Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Serikali Kuendelea Kuchukua Hatua za Kisera Kuhakikisha Riba za Mikopo Zinapungua Nchini

$
0
0
Na Benny Mwaipaja, WFM, Dodoma
Serikali ilizindua sera ya Taifa ya huduma ndogo za fedha ili kuhakikisha wakopaji wakiwemo wajasiriamali wadogo wanalindwa na kupata haki zao bila kudhurumiwa wanapo hitaji mikopo na huduma zingine za kifedha zitakazowasaidia kujiendeleza kiuchumi.

Hayo yameelezwa Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) alipokuwa akijibu maswali ya Mbunge Mhe. Khatibu Said Haji aliyetaka kujua hatua za Serikali kuhusu taasisi za huduma ndogo za kifedha (Microfinance) kuwatoza wananchi riba kubwa wanapochukua mikopo.

Dkt. Kijaji, alisema kuwa  mwezi Desemba, 2017 Serikali ilizindua sera ya huduma ndogo ya fedha itakayosaidia  kuwatambua wakopeshaji  na kuwalinda wakopaji wanaohitaji huduma katika taasisi hizo zikiwemo za mikopo.

“Tunataka kuhakikisha tunawalinda wakopaji na kuhakikisha wanakopa kwa kuzingatia sheria na taasisi hizo za fedha zinazingatia sheria, utaratibu na kanuni za utawala bora”, alisema Dkt. Kijaji.

Alisema kukamilika kwa sheria ya huduma ndogo ya fedha hivi karibuni kutakua ni muarobaini wa kutatua changamoto za kifedha kwa wananchi wanaohitaji mikopo kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi.

Akijibu swali la Msingi la Mbunge huyo kuhusu hatua za Serikali za kuhakikisha Benki nchini zinapunguza riba ili kuchochea shughuli za biashara, Dkt. Kijaji alisema kuwa Sekta ya Benki inafanya biashara huria na ilianza tangu mwaka 1991 baada ya kupitishwa kwa Sheria ya Usimamizi wa Benki na Vyombo vya Fedha ya Mwaka 1991.

“Kupitia Sheria hiyo, wawekezaji walifungua benki binafsi nchini na gharama za huduma na bidhaa kuamuliwa na nguvu ya soko hivyo Serikali haina mamlaka ya moja kwa moja ya kupunguza viwango vya riba katika soko”, alisisitiza Dkt. Kijaji.

Hata hivyo alizitaja hatua ambazo Serikali imezichukua kwa upande wake kuwa ni pamoja na kuzitaka benki za biashara kutumia Mfumo wa kuhifadhi na kutoa taarifa za wakopaji, Benki Kuu kuanza kutoa mikopo ya muda mfupi kwa benki za biashara kwa kiwango cha asilimia 6.89 na pia kushusha riba kutoka asilimia 16.0 hadi asilimia 9.0.

Hatua zingine ni Benki Kuu kupunguza kiwango cha chini cha amana kinachotakiwa kuwekwa  na Benki za biashara  kutoka asilimia 10.0 hadi asilimia 8.0  na pia Serikali kuendelea kulipa malimbikizo ya madai yaliyohakikiwa kwa lengo la kupunguza kiwango cha mikopo chechefu na kuchochea ukuaji wa shughuli za kiuchumi.

Aidha Naibu Waziri huyo ameipongeza benki ya CRDB, NMB na Benki ya ABC kwa kupunguza riba ya mikopo kutoka asilimia zaidi ya 20 hadi kufikia asilimia 17 hivyo kuwa na tumaini kuwa Benki zingine zitaendelea kufanya hivyo.

Imetolewa na;
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
Wizara ya Fedha na Mipango


Sekta ya madini yapaa kwa asilimia 17.5

$
0
0
Sekta ya madini imekua kwa asilimia 17.5 ikilinganishwa na asilimia 11.5 ya mwaka 2016 ambapo ongezeko hilo limetokana na kuimarishwa kwa udhibiti wa biashara haramu na utoroshwaji wa madini, kuimarishwa kwa ukaguzi na usimamizi katika sehemu za uzalishaji, biashara ya madini pamoja na usafirishaji wa madini nje ya nchi.

Waziri wa Madini,Angellah Kairuki amesema hayo jana,Mei 31, 2018 Bungeni Jijini Dodoma alipokuwa akiwasilisha mpango na makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2018/2019.

“Ukuaji wa sekta ya madini pia kumetokana na kuongezeka kwa viwango vya mrabaha na kuanzishwa kwa ada ya ukaguzi wa madini kufuatia marekebisho ya sheria ya madini ya mwaka 2010 yaliyofanyika mwaka 2017 na kanuni zake,” alisema Angellah Kairuki.

Aidha alisema, mchango wa sekta ya madini katika Pato la Taifa umeendelea kuimarika ambapo katika mwaka 2017 mchango huo ulifikia asilimoa 4.8. Kwa upande wa thamani ya mauzo ya madini nje ya nchi, mauzo yalifikia Dola za Marekani 1,810,697,000 mwaka 2017.

“Ni matarajio yetu kuwa thamani ya mauzo inaendelea kuongezeka tena baada ya kukamilisha mageuzi makubwa ambayo tuliyaanzisha ikiwa ni pamoja na uongezaji thamani madini ndani ya chini,” alisema Mhe. Kairuki.

Waziri Kairuki alizitaja kazi zilizopangwa kutekelezwa kwa mwaka wa Fedha 2018/2019 na Wizara ya Madini na Taasisi zake kuwa ni pamoja na kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya Serikali yatokanayo na rasilimali madini, kuwaendeleza wachimbaji wadogo na wa kati wa madini pamoja na kuhamasisha shughuli za uongezaji thamani madini.

Alizitaja kazi nyingine kuwa ni kuimarisha ufuatiliaji wa ukaguzi wa usalama, afya, mazingira na uzalishaji wa madini katika migodi midogo, ya kati na mikubwa, kuendelea kuhamasisha uwekezaji katika miradi ya kimkakati ya Sekta ya Madini, kuendelea kuboresha mazingira ya kuwawezesha wananchi kufaidika na rasilimali madini, kuelimisha Umma na kuboresha mawasiliano kati ya Wizara na wadau mbalimbali kuhusu masuala ya madini.

Wizara ya Madini imeomba kuidhinishiwa na Bunge jumla ya shilingi 58,908,481,992 kwa ajili ya matumizi ya Wizara na Taasisi zake kwa mwaka wa Fedha 2018/2019.

Mbunge Ataka Wanaokamatwa Na Na Madini ya Tanzanite Wauawe

$
0
0
Mbunge wa Mtwara Mjini, Maftah Nachuma (CUF), ameitaka serikali kuwaua watu watakaokamatwa na madini ya Tanzanite.

Amesema pamoja na serikali kuzungushia ukuta machimbo ya madini hayo Mirerani, mkoani Arusha njia pekee ya kukabiliana na watoroshaji hao ni kuyaweka katika orodha ya nyara za serikali ili watakaokamatwa nao wauawe.

Nachuma ameyasema hayo jana Mei 31, bungeni jijini Dodoma, alipokuwa akichangia bajeti ya Wizara ya Madini kwa mwaka wa fedha 2018/19.

“Lakini pia serikali inunue mashine za kuchakata madini ya Tanzanite nchini badala ya uchakataji huo kufanyika nje ya nchi ikiwamo India ambako madini hayo yamesababisha ajira laki sita,” alisema.

Katika hatua nyingine, Mbunge wa Viti Maalumu Catherine Magige aliitaka serikali ifanye kila linalowezekana katika kudhibiti utoroshwaji wa madini ya Tanzanite kwa kuwa bado yanatoroshwa nchini ijapokuwa kuna ukuta umejengwa.

Katibu Mkuu Mpya CCM: Nitakuwa Mtendaji Zaidi Kuliko Kufanya Siasa za Majukwaani

$
0
0
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally amesema hataonekana katika majukwaa ya siasa kwa sababu yeye ameteuliwa kuwa mtendaji  na si mwanasiasa wa chama hicho hivyo atatekeleza yale tu yanayoamriwa katika vikao vya Halmashauri Kuu.

