Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Askari Mstaafu wa JWTZ Atiwa mbaroni kwa Tuhuma za kukodisha silaha kwa majambazi

$
0
0
Askari mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) anashikiliawa na jeshi la polisi Mkoani Morogoro kwa tuhuma za kukodisha silaha kwa wahalifu  zinazotumika kwenye matukio ya ujambazi.

Akizungumza jana Agosti 14, kamanda wa polisi mkoani Morogoro, Wilbroad Mutafungwa alisema watuhumiwa 39 wa matukio hayo walihusishwa kwenye matukio ya uhalifu ikiwamo kukutwa na silaha za aina tano, bangi kete 200, bangi misokoto 66, risasi 27, pamoja na pombe aina ya gongo lita 58.

Mtuhumiwa Lumi Guya maarufu kama Mbulu (67) mkazi wa Kingolwira alikamatwa kwa tuhuma za kukodisha silaha yake aina ya Shot Gun anayoimiliki kihalali kwa watu wanaofanya uhalifu.

Kamanda huyo amesema mtuhumiwa huyo ni mwanajeshi mstaafu wa JWTZ na hushirikiana na Miraji Jumanne(28)mkazi wa Kichangani ambaye inadaiwa aliwahi kuwa askari polisi na kufukuzwa kutokana na vitendo visivyofaa wakishirikiana na wenzao sita ambao wote wanashikiliwa.

Watuhumiwa wengine walikamatwa katika matukio ya wizi, uuzaji gongo, wafugaji kulisha mifugo kwenye mashanmba ya wakulima na wizi wa kutumia silaha.

Watano Wafariki dunia dereva Akikimbia Askari wa Doria.

$
0
0
Watu watano wamefariki dunia papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Busurwa mwambao wa Ziwa Victoria wilayani Rorya kwenda mjini Tarime kupinduka.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tarime na Rorya, Henry Mwaibambe amesema ajali hiyo ilitokea katika kitongoji cha Bukwe eneo la Mika alfajiri ya jana Agosti 14, 2018, ambapo uchunguzi wa awali umebaini chanzo cha ajali ni mwendo kasi uliosababishwa na dereva aliyekuwa akiwakimbia askari wa doria.

Kamanda Mwaibambe amesema dereva wa gari hilo aliyejulikana kwa jina la Athumani Masiaga ambaye ni miongoni mwa waliofariki dunia alikataa kutii amri ya kusimama iliyotolewa na askari wa usalama barabarani kutokana na kubeba samaki wanaosadikiwa kupatikana kutokana na uvuvi haramu.

Viwanja Vikubwa, Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

$
0
0
Kwa upande wa Mapinga Vipo viwanjia kuanzia ukubwa wa sqm 400 kwa milion 4, sqm 800 kwa milion 8, sqm 1000 kwa milion 18, sqm 1400 kwa milion 18.2, sqm 1578 kwa milion 20.5, sqm 1986 kwa milion 25.8, sqm 2386 kwa milion 31, sqm 3018 kwa milion 39.2
 
Viwanja hivi vyote viko umbali wa km 2.5 kutoka main road. Miundombinu ya barabara, maji na umeme yote ipo. na viko na view nzuri sana.

Kwa upande wa Bunju vipo viwanja vya ukubwa wa sqm 1700 kwa milion 50 na sqm 3400 kwa milion 95
Viwanja hivi vimegusa main road (Bagamoyo Road).

Pia ipo Nursary school space yaenye ukubwa wa sqm 4600 na inauzwa kwa milion 46 tu.

Hakuna dalali. contact mhusika:
call 0758603077, whatsap 0757489709

Hamisa Mobetto na Zamaradi Ndani Ya Bifu Zito

$
0
0
Mtangazaji na mfanyabiashara Zamaradi Mketema ameingia ndani ya bifu zito na Mzazi mwenza wa Diamond Platnumz Hamisa Mobetto Kwenye mitandao ya kijamii.

Kisa cha majibizano hayo ni baada ya kuwepo kwa tuhuma za Zamaradi kuiba idea ya mshono wa nguo yake aliyovaa Kwenye 40 ya mtoto wake kutoka kwa Hamisa Mobetto kisha kwenda kushona kwa fundi mwingine bila hata taarifa.

Baada ya tetesi hizo Zamaradi aliandika Kwenye ukurasa wake wa Instagram kuwa hakuchukua idea ya mshono kutoka kwa Hamisa  bali yeye ndiye alimpa Hamisa mshono lakini alishindwa kushona kwake kutokana na muda.

"Nimeambiwa nilipewa mshono na mtu nikaenda kushona kwingine, na nimeshangazwa na uongo mkubwa wa namna hii, Mimi ndio nimetuma mshono kwake na sio yeye, hakuwa anaufahamu kabla, kutokana na kudai kupishana na muda nikaamua nikashone kwingine na zaidi swala la kushona kokote ni uamuzi wangu since sijachukua mshono wa mtu”.

