Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE; 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO 0754372325/  0658920640
 
HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0785687900

Zari: “Hamisa Hata Akitaka Kuzaa Watoto Kumi na Diamond Azae Tu”

$
0
0
Mfanyabiashara maarufu na mama watoto wa Staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Zarinah Hassan amemwaga povu na kusema Hamisa hata akitaka kumzalia watoto kumi Diamond yeye kwake ruksa.

Zari ametoa kauli hiyo jana baada ya kuweka posti yake aliyokuwa anasherehekea kufikisha followers milioni 4 Kwenye mtandao wa Instagram ambapo shabiki alimtahadharisha kuwa kuna tetesi Hamisa ana ujauzito mwingine.

"Zari kuwa makini kuna tetesi huku mtaani kwetu kuwa Hamisa kashanasa mimba nyingine ila lisemwalo lipo kama halipo laja”.Aliandika shabiki huyo

Baada ya kupewa maneno hayo Zari alimjibu hata wangezaa watoto kumi yeye hana habari kwani hayumo.

Zari alijibu kwa kuandika:" Azae hata kumi mimi simo!”.

Huu ni muendelezo tu wa drama iliyoanza mwaka jana baada ya Hamisa kubeba mimba ya  Diamond

Kumekuwa na tetesi  kuwa Diamond amerudisha majeshi kwa mama watoto wake Zari baada ya kuachana na  kutoonana kwa muda mrefu

TID Alia na Media za Tanzania....."Na Diamond Naye Wanataka Kumuua"

$
0
0
Msanii TID amesema kuwa utaratibu wa media kushusha wasanii pale wanapodai maslai yao na kuwapandisha wengine ndio kitu kinaathiri muziki wa Bongo Flava. TID  ametoa kauli hiyo wakati akiongea na Wasafi TV

Muimbaji huyo ameeleza kuwa kitu hicho ndicho kilitokea kwenye muziki wake na kwa sasa kimemtokea Diamond.

“Na kweli anaweza because he has a media, yaani yeye ndio kama Mungu anajiona but mimi hapana. Nilifanya kosa hilo lakini kosa hilo ndilo limewasanua wasanii wengine, unaona msanii kama Diamond naye amekataa,” amesema na  kuongeza; “So Diamond was me lakini wakasema wewe siunajifanya mjanja sasa tunamleta Diamond tukushushe wewe. At the end Diamond naye wanataka kumuua, sijui wanataka kumuweka nani,”

TID amesema kuwa hajaona kitu kama hicho nchini Kenya kwani bado anamuona Jaguar ni msanii mkubwa, Nonini ni msanii mkubwa anapewa heshima yake hakuna underground yeyote amewekwa pale kumshusha Nonini.

Mwakyembe aifagilia Simba

$
0
0
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, amesema ushiriki wa Simba katika Michuano ya Sportpesa ni alama kwa Taifa.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Morogoro leo, Dk. Mwakyembe amesema hatua ya Simba kushiriki fainali ya michuano hiyo sasa inakwenda kuitangaza Tanzania kwenye medani za kimataifa.

“Ushiriki wa Simba kwenye michuano ya Sportpesa ni alama kwa nchi yetu, kwa sababu akishinda anakwenda kucheza na Everton ya Uingereza.

“Nami nilikuwa nafikiria kwenda kushuhudia fainali hizi nchini Kenya, lakini acha tuone kwanza. Hapa lazima tuweke uzalendo mbele kwa Simba ambayo inawakilisha Tanzania kwenye michuano hii, ” amesema Dk. Mwakyembe.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya June 10

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Afungua Mashindano Ya Umisseta Na Umitashumta- Mwanza

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Maafisa Elimu wahakikishe wanafunzi wanaoshiriki mashindano hayo ni wale waliovuka katika ngazi ya shule, kata, wilaya na mkoa, ambao wote ni wanafunzi halali wa shule na marufuku kuchezesha mamluki.

“Endapo itabainika yupo mchezaji aliyeletwa kushiriki michezo hii ambaye si mwanafunzi (yaani mamluki) naagiza hatua kali zichukuliwe dhidi ya wahusika kwa kuzingatia kanuni na sheria za mashindano haya,” amesisitiza.

