Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Agosti 9


Kalulumila:Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
 BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO KALULUMILA.
----------------------------------------
Ni dawa pekee iliyojipatia umaarufu nchini na nje ya nchi kwa kufanya kazi mara 3, kwa wakati mmoja 1, kurefusha uume na kunenepesha saizi uipendayo kuongeza nguvu za kiume na inatibu matatizo na gerentii miaka 30. Na kuendelea haina madhara, inaimarisha mishipa ya uume iliyoregea na udhalishaji wa mbegu za kiume. 


---------NINI HUCHANGIA MATATIZO HAYA--Ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya ili kujua kwamba una ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya, ili kujua kama unangiri dalili zake ni kufika haraka kileleni wakati wa tendo la ndoa, 2)kushindwa kurudia tendo la ndoa. 3)kutoa choo kama cha mbuzi. 4)tumbo kujaa gesi na kuunguruma. 5)kukosa choo kabisa. 6)maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi. 7) korodani moja kuvimba 8)kutosikia hamu ya tendo la ndoa na maumivu ya kiuno wakati wa tendo la ndoa. 9)maumivu ya kiuno na mgongo pia tunatibu kisukari kwa siku7, presha, busha, bila kupasuliwa na magonjwa mbalimbali. 

---------------------------------------
TUPO TEGETA KWA NDEVU KARIBU NA MACHINJIO YA NGOMBE UTAONA OFSI IMEANDIKWA KALULUMILA HERBALIST CLINIC HOSPITAL SIMU .
----------------------------------------
-0655-557-182.
-0755-557182.
-0784-557-182.
PIA UTAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
---------------------------------------
KARIBUNI SANA.
----------------------------------------

Serikali Yaondoa Zuio La Kuuza Mazao Nje Ya Nchi

$
0
0
Na Stella Kalinga, Simiyu
Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Benjamin William Mkapa amesema Serikali imeondoa zuio la kuuza Mazao ya Chakula nje ya nchi  ikiwa ni njia nyingine ya kuongeza soko la mazao ya wakulima hapa nchini.

Mhe. Mkapa amesema hayo katika Kilele  cha Maonesho ya Nane nane Kitaifa mwaka 2018 Mkoani Simiyu,  Uwanja wa Nyakabindi, Halmashauri ya Mji  wa Bariadi ambapo alikuwa mgeni Rasmi akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.

“Ninachukua fursa hii kuwafahamisha kuwa Serikali imeondoa zuio la kuuza Mazao ya Chakula nje ya nchi    ikiwa ni njia nyingine ya kuongeza soko la mazao ya wakulima hapa nchini, hata hivyo mazao hayo yatauzwa nje ya nchi kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu”alisema.

Aidha,  amesema Serikali inawakumbusha wananchi wote kuhifadhi akiba ya kutosha ya chakula wakati wa kuuza mazao yao ili kujihakikishia usalama wa chakula katika kaya zao.

Mkapa pia amesema Serikali ina mkakati wa kuongeza uzalishaji wa zao la pamba kutoka tani 121,000 mwaka 2016/2018 hadi kufikia tani milioni moja mwaka  2020.

Waziri wa Kilimo Dkt. Charles Tizeba ametangaza rasmi kuwa Maonesho ya Nane nane Kitaifa kwa miaka mitatu mfululizo hadi mwaka 2020 yatafanyika kanda mpya  Kanda ya Ziwa Mashariki katika Uwanja wa Nyakabindi Bariadi, huku akisisitiza kuwa maonesho hayo yafanyike Kimataifa kwa kushirikisha nchi jirani zinazoizunguka Tanzania.

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka amesema  Mkoa wa Simiyu  utaendelea  kulipa kiupaumbele zao la Pamba na mwaka ujao uzalishaji utaongezeka kutoka kilo milioni 70 hadi kufikia kilo 150.

“Simiyu tunajivunia wananchi wachapa kazi wenye uthubutu na Simiyu inajengwa na Wanasimiyu, mwaka jana tumezalisha kilo milioni 70 za pamba, kwa mwaka huu sasa hivi msimu ukiwa umefikia katikati tuna kilo milioni 85, mwakani tunatarajia kuzalisha kilo zaidi ya 150” alisema

Ameongeza kuwa wananchi wamelima chakula cha kuwatosheleza si watu wa kuomba chakula cha msaada huku akiupambanua Mkoa wa Simiyu kuwa ni mkoa pekee ambao watu wake wanafanya biashara saa 24.

