Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Serikali Yatengua Katazo la Wananchi Kuzuiwa Kupanda Meli

$
0
0
Naibu Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Atashasta Nditiye ametengua katazo la wananchi kuzuiwa kupanda meli ya serikali hadi wawe na vitambulisho vya uraia au cha mpiga kura jijini Mwanza.

Nditiye amesema kuwa utaratibu wa awali uendelee kutumika hadi pale watakapo kaa upya kujadili ni njia ipi sahihi itakayoweza kuwawezesha wananchi kupata huduma ya usafiri bila kikwazo.

Nditiye ameongeza kuwa suala hilo lilitokana na kutokuwa na maelewano mazuri baina ya Shirika la Meli pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama jijini humo.

“Wananchi wanamatatizo mengi, unapoanza kumchanganya na mambo ya vitambulisho tena unakuwa unawavuruga naomba utaratibu wa awali utumike na tuangalie utaratibu mwingine hapo baadaye”, amesema Nditiye.

Mamia ya abiria waliotakiwa kusafiri kwa meli ya Mv.Nyehunge kutoka jijini Mwanza kuelekea wilayani Ukerewe wamekwama kwa siku nne katika bandari ya Mwaloni Kirumba jijini humo baada ya kushindwa kutekeleza sharti linalomtaka kila msafiri kuwa na kitambulisho rasmi cha uraia au kupigia kura.

NEC yawaengua wagombea 15 uchaguzi mdogo wa Agosti 12

$
0
0
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kati ya rufaa 25 zilizokatwa na wagombea wa udiwani, kumi wameshinda na 15 wameenguliwa kushiriki uchaguzi mdogo wa Agosti 12, 2018.

Akizungumza Julai 21, 2018, Mkurugenzi wa NEC, Dk Athumani Kihamia amesema Tume ilipokea rufaa 25 ambazo walizifanyia kazi kwa mujibu wa sheria za uchaguzi.

“Jumla ya wagombea 10 wamerejeshwa katika kinyang’anyiro na 15 rufaa zao hazikufanikiwa, hivyo hawatoendelea kuwa wagombea,” amesema Dk Kihamia.

Amesema katika uchaguzi wa Agosti 12, 2018 kati ya kata 77, wagombea udiwani 30 wamepita bila kupingwa.

Mkurugenzi huyo amesema vyama 11 vinashiriki uchaguzi huo, ACT-Wazalendo ikiwa na wagombea 17 sawa na asilimia 22; ADC watatu sawa na asilimia 3.9 na CCM wako 77 sawa na asilimia 100.

Chadema ina wagombea 54 sawa na asilimia 70 na Chaumma ina wagombea wawili sawa na asilimia 2.6.

Vyama vingine ni, CUF yenye wagombea 17 sawa na asilimia 22; Demokrasia Makini wanne sawa na asilimia 5.2; NCCR-Mageuzi wagombea sita sawa na asilimia nane; NRA watatu sawa na asilimia 3.9; SAU mgombea mmoja sawa na asilimia moja; NRA wagombea watatu sawa na asilimia 3.9; SAU mgombea mmoja sawa na asilimia moja na UPDP wawili sawa na asilimia 2.6

Dk Kihamia amesema katika jimbo la Buyungu, wagombea 10 wa vyama mbalimbali walijitokeza kuchukua fomu za kugombea na wamepitishwa. Kati ya hao, wanaume ni tisa na mwanamke ni mmoja.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya July 23

Jipatie Dawa za Asili za Kupunguza Maziwa, Kutoa Michirizi, Kuondoa Chunusi, Kuongeza Maumbilie na Nguvu za Kiume

$
0
0
Katika kusherehekea miaka 15 ya kampuni ya NATURAL BEAUTY PROD tunatoa shukrani za dhati sana kwa wateja wetu wote kwa kutuunga mkono miaka yote hiyo.
 
TUNATOA OFFA YA WIKI NZIMA KWA WATEJA WETU UKINUNUA BIDHAA UTAPATA PUNGUZO LA 20%. KWA WATEJA WA MIKOANI UTATUMIWA BURE.

Ni bidhaa salama kabisa zilizotengenezwa kwa mimea na matunda pia zina matokeo mazuri na kwa haraka zaidi.

🥑🍇🍋🍓🍒🌱🍇🍇
👇👇👇👇
1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @220,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 7.5 hadi 8 (wiki 2-3) @180,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @140,000/=
5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @210,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @140,000/
7.BOTCHO MULT PLUS_Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza ( Hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @160,000/=
8.BOTCHO CREAM HOLOGRAM_ Hii ni yakupaka ya kuongeza (HIPS na MAKALIO) @150,000/=
9.LEG BOOSTER_Ni dawa ya kuongeza miguu (CHUPA YA BIA) @140,000/=
10.BODY BOOSTER_ Hii ni yakuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @140,000/=
11.YODI PILLS--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza (hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @160,000/= N.K

NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ili kuthibitisha ubora wa bidhaa zetu.
Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa no÷

(+255) 659618585
au
0759029968
Follow us instagram-
GOOGLE
YOU TUBE
@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod < WELCOME ALL>

Gazeti la Mseto Kurudi Mahakamani

$
0
0
Mkurugenzi wa Kampuni ya Halihalisi inayochapisha magazeti ya Mawio, Mwanahalisi na Mseto, Saed Kubenea amesema watarudi Mahakama ya Afrika Mashariki kuomba kibali cha kuchapisha gazeti la Mseto baada ya Serikali kutoondoa zuio la uchapishaji.