Waziri Mkuu ambaye ameambatana na mkewe Mama Mary Majaliwa ametoa agizo hilo jana (Jumamosi, Juni 9, 2018) wakati akifunguaMashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi na Sekondari Tanzania yanayofanyika kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Pia, Waziri Mkuu amewataka viongozi wa mikoa na wilaya zote nchini wahakikishe kuwa masomo ya haiba, michezo na stadi za kazi yanafundishwa kikamilifu kwenye shule zote za msingi.

Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema somo la elimu ya michezo kwa Shule za Sekondari nalo lifundishwe kikamilifu na vyuo vya michezo kama Malya viendelee kuwaendeleza walimu wa michezo.

Amesema utafiti na ubunifu wa kuendeleza michezo nchini ni jambo linalohitaji kupewa msukumo wa pekee, ambapo ameviasa vyama vya michezo na asasi za sanaa zijihusishe na ukuzaji wa michezo shuleni, bila kuathiri taratibu za shule.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amewaagiza Maafisa Elimu wa Mikoa na Wilaya wahakikishe maeneo ya michezo na burudani yanapimwa na yasiingiliwe, pia vitengo vya michezo kwenye ofisi za Halmashauri na Mikoa vitengewe fedha za kuendeshea michezo.

Amesema pamoja na manufaa yatokanayo na michezo, kiwango cha michezo  nchini si cha kuridhisha, hivyo  ni vema kujenga msingi wa kupata matokeo mazuri kwa kuwa na viwanja vyenye viwango vinavyokubalika, walimu wenye utaalamu wa michezo na vifaa.

“Inawezekana kuna sababu za msingi, lakini ni lazima tuhakikishe kuwa vijana kuanzia Shule za Awali, Msingi, Sekondari na Vyuo wanatengenezewa mazingira mazuri ikiwa ni pamoja na kupewa fursa za kucheza na kushindana miongoni mwao,” amesema.

Amesema kutokana na hali hiyo, Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli kupitia shule za msingi na sekondari, itahakikisha walimu waliosomea michezo wanapata ajira ili waendeleze vipaji vya vijana nchini.

Waziri Mkuu amesema vipaji vya michezo na sanaa vitaitangaza nchi kimataifa na kuongeza fursa ya ajira kwa Watanzania. Amesema kauli mbiu ya michezo ya UMISSETA na UMITASHUMTA ya mwaka  huu ni “michezo, sanaa na taaluma ni msingi wa maendeleo ya mwanafunzi  katika Taifa letu”.

Amesema kauli mbiu hiyo inawataka wanafunzi wajihusishe na michezo na sanaa kama sehemu ya taaluma, ambapo wataweza kuonesha vipaji vyao ambavyo vikiendelezwa vema vitawapatia manufaa ikiwemo afya, matokeo mazuri ya kitaaluma na ajira.

Pia amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Bw. John Mongella na wananchi wote kwa kukubali kuwa wenyeji wa mashindano hayo kwa mara ya tatu mfululizo, pamoja na  kampuni ya COCA COLA kwa kudhamini michezo ya mpira wa miguu na kikapu kwa Shule za Sekondari na kampuni ya AZAM kwa kujitolea kuonesha michezo hiyo kwa mwaka huu.

Aidha, amewataka wanafunzi wanaoshiriki mashindano hayo watumie ushiriki wao kwa kuuthibitishia umma dhamira waliyonayo ya kuonesha kuwa, zipo fursa nyingi za ajira endapo vipaji vya michezo na sanaa vitatumika kikamilifu.

Amesema mashindano kama hayo yanatoa fursa kwao kuonesha uwezo wao na kuonekana kwa wadau mbalimbali  wanaoweza kuwaendeleza.  “Si hivyo tu, uwepo wenu hapa unawapa fursa ya kutambua uwezo mlionao pamoja na kujiwekea malengo na mwelekeo wa maisha yenu ya baadaye,”.

Amesema uhalali wa michezo na mashindano shuleni unatajwa katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2015-2020, Sera ya Maendeleo ya Michezo ya mwaka 1995,  Sera ya Elimu ya mwaka 2014 ambazo kwa pamoja zinaelekeza kutambua na kuendeleza vipaji vya wanafunzi shuleni kufikia malengo ya maendeleo endelevu.

