Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218,0789289945. TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya musanga

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

$
0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za Kupandisha nyota , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Waziri Mwijage Azungumzia Mgogoro wa Kibiashara Kati ya Tanzania na Kenya

$
0
0
Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage amesema Tanzania haina mgogoro wa kibiashara na Kenya licha ya nchi hizo mbili kupitia mamlaka zake kuzuia bidhaa mbalimbali zinazoingizwa kwenye  nchi hizo.

Septemba 13 na 15 mwaka huu kulisambaa taarifa kuwa mamlaka ya mapato ya Kenya KRA ilizuia malori ya mchele yaliyotoka Tanzania kwa madai ya mchele huo kutokua na viwango vya ubora vilivyowekwa na nchi hiyo.

November 2017 kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi waliviteketeza kwa moto vifaranga vya kuku 6,400 na Februari 2018 viliteketezwa vifaranga 5000 kwa kuingizwa bila kufata taratibu na sheria za nchi.

Akizungumza na kituo cha EATV, Charles Mwijage amesema serikali ya Kenya na Tanzania hazina mgogoro wa kibiashara bali kinachofanyika ni usimamiaji wa taratibu zilizowekwa na mamlaka za nchi hizo  huku akiahidi kulifatilia suala la malori ya mchele ya Tanzania yaliyozuiliwa Kenya.

“Nimelisikia hilo suala la kuzuiwa kwa malori ya mchele ya Tanzania, kimsingi hatuna mgogoro wa kibiashara kati yetu na jirani zetu (Kenya) bali ninachowaasa wafanyabiashara wetu wazalishe vitu vyenye ubora unaoendana na viwango vya mataifa wanayopeleka bidhaa zao.”

Februari mwaka huu  nchini Uganda  Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta waliwaagiza mawaziri wa pande zote mbili zote kukutana kabla matatizo yanayojitokeza hayajifika kwenye ngazi yao.

Hukumu ya Msanii Baba Levo Kutolewa Leo...Alishitakiwa kwa Kumshambulia Muuguzi wa Zahanati

$
0
0
Hatma Msanii wa Bongo fleva na diwani wa kata ya Mwanga Kaskazini (ACT) Crayton Chipando maarufu kama Baba Levo anayekabiliwa na kesi ya kumshambulia muuguzi itajulikana leo hukumu itakapotolewa mjini Kigoma.

Baba Levo amefikishwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi mjini Kigoma leo kusikiliza hukumu ya kesi inayomkabili.

Diwani huyo anakabiliwa na mashtaka matatu ya kushambulia, vurugu na lugha ya matusi dhidi ya muuguzi wa zahanati ya Msufini, Christina Gervas.

Msanii huyo anadaiwa kutenda kosa hilo Aprili 12 . Kesi hiyo namba 62 ya mwaka 2018 ilikuwa ikisikilizwa kwa Hakimu Mfawidhi Flora Mtalania, huku msanii huyo akitetewa na wakili Thomas Msasa.


Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Breaking: CHADEMA Watangaza Kususia Chaguzi Zote

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetangaza kujiondoa Rasmi kushiriki chaguzi ndogo zote zilizotangazwa kufanyika hivi karibuni na chaguzi zozote zitakazofuata zinazosimamiwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa madai kwamba tume hiyo inafanya kazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mbowe amesema hayo leo Septemba 19, 2018 alipokuwa akiwasilisha uamuzi wa kamati ndogo ya Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana jana kutafakari yaliyotokea kwenye chaguzi ndogo za ubunge za Ukonga, Monduli na kata 23 uliofanyika Jumapili iliyopita ya Septemba 16, 2018.

Mbowe amesema hujuma za uchaguzi huanza mapema katika hatua za kupata wagombea ambapo wakurugenzi wanatumika kubaka demokrasia ya nchi.

Amesema kwenye uchaguzi uliopita wakurugenzi walitumika kuhakikisha wagombea wa chama tawala wanapita bila kupingwa.

"Walikuwa wanafunga milango wanaondoka, muda ukiisha wanatangaza mgombea wa Chadema hakurudisha fomu hivyo wa CCM amepita bila kupingwa" amesema Mbowe.

