Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Waziri Mkuu Aionya Bohari Ya Madawa (MSD).....Akerwa na tabia ya kupokea fedha na kutopeleka vifaa, dawa

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hataki kuona tabia ya kupokea fedha na kuchelewa kupeleka vifaa inayofanywa na Bohari ya Madawa (MSD) ikiendelea.

“MSD ninawatahadharisha wasirudie kosa la kupokea fedha na kutopeleka dawa na vifaa tiba. Ofisi zao ziko hapo Dodoma mjini, ni kwa nini mnachelewa kuleta vifaa hivyo,” amehoji.

Ametoa onyo hilo leo mchana (Alhamisi, Septemba 20, 2018) wakati akizungumza na wakazi wa kata ya Mauno, wilayani Kondoa ambako alienda kukagua ujenzi wa kituo cha afya na kuelezwa kuwa MSD imekuwa ikichelewa kuleta dawa. Waziri Mkuu leo ameanza ziara ya kikazi ya siku saba katika mkoa wa Dodoma.

Amesema Serikali ilitoa sh. milioni 500 kwa ajili ya ujenzi wa kituo hicho cha afya na kwamba baada ya ukaguzi ameridhika na kazi inayofanyika. Hata hivyo, amemtaka Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo pamoja na madiwani wahakikishe wanatenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa wodi mbili za wagonjwa wa kawaida wa kike na wa kiume.

“Hapa mna kituo cha afya, hospitali ya wilaya iko Kondoa mjini ambako ni km.62 kutoka hapa. Tengeni fedha za kujenga hizo wodi ili watu walazwe hapahapa. Halmashauri mnao uwezo wa kujenga hizo wodi mbili. Nataka nione mnaanza na nipate taarifa kuwa mmeanza ujenzi huo,” amesisitiza.

“Mwenyekiti wa Halmashauri na madiwani kaeni na mfanye hiyo kazi. Nikisema muanze maana yake ni kuanza. Tunataka wana-Mauno watibiwe hukuhuku na hakuna haja ya kuwasumbua wananchi kwenda hadi Kondoa mjini. Mkimaliza ujenzi, mtuambie, tutaleta sh. milioni 250 za kununua vifaa vya ndani.”

Amesema Serikali inaimarisha huduma za afya kwa kujenga zahanati na kuimarisha vituo vya afya ambapo hadi kufikia Agosti mwaka huu, jumla ya vituo vya afya 209 vilikuwa vimekwishajengwa hapa nchini.

Amesema kila mwezi, Serikali inapeleka wilayani humo sh. milioni 25 kwa ajili ya ununuzi wa dawa kuanzia hospitali ya wilaya, vituo vya afya na zahanati na akawaonya waganga na wauguzi wasiziguse dawa hizo kwa sababu zimelenga kuwasaidia wananchi.

Mapema, akizungumza na wananchi hao, Naibu Waziri wa Fedha, Dk. Ashatu Kijaji ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Kondoa, aliishukuru Serikali ya awamu ya tano kwa kuimarisha huduma za afya wilayani humo ambapo katika kipindi cha miaka mitatu, wameweza kuwa na vituop vya afya vitano.

“Katika kipindi cha miaka 40, tulikuwa na vituo vya afya vitatu tu lakini ndani ya miaka mitatu, tumefikisha vituo vya afya vitano. Alivitaja vituo hivyo kuwa ni Mauno, Busi, Bereko, Kalamba na Thawi.

Waziri Mkuu anaendelea na ziara yake wilayani Kondoa ambako atazungumza na wananchi.

Mkurugenzi tume ya Uchaguzi ampa Mbowe siku 7 Aombe Radhi

$
0
0
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dr Athumani Kihamia ametoa siku saba kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe kumuomba radhi kwa kile alichokidai kiongozi huyo kutoa maneno yaliyoashiria  kumkashifu.

Kwa mujibu Dkt.  Kihamia kwenye mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na Waandishi wa habari alitamka kuwa mkurugenzi Kihamia akachukue fomu ya kuwania nafasi ya Uongozi katika baadhi ya maeneo ya Uchaguzi kwa madai kiongozi huyo anatumika na Chama Cha Mapinduzi.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Dkt. Athumani Kihamia amesema Mbowe anatakiwa achague maneno ya kusema.

"Namwambia (Freeman) Mbowe achague maneno ya kuongea yeye ni kiongozi mkubwa wa chama. Achuje maneno yake na awe na ushahidi, mimi sipendi kulumbana na wanasiasa na asitafute kiki,” amesema.

"Mimi sijawahi kukutana naye, lakini nimeshawaambia kina (John) Mnyika na John Mrema wamfikishie ujumbe, mimi si wa kutania," ameongeza.

Dk Kihamia amesema Mbowe asipoomba radhi basi Watanzania wawe makini kutokana na kauli zake.

