Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

SILYA: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0785 234 837  au 0656 551 093  au 0746473974

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0785687900

Ofisi ya Ridhiwan Kikwete Yateketea kwa Moto

$
0
0
Ofisi ya Mbunge jimbo la Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete iliyopo eneo la Msolwa, Chalinze imeungua kwa moto jana jioni ya Jumapili, Juni 17, 2018 huku mali, samani na nyaraka zilizokuwemo ndani ya jengo hilo zikitejetea vibaya.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Kamishna Msaidizi wa Polisi Jonathan Shana amethibitisha na kusema chanzo cha moto huo ni mwanamke anayedaiwa kuwa ana matatizo ya akili ‘kichaa’ alikuwa na moto nje ya ofisi, upepo ulipopiga ulisukuma moto ukashika jengo.

Kikosi cha zimamoto kilifika eneo la tukio lakini tayari moto ulikuwa umeshashika jengio zima.

ACT yafanya uchambuzi wa bajeti, yawataja wakulima

$
0
0
Chama cha ACT Wazalendo kimesema bajeti ya Serikali kwa mwaka ujao wa fedha, 2018/19 inawaumiza wafanyakazi na wakulima nchini.

Maoni hayo yametolewa jana, Juni 17, kwenye mkutano wa kuchambua bajeti hiyo baina ya chama hicho, wahariri, waandishi wa habari na wadau wengine wa uchumi na biashara.

Akiwasilisha uchambuzi wa chama hicho, Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe alisema utekelezaji wa bajeti hiyo utapungua kwa asilimia 23 huku wafanyakazi na wakulima wakiendelea kuumia.

"Kuna wastaafu 7,000 wa miaka miwili iliyopita ambao hawajalipwa mafao yao mpaka leo. Wengine 3,000 wanatarajiwa kustaafu Julai Mosi bila malipo hayo," alisema Zitto.

Kuwapa unafuu, amependekeza kodi ya mshahara (PAYE) ipunguzwe na michango kwenye mifuko ya jamii ifanyiwe marekebisho.

Chama hicho kimependekeza kushushwa kwa michango ya pesheni kutoka asilimia 20 mpaka 12 ili kuwapa unafuu wafanyakazi na waajiri.

"Kama ilivyo kwa watumishi wa umma, wafanyakazi wa sekta binafsi nao walipe asilimia tano huku waajiri wao wakichangia asilimia saba," alisema.

Kwenye kilimo, alisema bajeti yake imepunguzwa kwa asilimia 23 licha ya kukabiliwa na changamoto nyingi huku kikiajiri asilimia 66 ya Watanzania wote.

Chama hicho kimeishauri Serikali kuzipa kipaumbele sekta zinazogusa maisha ya wananchi wengi kwa kukamilisha miradi na mipango inayoanzisha.

"Serikali imepanga kuanzisha akaunti jumuifu ya Hazina itakayotunza fedha za bodi za mazao. Suala hili litapunguza utendaji wa baadhi ya taasisi hasa bodi hizo," alisema Zitto.

Alisema fedha za wakulima wa korosho zimekatwa hivyo kuchelewesha salfa, dawa muhimu kwenye zao hilo hivyo akashauri maandalizi yafanyike zaidi kabla akaunti hiyo haijaanza kutumika.

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

$
0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za Kupandisha nyota , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Nape aisifu Serikali asema bajeti imezingatia vigezo

$
0
0
 Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye, amesema kuwa mapendekezo ya bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019 imekuwa nzuri na ipo kimkakati zaidi ukilinganisha na bajeti za miaka miwili iliyopita.

Nape amesema hayo wakati wa kutoa maoni kuhusu mapendekezo ya bajeti kuu ya serikali na kusemna kuwa serikali kwasasa imejifunza kupitia bajeti mbili zilizopita kwa kufanya marekebisho mbalimbali hasa katika mifumo ya kodi.

“Mapendekezo ya Bajeti ya Serikali 2018/2019 ina mambo mengi mazuri, zipo changamoto kadhaa lakini mambo mengi mazuri, inavyoonekana Serikali imejifunza kutoka bajeti ya kwanza na ya pili, kwa sehemu kubwa Serikali wamejitahidi kuifanya kuwa bajeti ya kimkakati, sehemu mbalimbali ambayo wamefanya marekebisho ya kodi ni sehemu ambayo inasaidia kukuza na kulinda viwanda vya ndani” amesema Nape.

