Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Serikali Kuja na Bima ya Afya ya Kifurushi....Ndugalile Apiga Marufuku Hospitali Kushikilia Maiti

$
0
0
Naibu  Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Faustine Ndugulile, amesema Serikali ipo katika mkakati wa kuanzisha bima ya afya ya kifurushi kumwezesha mwananchi kujihudumia kadiri ya uwezo wake.

Amesema hiyo ni kwa sababu bima ya afya iliyopo sasa si rafiki kwa wananchi wengi, hali inayofanya baadhi yao, hususan familia duni, kushindwa kujiunga na huduma hizo muhimu za matibabu.

Kauli hiyo aliitoa juzi Dar es Salaam, wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Kigamboni, ikiwa siku ya mwisho  ya kuhitimisha ziara yake ya kukagua shughuli za maendeleo jimboni kwake.

Dk. Ngugulile ambaye pa ni Mbunge wa Kigamboni, alisema Serikali ya Awamu ya Tano imetenga bajeti kubwa ya afya kuliko wakati wowote kwa lengo la kuhakikisha kila mwananchi anakuwa na uhakika wa matibabu mazuri na salama.

“Kama ilivyo mitandao ya simu, na katika bima ya afya tutakuja na vifurushi tofauti tofauti na hapa kila mwananchi atajihudumia kulingana na uwezo wake, lengo letu ni kumfikia kila mmoja,” alisema Dk. Ndugulile.

Akizungumzia vifaa vya kujifungulia kwa wajawazito, alisema Serikali imegharamia vifaa vyote kwa wanaokwenda hospitali kujifungua na vitagawiwa bure vikiwa kwenye mabegi maalumu yenye nembo ya MSD.

Akitoa ufafanuzi wa malalamiko ya wananchi kuhusu kuzuiwa kwa miili ya wanaofariki katika hospitali za Serikali, Dk. Ndugulile alipiga marufuku kwa hospitali zote kuzuia miili ya marehemu ambayo ndugu zao wameshindwa kugharamia gharama za kuitunza.

Aliwataka ndugu wenye matatizo kuwasiliana na uongozi wa hospitali ili miili hiyo kuruhusiwa kwa utaratibu mzuri.

“Jukumu la Wizara ya Afya ni kuhakikisha wananchi wanapata matibabu ya uhakika na pale inapotokea ndugu wameshindwa kulipia gharama za maiti, ni vema wakafuata utaratibu wa kusaidiwa na hili lifanyike kwa kufuata utaratibu,” alisema Dk. Ndugulile.

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota, Mvuto wa Biashara na Mapenzi

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. 

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
 
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
 
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi 

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara,M saniiwa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwawakuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu. 
Kutana na Chief MAKATA.Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota zab inadam na bingwa wa tiba za asili Afrikam ashariki. Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. chief MAKATA  ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA-  Chief Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na inje ya nchi. 
Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.
Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, kutoa ndagu, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMA, GARI..), Kesi mahakamani, Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali naU TAJIRI bila masharti na mengine mengi yaS iri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu
+255 676 014 385
+255 767 202 654 Chief MAKATA

Kalulumila:Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
 BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO KALULUMILA.
----------------------------------------
Ni dawa pekee iliyojipatia umaarufu nchini na nje ya nchi kwa kufanya kazi mara 3, kwa wakati mmoja 1, kurefusha uume na kunenepesha saizi uipendayo kuongeza nguvu za kiume na inatibu matatizo na gerentii miaka 30. Na kuendelea haina madhara, inaimarisha mishipa ya uume iliyoregea na udhalishaji wa mbegu za kiume. 


---------NINI HUCHANGIA MATATIZO HAYA--Ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya ili kujua kwamba una ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya, ili kujua kama unangiri dalili zake ni kufika haraka kileleni wakati wa tendo la ndoa, 2)kushindwa kurudia tendo la ndoa. 3)kutoa choo kama cha mbuzi. 4)tumbo kujaa gesi na kuunguruma. 5)kukosa choo kabisa. 6)maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi. 7) korodani moja kuvimba 8)kutosikia hamu ya tendo la ndoa na maumivu ya kiuno wakati wa tendo la ndoa. 9)maumivu ya kiuno na mgongo pia tunatibu kisukari kwa siku7, presha, busha, bila kupasuliwa na magonjwa mbalimbali. 

---------------------------------------
TUPO TEGETA KWA NDEVU KARIBU NA MACHINJIO YA NGOMBE UTAONA OFSI IMEANDIKWA KALULUMILA HERBALIST CLINIC HOSPITAL SIMU .
----------------------------------------
-0655-557-182.
-0755-557182.
-0784-557-182.
PIA UTAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
---------------------------------------
KARIBUNI SANA.
----------------------------------------

Dr Kanengo: Bingwa Wa Tiba Asili Hutibu Matatizo Yafuatayo

$
0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo kupooza kupoteza fahamu 

MALABALA; hutibu kisukari , uti wa mgogo, Change, pumu, busha, kaswende, kifua kikuu, muwasho sehemu ya siri 

NKURUNGU,: Ni dawa kutibu  N, B, G, POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge 20 

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha , pia kuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe), maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu. 

NR SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu 

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana. (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete) ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,.(4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wachafu ndani ya mji,.

Haya yote yanawezekana kwa DR KANENGO popote ulipo . Muone  DR KANENGO,anatibu nguvu za kiume anarefusha na kunenepesha uume kwa saizi uipendayo kwa muda mfupi sana, pamoja na kuwa na hamu ya kurudia tendo la ndoa mara 4 bila hamu kuisha Na utachelewa kufika kileleni kwa muda wa dakika 40 bila kuchoka .

Angalizo usitume meseji wala kubipu..
 
You can get it in all East African countries,,our service is fast and easy... contact Whatsapp 0784,47,59,46.Dar es salaam Tanzania. ,..Dr. KANENGO 0744,92,29,82...You are welcome.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Casto Humwambii Kitu Kwa Penzi la Tunda...."Niiteni Tu Bwege, Limbukeni. Hii Ndo Parking Yangu Milele"

$
0
0
Mtangazaji wa Clouds TV Casto Dickson  kadata na penzi la Tunda. Kwanza anasema yuko tayar aitwe jina lolote lile, lakini kwa Tunda kafika na hawezi mwacha kwa kuwa ndo msichana pekee mrembo aliyebahatika kumpata tangu aanze mahusiano.

