Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

SILYA: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0785 234 837  au 0656 551 093  au 0746473974

Ushuru Pombe za Nje JUU....Za Ndani Utabaki Palepale

$
0
0
Ili kutimiza azma ya serikali ya awamu ya tano ya kujenga uchumi wa viwanda, imependekezwa kutofanyika mabadiliko ya viwango maalum vya ushuru wa bidhaa zisizo za petroli zinazozalishwa hapa nchini na kuongeza viwango vya ushuru wa bidhaa zisizo za petroli zinazoagizwa kutoka nje ya nchi.

Akiwasilisha bungeni jana  mapendekezo ya serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi 2018/19, Waziri wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango alisema mapendekezo hayo ni pamoja na ushuru wa bidhaa kwenye vinywaji baridi utaendelea kutozwa kwa kiwango cha Sh.61 kwa lita.

Aidha amesema ushuru wa bidhaa kwenye maji ya kunywa yaliyosindikwa kwenye chupa yaliyoagizwa kutoka nje utaongezeka kutoka Sh.61 kwa lita hadi Sh.64.05 kwa lita, ikiwa ni ongezeko la Sh.3.05 kwa lita.

Kadhalika, ushuru wa bidhaa kwenye maji yanayozalishwa hapa nchini utaendelea kutozwa kwa kiwango cha sasa cha Sh.58 kwa lita.

Pia amesema ushuru wa bidhaa kwenye maji ya matunda(juisi) iliyotengenezwa kwa matunda yanayozalishwa hapa nchini hautaongezeka na utaendelea kutozwa kwa kiwango cha Sh.9 kwa lita.

Hata hivyo amesema ushuru wa bidhaa kwenye maji ya matunda iliyotengenezwa kwa matubda ambayo hayazalishwi hapa nchini utaongezeka kutoka Sh.221 hadi Sh.232 kwa lita, hivyo ongezeko ni Sh.11 kwa lita.

Akizungumzia bidhaa ya bia, Dk.Mpango alisema ushuru wa bidhaa hiyo inayotengenezwa kwa nafaka ya hapa nchini ambayo haijaoteshwa hautaongezeka na utaendelea kutozwa kwa kiwango cha Sh.450 kwa lita.

Pia kwa bia zinazoagizwa kutoka nje ya nchi utaongezeka kutoka Sh.765 kwa lita hadi Sh.803.25 kwa lita,ikiwa ni ongezeko la Sh.38.25 kwa lita.

Waziri huyo amesema ushuru wa bidhaa kwenye bia zisizo za kilevi ikijumuisha vinywaji vya kuongeza nguvu vinavyoagizwa nje ya nchi utaongezeka kutoka Sh.561 hadi Sh.589.05 kwa lita, kwa bidhaa hizo zitakazozalishwa nchini zitatozwa kiwango cha sasa Sh.561 kwa lita.

"Kuanzisha ushuru wa bidhaa wa Sh.200 kwa lita kwenye mvinyo uliotengenezwa kutokana na usindikaji wa matunda (kama ndizi, rozela, nyanya) yanayozalishwa hapa nchini tofauti na zabibu kwa kiwango kinachozidi asilimia 75, "alisema

Unga wa‘gyspsum’ waongezewa ushuru kwa asilimia 10

$
0
0
Serikali imependekeza kuongeza asilimia 10 kwenye ushuru wa forodha kwenye unga wa gypsum kwa mwaka mmoja.

Hayo yamesemwa jana Juni 14 na Waziri wa Fedha Phillip Mpango bungeni mjini Dodoma alipokuwa akiwasilisha bajeti kuu ya serikali kwa mwaka 2018/19.

Alisema marekebisho haya yanalenga  kulinda viwanda vinavyozalisha bidhaa hiyo hapa nchini na kuhamasisha wawekezaji watumie "gypsum' inayopatikana hapa nchini ili kuzalisha "gypsum" powder.

Alifafanua hatua hiyo inatarajiwa kuongeza ajira na mapato ya Serikali.