Dk. Bashiru amesema hayo jana alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukabidhiwa ofisi na kutambulishwa kwa watendaji wa chama hicho, na Katibu Mkuu mstaafu, Abdulrhaman Kinana katika Ofisi kuu za chama hicho Lumumba jijini Dar es Salaam.

“Mimi nimeteuliwa kuwa mtendaji wa chama kazi niliyopewa si ya jukwaaani, ni marufuku kwa watendaji kujihusisha na siasa hivyo watu wasitarajie kuniona katika majukwaa.

“Jukumu langu kubwa ni kutekeleza maazimio ya vikao, kutoa taarifa pamoja na kusimamia maagizo ya chama haya ni masuala ya mezani si ya jukwaani wapo waliopewa dhamana ya kukaa katika majukwaa,” alisema Dk. Bashiru.

Aidha, alisema atalipa kipaumbele suala la serikali kuhamia Dodoma ambapo katika miaka iliyopita walishindwa, hivyo ataanzia hapo na kuhakikisha wanafanikiwa na ataendelea pale walipoanzia.

UKUTA Waongeza Mapato ya Tanzanite Maradufu kwa Miezi Mitatu

$
0
0
Mikakati ya serikali kudhibiti utoroshwaji wa madini ya tanzanite imefanikisha mapato ya madini hayo kuongezeka, ikielezwa kuwa mapato ya miezi mitatu (Januari hadi Machi, mwaka huu) yamezidi ya miaka mitatu iliyopita.

Imeelezwa kuwa mafanikio hayo ni matokeo ya uamuzi wa Rais John Magufuli alioutoa Septemba 20, mwaka jana, wa kujengwa ukuta kuzunguka eneo la migodi ya tanzanite iliyoko Mirerani, Simanjiro mkoani Manyara.

Agizo hilo la Rais lilitekelezwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa kujenga ukuta huo kuanzia Novemba Mosi hadi Februari 15, mwaka huu.

Akiwasilisha hotuba bungeni jijini Dodoma jana kuhusu makadirio ya wizara yake kwa mwaka ujao wa fedha, Wizara ya Madini, Angellah Kairuki, alisema mafanikio makubwa yamepatikana kutokana na udhibiti wa tanzanite.

Alisema katika kipindi cha miezi mitatu kuanzia Januari hadi Machi, mwaka huu, wizara yake imekusanya mrabaha wa Sh. milioni 714.6.

Kairuki alibainisha kuwa kati yake, Sh. milioni 614.6 zinatokana na makusanyo kutoka kwa wachimbaji wadogo.

"Kiasi hicho kilichokusanywa kinazidi jumla ya makusanyo ya mrabaha wa miaka mitatu iliyopita kutoka kwa wachimbaji wadogo," alisema na kueleza zaidi:

"Pia Bunge lako tukufu litapendezwa kufahamu kwamba katika mwaka 2015 tulikusanya mrabaha wa Sh. milioni 166.8, mwaka 2016 Sh. milioni 71.8 na mwaka 2017, Sh. milioni 147.1 kutoka kwa wachimbaji wadogo."

Waziri huyo pia alisema wizara inaendelea kufanya ukaguzi wa uzalishaji wa madini kwenye migodi mbalimbali kuhakikisha inapata takwimu sahihi za madini yanayozalishwa na kuuzwa ndani na nje ya nchi.

Alisema ukaguzi huo hususan kwenye migodi na mitambo ya uchenjuaji, umekuwa ukifanyika kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama.

"Kutokana na jitihada hizo, makusanyo ya mrabaha yameongezeka. Hadi kufikia Machi mwaka huu, Ofisi ya Madini iliyopo Chunya ilikuwa imekusanya Sh. milioni 718.6 na Ofisi ya Madini Mwanza ilikuwa imekusanya Sh. bilioni 9.8 ikilinganishwa na Sh. milioni 416.9 na Sh. bilioni 6.1 zilizokusanywa na ofisi hizo kwa mwaka wa fedha wa 2016/17 kwa mfuatano huo," alisema.

Dk Bashiru abadili msimamo Katiba mpya...."Siwezi Kuchambua Tena ,Mnataka Nifukuzwe?"

$
0
0
Katibu Mkuu mpya wa CCM, Dk Bashiru Ally amesema msimamo wake kuhusu mabadiliko ya Katiba utakuwa tofauti na ule aliokuwa nao awali kabla ya kuingia rasmi kwenye siasa za CCM kwa kuwa sasa ataendana na maelekezo ya chama hicho.

Kabla ya kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu CCM, Dk Bashiru alionekana kuwa ni mpigania demokrasia na haki wakati akiwa mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, akishiriki katika midahalo na mahojiano na vituo vya redio na televisheni kuhusu mijadala ya kitaifa.

Mwaka 2014  Dk Bashiru alisema Katiba ya sasa “haiwezi kuwa medani ya muafaka wa kitaifa kwa sababu ilisimamia msingi na muafaka wa kitaifa katika chama kimoja”
 

 “Tangu mwaka 1992 wanasiasa wamekuwa wakidai Katiba mpya kwa hoja hiyo; kwamba tuko katika mazingira mapya ya kisiasa, mahitaji mpya ya kisiasa, tuna hatua mpya matarajio mapya, changamoto mpya, taratibu mpya za kuendesha nchi,” alinukuliwa  Dr Bashiru katika mahojiano enzi hizo kabla hajaingia katika siasa za CCM.

Sasa amebadili msimamo,  na msimamo wake utategemea maamuzi ya Halmashauri Kuu ya CCM.

“Leo nazungumza kama katibu mkuu, yaani swali lako lina majibu humo humo,” alisema Dk Bashiru jana alipoongea na waandishi wa habari kwenye ofisi ndogo za CCM zilizopo Lumumba jijini Dar es Salaam.

“Ukiwa mchambuzi, unachambua kweli kweli. Ukiwa msemaji wa chama, unawasilisha yaliyoamuliwa kwenye vikao.

“Halmashauri Kuu ndio chombo kikuu kilichoniteua na inaweza kunifukuza. Kwenye uchambuzi kule nisingeweza kufukuzwa.

“Hapa kama wewe unanitakia mema, siwezi kuchambua yale ambayo hayajaamuliwa na vikao. Lakini jambo kubwa nchi hii kama tutaheshimu katiba za vyama vyetu na Katiba za Serikali zetu mbili zilizopo, tunaweza kuanzia hapo kujadili namna ya kurekebisha Katiba hii.”

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo dawa na PETE za bahati zenye uwezo mkubwa wakuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.
 
Kutana na Sharif Al_noor. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. -SHARIF ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA- Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na inje ya nchi.
 
Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.
 
Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudisha  alipotea(MSUKULE), kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, kutoa ndagu, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMA, GARI..), Kesi mahakamani, Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET) Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa nambari ya simu
 
+255 746 426 604

Kama Dalili Hizi Unazo Upo Kwenye Hatari Ya Kuishiwa Nguvu Za Kiume Kabisa

$
0
0
Una dalili zifuatazo?
1: Kushindwa kurudia tendo la ndoa
2: Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa
3: Maumivu ya kiuno mgongo
4: Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
5: Uume kusinyaa, kuingia ndani na kuwa mdogo au mfupi
6: Korodani moja kuvimba

KAMA DALILI HIZI UNAZO UPO KWENYE HATARI YA KUISHIWA NGUVU ZA KIUME KABISA

Kwa matibabu tumia OZYMIX POWER-dawa bora ya nguvu za kiume ya miti shamba ambayo haina kemikali ambayo itakuwezesha kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha.
Pia tunatoa huduma hizi:>

1.Dawa ya Kuondoa michirizi
2.Kumrudisha mwanaume aliyekuacha 
 
Tunapatikana KAWE UKWAMANI karibu na kituo cha mabasi.
KWA MAWASILIANO ZAIDI ; 0716096205 /0756726865 FIKA OFISIN AU PIGA SIMU NA UTALETEWA DAWA POPOTE ULIPO DAR ES SAALAM NA KWA MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA MABASI.

