Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Ujenzi wa Meli Mpya Jijini Mwanza Kutoa Ajira kwa Watanzania 250

0
0
 Kaimu meneja wa Kampuni ya Meli (MSCL) Erick Hamis amesema kwamba ujenzi wa meli mpya yenye uwezo wa kubeba abiria 1,200 yenye tani 400 utatoa ajira 250.

Amesema hayo wakati akitoa taarifa ya utekelezaji mradi wa ujenzi wa meli hiyo mpya na ukarabati wa meli nyingine za MV Viktoria na Mv Butiama na ujenzi wa Chelezo.

Mbunge wa Ilemela, Angelina Mabula amesema kwamba baada ya meli ya Mv Bukoba kuzama usafiri ulikuwa wa shida.

“Tunatumia fursa hii kukushukuru(Rais Magufuli) kwa jitihada zako na sisi tutakuunga mkono,’’amesema.

Naye Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Stanslaus Mabula amesema tukio hilo ni dhahiri kwamba Rais ana dhamira kwa anayoyasema.

Alisema kwamba Rais aliposema anajenga reli kutoka Mwanza alikuwa pia amedhamiria na kwamba miundombinu hiyo itasaidia kukuza uchumi wa Kanda ya Ziwa.

“Wapo watu ambao hawataki kuamini kinachofanyika lakini ukweli ndio huo,’’amesema.

Diamond Kaamua Kusuka Rasta....Tazama Hapa Alichokisema Gigy Money

0
0
Msanii wa muziki Bongo, Gigy Money ametoa neno mara baada ya kuona muonekano mpya wa nywele za Diamond Platnumz.

Muimbaji ameonyesha kuvutiwa na muonekano wa Diamond lakini akimueleza kuwa kubana sio poa. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika;

"Na leo ni Monday right ok, Diamond Platnumz is My crush Monday, sema Chibu unampenda sana Mama Dee napenda unavyomsapoti kwa kweli unajua mpaka kusuka rasta kabana sio poa ujueee.  I love you Nasibu super star mwenzangu coz unafanya kitu roho inapenda," ameeleza Gigy Money.

Kwa mara ya kwanza leo September 03, 2018 ndipo Diamond ameonekana hatharani akiwa na muonekano wa tofauti kwenye nywele zake pale alipotokea kwenye mkutano na Waandishi wa Habari.

Uteuzi Mwingine Uliofanywa na Rais Magufuli Leo

0
0
Rais Dkt. John Magufuli leo Septemba 03, 2018 amemteua Dkt. John Antony Kiang’u Jingu kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (anayeshughulikia Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto).

Kabla ya uteuzi huu Dkt. Jingu alikuwa Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Dkt. Jingu anachukua nafasi ya Bi. Sihaba Nkinga ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Wakati huo huo, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bw. Gabriel Pascal Malata kuwa Kamishna wa Kazi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu.

Kabla ya uteuzi huo Bw. Malata alikuwa Mkurugenzi Msaidizi Kesi za Madai, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Bw. Malata anachukua nafasi ya Bi. Hilda Nkanda Kabisa ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Septemba 4

Majaliwa Akutana Na Waziri Wa Kilimo Wa China

0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Kilimo wa China, Bw. Han Changfu wakati alipotembelea Wizara ya Kilimo ya nchi hiyo iliyopo Beijing Septemba 3, 2018.  Majaliwa yupo nchini China kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika Mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano Kati ya Afrika na China – FOCAC

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Kilimo wa China, Bw.  Han Changfu (kushoto) wakati alipotembelea Wizara hiyo iliyopo Beijing, Septemba 3, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Waziri wa Kilimo wa China, Bw. Han Chanfu  wakishuhudia utiaji saini wa Makubaliano ya Ushirikiano katika masuala ya Uvuvi kati ya China na Tanzania kwenye ukumbi wa Wizara ya Kilimo ya China katika jiji la  Beijing, Septemba 3, 2018. Wanaotia Saini ni Waziri wa Kilimo, Mifugo na  Uvuvi wa Zanzibar, Rashid Ali Juma (kushoto) na Naibu Waziri wa Kilimo wa China, Qu Dongyu

China Kushirikiana na Nchi za Afrika Katika Mambo Makuu Nane ( 8)

0
0
Beijing-CHINA: RAIS wa Jamhuri ya Watu wa China Xi Jinping amesema, Serikali ya nchi hiyo ipo tayari kushirikiana na Afrika katika maeneo makubwa  nane katika kipindi cha  miaka mitatu ijayo itayojikita katika masuala ya viwanda, miundombinu, biashara, kilimo, ulinzi na usalama pamoja na mazingira.

Akifungua Mkutano wa Tatu wa Jukwaa la Ushirikiano wa China na Bara la Afrika (FOCAC) jana Beijing China na Rais Xi Jinping ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jukwaa hilo alisema katika masuala ya viwanda, uchumi wa Bara la Afrika na usafirishaji wa bidhaa utaendelea kupewa kipaumbele na Serikali ya China pamoja na makampuni yake yanahimizwa kuwekeza katika nchi za Afrika.

Kuhusu sekta ya kilimo, Rais Xi Jinping alisema Serikali ya China imepanga kuanzisha miradi 50 itayogharimu kiasi cha Yuan Bilioni 1 (Dola Milioni 147) itayosaidia masuala ya dharura na majanga mbalimbali ya kibinadamu sambamba na hilo, Rais Xi Jinping ameahidi kupeleka wataalamu 500 wa masuala ya kilimo ili kusaidia maendeleo ya sekta hiyo Barani Afrika.

Akizungumzia kuhusu masuala ya miundombinu, Rais Xi Jinping amesema Serikali ya China itafanya juhudi na Umoja wa Afrika kuunda mpango wa ushirikiano wa Miundombinu baina ya Bara la Afrika na China na kusaidia makampuni ya Serikali ya China kupata fursa ya ujenzi wa miradi mbalimbali.

Katika masuala ya Biashara, Rais Xi Jinping alisema  China itaongeza uingizaji wa bidhaa zinazotoka nchi za Afrika ili kuweza kuzisaidia kukuza biashara za  kimataifa na kuahidi kupunguza kodi mbalimbali za bidhaa kutoka Bara la Afrika.

Aidha Rais Xi Jinping alisema katika eneo la uhifadhi na ulinzi wa Mazingira, Serikali ya China imepanga kuanzisha miradi 50 itayosaidia mfumo wa bioanuai na ulinzi wa mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi na kulinda uifadhi wa wanyama pori.

Akifafanua Zaidi, Rais Xi Jinping alisema China pia imekusudia kuwajengea uwezo vijana wa Bara la Afrika katika mafunzo ya ufundi stadi ambapo imepanga kutoa nafasi 1000 katika hadhi ya juu, nafasi za ufadhili wa masomo 50,000 pamoja na kuwakaribisha vijana 2000 kutembelea masuala mbalimbali.

Katika eneo la afya, Rais Xi Jinping alisema Serikali ya China imepanga kuendeleza miradi 50 katika sekta ya afya, hususani vituo vinavyolenga kupunguza magonjwa mbalimbali ikiwemo ukimwi, kifua na malaria.

Kuhusu mahusiano ya mtu mmoja mmoja Rais Xi Jinping alisema Serikali ya China imepanga kuanzisha taasisi ya mafunzo kwa watu wa Bara la Afrika na kubadilishana fikra na mitazamo.

Aidha Rais Xi Jinping alisema katika Nyanja ya Amani na Usalama, China itaendelea kuweka mfuko maalum wa fedha na kusaidia Jeshi la Umoja wa Afrika ikiwemo kuanzisha miradi 50 ya kusaidia katika masuala ya kulinda amani, kupambana na uharamia na ugaidi.

Aliyeua Mkewe Kwa Wivu wa Mapenzi Atiwa Mbaroni

0
0
Na Mwamvua Mwinyi,Pwani
JESHI la polisi Mkoani Pwani ,limefanikiwa kumkamata Salum Mzee Kondo (38),fundi ujenzi mkazi wa KidongoChekundu ,Bagamoyo aliyehusika na tukio la mauaji ya mkewe Mwajuma Omary (27) kisha kutoroka baada ya kutenda kosa hilo.
 
Mtuhumiwa huyo amekamatwa septemba 2 mwaka huu ,Yombo Buza jijini Dar es salaam ambako alikimbilia baada ya kufanya kitendo hicho tr .31 agost 2018, saa 9 alasiri huko Kidongochekundu.
 
Akiweka bayana kuhusiana na tukio hilo kwa waandishi wa habari ,kamanda wa polisi mkoani Pwani (ACP) Wankyo Nyigesa alisema, mtuhumiwa alipokamatwa alikiri kutenda kosa hilo ,na kudai alichukua hatua hiyo kutokana na wivu wa kimapenzi .
 
Alieleza kwamba , mkewe alikuwa akichat na simu huku akiwa anacheka mwenyewe ndipo alipoamua kumnyang’anya simu na kukuta message alizokuwa akichat na mwanaume mwingine .
 
“Jambo hilo lilisababisha mgogoro kati yao ,ambao ulisuluhishwa na mwenyekiti wa kitongoji cha Magomeni B, lakini marehemu alishikilia kuchoshwa kuishi na mumewe huyo na kuomba kupewa talaka na mumewe aligoma kutoa talaka ” alifafanua Nyigesa .
 
Pamoja na hilo ,Nyigesa alisema wawili hao walikuwa na mgogoro mwingine, uliotokana na mtuhumiwa kuchukua ATM Card ya marehemu mkewe na kwenda kutoa sh.50,000 bila ridhaa yake.
 
Alibainisha ,jambo hilo lilimsababisha marehemu mkewe kuondoka nyumbani wanakoishi na kwenda kuishi kwa baba yake mdogo.
 
Kamanda huyo alieleza ,ilipofika tarehe 31 agost mwaka huu alimpigia simu mumewe kuhitaji fedha zake hizo ambapo mumewe alimwambia aende nyumbani kwao akachukue na mkewe huyo (marehemu)aliendelea kushikilia kutaka fedha zake na talaka ndipo mtuhumiwa kwa hasira alimkaba na kumsababisha kifo .
 