Mashindano hayo yamehudhuriwa na Naibu Waziri waNchi, OR – TAMISEMI, Joseph Kakunda, Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali, Wadhamini wa Mashindano hayo, Wadau wa michezo na baadhi ya wananchi wa mkoa wa Mwanza.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Waziri Tizeba Aagiza Kukamatwa Kiongozi Wa AMKOS Aliyefuja Milioni 23

$
0
0
Na Mathias Canal-WK, Singida
Waziri wa Kilimo Mhe. Dkt Charles Tizeba amemuagiza Mrakibu wa polisi Wilaya ya Iramba ASP Magoma Mtani kumkamata aliyekuwa mwenyekiti wa Bodi ya Chama cha ushirika (AMKOS) Msai.

Waziri Tizeba ametoa agizo hilo jana 9 June 2018 Mara baada ya kutembelea kitongoji cha Kati, Msai na Mtoa akiwa katika ziara ya kikazi ya Siku mbili kwa ajili ya kutembelea vituo vya ununuzi wa pamba na kujionea msimu wa ununuzi wa zao hilo katika vijiji hivyo.

Dkt Tizeba amelaani vikali ufujaji huo wa fedha za wakulima huku akimtaja Paul Ramadhan Kurwa kuhusika na ufujaji huo wa shilingi milioni 23 huku akiendelea kuonekana mtaani pasina kuchukuliwa hatua za kisheria.

"Wakati muelekeo wa serikali yetu inayoongozwa na Rais wetu Dkt John Pombe Magufuli ukijipambanua kutaka kuboresha maisha ya watanzania kupitia Kilimo lakini kuna watu wanataka kurudisha nyuma juhudi hizo, hakika tutawapa kibano kweli kweli hakuna utani kwenye fedha za wananchi" Alikaririwa Dkt Tizeba

Mhe Tizeba ametoa siku moja kukamatwa kwa mwizi huyo na kufikishwa mahakamani ili awe mfano kwa wezi wengine wasio kuwa na haya wala soni.

Aidha, amewataka wananchi katika msimu huu wa uuzaji na ununuzi wa Pamba kutouza Pamba zenye uchafu wakidhani wataongeza idadi ya kilo kwani kufanya hivyo ni kufifihisha juhudi zao wenyewe jambo ambalo halina tija.

Sambamba na hayo pia amewaondoa hofu wakulima kote nchini kuwa serikali ya awamu ya tano inatekeleza kwa vitendo ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi yenye mkataba na wananchi katika kipindi cha miaka mitano 2015-2020.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe Emmanuely Lwehahula amempongeza Waziri Tizeba kwa kutembelea maeneo mbalimbali ili kujionea ununuzi wa Pamba huku akiwasihi wananchi wilayani humo kulima kiasi kikubwa cha Pamba msimu ujao kwani mbegu na madawa ya kuulia wadudu vitatolewa bure kuanzia msimu ujao wa mwaka 2018/2019.



Mama Amuua Mtoto Wake Kwa Kumkaba Shingoni na Kisha Kumtupa Mtoni

$
0
0
Polisi Kirinyaga nchini Kenya wamemkamata Mwanamke mmoja kwa tuhuma za kumkaba shingoni mtoto wake wa miaka 5 na kisha kumtupa katika mto Rutui.

Kwa mujibu wa wakazi wa eneo hilo wamesema kuwa Mwanamke huyo mwenye miaka 23 ambaye anaishi peke yake, baada ya kutenda tukio hilo alimtupa mwanae kwenye mto na kukaa kimya akiamini kuwa maiti ya mtoto wake itachukuliwa na maji na kupelekewa sehemu isiyojulikana.

Duru za kuaminika zinasema kuwa ndugu wa mtuhumiwa huyo walianza kumuulizia mtoto  na mtuhumiwa akawa anawajibu  kuwa na  yeye anashangaa kutoweka kwa mwanae.

Aidha mwili wa mtoto huyo ulionekana ukielea katika mto Rutui asubuhi ya June 9 na ndipo wakazi wa eneo hilo ikiwemo mtuhumiwa waliwaita Polisi na kuutoa mwili wa mtoto huyo kisha wakamkamata mtuhumiwa.

Kwa mujibu wa Polisi wa kituo cha Kirinyaga Yaya Chome amesema kuwa mwanamke huyo amefunguliwa mashitaka ya kusudio la kutaka kuua katika mahakama ya Kerugoya.

Chanzo cha mama huyo kutenda tukio hilo la kinyama bado hakijawekwa wazi.

