Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Tourists Flock To Tarangire National Park

0
0
A motorcade of tourists  is surrounded by a large herd of elephants in the Tarangire National Park. The park is famous for the highest concentration of elephants per square kilometer in the world. (Photos by Issa Michuzi)
------------------------------------------------
The Tarangire National Park is the sixth largest national park in Tanzania, it is located in Manyara Region. The name of the park originates from the Tarangire River that crosses the park, which is the primary source of fresh water for wild animals in the Tarangire Ecosystem during the annual dry season.

The Tarangire Ecosystem is defined by the long-distance migration of wildebeest and zebras. During the dry season thousands of animals concentrate in Tarangire National Park from the surrounding wet-season dispersal and calving areas. It covers an area of approximately 2,850 square kilometers (1,100 square miles.)

The landscape is composed of granitic ridges, river valley, and swamps. Vegetation is a mix of Acacia woodland, Commiphora-Combretum woodland, seasonally flooded grassland, and Baobab trees. The park is famous for its high density of elephants and baobab trees. Visitors to the park in the June to November dry season can expect to see large herds of thousands of zebra, wildebeest and cape buffalo. Other common resident animals include waterbuck, giraffe, dik dik, impala, eland, Grant's gazelle, vervet monkey, banded mongoose, and olive baboon.

Predators in Tarangire include African lion, leopard, cheetah, caracal, honey badger, and African wild dog. The oldest known elephant to give birth to twins is found in Tarangire. A recent birth of elephant twins in the Tarangire National Park of Tanzania is a great example of how the birth of these two healthy and thriving twins can beat the odds.

Home to more than 550 bird species, the park is a haven for bird enthusiasts. The park is also famous for the termite mounds that dot the landscape. Those that have been abandoned are often home to dwarf mongoose.

In 2015, a giraffe that is white due to leucism was spotted in the park.Current wildlife research projects in the park include the Tarangire Elephant Project, Tarangire Lion Project, and Masai Giraffe Conservation Demography Project.
A velvet monkey tries to solicit some cookies from some tourists taking a breather at the gates of the Tarangire National Park, however it is strictly forbidden to feed animals in national parks mainly for fear of spreading deceases to the wild animals.(Photos by Issa Michuzi)

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya July 19

Jipatie Dawa za Asili za Kupunguza Maziwa, Kutoa Michirizi, Kuondoa Chunusi, Kuongeza Maumbilie na Nguvu za Kiume

0
0
Katika kusherehekea miaka 15 ya kampuni ya NATURAL BEAUTY PROD tunatoa shukrani za dhati sana kwa wateja wetu wote kwa kutuunga mkono miaka yote hiyo.
 
TUNATOA OFFA YA WIKI NZIMA KWA WATEJA WETU UKINUNUA BIDHAA UTAPATA PUNGUZO LA 20%. KWA WATEJA WA MIKOANI UTATUMIWA BURE.

Ni bidhaa salama kabisa zilizotengenezwa kwa mimea na matunda pia zina matokeo mazuri na kwa haraka zaidi.

🥑🍇🍋🍓🍒🌱🍇🍇
👇👇👇👇
1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @220,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 7.5 hadi 8 (wiki 2-3) @180,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @140,000/=
5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @210,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @140,000/
7.BOTCHO MULT PLUS_Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza ( Hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @160,000/=
8.BOTCHO CREAM HOLOGRAM_ Hii ni yakupaka ya kuongeza (HIPS na MAKALIO) @150,000/=
9.LEG BOOSTER_Ni dawa ya kuongeza miguu (CHUPA YA BIA) @140,000/=
10.BODY BOOSTER_ Hii ni yakuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @140,000/=
11.YODI PILLS--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza (hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @160,000/= N.K

NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ili kuthibitisha ubora wa bidhaa zetu.
Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa no÷

(+255) 659618585
au
0759029968
Follow us instagram-
GOOGLE
YOU TUBE
@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod < WELCOME ALL>

JPM Kaamua....Kutoka Angani, Darajani Hadi Mtoni. Pata Nakala Yako Bure Kuona Nini Serikali Yako Imefanya

0
0
JPM  Kaamua....Kutoka Angani, Darajani Hadi Mtoni. Pata Nakala Yako Bure Kuona Nini Serikali Yako Imefanya

==>>Jarida zima liko hapo chini. Waweza soma hapo chini au ukiamua lipakue uwe nalo na lisambaze kwa wengine.