Casto ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Instagram: "Mnaniita Bwege, Limbukeni, Mshamba, Sijawahi kuwa na Mwanamke Mkali, Niiteni tu Majina yote hii ndio PARKING YANGU MILELE🤐🤐🤐"

“Wakati na kutana nae as ANNA hakuna aliekuwepo zaidi ya mimi na yeye, Yote aliyoyafanya nyuma kwangu si chochote naamini nina ANNA mpya zaidi ya mnavyofikiria 🙏🏻🙏🏻” 

Mwinyi Mgeni rasmi mashindano ya mashairi ya Meya wa jiji la Dar.

$
0
0
RAIS Mstaafu wa awamu ya pili ,Ali Hassan Mwinyi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mashindano ya mashairi ya Mstahiki Meya wa jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita yatakaofanyika Septemba moja na  mbili mwaka huu katika ukumbi wa Karimu Jee.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa leo, kwa niaba ya Mstahiki Meya wa jiji la Dar es Salaam, Mratibu wa mashindano hayo ,Shehe Mwita Kambi amesema kuwa lengo la mashindano hayo ni kukuza lugha ya Kiswahili hapa nchini.

Amefafanua kuwa washiriki wa mashindano hayo ni wakazi wa jijini hapa ambapo kila mmoja atapaswa kutunga shairi lisilozidi beti nane na kupungua beti kumi.

Mashindano hayo  ya mashairi ambayo hufanyika kila mwaka ,hukusudia  hukutanisha magwiji,wakongwe wa lugha ya Kiswahili na hivyo washindi kupatiwa zawadi ya fedha Tathilimu kwa mshindi wa kwanza hadi wa kumi bora.

“Lengo kubwa la mashindano haya ni kukuza lugha ya Kiswahili, ambayo ndio Lugha Mama, mtakubaliana na mimi kuwa viongozi wetu wa serikali ,akiwemo rais Dk. John Magufuli amekuwa mstari wa mbele katika kutangaza lugha hii kwani wote ni mashahidi kwamba hata katika ziara zake za nje ya nchi amekuwa akihutubia kwa kutumia lugha ya Kiswahili” amesema Shehe Mwita.

Kutokana na umuhimu wa tukio hilo” Niwakaribishe wananchi wa jijini hapa kujitokeza kwa wingi kwenye mashindano hayo,mshindi wa kwanza atapatiwa fedha kiasi cha shilingi milioni moja, wapili shilingi laki tano, watatu shilingi laki tatu,na mshindi wan ne hadi wa kumi atapatiwa shilingi laki moja.

 Aidha mratibu huyo amesema kuwa ,ujumbe wa mwaka huu katika utungaji wa mashairi ni “LUGHA YETU,FAHARI YETU, huku akitumia nafasi hiyo kuipongeza kampuni ya mabati ya ALAF kwa kuzamini mashindano hayo.

Kwaupande wake Meneja Masoko wa kampuni hiyo, Theresia Mmasy amesema kuwa lengo la kuzaminishi mashindano hayo ni kuunga mkono juhudi zinazofanywa na viongozi wa serikali katika kuhakikisha kwamba wanatangaza lugha ya Kiswahili hapa nchini na nje ya nchi.

Amefafanua kuwa kila mwaka wamekuwa wakiendesha mashindano hayo na kwamba mwaka huu wameona kuna tija ya kumuunga mkono Meya wa jiji la Da es Salaam kutokana na kuonyesha nia ya kukuza lugha hiyo.

Mwishoo.

Imetolewa leo Agosti 21 na Christina Mwagala, Afisa Habari Ofisi ya Meya wa jiji.

Mizizi 29 Power ,ndio Dawa Bora Na Imara Kwa Sasa Kwa Kutibu Na Kuponesha Tataizo La Nguvu Za Kiume Kwa Dakika 30 Tu

$
0
0
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume limekuwa ni janga kubwa sana kwa sasa sio vijana au wazee wanalalamiki kukimbiwa na wa wapenzi wao au ndoa kuvunjika kutokana na mwanaume kulala na mwanamke kitanda kimoja hata wiki mbili bila kushiriki tendo la ndoa na hii ndio inachangia wanawake wengi kutoka nje ya ndoa kwa nini huteseke na wakati dawa zipo ambazo zitarudisha heshima yako ya ndoa 

MIZIZI 29 POWER; ni ambayo hutibu na kurudisha virutubisho mwilini ambavyo humfanya mwanaume awe na matatizo yafatayo 1 kuwahi kukojoa kabla mke au mpenzi wake

 2. kushindwa kurudia tendo dawa, hii itakufanya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 

3... dawa hii inatibu uume uliolegea na kusinyaa 

4. dawa hii inatoa miungurumo ya tumbo na uchovu wakati wa kumaliza tendo 

NINI KINASABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 1 kupiga punyeto kwa mda mrefu 
2 upungufu wa vichochoe mwilini 
3 magonjwa ya moyo, kisukari, presha, vidonda vya tumbo kiuno na mgongo 
4 utumiaji ovyo wa madawa ya kizungu 
4 usongo wa mawazo, hasira, tumbo kujaa gesi na kutopata choo.

 PATA TIBA YANGU NA NI TOFAUTI NA ULIZO WAHI KUTUMIA: 

Je una uume mfupi na mwembamba? MASHESHA MIX ni dawa ya kuboresha uume saiz upendayo asa kwa wale waliofanyiwa tohara wakiwa wadogo.. chagua saizi upendayo inch 5,6,7, adi 8 iyo ni kwa urefu na unene sentimita 2,3,4, adi 5 .dawa hizi zipo za kupaka na kunywa na hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ,

Tunatibu kisukari,vidonda vya tumbo,ngiri, korodani iliyovimba, kupnguza kitambi, maziwa makubwa NK 

KWA TIBA NA USHAULI FIKA OFISINI KWANGU DARE S SALAAMU MBAGALA ZAKHEMU NA MIKOA YA KANDA YA ZIWA YUPO WAKALA WETU HAPO MWANZA NA KWA AMBAO HAWANA NAFASI YA KUJA OFISINI HUDUMA YETU UTALETEWA POPOTE ULIPO PIGA SIMU 0783185060 DR MAKOYE

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Jinsi ya Kutafsri Chale

$
0
0
JINSI  YA  KUTAFSIRI  CHALE ZA  KICHAWI
NA  DOKTA MUNGWA  KABILI….0744  000  473.
Katika  makala  yangu  ya  nyuma  kuhusu  chale  za  kichawi  nilieleza  chale  za  kichawi ni  nini .

