Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Wizi wa milioni 500 Benki ya Barclays: Mameneja wa benki hiyo watiwa mbaroni.....Uchunguzi wabaini kuwa tukio hilo lilipangwa na robo tatu ya fedha iliibiwa siku moja kabla ya tukio

0
0
Hatimaye Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetoa taarifa ya wizi uliotokea katika Benki ya Barclays, Tawi la Kinondoni Aprili 15, mwaka huu, likisema tukio hilo lilipangwa ndani ya benki hiyo.    Katika taarifa yake jana, Kamanda wa Kanda hiyo, Suleiman Kova alisema watu 13 akiwamo meneja wa tawi hilo na meneja wake wa uendeshaji wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za

Trafiki afia ndani ya daladala aliyoikamata mkoani Kilimanjaro..."wakiwa njiani kuelekea kituoni ghafla yule trafiki akawa haongei",anasema shuhuda wa tukio hilo

0
0
Ofisa wa polisi mwenye cheo cha Koplo, Wilson Mwakipesile wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Kilimanjaro amefariki dunia ghafla akiwa ndani ya daladala alilokuwa amelikamata.    Hata hivyo, haikujulikana mara moja iwapo trafiki huyo alifariki dunia akiwa njiani kulipeleka gari hilo kituo cha polisi, alifariki muda mfupi baada ya kufika kituoni au wakati anapelekwa hospitali.  

Wapinzani watoa sababu za kususa na kutoshiriki sherehe za miaka 50 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar

0
0
Baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani wametoa sababu zilizowafanya wasihudhurie sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.    Katika sherehe hizo zilizofanyika Jumamosi katika Uwanja wa Uhuru, viongozi wa vyama vikuu vya upinzani, Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi hawakuonekana.   Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa alisema kutokuonekana kwao

Askari 6 wa kikosi cha usalama barabarani ( Trafiki) wafukuzwa kazi kwa tuhuma za kuomba,kushawishi na kupokea rushwa

0
0
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya limewafukuza kazi Askari 6 wa kikosi cha Usalama barabarani  Wilaya za Rungwe na Mbeya kwa tuhuma za kuomba,kushawishi na kupokea rushwa. Kamanda wa Polisi  Mkoani Mbeya  Ahmed Msangi amewatataja Askari hao kuwa ni pamoja na waliokuwa wakifanya kazi wilaya ya Mbeya barabara ya Mbeya/Tunduma eneo la Songwe  ambao ni Copro Jonson,PC Rymond na PC Simon. Msangi

Wanafunzi watatu wapoteza maisha wakiogelea kwenye ‘Swimming Pool’ jijini Dar

0
0
Simanzi na vilio jana vilitawala katika Mtaa wa Kijitonyama Mpakani A, baada ya watoto watatu wa familia jirani kufariki dunia baada ya kuzama katika bwawa la kuogelea walipokuwa wakisherehekea siku ya kuzaliwa mtoto mwenzao aliyetimiza mwaka mmoja.    Tukio hilo lilitokea juzi jioni katika Hoteli ya Landmark, Kunduchi Beach Dar es Salaam.   Waliofariki katika ajali hiyo ni Ndimbumi

Basi la Hood ( Mbeya - Arusha ) lateketea kwa moto eneo la Wami, Pwani

0
0
 Basi la Kampuni ya Hood, lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Arusha limeteketea kwa moto jana jioni eneo la Wami, Pwani. Hakuna majeruhi wala  mtu  yeyote  aliyepoteza maisha katika ajali hiyo. <!-- adsense -->

Husna Iddi Kisoma, mkazi wa mkoa wa Pwani atiwa mbaroni na jeshi la polisi kwa tuhuma za kuzinyofoa sehemu za siri za mumewe katika ugomvi wa wivu wa mapenzi

0
0
Jeshi la polisi mkoa wa Pwani linamshikilia Husna Iddi Kisoma (19) , mkazi wa Kisemvule Mkuranga mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kumuua mumewe Jumane Mwalami (21) baada ya kumvuta sehemu za siri na kuzinyofoa kutokana na ugomvi uliosababishwa na wivu wa mapenzi.    Akizungumza na kipindi cha Maskani cha 100.5 Times Fm, kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani, Ulrich Matei ameeleza kuwa tukio hilo

Picha za ajali ya basi la Sumry: Waliofariki dunia ni watu 19 wakiwemo askari wanne wa jeshi la polisi.

0
0
 Baadhi ya miili ya wakazi wa kijiji cha Utaho wilaya ya Ikungi, waliogongwa na basi la Summry ikiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya mkoa wa Singida mjini humo. ************ ASKARI Polisi wanne wa kituo cha Polisi Singida mjini na wakazi 15 wa kijiji cha Utaho tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoani Singida,wamefariki dunia baada ya kugongwa na basi la kampuni ya

Airtel yazindua Whatsapp,Facebook na twitter BURE kupitia vifurushi vya yatosha....Ukijiunga na kifurushi chochote, bando lako halitakatwa kwa hii mitandao ya kijamii

0
0
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel inayoongoza kwa kutoa huduma bora imezindua huduma ya kibunifu itakayowawezesha wateja wake kupata na kuunganishwa kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook, Whatsapp na twitter BURE kupitia huduma ya Airtel yatosha.   Akiongelea kuhusu huduma hiyo Mkuu wa kitengo cha mawasiliano wa Airtel Bi Beatrice Singano Mallya alisema” sasa ni bure kabisa kwa

Lundenga akiri kuwepo wasichana wanaotoa rushwa ya ngono kupata taji la Miss Tanzania