Naibu Waziri Wa Madini Mhe Biteko Kuunda Timu Maalum Ya Wataalam Kuchunguza Migodi Yote Iliyopo Wilaya Ya Ulanga

$
0
0
Na Freddy Mgunda, Morogoro
Naibu Waziri wa Madini Mhe Doto Mashaka Biteko amesema kuwa ataunda timu maalum ya wataalam kwa ajili ya kuchunguza migodi yote nchini ikiwa ni pamoja na utambuzi wa aina ya madini yanayopatika katika migodi iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro kwa lengo la kuhakikisha kuwa Tanzania haiendelei kuibiwa na wawekezaji katika sekta ya madini.

Akizungumza wakati wa ziara ya siku mbili Mkoani Morogoro Mh Biteko alisema kuwa madini yote yaliyopo katika ardhi ya Tanzania ni mali ya watanzania hivyo yanapaswa kuwanufaisha watanzania kwanza ndipo watu wengine wafuate.

“Naombeni watanzania wote mjue kuwa madini haya ni mali ya watanzania wote hivyo tunapaswa kuyalinda na kutoa taarifa sahihi kwa serikali kama kuna mtu anaiibia serikali kwa namna moja au nyingine ili serikali iweze kuchukua hatua za kisheria dhidi yake, Na mimi nawaambieni watanzania tuache uoga tuseme ukweli kama Rais wetu Mhe Dkt John Pombe Magufuli anavyosisitiza utendaji wa uwazi na uwajibikaji katika serikali” Alikaririwa Mhe Biteko.

Biteko amepiga marufuku wawekezaji kutumia fedha zao kuwanyanyasa wananchi waliopo kwenye maeneo ambayo kuna migodi kwa ajili ya kuwaibia watanzania ambao bado wana kipato cha chini katika maeneo yanapopatikana madini.

“Najua hawa wawekezaji wanapesa nyingi sana hivyo isiwe sababu ya kuwarubuni baadhi ya wananchi na kuwatesa wananchi wengi hususani waliopo kwenye maeneo ya madini na leo nataka niwaambie ukweli wawekezaji wote nchini najua ambavyo mnatumia pesa zenu kuwanyanyasa wananchi, sasa ndio mwisho wenu maana serikali ya awamu ya tano inataka haki kwa kila mwananchi” alisisitiza Biteko.

Naibu Waziri wa Madini Mhe Doto Mashaka Bitoke alifanya ziara ya kikazi katika kijiji cha Ipanko kilichopo katika wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro na kugundua kuwa kuna wawekezaji wanaidanganya serikali na wananchi kwa kutoweka wazi kiasi gani ambacho wanakipata kwenye migodi iliyopo katika kijiji hicho.

“Jamani wana Ipanko nchi hii tumeibiwa sana sasa ifike mwisho tusema hapana haiwezekani tena kwenye serikali ya awamu ya tano chini ya Rais wetu Dkt John Pombe Magufuli tuendelee kuibiwa madini yetu na kuwanufaisha watanzania ambao wapo nje ya nchi yetu, Rais kashasema na sisi wasaidizi wake tunaungana naye kwamba iwe mwisho kuchezewa kwa rasilimali zetu”

“Chonde chonde nyie viongozi wetu wa ngazi za vijiji, kata, tarafa, wilaya na mkoa tunaomba msituangushe kwa kupokea rushwa kutoka kwa wawekezaji na kuisaliti nchi yako kuendelea kuibia kirahisi namna hii” alisema Biteko

Biteko alieleza kuwa serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dkt John Pombe Magufuli inawapenda sana kuwa na wawekezaji wengi wenye tija ambao sio wababaisha na ambao wamekuja nchi kuiba rasilimali za watanzania.

Aidha, Biteko alisema kuwa haiwekani muwekezaji akawekeza Bilioni 42 halafu akachangia madawati na mifuko ya saruji katika jamii kama ndio mchango wake, haiwezekani wanapaswa kuchangia kulingana na kiasi ambacho wamewekaza kwa faida na manufaa ya wananchi.

