Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo dawa na PETE za bahati zenye uwezo mkubwa wakuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.
 
Kutana na Sharif Al_noor. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. -SHARIF ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA- Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na inje ya nchi.
 
Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.
 
Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudisha  alipotea(MSUKULE), kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, kutoa ndagu, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMA, GARI..), Kesi mahakamani, Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET) Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa nambari ya simu
 
+255 746 426 604

Hatima maombi ya vigogo Chadema kujulikana Julai 20

$
0
0
Hatima ya maombi ya viongozi wa Chadema  wanaokabiliwa kesi ya jinai katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, itajulikana Julai 20, 2018 baada ya Mahakama Kuu kutoa uamuzi wa pingamizi la Serikali.

Viogozi hao wakiongozwa na mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe  wamefungua maombi ya mapitio Mahakama Kuu  dhidi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), wakipinga uamuzi na amri mbalimbali zilizotolewa na Mahakama ya Kisutu katika kesi hiyo.

Wameiomba Mahakama Kuu kuitisha jalada la kesi hiyo kutoka Kisutu ili kuchunguza na kujiridhisha na usahihi na uhalali wa amri hizo.

Hata hivyo DPP amewasilisha pingamizi la awali dhidi ya maombi hayo,  akiiomba mahakama hiyo iyatupilie mbali kwamba madai yao  ni batili kwa kuwa yanakiuka Sheria ya Mahakama za Hakimu Mkazi, kifungu cha 43 (2).

Pingamizi hilo la awali limesikilizwa jana  Ijumaa Julai 13, 2018 na Jaji Rehema Sameji ambaye baada ya kusikiliza hoja za pande zote, amepanga kutoa uamuzi Julai 20,2018.

Mbali na Mbowe, washtakiwa wengine katika kesi hiyo inayosikilizwa na Hakimu Wilbard Mashauri ni Katibu Mkuu, Dk Vicent  Mashinji; naibu makatibu wakuu John Mnyika (Bara) na Salum Mwalimu (Zanzibar).

Wengine ni mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa;  mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko; mbunge wa Kawe, Halima Mdee; mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche na mbunge wa Bunda, Ester Bulaya.

Wote wanakabiliwa na  mashtaka 13, ambayo ni kufanya mikusanyiko na maandamano yasiyo halali, yanayaowakabiliwa washtakikwa wote huku Mbowe, Mchungaji Msigwa, Mdee na Heche kila mmoja akikabiliwa na mashtaka zaidi.

Katika kesi hiyo ya jinai namba 112, washtakiwa hao wanadaiwa kutenda makosa hayo Februari 16, 2018 katika barabara ya Kawawa, Mkwajuni Kinondoni na kusababisha vurugu zilizosababisha kifo cha mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwiline.

Taarifa Muhimu Toka Jeshi la Wananchi - JWTZ

$
0
0
Na Luteni  Selemani Semunyu
Jeshi la Ulinzi la wananchi wa Tanzania limekanusha taarifa zilizosambazwa kupitia mitandao ya kijamii kuhusu malalamiko juu matibabu  ya mtoto anayedaiwa kuvunjika na kupatiwa  huduma  katika Hospitali kuu ya jeshi ya Lugalo.

Akizungumza na waandishi wa habari jana  Jijini  Dar es Salaam msemaji mkuu wa Jeshi Kanali Ramadhani Dogoli alimtaka aliyejinasibisha kama mlalamikaji kuwasilisha malalamiko yake kama yana ukweli ili hatua zichukuliwe kwa wahusika.

“ Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania JWTZ linamtaka malalamikaji alete taarifa kwenye uongozi ili kama matukio hayo yametokea tuweze kuchukua hatua kwa wahusika” Alisema kanali Dogoli.

 Aliongeza kuwa iwapo aliyedai kulalamika atashindwa kufanya hivyo jeshi litaaamini kuwa mlalamikaji alikusudia kuichafua hospitali yetu kwa maslahi binafsi  na kwa sababu hiyo tutamtafuta haraka na kumchukulia hatua zinazomstahili.

Msemaji huyo wa JWTZ alisema Mnamo Julai 10 mwaka huu ilisambaa habari ikilalamika huduma zisizoridhisha  katika kitengo cha mifupa katika hospitali ya lugalo  baada ya kudai  mtoto wake mkono umeunga vibaya na kutakiwa kupatiwa matibabu tena.