Nape ameongeza kuwa kama mapendekezo ya bajeti hiyo yatapitishwa, itasaidia kukuza na kuboresha maisha ya wananchi kwasababu moja ya vipaumbele vya bajeti hiyo ni katika suala la sekta ya kilimo.

Kwa upande mwingine Nape amedai kuwa kuna baadhi ya vipaumbele vya mapendekezo ya bajeti ambavyo bado kuna changamoto mathalani uwekezaji mkubwa kwa kutumia fedha za ndani katika miradi ambayo ingeweza kuwekezwa kibiashara.

Mbunge huyo ameitaka serikali kutanua wigo wa ukusanyaji kodi nchini ili kuweza kupunguza mzigo wa ulipaji kodi unaobebwa na wafanyakazi nchini na kudai kuwa, Tanzania ina takribani watu milioni 14 wenyesifa za kulipa kodi lakini wanaolipa kodi ni watu milioni 2.5 tu.

Freeman Mbowe adondoka ghafla, alazwa Muhimbili

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilielezwa kuwa, Mbowe ameshindwa kufika mahakamani baada ya kuanguka ghafla akiwa nyumbani kwake.

Jeremiah Mtobesya ambaye ni wakili wa Mbowe, aliiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri, kuwa mteja wake alianguka leo Juni 18 akiwa nyumbani kwake.

Kadhalika, Mahakama imeelezwa kuwa Mbowe ambaye pia ni mbunge wa Hai, amefiwa na kaka yake, Henry Mbowe.

Akiwasilisha taarifa hiyo, Wakili Mtobesya alieleza kuwa Mbowe ambaye ni mshtakiwa namba moja katika kesi namba 112 ya 2018 amefiwa na kaka yake usiku wa kuamkia leo.

Awali Wakili wa Serikali Mkuu, Faraja Nchimbi aliiambia mahakama kuwa kesi ilipangwa kwa ajili ya washtakiwa Mbowe na wenzake wanane kusomewa maelezo ya awali PH na kwamba wamejiandaa na wapo tayari.

Hata hivyo aliiambia mahakama kuwa Juni 12 na 14 , 2018 walipokea mapingamizi ya kisheria na kwamba wapo tayari kuendelea na mapingamizi hayo.

Wapinzani Wasusa Baada ya Hotuba Yao Kukataliwa

$
0
0
Naibu Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kwa upande wa Wizara ya Fedha na Mipango, David Silinde amesema Ofisi ya Bunge chini ya Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai inalivuruga Bunge.

Silinde ambaye ni Mbunge wa Momba (Chadema) ametoa kauli hiyo bungeni leo Juni 18, 2018 alipotumia kanuni ya 68 (7) kuomba mwongozo wa Spika juu ya kambi rasmi ya upinzani bungeni kuzuiwa kusoma hotuba mbadala ya bajeti ya mwaka 2018/19.

Akizungumza bungeni hapo, Silinde amesema Kanuni ya 99(5) ya Bunge imevunjwa kwani upinzani waliwasilisha taarifa yao bungeni kuhusu Wizara ya Fedha na Mipango lakini imeondolewa bila sababu kutolewa.

“Jumamosi saa 6.31 mchana nilimpigia mkurugenzi wa shughuli za Bunge, tukimweleza tutawasilisha hotuba ya kambi na akaniambia kwamba tuwasilishe Jumapili kabla ya saa 10 jioni,” amesema Silinde.

Silinde ameongeza kuwa, Spika Job Ndugai alitoa maelekezo kwamba taarifa za kambi ziletwe siku moja kabla na wao upinzani walifanya hivyo.

 “Jana saa 8.30 mchana, nimeleta hotuba ya kurasa 521 ili isomwe katika Bunge lako tukufu wananchi waone na nikampigia mkurugenzi wa ‘hansard’, akawa anauliza hotuba ina nakala ngapi, tukamwambia tuko ofisi ya kambi, baada ya hapo akawa hapokei simu, nikawa nampigia mkurugezi wa shughuli za Bunge hakupokea nikawa namtumia ujumbe akasema pelekeni hotuba kwa Katibu wa Bunge,” amesema

Ameongeza kuwa upinzani walitafuta watu wa kuwasaidia ili hotuba yao isikike lakini Ofisi ya Bunge imekataa.