Pia  nikaeleza  kuwa  wachawi  wanapo  mchanja  mtu  chale  hufanya  hivyo  kwa  dhumuni   maalumu.

Nikaeleza  Zaidi  kuwa  kila  chale  ya  kichawi  huwa  ina  maana  yake  na  kwamba  ili  uweze  kujua  chale  uliyo  chanjwa  na  wachawi  ina  maanisha  nini  unatakiwa  ujue  jinsi  ya  kusoma  na  kutafsiri  chale  za  kichawi.

 Katika  makala  haya  ya  leo  nitaeleza kwa  ufupi n kuhusu  namna  ya  kutafsiri  chale  za  kichawi.

Kabla  sijaelezea  kuhusu  namna  ya  kutafsiri  chale  za  kichawi  nataka  ufahamu  kitu  kimoja  kwamba,chale  za  kichawi zipo  za  aina  kuu  mbili.Aina  ya  kwanza  ni  chale  zinazo  onekana  kwa  macho  na  aina  ya  pili  ni  chale  ambazo  hazionekani.

Chale zinazo  onekana  kwa  macho ni  zile  chale  ambazo  mtu  anaamka  asubuhi  anajikuta  amechanjwa  chale  bila  kujua  walio  mchanja  ni  watu  gani.

Chale  zinazo  onekana  kwa  macho  nazo  zipo  za  aina  mbili:

Aina  ya  kwanza  ni  chale  ambazo  mtu  hujikuta  asubuhi  amechanjwa  na  aina  ya  pili  ni  chale  ambazo  mtu  huchanjwa  chale  kwenye  mwili  wake  huku  mhusika  akiamini  kilicho  tokea  ni  kitu  kingine  tofauti  na  chale. Katika  makala  haya  nitazielezea  vizuri.

Aina  ya  pili  ya  chale  ni  chale  zisizo  onekana. Watu  wengi  sana  huchanjwa  chale  hizi  lakini  kwa  kuwa  huwa  hazionekani  basi  wanaishi  bila  kujua  kama  wanatembea  na  chale  za  kichawi.

Hutoziona chale  bali  utaona  matokeo ya  chale  hizo.
  Mara  chache  kwa  wale  ambao  wana  macho  wanaweza kuota wanachanjwa  lakini  wakiamka  wanajikuta  hawana  chale  yoyote  au  mtu  anaweza  kuhisi  anachanjwa  lakini  akiamka  asubuhi  hakuti  alama  yoyote.

Ili  uweze  kujua  wachawi  wamekuchanja  chale  kwa  dhumuni  gani  unatakiwa  kujua  namna  ya  kuzisoma  na  kuzitafsiri  chale  ambazo  wachawi  wamekuchanja.

Tunapo  taka  kutafsiri  chale  za  kichawi  huwa  tunatazama  mambo  yafuatayo :

1.   SIKU   AMBAYO  UMECHANJWA  CHALE :  Unaweza   kujua  chale  ulio  chanjwa  ina  maana  gani  kwa  kuangalia  siku  ambayo  umechanjwa  chale.  Nitatoa  mifano  michache   kama  ifuatavyo :

Kama  umechanjwa  JUMATANO  basi  maana  yake  ni  kwamba  WACHAWI  WAMEKUIBIA  NURU  YAKO  kwa  sababu  Jumatano  ni  siku  ya  Nuru.

Kama  umechanjwa  siku  ya  IJUMAA  maana  yake  ni  kwamba  WACHAWI  WAMEKUIBIA  VITU  VYAKO  VYOTE  VYA  THAMANI  AMBAVYO  ULIPEWA  NA  MUNGU  ILI  VILIKULETEE  FAIDA  KATIKA  MAISHA  YAKO  na  hii  kwa  sababu   siku  ya  Ijumaa  ni  SIKU  YA  FAIDA  NA  THAMANI.  Ni  siku  inayo  tawaliwa  na  malaika  na  majini  wenye  kuleta  faida  na  thamani  kwa  wanadamu  hapa  ulimwenguni.

Kama  umechanjwa  siku  ya  JUMAPILI  basi  maana  yake  ni  kwamba  WACHAWI  WAMEKUIBIA  UWEZO  WAKO  WA  KUFANYA  MAMBO  MAKUBWA  MAKUBWA  kwa  sababu  siku  ya  JUMAPILI  ni  siku  inayo  tawaliwa  na  malaika  na  majini  wanao fanya  mambo  makubwa  makubwa  hapa  duniani.

Hiyo  ni  mifano  michache  lakini  ukisoma  kitabu  changu  “  MAMBO  TISA  YANAYO  UNDA  NYOTA  YA  MWANADAMU :UHUSIANO   KATI  YA  NYOTA  YA  MTU  NA  MAFANIKIO  YAKE  KATIKA  MAISHA “  nimezielezea  siku  zote  kwa  kina  sana.

Hizi  ni  chale  zisizo  onekana  kwa  macho  ya   nyama. Kinacho  onekana  hapo  huwa   ni matokeo  ya  kilicho  kusudiwa.

2.   KIDOLE  AMBACHO  KIMETUMIKA  KUKUCHANJA : unaweza  kujua  chale  alio chanjwa  mtu  ina  maanisha  jambo  gani  kwa  kutazama  kidole  kilicho  tumika  kumchanja  chale  mtu  huyo. Labda  tu  kwa  wasio  fahamu, wachawi  wanapo  enda  kumchanja  mtu  chale  huwa  hawatumii  viwembe  au  visu  kama  watu  wengi  wanavyo  dhani, isipokuwa  wachawi  huwa  wanawachanja  watu  chale  kwa   kutumia  kucha.  Mhusika  huchanjwa  chale  husika  kwa  kutumia  kucha  kisha  hupakwa  dawa  iliyo  kusudiwa  ambayo  inakuwa  imebebwa  kwenye  kucha.
Na  katika  kufanikisha  hili  wachawi  huwa  wanatumia  vidole  vyote na  kila  kidole  huwa  kina  maana  yake.  Kama  umechanjwa  kwa  kutumia  dole  gumba  la  kushoto  hiyo  huwa ina  maana  yake  na  kama  umechanjwa  kwa  dole  gumba  la  kulia  nayo  pia  ina  maana  yake.