TEMBELEA KATIKA BLOG YETU HAPA>>>;

Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Yanayosumbua Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume, Kisukari,

$
0
0
BABU MADUHU NI BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU YANAYOSUMBUA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI, MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:

KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni NYASOSE MIX, Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1. MKEBE NO.1 Hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo la kwanza bila kuchoka naitakufanya uwe na hamu ya kuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

MHESHA POWER
MKEBE NO 2 ni dawa ya kuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,

KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ITINYA,
Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake, humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa pia ana pete za bahati ambazo zimetajilisha wengi.

SUPER POWER,
Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL/KANISANI

SIMU NO 0652 102 152/0755 684 297/0788 330 105.

HUDUMA HII UNAWEZA KUIPATA/KULETEWA MAHALI POPOTE NCHINI

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE; 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO 0754372325/  0658920640
 
HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Video Mpya Ya Diamond -IYENA Akiwa na Rayvanny........Video Queen ni Zari The bosslady

$
0
0
Msanii Diamond Platnumz ametoa video ya nyimbo yake iliyoko kweny album ya 'A Boy from Tandale' akimshirikisha msanii mwenzake kutoka WCB Rayvanny. Pia Video Queen wa Iyena ni Zari The bosslady

==>>Itazame hapo chini

Kamanda Muliro amzungumzia mwalimu ‘aliyewapapasa’ wanafunzi wa St. Florence

$
0
0
Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Jumanne Muliro, ametoa ufafanuzi wa Jeshi la Polisi kuhusu Mwalimu wa Shule ya Msingi ya St Florence iliyopo Mikocheni jijini Dar es Salaam, Ayoub anayedaiwa kuwadharirisha kingono wanafunzi wake wa kike wanne kwa kuwaingilia huku akimpapasa mwanafunzi wake mwingine.

Kamanda Muliro amesema jeshi la polisi limeanza kufanya uchunguzi juu ya suala hilo kwa kushirikiana na wanafunzi hao wanne wanaodaiwa kuingiliwa na ‘mwalimu Ayoub’ na uchunguzi utakapokamilika watamfikisha mtuhumiwa mahakamani.

Aidha, Kamanda Muliro amesema jeshi la polisi pia linaendelea kumtafuta mtuhumiwa anayedaiwa kukimbia baada ya taarifa za tukio hili kusambaa na kwamba hajaripoti shuleni hapo tangu Mei 24 mwaka huu.

Jana, Wabunge waliihoji Serikali kuhusu hatua gani imechukua baada ya kuwepo kwa taarifa za mwalimu huyo kufanya kitendo hicho kichafu kwa watoto ambapo Waziri Jenister Mhagama alisema Serikali inalifanyia kazi na itaeleza Bungeni hatua gani imechukua baada ya uchunguzi kukamilika.

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

$
0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za Kupandisha nyota , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Mambo Tisa Yanayo Unda Nyota Ya Mwanadamu Na Uhusiano Kati Ya Nyota Ya Mtu Na Mafanikio Yake Katika Maisha.

$
0
0
Nyota   ya mwanadamu  ni  nafsi  hai  ya  mwanadamu.
Nafsi  hai  ya  mwanadamu  ni  pumzi  ya  Mungu  aliyopuliziwa  mtu  baada  ya  kuumbwa.

Lengo  la  Mwenyezi  Mungu  lilikuwa ni  kumuumba  mwanadamu  yaani ( MWENYE  NAFSI  HAI) ili  amsaidie  kuutawala  ulimwengu  na  kuvitiisha  vitu  vyote  vilivyomo ndani  yake  vinavyo onekana   na  visivyo  onekana.

Ili kufanikisha  lengo  hili,ilimbidi  Mwenyezi  Mungu amuumbe  kwanza  mtu  (  YAANI  MWENYE  MWILI  NA  NAFSI  YA  UDONGO )  na  baada  ya  kumuumba mtu  huyo,ndipo  Mwenyezi  Mungu  akampulizia  mtu huyo  pumzi  ya  uhai  ambayo  sasa  ndio  ikamfanya mtu  huyo  kuwa  Mwanadamu   kamili yaani    MWENYE  NAFSI  HAI  au  ALIYE PULIZIWA  PUMZI  YA  UHAI ( PUMZI  YA  MUNGU)

Ndani  ya  pumzi  hii  ya  uhai aliyo  puliziwa  mwanadamu  ambayo  ndio  nyota  ya  mwanadamu,  limeandikwa  kusudi  la  Mungu  juu ya maisha  ya  mwanadamu.

Kwa  hiyo  nyota  ya  mtu  ni pumzi  ya  uhai  ya  Mwenyezi  Mungu  ambayo  ndani  yake  kuna  tamko  rasmi  juu  ya  maisha  ya  mwanadamu.

Ni  tamko rasmi  la  Mwenyezi  Mungu  juu  ya  maisha  ya  mwanadamu  kwa  maana  ya  kwamba ndani  ya  pumzi  aliyo  puliziwa  mwanadamu  kuna  neno  au  tamko  rasmi  la  Mwenyezi  Mungu kuhusu  mambo  yote  aliyo  yakusudia  juu  ya  maisha  ya  mwanadamu  huyo  kuanzia  siku  anazaliwa  hadi  siku  atakayo ingia  kaburini.

Nyota  ya  mtu  ni  mafuta  ya  Mungu  yaliyo  pakwa  kwenye  nafsi  ya  mwanadamu. Ndani  ya  mafuta  hayo  limeandikwa  kusudi  la  Mwenyezi  Mungu  juu  ya  maisha  ya  mtu   huyo  kuanzia  siku  ya  kutungwa  kwa  mimba  yake  hadi siku  ya  kufa  kwake.

Uhusiano  kati  ya  nyota ya  mwanadamu  na  maisha  yake unafanana  kwa  kiasi  kikubwa  sana na  uhusiano  kati  ya  mbegu  ya  mti  na  mti  wake.

Kwa  mfano  tuchukulie  mbegu  ya  mbuyu.  Mbegu  ya  mbuyu  kwa  umbo  ni  ndogo  sana  haienei  hata  kwenye  kiganja.  Lakini  inatoa mti  mkubwa  kabisa  wenye  matawi, mizizi, matunda   na  faida  lukuki  kwa  mwanadamu.

Katika  ulimwengu  wa  kiroho  maana  yake  ni  kwamba ndani  ya  mbegu  ya  ubuyu, yamendikwa  mambo  yote  hayo  unayo  yaona  kuhusu   mbuyu. Ndani  ya  mbegu  ya  ubuyu  umeandikwa  mti  wa  mbuyu, matunda  ya ubuyu, ladha  tamu  ya  ubuyu, faida  za  kiafya  za  juisi  ya  mbuyu, faida  za  kiafya  za  mafuta  ya  ubuyu, faida  za  kiafya  za  magome  ya  mbuyu  nakadhalika  nakadhalika.

Pia  uhusiano  baina  ya  nyota  ya  mwanadamu  na  maisha  yake  ni  kama  mbegu  za  mwanaume  na maisha  ya  watoto  wake.

Ndani  ya  mbegu  za  mwanaume  ( shahawa )  kimeandikwa  kila  kitu kuhusu  kitakachozaliwa  kutoka kwenye  mbegu  hizo. Ukizitazama  mbegu  za mwanaume  ni  ute ute.  Lakini  ndani  ya  mbegu  hizo  hizo  ameandikwa  mtu  kamili  mwenye  macho, masikio, pua, midomo nakadhalika.