“Kwa sasa tunakwenda kufanya mabadiliko ndani ya chama, tunakwenda kujijenga na hatuwezi kushiriki wakati tunaonewa na sheria hazifuatwi. Kwa sasa tunarudi nyuma,” ameongeza:

Amesema kumekuwa na tatizo kubwa la wasimamizi wa vituo vya kupigia kura kutotambulika mapema huku suala hilo likifanyika kwa makusudi maalumu.

Mbowe ambaye ni kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni amesema kwenye Jimbo la Ukonga kulikuwa na vituo feki 16 vyenye wapiga kura 700,000.

“Ukonga kulikuwa na vituo feki 16 vyenye wapiga kura zaidi ya 7,000 na viliandaliwa mahususi kwa ajili ya kuongeza kura za CCM. Tulipeleka malalamiko yetu NEC na kwa Msimamizi wa Uchaguzi, hakuna kilichofayika.

“Upole na ukimya wa vyama vya upinzani hauashirii uoga hata kidogo, yale mawazo ya wenzetu wa Chama Cha Mapinduzi kuamini wana dola na ndio wenye nguvu ni kujidanganya, hakuna jeshi linaloweza kuwa na nguvu kuwazidi raia wa Tanzania. "

Amesema kuna mambo ya kibatili yalifanyika kwenye uchaguzi wakitoa matamko na kutoa ahadi kwa wananchi wakati wa kampeni wakitumia magari ya Serikali.

Mkebe Spesho Wa Dawa Ya Mitishamba Yenye Uwezo Mkubwa Wa Kumsaidia Mtu Aliyeathirika Na Upungufu Wa Nguvu Za Kiume

$
0
0
Je, Unamatatizo haya na yamekusumbua kwa muda mrefu bila kupata tiba?

Wanaume wengi wanaupungufu wa nguvu za kiume. na kuwa na maumbile madogo ya kiume. 

Magonjwa kama. kisukari. presha, ngiri, kolodani kuvimba busha tumbo kuunguruma kujaa ngesi na kutopata choo vizuri , punyeto nk huchangia kwa kiasi kikubwa upotevu wa nguvu za kiume 

Tumia dawa nzuri ya mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe na miaka 80 ,    inatibu na kuponyesha matatizo haya yote         

 SUPER SHAFT;  ni dawa yenye uwezo mkubwa wa kuogeza nguvu za kiume mara dufu na maumbile madogo ya uume                                    
 (1) itakufanya uwe na nguvu za ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa                                        
 (2) inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka.                           
 (3) itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 na kuimalika uume zaidi                                  
(4) pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa 
    
NYATI POWER; inarefusha na kunenepesha uume saizi utakavyo kuazia 1_8 unene  sm 2_4 
(1) inaimalisha mirija ya uume iliyo legea ama kusinyaa                                                                       
(2) inasaidia kusafisha mirija ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuongeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume                        
(3) Husaidi kuurudisha nje uume uliyoigia ndani      
(4) inasaidia kuongeza manii nyingi ambazo zina viini vya uzazi                                                              
(5) Husaidia kutibu madhara ya punyeto matumizi makari ya madawa ya kizungu mirungi bangi na sigara

Tunatibu Magonjwa Yote Sugu Ngiri Kolodani Kuvimba Busha Bila Kufanyiwa Opresheni Tezi Dume Kisukari Presha Aina Zote Ugonjwa Wa Moyo Kwikwi Kichomi Miguu Kufa Ngazi Nk

Tunapatikana Magomeni Mikumi Karibu Na Kanisa Katoriki La Roma

Tumaini Tradition Clinc Ndiyo Sululisho La Matatizo Tote 

PIGA SIMU 0745_495181 AU  0682_ 644040                               
WOTE MNAKARIBISHWA TUMAINI TRADITION CLINC 
 

George Bayaga - Hakuna Kama Wewe (Official Video)

$
0
0
George Bayaga - Hakuna Kama Wewe (Official Video)

Mbowe Agoma Kuachia Uenyekitri CHADEMA

$
0
0
Mwenyekiti  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe,  amesema kamwe hatoachia kiti hicho kwa kusikiliza maneno ya watu wa nje ya chama ambao hata hawakumchagua.