Trump ataka Urusi irejeshwe kundi la G8

$
0
0
Rais wa Marekani Donald Trump ametoa wito mpya wa kuirudhisha Urusi katika kundi la mataifa yaliostawi zaidi kiviwanda duniani, licha ya kukumbana na upinzani mkali kwa pendekezo lake kutoka kwa wenzake nchini Canada.

"Nadhani ingekuwa jambo la manufaa kuirejsha Urusi," Trump aliwaambia waandishi habari kabla ya kuondoka kwenye mkutano wa kilele wa kundi la mataifa saba yalioendelea zaidi kiviwanda.

"Nadhani ingekuwa vizuri kwa Urusi, Nadhani lingekuwa jambo zuri kwa Marekani, nadhani ingekuwa vizuri kwa mataifa yote ya kundi la sasa la G7. Nadhani G8 ingekuwa bora. Nadhani kuirudisha Urusi lingekuwa jambo zuri. Tunatafuta amani duniani. Hatutafuti kucheza michezo."

Pendekezo la Trump la kuirejesha Urusi ndani ya kundi -- ambalo alilitolea mjini Washington muda mfupi kabla ya kuondoka kwenda Canada -- lilikataliwa mara moja na wanachama wa G7 kutoka barani Ulaya, zikiwemo Uingereza, Ufaransa na Ujerumani katika siku ya kwanza ya mkutano huo.

Urusi ilitimuliwa katika kundi lililokuwa wakati huo G8 baada ya hatua yake ya kulitwaa kimabavu eneo la Crimea mwaka 2014, hatua iliolaaniwa pakubwa kama shambulizi dhidi ya mamlaka ya kujitawala ya Ukraine.

Jambazi maarufu kwa jina la Rambo auawa na wananchi

$
0
0
Mtuhumiwa wa ujambazi anayedaiwa kuteka magari na kunyang'anya mali za watu wanaotumia barabara ya Kisili - Buhigwe mkoani Kigoma maarufu kwa jina la ‘Rambo’ ameuawa.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Martin Ottieno amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo mtuhumiwa huyo ameuawa akiwa njiani kupelekwa Hospitali ya Wilaya Kasulu kutokana na kipigo alichopata kutoka kwa wananchi wenye hasira.

Ottieno amesema Rambo alikamatwa katika Kijiji cha Bukuba, Kata ya Janda wilayani Buhigwe akiwa katika harakati ya kuteka magari na watu wanaopita barabarani.

"Kwa kuwa tumehamasisha jamii kumkabili huyo Rambo kwa vile anatumia bunduki za bandia, watu walipomuona waliamua kumkabili na wakamdhibiti kikamilifu kabla ya kutupigia simu (Polisi)," amesema.

Rambo alikuwa raia wa Burundi anayetoka jimbo la Makamba, lakini aliingia Kigoma kwa njia za panya kinyume cha sheria na alikuwa akitumia bunduki bandia zilizochongwa kwa ustadi akitumia mbao na kuviringisha vitambaa ili kuwahadaa watu anaowateka alikuwa tishio kutokana na kuwakwepa polisi mara mbili.

Credit: Mwananchi

Trump akataa kutia saini tamko la pamoja mkutano wa G7

$
0
0
Mkutano wa kilele wa nchi zenye utajiri wa viwanda G7 umemalizika kwa hali ya  kitisho kipya cha vita vya kibiashara Jumamosi(09.06.2018)wakati rais Trump ghafla alipokataa kutia saini taarifa ya pamoja.

Rais Trump wa Marekani  alimshambulia  kwa  kumtusi  vibaya mwenyeji  wa mkutano  huo  waziri  mkuu  wa  Canada justin Trudeau.

Dakika  chache  baada  ya  taarifa  ya  pamoja  ambayo iliidhinishwa na  viongozi wa  kundi la  washirika  saba kuchapishwa katika  mji  wa  Canada  wa  Quebec  ambao ulikuwa  mwenyeji  wa mkutano  huo, Trump  alianzisha  mashambulizi  katika  ukurasa  wa Twitter kutoka   nje  ya  nchi  hiyo  akiwa  katika  ndege  ya  rais  wa Marekani  ya  Air Force One.

