Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Waziri Mwakyembe Alitolea Ufafanuzi Sakata la Channel za Ndani ITV, CLOUDS, Channel Ten Kuondolewa

0
0
Waziri wa Habari, Dkt. Harrison Mwakyembe amelitolea  ufafanuzi sakata la channel za ndani kuondolewa kwenye ving'amuzi vya DSTV, AZAM, ZUKU. Msikilize hapo chini

Kamati Kuu CCM Yamteua Waitara Kugombea Ukonga, Kalanga Kugombea Monduli Na Timotheo Mzava Korogwe Vijijini

0
0
KAMATI Kuu Maalumu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) leo tarehe 14 Agosti, 2018 imeketi jijini Dar es Salaam na kufanya uteuzi wa wagombea watatu katika majimbo ya Monduli, Ukonga na Korogwe Vijijini.

Kamati hiyo iliongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dk. John Magufuli.

Kamati hiyo imemteua Julius Karanga kugombea jimbo la Monduli, Mwita Waitara ameteuliwa kugombea Ukonga na Timotheo Mzava ameteuliwa kugombea Korogwe Vijijini.

Katika hatua nyingine, kamati hiyo imewashukuru watanzania wote waliojitokeza kushiriki katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Buyungu na kata 77 na kukipa dhamana CCM na wagombea wake kwa kuwawezesha kushinda kwa asilimia mia.

TRA: Msamaha Wa Riba Na Adhabu Ya Malimbikizo Ya Kodi Kutoa Motisha Kwa Wafanyabiashara Nchini

0
0
Na Veronica Kazimoto
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa msamaha wa riba na adhabu wa asilimia 100 kwenye malimbikizo ya madeni ya kodi unaotolewa ndani ya Mwaka wa Fedha 2018/19 utawasaidia wafanyabiashara kulipa kodi ya msingi na hatimaye kuwapa motisha ya kulipa kodi kwa hiari na kwa wakati.

Hayo yamesemwa leo na Kaimu Kamishna wa Walipakodi Wakubwa wa mamlaka hiyo Alfred Mregi wakati akifungua semina elekezi ya msamaha wa riba na adhabu kwenye malimbikizo ya kodi kwa wafanyabiashara iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Mregi amesema kuwa dhumuni la semina hiyo elekezi ni kutoa uelewa wa kutosha kwa wafanyabiasha ili waweze kuwasilisha maombi yao kwa usahihi kwa lengo la kupatiwa msamaha huo.

"Leo tumekutana mahali hapa kwa lengo la kutoa elimu kwa wafanyabiashara kuhusu msamaha wa riba na adhabu kwenye malimbikizo ya madeni ya kodi ili kuhakikisha kuwa wafanyabiashara wote wenye malimbikizo ya madeni wananufaika na msahamaha huo unatolewa kwa asilimia 100," alisema Mregi.

Naye Naibu Kamishina wa Kodi za Ndani Abdul Zuberi amesema suala la kodi halijachwa kwa TRA peke yake bali taasisi zote za Serikali zinafanya kazi hiyo ya kuhamasisha ulipaji kodi kwa maendeleo ya watanzania wote.

"Sasa hivi kodi za ndani zimezidi kuongezeka kutokana na uhamasishaji ambao unatoa motisha kwa wafanyabiashara na wananchi kwa ujumla kulipa kodi kwa maendeleo ya taifa letu," alieleza Zuberi.

Kwa upande wake Mfanyabiashara mkubwa kutoka kampuni ya Super Group of Companies inayozalisha sukari ya Mtibwa na Kagera Ibrahim Ali ameishukuru TRA kwa kutoa semina elekezi na kuongeza kuwa elimu waliyoipata imewasaidia kuelewa mambo mengi kuhusiana na msamaha huo.

Msamaha wa riba na adhabu kwenye malimbikizo ya madeni ya kodi unatokana na maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli aliyoyatoa katika Mkutano wa Baraza la Wafanyabiashara (TNBC) uliofanyika Ikulu tarehe 20 Machi, 2018 ambapo wafanyabiashara walilalamikia kuwepo kwa malimbikizo makubwa ya madeni ya kodi za nyuma yakijumuisha riba na adhabu.