“Mimi binafsi hainiingi akilini kuona muwekezaji amewekeza pesa nyingi kama hizo halafu kwenye shughuli za kimendeleo amechangia kiasi kidogo namna hiyo kwangu nasema haiwezekani na nchi hii kwa sasa sio yakuchezewa tena” alisema Biteko

Lakini pia Naibu waziri huyo alimpongeza Mbunge wa Jimbo la Ulanga Mhe Goodluck Mlinga kwa kuwapigania wananchi wake kwa kuzifikisha kero mahali husika na kutafutiwa ufumbuzi.

Nao baadhi ya wananchi akiwemo Pangarasi Kanyali, Cyprian Kanyali, Micky Sengo, Doedatus Moholeli, Hilda Linoma na Fredrick Kazimoto  walimpongeza Naibu Waziri wa Madini Mhe Biteko kwa kufika kijiji hapo na kusiliza kero zao kwani wana amini zitatafutiwa ufumbuzi kwa kufuata sheria na katiba ya nchi.

“Toka sisi tuzaliwe hatujawahi kutembelewa na waziri na kusikiliza kero zetu kama ambavyo wewe umefika kijijini kwetu leo hii tunajisikia wenye amani na furaha kwa kuwa tunajua kero zetu tunazifikisha moja kwa moja kwa kwa Rais wetu kupitia wewe waziri” Walisema wananchi hao

Awali Mbunge wa Jimbo la Ulanga Goodluck Mlinga alisema kuwa lengo la waziri kufika katika kijiji hapo ni kujionea kero wanazokumbana nazo wananchi kupitia wawekezaji wa sekta ya madini na kuzitafutia ufumbuzi.

“Huku ni mbali sana Mheshimiwa Naibu Waziri lakini kuna madini mengi ambayo ndio utajiri wa nchi hii hivyo tunapaswa kuwa makini na hawa wawekezaji maana wamekuwa wakiibia sana serikali yetu” Alisema Mlinga

waziri mkuu, kassim majaliwa ashiriki swala ya eid kwenye msikiti anwar, msasani, jijini dar es salaam

$
0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kushiriki katika  swala ya Eid kwenye Msikiti wa Anwar, Msasani,  jijini Dar es salaam leo Juni 15, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki katika swala ya Eid kwenye Msikiti  Anwar, Msasani, jijini Dar es salaam leo  Juni 15, 2018. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na baadhi ya Waislamu baada ya kushiriki katika swala ya Eid  kwenye Msikiti wa Anwar, Msasani,  jijini Dar es salaam leo Juni 15, 2018. 

Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi baada ya kushiriki katika swala ya Eid kwenye Msikiti wa Anwar,  Msasani,  jijini Dar es salaam leo Juni 15, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Irene: Simjui Zari Wala Hamissa....Mungu Akipenda Diamond Atanioa Mimi

$
0
0
Mwanadada Irene anazidi kuwashnagaza watu katika mitandao ya kijamii kutokana na kile anachosema kuwa hawajui wanawake wanaotembea na Diamond platinumz. 

Irene ambae alikumbwa pia na skendo ya kutoka kimapenzi na Diamond Platinumz na kusemekana kuwa alipata ujauzito na kuchoropoa anasema kuwa hawajui wanawake hao hata mmoja.

Akiongea katika refresh ya Wasafi Tv, Irene aliulizwa kama anajua chochote kuhusu mahusiano ya Zari , Hamisa na Diamond  na akaajibu  bila uoga” Zari ndo nani mbona simjui,  mimi simjui hata huyo Hamisa Mobeto kwa sababu mimi ni lynn mimi ndo simba na mimi ndio lion”

Hii sio mara ya kwanza mwana dada hyo kuulizwa kuhusu mahusiano yake na Diamond na amekuwa akisema kuwa hawajui wanawake wengine wa Diamond na kuhusu ndoa kama Mungu kapanga yeye kuolewa na Diamond basi ataolewa, kwake hana papara.

Zari Awaonya Wasafi Tv ..... “ Mkiendekeza Kiki za Kijinga Mtapotea”.

$
0
0
Mzazi mwenza wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz Zarinah Hassan ‘Zari’ amekitolea uvivu kituo cha Wasafi Tv.