“Tufanye nini katika hii nchi ili tueleweke, kama tumeleta mmekataa, mkurugenzi wa shughuli za Bunge amekataa,” amesema

Wakati akiendelea kuongea, Spika Ndugai akamtaka Silinde kuongea taratibu na asifoke.

Silinde akajibu: “Nimekwazika, kwa namna ofisi yako chini ya Katibu wa Bunge (Kagaigai) inavyokwamishwa na Katibu wa Bunge anaharibu Bunge, nimemwandikia barua hii wanipe sababu na hawajazisema.”

Akijibu mwongozo huo, Spika Ndugai amesema:

“Nimeshindwa kuelewa, nikawa naangalia labda ni wikiendi imekuwa ndefu labda umeamka vibaya nini, umempelekea Katibu lini na tumeanza Bunge la bajeti Aprili, hamna hotuba yoyote mliyotoa na sababu mliyotoa wanaowaandikieni hawapo sasa kumbe mmepata wa kuwaandikia na hamna aibu kusema mmeandikiwa.”?

“Mmechanga hela, mmepata wa kuwaandikieni, kwa hiyo tuonane baadaye ili kuona tutafanyaje, kwa sababu katika ‘oder paper’ haipo, haina shida hiyo.”

Wakuu wa Miko na Wilaya Wanaofukuza Watumishi wa Umma Kuchukuliwa Hatua

$
0
0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, UTUMISHI na Utawala Bora, Kapteni (Mstaafu), George Mkuchika ameomba kama kuna mahali mtumishi amefukuzwa kazi na Mkuu wa Mkoa wa Mkuu wa Wilaya wakati si waajiri wake apelekewe suala hilo na yeye atalishughulikia.

Mkuchika ametoa ombi hilo leo, Juni 18, 2018 Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini aliyeuliza “Katika awamu hii umezuka mtindo kwa baadhi ya wakuu wa mikoa na Wilaya kuwavua vyeo baadhi ya walimu kutokana na sababu ya shule zao kutofanya vizuri, kuwavua vyeo madaktari na hata wengine kuwaondoa kazini na sasa mtindo huu unavyoendelea tafsiri ya jamii ni hatua ambazo ni mahususi zilizoagizwa na serikali , Je serikali ipo tayari kupitia maamuzi yote haya na kuwarejea hawa walimu au madaktari haki yao kama ilidhibitika walionewa?

Akijibu swali hilo Mkuchika amesema kuwa “Nchi hii inaendeshwa kwa sheria, taratibu na kanuni lakini ni kwamba yule aliyekuajiri wewe ndiye mwenye madaraka ya kukufukuza kwahiyo utaona kwamba mara nyingi wakigundua kama kuna makosa wana msimamisha wakati wanasubiri yule mwenye madaraka ya ajira achukue hatua za mwisho.”

Pia aliomba kuwa “Ninaliomba Bunge hili kama kuna mahali mtumishi amefukuzwa na Mkuu wa mkoa au Mkuu wa wilaya wakati yeye sie aliyemuajiri niletewe suala hilo nitalishughulikia mara moja kwasababu kwa taratibu zetu za kiutumishi yule aliyekuajiri ndiye anaekuadhibu.”

Mwigulu ajibu wanaoibeza na Kusema Bajeti ya Mwaka Huu ni 'Bajeti Hewa'

$
0
0
Serikali ya awamu ya tano kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amesema wanaobeza Bajeti ya mwaka 2018/2019 ni hewa hawaelewi maana halisi ya Bajeti yenyewe.

Mh. Mwigulu ametoa kauli hiyo wakati wa mahafali ya kwanza ya vijana wa Chama cha Mapinduzi wa vyuo vikuu vya Mkoa wa Kilimanjaro na kusema kuna watu wameibuka wakidai Bajeti ya serikali ya mwaka 2018/2019, ya Shilingi trilioni 32.47 iliyowasilishwa Juni 14 na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango ni hewa jambo ambalo si sahihi.