Mbowe amesema hayo leo Septemba 19, 2018 wakati akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya Chadema, Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Amesema chama hicho kufanya vibaya sababu si yeye, “Na mimi niliwekwa na wanachama, wakitaka wataniondoa lakini siondoki kwa kelele za watu.”

Mbowe ambaye ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni amesema kamwe hatakuja kukipigia magoti chama tawala cha CCM.

Amesema hata siku moja CCM haitafurahi kumuona anakuwa na nguvu kwenye chama, lengo lao ni kuona anakuwa dhaifu.

Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Yasisitiza Haitonunua Mahindi Yasiyokuwa Na Ubora

$
0
0
Na Mathias Canal, NFRA-Dodoma
IKIWA msimu wa kununua mazao umeanza, Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), Vumilia  Zikankuba amewataka wakulima kuhakikisha wanazingatia ubora wa mahindi.

Aidha, amesema nchi inachakula cha kutosha na kusisitiza kuwa katika msimu wa kwanza wa ununuzi wa mahindi bei ya NFRA ni wastani wa Sh 380 hadi Sh 400 kwa kilo.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Mjini Dodoma, Zikankuba alisema NFRA haitaweza kununua mahindi mabovu na kusisitiza wakulima kuwa na mahindi yenye ubora ambayo yatawasaidia kupata masoko ya nje pia.

" Haiwezekani NFRA itumia fedha za Serikali kununua mahindi yasiyokidhi viwango vya ubora na machafu kutoka kwa wakulima. Hivyo wakulima wanapaswa kuzalisha mahindi kwa kuzingatia viwango vya ubora vinavyokidhi vigezo vya soko..

Aliongeza: “Lazima chakula tunachonunua kizingatie ubora. Tunataka tubadilishe taswira ya NFRA kwa sababu awali kulikuwa na tatizo la chakula kuharibika kwa kipindi kifupi.”

Zikankuba alisema ili kuhakikisha mahindi ya wakulima yanaweza kukidhi viwango vinavyotakiwa NFRA tayari imekwishatoa elimu kwa wakulima kupitia vikundi na kwenye vyombo vya habari.

Alibainisha kuwa baada ya elimu hiyo wakala umefanikiwa ambapo wakulima kutoka maeneo ya Makambako, Sumbawanga na Mpanda wameanza kuzalisha na kuuza mahindi yenye ubora kwa NFRA.

“Changamoto iliyopo ni kwa baadhi ya wakulima wachache ambao bado wamekuwa wagumu kubadilika na wale ambao wanaamini wakitumia nafasi zao wanaweza kuuza mahindi yasiyo na ubora,"

Alisema kwa mkulima kuwa na mahindi yenye ubora unatoakiwa utasaidia katika kupata soko la NFRA, pia katika taasisi zingine zinazonunua nafaka hiyo za ndani na nje ya nchi.

"Dhima ya serikali ni kwenda uchumi wa kati kupitia uchumi wa viwanda, kwa mahindi pekee hayatumiki kwa chakula pekee, bali kutengeneza bidhaa mbalimbali. Hivyo hatuwezi kufikia Tanzania ya viwanda endapo wakulima watazalisha malighafi zisizokuwa na ubora,” alieleza.

Viwango vinavyopaswa kuzingatiwa na wakulima wa mahindi ni kwamba unyevunyevu usizidi asilimia 13.5, takataka asilimia 0.5 na punje zilizovunjika zisizidi kwa asilimia 2.

Viwango vingine ni punje zilizoliwa na wadudu na zilizosinyaa zisizidi asilimia moja, punje mbovu asilimia mbili na punje za rangi tofauti zisizidi asilimia 0.5.

Zikankuba alitoa msisitizo kwa wakulima kutunza chakula badala ya kukiuza chote.