"Kama alikuwa anatesti mitambo kuwa akitukana hajibiwi, mimi sipo hivyo lazima nitakujibu kwa sababu nipo kwa ajili ya kuhakikisha Nec inajizatiti kutekeleza majukumu yake"

Kuhusiana na hoja zilizolalamikiwa na CHADEMA na kupelekea kujitoa kushiriki kwenye uchaguzi wa marudio utakaofanyika katika jimbo la Liwale na baadhi ya kata Dr  Kihamia amesema; "tume haina mpango wa kuongeza vituo hewa wala kupunguza vituo isipokuwa tunatumia vituo vilevile vya 2015 mpaka tutakapohakiki tena orodha ya daftari la kudumu la wapiga kura."

Jana Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kilitangaza kujiondoa rasmi kushiriki chaguzi ndogo zote zilizotangazwa kufanyika hivi karibuni na chaguzi zozote zitakazofuata zinazosimamiwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa madai kwamba tume hiyo inafanya kazi ya Chama Cha Mapinduzi.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 21

Updates: Watu 44 Wameripotiwa kufariki ajali ya MV Nyerere

$
0
0
Zoezi la uokoaji wa abiria waliokuwemo katika kivuko cha MV Nyerere kilichozama  lilisitishwa  jana usiku kutokana na giza na litaendelea  tena leo ambapo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela amesema mpaka sasa watu waliookolewa wakiwa hai ni 37 na waliopoteza maisha ni 44.

Serikali yapiga MARUFUKU matangazo ya uzazi wa mpango

$
0
0
Serikali  imesitisha matangazo yanayohamasisha uzazi wa mpango yanayorushwa kwenye runinga na redio mbalimbali nchini mpaka itakapotangazwa tena.

Sitisho hilo limetolewa katika taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Mpoki Ulisubisya kwenda kwa Shirika la Msaada la Marekani (USAID).

Shirika hilo ndilo linalofadhili mradi wa Tulonge Afya unaotoa matangazo hayo ya kuhamasisha uzazi wa mpango kwenye vyombo vya habari.

Barua hiyo iliyosambaa mitandaoni, inaeleza kuwa serikali inatambua mchango na juhudi za shirika hilo katika kuboresha uzazi wa mpango.

Inaeleza kuwa wizara inakusudia kufanya marejeo ya maudhui yote ya matangazo kwenye runinga na redio kwa ajili ya uzazi wa mpango.

“Hivyo unaombwa kusimamisha mara moja kutangaza na kuchapisha maudhui yoyote yale ya uzazi wa mpango kwenye vyombo vya habari mpaka itakavyoamuliwa vinginevyo,” inaeleza taarifa hiyo.

Akiwahutubia mamia ya watu Septemba 9, mjini Meatu Mkoani Simiyu, wiki mbili zilizopita, Rais John Magufuli alisema Watanzania waendelee kuzaa, lakini wachape kazi ili kukidhi mahitaji ya watoto wanaowazaa.

Alisema anafahamu Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu angependa kuongelea mambo ya uzazi wa mpango, lakini mengine yeye (Magufuli) hakubaliani nayo.

“Najua Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, angependa kuongelea mambo ya uzazi wa mpango hapa, lakini mimi mengine huwa sikubaliani nayo sana, utapangiwaje kuzaa...kwa hiyo katika kushauriwa mengine tukubali na mengine tukatae tutumie msemo wa mzee Jakaya Kikwete ‘Ukiambiwa changanya na za kwako’ kuzaa ni muhimu,” alisema.

Katika mkutano huo Rais Magufuli aliwaeleza wananchi kuwa katika mataifa ya kigeni aliyowahi kuishi hakuwahi kusikia wimbo wa uzazi wa mpango.

“Mimi Ulaya nimekaa, nafahamu madhara ya kutokuzaa, nchi gani sijakwenda, Japan nimekaa, Uingereza nimekaa mwaka mzima, Ujerumani nimekaa, Canada nimekaa na nikachaguliwa kuwa Mwenyekiti Mwenza wa Mawaziri Ardhi Duniani, nimekaa Denmark, Norway, China nimefika sasa utanidanganya wapi,” alisema.


Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi za ajali kivuko cha MV- Nyerere Iliyoua Watu 44

$
0
0
Rais John Magufuli ametuma salamu za rambirambi na pole kutokana na ajali ya kivuko cha Mv Nyerere kilichozama jana mchana  Septemba 20,2018 huku watu 44 mpaka sasa wakiripotiwa kufariki dunia.

Kivuko hicho kilikuwa kinatoka Bugorora kwenda Ukara katika Ziwa Victoria kilizama kikidaiwa kuwa na watu zaidi ya 100.

Rais Magufuli ametoa salamu hizo  jana usiku saa 20:40   kupitia kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais- Ikulu, Gerson Msigwa aliyepiga simu Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wakati wa taarifa ya habari.

“Rais anatoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki waliofikwa na ajali,” alisema Msigwa

Msigwa alisema, “Rais anaomba Watanzania kuwa watulivu wakati juhudi za uokoaji zinaendelea na baadaye Serikali itaweza kutoa taarifa ya nini kitakachoendelea.”

