Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

CUF Nao Walalamika Kufanyiwa Rafu Korogwe na Tume ya Uchaguzi

$
0
0
Chama cha Wananchi Cuf kimepinga kauli ya Mkurugenzi wa uchaguzi kuwa wagombea wa upinzani walitaka kurudisha fomu za kugombea ubunge katika ofisi zisizo sahihi.

Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano kwa umma wa CUF, Abdul Kambaya amesema kauli hiyo ya mkurugenzi inatia aibu na kuichafua serikali kwa kuwa wapinzani walirudisha fomu katika ofisi waliyokabidhiwa.

Amesema si kweli kwamba mgombea wa CCM Korogwe alipita bila kupingwa bali alipitishwa kwa hujuma.

Amesema tangu saa sita mchana mgombea wa CUF na wengine wa vyama vya upinzani walifika katika ofisi hizo lakini hawakumkuta mkurugenzi.

"Kauli hii ni ya aibu, wanatoa majibu rahisi katika maswali magumu, kama serikali haitaki uchaguzi turudi kwenye mfumo wa chama kimoja,"

"Chaguzi hizi zinaichafua nchi, alichokifanya mkurugenzi wa Korogwe ni aibu na amedhihirisha ameshindwa kuisaidia CCM hadi akafikia hatua ya kuzuia wagombea wa vyama vingine wasishiriki,"

Kwa upande wake Naibu Mkurugenzi wa Ulinzi wa CUF Taifa, Masoud Omari amesema alikuwepo siku ya kurejesha fomu wakiwa pamoja na mgombea wa CCM.

"Kilichofanyika ni kitu cha ajabu yaani wagombea wote walikuwa pale hadi wa CCM akiwa na fomu yake lakini yeye akarudisha halafu siye tunaambiwa tumepotea ofisi,"

“Mgombea wa CCM ghafla akatoweka na kwenda kwenye kichumba kumbe huko ndiko alikopeleka fomu yake, baadaye tunaona mkurugenzi anatoka nje akiwa na ulinzi wa polisi akabandika fomu moja tu, wagombea wetu wakabaki na fomu zao mkononi,"amesema.

Harmonize Ajibu Tuhuma za TID kuhusu kukopi muziki wa Nigeria

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Harmonize amejibu tuhuma zilizotolewa na TID kuwa amekuwa akiinga muziki wa Kinigeria na kusahau Bongo Fleva.

Muimbaji huyo kutokea WCB akipiga stori na Wasafi TV amesema TID hakuwa ana mlenga yeye bali kuna watu alikuwa anataka kuwafikishia ujumbe huo.

"Mimi nafikiri TID ni kaka kabisa, ana namba yangu na nina yake pia, nadhani hakuwa ananilenga mimi kwa sababu angekuwa ana nilenga mimi  alikuwa ana uwezo wa kunipigia na kuniambia mdogo wangu hii haipo sahihi, usiimbe hivi," amesema.

"Naamini kuna watu alikuwa anawalenga lakini ili asiingie matatizoni na wasanii wengine akaona acha nipitie njia ya mdogo wangu Harmonize," amesema Harmonize.

Harmonize kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Atarudi.

==>>Msikilize hapo chini

PICHA: Waziri Mkuu Atumia Usafiri Wa Boeng 787-8 Dream Liner Ya. ATCL Kutoka Mwanza Hadi Dar

$
0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakisafiri kwa Ndege ya Boeing 787-8 Dreamliner wakitoka Mwanza kwenda Dar es salaam kupitia KIA, Agosti 22, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Phillip Mangula (watatu kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella (kulia) kwenye uwanja wa  Ndege wa Mwanza kabla kuondoka kuelekea Dar es salaam kwa ndege ya Boeing 787-8 Dreamliner Agosti 22, 2018.
Ndege Boeing 787-8 Dream Liner ya shirika la ndege la Tanzania (ATCL) ikiwa Juu Ziwa Viktoria Mwanza ikijiandaa kutua katika uwanja wa Mwanza leo 22/Agosti /2018
 
Picha na Chriss Mfinanga  wa Ofisi ya Waziri Mkuu

Gari Lenye Bangi Lapinduka....Dereva Atokomea

$
0
0
JESHI la Polisi mkoani Pwani, linamsaka dereva aliyefahamika kwa jina la Moshi Ramadhan Malinganya, mkazi wa Kisarawe kwa tuhuma za kusafirisha bangi misokoto 193, katika gari alilokuwa akiliendesha.

Kwenye gari hilo pia kumekutwa ndoo ndogo mbili za lita kumi, zenye bangi na kiroba kidogo chenye mbegu za bangi kilo mbili, zilizokuwa zimefichwa kwenye buti.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Kisarawe, Kamanda wa Polisi mkoani Pwani (ACP) Jonathan Shanna, ambaye anasubiri makabidhiano kuhamia Mwanza kikazi, amesema mtuhumiwa ametoroka baada ya gari alilokuwa akiendesha kupinduka wakati akiwakimbia polisi.

Kamanda Shanna ameeleza kuwa tukio hilo lilitokea jana, Agosti 21, majira ya saa 3:30 usiku eneo la shule ya sekondari Minaki, ambapo mtuhumiwa alikuwa anaendesha gari yenye namba za usajili T 801 AAF aina ya Toyota Mark II.

Ndugu wasusa kumzika aliyefia mikononi mwa polisi, kamanda afunguka

$
0
0
Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Tanzania na Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Temeke, Emmanuel Gabriel lukula ameeleza juu ya kifo cha Salum Juma Kindamba mkazi wa Chanika aliyefariki dunia katika hospitali ya Temeke  mara baada ya kupigwa risasi ya kiunoni na mguuni na Polisi.

Kamanda Lukula amezungumza hayo kufuatia suala ambalo limekuwa likiongelewa katika vyombo vya habari mbalimbali juu ya ndugu wa marehemu huyo aliyeuawa mikononi mwa polisi kususa kuuzika mwili huo.

Ambapo ndugu hao wamesusa kuzika mwili huo kutokana na sintofahamu ya mazingira ya kifo cha ndugu yao ambaye alipigwa risasi na jeshi la polisi katika mkoa wa kipolisi Temeke.

Kamanda Lukula amesema kuwa marehemu, Salum Kindamba aliuawa na polisi katika harakati za kukamata majambazi walioripotiwa na Mkuu wa Upelelezi wa Chang’ombe eneo la Kiwalani ambapo iliripotiwa kuwa watu wanne wasiofahamika wamefika katika eneo hilo wakiwa na silaha aina ya Pistol.

Hata hivyo kumekuwapo na taarifa juu ya matukio ya ujambazi katika maeneo tofauti katika mkoa wa kipolisi Jijini Dar es salaam, kufuatia matukio hayo ya ujambazi yaliyoripotiwa Kamanda Mkuu kanda maalumu ya Dar aliamuru kuundwa kikosi kazi cha kudhibiti matukio hayo.

Hivyo mara baada ya kusikia taarifa juu ya majambazi hao katika eneo la kiwalani kikosi kazi kilihamia huko kupambana na kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa wanne na mfuko wenye silaha.

Dakika chache mara baada ya kuwatia mbaroni watuhumiwa hao akiwemo, Salum Kindamba alikurupuka na kufanikiwa kutoroka na mfuko ule wenye silaha aina ya pistol, pesa taslimu Sh. milioni 9 na simu aina ya Tecno.

Polisi walifanya jitihada zote kisheria kumtaka kijana huyo asimame bila kudhuliwa jitihada hizo ziligonga mwamba ndipo Polisi walipoamua kumpiga risasi ya kiunoni na  mguuni na kumkamata kijan huyo ambaye baadae alikimbizwa hospitali ya Temeke na kufariki dunia.

Taarifa hiyo imetolewa leo Agosti 22, 2018 kwenye vyombo vya habari kufuatia sintofahamu kwa ndugu wa marehemu ambao walikuwa hawafahamu kiundani juu ya mazingira yaliyopelekea ndugu yao kufikwa na mauti akiwa mikononi mwa polisi.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa ya Agosti 23

Waziri Mwinyi Awataka Watanzania Kudumisha Amani

$
0
0
Waziri wa Ulinzi Dk. Husein Mwinyi, amewahimiza Waislamu nchini kudumisha amani na kuacha vitendo viovu vitakavyosababisha kutoweka kwa tunu hiyo.

Dk. Mwinyi ameyasema hayo jana Jumatano Agosti 22, katika swala ya Eid iliyofanyika kitaifa katika Uwanja wa Msife Moyo Vingunguti jijini Dar es Salaam.

Alisema amani ndiyo tunu kubwa zaidi ambayo taifa limejaaliwa na kwamba ikitoweka hakutakuwa na nafasi ya kufanya ibada.

