Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Je Umepungukiwa Nguvu Za Kiume Na Umetumia Dawa Nyingi Bila Mafanikio?

$
0
0
Hakika nawashukuru wote mliotumia hii dawa na kunipa pongezi nyingi Sana sasa offa imeisha maana nilitoa ya wiki 2 tu     na watu wengi walioitumia wamepona kabisa 

Dawa hii ni dawa ya maajabu kabisa na huwezi kuamini ila wengi walioitumia wameiamini maana kati ya watu 89 walioitumia ndani ya wiki 2 watu76 wamepona kabisa na watu 9 hawajapona na watu 4 hawajatoa majibu! 

Dawa hii ni dawa inayotibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na unapona kabisa, dawa hii ni dawa ya asili,(mitishamba) utaitumia mara moja tu na hautatumia dawa ya nguvu za kiume tena 

Dawa hii inawafaa watu kuanzia miaka 18 mpaka miaka 70, zaidi ya miaka hyo haitakusaidia ....watafiti wa dawa asilia pamoja na waganga  wameikubali pia dawa hii inawafaa hata wanawake wasiopata hisia za mapenzi 

Ukitumia hii dawa unakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3 bila hamu kuisha, inauwezo wa ajabu na tiba bora kabisa

 SOMA DALILI HIZI;  kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa 2 .kushindwa kurudia tendo la ndoa 3. kuwahi kufika kileleni 

Dawa hii imesaidia watu wengi sana dawa hii imegunduliwa na dr kiboko mganga wa tiba za jadi kutoka mafia pia tunatibu matatizo mbalimbali kama mambo ya biashara, nyota, kesi, mapenzi, nk, pia tunahitaji WAKALA wa kupokea dawa zetu katka nchi ya KENYA, ZAMBIA, UGANDA, mikoani tunatuma kwanjia ya mabasi au fika ofisini kwangu  Mafia kisiwani  

maelezo zaidi wasiliana na DR KIBOKO 0679923297

Kalulumila:Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
 BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO KALULUMILA.
----------------------------------------
Ni dawa pekee iliyojipatia umaarufu nchini na nje ya nchi kwa kufanya kazi mara 3, kwa wakati mmoja 1, kurefusha uume na kunenepesha saizi uipendayo kuongeza nguvu za kiume na inatibu matatizo na gerentii miaka 30. Na kuendelea haina madhara, inaimarisha mishipa ya uume iliyoregea na udhalishaji wa mbegu za kiume. 


---------NINI HUCHANGIA MATATIZO HAYA--Ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya ili kujua kwamba una ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya, ili kujua kama unangiri dalili zake ni kufika haraka kileleni wakati wa tendo la ndoa, 2)kushindwa kurudia tendo la ndoa. 3)kutoa choo kama cha mbuzi. 4)tumbo kujaa gesi na kuunguruma. 5)kukosa choo kabisa. 6)maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi. 7) korodani moja kuvimba 8)kutosikia hamu ya tendo la ndoa na maumivu ya kiuno wakati wa tendo la ndoa. 9)maumivu ya kiuno na mgongo pia tunatibu kisukari kwa siku7, presha, busha, bila kupasuliwa na magonjwa mbalimbali. 

---------------------------------------
TUPO TEGETA KWA NDEVU KARIBU NA MACHINJIO YA NGOMBE UTAONA OFSI IMEANDIKWA KALULUMILA HERBALIST CLINIC HOSPITAL SIMU .
----------------------------------------
-0655-557-182.
-0755-557182.
-0784-557-182.
PIA UTAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
---------------------------------------
KARIBUNI SANA.
----------------------------------------

Dr Kanengo: Bingwa Wa Tiba Asili Hutibu Matatizo Yafuatayo

$
0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo kupooza kupoteza fahamu 

MALABALA; hutibu kisukari , uti wa mgogo, Change, pumu, busha, kaswende, kifua kikuu, muwasho sehemu ya siri 

NKURUNGU,: Ni dawa kutibu  N, B, G, POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge 20 

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha , pia kuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe), maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu. 