Baada ya kutenda kosa hilo mtuhumiwa alimfunika marehemu kwa shuka ndani ya chumba walichokuwa wakiishi na kuacha ujumbe kuwa ameua kutokana na wivu wa kimapenzi .
 
Kwa mujibu wa Nyigesa ,Ujumbe huo uliendelea kueleza ,mtuhumiwa nae anaenda kujiua hivyo mali zote walizoacha ni za watoto wawili waliozaa na marehemu .

Rais Magufuli Awafagilia Wabunge wa CCM.....Awapiga Dongo Wapinzani

0
0
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli jana  kwenye ziara yake Mkoani Mwanza akihutubia katika hafla ya utiaji saini mikataba ya ujenzi wa meli ya MV.Butiama na MV. Victoria amewapongeza wabunge wa CCM kwa kupitisha bajeti ya serikali na kuwananga wabunge kutoka vyama vya upinzani kwa kupiga kura ya hapana kwenye kuipitisha bajeti hiyo.

Magufuli alisema iwapo wabunge wa CCM wangepiga kura ya hapana kama wabunge wa upinzani serikali isingeweza kutekeleza miradi ya maendeleo ikiwemu wa ujenzi wa meli mpya unaotarajia kuanza hivi karibuni.

Alisema kuwa kura ya hapana maana yake watu wa Bukoba waendelee kupata tabu, watu wa Victoria wasiweze kufanya biashara na waendelee kuteseka kwa  kukosa usafiri ndani ya Ziwa Victoria.

Aidha, Rais Magufuli aliwapongeza wabunge wa CCM kwa kuwawakilisha vyema wananchi wa Bukoba na amawaomba waendelee hivyo hivyo.

==>>Tazama hapa, Rais Magufuli akizungumza hayo.


Waziri Mkuu: Tunahitaji Wawekezaji Kwenye Mazao Ya Kilimo, Samaki Na Mifugo

0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tanzania inahitaji wawekezaji wakubwa kutoka China ambao watawekeza kwenye viwanda vya mazao ya kilimo, samaki na mifugo.

Aliyasema hayo jana (Jumatatu, Septemba 03 ,2018) wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Kilimo wa China, Bw. Han Changfu, jijini Beijing.

Alisema  katika kipindi hiki ambacho Tanzania imeamua kukuza uchumi wake kupitia sekta ya viwanda, China ni nchi sahihi kushirikiana nayo kwa sababu inawawekezaji wa kutosha.

“China ni rafiki yetu na pia imepiga hatua kubwa kwenye teknolojia ya viwanda, hivyo tunahitaji kuendelea kushirikiana nayo ili tuweze kupata na teknolojia sahihi ya viwanda mbalimbali.”

Waziri Mkuu alisema Serikali zote mbili ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ziko tayari wakati wowote kuwapokea wawekezaji kutoka China.

Alisema wawekezaji hao watapatiwa ardhi ya kujenga  viwanda ambavyo vitatumia mazao ya kilimo, mifugo na bahari hasa samaki  ambayo mengi yanapatikana kwa wingi nchini.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu alisema Tanzania inahitaji kupata soko la mbaazi na soya nchini China ili kuwawezesha wakulima wake kuwa na soko la uhakika la mazao hayo.

Alisema Tanzania hivi sasa inakabiliwa  na tatizo la ukosefu wa soko la mazao hayo, baada ya wakulima kuitikia wito wa Serikali  wa kuwataka walime mazao hayo kwa ajili chakula na biashara.

“Tumelazimika kutafuta masoko ya mazao hayo hapa China ili kutowakatisha tamaa wakulima wetu kwani itakuwa vigumu kwao kuendelea kulima mazao hayo kwa wingi bila ya kuwa na uhakika wa soko.”

Kwa upande wake, Waziri wa Kilimo wa China alisema nchi yake iko tayari kutoa elimu na mafunzo kwa Watanzania hasa kwa kuandaa semina zitakazowawezesha washiriki kuongeza ujuzi wao, hatua ambayo itawasaidia Maafisa Ugani wetu kufanya kazi zao vizuri zaidi.

Katika mazungumzo hayo, Tanzania na China  zimesaini hati ya makubaliano ya  ushirikiano katika maeneo ya uvuvi, ambapo Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi wa Zanzibar, Bw. Rashidi Ali Juma alitia saini kwa upanda wa Tanzania na China iliwakilishwa na Naibu Waziri wa Kilimo, Eudong  Yu .

MapemaWaziri Mkuu alikutana na kufanya mazungumzo na Naibu Gavana wa Jimbo la Jiangsu, Bw. Guo  Yuan Qiang ambaye aliahidi kuwa jimbo lake litaendelea kushirikiana na Tanzania katika sekta za elimu na afya.

Gavana Qiang aliishukuru Tanzania kwa kuyawezesha makampuni kutoka jimbo  hilo ambayo yamejenga viwanda nchini na kufanya  shughuli zao kwa amani na usalama.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMANNE, SEPTEMBA 04, 2018.

Bobi Wine Aeleza alivyong’olewa kucha, kutobolewa masikio na kukaa siku tatu bila kula

0
0
Hatimaye msanii mkubwa nchini Uganda ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Kyadondo, Bobi Wine amefunguka kwa mara ya kwanza tangu alivyopatwa na majanga ya kukamatwa na wanajeshi hadi kufunguliwa mashtaka.

Bobi Wine ambaye yupo nchini Marekani akipatiwa matibabu ya majeraha aliyoyapata kwenye sakata hilo, amesema kuwa usiku wa Agosti 13, 2018 akiwa katika hoteli moja mjini Arua alisikia wanawake nje ya hoteli wakipigwa na wanaume waliokuwa wanawauliza Bobi Wine yupo chumba namba ngapi.?

Bobi ameeleza kuwa wanawake hao ambao walikuwa ni wahudumu wa Hoteli hiyo, walikataa katu katu kutaja chumba alichokuwa amefikia, hadi mwanamke mmoja baada ya kushindwa kuvumilia kipigo alipowaambia wanajeshi hao chumba nilichokuwa nimefikia.

Bobi amesema alikataa kufungua mlango, ndipo wanajeshi hao walipoamua kutumia chuma kizito kuvunja mlango, na walipofanikiwa walimuamuru anyooshe mikono juu na kisha alianza kushambuliwa na wanajeshi wapatao sita wengine wakimgonga kichwani na usoni na chuma hicho kizito kichwani.

Bobi amedai kuwa kabla ya kuingia kwenye hoteli hiyo ndio wanajeshi hao walianza kushambulia gari lake kwa risasi ambapo walifanikiwa kumuua dereva wake aitwaye Yasin ndipo watu wake wanaoendesha mitandao ya kijamii akawashauri waposti picha ya tukio hilo kupitia Twitter.

Akiendelea kusimulia tukio hilo, Bobi amesema alipokamatwa alifungwa miguu na mikono kisha kufungwa kitambaa cheusi usoni na akastuka yupo katika kambi ya jeshi.

Amesema aliwekwa kwenye chumba kidogo ambapo ameeleza kuwa alipigwa ikiwemo kutolewa kucha na kutobolewa masikio na kitu chenye ncha kali ambapo maumivu yake hawezi kuyaelezea.

Amedai pia hakula kwa siku tatu hadi tarehe 16 Agosti alipokuja kutembelewa na mkewe pamoja na mdogo wake hospitalini alikokuwa akipatiwa matibabu.

==>>Soma Waraka wake Hapo Chini
    WHAT EXACTLY HAPPENED IN ARUA? MY STORY!

Fellow Ugandans, friends and well-wishers from around the world,

 I am sorry, I have taken a bit long to write to you about the trials and tribulations, for which you all stood with me. It’s been tough days, as I recover from the physical and mental trauma I endured. I am overwhelmed by your support and words of encouragement. I cannot repay you in any other way, except sticking to those values which bind all of us together- justice, equality and human dignity.

I will be communicating more in the coming days and where possible send my appreciation to the different individuals and organizations. In this post however, I want to recount what exactly happened to me. I am very grateful to my wife Barbie, and my lawyers who narrated to the world these events, but I also wanted to tell this sad story PERSONALLY. I felt more compelled to speak out after reading the many posts written by President Museveni and other government officials about what happened.

I read the things they were saying while I was in detention, and found them absurd to say the least. I was shocked on how they tried to downplay the atrocities committed by security agencies on innocent citizens.
    So let me set the record straight.

 It was 13th August and it was the last day of campaigns in the Arua municipality by-election. As always we had a great campaign day. As I left the rally, I was convinced that our candidate Hon. Kassiano Wadri would win the election. So we moved from the rally at about 5:30pm and the people followed us, singing songs of freedom and chanting “People Power – Our Power.” Together with Hon. Kassiano and a few other leaders, we parted with the multitude, bade them farewell and went into Royal hotel where Hon. Wadri was staying.

We watched the 7:00pm news from the hotel lobby as we took tea and took stock of the day’s events. It was of course very exciting to watch that day’s news. The anchor said we were clearly ahead of the other candidates and the television relayed images of the massive rally and procession we had had on that day. Shortly after, I decided to move to Pacific hotel where I was staying so as to rest after the very busy day. It was at that point that I sat in my tundra vehicle, in the co-driver’s seat. The gentleman who was driving the tundra that day is one of our drivers (not Yasin). He moved out of the vehicle to call other team members who were supposed to drive with us. He took a bit long and I moved into my other vehicle (a land cruiser) which was right next to the tundra and whose driver was already seated on the driver’s seat. We immediately set off for Pacific hotel as the tundra drove behind us. I did not even see what happened after or how late Yasin ended up on my seat in the tundra. For clarity, he had been driving another vehicle that day.

I had started taking the stairs to my room when this driver came running to say that Yasin Kawuma had been shot. I could not believe it. I asked him where he was and he told me they were parked outside the hotel. We paced down and I saw with my own eyes, my friend and comrade Yasin, giving way as he bled profusely. I quickly asked a team member to take him to hospital and another to call the police. We had not stepped away from that place when angry looking SFC soldiers came, beating up everyone they could see.

As soon as they saw me, they charged saying “there he is” in Swahili. So many bullets were being fired and everyone scampered to safety. I also ran up into the hotel with a throng of people who had gathered around. Inside the hotel, I entered a random room and locked myself in. It is at that point that my media assistant shared with me Yasin’s picture which I tweeted because the world needed to know what was going on.

