Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Viongozi wa Nchi mbalimbali wawasili Nchini Kwa ajili ya Maadhimisho ya sherehe za Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania.

0
0
 Rais Mstaafu wa Namibia Sam Nujoma akisalimiana na Dkt. Harisson Mwakyembe alipowasili Kwa ajili ya sherehe za Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania  Rais wa Lesotho Mfalme Letsie 111 akiwasili Kwa ajili ya sherehe za Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania kushoto ni Waziri wa Kilimo Christopher Chiza  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akiwasili uwanjani Kwa ajili

"Muungano unawanufaisha wananchi, Tuudumishe"....Asema Rais Kikwete

0
0
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika matembezi ya pamoja na viongozi wenzake wakati wa mapokezi ya matembezi ya Kizalendo yaliyofanywa na vijana nchini jana jijini Dar es Salaam.Mwenye gauni la kitenge ni Mke wa Rais Kikwete Mama Salma Kikwete. Na Concilia Niyibitanga na Gogina Misama Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho

Picha: Sherehe za miaka 50 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar toka uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mkono wananchi waliohudhuria sherehe za miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizofanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali wa ndani na nje ya nchi.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride la Jeshi la wananchi kwenye sherehe za miaka 50 ya

Baby madaha asimulia jinsi anavyotongozwa na wasanii wenzake wa kike......"Mastaa wengi tu wanasagana, wapo wanaonitaka kwa kila hali"

0
0
Baby Madaha  akipigana  denda    na  msichana  mwenzake Bar. **** Wakati  sakata  la  kusagana  ndani  ya  mastaa  wa  bongo  movie  likiwa  bado  bichi, Msanii  wa  muziki  na  maigizo  Baby  madaha  ameibuka  na  mapya  juu  ya  mastaa  wenye  tabia  ya  usagaji.... Akiongea  na  mwandishi  wetu  juzi  kati  jijini  Dar,msanii  huyo  alisema  kuna  mlolongo  wa  wasanii  wa  kike  kwenye

Picha: Askari magereza wakionesha jinsi wanavyopambana na wafungwa wakorofi wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya muungano

0
0
   'Wafungwa'  wakijifua kupambana na askari Magereza katika moja ya maonesho yaliyotia fora sana kwenye sherehe za miaka 50 ya Muungano katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Askari akipambana na 'Mahabusu' aliyeasi  Askari akila sahani moja na 'wafungwa' watatu  Askari anapangua teke....  Kisha anakata zote bee....  Mfungwa hoi...

Picha: Jeshi la wananchi wa Tanzania ( JWTZ ) likionesha ujuzi wake na baadhi ya silaha za kivita wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano

0
0
 Makombora ya kutungulia ndege za adui  yakionyeshwa kwa wananchi.  Kikosi cha Makomandoo kikionyesha ukakamavu na kutoa heshima mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete.  Kikosi cha Makomandoo kikionyesha ukakamavu na kuonyesha uwezo wake katika mapambano ya Karatee na  mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete  Makomandoo hawa wakionyesha uwezo mkubwa wa mapambano na

Magazeti ya leo Jumapili ya tarehe 27 April 2014

0
0
                          Magazeti  ya  leo  Jumapili  ya  tarehe  27  April  2014 <!-- adsense -->

Waziri mkuu wa Korea Kusini ajiuzulu kufuatia kuzama kwa ferry iliyosababisha vifo vya watu 187

0
0
Waziri mkuu wa Korea Kusini Chung Hong-won amejiuzulu kufuatia kuzama kwa Ferry ya Sewol iliyokuwa na jumla ya abiria 476 wengi wao wakiwa ni wanafunzi na walimu, huko pwani ya kusini ya nchi hiyo wiki iliyopita. “vilio vya familia za wale ambao bado hawajaonekana vinanikosesha usingizi usiku” alisema Chung Hong-won.   Maafisa wa Korea Kusini wamethibitisha jumla ya watu 187

Picha: ...Papa Francis awatangaza Mapapa John XXIII na John Paul II watakatifu

0
0
Mapapa wa zamani, John XXIII na John Paul II wametangazwa watakatifu Jumapili hii na Papa Francis hafla iliyoshuhudiwa na umati mkubwa wa waumini wa kanisa katoliki kwenye viwanja vya St. Peter’s Square, jijini Vatican. Waumini wa kanisa katoliki wakifuatilia sherehe za kutangazwa watakatifu mapapa John XXIII na John Paul II     Mamilioni ya watu wengine duniani wameangalia kupitia

Diamond anatafutwa China.....Aliyejifanya dansa wake adakwa na madawa ya kulevya kama Jack Patrick, ni katika uwanja uleule wa ndege akiwa na shehena ya Unga

0
0
  STAA  wa  muziki  wa  bongo  fleva  nchini, Abdul  Nassib  "Diamond"  ametakiwa  kutokanyaga  kabisa  nchini  China  na  kwamba  akitokeza  pua  yake  nchini  humo  asahau  kabisa  kurudi  uraiani... Hiyo  inafuatia  kijana  mmoja  mtanzania  kukamatwa  wiki  iliyopita  uwanja  wa  ndege  wa   Macau   China  na  kudai  kuwa  yeye  ni  mcheza  shoo  wa  mwanamuziki  Diamond  kutoka  Tanzania

Rais Kikwete azindua rasimi kituo cha magonjwa ya moyo Muhimbili.....