Hata hivyo alisema baada ya kupata taarifa walifanya uchunguzi ambapo yalipitiwa majina ya watoto wote waliotibiwa tangu April hadi 30 Juni mwaka huu hakuna mtoto aliyefika mara mbili kwa waliopata mivunjiko.

“ Watoto wawili tu ndio walitibiwa na wazazi wao walithibitisha kuwa maendeleo yao ni mazuri majibu yalipelekea kubaini kuwa labda muhusika alikusudia kuichafua Hospitali yetu” Alisema kanali Dogoli.

Kwa upande wake Mkuu wa tiba wa JWTZ Meja Jenerali Dk Denis Janga alisema amesikitishwa na taarifa hiyo ambayo pia imewagusa wataalam wa hospitali hiyo ambayo imekuwa ikitoa huduma kwa wananchi tofauti na majeshi mengine ambapo hospitali za jeshi zinahudumia wanajeshi na Familia zao pekee.

Alisema wataalam wa hospitali hiyo ni wataalam kama watalaaam wengine waliopata mafunzo ndani na nje ya nchi kama ilivyo wataalam wengine na kamwe hawatokatishwa tamaa na maneno ya kuichafua hospitali hiyo.

Mkuu huyo wa Tiba jeshini alisema wameapa kuilinda na kuitetea katiba na wamejitolea kuwahudumia watanzania hivyo hawatosita kufanya hivyo kwa moyo wao wote.

“ Kamwe hatutasita kuwahudumia Watanzania  kwa maneno ya uongo na kuwataka watanzania kuwapuuza watu wenye mtazamo wa kuwagombanisha na wananchi na sasa ni wakati wa kutiana moyo kwa jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali” Alisema Meja Jenerali Janga .

Hospitali za Jeshi nchini ikiwemo  Hospitali kuu ya jeshi Lugalo  zimekuwa zikishiriki katika utoaji wa huduma kwa Wananchi kwa Zaidi ya ya asilimia 70 ukilinganisha na idadi ya Askari na wategemezi wao wanaopata huduma katika hospitali hizo.

Tiba Bora ya Tatizo Sugu la Nguvu za Kiume

$
0
0
OFA! Je umepungukiwa nguvu za kiume na umetumia dawa bila mafanikio? Sasa utapona kwa sh 15000 tu .Ofa ni kwa watu kumi wakwanza kila siku .Ofa hii itadumu ndani ya wiki 2 baada ya hapo bei itakuwa nyingine na kama hujapona tunakurudishia hela yako !

Dawa hii ni dawa ya maajabu, huwezi kuamini Ila wengi wameiamini,inatibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na utapewa garantee ya mwezi mmoja 

Dawa hii inapatikana hapo hapo ulipo nyumbani kwako na tutakupatia maelezo ya namna ya kuiandaa wewe mwenyewe na baada ya kuiandaa utakunywa Mara moja tu,na hautatumia dawa yoyote ya nguvu za kiume 

Dawa hii inawafaaa watu kuanzia miaka 18 mpaka miaka 70 zaidi ya miaka hyo haitakusaidia 

Ni dawa ya asilia, haina madhara yoyote,watafiti na waganga wameikubali pia hii dawa inawafaa hata wanawake wasiopata hisia za mapenzi

Pia tunaweza kukutumia dawa popote ulipo lakini s kwa bei ya ofa, ukiitumia dawa hii unakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 3 bila hamu kuisha na itakufanya uwe na uwezo wa kufanya tendo la ndoa muda wowote 

Imesaidia watu zaidi ya 148 ndani ya mwaka mmoja tangu igunduliwe  na Dr kiboko mganga wa tiba za jadi toka kisiwani mafia 

Pia tunatibu magonjwa mbalimbali, kurudisha mpenzi aliye kuacha,biashara iliyoyumba, nk 

OMBI LANGU; kwanza naomba radhi kwa watu wanaofika kwenye ofisi yangu na kuchelewa kupata huduma kutokana na foleni ya watu wengi kuja pia pongezi nyingi nimepata kutokana na mafanikio makubwa wanayoyapata baada ya kutumia hii dawa ombi langu naomba upige cm nikuelekeze hii dawa hapohapo kuepuka usumbufu na kuokoa mda wako asante

Maelezo zaidi ; Dr kiboko-  0679923297

Wakimbizi Wote Walio Nje Ya Kambi Za Wakimbizi Watakiwa Kurudi Makambini Ndani Ya Siku Saba

Breaking News: Rais Magufuli Katengua uteuzi wa Mkurugenzi wa NSSF

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Prof. Godius Kahyarara kuanzia leo July 14, 2018. Prof. Kahyarara atapangiwa kazi nyingine.