Baada ya povu hilo la Zamaradi, Hamisa na yeye alimwaga povu zito sana na kuandika haya kupitia ukurasa wake wa Instagram huku akiwa ameambatanisha message walivyokuwa wanachat:
 
"First Of All Me sio Mtu wa Kujibishana Na watu insta Ndo maana always nakaaga Kimya ....... Tangia Nimefungua @mobettostyles Kila siku imekua Jipya .

"Secondly sijawahi Sema Popote kuhusu mshono Wa Shughuli yako wala kuandika kwa My page so probably one of your friends kayapeleka sehemu .


"My dear ulivyokua hujanialika kwenye shughuli yako nilibezwa kuchekwa kutukanwa and all siku jibu wala ongea popote kwasababu kila mtu ana uhuru wa kuchagua watu atakao .

"Ulinitafta Tumechagua Mishono umeenda shona kwengine sijawah lalamika my dear wala kusikitika Coz ridhki mafungu saba na kila likuepukalo najuaga huwa lina kheri na Mtu .

"Hivyo basi kama mtu mzima ungeskia kitu ungenifata na kunambia lakin no umeamua kunichafua just because uweze lala vizuri usiku .

#MniacheJamani#MaanaNadhanSikuMkinitoaRoho #MtafurahiaSana "

Kalulumila:Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
 BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO KALULUMILA.
----------------------------------------
Ni dawa pekee iliyojipatia umaarufu nchini na nje ya nchi kwa kufanya kazi mara 3, kwa wakati mmoja 1, kurefusha uume na kunenepesha saizi uipendayo kuongeza nguvu za kiume na inatibu matatizo na gerentii miaka 30. Na kuendelea haina madhara, inaimarisha mishipa ya uume iliyoregea na udhalishaji wa mbegu za kiume. 


---------NINI HUCHANGIA MATATIZO HAYA--Ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya ili kujua kwamba una ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya, ili kujua kama unangiri dalili zake ni kufika haraka kileleni wakati wa tendo la ndoa, 2)kushindwa kurudia tendo la ndoa. 3)kutoa choo kama cha mbuzi. 4)tumbo kujaa gesi na kuunguruma. 5)kukosa choo kabisa. 6)maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi. 7) korodani moja kuvimba 8)kutosikia hamu ya tendo la ndoa na maumivu ya kiuno wakati wa tendo la ndoa. 9)maumivu ya kiuno na mgongo pia tunatibu kisukari kwa siku7, presha, busha, bila kupasuliwa na magonjwa mbalimbali. 

---------------------------------------
TUPO TEGETA KWA NDEVU KARIBU NA MACHINJIO YA NGOMBE UTAONA OFSI IMEANDIKWA KALULUMILA HERBALIST CLINIC HOSPITAL SIMU .
----------------------------------------
-0655-557-182.
-0755-557182.
-0784-557-182.
PIA UTAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
---------------------------------------
KARIBUNI SANA.
----------------------------------------

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.

Dr Kanengo: Bingwa Wa Tiba Asili Hutibu Matatizo Yafuatayo

$
0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo kupooza kupoteza fahamu 

MALABALA; hutibu kisukari , uti wa mgogo, Change, pumu, busha, kaswende, kifua kikuu, muwasho sehemu ya siri 

NKURUNGU,: Ni dawa kutibu  N, B, G, POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge 20 

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha , pia kuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe), maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu. 

NR SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu 

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana. (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete) ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,.(4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wachafu ndani ya mji,.

Haya yote yanawezekana kwa DR KANENGO popote ulipo . Muone  DR KANENGO,anatibu nguvu za kiume anarefusha na kunenepesha uume kwa saizi uipendayo kwa muda mfupi sana, pamoja na kuwa na hamu ya kurudia tendo la ndoa mara 4 bila hamu kuisha Na utachelewa kufika kileleni kwa muda wa dakika 40 bila kuchoka .

Angalizo usitume meseji wala kubipu..
 
You can get it in all East African countries,,our service is fast and easy... contact Whatsapp 0784,47,59,46.Dar es salaam Tanzania. ,..Dr. KANENGO 0744,92,29,82...You are welcome.

Jaffo awaonya Wakuu wa Wilaya kuacha tabia ya kuwaweka watu rumande ovyo

$
0
0
 Na Zulfa Mfinanga.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amewataka Wakuu wapya wa Wilaya walioteuliwa hivi karibuni kuhakikisha wanasoma na kuzielewa sheria zinazowaongoza ili kufanya kazi kwa weledi.

 Mhe. Jafo aliyasema hayo leo Jijini Dodoma kwenye kikao kazi na Wakuu hao wa wilaya kwa lengo la kuwapa maelekezo ya kazi ambapo aliwaambia mada kuu ya kikao hicho ni mahusiano na mawasiliano kazini pamoja na kuhakikisha kuwa wanafanya kazi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zilizopo.