Sasa  basi  unaweza  kujua  chale  aliyo  chanjwa  mhusika  ilikuwa  na  maana  gani  kwa  kuangalia  kidole  kilicho  tumika  kumchanja  chale.

Na  unaweza  kujua  kidole  kilicho  tumika  kwa  kutazama  alama  iliyo  achwa  kwenye  chale  kwa  sababu  kila  kidole  kinacho  tumika  huacha  alama  maalumu.

Katika  kitabu  changu  nilicho  kitaja  hapo  juu  nimeelezea  kwa  kina jinsi  unavyo weza  kutafsiri  chale  kwa kutazama  kidole  kilicho  tumika  kumchanja  mhusika.  Nimeeleza  kwa  kina  kila  kidole kutoka  katika  kila  mkono.

3.   SEHEMU  YA  MWILI  ILIYO  CHANJWA : Unaweza  pia  kutafsiri  chale  aliyo chanjwa  mtu  kwa  kuangalia  sehemu  ya  mwili  iliyo  chanjwa. Je  chale  imechanjwa  sehemu  gani  ya  mwili. Kila  sehemu  ya  mwili  huwa  ina  maana  yake .

Katika  makala  haya  ya  leo  nitaeleza  kwa  ufupi  baadhi  ya  maeneo  ya  mwili  wa  mwanadamu  na  maana  yake.
i.                  UKICHANJWA  KWENYE  MIGUU :  ( Miguu  ninayo  izungumzia  hapa  ni  mikanyagio )Kama  umechanjwa  kwenye  miguu  inategemeana  umechanjwa  sehemu  gani  ya  miguu. Kama umechanjwa  chini  ya  miguu  (  kwenye  sehemu  ya  kukanyagia ) ina  maanisha  kitu  kingine  ambacho  nimekielezea  kwenye  kitabu  changu  nilicho  kitaja  hapo  juu  ila  kama  umechanjwa  upande  wa  juu  wa  miguu  basi  hiyo  ina  maanisha  kuwa  WACHAWI  WAMEKUIBIA  UTAYARI  NA  UTHUBUTU  WAKO.

Lengo  hasa  la  kufanya  hivyo  ni  kukutia  umasikini. Ukisha  chanjwa  hivi  utapakwa  dawa  kali  sana  za  kichawi  halafu  kitachukuliwa  kipande  kidogo  sana  cha  kitambaa  kilicho  tumika kumkafinia  maiti, kipande  hicho  kitaenda  kuchanganywa  na  dawa  za  kichawi  kisha  kwenda  kuzikwa  na  madawa  mengine  ya  kichawi  kwenye  shimo  ambalo  juu  yake yatawekwa  mawe  mazito  kisha  shimo  litafukiwa.

Hapo  miguu  yako  inakuwa  imezikwa  kwenye  hilo  shimo  na  hayo  mawe  yanakuwa  yanakuzuia  wewe  kutoka  kwenda  sehemu  kwa  ajili  ya  kufanya jambo  lenye  manufaa  katika  maisha  yako.

Pale  mahali  ulipo  chanjwa  huwa  anawekwa  jinni  kwa  ajili  ya  kukutia  uvivu  na  kukuzuia  kufanya maamuzi  ya  kunyanyua  mguu  wako  kwenda  sehemu  kwa  ajili  ya  kufanya  jambo  zuri na  lenye  manufaa  katika maisha  yako.

Dalili  za  mtu  aliye  chanjwa  chale  hizi  ni  kwamba  anakuwa  mzito  wa  kufanya  maamuzi  muhimu  katika  maisha  yake.  Kwa  mfano  anaweza  kuwa  kijana  mwenye  nguvu  zake  tu, amemaliza  shule lakini  yupo  yupo  tu  nyumbani  hataki  kujishughulisha  wala  kutafuta  kazi.

Anaweza  kuwa  anajua  kabisa  kwamba  ukienda   Kilombero  Morogoro  na  kujihusisha  na  kilimo  Fulani  basi  baada  ya  miezi  kadhaa  utakuwa  umepata  pesa  ya  maana  na  ukiendelea  kufanya  kilimo  hicho  hicho  baada  ya  miaka  mitatu  utakuwa  milionea. Vijana wenzake  wa  rika  lake  wanakuwa  wanaenda  kwenye  kilimo  hicho  na  baada  ya  muda  wanakuwa  wamepata  mafanikio  makubwa  sana  katika  maisha  yao  lakini  yeye  anakuwa  yupo  yupo  tu, yani  anakuwa  mzito  wa  kufanya  maamuzi.  Mwisho  wa  siku anakuja  kustuka  tayari  ana  miaka  Zaidi  ya  arobaini  na  hakuna  alicho  kifanya.

MAKUNDI  YA  WATU  WENGINE  WANAO  CHANJWA  CHALE  ZA  MIGUUNI

Mbali  kuondolewa  utayari  wa  kufanya  maamuzi  muhimu  katika  maisha , chale  hizi  za  miguuni  pia  huchanjwa  watu  walio  katika  makundi  tofauti  tofauti  kwa  sababu  hiyo  hiyo  ya  kuwafunga  miguu. Baadhi  ya  watu  hao  ni  pamoja  na :

  1. ·       Mke  anamfunga  mume  miguu  asiondoke  kwenye  mji. Yani  akifika  ndo  amefika.
  2. ·       Mke  kumfunga  miguu  mwanamke  asiondoke  wala  kupata  wazo  la  kuukimbia  mji.
  3. ·       Kumfunga  mfanyakazi  wa  ndani  asiondoke hadi  watoto  wakue  au  hadi  mabosi watakapo  amua
  4. ·       Kumfunga  mfanyakazi  kwenye duka au  kampuni  asiondoke ( Hapa  unakuta  watu Fulani  wanafanya  kazi  kwenye  kampuni  Fulani  miaka  nenda  miaka  rudi  bila  kuwa  na  wazo  la  kuondoka  mahali  hapo.
  5. ·       Kuwafunga  wateja  wazuri  kwenye  sehemu  ya biashara.  Inaweza  kuwa  baa, duka  au  mgahawa.  Mtu  aliefungwa  miguu  kwa  staili  hii  anakuwa  kila  siku  lazima  afike  kwenye  eneo  hilo  la  biashara  kwa ajili  ya  kupata  huduma  na  akifika  hapo  miguu  yake  inakuwa  mizito  kwenda  sehemu  nyingine.