“Kama mlivyosema tunu hii ndiyo kubwa zaidi, bila tunu hii hakuna nafasi ya kufanya ibada, kwa hiyo tuache vitendo vya uvunjifu wa amanio ambavyo matokeo yake huwaathiri zaidi wanawake na watoto,” alisema.

Aidha, Dk. Mwinyi amelitaka Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) kuhakikisha linaleta tija kwa Waislamu wote na taifa kwa ujumla.

“Niwapongeze kwa juhudi mbalimbali ambazo mmezifanya hasa utoaji wa huduma katika jamii ikiwamo elimu, niwasisitize kuliombea taifa letu ambalo linapitia changamoto nyingi pamoja na Rais wetu John Magufuli,” alisema Dk. Mwinyi.

Bob Wine kufikishwa mahakama ya kijeshi leo.

$
0
0
Mbunge Robert Kyagulanyi maarufu kwa jina  Bob Wine leo anatarajiwa kurudishwa katika mahakama ya kijeshi mjini Gulu kaskazini mwa Uganda.

Taarifa hiyo imewashtua mawakili wake ambao awali walijuzwa kuwa kesi itasikilizwa katika kambi ya kijeshi ya Makindye anakozuiliwa mjini Kampala.

Wakati huo huo Mtandao wa haki za binadamu za wanahabari nchini Uganda umetoa saa 48 kwa jeshi kuwatambulisha askari wake waliowajumu wanahabari.

Kwa upande mwingine, Wanamuziki wakubwa wakiwemo Chris Martin , Angelique Kidjo na Damon Albarn, wametoa wito wa kuachiwa kwa Mbunge Bobi wine ambaye ana wiki sasa tangu kukamatwa kwake na mbunge mwezake na zaid ya watu 30. Wasanii hao wamejaza waraka wa kutaka mbunge huyo wa upinzani kuachiwa.

Wakili wa Bobi Wine anasema kuwa mteja wake ameteswa sana na jeshi, lakini jeshi kwa upande wao wamekanusha.

Bob Wine anatarijiwa kufikishwa mahakamani kwa madai ya kumiliki silaha kinyume na sheria pamoja na tuhuma za wafuasi wake kuushambulia msafara wa Rais Museven.

Ijue Sayansi ya Kusimama na Kusinyaa kwa UUme ( Sayansi ya Nguvu za Kiume)

$
0
0

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani.

Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ?
Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu


Hatua  mbili  Muhimu  katika  Kusimama  kwa  Uume
Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo :

Hatua  ya  kwanza, ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari.

Na  hatua  ya  pili  ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION


JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA.
Jinsi  hatua  za  kusimama  kwa  uume zinavyotokea

1. Hatua  ya  Kwanza:

DAMU  KUTIRIRIKA  KWA  KASI KUINGIA  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME  NA  KUUFANYA  UUME  KUSIMAMA  NA  KUWA  MGUMU.

Unapopata  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  fahamu iliyopo  kwenye  ubongo,  hupeleka  ishara  kwenye  mishipa  ya  uti  wa  mgongo, ambayo  nayo  hupeleka  taarifa  hadi  kwenye  mishipa  ya  uume. 
 
Taarifa  inapofika  kwenye  mishipa  ya  uume  huifanya  mishipa hiyo  ku-relax  na  hatimaye   kufanya  mishipa  ya  ateri  kufunguka  na  kutanuka. Mishipa  ya  ateri  inapo  tanuka  na  kufunguka, huruhusu  damu  kuingia  kwa  kasi  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  huume  kusimama.

Ni  muhimu  kujua  kuwa, mishipa  ya  uume  inapo relax  hupelekea  kuisukuma na  hatimaye  kuiziba  mishipa  ya  vena  iliyo  karibu  na  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuiondolea  uwezo  wa  kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  sehemu  nyingine  za  mwili.

N.B: Kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyingine  za  mwili.  Au  kwa  lugha  nyingine  unaweza  kusema, kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  kwenye  mishipa  ya  uume.


2. HATUA  YA  PILI  :

DAMU  KUENDELEA  KUHIFADHIWA  KATIKA  UUME  WAKATI  UUME  UKIWA  UMESIMAMA  NA  HIVYO  KUUFANYA  UUME  UENDELEE  KUDUMU  KATIKA  TENDO LA NDOA   KWA  MUDA  MREFU.

Uume  ulio  simama, ili  uendelee  kusimama, ni  lazima  mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo   wa  kunyonya  damu  kutoka  katika  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyinginezo  za  mwili. .

Mishipa  ya  Vena  ndio  inayo  husika  na  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume na  kupeleka  sehemu  nyingine  za  mwili.  Ili  uume  uendelee  kusimama  lazima  mishipa  hii  ya  vena  iwe imezibwa. Ili  iweze  kuzibwa   ni  lazima  misuli  laini  ya  kwenye  uume  iwe - ime  relax na  hivyo  kuifanya  mishipa  ya  vena  kushindwa  ku  nyonya  damu  kutoka  kwenye  uume.

Endapo  mishipa  ya  vena  itazibuka , basi  itanyonya  na  kutoa  damu yote  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume uliosimama  na  kuipeleka  sehemu  nyinginezo  za  mwili  na  hatimaye  uume  huo ulio simama  na  utasinyaa  mara  moja.

JINSI  UUME  UNAVYO  SIMAMA  NA  KUSISIMKA.

Tumeisha  zifahamu  hatua  mbili  muhimu  katika  kusimama  kwa  uume

Jinsi  Uume  unavyo  simama: Katika  uume  kuna chemba  yenye  mishipa  laini  sana, ambayo  ndio  huufanya  uume  kusimama.

Mishipa  hii  ipo kama  sponji  hivyo  huweza  kunyauka  na  kutanuka.

Damu  inapoingia  ndani  ya  mishipa  hii  huufanya  uume  kusimama  na  kuwa  mgumu  kama  msumari.

Damu  inapoendelea  kuhifadhiwa  ndani  ya  mishipa  hii  wakati  wa  tendo  la  ndoa, huufanya  uume  uendelee  kusimama.

Mwanaume  unapo  patwa  na  wazo la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  fahamu  iliyo  kwenye  ubongo  hupeleka  ishara  kwenye  uti  wa mgongo, ambao  nao  hufikisha   taarifa  kwenye  mishipa  ya  uume.

Taarifa  ikisha  fika  kwenye  mishipa  ya  uume, huifanya  mishipa  ya  uume  ku-relax  na  mishipa  ya  uume  inapo  relax, hufanya  mambo  makuu  mawili;

i.  Kwanza  hufanya  mishipa  ya  ateri  kufunguka na  hivyo  damu  kutiririka  kwa  kasi  sana  kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume

( Mishipa  ya  ateri  ndio  inayo  tumika  kama  njia  ya  kuingiza  damu  kwenye  uume. Bila  mishipa  ya  ateri  imara  na  yenye  afya, damu  haiwezi kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, na  damu  isipoweza kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, basi  uume  hauwezi  kusimama )

ii. Pili huibana  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kuizuia    kunyonya  damu  kutoka  kwenye  uume  na  kuipeleka  kwenye  sehemu nyingine  za  mwili. Matokeo  yake  kuufanya  uume  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Kumbuka ,kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  neva  iliyo  karibu  na  mishipa ya  uume, ni kunyonya  damu kutoka  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  kwenye  sehemu  nyingine  za  mwili. Kwa  lugha  nyingine, kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  kwenye  mishipa  ya  uume ulio simama.

Kadri  damu  inavyo  zidi  kuingia  ndani  ya mishipa  ya  uume, ndivyo  uume  unavyo  zidi  kuwa  mgumu  na  kukakamaa.

Na  kadri  damu  inavyo  hifadhiwa  ndani  ya  mishipa  ya  uume, ndivyo  uume  unavyo endelea  kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa kwa  muda  mrefu.

Baada  ya  kumaliza  kufanya  tendo  la  ndoa,mishipa  ya  uume inarudi  katika  hali  yake  ya  kawaida (inanyauka ), ikisha  nyauka, mishipa  ya  ateri  inanyauka  pia, vena  zinafunguka  na  kunyonya  damu  katika  mishipa  ya  uume  na  kuirejesha  katika  sehemu nyinginezo  za  mwili  na  hatimaye  uume  kurudi  katika  hali  ya  kawaida  ( Flaccid ).

Hali  hii  itaendelea  kujirudia  kwa  kadri  utakavyo  kuwa  ukiendelea  kufanya  tendo  la  ndoa.

Mambo  Muhimu  Katika  Kuufanya Uume  Usimame na  Kuendelea  kudumu  katika  kusimama  kwa  muda  mrefu wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Ili  uume  uweze  kusimama  imara  kama  msumari na  uendelee  kusimama  imara  na  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo la  ndoa, ni  lazima  mambo  yafuatayo yawepo.