"Haijawahi kutokea Bajeti ya Maendeleo kuwa hewa, hivyo wanaozungumza na kujadili kwenye mitandao ya kijamii kuwa ni hewa hawaelewi maana halisi ya Bajeti", amesema Mwigulu.

Kwa upande mwingine, Mwigulu amesema kuwa ni lazima kufunga mkanda na kujenga misingi itakayoiwezesha nchi kusimama na kujitegemea

Waziri wa Maji Kavunja Bodi ya Wakurugenzi ya DAWASA

$
0
0
Waziri wa Maji na Umwagiliaji (Eng) Isack Kamwele amemsimamisha kazi Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi, Romanus Mwang'ingo kwa tuhuma za ubadhirifu na udanganyifu katika utekelezaji wa mradi wa kuchimba visima maeneno ya Kimbiji na Mpera huko Kigamboni, Jijini Dar es salam.

Maamuzi hayo ya Waziri Kamwele yamekuja leo Jumatatu, Juni 18 baada ya serikali kupokea taarifa za kuwepo kwa udanganyifu katika mradi huo ambapo mbali na ubadhirifu uliogundulika pia upo udanganyifu wa idadi ya visima  vilivyokamilika kama ambavyo taarifa zilizowasilishwa wizarani  na DAWASA na uhalisia katika eneo la utekelezaji miradi.

Aidha Taarifa ya Waziri Kamwele imesema kuwa kutokana na kuwa Mhandisi Mwang'ingo ndiye aliyekuwa Msimamizi Mkuu wa mradi huo kwa niaba ya DAWASA na seerikali basi anatengua nafasi yae hiyo ili kupisha uchunguzi wa TAKUKURU.

Aidha Waziri amemteua Dkt. Sufian Masasa kukaimu nafasi hiyo mpaka utaratibu mwingine utakapokamilika.

Pamoja na hayo Waziri Kamwele amevunja Bodi ya Wakurugenzi wa DAWASA kwa kushindwa kuchukua hatua mapema katika kunusuru mradi huo.

Chid Benz Akamatwa Tena na Madawa ya Kulevya

$
0
0
Msanii wa Bongo Fleva Rashidi Abdala maarufu kama Chid Benz anashikiliwa na Jeshi la Polisi Jijini Dodoma kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya Bhangi zinazodaiwa kufikia gramu tano (5)

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma, Gilless Muroto amethibitisha kukamatwa kwa Chid Benzi na kusema kwa sasa yupo kituo cha kati ikiwa ni mara ya pili kukamatwa kwa msanii huyo ndani ya mkoa huo.

Aidha, Kamanda Muroto amesema wasanii watumie vyeo vyao kwa kufanya shughuli nzuri zinazowaingizia kipato na ziwe zinazokubalika na jamii na kisheria pia na sio kufanya biashara ambazo sio halali na zipo kinyume na sheria za nchi.

"Kwa mtu yoyote anaefanya biashara haramu kwa kuona yeye ni mtu fulani ajue sheria haichagui aina ya mtu au cheo ila sheria inafanya haki kwa kila mtu kama unakuwa na hatia basi sheria itakuadhibu", amesema Muroto.

Kwa upande mwingine, Kamanda Muroto amewataka wasanii kuwa makini, wasifanyishwe biashara na watu au wao kufanya biashara ambazo ni haramu pia wawe wa kwanza kuelimisha jamii na kupiga vita ya dawa za kulevya  na kupinga biashara zozote ambazo zipo kinyume na sheria.

Madaktari 'Watakaza' Watu Kumtembelea Mbowe

$
0
0
Jopo la Madaktari wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam ambapo amelazwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamewapiga marufuku watu kuenda kumtazama Mbowe kwa kile wanachodai kuwa yupo kwenye vipimo.

Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Itifaki, Uenezi, Mawasiliano na Mambo ya Nje CHADEMA, John Mrema leo Juni 18, 2018 kupitia mtandao wao maalum wa chama baada ya kupita masaa machache tokea ilipo ripotiwa taarifa ya kiongozi huyo ndani ya Mahakama kuwa ameshindwa kuhudhuria kesi yake kutokana na kuanguka ghafla na kukimbizwa Hospitalini.