Hiyo  ni  mifano  michache  sana  ila  kwenye  kitabu  changu nimeelezea  kwa  urefu  sana.

II. KUCHANJWA  KWENYE  PAJI  LA  USO :  Kama  umechanjwa  kwenye  paji  la  uso  maana  yake  ni  kwamba  wachawi  wamekuibia  uso  wako. Wanautumia  kwenye  shughuli  zao  mbalimbali  za  kichawi  kama  vile kujificha  pindi  wanapo enda  kuwaroga  watu. Unajua  hakuna  kitu  wachawi  wana  kiogopa kama  kujulikana   kuwa  wao  wachawi .  Sasa  moja  kati  ya  mbinu  wanazo  zitumia  wasijulikane  ni pamoja  na  kujificha  kwenye sura  za  watu  wengine. Kwa  mfano  wanataka  kumroga  mtu, wanaweza  kujificha  kwenye  sura  ya  ndugu  yake  kabisa. Anaweza  kuwa  baba  yake  au  mama  yake  , kaka  yake  au  dada  yake.  Huyu  mtu  anaerogwa  akienda  kutafuta  suluhisho  la  matatizo  yake, basi  wewe  ndio  unakuwa  unaonekana  na  sio  wachawi  walio  mroga.

Wakati  mwingine  wachawi  huiba  sura  yako kwa  ajili  ya  kukugombanisha  na  ndugu  zako  wa  karibu. Wanacho  kifanya  ni  kuwaroga  ndugu  zako  au  watu  wako  wa  karibu  kisha  kuwatumia  ndoto  inayo  onyesha  wewe  ndio  unao  waroga. Mwisho  wa  siku  ndugu  zako  wanakutenga  au  nao wanaenda  kukuroga  kwa  sababu  wana aminishwa  kwamba  wewe  ndio  unao  waroga.

Matumizi  ya  chale  ya  kwenye  paji  la  uso  yapo  mengi  sana  Zaidi  ya  ishirini  ila  katika  makala  haya  nimeelezea  mawili  tu  kwa  ajili  ya  kuokoa  muda.  Ndani  ya  kitabu  changu  nilicho  kitaja  hapo  juu  nimeeleza  kwa  kina  sana  kuhusu  matumizi  ya  kichawi  ya  chale  za  paji  la  uso.

III. KUCHANJWA  CHALE  KIFUANI  : Kama umechanjwa  chale  kifuani  inategemea  pia  umechanjwa  chale  kifuani  sehemu  gani. Kama umechanjwa   katikati   ya  kifua  maana  yake  ni  kwamba  wachawi  wamekuibia  haki  zako  za  msingi.  Hapa  nazungumzia  haki  za  msingi  kabisa  kama mke  kupata  haki  ya  tendo  la  ndoa  kwa  mume  wake  au  mume  kupata  haki  ya  tendo  la ndoa  kwa  mume  wake. Mfanyakazi  kulipwa  mshahara  na  bosi  wake  au  mwenye  nyumba  kulipwa  kodi  na  wapangaji  wake.  Dalili  kuu  za  mtu  aliechanjwa  chale  hizo  ni  kwamba  anakuwa  hapati  haki zake  za  msingi  kwa  wakati  na  hadi  kuzipata  inabidi  utokee  usumbufu mkubwa  sana.  Kwa  mfano  kama  ni  haki ya  tendo  la  ndoa  basi  inabidi  hadi  vikae  vikao  vya  washenga  na  wazazi  na  kama  kodi  basi  itabidi  hadi  aende  kwa  mjumbe  wa  mtaa au  kijiji.

Haki  nyingine  zinazo  chukuliwa  hapo  ni  pamoja  na  zile  haki  za  kiroho ambazo  mtu  anakuwa  nazo  baada  ya  kuzaliwa  kama  vile haki  ya  kubeba ujauzito  na  kuzaa  kwa  wanawake  nakadhalika.

Katika  kitabu  changu  nimezielezea  haki  zote  zinazo chukuliwa  na  wachawi  kwa  kutumia  chale  hizo  za  kati kati.

Kama  chale  imechanjwa  kifuani  upande  wa  kushoto  karibu  na  moyo  basi  maana  yake  ni  kwamba  wachawi  wameiba  siri  zako  hasahasa  siri  za mambo  yako  ya  rohoni. Wachawi  wanakuwa  na  uwezo  wa  kuyaona  mambo  yatakayo  kutokea jambo  linalo  wapa  uwezo  wa  ima  kuyabatilisha  kama  ni  mambo  mazuri  ama  kuyathibitisha  kama  ni  mambo  mabaya. (  HILI  NI  SOMO  REFU  SANA  NA  LA  KIPEKEE  NA  KWA  FAIDA  YA  WASOMAJI  WANGU  NIMEANDAA  MAKALA  YAKE  MAALUMU  AMBAYO  ITATOKA  KATI  YA  KESHO  NA  KESHOKUTWA..USIKOSE  KUFUATILIA  MAKALA  HAYA  MUHIMU)

Kama umechanjwa  kifuani  upande  wa  kushoto  nayo  ina  maana  yake  lakini  utaijua  kupitia  kitabu  changu  ambacho  nimekitaja  hapo  juu.

Kwa  ufupi  kila  sehemu  ya  mwili  ambayo  wachawi  huwachanja  watu  chale  huwa  na  maana  yake. Kuanzia  kwenye  paji  la  uso, utosini, kwenye  nyayo,  kisogoni, mapajani, kiunoni, chini  ya  macho, kwenye  ulimi  nakadhalika.  Kwenye  kitabu  changu  ambacho  nimekitaja  hapo  juu  nimeelezea  kwa  kina  sana  kila  sehemu  ya  mwili  wa  mwanadamu  inayo  chanjwa  pamoja  na  tafsiri  yake.