1. Mishipa ya   uume iliyo  imara  na  yenye  afya  njema.

2. Mfumo   mzuri  wa damu  katika   mwili  mzima.

3.Mtiririko  imara  wa  damu kuingia  na  kutoka  ndani  ya  mishipa  ya  uume.

4.Ushirikiano  wenye  afya  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  ya  kwenye  ubongo  (nerves), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  mishipa  ya  kwenye  uume.

Ili  mwanaume  aweze  kuwa  imara  katika  tendo  la  ndoa, ni  lazima  mambo  manne  niliyo yataja  hapo  juu  yawe  sawa  sawa  bila  hitilafu  yoyote. Kinyume  chake, mwanaume  hawezi  kuwa  na  nguvu  za  kiume.

MAMBO   YANAYO SABABISHA   UKOSEFU/UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Tumeshajua   nguvu za  kiume  ni  nini, jinsi  uume  unavyo  simama, hatua  za  kusimama  kwa  uume, pamoja  na  mambo  yanayo  fanya  uume  uweze  kusimama  na  kuwa  na  uwezo  wa  kuendelea  kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Ni  vyema  tukajua  mambo  yanayo  sababisha  kushindwa  kusimama  kwa  uume, mambo  yanayo  sababisha  uume  ushindwe kuendelea  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa   pamoja  na  mambo  yanayo  fanya  mtu  ashindwe  kurudia  tendo  la  ndoa.

Yafuatayo  ni  mambo  yanayo  sababisha  ukosefu wa  nguvu  za  kiume.

1.    MAGONJWA  YANAYO  SHAMBULIA  MFUMO  WA  DAMU  PAMOJA  NA  MISHIPA  YA  DAMU.

Damu  ndio  nishati  inayo wezesha  kusimama  kwa  uume  na kuufanya  kuwa  mgumu na  imara  kama  msumari.

Damu  ndio  nishati  inayo weza   kuufanya  uume uendelee kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Damu  ndio  nishati  inayo  upa  uume  uimara  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa  zaidi  ya  mara  moja.

Hivyo  basi  ili  uume  uweze  kuwa  imara na  wenye  nguvu, pamoja  na  kuwa  na  uwezo  wa  kumudu  na  kustahimili   tendo  la  ndoa  wakati  wowote , basi  ni  lazima   mwanaume  awe  na mfumo  imara  wa  damu  utakao  ruhusu  kutiririka  kwa  damu  kwenda  katika  sehemu mbalimbali  za  mwili  ikiwamo  uume.

Ili  mfumo  uweze  kuwa  imara  ni  lazima  mhusika  awe  na  damu  ya  kutosha, na  pili  awe  na  mishipa  ya  damu  yenye  afya.

Katika  mwili  wa  mwanadamu,kuna  mishipa  inayo  tumika  kusafirisha  damu  kutoka  katika  sehemu moja  ya  mwili kwenda  katika  sehemu  nyingine  ya  mwili  ikiwemo  uume. Mishipa  hiyo  ni  kama  vile  vena (veins), atery ( ateri) na  capillary  ( kapilari )

Mishipa  hii  ya  damu  inapaswa  kuwa  imara  na  yenye  afya  njema  wakati  wote.   Mishipa  hii  ikipatwa  na  hitilifu, basi  itazuia  kusafirishwa  kwa  damu  katika  sehemu  mbalimbali za  mwili  wa  mwanadamu  na  hatimaye  kufanya  suala  la  kuwa  na  nguvu  za  kiume  kwa  mhusika  kuwa  ugumu  kwa  sababu   ya  kushindwa  kupeleka  damu  kwenye  mishipa  ya  uume.

Magonjwa  kwenye  mishipa  ya  damu  huzuia   kutirika  kwa  damu kwenye  ogani  muhimu   kama  vile  moyo, ubongo na  figo.

VIASHIRIA  VYA  MAGONJWA  KWENYE  MISHIPA  YA  DAMU.

Utajuaje  kwamba  una  magonjwa  kwenye  mishipa  yako  ya  damu ?

Ukiwa  una  matatizo  yafuatayo ya  kiafya, ni  ishara  kwamba, una  magonjwa  kwenye  mishipa  yako  ya  damu:

1.  Kolestrol ( Ama  lehemu  kwenye  damu )

Kolestrol  nyingi  kwenye  damu, huzuia  kutiririka  kwa  damu. Kolestrol  ikizidi  kwenye  damu,  hupelekea  kuziba   mishipa  ya  ateri  ambayo  kazi  yake  ni  kupeleka  damu  kwenye  uume. 
 
Matokeo  yake  ni  mhusika  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wake barabara  kwa  sababu uume  hauwezi  kusimama  bila  damu  kuingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume.  
 
Hivyo  basi pamoja  na  dawa  ya  nguvu  za  kiume, yakupasa  kutibu  kolestrol. Unaweza  kuondoa  kolestrol  kwenye  damu  kwa  kutumia  dawa  mbali  za  asili  kama  vile mdalasini,uwatu, habbat sodah  etc.  Jinsi  ya  kujitibu  kolestrol  kwa  kutumia dawa asilia  tafadhali  tembelea


2.      Shinikizo  Kubwa  la  Damu

Shinikizo  Kuu la  Damu husababisha  mishipa  ya  ateri  ambayo  hutiririsha  damu  iingiayo  kwenye  uume  kuziba  na  kushindwa kutanuka  kwa  kiwango  inachotakiwa  kutanuka.

Pia  huifanya  mishipa  laini  katika  uume   kushindwa  ku-relax  na  hivyo  kushindwa  kuizuia  mishipa  ya  vena  ya  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  kwenye  maeneo  mengineyo  ya  mwilini.

Matokeo  yake  kunakuwa hakuna  kiasi  cha  kutosha  cha  damu  iingiayo  kwenye  uume  na  hivyo  kufanya  uume  ushindwe  kusimama.

Vile  vile  hata  kiasi  kidogo  cha  damu  kinacho  ingia  kwenye  uume, kinashindwa  kuendelea  kuhifadhiwa  ndani  ya  uume  wakati uume  ukiwa  umesimama, na  matokeo yake  ni  uume  kusinyaa  ndani  ya  kipindi kifupi  sana  tangu  usimame.

Pamoja  na kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume, unapaswa   pia  kutumia  dawa  asilia  kujitibu  tatizo  la  shinikizo  kuu  la  damu.

Kufahamu  jinsi  ya  kujitibu  tatizo  la  shinikizo  la  damu  kwa  njia  ya  asilia, tembelea :


3.  Ugonjwa  wa  kisukari :

Ugonjwa  wa  kisukari  ni  miongoni  mwa  vyanzo  vikuu  vya  tatizo  la  ukosefu wa  nguvu  za  kiume.  Kusimama  kwa  uume  kunategemeana  na  kutiririka  kwa  damu  mwilini. Kisukari  huathiri  mishipa  ya  damu pamoja  na  usambazaji  wa  damu  kwenye  ogani  muhimu  mwilini  kama  vile  moyo, ubongo, figo  na  uume.

Kiukweli, mwanaume  mwenye  kisukari  yupo  katika  risk  kubwa  ya  kupatwa  na  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume,m tena  katika  kiwango  kikubwa  sana.

Unashauriwa pamoja  na kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume, tumia  pamoja  na  dawa  mbalimbali  za  asili  kwa  ajili  ya  kubalance  sukari  yako mwilini. Zipo  dawa  mbalimbali  za  asili  zinazo  saidia  kubalance  kiwango  cha  sukari  mwilini. 
 
Dwa  hizo  ni  pamoja na mdalasini, unga  wa  uwatu, mbegu  za  uwatu, manjano, majani  ya  manjano,mbegu  za  katani, nakadhalika. 
 
Namna  ya  kutumia  dawa  hizo  kujitibu  tatizo  la  sukari, tafadhali  tembelea : http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/jitibu-kisukari-presha-shinikizo-la.html

4. Magonjwa  ya  figo

Tatizo  la  ugonjwa  wa  figo  huathiri  vitu vingi  ambavyo  ni  muhimu  sana  katika  kuufanya  uume  uweze  kusimama  na  kuendelea  kudumu  katika  kusimama.

Tatizo  la  figo, huathiri  homoni, huathiri kutiririka   kwa  damu  kwenda  kwenye  mishipa  ya  uume. Huathiri  mfumo  wa mishipa  ya  neva  pamoja  na  nishati  ya  mwili mzima.

Pamoja  na  dawa  ya  kutibu  tatizo  la  nguvu  za  kiume, unapaswa  pia, kutibu  tatizo  la  figo. 
 