“Msimamo wa Rais (John Maguful) wa kutotoa chakula cha msaada upo sahihi kwa sababu kuna maeneo walikwishazoea kupelekewa chakula cha msaada. Msimamo huo umelenga kuwahamasisha wananchi kutunza chakula, haya malalamiko ya hatuna chakula yanachangiwa na uzembe wa wananchi wa kuuza chakula chote,” Vumilia, alibainisha.

Alisema jukumu la wakala ni kutunza chakula kwa ajili ya dharura kama kumetokea majanga kama mafuriko, njaa, tetemeko  na majanga mengine ambayo wanachi watahitaji msaada wa chakula.

Kuhusu bei ya mahindi ambayo NFRA imeanza kununua mahindi kwa wakulima Zikankuba alisema ni wastani wa Sh 380 kwa kilo hadi Sh 400 kwa kilo kulingana na eneo na eneo, na ni bei inayoendana na mwenendo wa bei ya soko.

 “ Mfano bei ya soko ya mahindi mkoani Ruvuma ni Sh 250 kwa kilo, lakini sisi kama NFRA tunanunua kwa bei ya juu ya kuanzia Sh 350 hadi 380 kwa kilo," alisema.

 Aliongeza: “Mkoani Dodoma NFRA inanunua Sh  420 kwa kilo, Makambako Sh 400, Shinyanga Sh 500, Katavi na Ruvuma Sh 350 hadi 380. Bei hiyo bado ni ya juu ukilinganisha na bei ya soko iliyopo,” alifafanua.

Aidha, Zikankuba alisema ziada ya mazao yote yaliyozalishwa na wakulima msimu huu imefikia tani milioni 2 huku ziada ya mahindi pekee ni tani 970,000.

Zikankuba alisema NFRA imetengewa Sh bilioni 15 kwa ajili ya kununua tani 28,000 kwa awamu ya kwanza ikiwa ni asilimia 2 ya ziada ya mahindi iliyopo.

Zikankuba alisisitiza kuwa NFRA inazingatia ubora wakati wa kununua kwa kuwa ni haki na muhitaji kupatiwa chakula bora na Salama kwa afya  wakati wa dharula hivyo mahindi ambayo hayana ubora yakituzwa kwa muda mrefu ghalani yanakuwa na nafasi kubwa kupata vimelea vya fangasi ambao husababisha uwepo wa sumu kuvu katika nafaka hiyo.

Alisema kuwa Sumu kuvu ni hatari sana kwa afya ya mlaji. Tatizo hili kwa kiasi kikubwa sana, linaweza kuepukika kwa mkulima kufuata mbinu bora za kilimo, mbinu bora za utayarishaji nafaka na mbinu bora za kuhifadhi nafaka baada ya kuvuna. Lengo la NFRA ni kutoa chakula chenye ubora na salama wakati wa dharula.

MWISHO

Serikali YAKANUSHA.....Yasema Haina Mtandao Wowote wa Kutoa Mikopo Kwa Dakika 45

$
0
0

KUMEIBUKA matangazo kwenye mtandao wa FACEBOOK yanayosema kwamba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshiriki sherehe ya uzinduzi wa tovuti ya www.boreshamaisha.ml ambayo inatoa mikopo ndani ya dakika 45.

Waliofungua ukurasa huo wa FACECOOK, hawana uhusiano wowote na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 

Tovuti hii ya www.boreshamaisha.ml inaonesha ni ya Malaysia wala siyo ya Tanzania. Wanasema wanatoa mikopo hiyo kutoka mfuko wa VICOBA TANZANIA ambao umeanzishwa katika mfumo wa intaneti pekee (online). 

Wanadai wanatumia mawasiliano ya teknolojia kwa uchukuzi wa haraka kupitia tovuti kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa mikopo kwa kila Mtanzania popote alipo.

Wafunguaji wa akaunti hiyo, wametumia jina la Kassim Majaliwa na wameweka picha yake akiwa Bungeni. Wanadai kwamba Waziri Mkuu alipokea barua kutoka vyama vya upinzani wakilalamika kwamba utoaji wa mikopo hiyo online kutoka kwenye mfuko wa VICOBA TANZANIA ni rushwa kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka 2020.