4.   MUDA  AMBAO  MTU  AMECHANJWA  CHALE : Watu  wengi  wanaamini  kuwa  chale  za  kichawi  huchanjwa  wakati  wa  usiku  tu  mhusika  akiwa  amelala. Lakini  ukweli  ni  kwamba  chale  za  kichawi  huchanjwa  hata  wakati  wa  mchana  au  usiku  ukiwa  macho  unatembea  nje.

Chale  za  kichawi  zinazo  chanjwa  nyakati  za  mchana  huchanjwa  katika  mazingira ya kipekee  sana  kiasi  kwamba  mtu aliye  chanjwa  wala  hawezi  kuhisi  amechanjwa  kichawi.  Ni heri  ulale  usiku  uamke  asubuhi  ujikute  umechanjwa  unaweza  kuanza  kutafuta  suluhisho  mapema  kuliko  kuchanjwa  wakati  wa  mchana  kwa  sababu  ukichanjwa  mchana  hauwezi  kuhisi  kabisa  kama  umechanjwa  bali  utaona  kitu tofauti.

JINSI  INAVYO  KUWA :
Utakuwa unatembea  mchana  au  usiku  halafu  ghafla  utajikwaa  kwenye  kisiki  ukiamka  unajikuta  na  michubuko  kwenye  sehemu  mbalimbali  za  mwili  wako  ( mara  nyingi  huwa  ni kwenye  mikono ).

Hapo  unakuwa  umechanjwa  chale  na  dawa  za  kichawi  ulishapakwa  zamani  ila  kwa  sababu  hauna macho  ya  rohoni  unakuwa  huwezi  kujua  ni  kitu  gani  kimetokea hapo.

Unaweza  kuteleza  chooni, au  bafuni, makaburini, jalalani  au  njia  panda  au sehemu  yoyote  ile  na  kujikuta  na  michubuko  ambayo  huwa  zinakuwa  ni  chale  hizo  za  kichawi.

Wakati  mwingine  unaweza  kuparuriwa  na  mnyama  kama  paka, kwa  ufupi  mazingira  ya  chale  hizi  yapo  mengi  sana, ukisoma  kitabu  changu  utapata  kuelewa  kwa  kina.

5.   KIUNGO  ALICHO  TUMIA  MCHANJA  CHALE  KUKUPAKA  DAWA  KWENYE CHALE : Unaweza   pia  kutafsiri  chale  za  kichawi   kwa  kutazama  kiungo  alicho  tumia  mchanja  chale  kukupaka  dawa  kwenye   chale. Na  unaweza  kujua  kiungo  kilicho  tumika  kwa  kutazama  alama  iliyo  wekwa. Kila  kiungo  anacho  tumia  mchanja  chale  kumpaka  mchanjwa  chale  dawa  huwa  kina  maana  yake  na  tafsiri  yake.

Kwa  mfano kama mchanja chale  ni  bibi  kizee  na  alitumia  matiti  kukupaka  dawa  basi  tafsiri  yake  ni  kwamba  wachawi  wamekulaza  uume  wako  kwa  lengo  la  kukutia  ukhanithi. Uume  wako  umekusudiwa  kulala  kama  yalivyo  lala  matiti  ya  huyo  bibi  kizee  aliye  kupaka  uchawi  huo.

Mambo  mengine   yanayo  tumika  kutafsiri  chale  za  kichawi  ni  pamoja  na :

1.   Alama  ya  chale
2.   Jinsia  ya  mtu  aliekuchanja
3.   Umri  wake  pamoja  na  mambo  mengine  mengi  sana  ambayo  utapata  kuyajua ndani  ya  kitabu changu .

KUHUSU  KITABU CHANGU : Kitabu  hiki  kinaitwa  “ MAMBO  TISA  YANAYO  UNDA  NYOTA  YA  MWANADAMU:  UHUSIANO  KATI  YA  NYOTA  YA  MTU  NA  MAFANIKIO  YAKE  KATIKA  MAISHA “

Toleo  la  kwanza  la  kitabu  hiki lilitoka  mwezi  wa  saba na  toleo  la pili  litatoka  mwezi  wa  kumi  na  moja  likiwa  limeongezewa  vitu  vingine  vingi.  Kwa  wewe  ambae  hukubahatika  kupata  nakala  yako  mwezi  wa  saba  basi  utaipata  mwezi  wa  kumi  na  moja.  Kitabu  kitakuwa  kinapatikana  kwenye  maduka  ya  vitabu  na  vibanda  vya  wauza  magazeti.

Kwa  maelezo  kuhusu  yaliyomo  ndani  ya  kitabu  tembelea : https://mungwakabhili.blogspot.com/2018/06/mambo-tisa-yanayo-unda-nyota-ya.html

MAKALA  HAYA  YAMEANDALIWA  NA  DOKTA.  MUNGWA  KABILI..

ANAPATIKANA  KWA  SIMU  NAMBA  :  0744  000  473.





CHADEMA Waiandikia Barua Tume ya Taifa ya Uchaguz Kupinga Mgombea Wao Kuenguliwa Korogwe Vijijini

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeiandikia barua Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kikilalamikia kile kilichotokea Korogwe Vijijini.

Barua hiyo imeandikwa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Vincent Mashinji jana jioni Augusti 21, 2018 imekwenda kwa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dk Athuman Kihamia na msimamizi wa uchaguzi jimbo la Korogwe Vijijini, Dk George Nyaronga.

Barua hiyo ya Dk Mashinji kwenda kwa Dk Kihamia aliituma baada ya Dk Nyaronga kumtangaza mgombea wa CCM, Timotheo Mzava kupita bila kupingwa.

Katika barua hiyo yenye kumbukumbu namba C/HQ/ADM/TU/05/80, nakala yake imetumwa kwa Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Semistocles Kaijage, msimamizi wa uchaguzi Korogwe Vijijini, Dk Nyaronga.

