Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo dawa na PETE za bahati zenye uwezo mkubwa wakuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.
 
Kutana na Sharif Al_noor. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. -SHARIF ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA- Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na inje ya nchi.
 
Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.
 
Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudisha  alipotea(MSUKULE), kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, kutoa ndagu, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMA, GARI..), Kesi mahakamani, Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET) Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa nambari ya simu
 
+255 746 426 604

Tiba Bora ya Tatizo Sugu la Nguvu za Kiume

$
0
0
OFA! Je umepungukiwa nguvu za kiume na umetumia dawa bila mafanikio? Sasa utapona kwa sh 15000 tu .Ofa ni kwa watu kumi wakwanza kila siku .Ofa hii itadumu ndani ya wiki 2 baada ya hapo bei itakuwa nyingine na kama hujapona tunakurudishia hela yako !

Dawa hii ni dawa ya maajabu, huwezi kuamini Ila wengi wameiamini,inatibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na utapewa garantee ya mwezi mmoja 

Dawa hii inapatikana hapo hapo ulipo nyumbani kwako na tutakupatia maelezo ya namna ya kuiandaa wewe mwenyewe na baada ya kuiandaa utakunywa Mara moja tu,na hautatumia dawa yoyote ya nguvu za kiume 

Dawa hii inawafaaa watu kuanzia miaka 18 mpaka miaka 70 zaidi ya miaka hyo haitakusaidia 

Ni dawa ya asilia, haina madhara yoyote,watafiti na waganga wameikubali pia hii dawa inawafaa hata wanawake wasiopata hisia za mapenzi

Pia tunaweza kukutumia dawa popote ulipo lakini s kwa bei ya ofa, ukiitumia dawa hii unakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 3 bila hamu kuisha na itakufanya uwe na uwezo wa kufanya tendo la ndoa muda wowote 

Imesaidia watu zaidi ya 148 ndani ya mwaka mmoja tangu igunduliwe  na Dr kiboko mganga wa tiba za jadi toka kisiwani mafia 

Pia tunatibu magonjwa mbalimbali, kurudisha mpenzi aliye kuacha,biashara iliyoyumba, nk 

Maelezo zaidi ; Dr kiboko-  0679923297

Mtaalam na Bingwa wa Magonjwa Yote Sugu Yaliyoshindikana Kama Vile Pumu, Vidonda vya Tumbo, Bush's, Nguvu za Kiume

$
0
0
MTALAAM NA BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU NAYALIYOSHINDIKANA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI,MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni 3Power,;Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1,hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

FINA Power: Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ISHOSHA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SHEPU EXRA,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

HUDUMA HIZI NANYINGINE NYINGI MTALAAM BINGWA DR SHEIKH OMARY
Anapatikana dar magomeni moroco hotel
SIMU NO 0767 14 53 57/0629 03 45 50.

NAKAMA NAFASI YAKUFIKA OFISINI HAIPO UTALETEWA HAPO ULIPO.

TFF Yaruhusu Nyota 10 wa Kigeni Kusajiliwa Ligi Kuu Badala ya 7 wa Awali

$
0
0
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia amesema wataongeza idadi ya wachezaji wa kigeni kutoka saba wa sasa hadi kumi na wote wanaweza kuanza katika mechi moja.

Uamuzi wa kuongeza wachezaji hao wa kigeni umekuja wakati huu wa usajili hivyo kutoa mwanya kwa klabu nyingi kuja wageni katika vikosi vyao.

"Tutaboresha kwa wachezaji wa kigeni kuwa kumi na wanaweza kutumika hata katika mechi moja hilo si jukumu letu kazi itakuwa kwa makocha, lakini TFF tumeruhusu.

"Tutaweka kanuni ngumu kwa timu kutaka kumsajili mchezaji yoyote wa kigeni ili kupata waliokuwa bora na wanastahili kuwa katika Ligi yetu, tupo katika hatua za mwisho kuzipitia sheria hizo na tutaziweka wazi siku si nyingi,” alisema Karia.