<<<BOFYA HAPA KULI DOWNLOAD>>

Au Lisome Jarida  hapo chini👇👇👇

Kumenoga TAZARA.....Tazama Hapa Picha Kuona Daraja la TAZARA- Dar es Salaam Lilivyo kwa Sasa

0
0
Daraja la juu llinalojengwa na serikali katika eneo la  TAZARA  jijini Dar es salaam likiwa katika hatua za Mwisho za ujenzi wake. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Mtaalam na Bingwa wa Magonjwa Yote Sugu Yaliyoshindikana Kama Vile Pumu, Vidonda vya Tumbo, Bush's, Nguvu za Kiume

0
0
MTALAAM NA BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU NAYALIYOSHINDIKANA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI,MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni 3Power,;Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1,hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

FINA Power: Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ISHOSHA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SHEPU EXRA,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

HUDUMA HIZI NANYINGINE NYINGI MTALAAM BINGWA DR SHEIKH OMARY
Anapatikana dar magomeni moroco hotel
SIMU NO 0767 14 53 57/0629 03 45 50.

NAKAMA NAFASI YAKUFIKA OFISINI HAIPO UTALETEWA HAPO ULIPO.

Atiwa Mbaroni Akijaribu Kutoreoka na Mamilioni ya Pesa Aliyomuibia Boss Wake

0
0
Jeshi  la Polisi mkoani Dodoma limemkamata mfanyakazi wa kituo cha mafuta cha Afro Oil, kilichopo Ipogoro mkoani Iringa, Charles Mbise (23), akijaribu kutoroka baada ya kudaiwa kumuibia mwajiri wake Sh. milioni 17.9.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoani humo, Gilles Muroto, mfanyakazi huyo alikamatwa juzi katika eneo la Mkonze jijini Dodoma majira ya saa 10.30 jioni, akiwa ndani ya gari namba T.165 DAD, aina ya Costa la kampuni ya Nani Kaona, akijaribu kutoroka kwenda mkoani Arusha.

Alisema Mbise alipora kiasi hicho juzi majira ya saa 3.30 asubuhi baada ya kumtishia kwa kisu meneja wa kituo hicho, Msimu Hassan.

Alieleza kuwa meneja huyo alilazimika kutoa fedha alizokuwa akizipeleka benki na kumpatia mtuhumiwa huyo na baada ya kufanya tukio hilo alimfungia ofisini.

Muroto alisema jeshi hilo baada ya kupata taarifa hizo walifanya msako kwenye magari yote yanayotokea Iringa.

"Tulifanikiwa kumkamata mtuhumiwa akiwa na fedha zote alizoziiba, kisu alichotumia kutishia na funguo za ofisi alizoondoka nazo baada ya kumfungia meneja ofisini. Tulimkamata majira ya saa 10. 30 jioni jana (juzi), akiwa ndani ya gari hilo katika eneo la Mkonze jijini Dodoma,” alisema Muroto.

Akizungumzia tukio hilo, mmoja ya wakurugenzi wa Kampuni ya Afro Oil, Salim Ahmed, alisema baada ya mfanyakazi wake kufanya tukio hilo, aliwasiliana na polisi mkoa wa Dodoma kwa sababu aliamini mtuhumiwa angekimbilia mkoani Arusha kupitia Dodoma.

“Tulitoa taarifa hizi polisi na pia zilisambaa picha za mtuhumiwa kwa polisi ambazo ziliwezesha kutambulika kwa urahisi,” alisema.

Alilipongeza jeshi hilo kwa namna lilivyofanikiwa kumnasa mtuhumiwa huyo kwa haraka akiwa na fedha taslimu alizoziiba huku akiahidi kampuni hiyo itajenga kituo kidogo cha polisi kwenye eneo lolote la Dodoma ambalo linachangamoto ya uwepo wa matukio ya kihalifu.