Kufuatia hatua hiyo, Rais Magufuli amemteua William Erio kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF.

Kabla ya uteuzi huo Erio alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF. Uteuzi wa Erio unaanza leo July 14, 2018.

Mtaalam na Bingwa wa Magonjwa Yote Sugu Yaliyoshindikana Kama Vile Pumu, Vidonda vya Tumbo, Bush's, Nguvu za Kiume

$
0
0
MTALAAM NA BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU NAYALIYOSHINDIKANA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI,MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni 3Power,;Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1,hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

FINA Power: Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ISHOSHA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SHEPU EXRA,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

HUDUMA HIZI NANYINGINE NYINGI MTALAAM BINGWA DR SHEIKH OMARY
Anapatikana dar magomeni moroco hotel
SIMU NO 0767 14 53 57/0629 03 45 50.

NAKAMA NAFASI YAKUFIKA OFISINI HAIPO UTALETEWA HAPO ULIPO.

CCM Yaingilia Kati Sakata la Gari la Serikali Kunaswa na Mirungi

$
0
0
Kitendo  cha gari la wagonjwa kukamatwa likiwa limebeba dawa za kulevya aina ya mirungi, limeendelea kuwa gumzo kila kona huku Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mara, kikilaani jambo hilo.

Gari hilo linalotumiwa na hospitali ya wilaya ya Tarime, lilikamatwa Jumatano wiki hii wilayani Bunda likiwa na shehena ya kilo 823 za mirungi iliyokuwa ndani ya magunia.

Kutokana hatua hiyo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime, juzi alitangaza kuwasimamisha kazi watumishi watatu wa hospitali hiyo akiwamo Mganga Mkuu wa Halmashauri, Dk. Innocent Kweka.

Wengine waliokumbwa na hatua hiyo ni Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali, Dk. Hamili Kombo na Katibu wa Afya, Rwegasira Karugwa. Sababu kubwa ya kusimamishwa kwao ni uzembe.

Kitendo hicho kimeiamsha CCM mkoa na kutaka serikali kufanya uchunguzi wa kina ili kuwabaini watu wote walioko kwenye mtandao huo, na hatimaye kuchukuliwa hatua stahiki za kinidhamu ikiwamo kufikishwa mahakamani.

Mwenyekiti wa CCM mkoani hapa, Samuel Kiboye, alisema kikao cha Halmashauri Kuu ya Mkoa kilichofanyika jana mjini hapa, kimetoa tamko hilo ili kuonyesha kuwa hakikubaliani na kitendo hicho .

Kiboye alisema kitendo cha gari la wagonjwa kubeba dawa za kulevya hakiwezi kuvumiliwa na kinapaswa kulaaniwa na kila mwananchi kwa sababu kimeleta aibu kwa wilaya ya Tarime, mkoa wa Mara na Tanzania kwa ujumla.

“Sisi wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM mkoani wa Mara, kwa ujumla tunalaani kitendo cha gari la wagonjwa kubeba dawa za kulevya maana kimetupa aibu sana wananchi wote wa mkoa wa Mara. Tunakuomba Mkuu wa Mkoa (Adam Malima) muwakamate wote waliohuska. Fanyeni uchunguzi wa kina kwani huenda wamo pia viongozi wa serikali,” alisema.

Naye Malima alisema serikali itahakikisha wote walioko kwenye mtandao huo wanakamatwa na kwamba tayari watuhumiwa wawili, akiwemo dereva wa gari hilo, George Matai, wanashikiliwa na polisi na kuongeza kuwa uchunguzi zaidi juu ya suala hilo bado unaendelea.

Gari hilo la wagonjwa lenye namba za usajili DFPA 2955, lilikamatwa na polisi wa wilayani Tarime, katika kijiji cha Bitaraguru wilayani Bunda, likiwa limepakia magunia 34 ya dawa za kulevya zenye uzito wa zaidi ya tani 800.