Kufahamu  jinsi  ya  kujitibu  magonjwa  mbalimbali  ya  figo  kwa  kutumia  dawa  mbalimbali  asilia, tembelea : http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/jitibu-kisukari-presha-shinikizo-la.html

5.        Ugonjwa  wa  moyo

Moyo  ndio  supplier  mkubwa  wa  damu  katika  sehemu  mbalimbali  za  mwili.  Ugonjwa  wa  moyo  hupunguza  uwezo  wa  moyo  kusambaza  damu  kwenye  mishipa  mbalimbali  ya  damu  na  hivyo  kuathiri  utendaji  kazi  wa  mishipa ya  damu  kama  vile  ateri  na  vena. 
 
Matokeo  yake  ni  mishipa  hiyo  kushindwa  kupeleka  damu  ya  kutosha  katika  uume  pamoja  na  kushindwa  kuifanya  mishipa  ya  uume  kurelax na  matokeo  yake,. Ukosefu  wa nguvu  za  kiume. 
 
Hivyo  basi, pamoja  na  dawa  ya  nguvu  za  kiume, unapaswa  pia   kutibu  tatizo  la  moyo. Kufahamu  jinsi  unavyo  weza  kutibu  ugonjwa  wa  moyo  kwa  dawa  asilia, tembelea :


6.  Kupwaya  kwa  mishipa  ya  vena.

Kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  kwenye  uume   kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyingine  za  mwili.  
 
Mishipa  ya  vena  iliyopo  karibu  na  uume  kazi  yake  kubwa  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  yoyote  kwenye  mishipa  ya  uume. ( KUMBUKA  KUWA  DAMU  NDIO  HUFANYA  UUMU  USIMAME, HIVYO  CHOCHOTE  KILE  KITAKACHO  FANYA  DAMU  ISIKAE  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME , KITAFANYA  UUME  USINYAE  )

Ili  uume  uendelee  kusimama  ni  lazima, mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo  wa  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  kupeleka  nje  ya  mishipa  ya  uume.

Na  ili  mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo  wa    kunyonya  damu  kutoka  kwenye   mishipa  ya  uume  ulio  simama  na  kuipeleka  kwenye  sehemu  nyingine  za  mwili,  ni  lazima  mishipa  ya  uume  iwe  imara  na  thabiti  isiyo  na  hitilafu  yoyote  ile.

Mishipa  ya  vena  ikipwaya, mwanaume  hutokuwa  na  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wako, na  ikitokea  umefanikiwa  kuusimamisha  basi  utasimama  ukiwa  legelege  sana  na  utasinyaa  ndani  ya  muda  mfupi  sana, kwa  sababu  damu  iliyo  ingia  ndani  ya  uume  wako  na  kuufanya  usimame, itanyonywa  ndani  ya  muda  mfupi  sana  na  kutolewa  nje  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  wako  usimame.

Tatizo  la  kupwaya  kwa  mishipa  ya  vena  linasababishwa  na  kupiga  punyeto  kwa  muda  mrefu  pamoja  na  ugonjwa  wa  kisukari.


Kupiga Punyeto kwa Muda Mrefu:   Kupiga  punyeto  kwa  muda  mrefu  ni  moja  kati  ya  vyanzo  vikuu  vya  tatizo  la  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  Asilimia  kubwa  ya  vijana  wenye  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, linasababishwa  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu.


Jinsi  Punyeto  inavyosababisha  Ukosefu  wa  Nguvu  za  Kiume

Unapopiga  punyeto  unakuwa  unaiminya  mishipa  ya  uume   ambayo  ndio  inaufanya  uume  usimame.

Matokeo  yake  unaifanya  mishipa  hiyo  ilegee na  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimama  tena.

Mishipa  ya  uume  iliyo  legea  kutokana  na  upigaji  punyeto, huleta  madhara  yafuatayo  :

i.  Huondoa  uwezo  wa  mishipa  ya  uume  kurelax.

( Unapopata  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  uume  ina relax  , mishipa  iki  relax  husababisha  mishipa  ya  ateri  kupanuka  na  kuruhusu  damu  kingie  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hatimaye  kuufanya  uume  usimame  na  kuwa  mgumu)

ii.Mishipa   ya  kiume  ikishindwa  ku relax  husababisha  mishipa  ya  ateri  kuziba

iii.Mishipa  ya  ateri  ikiziba, damu  haiwezi  kutiririka  kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, na  hata  ikitokea  damu  imeingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume  basi  huingia  kiasi  kidogo sana   tena  kwa  presha  ndogo  sana  hivyo  basi  hata  kama  uume  utasimama   basi  utasimama  ukiwa  legelege  sana

iv.Mishipa  ya  uume  ikishindwa  kurelax  basi  haitakuwa  na  uwezo  wa  kuipush  na  kuiziba  mishipa  ya  vena  ambayo  ndio  hunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  ulio  simama. 
 
Matokeo  yake  basi, damu  kidogo  iliyo  ingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuufanya  uume  kusimama, hunyonywa  na  kutolewa  nje  ya  mishipa  ya  uume  ndani  ya  sekunde  chache  sana  na  hivyo  kuufanya  uume usinyae  ndani  ya  muda  mfupi  sana.

v. Mishipa  ya  uume  kulegea

vi. Uume  kurudi ndani  na  kusinyaa  na  kuwa  kama  uume  wa  mtoto

6.  Tatizo  la  unene  kupita  kiasi : 
Tatizo  la  unene  na  uzito  kupita  kiasi  ni  miongoni  mwa  mambo  yanayo  sababisha  upungufu  wa  nguvu  za  kiume. 
 
Unene  kupita  kiasi  humuweka  mtu  katika  hatari  ya  kupatwa  na  magonjwa  kama  vile  kisukari, presha, moyo  na  shinikizo  kuu  la  damu.
 
 Na  magonjwa  ya  kisukari, moyo,presha  na  shinikizo  la  damu  husababisha  upungufu na  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, na  hivyo  kumuweka  muhusika  katika  hatari  kuu  ya  kupatwa  na  tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume.

Hivyo  basi  kwa  wewe  mwenye  tatizo  la  unene  na  uzito  kupita  kiasi , pamoja  na  kutumia  tiba  ya  nguvu  za  kiume,  ni  vyema  ukafanya  na  mpango  wa  kupunguza  unene  na  uzito  wako.

Jinsi  ya  kupunguza  Uzito  na  Unene  kwa  Kutumia  Tiba  Asilia. Tafadhali  Tembelea;

7.   Matatizo  Katika  mfumo  wa  Ubongo

Uume  hauwezi  kusimama   bila  ya  kuwa  na  ushirikiano  na  ubongo.  Ili mtu  uume  uweze  kusimama, mtu  lazima  apate  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa  (UBONGO  UNA HUSIKA  HAPO ), akishapata  wazo, ubungo  hupeleka  ishara  kwenye  mishipa  ya  fahamu  iliyopo  katika  uti  wa  mgongo  ambayo  nayo hupeleka  taarifa  kwenye  mishipa  ya  uume  then  uume  usimama.  
 
 Hivyo  basi  ili  mtu  aweze  kuwa  na uwezo  wa kusimamisha  uume  wake  ni lazima  kuwa  na  mawasiliano  mazuri  na  imara  kati  ya mishipa  ya  fahamu ( ubongo ), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo   na  mishipa  ya  kwenye    uume.  Bila  ushirikiano  kati  ya  vitu  hivyo  vitatu, uume  hauwezi  kusimama.

Magonjwa  yanayoweza  kuathiri  ushirikiano  kati  ya  mishipa  ya  ubongo  na  mishipa  ya  uume, yanaweza  kusababisha  kushindwa  kusimama  kwa  uume.

Magonjwa  hayo  ni  pamoja  na  kiharusi,kupoteza  kumbukumbu  (  Alzheimer ), multiple  sclerosis pamoja  na  ugonjwa  wa  Parkinson.

Ni  vyema  mgonjwa  akatibiwa  kwanza  magonjwa  hayo  kabla  ya  kuanza  kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume.  Kufahamu  jinsi  ya  kujitibu  magonjwa  tajwa  hapo  juu  kwa  njia  asilia,tafadhali  tembelea

Mambo   mengine  yanayo  sababisha  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  pamoja  na  maumivu & majeraha  kwenye  uti  wa  mgongo,  chango  la  kiume , ngiri  na  matatizo  katika  homoni.

