokana na ajali hiyo. Kati ya hao, miili 214 kati ya 219 iliyotambuliwa, ilichukuliwa na ndugu zao. Miili minne haikuweza kutambuliwa lakini ipo miili mitano ambayo ilitambuliwa na ndugu zao na hao ndugu wakaona ni vema wazikwe hapa eneo la tukio. Kwa hiyo leo tutawazika ndugu zetu tisa katika eneo hili,” amesema.

Waziri Mkuu amesema Serikali imechukua hatua ya kuunda tume ya uchunguzi na kuahidi kwamba tume hiyo itatangazwa wakati wowote. “Tume ikikamilisha kazi yake, wote watakaobainika kuwa wamehusika watachukuliwa hatua mara moja,” amesema.

Ili kukabiliana na tatizo la usafiri lililopo, Waziri Mkuu amesema meli ya MV Nyehunge imeanza kutoa huduma ya usafiri wa muda badala ya MV Nyerere iliyokuwa ikitoa huduma kati ya bandari ndogo ya Bugolora, Ukerewe na kisiwa kidogo cha Ukara.

Amesema jitihada za kuivuta meli ya MV Nyerere iliyopinduka zinaendelea na kwamba maafisa wote wanaohusika na usafiri wa majini ambao walizembea kwenye suala hilo, wamekamatwa na wameanza kuhojiwa.

Akigusia chanzo cha ajali hiyo, Waziri Mkuu amesema inasadikiwa kivuko cha MV Nyerere kilibeba mizigo mingi kuliko uwezo wake ambao ni wa kubeba tani 25 za mizigo, magari matatu na abiria 101. “Hadi sasa inaonesha kulikuwa na watu zaidi ya 260, yaani 41 waliookolewa na 224 waliopoteza maisha,” amesema.

Waziri Mkuu ametumia fursa hiyo kuwashukuru wananchi wote wa Ukara waliojitokeza kusaidia kazi ya uokoaji tangu ajali hiyo ilipotokea. Pia aliwashukuru wote waliotoa michango mbalimbali, watumishi wa hospitali za Bugando, Sekou Toure, Ukerewe, kituo cha afya cha Bwisya na timu nzima inayofanya kazi ya uokoaji na uopoaji wa miili kwa kazi kubwa waliyoifanya.

Wakati huohuo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), Jenista Mhagama ametangaza namba ya tigopesa ambayo wananchi wanaweza kuitumia kutuma michango yao kwa ajili ya waliopatwa na maafa hayo.

“Tumefungua akaunti ya maafa kwenye Benki ya NMB tawi la Kenyatta lakini ili kurahisisha upokeaji wa michango kutoka kwa wananchi wa kawaida, tumesajili namba ya tigo yenye namba 0677-030-000 kwa jina la RAS Mwanza. Naomba wale wasioweza kwenda benki watumie namba hiyo,” amesema.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMAPILI, SEPTEMBA 23, 2018.

Wanawake Waongoza Vifo Ajali ya MV Nyerere

0
0

*Wanawake ni 126, wanaume 71, watoto wa kike 17 na wa kiume ni 10

WAZIRI wa Uchukuzi, Ujenzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe amesema hadi mazishi ya kitaifa yanafanyika, jumla ya watu 224 walikuwa wamepoteza maisha kutokana na ajali ya MV Nyerere iliyotokea Septemba 20, mwaka huu.

Akitoa taarifa ya tukio zima mbele ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye ameongoza mazishi hayo leo (Jumapili, Septemba 23, 2018), Waziri Kamwelwe amesema wanawake waliopoteza maisha jumla yao ni 126, wanaume 71, watoto wa kike ni 17 na wa kiume ni 10.

Awali, kabla ya ibada kuanza, idadi ya waliopoteza maisha ilikuwa 223 lakini mwili mmoja wa mwanamke ulipatikana mchana huu na kufanya idadi yao kufikia 224.

Amesema mipango ya Serikali ya muda mrefu ni kujenga kivuko kikubwa ambacho kitakuwa kikifanya safari zake kati ya bandari ndogo ya Bugolora iliyopo kisiwa cha Ukerewe na kisiwa kidogo cha Ukara.