 “Msiende kuwa vyanzo vya migogoro kwenye Wilaya zenu, tumekuwa tukishuhudia migogoro baina ya Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, Wenyeviti wa Halmashauri, Makatibu Tawala pamoja na Wabunge, hatuwezi kwenda hivi, katengenezeni serikali” Alisema Waziri Jafo.

 Hata hivyo alikemea tabia ya baadhi ya Wakuu wa Wilaya kuitumia vibaya mamlaka waliyonayo na kuwaweka watu ndani hali iliyopelekea wananchi kuichukia serikali yao, hivyo kuwataka kutumia sheria kama iliyokusudiwa na siyo kwa kuonea watu.

 Aidha aliwataka Wakuu hao wapya wa Wilaya kutoa ushirikiano kwa wale wanaotekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na siyo vinginevyo ikiwa ni pamoja kusimamia miradi ya maendeleo ikiwemo uboreshaji wa miundombinu ya afya na elimu unaoendelea kote nchini.

 Kwa upande mwingine Waziri Jafo amesema “Kasimamieni ukusanyaji wa mapato ya serikali kupitia mfumo wa kieletroniki sambamba na kudhibiti uvujaji wa mapato hayo, lakini pia mkadhibiti madeni kwa kuwa fedha hizo ndizo zinazotegemewa kwa ajili ya maendeleo nchini”.

Naye Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Injinia Mussa Iyombe amewataka Wakuu hao wa wilaya kuzitendea haki nafasi walizopewa kwa kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, taratibu na kanuni zilizopo hasa pale wanapomuadhibu mtumishi aliyekosea.

 “Serikali ina taratibu zake, baadhi ya wakuu wa wilaya walikuwa wanatia aibu, kama kuna mtumishi kakosea, tumia mamlaka zinazomuongoza kumshughulikia, na sio kusimamisha watu kazi hovyo, kutumbua tumbua hovyo” Alisisitiza Injinia Iyombe. 
 
 Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Muro kwa niaba ya wakuu wenzake wa wilaya amesema watahakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia kasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli.

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Amjulia Hali Dkt. Kigwangalla Kitengo Cha Mifupa MOI

$
0
0
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete jioni ya tarehe 14, Agosti 2018 amemtembelea na kumjulia hali Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Hamisi Kigwangalla aliyelazwa katika wodi maalum kitengo cha Taasisi ya mifupa MOI,  hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam.

Hii inakuwa ni mara ya pili kwa Kikwete kumtembelea Dk Kigwangalla ambapo awali alimtembelea Agosti 8,  alipokuwa amelazwa Wodi ya Mwaisela akipatiwa Matibabu ya awali.

Kikwete amemtakia kila lakheri katika kipindi hiki kwa kuuguza majeraha ya mkono na sehemu za mwili ikiwemo mbavu ambazo kwa sasa hali yake inaendelea kuimarika kwa mujibu wa Madaktari wa kitengo hicho cha mifupa MOI.

Awali tokea kufanyiwa operesheni ya mkono ameweza kufanya mazoezi taratibu ikiwemo kutembea mwenyewe katika viunga hivyo vya Muhimbili.

Dkt. Kigwangalla alipata ajali ya gari mnamo Agosti 4, 2018 huko Manyara akiwa katika ziara ya kikazi ambapo katika ajali hiyo iliyokuwa na watu 6, watano walijeruhiwa na mmoja alifariki dunia ambaye alikuwa afisa habari mwandamizi wa Wizara hiyo, Hamza Temba.

Breaking News | Kinachojiri katika Mkutano wa chama cha ACT Wazalendo na Waandishi wa habar

$
0
0
ACT- Wazalendo wanaongea na waandishi wa habari Muda huu.....Fuatilia kila kitu hapo chini

Kamati Kuu CHADEMA Kukutana Leo

$
0
0
Na Magdalena Kashindye
KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inakutana leo jijini Dar es salaam

Kwa mujibu wa taarifa iliyotumwa jana kwa vyombo vya habari na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Chadema, Tumaini Makene, kamati hiyo inakutana kujadili masuala mbalimbali muhimu kuhusu chama hicho na taifa.

Katika taarifa hiyo, Makene alisema miongoni mwa mambo makuu yatakayojadiliwa katika kikao hicho leo ni kupokea taarifa na kujadili juu ya uchaguzi wa marudio wa ubunge, udiwani na hali ya siasa nchini.

"Kikao kitafanyika jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wa chama, Freeman Mbowe, kitajikita katika masuala mawili, kupokea taarifa na kujadili kwa kina juu ya uchaguzi wa marudio wa ubunge na udiwani na hali ya siasa nchini," alisema Makene
 
"Wanachama wa Chadema na umma wa Watanzania kwa ujumla utataarifiwa kuhusu maazimio baada ya kikao hicho."

Mbali na wabunge na madiwani kujiuzulu na kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), chama hicho kikuu cha upinzani nchini kimefanya vibaya katika uchaguzi wa Jumapili kwa kulipoteza kwa wapinzani wao hao Jimbo la Buyungu mkoani Kigoma.