Bila kujari kuwa mmiliki wa kituo hicho cha habari ni Diamond, Zari amewajia juu akiwataka kuripoti Habari za maana kuhusu mambo yanayoendelea nchini.

Zari alitoa povu hilo baada ya Wasafi Tv kuposti clip ya kipindi cha Refresh kinachorushwa na kituo hiko kikionyesha mahojiano waliyofanya na video Queen maarufu Irene Au Lynn.

Kwenye mahojiano hayo Irene aliulizwa endapo anamfahamu Zari ambapo alijibu kuwa hamjui Zari wala hajawahi kumsikia ambapo alisikika akisema ‘Zari Who?’.

Baada ya clip hiyo kusambaa Kwenye mitandao ya kijamii Zari alienda kwenye ukurasa wa kituo hicho na kuwataka waripoti mambo ya maana yanayoendelea Kwenye jamii badala ya kukazania mambo ya kijinga.

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE; 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO 0754372325/  0658920640
 
HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0785687900

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

$
0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za Kupandisha nyota , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

TFDA Yatoa Msaada Taulo Za Kike Kwa Wanafunzi Wa Kike Zaidi Ya 3000 Kidato Cha Nne Waliopiga Kambi Za Kitaaluma Simiyu

$
0
0
Na Stella Kalinga, Simiyu
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imetoa msaada wa taulo za kike  katoni 210 zenye thamani ya shilingi milioni tano  na kumkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka kwa ajili ya wanafunzi wa kike zaidi ya 3000 wa kidato cha nne walio katika kambi za kitaalum mkoani humo, ambao wanajiandaa na mtihani wa Taifa kwa mwaka 2018.

Akizungumza na viongozi, walimu na wanafunzi wakati wa makabidhiano yaliyofanyika katika Shule ya Sekondari Bariadi Mjini Bariadi, Meneja wa TFDA Kanda ya Ziwa, Bw. Moses Mbambe amesema msaada huo umetolewa kujibu ombi la Mkuu wa Mkoa wa Simiyu alilolitoa kwa Mamlaka hiyo kuwasaidia watoto wa kike wa kidato cha nne walio kwenye kambi ya Kitaalum mkoani humo ili wawapo kambini wasome kwa utulivu na kujiamini hususani wakati wa hedhi.

“Tunakabidhi taulo hizi za kike kwa niaba ya Mkurugenzi mkuu wa TFDA, Bi. Agnes Sitta Kijo ambazo Mkuu Mkoa wa Simiyu alimuomba ili ziweze kuwasaidia watoto wa kike wa kidato cha nne walioko kwenye kambi za kitaaluma katika maeneo mabalimbali hapa mkoani katika kuwawekea mazingira mazuri ya kusoma kuwa utulivu na kujiamini wakati wa siku zao za hedhi” alisema

Aidha, Mbambe ameupongeza uongozi wa Mkoa kwa kuanzisha utaratibu wa kambi za kitaaluma na akawataka wanafunzi kuwa na ndoto, kusoma kwa bidii na  kuweka  mikakati ya kuwawezesha kufikia ndoto zao; huku akiwaasa kufanya vizuri katika mitihani yao ili kutoa nafasi  kwa walio nyuma yao kuwekewa utaratibu endelevu wa kambi za kitaaluma katika kuuwezesha mkoa huo kufanya vizuri kielimu.

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amemshukuru Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TFDA Bi. Agnes Sitta Kijo kwa msaada taulo za kike ambao amesema utawasaidia sana watoto wa kike ambao wengi wao wamekuwa wakitumia vipande vya kanga na vitenge kujisitiri wakati wa hedhi.

"Ni wazazi wachache sana wenye uelewa kwamba binti zao wamevunja ungo na wao kama wazazi wanatakiwa kuwapa fedha ya kununulia taulo za kike kwa ajili ya kujisitiri wakati wa siku zao za hedhi, matokeo yake mtoto wa kike katika mazingira fulani anajikuta anashawishika kuingia kwenye mambo yasiyofaa kwa kupewa pedi tu na bodaboda kwa kuwa anaona huyo ndiyo boyfriend(rafiki wa kiume) mzuri" alisema Mtaka.