Kiongozi  huyo  wa  Marekani aliondoka  mapema  kutoka  katika mkutano  huo  akiwa  njiani  kwenda Singapore katika  mkutano  wa kihistoria  wa  kinyuklia  pamoja  na  kiongozi wa  Korea  kaskazini Kim Jong Un , na  kuchukua  hatua  ya kutofautiana  na  matamshi ya  waziri  mkuu  wa  Canada  Justin Trudeau  katika  mkutano  na waandishi  habari  kabla  ya  kuondoka nchini  Canada.

"Kwa msingi  wa  matamshi yasiyo  sahihi  ya  Justin  katika mkutano  na  waandishi  habari , pamoja  na  ukweli  kwamba Canada  inatoza  ushuru  mkubwa  kwa  wakulima  wetu , wafanyakazi  na  makampuni  nchini  Marekani, nimewaagiza wawakilishi  wetu  wa  Marekani  kutoidhinisha  tamko  hilo  la pamoja  kwa  kuwa  tunaangalia  kuhusu  ushuru  katika  magari ukisababisha  kufurika  kwa  magari  katika  soko  la  Marekani!. Trump  aliandika  katika  ukurasa  wa  Twitter.

"Waziri  mkuu  Justin Trudeau  wa  Canada  ameonekana  kuwa msikivu na  mtulivu  wakati tulipokutana  katika  mkutano  wa  G7 lakini  alibadilika  na  kutoa  matamshi  katika  mkutano  na waandishi  habari  baada  ya  mimi  kuondoka kwamba .. hatakubali kuburuzwa.' ni uongo na  dhaifu."

Wacaanda ni wapole lakini hawataburuzwa
Hapo  mapema  Trudeau  aliwaambia  waandishi  habari  kwamba uamuzi  wa  Trump  kuweka  usalama  wa  taifa  kuhalalisha  ushuru wa  Marekani  dhidi  ya  bidhaa  zinazoingizwa  nchini  humo  za chuma  cha  pua na  bati , "ni  aina  ya  tusi" kwa  wanajeshi  wa zamani  wa  Canada  ambao  walisimama  pamoja  na  washirika wao  wa  Marekani  katika  mizozo ambayo  ni  pamoja  na  vita vikuu  vya  kwanza  vya  dunia.

"Wacanada  ni  wapole  na waelewa  lakini  pia  hatutakubali kuburuzwa,"  alisema.

Na alisema  amemwambia  Trump "itakuwa kwa  masikitiko  makubwa lakini  itakuwa  kwa  uwazi  kabisa  na  uthabiti  kwamba  tunasonga mbele  na  hatua  za  kulipiza  kisasi  ifikapo  Julai  mosi, kwa kuweka  ushuru  sawa  na  ule  ambao  Wamarekani  wamehalalisha kwa  kutuwekea."

Baada  ya  maandishi  ya  hasira  ya  Trump  katika  ukurasa  wa Twitter , ofisi  ya  waziri  mkuu  Trudeau  ilitoa  jibu fupi: "tunalenga katika  kila  kitu  tulichokamilisha  hapa  katika  mkutano  wa  G7. Waziri  mkuu  hakusema  kitu  ambacho  hajasema  kabla , katika mazungumzo  ya  wazi  na  faragha  na  rais  Trump.

Chanzo: DW

Juma Nature Awaponda Wasanii Chipukizi......."Wakongwe tumesharudi, hatuwezi kukubali "

$
0
0
Msanii mkongwe na miongoni mwa waasisi wa muziki wa BongoFleva, Juma Nature amefunguka na kuwaonya wasanii wa sasa kuacha tabia ya kuigana na kubweteka katika kufanya kazi zao kwa kuwa kitendo hicho kinapelekea kuua muziki.

Juma Nature ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha  EATV baada ya kuwepo minong'ono mingi kwa mashabiki na wadau wa muziki nchini kulalamikia vitendo vya baadhi ya wasanii kutokuwa wabunifu katika ufanyaji kazi zao

"Hii ni kazi lakini wengine wanachukulia ubishoo. wasanii wanabweteka sana na hilo ndio tatizo kubwa la vijana wa sasa hivi akitoa nyimbo moja anajiona ameshaweza kila kitu. Nawaambia kitu kimoja kwamba wakongwe tumesharudi na hatuwezi kukubali kuona wanakuja watu wengine kutoka sehemu zingine watupite tunawaona hivi hivi, mimi sikubali nasema hata kidogo", amesema Nature.