Uchaguzi wa marudio umefanyika katika jimbo hilo kutokana na kufariki dunia kwa aliyekuwa mbunge wake, Kasuku Bilago (Chadema)

Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) Yakanusha Taarifa Za Wizi Zinazosambazwa Mitandaoni

$
0
0
Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) inapenda kutoa ufafanuzi kwa Umma kuhusu taarifa iliyosambazwa kupitia Mtandao wa Kijamii (Jamii forum) ya tarehe 13 Agosti 2018 yenye kichwa cha habari kinachosomeka “WARNING! Tahadhari ya WIZI kwa Wasafiri Uwanja wa JNIA”. ambapo Mwandishi wa taarifa hiyo anadai kupoteza komputa mpakato aina ya Mac Laptop katika moja ya mizigo yake wiki hii.

Mamlaka inapenda kuufahamisha Umma kwamba taarifa iliyotolewa sio ya kweli na Watanzania wanatakiwa kuipuuza, kwa kuwa JNIA imejiimarisha katika usalama wa mizigo na abiria, hivyo Mamlaka inapenda kuufahamisha umma yafuatayo:-

1.Zoezi la Usimamiaji wa mizigo kwa abiria wanaosafiri (departure) na abiria wanaowasili (arrival) linafanyika kwa uangalizi na usimamizi mkubwa kutoka kwa Maafisa Usalama wa Kiwanja na wa kwenye ndege, ambayo abiria atasafiria au kuwasili nayo, pia maeneo yote ambayo mizigo ya abiria hupita yamefungwa kamera maalum za kiusalama (CCTV).
2.Hata hivyo, Mamlaka inapenda kuufanamisha umma kuwa Maafisa Usalama wanaokuwa kwenye mashine za ukaguzi wa abiria na mizigo (scanner), hawawezi kuwasiliana na wafanyakazi wanaohusika na upandishaji wa mizigo kwenye ndege (loaders), kwa kuwa hawaruhusiwi kutumia simu za mkononi muda wote wa kazi na hufanya kazi chini ya usimamizi wa Msimamizi wa zamu wa eneo husika, ambalo pia limefungwa kamera kwa ajili ya usalama (CCTV) zinazorekodi kila tukio.

Pia Mamlaka inapenda kuwafahamisha kwamba katika kipindi cha kati ya mwezi Julai na Agosti, 2018 kupitia kitengo chake cha Usalama kimepokea malalamiko mawili ya upotevu wa mizigo ya abiria, ambapo tukio la kwanza ni la abiria mmoja kuweka komputa mpakato yake  (laptop) na Ipad kimakosa kwenye begi la abiria mwingine alipotoka kwenye ukaguzi na tayari ameshairudisha na mhusika kukabidhiwa mali yake; na tukio la pili ni la abiria aliyewasili kutoka nje ya nchi alidai amepotelewa na komputa mpakato, lakini baada ya ukaguzi wa kamera za usalama inaonesha eneo alilolalamikia hakutoa kifaa hicho na badala yake alitoa kadi ya Homa ya Manjano (Yellow Fever) pekee, hatahivyo uchunguzi unaendelea.

Hatahivyo, hakukuwa na tukio linalolalamikiwa la kuibiwa komputa mpakato (Mac laptop) wakati abiria huyo anayedai ametumia JNIA.

Mamlaka inatoa wito kwa watanzania wanaotumia kiwanja hiki na vingine vyote nchini vilivyopo chini ya serikali, kutoa taarifa kwa ndege husika wanaposafiri na vitu vya thamani na pia kuhakikisha utimilifu wa mizigo yao kabla hawajatoka katika eneo la Kiwanja cha ndege chochote, na abiria yeyote ambaye atagundua upotevu wa aina yeyote ya mali zake atoe taarifa kwa Maafisa Usalama katika eneo la Kiwanja kwa ajili ya msaada zaidi ikiwa ni pamoja na kuangalia picha zilizorekodiwa kwa muda wote na kamera maalumu ya kiusalama (CCTV).

Mamlaka inasimamia vyema Dira yake ya kuwa mtoaji Huduma za Viwanja vya Ndege kwa kiwango cha Kimataifa; na Dhima ya kutoa huduma bora na viwezeshi katika viwanja vya ndege kwa kuzingatia ufanisi katika matumizi ya rasilimali zilizopo. Mamlaka inasimamia viwanja vya ndege 58 vilivyopo chini ya serikali.

Imetolewa
Kitengo cha Uhusiano TAA

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218,0789289945. TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya musanga

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Kenya wapiga ‘stop’ Vigae Vya Tanzania

$
0
0
Nchi ya Kenya imezuia uingizwaji wa vigae  vinavyotoka Tanzania hali iliyosababisha kudorola kwa soko hilo nchini.

