Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mahakama kuu kanda ya Moshi yawaachia huru washitakiwa 9 na kuwatia hatiani 3 kwa kosa la kumuua askari Polisi aliyeuawa katika tukio la Ujambazi lilitokea Julai 11 mwaka 2007

$
0
0
Mshtakiwa namba 3, Kalisti Joseph Kanje ( aliyebeba mafaili),  Mshtakiwa namba moja, Samwel Gitau Saitoti (alifunika uso) na mwenzake  Mshtakiwa namba 2, Michael Kimani wakitoka nje ya mahakama kuu baada  ya mahakama hiyo kuwatia hatiani kwa kosa la kuua Askari polisi katika  tukio la uporaji wa benki ya NMB Mwanga Washtakiwa namba 4 hadi 12, wakisaidiwa kupanda kwenye gari la Polisi baada

Magazeti ya leo Jumatano ya tarehe 9 April 2014

$
0
0
                        Magazeti  ya  leo  Jumatano  ya  tarehe  9 April  2014 <!-- adsense -->

"Sitaki tena kuwa na Mwanaume...Kama kuna mtu anafikiria kuwa na mimi, aandike maumivu"..Mwasiti

$
0
0
Staa  anayefanya vizuri kwenye Bongo Fleva akitokea Jumba la Vipaji Tanzania ‘THT’, Mwasiti Almas, amesema kwa sasa hataki kusikia habari za mwanaume kabisa. Akiongea  na Risasi Mchanganyiko, Mwasiti alisema: “Sitaki mwanaume, nahitaji kujipanga kimaisha kwanza. Kama kuna mtu anafikiria kuwa na mimi, aandike maumivu. Hakuna hiyo nafasi. “Sina mwanaume na sitaki. Bado

Balaa la kijana aliyekuwa anaishi ndani ya handaki maeneo ya Chuo kikuu cha Dar....Handaki lake labomolewa, Polisi wamkamata na kumpeleka Muhimbili kitengo cha wagonjwa wa akili

$
0
0
CHACHA Makenge (38) aliyeripotiwa awali kuishi ndani ya handaki katika eneo la pori la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam sehemu ya Mlimani, amepatwa na balaa jipya baada ya makazi yake kuvamiwa na askari, kukamatwa na mwishowe kupelekwa Muhimbili kitengo cha wagonjwa wa akili kwa ajili ya matibabu. Makenge ambaye aliwahi kuishi katika handaki hilo kwa muda wa miaka mitano, alipotoka,

Rais Kikwete akubali kuliongezea muda Bunge Maalumu la Katiba

$
0
0
RAIS Jakaya Kikwete amekubali kuongeza muda wa Bunge Maalumu la Katiba katika mazungumzo aliyofanya na mwenyekiti wake, Samuel Sitta.   Hayo yalisemwa na Mwenyekiti huyo wakati akijibu swali la waandishi wa habari katika mkutano wake jana, Dar es Salaam, baada ya kumaliza mkutano wake na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo katika Kanisa la Mtakatifu

Dudubaya anatafutwa na jeshi la polisi kwa kosa la kumkata sikio mama yake mkubwa akimtuhumu ni Mchawi.....

$
0
0
Msanii nguli wa Hip Hop Bongo,Dudubaya anatafutwa na jeshi la polisi mkoani Mwanza kwa kosa la kumkata sikio mama yake mkubwa akidai kuwa mama huyo  huwa  anamroga....   Kwa mujibu wa mdogo wake aitwaye Muweta, siku ya tukio msanii huyo alimfuata mama yake huyo nyumbani kwake na kumlaza kwenye makochi na kuanza kumkata sikio kwa kisu huku akimshushia  tuhuma  nzito  za  kumroga ....