"Wachezaji ambao wapo sasa katika klabu za Ligi Kuu na hawana vigezo hivyo hatutawatoa ila walimaliza mikataba yao tunataka wasajiliwe waliokuwa na vigezo stahili na tutasimama na ukali katika hili," alieleza Karia na kuongezea hayo yalikuwa makubaliano na klabu za Ligi Kuu Bara.

Katibu Mkuu wa TFF, Wilfred Kidau alisema walichokubaliana mpaka kuongeza wachezaji ni kuwepo ushindani katika Ligi Kuu.

Kidau alisema kuvutia wadhamini wengi kujitokeza kudhamini Ligi na hata timu zilizokuwepo na wachezaji wazawa kupata ushindani wa kutosha kutoka kwa wachezaji waliokamalika.

Alisema kupata wachezaji wengi wa kigeni waliokamilika wataongeza nguvu katika timu haswa kushindana na kufika mbali kwenye mashindano ya kimataifa.

"Wachezaji wa wazawa pia nao kuanza kufikilia zaidi kucheza soka la nje, na timu ya Taifa ikiitwa kuwe na wachezaji wengi kutoka nje ya Tanzania.

"Msimu uliopita ulikuwa na wachezaji wa kigeni 40 katika timu 16 sawa na asilimia nane ndio maana tumekubaliana na klabu kuongezea idadi,"alisema Kidau.

Kangi Lugola Atembelea Idara Ya Uhamiaji Makao Makuu Jijini Dar na Kutoa Maagizo Mazito

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola amewataka askari wa uhamiaji waliopo mipakani kujitafakari kwa maelezo kuwa utendaji wao hauridhishi.

Akizungumza jana Alhamisi Julai 12, 2018 katika kikao cha watendaji wakuu wa uhamiaji alipotembelea makao makuu ya idara ya uhamiaji, Lugola alisema ametoa kauli hiyo kutokana na wahamiaji haramu kuingia nchini, wakipitia maeneo ya mipakani.

Alisema ni ajabu kuona wahamiaji hao wakipakiwa katika magari na kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine bila kukamatwa.

“Tatizo liko wapi, inakuaje magari yaliyobeba wahamiaji yanatokea mpaka wa Himo (Kilimanjaro), yanapita Arusha na Manyara yanakwenda kukamatwa Dodoma?” alihoji.

“Uhamiaji mnakuwa wapi? Inasikitisha watu hawa wanapita mikoa hiyo bila kukamatwa. Watu wa mipakani wajitafakari sana hatuwezi kukubali hali hii.”

Amemtaka Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dk Anna Makakala kutowatetea askari wasiotekeleza majukumu yao kwa ufanisi.

"Tutawatetea na kuwalinda askari wanaofanya kazi zao sawasawa na tukiona mtu anataka kuwaonea tutapambana naye,"alisema

Lugola pia amezungumzia jinsi watu wanavyomchukulia, akibainisha kuwa wapo wanaomuona kuwa chakalamu na kubainisha kuwa atahakikisha anawakimbiza watendaji wa idara za wizara hiyo ili kutenda kazi zao kwa ufanisi.

Alisema anafanya hivyo kwa kuwa wizara hiyo haijasemwa kwa mazuri na Rais John Magufuli.

Lugola pia  alisisitiza suala la rushwa na  kumuagiza Dk Makalala kuliangalia jambo hilo ndani ya watendaji wa idara hiyo.

Ijue Sababu Kwanini Wachawi Wakiingia Nyumbani Kwa Mtu Kuwanga Huwa Hawaibi Pesa.

$
0
0
Wachawi  wakiingia  nyumbani  kwa  mtu  kuwanga  huwa  hawachukui  hata  senti  tano  hata  kama  watakuta  kuna  mamilioni  ya  pesa  yamezagaa  kwenye  kitanda  au  kwenye  kabati.

Nyuma  ya  jambo  hili  kuna  siri  moja  nzito  sana  ambayo  inahusiana  na  maisha  ya  kila  mwanadamu. Je  unataka  kuijuia  siri  hiyo ?

 Basi  siri  ya  jambo  hili  ni  moja  tu  nayo  ni  kwamba  wachawi  wanapokuwa  wanataka  kuiba  kitu  cha  mtu  kwa  kutumia  uchawi  huwa  WANAIBA  CHANZO.