"Nimefika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikolazwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe, kwa sasa madaktari wameshauri kuwa mgonjwa hataweza kuonwa kwa kuwa yuko kwenye vipimo. Hivyo kwa wale wote ambao walikuwa wamepanga kwenda hospitali kumuona mnaombwa msitishe hadi mtakapopewa taarifa nyingine", amesema Mrema.

Kwa upande mwingine, Mkurugenzi wa Itifaki, Uenezi, Mawasiliano na Mambo ya Nje CHADEMA, John Mrema amesema hali ya Mbowe kwa sasa inaendelea vizuri tofauti na alipopelekwa hapo awali.

Utaratibu Mpya Wa Usajili Wa Vyombo Vya Habari Katika Maonyesho Ya Sabasaba

Rais Magufuli Atoa Msaada Wa Shilingi Milioni Tano Kwa Mtoto Latifa Kadogosa Aliyepooza Mwili Jijini Dar Es Salaam

$
0
0
Katibu wa Rais Ngusa Samike akimkabidhi Rehema Kadogosa ambaye ni Mama wa Mtoto Latifa Kadogosa (13) aliyelala kitandani kiasi cha Shilingi milioni tano (5,000,000/-) fedha zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kwa ajili ya kumsaidia mtoto huyo ambaye ana matatizo ya kiafya jijini Dar es Salaam.

Askofu wa Kanisa la Agape Sanctuary International Akamatwa Kwa Utapeli wa Milioni 63

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia Askofu Martin Gwila wa Kanisa la Agape Sanctuary International kwa tuhuma za utapeli wa kiasi cha zaidi ya milioni 63

Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto amesema kiasi hicho cha fedha alikipata baada ya kuwadanganya watu mbalimbali kuwa atawapa ajira kupitia kanisa lake.

Pia anadaiwa kuwalaghai waumini akiwataka watoe fedha ili wasajiliwe na alitoza viwango tofauti vya fedha.

“Askofu huyo alikamatwa mwishoni  mwa  wiki jijini Dodoma na alipokea fedha hizo pasipo kutoa ajira yoyote huku akitoa vitisho kwa waliotoa fedha hizo,” alisema

Kamanda Muroto  amesema kuwa kanisa hilo ambalo makao yake makuu yapo Arusha halijasajiliwa kwa mujibu wa sheria kama kanisa bali aliisajili Agape Sanctuary kama kampuni binafsi.

Mtuhumiwa atafikishwa mahakani muda wowote kuanzia sasa.

Tanzania Inaongoza Kwa Uchumi Kusini Mwa Jangwa La Sahara-majaliwa

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema taarifa ya Kongamano la Uchumi la Dunia la mwaka 2018 inaonesha kuwa Tanzania inaongoza kwa kuwa na uchumi jumuishi miongoni mwa nchi za Afrika zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara.

Amesema hali hiyo, imetokana na Tanzania kufungua fursa za ujasiriamali ambapo kuna zaidi ya biashara milioni tatu zinazokuwepo kila mwaka, lengo la nchi ni kuhakikisha kuwa uchumi unakua na unamgusa kila Mtanzania hususan mwananchi wa kawaida.

Waziri Mkuu ameyasena hayo leo (Jumatatu, Juni 18, 2018) wakati akifunguaKongamano la Tatu la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa LAPF, jijini dodoma.

“Pia, huduma za fedha jumuishi ni kigezo ambacho kimeiweka Tanzania mahala pazuri kwenye uchumi jumuishi ambapo zaidi ya Watanzania milioni 30 wamekuwa wakifanya miamala mbalimbali ya fedha kupitia simu za mkononi na hivyo kuongeza huduma za fedha kufikia asilimia 65,” amesema.

Amesema huduma za msingi za kijamii kama vile elimu, afya na kupungua kwa rushwa katika utoaji huduma za umma pamoja namtandao wa miundombinu ya barabara ambayo huwezesha wananchi wengi kujishughulisha na shughuli za kiuchumi ni kigezo kingine kilichozingatiwa katika kuipatia Tanzania nafasi hiyo.