Kufuatia maelekezo hayo, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilifanya marekebisho kupitia Sheria ya Fedha ya mwaka 2018 na sehemu ya Sheria ya Usimamizi wa Kodi ya Mwaka 2015 ambapo katika marekebisho hayo, Waziri wa Fedha na Mipango amepewa mamlaka ya kutoa utaratibu maalum wa kumuwezesha Kamishna Mkuu wa TRA kutoa msamaha wa riba na adhabu wa hadi asilimia 100 kwenye malimbikizo ya madeni ya kodi tofauti na asilimia 50 ya hapo awali.

MWISHO.

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.

Dr Kanengo: Bingwa Wa Tiba Asili Hutibu Matatizo Yafuatayo

0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo kupooza kupoteza fahamu 

MALABALA; hutibu kisukari , uti wa mgogo, Change, pumu, busha, kaswende, kifua kikuu, muwasho sehemu ya siri 

NKURUNGU,: Ni dawa kutibu  N, B, G, POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge 20 

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha , pia kuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe), maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu. 

NR SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu 

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana. (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete) ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,.(4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wachafu ndani ya mji,.

Haya yote yanawezekana kwa DR KANENGO popote ulipo . Muone  DR KANENGO,anatibu nguvu za kiume anarefusha na kunenepesha uume kwa saizi uipendayo kwa muda mfupi sana, pamoja na kuwa na hamu ya kurudia tendo la ndoa mara 4 bila hamu kuisha Na utachelewa kufika kileleni kwa muda wa dakika 40 bila kuchoka .

Angalizo usitume meseji wala kubipu..
 
You can get it in all East African countries,,our service is fast and easy... contact Whatsapp 0784,47,59,46.Dar es salaam Tanzania. ,..Dr. KANENGO 0744,92,29,82...You are welcome.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

TCU: Kesho Ndo Mwisho wa Kutuma Maombi ya Kujiunga Chuo Kikuu Shahada ya Kwanza

0
0
Tume ya vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imesema kuwa kesho Agosti 15, 2018 ndiyo mwisho wa kutuma maombi ya kujiunga na masomo ya shahada ya kwanza katika vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu nchini.

Dirisha hilo la kuwasilisha maombi lilifunguliwa Julai 20, 2018 kwa awamu ya kwanza.

Akizungumza leo Agosti 14, 2018 Katibu Mtendaji wa TCU Profesa Charles Kihampa amesema kuwa baada ya kufungwa rasmi kwa dirisha la udahili vyuo vitaanza kuchakata majina ya waombaji kulingana na vigezo vya udahili vilivyowekwa kwa kila programu ya masomo.

Udahili wa kujiunga na vyuo vikuu unahusu makundi makubwa matatu ambayo ni waombaji wa kidato cha sita, wenye sifa linganifu kama vile shahada  na waombaji wenye vyeti toka nje ya nchi vyenye sifa linganifu.

"Baada ya kuchakata majina, dirisha la waombaji litaidhinishwa, " amesema Kihampa na kuongeza:

"TCU jukumu lao ni kuhakiki kama waombaji waliochaguliwa na vyuo wana sifa stahiki na wanakidhi vigezo vya kujiunga na programu husika za masomo,"amesema Profesa Kihampa.

Amefafanua kuwa waombaji wote wa udahili wanapaswa kutuma maombi yao moja kwa moja kwenye vyuo wanavyopenda na kuchagua programu za masomo.

Amesema Tume imetoa mwongozo wa programu zilizoidhinishwa kudahili pamoja na vigezo vya udahili vinavyotakiwa kwa kila programu za masomo.

"Waombaji wote wa vyuo vikuu na taasisi ya elimu ya juu wanakumbushwa na kuhimizwa kuzingatia kalenda ya udahili iliyoidhinishwa na Tume,"amesema Kihampa  na kuongeza:

"Ili kuepusha usumbufu usio wa lazima, waombaji wote wanahimizwa kutumia muda uliobaki kukamilisha maombi yao.”