Askari hao walikuwa wanatoka wilayani Tarime wakiwa wanapeleka mgonjwa ambaye ni askari mwenzao katika Hospitali ya Rufani ya Bugando jijini Mwanza, aliyejeruhiwa kichwani baada ya kupata ajali ya pikipiki.


Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari Kuhusu Fursa Za Masomo Saudi Arabia

$
0
0
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imepokea fursa za ufadhili wa masomo katika kozi mbalimbali kutoka Serikali ya Saudi Arabia.
 
Mafunzo hayo yatatolewa katika Chuo Kikuu cha Imam Abdulrahman bin Faisal kilichopo Saudi Arabia. Taarifa kamili kuhusu ufadhili, kozi na taratibu zote za namna ya kuomba zinapatikana kupitia tovuti ya Chuo hicho www.iau.edu.sa

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje Na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Dar es Salaam

Zari Ampa Pole Hamisa Baada Ya Kukanwa na Diamond Hadharani

$
0
0
Zarinah Hassan ‘Zari’ amerudi Kwenye headlines tena baada ya kumuandikia ujumbe adui yake namba moja Hamisa Mobetto baada ya kukanwa na Diamond hadharani.

Sakata hilo lilianza jana baada ya Diamond kuachia video yake mpya ya wimbo wake wa ‘Baila’ ambapo aliposti Kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuandika kuwa hajapata mwanamke wa kuwa naye lakini siku akimpata atamsikilizisha Baila:
 
"Kwa machache niliyojifunza Kwenye Mahusiano nilisema siku nikikutana na mwanamke mpya nitakayetaka kuwa naye kabla ya kuianza Safari sitamwambia neno bali nitamuwekea huu wimbo wa Baila”.

Baada ya Diamond kuweka wazi kuwa hayupo kwenye mahusiano moja kwa moja Zari alianza kumnanga Hamisa na kumpa pole baada ya kukataliwa na mwanaume ambaye amekuwa akijitangaza kuwa Kwenye Mahusiano naye.

Kwenye ukurasa wake wa Snapchat Zari aliandika maneno ambayo directly alikuwa anampiga vijembe Hamisa na kumcheka kuwa amekaa Kwenye Mahusiano na mwanaume kwa miaka kumi lakini bado anamkana hadharani kuwa hana uhusiano naye:

Bifu la Zari na Hamisa lilianza baada ya Diamond kuchepuka Kwenye Mahusiano Yake na Zari na kuzaa mtoto na Hamisa Mobetto tangia hapo Zari na Mobetto hawaivi chungu kimoja ni majungu kwenda mbele na kujibizana mitandaoni.

Waziri Mkuu: Wanaume Pimeni Virusi Vya Ukimwi

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wanaume wote wa wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga wakapime afya zao ili kubaini kama wameambukizwa virusi vya UKIMWI au la.

Ametoa rai hiyo jana (Ijumaa, Julai 13, 2018) wakati akizungumza na mamia ya wananchi wa kijiji cha Mwangongo na vijiji vya jirani kwenye mkutano wa hadhara mara baada ya kukagua soko la pamba kwenye kijiji hicho, wilayani Kishapu mkoani Shinyanga.

“Napenda kusisitiza kwa akinababa wote kwamba ukimwi bado upo na wanaume hamuendi kupima, ni wagumu kwenda kupima eti kwa sababu mnawategemea wake zenu waende kupima.”

“Unamwambia mama aende kupima virusi vya UKIMWI akija na majibu ukajua hana maambukizi, wewe huku unashangilia kwamba uko salama. Hapana, nendeni mkapime kwa sababu kila mmoja na vyanzo vyake vya kupata maambukizi,” alisisitiza.

Alisema maambukizi ya virusi vya UKIMWI (VVU) katika wilaya ya Kishapu yako kwenye asimilia 2.1 ikilinganishwa na kiwango cha maambukizi ya VVU kwa mkoa mzima ambayo kwa sasa ni asilimia tano.

“Ni vema familia zikapima VVU ili mjue hali zenu na muishi kwa furaha na kama kuna mmoja ameambukizwa basi aanze tiba mara moja,” alisema Waziri Mkuu ambaye alikuwa katika siku ya kwanza ya ziara yake ya siku tano mkoani humo.