Waziri Mkuu ameongeza kwamba Serikali inaamini kuwa uchumi wa viwanda ukiimarika uchumi utakuwa kwa kasi kubwa na matokeo yake yataonekana wazi kwa kupanua wigo wa ajira, soko la huduma na shughuli nyingine za kiuchumi.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amesema suala la uchumi wa viwanda kuelekea uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025 ni moja ya ajenda muhimu ya Serikali ya Awamu ya Tano, hivyo amezitaka sekta zote zihakikishe zinatoa mchango mkubwa kwenye uchumi wa viwanda.

Pia amesema suala la uwezeshaji wananchi kiuchumi lazima liende sambamba na uwezeshaji vijana kujiajiri kama inavyoelekeza Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2015. “Ilani inatambua kwamba kuwawezesha wananchi kiuchumi ni hatua ya msingi katika kujenga Taifa lililoimarika kiuchumi na lenye lengo la kujitegemea,”.

Aidha, Ilani pia, inasisitiza kuhusu umuhimu wa kuhamasisha ushiriki wa Sekta binafsi katika kuwezesha wananchi kiuchumi, hivyo ni muhimu kukamilisha taarifa ya uwezeshaji kutoka kwa wadau wa sekta binafsi, ili Serikali iweze kuona mchango wa sekta binafsi katika kuwawezesha wananchi kiuchumi.

Waziri Mkuu amesema utekelezaji wa malengo hayo ya uwezeshaji wananchi katika maeneo ya fursa za mafunzo ya ujasiriamali na mikopo ya masharti nafuu ni muhimu sana katika kupambana na umaskini wa kipato.

Amesema kwa kutambua umuhimu wa ajenda ya uchumi wa viwanda, ndiyo maana makongamano ya uwezeshaji yamekuwa yakiweka mkazo kwenye masuala ya viwanda. Hali hiyo pia, inajidhihirisha katika kaulimbiu ya Kongamano la Tatu ambayo ni: “Viwanda: Nguzo ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi”.

Hivyo Waziri Mkuu ameongeza kwa kusema, “tuendelee kuhimiza kuhusu kutekeleza uchumi wa viwanda kwa lengo la kuwawezesha wananchi wetu kiuchumi na kuhakikisha kuwa tunafikia lengo la kuwa na  uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025,”.

Kongamano hilo lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) limehudhuriwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Bibi Jenista Mhagama, Waziri wa Kilimo Dkt Charles Tizeba, Waziri Viwanda, Biashara na Uwekezaji Bw. Charles Mwijage na Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Bw. Suleiman Jafo.

Wengine ni Wakuu wa Mikoa mbalimbali, Makatibu Wakuu wa Wizara, Wakuu wa Wilaya ya Mkoa wa Dodoma, Makatibu Tawala wa Mikoa, Mwenyekiti na Wajumbe wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi,Wakurugenzi wa Halmashauri za Mamlaka za Serikali za Mitaa,

Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Bibi Beng’ Issa, wadhamini wa Kongamano hilo na Wawakilishi kutoka katika taasisi mbalimbali za Serikali na Sekta binafsi.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya June 19

Rais Magufuli amemteua Jaji Lubuva kuwa Mwenyekiti

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, amemteua Jaji Mstaafu, Damian Lubuva kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Dar es salaam.

Taarifa kutoka Ikulu iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi imesema kuwa uteuzi wa Jaji Lubuva umeanza Juni 18, 2018.

Jaji Mstaafu Lubuva anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza hilo, Peter Ngubullu.

Aidha, Jaji Mstaafu Lubuva alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) 2015

Miili ya Askari 11 wa JKT Waliofariki Kwa Ajali kKuagwa Leo.....Tazama Picha zao Hapa

$
0
0
Mwili wa Mwanajeshi mmoja, vijana 10 wa JKT na Wafanyakazi wawili wa basi la Igunga Express waliofariki June 14 mwaka huu katika eneo la maili tano mtaa wa Igodima Mbeya itaagwa leo katika kambi ya JKT Itende

Akizungumza na waandishi wa Habari jana  June 18, 2018 katika ukumbi wa JKT Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa Jeshi la Wananchi (JWTZ ) Kanali Ramadhan Dogoli alisema taratibu zote zimekamilika.

Hapo chini kuna picha na majina ya vijana waliofariki katika ajali hiyo.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images