Kihampa amesema dirisha la kuwasilisha maombi ya kujiunga na vyuo vya elimu ya juu awamu ya pili litafunguliwa Septemba tatu hadi saba.

Wabunge mbaroni kwa kushambulia gari la Rais

0
0
Baadhi ya wabunge nchini Uganda wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kushambulia gari la Rais Yoweri Museveni kwenye uchaguzi mdogo eneo la Arua.

Jeshi la polisi limeeleza kuwa linawashikilia watu 30 ikiwa ni pamoja na wabunge kutoka Kampala, Njiri na maeneo mengine ambao wanadaiwa kuhusika kwenye tukio hilo lililotokea jana na kusababisha kifo cha mlinzi wa mbunge aliyeuawa kwa kufyatuliwa risasi na askari polisi.

“Hadi tunavyoongea hivi sasa hao wote tunawashikilia kwenye selo zetu, hatujui kama kati ya hao kuna waandishi wa habari au la. Tukianza kuwachambua tutafahamu ukweli wa jambo hili,” msemaji wa polisi wa eneo la West Nile, Josephine Angucia aliiambia NTV.

Aliongeza kuwa watu hao waliokamatwa walikuwa kwenye kundi ambalo lilirusha mawe kupiga gari linalotangulia msafara wa Rais.

Akizungumzia kifo cha mlinzi wa mbunge, alisema kuwa kifo chake kilitokana na risasi iliyopigwa bila kumkusudia.

Rais Museveni alikuwa katika eneo hilo akimpigia kampeni mgombea wa chama chake cha National Resistance Movement, Nusura Tiperu.
 
Mbunge wa Kyadondo, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine alikuwa eneo hilo la Arua pia akimpigia kampeni mgombea binafsi, Kassiano Wadri. Mbunge huyo ni miongoni mwa wanaoshikiliwa.

Diamond na Mameneja wake watinga BASATA kumaliza sakata la mkataba wa Rich Mavoko na WCB

0
0
Diaomond Platnumz na Mameneja wake wawili, Babu Tale na Sallam wametinga BASATA kuitikia wito wa baraza hilo kuhusu malalamiko ya msanii wa muziki Rich Mavoko aliyedai kuwa mkataba wake na WCB umekaa kinyonyaji.

Akizungumzia hilo mmoja wa meneja wa Diamond, Sallam Sharraf, amesema waliitwa na Basata na sasa wapo katika mazungumzo.

Sallam ambaye hakuwa tayari kuliongelea suala hilo kiundani, amesema ni vyema watu wakasubiria yatakayoamuliwa huko, ambapo wanaamini Basata itauambia umma nini kilichoafikiwa badala ya wao  kuwa wasemaji.

Muuza mitumba akabidhiwa gari na Diamond Platnumz kupitia shindano la nogewa ushinde la Diamond Karanga

0
0
Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ambaye pia ndiye mkurugenzi wa WCB amemkabidhi gari mshindi wa shindano la Nogewa Ushinde lililokuwa likifanyika kwa mwezi mmoja sasa kupitia bidhaa za Diamond Karanga.

Mshindi huyo aliyejitambulisha kwa majina ya Bakari Saidi akisimulia kwa furaha amesema kuwa yeye ni muuza mitumba Ubungo jijini Dar es salaam na ameahidi kuendelea kutumia bidhaa hizo huku akidai kwamba gari hilo limemkomboa kiuchumi.