Ila  ili  mtu  huyo  aweze  kutokea  ni  lazima  mbegu  hizo  zikaungane  na  mayai ya  mwanamke.  Vivyo  hivyo  kwa  mwanadamu  ndani  ya  nyota  yake  kimeandikwa  kila  kitu  kuhusu  maisha  yake yatakavyo  kuwa  kuanzia  siku atakayo  zaliwa  hadi  siku  atakayo  ishi, lakini  ili  mambo  yote  hayo  yatokee  ni  lazima  yale  mambo  tisa  yanayo  unda  nyota  ya  mwanadamu  yawepo  yote.

Vivyo  hivyo  ndani  ya   nafsi  hai  ( nyota  )  ya  mwanadamu, yameandikwa  mambo  mambo  yote  ambayo  Mwenyezi  Mungu  ameyakusudia juu  ya  maisha  ya  mtu  huyo  hapa  duniani.

Kazi  ya  nyota  ya  mwanadamu  ni  nini  ?
Mwenyezi  Mungu  alivyo  uumba ulimwengu  aliukabidhi  chini  ya  utawala wa viumbe  wake  wakuu  watatu.

Kiumbe  wa  kwanza  kupewa  mamlaka  ya  kutawala   ni   Jua.Jua    lilipewa  mamlaka  ya kuutawala  mchana. Kiumbe  wa  pili  kupewa  mamlaka  ya  kutawala  ni  Mwezi. Mwezi  ulipewa  mamlaka  ya  kuutawala  usiku. 

Kiumbe  watatu  kupewa  mamlaka  ya  utawala  ulimwenguni  ni  mwanadamu . Na  ninaposema  mwanadamu  namaanisha  nafsi  hai  ya  mwanadamu.  Mwanadamu alipewa  mamlaka  ya kuutawalaulimwengu  wote  na vitu  vyote  vilivyomo  ndani yake vinavyo  onekana  na  visivyo  onekana.Walaa  mwanadamu  hakuambiwa  kuutawala  mchana  au  usiku  pekee  bali  yeye  alipewa  mamlaka  ya  kuutawala  ulimwengu  na  vitu  vyote vilivyomo  ndani  yake  vinavyo  tambaa  juu  ya  ardhi, ndani  ya  maji  na juu  angani bila  kujalisha  ni  mchana  au  usiku.

Kwa  hiyo  tumeona  kuwa  ulimwengu  unatawaliwa  kwa  ushirikiano  wa  vitu  vikuu  vitatu  ambavyo  ni  Jua,Mwezi,na  Nafsi  Hai  ya  mwanadamu. Kwa  lugha  nyingine  tunaweza  kuuita  utatu  mtakatifu  wa  utawala  wa  ulimwengu.  Hivyo  basi  kazi  na  jukumu kuu  la  nyota  ya  mwanadamu  ni kuutawala  ulimwengu.

MAMBO   TISA  YANAYO  UNDA  NYOTA  YA  MWANADAMU
Nyota  ya  mwanadamu  inaundwa  na  mambo  tisa. Yaani ndani  ya  pumzi  ya  uhai  anayo  puliziwa  kila  mwanadamu  yameandikwa  mambo  tisa . Pamoja  na  mambo  hayo  tisa, imeandikwa  stori  ya  maisha  ya  mwanadamu huyo  kuanzia  siku  atakayo  zaliwa  hadi  siku  atakayo  ingia  kaburini.  Mambo  hayo  tisa  yaliyo  andikwa  kwenye  nyota  ya  mwanadamu  ndio  yanayo  saidia  kuibeba  stori  ya  maisha  yake. Hili  stori  ya maisha  ya  mwanadamu  iweze  kudhihirika katika  ulimwengu  wa  nyama  au  kwa  lugha  nyepesi  ili  mambo  yote  ambayo  Mwenyezi  Mungu  ameyakusudia  juu  ya  maisha  ya  mwanadamu  yaweze  kutokea  basi  ni  lazima yashikiliwe  na  mambo  haya  tisa ambayo yameandikwa  kwenye  pumzi  ya  uhai ( nyota )  ambayo  amepuliziwa  kila  mwanadamu.

NYOTA   YA   ADAMU  ILIVYO    ILIVYO  CHUKULIWA   NA  KUMILIKIWA  NA  IBILISI
Ndani  ya  pumzi  ya  uhai (  nyota )  ya  Adamu  yaliandikwa  mambo  makuu  tisa  pamoja  na  stori  kamili  ya  maisha  ya  Adamu  na  kizaz  chake  chote  (yaani  wanadamu  wote ).

Adamu  alipewa  sharti  moja  na  Mwenyezi  Mungu  kwamba  asile tunda  la  mti  ule  na  endapo  atakula  basi  hakika  atakufa  yaani  nafsi  yake  hai  ama  nyota  yake  ama  kusudi  la  Mungu  juu  ya  maisha  yake  litaondoka  na  atabaki  kuwa  mtu tu   yani  mwenye  mwili  na  nafsi  ya  udongo .

Hata  hivyo  Adamu  alienda  kinyume  na  agano  alilowekewa  na  Mungu  na  mara  tu  baada ya  kutenda  dhambi  ile basi  ile  nafsi  yake hai  ikaondoka  na  Adamu  akabaki  na kujiona  mtupu.

Utupu  unaozungumziwa  hapo  sio utupu  wa  mwili  isipokuwa    ni  utupu  wa  nafsi.

Nafsi  ya  Adamu  ilibaki  kuwa tupu.  Yale  mambo  yote  tisa  yaliyoandikwa  kwenye  nyota  yake  yakayeyuka  na  kutoweka.

Mfano  wa  utupu  unao  zungumziwa  hapa  ni  sawa  na mwanafunzi aliye  jisomea  mwezi  mzima  kwa  ajili  ya  mtihani  halafu  siku  ya  kufanya  mtihani  yale  yote  aliyo  yasoma  yanayeyuka  kichwani  na  kumuacha  akiwa  mtupu  kichwani  asijue  aandike  kitu  gani  kwenye  mtihani  mwisho  wa  siku  mwanafunzi  huyu  lazima  atafeli  tu  mtihani  wake.

Kwa  hiyo  nyota  ya  Adam  ikachukuliwa  na  yeye  akabaki  na  utupu   nafsini  mwake.

Utupu   ni  nafsi  ya  kwanza  katika  utatu  mtakatifu  wa  shetani.  Utatu  mtakatifu  wa  shetani  una  undwa  na nafsi  kuu  tatu  ambazo  ni  Utupu, Giza  na  Ukiwa . kwa  hivyo ndani  ya  nafsi  ya  Adamu  kukabakiwa  na  utupu, giza  na  ukiwa.

Nafsi  hai  ya  Adam  ikawa  imechukuliwa, na  kumuacha  Adamu  akibaki na   nafsi  mfu, nafsi  ya udongo  yenye  kuundwa  na  vitu  vitatu  yaani  Utupu, Giza  na  Ukiwa  ambayo  ndani  yake  kinaweza  kupandwa chochote  kile chenye  asili  ya  utupu, kiza  na  ukiwa.

IBILISI  ANABADILISHA  MAJIRA  NA  NYAKATI  ILI  KUMPISHANISHA  MWANADAMU  NA  NYOTA  YAKE.

Baada  ya  kufanikiwa  kuiba  na  kuiweka  nafsi  ya  mwanadamu  chini  ya  umiliki  wake, kitu  cha  kwanza  kabisa  alicho  kifanya  Lusifa  kilikuwa  ni  kubadilisha  majira  na  nyakati.

Lusifa  aliamua  kubadilisha  majira  na  nyakati   kwa  sababu  moja  kuu  nayo  ni  kumpishanisha  mwanadamu  na  nyota  yake.

Kuna  uhusiano  mkubwa  sana kati  ya  nyota  ya  mtu  na  siku aliyo  zaliwa.  Nyota  ya  mtu  na  siku  aliyozaliwa  ni  sawa  na  pande  mbili  za  shilingi  moja.

Kwa  kuwa  Ibilisi  alibadilisha  majira  na  nyakati  basi  kwa  kiasi  kikubwa  sana  alifanikiwa  kumpishanisha  mwanadamu  na  nyota  yake. Watu  wengi  leo  hii  hawazijui  nyota  zao  halisi  licha  ya  kuzijua  tarehe  walizo  zaliwa.