Viashiria  vya  mtu  mwenye  tatizo  la  Ukosefu/Upungufu  wa  Nguvu  za  Kiume.
Mtu  mwenye  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume  huwa  na  dalili  zifuatazo ;

1. Kushindwa  kabisa  kusimamisha  uume  wake

2. Uume  kusimama  ukiwa  legelege

3. Kuwahi  kumaliza  tendo  la  ndoa

4. Mwanaume  kutokuwa  na uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  katika  baadhi  ya  staili  ( Mara  nyingi   mwanaume  huyu huwa  na  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa    staili  moja  tu ).  Hapa  mwanaume  anakuwa  na  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  staili  ya   “ missionary” pekee.  Ikibadilishwa   staili, mwanaume  anakuwa hana  tena  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wake  japo  katika  hali  ya  u lege  lege

5. Uume  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimama  wenyewe   bila  kushikwashikwa  ama  kutomaswa kwa  muda  mrefu.

6. Uume  kusinyaa  ukiwa  ndani  ya  mwanamke.

7. Uume  kusinyaa, pindi  inapotokea  activity  yoyote  ya  kiungo  ama  ogani  nyingine  ya  mwanaume  wakati  wa  tendo  la  ndoa. Kwa  mfano, wakati  wa  tendo  la  ndoa, ikitokea  mwanaume  amekohoa  au  kupiga  chafya, uume  nao  unasinyaa.

8. Uume  kusinyaa  mara  tu  baada  ya kutolewa  ndani  ya  uke ( Kwa  mfano  kama  unafanya  tendo  la  ndoa, halafu  uume  ukatoka  nje, kitendo  cha  kuushika  kuurudisha ndani, tayari  una  sinyaa )

9. Kutokuwa  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa.

10.  Kupatwa  na  maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.


Viashiria  vya  mwanaume  asiye  na  tatizo  la  Ukosefu  wa  nguvu  za  kiume
Mwanaume  asiye  na  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, huonyesha  ishara  zifuatazo ;

i. Uume  husimama  ukiwa  imara  kama  msumari.

ii.Hukaa  kifuani  kwa  muda  mrefu  ( Wastani  ni  kati  ya  dakika  20  hadi  45  )

iii.Huweza  kurudia  tendo  la  ndoa  zaidi  ya  mara  tatu  bila  misuli  ya  uume  kuchoka.

iv. Huweza  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  staili  yoyote  ile

v. Uume  husimama  wenyewe  bila  kushikwa  shikwa  wala  kuwa  stimulated  kwa  namna  yoyote  ile

vi.Kwa  ufupi  anakuwa  na  uwezo  wa  kufanya na  kukamilisha  tendo  la  ndoa  kwa  uukamilifu  mkubwa.

Tiba  Asilia  ya  Tatizo  la  Ukosefu/Upungufu  wa  Nguvu  za  Kiume.
Dawa  asilia  ya  JIKO   ni  dawa  asilia  inayo  tibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.

Mfumo wa Dawa
Dozi  ya  dawa  ya  JIKO ni  mkusanyiko  wa  dawa  nne  asilia  zenye  uwezo  mkubwa  sana  katika kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume.

Dawa  hizi  zipo  katika  mfumo  wa  MIZIZI  na  UNGA  UNGA.
 
Jinsi  Dawa  ya  Jiko Inavyofanya  kazi
Dozi  ya  dawa  ya  JIKO  inafanya  kazi  zifuatazo  katika  mwili  wa  mwanadamu.

Dawa  ya  JIKO  inasadia  katika  mambo  makuu yafuatayo:

1. Inasaidia   kuimarisha  mishipa  ya  uume  ulio legea  na  hivyo  kuufanya  uume  uwe  na uwezo  wa  kusimama  barabara  kama  msumari  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

2. Inasaidia  kusafisha  mishipa  ya  kwenye  uume  na  hivyo  kusaidia  katika  kuongeza  kasi  ya  msukumo  wa  damu  kwenye  mishipa  ya  kwenye  uume.

3. Huongeza  damu  mwilini

4. Husaidia  kuongeza  msukumo (pressure)  wa  damu  kwenye  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  kuwa  na  nguvu  za  ajabu.

5. Huipa  misuli  ya  uume  uwezo  wa  kuziba  wa  kuizuia  mishipa  ya  vena   kunyonya  damu  kwenye  mishipa  ya  uume  wakati  wa  tendo  la  ndoa  na  matokeo  yake  kukupa  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  muda  mrefu( Kuzuia  hali  ya  kufika  kileleni  haraka  )

6. Husaidia  kurelax  mind  na  hivyo  kumfanya  mtu  awe  na  uwezo  wa  kuconcentrate  wakati  wa  tendo la  ndoa   bila  kuathiriwa  na  msongo  wa  mawazo

7. Hurejesha, kuimarisha  na  kuboresha  ushirikiano  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  ya  kwenye  ubongo  (nerves), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  mishipa  ya  kwenye  uume

8. Humfanya  mwanaume  awe  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa  mara  nyingi  zaidi  bila  kuchoka.

9. Husaidia  kuongeza  hamu  ya  tendo  la  ndoa.

10. Husaidia  kuurudisha  nje  uume  ulio ingia  ndani.

11.  Husaidia  kutibu  side effects  za  punyeto  na  matumizi  ya  muda  mrefu  ya dawa  kali  za  (za  kizungu ) za  kuongeza  nguvu  za  kiume.

12. Husaidia  kutibu  chango  la  kiume.

13. Dawa  hii  huwasaidia  hata  wanawake  wanao sumbuliwa  na  tatizo  la  ukosefu  wa  hamu ya  tendo  la  ndoa.

Bei ya Dawa:  
Dozi  ya  dawa  ya  JIKO  inapatikana  kwa  gharama  ya  SHILINGI  ELFU  THEMANINI  TU  (Tshs.80,000/=)

Mahali Tunapopatikana :
Dozi  ya  dawa  ya  JIKO, inatolewa  na  duka  la  dawa  asilia  la  NEEMA  HERBALIST    NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC. Tunapatikana  jijini  DAR ES  SALAAM, katika  eneo  la  TABATA   karibu  na  SHULE  YA  SEKONDARI  YA  MTAKATIFU  ANUARITE.

Kwa  wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu, tunatoa  huduma  ya kuwapelekea  dawa  mahali  walipo  ( DELIVERY )

Kwa  wateja  waliopo  nje  ya  DAR  ES  SALAAM, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  mabasi, wateja  waliopo  Zanzibar, watatumiwa  dawa  kwa   njia  ya  boti  na  kwa  wateja  waliopo  Ulaya, America  na  Arabuni, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  DHL  au POSTA.

WASILIANA  NASI  KWA  SIMU  NAMBA

0766  53  83  84.
Na  kwa  maelezo  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, tembelea:
www.neemaherbalist.blogspot.com

Hatimaye Mkurugenzi wa uchaguzi Korogwe Akubali Kupokea rufaa ya Chadema

$
0
0
Rufaa ya mgombea ubunge wa Jimbo la Korogwe (Chadema) Amina Saguti imepokewa jana  na Kaimu Mkurugenzi wa uchaguzi Wilaya ya Korogwe, Florian Kimaro.

==>>Hii ni Taarifa iliyotolewa jana Agosti 22 na Msemaji wa Chadema, Tumaini Makene 

Hatimae fomu ya rufaa ya Mgombea Ubunge Jimbo la Korogwe Vijijini kupitia CHADEMA, Bi. Amina Ally Saguti imepokelewa na Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Korogwe, Ndugu Frolian Kimaro baada ya malumbano marefu, ambapo mamlaka zinazohusika zilikuwa zimekataa kuipokea.

Katika rufaa hiyo Mgombea Bi. Saguti anapinga, pamoja na masuala mengine, uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Korogwe Vijijini kumtangaza mgombea ubunge wa CCM kuwa amepita bila kupingwa, huku kukiwepo na ukiukwaji mkubwa wa taratibu zinazosimamia uchaguzi nchini.

Hadi mwisho wa kupokea rufaa hiyo ulipokuwa unakaribia jioni hii, kwa mara nyingine tena uteuzi wa mgombea huyo wa CHADEMA ulikuwa bado unawekewa vikwazo baada ya Msimamizi wa Uchaguzi kukataa kupokea fomu hiyo tangu mchana.

Mgombea huyo akiambatana na Viongozi wa CHADEMA Wilaya ya Korogwe, walifika ofisini kwa msimamizi leo mchana kuwasilisha fomu hizo lakini alikumbana na vikwazo hali iliyoonesha kuwa kuna dalili za kuhakikisha uamuzi wa juzi haubadiliki ili CCM ipite bila kupingwa katika jimbo hilo.

Fomu hiyo na. 12 ilipatikana  kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi baada ya Uongozi wa CHADEMA ngazi ya taifa kulazimika kufanya mawasiliano ili kupata fomu hiyo kutokana na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Korogwe kukataa kutoa.