Maonesho ya Nanenane Mwaka 2018 yaliwashindanisha wakulima na wafugaji mmoja mmoja, Taasisi, Wakala, Mashirika ya Umma na Binafsi, Wizara pamoja na Halmashauri 21 za Mikoa ya Simiyu Mara na Shinyanga ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Maswa katika Mkoa wa Simiyu imekuwa ya tatu kati ya hizo 21.

Kauli mbiu ya Maonesho ya Nanenane mwaka 2018 “ WEKEZA KATIKA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI KWA MAENDELEO YA VIWANDA”

Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete amtembelea Waziri wa Maliasili Dk. Khamis Kigwangalla

$
0
0
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete jana  tarehe 8, Agosti 2018 amemtembelea Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Hamisi Kigwangalla aliyelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam ambapo alimjulia hali na kumpa pole kufuatia ajali ya gari aliyoipata Agosti 4,2018 huko Manyara.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Kabila hatagombea nafasi ya urais DRC 2018 ....Mrithi wake Huyu Hapa

$
0
0
Ramazani Shadari, Katibu Mtendaji wa chama kilichopo madarakani Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) Jumatano ameteuliwa kuwa mgombea kiti cha urais kwenye uchaguzi wa Disemba 23, 2018.

Shadary anagombea nafasi hiyo kwa tiketi ya muungano wa vyama vinavyo tawala (FCC) nchini DRC.

Uteuzi huo umeondoa kitendawili kilichokuwepo kwamba huenda Rais Joseph Kabila ambaye amekuwa madarakani tangu 2001, angewania muhula mwengine.

Tayari  Ramazani amewasilisha stakhabadhi zake za kuwania urais kwa tume ya ya uchaguzi jana mchana  saa chache kabla ya muda uliowekwa kukamilika.

Emmanuel Shadari mwenye umri wa miaka 57 ni mwandani wa karibu wa rais Joseph kabila. Alikuwa katibu wa kudumu wa chama tawala cha PPRD na mtu muhimu wa kampeni za rais Kabila 

Simiyu Yatajwa Kinara Utekelezaji Ilani Ya Ccm, Mshikamano Viongozi Wa Serikali Na Chama

$
0
0
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally akitoa salamu za Chama Cha Mapinduzi  katika  Kilele  cha Maonesho ya Nane nane Kitaifa mwaka 2018 Mkoani Simiyu,  Uwanja wa Nyakabindi, Halmashauri ya Mji  wa Bariadi.
 ******
Na Stella Kalinga, Simiyu
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema Mkoa wa Simiyu ni mkoa wa kwanza  katika utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa mshikamano kati ya Serikali na Chama Tawala.
 
Dkt. Bashiru amesema hayo wakati akitoa salamu za Chama Cha Mapinduzi  katika  Kilele  cha Maonesho ya Nane nane Kitaifa mwaka 2018 Mkoani Simiyu,  Uwanja wa Nyakabindi, Halmashauri ya Mji  wa Bariadi.

“ Simiyu ni Mkoa wa Kwanza kwa Tanzania Bara katika Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi, matokeo tunayoyaona, haya yanayotufurahisha chanzo chake ni mshikamano baina ya Viongozi wa Chama na Serikali katika Mkoa” alisema Dkt. Bashiru.

Wakati huo Dkt. Bashiru ameitaja mikoa mitatu ikiongozwa na Simiyu ambayo inafanya vizuri katika Utekelezaji wa Ilani ya CCM kuwa ni pamoja na Singida, Dodoma na Pwani, huku akieleza kuwa katika mikoa hiyo viongozi na watendaji wa Chama wanafanya kazi kwa kushirikiana katika shida na raha.

Aidha, ameitaja mikoa minne ambayo haifanyi vizuri kuwa ni Mara, Arusha, Mbeya na Dar es Salaam na akawataka viongozi wa Chama na Serikali katika mikoa hiyo  kujirekebisha ili waweze kufanya kazi kwa kushirikiana.

Amesema Chama kimeumizwa sana na makundi na kinapata tabu pale ambapo viongozi wa Chama na Serikali hawana mtazamo mmoja, hivyo amewataka viongozi wa mikoa ya Mara, Mbeya, Arusha na Dar es Salaam kushikamana na kuwa kitu kimoja ili waweze kuwatumikia wananchi ipasavyo.