Wazazi 5 wenye watoto wahalifu watiwa mbaroni

0
0
Kutokana  na kukithiri kwa vitendo vya uhalifu katika mtaa wa Kisasa jijini Dodoma, Jeshi la Polisi limelazimika kuwakamata wazazi watano wa vijana wanaojihusisha na matukio hayo.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma Gilles Muroto, alisema amelazimika kuwakamata wazazi na walezi wa vijana hao baada ya kuwatoroka polisi.

“Jeshi la Polisi litawashughulikia wazazi wanaowahifadhi wahalifu katika familia zao, tumebaini kuwa wapo baadhi ya wazazi wamewatorosha wahalifu na mimi ninaagiza wawasalimishe haraka iwezekanavyo,” alisema.

Alisema wazazi wanao wajibu wa kuwalea watoto wao vizuri na kutoa taarifa polisi za uhalifu kwa kuwa wanajua wanapora mali za watu na kuvunja nyumba.

“Tunajua kuna baadhi ya wazazi wanawalinda na kuwahifadhi wahalifu hao lazima tukomeshe vitendo vya kihalifu Dodoma,” alisema. 

Alibainisha kuwa Dodoma ni salama kwa watu wema na si salama kwa wahalifu wa aina yoyote na kuonya kuwa wasiokuwa tayari kubadilika watakamatwa na kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria.

Muroto alisema jeshi hilo litaendelea kufanya operesheni kwa ajili ya kuabaini makundi ya wahalifu ambao ni vijana wanaoishi katika maeneo mbalimbali wanaojihusisha na uporaji wa mali za watu.

Alisema katika operesheni hiyo itawahusisha kuwakamata watu wanaowafahamu wazazi na walezi wanaowalinda watoto wahalifu.

Hivi karibuni wakazi wa mtaa huo na maeneo mengine ya jirani wamekuwa wakilalamika nyumba zao kuvunjwa na kuibiwa vitu mbalimbali ikiwamo runinga pamoja na kutishiwa uhai.

Mmoja wa wakazi hao, Debora Fredy, alisema kila wakati kumekuwapo na matukio ya uhalifu kwenye mtaa huo na kuhitajika kuwapo msako wa usiku kwenye mitaa ili kuifanya Dodoma kuwa shwari.

Alisema wengi wa wakazi wanalalamika kuporwa mali zao na wengine kuvunjiwa nyumba na kuibiwa vifaa mbalimbali hususan runinga za kisasa (flat screen).

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Peter Msigwa: Upinzani ukifa watumishi watapata tabu sana

0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema ikifika mahali vyama vya upinzani nchini vikafa, ni dhahiri watumishi wa umma wakiwamo wa Manispaa ya Iringa watapata tabu sana.

Kauli hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa ambaye pia ni Mbunge wa Iringa Mjini Mch. Peter Msigwa, jana kwa waandishi wa habari wakati akizungumzia madai kuwa kuna hujuma zimefanywa na baadhi ya wana CCM Manispaa ya Iringa katika uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata tano.

Alidai kuwa baadhi ya watumishi wa serikali kwa makusudi wanashinikizwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhujumu Chadema ili ishindwe katika uchaguzi mdogo, hivyo wasidhani kuwa kukihujumu chama hicho kikuu cha upinzani kutawafanya wao wabaki salama, ukweli hawatobaki salama kama wanavyofikiri.

Katika uchaguzi huo Manispaa ya Iringa kata mbili za Kwakilosa na Gangilonga wagombea wa CCM wamepita bila kupigwa.

Msigwa alisema kutokuwapo kwa siasa za upinzani nchini, hakuna taasisi itakayobaki salama kwani hata wana CCM wanaoshangilia wataathirika kwa kiasi kikubwa.