Alisema katika mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI, Tanzania inatekeleza malengo ya 90-90-90 ifikapo mwaka 2020.  Lengo ni kuhakikisha kuwa asilimia 90 ya watu wanaoishi na VVU wawe wamejua hali zao za maambukizo; asilimia 90 ya waliopima VVU na kugundulika kuwa wana maambukizo wapatiwe dawa za kufubaza VVU (ARVs); na asilimia 90 ya watu wanaotumia dawa wawe wamefubaza VVU.  

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amewataka wakazi wa wilaya ya Kishapu wajiunge na bima ya afya ili waweze kupata tiba hata wakati hawana fedha.

“Halmashauri yenu imeweka kiwango cha sh. 30,000 kwa mwaka ambapo baba, mama na watoto wanne watakaojiunga na huduma hii ya afya ya jamii, watapata matibabu bure kwa muda wa mwaka mzima mahali popote.”

“Ninawaomba mjiunge na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ambao utakuwezesha kupata tiba siku ambayo huna hela mfukoni au nyumbani. Pia utakuwa na uhakika wa kupata matibabu bure kwenye zahanati au kituo cha afya chochote kile katika katika wilaya hii,” alisema.

Waziri Mkuu leo anaendelea na ziara yake wilayani Shinyanga kwa kukagua shughuli za maendeleo na kuzungumza na wananchi.

Waziri Mkuu Awaonya Viongozi Wapya Wa SHIRECU.......Ataka ushirika wa sasa urejeshe matumaini ya wakulima

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka viongozi wapya wa Chama Kikuu cha Ushirika Shinyanga wajipime kama wako tayari kuwatumikia wananchi na kama sivyo waachie ngazi.

Ametoa onyo hilo jana (Ijumaa, Julai 13, 2018) wakati akizungumza na mamia ya wananchi wa kijiji cha Mwangongo na vijiji vya jirani mara baada ya kukagua soko la pamba kwenye kijiji hicho, wilayani Kishapu mkoani Shinyanga.

Waziri Mkuu ambaye alikuwa katika siku ya kwanza ya ziara yake ya siku tano mkoani humo, aliwataka wajumbe hao wajitafakari upya na kujihoji kama wameomba vyeo hivyo kwa ajili ya kupata utajiri ama kuwatumikia wananchi.

“Napenda kusisitiza kwamba ule mfumo wa zamani wa ushirika hivi sasa haupo. Kama uliomba cheo hicho kwa ajili ya kupata utajiri, ni bora ujiondoe sasa hivi, njoo uniambie wakati bado niko kwenye ziara ya mkoa huu, tutatafuta wajumbe wengine ambao ni waaminifu,” alisema.

“Nasisitiza kwa viongozi wa AMCOS na wa SHIRECU, mmeomba vyeo hivyo kwa ajili ya kuwatumikia wananchi na siyo kujinufaisha binafsi,” alisisitiza.

Alisema tofauti na ilivyokuwa awali, Serikali ya awamu ya tano inataka kuona ushirika wa sasa ukirejesha matumaini kwa wananchi.

Akitoa mfano, Waziri Mkuu alisema zamani, ushirika ulimwezesha mwananchi kununua baiskeli au redio lakini kutokana na hali ilivyobadilika, jambo hilo lilikuwa haliwezekani. “Tunataka ushirika wa sasa ubadilike na umwezeshe mwananchi kununua gari la kutembelea ama kujenga nyumba bora,” alisema.

Wakati huohuo, Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Bw. Elias Kwandikwa alisema barabara ya kutoka Kolandoto hadi Igelekelo imeshafanyiwa usanifu na kwamba Serikali ya Ujerumani imeanza mazungumzo na Serikali ya Tanzania kuhusu ujenzi wake.

Alitoa kauli hiyo kwenye mkutano wa hadhara alipopewa nafasi ya kuwasalimia wananchi wa kijiji cha Mwangongo waliokuwa wakisubiri kumsikiliza Waziri Mkuu.

“Kazi ya usanifu wa barabara hiyo imekamilika, tumeanza mazungumzo ya kutafuta wafadhili. Ujenzi wake ukikamilika, utakuwa umerahisisha kuunganisha mkoa huu na mikoa ya Singida, Arusha na Manyara.”