Kwa upande wake Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amesema uhusiano kati ya Chama na Serikali  kwa mkoa huo kuanzia ngazi ya Kijiji na Tawi hadi mkoa uko vizuri na akimhakikishia Katibu Mkuu wa CCM kuwa mshikamano baina yao utaendelea kuimarishwa.

Dr Kanengo: Bingwa Wa Tiba Asili Hutibu Matatizo Yafuatayo

$
0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo kupooza kupoteza fahamu 

MALABALA; hutibu kisukari , uti wa mgogo, Change, pumu, busha, kaswende, kifua kikuu, muwasho sehemu ya siri 

NKURUNGU,: Ni dawa kutibu  N, B, G, POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge 20 

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha , pia kuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe), maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu. 

NR SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu 

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana. (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete) ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,.(4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wachafu ndani ya mji,.

Haya yote yanawezekana kwa DR KANENGO popote ulipo . Muone  DR KANENGO,anatibu nguvu za kiume anarefusha na kunenepesha uume kwa saizi uipendayo kwa muda mfupi sana, pamoja na kuwa na hamu ya kurudia tendo la ndoa mara 4 bila hamu kuisha Na utachelewa kufika kileleni kwa muda wa dakika 40 bila kuchoka .

Angalizo usitume meseji wala kubipu..
 
You can get it in all East African countries,,our service is fast and easy... contact Whatsapp 0784,47,59,46.Dar es salaam Tanzania. ,..Dr. KANENGO 0744,92,29,82...You are welcome.

Maonesho ya NaneNane Kitaifa Kufanyika Mkoani Simiyu Kwa Miaka Mitatu Mfululizo

$
0
0
Na Mathias Canal, WK-Simiyu
Waziri wa kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba ametangaza kuwa maadhimisho ya maonesho ya kilimo na sherehe za wakulima Nanenane Kitaifa yatafanyika Mkoani Simiyu kwa miaka mitatu mfululizo kuanzia mwaka 2018 mpaka 2020 ili kuongeza tija ya elimu kuhusu sekta ya kilimo, Mifugo na Uvuvi kwa wananchi wa kanda ya Ziwa Mashariki.

Waziri wa kilimo Mhe Tizeba ametanga neema hiyo kwa wananchi wa kanda ya ziwa Mashariki jana tarehe 8 Agosti 2018 kwa wakazi wa mikoa ya Simiyu, Shinyanga na Mara ambayo inaunda kanda ya ziwa Mashariki ambao watanufaika na elimu kuhusu kilimo, mifugo na uvuvi.

Alisema kuwa kumekuwa na utaratibu wa kufanyika mfululizo maonesho hayo kwenuye mikoa inayoandaa huku akieleza kuwa utashi uliopo katika kanda hiyo ni mkubwa ukilinganisha na maonesho ya Nanenane yaliyofanyika kwa miaka minne mfululizo katika Viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi.

Alisema kuwa kufanyika mfululizo kwa miaka mitatu mkoani Simiyu kutawafanya wananchi kuwa na uhakika wa bidhaa za uwekezaji watakazoziweka. “Mkoa wa Simiyu na kanda yenu hii ya Magharibi ingetosha kuonyesha hata kwa miaka miwili tu lakini nimeamua kutumia utaratibu mzuri zaidi ili ifanyike kwa miaka mitatu naamini hamtaniangusha” Alikaririwa Mhe Dkt Tizeba

Aliwataka wakuu wa mikoa ya Shinyanga Mhe Zainab Telack, Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima na Mkoa wa Simiyu Mhe Antony Mtaka kuyafanya maonesho ya Nyakabindi katika miaka miwili ijayo kuifanya sherehe hiyo ya Nanenane kuwa ya kimataifa ili kuwe na washiriki kutoka katika nchi zote nane zinazoizunguka Tanzania.

Alisema kuwa ingependeza zaidi kuwa na washiriki wa maonesho ya teknolojia na mambo mbalimbali ya kilimo kutoka katika nchi hizo za jirani ili kubadilishana uzoefu katika kuinua sekta ya kilimo, Mifugo na Uvuvi.

Waziri Tizeba alisema kuwa nchi ya Tanzania ndiyo kinara katikja kilimo katika ukanda wa Afrika Mashariki na kati hivyo maonesho ya kilimo yanapaswa kuwa katika mpango madhubuti wa kufikia maonesho ya kimataifa.