Waziri Mkuu: Lishe Duni Na Ulaji Usiofaa Ni Adui Wa Maendeleo Nchini

$
0
0

*Asema ni chanzo cha magonjwa yasiyoambukiza kama saratani, kisukari na moyo

*Asisiza wananchi kuzingatia ulaji unafaa na kubadili mitindo ya maisha

MAGONJWA yasiyoambukiza yanachangia  kwa kiasi kikubwa katika kupunguza kasi ya maendeleo yetu kwani gharama za matibabu yake ni kubwa mno, si kwa kaya zinazoathirika tu bali kwa Taifa zima.

Lishe duni pamoja na ulaji usiofaa na mitindo ya maisha vinachangia kwa kiasi kikubwa katika ongezeko la magonjwa yasiyo ya kuambukiza hususan kwa vijana na watu wazima; ambao ndiyo nguvu kazi kwa Taifa letu.

Kauli hiyo ilitolewa hivi karibuni na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  wakati akifungua mkutano wa tano wa wadau wa masuala ya lishe,  jijini Dodoma. Alisema ni muhimu wadau hao kuweka mikakati kupunguza kasi ya ongezeko la magonjwa sugu yasiyo ya kuambukiza.

Waziri Mkuu alisema magonjwa hayo yanapaswa kudhibitiwa kwa kuzingatia ulaji unaofaa na mtindo bora wa maisha. Ni jambo lisilopingika kuwa hatua za kukabiliana na magonjwa ya kusendeka (mfano matatizo ya moyo, saratani, kisukari na shinikizo kubwa la damu), zinapaswa kuchukuliwa.

Alisisitiza dhamira ya Serikali ya Awamu ya Tano, inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli ni kujenga uchumi wa viwanda ambao utatuwezesha kufikia uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025, hivyo ni muhimu suala la lishe bora likapewa kipaumbele. 

Alisema kauli mbiu ya mkutano huo “Kuelekea Uchumi wa Viwanda: Lishe Bora ni Msingi wa Kuendeleza Nguvu Kazi yenye Tija” inatoa hisia chanya ya kufikia azma hiyo kwa kuwa maendeleo ya Taifa yanategemea sana uwepo wa nguvu kazi ya kutosha na madhubuti. 

Alifafanua kuwa miongoni mwa matatizo ya lishe duni ni pamoja na upungufu mkubwa wa vitamini na madini kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano (5), wanawake walio katika umri wa kuzaa na wajawazito, vijana balehe pamoja na wakina baba.

Waziri Mkuu alisema kuwa ni dhahiri kuwa tunahitaji kuanzisha viwanda vitakavyozalisha vyakula vilivyoongezwa virutubishi muhimu ili kurahisisha upatikanaji wa vyakula hivyo katika jamii zetu. 

“Nitoe wito kwa wadau wote hususan sekta binafsi kutumia fursa zilizopo na kuwekeza katika viwanda vya usindikaji wa vyakula vinavyozingatia viwango vya ubora. Niwahakikishie kuwa Serikali imeandaa mazingira mazuri ya uwekezaji, kwa hiyo, tumieni kikamilifu nafasi hiyo.” alisema Waziri Mkuu, Majaliwa

Alisema kwa pamoja, wanaweza kuimarisha mikakati yao ya kuivusha nchi na watu wake kutoka katika lindi la umaskini na kujenga nguvu kazi imara itakayoweza kuhimili changamoto za maendeleo ya viwanda. 

Waziri Mkuu anatumia fursa hiyo kutoa rai kwa wadau wote, waendelee kuiunga mkono Serikali kwa kuwekeza katika utekelezaji wa sera na mikakati mbalimbali ambayo inalenga kuboresha hali ya chakula na lishe miongoni mwa jamii, hususan kwa watoto, wanawake walio katika umri wa kuzaa, vijana balehe na watu wenye mahitaji maalum kilishe.

“Kwa msingi huo, Serikali imejumuisha masuala ya lishe katika Mpango wake Jumuishi wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2016/2017 – 2020/2021), kama eneo la kipaumbele katika kuboresha na kuendeleza nguvu kazi ya Taifa.”

Waziri Mkuu aliongeza kuwa “dhamira ya Serikali ni kutokomeza aina zote za utapiamlo kwa kuwekeza na kuweka mazingira wezeshi kwa wadau wote kushiriki katika kuchangia utekelezaji wa afua za lishe nchini ambazo zina matokeo ya haraka miongoni mwa makundi yote yanayoathirika.”

Alisema jitihada hizo zinalenga kutimiza azma ya Baraza la Umoja wa Mataifa la “Muongo wa Kuchukua Hatua katika Masuala ya Lishe – Decade of Action on Nutrition” ya mwaka 2016 hadi 2025 na pia kuwezesha kufikiwa kwa Malengo yote 17 ya Umoja wa Mataifa ya Maendeleo Endelevu (United Nations Sustainable Development Goals). 

Alibainisha kuwa Serikali inaendelea kutilia mkazo suala la uhamasishaji miongoni mwa watunga sera na viongozi katika ngazi mbalimbali kuhusu masuala yote yanayohusiana na lishe kwa lengo la kuwa na uelewa wa pamoja kuhusu masuala hayo. 