NR SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu 

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana. (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete) ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,.(4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wachafu ndani ya mji,.

Haya yote yanawezekana kwa DR KANENGO popote ulipo . Muone  DR KANENGO,anatibu nguvu za kiume anarefusha na kunenepesha uume kwa saizi uipendayo kwa muda mfupi sana, pamoja na kuwa na hamu ya kurudia tendo la ndoa mara 4 bila hamu kuisha Na utachelewa kufika kileleni kwa muda wa dakika 40 bila kuchoka .

Angalizo usitume meseji wala kubipu..
 
You can get it in all East African countries,,our service is fast and easy... contact Whatsapp 0784,47,59,46.Dar es salaam Tanzania. ,..Dr. KANENGO 0744,92,29,82...You are welcome.

Huna Sababu Ya Kuaibikatena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Katumbi Azuiwa Kuingia DRC Kukabidhi Fomu Za Kugombea Urais

$
0
0
Kiongozi wa upinzani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Moise Katumbi, amezuiwa kurudi nchini humo kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo Desemba mwaka huu.

Serikali ya Congo imemzuia Gavana huyo wa zamani wa Jimbo la Katanga anayeishi uhamishoni nchini Afrika Kusini kurudi nyumbani kuwasilisha fomu za kugombea urais.

Katumbi aliondoka DRC Mei mwaka juzi na kuelekea Afrika Kusini kwenda kupata matibabu baada ya kushutumiwa kuwaajiri wapiganaji ambapo pia alihukumiwa bila yeye kuwapo kwa kosa la kuuza viwanja kinyume cha sheria na kupewa adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela.

Katumbi aliomba ruhusa kuingia nchini leo asubuhi kuwahi kuwasilisha makaratasi yake ya uteuzi wa chama kuwa mgombea urais kwa tume ya uchaguzi nchini humo.

Maofisa wa polisi mjini Lubumbashi wameweka vizuizi katika barabara kuu na usalama umeimarishwa ndani na katika maeneo yaliyo karibu na uwanja wa ndege. Pia kuna mipango ya kuzifunga njia za ndege ili kuizuia ndege ya Katumbi isitue DRC.

Waziri wa habari Lambert Mende amesema aliyekuwa Gavana huyo wa zamani kutoka jimbo lenye utajiri mkubwa wa madini atakamatwa iwapo atajaribu kuingia nchini kwa ndege za abiria.

Kiongozi mwingine wa upinzani Jean-Piere Bemba amewasili DRC siku ya Jumatano baada ya kuondoka kwa zaidi ya muongo mmoja.

Bemba aliwasilisha fomu yake ya kugombea urais hapo jana Alhamisi.

“Naweza kuthibitisha nilikuwa na kadi ya kupiga kura, na nimewasilisha nyaraka zote,” Shirika la Habari la AFP limemnukuu Bemba akizungumza nje ya makao makuu ya Tume ya Uchaguzi.

Hata hivyo, chama tawala cha PPRD kimesema hafai kugombea kwa sababu alishtakiwa kwa kosa la jinai rushwa katika mahakama ya kimataifa ya jinai ICC. Ingawa amekataa rufaa kupinga kesi hiyo.

Katumbi ni kiongozi pekee wa upinzani nchini DRC ambaye ana ushawishi mkubwa na ufuasi mkubwa miongoni mwa raia wa Congo na anayetarajiwa kumpa Rais Joseph Kabila ushindani mkali endapo atawania tena. Alitangaza kutaka kuwania urais mwaka juzi, kabla ya uchaguzi huo kuahirishwa.

Baada ya Kuapishwa Kuwa Mkuu wa Wilaya, Jokate Kafuta Picha Zake Zote Instagram

$
0
0
Siku moja mara baada ya kuapishwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Mh. Jokate Mwegelo amefuta picha zote zilizokuwa katika ukurasa wake wa mtandao wa Instagram.