“Naomba niwaahidi hapa kuwa sisi kama wizara tutatoa ushirikiano mzuri ili kuhakikisha kuwa maonesho yajayo yanakuwa katika sura ya kimataifa kwani kufanya hivyo tutakuwa tumeongeza ufanisi na elimu pana kwa wakulima wetu  wa chini” Alisisitiza Mhe Dkt Tizeba

Sambamba na hayo pia Waziri wa kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba alimshukuru Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Benjamin Mkapa kwa kukubali kuwa mgeni reasmi katika kilele cha maonesho ya Nanenane Kitaifa kwani amekuwa chachu na hamasa katika kuongeza ufanisi na tija kwenye sekta ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.

Dkt Tizeba alieleza kuwa kanda hiyo ya Ziwa Magharibi ya Nanenane ilianzishwa kwa wazo la Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe Antony Mtaka ambaye alitaka kutoa fursa ya urahisi wa hudua ya mafunzo kwa wananchi kufahamu mbinu mbalimbali za kilimo, Ufugaji na Uvuvi.

MWISHO.

Viwanja Vinauzwa......Surveyed plots for sale: Bunju na Mapinga (Baobab Sec, km 5 kutoka Bunju-DSM)

$
0
0
Surveyed plots for sale: Bunju na Mapinga (Baobab Sec, km 5 kutoka Bunju-DSM)

Kiwanja cha sqm 3400 kipo Bunju (kimepimwa na hati ipo), bei yake ni sh 102 mil (negotiable).
 
Viwanja vya sqm 1578, sqm 1985, sqm 2386, sqm 3018 vipo Mapinga, Baobab sec, km 2.5 kutoka main road. (vimepimwa, hati zinatolewa ndani ya mwezi mmoja) na bei ya kila sqm ni sh 13,000/=
 
Viwanja vya sqm 800, sqm 900, sqm 1200 na sqm 1400 vipo Kimele (km 3 kutoka main road), vimepimwa lakini hati za kusubiri na bei ya kila sqm ni sh 10,000/=
 
Huduma za kijamii (maji, umeme) zipo na miundombinu yote iko vizuri (mradi wa kusogeza lami mpaka nyumbani umeanza).

Hakuna dalali, contact mhusika: call 0758603077, whatsap 0757489709

Rais Magufuli Amlilia Mzee Majuto

Diamond, Alikiba, Wema Sepetu na Mastaa Mbalimbali Wamlilia Mzee Majuto

$
0
0
JANA August 08, 2018 Msanii Mkongwe wa Filamu Bongo, Mzee Majuto alifariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MHN) alipokuwa akipatiwa matibabu.

Kutokana na umahiri wake katika sanaa ya maigizo kifo chake kimegusa wengi. Hiki ni kile walichoandika Diamond Platnumz, Wema Sepetu, Ali Kiba, Zamaradi, Ridhiwan Kikwete  na Idriss Sultan kufuatia msiba huo.

Diamond Platnumz : May your Humble Soul Rest in Paradise KING🤴...Will always Miss and Love you🙏🏻

Idris Sultan: Kazi yangu ya mwisho kama photographer/graphic designer kabla ya kwenda BBA na ndo ilikuwa mara ya kwanza kukutana na King Majuto. Mara nyingi alikuwa haji anaagiza watu wanatuma picha ila hii alikuja.
.
Nakumbuka mzee aliniambia “We dogo una vituko sana ila kituko chako kikubwa kuliko vyote ni haujui unafurahisha kiasi gani, endelea kutokujua utashangazwa”... Sidhani kama mnajua kiasi gani unajiskia ukiambiwa kitu kama hicho na mfalme.

To this day nasikitika kuwa sikuwahi kumuambia alichonifanya ila naweza kumuahidi kuwa popote nitakapoenda nitahakikisha sifanyi kosa la kutokusema makubwa aliyotufanyia kama watoto wake kwenye comedy industry. FOREVER A KING inna lillahi. With respect I will never call myself KING na naomba isitokee nikaitwa pia.


Wema Sepetu : Alipangalo Allah... I wished to work with you baba angu... Ila Allah hakupanga... Kapumzike baba angu... Mungu Mkali jamani....😔😔😔... Ila kama kuteseka tu umeteseka jamani.... RIP King...

