Mtuhumiwa akihojiwa na polisi
MWANAMUME aitwaye Andrew Kabula (34), mkazi wa Kimara Mwisho jijini,
hivi karibuni alinaswa gesti akiwa na mwanafunzi ‘denti’ aliyetaka
kufanya naye ngono ili ampatie kazi bandarini..
Kabula
a.k.a Afisa Feki alijitapa kwa denti huyo kwamba ni Afisa wa Mamlaka ya
Bandari jijini Dar na ana uwezo wa kumpatia kazi kama atampa rushwa ya
ngono.
Kwa kutambua
AFISA WA BANDARI ANASWA AKIOMBA RUSHWA YA NGONO KWA MWANAFUNZI ILI AMPE AJIRA BANDARINI
↧
↧
TUZO ZA KILIMANJARO MUSIC AWARDS ZITARUSHWA LIVE MTANDAONI....
Usiku wa tuzo za Muziki Tanzania maarufu kama Kilimanjaro Tanzania
Music Awards 2013 unatarajiwa kuonyeshwa live mtandaoni siku ya
Jumamosi, Juni 8.
Tofauti na miaka mingine ambayo tukio la utoaji tuzo tu ndio lilikuwa
likionyeshwa kupitia kwenye TV pekee, na kuwanyima fursa Watanzania
waishio nje ya nchi kufuatilia moja kwa moja, mwaka huu watumiaji wa
mtandao wa Internet
↧
VYAMA VYA UPINZANI VYANUIA KUUNGANA 2015
Vyama vya siasa vyenye idadi ndogo ya wanachama nchini vimekubali hatua
ya kuungana na kuwa Muungano wa vyama (Alliance) kwa lengo la kupata
nguvu ya uwakilishi wa kuingia katika Bunge Jipya la Shirikisho baada ya
rasimu mpya kupitishwa kwa ajili ya uchaguzi ujao.Hatua hiyo
imekuja baada ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mpya kutangaza rasimu
iliyotoa mwelekeo wa kupatikana kwa Katiba Mpya ya
↧
MTANZANIA ATEULIWA KULIONGOZA JESHI LA KULINDA AMANI HUKO DARFUR
Lt.
Jenerali Paul Ignace Mella,Mkuu Mpya wa Jeshi la Mseto kati ya Umoja
wa Mataifa na Umoja wa Afrika maarufu kama UNAMID linalolinda Amani
huko DARFUR Nchini Sudan.
Lt. Jenerali. Mella kutoka Jeshi la
Wananchi wa Tanzania ( JWTZ) anachukua nafasi iliyoachwa na Lt.
Jenerali Patrick Nyamvumba kutoka Rwanda ambaye amemaliza muda wake
Machi 31,2013.
---------
Kwa mara
↧
BABA YAKE DIAMOND YUPO HOI ANAUMWA......DIAMOND HAJAWAHI KANYAGA KUMJULIA HALI
BABA wa msanii Nasibu Abdul ‘Diamond’, Abdul Juma yupo hoi akisumbuliwa na ugonjwa wa miguu.
Kwa
mujibu wa chanzo makini, Baba Diamond anasumbuliwa na tatizo la miguu
kuvimba hali ambayo imemfanya ashindwe kutembea lakini cha kushangaza
mwanaye, Diamond hajaenda kumjulia hali.
“Baba Diamond ni mgonjwa kwa muda mrefu sana lakini Diamond hajawahi kuja kumuona hata siku moja,” kilisema chanzo
↧
↧
M 2 THE P AREJEA TANZANIA KUMZIKA MANGWEA LEO
Rafiki wa wa
karibu wa marehemu Albert Mangwea aliyekuwa amelazwa nchini Afrika
Kusini amerejea Tanzania na yuko njiani akielekea mkoani Morogoro
kwaajili ya kushiriki mazishi ya swahiba wake Mangwea jioni ya leo (June
6).
Akizungumza na
Times Fm asubuhi hii Mgaza Pende a.k.a M 2 The P amewashukuru
watanzania kwa kumuombea japo hali yake bado haijawa nzuri sana lakini
ameamua
↧
MAANDALIZI YA SAFARI YA MWISHO YA ALBERT MANGWEA KATIKA UWANJA WA JAMHURI MOROGORO
Meza kuu hii
ikiwa ni maandalia ya kuuaga mwili wa msanii marehemu Albert Mangwea
aliyefariki dunia na anatarajiwa kuzikwa leo mkoani morogoro.