 I could hear the people outside and in the hotel corridors crying for help. I could also hear the soldiers pulling these helpless people past the room in which I was, saying all sorts of profanities to them while beating them mercilessly.

 I stayed in the room for a long time. At some point, I heard soldiers pull some woman out of her room and ask her which room Bobi Wine had entered. The woman wailed saying she didn’t know and what followed were terrible beatings. I could hear her cry and plead for help as she was being dragged down the stairs. Up to now, that is one experience that haunts me; that I could hear a woman cry for help, yet I was so vulnerable and helpless. I could not help her.

    I stayed put for some hours, and I could hear the soldiers come every few minutes, bang some doors on my floor or other floors and go away. At different times I would sleep off, but was always rudely awakened by the banging of doors and the impatient boots that paced throughout the hotel for the whole night. In the wee hours of the morning, the soldiers started breaking doors of the different hotel rooms. With rage, they broke doors, and I knew they would soon come to my room. I therefore put my wallet and phone into my socks. I also had with me some money which I had earned from a previous music show. I also put it into the socks.

    A few minutes later, a soldier hit my door with an iron bar and after two or three attempts the door fell in. We looked each other in the eye as he summoned his colleagues in Swahili. Another soldier pointed a pistol on my head and ordered me to kneel down. I put my hands up and just before my knees could reach the floor, the soldier who broke into the room used the same iron bar to hit me. He aimed it at my head and I put up my hand in defence so he hit my arm. The second blow came straight to my head on the side of my right eye. He hit me with this iron bar and I fell down. In no minute, all these guys were on me- each one looking for the best place to hurt. I can’t tell how many they were but they were quite a number.

    They beat me, punched me, and kicked me with their boots. No part of my body was spared. They hit my eyes, mouth and nose. They hit my elbows and my knees. Those guys are heartless!

    As they dragged me out of the room, they continued to hit me from all sides. After some time, I could almost no longer feel the pain. I could only hear what they were doing from a far. My cries and pleas went unheeded. The things they were speaking to me all this while, I cannot reproduce here. Up to now, I cannot understand how these soldiers who I probably had never met before in person could hate me so much.

    They wrapped me in a thick piece of cloth and bundled me into a vehicle. Those guys did to me unspeakable things in that vehicle! They pulled my manhood and squeezed my testicles while punching me with objects I didn’t see. They pulled off my shoes and took my wallet, phone and the money I had. As soon as the shoes were off, they started hitting my ankles with pistol butts. I groaned in pain and they ordered me to stop making noise for them. They used something like pliers to pull my ears. Some guy unwrapped me and instead tied the thick cloth around my head. They forced my head below the car seat so as to stop me from shouting. Then they hit my back and continued to hit my genitals with objects. The marks on my back, ankles, elbows, legs and head are still visible. I continued to groan in pain and the last I heard was someone hit me at the back of the head with an object – I think a gun butt or something. That was the last time I knew what was going on.

    By the time I became conscious again, I was somewhere in a small room with a small window. My legs were tied together with my hands with very tight cuffs. I was bleeding from the nose and ears. I was in great pain. The cloth they had tied me in was red- soaked in blood. My whole body was swollen. I was shaking uncontrollably.

    Two soldiers came in. I can now recall that they were visibly pleased to see that I was still alive. They came close to me. One of them apologized in tears about what had happened. “Bobi, I am sorry but not all of us are like that. Some of us actually like you,” he said. He said that doctors were on their way to treat me. I stayed in the same position and after a few hours, about four soldiers came in and lifted me on a piece of cloth. One of them took a picture of me, (I hope to see that picture some day in my life). As we went out, I read “Arua airfield’ somewhere. I was taken into a waiting military helicopter and taken to a place which I later found out was Gulu 4th Division military barracks. It was at that facility that some military doctors came in and started giving me injections.

    At that point I could not even complain as I was not yet fully alert. I was very dizzy and had not eaten or drank anything for many hours. My sight was very weak as well. I spent the night there. Late in the night, I was picked again from this detention facility. With my head covered with a dark cloth that felt like a t-shirt, I was taken to Gulu Police Station where I was forced to sign a written statement by an officer called Francis Olugo in the presence of some other officer who I later learnt is the CID head of Gulu. I can hardly recall what was contained in that statement! I was then returned to Gulu military barracks, put on a metallic bed and handcuffed on it. Very early morning, I was picked from this room and taken to another very secluded and dirty room where I was put on another bed, hand-cuffed again and injected with a drug that immediately sent me into a deep sleep.

    The following day I can recall that at some point, Hon. Medard Ssegona and Hon. Asuman Basalirwa came to me. My efforts to rise and speak to them didn’t yield much. The moment they saw me, they could hardly hold tears. I have a faint recollection of what they told me, but their visit was very short.

    I was later carried into a hall where I saw soldiers dressed smartly. I would lie if I said I fully appreciated what was going on at that point. I was later told that I was appearing before the General Court Martial!!!

    After a short while, I was again carried into a military helicopter.

    When it landed, I was put into a vehicle and driven to another place which I later found out was Makindye military barracks.

    At Makindye, I was now fully alert and had a drink for the first time after two or three days. I saw doctors come in several times and they gave me all kinds of injections. At some point, I tried to object and these guys would hold my arms from behind and inject me anywhere. If I asked what drug it was, the guy would say something like, “This is diclofenac, can’t you see?” At some point, some guy came in and wanted to stitch my ear which had an open wound. I pleaded with him not to, and he relented. All the while I was spending the day and night with my hands and legs cuffed until a few days later. Thankfully although the scars are still visible, the wound on my ear healed.

    It was after some time at Makindye that I was able to see my wife and my brother Eddy Yawe, who came in with some lawyers, some friends and dignitaries from the Uganda Human Rights Commission (UHRC). I will never forget the atmosphere in that room- people started crying upon setting eyes on me. At that point, I could not sit, walk or even stand by myself. I was still swollen and spoke with great difficulty due to chest pains. My teeth were shaking and the headache was unbearable. I am thankful that the UHRC made a report which I later read. At least it captured in part, the state in which they found me. As the government agency mandated to fight human rights violations, I am eagerly waiting to see what actions they will take to ensure that no Ugandan is taken through this ever again. Not even President Museveni. I cannot wish what happened to me upon anyone. Not even those soldiers who violated me as if they were beasts. I remember two other things about that visit. Despite the pain I had that day, I remember forcing a smile when they told me that I had been charged with unlawful possession of firearms.

    I was told that three guns had been assembled and said to have been found in my room! I could not believe that the state would torture a Ugandan so bad and then frame him with possession of guns! I did not stop thinking about that for all the days I spent at Makindye. How ruthless, how callous, how inhumane could these guys be? It was also on that day that I was told about the alleged stoning of the President’s vehicle.

    The other thing I remember is this- I asked my visitors if we had won the Arua election. They told me we had won with a big margin and I thanked God. That strengthened my spirit because I knew that the people were with us, even in the kind of sufferings and indignities we were being subjected to.

    I was very sad as I am today, that they murdered my brother Yasin in cold blood and did not allow me to bury him. They told me about my other comrades who were also incarcerated and I kept praying for them. (Of course every visitor had to speak to me in the presence of military personnel.) Although I was very pleased to see all visitors, when I was released, I read the comments which some of the visitors made to the press (particularly government officials). I felt sad that we have a lot of dishonest, cold people who don’t care riding on someone’s tragedy for political capital. I want to believe that we are better than that, dear Ugandans.

    Anyway, while at Makindye I was briefed that I was expected in court on 23rd August, about nine days after I was taken there. Some military doctors continued to come in to inject me, wash my wounds and give me pain killers. At night on two occasions, I was put into military vehicles and driven to Kampala Imaging Centre for scans. I could not object or even ask questions. I am worried because one of the machines seemed very dangerous. As soon as I was placed into it and it was switched on, the doctors ran to a safe distance and started seeing me from a small window. It was there that the radiologist told me how one of my kidneys and back had been damaged during the assault. I was however not given any written medical report by the military.

    It was clear they wanted me to appear in better shape at the next time of my court appearance and they did everything possible to achieve that. A day or two at Makindye, this guy was candid. He told me it was in my interest to eat well, take in all the medicine and look better by 23rd or else they would not allow the press to see me and I would be remanded again until I was presentable enough! They even forcefully shaved my hair and beards. When I hesitated, this soldier told me, ‘gwe osaaga’ (You are kidding). Two of them held my hands from behind and shaved me by force. At some point, they insisted I must wear a suit for my next appearance before the court martial and asked me to tell my wife to bring me one. I also insisted that I did not have it. At another point I hesitated to allow some eye drops for my right eye which was very red and swollen. I always wanted to know what drugs I was being given. These guys held my arms from behind and one of them literally poured the entire bottle into my eye! Later, the military doctor also provided me with a crutch to aid me in walking. At that point, I was able to stand up, although with difficulty. When you hear all this you may think that all our soldiers are brutal. Far from that, most of them are wonderful people. There are many I interacted with during this ordeal who were extremely professional and sympathetic. It was hard to comprehend how people serving the same force, putting on the same uniform could be very different in appreciation and approach to a citizen of Uganda.

    When I was taken back to Gulu on 23rd, I was very happy to see the people who came to court including family members, comrades in the struggle and lawyers. I cannot explain how I felt when the lawyer for the army said that charges of unlawful possession of firearms had been dropped. I did not feel vindicated. I was not excited. I was not moved. I just cannot explain how I felt. I just remembered what these people had done to me and tears came to my eyes. Shortly after, I was rearrested right in front of the courtroom and taken to Gulu prison. At the military prison, I was wearing a red uniform – this time, I was given a yellow one.

    Friends, you cannot believe that you can be happy to be in prison but that day I was. I was very happy to leave solitary military confinement and meet up with colleagues who were being held at the Gulu prison. That night I was taken to Lachor hospital in Gulu- other tests and scans were conducted. At that point I was feeling better, especially psychologically since I had reunited with my comrades in the struggle.