Mizizi 29 Power ,ndio Dawa Bora Na Imara Kwa Sasa Kwa Kutibu Na Kuponesha Tataizo La Nguvu Za Kiume Kwa Dakika 30 Tu

0
0
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume limekuwa ni janga kubwa sana kwa sasa sio vijana au wazee wanalalamiki kukimbiwa na wa wapenzi wao au ndoa kuvunjika kutokana na mwanaume kulala na mwanamke kitanda kimoja hata wiki mbili bila kushiriki tendo la ndoa na hii ndio inachangia wanawake wengi kutoka nje ya ndoa kwa nini huteseke na wakati dawa zipo ambazo zitarudisha heshima yako ya ndoa 

MIZIZI 29 POWER; ni ambayo hutibu na kurudisha virutubisho mwilini ambavyo humfanya mwanaume awe na matatizo yafatayo 1 kuwahi kukojoa kabla mke au mpenzi wake

 2. kushindwa kurudia tendo dawa, hii itakufanya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 

3... dawa hii inatibu uume uliolegea na kusinyaa 

4. dawa hii inatoa miungurumo ya tumbo na uchovu wakati wa kumaliza tendo 

NINI KINASABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 1 kupiga punyeto kwa mda mrefu 
2 upungufu wa vichochoe mwilini 
3 magonjwa ya moyo, kisukari, presha, vidonda vya tumbo kiuno na mgongo 
4 utumiaji ovyo wa madawa ya kizungu 
4 usongo wa mawazo, hasira, tumbo kujaa gesi na kutopata choo.

 PATA TIBA YANGU NA NI TOFAUTI NA ULIZO WAHI KUTUMIA: 

Je una uume mfupi na mwembamba? MASHESHA MIX ni dawa ya kuboresha uume saiz upendayo asa kwa wale waliofanyiwa tohara wakiwa wadogo.. chagua saizi upendayo inch 5,6,7, adi 8 iyo ni kwa urefu na unene sentimita 2,3,4, adi 5 .dawa hizi zipo za kupaka na kunywa na hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ,

Tunatibu kisukari,vidonda vya tumbo,ngiri, korodani iliyovimba, kupnguza kitambi, maziwa makubwa NK 

KWA TIBA NA USHAULI FIKA OFISINI KWANGU DARE S SALAAMU MBAGALA ZAKHEMU NA MIKOA YA KANDA YA ZIWA YUPO WAKALA WETU HAPO MWANZA NA KWA AMBAO HAWANA NAFASI YA KUJA OFISINI HUDUMA YETU UTALETEWA POPOTE ULIPO PIGA SIMU 0783185060 DR MAKOYE

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Meli ya mizigo yawaka moto bandari ya Bagamoyo

0
0
Meli mali ya kampuni ya Ocean Enterprises Limited ya Zanzibar imeungua moto wakati ikiwa imeegeshwa kwenye ufukwe ya Bahari ya Hindi huko Bagamoyo mkoani Pwani.

Tukio hilo limetokea leo saa 12.15 asubuhi  wakati meli hiyo ikiwa imepaki kwenye fukwe hiyo kwa ajili ya kupakia mizigo mbalimbali ikiwemo saruji zilizokuwa zikisafirishwa  kwenda visiwani Zanzibar.

Mkuu wa Jeshi la Zimamoto kituo cha Bagamoyo Iward Mwanza amesema wamepokea taarifa ya moto huo saa 12.24 asubuhi na askari walifika saa 12.30 eneo la tukio.

"Ni kweli moto ulizuka kwenye hii meli na tulipata taarifa asubuhi saa 12.24 hivi tukajipanga na kufika bandarini tukakuta sehemu ya mbele ilikuwa imeshashika moto na ulikua ukiendelea kusambaa melini,”amesema.

Amesema walianza kuudhibiti ili usilete hasara zaidi na walifanikiwa. Mkuu huyo wa zima moto Bagamoyo amebainisha kuwa uchunguzi wa awali umebaini chanzo cha moto huo ni hitilafu ya umeme

Mwanamke Atiwa Mbaroni Kwa Kumuua Mwanae na Mwingi kwa Kumuwekea Mwiko Sehemu za Siri

0
0
Wanawake wawili wanashikiliwa na polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma mbalimbali akiwamo mmoja aliyemuua mtoto wake wa kiume wa miaka 11 kwa kumpiga fimbo kichwani.