“Nataka niwaambie watumishi wa serikali, kufa kwa Chadema, kutokuwapo kwa siasa za upinzani, kutokuwapo kwa Chadema watapata tabu sana katika kipindi cha miaka mitano ambayo Chadema imeongoza halmashauri chini ya Meya Alex Kimbe, wataalamu wamefanya utaalamu wao kwa weledi kwa sababu wamekuwa huru,” alisema na kuongeza:

“Tumedhibiti wizi, lakini sasa hivi wanadhani kutoa Chadema au upinzani wao watakuwa salama ila watambue watapata tabu sana.”

“Mimi nisema wazi kuna wakurugenzi na watendaji wamejigeuza kuwa makada wa CCM bila hata ya kificho kama huyu mkurugenzi wa Iringa anashindwa kufuata taratibu za uchaguzi na kuna fomu zetu, amezikataa kabisa na kuziwekea pingamizi wakati hiyo siyo kazi yake.

“Maana pingamizi huwekwa na mgombea na sio msimamizi wa uchaguzi, mimi niwambie wasijione wako salama wanapotuhujumu, bali wanajipalia moto,” aliongeza.

Mgunduzi wa Madini ya Tanzanite Aliyepewa Mil. 100/- na Rais Magufuli apelekwa India

0
0
Mgunduzi  wa madini ya Tanzanite, Jumanne Ngoma, ambaye anasumbuliwa na maradhi ya kupooza amepelekwa India kwa ajili ya matibabu.

Mzee Ngoma alisafirishwa juzi na tayari jana alianza kupata matibabu katika Hospitali ya Apollo jijini New Delhi.

Kwa mujibu wa mtoto wa mzee huyo, Asha Ngoma, mgunduzi huyo ameamua kutafuta matibabu zaidi baada ya kutibiwa hapa nchini.

“Alipata matibabu nchini, lakini ameamua kutafuta matibabu zaidi nje ya nchi ili aone kama atapona haraka zaidi,” alisema mtoto huyo na kuongeza:

“Mzee amekuwa akipatiwa matibabu tangu wakati ule Rais Magufuli alipompatia Sh. milioni 100 Aprili mwaka huu kwa ajili ya matibabu zaidi wakati wa uzinduzi wa ukuta wa Mirerani.”

Alimshukuru Rais Magufuli kwani walipewa fedha hizo ndani ya muda mfupi zilimsaidia sana.

Aprili 6 mwaka huu, Rais Magufuli akiwa mji mdogo wa Mirerani Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wakati akizindua ukuta uliozunguka machimbo ya madini ya Tanzanite, alitangaza kumtambua Mzee Ngoma na kumwahidi kumpatia fedha hizo ili zimsaidie katika matibabu.

Akizungumza na wananchi siku hiyo, Rais Magufuli alisema atamwandikia barua maalum ya kumtambua Mzee Ngoma.

Rais Magufuli alisema alipata ujumbe mfupi na baadaye kupata taarifa kutoka kwa mtoto wake, Hassan na alipofuatilia alibaini ni za kweli.

“Nimeambiwa tangu mwaka 1967 madini haya yagunduliwe na mzee huyu, lakini pamoja na kutambuliwa na Rais wa Kwanza, Mwalimu Julius Nyerere kwenye barua niliyoiona iliyosainiwa tangu tarehe 3/8/1980 na nakala yake ya kuvumbua madini ya aina ya pekee na kuyapeleka kwa mtaalam wa madini na miamba mwaka 1967, barua hiyo nayo ninayo hapa,” alisema.

Gari La Wagonjwa Lapata Ajali Likitoroshwa Usiku....Ni Siku Chache tu Baada ya Gari Jingine Kunaswa na Mirungi

0
0
Gari la kubeba wagonjwa la Wilaya ya Itilima mkoani hapa limepata ajali, huku ndani likiwa na matairi chakavu tisa, siku chache baada ya serikali kupiga marufuku magari hayo kupakia kitu chochote zaidi ya wagonjwa.

Gari hilo lenye namba za usajili STK 6646, lilipata ajali hiyo majira ya saa 10 usiku kuamkia jana, katika eneo la Daraja la Mto Bariadi, katikati ya Mji wa Bariadi na chanzo cha ajali hiyo hakijafahamika.

Serikali kupitia Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, hivi karibuni ilipiga marufuku magari ya wagonjwa kubeba kitu chochote zaidi ya wagonjwa.