    Later that night the prison authorities decided to take me into the sickbay as opposed to staying with the other comrades. The other comrades led by Hon. Wadri protested. I could hear them bang the doors of their cell. The following day I was allowed to stay with them. This is when I interacted with the other 32 colleagues who had been arrested in the Arua fracas. Being in the same prison ward with Hon. Gerald Karuhanga, Hon. Paul Mwiru, Hon. Kassiano Wadri, Hon. Mike Mabike, John Mary Sebuufu and many other comrades made it feel like a boarding school. It was not a very happy reunion though. Because of the torture some of our comrades had been permanently injured. I cannot forget the pain which Shaban Atiku was going through. He spent every day and night groaning. The doctors had told him he would never walk again because his back had been permanently broken. Sadly, the world may never know him, but he will never go out of my mind. He would later collapse during a court session at Gulu. When I later met the women who were brutalised, it was very painful to see them and listen to their stories.

    Many times we joked about the possibility of being hanged if the regime decided to give us the maximum penalty of the offence we had been charged with! This got many of our comrades silent.

    Away from these sad moments, the overall prison leader had a box guitar in the ward and together we sang songs of freedom all night. This was the routine every night until we appeared before the Gulu High Court a few days later, for our bail hearing.

    My next communication will be a vote of thanks to the world for the overwhelming support and comradeship. I will also talk about what I think we must do together to continue this struggle for liberty and freedom.

    I am glad that authorities finally have bowed to your pressure and #HonZaake has been given bond to travel for urgent specialised treatment and I join the world to demand authorities to #FreeEddyMutwe and other political prisoners. WE SHALL OVERCOME.

    PS:
    1. Please ignore calls from my phone number (0752013306). It was taken from me by soldiers and am told they’re using it to call my friends pretending it is me.

    2. Please ignore any communication from other social media accounts and pages under my name apart from this one (with a blue tick) and my verified twitter account (also with a blue tick).

    Hon. Kyagulanyi Ssentamu aka Bobi Wine
    #PeoplePower_OurPower

Kwa upande mwingine, Bobi Wine amewataka watu kutokupokea simu yoyopote kutoka kwenye namba yake ya 0752013306 kwani simu hiyo aliporwa na Wanajeshi pia kutoamini habari zozote zinazotoka mitandaoni hadi labda zitoke kwenye ukurasa wake rasmi.

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.

Kama Dalili Hizi Unazo Upo Kwenye Hatari Ya Kuishiwa Nguvu Za Kiume Kabisa

0
0
Una dalili zifuatazo?
1: Kushindwa kurudia tendo la ndoa
2: Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa
3: Maumivu ya kiuno mgongo
4: Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
5: Uume kusinyaa, kuingia ndani na kuwa mdogo au mfupi
6: Korodani moja kuvimba

KAMA DALILI HIZI UNAZO UPO KWENYE HATARI YA KUISHIWA NGUVU ZA KIUME KABISA

Kwa matibabu tumia OZYMIX POWER-dawa bora ya nguvu za kiume ya miti shamba ambayo haina kemikali ambayo itakuwezesha kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha.
Pia tunatoa huduma hizi:>

1.Dawa ya Kuondoa michirizi
2.Kumrudisha mwanaume aliyekuacha 
 
Tunapatikana KAWE UKWAMANI karibu na kituo cha mabasi.
KWA MAWASILIANO ZAIDI ; 0716096205 /0756726865 FIKA OFISIN AU PIGA SIMU NA UTALETEWA DAWA POPOTE ULIPO DAR ES SAALAM NA KWA MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA MABASI.

TEMBELEA KATIKA BLOG YETU HAPA>>>;

Majibu ya Mimi Mars kwa Whozu Anayevizia Penzi Lake

0
0
Msanii wa muziki Bongo, Mimi Mars amejibu kile alichoanzisha Whozu.

Utakumbuku kuwa msanii Whozu alieleza kuwa amekuwa akivutiwa zaidi kimapenzi na Mimi Mars na alishawahi kumueleza hilo.

"Dah!! Whozu kaamua kujitoa fahamu, nimemwambia nitamfikiria," Mimi Mars amejibu hivyo alipoulizwa na Wasafi TV.

Whozu si msanii wa kwanza kueleza hisia zake wazi wazi kwa Mimi Mars, hata Frend wa Makomando alishafanya hivyo ingawa mrembo huyo anaeleza kutokuwa tayari kwa hilo. Mimi Mars kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya uitwao Kodoo.

Anthony Mavunde: Uchaguzi Mdogo Unaofanyika Nchini Hauathiri Idadi Ya Viti Maalumu

0
0
Serikali imesema mabadiliko yanayotokea katika uchaguzi mdogo wa ubunge, hayaathiri idadi ya viti maalumu vya chama husika.

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Vijana, Anthony Mavunde amesema hayo akijibu swali la  Mbunge wa Viti Maalumu, Angelina Malembeka aliyetaka kujua hatima ya wabunge walioingia bungeni kupitia asilia za majimbo yao ya uchaguzi.

“Kwa kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeongeza idadi ya majimbo, je ni lini wabunge wapya wa CCM kupitia viti maalumu wataingia bungeni?” alihoji Malembeka.

Akijibu swali hilo Mavunde amesema idadi ya wabunge wa Viti Maalumu kwa kila chama inapatikana wakati wa uchaguzi mkuu ambao hufanyika kila baada ya miaka mitano.

“Hata hivyo, serikali imeendelea kupokea maoni na ushauri kuhusu jambo hili, kutokana na hali ilivyo kwa sasa Katiba na Sheria za nchi vitaendelea kuwa msingi mkuu wa ufafanuzi na mgawanyo wa wabunge wa viti maalumu bungeni,” amesema Mavunde.

Kalulumila:Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

0
0
 BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO KALULUMILA.
----------------------------------------
Ni dawa pekee iliyojipatia umaarufu nchini na nje ya nchi kwa kufanya kazi mara 3, kwa wakati mmoja 1, kurefusha uume na kunenepesha saizi uipendayo kuongeza nguvu za kiume na inatibu matatizo na gerentii miaka 30. Na kuendelea haina madhara, inaimarisha mishipa ya uume iliyoregea na udhalishaji wa mbegu za kiume. 


---------NINI HUCHANGIA MATATIZO HAYA--Ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya ili kujua kwamba una ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya, ili kujua kama unangiri dalili zake ni kufika haraka kileleni wakati wa tendo la ndoa, 2)kushindwa kurudia tendo la ndoa. 3)kutoa choo kama cha mbuzi. 4)tumbo kujaa gesi na kuunguruma. 5)kukosa choo kabisa. 6)maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi. 7) korodani moja kuvimba 8)kutosikia hamu ya tendo la ndoa na maumivu ya kiuno wakati wa tendo la ndoa. 9)maumivu ya kiuno na mgongo pia tunatibu kisukari kwa siku7, presha, busha, bila kupasuliwa na magonjwa mbalimbali. 

---------------------------------------
TUPO TEGETA KWA NDEVU KARIBU NA MACHINJIO YA NGOMBE UTAONA OFSI IMEANDIKWA KALULUMILA HERBALIST CLINIC HOSPITAL SIMU .
----------------------------------------
-0655-557-182.
-0755-557182.
-0784-557-182.
PIA UTAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
---------------------------------------
KARIBUNI SANA.
----------------------------------------

Darasa la saba kuanza mtihani kesho

0
0
Baraza la Taifa la Mitihani (Necta), limetangaza rasmi kuanza kwa Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE), utakaofanyika kesho Septemba 5 na 6, 2018 nchini nzima.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumanne Septemba 4, 2018, kuhusu mtihani huo, Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde amesema jumla ya watahiniwa 960, 202 wamesajiliwa.

Kati ya watahiniwa hao, Dk Msonde amesema wasichana ni 503, 972 sawa na asilimia 52.49 na wavulana ni 456,230 sawa na asilimia 47.51.

Katibu mtendaji huyo amesema watahiniwa wasioona waliosajiliwa ni 90, wasichana 31 na wavulana 59.

Wenye uoni hafifu ambao wanahitaji maandishi makubwa ni 846, wavulana 475 na wasichana 371.

Dk Msonde amesema mtihani huo ni muhimu kwa wanafunzi kwa ajili ya kupima uwezo na uelewa wa wanafunzi katika yale yote waliyojifunza kipindi ha miaka saba.

"Matokeo ya mtihani huu hutumika katika uchaguzi wa wanafunzi wanaojiunga na elimu ya Sekondari, hivyo hatutasita kuchukua hatua kwa yeyote atakayejihusisha na udanganyifu na kuharibu taratibu zilizowekwa," amesema

Kwanini Baadhi Ya Watu Huota Ndoto Kinyume

0
0
Na. Dokta  Mungwa  Kabili……0744  000  473.
Kuna watu  huwa  wanaota  ndoto  kinyume.   Ndoto  za  kinyume  ni pale unapoota  kuhusu jambo Fulani halafu unakuja  kutokewa  na  jambo  ambalo  lipo  kinyume  na  ndoto  uliyo  iota.

Mara  nyingi  huwa  inakuwa  mtu  anaota  jambo  zuri  lakini  anakuja  kutokewa  na  jambo  baya  ambalo  lipo  kinyume  na  lile  alilo  liona  ndotoni.

Mfano  unaweza ukawa  umelala  usiku  ukaota  nyumbani  kwenu  kuna  sherehe kubwa  sana  dada  yako  au  binti  yako  ameolewa.

Lakini  baada  ya  siku  kadhaa  dada yako uliye  muota  ameolewa anakufa na  msiba  wake  unahudhuriwa  na  watu  wengi  sana.

Bibi harusi  wa  kwenye  ndoto   anageuka  kuwa  marehemu  katika  uhalisia  na sherehe  inageuka  kuwa  msiba  na  wale  watu  wengi  ulio waona  kwenye  harusi  hiyo  ya  kwenye  ndoto  wanageuka  kuwa  waombolezaji.

 NDOTO  ZINAPASWA  KUWAJE ?
Kikawaida  kabisa  katika   masuala  ya  elimu  ya  nyota  na  ndoto  anazo  ota  mwanadamu, kuna  uhusiano  mkubwa  sana  kati  ya mambo  ambayo  mtu  anayaona  kwenye  ndoto  na  mambo  yatakayo  mtokea  katika  maisha  yake.