Katika tukio jingine mwanamke mwingine anashikiliwa na polisi akituhumiwa kumsokomeza mwiko sehemu za siri mtoto wa dada yake mwenye umri wa miaka sita.

Kamanda wa polisi mkoani Morogoro, Wilbroad Mutafungwa amesema hayo leo Agosti 14 wakati akitoa taarifa ya matukio mbalimbali ya mkoani humo kwa waandishi wa habari.

Kamanda Mutafungwa amesema matukio yote yametokea katika wilaya za Gairo na Manispaa ya Morogoro na kwamba watuhumiwa wote watafikishwa mahakamani mara moja.

Waziri Kijaji Aagiza Dereva Aliyehamishwa Kituo Cha Afya Bitale Kigoma Kurudishwa Mara Moja

0
0
Na Benny Mwaipaja, WFM, Kigoma
NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji, amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmahauri ya Wilaya ya Kigoma kumrejesha mara moja katika kituo chake cha kazi cha awali, dereva wa Kituo cha Afya Bitale, kilichoko Kata ya Bitale katika Halmashauri ya wilaya hiyo baada ya kubainika kuwa gari la kubeba wagonjwa kituoni hapo halina dereva.

Dkt. Kijaji, ametoa maelekezo hayo alipotembelea Kituo hicho cha Afya kukagua ujenzi wa majengo mapya ya Kituo hicho yatakayogharimu shilingi 400m  baada ya Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Bitale, Dkt. Norbert Nshemetse, kueleza changamoto ya upungufu wa watumishi wa kituo hicho akiwemo dereva.

Dkt. Nshemetse, pamoja na kumshukuru Mhe. Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, kwa kuwapatia gari la wagonjwa (Ambulance) katika kituo hicho, alisema gari hilo halina dereva baada ya dereva wake kuhamishiwa katika Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma mwezi Julai, 2018.

"Katika jambo lililonishitua ni kupata taarifa kwamba dereva aliyekuwa akiendesha gari la wagonjwa hapa Kituoni amehamishwa kupelekwa kwa Mkurugenzi Mtendaji wakati anahitajika zaidi hapa kuliko huko kwa Mkurugenzi" alisikitika Dkt. Kijaji

Alimwamwagiza Mkurugenzi Mtendaji huyo kumrejesha dereva huyo ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja kituoni hapo ili aendelee na kazi ya kuwahudumia wagonjwa. 

"Tunaposema thamani ya fedha ni pamoja na mambo haya, gari lipo lakini halina dereva. Mkurugenzi, mrejeshe dereva huyo hapa wewe tafuta dereva mwingine, Mwenyekiti wa Halmashauri na Mkuu wa Wilaya hebu lisimamie hili" aliagiza  Dkt. Kijaji.

Dkt. Kijaji, alitembelea Kituo hicho cha afya ambacho kimepata fedha kiasi cha shilingi milioni 400 kwa ajili ya ujenzi wa majengo saba ikiwemo jengo la wazazi, maabara, jengo la kuhifadhia maiti, wodi ya watoto, nyumba ya mtumishi, jengo la mionzi, kliniki ya mama, baba na mtoto na kuweka mfumo wa teknolojia ya Habari na Mawasiliano-TEHAMA.

Hata hivyo ujenzi wa majengo hayo ulikuwa haujaanza na kumfanya Naibu Waziri wa Fedha na Mipango kuagiza uanze mara moja kwa sababu fedha zipo kwenye akaunti ya Kituo hicho cha Afya ili lengo la Serikali la kuboresha huduma za afya kwa wananchi liweze kufanikiwa.

Mwisho

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Agosti 15

TAKUKURU Hai Yamfikisha Mahakamani Mkuu wa Kitengo cha Uchaguzi na Mfanyabiashara Mmoja

0
0
Watu wawili akiwamo Mfanyabiashara wa mjini Moshi, Oscar Kigumu, wamefikishwa kortini jana Agosti 14, 2018 wilayanj Hai kwa tuhuma za ubadhirifu wa Sh27.6 milioni za uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Mfanyabiashara huyo anayemiliki kampuni ya Oscar Food and Beverage Catering Services, ameshitakiwa pamoja na mkuu wa kitengo cha uchaguzi wa Halmashauri ya Hai, Edward Ntakiliho.