Pia wanadai kwamba Mheshimiwa Waziri Mkuu pamoja na viongozi wengine wamechangia fedha zao kwenye mfuko huo wa kijamii unaolenga kuwapatia Watanzania wote mikopo bila ubaguzi wa aina yoyote kwamba alishiriki uzinduzi wa tovuti hiyo.

Kwa taarifa hii ya umma, tunapenda kuujulisha umma wa Watanzania kwamba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hajashiriki uzinduzi wa tovuti hiyo, hana uhusiano wowote na watu hao na wala hana akaunti ya facebook inayohamasisha Watanzania wapate mikopo kwa dakika 45 kupitia njia ya mtandao.

Tunawaomba Watanzania wajiepushe na akaunti hiyo ya FACEBOOK kwa kuwa si halali na haina nia njema kwa watumiaji. Aidha, hiyo si akaunti ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na wala Ofisi ya Waziri Mkuu haijawahi kuunda akaunti ya mtandao yenye jina lake kwa matumizi yake binafsi au ya ofisi.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Rais Magufuli kukutana na Prince William

$
0
0
 Mwanamfalme William wa Uingereza anapangiwa kukutana na rais wa Tanzania Dkt John Magufuli wiki ijayo wakati wa ziara yake ya siku saba Afrika.

Anatarajiwa kuzuru pia Kenya na Namibia katika ziara hiyo ambayo si ya kikazi. Ziara hiyo itafanyika kuanzia 24 Septemba hadi 30 Septemba.

Lengo kuu la mwanamfalme huyo litakuwa kufuatilia juhudi za kukabiliana na ujangili na uhifadhi wa wanyama.

Atafanya ziara hiyo katika wadhifa wake kama rais wa mashirika yanayotetea uhifadhi wa wanyama ya United for Wildlife na Tusk Trust.

Amekuwa pia mlezi wa shirika la Royal African Society linalolenga kukuza uhusiano kati ya Afrika na Uingereza na hushiriki sana juhudi za kukabiliana na ujangili.

Akiwa ziarani Tanzania, Mtawala huyo wa Cambridge, atafanya mashauriano na Rais Magufuli kuhusu juhudi zinazopigwa na Tanzania katika kukabiliana na ujangili na ulanguzi wa wanyama pori kwa mujibu wa shirika la habari la Press Association.

Baba Levo Kaachiwa Huru na Mahakama

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma imemuachia huru diwani wa kata ya Mwanga Kaskazini (ACT-Wazalendo), Crayton Revocatus ‘Baba Levo’.

Baba Levo ambaye ni msanii wa Bongo Fleva alikuwa anakabiliwa na mashtaka matatu ya kushambulia, vurugu na lugha ya matusi dhidi ya muuguzi wa zahanati ya Msufini, Christina Gervas.

Akisoma hukumu hiyo leo Jumatano Septemba 19, 2018 Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Flora Mtalania, amesema Mahakama  imeshindwa kuthibitisha makosa hayo baada ya kupitia ushahidi wa pande zote mbili.

Amesema mlalamikaji ana haki ya kukata rufaa endapo hakuridhika na hukumu hiyo.

Awali,  akizungumza kabla ya kutolewa hukumu hiyo wakili wa Serikali, Raymond Kimbe amesema walikuwa tayari kwa hukumu hiyo huku wakili wa utetezi, Thomas Msasa akibainisha kuwa wana imani na Mahakama kuwa ni chombo cha kutoa haki.

Diwani huyo alidaiwa kutenda kosa hilo Aprili 12, 2018 na kwa mara ya kwanza alifikishwa mahakamani Mei 4, 2018.

Boti Yapinduka na Kuua Watu Watatu Rufiji

$
0
0
Na Mwamvua Mwinyi,Rufiji
Watu watatu kati yao akiwemo mtoto wa miaka kumi,wamefariki dunia baada ya boti waliyokuwa wakisafiria wakitokea mashambani kupinduka wakati walipokuwa wakielekea msibani katika kijiji cha Nyaminywili ,kata ya Kipugira ,Rufiji mkoani Pwani .