Na  hii  ni  kwa  sababu  kabla  mambo  hayatokea  kwanza  katika  ulimwengu  wa  nyama  huwa  yanatokea  kwanza  katika  ulimwengu  wa  rohoni  na  ndoto  ni  masuala  ya  rohoni.

Nafsi  ya  mwanadamu imepewa  upendeleo  wa  kuyaona   katika  ndoto  mambo  yatakayo  tokea  mwilini   kabla  hayajatokea.

KAMA  NDIO  HIVYO  SASA  KWANINI  WATU  HUOTA  NDOTO  KINYUME.

Unapoota  ndoto  za  kinyume  tafsiri  yake  ni  kwamba  kuna  mtu  au  watu ambao  wanayaona  mambo  unayo  yaona  kwenye  ndoto .

Yaani mambo  yote unayo  yaona  kwenye  ndoto  wao  pia  huyaona  kama  ulivyo  yaona  wewe.

WATU  HAWA  WAKISHAYAONA  MAMBO  MAZURI  AMBAYO  UMEYAOTA, WANACHO  KIFANYA  NI  KUYANENEA  AU  KUYATAMKIA  KINYUME.

Suala  la  kuyatamkia  kinyume  mambo  uliyo  yaona  ndotoni  hufanyika  kama  ibada  na  hufanyika  kwa  umakini  mkubwa  sana. Matokeo  yake  wewe  uliye  ota  jambo  zuri unatokewa  na  jambo  ambalo  lipo  kinyume  na  kile  ulicho  kiota.

Kuna  watu  mpaka  wameshafikia hatua ya  kuikubali  hali  hii  na  kuiona  kama  haki  yao. Utamsikia  mtu  anasema  “  Aisee  mimi  huwa nikiota  jambo  zuri  limetokea  basi  huwa  linatokea  jambo  baya  ambalo  lipo  kinyume  na  lile  nililo  liona  kwenye  ndoto”.

JE  WATU  WANAWEZA  KUYAONA  MAMBO  AMBAYO  MTU  MWINGINE  AMEYAONA  KWENYE  NDOTO ?

Kwa  kutumia  maarifa  makubwa  sana  ya  kichawi, wachawi  wanaweza  kuyaona   mambo  ambayo  watu  wengine  huyaona  katika  ndoto.  Wachawi  wana  uwezo  wa kuyaona  mambo  hayo  kabla  hujayaona  wewe,  au  katika  wakati  huo  huo  ambao unayaona  wewe  au  baada  ya  kuwa  umeyaona  wewe.

Haya  ni  maarifa ambayo  hata  watu  wanao  fanya  ibada  sawa  sawa  wanaweza  kuwa  nayo  kwa  uwezo  wake  Mwenyezi  Mungu. Kama  wewe  ni  msomi  vizuri  wa  vitabu  vya  dini  nadhani  utakuwa  umewahi  kusoma  kisa  cha  Mfalme  Nebukadnezar  na    Daniel. Mfalme  Nebukadneza  aliota  ndoto  ya  ajabu  ambayo  hakuweza  kuikumbuka . 

Mfalme  alitaka  apate  mtu  ambae  atasaidia  kumkubusha  ndoto  aliyo  iota  na  pili  kumpa  tafsiri  ya  ndoto  hiyo.  Kukatisha  maelezo  Danieli  aliweza  kuonyeshwa  na  Mwenyezi  Mungu  ndoto  hiyo  na  kupewa  tafsiri  yake  na  mwisho  wa  siku  akamjulisha  mfalme  kuhusu  ndoto  hiyo  na  kumpa  tafsiri  yake.

Kwa  mfano  huo  hapo  utakubaliana  na  mimi  kuwa watu  wanaweza  kuyaona  mambo  ambayo  umeyaota  na  wanaweza  kuyaona  kabla  hujayaona  wewe,  au  katika  wakati  ule  ule  ambao  unayaona wewe  au  hata  baada  ya  kuwa  umeyaona  wewe  kama  ilivyo  kuwa  kwa  Danieli.

MAKUNDI  YA  WATU  AMBAO  WANAWEZA  KUYAONA  MAMBO  AMBAYO  UNAYAONA  NDOTONI.

Watu  ambao  wana  weza  kuyaona  mambo  ambayo  unayaona  ndotoni  wapo  katika  makundi  yafuatayo :

1.     WACHAWI  AMBAO  WAMEIBA  SIRI  ZAKO

Katika  makala  yangu  yaliyo  pita  nilieleza  kuhusu  jinsi  ya  kutafsiri  chale  za  kichawi. Nikaeleza  kuwa wachawi  wakitaka  kumchanja  mtu  chale  huwa  wanamchanja  kwa  kutumia  kucha  na  sio  kwa  kutumia uwembe au  kifaa  kingine  chochote.

  Nikaeleza  zaidi  kuwa   katika  kutafsiri chale  za  kichawi  huwa  yanaangaliwa  mambo  mbalimbali  na  moja  kati  ya  mambo  yanayo  angaliwa  ni  pamoja  eneo  katika  mwili  wa  mwanadamu  ambalo  chale  hizo  zimechanjwa .

Nikasema  kuwa  wachawi  wakitaka  kujua  siri  za  mtu  huwa  wanamchanja  chale  kwenye  kifua.  Mtu  akishachanjwa  chale  kwenye  kifua  hupakwa  dawa  maalumu  za  kichawi   kwa  dhumuni  la  kuunganisha  nafsi  ya  aliye  chanjwa chale  na  nafsi  ya  alie  mchanja   huku  lengo  likiwa  ni  kujua  siri  za  rohoni  za  mtu  alie  chanjwa.

Mchawi  akikuchanja  chale  hizi  basi  anakuwa  anaona  kila  kitu  unacho  kiona.  Hapa ieleweke  wazi  kwamba  mchawi  huyu  aliye  kuchanja  haja  kuchanja  chale  hizo  kwa  lengo  la  kukuibia  nyota  yako, isipokuwa amekuchanja  ili  kujua  siri  zako  . Siri  ambazo  zimeandikwa  kwenye  nyota  yako. Siri  za  maisha  ya  kila  mwanadamu  zimeandikwa  kwenye  nyota  yake.

Yeye  nyota  yako  haihitaji. Anacho  hitaji  yeye  ni  kukuharibia  wewe  usiweze  kuyapata  yale  ambayo unastahili  kuyapata.

Wachawi  wanapo  ota  ndoto  nzuri  ambayo  na  wewe  unakuwa  umeiota  pia  wanacho  kifanya  huwa  ni  kufanya  ibada  maalumu  ya  kichawi  kwa  ajili  ya  kuinenea  kinyume  ndoto  hiyo.

Ibada  hii  hufanyika  kwa usirias  mkubwa  sana  na  hufanyika  kana  kwamba  wanaweza  kupoteza  uhai  wao  endapo  hawatafanya  ibada  hiyo  ya  kunenea  au kutamkia  kinyume  ndoto  yako  hiyo.

Tamko  la  kwanza  kunenea  kinyume  ndoto  uliyo  iota hufanywa  na  mchawi  husika mara  tu  baada  ya  kushtuka  usingizini  na  baada  ya  hapo  suala  hilo  hupelekwa  kwenye  vilinge  vya  wachawi  huku  agenda  kuu  ikiwa  ni  ndoto  yako  hiyo.

Vilinge  vya  wachawi  huwa  vinakuwa  kwenye  miti  mikubwa  mikubwa  ambayo  hupatikana  karibu  katika  kila  eneo.  Na  mara  nyingi  vilinge  hivi  huwa  vinabeba  majina  ya  maeneo  kama  vile  Mbuyuni, Mkuyuni, Mkoroshini  nakadhalika.

Wachwai  wakisha  nenea  kinyume  ndoto  yako  basi  kitakacho  tokea  ni  wewe  kupatwa  na  jambo  ambalo  lipo  kinyume  na  kile  ulicho  kiona  kwenye  ndoto.

2.     WATU  WAKO  WAKARIBU  AMBAO  UMEUNGANISHWA  NAO  KWA  DAMU.

Watu  wako  wa  karibu  kabisa  hasa  ambao  umeunganishwa  nao  kwa  damu  wana  uwezo   wa  kuyaona  mambo  ambayo  unayaona  ndotoni.

 Ninaposema  watu  wako  wa  karibu  nawajumuisha  na  mke  au  mume  wako  au  mpenzi  wako  kwa  sababu  mke  na  mume   au  mtu  na  mpenzi  wake  huunganishwa  kwa  damu  kupitia  tendo   la  ndoa.

Hata  marafiki zako  wa  karibu  sana  wanaweza  pia  kuyaona  mambo  ambayo  unayaona  katika  ndoto.

Hii  ni  kwa  sababu  watu  wanapo  kuwa  na  ukaribu  kwa  muda mrefu  nafsi  zao  hukamatana  na  nafsi  zinapo kamatana  nafsi  moja  inaweza  kuona  mambo  ambayo  nafsi  nyingine  inayaona  katika  ndoto.

Huu  si  uchawi  isipokuwa  ni  uwezo  kutoka  kwa  Mwenyezi  Mungu  mwenyewe.

Ni  jambo  la  kawaida  kabisa  kwa  ndugu  au  watu  wa  karibu  wa  mtu  Fulani kuyaona  katika  ndoto  mambo  ambayo  mtu  huyo  huyaona  katika  ndoto.

Sasa  basi  kama  una umezungukwa  na  watu  wenye  wivu  na  mafanikio  yako, halafu  ikatokea  bahati  mbaya  wameyaona  mambo   mazuri  ambayo  umeyaota  ndotoni,  wanaweza  kwenda  kwa  wachawi  kuyabatilisha  ama  kuyanenea  kinyume  yasitokee.

Watu  wako  wa  karibu  hawana  uwezo  wa  kuyaona  mambo  unayo  yaota  pekee  bali  hata  mambo  ambayo  unayafanya  ambayo  pengine  sio  ya  kawaida.

Kwa  mfano  kama  wewe  unajihusisha  na  tabia  ya  ushoga  kwa  siri  basi  jua  wazi  kabisa, moja  kati  ya  ndugu zako  au  watu  wako  wa  karibu  watakuwa  wameisha  onyeshwa  katika  ndoto  na  watakuwa  wanafuatilia  nyendo  zako.