Kwa upande wa  wanafunzi hao  wameshukuru kwa msaada wa taulo hizo ambazo wamesema zitawasaidia sana kwani baadhi yao wamekuwa wakitumia vipande vya kanga, vitenge na njia nyingine za kienyeji kujihifadhi wakati wa hedhi , hivyo wamefarijika kwa msaada huo

“Tunawashukuru sana TFDA kutupa hizi taulo za kike maana wengi wetu huwa wanatumia kanga na vitenge kujisitiri, msichana akiwa hedhi halafu akatumia taulo maalum anakuwa anajiamini, anasoma kwa amani na utulivu mkubwa tofauti na atakayetumia njia za kienyeji” alisema  Magulu Deogratius kutoka Shule ya Sekondari  Bariadi.

Katika hatua nyingine walimu na wanafunzi wa shule za sekondari Bariadi, Chenge, Gudui na Somanda zote za Wilaya ya Bariadi walimshukuru Mkuu wa Mkoa wa Simiyu na Viongozi wote kwa kuanzisha utaratibu wa kuwa na kambi za kitaaluma, ambao wamekiri umewasaidia wanafunzi kuwa na mtazamo tofauti katika masomo na wakaomba uwe endelevu.

“Utaratibu wa makambi umewasiadia sana wanafunzi wetu, kwanza wameongeza ari ya kusoma yaani hawalali, kila tunapowafundisha wamekuwa wasikivu kwa kuwa wanakiri wanapokea vitu vipya ambavyo hawakousoma shuleni kwao, tunaomba utaratibu huu uendelee maana tuaimani utawasaidia wanafunzi wetu kujiandaa vema na mitihani ya Taifa” alisema Mwalimu Zuhura Yahaya

“Tangu tumeanza kambi hii tarehe 03 Juni imetusaidia sana kuleta mabadiliko ya Kitaaluma, tunapata nafasi ya kubadilisha uzoefu wa kujibu maswali, mada ngumu tunasaidiwa na walimu wetu, tunaelekezwa namna sahihi ya kujibu maswali; naomba tukuhakikishie Mkuu wa Mkoa matokea ya mwaka 2018 yatakuwa ya mfano;  yaani binafsi naona siku hazitoshi kama itawezekana mwezi wa tisa turuhusiwe kuja kambi tena” alisema Veronica Kidana kutoka Shule ya Sekondari Chenge.

Jumla ya Kambi za kitaaluma 149 zinaendelea kwa muda wa siku 21 mwezi huu katika maeneo mbalimbali ya mkoani Simiyu,  ambapo kambi 35 ni kwa jili ya wanafunzi wa kidato cha nne na kambi 114 ni kwa shule za msingi, kwa ajili ya maandalizi ya Mitihani ya Taifa ikiwa ni moja ya mkakati wa kuondoa daraja sifuri na daraja la nne kwa kidato cha nne na kupandisha ufaulu wa darasa la saba.

MWISHO

Zitto Kabwe Ammwagia Sifa Mbunge wa CHADEMA Upendo Peneza Kwa Kupambana Hadi Kodi ya Pedi Ikafutwa

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amempongeza Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Kigoma Upendo Peneza (CHADEMA) kuwa amefanikiwa kuacha alama ndani ya bunge la Tanzania akiwa na muda mfupi ndani ya bunge.

Zitto ametoa pongezi hizo ambapo amesema Peneza anaingia katika rekodi za Wabunge waliotumia nafasi yao kushawishi jambo lenye faida kubwa kwa jamii na likafanikiwa ikiwa ni baada ya Serikali kutangaza kuondoa kodi ya VAT kwenye Taulo za Kike zinazotumika na Wanawake kipindi cha hedhi.

Zitto ameandika “Mbunge Upendo Peneza anaingia katika rekodi za Wabunge waliotumia nafasi yao kushawishi jambo lenye faida kubwa kwa jamii na likafanikiwa. Serikali imekubali kuondoa kodi ya VAT kwenye Taulo za Kike zinazotumika na Wanawake kwenye hedhi.”