0
0
  Rais Jakaya Kikwete akiongea na mmoja wa wagonjwa watoto waliofanyiwa upasuaji kwenye kituo kipya na cha kisasa cha Moyo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kukifungua rasmi  jana  April 27, 2014 Rais Kikwete na Makamu Mwenyekiti wa chama tawala cha China cha National People's Congress Mhe. Chen Changzhi (kushoto) wakioneshwa moja ya vifaa vya kisasa vya kuchunguzia

Rais Kikwete atoa msamaha kwa wafungwa 3,967 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho miaka 50 ya Muungano wa Tanzania

0
0
RAIS Jakaya Kikwete, ametoa msamaha kwa wafungwa 3,967 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho miaka 50 ya Muungano wa Tanzania.  Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, Rais ametoa msamaha kwa wafungwa kwa kutumia madaraka aliyopewa chini ya ibara ya 45 (1) (d) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unatatizo la kufika kileleni mapema?....Bofya hapa ukutane na maajabu ya korodani za mbuzi na kuku na dawa ya Jiko katika kutibu tatizo hilo

0
0
Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasaha. Tatizo hili linawakabili mamilioni ya wanaume duniani na limekuwa na athari nyingi kama vile kuvunjika kwa mahusiano na hata ndoa. Mwanaume mwenye tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume anakuwa hana uwezo wa kumtosheleza mwanamke kwenye tendo la ndoa.

Mwanafunzi wa chuo afariki katika chumba cha boyfriend wake akijaribu kutoa mimba

0
0
Mwanafunzi wa Eden Hilling College aliyetajwa kwa jina la Atu Gabriel amefariki akidaiwa kujaribu kutoa mimba kwa kunywa vidonge. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani (RPC), Orech Mtei, katika kuthibitisha kutokea kwa tukio hilo, alisema  Jumamosi April 26 mwili wa Atu ulikutwa katika chumba cha mwanaume aliyefahamika kwa jina la Hafidhi ambaye anadaiwa kuwa mpenzi wake. Kamanda

Profesa J adai Diamond alilia machozi wakati anafanya chorus ‘Kipi Sijasikia’

0
0
Profesa J amesema Diamond Platnumz, alilia machozi wakati anafanya chorus ya wimbo wake ‘Kipi Sijasikia’ Rapper huyo alikiambia kipindi cha Sunrise cha Times FM kuwa wakati Diamond anarekodi chorus hiyo yeye na Majani walishangaa kumuona hitmaker huyo wa ‘My Number One’ akibubijikwa na machozi ndani ya ‘booth’.   “Lakini kilichotushangaza alipoingia booth ili arekodi chorus Diamond

Rais Kikwete akabidhi Vitabu 2,181 kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)

0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo katika Ikulu ya Dar es Salaam amekabidhi vitabu 2,181 kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa ajili ya vyuo vya Jeshi ili kuongeza taaluma. Rais amekabidhi vitabu hivyo kwa Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange na kuahidi kuendelea kutafuta vitabu zaidi kwa ajili ya kuboresha Maktaba ya Jeshi iliyopo katika Chuo Cha Kijeshi kilichopo Monduli, Mkoani

Shilole ajisifu kuwapiga vibuti wanaume......"katika uhusiano wa kimapenzi sijawahi kuachwa bali huwa naacha mwenyewe"

0
0
STAA wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka kuwa katika uhusiano wa kimapenzi hajawahi kuachwa bali huwa anaacha mwenyewe. Akistorisha na mwanahabari wetu, Shilole alisema tangu aanze kuwa na uhusiano, amekuwa bingwa wa kupiga ‘vibuti’ wanaume ambao hawaeleweki.   “Ukweli sijui nina nini ila naamini Mungu amenipa kitu cha pekee kwa sababu naweza

Majambazi yahukumiwa kifungo cha miaka 270 Jela wilayani Chunya mkoani Mbeya

0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Chunya mwishoni mwa wiki iliwahukumu watu tisa kwenda jela jumla kwa miaka 270 baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa kutumia silaha.    Washtakiwa hao ni Samweli Sarehe (40), Bahati Kenson (29), Aulesi Andason (28) na Ayubu Swila (24), wote wakazi wa Mbalizi  Wilaya ya Mbeya Vijijini.   Wengine ni Mathias Simfukwe (31), Pascal Simchimba (27) wote

Magazeti ya leo Jumanne ya tarehe 29 April 2014

0
0
                                                Magazeti  ya  leo  Jumanne  ya  tarehe  29  April  2014 <!-- adsense -->

Basi la Sumry (Kigoma-Dar) laua watu 14 papo hapo usiku wa kuamkia leo maeneo ya Ikungi mkoani Singida

0
0
WATU 13 aiwemo askari wa kikosi cha usalama barabarani wamepoteza maisha baada ya kugongwa na basi la kampuni ya Sumry lililokuwa likitoka Kigoma kwenda Dar katika kijiji cha Ikungi mkoani Singida usiku wa  kuamkia  leo.  Ajali hiyo ilitokea baada ya ajali ya kwanza iliyolihusisha lori lililomgonga mwendesha baiskeli aliyepoteza maisha papo hapo na wakati wananchi wakiwa
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images