Ukurasa huo wenye followers Milioni 3.1 kwa sasa unaonekana mweupe kabisa. Huu umekuwa ni mtindo wa mastaa wengi Bongo kufanya kitu kama hicho kwa sababu maalum, Wema Sepetu, Mwasiti, Ben Pol na wengineo walishafanya hivyo pia.

DC Jokate alirejea katika mtandao wa Instagram July 29, 2018 ikiwa ni siku moja tangu alipoteuliwa na Rais John Magufuli katika nafasi hiyo ya uongozi. 

Kwa kipindi cha takribani miezi mitatu cha kuanzia April 20, 2018 hadi tarehe ya uteuzi alikuwa hajachapisha chochote katika mtandao huo.

Roma Ajibu Kuhusu Kuonekana na Wema Sepetu Hotelini

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Roma amefunguka kuhusu taarifa za yeye kufanya video na  Wema Sepetu.

Rapper huyo katika mahojiano na The Playlist ya Times Fm amesema kuwa walikutana hotelini kwa ajili ya kupata chakula cha mchana ndipo wakapiga picha na hakukuwa na zaidi ya hapo.

"Hiyo stori ya Wema nilikutana naye nilikuwa naenda Ivan (jina la hoteli) kula lunch, kwenye moja na mbili tukawa tunapiga naye stori ndiyo hizo picha zikaja lakini hamna chochote, sio mchongo wa chupa wa video, ni familia tu," amesema Roma.

Kwa sasa Roma na Stamina (Rostam) wanafanya vizuri na wimbo wao mpya uitwao Parapanda mara baada ya kufanya vizuri na ngoma kama Hivi Ama Vile pamoja na Kiba_100.

Updates: Waziri Kingwangalla kuhamishiwa hospitali ya KCMC kwa helkopta

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwangalla leo Jumamosi Agosti 4, 2018 amepata ajali eneo la Magugu mkoani Manyara na kupata majeraha sehemu mbalimbali mwilini. Katika ajali hiyo ofisa habari wa wizara hiyo, Hamza Temba amefariki dunia.

Mwenyekiti wa jumuiya ya hifadhi ya jamii  ya Wanyamapori ya Buruge (WMA), Ramadhan Ismail amesema waziri huyo anapatiwa matibabu katika kituo cha afya Magugu.

Amesema baada ya kupatiwa matibabu katika kituo hicho cha afya, helkopta imefika eneo hilo tayari kwa kumpeleka Hospitali ya Rufaa ya KCMC kwa matibabu zaidi.

Amebainisha kuwa Dk Kigwangalla ana maumivu katika mbavu, kiunoni na hawezi kutembea.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Augostino Senga amesema katika gari hilo alikuwepo Dk Kigwangalla, dereva wake, mwandishi wa habari, msaidizi wake na mlinzi.

Amesema hali ya waziri huyo inaendelea vizuri licha ya kuwa ameumia mkono wa kulia, kifua na shingo.

Habarika Masaa 24......Pakua Upya Application Yetu Tukuhabarishe Usiku na Mchana

$
0
0
==>Pakua Upya Application yetu tukuhabarishe masaa 24 usiku na mchana.

Mpendwa msomaji wetu, tunakukumbusha Kuidownload Upya Application yetu ya Mpekuzi Maana ile ya Zamani Tutaifuta.

Kuna Maboresho Mapya Yamefanyika ili kukufanya upate habari zetu kwa wepesi zaidi kama vile kuliko ilivyo sasa.

App ya zamani ilikuwa na tatizo kubwa la kuchelewa kufunguka, kuchelewesha habari na muonekano wake haukuwa wa kiwango kinachostahili.

Chakufanya, Ingia PlayStore, Download Upya Application yetu  MPYA. Ukishaipakua hii Mpya, ya zamani ifute tu.