Mahakama hiyo Juni 21, 2018 ilitoa amri kwa Serikali kuhakikisha inachukua hatua stahiki ili gazeti hilo lirudi mtaani ikisema lilifungwa kinyume cha sheria.

Gazeti hilo lilifungiwa Agosti 10, 2016 kwa miezi 36 ikielezwa ni kwa kuandika habari za upotoshaji, uchochezi na uongo, zisizozingatia maadili ya taaluma ya uandishi wa habari.

 Kubenea akizungumza na waandishi wa habari  jana Jumapili Julai 22, 2018 alisema Serikali sasa inapaswa itoe ushirikianao kwa Mahakama ili usikilizaji wa kesi za madai na jinai ufanyike kwa haraka kuliko kucheleweshwa bila sababu za msingi.

"Tungekuwa tuna mitambo yetu tungekuwa tumechapisha tangu siku ambayo Mahakama imetengua agizo hilo lakini nashindwa kwa sababu wachapishaji wanahitaji hati ya usajili wa gazeti kabla ya kuchapishia,” alisema Kubenea.

“Lakini hicho kibali tutakachopewa na Mahakama kitatumika kama kigezo cha sisi kuchapisha na kuuza gazeti," aliongeza Kubenea ambaye pia ni Mbunge wa Ubungo (Chadema).

Wakili kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Fulgence Massawe amesema kitendo cha kuchelewa kutengua uamuzi wa kufungiwa kwa gazeti hilo ni ukiukaji wa sheria ambao unapaswa kuangaliwa.

"Siyo kwamba Serikali haina taarifa, siku hukumu inasomwa walikuwa na mawakili wa upande wa Serikali ambao walisikia na kuahidi kutekeleza maagizo," amesema Massawe na kuongeza:

“Serikali tayari imeandaa notisi ya rufaa kupinga hukumu hiyo na itaiwasilisha Jumatatu lakini jambo hilo halizuii kuanza kwa utekelezaji wa hukumu iliyotolewa,” amesema

Rais Magufuli Kuhudhuria Utiaji Saini Daraja La Salander Leo

Tiba Bora ya Tatizo Sugu la Nguvu za Kiume

$
0
0
OFA! Je umepungukiwa nguvu za kiume na umetumia dawa bila mafanikio? Sasa utapona kwa sh 15000 tu .Ofa ni kwa watu kumi wakwanza kila siku .Ofa hii itadumu ndani ya wiki 2 baada ya hapo bei itakuwa nyingine na kama hujapona tunakurudishia hela yako !

Dawa hii ni dawa ya maajabu, huwezi kuamini Ila wengi wameiamini,inatibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na utapewa garantee ya mwezi mmoja 

Dawa hii inapatikana hapo hapo ulipo nyumbani kwako na tutakupatia maelezo ya namna ya kuiandaa wewe mwenyewe na baada ya kuiandaa utakunywa Mara moja tu,na hautatumia dawa yoyote ya nguvu za kiume 

Dawa hii inawafaaa watu kuanzia miaka 18 mpaka miaka 70 zaidi ya miaka hyo haitakusaidia 

Ni dawa ya asilia, haina madhara yoyote,watafiti na waganga wameikubali pia hii dawa inawafaa hata wanawake wasiopata hisia za mapenzi

Pia tunaweza kukutumia dawa popote ulipo lakini s kwa bei ya ofa, ukiitumia dawa hii unakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 3 bila hamu kuisha na itakufanya uwe na uwezo wa kufanya tendo la ndoa muda wowote 

Imesaidia watu zaidi ya 148 ndani ya mwaka mmoja tangu igunduliwe  na Dr kiboko mganga wa tiba za jadi toka kisiwani mafia 

Pia tunatibu magonjwa mbalimbali, kurudisha mpenzi aliye kuacha,biashara iliyoyumba, nk 

OMBI LANGU; kwanza naomba radhi kwa watu wanaofika kwenye ofisi yangu na kuchelewa kupata huduma kutokana na foleni ya watu wengi kuja pia pongezi nyingi nimepata kutokana na mafanikio makubwa wanayoyapata baada ya kutumia hii dawa ombi langu naomba upige cm nikuelekeze hii dawa hapohapo kuepuka usumbufu na kuokoa mda wako asante

Maelezo zaidi ; Dr kiboko-  0679923297

Dr Ndugulile Agomea Uzinduzi Wa Majengo Ya Chuo Cha Afya Cha Waganga Wasaidizi Mkoani Mara.

$
0
0
Na WAMJW-MUSOMA
Naibu Waziri wa Áfya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile amegoma kuzindua Majengo ya chuo chá Áfya chá Waganga Wasaidizi Mkoani Mara kutokana na kutoridhishwa na Matumizi ya fedha ya kiasi cha shilingi Milion 500 kilichotolewa kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa Majengo katika Chuo hicho.

Hayo yamejiri mapema jana wakati akiwa katika ziara yake ya kukagua shughuli za ujenzi na ukarabati wa Majengo ya chuo hicho kilichopo Musoma, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake katika kukagua hali ya utoaji huduma za afya Mkoani hapo.