Mwenge Wa Uhuru Kupitia Miradi 36 Simiyu Yenye Thamani Ya Zaidi Ya Shilingi Bilioni Nane

0
0
Na Stella Kalinga, Simiyu
Jumla ya miradi 36 yenye thamani ya shilingi  bilioni 8.4  iliyopo katika Halmashauri sita za Mkoa wa Simiyu itapitiwa na Mwenge wa Uhuru ambao umeanza rasmi mbio zake mkoani humo, Agosti 15, 2018.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka wakati akisoma salamu za mkoa wakati wa mapokezi ya Mwenge wa Uhuru katika Kijiji cha bukundi wilayani Meatu ukitokea wilaya ya Mkalama Mkoani Singida Agosti 14, 2018.

Mtaka amesema kuwa miradi hiyo inayotarajiwa kupitiwa  na Mwenge wa Uhuru ni kutoka katika Idara  ya Elimu, Afya, Maji, Viwanda, Kilimo, Maliasili, Barabara,Utawala, Sekta binafsi na Vijana na Wanawake.

Akizungumzia Ujumbe wa Mwenge wa Uhuru mwaka 2018 ambao umejikita zaidi katika Elimu kwa kauli Mbiu “ELIMU NI UFUNGUO WA MAISHA; WEKEZA SASA KWA MAENDELEO YA TAIFA LETU” amesema, Elimu ni kipaumbele cha kwanza kwa mkoa huo, ambapo wameweka mikakati mbalimbali ya kuinua elimu na ujenzi wa miundombinu ya elimu.

“ Simiyu ni mkoa pekee ambao wanafunzi wa madarasa ya mitihani wanakaa katika kambi za kitaaluma, pia ufaulu wa wanafunzi wetu umeongezeka mfano, mwaka 2017 mkoa wa Simiyu ulikuwa wa 26 Kitaifa kati ya mikoa 31 lakini mwaka 2018 mkoa umeshika nafasi ya 10 katika matokeo ya kidato cha Sita” alisema.

Aidha, Mtaka amesema Simiyu inaendelea kuboresha miundombinu ya elimu kwa kushirikisha jamii na wadau mbalimbali ikiwa na mkakati wa kujenga shule tatu ambazo ni Shule ya Sekondari ya Ufundi Simiyu, Shule ya Sekondari ya Wasichana na Shule ya Sekondari ya Wavulana.

Hata hivyo Mwenge wa Uhuru ukiwa wilayani Meatu umepita katika miradi mbalimbali ikiwa ni pamoja na mradi wa vyumba vya madarasa katika shule shikizi ya Mwanyahina, Mradi wenye majengo manne katika Hospitali ya Wilaya; (jengo la wodi ya wazazi, jengo la upasuaji, maabara na nyumba ya mtumishi), mradi wa ujenzi wa mahakama ya mwanzo Itinje na mradi wa ushonaji wa wanawake wa Kijiji cha Mwamishali.

Akizungumza kwa nyakati tofauti katika miradi iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru, Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2018, Ndg. Charles Francis Kabeho amewataka viongozi na watendaji kusimamia miradi ya maendeleo kwa weledi na kuhakikisha inatekelezwa kwa wakati kwa  viwango vinavyohitajika na kuzingatia thamani ya fedha(value for maoney) ili wananchi wapate huduma.

“Utawala wa Awamu ya tano unataka watu wafanye kazi na kuwajibika kweli,tunaposema HAPA KAZI TU Mhe. Rais anamaanisha, tukisimamia miradi kwa ulegelege hatutaweza kufika, inawezekana hata kuchelewa kwa miradi ni kwa sababu watu wanataka maslahi yao na kusababisha huduma za kijamii zinakwama ili wao wanufaike, watendaji wa aina hiyo awamu ya tano hatuwahitaji” alisema Kabeho

Kwa upande wake mkuu wa Wilaya ya Meatu, Dkt. Joseph Chilongani akizungumza mara baada ya Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa kuweka jiwe la msingi mradi wa madarasa ya shule shikizi ya Mwanyahina amesema Viongozi wa wilaya watasimamia ujenzi wa mradi huo na kuhakikisha unajengwa  kwa viwango na kwa wakati ili shule hiyo iwanufaishe wananchi wa vijiji jirani vinavyoizunguka.