Utaratibu
huu umeandaliwa katika uwanja wa jamuhuri mkoani morogoro kwa lengo la
kuwapa fursa wakazi wa mji huo kupata nafasi za kuuwaga mwili huo kabla
ya maziko
Umati mkubwa
wa wakazi wa morogoro waliojitokeza katika zozi za kuwaga
↧
MAREKANI YAUNDA SHERIA KUWADHIBITI WANAUME WANAOVAA SURUALI CHINI YA MAKALIO YAO
Sina shaka umeshasikia style za uvaaji wa suruali hususan kwa wanaume
zenye majina kama mlegezo au kata k, au yawezekana ukawa huzijui kwa
majina lakini umeshashuhudia vijana wamevaa suruali chini ya makalio.
Kama ambavyo mabinti wamekuwa wakilaumiwa kwa mavazi ya kuonyesha
miili yao hasa sehemu nyeti, na upande wa wanaume wamekuwa
wakilalamikiwa kwa style hiyo ya uvaaji ambayo
↧
KADA WA CHADEMA ALIMWA SHOKA LA MGONGONI NA WATU WANAODAIWA KUWA NI WALINZI WA CCM
Mtu mmoja anayedaiwa kuwa ni kada wa CHADEMA amelimwa shoka la mgongoni na watu wanaodaiwa kuwa ni walinzi wa CCM wakati wa harakati za kampeni za uchaguzi wa udiwani huko Arusha..
Mtu huyo aliyefahamika kwa jina moja la Amos amelazwa katika hospitali ya Mount Metu mkoani humo...
Mtandao huu unaendelea kufuatilia chanzo halisi na undani
↧
↧
PICHA ZA M 2 THE P AKILIA KWA UCHUNGU WAKATI WA KUMUAGA ALBERT NGWEA MOROGORO MCHANA HUU
M2 THE P amefanikiwa kutoa salamu zake za mwisho kwa rafiki yake kipenzi ambaye alikuwa naye huko Afrika kusini tena walikuwa ndani ya chumba kimoja kabla ya mauti kumkuta Ngwea....!!
Mwanzoni, M 2 THE P alikuwa amefichwa na kudanganywa kuwa Ngwea alikuwa ametangulia Tanzania. Baadaye Maggie alilazimika kumweleza ukweli......
<!-- adsense -->
↧
HATIMAYE NGWEA AZIKWA KWENYE MAKABURI YA KIBONDA MKOANI MOROGORO....HIZI NDIO PICHA ZA MAZIKO YAKE
Baada
ya siku kadhaa zilizokuwa na kila aina ya harakati, ugumu na majonzi
makubwa, Albert Mangweha aka Ngwair leo amezikwa kwenye makaburi ya
Kihonda mkoani Morogoro ambako ni nyumbani kwao.
Kabla
ya kuzikwa, wananchi wa Morogoro walipata fursa ya kuuaga mwili wake
kwenye uwanja wa Jamhuri.
Umati mkubwa wa wananchi ulijitokeza kutoa
heshima zao za mwisho kwa mwili wa Ngwair
↧
KHADIJA KOPA AKIELEKEA UWANJA WA NDEGE JANA KWA AJILI YA MSIBA WA MUMEWE JAFFARI ALLY
Khadija Kopa akilia kwa uchungu mara baada ya kupata taarifa za mumewe kufariki.
Akipewa sapoti wakati akielekea uwanja wa ndege.
Baadhi
ya viongozi na wananchi wa mkoa wa Rukwa na Mpanda wakimsindikiza
kupanda ndege msanii wa taarab na malkia wa mipasho Tanzania Khadija
Omar Kopa kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda baada ya kupewa taarifa ya
kufiwa na mumewe
↧
TASWIRA KUTOKA MSIBANI KWA MAMA MZAZI WA JAFFARI ALLY (MUME WA KHADIJA KOPA)
Mama Mzazi wa marehemu Jaffari Ally, Bi. Rehema Tuwa, akilia kwa uchungu nyumbani kwake Tandale jijini Dar.
Simanzi na majonzi vilitawala msiabani hapo.
Akina mama waliofika kumpa pole Mama Mzazi wa Jaffari.
SIMANZI, vilio na majonzi vilitawala
nyumbani kwa Mama Mzazi wa marehemu Jaffari Ally, Bi. Rehema Tuwa,
Tandale jijini Dar.