Hatua ya kupiga marufuku hiyo inafuatia gari moja la wagonjwa kukutwa likiwa limepakia magunia ya dawa za kulevya aina ya mirungi, huku likiacha wagonjwa wakihangaika usafiri wa kuwawahisha hospitali kupata huduma.

Gari lililokutwa na matairi hayo chakavu ni lenye namba za usajili STK 6646.

Dereva wa gari hilo Ndekeja Makwenu, amelazwa katika hospitali teule ya Mkoa wa Simiyu baada ya kupata marejaha mbalimbali.

Akizungumza na waandishi wa habari, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Paul Nyalaja, alisema gari hilo ni moja ya magari manne yaliyopelekwa mkoani Mwanza kwa ajili ya matengenezo ya kuondolewa matairi yaliyochakaa, Jumapili iliyopita.

Nyalaja alisema kuwa baada ya matengenezo hayo gari hilo lilibeba matairi yote ya magari manne, ambayo yalikuwa chakavu kwa ajili ya kuyarejesha ofisi za usafirishaji za halmashauri hiyo kama taratibu za manunuzi zinavyotaka.

“Gari lilifika Bariadi Jumatatu usiku na kuegeshwa katika kituo cha afya Muungano, kilichopo Mjini Bariadi, katika mazingira ya kutatanisha muda wa saa 10 usiku, gari liliondolewa kwenye kituo hicho kuelekea kusikojulikana,” alisema Nyalaja.

Alisema walishangaa kukuta gari hilo limepata ajali likiwa limebeba matairi hayo huku likionekana kuligonga tela la trekta lililokuwa limeegeshwa pembezoni mwa barabara baada ya kuharibika.

Kaimu Mkurugenzi huyo alieleza kuwa bado wanachunguza ili kubaini chanzo cha ajali, ikiwa pamoja na sababu za gari hilo kuondolewa kwenye maegesho ya magari ya serikali nyakati za usiku.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa wilaya hiyo, Benson Kilangi, alisema hakuna kifo kilichotokea, lakini amesikitishwa na ajali hiyo.

Alisema kutokana na mazigira ya ajali hiyo kuwa tata, ameagiza kukamatwa Ofisa Usafirishaji wa Halmashauri hiyo, Oswini Mlelwa na kuwekwa ndani kwa ajili ya mahojiano zaidi ikiwa pamoja na kufanyika kwa uchunguzi.

Shilole Ampa Makavu Muna Love

0
0
Msanii  wa muziki wa mduara, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amemvaa msanii mwenzake wa Bongo Movies, Rose Alphonce ‘Muna Love’ kwa kuita vyombo vya habari na kuzungumzia kuhusu ugonjwa na kifo cha mwanaye Patrick huku akisisitiza kuwa baba mzazi wa mtoto huyo alikuwa ni Casto wala siyo Peter.

Akifunguka, Shilole amesema halikuwa jambo jema kwa Muna kutoka na kuanza kuzungumzia mambo ambayo tayari yalikwisha siku ya msiba kwenye Viwanja vya Leaders jijini Dar wakatai msiba wa mtoto wake bado mbichi ndiyo kwanza una wiki moja tu.

“Ningekuwamimi ningefunga na kufanya maombi kwa ajili ya mtoto wangu, yani Muna unapata wapi nguvu ya kutoka na kuanza kuongea na vyombo vya habari hata 40 ya mwanao haijaisha? Unapata wapi nguvu ya kushika simu, kumfanyia interview na kumrekodi Steve Nyerere wakati umefiwa?

“Haya mambo yaliisha siku ya mazishi, hakuna chopmbo cha habari wa Instagram yoyote ambayo imekuwa ikiyazungumzia, unataka kumthibitisha mtoto ni wa Casto ili iweje? Hatuhitaji kujua sisi, kwa hiyo ameamua kumdharirisha baba watu Peter? Umeshindwa hata kuficha madhaifu yako au aibu ya wanawake wengine ambao wamezaa nje ya ndoa lakini wanaishi na waume zao?