Alikiba : Ewe Mwenyezi Mungu hakika Mzee Wetu Amri Bin Athuman (King Majuto) yuko katika dhima yako na kamba ya ujirani wako, basi mkinge na fitina ya kaburi na dhabu ya moto nawe ndiwe mstahiki wa utekelezaji na ukweli msamehe na umrehemu hakika Wewe ni mwingi wa kusamehe, mwingi wa kurehemu.AMIN.

Ridhiwan Kikwete :“Mzee Amri Athumani Baba , Rafiki na Mzee wangu Nakushukuru kwa Maisha Uliyoyaishi. MWENYEZI MUNGU Ana sababu katika Kuonyesha Upendo wake. Tunakushukuru kwa Kizazi Chako Pia…Alhaj Amri Majuto. Salamu za Pole ziende kwa Katibu Tawala Wangu wa Bagamoyo Ndg. Hamza Athumani na Nduguze wote. Tuko pamoja sana.Pumzika kwa Amani Baba Majuto”


Aunty Ezekiel: Rip Daddy…..🙏🙏🙏
Zamari Mketema:“Muda umefika Baba Safiri Salama Kikubwa umeacha Alama kubwa kwenye Dunia na tasnia kwa ujumla Heshima yako itabaki milele PUMZIKA KWA AMANI”
Utakumbuka May 04, 2018 aliondoka nchini na kuelekea India ambapo alitibiwa hadi June 22, 2018 aliporejea Tanzania na kuendelea na matibabu MNH hadi umauti ulipomfika.

Ratiba ya Kuaga na Mazishi ya Mzee Majuto

$
0
0
Kufuatia  kifo cha msanii nguli wa vichekesho nchini, Mzee Amri Athumani aliyeaga dunia jana usiku majira ya saa 2:00 usiku katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa akitibiwa, mtoto wa marehemu ametoa ratiba ya kuaga na mazishi ya nguli huyo.

Mwili wa Marehemu Mzee Majuto utaswaliwa na kuagwa katika Msikiti ulipo ndani ya Hospitali ya Muhimbili wakati wa Swalat Dhuhr (Swala ya Mchana) leo Agosti 9, 2018 na baadaye utapelekwa katika Viwanja vya Karimjee vilivyopo Posta jijini humo kwa ajili ya waombolezaji wengine na mashabiki zake kupata fursa ya kumuaga.

Baada ya Swalat L’laasir (Swala ya Alasiri), majira ya saa 9 mchana mwili wa marehemu Mzee Majuto utasafirishwa kwenda nyumbani kwake Mkoani Tanga ambako maziko yatafanyika kesho Ijumaa baada ya Swalat Dhuhr ( Swala ya Mchana) Tanga Mjini.

Waziri Mkuu: Vijana Fanyeni Kazi Acheni Kulalamika

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka vijana wabadilike na watafakari namna bora ya kuboresha maisha yao na wafanye kazi kwa bidii badala ya kukaa vijiweni na kulalamika.

Amesema kama kuna changamoto zinawakabili katika utekelezaji wa shughuli zao, basi watumie njia sahihi ikiwemo kuwasilina na viongozi husika waliopo kwenye maeneo yao.

Aliyasema hayo jana jioni (Jumatano, Agosti 8, 2018) wakati akizungumza na wakazi wa kata ya Nandagala, wilayani Ruangwa katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye zahanati ya kijiji cha Nandagala.

Waziri Mkuu ambaye ameambatana na mkewe Mary Majaliwa katika ziara yake ya kikazi wilayani Ruangwa, alisema vijana wanatakiwa kujitambua na kuiunga mkono Serikali kwa kufanyakazi kwa bidii.

Kadhalika, Waziri Mkuu aliwataka vijana washirikiane kwa pamoja katika kubuni shughuli mbalimbali zitakazowaingizia kipato, jambo ambalo litawakwamua kiuchumi na kuwawezesha kujitegemea.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu aliwaeleza wananchi hao mikakati mbalimbali inayofanywa na Serikali katika kuboresha maendeleo ya wilaya hiyo ikiwemo upatikanaji wa huduma za afya pamoja na maji safi na salama.

PiaWaziri Mkuu aliwataka wananchi hao waendelee kuiunga mkono Serikali yao, ambayo imedhamiria kuwatumikia ili waweze kupata maendeleo kwa manufaa yao na Taifa kwa ujumla.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
ALHAMISI, AGOSTI 9, 2018.