Hayo yalisemwa jana na Msafiri Figa Meneja Uajiri kutoka kiwanda kinachozalisha vigae cha Goodwill Tanzania Cerami co. Ltd kilichopo Mkiu, wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani.
 
Alisema ,walikuwa wakitegemea soko la Kenya zaidi kutokana na kupata oda nyingi kutoka kwa wafanyabiashara wa nchi hiyo .

Figa alisema ,kipindi kiwanda kinaanza lengo lao ilikuwa kuzalishaji mita za mraba 80,000  sawa na vigae 800,000 kwa siku lakini kwa sasa tangu waanze kuzalisha wanazalisha vigae 600,000 kwa siku .

Figa alielezea, wana wafanyakazi 900 kutoka Tanzania,ajira zisizo za moja kwa moja 2,000-3,000 na wachina 60 ambao ni pamoja na wataalamu mbalimbali..

Nae mkuu wa mkoa wa Pwani,mhandisi Evarist Ndikilo ,alisema hali iliyopo ni hatari kwani inakwenda kuuwa viwanda na kuweka hofu ya kuzima ndoto yetu.

“Mwaka mmoja na nusu uliopita eneo hili lilikuwa pori ambapo sasa kuna kiwanda kikubwa ambacho kinatengeneza ajira na kuliingizia mapato Taifa”

Ndikilo alieleza ,tatizo la ukosefu wa soko sio la kubeza ,sio la masihala,hivyo amekiomba chama kisimamie hilo.

Alisema ,wapo wafanyabiashara wanaagiza vigae China suala hili linakandamiza wawekezaji wa ndani .

“Wapo watendaji serikalini wanaotoa vibali kwa wanyabiashara kuagiza nondo Uturuki na vigae China,Spain na wengine kuchukua chuma nje hivyo kuna kila sababu kuliangalia tatizo hilo” alisisitiza Ndikilo.

Alisema, serikali inafanya kazi lakini baadhi ya watendaji wanasababisha tatizo hili kwa maslahi binafsi.

BREAKING: ACT Wazalendo Walivyomjibu Katibu Mkuu wa CCM Kuhusu Uchaguzi, Ajira, Ilani ya CCM na Mengine

$
0
0
*Utangulizi*
Juzi tarehe 13 Agosti 2018, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndg. Bashiru Ally alizungumza na waandishi wa habari kuhusu kile alichokiita "shukrani kwa ushindi wa CCM" kwenye uchaguzi wa marudio Buyungu na kata 77 nchini. 

Kwenye Mkutano wake na waandishi wa habari upo upotoshaji wa wazi wazi kwenye maeneo kadhaa ambao hatukudhani kama ungetolewa na mtu wa hadhi ya katibu mkuu. Tunadhani ni muhimu sana kuweka kumbukumbu sawa kwenye maeneo yafuatayo:

A.Kuvurugwa kwa uchaguzi wa marudio
B.Utekelezaji wa Ilani ya CCM
A.Kuvurugwa kwa Uchaguzi:

Katika taarifa yake, Dk. Bashiru Ally amezungumzia aliouita ushindi wa "mia kwa mia" wa CCM kwenye uchaguzi wa marudio. Ukweli wa mambo ni kwamba CCM haijashinda kwa haki Buyungu na kwenye kata nyingi kwenye uchaguzi huu. CCM kwa kushirikiana na vyombo vya dola na Tume ya Uchaguzi wamehakikisha CCM inashinda kiharamu Buyungu na kwenye kata nyingi kama ifuatavyo;

i. Kabla ya kampeni kuanza zilifanyika njama ovu kuhakikisha wagombea wa upinzani wanahujumiwa ili CCM iweze kupita bila kupingwa. Mfano wa wazi ni wa wagombea nane wa vyama vya upinzani kwenye kata za Tunduma kutangazwa kuwa si raia ili CCM iweze kupita bila kupingwa kwenye kata hizo.

ii. Wapinzani tulibughudhiwa na mikutano yetu kuvamiwa na polisi. Mfano halisi ni wa wagombea wote wa vyama vya upinzani katika kata ya Turwa (Tarime) kuzuiwa kufanya kampeni siku mbili za mwisho ili kutoa mwanya kwa CCM kushinda.

iii. Matokeo feki kutangazwa ili kumpa ushindi mgombea wa CCM Jimbo la Buyungu tofauti na matokeo halisi vituoni.

Katika mazingira ya namna hii CCM haiwezi kutamba kuwa imeshinda kwa asilimia mia moja kama anavyosema Dk. Bashiru Ally.

B. Utekelezaji wa Ilani ya CCM:
Kwenye taarifa yake, Dk. Bashiru Ally anadai kile anachokiita ushindi wa CCM kimetokana na utekelezaji wa Ilani ya CCM ambao umeongeza imani ya wananchi. Huu ni upotoshaji.