0
0
Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino International Agency, ambao ni waandaji wa Miss Tanzania, Hashim Lundenga amedai kuwa wasichana wengi wanaoingia kwenye mashindano ya Miss Tanzania hufanya mbinu za kuwalaghai baadhi ya watu kwenye kamati kwa kuwapa rushwa ya ngono ili washinde taji la miss Tanzania. Akizungumza na Global TV, Lundenga amedai kuwa kuna wasichana wanaoingia kwenye

VIDEO ya Basi la Hood kutoka Mbeya - kwenda Arusha likiteketea kwa moto eneo la Wami, Pwani

0
0
  Basi la Kampuni ya Hood, lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Arusha limeteketea kwa moto tarehe  28  April  jioni eneo la Wami, Pwani. Hakuna mtu  yeyote  aliyepoteza maisha katika ajali hiyo.   Hii  ni  video  ya  basi  hilo  wakati  likiteketea  kwa  moto.....

UKAWA waruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara Zanzibar leo

0
0
Hatimaye mkutano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), uliokuwa umezuiwa kupisha sherehe za Muungano utafanyika leo katika Viwanja vya Kibandamaiti, Unguja baada ya kupata baraka za polisi.    Mkutano huo awali ulikuwa ufanyike Aprili 19, mwaka huu lakini ukazuiwa na polisi kwa maelezo kuwa intelijensia yao ilionyesha kuwa kungekuwa na tishio la maisha ya watu. Hivyo walishauriwa

Magazeti ya leo Jumatano ya tarehe 30 April 2014

0
0
                                                          Magazeti  ya  leo  Jumatano  ya  tarehe  30  April  2014

Binti aliyepigwa na Chid Benz yuko Mahututi....Kwa siku anazimia mara 5, Mama Chid atimuliwa nyumbani

0
0
MREMBO Mwanaisha Kiboye, mkazi wa Ilala, Dar anayedaiwa kupigwa na mwanamuziki wa Kizazi Kipya Bongo, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’, hali imekuwa mbaya kwani yu mahututi. Juzi Jumatatu, wakati staa huyo akipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar kwa kesi hiyo, Mwanaisha alikuwa akipumua kwa tabu kwenye chumba maalum katika Hospitali iitwayo Aviation iliyopo maeneo

Majambazi yaua polisi wawili mkoani Tabora....Yalivamia nyumbani kwa mfanyabiashara, Polisi walipofika walifyatuliwa risasi na kufariki papo hapo

0
0
Jeshi la Polisi limepata pigo kutokana na askari wake wawili kuuawa kwa kupigwa risasi na majambazi... Askari wawili wa jeshi hilo waliuawa kwa kupigwa risasi na majambazi katika Tarafa ya Usoke wilayani Urambo mkoani Tabora. Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Suzan Kaganda, alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi  saa 2:30 usiku katika kijiji cha Usoke. Kamanda Kaganda aliwataja

Mgomo wa wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi wa barabara ya magari yaendayo kasi ‘STRABAG’ waingia siku ya tatu leo....

0
0
  Hali  bado si shwari katika kampuni ya ujenzi wa barabara ya magari yaendayo kasi ‘STRABAG’ iliyopo maeneo ya Ubungo jijini Dar, ambapo asubuhi hii Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wametanda eneo la ofisi hizo na hakuna mfanyakazi yeyote wa kawaida anayeruhusiwa kuingia ndani.   Mgomo huo ulioanza Jumatatu, Aprili 28 mwaka huu leo ulikuwa unaingia siku ya tatu ambapo

Sudani Kusini kujua hatima ya ombi lake la kujiunga na jumuiya ya Afrika Mashariki leo

0
0
Mkutano wa kumi na mbili wa viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unaaanza rasmi hii leo mjini Arusha nchini Tanzania.   Miongoni mwa maswala muhimu yatakayojadiliwa  ni  ombi la Sudan Kusini kutaka kujiunga na jumuiya hiyo.   Mkutano wa mwisho kama huu uliofanyika mjini Kampala Uganda mwezi Novemba mwaka jana, uliweka bayana kwamba ni katika mkutano huu wa Arusha, ambapo tarehe ya

Basi la AM Coarch lapata ajali Ipuli na kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja

0
0
Askari Polisi Kitengo cha usalama barabarani wakiuchukua mwili wa mtoto aliyegongwa na basi la kampuni ya A.M maeneo ya Ipuli Mnadani ambalo lilikuwa likitokea jijini Mwanza.Katika ajali hiyo watu kadhaa wamejeruhiwa. Umati mkubwa wa watu ambao ulifiika kushuhudia ajali hiyo.

Rais Kikwete ahudhuria mkutano wa Afrika Mashariki jijini Arusha leo

0
0
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Arusha(AICC) kwenye mkutano wa 12 wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika mjini Arusha.Rais Kenyatta ndiye mwenyekiti wa jumuiya hiyo ya wananachama watano. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Rais Yoweri Kaguta

Majambazi yajitangazia Serikali.....Wajiundia Jeshi la Ukombozi la Wana Sonjo , Wabuni bendera, mahakama na polisi yao ...Vijiji vyawatii, waendesha ujangili na ujambazi

0
0
Watu wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 500 wanaodhaniwa kuwa ni majambazi na majangili, wamejiundia serikali ndani ya Msitu wa Igombe mkoani Tabora, JAMHURI inathibitisha.   Wamejiundia uongozi madhubuti pamoja na jeshi walilolipa jina la Jeshi la Ukombozi la Wana Sonjo.   Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini kuwa huenda idadi ya watu hao ikawa kubwa kuliko inavyodhaniwa, kwani wanadaiwa
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images