Chanzo  cha  mtu  kuwa  na  pesa  au  kuwa  tajiri  ni  NYOTA  yake.  Nyota  yako  wewe  ndio  imekufanya  upate  pesa  na  mali  ulizo  nazo.

Wachawi  wakitaka  kukuibia  utajiri  wako  hawakuibii  pesa  zako  bali  wanakuibia  nyota  yako  kwa  sababu  ndani  ya  nyota  yako  ndio kuna  utajiri  wako.

 Vile  vile  wachawi  wakitaka  kuharibu , kushusha  au  kuua  mafanikio  ya  mtu  huwa  WANAUA  AU  KUHARIBU  CHANZO  na  chanzo  cha  mafanikio  ya  mtu  ni  nyota  yake.

Kwa  hiyo  wanachokifanya  wachawi  ni  kuharibu  na  kuua  nyota  yako. Nyota  yako  ikiharibika  basi  mambo  yako  mengine  yataharibika  pia.

Nyota  yako  ikifa  basi  mambo  mengine  yote  yatakufa  pia. Kwa  ufupi  maisha  unayo  ishi  ni  tafsiri  ya  mambo  yanayo  endelea  katika  nyota  yako.

Ikumbukwe  pia  kuwa  nyota  ya  mwanadamu  inaundwa  na  mambo  tisa  na  moja  kati  ya  mambo  tisa  yanayo  unda  nyota  ya  mwanadamu  ni  pamoja  na  utajiri.

Kufahamu  Zaidi  kuhusu  mambo  tisa  yanayo  unda  nyota  ya  mwanadamu, tembelea : http://mungwakabhili.blogspot.com/2018/06/mambo-tisa-yanayo-unda-nyota-ya.html

Nadhani  mpaka  hapo  umeshaelewa  kwanini  wachawi  wakiingia nyumbani  kwa  mtu  kuroga  au  kuwanga  huwa  hawawezi  kuiba  wala  kuchukua  pesa  au  kito  chochote  cha  thamani  ndani  ya  nyumba  waliyo  ingia  kuwanga.

MAKALA  HAYA  YAMEANDALIWA  NA  DOKTA. MUNGWA  KABILI. ANAPATIKANA  KWA  SIMU  NAMBA  0744  000  473.

Atupwa Jela maisha kwa kulawiti watoto Wawili

$
0
0
Mahakama ya Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, imemhukumu kifungo cha maisha jela Mathias Mbaya, mkazi wa Maleza Mkwajuni wilayani Songwe baada ya kupatikana na hatia ya kuwalawiti watoto wawili.

Mahakama hiyo ilitoa hukumu hiyo juzi, kutokana na ushahidi uliotolewa mahakamani hapo na pande zote mbili.

Akitoa hukumu hiyo, Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Nemes Chami, alisema mahakama imemkuta na hatia mtuhumiwa pasipo kuacha shaka, baada ya ushahidi kutolewa kwa pande zote mbili.

Mbali na ushahidi huo, mshtakiwa pia alikiri kutenda kosa hilo hivyo kuhukumiwa kifungo cha maisha jela, ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye nia ya kutenda makosa kama hayo.

Awali, mwendesha mashtaka wa serikali, Peter Miisho, alidai mahakamani hapo kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo kwa nyakati tofauti Mei 23, mwaka huu, katika kijiji cha Maleza wilayani Songwe kwa kuwalawiti watoto wenye miaka mitano na saba.

Alidai kuwa baada ya kutenda unyama huo na kuwasababishia maumivu makali watoto hao, mshtakiwa alikamatwa akiwa katika harakati za kukimbia na kufunguliwa kesi.

Kutokana na kitendo hicho, mwendesha mashtaka huyo aliiomba mahakama itoe adhabu kali, ili iwe fundisho kwa wengine na ndipo hakimu alipotoa kifungo hicho.