“Kumekuwa na juhudi za kuleta mabadiliko haya miaka mingi kutokana na kazi za Mashirika kama TGNP Mtandao, SNV, Msichana Initiative nk. Upendo, licha ya kuwa na miaka 2 tu Bungeni aliweza kubeba hoja hii na kuiingiza Bungeni na kuunganisha Wabunge wote kutoka Vyama vyote.” ameandika Zitto

“Licha ya kwamba kampeni yake ilikuwa ni Watoto wa shule wapewe Taulo hizi bure ( litafika tu hilo kupitia mamlaka za Serikali za Mitaa ), amepata mafanikio makubwa kwa uamuzi wa Serikali kuondoa VAT na hivyo kushusha gharama za Taulo hizi. Upendo ameacha alama ( legacy).” Zitto Kabwe

“Mzee William Shelukindo aliwahi kunieleza tofauti ya kuwa Mbunge ( Member of Parliament ) na Mwana Bunge ( a parliamentarian). Kwamba Mwana Bunge ni Mbunge ambaye anaacha alama Katika kazi zake za Bunge na kwamba anaweza kuunganisha wabunge bila kujali Itikadi za Vyama Katika Hoja zenye maslahi ya Umma.”

“Alinieleza haya wakati ananipongeza kuhusu Hoja ya Buzwagi ambayo ndiyo iliyoleta mabadiliko makubwa kwenye sekta ya Madini.”

“Upendo Peneza sasa amepanda daraja kutoka kuwa Mbunge na kuwa Mwana Bunge, a Parliamentarian. Hongera sana Upendo Peneza Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Geita ( CHADEMA ) kwa kutendea haki nafasi yako na kufanikisha harakati za wanawake. Umeipa Bajeti ya mwaka 2018/19 taswira ya BAJETI YA KIJINSIA” alimaliza Zitto Kabwe

Watanzania Watakiwa Kuendeleza Matendo Mema.....Ni baada ya kumalizika kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

$
0
0
RAIS Dkt. John Magufuli amewaasa Waislam na Watanzania wote kwa ujumla kuendelea kutenda mema baada ya kuwa wamejisahihisha na kutubu makosa yao ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

Hayo yamesemwa leo (Ijumaa, Juni 15, 2018) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambaye amemuwakilisha Rais Dkt. Magufuli kwenye Baraza la Eid El Fitr lililofanyika katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu amesema Viongozi wanaendelea kuwasihi Waislam wote na Watanzania kwa ujumla kuendelea kuonesha upendo, umoja na kuvumiliana  hasa baada ya kumalizika kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

Amesema huruma, ukarimu na ucha Mungu ulioneshwa katika kipindi cha mfungo wa ramadhani, uendelee na uwe sehemu ya maisha ya kila siku na kamwe usiwe umeisha baada ya mwandamo wa mwezi wa mfungo mosi.

Waziri Mkuu ameongeza kuwa upendo, umoja, utulivu, mshikamano na subra uliooneshwa kipindi chote cha mfungo wa ramadhani ni vema ukaendelezwa kwa sababu ucha Mungu si katika mwezi huo pekee.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli ameniagiza kwa kusema ‘’Waislam ni kielelezo cha taasisi za dini zinazozingatia maadili mema, hivyo wachache wasijipenyeze na kuharibu taswira yao. Ninawahakikishia kuwa Serikali iko tayari kushirikiana taasisi yeyote ya dini ambayo itakuwa tayari kuzingatia matakwa ya Katiba, Sheria na taratibu tulizojiwekea nchini’’

Amesema wakati huu wa kusherehekea kumalizika kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ni vema wakakumbuka maneno ya Mtume Muhammad (S.A.W) kwamba ‘’Mwenye kufanya maasi siku ya Eid ni sawa na kumuasi Allah Sub-hanahu Wata’ala siku ya kiyama,’’.

Hivyo amewaasa wananchi wanaposherehekea siku kuu ya Eid El Fitr waendelee kudumisha amani na utulivu kwa kujiepusha na vitendo vibaya vinavyoashiria vurugu, uonevu na uvunjifu wa amani kwa kuwa havina tija.