Alisema juhudi hizo zinaenda sambamba na utoaji wa elimu sahihi ya lishe kwa umma kwani tunaamini kuwa Watanzania wakielimishwa vizuri kuhusu masuala haya itachangia kuleta mabadiliko chanya katika jamii pamoja na taasisi zetu kwa ujumla. 

Alisema Serikali imeendelea kuongeza rasilimali kila mwaka kwa ajili ya kutekeleza masuala ya lishe hususan katika ngazi za mikoa na halmashauri, ambapo takwimu zinaonesha kuwepo kwa ongezeko kutoka wastani wa sh. milioni 65 mwaka 2011/2012 hadi kufikia sh. milioni 219 mwaka 2016/2017. 

Kwa mwaka 2017/2018 Serikali ilikadiria kutumia jumla ya sh. billioni 11 katika utekelezaji wa masuala ya lishe katika ngazi ya halmashauri, hivyo hadi kufikia robo ya tatu ya mwaka 2017/2018, kiasi cha sh. bilioni mbili zilitolewa na kutumika. 

Kadhalika, Waziri Mkuu aliendelea kuhimiza kuhusu suala la kutenga kiasi cha shilingi 1,000 kwa idadi ya watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano katika Halmashauri zetu kupitia mapato ya ndani ili ziweze kutumika katika kutekeleza Afua hizo kwenye Halmashauri husika. 

Aliwahakikishia wadau hao kuwa, Serikali itaendelea kutenga fedha kwa ajili ya kugharamia utekelezaji wa Afua za Lishe kama zilivyoainishwa katika Mpango wa Taifa wa Utekelezaji wa Masuala ya Lishe 2016/2017 – 2020/2021; kwa kadiri hali itakavyoruhusu.

“Nitoe rai kwa Watendaji Wakuu wote katika Wizara husika, Idara, Wakala na Taasisi za Serikali, wadau wa maendeleo, asasi za kijamii; kila mmoja kwa nafasi yake au mamlaka yake, kuendelea kutenga fedha kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango wa Taifa wa Utekelezaji wa Masuala ya Lishe.” 

Alisema mikoa na halmashauri zihakikishe kuwa afua zilizoainishwa katika mpango huo zinajumuishwa katika mipango na bajeti zao za kila mwaka, sambamba na kutoa fedha zilizopangwa kwa ajili ya utekelezaji. 

Waziri Mkuu alisisitiza tena kuwa kila mdau anayeshiriki katika utekelezaji wa shughuli za lishe nchini aoneshe bayana mchango wake katika kukabiliana na utapiamlo nchini ili Taifa liweze kufikia malengo tuliyojiwekea.

Alisema ili wahakikishe hatua tunazochokua katika mapambano dhidi ya utapiamlo zinaleta matokeo kama walivyopanga na zinawanufaisha au zinawafikia walengwa, aliwaagiza  viongozi wa Serikali katika ngazi mbalimbali kutambua wajibu wao na kushiriki kikamilifu katika kudhibiti na kukabiliana na athari za utapiamlo katika maeneo yao.

Pia, Waziri Mkuu aliwataka viongozi hao wa Serikali katika ngazi za mbalimbali wafanye tathmini ya ufanisi wa hatua wanazochukua na watoe taarifa za ufanisi au changamoto mara kwa mara. 

Kwa upande wake,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama  alisema ushirikishwaji wa wadau kwenye masuala ya lishe umeongezeka na wanashuhudia wadau wengi wa maendeleo wakionesha nia na wengine kuwekeza katika masuala ya lishe nchini.

 Aidha, Waziri Jenista alisema wameweza kuratibu wa uanzishwaji wa mabaraza mbalimbali yanayojadili masuala ya lishe likiwemo baraza la sekta binafsi ambao wana mchango mkubwa katika kuhakikisha azma ya Serikali ya kutokomeza utapiamlo inafikiwa. 

Alisema hatua hizo kwa kiasi kikubwa zimechangia kupunguza viwango vya utapiamlo pamoja na idadi ya vifo kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano. “Mfano mzuri ni pale tulipopunguza udumavu kutoka asilimia 42 mwaka 2010 hadi asilimia 34.4 mwaka 2016.”

Alisema Taifa linahitaji nguvu kazi imara itakayohimili ushindani katika soko la ajira na kuendeleza Tanzania ya Viwanda. Nguvu kazi hiyo inaanza kujengwa kwa kuimarisha lishe bora hususan kuanzia pale mama anapokuwa mjamzito hadi mtoto anapofika miaka miwili. 

Awali,Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, alisema viwango vya matatizo ya lishe vimepungua kwa baadhi ya viashiria ingawa si kwa kiasi cha kuridhisha.

Alitaja moja ya viashiria vya kupungua kwa matatizo ya lishe ni kushuka kwa tatizo la udumavu, ambapo kwa sasa kuna wastani wa watoto watatu wenye udumavu kati ya watoto 10 walio katika umri chini ya miaka mitano.