“Kutoka Shinyanga hadi Singida tutakuwa tumepunguza km. 250, wakati kutoka Shinyanga jadi Karatu tutakuwa tumepunguza km. 400 badala ya kupita kwanza Nzega, uende Singida hadi Karatu,” alisema.

Waziri Mkuu leo anaendelea na ziara yake wilayani Shinyanga kwa kukagua shughuli za maendeleo na kuzungumza na wananchi.

Waziri Mkuu Atembelea Kiwanda Cha Kuchambua Pamba Cha Gaki

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametembelea kiwanda cha kuchambua pamba cha GAKI na kusema amevutiwa na uwekezaji uliofanywa na wamiliki wa kiwanda hicho ambao ni Watanzania.

“Ninawapongeza wazawa walioamua kujenga kiwanda hiki kwa sababu viwanda kama hivi vinasaidia kukuza kilimo hapa nchini, kiwanda hiki kinachambua pamba na kusindika mafuta,” alisema.

Ametoa pongezi hizo jana jioni (Ijumaa, Julai 13, 2018) wakati akizungumza na wafanyakazi wa kampuni ya GAKI Investment pamoja na wananchi waliofika kumsikiliza mara baada ya kukagua utendaji kazi wa kiwanda hicho kilichopo Manispaa ya Shinyanga.

Waziri Mkuu alisema amevutiwa na ujenzi wa kiwanda hicho kwa sababu kinatoa uhakika wa soko la pamba ikizingatiwa kwamba mikoa yote inayolima zao hilo, mwaka huu imezalisha pamba kwa wingi kuliko kawaida.

“Mwitikio wa wakulima wa zao la pamba unaonyesha kwamba bado wana imani na Serikali yao na ndiyo maana nimewaonya wajumbe wa bodi ya SHIRECU kuwa wajihoji kama kweli wameomba nafasi hizo ili kuwatumikia wananchi,” alisema.

“Msije mkadhani kuwa SHIRECU ni mahali pa kuganga njaa. La hasha! Ni mahali pa kukuza soko la pamba. Tunataka viongozi wa sasa watambue kuwa hawajaenda SHIRECU ili kushiba, lazima walete mabadiliko kwenye ushirika na kama hawawezi waachie ngazi,” alisisitiza.

Aliwataka watumishi wa kiwanda hicho wafanye kazi kwa uaminifu na watunze mashine za kiwanda hicho ili kiweze kufanya kazi kwa muda mrefu.

Mapema, akitoa maelezo ya uzalishaji wa kiwanda hicho kwa Waziri Mkuu, Mkurugenzi Mtendaji wa GAKI Investment, Bw. Gaspar Kileo  alisema kampuni hiyo inajishughulisha na ununuzi wa pamba kutoka mikoa ya Shinyanga, Simiyu na Tabora.

Alisema uchambuzi wa pamba kwenye kiwanda hicho unatumia mashine zenye uwezo wa kuzalisha marobota 400 kwa siku. “Hapa kiwandani pia tunakamua mafuta yatokanayo na mbegu za pamba na tuna uwezo wa kuzalisha lita 10,000 kwa siku,” alisema.

Alisema ili kuunga mkono kaulimbinu ya Tanzania ya viwanda, kampuni hiyo imeamua kujenga kiwanda kingine cha kuchambua pamba wilayani Meatu.

Waziri Mkuu leo anaendelea na ziara yake wilayani Shinyanga kwa kukagua shughuli za maendeleo na kuzungumza na wananchi.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0785687900

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upungufu Wa Nguvu Za Kiume, Maumbile Mdogo, Busha Bila Kupasua

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO : Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliohangaika sehemu mbalimbali bila mafanikio.

Mabula Clinic ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya jeshini. Je unaupungufu wa nguvu za kiume au uume wako mdogo na mwembamba? 

Mapro pawer no 2 ndio tiba, kwa sasa hutibu matatizo matatu kwa pamoja 1. itakufanya uchelewe kufika kileleni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2. Huimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa hasa kwa wale walio athirika na upigaji punyeto 3. itakufanya upate hamu ya kurudia tendo zaidi ya mara tatu :Kwa nini ujione mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo 

Makakanua mix ni dawa iliyochanganywa na miti shamba 9 na kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 kwa urefu na unene sentimita 1-5, dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona

 Zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke kwa masaa matatu tu ,mvuto wa biashara, kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu.