NB: App mpya ina Icon ya Njano

Tumekurahisishia;

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Kufungua EAPCCO Games 2018

Wanawake Wanne Wauawa Na Kunyofolewa Nyeti Jijini Mwanza

$
0
0
SIKU moja baada ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela, kuwaagiza wakuu wa wilaya za Kwimba na Misungwi kupambana na vitendo vya ubakaji na mauaji, wanawake wanne wamekutwa wameuawa kikatili kisha miili yao kunyofolewa nyeti.

Miili ya wanawake hao ilipatikana jana ndani ya Shamba la Mifugo la Mabuki, huku ikiwa na dalili za kunyongwa.

Mbali ya kupatikana kwa maiti hizo, pia kwenye eneo la tukio kulikutwa mafuvu mawili ya binadamu.

Kupatikana kwa maiti hizo kunafanya idadi ya wanawake waliouawa wilayani Misungwi kufikia wanane. Juni 11, mwaka huu, wanawake wengine wanne waliuawa kikatili na watu wasiojulikana ndani ya pori hilo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi, alisema miili ya wanawake hao imeshatambuliwa, hivyo akawataka wananchi kutoingia porini kukata kuni wakati Jeshi hilo likiendelea na uchunguzi wa mauaji hayo.

Alitoa mwongozo kwamba, katika hatua ya dharura wawepo askari ndani ya shamba hilo kwa ajili ya kufanya doria za kila mara, ikiwa ni pamoja na kuwasaka watu ambao wamekuwa wakiendesha matukio ya ubakaji na mauaji ndani ya eneo hilo.

Alisema miili ya wanawake waliouawa imetambulika kuwa ni Angelina Lumala (45), mkazi wa Kitongoji cha Ibelambasa, katika Kijiji cha Isakamawe, Kundi Laurent (35) na Mariamu Manila (30), wote wakazi wa Kitongoji cha Misasi na Ligwa Ngole (43), mkazi wa Kitongoji cha Bujingwa, Kijiji cha Mabuki.

Hata hivyo, taarifa za awali za uchunguzi zinadai wanawake hao wameuawa ndani ya siku mbili katika maeneo tofauti wakati wakiwa ndani ya shamba hilo la mifugo walipoingia kwa ajili ya kukata kuni.

Kwa upande wake, Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Marco Peter, aliwataka wanaume kuwalinda wake zao nyakati zote, hususan wanapokwenda kukata kuni, hivyo akaonya kwamba, kwa sasa mwanamke atakapouawa, mtu wa kwanza kuwajibika atakuwa mumewe.

Katika muktadha huo, Peter aliwataka viongozi kuanzia ngazi ya kitongoji kuimarisha ulinzi wa Sungusungu.

“Viongozi wa vitongoji na vijiji nao wanapaswa kuimarisha vikundi vya ulinzi wa jadi maarufu kama Sungusungu katika maeneo yao kwa ajili ya ulinzi na usalama wa wananchi na mali zao,” alisema.

Updates: Kingwangalla Kapelekwa Hospitali ya Selian Lutheran Medical Kwa Matibabu Zaidi

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangala amefikishwa katika Hospitali ya Selian Lutheran Medical kwa ajili ya kupatiwa matibabu kufuatia ajali ya barabarani iliyotokea leo asubuhi eneo Magugu Wilaya ya Babati Mkoa wa Manyara.

Baada ya kutua kwa Helikopta katika Hoteli ya Mount Meru, msafara ulienda moja kwa moja hospitali hiyo tofauti na ilivyotarajiwa kufikishwa Hospitali ya Mkoa wa Arusha Mount Meru.

Wakuu wa mikoa ya Arusha,Mrisho Gambo na Kilimanjaro, Anna Mgwira ,Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina, Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo pamoja viongozi wa Kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa wapo katika hospitali hiyo.

Taarifa zaidi zinasema baada ya kupata huduma ya kupigwa picha atasafirishwa na ndege maalumu kwenda Dar es Salaam kwa matibabu zaidi.