“Nimekuja hapa, kazi ya milioni 500 sijaiona kabisa ,kilichofanyika mmepiga rangi, kuta mbovu na Siwezi kuwa katika dhambi ya kuhararisha, kwahiyo nimegoma uzinduzi wa Majengo haya, na nimeagiza kwa chuo kupata maelezo kwa wote walishiriki na kuahidi kuwachulia hatua wote walishiriki ” alisema Dkt. Ndugulile

Dkt. Ndugulile alitoa onyo kwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mara Juu ya fedha nyingine zilizopelekwa kwa ajili ya ukarabati na ujenzi wa vituo Saba vya utoaji wa huduma za Afya katika mkoa wa Mara na kumtaka kusimamia kikamilifu matumizi ya fedha z vituo hivo ili viweze kuwasaidia wananchi wa Mara.

“Tumeleta tena fedha zingine kwaajili ya ujenzi wa vituo vya Áfya saba, naomba hizo fedha za umma tukazisimamie vizuri kwa ukamilifu, kama ukaona wenzako hawaendi katika njia sahihi, toa taarifa ili ujiokoe wewe, na wewe ukiwa katika sehemu ya kuhararisha ile dhambi dhoruba hii na wewe itakukumba ” alisema Dkt.Ndugulile.

Pia Dkt. Ndugulile alitembelea kituo chá Áfya chá Bunda ambacho kinatambulika kama Hospitali ya Wilaya Dkt. Ndugulile aliagiza kusimamishwa kazi kwa Mganga Mkuu wa Mji wa Tarime kutokana na uzembe wa usimamizi mbovu wa huduma za afya katika kituo hicho, huku akimtaka Mkuu wa Wilaya ya Bunda Lydia Bupilipili kuhakikisha anasimamia agizo hilo.

“Mambo haya yote yanatokea kwasababu ya usimamizi mbovu Kwaiyo nimeagiza Mganga Mkuu wa Mji (TMO) asionekane hapa, kamati ya mkoa wamchukue aletwe mtu mwingine anaeweza kusimamia, huyu mtu hatufai akapangiwe majukumu mengine, na Mkimruhusu tutaanza kuwajibishana sisi, tunataka kuijenga Bunda mpya ” alisema Dkt. Ndugulile.

Vilevile Dkt. Ndugulile alimwagiza Mganga mkuu wa mkoa wa kupitia upya Matumizi matumizi ya jengo jipya lililojengwa kwaajili ya kuhifadhi maiti Kwani haliendani na mahitaji kutokana na ukubwa wake, hivyo kuagiza kubadilisha matumizi ya jengo hilo na kulifanya kuwa jengo la x-ray.

“nimetembelea jengo la mochwali, jengo ni kubwa kuliko hata jengo la mochwali lá Muhimbili, sambamba na hilo nimeambiwa Kwamba kuna vifaa vya x-ray vimeletwa, Sasa nimetoa maelekezo Kwamba tubadilishe matumizi, lile jengo tunaweza kutumia kwa huduma za jengo la x-ray, nitaagiza wataalamu wangu waje kupitia jengo hilo ili tufunge vifaa vya x-ray, kazi ianze ” alisema Dkt Ndugulile.

NEC: Wagombea 30 wa CCM Wamepita Bila Kupingwa

$
0
0
Wagombea 30 wa Udiwani katika uchaguzi Mdogo wa kata 77 utakaofanyika Agosti 12 mwaka huu, wamepita bila kupingwa. 

Akizungumza Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Athumani Kihamia amesema kuwa wagombea hao wamepita bila kupingwa baada ya Tume kukutana, kujadili na kuyatolea maamuzi mapingamizi mbalimbali yaliyoweka na wagombea wa udiwani.

 Amesema Madiwani wote waliopita bila kupingwa wanatoka Chama cha Mapindizi (CCM) na kuongeza kuwa rufaa zilipokelewa na kujadiliwa kwa kuzingatia matakwa ya kifungu cha 44(5) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292, kikisomwa pamoja na Kanuni ya 28(1)(2) ya Kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa (Uchaguzi wa Madiwani) za mwaka 2015.

“Tume, ilipokea, ilijadili na kufanya maamuzi ya Rufaa 25 ambapo jumla ya wagombea kumi (10) walifanikiwa na hivyo kuendelea na uchaguzi na wagombea 15 rufaa zao hazikufanikiwa na hivyo kutoendelea kuwa wagombea,” amesema Dkt. Kihamia.

Ameongeza kuwa katika kata sabini na saba (77) wanachama 254 kutoka vyama kumi na moja (11) vya siasa walichukua fomu za uteuzi na kwamba jumla ya wanachama 186 sawa na asilimia 73.2 ya waliochukua fomu za uteuzi walizirejesha na kuteuliwa kuwa wagombea ambapo kati yao wagombea 179 sawa na asilimia 96.2 ni wanaume na wagombea 7 sawa na asilimia 3.8  ni wanawake.

“Hadi muda wa mwisho wa uteuzi ulipofika (saa 10.00 jioni siku ya uteuzi)  wanachama 68 sawa na asilimia 26.8 ya waliochukua fomu hawakuteuliwa kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo kutorudisha fomu, kurudisha fomu nje ya muda unaokubalika kisheria na fomu kutojazwa ipasavyo,” amesema.

Dkt. Kihamia amefafanua kuwa katika uchaguzi huu mdogo wa madiwani utakaofanyika Agosti 12 mwaka huu jumla ya vyama kumi na moja (11) vimesimamisha wagombea.