“Umehangaika na mtoto wako, hadi mtoto akafariki, umeingia leba ukazaa, sielewi, yani roho inaniuma sana, hivi unafuraha gani? Mtoto anauma kuliko kitu chopchote, unaita press conference ili iweje? Itakupa mileage gani? Hakuna mwanamke ambaye amependa hiki, kwa nini kama ungekuwa na tatizo usingeniambia kama mambo mengine ambavyo huwa unafanya, wewe mwanamke utapata tabu sana kwenye hii dunia,” amefunguka Shilole.

Kigwangalla atoa siku 40 waliovamia hifadhi ya Kijereshi kuhama

0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwangalla ametoa siku 40 kwa wakazi wa vijiji vinavyopakana na hifadhi ya pori la akiba la Kijereshi wilayani Busega Mkoa wa Simiyu, kuhama eneo hilo.

Dk Kigwangalla amemuagiza meneja wa hifadhi hiyo, Diana Chambi kuhakikisha kabla ya siku hizo kuisha, awaandikie barua wananchi hao wanaodaiwa kufanya shughuli za kijamii katika eneo hilo lenye ukubwa wa mita 500, kuhama mara moja ili ziwekwe alama za kuonyesha mwisho wa hifadhi hiyo.

Ametoa agizo hilo leo Alhamisi Julai 19, 2018 katika ziara yake ya kutembelea hifadhi hiyo, kushangazwa na idadi kubwa ya wananchi waliojenga nyumba za kudumu ndani ya hifadhi hiyo, kuendesha shughuli za kilimo na ufugaji.

Amesema ikifika Agosti 31, 2018 wananchi watakaoshindwa kuondoka eneo hilo, wataondolewa kwa nguvu.

“Muda nilioutoa ukimalizika kazi inaaza mara moja, hapa hakuna utani  hii ni hifadhi lazima itunzwe na kulindwa, tukiwaacha hawa wataendelea na ujangili na kuweka mifugo,” amesema.

“Kuanzia Septemba Mosi operesheni inaanza kwa wale wote watakaogoma kuondoka.”

Katika hatua nyingine, waziri huyo ameitaka kampuni ya Kijereshi Tented Camp iliyowekeza kwenye pori hilo,  ndani ya miezi mitatu kurejesha kwa msajili wa ardhi hati ya eneo lenye ekari 1,160 lililoko ndani ya hifadhi hiyo kwa maelezo kuwa walipewa kimakosa.

VIDEO: Maamuzi ya TCRA Kwa Hamisa Mobeto na Irene Uwoya Baada ya Kuweka Picha za Nusu Uchi Mtandaoni

0
0
Msanii Irene Uwoya  na Mwanamitindo Hamissa Mobetto wamewajibishwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania -TCRA  kwa kosa la kuweka picha za Nusu uchi mitandaoni kinyume na kanuni za maudhui mtandaoni za mwaka 2018.

Katika maamuzi yake na kwa kuzingatia utetezi wa Hamissa Mobetto ambaye amesema picha hizo alizipiga mwaka jana nchini Kenya, TCRA  imempa Onyo la mwisho na kwamba akirudia, atachukuliwa hatua kali za kisheria.

Aidha, TCRA imemtaka Hamissa Mobetto kuweka tangazo kwenye ukurasa wake wa Instagram la kuwaomba msamaha watanzania na kuwataka kutosambaza picha zake za nusu uchi.

Kwa upande wa Irene uwoya, yeye pia kapewa Onyo la mwisho kwa kuzingatia utetezi wake alioutoa, pia ametakiwa kuomba msamaha kupitia ukurasa wake wa Instagram.

==>>Zaidi, tazama hapo chini

Viwanja Vinauzwa..............Surveyed plots for sale: Mapinga (Baobab Sec, km 5 kutoka Bunju-DSM)

0
0
Surveyed plots for sale: Mapinga (Baobab Sec, km 5 kutoka Bunju-DSM).
 