Nyota  ya  mtu  inatambuliwa  kwa  kuangalia  siku  aliyo  zaliwa  na  wala  sio  tarehe  aliyo  zaliwa.

Unakuta  mtu  anasema  “ Mimi  nyota  yangu  ni   Mapacha  “   ukimuuliza  kwanini  anajibu  “ Kwa  sababu  nimezaliwa  tarehe  15  Juni “

Lakini  kiukweli  kabisa  kwa  sisi  wanajimu  tulio  somea na kubobea  katika  taaluma  hii  ya  unajimu tunajua  fika  kwamba,  tarehe  uliyo  zaliwa  haiwezi  kusema  wewe nyota  yako  ni  nini .

Kwanini ?  Kwa  sababu  majira  na  nyakati  vimebadilishwa  tangu  zamani.  Hiyo  unayo  amini  kuwa  ndiotarehe  yako  ya  kuzaliwa   inatokana  na  majira  nanyakati  zilizo  badilishwa  na  kubatilishwa  ,wala  sio  tarehe yako  halisi  ya  kuzaliwa  na  wala  sio  nyota  yako  halisi.

Wanajimu  tunajua  tukitaka  kujua  nyota  halisi ya  mtu  huwa  tunaulizia  siku aliyo  zaliwa. Nyota  ya  mtu  inatazamwa  kwa  kuangalia siku aliyo  zaliwa  na  sio  tarehe  aliyo zaliwa.

Ndio  maana  unakuta  watu  wawili  wenye  nyota  inayo  fanana ( mfano  mapacha )  na  wanafanya  kitu  kile  kile  kimoja  lakini  mmoja anakuwa  tajiri  sana  na  mwingine anabaki  kuwa  masikini  sana, ila  wote  nyota  yao ni  mapacha.  Jibu  ni moja  tu, wamezaliwa  siku  tofauti.  Nyota zinafanya  kazi  kutokana  siku  na  muda  ulio  zaliwa  na  sio  tarehe  uliyo zaliwa.

 Ndio  sababu  watu  wengi  wanashindwa  kufanikiwa  katika  mambo  wanayo  yafanya  kwa sababu  wanayafanya  katika  majira  na  nyakati  batili.  Na  majira  na  nyakati  ndio vitu  vinavyo  tawala  kila  kitu  katika  ulimwengu  huu.

JINSI   IBILISI   ALIVYO   BADILSHA   MAJIRA  NA  NYAKATI
Majira  na  nyakati  viliwekwa  kwa  ajili  ya  kuitumikia  nyota  ya  mwanadamu iweze  kutenda  kazi  na  kutimiza  majukumu  yake  kwa  ufanisi.  Hii  ni  kwa  sababu  mafanikio  ya nyota  ya  mwanadamu  yanategemea  na  siku  pamoja  na  muda  alio  zaliwa.  Kama  alizaliwa  siku  ya  kwanza  basi nyota  yake  itatawaliwa  na  kuongozwa  na  majini  na  malaika  wanao tawala  na  kutumia  siku  hiyo  ya  kwanza. Pia itategemea amezaliwa  muda  gani, katika  siku hiyo, kama  amezaliwa  mchana  basi  nyota  yake  itatawaliwa  na  kuongozwa  na  majini  wanao  tawala  mchana  wa  siku hiyo  ambao  wanatawala  pamoja  na  jua  na  kama  amezaliwa  usiku  basi  nyota  yake  itaongozwa  na  kutawaliwa  na  majini  wanao  tawala  na  kuongoza  usiku  wa  siku  hiyo  ambao watatawala  pamoja  na  mwezi.

Hivyo  Ibilisi  alibadilisha  majira  na  nyakati ili  kumpishanisha  mwanadamu  na  nyota  yake.

1.  ALIANZA   KWA   KUBADILISHA   SIKU  .
Kwa  Mungu  hakuna  Jumatatu, wala  Jumanne  wala  Jumatano, Alhamisi, Ijumaa, Jumamosi, wala  Monday, Tuesday, Wednesday, Thursday, Friday , Saturday  na  Sunday.

Wala  majina  ya  siku  niliyo  yataja  hapo juu  hayana  uhusiano  wowote yenyewe  kwa  yenyewe.  Kwa  maana  kuwa  Jumatatu  sio  Monday  wala  Tuesday  sio Jumanne  wala   Jumapili  sio  Sunday . Hakuna  uhusiano  wowote  hapo.

Mfano  Jumapili  sio  Sunday.Sunday  ni  siku  ya  jua  na  Jumapili  siku  ya  pili. Kwa  hiyo  hakuna  uhusiano  wowote  hapo kati ya  siku  hizo  mbili.

Kama  nilivyo  sema  hapo  juu  kwa  Mungu  hakuna  Jumatatu  wala  Monday. Ukisoma  Torati  vizuri  hutaona  sehemu  yoyote  ile  imeandikwa “ IKAWA  JUMATATU, MUNGU  AKAFANYA  HIVI ,  AU  IKAWA  JUMATANO  MUNGU  AKAFANYA  VILE“  Nadhani  wote  tunakubaliana  katika  hili

Utakacho  kiona  ni  “ IKAWA  SIKU  YA  KWANZA , MUNGU  AKAFANYA  HIVI, IKAWA  SIKU  YA  PILI, MUNGU  AKAFANYA  VILE …

Kwa  hiyo  kwa  Mungu  kuna  kuanzia  SIKU  YA  KWANZA  hadi  SIKU YA  SABA. Haya  ndio  majina  ya  siku  za  Mungu.

1. SIKU  YA  KWANZA  (  KWA  MUNGU  SIKU  YA  KWANZA  NI   SIKU AMBAYO DUNIANI INAJULIKANA  KAMA  JUMATANO(WEDNESDAY) HII  AMBAYOWEWE  UNAIJUA  KAMA  JUMATANO  KWA  MUNGU  NDIO  SIKU  YA  KWANZA  )

Jina  la  kiroho  la  siku  ya  kwanza  ni :  SIKU  YA  NURU.

2. SIKUYA  PILI  (  KWA  MUNGU  SIKU  YA  PILI  NI  HII  AMBAYO  DUNIANI  INAITWA  ALHAMISI  AU THURSDAY .. SASA  KWA  UTARATIBU  WA HESABU  ZA  KIMUNGU,  ALHAMISI  NDIO  SIKU  YA  PILI..  )

Jina  la  kiroho  la  siku  ya  pili  ni  :  SIKU  YA  AKILI  YA  MUNGU.

3.       SIKU  YA  TATU:  (KWA  MUNGU  SIKU  YA  TATU NI  HII  AMBAYO  DUNIANI  INAJULIKANA  KAMA  IJUMAA  AU  FRIDAY SASA  BASI  KWA  UTARATIBU  WA  KUHESABU  SIKU  WA  MUNGU, SIKU  AMBAYO  DUNIANI INAJULIKANA KAMA   SIKU  YA  IJUMAA  AU  FRIDAY  NI  SIKU  YA  TATU  )

Jina  la  kiroho  la  siku  ya  tatu    ni  SIKU  YA  FAIDA  NA  THAMANI.

4.       SIKU  YA  NNE (  KWA  MUNGU  SIKU  YA  NNE  NI  HII  AMBAYO  DUNIANI  INAJULIKANA  KAMA  JUMAMOSI AU SATURDAY.  ILA  KWA  UTARATIBU  WA  HESABU  ZA  MUNGU, SIKU  YA  JUMAMOSI  NDIO SIKU  YA  NNE  )

Jina  la  kiroho  la  siku  nne ni : SIKU  YA  MAJIRA  NA NYAKATI.