“Rejea mazungumzo yetu ya simu awali leo (jana) saa 6:03 mchana na ukanirudia saa 06:06 kuhusu msimamizi wa uchaguzi Korogwe kutopokea fomu ya mgombea ubunge kupitia Chadema, Amina Ally Saguti ambaye alikuwapo muda wote leo (jana) kuanzia saa 4:00 asubuhi ofisi ya msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Korogwe Vijijini, jambo ambalo uliahidi kulighulikia,” anasema Dk Mashinji.

“Nilikurejea tena saa 09:47 jioni kukujulisha kuwa bado msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Korogwe Vijijini hajapokea fomu za mgombea kupitia Chadema na ukanirejea tena saa 09:55 ukinieleza kuwa unashughulikia.”

Katika barua hiyo, Dk Mashinji anasema: “Katika mazingira hayo, tunaitaka ofisi yako na Tume iingilie kati suala hili kubwa la uvunjifu wa sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi ili mchakato urejewe kuruhusu mgombea wetu wa Chadema na wengine waliochukua fomu za uteuzi waweze kurejesha fomu hizo kwa ajili ya uteuzi.”

“Pamoja na kuingilia suala hili, tunaitaka pia ofisi yako iitishe mara  moja kikao cha maadili cha Taifa kwa ajili ya kumjadili msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Korogwe Vijijini na OCD (mkuu wa polisi wilaya) wa Korogwe ili hatua kali za nidhamu zichukuliwe dhidi yao na wote  wanaohusika,” amesema Dk Maashinji

Mbowe Kapata Pigo Tena Jimboni Kwake....Bi Baada ya Diwani Wake Kujiuzulu na Kuhamia CCM

$
0
0
Wimbi la madiwani wa Chadema kujiuzulu linazidi kushika kasi na leo Jumanne Agosti 21, 2018 amejiuzulu diwani wa chama hicho kata ya Korongoni manispaa ya Moshi, Ally Mwamba.

Kwa mujibu wa barua ya Mwamba aliyoiandika leo kwenda kwa mkurugenzi wa manispaa ya Moshi, anaeleza kuwa ameamua kujiuzulu bila kushurutishwa na mtu yeyote, kusisitiza kuwa hana zaidi ya hapo, kusisitiza kuwa amechukua uamuzi huo wa hiyari.

Katibu wa Chadema Mkoa wa Kilimanjaro, Bazil  Lema amesema chama hicho kikuu cha upinzani nchini kimepokea barua ya diwani huyo.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi yaalika waangalizi uchaguzi mdogo wa ubunge Monduli, Korogwe na Ukonga

$
0
0
 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa mwaliko kwa watazamani wa ndani katika uchaguzi mdogo wa ubunge na madiwani utakaofanyika Septemba 16, 2018.

NEC imealika waangalizi hao kushuhudia uchaguzi katika majimbo matatu ya Ukonga-Dar es salaam, Monduli-Arusha na Korogwe Vijijini-Tanga pamoja na kata 23 zilizo kwenye halmashauri 15 za Tanzania bara.

Taarifa ya NEC iliyotolewa leo Agosti 21,2018 na kusainiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi, Salvius Nkwera inataka waangalizi hao kuwasilisha maombi kuanzia Septemba 1-9, 2018.

Kware amesema kwa mujibu wa kifungu cha 46 (2) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343 na kifungu cha 48 (2) cha Sheria ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa (Madiwani), Sura ya 292, Tume ya Taifa ya Uchaguzi inatarajia kuendesha uchaguzi mdogo wa ubunge na madiwani.

“Kwa ajili ya kuweka uwazi katika uchaguzi huo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kuzingatia Kanuni ya 18 (2) ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais na Wabunge za mwaka 2015, na Kanuni ya 14 (2) ya Kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa (Uchaguzi wa Madiwani) za mwaka 2015,”

“Inapenda kualika asasi za kiraia na taasisi mbalimbali za ndani zinazotaka kuwa watazamaji wa uchaguzi katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika Septemba 16 2018,” amesema Nkware na kuyataja majimbo hayo kuwa ni Monduli, Korogwe Vijijini na Ukonga.

Amesema asasi au taasisi zinapaswa kuzingatia masharti yafuatayo wakati wa kuwasilisha maombi; kuwa na anuani kamili ya asasi husika, anuani ya makazi ya ofisi ya taasisi husika ilipo, na mahali/sehemu ambapo taasisi husika inafanyia kazi.

Pia, shughuli ambazo zinafanywa na taasisi husika kwa mujibu wa hati ya usajili, kutaja sehemu ambazo asasi/taasisi inataka kufanya kazi hiyo ya utazamaji, kutaja idadi ya watu ambao asasi/taasisi itawatumia katika kazi hiyo pamoja na taarifa zao.

Masharti mengine ni; kutaja majina na namba za simu za viongozi wa taasisi husika kama yalivyoandikwa katika hati za usajili wa taasisi, ikiwa taasisi inahusisha watendaji wa kimataifa, wawili lazima wawe Watanzania, kuambatisha nakala/kivuli cha hati ya usajili wa taasisi husika na mwisho kuambatisha nakala/kivuli cha katiba ya taasisi/asasi husika.

“Taasisi zitakazopewa vibali vya kuwa watazamaji, zitapaswa kuzingatia mwongozo kwa watazamaji wa ndani na wa kimataifa ulioandaliwa na Tume kwa mujibu wa Kanuni ya 24 ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais na Wabunge za mwaka 2015, na Kanuni ya 20 ya Kanuni za Uchaguzi wa Madiwani za mwaka 2015,” amesema Nkware.