“Tumefanya utafiti kwenye visiwa vidogo vyote na kubaini kuna mialo zaidi ya 140. Hii itaimarishwa ili iweze kufikika na vyombo vya usafiri ambavyo ni imara,” amesema.

Akitoa taarifa kuhusu tukio zima, Waziri Kamwelwe amesema ajali hiyo ilitokea Septemba 20, saa 7:48 mchana na taarifa zilifikishwa kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza saa 8:10 mchana ambapo yeye na Kamati ya Ulinzi ya Usalama ya Mkoa walikimbia kuwahi eneo la tukio na kukuta watu watu 40 wameshaokolewa na wakazi wa kisiwa cha Ukara.

Amesema meli ya MV Nyerere ilijengwa mwaka 2004 na kufanyiwa ukarabati mkubwa mwaka 2013. “Julai mwaka huu, tulinunua injini mbili mpya na gear box zake,” amesema.

Mapema, akizungumza kwenye ibada hiyo ya mazishi, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe, Bw. George Nyamaha aliiomba Mamlaka ya Usafirishaji Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) iongeze watumishi kwenye visiwa hivyo ili waweze kudhibiti matukio ya ujazaji abiria kwenye vyombo vya usafiri majini.

“Tunashukuru hapa Ukerewe tumeletewa mtendaji mmoja, lakini hawezi kufanya chochote kwa sababu hana hata chombo cha usafiri. Tuna visiwa 38 kwenye wilaya hii na kati ya hivyo, visiwa 34 kuna watu wanaishi ambao wanalazimika kusafiri ili kujipatia mahitaji yao. Sasa huyu mtendaji mmoja atafikaje kote huko?” alihoji.

Akifafanua adha ya usafiri kwenye visiwa hivyo alisema: “Ilugwa kuna watu zaidi ya 10,000 na huwa inachukua saa nne kutoka huko hadi kufika Nansio (makao maku ya wilaya ya Ukerewe). Watu wanatumia boti tu na ajali ni nyingi sana. Pia tunahitaji usafiri wa uhakika kutoka Kitale hadi Kweru ambako kuna wakazi zaidi ya 20,000” alisema.

Wakati huohuo, Mbunge wa Ukerewe, Bw. Joseph Mkundi ambaye ni mzaliwa wa kisiwa cha Ukara, amesema wilaya ya Ukerewe inahitaji kupatiwa usafiri wa uhakika baina yake na visiwa jirani ili kuepuka maafa kama hayo yasitokee.

“Ukerewe tunahitaji chombo kizuri cha uhakika kinachoweza kustahimili maafa kama haya yasitokee. Ni kipindi kigumu kwetu wana Ukara, niombe tushikamane,” alisema.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMAPILI, SEPTEMBA 23, 2018.

Mwili Wa Marehemu Wafukuliwa Baada Ya Mumewe Kukiri Kumuua Na Kumfukia

0
0
NA MWAMVUA MWINYI,MKURANGA
MWILI wa marehemu Celina Sulubu ,mkazi wa Lubambawe wilayani Mkuranga ,mkoani Pwani umefukuliwa kwa taratibu za kisheria baada ya mumewe Selemani Hija Usumba  kukiri kumuua mkewe huyo .


Mnamo septemba 21 Usumba inadaiwa alifika kituo cha polisi Mkuranga na kuripoti kuwa mkewe Celina ametoweka nyumbani kwake tangu septemba 13 mwaka huu.


Kamanda wa polisi ,mkoa wa kipolisi Rufiji ,Onesmo Lyanga alisema baada ya kupokea taarifa hiyo mkuu wa upelelezi wilaya ya Mkuranga alifungua jalada la uchunguzi na kumshikilia kwa mahojiano na uchunguzi zaidi .

Alieleza ,katika mahojiano ya awali alikiri kumuua mkewe kwa kumkaba shingoni na kumsababishia kifo mkewe .

Lyanga alisema ,baada ya kutenda kitendo hicho aliamua kuchimba shimo kwenye shamba la jirani ambalo alikabidhiwa kulilinda na kisha kumzika .

“Mnamo septemba 22 timu ya makachero ikiongozwa na mkuu wa upelelezi wilaya ya Mkuranga pamoja na mashahidi mbalimbali wa tukio hili walifika eneo la tukio kwa kuongozwa na mtuhumiwa ” alifafanua Lyanga .