Nje ya mahakama, baadhi ya wananchi waliohudhuria wakati wa kutolewa hukumu hiyo, waliipongeza mahakama kwa madai kwamba adhabu hiyo itapunguza vitendo vya kikatili kama hivyo vinavyofanywa dhidi ya watoto.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0785687900

Breaking News: NECTA Yatangaza Matokeo ya Kidato cha Sita 2018.....Bofya Hapa Kuyatazama

$
0
0
Baraza la Mtihani la Tanzania (NECTA) limezuia matokeo ya watahiniwa kumi na tatu kutokana na sababu kadhaa na wengine nane kufutiwa kabisa matokeo kwa sababu ya udanganyifu.

Akitaja sababu za kuzuiwa kwa matokeo hayo, Katibu mtendaji wa baraza hilo Dkt. Charles Msonde wakati akitangaza matokeo hayo leo visiwani Zanzibar, amesema kuwa kuna baadhi ya watahiniwa walishindwa kukamilisha mitihani yao kutokana na sababu za kiafya na hivyo kufanya mitihani nusu, watapewa nafasi ya kurudia mwaka unaofuata.

Licha ya hiyo, Dkt. Msonde amesema kuwa ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 96.06% mwaka 2017 hadi 97.12% mwaka huu, huku ufaulu katika masomo ya sayansi umeshuka ukilinganishwa na masomo ya sanaa na biashara.

“Jumla ya watahiniwa 83,581 sawa na asilimia 97.58 ya watahiniwa waliofanya mitihani ya kidato cha sita Mei mwaka huu wamefaulu huku wasichana wakiwa ni 34,358, na wavulana waliofaulu ni 49,223 pekee”, amesema Dkt. Msonde.

Dkt. Msonde ameongeza kuwa tathmini ya hali ya matokeo imeonesha kuimarika kwa ufaulu katika madaraja ya I,II na III ikiwemo kupanda kwa asilimia 1.80 kutoka 93.72 mwaka 2017 na kuwa asilimia 95.52 mwaka 2018.

Shule zilizofanya vizuri zimetajwa kuwa ni Kibaha, Kisimiri, Kemebos na Mzumbe, Feza Boys, Marian Boys, AHMES, St Mary's Mazinde Juu, Marian Girls & Feza Girls.

Kuona matokeo ya Kidato cha Sita 2018 <<BOFYA HAPA>

Aliyekuwa makamu mwenyekiti NCCR-Mageuzi atangaza kurejea CCM

$
0
0
Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti NCCR-Mageuzi (Bara), Leticia Mosore leo Ijumaa Julai 13, 2018 ametangaza kurejea CCM.

Akizungumza na waandishi wa habari Mosore amesema aliamua kuhama CCM kwa kuwa utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya chama hicho haukuwa wa kuridhisha.

Akiwa na wanachama wengine watano wa NCCR waliohamia CCM, Mosore ametaja sababu nyingine kuwa ni rushwa na ukosefu wa maadili, akidai kuwa zilikuwa hoja kuu za upinzani lakini kwa sasa zinatekelezwa ipasavyo na Serikali ya Awamu ya Tano.

“Kipindi cha uongozi wa Rais John Magufuli kwa miaka hii miwili ameshughulikia kweli kweli suala la rushwa na maadili. Serikali inafanya kazi kwa uwazi, ukusanyaji wa mapato ni mzuri. Pia imedhibiti matumizi yasiyo ya lazima,” amesema.

Wengine waliotangaza kujiunga na CCM ni aliyekuwa mjumbe wa halmashauri kuu  ya NCCR, Mchata  Mchata; aliyekuwa Katibu Jimbo la Segerea,  Lilian Kitunga; aliyekuwa  Katibu wa wanawake Segerea, Nossy  Chacha pamoja na Vedalin Nicholaus  na Eunice Zarcharia.

Steve Nyerere Akana Kupewa Pesa na BASATA ili Awashawishi Wasanii Wakubali Tozo Mpya

$
0
0
Msanii Steve Nyerere, amesema siyo kweli kuwa amepewa fedha na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) ili aweze kuwashawishi wasanii wenzake juu ya mabadiliko mapya ya tozo yaliyotangazwa na baraza hilo siku za hivi karibuni ili wakubaliana nayo.