Pamoja na hayo, Nature ameendelea kwa kusema "sasa hivi wasanii ni wengi sana halafu wengi wao wanaigana ndio maana unakuta hakuna ushindani. Nadhani imefika wakati hawa wasanii wetu kujifunza na kuacha uvivu katika kazi zao za muziki waufanye kazi ambayo itawasaidia wao pamoja na vizazi vyao vitakavyokuja".

Kwa upande mwingine, Juma Nature amesema kilichosababisha wasanii wakongwe 'zamani' ikiwemo yenye mwenyewe ni nyimbo zao kudumu mpaka miaka hii ni kutokana na maudhui ya kazi kutofanana kwasababu kila mmoja wao alikuwa mbunifu.

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218,0789289945. TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya musanga

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upungufu Wa Nguvu Za Kiume, Maumbile Mdogo, Busha Bila Kupasua

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO : Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliohangaika sehemu mbalimbali bila mafanikio.

Mabula Clinic ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya jeshini. Je unaupungufu wa nguvu za kiume au uume wako mdogo na mwembamba? 

Mapro pawer no 2 ndio tiba, kwa sasa hutibu matatizo matatu kwa pamoja 1. itakufanya uchelewe kufika kileleni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2. Huimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa hasa kwa wale walio athirika na upigaji punyeto 3. itakufanya upate hamu ya kurudia tendo zaidi ya mara tatu :Kwa nini ujione mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo 

Makakanua mix ni dawa iliyochanganywa na miti shamba 9 na kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 kwa urefu na unene sentimita 1-5, dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona

 Zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke kwa masaa matatu tu ,mvuto wa biashara, kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu.

Tunatibu ngiri, miguu, mgongo na kiuno kuumwa, kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa 

Tiba na ushauli muone Dr Mabula au piga simu no 0743362017.Huduma zangu utazipata popote ulipo kama uwezi kufika ofisini

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE; 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO 0754372325/  0658920640
 
HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Lukuvi Aokoa Mabilioni Mpaka Wa Tanzania Na Kenya

$
0
0
Na. Hassan Mabuye, Wizara ya Ardhi
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi ameokoa takriban shilingi bilioni 16 za upimaji wa mpaka kati ya Tanzania na Kenya mara baada kuanza kazi ya upimaji wa mpaka huo wenye urefu wa jumla za kilomita 760 za nchi kavu.

Akiongea jana wakati akikagua kazi ya uwekaji wa alama mpya za mipaka iliyowekwa katika wilaya ya Tarime mkoani Mara Waziri Lukuvi amesema hapo awali wataalamu wa upimaji wa mpaka huo waliandaa makisio ya bajeti ya kiasi cha shilingi bilioni 22 ambapo mara baada kuanza kwa zoezi hilo amegundua kwamba zoezi hilo litagharimu shilingi bilioni 6 hadi kumalizika kwake.

“tulipanga kutumia shilingi bilioni 22 zilizokuwa katika makaratasi ambapo katika uhalisia tangu kuanza kwa kazi hii ya uwekaji alama mpya za mipaka tumegundua ya kwamba serikali inaweza kutumia shilingi bilioni 6 tu ambazo zitamaliza kazi hii ya uwekaji wa alama za mipaka kati ya Tanzania na Kenya” amesema Lukuvi.

Aidha, Waziri Lukuvi amewapongeza watendaji wa Idara ya Upimaji na Ramani iliyopo Wizara ya Ardhi inayoongozwa na Dkt. James Mtamakaya kwa kazi nzuri ya kizalendo iliyopelekea kuokoa fedha za serikali kwa kushirikiana na wataalam wa Mkoa na Halmashauri.

Ameongeza kwamba, kuna tofauti kubwa kati ya mipango ya fedha katika makaratasi na uhalisia wa kazi katika eneo husika, mara baada ya kuanza kazi katika maeneo husika ya uwekaji wa alama mpya za mpaka kati ya Tanzania na Kenya imebainika  kiuhalisia kazi hiyo haitatumia kiasi kikubwa cha fedha kama ilivyokisiwa hapo awali.

Waziri Lukuvi amefanya ziara hiyo ya ukaguzi wa mpaka wa Tanzania na Kenya ambapo juzi amekagua mpaka wa Tanzania na Kenya katika eneo la mpaka lililopo wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro na jana amekagua mpaka wa Tanzania na Kenya katika eneo la mpaka lililopo wilaya ya Tarime Mkoani Mara.