Lyanga alisema ,baada ya kufika eneo hilo mtuhumiwa alionyesha eneo alilozika mwili wa marehemu na kuanza kuufukua mwili huo kwa taratibu za kisheria .

Kamanda huyo alibainisha ,mwili wa marehemu umefanyiwa uchunguzi na kukabidhiwa ndugu kwa ajili ya mazishi .

Lyanga alisema ,chanzo cha tukio hili bado unachunguzwa .
Aliwaonya wananchi kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi kwani nao hawatasalimika .

BREAKING: Rais Magufuli Ameivunja Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TAMESA)

0
0
Kufuatia ajali ya kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere iliyotikea tarehe 20 Septemba, 2018 katika ziwa Victoria, Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameivunja Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TAMESA)


Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu Septemba 24

BREAKING News: Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa SUMATRA.

0
0
Rais Dkt. John Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) Mhandisi Dkt. John Ndunguru na kuivunja bodi hiyo kuanzia leo Septemba 24, 2018.

Rais Magufuli amechukua hatua hiyo kufuatia ajali ya kuzama kwa kivuko cha MV. Nyerere iliyotokea Septemba 20, 2018 na matukio mbalimbali ya ajali za barabarani hapa nchini yanayosababisha vifo, ulemavu na uharibifu wa mali.

Pamoja na hatua hiyo kamati ya uchunguzi ambayo itatangazwa na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa baadaye leo, itaendelea na uchunguzi wa ajali ya kivuko cha MV. Nyerere kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama kama ilivyopangwa.
 
==>>Hapo chini ni taarifa ya IKULU


Taarifa Muhimu Toka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB)

0
0
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuwataarifu waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2018/2019 na umma kwa ujumla kwamba imetangaza orodha ya baadhi ya waombaji mikopo ambao fomu zao za maombi ya mikopo zina upungufu ili waweze kufanya marekebisho kwa njia ya mtandao https://olas.heslb.go.tz kwa siku saba (7) kuanzia Jumatatu  Septemba 24 hadi Jumapili  Septemba 30, 2018.

Katika kipindi hicho waombaji wote wa mikopo ambao fomu zao zina upungufu wa baadhi ya taarifa na nyaraka zao ama za wadhamimi wao, watapaswa kusoma majina yao kwenye orodha iliyowekwa kwenye tovuti ya HESLB www.heslb.go.tz na kisha kuingia kwenye mtandao wa maombi ya mikopo ili kufanya masahihisho kwa kufuata hatua zilizowekwa na baada kukamilisha, waziwasilishe ndani ya muda uliopangwa bila kutuma kwa njia ya EMS.

Nyaraka zote zinazokosekana ikiwa ni pamoja na vyeti vya kuzaliwa au vya vifo vya wazazi, kurasa za taarifa na saini za mwombaji na/au mdhamini wake zinapaswa kujazwa kwa ukamilifu, kuwa ‘scanned’ na kisha kupakiwa kwenye mtandao baada ya kuthibitishwa na mamlaka husika.

Zoezi la Uhakiki wa Taarifa za Waombaji wa mikopo
Baada kukamilika kwa muda wa kupokea maombi ya mikopo Julai 31, 2018, HESLB ilikuwa imepokea jumla ya maombi 78,833 ambapo baada ya uhakiki, HESLB ilibaini jumla ya waombaji zaidi ya 25,000 fomu zao za maombi zikiwa na upungufu wa nyaraka na uthibitisho wa kuwezesha kuendelea na hatua inayofuata ya kupangiwa mikopo katikati ya mwezi Oktoba, 2018.

Hitimisho
Kwa taarifa hii pia tunapenda kuwakumbusha waombaji wa mikopo ambao wamo katika orodha hiyo yenye upungufu wa taarifa kusoma kwa umakini na kurekebisha kasoro hizo ili waweze kupangiwa mikopo. 

Aidha tunawatahadharisha dhidi ya matapeli wanaoweza kutumia taarifa hiyo kuwalaghai waombaji mikopo kuwa wanaweza kuwasaidia kupata mikopo. Tangazo maalum na mwongozo wa marekebisho vinapatikana katika tovuti ya HESLB (www.heslb.go.tz).