Steve amebainisha hayo leo Julai 13, 2018 baada ya wadau mbalimbali wa filamu na muziki kumshambulia kupitia ukurasa wake wa kijamii kuwa amepatiwa fedha 'fungu lake' ndio maana anajifanya kutaka kukaa kikao na wasanii wenzake ili wapate ufumbuzi juu ya jambo hilo ambalo limekuwa gumzo kwa sasa.

"BASATA haiwezi kunipa fedha 'fungu' lolote kwa ajili yangu mimi huko ni kuichafua, mimi ni nina nguvu gani mpaka wanilipe. Lazima niwe upande wa wenzangu ambao ni wasanii na msema ukweli siku zote ni mpenzi wa Mungu, kiukweli milioni tano kwa msanii ni pesa nyingi sana hata ingekuwa milioni moja bado shida ingekuwepo", amesema Steve

Pamoja na hayo, Steve ameendelea kwa kusema "kama kweli BASATA walitaka kutusaidia walipaswa waanze kutupa kazi wao kwa kututengenezea mifereji ya kupata matangazo ili ndio watake hizo pesa walizozitaka. Kwa namna moja ama nyingine hayo makampuni yakikataa kutupa matangazo sisi na yakaenda kuwapa raia wa kawaida hao BASATA watakuwa wanapata nini zaidi ya hasara tu. Duniani kote msanii anapata fedha kupitia matangazo".

Mbali na hilo, Steve Nyerere ameitaka jamii kutoliingiza suala hilo katika mlango wa kisiasa licha ya kuwa yeye yupo ndani ya chama cha Mapinduzi (CCM).

Siku za hivi karibuni Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) liliweza kufanya mabadiliko mbalimbali katika tozo zao za utoaji wa huduma ikiwemo ya makampuni kulipa milioni tano kwa BASATA endapo watamtumia msanii kufanya tangazo la aina yoyote, jambo ambalo limekuwa likipingwa na wasanii wengi nchini wakidai kuwa kwa kitendo hicho watakosa kazi.

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upungufu Wa Nguvu Za Kiume, Maumbile Mdogo, Busha Bila Kupasua

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO : Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliohangaika sehemu mbalimbali bila mafanikio.

Mabula Clinic ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya jeshini. Je unaupungufu wa nguvu za kiume au uume wako mdogo na mwembamba? 

Mapro pawer no 2 ndio tiba, kwa sasa hutibu matatizo matatu kwa pamoja 1. itakufanya uchelewe kufika kileleni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2. Huimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa hasa kwa wale walio athirika na upigaji punyeto 3. itakufanya upate hamu ya kurudia tendo zaidi ya mara tatu :Kwa nini ujione mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo 

Makakanua mix ni dawa iliyochanganywa na miti shamba 9 na kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 kwa urefu na unene sentimita 1-5, dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona

 Zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke kwa masaa matatu tu ,mvuto wa biashara, kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu.

Tunatibu ngiri, miguu, mgongo na kiuno kuumwa, kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa 

Tiba na ushauli muone Dr Mabula au piga simu no 0743362017.Huduma zangu utazipata popote ulipo kama uwezi kufika ofisini

Amuua Mama Yake kwa Mapanga Kisa Mali za Urithi

$
0
0
MKAZI wa kijiji cha Ilebelebe wilayani hapo, Ngassa Mathias (24), anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya mama yake mzazi, Nyawamba Dohoi (61), kwa kumcharanga mapanga kichwani hadi kufa.

Tukio hilo limetokea Julai 11, mwaka huu majira ya saa 10 usiku, wakati mama huyo akiwa amelala nyumbani kwake na wajukuu zake wawili.

Imedaiwa kuwa watu wasiojulikana waliingia ndani na kumshambulia mama huyo sehemu mbalimbali za mwili wake, ikiwamo kumkata kichwa kwa mapanga na kufariki dunia.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari jana, Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapo, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Simoni Haule, alisema chanzo cha tukio hilo ni kuwania mali za marehemu alizoachiwa na mumewe na mtoto huyo akidaiwa kutaka kuzimiliki.