5.       SIKU  YA  TANO (KWA  MUNGU  SIKU  YA  TANO  NI  HII  AMBAYO  HUKU  DUNIANI  INAJULIKANA  KAMA  JUMAPILI  AU  SUNDAY. ILA  KWA  MUNGU  HII  NI  SIKU  YA  TANO )

Jina  la  kiroho  la  siku  ya  tano   ni  : SIKU  YA  KUFANYA  MAMBO  MAKUBWA.

6.       SIKU  YA  SITA  (  KWA  MUNGU  SIKU  YA  SITA  NI  HII  AMBAYO  DUNIANI  INAJULIKANA  KAMA  JUMATATU  AU  MONDAY  .  SASA  KATIKA  UTARATIBU  WA  HESABU  ZA  KIMUNGU,SIKU  YA  SITA  NDIO  HII  AMBAYO  DUNIANI  INAJULIKANA  KAMA  JUMATATU  AU  MONDAY )

Jina  la  kiroho  la  siku  ya  sita  ni  SIKU  YA  KUMILIKI NA  KUTAWALA.

7.       SIKU  YA  SABA  (  KWA  MUNGU  SIKU  YA  SABA  NI  HII  AMBAYO  DUNIANI  INAJULIKANA  KAMA  JUMANNE  AU  TUESDAY. SASA  BASI  KWA KUFUATA HESABU  ZA  KIMUNGU, JUMANNE  NI  SIKU  YA  SABA   )

Jina  la  kiroho  la  siku ya  Jumanne  ni  SIKU  YA  KUSTAREHESHWA.

Mungu  aliweka  malaika na majini wakubwa  wakubwa   kwa  ajili  ya  kuzitumikia  siku  hizi  kwa  manufaa  ya  mwanadamu. 

Hivyo  basi  kila  siku ina  malaika  na  majini  wake  maalumu  wanao  itumikia.  Ili mwanadamu  aweze  kunufaika  na  utumishi  wa  majini  na  malaika  hao  ni  lazima  awe  anajua  siku  wanazo  tawala . Kwa  sababu  Lusifa  Alisha badilisha  utaratibu  huo, kwa  kubadilisha  majina  ya  siku  husika  na  kuwapa  majini  wake  mamlaka  ya kutawala  siku  hizo,inakuwa  vigumu  sana  kwa  mtu  kunufaika  na  usaidizi  wa  majini  na  malaika  hao  kwa  sababu  hawawezi  kukutumikia  kama  haujui  siku  wanazo  tawala.

Mungu  aliumba  siku  saba  kwa mwanadamu  na  kutenga  siku  moja  kwa  ajili ya  kumuabudu.  Vivyo  hivyo  kwa  majini  na  malaika  hawa.  Kila  majini  na  malaika  wana  siku yao  maalumu  ya kumuabudu  na  kumtukuza  Mwenyezi  Mungu.

Kwa  mwanadamu  atakae  abudu  katika  siku moja  na  majini/malaika  hawa  basi  majini na  malaika  hao  watamtumikia  na  mtu  huyo  atapata  mafanikio  makubwa  sana  kwa  kitu  anacho  kifanya  ilimradi  kiwe kinaendana  na  nguvu  na  uweza  wa  majini  na  malaika  wanao  tawala  siku  hiyo.

 Mfano   wa  kwanza  tunauona  kwa  wazungu.Wazungu   waowalichagua  kusali  na  kuabudu  SIKU  YA  TANO  ambayo  ni  SIKU  YA  KUFANYA  MAMBO  MAKUBWA.  Siku  hii  inatawaliwa  na  majini  na  malaika  wenye kufanya  mambo  makubwa  makubwa.  Kwa  sababu  wazungu  wamechagua  kuabudu  katika  siku  hii  basi  majini  na  malaika  wanao  tawala  siku  hii  kwa uwezo  waliopewa  na  Mwenyezi  Mungu, wamewatunuku  wazungu  uwezo  wa  kufanya  mambo  makubwa  makubwa.

Ndiomaana  wazungu  wanasifika  kwa  kufanya  mambo  makubwa  katika  hii  dunia.  Kufanya  vumbuzi  na  gunduzi  kubwa  kubwa  nakadhalika.  Wanabebwa  na   nguvu  ya  kiroho  ya siku  waliyo  ichagua  kuabudu.

Mfano  wa  pili  tunauona  kwa  waarabu.Waarabuwao  walichagua  kumuabudu  Mwenyezi  Mungu  katika  SIKU  YA  TATU  ambayo  ni  SIKU  YA  FAIDA   NA  THAMANI.

Ndio  maana  waarabu   wanajulikana  kote  ulimwenguni  kwa  kufanya  mambo  yenye  kuwaletea  faida  na  thamani  kubwa.  Waarabu  wanajulikana  na  kuheshimika  kwa  kufanya  biashara  zenye  kuleta  faida  kubwa kubwa.

Uhitaji  kwenda  Qatar,Bahrain, Kuwait  au  U.A.E ili kuthibitisha    ninacho  kisema. Ubora  wa  waarabu  katika  kufanya  biashara  zenye  kuleta  faida  kubwa  unajulikana  ulimwengu  mzima.

Hakuna  mwarabu  anae  fanya  ibada  sawa  sawa  halafu  akafanya  biashara  na  asipate  faida  hayupo. Kama  yupo  basi  huyo atakuwa hafanyi  biashara  zake  vizuri. Na  ndio  maana  kwa  waarabu  mtu  anaeishi  maisha  ya  kimasikini  anachukuliwa  kama  mtu  asie fanya ibada au  asie  muamini  Mungu.

Mtu  yoyote  Yule  awe  mwarabu,mzungu,mwafrika, mhindi  au  mchina  akichagua  kumuabudu  Mwenyezi  Mungu  katika  SIKU  YA  FAIDA  NA  THAMANI  basi  atakuwa  ni  mtu  mwenye  kupata  faida  kubwa  sana hapa  duniani  katika  kila  kitu  anacho  kifanya.  Tazama  hata wafanyabiashara  wengine   wasio  kuwa  waarabu  lakini  wanamwabudu  Mwenyezi  Mungu  katikia  siku  ya   FAIDA  NA  THAMANI.Wote  niwafanyabiashara  wenye  faida  kubwa  na  wenye  kumiliki  vitu  na  mali zenye  thamani  kubwa  kubwa.

Tazama  vitu  wanavyo  miliki  waarabuvyote  ni  vyenye  thamani  kubwa  kubwa.  Wazungu  pamoja  na  kuwa  na  uwezo  na  karama  ya  kufanya  mambo  makubwa  makubwa  lakini  hawamiliki  vitu  vyenye  thamani  kama  waarabu.  Wao  wanacho  jali  ni  kufanya  mambo  makubwa  makubwa  tu  lakini  sio kumiliki.

 Ndio  maana  unakuta  gari  limetengenezwa  na  mzungu.Ilatazama  thamani  ya  gari  analo  endesha  mzungu  na  thamani  ya  gari  analo  endesha  mwarabu  utaona  tofauti.  Wakati  mzungu  akiishi  kwa  kujibana bana  na  kuendesha  gari  lenye  thamani  ndogo,mwarabu  yeye  atamiliki  garilenye  thamani  kubwa  kubwa  kwa  sababu  anatembea  na  nguvu  ya  kiroho  ya  siku  anayo  abudu. SIKU  YA  FAIDA  NA THAMANI.

Kama  unataka  kunufaika  na  utukufu  na  utumishi  wa  majini  na  malaika  wote  wanao  tawala  kuanzia  siku ya  nuru  ( siku  ya  kwanza  )  hadi  siku  ya  kustareheshwa  ( siku  ya  saba  ) basi  unatakiwa  kutenga muda  wa  kumuabudu  Mwenyezi  Mungu  kila  siku  ili  unufaike  na mambo  yote  hayo.