 Gari la Waziri Kigwangalla limepata ajali leo asubuhi eneo la Magugu, Manyara. Ajali hiyo imesababisha kifo cha msemaji wa mizara hiyo, Hamza Themba.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Mizizi 29 Power ,ndio Dawa Bora Na Imara Kwa Sasa Kwa Kutibu Na Kuponesha Tataizo La Nguvu Za Kiume Kwa Dakika 30 Tu

$
0
0
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume limekuwa ni janga kubwa sana kwa sasa sio vijana au wazee wanalalamiki kukimbiwa na wa wapenzi wao au ndoa kuvunjika kutokana na mwanaume kulala na mwanamke kitanda kimoja hata wiki mbili bila kushiriki tendo la ndoa na hii ndio inachangia wanawake wengi kutoka nje ya ndoa kwa nini huteseke na wakati dawa zipo ambazo zitarudisha heshima yako ya ndoa 

MIZIZI 29 POWER; ni ambayo hutibu na kurudisha virutubisho mwilini ambavyo humfanya mwanaume awe na matatizo yafatayo 1 kuwahi kukojoa kabla mke au mpenzi wake

 2. kushindwa kurudia tendo dawa, hii itakufanya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 

3... dawa hii inatibu uume uliolegea na kusinyaa 

4. dawa hii inatoa miungurumo ya tumbo na uchovu wakati wa kumaliza tendo 

NINI KINASABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 1 kupiga punyeto kwa mda mrefu 
2 upungufu wa vichochoe mwilini 
3 magonjwa ya moyo, kisukari, presha, vidonda vya tumbo kiuno na mgongo 
4 utumiaji ovyo wa madawa ya kizungu 
4 usongo wa mawazo, hasira, tumbo kujaa gesi na kutopata choo.

 PATA TIBA YANGU NA NI TOFAUTI NA ULIZO WAHI KUTUMIA: 

Je una uume mfupi na mwembamba? MASHESHA MIX ni dawa ya kuboresha uume saiz upendayo asa kwa wale waliofanyiwa tohara wakiwa wadogo.. chagua saizi upendayo inch 5,6,7, adi 8 iyo ni kwa urefu na unene sentimita 2,3,4, adi 5 .dawa hizi zipo za kupaka na kunywa na hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ,

Tunatibu kisukari,vidonda vya tumbo,ngiri, korodani iliyovimba, kupnguza kitambi, maziwa makubwa NK 

KWA TIBA NA USHAULI FIKA OFISINI KWANGU DARE S SALAAMU MBAGALA ZAKHEMU NA MIKOA YA KANDA YA ZIWA YUPO WAKALA WETU HAPO MWANZA NA KWA AMBAO HAWANA NAFASI YA KUJA OFISINI HUDUMA YETU UTALETEWA POPOTE ULIPO PIGA SIMU 0783185060 DR MAKOYE

Kumekucha mradi wa Stiegler Gorge ....Waziri wa Nishati Medard Kalemani Atoa Siku 14

$
0
0
Waziri wa Nishati Medard Kalemani amewapa siku 14 wakuu wa taasisi na vitengo vyote vinavyoshiriki utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme kwenye maporomoko ya mto Rufiji (Stieglers Gorge) kuwasilisha taarifa ya mpango kazi ili kuharakisha utekelezaji wa mradi huo.

Akizungumza jana Agosti 3 mara baada ya kutembelea eneo la mradi huo unaotarajia kuzalisha umeme wa megawati 2100, Profesa Kalemani amesema taarifa  za mpango kazi huo ziwasilishwe kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati.

 Pia Kalemani aliwataka wakuu hao wa vitengo na taasisi kuimarisha mawasiliano na usimamizi wa kazi na kwamba lazima mradi huo ukamilike kwa wakati.

“Nataka uharakishaji wa manunuzi  ingawa kuna sheria za manunuzi lakini hicho kisiwe kigezo cha kuchelewesha mradi,” amesema.