Amewataja Wagombea hao katika Kata kwa kila Chama kuwa ni ACT-Wazalendo Wagombea 17 (sawa na asilimia 22), ADC Wagombea 3 (sawa na asilimia 3.9), CCM Wagombea 77 (sawa na asilimia 100) CHADEMA Wagombea 54 (sawa na asilimia 70), CHAUMMA Wagombea 2 (sawa na asilimia 2.6), CUF Wagombea 17 (sawa na asilimia 22), Demokrasia Makini Wagombea 4 (sawa na asilimia 5.2), NCCR-MAGEUZI Wagombea 6 (sawa na asilimia 8), NRA Wagombea 3 (sawa na asilimia 3.9), SAU Mgombea 1 (sawa na asilimia 1) na UPDP Wagombea 2 (sawa na asilimia 2.6).

Wakati huohuo, Dkt. Kihamia amesema kwamba katika jimbo la Buyungu jumla ya wanachama kumi (10) kutoka vyama kumi (10) vya siasa vya AAFP, ACT-Wazalendo, CCM, CHADEMA, CUF, DP, Demokrasia Makini, NRA, UMD na UPDP walichukua fomu za uteuzi.

 “Wanachama wote kutoka vyama hivyo walirejesha fomu na kuteuliwa kuwa wagombea wa Ubunge katika Jimbo hilo, kati yao wanaume ni tisa (9) na mwanamke mmoja (1),” amesema Dkt. Kihamia.

Amevitaka vyama vya siasa na wagombea wao kuzingatia maadili ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2015, wakati wote wa kampeni na siku ya uchaguzi.

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

$
0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za Kupandisha nyota , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Walimu Wapya Walioajiriwa Hivi Karibuni Wapewa Angalizo Zito

$
0
0
Kufuatia Ofisi ya Rais, TAMISEMI kuwapangia jumla ya walimu 4,840 vituo vya kazi kwenye Shule za Msingi na Sekondari nchini, Katibu  Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Walimu, Bibi Winifrida Rutaindurwa amewataka waajiriwa hao kuzingatia kanuni na taratibu zinazosimamia utumishi wa walimu ili kujiepusha na makosa ya kinidhamu.

Amesema kuwa, kumekuwa na mazoea kwa walimu wengi kusaini nyaraka wanazopewa wakati  wa kuanza ajira bila kuzisoma kitu kinachosababisha kutoelewa kanuni na taratibu za taaluma ya ualimu katika utumishi wa Umma.

“Wapo  walimu wengi ambao wamechukuliwa hatua mbalimbali za kinidhamu na wengine wamejikuta wakipoteza ajira zao kwa sababu ya kwenda kinyume na Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Walimu pamoja na zile zinazoongoza Utumishi wa Umma” amesema Bibi Rutaindurwa.

 Amefafanua kuwa, Mwajiriwa atakaporipoti kwenye Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya yenye  Shule aliyopangiwa, atapewa mkataba wa ajira ulioandaliwa na Tume ya Utumishi wa Walimu. Mwajiriwa anatakiwa kusoma mkataba huo pamoja na viambatisho  vyake ili aweze kujua haki na wajibu katika utumishi wake.

“Mara nyingi  walimu wanapoajiriwa,  wengi wao wanasaini mikataba ya ajira bila kuisoma na kuelewa. Sasa naelekeza kuwa,  kila Mwalimu ahakikishe anasoma mkataba wake na anauelewa vizuri kabla hajausaini ili kujua  kwa undani kile anachotakiwa kufanya katika utumishi wake” amesema Bibi Rutaindurwa.

Ameongeza kuwa, waajiriwa wanapaswa kusoma Sheria ya Utumishi wa Walimu ya mwaka 2015, Kanuni pamoja na Miongozo mingine ambayo inapatikana katika tovuti ya Tume ya Utumishi wa Walimu kupitia www.tsc.go.tz.

Wakati huo huo, Bibi Rutaindurwa amewataka Kaimu Katibu Wasaidizi Wilaya zote kuhakikisha wanatoa ufafanuzi wa mikataba pamoja na kuwaelimisha walimu walioajiriwa masuala mbalimbali yanayohusu ajira zao kwa mujibu wa Sheria ya Tume ya Utumishi wa Walimu na. 25  ya mwaka 2015.

Ameelekeza kuwa, baada ya mwalimu kukamilisha taratibu zote za kiutumishi,  Kaimu Katibu Wasaidizi watoe barua za ajira kwa waajiriwa wapya kwa wakati bila kuweka urasimu unaoleta usumbufu.

Ameongeza kuwa, hatamvumila Mtendaji yeyote wa Tume ya Utumishi wa Walimu ambaye atafanya uzembe au kuchelewesha barua za ajira kwa  Walimu bila sababu za msingi.

“Mwalimu anapokamilisha kujaza nyaraka za ajira yake apewe barua ya ajira, bila urasimu wowote ili aanze kutekeleza majukumu yake kwa haraka. Sitaki kusikia mwalimu amechelewa kupata barua ya ajira au kuna mtumishi wa Tume analeta urasimu kinyume na taratibu, kwa kweli sitamvumilia” amesema Bibi Rutaindurwa.