Waziri Ummy alisema kuwa udumavu huathiri ukuaji wa mtoto kimwili na kiakili, hivyo kupunguza uwezo wa kufanya vizuri shuleni na kupunguza ufanisi wake katika maisha yake ya utu uzima.

Alitaja mikoa ambayo imeathiriwa zaidi na tatizo hilo la lishe ni pamoja na Rukwa, Njombe, Ruvuma, Iringa, Kagera, Mwanza na Geita, ambayo ina wastani wa zaidi ya asilimia 40. Mikoa hiyo ni kati ya mikoa yenye uzalishaji mkubwa wa chakula nchini.

“Ni dhahiri kuwa, utatuzi wa suala hili unahitaji mbinu na hatua za haraka pamoja na ushirikiano wa kila mmoja wetu. Kulingana na takwimu za kidemografia na afya ya mwaka 2015/2016, watoto 106,000 wana utapiamlo mkali ukilinganisha na watoto 340,000 wenye utapiamlo wa kadiri.”

Alisema idadi hiyo inaashiria kuwa watoto hao wenye utapiamlo mkali wapo kwenye hatari kubwa ya kupoteza maisha, ambapo hadi sasa changamoto kubwa waliyonayo ipo katika utambuzi wa tatizo, utoaji wa rufaa, upatikanaji wa chakula dawa na utoaji wa matibabu sahihi kwa watoto wenye tatizo hilo.

Kadhalika, Waziri Ummy alisema bado kuna hospitali chache zenye uwezo wa kutoa huduma ya matibabu ya utapiamlo mkali. Juhudi zinaendelea kuhakikisha hospitali zote nchini zinajengewa uwezo wa kutoa huduma hizo muhimu ili kuokoa maisha ya watoto walioathirika na utapiamlo mkali.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Marekani yaliwekea vikwazo jeshi la China kwa kununua ndege na makombora ya Urusi

$
0
0
Marekani imeliwekea vikwazo jeshi la China kufuatia hatua zake za kununua ndege za jeshi kutoka Urusi pamoja na makombora ya kurushwa kutoka ardhini.

Inasema ununuzi kama huo unakiuka vikwazo vya Marekani dhidi ya Urusi, kujibu tabia za Urusi nchini Ukraine na madai ya kuingilia kati uchaguzi wa Marekani.

Majuzi China ilinunua ndege 10 za Sukhoi Su-35 na makombora ya S-400.

China haijajiunga kwenye vikwazo ilivyowekewa Urusi kutoka Marekani na washirika wake tangu mwaka 2014.

Uhusiano kati ya Marekani na Urusi ulidorora kwa haraka baada ya Urusi kulimega eneo la Crimea kutoka Ukraine mwaka 2014.

Madai ya Urusi kuingilia kati uchaguzi wa Marekani wa mwaka 2016 na kuhusika kwake kijeshi nchini Sryria kuliongeza zaidi misukosuko.
 
Idara ya kuunda bidhaa ya China (EDD) na mkuu wake Li Shangafu wamewekewa vikwazo kwa kufanya biashara na kampuni ya China, Rosoboronexport.

EDD na Bw Li wamejumuishwa kwenye orodha ya watu wanaowekewa vikwazo ikimaanisha kuwa mali yote wako nayo nchini Marekani itataifishwa na kwamba raia wa Marekani wanazuiwa kufanya biashara nao.

Makombora ya Urusi ya S-400 huko Crimea 


Mkebe Spesho Wa Dawa Ya Mitishamba Yenye Uwezo Mkubwa Wa Kumsaidia Mtu Aliyeathirika Na Upungufu Wa Nguvu Za Kiume

$
0
0
Je, Unamatatizo haya na yamekusumbua kwa muda mrefu bila kupata tiba?

Wanaume wengi wanaupungufu wa nguvu za kiume. na kuwa na maumbile madogo ya kiume. 

Magonjwa kama. kisukari. presha, ngiri, kolodani kuvimba busha tumbo kuunguruma kujaa ngesi na kutopata choo vizuri , punyeto nk huchangia kwa kiasi kikubwa upotevu wa nguvu za kiume 

Tumia dawa nzuri ya mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe na miaka 80 ,    inatibu na kuponyesha matatizo haya yote         

 SUPER SHAFT;  ni dawa yenye uwezo mkubwa wa kuogeza nguvu za kiume mara dufu na maumbile madogo ya uume                                    
 (1) itakufanya uwe na nguvu za ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa                                        
 (2) inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka.                           
 (3) itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 na kuimalika uume zaidi                                  
(4) pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa 
    
NYATI POWER; inarefusha na kunenepesha uume saizi utakavyo kuazia 1_8 unene  sm 2_4 
(1) inaimalisha mirija ya uume iliyo legea ama kusinyaa                                                                       
(2) inasaidia kusafisha mirija ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuongeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume                        
(3) Husaidi kuurudisha nje uume uliyoigia ndani      
(4) inasaidia kuongeza manii nyingi ambazo zina viini vya uzazi                                                              
(5) Husaidia kutibu madhara ya punyeto matumizi makari ya madawa ya kizungu mirungi bangi na sigara