Mwenendo wa mambo nchini unaonyesha kuwa CCM imeshindwa kabisa kutekeleza Ilani yake kwenye maeneo yake makuu. Ilani ya CCM imegawanyika kwenye maeneo makuu manne kama ifuatavyo:

i. Kupunguza umasikini
ii. Kuchochea ajira
iii. Kuimarisha ulinzi na usalama
iv. Kupunguza rushwa na ufisadi.
I. Kukithiri kwa umasikini hasa vijijini
Tofauti na tambo za Katibu Mkuu wa CCM, hali halisi ya mambo mijini na vijijini inaonyesha dhahiri kukithiri kwa umasikini.
 
Mathalani, Mwaka huu, Kiongozi wa Chama Ndugu Zitto Kabwe amefanya ziara kwenye kata zote zinazoongozwa na ACT Wazalendo ambazo nyingi zipo vijijini.

Hali ya maisha ya wananchi wetu vijijini ni mbaya sana. Kwenye kata zote ambazo zilitembelewa tumekuta tatizo kubwa ni Ardhi, Maji, Ukosefu wa Huduma za Afya, Ukosefu wa Pembejeo, Ukosefu wa soko la mazao ya wananchi, Upungufu wa vyumba vya madarasa, vyoo pamoja na walimu na kuzorota kwa hali ya usalama wa wananchi pamoja na mali zao, pamoja na uminywaji mkubwa wa demokrasia na uhuru wa watu.
 
Utafiti uliofanywa na Afrobarometer na kutangazwa na REPOA unaonyesha kuwa Watanzania 3 kati ya 10 wanalala/kushinda njaa kila siku. Kiwango hiki kimeongezeka kutoka mwaka 2014 ambapo Watanzania 2 kati ya 10 walikuwa wanakosa chakula. 

Ongezeko hili kubwa la umasikini wa Wananchi wetu tumelithibitisha kwa kuona kwenye ziara hii na linatokana kwa kiwango kikubwa na maamuzi ya kisera ya Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na CCM.

Maji ni tatizo kubwa sana kwa wananchi wetu. Kwa mujibu wa Utafiti wa Afrobarometer wa Taasisi ya REPOA, asilimia 42 ya Watanzania wanaona maji ni tatizo kubwa ukilinganisha na asilimia 34 ya mwaka 2014. 

Tumeshuhudia wanachi katika kata nyingi tulizotembelea wakikabiliwa na tatizo la uhaba mkubwa wa maji. Tatizo hili linasabibisha kukwamisha shughuli za maendeleo za wananchi katika maeneo yao. 

Aidha wananchi wamekuwa hawapati huduma ya uhakika ya maji safi na salama hivyo kupelelekea kuibuka kwa magonjwa ya mlipuko yanayosababishwa na unywaji wa maji yasiyo safi na salama.

Wahanga wakubwa ni kina mama ambao hulazimika kusafiri umbali mrefu kufuata huduma ya maji. Baadhi ya maeneo wananchi wanalazimika kutumia maji katika visima visivyo salama ambavyo hutumika kunyweshea wanyama mfano kata ya Tomondo wakitumia visima ambavyo wanyama pia wanakunywa maji humo humo.
 
Bei ya maji pia katika maeneo mengi ya vijiji imekuwa kubwa kulinganisha na watumiaji wa maji mijini. Hivyo kwa baadhi ya maeneo kipato chote cha mwananchi hutumia katika kupata huduma ya maji ( Gehandu Pipa la Lita 200 Tsh 7,000). 

Hali hii inafukarisha zaidi wananchi kwani licha ya kuwa na kipato duni wanalipa Maji zaidi ya mara 10 ya watu wenye kipato kikubwa mijini. Hili linakuza sana pengo kati ya wenye nacho na wasio nacho (Inequality) kati ya wakazi wa mijini na wakazi wa vijijini.

II.Kuendelea kushamiri kwa Janga la Ajira:
Ni upotoshaji pale Katibu Mkuu wa CCM anaposema CCM imeboresha ajira. Ajira zipi?
Serikali ya awamu ya tano inafahamika kuwa kinara wa kupunguza ajira, kuweka mazingira duni ya vijana kujiajiri na kuwa na mazinugira duni kwa wafanyakazi walioajiriwa.
 
Sasa ni mwaka wa tatu serikali haijaajiri kwa kiwango kilichozoeleka huko nyuma kwa kisingizio cha uhakiki na baadaye kutumia fedha kwenye miradi ya maendeleo. Ni ajira gani anazozisema Dk. Bashiru?

Inafahamika kwamba vijana wanaoingia kwenye soko la ajira kwa mwaka ni 800,000 na wanaopata ajira ni 70,000 tuu. Hii ni dalili ya wazi ya CCM kushindwa kukabiliana na changamoto ya ajira.

Hata ahadi ya Mil. 50 kwa kijiji ambayo ingesaidia kuboresha ajira vijijini nayo imeota mbawa.