Viwanja ni vikubwa sana (low density plots). Viwanja viko umbali wa km 2 kutoka main road (Bagamoyo Road).
Ziko plots za sqm 1400, sqm 2100, na sqm 2700.
Bei ya kila sqm ni sh 13,000 (negotiable)
 
Huduma za kijamii (maji, umeme) zipo na miundombinu yote iko vizuri (mradi wa kusogeza lami mpaka nyumbani umeanza). Ramani zote (Town plan & Deed plan) zipo tayari. Hati ya miaka 99 itapatikana ndani ya miezi 2 tu.
 
Hakuna dalali, contact mhusika: 0758603077
Pia, vipo viwanja vya bei nafuu sana ambavyo taratibu za upimaji zimeanza lakini bado hazijakamilika (on-process). Hivi viko Kimele, ni kilometa 3 kutoka main road (Bagamoyo Road). Viwanja viko planned (kwa mpangilio mzuri) na ukinunua unapimiwa ili upate hati kwa gharama ya sh 300,000 tu.
 
Bei ya viwanja inabadilika kuendana na size ya kiwanja ulichochagua.
Bei ni: milion 2 for 10/20, mil 3 for 15/20, mil 4 for 20/20, mil 5 for 25/20, mil 6 for 20/30, mil 8 for 20/40, mil 11 for 25/45, mil 12 for 30/40 na mil 16 for 40/40, mil 20 for 0.5acre, mil 38 for 1 acre. 

Ruksa kulipa kwa awamu ndani ya miezi 3-4.
 
Hakuna dalali, mpigie mhusika,0758603077

Ya Kujivunia Katika Infinix Note 5, Teknolojia Ya Android 1 Kamera Na Muonekano Wa Almasi.

0
0
Kwa sasa tumekuwa tukiona makampuni ya simu yakizalisha simu mara kwa mara ili kuweza kuongeza idadi ya wateja na kuendelea kuwa kampuni pendwa lakini wanashindwa kuweka utofauti katika simu zao. Kitu ambacho kampuni moja tu ndio imeweza kufauli katika hili kupitia toleo lake jipya la Infinix NOTE 5.

Nikiwa na maana ya kwamba tangu kuanza kwa mwaka huu tumeona kampuni zikizalisha simu za Android 8.1 mpaka imetengeneza mazoea baina ya wanunuaji. Na kwa kupitia huo udhaifu Infinix ndipo walipoleta mapinduzi kupitia infinix NOTE 5 yenye kubeba sifa zake zote katika mfumo wa Android 8.1 ya Android One (A1), ikiwa na maana hata kamera yake inafanyakazi kupitia Android One.
 
Kamera ya Infinix NOTE 5 ni 12MP yenye pixel 1.25um, hivyo basi tunaona Infinix NOTE 5 inauwezo wa kupiga picha nzuri kupitia kamera yake kutokana na pixel ya kamera kuwa kubwa na kamera ya mbele ni 16 iliyo na low light selfie ikiwa na maana hata katika mwanga hafifu bado unaweza kujitwanga selfie na ikakupa picha yenye muonekana mzuri.   
 
Na ili kuifanya simu iwe na muonekana mzuri Infinix NOTE 5 inaumbo jembamba, nyuma ikiwa na muonekana wa kioo kinachong’aa kama alimasi na eneo lake kubwa la mbele limetawaliwa na wigo mpana wa kioo cha 18:9  ya nchi 6.0 FHD (1080*2160) chenye kukufaidisha katika usomaji, uangaliaji movie, kucheza games, kukupa picha yenye uhalisia zaidi lakini pia kugawa kioo cha simu yako na kufanya kazi mbili kwa wakati mmoja ili kuokoa muda lakini pia kioo cha NOTE 5 kinakupa uhuru wakutumia simu yako hata kwenye jua kali. 
 
Na kama jina lake linavyojieleza NOTE 5 ni simu yako wewe mfanyakazi wa ofisini na hata mwanafunzi. Infinix NOTE 5 inastorage kubwa ya GB 32 kwa ram ya GB 3 ni simu yenye uwezo wa kuhifadhi ‘files’ nyingi na kuzitumia kwa wakati mmoja pasipo simu kuelemewa.
 