“Tunamshikilia mtoto wa marehemu Ngassa Mathias kwa uchunguzi wa awali, inadaiwa ndiye mhusika mkuu wa mauaji ya mama yake mzazi kutokana na kutaka kurithi mali ambazo mama yake aliachiwa na mumewe na upelelezi ukikamilika na kubaini kufanya mauaji atafikishwa mahakamani,” alisema Haule.

“Natoa wito kwa vijana kujishughulisha katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo ikiwamo kilimo, na kuacha tabia ya kutaka mali za mirathi na kufikia hatua ya kutoa uhai wa wazazi wao,” aliongeza.

Aidha, Mwenyekiti wa kitongoji cha Kiloleli yalipofanyika mauaji hayo, Solo Bundala, alisema walibaini kufariki kwa mwanamke huyo majira ya saa tatu asubuhi na kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi.

Alisema kuwa katika kitongoji hicho kumekuwa kukitokea mauaji ya aina hiyo mara kwa mara.

Matokeo Kidato cha 6: Shule 10 Bora na Shule 10 za Mwisho Kitaifa

Shule ya Sekondari Magufuli yaongoza kimkoa matokeo kidato cha sita

$
0
0
Shule ya Sekondari Magufuli iliyopo wilayani Chato, Geita imeshika nafasi ya kwanza kimkoa kati ya shule 10 zilizopo mkoani hapa.

Shule hiyo pia imeshika nafasi ya 18 kitaifa ambapo watahiniwa wote 82 wamefaulu.

Katika matokeo hayo yaliyotangazwa leo Julai 13, wanafunzi 40 kati yao wamepata daraja la kwanza 40 wengine daraja la pili na wawili daraja la tatu.

Katika taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Joel Hari amesema shule hiyo imeonyesha juhudi kwani mwaka jana ilishika nafasi ya pili kimkoa na kitaifa ilishika nafasi ya 28.

Mbali na shule ya Magufuli pia shule ya wasichana ya Jikomboe ya wilayani humo imeshika nafasi ya nne kimkoa huku shule ya Chato ikishika nafasi ya saba kimkoa.

Hari amewapongeza walimu na idara ya elimu sekondari katika wilaya hiyo kwa jitihada kubwa waliyoifanya ya kuhakikisha wanafunzi wanafaulu.

Wilaya ya Chato ina shule 27 za sekondari ambapo kati ya hizo shule tatu ni za kidato cha tano na sita.

Wakili afungua kesi akihoji matokeo ya urais kutopingwa mahakamani

$
0
0
Wakili wa kujitegemea jijini Dar es Salaam, Jebra Kambole amefungua kesi katika Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu (AfCHPR), akiiomba iamuru matokeo ya urais nchini yapingwe mahakamani.

Kambole aliwasilisha maombi ya kufungua kesi hiyo katika mahakama hiyo Julai 4 na juzi ilimwandikia barua kumtaarifu kuwa imepokea maombi yake na kuyasajili kwa namba 018 ya mwaka 2018.

Naibu msajili wa mahakama hiyo, Nouhou Diallo alithibitisha jana kupokewa na kusajiliwa kesi hiyo.

Katika maombi hayo dhidi ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kambole anapinga ibara ya 41 (7) ya Katiba ya nchi ya mwaka 1977 inayozuia matokeo ya urais yakishatangazwa kupingwa mahakamani.

Ibara hiyo inasomeka, “Iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzi kwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hii, basi hakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguza kuchaguliwa kwake.”

Kambole anadai kitendo cha Serikali kuruhusu Katiba yenye ibara inayozuia mtu asiyeridhika na matokeo ya urais kuyapinga mahakamani kinakiuka ibara za 1, 2, 3 (2) na 7(1) (a) za Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu.

Anadai Serikali imeshindwa kutekeleza wajibu wake chini ya mkataba huo wa Afrika kama mwanachama wa Umoja wa Afrika, kutambua haki, wajibu na uhuru unaolindwa na mkataba na kuchukua hatua kulinda haki hizo.

Kambole anasema Tanzania ilipata uhuru mwaka 1961 na ni nchi mwanachama wa Umoja wa Afrika ikiwa mshirika katika Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu.