Kamati Ya Bunge Yakaribisha Wadau Kutoa Maoni Mbalimbali Kuhusu Miswada ya Sheria

$
0
0
Katika kutekeleza Masharti ya Kanuni ya 84 (2) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Januari, 2016 kuhusiana na umuhimu wa maoni ya Wadau katika mchakato wa uchambuzi wa Miswada ya Sheria katika ngazi ya Kamati za Bunge, Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Stephen Kagaigai anautangazia Umma kwamba, Kamati za Bunge zitafanya zoezi la kukusanya maoni ya Wadau mbalimbali kuhusiana na Miswada ifuatayo ya Sheria -:
  1.     Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, ) itapokea maoni ya Wadau kuhusu Muswada wa Bodi ya Kitaalam ya Walimu (The Teachers’ Professional Board Bill, 2018 siku ya Alhamisi tarehe 23 Agosti, 2018
  2.     Kamati ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, ) itapokea maoni ya Wadau kuhusu Muswada wa Sheria ya Tamko la kutangaza Jiji la Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi wa Mwaka 2018 [The Dodoma Capita City (Declaration) Bill, 2018] siku ya Alhamisi tarehe 23 Agosti, 2018
  3.     Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria, ) itapokea maoni ya Wadau kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na.2 ) wa Mwaka 2018 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.2) Bill, 2018]  na Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali  (Na.2 ) wa Mwaka 2018 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.3) Bill, 2018] siku ya Ijumaa tarehe 24 Agosti, 2018
  4.     Kamati ya Bunge ya Bajeti itapokea maoni ya Wadau kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi wa Mwaka 2018 [The Public Private Partnership (Amendment) Bill, 2018 siku ya Jumatatu tarehe 27 na siku ya Jumanne tarehe 28, Agosti, 2018.
Kwa Tangazo hili, Wadau mbalimbali mnakaribishwa kwa ajili ya kutoa maoni yenu kwenye Kumbi zilizopo Jengo la Msekwa na Jengo la Utawala katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma katika kuaniza saa 3 asubuhi.

Sheria zilizotajwa zinaweza kupakuliwa (downloadable) katika tovuti ya Bunge la Tanzania (www.parliament.go.tz). Aidha, maoni ya Wadau yanaweza pia kuwasilishwa kwa barua pepe kupitia cna@bunge.go.tz au njia ya posta kwa anuani ifuatayo:

Katibu wa Bunge
Ofisi ya Bunge
S.L.P 941
DODOMA

Imetolewa na:    Kitengo cha Habari, Elimu kwa Umma na Mawasiliano
Ofisi ya Bunge
DODOMA
21 Agosti, 2018.

Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amuagiza DCI amkamate aliyekuwa mkurugenzi Nida

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amemuagiza Mkurugenzi wa Makosa Jinai nchini (DCI) kumkamata aliyekuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Dickson Maimu.
 
Lugola pia ameagiza kukamatwa kwa wamiliki wa kampuni tatu zinazodaiwa kuhusika katika mradi wa vitambulisho vya taifa, Gotham's International Limited, Gwiholoto Impex Ltd na Aste Insurance wanaodaiwa kufanya udanganyifu na kushindwa kurejesha fedha walizotumia kinyume na utaratibu.

Akizungumza na wanahabari leo Agosti 21, Lugola ameagiza kukamatwa watumishi wote wa Nida ambao wanatuhumiwa katika ubadhirifu wa fedha za umma wakishirikina na kampuni hizo.

“Hizi kampuni zimefanya udanganyifu zikishirikiana na baadhi ya wafanyakazi,”amesema.

Hata hivyo amesema baadhi ya kampuni zilizohusika na ubadhirifu huo zimeanza kurejesha fedha za umma kwa asilimia 84.

Rais Magufuli Aongoza Mamia Ya Wakazi Wa Chato Katika Mazishi Ya Dada Yake Marehemu Monica Magufuli Yaliyofanyika Chato Mkoani Geita

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mama yake mzazi Suzana Magufuli wakati wakitoa heshma za mwisho katika jeneza lenye mwili wa Marehemu Dada yake Monica Magufuli nyumbani kwao katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita.
2
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za mwisho katika jeneza lenye mwili wa  Marehemu Dada yake Monica Magufuli nyumbani kwao katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita.
3 (1)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsaidia  Mama yake mzazi Suzana Magufuli wakati wakuweka udongo ndani ya kaburi la Marehemu Dada yake Monica Magufuli nyumbani kwao katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita.
4
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiweka udongo ndani ya kaburi la Marehemu Dada yake Monica Magufuli nyumbani kwao katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita.
6 (2)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa kanisani katika Misa takatifu ya kumuombea Marehemu Dada yake Monica Magufuli. Wengine katika picha ni Mama yake Suzana Magufuli, Stanslaus Lori Madulu(Mme wa marehemu) , Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, Waziri Mkuu mstaafu wa Kenya Raila Odinga pamoja na viongozi mbalimbali wa Kiserikali.
7
Baba Askofu mkuu Mwandamizi  Yuda Thaddeus Ruwaichi akiongoza Misa ya kumuombea Marehemu Monica Magufuli Chato mkoani Geita
8 (1)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na Mkewe Mama Marry Majaliwa wakitoa heshma zao za mwisho katika jeneza lenye mwili wa Marehemu Monica Magufuli katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita.
9
Rais mstaafu wa awamu ya Tatu Benjamin Mkapa akitoa heshma za mwisho katika jeneza lenye mwili wa Marehemu Monica Magufuli katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita.
10
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshma za mwisho katika jeneza lenye mwili wa Marehemu Monica Magufuli katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita.
13
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiweka shada la maua katika kaburi la Dada yake Monica Magufuli mara baada ya mazishi.
12
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo ndani ya kaburi la Monica Joseph Magufuli wakati wa mazishi yaliyofanyika katika kijijini cha Mlimani Chato mkoani Geita.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Agosti 22

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota, Mvuto wa Biashara na Mapenzi

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. 

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
 
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
 
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi 

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Viwanja Vikubwa, Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

$
0
0
Viwanja Vikubwa, Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

Kwa upande wa Mapinga Vipo viwanjia kuanzia ukubwa wa sqm 400 kwa milion 4, sqm 800 kwa milion 8, sqm 1000 kwa milion 18, sqm 1400 kwa milion 18.2, sqm 1578 kwa milion 20.5, sqm 1986 kwa milion 25.8, sqm 2386 kwa milion 31, sqm 3018 kwa milion 39.2
 
Viwanja hivi vyote viko umbali wa km 2.5 kutoka main road. Miundombinu ya barabara, maji na umeme yote ipo. na viko na view nzuri sana.

Kwa upande wa Bunju vipo viwanja vya ukubwa wa sqm 1700 kwa milion 50 na sqm 3400 kwa milion 95.Viwanja hivi vimegusa main road (Bagamoyo Road).

Pia ipo Nursary school space yaenye ukubwa wa sqm 4600 na inauzwa kwa milion 46 tu.

Hakuna dalali. contact mhusika:
call 0758603077, whatsap 0757489709
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images