 Kwa upande wake, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi ameahidi wizara yake itaharakisha kufanya tathmini ya mali, nyumba na hoteli zinazotakiwa kuondolewa ili kupisha mradi huo.

 “Nitasimamia ufanyikaji wa tathmini hiyo na kutoa notisi kwa mujibu wa sheria kwa wamiliki wa mali hizo,” amesema.

Pia amesema kuwa wizara kupitia wataalamu wake watapima eneo lote la mradi na vijiji viwili na kupangiwa matumizi bora ya ardhi.

Kwa upande wake Meneja Mkuu wa kampuni tanzu ya Tanesco –ETDCO Elangwa Abubakar aliiomba wizara ya Maliasili na Utalii kuongeza idadi ya askari watakaolinda wakati wa kazi ya utandazaji wa nyaya za umeme utakaopelekwa kwenye eneo la mradi.

Amesema askari waliopo hawatoshi hasa ukizingatia eneo la mradi liko ndani ya hifadhi ambapo kuna wanyama wakali hivyo aliiomba wizara hiyo iongeze askari 24 katika eneo hilo.

 Kutokana na ombi hilo Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Meja Jenerali Gaudence Milanzi amesema kuwa wizara hiyo itafanikisha upatikanaji wa askari hao isipokuwa kila kitengo kiainishe muda na kazi itakayofanyika.

Dr Kanengo: Bingwa Wa Tiba Asili Hutibu Matatizo Yafuatayo

$
0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo kupooza kupoteza fahamu 

MALABALA; hutibu kisukari , uti wa mgogo, Change, pumu, busha, kaswende, kifua kikuu, muwasho sehemu ya siri 

NKURUNGU,: Ni dawa kutibu  N, B, G, POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge 20 

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha , pia kuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe), maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu. 

NR SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu 

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana. (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete) ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,.(4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wachafu ndani ya mji,.

Haya yote yanawezekana kwa DR KANENGO popote ulipo . Muone  DR KANENGO,anatibu nguvu za kiume anarefusha na kunenepesha uume kwa saizi uipendayo kwa muda mfupi sana, pamoja na kuwa na hamu ya kurudia tendo la ndoa mara 4 bila hamu kuisha Na utachelewa kufika kileleni kwa muda wa dakika 40 bila kuchoka .

Angalizo usitume meseji wala kubipu..
 
You can get it in all East African countries,,our service is fast and easy... contact Whatsapp 0784,47,59,46.Dar es salaam Tanzania. ,..Dr. KANENGO 0744,92,29,82...You are welcome.

Mwanahabari Hamza Temba Kuzikwa Kesho Wilayani Hai, Kilimanjaro

NEC yatangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Majimbo 3 na Udiwani Kata 2

$
0
0
Hussein Makame, NEC-Dodoma
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika majimbo matatu na wa udiwani katika kata mbili za Tanzania Bara utakaofanyika Septemba 16, mwaka huu.

Akitangaza uchaguzi  huo mjini Dodoma leo, Makamu Mwenyekiti wa NEC Jaji wa Mahakama ya Rufaa Mbarouk Salim Mbarouk alisema fomu za uteuzi wa wagombea wa Majimbo hayo zitatolewa kuanzia tarehe 13 hadi 20 Agosti, mwaka huu na uteuzi utafanyika tarehe 20 Agosti, 2018 wakati kampeni zitaanza zitaanza tarehe 21 Agosti,  na kumalizika tarehe 15 Septemba, mwaka huu.

Jaji Mbarouk alisema “Tume ilipokea barua kutoka kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye kwa kuzingatia kifungu cha 37(3) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, aliitaarifu Tume uwepo wa nafasi wazi za Ubunge katika Majimbo matatu”

Aliyataja majimbo hayo kuwa ni Korogwe Vijijini, Mkoa wa Tanga kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Ndugu Stephen Hilary Ngonyani, Jimbo la Ukonga Katika Mkoa wa Dar Es Salaam na Jimbo la Monduli katika Mkoa wa Arusha

Alisema wabunge wa majimbo hayo mawili Ndugu Mwita Mwikabe Waitara na Ndugu Julius Kalanga Laizer wajiuzulu uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na hivyo kupoteza sifa za kuwa Wabunge.