Vilevile, amewakumbusha Walimu Wakuu na Wakuu wa Shule kuwashauri na kuwaelimisha walimu juu ya kanuni na taratibu za kiutumishi badala ya kukaa na kusubiri wafanye makosa ili wawachukulie hatua za kinidhamu.

Kwa mujibu wa Sheria ya Tume ya Utumishi wa Walimu ya mwaka 2015, Walimu Wakuu na Wakuu wa Shule ndio mamlaka ya kwanza ya nidhamu kwa mwalimu. Hivyo, walimu wanapaswa kuzingatia matakwa ya Sheria na Kanuni za Utumishi wa Walimu na zile za Utumishi wa Umma.

Adili Mhina,
Afisa Mawasiliano,
Tume ya Utumishi wa Walimu.

Waziri Kigwangalla Aagiza Ujenzi Wa Viwanda Vidogo Vya Asali Kwa Wilaya Zote Za Mikoa Ya Tabora Na Katavi

$
0
0
Na Hamza Temba – Tabora
…………………………………………………….
*Ahamasisha kilimo cha Korosho kama zao mbadala la kuinua uchumi na uhifadhi wa mazingira

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwangalla ameuagiza Mfuko wa Ruzuku wa Misitu Tanzania (TAFF) kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kuanzisha mradi wa viwanda vidogo vya kusindika na kufungasha asali katika mikoa ya Tabora na Katavi ili kuongeza uzalishaji wa zao hilo na kujenga uchumi wa viwanda.

Ametoa agizo hilo jana kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Mtakuja wilaya ya Skonge mkoani humo ikiwa ni muendelezo wa ziara zake mikoani kwa ajili ya kukagua shughuli za uhifadhi na kutatua changamoto zake.

Alisema kwa kiwango kikubwa wananchi wa mikoa hiyo wamekuwa wategemezi kwenye zao moja tu la tumbaku ambalo sio rafiki kwa mazingira kwakuwa miti mingi hukatwa kwa ajili ya kukausha zao hilo jambo ambalo ni muhimu sasa kuwekeza zaidi kwenye mazao mengine ikiwemo viwanda vya kusindika na kufungasha asali ili kuongeza uzalishaji, ubora na hatimaye kuongeza kipato na faida zaidi.

“Mwaka huu ule mfuko wa misitu, kwa kiasi kikubwa tuamue tuwekeze ukanda huu wa magharibi  ambapo kuna zaidi ya asilimia 60 ya misitu yote hapa nchini, na tuanze kwa kujenga kiwanda kimoja katika kila wilaya, ikiwemo Nzega, Skonge, Uyui, Tanganyika, Mlele, Mpanda na Kaliua.

“Tuwawezeshe wananchi wajiunge katika vikundi, tuwagawie mizinga ya kisasa, wafuge nyuki kisasa, warine asali kisasa, wakisharina wapeleke kwenye viwanda, ifungashwe kisasa, ipate bei kubwa, na mwisho wa siku wataona faida ya kuwa na misitu.

“Hapo tutakuwa tumewasaidia, watapa kipato mbadala lakini watakua wakali sana kwa watu wanaoharibu misitu na tutatengeneza jeshi kubwa la wananchi la ulinzi wa misitu yetu, hivyo nataka mradi huu uanze mara moja bila kusuasua ili na sisi tuchangie jitihada za Serikali ya awamu ya tano katika ujenzi wa uchumi wa viwanda. ” alisema Dk. Kigwangalla.

Wakati huo huo, Waziri Kigwangalla amewashauri wananchi wa mikoa hiyo kuanzisha kilimo cha korosho kama zao jingine mbadala la kuongeza kipato na kunusuru misitu badala ya kujikita kwenye zao moja la tumbaku ambalo ni chanzo kikubwa cha uharibifu wa misitu ya mikoa hiyo.

Amesema ni muhimu walau kwa kila kaya moja kuanza kwa kupanda ekari moja ya mikorosho ili kuongeza zao jingine mbadala la biashara ambalo lina tija zaidi kiuchumi na kiuhifadhi wa mazingira.

“Kilimo cha tumbaku sio rafiki kwa mazingira tumejaribu kuleta mabani banifu yanayotumia kuni chache,  tumejaribu kuwashawishi wananchi wapande miti lakini tumechemsha, miti mingi imeendelea kukatwa misitu nayo inateketea siku hadi siku, ni lazima tutafute mbinu mbadala ya kukabiliana na changamoto hii, na hii ni kupitia zao hili la korosho” alisema Dk. Kigwangalla.

Amesema tafiti zinaonyesha kuwa zao la korosho katika mikoa hiyo lina uwezo wa kustawi zaidi na kuzalisha mara mbili kuliko mikoa ya kusini ambayo inasifika zaidi kwa uzalishaji huo hapa nchini.

Aidha ameziagiza halmashauri zote za mikoa hiyo kufanya utaratibu wa kupata mbegu na miche ya zao hilo mapema iwezekanavyo kwa ajili ya kuwagawia wananchi kabla ya msimu wa mvua kuanza na wataalamu wa kilimo wawaelimishe wananchi njia bora ya kupanda na kutunza miche hiyo.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Skonge, Peres Magiri alisema kiwango cha mvua kwa mwaka katika wilaya hiyo kimeshuka na kufikia 600mm kutokana na mabadiliko ya tabia nchi na uharibifu wa mazingira.