Tanzania imeamua kuimarisha mipaka yake yote ya kimataifa kufuatia changamoto nyingi zinazojitokeza tangu kuasisiwa na wakoloni katika miaka ya 1886 hadi 1890 ambapo alama za mipaka hiyo ziliwekwa kwa umbali wa takribani kilomita 2 hadi 10 kutoka alama moja na nyingine hivyo kusababisha wananchi kutoielewa mipaka ya nchi zao kwa urahisi na hatimaye kuleta migongano.

Kazi hii ya kuimarisha mipaka ni Azimio la Umoja wa Afrika kwamba nchi zote ziwe zimekamilisha zoezi la uimarishaji wa mipaka ya kimataifa ifikapo mwaka 2022. Na baada ya zoezi hili la uwekaji wa alama mpya za mipaka yatatayarishwa Makubaliano (Protocol) ambayo yatasainiwa rasmi na viongozi wakuu wa nchi hizi mbili.

Kwa sasa serikali ya Tanzania na Kenya zimeamua kuweka alama mpya za mpaka kwa umbali wa mita 100 kutoka alama moja na nyingine ili iwe rahisi kwa wananchi kuziona alama hizi, sambamba na kutoa elimu kwa wananchi wanaoshi katika mpaka huo. Kazi hiyo inatarajiwa kuzinduliwa rasmi na Marais wote wawili wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na Kenya, Mhe. Uhuru Kenyata.

Uwekaji wa alama hizo unataraji kutatua changamoto zinazokabili mipaka ya nchi yetu ambazo, ni baadhi ya wananchi kufanya maendelezo ya ujenzi wa nyumba na kulima mashamba katika maeneo ya mipaka, hali inayopelekea migongano.

Aidha, changamoto hizi zinasababisha ugumu wa utengenezaji wa barabara ya kuhudumia mipaka ya nchi hizi mbili kwa kuwa watu wamevamia mipaka na kufanya maendelezo, pia inaleta ugumu wa uwekaji wa miundombinu ya maji na inaleta ugumu wa udhibiti wa magonjwa ya kuambukizwa ya wanaadamu na mifugo.

Changamoto nyingine inayosababishwa na kutokuwepo kwa alama za mipaka inayoonekana kwa wazi ni ugumu wa kudhibiti njia haramu za kupitisha bidhaa na hivyo kukosesha serikali mapato na hata katika masuala ya ulinzi na usalama wa nchi.

Mara baada ya kumaliza uimarishaji wa mipaka ya nchi hizi mbili Tanzania na Kenya wenye urefu wa kilometa 760 zikiwa za nchi kavu na kilomita 59.71 zikiwa ni mpaka wa majini. Kwa mwaka ujao wa fedha Serikali kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi itaimarisha mpaka wa Tanzania na Uganda na baadae kuendelea na mipaka mingine.

Waziri Mkuu: Watanzania Tusikubali Kuchonganishwa-majaliwa

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wasikubali kuchonganishwa na kwamba Serikali haiongozwi kwa misingi ya kidini bali imeziachia taasisi za kidini zifanye kazi kwa kuzingatia Katiba , Sheria za nchi na malengo yaliyokusudiwa katika uanzishwaji wake.

Aliyasema hayo jana jioni (Jumamosi, Juni 9, 2018) alipozungumza na viongozi na wananchi wa Mkoa wa Mwanza baada ya kushirikiana nao katika futari aliyowaandalia. Shughuli hiyo ilihudhuriwa na waumini wa dini mbalimbali.

Waziri Mkuu alisema lengo la Serikali ni kuhakikisha wananchi wake wanaishi kwa amani na utulivu, jambo litakalowawezesha kufanya shughuli zao kikamilifu, hivyo wasikubali kuchonganishwa kwa misingi yoyote.

“Nawaasa viongozi wa dini msikubali kutumia makundi mengine nje ya taasisi zenu kwa ajili ya kuwazungumzia masuala yenu kwa sababu watawachonganisha na Serikali ambayo haipo kwa ajili ya kugombana na taasisi yoyote,” alisisitiza.

Waziri Mkuu alisema jukumu kubwa la taasisi za kidini ni kuhakikisha wanawalinda waumini wao pamoja na kuwaongoza kwa kuwapa mafundisho mema yanayompendeza Mwenyezi Mungu, ambayo yatawawezesha kuishi kwa amani .