Chama tayari kimeshamwandikia rasmi Mkurugenzi wa NEC kumtaka achukue hatua za haraka kuingilia kati mwenendo wa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Korogwe hasa kubatilisha uamuzi wake uliokiuka taratibu zinazosimamia uchaguzi kwa kukataa kupokea fomu za kugombea za Mgombea wa CHADEMA na vyama vingine huku akimtangaza Mgombea wa CCM kupita bila kupingwa kinyume cha sheria na kanuni za uchaguzi.

Tumaini Makene

DCI Azungumzia Sakata la Kumkamata Aliyekuwa Mkurugenzi NIDA

$
0
0
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Boaz amesema wanayafanyia kazi maagizo ya kumkamata mkurugenzi mkuu wa zamani wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Dickson Maimu.

Maagizo hayo yalitolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola siku mbili zilizopita akitaka Maimu kukamatwa kwa kosa la tuhuma za kula njama na kuisababishia hasara Serikali ya Sh4.6 bilioni.

Mbali na Maimu, wengine waliotakiwa kukamatwa juzi kabla ya saa 12:00 jioni kwa kosa hilo ni mmiliki wa kampuni ya Gotham International Ltd, Gwiholoto Impex Ltd na Ms Aste Insurance Broker Company Ltd.

Wamiliki wa kampuni hizo tatu walikamatwa na polisi waliokuwa katika ofisi za wizara hiyo juzi. Maimu hakuwapo katika mkutano na waziri, bali alikuwapo katika mahojiano naye Agosti 3.

DCI Boaz jana alisema serikali inajitahidi kuhakikisha kuwa taasisi za umma zinaheshimu haki za binadamu na uzalendo kwa kutumia vyema mali zilizopo.

Alisema wale ambao wamekuwa wakifanya ubadhirifu wa mali za umma lazima wakamatwe na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.

 Alisema Waziri ana dhamana ya Wizara na pia ni cheo cha kisiasa hivyo lazima aweke msimamo katika masuala hayo na akimwagiza yeye analenga kuwataka vyombo vya dola vitoe vijana wake kwa ajili ya kufanya kazi hiyo. 

Alisema wakikamilisha utaratibu kuwakamata watuhumiwa, watafikishwa mahakamani kujibu mashitaka yao na endapo watapata dhamana wataendelea kufanya upelelezi na kwamba wakiendelea kushikiliwa, upelelezi utaendelea hadi kuwabaini waliohusika na ubadhirifu huo.

Alisema kuendelea kufanya uchunguzi wakati watuhumiwa wakiwa mahakamani kunalenga kupata uthibitisho wa kina na kukusanya vielelezo ili kujua ni nani aliyehusika. 

‘’Suala la uhujumu uchumi wa fedha za serikali linakuwa na mtandao mkubwa ambao mara nyingi kuwapata waliohusika kwa asilimia 100 ni ngumu kwa sababu wanashirikiana na watu ambao kuwafahamu inahitaji uchunguzi wa kina na wa muda mrefu, kuwapata walioshirikiana na wakurugenzi hao kufanya ubadhirifu,’’ alisema.

Agosti 15, 2016 mtuhumiwa Maimu, Kayombo na wafanyakazi wengine NIDA, walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya uhujumu uchumi na kuisababishia serikali hasara ya Sh bilioni 1.16. 

Wafanyakazi hao wa Nida ni Meneja Biashara, Avelin Momburi, Benjamin Mwakatumbula (Kaimu Mhasibu Mkuu), George Ntalima (Ofisa Usafirishaji), Sabina Raymond (Mkurugenzi wa Sheria) na Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), Joseph Makani.

Maimu na Mwakatumbula wanadaiwa tarehe tofauti kati ya Januari 15 hadi 19, mwaka 2010 makao makuu ya NIDA wilayani Kinondoni Mkoa wa Dar es Salaam, wakiwa watumishi wa umma kwa nafasi zao waliidhinisha malipo kwa Gotham International Limited (GIL) ya Dola za Marekani 2,700,00 bila ya kutumia viwango vya kubadilisha fedha za kigeni vilivyowekwa na Benki Kuu ya Tanzania, kinyume na kifungu 19.3 cha mkataba kati ya NIDA na GIL, hivyo kuifanya GIL kupata faida ya Sh 3,969,000.

Pia walidaiwa kati ya Juni 3 na 5, 2013 katika makao makuu hayo walitumia madaraka vibaya kwa kuidhinisha malipo kwa GIL ya Dola za Marekani milioni 1.8, bila ya kuzingatia viwango vya kubadilisha fedha, hivyo kuifanya GIL kupata faida ya Sh 106,346,000. 

Pia Juni 20, 2014 katika makao makuu hayo, waliidhinisha tena malipo ya Dola za Marekani 675,000 kwa GIL bila ya kuzingatia viwango vya kubadilisha fedha, hivyo kuifanya kampuni hiyo kupata faida ya Sh 42,471,000.

Maimu na Mwakatumbula wanadaiwa kutumia madaraka yao vibaya kwa kupitisha malipo mengine ya Sh milioni sita kwa GIL bila ya kupiga hesabu kwa kutumia viwango vya kubadilishia fedha hivyo kuifanya kampuni hiyo kupata faida ya Sh 14, 661,676.76. 

Inadaiwa tarehe tofauti kati ya Januari 15, 2010 na Mei 16, 2015 katika makao makuu hayo ya NIDA kwa kuidhinisha malipo kwa GIL ya Dola za Marekani bila ya kuzingatia viwango vya kubadilisha fedha za kigeni waliisababishia NIDA kupata hasara ya Sh 167,445,676.76.

Anadaiwa Aprili 16, 2012 katika makao makuu ya NIDA, Ndege akiwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Aste Insurance Broker ambayo imeingia mkataba na NIDA wa kutoa huduma za bima, kwa nia ya udanganyifu aliwasilisha hati ya malipo yenye taarifa za uongo NIDA akionyesha kampuni yake inastahili kulipwa Sh 22,582,281 kwa huduma za bima iliyoitoa huku akijua taarifa hizo za uongo na zilikuwa na lengo la kumdanganya mwajiri wake. 

Mkurugenzi huyo wa NIDA, Mwakatumbula na Ndege, wanadaiwa katika tarehe tofauti kati ya Agosti 2012 na Januari 4,2013 makao makuu ya NIDA waliisababishia hasara ya Sh 55,312,800.

Maimu na Mwakatumbula wanadaiwa pia kati ya Januari 29 na 30, 2013 katika makao makuu hayo walitumia madaraka yao vibaya kuidhinisha malipo ya Dola za Marekani milioni mbili kwa IRS Corporation Berhad. 

Ilidaiwa mapendekezo ya utaratibu mpya wa haraka wa upatikanaji wa vitambulisho na vifaa bila ya kufanya marekebisho ya mkataba ulioko kati ya NIDA na kampuni uliiwezesha IRIS kupata faida ya fedha hizo. 

Mwakatumbula, Ntalima na Kayombo wanadaiwa kati ya Juni 4 na 6, 2013 makao makuu waliisababishia NIDA hasara ya Sh 45,515,961. 

Maimu na Sabina wanadaiwa kati ya Agosti 3, 2010 na Novemba 7, 2011 katika makao makuu ya NIDA wakati wakitekeleza majukumu yao, walitumia madaraka yao vibaya na kuiwezesha GIL kupata faida ya Sh 901,078, 494 na kuisababishia NIDA hasara ya kiasi hicho cha fedha.

Tanzania na Uganda Zakubaliana Kukuza Biashara Kati Yao Kwa Kuondoa Vikwazo

$
0
0
Tanzania na Uganda zimeazimia kuondoa vikwazo vya kibiashara ili kukuza kiwango cha biashara kati yao ambacho kwa takwimu zilizopo sasa zinaonesha kipo chini mno.

Hayo yalibainishwa katika mkutano wa Jukwaa la biashara kati ya Tanzania na Uganda uliofanyika leo kando ya Mkutano wa pili wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) unaofanyika kwa silku tatu jijini Kampala tokea tarehe 21 Agosti 2018.

Mgeni Rasmi katika mkutano huo ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara, Viwanda na Ushirikia ya Uganda, Balozi Julius Onen alieleza kuwa Tanzania na Uganda zina nafasi kubwa ya kukuza biashara endapo njia za usafiri zitaboreshwa, vikwazo visivyo vya kibiashara vitaondolewa pamoja na kuwa na mikakati ya pamoja ya kuweka viwango vya ubora vinavyotambulika katika nchi zote na kanda nzima kwa ujumla.