Mwenge wa Uhuru umeanza mbio zake mkoani Simiyu katika Wilaya ya Meatu Agosti 14, 2018, Agosti 15 utakuwa halmashauri ya Wilaya ya Itilima, Agosti 16 Halmashauri ya mji wa Bariadi, Agosti 17 Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi, Agosti 18 Halmashauri ya Wilaya ya Busega, Agosti 19 Halmashauri ya Wilaya ya Maswa na tarehe Agosti 20, utakabidhiwa mkoani Shinyanga.

MWISHO

H. Baba amfungukia Rich Mavoko, adai WCB sio wanyonyaji

0
0
Msanii wa Bongo Fleva, H. Baba ametoa mtazamo wake kwa kile kinachoendelea kati ya Rich Mavoko na WCB.

Muimbaji huyo ameeleza kuwa WCB hawawezi kumnyonya msanii, hivyo tofauti iliyopo kati ya WCB na Rich Mavoko ni vyema wakakaa chini na kusuluhisha. 

==>>Kupitia Instagram ameandika;
"Diamond Platnumz Pole sana ni muda wa kujifunza maisha na watu ni vitu viwili tofauti, umakini ulionao wewe sio wa kila binadamu anaumakini huo kujitambua kwako nakujipambania kwa uwezo wako na kumuomba Mungu sio Jambo la kawaida kwa mdharau Mwiba.

Kama kuna tofauti yako na Mr. Mavoko limalizeni kiustaarabu naamini mnafahamiana vyema toka kitambo. Mimi natoka mwanza nimewakuta kwenye game japokuwa siku ya kila mmoja kutoboa Mwenyezi Mungu ameiwekea siri kubwa ili usikate tamaa.

Amkukata tamaa Kila mmoja akatoboa kwa njia yake Onyeshaneni upendo Sanaa inasiri kubwa kioo cha jamii kwa msanii ni ishu kubwa Sana ila tunachukulia poa jambo hili. Wekeni sawa swala lenu #Unyonyaji unaosemekana kuwa #WCB ni wanyonyaji sio kweli.

WCB hawana uwezo wa kumnyonya msanii ila msanii ana uwezo wakuwanyonya WCB kwa sababu nyingi sana watazame kina MBOSO LAVA LAVA je ni nani ana mnyonya mwenzie, utagundua WCB wana utu, niwapambanaji ila kama upambani auwendani na kasi ya Diamondn lazima utaomba poooo.

Uvumilivu kwenye Sanaa ndio misingi ya sanaa yetu, ukifuata ya walimwengu utakuwa mtazamaji wa walimwengu. Nina mengi ya kusema kwa Leo niishie hapa #lawama sio mzigo..."

Hapo jana August 14, 2018 Diamond na uongozi wa WCB walifika Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) kufuatilia suala hilo mara baada ta Rich Mavoko kufika hapo awali ambapo inaeleza alipoleka mkataba kati yake na lebo hiyo ambao anadai ulikuwa wa kinyonyaji.

Wezi Wamliza Jack Wolper

0
0
Mwanamitindo na muigizaji Jacquline Wolper ameandika masikitiko yake yanayoashiria kuwa ni mtu aliyepata pigo baada ya wezi kumuibia licha ya kuwa hajaweka wazi kama kaibiwa nini lakini amekiri kuwa Wezi wamekuwa wakirudisha watu nyuma kutokana na uwizi wanaoufanya.

 Wolper ameandika;..>>>“😳😳😳😳Jesus🙆‍♀️ I can’t
Mungu nipe nguvu 🙏” – Wolper
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images