Tovuti ya Tume ya Jaji Warioba yafungwa....Viongozi wasema ilifungwa sanjari na tume,Katibu mkuu sheria asema anayetaka ufafanuzi aende wizarani

$
0
0
Siku chache tangu Tume ya Mabadiliko ya Katiba ivunjwe baada ya kumaliza kazi yake ya kukusanya maoni na kuandaa Rasimu ya Katiba, tovuti yake nayo imefungwa rasmi. Ukifungua tovuti hiyo iliyokuwa na taarifa mbalimbali muhimu zinazohusu tume hiyo na kazi zake, unakaribishwa na maneno kuwa inafanyiwa matengenezo, lakini habari zilizopatikana na kuthibitishwa na maofisa wa

Kesi dhidi ya Wanajeshi 27 wa zamani wa Kenya ambao walitoroka jeshini ili kujiunga na kampuni za ulinzi nchini Marekani yaanza kusikilizwa

$
0
0
Kesi dhidi ya Wanajeshi 27 wa zamani wa Kenya ambao walitoroka jeshini ili kujiunga na kampuni za ulinzi nchini Marekani imeanza kusikilizwa  katika kambi ya kijeshi ya Mtongwe Mombasa.    Wanajeshi hawa wote walikua wakilitumikia jeshi la Kenya nchini Iraq, Afghanistan na Kuwait kati ya mwaka 2007 na 2008 na iwapo watapatikana na hatia wanaweza kufungwa jela kwa miaka miwili bila

Lady Jaydee ashiriki kwenye wimbo wa kombe la dunia 2014...

$
0
0
Msanii mkongwe wa muziki nchini Judith Mbimbo maarufu kama Lady Jaydee ameshiriki kuimba wimbo maalum wa kombe la dunia 2014 akishirikiana na David Correy na rapper wa Kenya, Octopizzo ...   Katika wimbo huo, Lady Jaydee na Correy wameimba kwa lugha ya Kiingereza huku Octopizzo ‘akichana’ kwa Kiswahili.   Wimbo huo ulipigwa kwa mara ya kwanza wiki hii jijini Dar es Salaam wakati

Uganda yatuma Ujumbe nchini baada ya Polisi wake wakiwa na bunduki kuvamia mkoani Kagera na kurusha risasi ovyo zilizojeruhi Watanzania wawili

$
0
0
Ujumbe  wa askari wa Jeshi la Polisi la Uganda umewasili nchini kwa kile kinachodaiwa kuja kufanya mazungumzo ili kupata maridhiano kufuatia kitendo cha askari wake wakiwa na bunduki kuvamia eneo la Mutukula, mkoani Kagera, na kurusha risasi ovyo zilizojeruhi Watanzania wawili. Habari zilizopatikana jana zinaeleza kuwa  ujumbe wa askari hao umewasili nchini wakiongozwa na mmoja wa

Rais Kikwete achaguliwa Kiongozi Bora Afrika Mwenye Mchango Mkubwa Zaidi katika Maendeleo Barani Afrika kwa mwaka 2013

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe akiongea na katika ubalozi wa Tanzania nchini Marekani mjini Washington DC, Marekani, ambako atapokea tuzo ya Africa’s Most Impactful Leader of the Year kwa niaba ya Mhe. Jakaya Mrisho ikwete, Rais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania mjini humo leo   TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais Kikwete achaguliwa

Kamati zaanza kuwasilisha taarifa Bunge Maalum la Katiba , wengi wapendekeza serikali mbili.

$
0
0
  Na Magreth Kinabo/MAELEZO- Dodoma Baadhi ya Kamati 12 za Bunge Maalum la Katiba leo zimeanza kuwasilisha  taarifa zao  kuhusu   sura ya kwanza na ya sita ya Rasimu  ya Katiba  ya Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania katika Bunge hilo, mjini Dodoma, huku maoni ya walio wengi wapendekeza Serikali Mbili. Uwasilishaji wa taarifa hizo ulianza mapema leo asubuhi mara baada

Mamia ya wasafiri waliokuwa wakitokea Karatu kuelekea Arusha, Dar es Salaam na maeneo mengine ya nchi wakwama kutokana na mafuriko....Dereva anusurika kufa

$
0
0
Baadhi ya wasafiri na wanakijiji wakitizama daraja la Kirurumo lililoharibiwa kwa mafuriko na kukata mawasiliano kati ya Karatu, Ngorongoro na Serengeti. **** Mamia ya wasafiri waliokuwa wakitokea Karatu kuelekea Arusha, Dar es Salaam na maeneo mengine ya nchi, wameshindwa kuendelea na safari baada ya kushindwa kuvuka mto Kirurumo uliopo mpakani mwa Wilaya za Karatu na Monduli, baada ya