Marehemu Jaffari ambaye alikuwa ni mume wa
↧
↧
TUSIPOCHUKUA HATUA, DAWA ZA KULEVYA ZITAWAMALIZA WANAMICHEZO NA WANAMUZIKI WA TANZANIA
DAWA za kulevya ni hatari, ni hatari sana. Maisha ya baadhi ya wasanii na wachezaji yamepotea kutokana na matumizi ya dawa hizo.Aidha, dawa za kulevya husababisha baadhi ya wasanii na wachezaji kushindwa kuendelea na fani zao.Orodha
ya wasanii waliopoteza maisha kutokana na matumizi ya dawa za kulevya
ni ndefu lakini baadhi yao ni Elvis Presley, Whitney Houston, Brenda
Fassie wa Afrika
↧
DIVA WA CLOUDS FM NAYE ATOA PICHA YA NUSU UCHI ILI KUMTEKA PREZZO ANAYEONEKANA KUHAMISHIA PENZI KWA HUDDAH
Baada ya huddah kuweka picha yake akiwa na prezzo na kuzua gumzo mitandaoni, Diva wa clouds fm ameamua kuweka picha yake
ya NUSU UCHI ili
kupotezea Aibu hiyo..
"Love at the first sight imekwishaimekwisha."....
Ulimpiga KIBUTI mbunge mh. JEPESI , tena kwa mbwembwe, vijembe na kejeli kibao mtandaoni......
Leo hii jamii inashuhudia unavyoumbuka.Penzi la
↧
HUU NDO UTENGENEZAJI WA BIKRA FEKI....WANAUME MSIKUBALI KUIBIWA
WANAUME,kuweni makini na Bikra
feki...Wanawake wana mbinu nyingi sana za kukuingiza kingi,ndoa imekuwa
mtihani kwao,wanafanya kila balaa ili wakuchote akili uingie
kingi.
Ukiacha hawa wengne ambao wameamua kuwa Washirikina kwa kwenda kwa
Waganga na kupewa dawa za kukukamata,kuna hawa wanawake ambao
wametumika kama Bajaj ,wakikuona umekaa dizaini ya muoaji
halafu una hela,utapigwa tukio
↧
NGONO ZAANZA KUTAWALA JUMBA LA BIG BROTHER.....VIDEO YA BOLT NA BETTY YANASWA WAKIFANYA NDANI YA JUMBA HILO
Mpaka sasa tayari tumeshuhudia couple 4 za housemates katika Big
Brother ‘The chase’ , lakini couple ya mu Ethiopia Betty na mu Sierra
Leon Bolt ndio ilikuwa ya kwanza kufahamika katika wiki ya kwanza toka mchezo uanze (May 26).
Couple ya Bolt na Betty ndio ilikuwa ya kwanza pia ku’kiss kama
uthibitisho wa ‘love at first sight’. Baada ya hapo maisha ya mjengoni
yaliendelea
↧
↧
PICHA ZA MAANDALIZI YA JUKWAA LA KILL MUSIC AWARDS......TUKIO LITARUSHWA LIVE MTANDAONI
Kesho ndio siku yenyewe ambayo wasanii waliotajwa kuwania tuzo za
mwaka huu za muziki wa Tanzania, Kilimanjaro Tanzania Music Awards, KTMA
watajua hatma yao.
Tuzo za Kili zitatolewa kesho June 8 kwenye ukumbi
wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Hizi ni picha za jinsi maandalizi
ya jukwaa na ukumbi yalipofikia.
Mafundi wa TV itakayorusha matangazo live wakiweka sawa mitambo
↧
MPENZI WA ALBERT NGWEA AKILIA KWA UCHUNGU WAKATI WA MAZISHI
MAJONZI na vilio vilitawala juzi katika zoezi la kuuaga mwili wa
marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’ kwenye Viwanja vya Leaders lakini mmoja
wa waliotia fora katika kuangua kilio alikuwa dada mmoja mzungu
anayedaiwa kuwa alikuwa Mpenzi wa Ngwea aitwaye Misheily.
Mzungu huyo alionekana akilia kwa uchungu huku akitoa maneno
yaliyoashiria kuwa ameumia sana kuondokewa na ‘mtu’ wake huyo
↧
MTANGAZAJI WA TIMES FM ( KHADIJA SHAIBU) AJIANIKA "AKIKATA GOGO " CHOONI
MTANGAZAJI wa Kituo cha Redio cha Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’
amewashangaza watu baada ya kutundika mtandaoni picha zinazomuonesha
akioga bafuni huku nyingine akiwa chooni akikata gogo.
Picha
hizo zinapatikana kwenye mtandao wake na hakueleza ilikuwa wapi ila
akasema ilikuwa ni siku alipoamua kuitumia wikiendi yake ipasavyo katika
hoteli ambayo hakuitaja jina.
Baadhi ya watu
↧
More Pages to Explore .....