Awali, Sheikh Mkuu na Mufti waTanzania Sheikh Abubakar Zubeir bin Ally alitoa wito kwa Masheikh wa Mikoa na Wilaya zote nchini wahakikishe kila wanapofanya mikutano yao mada ya amani na kudumisha uzalendo zisikose kwa kuwa ni vitu muhimu.

‘’Kama mtu huna uzalendo hata dini inapungua, tujenge uzalendo kwa ajili ya kuienzi nchi na kuifanya iendelee kuwa kisiwa cha utulivu. Tuendelee kujenga umoja na mshikamano tusiliache suala hili kwa sababu ndilo liloijenga jamii yetu,’’ alisema.

Pia Mufti Zubeir alisema ni vizuri kwa waislam waunge mkono juhudi mbalimbali zinazofanywa na Serikali kwa ajili ya maendeleo ya Taifa na waache kuishi kwa mazoea. ’’Rais wetu Dkt. Magufuli anafanya kazi kubwa hivyo ni lazima tumuunge mkono na kumpongeza.’’

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Jeshi La Zimamoto Latoa Taarifa Ya Tukio La Moto Kariakoo


Sheikh awashangaa wanasiasa kugeuka wasemaji wa taasisi za dini

$
0
0
Shekhe wa mkoa wa Dodoma, Mustapha Shaaban amewataka wabunge kufuata shughuli iliyowapeleka bungeni ya kuwawakilisha wananchi wao na kuachana na tabia ya kuwa wasemaji wa dini na madhehebu nchini.

Shekhe Shaaban ametoa kauli hiyo leo Juni 15 kwenye ibada ya Eid  el Fitr iliyofanyika kwenye msikiti wa Ghadafi Jijini Dodoma.

Shekhe Shaaban amesema kuwa kuna baadhi ya wabunge ambao kwa makusudi wameacha majukumu yao yaliyowapeleka bungeni na kuanza kazi ya kuzisemea dini na taasisi ambazo zina wasemaji wake rasmi.
 
Amesema kama kutakuwa na shida au matatizo yoyote yaliyopo kati ya Serikali na madhehebu ya dini nchini kuna wasemaji wake ambao wamewekwa kwa mujibu wa taratibu za dini husika.

"Masuala ya dini tuwaachie viongozi wa dini wenyewe wayasemee kwa kuwa wao ndiyo wahusika na hata kama kuna shida kati yao na Serikali tuwaachie wenyewe na viongozi wa dini wakae na kuzungumza, hii tabia ya kumwacha kila mtu anakuwa msemaji wa dini tutahatarisha amani yetu," amesema Shekhe Shaaban.

Amesema tabia ya kila mtu kuwa msemaji wa dini fulani wakati haijui vizuri ni sawa na kuachia cheche za moto bila kuzizima na madhara yake ni makubwa kwa kuwa zinaweza kuwa moto mkubwa utakaounguza shamba kubwa na kuleta maafa.

Amesema waachiwe wachungaji na maaskofu kusemea masuala ya dini ya Kikristo na mashekhe na Mufti kuzungumzia masuala ya waislamu kwa kuwa ndiyo kazi yao.

Waislamu Waaswa Kutunza Amani Na Kudumisha Mshikamano

$
0
0
Na Baltazar Mashaka, Mwanza
WAISLAMU wameaswa kutunza amani na utulivu uliopo nchini na wawe mstari wa mbele kuhubiri amani, utulivu na kudumisha umoja lakini itashangaza kuona baadhi yao wakiwa chanzo cha vurugu na mifarakano.

Pia wameshauriwa kuwasomesha watoto bila kuwabagua watoto  wa kike ili nao waajiriwe na kushika nyadhifa za juu serikalini na kwenye taasisi mbalimbali za umma na binafsi kwa sababu hakuna mahali popote Waislamu wamezuiwa kuwapa elimu ya mazingira watoto wao.

Kauli hiyo ilitolewa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kuendeleza Quraan na Suna Tanzania  (JUQUSUTA) ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini Mkoa wa Mwanza Sheikh Hassan Kabeke kwenye swala Idd el Fitri ilyofanyika jana Uwanja wa Shule ya Msingi Mbugani, Mwanza.