Tanzania Kuendelea kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na Jamhuri ya Korea

$
0
0
Na. Immaculate Makilika- MAELEZO.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa  amesema serikali  itaendelea kushirikiana  na kuimarisha uhusiano wake wa kidiplomasia na Jamhuri ya Korea  ili kuimarisha uchumi wa nchi hizo mbili.

Akizungumza na waandishi wa habari Ikulu Jijini Dar es salaam jana, Waziri Mkuu Majaliwa akiwa pamoja na  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea, Lee Nak-Yon amesema kuwa nchi hizo mbili zimetia saini mkataba wa mahusiano ya kidiplomasia  ili kuimarisha uhusiano baina yao.

“Leo hii tumeshuhudia utiaji saini mkataba wa kidiplomasia wa kuondoa hitaji la visa kwa watumishi wa umma pamoja na wenye hati za kusafiria za kidiplomasia ikiwa ni sehemu ya kuimarisha uhusiano wetu” amesema Waziri Mkuu Majaliwa

Mkataba huo wa kihistoria ulitiwa saini na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt.Agustine Mahiga, pamoja na Makamu wa Kwanza  wa Waziri  wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Korea, Sung Nam.

Aidha, Waziri Mkuu Majaliwa amesema kuwa nchi hizo mbili zitaendelea kushirikiana ili kuimarisha maendeleo ya uchumi, utamaduni, teknolojia ya habari na mawasiliano pamoja na sekta ya utalii.

Ameitaja miradi mikubwa mitatu wanayotarajia kutekelezwa katika ushirikiano wan chi hizo kuwa ni ujenzi wa daraja la Busisi lililopo Kigoma lenye urefu wa mita 3200, ujenzi wa eneo lililobaki la barabara Cheya mkoani Tabora lenye urefu wa km 2.

Miradi mingine mikubwa ya ushirikiano huo ni pamoja na kuimarisha sekta ya afya kwa kujenga hospitali tano za rufaa katika kanda mbalimbali nchini.

Sambamba na hilo, Waziri Mkuu Majaliwa amesema kuwa Waziri Mkuu huyo wa Jamhuri ya Korea Lee Nak- Yon amefurahishwa na amani iliyopo nchini, na kumuahidi kuwa Tanzania itaendelea kuwaunga mkono katika mazungumzo yao ya amani huko Korea.

Waziri Mkuu huyo wa Jamhuri ya Korea, aliyewasili nchini jana anaendelea na ziara yake ya siku tatu, ambapo baadae leo atatembelea kituo cha taarifa cha NIDA kilichopo Kibaha,mkoni Pwani.

Waziri Mkuu Majaliwa Afanya Mazungumzo Ya Kiserikali Na Waziri Mkuu Wa Jamhuri Ya Korea

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefanya mazungumzo rasmi ya kiserikali na mgeni wake, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea, Lee Nak-yon ambaye yuko hapa nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu.

Viongozi hao wawili, kwa pamoja, jana mchana (Jumapili, Julai 22, 2018) wameshuhudia uwekaji saini mkataba wa kuondoa hitaji la viza kwa watu wenye hati za kusafiria za kidiplomasia na za kikazi (diplomatic and service passports).

Uwekaji saini huo ulifanywa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dk. Augustine Mahiga na Makamu wa Kwanza Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Korea, Bw. Lim Sung-nam kwenye ukumbi wa Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari waliohudhuria hafla ya uwekaji saini, Waziri Mkuu amesema kwenye mazungumzo yao wamejadiliana mambo mengi ambayo yamelenga kukuza uhusiano wa kidiplomasia baina ya nchi hizo mbili.

“Tumejadili namna ya kuimarisha mahusiano yetu kidiplomasia; kuimarisha ushirikiano katika sekta ya uchumi na maendeleo; ushirikiano katika elimu, sayansi na TEHAMA ushirikiano katika sekta ya utamaduni na utalii,” amesema.

“Pia tumeongelea fursa ya mradi mkubwa wa reli, ujenzi wa daraja la Salender, mradi wa hospitali ya Mloganzila; mradi wa NIDA ambao tumepata mkopo wa masharti nafuu kwa ajili ya kuendelea kutoa vitambulisho vya uraia; ujenzi wa daraja la Kigongo - Busisi lenye urefu wa mita 3,200; ujenzi wa barabara ya Kazirambwa – Chaya yenye urefu wa km. 42 na uimarishaji wa sekta ya afya kwa kujenga hospitali tano za rufaa kwenye kanda zetu,” amesema.

Waziri Mkuu amesema amewaalika makampuni ya kutoka Jamhuri ya Korea yaje kuwekeza nchini ili kuiwezesha Tanzania kufikia azma yake ya kuwa nchi ya uchumi wa viwanda ifikapo mwaka 2025. “Pia wafanyabiashara aliokuja nao, kesho watashiriki kongamano la kibiashara baina ya Korea na Tanzania ili waweze kubadilishana uzoefu na wenzao wa Tanzania.”

“Tumewaomba pia watangaze vivutio vya utalii vya hapa nchini huko kwao na Balozi wetu wa Tanzania huko Korea atasimamia utangazaji wa vivutio vya hapa nchini kwetu. Sisi pia tumewapongeza kwa uamuzi wa Korea Kusini kukaa pamoja na Korea Kaskazini na kuimarisha amani kwa nchi zao,” amesema.