Ukubwa wa betri yenye ujazo wa 4500mAh, Android One na processor Helio 23 yenye 2.0 Ghz Quard core vyote kwa pamoja vinaifanya simu ya Infinix kuweza kudumu na chaji kwa siku Tatu na zaidi na pasipo masharti katika utumiaji.

Kwa habari nyingi zaidi tembelea tovuti www.infinixmobility.com/tz/ 

Lowassa, Zitto Kabwe Wakutana Faragha

0
0
Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa na kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe wamekutaka na kufanya mazungumzo leo Alhamisi Julai 19, 2018.

Taarifa iliyotolewa leo na msaidizi wa waziri mkuu huyo, Aboubakary Liongo imesema katika mazungumzo hayo yaliyofanyika ofisini kwa Lowassa,  viongozi hao walijadiliana juu ya mwenendo wa hali ya siasa Tanzania na mchango wa vyama vya siasa kwenye maendeleo ya nchi.

Taarifa hiyo iliyoambatana na picha zinazowaonyesha wawili hao wakijadiliana masuala mbalimbali, haikueleza kiundani walichozungumza.

Mgombea Udiwani CHADEMA Ajitoa.....Wa CCM Apita bila Kupingwa

0
0
Daniel Homa (Chadema) aliyeteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kugombea udiwani kata ya Hayderer wilayani Mbulu mkoani Manyara amejitoa rasmi.

Kufuatia uamuzi huo, mgombea wa CCM, Justin Masuja amepita bila kupingwa.

Kujitoa kwa Homa kumethibitishwa leo Julai 19, 2018 na msimamizi wa uchaguzi jimbo la Mbulu Vijijini, Hudson Kamoga na kubainisha kuwa amepokea barua ya kujitoa kwa mgombea huyo.

“Kwa mamlaka niliyopewa kama msimamizi wa uchaguzi wa eneo hili, namtangaza rasmi mgombea udiwani kwa tiketi ya CCM, Justin Masuja kuwa diwani mteule anayesubiri kuapishwa baada ya kupita bila kupingwa," amesema Kamoga.

Amesema kwenye kata ya Tumati bado wanasubiri taarifa ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) baada ya mgombea udiwani wa Chadema,  Zacharia Nihhi kuwekewa pingamizi na mgombea wa CCM.

"Mgombea wa CCM, Paulo Axweso aliweka pingamizi kwa mgombea huyo wa Chadema hivyo tunasubiria majibu kama ataruhusiwa au ataondolewa," amesema.

Akizungumzia kujitoa kwake, Homa amesema amechukua uamuzi huo kwa maendeleo ya Hayderer.

Amebainisha kuwa hajashawishiwa na mtu yoyote kuachia nafasi hiyo, ameamua kumuachia mgombea wa CCM ambaye awali alikuwa diwani wa kata hiyo kwa tiketi ya Chadema.

Twaweza yaijibu Costech kimya kimya

0
0
Mara baada ya kusambaa kwa barua ya Twaweza iliyoandikwa kutokea Costech,Taasisi ya Twaweza imejibu kimya kimya barua waliyoandikiwa na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Julai 11 2018.

Twaweza imechukua hatua hiyo baada ya kutakiwa na Costech kujieleza kwa nini isichukuliwe hatua za kisheria kwa kosa la kutoa matokeo ya utafiti bila ruhusa.

Meneja utetezi wa taasisi ya Twaweza Annastazia Rugaba amesema kuwa tayari Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza, Aidan Eyakuze ameshajibu barua hiyo tangu Julai 13 na sasa wanasubiri majibu ya Costech.

Julai 11, mwaka huu Costech iliiandikia barua Twaweza na kuitaka kutoa maelezo hayo ikiwa ni siku chache baada ya kutoa ripoti ya utafiti uliopewa jina la ‘Sauti za Wananchi.’

Matokeo ya utafiti huo yalionyesha kuporomoka kwa ukaribu wa wananchi na vyama vya siasa, utekelezaji wa majukumu kwa viongozi walioko madarakani, Rais anavyotekeleza majukumu tangu alipoingia madarakani na uhuru wa kujieleza katika baadhi ya maeneo
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images