Tunatibu ngiri, miguu, mgongo na kiuno kuumwa, kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa 

Tiba na ushauli muone Dr Mabula au piga simu no 0743362017.Huduma zangu utazipata popote ulipo kama uwezi kufika ofisini

Lukuvi Aziagiza Kampuni Za Upimaji Ardhi Kuwatafutia Hati Wananchi

$
0
0
Kampuni  zinazohusika na shughuli za upangaji na upimaji ardhi zimetakiwa kuhakikisha zinawapatia hati wananchi ambao maeneo yao yamerasimishwa na si kuweka nondo na bikoni tu.

Agizo hilo lilitolewa Dar es Salaam jana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, alipokutana na kampuni za kupanga na kupima ardhi, watendaji wa kata, mitaa na maofisa wa wizara hiyo.

Lukuvi alisema kampuni hizo zimekuwa zikipima viwanja na kuweka bikoni kisha zinaondoka jambo ambalo limekuwa likiwagharimu fedha nyingi wananchi kutokana na mlolongo wa kupata hati.

“Nyinyi kampuni mnaofanya kazi hizi mshirikiane pamoja na wilaya kukokotoa gharama ili mwananchi apate haki na isiishie tu kupanga kwa kuweka nondo na bikoni, ninachokitaka huduma yenu ya mwisho iwe kukabidhi hati.

“Muweke gharama zote hata hiyo tozo ya primiamu na hatimaye mwananchi aitwe tu kusaini na hatimaye kuchukuwa hati yake, leo (jana) kuna kampuni zimepanga na kupima lakini wananchi hawajapata hati kwa zaidi ya miezi sita kisa anajua wapi hati zinapatikana.

“Kwa hiyo jukumu la kukabidhi hati kwa wananchi ni kampuni iliyohusika na upimaji ihakikishe inapanga, inapima na kukabidhi hati kwa mwananchi aliyerasimishwa na si unakabidhi nondo wala bikoni,” alisema Lukuvi.

Alisema atalazimika kuifuta kampuni yoyote itakayoendelea na shughuli za upangaji na upimaji ardhi bila kuhakikisha wananchi waliorasimishwa wanapata hati zao.

Pia alisema kuanzia Julai mosi, mwaka huu, Serikali ilipunguza gharama za malipo ya awali ya thamani ya ardhi iliyopimwa (premium) kutoka asilimia 2.5 hadi asilimia moja ikiwa ni jitihada za kupunguza gharama za umilikaji wa ardhi nchini.

“Kutokana na punguzo hili wananchi wote ambao wapo mijini ni lazima makazi yao yarasimishwe kwa sababu kikwazo ambacho kilikuwa kikilalamikiwa (premium) kimepunguzwa,” alisema Lukuvi.

Pia alisema kutokana na utafiti alioufanya kuhusu gharama za upangaji na upimaji wa ardhi amegundua kuwa kampuni hizo zimekuwa zikitoza fedha nyingi kuliko kazi wanayoifanya na kuanzia sasa kima cha juu cha gharama za urasimishaji hakipaswi kuzidi Sh 250,000.

Marekani yawashtaki raia 12 wa Russia kwa kuhujumu uchaguzi 2016

$
0
0
Katika mashtaka mapya dhidi ya raia wa Russia yaliyofunguliwa Ijumaa na mwendesha mashtaka maalum, raia 12 wa Russia ambao ni maafisa usalama wa jeshi wameshutumiwa kuingilia kati uchaguzi wa urais 2016.

Mwendesha mashtaka maalum wa Marekani Robert Mueller na Naibu Mwanasheria Mkuu Rod Rosenstein wametangaza mashtaka hayo yamefanywa na washauri wa mahakama jijini Washington.

Watuhumiwa 11 kati yao walifunguliwa mashtaka kwa kushiriki katika hujuma ya kudukua kompyuta, kuiba nyaraka na kuzitoa kwa umma ili kuyumbisha uchaguzi.

Mtuhumiwa wa 12 amefunguliwa mashtaka ya kushiriki katika hujuma kompyuta ya taasisi iliyokuwa na jukumu la kusimamia uchaguzi, ikiwemo bodi za majimbo ya uchaguzi, mawaziri wa majimbo na kompyuta zinazogawanya software na teknolojia zinazotumiwa kusimamia uchaguzi,” Rosenstein amesema.