Au  kama  wewe  umejiingiza  kwenye  chama  cha  wachawi, basi  tambua wazi  kabisa  moja kati  ya  ndugu  zako  wa  karibu  watakuwa  wamepata  taarifa  katika  ndoto.

Au  pengine  labda  upo  mkoa  wa  mbali  na  nyumbani  kwenu  au  nchi  ya  mbali  halafu  umepatwa  na tatizo  kubwa, usiwe  na  wasiwasi  kuhusu  ndugu  zako  kujua  kuhusu  matatizo  yako.  Amini  nakwambia  moja  kati  ya  ndugu  au  watu  wako  wa  karibu  lazima  ataonyeshwa  kuhusu  hali  yako  katika  ndoto.

Au  kama  unajihusisha  na  tabia  ambazo  ni  hatarishi  katika  maisha  yako, basi  jua  pia  moja  kati  ya  ndugu  au  watu  wako  wa  karibu  watakuwa  wameonyeshwa   katika  ndoto.

Ninao  mfano  mmoja  mzuri  hapa kutoka  kwa  mteja  wangu  mmoja.  Anasema  “   Nilitoka  kwetu  mkoani  mwaka  2007  na  kwenda  kusoma  chuo  kwenye  taasisi  moja  ya  elimu  ya  juu  iliyopo  jijini  Dar  Es  Salaam.  Ilikuwa  ndio  mara  yangu  ya  kwanza  kufika  Dar  Es  Salaam.  Nilifika  dar  siku  mbili  kabla ya  siku  ya  kuripoti  chuo.

 Kwa  kuwa  sikuwa  na  ndugu  Dar  nilifikia  kwenye   gesti  moja  ambayo   hapohapo  kuna  bar. Nikiwa  hapo nilimuona  muhudumu  mmoja  wa  kike  katika  bar  hiyo  nikamtongoza  na  usiku  wa  siku  hiyo  akaja  kulala  na  mimi  chumbani  kwangu  kwa  malipo.

Kusema  ukweli  nilinogewa  sana  na  penzi  la  mwanamke huyo. Hata  nilipo  anza  chuo  na  kuanza  kupewa  bumu  langu  nilikuwa  kila  wiki  naenda  kulala  na  mwanamke  huyo.

Kibaya  zaidi  mwanamke  huyo  nilikuwa  nafanya  nae  mapenzi  bila  kutumia  kondomu.

Siku moja  ambayo  ilikuwa  ni  kama  mara  ya  kumi  kulala  na  mwanamke  huyo  tangu  nianzishe  nae mahusiano  nilienda  kufanya  mapenzi  na  mwanamke  huyo  bila  kutumia  kondomu  kama  ilivyo  kuwa  kawaida  yetu.

Usiku  wa  siku  hiyo  nikiwa  nimelala  nilijiwa  na  ndoto  ya  ajabu   sana  . Mama  angu  mzazi  ambae  alikuwa  Kigoma  kipindi  hicho  alinitokea  katika  ndoto  na  kunisihi  kwa  unyenyekevu  wa  hali  ya  juu  sana  kwa  maneno  yafuatayo  “ MWANANGU   UWE  UNATUMIA  KONDOMU”  nikastuka  usingizini  na  kuitafakari  sana  ndoto  hiyo.

Ndoto  ilinistua  sana  na  sikuelewa  maana  yake  ni  nini.  Baadae  nilipata  usingizi  tena  lakini  cha  ajabu  sasa  hata  baada  ya  kupitiwa  na  usingizi  nilijiwa  na  ndoto  ile  ile  mama  yangu  mzazi  akinisisitizia “  MWANANGU  UWE  UNATUMIA  KONDOMU “

Mama  alikuwa  ananiambia  kwa  unyenyekevu  mkubwa  sana  huku  akiwa  amelengwa  na  machozi.  Ndoto  hii  ilinifikirisha  sana . Nili tafakari  vitu  vingi  sana  na  kujiuliza  kwanini  ndoto  hii  ije  kipindi  hiki , kipindi  ambacho  nipo  katika  mahusiano  na  baamedi  na  ninafanya  nae  mapenzi   bila  kutumia  kinga ?

Katika  hali  ya  kawaida  kwa  mila  na  desturi  zetu  na  jinsi  mama  yangu  alivyo  kuwa  mpole  hajawahi  kabisa  kuniambia  au  kunishauri  kuhusu  masuala  ya  kujiepusha  na  ngono  zembe  yani  hata  kwa  kutumia  lugha  ya  kuzunguka.

Ndoto  hiyo  ilinipa  tafsiri  moja  kwamba  inawezekana  kuwa  hiki  ninacho  kifanya  mama  yangu  anakiona  kwenye  ndoto  na  kinamuhuzunisha  sana  na pengine  labda  anamuomba  Mungu awatume  malaika  wake  waje  waniambie  niachane  na  zinaa  lakini  anashindwa  kufanya  hivyo.

Pia  ndoto  hii  nili  itafsiri  kuwa  pengine  Yule  mwanamke  niliekuwa  katika  uhusiano  nae  ana  maambukizi  ya  ukimwi  au  yupo  mbioni  kupata  maambukizi  hayo kwa  hiyo  malaika  wa  Mungu  wananistua   niachane  na  mwanamke  huyo.

Asubuhi   kulipo kucha  nilimpigia  simu  mama  yangu  na  kumuuliza  anaendeleaje  akaniambia  anaendelea  vizuri, ilikuwa  Jumapili  siku  hiyo  akaniuliza  mwanangu  umeenda  kanisani  leo, nikamdanganya  kuwa  nimeenda  ili  kumfurahisha  ingawa  kiukweli  sikuwa  nimeenda.  Akaniambia  mshikilie  sana   Mungu  na  jiepushe na  vibaka  kwa  sababu  vibaka  hadi  chuo  kikuu  wapo  mwanangu  kwa  hiyo  uwe  makini  sana  baba.  ( Kwa  vibaka  hapa  alikuwa  anamaanisha  wasichana  ambao  hawajatulia  ama w asichana  mapepe )

Nilimtoa  wasiwasi  mama  yangu  kwa  kumwambia  mimi  ninacho  kifikiria  ni  kusoma  tu  na  sio  kitu  kingine.

Nilifanya  maamuzi  ya  kuachana  kabisa  na  Yule  mwanamke na  kubadilisha  laini  yangu  ya  simu. Nikaenda  kupima  damu  bahati  nzuri  nikakutwa  nipo  Negative  nikaambiwa  njoo  baada  ya  miezi  mitatu  nikakutwa  Negative  tena.

Nilimshukuru  sana  Mungu  na  kuanza  kuwa  makini.

Mwaka  ulio  fuata  yani  mwaka  2008  sikurudi  nyumbani  likizo. Nilibaki  chuo.  Mwaka  2009  nilipigiwa  simu  kutoka  nyumbani  na  kuambiwa  dada  ako  amefariki.

Mara  ya  mwisho  kuonana  na  dada  angu  huyu  ilikuwa  mwaka  2006 mwishoni. Afya  yake  haikuwa  nzuri sana  lakini  sikuweza  kuhisi  chochote  kwa  sababu  nilihisi  tu  labda  maisha  ya ndoa  yamekuwa  machungu  kwake. Alikuwa  amekonda  sana. Alikuwa  ameolewa  toka  mwaka  2004.

Nilipokuwa  msibani  sasa  ndio  nikagundua  kwamba  kumbe  dada  angu  alikuwa  muathirika  wa  ukimwi  ambao  alipewa  na  mume  aliye  muoa  mwaka  2004.

Taarifa  hizo  mama  yangu  alizipata  tangu  mwaka  2006  katikati  kwa  sababu  dada  angu  alibeba  ujauzito  ambao  ulitoka  kabla  ya  muda  wake  jambo  lililo  fanya  dada  angu  adhoofike  sana.

Jambo  hili  mama  angu  alinificha.

Katika  kipindi  chote cha  mwaka 2007  mwanzoni  hadi  narudi  chuo  sikupata  nafasi  ya  kuonana  na  dada  angu   kwa  sababu     nilivyo  maliza  Form Six  nilipata  kazi  ya  kufundisha  kwenye  shule  moja  ya  sekondari  ambayo  ilikuwa  katika  mkoa  jirani  na  nilio  kuwa  ninaishi.  Tulikuwa  tunawasiliana  kwa  simu  tu.

Hata  nilivyo pata  nafasi  ya  kwenda  kusoma   Dar  nilirudi  nyumbani  kumuaga  mama  na  kuondoka  Dar  dada  angu  niliongea  kwa  simu  tu  sikupata  nafasi  ya  kuonana  nae.

Wakati  nipo  Dar  sasa  hali  ya  dada  ikazidi  kuwa  mbaya  mama  akamtoa  kwa  mumewe  na  kumleta  nyumbani  ili  amuuguze  nyumbani.

Dada  yangu  huyo  alichelewa  kuanza  kula  vidonge  ndio  maana ugonjwa  huo  ulimsumbua  sana.

Dada  alimtesa  sana  mama. Ni  katika  kipindi  hicho  hicho  cha  mwaka  2007 mwezi  wa  tisa  ambacho dada  ailetwa  nyumbani  kuuguzwa  ndio  kipindi  hicho  hicho  ambacho  mimi  nilikuwa  nafanya mapenzi  bila  kutumia  kinga  na  Yule  na  baamedi  nan i katika  kipindi  hicho  hicho  ndio  mama  yangu  alikuwa  ananitokea  ndotoni  akiniambia  nitumie  kondomu.

Baada  ya  mazishi  nilikaa  na  mama  angu  akaniambia  baba  dada  ako  ndio hivyo  tena  ameondoka  na  maradhi  hayo . Jitahidi  mwanangu  uwe  makini  sana  hali  sasa  hivi  ni  mbaya  sana. Akaniambia   ulivyo  ondoka  kwenda  chuo  niliota  ndoto  nakuona  upo   unafanya  tendo  la  ndoa  na  kahaba.  Ndoto  hii  ilikuwa  inajirudia   rudia  sana.  Nikapiga  magoti  na  kumuomba  Mwenyezi  Mungu  akuepushe  na  janga  hilo. Kwa hiyo  mwanangu  kuwa  makini, Dada  ako  amenitesa sana.

