Jokate Mwegelo amekanusha vikali kuhusiana na picha za utupu zilizozagaa mitandaoni hivi karibuni kuwa si zake.
Akizungumzia ishu hiyo, Jokate ambaye pia ni mwigizaji alisema kuna
mitandao imeanzisha uvumi huo kwa kuweka picha ya mtu mwingine na kudai
ni yeye.
“Mitandao
ya kijamii inakera sana. Kila mtu anaandika habari itakayowafanya watu
wafungue ‘blogi’ yake, siwezi kupiga
Jokate Mwegelo akanusha kupiga picha za Uchi.....
↧
↧
Johari akanusha kutaka kufunga ndoa na Ostaz Juma
Msanii wa filamu nchini, Blandina Chagula maarufu kama Johari
amekanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi na meneja wa Mtanashati
Entertainment, Ostaz Juma.
Akizungumza kwenye kipindi cha The Cruise cha East Africa Radio,
Johari alisema kuwa hajawahi kuwa na uhusiano ya kimapenzi na Ostaz Juma
wala Ray. “Ni kweli haya mambo yanakuwa yanatokea na kuzushwa lakini
ukweli kwamba sijawahi
↧
Ray C Foundation yaandaa kipindi cha TV "Pamoja Inawezekana" ambacho kitaelimisha jamii juu ya madawa ya kulevya
Msanii wa muziki Rehema Chalamila ‘Ray C’, kupitia Ray C Foundation
ameanza kuandaa kipindi chake cha TV ‘Pamoja Inawezekana” ili kuendelea
na jitiada za kuendeleza kuelimisha jamii juu ya madawa ya kulevya.
Ray C kupitia instagram yake amesema:
"Preparing my TV programme Pamoja
Inawezekana,Ray C foundation inawaletea kipindi cha pamoja
inawezekana,stay tuned people more to come.
↧
Magazeti ya leo Jumapili ya tarehe 20 April 2014
↧
"Hatuna mpango wa kurudi Bungeni tena....Tutakachokifanya ni kuzunguka mikoani ili `kushitaki’ kwa wananchi"..UKAWA
LICHA ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kuwa tayari kuzungumza na wajumbe wa Bunge hilo wanaounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wajumbe hao wametangaza kutokuwa tayari kurudi mjini Dodoma kwa majadiliano ya aina yoyote.
Badala yake, umoja huo umetangaza kuendelea na dhamira ya kuzunguka katika mikoa mbalimbali nchini ili `kushitaki’ kwa wananchi, kwa
↧
↧
Waziri mkuu mstaafu , Cleopa Msuya asitaafu siasa...Rais Kikwete ampongeza
Rais
wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akiwa
viongozi wengine wakuu wa serikali chama cha Mapinduzi CCM, akiwemo
Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana (kushoto) katika hafla ya
kumuaga aliyekuwa Waziri mkuu wa Tanzania mara mbili katika awamu mbili
tofauti, Mzee Cleopa David Msuya (wa kwanza kulia kwa Rais) ambaye
amestaafu rasmi siasa baada ya kuitumikia
↧
Magazeti ya leo Ijumaa ya tarehe 25 April 2014
↧
Wema Sepetu afunguka......"Najuta kumlipia Kajala milioni 13, bora ningemuacha akaenda Jela..."
KAMA kuna kitu kinakukwaza ndani ya moyo wako, siku zote ukikaa nacho
kitazidi kukuumiza lakini ukiamua kumtafuta mtu ambaye umeshibana naye
na kumsimulia, moja kwa moja utakuwa umeutua mzigo!
Hicho ndicho amekifanya Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu
‘Madam’ kwa kuweka kweupe chanzo cha ugomvi wake na staa mwenzake,
Kajala Masanja huku akijuta kumlipia mwanadada huyo zile Sh.
↧
Maneno na Ratiba ya Maandamano na Mikutano ya Hadhara waliyotoa Kamati ya TANZANIA KWANZA nje ya Bunge
Kamati ya Tanzania kwanza ya Nje ya Bunge Maalum la Katiba jana
wametoa ya moyoni mbele ya waandishi wa habari juu mwenendo mzima wa
Bunge maalum la Katiba baada ya kutoridhishwa na kuonyesha ni kwa jinsi
gani wajumbe hawana mapenzi ya dhati ya kutengeneza Katiba mpya.
Augstino Matefu ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya Tanzania kwanza
alianza kwa kusema:
"Ukiangalia wajumbe wengi
↧
↧
Siku 67 za Mipasho na matusi bungeni.....Bunge la Katiba linaahirishwa leo baada ya kukutana kwa siku 67 bila kupitisha hata ibara moja kati ya 240
Bunge Maalumu la Katiba linaahirishwa leo baada ya kukutana kwa
siku 67 bila kupitisha hata ibara moja kati ya 240 zilizomo katika
Rasimu ya Katiba.
Badala yake Bunge hilo likiongozwa na Samuel Sitta
“Mzee wa Kasi na Viwango” linaahirishwa hadi Agosti, mwaka huu
likiendelea kujadili Sura ya Kwanza na ya Sita zenye jumla ya Ibara 19,
zinazohusu masuala yanayojenga msingi wa aina ya
↧
Rais Kikwete amtolea uvivu Dr. Mwakyembe.....Ni kuhusu upitishaji dawa za kulevya Airport, atoa mwezi mmoja....Aahidi kutimua watendaji
RAIS Jakaya Kikwete amesema anaumia, kuchukizwa sana anapoona Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam (JNIA) na Kilimanjaro (KIA), vinapokuwa uchochoro wa kusafirisha dawa za kulevya kwenda mataifa mbalimbali.