Waziri wa Habari Sanaa na Michezo Harrison Mwakyembe Aomboleza Kifo cha Mzee Majuto

$
0
0
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison G. Mwakyembe (Mb) amesema Serikali imepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha msanii nguli wa filamu nchini Bw. Amri Athumani  maarufu kama King Majuto  kilichotokea jana usiku katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam. 

Aidha, Dkt. Mwakyembe amepokea salamu za rambirambi kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwa kuondokewa na msanii huyo mkongwe katika tasnia ya filamu nchini.

 Waziri Mwakyembe amemshukuru sana Mhe. Rais kwa ukaribu alionao na wanasanaa kwa ujumla wao na kwa kufuatilia kwa karibu matibabu ya King Majuto ndani na nje ya nchi. 
 
"Serikali imekuwa ikishirikiana kwa ukaribu na familia ya King Majuto tangu wakati wa kumuuguza na kumpeleka nchini India kupata matibabu zaidi. Tutaendelea kuwa karibu na familia yake katika kipindi hiki kigumu cha msiba", amesisitiza Dkt.Mwakyembe. 
 
Marehemu King Majuto alianza kazi ya uigizaji zaidi ya miongo minne iliyopita hadi anafikwa na mauti King Majuto alikuwa akiendelea na kazi yake katika tasnia ya filamu. 
 
Dkt. Mwakyembe ametoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki, Rais wa Shirikisho la Filamu, Chama cha Wasanii wa Filamu, wanasanaa, wadau na wapenzi wote wa filamu nchini kwa kuondokewa na mpendwa wao mzee King Majuto.

Zitto Kabwe Azuiwa Kuhutubia Tarime....Mbunge Ester Matiko Atiwa Mbaroni

$
0
0
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe jana alijikuta akikwama kumnadi mgombea udiwani wa Kata ya Turwa wilayani Tarime kupitia Chadema, Charles Mnanka,  baada ya Jeshi la Polisi kumzuia kuhutubia kwa kuusambaratisha mkutano kwa mabomu ya machozi.

Zitto ambaye alialikwa kwenye mkutano huo pamoja na viongozi wa Chadema wakiwa kwenye eneo la tukio, alifika Mkuu wa Polisi Wilaya ya Tarime (OCD) na kuwamuru viongozi na wananchi   kutawanyika kwa sababu jeshi hilo halikuwa na taarifa ya kuwapo kwao.

Akizungumza baada ya kutawanywa   mkutano huo na mabomu ya machozi, Zitto alilalamikia hatua ya  Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya akisema hatua hiyo ni ukiukwaji wa haki na sheria za uchaguzi.

Alisema katika tukio hilo, zaidi ya watu 22 akiwamo Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko na mwandishi wa habari, wa Gazeti la Tanzania Daima, Sitta Tuma, walikamatwa na kushikiliwa katika Kituo cha Polisi.

Zitto ambaye chama chake kimetangaza kuungana na Chadema katika uchaguzi wa marudio wa ubunge na udiwani unaotarajiwa kufanyika Agosti 12, mwaka huu, alisema hatua hiyo ya polisi kuvamia na kutawanya mkutano huo bila ya taarifa rasmi ni ukiukaji wa Katiba na taratibu za uchaguzi.

“Mkutano wa hadhara wa kampeni wa sheria kwa mujibu wa Katiba na kwa mujibu wa sheria za uchaguzi, upo kwenye ratiba ya kampeni za udiwani za mgombea wa Chadema kwa mujibu wa katiba na sheria za uchaguzi,” alisema.

Alisema alifika kuhutubia mkutano huo kwa mwaliko wa viongozi wa Chadema Mkoa wa Mara kupitia Katibu Wilaya na Mbunge Matiko na akiwa pamoja na viongozi wa ACT alifika kutimiza wajibu wake akitarajia kushirikiana na wenyeji wake.

Akisimulia namna ilivyotokea, Zitto alisema baada ya kufika Tarime, alielezwa na viongozi wa Chadema mkoa kuwa walipata taarifa za ghafla walizopewa kwa mdomo kutoka polisi kuwa mikutano yote ya Chadema imezuiliwa kuanzia leo (jana Agosti 8) hadi Jumamosi Agosti 11 kwa sababu ambazo polisi wenyewe wanazijua.

Alisema kwa kuwa huo si utaratibu, waliamua kufanya mkutano kwa kuwa ulikuwa umeshaandaliwa lakini polisi walivamia na kuuzingira.