Hapo ndio  nilipo  amini  kwamba  kweli   ukiwa  unafanya  jambo  baya  au  la  hatari  watu  wako  wa  karibu  wanaweza  kuliona katika  ndoto  na  kumuomba  Mungu  aepushe  lisije  kukutokea.

MAZINGIRA  YANAYO WEZA  KUWAFANYA  WATU  WAKO  WA  KARIBU  KUINENEA   KINYUME  NDOTO  YAKO  AMBAYO  WAMEIONA.

Mfano  mume  amemuoa  mke  wake  lakini  hataki  mke  wake  afanye  shughuli  wala  kazi  yoyote  ile  kwa  kuhofia  kwamba  kazi  hiyo   inaweza  kumfanya  mwanamke  huyo  kupata  bwana  mwingine.

Mume  huyu  atafanya  kila  njia  kumzuia  mkewe  asipate  kazi. Lakini  mke  kwa  sababu  anataka  kufanya  kazi  ili  aongeze  kipato  cha  familia  nae  atafanya   kila  ujanja  ili  apate  kazi.

Atasoma  tangazo    la  kazi  linalo  muhusu, atatuma  maombi  kwa  siri  bila  kumshirikisha  mumewe. Ataiwa  kwenye  intavyuu  na  ataifanya  vizuri  sana.

Wiki  moja  baadae  mwanamke  huyu  ataota  ndoto  kuwa  ameshinda  intavyuu  na ameitwa  kwenye  kazi.  Bahati  mbaya  kwa  mwanamke  huyo , mume  wake  pia  anaweza  kuota  ndoto  hiyo  hiyo. Atakacho  kifanya  mume  huyu  ni  kwanza  yeye  kama  yeye  kuinenea  ndoto  kinyume  kasha  baada  ya  hapo  ataenda  kwa  wachawi  kuwaomba  wa tamkie  kinyume  ndoto  hiyo. Matokeo  yake  majibu  ya  intavyuu  yanatoka  dada  huyu  jina  lake linakuwa  halimo  miongoni  mwa  walio  itwa  kazini.
 
Mfano  mwingine  mwanamke  anawachumba   wawili  ambao  wote  hawajuani. Wote  wana  nia  ya  kumuoa  na  kila  mmoja  anapambana  kuweka  mambo  yake  sawa  ili aweze  kumuoa  mwanamke  huyo.

Mmoja  kati ya  wachumba  hao  mambo  yake  yanamnyookea  na  anafuata  mwanamke  huyo  kumwambia  sasa  yupo tayari  kwenda  kujitambulisha.

Siku  kadhaa  baadae  mwanamke  huyo  anaota  ameolewa  na  mwanaume  huyo. Bahati  mbaya  kwa  mwanamke  huyo  ndoto  hiyo  inaonwa  pia  na  mchumba  wake  mwingine ambae  ataitamkia  kinyume  na  anaweza  kwenda  mbali  zaidi  kwa  kuwashirikisha  wachawi.

Mwisho  wa  siku  mchumba  huyo  anakuja  kufunga  ndoa  na  mwanamke  mwingine.





Hizo ndio sababu  kuu  kwanini  baadhi  ya  watu  hutoa  ndoto  kinyume.  Hata  hivyo  ni  muhimu  kujua  masuala  yafuatayo  kuhusu  ndoto,

 KUNA  WATU  WAO  HUWA  HAWAO TAGI  NDOTO  NZURI, BALI  HUOTA  NDOTO  MBAYA  TU  KILA  SIKU. SIKU  ASIPO  OTA  NDOTO  MBAYA  BASI  ATAYAOTA  MAMBO  YA  KAWAIDA  KABISA  AMBAYO  ALIKUWA  ANAYAFANYA  MCHANA  AU  MAMBO  ALIYO  KUWA  ANAYAWAZA.

JE  HII  MAANA  YAKE  NI  NINI  KITABIBU ?

Hii  maana  yake  ni  kwamba  kuna watu  wmeiba  nyota  yako  ambayo  ndio  inaibeba  nafsi  yako. Watu  wakiiba  nyota  ya  mtu  huwa  wanachuja  na  kuyachukua  mambo  mazuri  tu  na  mambo  mabaya  wanayaachia  kwa  mmiliki  halali  wa  nyota hiyo.

Mambo  yote  mazuri  ambayo  ulitakiwa  kuyaona  kwenye  ndoto  unazo ota  wewe  wanayaona  wao  na  yanatokea  katika  maisha  yao  na  wewe  unabaki  na  mambo  mabaya  pekee.

KUNA  WATU  HUWA  WANA  OTA  MAMBO  MAZURI  HALAFU  HAYATOKEI. JE  HII  MAANA  YAKE  NI  NINI ?

Ukiota  mambo  mazuri halafu  yasitokee  tafsiri yake  ni  kama  ifuatavyo :

Kwanza  maana  yake   kuna  watu  wanayaona  mambo  hayo  na  badala  ya  kunenea  kinyume  basi  wao  wanayabatilisha  tu  ili  usifaidike  nayo.  Ndio maana  unaishia  kuyaota  tu  lakini  hayatokei  katika  maisha  yako.

Tafsiri  ya  pili  ni  kwamba  kuna  watu  wanayaona  mambo  yako  kabla  hujayaona  wewe. Wanacho  kifanya  ni  kuyachukua  halafu  wanakutumia  kivuli  cha  mambo  yanayo  fanana  na  mambo  yako  ambayo  waliyaona  katika  ndoto.

KOSA  KUBWA    LINALO  FANYWA  KATIKA   KUTAFSIRI  NDOTO.

Kuna  kosa  moja  kubwa  sana  huwa  linafanywa  na  baadhi  ya  watu  katika  kutafsiri  ndoto. Kosa  hilo  ni  KUKARIRI  TAFSIRI  ZA  NDOTO.

Yaani  kuna  watu  wamekariri  kabisa  kwamba  ukiota  ndoto  Fulani  basi  ujue  maana  yake  ni hivi. Ni makosa  makubwa  sana  kutafsiri  ndoto  kwa  kutumia  muktadha  huo.

Hii ni  kwa  sababu  ndoto  zingine  hutoka  kwa  maadui ( wachawi  na  mapepo  wa  kisheitwani ). Maadui  wakishajua  umezijua  mbinu  zao  watakacho kifanya  ni  kubadilisha  mbinu  zao. Mwisho  wa  siku  utakuwa  unaota  ndoto  yenye  kutoa  ishara  Fulani  halafu  kitu  ulicho  kiona  hakitokei ).

Unapo  taka  kutafsiri  ndoto  unatakiwa  kuzingatia  mambo  mengi  sana. Baadhi  ya  mambo  hayo  ni  pamoja  na  je  umeiota  ndoto  hiyo  ukiwa  katika  kipindi  cha  maisha  yako ? Ulikuwa  kwenye  msiba?kwenye  harusi ?  safarini ? ugenini ?  nakadhalika  nakadhalika.

Je  kabla  ya  kuota  ndoto  hiyo  kuna  dawa  yoyote  ya  asili  ambayo  ulikuwa  umeitumia ? Kuna dawa  yoyote  ulikuwa  umeichoma ?  kuna  dawa  yoyote  ulikuwa  umeoga, umechanjwa  au kujipaka ?

 Kwa  mfano  kuna  ndoto  moja  ambayo   imekuwa  maarufu  sana  katika  siku  za  hivi karibuni  nayo  ni “ KUOTA  UPO SHULENI  AU  KUOTA  UPO  UTOTONI “

Watu  wengi  huwa  wanatafisiri  ndoto  hii  kwamba  muotaji  mambo  yake  yanarudishwa  nyuma  na  wachawi.

Unaweza  kuwa  sahihi  ukiamini  hivyo  lakini  unaweza  usiwe  sahihi  kabisa  ukizingatia  baadhi  ya  mambo  niliyo  yataja  hapo  juu.

Kwa  mfano  kuna  dawa  moja  ya  asili. Dawa  hii  inatumika  kutibu  maradhi  ya  nguvu  za  kiume  ya  kichawi.  Mara  nyingi  watu  wanao  tumiaga  dawa  hii  katika  siku za  mwanzo  huwa  wanaotaga  ndoto  wapo shuleni  wanasoma  na  mara  nyingi  huwa  inakuwaga  darasa  sa  sita, la  saba  au  fomu wani.

Kama  ukiwa  umetumia dawa  hiyo  halafu  ukaota  umerudi  utotoni  au  shuleni  maana  yake  ni  kwamba   nguvu  zako  za  kiume  zilichukuliwa  wakati  upo  katika  darasa  hilo  ambalo umeliona  katika  ndoto  na  kwamba  nguvu  zako  zilizo  chukuliwa  kichawi  zimerejeshwa.

Sasa  basi  kwa  kuwa  nguvu  za  kiume za  mwanadamu   huwa zinachukuliwa  kichawi  kwa  kuiba  nafsi  ama  nyota  yake  na  nyota  hii  hupewa  mtu  mwingine  kwa  ajili  ya  kuitumikisha.

Nyota  hii  ikirejeshwa   kwako  kitu  cha  kwanza  kabisa  inachokikumbuka  ni  mwaka  na  mahali  ambapo  iliibwa.

Kama  nyota  yako  iliibwa  wakati  unasoma  shule  ya  msingi  darasa  la  sita, nyota  yako  itakapo  rejeshwa   kwako  itarejea  na  mambo yako  yote  muhimu  ambayo  yaliibiwa  na  wachawi  kuanzia  kipindi   nyota  yako  ilipoibwa  hadi  muda  huu.

Kwa  sababu  hiyo  sasa  utaanza  kuwa  unayaona  katika  ndoto  matukio  ambayo  ulikuwa  unafanya  utotoni  kama  vile  kuwa  shuleni  nakadhalika.

 Pia  dawa  nyingi  zinazo  tumika  kusafisha  nyota  na  kurejesha  nyota  iliyo  ibiwa  na  wachawi  akizitumia  mwanamke   ambae  labda  Alisha zaa , ataota  ndoto  amerudi  utotoni, labda  yupo  shuleni  darasa  la  tatu  au  hata  la  kwanza  nakadhalika.