III.Kuendelea kwa vitendo vya rushwa na ufisadi:
Licha ya tambo za Serikali ya CCM kuwa sasa inapambana vilivyo na rushwa na ufisadi, kuna dalili za wazi za kuendelea kwa ufisadi mkubwa nchini. Mfano wa wazi ni ule ulioainishwa kwenye Ripoti ya CAG ya Mwaka 2016/2017 ambapo ilioneshwa wazi kuwa jumla ya Tsh. 1.5 Trilioni zimetumika bila kuidhinishwa na Bunge. Kama kweli Serikali ya CCM inachukia rushwa na ufisadi ituoneshe wapi zilipo 1.5 Trilioni zilizosemwa na CAG

IV.Kudorora kwa Usalama wa Raia:
Chama chetu kinaheshimu kwa dhati mchango wa vyombo vya ulinzi na usalama ndani na nje ya nchi. Lakini, hiyo haiondoshi ukweli kwamba hali ya usalama wa raia hivi sasa ni mbaya sana kuliko kipindi kingine chochote cha uhuru wetu.
 
Tunaishi zama ambazo wanasiasa (Kama vile Simon Kanguye, Ben Saanane, Tundu Lisu) wanapotezwa/kushambuliwa kwa risasi mchana kweupe halafu vyombo vyetu vya ulinzi na usalama havina majibu ya kueleweka.

Tupo kwenye zama ambazo waandishi wa habari wanashambuliwa na askari na wakubwa wa jeshi la polisi wanawatetea askari hao.

Hizi ni zama ambazo mamia ya wananchi wamepotezwa kwenye operesheni ya Mkuranga, Kibiti na Rufiji na serikali haina majibu. Huu ndio usalama anaouzungumza Dk. Bashiru?

*Hitimisho*

(i). CCM haijatekeleza hata robo ya ahadi zake;
Ilani ya CCM ina aya 189 zilizo sheheni ahadi mbalimbali. Katibu Mkuu wa CCM anaposema nusu ya ahadi zimetekelezwa atuonyeshe kwa uthibitisho kuwa nusu ya aya 189 zimetekelezwa mpaka sasa. Sisi tunaamini kuwa Katibu Mkuu wa CCM amejisemesha tu na neno nusu limemtoka tu kwani kwa mujibu wa utafiti wetu na ufuatiliaji CCM haijatekeleza hata robo ya ahadi zake mpaka sasa mwaka wa tatu unakatika tangu waingie madarakani

(ii). CCM haijashinda, imejitangazia ushindi kimabavu kwa kushirikiana na vyombo vya dola na Tume ya Uchaguzi

(iii). CCM ijue kuwa inapofunga mlango wa wananchi kuchagua viongozi kwa njia ya kidemokrasia, inafungua milango mingine ambayo inaweza kuitumbukiza nchi yetu kwenye machafuko. Hili si jambo lenye afya kwa taifa.

*Mapendekezo*

(i). Uitishwe Mkutano wa Kitaifa wa maridhiano ya kisiasa ambapo changamoto zote za uendeshaji wa siasa nchini zijadiliwe na kukubaliana kanuni za demokrasia ya vyama vingi.
(ii). Tufanye mabadiliko makubwa kwenye mfumo wa siasa na vyombo vya dola, ikiwemo
- Kuundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi
- Mabadiliko makubwa ya Jeshi la Polisi ili kulifanya kuwa linatoa huduma ya kulinda raia badala ya kutesa raia (Police Service badala ya Police Force), na
- Mabadiliko makubwa ya Kitengo cha Usalama wa Taifa ili kihusike na kulinda usalama wa Dola letu badala ya kuwa chombo cha chama kimoja cha siasa.
(iii). Iundwe Tume Huru ya Uchunguzi ili kuchunguza matukio yote ya mauaji ya raia kuanzia Kibiti mpaka mauaji ya siku za karibuni ya raia wa kawaida, viongozi wa kisiasa na hata majaribio ya kuua baadhi ya wabunge ambao wengine sasa wapo hospitali wakiendelea na matibabu.
 
Mapendekezo Mapendekezo Tunasisitiza kuwa mapendekezo haya yafanyiwe kazi kwa salama ya nchi yetu. Vinginevyo nchi inakwenda kupata tabu sana kuelekea 2020.

Dorothy Semu,
Kaimu Katibu Mkuu,ACT Wazalendo
15 Agosti 2018

IGP Sirro Apongeza hali ya Utulivu Uchaguzi Mdogo wa Marudio

$
0
0
Na Jeshi la Polisi.
Jeshi la Polisi nchini limewahakikishia wananchi kuendelea kuwepo kwa hali ya usalama na Amani hapa nchini ikiwa ni pamoja na kuendelea kuwepo kwa hali ya utulivu na usalama katika chaguzi ndogo.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro wakati akiwa katika ziara katika Shule ya Polisi Moshi (CCP) ambapo aliweza kuzungumza na Wakufunzi na Askari waliopo mafunzoni Chuoni hapo ikiwa na lengo la kukagua mwenendo wa mafunzo yanayoendelea katika Vyuo vya Polisi nchini.