Alisema misingi ya amani na utulivu ikiwa pamoja na mshikamano walionao wananchi umesababisha Tanzania kupata heshima kubwa dunia kote, hivyo ni vema kila mwananchi ahakikishe suala la kudumisha amani linapewa kipaumbele.

Pia Waziri Mkuu  alisema amefurahi sana kujumuika na wananchi wa Mkoa wa Mwanza katika futari hiyo, ambapo aliwapongeza kwa kukamilisha uundaji wa kamani za amani kuanzia ngazi ya kata hadi mkoa.

Awali, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Bw. John Mongella amlishukuru Waziri Mkuu kwa ukarimu wake kwa kuwaalika wakazi wa Mwanza katika hafla hiyo, ambapo alisema Mwanza ni kitovu cha amani kwa kanda ya Ziwa na nchi za Maziwa Makuu. T

“Mwanza tumejipanga na tunashirikiana na taasisi zote kwenye njanja zote , tupo pamoja na tunashirikiana katika kuimarisha amani na utulivu. Tunamshukuru sana Mheshimiwa Rais Dkt. John Magufuli kwa kutuamini na tunamuahidi tutafuata falsafa zake katika utendaji wetu,”.

Kwa upande wake, Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani ya Mkoa wa Mwanza na Askofu wa Kanisa la Charismatic Episcopal Church of Tanzania (CECT), Charles Sekelwa alisema wao wanaiunga mkono Serikali katika kudumisha amani na wataendelea kushirikiana nayo.

Alisema awali kulikuwa na changamoto ya matabaka ya kidini iliyobabisha na kutoelewana baina ya waislamu na wakiristo, ambapo kamati yao ilifanya kazi ya kuyasulisha na sasa hali ni shwari. “Matabaka ya kiimani yameisha na watu wa dini zote wanashirikiana vizuri,”.

Askofu Sekelwa alisema wao kama viongozi wa pande hizo mbili hawawezi  kukubali kuona kunakuwa na matabaka ya kiimani miongoni mwa waumini, hivyo watakikisha wanaendelea kuwafundisha waumini wao umuhimu wa amani.

Hafla hiyo ilihudhuriwa na Naibu Spika Dkt. Tulia Akson, Naibu Waziri waNchi, OR – TAMISEMI, Joseph Kakunda, Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali baadhi ya wananchi wa mkoa wa Mwanza

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Bwawa la Nyumba ya Mungu Lafurika Maji Tena....Watu 300 Hawana Pakuishi Baada ya Kuzingiwa Maji

$
0
0
Wakazi zaidi ya 300 wa kijiji cha Ruvu Jitengeni wilayani Same mkoani Kilimanjaro hawana makazi ya kuishi baada ya nyumba zao kujaa maji kutokana na bwawa la Nyumba ya Mungu kujaa maji kupita kiasi.

Mkuu wa wilaya ya Same, Rosemary Senyamule amesema kitongoji cha Mvungwe ndicho kimeathirika zaidi na mafuriko, tayari Serikali imeanza jitihada za kuwahamisha wakazi wake.

Kijiji cha Ruvu Jitengeni kitakuwa cha tatu kukumbwa na mafuriko tangu Mei 19, 2018 yaliyoacha zaidi ya watu 2,500 bila makazi kutokana na bwawa la Nyumba la Mungu kujaa maji kupita kiasi.

Msafara wa mwenyekiti UVCCM wapata ajali

$
0
0
Msafara wa Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Kheri James,  umepata ajali wilayani Meatu baada ya gari la polisi lililokuwa kwenye msafara huo kuchomoka tairi.  Hakuna taarifa ya kifo,  lakini majeruhi watatu wamekimbizwa katika hospitali ya Mwandoya.

Ajali hiyo imetokea katika mpaka wa wilaya za Meatu na Itilima katika kijiji cha Kisesa ambako wakuu wa wilaya hizo walifika na kutoa misaada iliyotakiwa mara moja.

Wakati huohuo, basi la Rombo liligonga gari la madiwani kwa nyuma katika tafrani iliyofuatia baada ya kuchomoka kwa tairi la gari la polisi. Madiwani waliojeruhiwa katika ajali hiyo ni wa kata za Imalaseko, Mwasengera na Ngh’oboko.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images