Alisema waliwazuia  kuendelea na mkutano huo wazungumzaji waliokuwa wameandaliwa ambao ni Zitto mweyewe, Mbunge wa Geita (Viti Maalumu Chadema) Peneza na Matiko (Tarime Mjini Chadema).

Zitto alilaani kitendo hicho alichodai ni cha uvunjifu wa sheria kwa kuwa utaratibu uko wazi kwamba iwapo kuna tatizo linalolalamikiwa utaratibu unaelekeza msimamizi wa uchaguzi.

Alisema msimamizi wa uchaguzi  anatakiwa kuwaita kwa maandishi viongozi wa kata/jimbo wanaohusika kwenye vikao vya kamati ya maadili, jambo ambalo halikufanyika, bali walichukua hatua ya kutumia polisi kuvuruga mkutano huo.

“Kinachoonekana ni kwamba CCM wameshashindwa katika kata hii, hivyo wameamua kufanya makusudi kuvuruga uchaguzi kwa kuendesha vitisho kwa kutumia vyombo vya dola  kuwavunja moyo wananchi kushiriki uchaguzi, au kwa kufanya uchaguzi usiwepo au kuwavuruga wananchi wasijitokeze kupiga kura   wamtangaze wanayemtaka,” alisema.

Alisema hata baada ya kukamatwa   watu 22 waliokuwa kwenye mkutano huo, yeye na mbunge wa Viti Maalumu, Upendo Peneza, walifika kituo cha polisi wanakoshikiliwa  kujua kinachoendelea na hali ya mbunge Matiko, katibu wake na mwandishi anayeshikiliwa, lakini walifukuzwa kituoni hapo.

Alisema hadi jana jioni walikuwa wakiendelea kuwasiliana na wanasheria na viongozi wengine  kujua hatua wanazoweza kuchukua kutokana na tukio hilo.

Zitto aliwataka wananchi wa Tarime watulie wakati wakiendelea kufuatilia na kuwasiliana na polisi makao makuu  kuhakikisha  amani haivurugiki na wananchi wanapewa uhuru na fursa ya kuchagua mgombea wanayemtaka na si anayetaka kuwekwa na CCM.

Hata hivyo, muda mfupi baada ya kukamatwa, Sitta ambaye ni mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima aliweza  kuandika ujumbe mfupi uliokuwa ukisomeka “Habari kaka Edwin. nipo Tarime nimekamatwa na polisi nikiwa natekeleza majukumu yangu ya uandishi wa habari.

“Nimekamatwa baada ya polisi kuutawanya mkutano wa Chadema  wa kampeni kata ya Turwa Tarime kisha baadaye wakaanza kufyatua mabomu ya machozi. nikiwa napiga picha tukio la Mbunge wa Tarime mjini Ester Matiko ndiyo polisi wakanikimbilia na kunikamata”.

Mwandishi na Mtetezi wa Haki za Binadamu,  Edwin Soko, aliandika barua kwa Jeshi la Polisi kumtambua  Tumma ni mwandishi na alikuwa katika eneo hilo akitekeleza majukumu yake .

“Tuna imani Jeshi la Polisi lina weledi wa kutambua makosa ya jinai na taratibu za kushughulikia makosa ya jinai kadri sheria zinavyoelekeza.

“Tuna imani IGP na RPC wa Tarime/Rorya watalishughulikia suala hili na mwandishi Tumma ataachiwa  aendelee na majukumu yake ya uandishi wa habari na kulinda uhusiano baina ya Jeshi la Polisi na waandishi wa habari,’’ ilieleza sehemu ya ujmbe huo kwenda Jeshi la Polisi Tarime

Mizizi 29 Power ,ndio Dawa Bora Na Imara Kwa Sasa Kwa Kutibu Na Kuponesha Tataizo La Nguvu Za Kiume Kwa Dakika 30 Tu

$
0
0
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume limekuwa ni janga kubwa sana kwa sasa sio vijana au wazee wanalalamiki kukimbiwa na wa wapenzi wao au ndoa kuvunjika kutokana na mwanaume kulala na mwanamke kitanda kimoja hata wiki mbili bila kushiriki tendo la ndoa na hii ndio inachangia wanawake wengi kutoka nje ya ndoa kwa nini huteseke na wakati dawa zipo ambazo zitarudisha heshima yako ya ndoa 