Anadai ukiukwaji anaoulalamikia wa haki ambazo zinalindwa na mkataba hadi sasa unaendelea kutokea katika mipaka ya eneo la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Anaiomba mahakama iamuru kwamba Serikali inakiuka ibara ya 1, 2, 3(2) na 7(1) ya Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu na iweke kwenye Katiba na sheria hatua za kuhakikisha haki zinazotolewa katika mkataba huo zinalindwa.

Pia, anaiomba mahakama iiamuru Serikali kutoa taarifa mahakamani hapo ndani ya miezi 12 tangu kutolewa kwa hukumu, kuhusu hatua za utekelezaji wa hukumu na matokeo ya amri za mahakama.

Waziri Mkuu: Sh. 43bn/- Zimelipa Madeni Ya Watumishi....Asema Madeni Yaliyohakikiwa Yamefikia Sh. Bilioni 127

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imelipa sh. bilioni 43 zikiwa ni madeni kwa watumishi wa umma na kati ya hizo sh. bilioni 16.25 zimelipwa kwa walimu.

“Hadi kufikia mwisho wa mwezi uliopita, jumla ya sh. bilioni 43 zimelipwa kwa watumishi 27,389 ambao kati yao watumishi 15,919 ni wa sekta ya elimu tu na madeni yao yanafikia sh. bilioni 16.25,” amesema.

Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo (Ijumaa, Julai 13, 2018) wakati akizungumza na watumishi wa wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga akiwa aktika siku ya kwanza ya ziara yake ya kikazi mkoani humo.

“Mapema mwaka huu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli aliahidi kutoa sh. bilioni 200 za kulipa madeni ya watumishi na hadi sasa madeni ambayo yameshahakikiwa ni sh. bilioni 127 na mengine ni ya wazabuni,” amesema.

Amesema hivi sasa Serikali inadhibiti uzalishaji wa madeni ya watumishi kwa kuzuia uhamisho kama hakuna fedha, kuzuia rufaa zisizokuwa za lazima na ambazo hazina ufuatiliaji wa waganga wakuu wa mikoa na wilaya, na kuhimiza matumizi ya Bima ya Afya kwa watumishi wa umma.

“Mkurugenzi kama hakikisha unampa mtumishi barua ya uhamisho kama fedha ipo, na kama hakuna fedha umpe barua inayosema utamlipa lini fedha yake ya uhamisho. Kwenye matibabu, DMO hakikisha unawasiliana na daktari mahsusi wa hospitali ambako mtmishi wako amepewa rufaa aende, pia fuatilia matibabu yake ni ya siku ngapi ili akimaliza arudi kwenye kituo chake cha kazi, siyo abaki kula raha mjini tu,” amesema.

Wakati huohuo, Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Bw. Joseph Kakunda amesema Serikali itakamilisha uratibu wa ajira za walimu 16,040 ifikapo Julai 16, mwaka huu.

“Kati ya hao, walimu 10,030 watapelekewa shule za msingi na walimu 6,010 watapangiwa shule za sekondari. Wale wote wenye nia ya kufanya kazi ya ualimu walete maombi yao kabla ya tarehe 16 Julai, wasikae nyumbani wakifikiri kuwa kazi zitawafuata, tunaajiri watumishi wenye kuonyesha nia ya kufanya kazi,” alisema.

Naye Mbunge wa Kishapu, Bw. Selemani Nchambis alisema anaiomba Serikali isaidie kuwapatia sh. milioni 250 kwa ajili ya kukamilisha kazi ya usambazaji maji kwenye mji wa Maganzo.

Tunashukuru kwa kupatiwa mradi wa maji ya kutoka Ziwa Victoria, tumeshalaza mabomba umbali wa km.25 lakini tunahitaji sh. milioni 250 za kukamilisha mradi. Mji wa Maganzo ni wa siku nyingi, na una historia kubwa. Tunaamini Serikali itasikia kilio chetu,” alisema.

Pia aliomba ijengwe barabara ya lami ya km.48 kutoka njia panda ya Shinynga hadi kituo cha afya cha Kishapu ili kuwaepusha akinamama na adha wanazozipata pindi wakizidiwa.