Taarifa ya CCM kulaani kauli ya Mbunge wa Jimbo la Kahama, James Lembeli aliyoitoa akidai kuwa "CCM SI MAMA YANGU"

$
0
0
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARICCM MKOA WA SHINYANGA YA LAANI KAULI YA MBUNGE WA JIMBO LA KAHAMA JAMES LEMBELI KUWA “CCM SIYO MAMA YANGU” Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Shinyanga KIMELAANI vikali kauli ya Mbunge James Lembeli Mbunge wa Jimbo la Kahama aliyoitoa kwenye vyombo ya habari hivi karibuni iliyosema “CCM SIYO MAMA YANGU”.    Kwa hiyo Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Shinyanga na wana

Lulu Michael alia na watu wanaotumia jina lake Facebook kuchangisha fedha....Watu hao wamepost video za ngono facebook kwa jina lake

$
0
0
Muigizaji wa bongo movies Elizabeth ‘Lulu’ Michael ameelendelea kuwa mmoja kati ya waathirika wa vitendo vinavyofanywa na watu wanaotumia vibaya mitandao ya kijamii kwa majina ya watu maarufu kwa lengo la kujipatia fedha.  Watu hao ambao wanafungua akaunti mbalimbali kwenye Facebook kwa jina la Elizabeth Michael wamepost maelezo yanayoonesha kuwa muigizaji huyo ameendelea kuchangisha

Kituo cha Radio cha dini ya Kiislamu cha Al-Noor Chateketea kwa Moto maeneo ya Mtoni Daraja Bovu wilaya ya magharibi Unguja

$
0
0
KITUO cha kurusha matangazo ya radio cha dini ya Kiislamu cha Alnoor kimeteketea kwa moto ikiwemo studio zake tatu. Mkurugenzi mkuu wa Radio Alnoor, Mohamed Suleiman Tall, alithibitisha kutokea kwa ajali hiyo ambayo alisema chanzo chake kikubwa ni hitilafu ya moto katika kituo kikuu cha umeme.   Alisema moto huo ulianzia katika studio nambari tatu ambayo imeteketea huku vifaa vyote ikiwemo

Shirika la "Tanzania Sisi kwa Sisi Foundation (TSSF)" LAFUTIWA USAJILI kwa tuhuma ya kujihusisha na kuhamasisha ushoga nchini

$
0
0
WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto imelifutia usajili Shirika la Tanzania Sisi kwa Sisi Foundation (TSSF), kwa tuhuma ya kujihusisha na kuhamasisha ushoga nchini.   Taarifa kwa umma iliyotolewa na Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali wizarani, ilieleza kuwa shirika hilo limefutiwa usajili kuanzia Aprili 4, mwaka huu.   Ilieleza kuwa kufungiwa huko, kunatokana na kukiuka

Marufuku Bodaboda na Bajaji za abiria kuvuka Mwenge kwenda Posta....

$
0
0
Oparesheni Nzito ya kuzuia Bodaboda na Bajaji zisifanye safari zake  kutoka Mwenge na maeneo mengine kuelekea mjini Posta imechukua sura mpya jana  baada ya Askari wa Usalama wa Barabarani kuanza kukamata Bodaboda na Bajaji zote zinazovuka Mwenge kuelekea Posta, Zoezi hilo ambalo limefanyika Mwenge Mataa Jijini Dar limeendelea kufanyika na kufamikiwa kuwanasa wengi. Kwa mujibu

TANAPA yakanusha kutangaza nafasi za kazi....

$
0
0
  Katika  baadhi ya mitandao ya habari ya kijamii zimekuwepo habari zilizonukuliwa zikitoa taarifa kuwa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limetangaza nafasi za ajira kwa Wahifadhi Wanyamapori madaraja ya pili na tatu. Shirika la Hifadhi za Taifa linapenda kutoa ufafanuzi kuwa nafasi hizo zilizotangazwa sio za Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) bali ni ajira zilizotangazwa na

Magazeti ya leo Ijumaa ya tarehe 11 April 2014

$
0
0
                            Magazeti  ya  leo  Ijumaa  ya  tarehe  11  April  2014 <!-- adsense -->
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images