Ajali hiyo imetokea baada ya boti hiyo kugonga gogo kwa chini na kusababisha kishindo  hali iliyosababisha taharuki kwa abiria  na kukimbilia upande mmoja hivyo boti ilipinduka na kuwafunika .

Kamanda wa polisi kanda maalum ya Rufiji,Onesmo Lyanga alithibitisha kutokea kwa tukio hilo majira ya saa 2 asubuhi septemba 19 mwaka huu.

Alisema boti ambayo usajili wake bado haujajulikana mali ya serikali ya kijiji cha Nyaminywili ikiendeshwa na nahodha Jumanne Bumbo (20) mkazi wa Nyaminywili ikitokea Nyaminywili mashambani kuelekea kijijini ikiwa na watu 21 wakiwemo watoto watatu ilipinduka.

Alitaja waliofariki dunia kuwa ni pamoja na Mwajuma Libeneke (26), mkazi wa Nyaminywili  na mtoto wake Mwajuae Diola (10).

Mwingine ni Wastara Tumbo (24) mkazi wa Nyaminywili ambapo watu 18 waliopolewa wakiwa wapo hai.

Hata hivyo,majeruhi wote walipelekwa kituo cha afya Nyaminywili kwa matibabu zaidi ambapo baadae waliruhusiwa.

Boti hiyo imeshaopolewa majini ,miili imekabidhiwa kwa ndugu zao kwa taratibu za mazishi.

Lyanga aliwaasa ,watumiaji wa vyombo vya majini kuwa makini na kuwapa maelekezo maalum wasafiri wa vyombo hivyo ili kujiepusha na majanga  yanayoweza kujitokeza.

Nae mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ,wilayani Rufiji ambae pia ni mkuu wa wilaya hiyo ,Juma Njwayo alitoa rai kwa wamiliki wa boti na mitumbwi kuwa waangalifu na kubeba abiria kulingana na idadi inayotakiwa.

Alisema yeye alipata taarifa hiyo asubuhi kutoka kwa mtendaji wa kijiji hicho na ametoa pole kwa waliofikwa na misiba hiyo.

Kwa upande wake katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM ,Dk.Bashiru Ally alitoa pole kwa ndugu waliofikwa na mkasa huo.

Alieleza chama kipo pamoja nao katika kipindi hiki kigumu cha msiba .

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 20

Soudy Brown, Maua Sama, Mx , Shaffih Dauda na Luvanda waendelea kusota rumande

$
0
0
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam bado inawashikilia Soudy Brown, Maua Sama, Mx , Shaffih Dauda pamoja na Luvanda kutokana na tuhuma mbalimbali zinazowakabili.

Shafii Dauda na Mc Luvanda wanashikiliwa kwa kesi ya kumiliki na kuendesha blogi bila ya kibali ambacho walitakiwa kulipwa Mamlaka ya mawasiliano ya Tanzania (TCRA).

Mwingine ambaye anashikiliwa ni Ben Ali (Ben On Air) ambaye alikuwa muendeshaji wa Dauda TV kupitia mtandao wa (Youtube).

Maua Sama na Soudy Brown wanatuhumiwa kwa kosa la uharibifu wa mali za umma kwani walichapisha video katika mitandao ya kijamii iliyowaonyesha wakikanyaga pesa za Kitanzania.

Wengine ambao wanashikiliwa ni Tumaini Makene ambaye anaendesha blogu ya Chadema, Fadhili Kondo ambaye ni meneja wa msanii wa kizazi kipya Maua Sama, meneja wa Shetta Michael Mlingwa (Mx Carter).

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa alisema ana taarifa ya kukamatwa kwa watu hao lakini kama wataongezeka atatoa taarifa rasmi muda utakapofika.

“Katika ofisi yangu yapo hayo majina nane kwa tuhuma za kuendesha blogu bila ya kuwa na kibali ambacho walitakiwa kulipia ili kuwa na haki ya kutumia na kuendesha,” alisema Mambosasa.

Credit:Mwananchi

Jukwaa La Katiba (JUKATA) Lapinga Polisi Kushangilia Uchaguzi Kumalizika

$
0
0
Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata) limelitaka Jeshi la Polisi na tume ya taifa ya Uchaguzi (NEC) kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na si kutumika kisiasa.