Kutokana na hali hiyo, Rais Kikwete ametoa mwezi mmoja kwa Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe na watendaji wake akiwemo Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya
↧
Kigogo wa CHADEMA atupwa jela miaka 7
MWENYEKITI wa Serikali ya Mtaa wa Itiji, jijini Mbeya kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Ezekiel King (52) na mwenzake Bw. Antony Simon (53) wamehukumiwa kifungo cha miaka saba jela kwa kosa la shambulio la kumdhuru mwili Bw. Nicholaus Mwakasinga (56), mkazi wa mtaa huo.
Hukumu hiyo imetolewa jana na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mkoa wa Mbeya, Maria Batulaine,
↧
Mfanyabiashara wa Kariakoo afumaniwa gesti na mke wa Rafiki yake.....Akimbilia chooni kukwepa aibu, mke wa mtu abaki akilia kama mtoto mdogo
Mfanyabiashara maarufu wa simu za mikononi maeneo ya Kariakoo jijini
Dar, aliyefahamika kwa jina moja la Devi, hivi karibuni alipatwa na soni
ya aina yake baada ya kukutwa katika nyumba ya kulala wageni akiwa na
mke wa rafiki yake wa karibu.
Mtoa habari makini alidai kuwa kisa kizima kilianza
baada ya mwenye mali (mume) kukuta ujumbe mfupi wa simu katika
kilongalonga cha mkewe
↧
↧
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume na UFUMBUZI wake kwa kutumia Korodani za wanyama na vyakula asilia
Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasaha.
Tatizo hili linawakabili mamilioni ya wanaume duniani na limekuwa na
athari nyingi kama vile kuvunjika kwa mahusiano na hata ndoa.
Mwanaume mwenye tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume anakuwa
hana uwezo wa kumtosheleza mwanamke kwenye tendo la ndoa.
↧
Rais Kikwete amekubali kuongeza siku 60 za shughuli za Bunge Maalum la Katiba.....Bunge limeahirishwa hadi Mwezi wa 8 tarehe 5
Bunge maalum la katiba limeahirishwa hadi agasti tano mwaka huu huku
wabunge wa wakitahadharishwa kuacha kumshambulia aliyekuwa mwenyekiti wa
iliyokuwa tume ya mabadiliko ya katiba jaji mstaafu Joseph Warioba au
mjumbe yeyote binafsi wa iliyokuwa tume ya mabadiliko ya katiba.
Akitoa maoni kabla ya kuahirishwa kwa bunge
hilo,mwanasiasa mkonge ambae pia ni mbunge wa bunge hilo, Mhe
↧
Mtoto wa Kajala aumizwa na ugomvi wa mama yake na Wema "Nampenda sana Wema"
Kutokana na ugomvi unaoendelea kati ya Wema Sepetu na Kajala
Masanja,mtoto wa Kajala aitwaye Paulette amesema anaumizwa na ugomvi huo
na kwamba amekuwa akimtumia ujumbe Wema kumweleza anavyompenda.
Paulette alikuwa akizungumza na ‘Movie Leo’ ya kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM.
“Vimekuwa vinaniuma sana ila hata kama wakisema vitu vyote ataendelea
kuwa mama yangu,” alisema.
“
↧
Magazeti ya leo Jumamosi ya tarehe 26 April 2014
↧
↧
Mwanamke achomwa kisu kisa mume wa mtu.....Aliyemchoma ni mwenye mume, kisu chazama na kukatalia ndani
JESHI la polisi mkoani Tabora linamshikilia mwanamke
aliyejulikana kwa jina la Pima Mabubu kwa tuhuma za kumchoma kisu mpaka
kumjeruhi vibaya mwanamke mwenzake, Amina Hussein akidai ana uhusiano wa
kimapenzi na mumewe, Adam Ndekeja...
Tukio hilo lililowaacha watu vinywa wazi, lilijiri Aprili 22, mwaka
huu shambani katika Kijiji cha Kigwa, Kata ya Ukondamoyo wilayani Uyui,
Mkoa wa
↧
Mzimu wa Zitto Kabwe wamfiksha katibu wa CHADEMA , CCM
MZIMU wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe umeelezwa kumkimbiza hadi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Katibu wa Chadema jimbo la Mufindi Kusini, Emannuel Ngwalanje.
Hatua ya Ngwalanje kujitoa Chadema na kujiunga na CCM imeelezwa na baadhi ya wafuasi wa Chadema kuwa ni pigo kubwa kwa chama hicho.
Akizungumzia kujitoa kwa Ngwalanje,
↧
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar watimiza miaka 50......
Waasisi
wa Muungano wa nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar, Hayati Baba wa
Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (kushoto) na Hayati, Abeid Aman
Karume (kulia waliokaa) wakisaini nyaraka za Muungano mwaka 1964.
Mwalimu
Julius Kambarage Nyerere akichanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar,
huku akishuhudiwa na Rais wa Zanzibar, Abeid Aman Karume, (wa tatu
kushoto) na Mhe. Rashind
↧
More Pages to Explore .....