Tunatibu Magonjwa Yote Sugu Ngiri Kolodani Kuvimba Busha Bila Kufanyiwa Opresheni Tezi Dume Kisukari Presha Aina Zote Ugonjwa Wa Moyo Kwikwi Kichomi Miguu Kufa Ngazi Nk

Tunapatikana Magomeni Mikumi Karibu Na Kanisa Katoriki La Roma

Tumaini Tradition Clinc Ndiyo Sululisho La Matatizo Tote 

PIGA SIMU 0745_495181 AU  0682_ 644040                               
WOTE MNAKARIBISHWA TUMAINI TRADITION CLINC 
 

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218,0789289945. TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya musanga

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Kusinyaa Na Kudumaa Kwa Maumbile Ya Kiume

$
0
0
Wanaume  wanao  jihusisha  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu  husalia  kuwa  na  maumbile  ya  kiume  yaliyo  sinyaa  na  kudumaa.

Kwa mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  huathiri  na  kuharibu  mishipa  na  misuli  ya  uume na  hivyo kusababisha  kujengeka  kwa  mafuta na  tishu  zisizo vutika  kwenye  mishipa  ya  ateri na  hivyo  kuzuia  mishipa ya  ateri  kupanuka na  kuongezeka  pamoja  na  damu  kutiririka  kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.

Mambo  hayo  mawili yanapotokea  huathiri  uzalishaji  wa homoni muhimu  zinazo  husika  na ukuaji wa misuli ya  uume, na hatimaye  hufanya  uume  wa  mhusika  kudumaa, kusinyaa, kunywea  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuufanya  uonekane  kama wa  mtoto.

 Homoni  hizo hujulikana   kitaalamu kama  HGH  na  huzalishwa  kwenye  ini.

Sababu nyingine   inayo  tajwa  na  wataalamu  ni kwamba, mtu  anaye fanya punyeto   hutumia  akili,  nguvu na  nishati  nyingi sana, jambo ambalo  huathiri utendaji  wa  ogani  nyingine  muhimu  katika  mwili , likiwemo  ini.

Na kwamba  ini  linapo kosa  nishati   ya kutosha  hushindwa  kufanya kazi  zake  vizuri  na  moja  kati  ya  kazi kubwa  za  ini  ni  pamoja  na  uzalishaji  wa  homoni  zijulikanazo  kitaalamu kama  HGH  ambazo  kama  ilivyo andikwa  hapo juu, zinahusika na  kuchochea  ukuaji  wa  sehemu mbalimbali  katika  mwili  wa  mwanadamu  ikiwemo   misuli  ya  uume.

Mbali na  kuathiri  utendaji  wa  ogani  nyingine  mwilini, upigaji  punyeto  husababisha  athari nyingine  kwenye  mwili wa  mwanadamu  kama  vile uchovu  sugu  wa mwili  pamoja na kunyonyoka kwa  nywele.

Athari nyingine  za  upigaji punyeto  ni  pamoja  na  kupoteza  kumbukumbu, kuwahi  kufika  kileleni  ambako  husababishwa  na  kulegea  kwa  mishipa  ya  ateri, kushindwa  kurudia  tendo  la  ndoa, kukosa  hamu  ya  tendo  la  ndoa, uume  kusimama  katika  hali  ya  ulegelege,   maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa  husuani  wakati  wa  kurudia  tendo  la pili na    mara  baada  ya  tendo  la  ndoa  la  kwanza.

KWANINI   WATU WENGI  WANAO  JIHUSISHA  NA  UPIGAJI  PUNYETO  WANA  MAUMBILE  MADOGO  YA  KIUME YALIYO  DUMAA, SINYAA  NA  KURUDI NDANI.

Uzeofu  unaonyesha  kuwa,  asilimia  kubwa  ya  wanaume  ambao  wamewahi  kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu, wanakabiliwa  na  tatizo  la kuwa  na  maumbile  ya  kiume yaliyo dumaa, sinyaa  na  kurudi ndani.

SABABU  KUBWA   NI  HII  HAPA
Sababu  kubwa  ni kwamba   vijana wengi  wa  kiume, huanza  kujihusisha  na  punyeto   wakiwa  na  miaka  kumi  na sita , kumi na  saba  au  chini  ya  hapo.

Hiki ni  kipindi  ambacho  vijana  hawa  ndio  wanakuwa  wamebalehe.

Na kwa mujibu  wa  tafiti  za kisayansi, katika  kipindi  hiki cha  balehe  ndio  kipindi  ambacho  homoni za  HGH  ambazo huhusika  na  ukuaji  wa  sehemu  mbalimbali  za  mwili  ikiwemo  maumbile ya  kiume, huzalishwa  kwa wingi.

Kama  tulivyo ona  hapo  juu, upigaji  punyeto  huathiri  uzalishwaji  wa   homoni  hizo.

Mwisho wa  siku  maumbile  ya  kiume  ya  wahusika, hushindwa  kukua  na  kuishia  kudumaa na  kusinyaa.