“Baada ya kupokea taarifa hizo na kwa mujibu wa vifungu vya 37 (1) (b) na 46 (2) vya Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Tume ya Taifa ya Uchaguzi inatoa taarifa kwa Umma kuwa majimbo matatu ya Korogwe Vijijini, Ukonga na Monduli yapo wazi”, alisema.

Katika hatua nyingine, Jaji Mbarouk alisema kwa kuzingatia masharti ya vifungu vya 37(1)(b) (5) na 46 (2) vya Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Tume inatoa taarifa wa Umma kuhusu Ratiba ya uchaguzi mdogo katika majimbo hayo.

Aliongeza kuwa Tume pia inatoa taarifa kwa umma kuwa uteuzi, Kampeni na uchaguzi wa  Madiwani kwa Kata za Tindabuligi na Kisesa katika Halmashauri ya Wilaya ya Meatu uliohirishwa hapo awali utafanyika sambamba na ratiba ya Uchaguzi Mdogo  wa ubunge katika Majimbo hayo matatu.

“Tume inachukua nafasi hii kuvikumbusha Vyama vya Siasa na wadau wote wa uchaguzi kuzingatia Sheria, Kanuni, Taratibu, Miongozo na Maelekezo yote wakati wa kipindi cha uchaguzi mdogo wa Majimbo hayo matatu na hizo Kata mbili” alisema.

Uchaguzi huu mdogo wa majimbo matatu na kata mbili za Tanzania Bara, unafuatia uchaguzi mdogo wa Ubunge katika jimbo la Buyungu unaotarajiwa kufanya Agosti 12 pamoja na kata 37 za Tanzania Bara.

Updates: Kingwangalla Kwa sasa Yuko Hospitali ya Muhimbili

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwangalla amewasili katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa matibabu zaidi.

Ndege iliyombeba waziri huyo ilitua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) saa 12 jioni, msafara kuondoka kuelekea Muhimbili.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Dk Mpoki Ulisubisya na mkurugenzi mtendaji wa Muhimbili, Profesa Lawrence Museru pamoja na jopo  la madaktari wamempokea Dk Kigwangalla katika  kitengo cha magonjwa ya dharura Muhimbili.

Dk Kigwangalla amepata ajali leo Jumamosi Agosti 4, 2018 eneo la Magugu mkoani Manyara na kupata majeraha sehemu mbalimbali mwilini

Awali,  waziri huyo alipatiwa matibabu katika kituo cha afya cha Magugu na kuhamishiwa hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center kwa helkopta.

Katika ajali hiyo ofisa habari wa wizara hiyo, Hamza Temba amefariki dunia.

Rais Magufuli Alivyompokea Waziri Wa Maliasili Na Utalii Dkt.kigwangalla Katika Uwanja Wa Ndege Wa Kimataifa Wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishirikiana na Madaktari wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Wafanyakazi wa Kiwanja cha Ndege cha Mwalimu Julius Nyerere kumshusha kutoka kwenye ndege  Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ambaye alijeruhiwa katika ajali ya gari mkoani Manyara. Ndege hiyo iliwasili majira ya jioni katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wanahabari mara baada ya kumpokea Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ambaye alijeruhiwa katika  ajali ya gari mkoani Manyara.
Ndege maalumu iliyombeba Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ambaye alijeruhiwa katika ajali ya gari mkoani Manyara ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere  kutokea mkoani Arusha majira ya jioni.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakati akisubiri kumpokea Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ambaye alipata ajali ya gari mkoani Manyara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa pole Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ambaye alijeruhiwa katika ajali ya gari mkoani Manyara mara baada ya kuwasili kwa ndege katika uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akiwa ndani ya gari la wagonjwa kwa ajili ya kupelekwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa ajili ya matibabu mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images