Kauli hiyo imetolewa jana Jumatano Septemba 19, 2018 na Mwenyekiti wa Jukata, Hebron Mwakagenda katika mkutano wake na waandishi wa habari ambapo amezungumzia hali ilivyokuwa katika uchaguzi wa Ubunge katika jimbo la Ukonga na Monduli pamoja na ule wa Udiwani katika kata 24.

Katika ufafanuzi wake Mwakagenda amesema amesikitishwa na kitendo cha baadhi ya polisi kushangilia uchaguzi kumalizika salama wakati waliotakiwa kufanya hivyo ni wananchi.

"Polisi wanashangilia hadharani bila aibu kuwa uchaguzi umefanyika kwa amani kwani nani alitakiwa kuhakikisha kwamba amani hiyo inakuwepo si wao, wanashangilia ushindi upi wakati ni wajibu wao kulinda mali raia na mali zao”, alisema Mwakagenda.

Akiwazungumzia NEC, Mwakagenda alisema tume hiyo haipaswi kupendelea upande wowote wa chama cha siasa ili kuepuka kasoro ambazo hujitokeza katika chaguzi mbalimbali ikiwemo za marudio, "Uchaguzi ni kama mechi, tume ndio refa kwa hiyo kama itapendelea upande mmoja mechi haiwezi kuwa ya amani”.

Uchaguzi huo umefanyika Septemba 16, 2018 ambapo baada ya matokeo kutangazwa , Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda na Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam walipongezana hadharani kwa kulinda amani kabla na baada ya uchaguzi wa ubunge Jimbo la Ukonga, jambo ambalo katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Humphrey Polepole alilipinga.

Hatima Ya Nondo Kujulikana Oktoba 2

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mfawidhi mkoa wa Iringa  imefunga kusikiliza ushahidi wa  shauri linalomkabili mwenyekiti wa mtandao wa wanafunzi Abdul Nondo baada ya kusikiliza mashahidi wawili wa upande wa utetezi, ambapo imepanga Oktoba 2 kutaja siku ya kutoa hukumu ya kesi hiyo.

Kabla ya kufunga ushahidi huo Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya mkoa Iringa Liad Chamshama amesikiliza mashahidi wawili wa upande wa utetezi ambapo shahidi wa kwanza ni  Abdul Nondo  na shahidi wa pili ni  Alphonce Lusako.

Akitoa ushahidi mbele ya Hakimu  jana Abdul Nondo akiongozwa na wakili wake Jebra Kambole, Nondo amedai kuwa alitekwa na watu wasiojulikana karibu na geti la chuo cha maji ubungo majira ya  saa tano Usiku, siku ya tarehe 6 Machi 2018, kwa kuvamiwa na kutupwa siti ya nyuma ndani ya gari.

Nondo amesema  watu hao walikuwa wakimhoji kwanini anatumiwa na wanasiasa kiasi cha kuvuruga amani na walimtuhumu kuwa anatumiwa na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, Zitto Kabwe na Hellen Kijo Bisimba (aliyekuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu-LHRC) pamoja na kumshutumu kuwa yeye ni wakala wa Mange Kimambi katika kuandaa maandamano ya wanafunzi lakini amekana tuhuma hizo.

Kwa upande wake shahidi wa pili Alphoce Lusako ambaye ni kiongozi mwezake katika shirika la TSNP ameiambia  mahakama kuwa baada ya kupata taarifa kutoka  kwa Paul Kinabo kuwa amepokea ujumbe kwa njia ya simu  kutoka kwa Nondo kuwa yupo hatarini  na ndipo wakatoa taarifa kwa uongozi wa chuo na askari wasaidizi wa chuo na kupewa RB.

Mtuhumiwa Abdul Nondo alifikishwa  Mahakamani Machi 21, 2018 na kusomewa mashitaka yake ambayo yote aliyakana kuhusika nayo hivyo Oktoba 2 mwaka huu Mahakama itarejea tena kwa ajili ya kutaja siku ya hukumu.

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218,0789289945. TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya musanga
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images