Raia hao wa Russia walikuwa wanafanya kazi katika vitengo viwili vya ujasusi vilivyo ndani ya jeshi la Russia, idara ya ujasusi ya nchi hiyo, kwa mujibu wa mashtaka hayo.

Mashtaka hayo yametolewa kabla ya mkutano wa Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Russia Vladimir Putin utakaofanyika Helsinki Julai 16. Rosenstein amesema alimpa rais muhtasari wa tuhuma hizo dhidi ya majasusi wa Russia mapema wiki hii.

“Rais anafahamu kwa ukamilifu hatua iliyochukuliwa na Idara hii,” Rosenstein ameuambia mkutano wa waandishi wa habari.

Mwezi Februari, mwendesha mashtaka maalum alitangaza mashtaka dhidi ya mtandao mmoja wa Russia wa kampuni ya Troll, wafanyakazi 12 na mfadhili wao.

Hii ni Habari Njema Kwa Wale Wote Waliohangaika na Matatizo ya Magonjwa Sugu Yaliyokosa Tiba

$
0
0
"HII NI HABARI NJEMA KWA WALE WOTE WALIOHANGAIKA NA MATATIZO YA MAGONJWA SUGU NA YALIYOKOSA TIBA" sasa usikate tamaa tiba imepatikanika kwa DK. ABDALA MUSSA anatibu matatizo kama yafuatayo:

Nguvu za kiume, uzazi, kisukari, tezi dume, vidoda vya tumbo, mgongo kuuma, miguu kuwaka moto na mataizo uliyonayo

1/ITAGULA- ni dawa ya mkosi kuosha nyota, kumvuta mpenzi, mke, mume, kuua kesi na kupata kazi haraka kama umeomba maombi serikalini au kampuni binafisi unaitwa ndani ya siku mbili 2/

NINJIWE- ni dawa inayomaliza matatizo ya wanaume heshima ndani ya ndoa, kuwa na nguvu za kiume milele na kukomaza mbegu na kuwa na uwezo kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila kuchoka kama umezaraulika na kufanya tendo na kusinyaa uume dawa ipo dozi yake siku sita vidoge 12 pia kuna na unga inayokomaza uume ndani ya siku 7 unapona kabisa.

3/MPALALA- ni dawa ya kutibu busha miguu kuwaka moto, kiuno, kisukari.

4/NGEKEWA- ni dawa ya kuvuta wateja kwenye biashara yoyote kuwa na wateja wengi katika biashara na kuzuia chuma ulete. 4/LINGWATA- ni dawa ya punguza unene, mafuta tumbo, matiti, miguu, hipsi na kutengeneza shepu dawa hii ni ya unga ukitumia utaona mabadiliko baada ya siku 3.

5/DUBISHO- ni dawa zindiko la mwili, majumba, gari, biashara, mteja wangu huduma utaipata mahali popote ulipo kuna wanasaplai mahali ulipo kama huna muda wa kufika osifini mkoa wa dar-es-salaam, iringa, kanda ya ziwa wilaya ya bunda. angalizo kwa wateja usitume sms wala kubipu huduma yangu ni kuanzia saa 12 asubui hadi saa 12 jioni kwa wateja wa dar-es-salaam ofisi ipo buguruni na mbagala zakhem na kwa wale walio nje ya mkoa dawa hizi mtazipata kwa njia za mabasi. punguzo la bei kwa wateja 5 wa kisukari na nguvu za kiume

KWA MAWASILIANAO ZAIDI WASILIANA NA DK. ABDALA MUSSA KWA SIM NAMBA 0767-171773/ 0716-608959 WOTE MNAKARIBISHWA:

Kamishna Jenerali Mpya wa Magereza Kuapishwa Leo Saa Tisa Ikulu

$
0
0
Rais John Magufuli leo Jumamosi Julai 14, 2018 atawaapisha Balozi Joseph Sokoine kuwa Naibu Katibu Mkuu  Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) na Phaustine  Kasike kuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza.

Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa inasema Kasike aliteuliwa jana Julai 13, 2018 na Balozi  Sokoine aliteuliwa Julai Mosi, 2018.

Hafla ya kuwaapisha viongozi hao itafanyika leo Julai 14 katika ukumbi wa Kikwete Ikulu jijini Dar es Salaam kuanzia saa 9:00 alasiri.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images