Hii  maana  yake  ni  kwamba mwanamke  nyota  yake  imerudishwa  upya. Amerejea  kwenye  ubikira  wa  rohoni. Kwa  hivyo  hapaswi  kuwa  na  wasiwasi  kwa  kudhani  kwamba  wachawi  wanamrudisha  nyuma.

Mifano  ipo  mingi  sana.

JE  KUNA  DAWA  ZINAZO  WEZA  KUMFANYA  MTU  AWE  ANAYAONA  MAMBO  YAKE  KATIKA  NDOTO  KABLA  HAYAJATOKEA ?

Ni kweli kabisa  zipo  dawa  ambazo  huwapa  watu  uwezo  wa  kuyaona  mambo  yao  katika  ndoto  kabla  hayajatokea.

Dawa  hizo  zimegawanyika  katika  makundi  makuu mawili. Zile  zinazo  tumiwa  na  wachawi  tu na  zile  ambazo  zinaweza  kutumia  na  watu wasio wachawi  lakini pia  zipo  dawa  ambazo  zinaweza  kutumiwa  hata  na  watu  ambao si wachawi  lakini  wanataka  kuwa  na  uwezo  wa  kuwa  wanayaona  kabla  hayajatokea  mambo  yanayo  wahusu  wao  wenyewe  na  watu  wao  wa  karibu.

Zipo  za  aina  nyingi  sana  ila  leo  nitazingumzia  za aina  mbili, moja  ya  kichawi  na  nyingine  ya  kawaida.

Hii  ya  kichawi  hutumiwa  na  wachawi  tu na  mhusika  huchanjwa  kwa  lengo  la  kumpa  uwezo  wa  kuwa  anayaona  mambo  yake  kabla  hayajatokea  ili aweze  kuchukua  hatua  stahiki za  kiroho.

Ndumba  hii  ya  kichawi  hutengenezwa  kwa  miti kadhaa  ya  porini, ubongo  wa  mnyama  wa  porini  ambae  chakula  chake  kikuu  ni  mizoga  pamoja  na  ubongo  wa  ndege  mmoja  wa  porini  aitwae  mbesi  ambae  hujulikana  kwa  waganga  na wachawi  kama   mtaalamu  wa  kuvumbua  mizoga.

Ni  hivi  huyu  ndege   anapokuwa  amelala  usiku  porini  huwa  ana  ota  mahali mzoga  ulipo.  Na  anapo amka  asubuhi  basi  huwa  anapaa  hadi  mahali  palepale  ulipo  mzoga  ambao  aliuona kwenye ndoto.

Tuchukulie  mkoa  mzima  wa  Dar  Es  Salaam  ni  pori.  Huyu  mbesi  yupo Msasani  amelala. Anaweza  akaota  mzoga  ambao  upo   Mbagala  na  asubuhi  atakwenda  hadi  Mbagala  katika  sehemu  ile  ile  ambayo  aliiona  katika  ndoto.

Dawa  hii  hutumiwa  na  wachawi  tu  kuona  mambo  yatakayo  tokea  sikuza  usoni. Dawa  hiyo  wachawi  huitumia  katika  mambo  mengine  mengi  sana  kama  vile  mapenzi  kumtega  mtu  dawa. Kwa mfano  A  anamtaka  B  na  wote  wanaishi  jijini  Dar  Es  Salaam.  A   anaishi  Mbagala  na  B  anaishi  Chanika . A  atachanjiwa  ama  kufukizwa  kwa  dawa  hiyo  halafu  usiku  akiwa  amelala  atamuona  A  akiwa  anapita  katika  eneo  ambalo  huyu  B  analifahamu. Inaweza  kuwa  Kariakoo. Ilala, Manzese  au  sehemu  yoyote  ile.  Basi  kesho  yake  asubuhi  huyu  A   ataenda  kutega  dawa  mahali  alipo  paona  ndotoni  na  B  akishapita  tu  mahali  hapo  ataruka dawa  hiyo  ambayo  itamvaa  na  kumuingia.

Wachawi  huitumia  pia  dawa  hiyo  kuwadhuru  watu  kama  vile  kuwatega  watu  ajali  au  kuwatega  wajawazito wasipate  mimba  nakadhalika.

Dawa  ya  pili  ni  dawa   ambayo  inaweza  kutumiwa  na  mtu  yoyote  Yule  hata  ambae  si  mchawi. Hii  inatokana  na  mti  mmoja  wa  porini  ambao  kwa  hapa  Tanzania upo Morogoro  tu.   Inatumika  kunywa.  Mtu  akichemsha  na  kunywa  dawa  hii  basi  wakati  wa  usiku  akiwa  amelala  nafsi  yake  inarudi  duniani  na  kuona  na  kufanya  kila  kitu  kana  kwamba hajalala.

Dawa  za  ndoto  zipo  nyingi  sana,  nimezielezea  kwa  kina  sana kupitia  kitabu  changu. “   MAMBO  TISA  YANAYO  UNDA  NYOTA  YA  MWANADAMU: UHUSIANO  KATI  YA  NYOTA  YA  MTU  NA  MAFANIKIO  YAKE  KATIKA  MAISHA  “

Toleo  la  pili  la  kitabu  hiki  litatoka  mwezi  Novemba  2018.  Ndani  ya  kitabu  hiki   pia  pamoja  na  mambo  menginhe  mengi utapata  kujua  zaidi  kuhusu  aina  mbalimbali  za  ndoto .

Kufahamu  kuhusu  yaliyomo  ndani  ya  kitabu  hicho  tembelea : http://mungwakabhili.blogspot.com/2018/06/mambo-tisa-yanayo-unda-nyota-ya.html

Waziri Mkuu: Uwekezaji Kutoka China Kutufikisha Uchumi Wa Kati

0
0
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Jimbo la Jiangsu nchini China katika sekta ya kilimo na viwanda utaiwezesha nchi kufikia malengo yake ya kuwa nchi ya viwanda ifikapo mwaka 2020 na ya uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.

Amesema  jimbo la Jiangsu ni miongoni mwa majimbo yaliyopiga hatua kubwa ya maendeleo kwenye teknolojia na viwanda duniani na Tanzania inahitaji wawekezaji wa uhakika katika sekta ya kilimo hususani watakaowekeza kwenye viwanda vya kuchakata mazao ya kilimo, kuongeza thamani na kutafuta masoko.

Waziri Mkuu aliyasema hayo jana jioni (Jumatatu, Septemba 03, 2018) wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Naibu Gavana wa Jimbo la Jiangsu nchini China, Bw. Guo Yuan Qiung kwenye ofisi za ubalozi wa Tanzania nchini China.

 “Tunathamini mchango wa Jimbo la Jiangsu katika uchumi wa Tanzania, ambapo sasa wawekezaji kutoka jimboni humo, waliowekeza kwenye viwanda mbalimbali kama cha kuchambua pamba, kutengeneza nyuzi na kukamua mafuta ya kula kwa kutumia mbegu za pamba cha Jielong kilichopo wilayani Shinyanga na kiwanda cha nguo cha Urafiki cha jijini Dar es Salaam.”

Kadhalika, Waziri Mkuu alisema bado mchango wa jimbo hilo unahitajika katika uendelezaji viwanda hususan katika masuala ya teknolojia ya viwanda, kuimarisha utafiti kwenye sekta ya kilimo na kuisaidia Tanzania kupata masoko ya mazao kama mbaazi, muhogo na soya. “Tunaomba uendelee kuhamasisha kampuni nyingi zaidi kutoka jimboni kwako kuja kuwekeza nchini.

Kuhusu kiwanda cha nguo cha Urafiki cha jijini Dar es salaam, Waziri  Mkuu na Naibu Gavana huyo walikubaliana kuangalia uwezekano wa kufanya mapitio ya changamoto  za uendeshaji wa kiwanda hicho ili kutafuta suluhisho la mapungufu yanayojitokeza katika kiwanda hicho.

Kwa upande wake, Bw. Qiung alimhakikishia  Waziri Mkuu ushirikiano wa hali ya juu  hasa katika uwekezaji wa viwanda na kwamba anaamini kuwa mkutano wa FOCAC utatoa dira ya   maendeleo kwa Tanzania na Bara zima la Afrika.

Aliongeza kuwa  jimbo lake lipo tayari kushirikiana na Tanzania katika masuala ya elimu kwani lina vyuo vingi vinavyotoa kozi mbalimbali na aliwakaribisha wanafunzi kutoka Tanzania kwenda jimboni humo kusoma.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMANNE, SEPTEMBA 04, 2018.

Wabunge CHADEMA Watoka Nje na Kususia Kiapo cha Christopher Chiza

0
0
Wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wametoka ndani ya Ukumbi wa Bunge wakati Mbunge wa Buyungu, Christopher Chiza (CCM), akiapa.

Tukio hilo lilitokea mapema asubuhi leo wakati baadhi ya wabunge hao wakiwa  ukumbini tayari kwa kuanza kwa kikao cha bunge lakini walitoka kabla Spika Job Ndugai, hajaingia na kisha kuingia baada ya Chiza kula kiapo cha uaminifu.

Hali hiyo ilisababisha viti vya upande wanaokaa wabunge hao kuonekana vitupu huku wakonekana baadhi ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF).

Chiza ameapa leo baada ya kushinda ubunge wa Jimbo la Buyungu baada ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Kasuku Bilago kufariki dunia.

BREAKING : Msafara wa Rais Magufuli wapata ajali Mara

0
0
Msafara wa Rais John Magufuli umepata ajali katika kijiji cha Kasuguti Wilaya ya Bunda Mkoa wa Mara ikihusisha magari manne kugongana na kusababisha gari lililokuwa limebeba waandishi wa habari kupinduka na kupelekea baadhi ya waandishi kuumia sehemu mbalimbali za miili yao.

Wakati ajali hiyo ikitokea, gari za Rais Magufuli zilikuwa zimepita umbali mrefu kutoka eneo ilipotokea ajali hiyo.

Taarifa za awali zinadai kwamba hali za majeruhi zinaendelea vizuri.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images