Na  hii ndio  sababu  kubwa  wanaume  wanao  kabiliwa  na  tatizo  hili  husalia  kuwa  na  maumbile yenye  ukubwa  ule  ule  walio kuwa  nao wakati wa  kubalehe

NINI  TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  KUDUMAA, KUSINYAA  NA  KURUDI NDANI KWA  MAUMBILE  YA  KIUME.
Kama uume wako  umedumaa, sinyaa, legea, nywea  na  kurudi ndani  kwa  sababu  ulifanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  na  unataka  kuondokana  na  hali  hiyo. HII  NI HABARI NJEMA  SANA  KWAKO! 
 
Ipo dawa  ya ASILI   ambayo  HUTIBU  na  KUPONYESHA  KABISA  tatizo la  KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA  NA  KURUDI NDANI  KWA MAUMBILE  YA  KIUME kunako  tokana  na  ufanyaji  punyeto  wa  muda  mrefu.
 
Ni  dawa  ya  asili  kabisa ambayo  hutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la kudumaa  na  kusinyaa  kwa  uume  ndani ya siku thelathini.

JINSI YA  KUPATA  TIBA  HII : Kupata  tiba  hii  fika  ka6ika  duka  la  kuuza  dawa  za  aslili  la  NEEMA  HERBALIST.  Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

Kwa wateja  waliopo  jijini  Dar  Es  Salaam  ambao  hawana  nafasi  ya  kufika  ofisini  kwetu  watapelekewa  dawa  mahali  walipo  ( HOME & OFFICE  DELIVERY )  na kwa  wateja  waliopo  nje  ya  mkoa  wa  Dar  Es  Salaam  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabus  au  boti  kwa  waliopo  Zanzibar.

Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba  :    0693  005 189.

Mbunge wa Ukerewe Alitabiri Kuzama kwa MV Nyerere Kutokana na Ubovu Wake....Tazama Hapa Swali Alilouliza Bungeni

$
0
0
Yaliyotabiriwa na mbunge wa Ukerewe (Chadema),  Joseph Mkundi juu ya kuzama kwa kivuko cha Mv Nyerere yametimia.

Kivuko hicho kilizama jana  katika Ziwa Victoria mita 50 kabla ya kutia nanga huku abiria 44  waliokuwa kwenye kivuko hicho wakifariki dunia hadi zoezi la uokoaji lilipositishwa jana usiku..

Katika moja ya swali alilouliza bungeni hivi karibuni, Mkundi alitaka kupata kauli ya Serikali jinsi itakavyoshughulikia  kivuko hicho ili kisije kusababisha maafa.

 “Naomba kupata kauli ya Serikali, ni suala ambalo tumekuwa tunalishughulikia mara kwa mara, tuna kivuko kinachounganisha Ukerewe na kisiwa cha Ukara, kivuko hiki kinahudumia watu zaidi ya 50,000.

“Kimekuwa kinaleta shida mara kwa mara na nimekuwa nawasiliana na wizara, sipendi siku moja tuje hapa kuomba rambirambi kwa sababu ya wananchi waliozama katika kivuko kile.” Alisema

==>>Msikilize hapo chini

Kwa Nini Matukio ya Watu Kujiua Yanazidi Kuongezeka? Nini Chanzo? Nini Suluhu Yake?...Bofya Hapa Kusoma kila Kitu

$
0
0
Msongo wa mawazo na kuvunjika moyo kunauhusiano na kukata tamaa ya kuishi. 

Mtu anapofikia hatua hii haoni tena thamani na furaha ya kuishi na hivyo huweza kuchukua maamuzi ya kutoa uhai wake mwenyewe ama wa mtu mwingine. 

Ndani ya kitabu hiki, msomaji atajifunza kuuona upendo wa Mungu katika hali zote, upendo unaoweza kumpa nguvu mpya na sababu ya kufurahia maisha katikati ya maumivu, kukata tamaa ama kuvunjika moyo.
 
Kitabu hiki kinapatikana/kinauzwa katika mtandao wa Amazon.com kwa gharama za TSh. 7000/- (2.99 USD ebook) na TSh. 11000/- (5.50 USD paperback). 

Kununua kitabu hiki “search code” hizi B07H6JR5X2 (ebook) au 1720166846 (paperback) ama unaweza ku-search jina la kitabu (YOU CAN DO BETTER THAN MURDER-SUICIDE: The Love of God is Sufficient)

Au  <<INGIA HAPA>> Kukinunua

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Updates: Idadi ya Waliofariki Dunia Baada ya Kivuko cha MV Nyerere Kuzama Ziwa Viktoria Yafika 86

$
0
0
Zoezi  la ukoaji wa miili ya watu waliopoteza maisha katika Kivuko cha MV Nyerere limeanza rasmi baada ya kusimama jana usiku, ambapo Vikosi Maalum vya uokoaji vya Jeshi la Polisi na Jeshi la Wananchi wa Watanzania (JWTZ) na Jeshi la Zimamoto na uokoaji vinaendesha zoezi hilo.