IGP Sirro amesema katika maeneo yaliyofanya uchaguzi mdogo hali ilikuwa shwari licha ya kuwepo kwa matukio madogo ambayo yanaendelea kushungulikiwa na upelelezi utakapokamilika majalada yao yatapelekwa kwa Waendesha mashtaka kwa hatua zaidi.

“ Hali ilikuwa shwari na ni wazi kuwa wananchi sasa wameelewa umuhimu wa kutii sheria bila ya  kushurutishwa na natoa rai waendelee kudumisha hali hiyo ikiwa ni pamoja na kutoa taarifa za Wahalifu na uhalifu katika maeneo yao” Alisema Sirro.

Katika hatua nyingine akiwa Shule ya Polisi Moshi zamani CCP  IGP Sirro alitoa pongezi zake kwa Walimu na Uongozi kwa kazi kubwa wanayofanya ya kuwapika Askari hususani katika mafunzo yao ya awali ambapo ametaka kila Askari kutambua wajibu wake

Kwa upande wake Mkuu wa Shule ya Polisi Moshi Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Ramadhani Mungi amesema Chuo hicho kinaendelea kutoa mafunzo kwa umakini mkubwa ili kuhakikisha kuwa kila Askari anayetoka anakuwa na ukakamavu wa kutosha na nidhamu ya kuwahudumia Wananchi licha ya kuwepo kwa Changamoto za madeni ya maji na umeme.

Alisema wanaendelea kuboresha miundombinu ya Chuo hicho kwa kutumia miradi iliyopo ili kukiweka katika hali ya usalama zaidi ikiwemo kujenga uzio imara kuzunguka maeneo hayo.

Diwani Mwingine CHADEMA Kajiuzulu Leo na Kuhamia CCM

$
0
0
Aliyekuwa Diwani wa kata ya Mambwenkoswe wilayani Kalambo, Kanowalia Siwale(CHADEMA) amejiuzulu na kujiunga na CCM

Siwale amedai kuwa sababu ya kujiuzulu ni kutokana na chama hicho kujaa migogoro ambayo haisaidii jamii na isiyoleta maendeleo kwa ujumla.

Amesema ameamua kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli katika juhudi za kuleta maendeleo.

Mizizi 29 Power ,ndio Dawa Bora Na Imara Kwa Sasa Kwa Kutibu Na Kuponesha Tataizo La Nguvu Za Kiume Kwa Dakika 30 Tu

$
0
0
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume limekuwa ni janga kubwa sana kwa sasa sio vijana au wazee wanalalamiki kukimbiwa na wa wapenzi wao au ndoa kuvunjika kutokana na mwanaume kulala na mwanamke kitanda kimoja hata wiki mbili bila kushiriki tendo la ndoa na hii ndio inachangia wanawake wengi kutoka nje ya ndoa kwa nini huteseke na wakati dawa zipo ambazo zitarudisha heshima yako ya ndoa 

MIZIZI 29 POWER; ni ambayo hutibu na kurudisha virutubisho mwilini ambavyo humfanya mwanaume awe na matatizo yafatayo 1 kuwahi kukojoa kabla mke au mpenzi wake

 2. kushindwa kurudia tendo dawa, hii itakufanya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 

3... dawa hii inatibu uume uliolegea na kusinyaa 

4. dawa hii inatoa miungurumo ya tumbo na uchovu wakati wa kumaliza tendo 

NINI KINASABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 1 kupiga punyeto kwa mda mrefu 
2 upungufu wa vichochoe mwilini 
3 magonjwa ya moyo, kisukari, presha, vidonda vya tumbo kiuno na mgongo 
4 utumiaji ovyo wa madawa ya kizungu 
4 usongo wa mawazo, hasira, tumbo kujaa gesi na kutopata choo.

 PATA TIBA YANGU NA NI TOFAUTI NA ULIZO WAHI KUTUMIA: 

Je una uume mfupi na mwembamba? MASHESHA MIX ni dawa ya kuboresha uume saiz upendayo asa kwa wale waliofanyiwa tohara wakiwa wadogo.. chagua saizi upendayo inch 5,6,7, adi 8 iyo ni kwa urefu na unene sentimita 2,3,4, adi 5 .dawa hizi zipo za kupaka na kunywa na hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ,

Tunatibu kisukari,vidonda vya tumbo,ngiri, korodani iliyovimba, kupnguza kitambi, maziwa makubwa NK 

KWA TIBA NA USHAULI FIKA OFISINI KWANGU DARE S SALAAMU MBAGALA ZAKHEMU NA MIKOA YA KANDA YA ZIWA YUPO WAKALA WETU HAPO MWANZA NA KWA AMBAO HAWANA NAFASI YA KUJA OFISINI HUDUMA YETU UTALETEWA POPOTE ULIPO PIGA SIMU 0783185060 DR MAKOYE

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images