Mkutano huo ambao ulihudhuriwa na wawakilishi mbalimbali wa Tanzania akiwemo Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Deusdedit Kakoko alisema kuwa Mamlaka ya Bandari imeboresha kwa kiasi kikubwa huduma zake ikiwemo kuanza upya kwa njia ya Dar Es Salaam- Mwanza hadi bandari ya Bell nchini Uganda. Alisema kufunguliwa kwa njia hiyo kumepunguza idadi ya siku za kusafirisha mizigo kutoka Dar Es Salaam hadi Uganda ambapo kwa sasa mizigo inasafirshwa kwa siku nne  na kwa kiwango kikubwa na gharama nafuu.

Jambo hilo liliungwa mkono na wafanyabiashara wa Uganda walioshiriki mkutano huo ambapo waliipongeza TPA kutokana na hatua inazozichukua kuboresha huduma katika Bandari ya Dar Es Salaam na walikiri kuwa kufunguliwa kwa njia ya Dar Es Salaam-Mwanza hadi Bandari ya Bell kumepunguza kwa kiasi kikubwa gharama za kufanya biashara pamoja na muda wa kusafirisha bidhaa zao.

Balozi Onen aliendelea kueleza kuwa licha ya changamoto zilizopo za kufanya biashara kati ya Uganda na Tanzania lakini vihatarishi vya kufanya biashara na Tanzania ni vichache ukilinganisha na nchi nyingine.  Hivyo, aliwsihi wafanyabiashara wa Uganda na Serikali kwa ujumla kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na nchi hiyo.

Alibainisha kuwa Tanzania na Uganda zinaweza kufaidika zaidi kibiashara kutokana na nchi zote kuwa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambalo lina soko kubwa kutokana na idadi kubwa ya watu katika eneo hilo. Hivyo alizihimiza Serikali zaTanzania na Uganda kufanya uwekezaji mkubwa katika ushoroba wa kati (central corridor) ili kukuza biashara.

Mkutano wa JPC unatarajiwa kufungwa rasmi Alhamisi kwa kikao cha ngazi ya Mawaziri ambapo Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga (Mb), Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi (Mb), Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi. Isack Kamwele (Mb) na Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu (Mb) watashiriki mkutano huo.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Kampala
22 Agosti 2018

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota, Mvuto wa Biashara na Mapenzi

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. 

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
 
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
 
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi 

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara,M saniiwa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwawakuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu. 
Kutana na Chief MAKATA.Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota zab inadam na bingwa wa tiba za asili Afrikam ashariki. Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. chief MAKATA  ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA-  Chief Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na inje ya nchi. 
Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.
Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, kutoa ndagu, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMA, GARI..), Kesi mahakamani, Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali naU TAJIRI bila masharti na mengine mengi yaS iri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu
+255 676 014 385
+255 767 202 654 Chief MAKATA

Kalulumila:Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
 BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO KALULUMILA.
----------------------------------------
Ni dawa pekee iliyojipatia umaarufu nchini na nje ya nchi kwa kufanya kazi mara 3, kwa wakati mmoja 1, kurefusha uume na kunenepesha saizi uipendayo kuongeza nguvu za kiume na inatibu matatizo na gerentii miaka 30. Na kuendelea haina madhara, inaimarisha mishipa ya uume iliyoregea na udhalishaji wa mbegu za kiume. 


---------NINI HUCHANGIA MATATIZO HAYA--Ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya ili kujua kwamba una ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya, ili kujua kama unangiri dalili zake ni kufika haraka kileleni wakati wa tendo la ndoa, 2)kushindwa kurudia tendo la ndoa. 3)kutoa choo kama cha mbuzi. 4)tumbo kujaa gesi na kuunguruma. 5)kukosa choo kabisa. 6)maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi. 7) korodani moja kuvimba 8)kutosikia hamu ya tendo la ndoa na maumivu ya kiuno wakati wa tendo la ndoa. 9)maumivu ya kiuno na mgongo pia tunatibu kisukari kwa siku7, presha, busha, bila kupasuliwa na magonjwa mbalimbali. 

---------------------------------------
TUPO TEGETA KWA NDEVU KARIBU NA MACHINJIO YA NGOMBE UTAONA OFSI IMEANDIKWA KALULUMILA HERBALIST CLINIC HOSPITAL SIMU .
----------------------------------------
-0655-557-182.
-0755-557182.
-0784-557-182.
PIA UTAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
---------------------------------------
KARIBUNI SANA.
----------------------------------------

Agizo la Waziri Mkuu Latekelezwa....Ni Lakumkamata Mwenyekiti Aliyetafuna Milioni 35

$
0
0
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Onesmo Maluda, amekamatwa na Jeshi la Polisi na kuswekwa ndani kwa tuhuma za ubadhirifu wa Sh. milioni 35.

Agizo la kukamatwa kwa mwenyekiti huo ambaye pia ni diwani wa Kata ya Choma, lilitolewa hivi karibuni na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, alipokuwa akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara  katika Kata ya Choma hivi karibuni.

Aliagiza kukamatwa kwa viongozi wote wanaotuhumiwa kwa upotevu wa Sh. milioni 35 zilizotolewa na halmashauri ya wilaya hiyo kwa ajili ya ununuzi wa mashine ya kukoboa mpunga ya Kijiji cha Choma.

Majaliwa alieleza kuwa mashine hiyo licha ya kununuliwa, ilifanya kazi kwa muda mfupi sana ikaharibika, hali iliyoleta sintofahamu kwa wananchi kutokana na baadhi ya viongozi kulalamikiwa kununua mashine mbovu.

Waziri Mkuu alisema licha ya kulalamikiwa kwa ubovu, hata matengenezo yalishindikana.

Akitoa taarifa baada ya kukamatwa kwa mwenyekiti huyo, Mkuu wa Polisi wilayani humo, Ally Mkalipa, alisema mwenyekiti huyo alikamatwa na kuunganishwa na watuhumiwa wenzake wanane kwa tuhuma za kuhusika na upotevu wa fedha hizo.

Alisema polisi wanaendelea kuwatafuta watuhumiwa wengine akiwamo mkandarasi, Sadick Hans, ambaye alitoroka baada ya kusikia anatafutwa.

Polisi Wanaowabambika Kesi Raia Wazidi Kubanwa

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, ameendelea kuwabana polisi akiwataka kuachana na tabia ya kubambikia raia kesi zikiwamo za uzururaji na ugaidi.

Lugola alitoa kauli hiyo Jumatatu jioni baada ya kufanya ziara ya kikazi katika Chuo cha Taaluma cha Polisi Kurasini jijini Dar es Salaam na kuzungumza na maofisa wa chuo hicho na wanafunzi.

Alisema aliamua kufanya ziara hiyo baada ya kupokea malalamiko mengi kutoka kwa raia kuhusu kubambikwa kesi na askari polisi.

"Miongoni mwa kesi ambazo raia wanalalamikia kubambikiwa sana ni uzururaji na kesi za ugaidi," Lugola alisema.

Waziri huyo aliongeza kuwa, kuna maofisa wenye vyeo ndani ya jeshi hilo aliokutana nao lakini kutokana na vitendo vyao amewatilia shaka kama kweli waliwahi kupitia mafunzo chuoni hapo.

"Kuna baadhi ya mambo yanayofanyika kule chini ambayo yananishangaza sana, nimekuwa nikijiuliza jeshi hili ni la weledi na wa kisasa kweli? Yuko OCS mmoja (Mkuu wa Kituo) kama ninyi, yupo kwenye kituo cha polisi.

"Yeye kila kukicha asilimia 90 ya watu ambao anawakamata na kuwaweka ndani wote ni dili analotengeneza yeye, najiuliza ina maana siku hizi tunakwenda kusoma tuje kutengeneza madili?"

"Moyo wa kufukuzia madaraka haupo, nimeona umuhimu wa mafunzo haya pengine mimi nikisema mtabadilika na ninyi wakati mnasoma mtakuja kunikumbuka siku moja kuwa alikuja waziri akatukumbusha.

"Si lazima uchafuke mabega upate madaraka, kuna watu wamechafuka mabega lakini ndiyo hao wa madili... kuna watu hawajachafuka wanafanya kazi vizuri, wapo huko vituoni."

Waziri huyo aliwataka maofisa na askari chuoni hapo kuhakikisha wanatumia mafunzo hayo kulinda usalama wa raia na siyo kuwakandamiza kwa kuwabambikia kesi mbalimbali.