Hadi sasa idadi ya miili ya watu waliopoteza maisha katika ajali hiyo iliyotokea jana tarehe 20 Septemba 2018 imeongezeka kutoka watu 44 hadi 86.

Kivuko cha MV Nyerere kilizama katika Ziwa Victori kikitokea Bugorora kisiwani Ukerewe kuelekea Kisiwa cha Ukara.

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cornel Maghembe amesema kuwa sababu ya kuzama kwa kivuko hicho inasadikika kuwa ilibeba watu zaidi ya 400 ambapo kilizidisha uwezo wake ambao ni watu 101.

Maghembe amesema kuwa imezama mita chache kabla ya kuwasili eneo la Ukara ambapo dereva alipunguza mwendo kuashiria amekaribia kutia nanga ndipo abiria wengi walihamia upande wa lango la kutokea wakiwahi kusogea ili washuke ndipo uzito ulizidi na kupinduka.

“Abiria walipoona mwendo umepunguzwa walikimbilia kuwahi mbele ya lango ili kujiandaa kushuka, ndipo uzito ukaegemea upande mmoja”, amesema Maghembe

Raila Odinga atuma salamu za rambirambi ajali ya MV Nyerere

$
0
0
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga, ametuma salamu za rambirambi kufuatia vifo vya watu 100 waliofariki mpaka sasa kutokana na kivuko cha MV.Nyerere kupinduka Ziwa Victoria tarehe 20 Septemba 2018 

Katika ujumbe wake alioutuma katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter, Odinga ametoa pole kwa Watanzania kufuatia ajali hiyo.

“ Naomboleza pamoja na raia wa Tanzania katika kipindi hiki kigumu. Mungu awape amani na nguvu familia, watoa faraja na Taifa la Tanzania,” amesema.

Kivuko hicho kilizama jana mchana Septemba 20, 2018 na hadi leo  Septemba 21, 2018 maiti za watu 100 zimeopolewa.

Updates: Idadi ya Waliofariki MV Nyerere Yafika 100

$
0
0
Zoezi  la ukoaji wa miili ya watu waliopoteza maisha katika Kivuko cha MV Nyerere bado linaendelea  ambapo Vikosi Maalum vya uokoaji vya Jeshi la Polisi na Jeshi la Wananchi wa Watanzania (JWTZ) na Jeshi la Zimamoto na uokoaji vinaendesha zoezi hilo.

Idadi ya walipoteza maisha imefikia 100 hadi kufikia saa sita na nusu mchana huu. Kwa mujibu wa DC wa Ukerewe, kivuko hicho kilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 100 na tani 25 za mizigo, lakini kilikuwa na abiria zaidi ya 400. 

Kivuko hicho kilizama katika Ziwa Victoria mita 50 kabla ya kutia nanga kisiwa cha Ukara.Kilikuwa kikitokea katika Kisiwa cha Bugolora kuelekea Kisiwa cha Ukara wilayani Ukerewe

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

$
0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za Kupandisha nyota , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Dr Kanengo: Bingwa Wa Tiba Asili Hutibu Matatizo Yafuatayo

$
0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo kupooza kupoteza fahamu 

MALABALA; hutibu kisukari , uti wa mgogo, Change, pumu, busha, kaswende, kifua kikuu, muwasho sehemu ya siri 

NKURUNGU,: Ni dawa kutibu  N, B, G, POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge 20 

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha , pia kuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe), maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu. 

NR SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu 

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana. (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete) ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,.(4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wachafu ndani ya mji,.

Haya yote yanawezekana kwa DR KANENGO popote ulipo . Muone  DR KANENGO,anatibu nguvu za kiume anarefusha na kunenepesha uume kwa saizi uipendayo kwa muda mfupi sana, pamoja na kuwa na hamu ya kurudia tendo la ndoa mara 4 bila hamu kuisha Na utachelewa kufika kileleni kwa muda wa dakika 40 bila kuchoka .

Angalizo usitume meseji wala kubipu..
 
You can get it in all East African countries,,our service is fast and easy... contact Whatsapp 0784,47,59,46.Dar es salaam Tanzania. ,..Dr. KANENGO 0744,92,29,82...You are welcome. Yuko pia Khahama Mjini, Bunda kwa sasa

Rais Magufuli Awataka Watanzania Wawe Watulivu, Juhudi za Ukoaji Bado Zinaendelea

$
0
0
“Nimeshtushwa na kusikitishwa sana na ajali ya MV Nyerere, nawapa pole wote waliopoteza jamaa zao na nawaombea wote walionusurika kupona haraka, kwa wakati huu nawaomba tutulie wakati juhudi za uokoaji zinaendelea”.... Ni maneno ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Magufuli akitoa pole kwa wahanga wa ajali ya MV. Nyerere mchana wa Leo Septemba 21, 2018.

Salamu hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Gerson Msigwa akiwa ameambatanisha na picha ya ajali ya kivuko hicho.


Jana pia Rais Magufuli alitoa salamu za pole kupitia Mkurugenzi Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa  wakati wa taarifa ya habari ya saa mbili usiku
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images