MIZIZI 29 POWER; ni ambayo hutibu na kurudisha virutubisho mwilini ambavyo humfanya mwanaume awe na matatizo yafatayo 1 kuwahi kukojoa kabla mke au mpenzi wake

 2. kushindwa kurudia tendo dawa, hii itakufanya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 

3... dawa hii inatibu uume uliolegea na kusinyaa 

4. dawa hii inatoa miungurumo ya tumbo na uchovu wakati wa kumaliza tendo 

NINI KINASABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 1 kupiga punyeto kwa mda mrefu 
2 upungufu wa vichochoe mwilini 
3 magonjwa ya moyo, kisukari, presha, vidonda vya tumbo kiuno na mgongo 
4 utumiaji ovyo wa madawa ya kizungu 
4 usongo wa mawazo, hasira, tumbo kujaa gesi na kutopata choo.

 PATA TIBA YANGU NA NI TOFAUTI NA ULIZO WAHI KUTUMIA: 

Je una uume mfupi na mwembamba? MASHESHA MIX ni dawa ya kuboresha uume saiz upendayo asa kwa wale waliofanyiwa tohara wakiwa wadogo.. chagua saizi upendayo inch 5,6,7, adi 8 iyo ni kwa urefu na unene sentimita 2,3,4, adi 5 .dawa hizi zipo za kupaka na kunywa na hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ,

Tunatibu kisukari,vidonda vya tumbo,ngiri, korodani iliyovimba, kupnguza kitambi, maziwa makubwa NK 

KWA TIBA NA USHAULI FIKA OFISINI KWANGU DARE S SALAAMU MBAGALA ZAKHEMU NA MIKOA YA KANDA YA ZIWA YUPO WAKALA WETU HAPO MWANZA NA KWA AMBAO HAWANA NAFASI YA KUJA OFISINI HUDUMA YETU UTALETEWA POPOTE ULIPO PIGA SIMU 0783185060 DR MAKOYE

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Rais Museveni Awasili Dar Es Salaam Kwa Ziara Ya Kikazi Ya Siku Moja Nchini

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea mgeni wake Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere alipowasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja leo Agosti 9, 2018

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni (wa kati kati) akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Paul Makonda baada yakuwasili, kulia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. John Magufuli.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mgeni wake Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda

Steve Nyerere Atoswa kwenye kamati ya mazishi ya Mzee Majuto

$
0
0
Muigizaji Steve Nyerere ambaye amekuwa mstari wa mbele kuwaunganisha wasanii hasa katika kipindi cha misiba au matatizo yanayowatokea wasanii wenzao, ametoswa kwenye msiba wa Mzee Majuto.

Hatua hiyo imekuja baada ya kuundwa kamati ya kushughulikia msiba huo ambayo imeundwa na Chama cha waigizaji Mkoa wa Kinondoni (TDFAA) pamoja na chama cha waigizaji Taifa.

Kuondolewa kwa Steve ni kutokana na kutokuwa mwanachama  wa TDFAA,  hivyo hawezi kuteuliwa katika kamati.

Mara baada ya Mzee Majuto kufariki, wajumbe wa kamati wakiongozwa na Simon Mwakifamba walifika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa ajili ya taratibu za kuhifadhi mwili na wakatoa tamko kwamba taratibu zote za kuaga zitafanyika Muhimbili na baadaye kusafirisha kwenda Donge, jijini Tanga kwa maziko.

Wakati hayo yakiendelea Steve Nyerere alifika Muhimbili saa 6.05 usiku, akija na utaratibu mwingine kuwa shughuli za kuaga zifanyike kwenye viwanja vya Karimjee kwa kuwa Majuto ni mtu maarufu na tayari walishaanza kukaa kikao na wasanii wenzake kwa ajili ya kuweka utaratibu wa kuagiwa kwenye viwanja hivyo.

Hata hivyo, alipotoa wazo hilo, mmoja wa wanandugu alijitambulisha kwa jina la Ashraf, alimwambia kuwa lazima wawasiliane na ndugu wengine kwa hatua hiyo.

Pamoja na wazo hilo kukubalika, Nyerere alibaki pembeni na hata alipoulizwa zaidi kuhusu utaratibu alikataa kwa kuwa si mwanakamati wa kamati ya maziko

“Mimi sihusiki na chochote kwani nimekuwa nikitukanwa kwamba nakusanya fedha za rambirambi kisha nazitafuna,” anasema.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images