Mkutano huo pia ulihudhuriwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Eng. Isack Kamwele; Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani; Waziri wa Viwanda na Biashara wa Zanzibar, Balozi Amina Salum Ally; Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais wa Zanzibar, Bw. Issa Gavu na Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Eng. Stella Manyanya. Wengine ni Makatibu Wakuu wa wizara mbalimbali na wakuu wa taasisi. 

Waziri Mkuu Lee Nak-yon anatembelea Tanzania ikiwa ni hatua ya kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia baina ya nchi hizi mbili. Hii ni mara ya kwanza kwa kiongozi wa ngazi ya juu wa nchi hiyo kufanya ziara ya kiserikali tangu nchi hizo zianzishe mahusiano ya kidiplomasia mwaka 1992.

Jamhuri ya Korea ni mshirika mkubwa wa maendeleo wa Tanzania ambapo kupitia Shirika la Kimataifa la Maendeleo (KOICA) na Mfuko wa Ushirikiano wa Uchumi na Maendeleo (EDCF) yamekuwa yakitoa misaada na mikopo ya masharti nafuu ikiwemo misaada ya fedha katika bajeti, ujenzi wa miundombinu ya jamii, mafunzo ya muda mfupi na mrefu, wataalamu wa kujitolea, vifaa na mashine kwa ajili ya sekta mbalimbali ikiwemo ya afya.

Baadhi ya miradi ambayo imegharamiwa na Serikali ya Korea ni pamoja na Mradi wa kuboresha Huduma ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya Chanika, Mradi wa Mfumo wa Usajili wa Meli na Mabaharia kwa Njia ya Mtandao Zanzibar, Mradi wa Ujenzi wa Hospitali ya Taifa ya Taaluma na Tiba (MUHAS) kampasi ya Mloganzila na ujenzi wa daraja katika mto Malagarasi.

Vile vile, Korea ni mshirika mkubwa katika kusaidia maendeleo ya Bara la Afrika ambapo hivi karibuni katika mkutano wa Sita wa Jukwaa la Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Korea na Afrika (KOAFEC VI) uliofanyika Mei 2018, Busan, Korea ambapo Serikali ya Korea ilitangaza msaada wa dola za Marekani bilioni 5 kwa ajili ya Bara la Afrika kwa kipindi cha 2018-2020. Tanzania ni miongoni mwa nchi zitakazonufaika na msaada huo.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Wenye kumbi za starehe waanza kubanwa

$
0
0
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewaagiza viongozi wa Mkoa wa Mara na Wilaya ya Musoma kuchunguza tuhuma zinazohusisha kumbi za starehe wilayani humo kuruhusu watoto walio chini ya miaka 18 kuingia na kutumia vilevi ndani ya kumbi hizo.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile ametoa agizo hilo alipotembelea Mkoa wa Mara katika ziara ya kikazi ambapo alipokea malalamiko kutoka kwa wananchi kuhusu kuwepo kwa kumbi za starehe zinazowaruhusu watoto walio chini ya umri wa miaka 18 na kutumia pombe wakiwa ndani ya kumbi hizo.

Dkt. Ndugulile amesema kwamba wamiliki wa kumbi hizo wanakiuka sheria ya mtoto, hivyo wanapaswa kuchukuliwa hatua za kisheria mapema iwezekanavyo ili kuwalinda watoto hato chini ya umri wa miaka 18.

Aidha kwa mujibu wa wa kifungu cha 17 cha Sheria ya Mtoto ya mwaka 2009 kinasema mtu ambaye ni mmiliki au anayeendesha au ni msimamizi wa ukumbi wa muziki, 'Bar', au klabu ya usiku hatamruhusu mtoto kuingia katika maeneno yao.

Katika kifungu imeelezwa  kuwa "mtu atakayekiuka kifungu hiki atakuwa ametenda kosa na atakapotiwa hatiani atalipa faini ya kiasi kisichopungua Shilingi millioni moja na kisichozidi Sh millioni tano au kifungo kisichozidi miezi 12 au vyote kwa pamoja".

Baada ya agizo hilo kutoka wizarani, Mkuu wa Mkoa wa Mara, Bw. Adam Malima amesema ataendelea kuwachukulia hatua wale wote wanaofanya vitendo hivyo pamoja na kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia, ndoa na mimba za Utotoni ambazo zinashamiri katika mkoa huo.

10 mbaroni kwa kukutwa na nyara za Taifa

$
0
0
Polisi wilayani Serengeti Mkoa wa Mara wanawashikiria watu kumi kwa kosa la kukutwa na nyara za Taifa kinyume cha sheria.

Kamanda wa Polisi mkoa huo, Juma Ndaki akizungumza na waandishi jana  Jumapili Julai 22, 2018 alisema watuhumiwa hao wamekutwa na vipande 531 vya nyama kavu, mikia 24 ya nyumbu, mikia 12 ya pundamilia, nyaya 75 za kutegea, mapanga mawili,  visu viwili, dumu nane za maji na baiskeli 10.

Ndaki alisema mzigo huo ulilkamatwa kwenye kambi yao ya ujangili eneo la  Togoro ndani ya Hifadhi ya Taifa ya  Serengeti kwa ushirikiano wa  askari wa  Hifadhi hiyo na  Polisi wilayani humo.