2.  KUBADILISHA  SIKU
Kwa  utaratibu  mpya  wa  kuhesabu  siku  ulio  wekwa  na  Lusifa  siku mpya  inaanza  saa sita  usiku  na  kuisha  saa  sita  mchana.  ( Kama imekuchanganya  hii  tazama  mambo  ya  A.M na  P.M )

 Ikifika  saa  saba  mchana  ni  siku  nyingine  hiyo.Huu  ni  utaratibu  uliopotoshwa  kutoka  katika  utaratibu  ulio wekwa  na  Mwenyezi  Mungu  kwa  lengo  la  kumpoteza  mwanadamu.

Kuanza  na  kumalizika  kwa  siku  ni  vitu  muhimu  sana  katika  ulimwengu  wa  kiroho.  Ukitaka  kujua  hili  tazama  mawio  na  machweo  ya  jua,tazama  ndege  wa  porini  nyimbo  wanazo  imba  nyakati  za  asubuhi  na  sauti  wanazo  toa  nyakati  za  usiku.

3.  KUBADILISHA  MIEZI.
Kwa  utaratibu  wa  Mwenyezi  Mungu,mwaka  mmoja  unamiezi  kumi  na  miwili.  Lakini  kwa  utaratibu  uliowekwa  na  Lusifa,mwaka  mmoja  una  miezi  kumi  na  tatu.  Ila  kwa  kutumia  maarifa  yake  amevuruga  vuruga  siku  na  masaa  na  kufanya  ionekane  kana  kwamba mwaka  mmoja  una  miezi  kumi  na  miwili.

Ndio  maana  ninasema  watu  wengi  hawajui  tarehe  zao  halisi  za  kuzaliwa  wala nyota  zao halisi,jambo  linalo  waweka  mbali  na  mafanikio  yao  ya  kinyota.

 Hiyo  tarehe  unayo  amini umezaliwa  sio  tarehe  yako  halisi  katika  ulimwengu  wa  kiroho. Tarehe yako  ya  kuzaliwa  ina  umuhimu  mkubwa  sana  katika  ulimwengu  wa  kiroho. Hii ndio  inayo  tumika  kujua  umezaliwa  siku  gani  na  nyota  yako  inatawaliwa ama  kutumikiwa  na  majini/malaika  wepi.  Hii  ndio  sababu  yetu  sisi  wanajimu  kutumia  siku  na  siku  tarehe  ya  mtu  kuzaliwa.

Mwezi mmoja  una  wiki nne  na  kila  wiki  ina  siku  7. Kwa  hiyo mwezi  mmoja  unapaswa  kuwa  na siku  28.  Hizo  siku  30 au  31  zimetoka  wapi ?  Tarehe  29,30, na  31  zimetoka  wapi ?

Ukipiga  hesabu  kwa  utaratibu  uliowekwa  na  Lusifa  utagundua  kuwa  mwaka  mmoja  una  miezi  kumi  na  tatu  ( 13  )

Chukua  365  gawanya  kwa  28  unapata  13 . Kwa  wenye  ufahamu  wa kiroho   mnajua  kuwa  namba  13  ni  namba  ya  Lusifa.

Kwa  utaratibu  wa   Mungu,mwaka  mmoja  kwa  wanadamu unapaswa  kuwa  na  siku  336  ambazo  ni  sawa  sawa  na  3 + 3 + 6 =  12

Ndio  sababu  madaktari  hospitalini  huwa  hawahesabu  miezi  ya  mtoto  kukaa  tumboni. Wao  huwa  wanahesabu  wiki.Kama  wewe  ni  mama  ambae  umewahi  kujifungua  mtoto  au  ni  nesi  unaefanya  kazi  hospitalini  utakuwa  shahidi  yangu  katika  hilo.

Kwa  hivyo  basi  kwa  utaratibu  huu  wa  kubadilisha  majira  na  nyakati,watu  wengi  wanazaliwa  wakiwa  watupu, wakiwa  na   wenye  kukabiliwa  na  kiza  kuu katika  maisha  yao  ya  hapa duniani kwa  sababu  maisha  ya  duniani  yanaongozwa  na  nyota  na  wao wanazaliwa  wakiwa  hawazijui  nyota  zao.
 
Ili  kurejesha  umiliki  wa  nyota  ya  mwanadamu  kwa  wamiliki  wake  halisi, Mwenyezi  Mungu alishusha  Torati  kupitia  Mussa  ambako  ndani  yake  aliweka  Amri zake  Kumi.

MAMBO   YANAYO   UA  NA  KUCHAFUA  NYOTA  YA  MWANADAMU.

Yapo  mambo  mengi  sana  yanayo  changia  kuharibika, kuzimika  au  kufa  kabisa  kwa  nyota  ya  mwanadamu.  Baadhi  ya  mambo  hayo  ni  pamoja  na  uzinzi, tendo  la  kujamiiana,  na  kurogwa  na  wachawi . Na  uchawi wa  kuharibu, kuzima  na  kuua  nyota  upo  wa  aina  nyingi  sana. Unaweza  kutupiwa majini, kulishwa  uchawi, kutegwa  urukwe  uchawi, kupakwa  uchawi  au  kuchanjiwa  uchawi  wa  kuharibu  na  kuua  nyota  yako.

Uchawi  wa  kuchanja  upo  wa  aina  kuu  mbili.  Aina  ya  kwanza  unachanjwa  chale  ambazo  huwezi  kuziona  kwa  macho  ya  kawaida  na  aina  ya  pili, unachanjwa chale  ambazo  unaweza  kuziona. Hapa unaamka  asubuhi  au  alfajiri  na  kujikuta  umechanjwa  chale.  Watu  wengi  wanao  chanjwa  chale  zisizo  onekana  huwa  wanakuwa  hawajijui  kama  wamechanjwa  ila  kinacho  onekana  huwa  ni  matokeo   ya  kilicho  kusudiwa  na  wachawi .

Unapo  chanjwa  chale  zenye  kuonekana  maana  yake  ni  kwamba  wachawi  wamekusudia  uone  na  ujue  kwamba  wanakufuatilia. Hawa fanyi  hivi  kwa  kukosea  bali  wanafanya  hivi  kwa  sababu  maalumu  kabisa  ambayo  utaifahamu  hapo  baadae.

Kila  aina  ya  chale huwa  ina  maana  yake . Katika  kutafsiri  maana  ya  chale  za  kichawi   huwa  tunatazama  mambo  makuu  yafuatayo  :  Kwanza  ni  alama  ya  chale  husika, pili ni  sehemu  ya  mwili  ambako  chale  imechanjwa  na  tatu  ni  siku  ambayo  chale  imechanjwa.

JINSI YA   KURUDISHA   NYOTA  ILIYO  IBWA
Unaweza  kurudisha  nyota  yako  kwa  kufanya  mambo  makuu  mawili  kama  ifuatavyo :

 MOSI : KUFANYA  AGANO  NA  MAJINI  WA  KISHEITWANI
Unaweza  kurejesha  nyota  yako  kwa  kufanya  agano  la  kuunganisha  nafsi  yako  na  majini  wa  kisheitwani.  Hawa  ni  majini  wakubwa sana  na  wana  uwezo  mkubwa  sana wa kurejesha  nyota  yako  na  kukufanya  kuwa  vile  unavyo  taka  kuwa .

Majinihawa  wa  kisheitwani  wanafanya  kazi  chini  ya  Ibilisi   na  ndio  waliopewa  jukumu  la  kutawala  siku  saba  za  Juma  baada  ya  Ibilisi  kuiba  nyota  ya  mwanadamu  kupitia  Adamu.

Ni  majini walio katika  daraja  kuu  kabisa  katika  ufalme  wa  kisheitwani  . Ni  majini  wa  kifalme  wenye  nyota ( nafsi  hai  )  kubwa.

Watakacho  kifanya  majini  hawa  ni  kuunganisha  nyota  yako  na  nyota  zao. Kwa  hiyo  unakuwa  unatembelea  nyota  zao. Inakuwa  sio  wewe  ila  ni  wao.

Utapata  mafanikio  makubwa  sana  na  ulimwengu  utastaajabishwa  kwa  mafanikio  yako lakini  kiuhalisia  yanakuwa  sio  mafanikio  yako.   Utamiliki  kila  kitu  utakacho  kitaka  duniani  lakini  vyote  vitakuwa  si  vyako bali  vyao.