Iwapo wana maswali, wawasiliane nasi kupitia:
Simu:   0736665533 au 022 5507910

Taarifa hii pia inapatikana kwenye tovuti ya HESLB www.heslb.go.tz

Imetolewa na:
Mkurugenzi Mtendaji
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu

Mkebe Spesho Wa Dawa Ya Mitishamba Yenye Uwezo Mkubwa Wa Kumsaidia Mtu Aliyeathirika Na Upungufu Wa Nguvu Za Kiume

0
0
Je, Unamatatizo haya na yamekusumbua kwa muda mrefu bila kupata tiba?

Wanaume wengi wanaupungufu wa nguvu za kiume. na kuwa na maumbile madogo ya kiume. 

Magonjwa kama. kisukari. presha, ngiri, kolodani kuvimba busha tumbo kuunguruma kujaa ngesi na kutopata choo vizuri , punyeto nk huchangia kwa kiasi kikubwa upotevu wa nguvu za kiume 

Tumia dawa nzuri ya mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe na miaka 80 ,    inatibu na kuponyesha matatizo haya yote         

 SUPER SHAFT;  ni dawa yenye uwezo mkubwa wa kuogeza nguvu za kiume mara dufu na maumbile madogo ya uume                                    
 (1) itakufanya uwe na nguvu za ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa                                        
 (2) inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka.                           
 (3) itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 na kuimalika uume zaidi                                  
(4) pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa 
    
NYATI POWER; inarefusha na kunenepesha uume saizi utakavyo kuazia 1_8 unene  sm 2_4 
(1) inaimalisha mirija ya uume iliyo legea ama kusinyaa                                                                       
(2) inasaidia kusafisha mirija ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuongeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume                        
(3) Husaidi kuurudisha nje uume uliyoigia ndani      
(4) inasaidia kuongeza manii nyingi ambazo zina viini vya uzazi                                                              
(5) Husaidia kutibu madhara ya punyeto matumizi makari ya madawa ya kizungu mirungi bangi na sigara

Tunatibu Magonjwa Yote Sugu Ngiri Kolodani Kuvimba Busha Bila Kufanyiwa Opresheni Tezi Dume Kisukari Presha Aina Zote Ugonjwa Wa Moyo Kwikwi Kichomi Miguu Kufa Ngazi Nk

Tunapatikana Magomeni Mikumi Karibu Na Kanisa Katoriki La Roma

Tumaini Tradition Clinc Ndiyo Sululisho La Matatizo Tote 

PIGA SIMU 0745_495181 AU  0682_ 644040                               
WOTE MNAKARIBISHWA TUMAINI TRADITION CLINC 
 

Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo Asema Watatumia Siku 2 Kukinyanyua Kivuko cha MV Nyerere

0
0
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo amesema kivuko cha Mv Nyerere kitapinduliwa chini juu hapo kilipo badala ya kuvutwa hadi mwaloni kama mipango ya awali ilivyokuwa.

Jenerali Mabeyo ametoa kauli hiyo jana, Septemba 23, 2018 eneo la Ukara wilayani Ukerewe mkoani Mwanza baada ya kuwasili kifaa maalumu kitakachotumika kukipindua kivuko kilichozama Septemba 20,2018 na kusababisha vifo vya watu 224 hadi sasa.

“Tuombeni tufanikiwe na tutafanikiwa. Tunaamini kazi hii ya kukipindua kivuko hiki itaweza kuchukua siku mbili au tatu,”

“Kivuko hiki kimejikita chini na kifaa hiki kitaingiza upepo utakaoingia kwenye maboya yatakayosaidia kukipindua na hatua ya kukipindua itasaidia kivuko hiki kutoharibika,” alisema Jenerali Mabeyo.

Kwa upande wake, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe alisema shughuli ya uokoaji inafanywa na Watanzania wenyewe na si watu kutoka nje.

Pia, amewapiga marufuku watendaji wa taasisi zilizopo chini ya wizara hiyo kukodi vifaa kwa ajili ya shughuli hiyo na kwamba kazi hiyo ipo chini ya uratibu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ).
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images