“Watuhumiwa wote ni wakazi wa kata za Nyambureti na Nyamatare wilayani Serengeti,” alisema Ndaki

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0785687900

Mizizi 29 Power ,ndio Dawa Bora Na Imara Kwa Sasa Kwa Kutibu Na Kuponesha Tataizo La Nguvu Za Kiume Kwa Dakika 30 Tu

$
0
0
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume limekuwa ni janga kubwa sana kwa sasa sio vijana au wazee wanalalamiki kukimbiwa na wa wapenzi wao au ndoa kuvunjika kutokana na mwanaume kulala na mwanamke kitanda kimoja hata wiki mbili bila kushiriki tendo la ndoa na hii ndio inachangia wanawake wengi kutoka nje ya ndoa kwa nini huteseke na wakati dawa zipo ambazo zitarudisha heshima yako ya ndoa 

MIZIZI 29 POWER; ni ambayo hutibu na kurudisha virutubisho mwilini ambavyo humfanya mwanaume awe na matatizo yafatayo 1 kuwahi kukojoa kabla mke au mpenzi wake

 2. kushindwa kurudia tendo dawa, hii itakufanya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 

3... dawa hii inatibu uume uliolegea na kusinyaa 

4. dawa hii inatoa miungurumo ya tumbo na uchovu wakati wa kumaliza tendo 

NINI KINASABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 1 kupiga punyeto kwa mda mrefu 
2 upungufu wa vichochoe mwilini 
3 magonjwa ya moyo, kisukari, presha, vidonda vya tumbo kiuno na mgongo 
4 utumiaji ovyo wa madawa ya kizungu 
4 usongo wa mawazo, hasira, tumbo kujaa gesi na kutopata choo.

 PATA TIBA YANGU NA NI TOFAUTI NA ULIZO WAHI KUTUMIA: 

Je una uume mfupi na mwembamba? MASHESHA MIX ni dawa ya kuboresha uume saiz upendayo asa kwa wale waliofanyiwa tohara wakiwa wadogo.. chagua saizi upendayo inch 5,6,7, adi 8 iyo ni kwa urefu na unene sentimita 2,3,4, adi 5 .dawa hizi zipo za kupaka na kunywa na hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ,

Tunatibu kisukari,vidonda vya tumbo,ngiri, korodani iliyovimba, kupnguza kitambi, maziwa makubwa NK 

KWA TIBA NA USHAULI FIKA OFISINI KWANGU DARE S SALAAMU MBAGALA ZAKHEMU NA MIKOA YA KANDA YA ZIWA YUPO WAKALA WETU HAPO MWANZA NA KWA AMBAO HAWANA NAFASI YA KUJA OFISINI HUDUMA YETU UTALETEWA POPOTE ULIPO PIGA SIMU 0783185060 DR MAKOYE

Kalulumila:Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0



 BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO KALULUMILA.
----------------------------------------
Ni dawa pekee iliyojipatia umaarufu nchini na nje ya nchi kwa kufanya kazi mara 3, kwa wakati mmoja 1, kurefusha uume na kunenepesha saizi uipendayo kuongeza nguvu za kiume na inatibu matatizo na gerentii miaka 30. Na kuendelea haina madhara, inaimarisha mishipa ya uume iliyoregea na udhalishaji wa mbegu za kiume. 

---------NINI HUCHANGIA MATATIZO HAYA--Ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya ili kujua kwamba una ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya, ili kujua kama unangiri dalili zake ni kufika haraka kileleni wakati wa tendo la ndoa, 2)kushindwa kurudia tendo la ndoa. 3)kutoa choo kama cha mbuzi. 4)tumbo kujaa gesi na kuunguruma. 5)kukosa choo kabisa. 6)maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi. 7) korodani moja kuvimba 8)kutosikia hamu ya tendo la ndoa na maumivu ya kiuno wakati wa tendo la ndoa. 9)maumivu ya kiuno na mgongo pia tunatibu kisukari kwa siku7, presha, busha, bila kupasuliwa na magonjwa mbalimbali. 

---------------------------------------
TUPO TEGETA KWA NDEVU KARIBU NA MACHINJIO YA NGOMBE UTAONA OFSI IMEANDIKWA KALULUMILA HERBALIST CLINIC HOSPITAL SIMU .
----------------------------------------
-0655-557-182.
-0755-557182.
-0784-557-182.
PIA UTAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
---------------------------------------
KARIBUNI SANA.
----------------------------------------

Casto Adai Yuko Tayari Kuitwa Mjinga Kwa Penzi La Tunda

$
0
0
Mtangazaji wa Clouds Tv, Casto Dickson amefunguka ya moyoni juu ya mpenzi wake Tunda na kudai yuko tayari kuitwa mjinga kwa ajili ya penzi la binti huyo.

Hii ni mara ya kwanza Casto Kuvunja  ukimya tangu mtoto wake Patrick aliyezaa na Muna kufariki wiki chache zilizopita.

Casto amefunguka hayo siku mbili zilizopita ambapo ilikuwa ni birthday ya mpenzi wake Tunda na kuweka wazi mapenzi yake makubwa aliyonayo kwake.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Casto aliandika maneno haya: "Acha Dunia inione mi KOLO/MJINGA Ila ur my Wife to be Happy Birthday my T.. God Bless u”.

Ujumbe huo wa Casto umepokelewa kwa hisia tofauti na mashabiki zake ambao wengi wao wamemvaa kwa kumuongelea Tunda lakini hajatoa Kauli yoyote kwa utata unaoendelea juu ya mwanaye Patrick.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images