Mapema, akimkaribisha Waziri Mkuu kuzungumza na watumishi hao, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Bibi Zainab Tallack alisema uuzaji wa zao la pamba kwenye mkoa huo unaendelea vizuri na kwamba hadi sasa wameshauza kilo 3,319,823.9 na nyingine ziko kwenye maghala na nyingine bado ziko shambani.

“Tulipoanza msimu tulitarajia kuwa na wakulima 28,540 lakini sasa hivi tunao wakulima 44,088 na tunatarajia kuvuna tani 77,197,” alisema.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
IJUMAA, JULAI 13, 2018.

Rais Magufuli alitaka baraza la wadhamini la CCM kufanya tathmini ya mali za CCM

$
0
0
Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli amelitaka Baraza jipya la wadhamini la chama hicho kutekeleza majukumu yake ipasavyo na kufanya tathmini ya mara kwa mara ya mali za chama na jumuiya zake

Taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu, Gerson Msigwa imesema Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo Julai 13, 2018 alipokutana na wajumbe wa baraza hilo Ikulu jijini Dar es Salaam.

Rais Magufuli amesema baraza hilo linapaswa kutekeleza majukumu yake ipasavyo, ambayo ni kusimamia mali zote za chama na jumuiya zake, kufanya tathmini ya mara kwa mara ya mali za CCM na jumuiya zake, kutoa ushauri juu ya mabadiliko yoyote yanayohitajika katika umiliki wa mali.

Mwenyekiti huyo amesema pamoja na kutekeleza majukumu mengine ambayo yatakabidhiwa kwake na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa.

Rais Magufuli amesisitiza hatarajii kuona dosari za usimamizi wa mali za chama zikiendelea na amewataka wajumbe hao kuhakikisha CCM inanufaika na mali zake na kuachana na utegemezi ambao umekuwa ukisababisha kuomba misaada kutoka kwa watu.

Naye Mwenyekiti wa baraza hilo Anna Abdallah amemshukuru Rais Magufuli kwa kuwaamini na kuwateua kuunda baraza hilo na ameahidi watahakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa umakini na kwa maslahi ya CCM.

“Mambo hayatakuwa kama walivyozoea huko nyuma kwamba kila mtu anamiliki kipande chake cha mali za chama, hapana, mali zote za chama ni mali ya Baraza la Wadhamini wa Chama Cha Mapinduzi” amesema Anna

Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amesema baraza hilo la kwanza kuundwa baada ya kufanyika marekebisho ya katiba ya chama, litasimamia mali za CCM pamoja na kusimamia utekelezaji wa mapendekezo ya tume ya kufuatilia mali za chama ambayo yeye alikuwa mwenyekiti wake.

Wajumbe wa baraza hilo ni; John Chiligati, Jaji mstaafu Mark Bomani, Balozi mstaafu Daniel Ole Njoolay, Pandu Ameir Kificho, Christopher Gachuma, Dk Haruni Kondo na Hassan Omar Mzee.

Chadema, ACT wafanya mazungumzo ya ushirikiano

$
0
0
Vyama vya Chadema na ACT-Wazalendo vimeanza mazungumzo ya kushirikiana  katika uchaguzi utakaofanyika Agosti 12, 2018 ikiwa ni  Mwezi mmoja kabla ya kufanyika kwa uchaguzi huo  wa ubunge jimbo la Buyungu na Kata 79

Mazungumzo hayo yamefanyika leo Ijumaa Julai 13, 2018 jijini Dar es Salaam, huku ACT ikiwakilishwa na Omar Said Shaaban ambaye pia ni rais wa Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS).

Timu ya Chadema katika mazungumzo hayo imeongozwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi, Oganaizesheni  na Uchaguzi,

 Katibu wa Itikadi, Mawasiliano na Uenezi wa ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amesema baada ya kumalizika kwa mazungumzo wamewaachia jukumu Chadema kwenda kujadiliana.

“Tulichokizungumza wenzetu wa Chadema  wanayajadili katika ngazi ya sekretarieti kabla ya kufanya makubaliano ya mwisho. Hekima inatutaka kuwasubiri wenzetu wajadiliane, waafikiane na kisha tufanye makubaliano ya mwisho. Tunasubiri,” amesema Shaibu

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya July 14

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images