Bei Imepungua 10%off Pata Saa Kali Na Lipa Mzigo Ukifika 😍😍

$
0
0
  • Tunauza saa ambazo zote ni waterproof 5atm pia saa zetu ni original ukiagiza saa zetu utapata ndani ya saa 24 tu ..utalipia mzigo ukifika mikoa hii tu  dar,mwanza ,arusha,mbeya ,moshi ,tanga,zanzbar  dodoma na morogoro ...tu ...kama hauko maeneo haya usiagize ...ukisha agiza tutakutumia na utalipia mzigo ukifka NDANI ya saa 24 TU saa ziko tunazo dar ,,chini ya mtandao wa daresalaamshop.com
  • AGIZA NA LIPA MZIGO UKIFIKA NDANI YA 24...kwa wateja serious kumbuka ni ndani ya 24 tu unapata saa yako daresalaamshop.com






Kamati ya Bunge Yatoa Maagizo Mazito Mradi wa Reli ya Kisasa

$
0
0
Wakati  ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) ukiendelea, Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeagizwa kuwasilisha kwa maandishi mkakati wa upatikanaji wa umeme wa uhakika wa kuendesha treni hiyo kwa Kamati ya Bunge, Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) kabla ya Mkutano wa Bunge la Novemba.

Wabunge hao wametoa agizo hilo kwa TRC kutokana na wasiwasi wao kuhusiana na upatikanaji wa umeme wa kutosha.

Agizo hilo lilitolewa na Mwenyekiti wa kikao cha kamati hiyo, Janet Mbene, baada ya shirika hilo kuwasilisha majibu ya hoja ambazo kamati iliziagiza mara ya mwisho walipokutana na utekelezaji wa majukumu yao tangu ilipoundwa TRC.

Mbene alisema TRC ambayo ndiye msimamizi wa ujenzi huo inatakiwa ioneshe mkakati wake wa kuanza kujiandaa kuhusu umeme utakaotumika kwenye treni hiyo, watumishi watakaofanya kazi, ulinzi na vitu vyote vinavyoendana na uendeshaji wa treni hiyo.

“Treni ya SGR itatumia umeme, hatujaona popote wapi mmeanza mazungumzo na Tanesco (Shirika la Umeme Tanzania) kujua umeme utapatikana vipi na kwa gharama zipi, lazima hivi vitu sasa hivi mvitazame, msisubiri hadi treni ifike na reli imekamilika ndio mnaanza kufanya kazi,” alisema Mbene.

Mbene aliwataka kuwasilisha mkakati wa uboreshaji gani utafanyika kwa reli iliyopo wakati wakiwa wanasubiri SGR.

“Mpango uliopo wa kujenga SGR mpaka Makutupora, lakini reli hii inapaswa kufika Kigoma na Mwanza kwa hiyo tumeagiza waje na mchanganuo unaoonesha jinsi gani hii reli itafika Kigoma na Mwanza,” alisema zaidi Mbene.

Mwenyekiti huyo alisema shirika hilo linaweza kukopa au kuingia ubia kama njia ambazo zipo wazi kwao zitawafanya wawe na fedha za kutosha za kufikisha reli mwisho badala ya kusubiri kutoka serikalini.

“Tayari wanasema kuna wawekezaji wameonyesha nia ya kuwekeza na wapo tayari kuwekeza maeneo ya hiyo reli, sasa tunataka watuletee tuone je, kwa kuwatumia hao huo mpango wa ubia unaweza kuwa na manufaa badala ya kusubiri serikali pekee iwekeze,” alisema.

Pia Mbene alisema mfuko unaotokana na uagizwaji wa bidhaa nje ambapo asilimia 1.5 ya fedha huingia moja kwa moja kwenye miundombinu ya reli ni vyema fedha nyingine itumike kuboresha miundombinu ya reli na SGR iliyopo kwa kuweka mgawanyo sawa.

Kadhalika, alisema kuna fedha zimetoka Benki ya Dunia Dola za Marekani milioni 300 kwa ajili ya ukarabati wa reli ambapo unahusisha madaraja, maeneo ya madaraja na vipande vya reli.

“Musoma-Bukoba, Moshi-Tanga, Mtwara-Mchuchuma, Mpanda-Kaliua, sasa vyote hivi ni vya fedha kutoka benki ya dunia tunachohitaji kujua wana mkakati gani mbadala wa kuhakikisha kuwa ufanisi hautaathirika na tumeagiza haya yote yaletwe bunge la mwezi Novemba,” alisema.

Alisema kumekuwapo na changamoto ya kila mwaka inayojirudia katika kipande cha reli cha Gulwe hadi Kilosa ambapo mvua zikinyesha reli husombwa na kusababisha adha kwa wasafiri.

“Tumeona hii ni kero ambayo inaweza kutafutiwa ufumbuzi wa kudumu, inawezekanaje kila mwaka wanakuwa na mikakati hafifu, kwa hiyo tumeagiza watuletee maelezo ya ufumbuzi wa kudumu kwa maeneo korofi ili kupunguza gharama zinazotokana na ukarabati wa kila siku na usumbufu kwa wananchi wanaotumia treni,” alisema.

Akijibu baadhi ya hoja, Mwenyekiti wa Bodi ya TRC, Prof. John Kondoro, alisema kuna mazungumzo yanaendelea ya upatikanaji wa umeme na vitu mbalimbali yapo katika maandiko.

Aidha, alisema ukarabati mwingi unafanyika na maeneo yameainishwa ambapo kuna baadhi ya njia na madaraja zinakarabatiwa kwa kuwa mtandao wa reli una jumla ya madaraja 400.

CHADEMA Simiyu Nao Walalamika Kuhujumiwa Uchaguzi wa Marudio

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimelalamika kufanyiwa hujuma katika kata mbili mkoani Simiyu.

Hiyo ni baada ya wagombea wake kunyimwa fomu za kukata rufaa baada ya majina yao kuenguliwa kwenye uchaguzi juzi usiku.

Taarifa iliyotolewa Dar es Salaam jana na Ofisa Habari wa Chadema, Tumaini Makene, alisema wagombea hao ni wa Kata ya Tindabuligi, Zunzu Ndatulu Humu na wa Kata ya Kisesa, Shanemhanga Mabula Makonge wilayani Meatu, wamenyimwa fomu za kukata rufaa baada ya kuenguliwa kwenye uchaguzi.

“Jitihada za wagombea hao na viongozi wa chama kupata fomu hizo namba 12(c) kwa Msimamizi wa Uchaguzi ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu, Fabian Manoza, hadi sasa (jana jioni) hazijafanikiwa.

“Hiyo ni  baada ya msimamizi huyo kutoonekana ofisini tangu asubuhi tofauti na alivyokuwa amewaahidi na kuwataka wafike kwake wachukue fomu hizo. Hata simu zake ambazo alikuwa anapokea hadi jana usiku, hazipatikani,” alisema.

Alisema wagombea hao walirejesha fomu zao kwa Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi katika kata hizo Jumatatu  Agosti 20, mwaka huu.

Alisema hadi kufikia jioni juzi,   mgombea wa Kata ya Tindabuligi alikuwa hajawekewa pingamizi lakini ghafla saa 1.30 usiku aliarifiwa kuwa amewekewa pingamizi na akapewa barua ya kuenguliwa kwenye uchaguzi.

Makene alisema taarifa za awali zilieleza kuwa mgombea huyo pamoja na viongozi wa chama walipohoji kuenguliwa bila haki ya kujibu mapingamizi yaliyowekwa, waliambiwa hakuna fursa hiyo.

Alieleza kuwa taarifa hizo zilidai kuwa kitendo hicho kilifanyika mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi (Mkurugenzi) pamoja na maofisa wakuu wa vyombo vya dola ngazi ya wilaya waliokuwapo ofisini kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi.

Alisema katika Kata ya Kisesa, mapingamizi yaliwekwa saa 4.00 asubuhi juzi, siku moja baada ya kurejesha fomu na yalijibiwa na mgombea kabla ya  kurejeshwa kwa wakati juzi, lakini ilipofika   2.30 usiku naye aliarifiwa kuwa ameenguliwa kwenye uchaguzi.

Makene alisema jitihada za wagombea wote kuwataka Wasimamizi Wasaidizi wawapatie fomu namba 12(c) kwa ajili ya kukata rufaa zilishindikana kwa kile kilichodaiwa kuwa fomu hizo hazikuwapo bali zilikuwa zinapatikana kwa Msimamizi wa Uchaguzi.

Alisema walipowasiliana na Msimamizi wa Uchaguzi juzi usiku, aliwataka wafike ofisini kwake jana  awapatie hizo fomu waweze kukata rufaa, lakini hadi jana jioni hakuonekana ofisini na simu zake za mkononi hazikuwa hewani.

Alisema katika Kata ya Mwanhuzi ambayo inatarajia kufanya uchaguzi wa marudio, msimamizi msaidizi alikataa kuzipokea fomu za mgombea wao, baada ya kuzipitia na kuzihakiki, akisema kuwa zipelekwe leo, Alhamisi, Agosti 23 ambayo ndiyo siku ya mwisho ya kurejesha fomu na kufanya uteuzi wa wagombea katika kata hiyo.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images