Alisema Waislamu wana wajibu wa kutunza amani na utulivu, iwe kwenye nyumba za ibada ama nyumbani na kuonya kuwa Muislamu wa kweli hapaswi kuwakosesha watu wengine amani kwa ulimi wake ikizingatiwa Uislamu ni utulivu na amani na hivyo wanapaswa kulinda na kudumisha mambo hayo mawili.

“Uislamu ni dini inayojipambanua kwa amani na utulivu na itashangaza kwa watakaokuwa chanzo cha vurugu na kuanzisha mifarakano, jambo linalokwenda kinyume na Uislamu. Mtu wa namna hiyo uislamu wake utakuwa wa shaka na wenye walakini maana leo baadhi ya nchi watu hawawezi kuabudu misikiti wala uwanjani sababu ya amani kukosekana,”alisema Sheikh Kabeke.

Alisema mbali na kutunza amani wazazi wanawajibika kuwasomesha watoto kwa kuwapa elimu ya mazingira na hata watoto wa kike wasome ili wapate nyadhifa za juu na kuwataka wazazi kuacha kuwabagua watoto kwa kuwaona baadhi ni bora kuliko wengine.

Mwenyekiti huyo wa JUQUSUTA alisema baada ya mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani kumalizika ni vyema Waislamu waendelee kumcha Mungu na kuyaishi waliyoyafanya wakati wa funga kwa kuwa Mungu anawataka kumcha yeye na itakuwa ajabu wakirejea kufanya maasi.

“Tufanye matendo yetu kwa mujibu wa swala na tufanye kazi halali ya kutupatia kipato kwa bidii tukitumia neema maana iko dhambi haisamehewi kwa funga wala sadaka badala yake kwa thawabu kwa mtu anayetafuta riziki yake kwa halali,”alisema Mwenyekiti mwenza huyo wa kamati ya amani ya viongozi wa dini.

Sheikh Kabeke aliwashauri wanaume wa dhehebu hilo kuacha kuwadhalilisha wanawake kwa kuwa kufanya hivyo wanaudhalilisha Uislamu hali kadhalika wanawake nao wawaheshimu waume zao na kipindi hiki nyumba za waislamu zisiingie kwenye migogoro, watunze familia zao kwa kuzingatia maadili ili kuwe na utulivu maana neema ya uislamu kufunga ni kupata afya.

Aidha, Aliwataka  waumini wa dini hiyo ya kiislamu kumunga mkono Mufti Sheikh Mkuu wa Tanzania, Abubakary bin Zuberi kwa kazi ya kuwaletea maendeleo na kujenga uchumi wa waislamu na kuiimarisha BAKWATA.

Pia aliwataka waislamu kuacha kuzozana kwa kufanya hivyo watadhoofika na hata mafanikio watakayoyapata nje ya umoja hayatakuwa mafanikio na hivyo wasimame pamoja ili kuleta maendeleo ya dini yao na taifa na mtu atakayetaka kuwavuruga wasimpe nafasi.

Ibada hiyo ya Idd El Fitri ilifanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Mbugani katika Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza na kuendeshwa na Sheikh wa wilaya hiyo Othman Ramadhan.

Afrika Yaanza Vibaya Kombe La Dunia......Misri, Morocco Zatandikwa Bao 1- 0

$
0
0
Dakika 90 zimemalizika kwenye Uwanja wa St, Petersburg kwa Iran kufanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Morocco.

Mchezo huo umeshuhudiwa huku milango ikiwa ni migumu zaidi kufungika kama ilivyokuwa kwa Misri dhidi ya Uruguay ambapo bao liliweza kupatikana kuelekea mwishoni mwa mchezo.

Katika dakika ya 90 zikiwa zimeongezwa tano mpira kumalizika, Morocco walijifunga kupitia kwa Aziz na kuweza kuwapa zawadi Iran ambao wameondoka kifua mbele kwa ushindi wa bao hilo pekee.

Morocco imekuwa timu ya pili kutoka Afrika kuweza kupoteza baada ya Misri kufungwa 1-0 na Uruguay kwenye dakika za mwisho za mchezo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya June 16

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218,0789289945. TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya musanga
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images