Ili  kuunganisha  nafsi ( nyota ) yako  na  nafsi  ( nyota  )  zao  majini  hawa  watahitaji  kafara  ya  damu  ya  mnyama au  kafara  kubwa.

Watu  wengi  wanao  onekana  kuwa  na  nyota  kubwa  wapo  katika  kundi  hili. Wanasafiria  nyota  za  majini  hawa  wa  kisheitwani.  Nyota  zao  zinasafiri  katika  mkondo wa  nyota  za  majini  hawa  wa  kisheitwani.

Ukiona  mtu  yoyote  Yule,nyota  yake  ipo  juu  lakini  anafanya  mambo  ambayo  hayaendani  na  mafundisho  ya  Mwenyezi  Mungu  basi  maanayake  ni  kwamba  anatumia  nyota  za  majini  hawa  wa  kisheitwani

Hata  wale  wanaosema  mambo  yao  yamebadilika  na  kuwa  mazuri  baada  ya  kufanya  mapenzi  na  mwanamke  Fulani,  ni  kwamba  nyota  ya  mwanamke  huyo inakuwa inakaliwa  na  majini  hawa  wa  kisheitwani ambao  nguvu  yao  ni  kubwa  sana  sema  wapo  upande  wa  adui.

Kuunganisha  nyota  ya  mtu  na  majini  hawawa  kisheitwani  hufanyika  kwa  kafara  ya  damu  ya  mnyama  au  kafara  kubwa   pamoja  na  maagano  mengine  makubwa  makubwa.

Baadhi  ya  majini  walio  katika  kundi  hili  hukalia  madini  na  mawe au  vito  ambavyo  hutumika  kutengeneza  pete  maalumu  za  kijini. Mtu  atakae  vaa  pete  hizo  basi  anakuwa  ameunganisha  nafsi  yake  na  nafsi ya  majini  hao  kupitia  pete  hizo.

Njia  za  kumuunganisha  mwanadamu  na  majini  hawa  wa  kisheitwani  zipo  nyingi  sana  nyingine nitazielezea  kwenye  kitabu.

Njia  ya  Pili :  KUTUMIA  MITI  NA  MIMEA  INAYO KALIWA  NA   KUTAWALIWA  NA MAJINI  NA  MALAIKA  WANAO  TAWALA  SIKU SABA  ZA  WIKI.

Unaweza  kurejesha nyota  yako  mwenyewe  kwa  kutumia  miti  na  mimea  inayokaliwa  na  majini  na  malaika  wanao  tawala  siku  saba  za  Juma.

Unacho  takiwa  kufanya  ni  kwanza ufahamu  ulizaliwa  siku  gani  na  muda  gani. ( ULIZALIWA  USIKU  AU  MCHANA )

Ukisha  fahamu  siku  na  muda  ulio  zaliwa  kitakacho  fuata sasa  utatakiwa  kufahamu  ni  majini  na  malaikawepi  wanatawala  siku  na  muda  ulio  zaliwa.

Na  ukisha  fahamu ni  majini  na  malaika  wepi  wanao  tawala  siku  na  muda  uliozaliwa, unatakiwa  kufahamu  miti  na  mimea  ambayo  inakaliwa  na  majini  na  malaika  hao.

Ukisha  fahamu  kuhusu  miti  na  mimea  inayo  kaliwa  na  majini  na  malaika  hao, unatakiwa  ufahamu  kuhusu  dua  unayo  takiwa  kufanya  ili  kuunganisha  nguvu  ama  nyota  ya  majini  wanao  kalia  miti  au  mimea  hiyo  na  nyota  yako.

Kinacho  fanyika  hapo  ni  kuwaamuru / kuwaomba   majini  na  malaika  hao  watukufu kuhamisha  makazi  yao  kutoka  kwenye  miti  wanayo  ikalia  na kuhamishia  kwenye  nafsi  yako  ili  kuunganisha  nyota  yako   na  nyota zao. Na  utakapo  fanikiwa  kufanya  jambo  hili  basi nyota  yako  itarejeshwa  na stori  ya  maisha  yako  iliyo andikwa  kwenye  nyota  yako  na  Mwenyezi  Mungu itatimia.

Kumbuka  kuwa  Mwenyezi  Mungu  alimpa  mwanadamu  mamlaka  ya  kuvitiisha  vitu  vyote  vilivyomo  ndani  yake  vinavyo  onekana  na  visivyo  onekana. Na  moja  kati  ya  vitu  hivyo  ni  pamoja  na  mimea na  miti  inakaliwa  na  majini na  malaika. Majini na  malaika  wanao  ishi  ndani  ya  mimea  na  miti  hiyo  bado  wanamtambua  mwanadamu  kama  bosi  wao  au  kama  mtawala  wao  wanae  paswa  kumtumikia.  Ukiijua  mimea  na  miti  inayo  endana  na  siku  na  muda ulio  zaliwa  halafu  ukajua  kufanya  dua  ya  kuwaombaau  kuwaamuru  majini  na  malaika  hao  kuunganisha  nguvu  yao  na  nguvu  ya  nyota  yako  basi  nyota  yako  itarejea  na  kuwa  juu  kama  Mwenyezi  Mungu  alivyo  kusudia.

Ndani  ya  mbegu  za  miti  na  mimea yote  unayo  ijua  kimeandikwa  kila  kitu  kuhusu  maisha  ya  mwanadamu  na  mafanikio  yake. Unacho  takiwa  kufahamu  ni  kujua  ni  mimea  ipi  inaendana  na  nyota  yako  na  ndani  ya  mimea  hiyo  kimeandikwa  kitu  gani  kuhusu  maisha  yako.

Hata  hivyo  ipo  mimea  ambayo  ndani  yake  yameandikwa  mambo  yanayo  kinzana  na nyota  ya  mwanadamu.  Mimea  hii  haipaswi  kutumiwa  na  mwanadamu  kwa  namna  yoyote  ile. Mfano  wa  miti  na  mimea  iliyo  katika  kundi  hili  ni  ule  mti  uliokuwa  katika  bustani  ya  Eden  ambao  Mwenyezi  Mungu  alimzuia  Adam  kutumia  matunda  yake.

Miti  hii  inakaliwa  na  majini  wa  kisheitwani.  Ndani ya  mbegu  za  miti  hii  yameandikwa na  kunenwa  mambo  yaliyo  kinyume  na  mafanikio  ya  nyota ya  mwanadamu.

Wachawi  wana  elimu kubwa  sana  kuhusu  miti  hii.  Ni  miti  hii  hii ndio  ambayo  wachawi  wanaitumia  kutengeneza  magonjwa  na  maradhi  mbalimbali  ya  kichawi  ili  kuwatesa  wanadamu.

Kwa  kutumia  elimu  kuhusu  miti  hiyo  wachawi  wanaweza  kutengeneza  kila  aina  ya  ugonjwa  na  kumsababishia  mtu  ugonjwa  huo.

Wachawi  hushirikiana  na  majini  wanao kalia miti  hii  kuwaroga  na kuwatesa  wanadamu  kwa  kuwasababishia  matatizo  mbalimbali  ya  kimaisha  kama  vile nuksi, mabalaa  na  mikosi pamoja  na  magonjwa  ya  kichawi  kama  vile  kiharusi (kupooza), ugumba, uziwi, ukichaa, kifafa  na  hata  nguvu  za  kiume.

Kwa  mfano  katika  kutengeneza   maradhi  ya  nguvu  za  kiume  wachawi  huwa  wanatumia  majini  wa  kisheitwani  watatu  ambao  wanaishi  kwenye  mitatu  tofauti  ya  porini.  Majini  hawa  watatu  wa  kisheitwani  wanapo  tumwa  kwa  mwanaume  alie  kusudiwa, huelekezwa  kwenda  kukaa  kwenye  sehemu  tatu  katika  mwili  wa  mwanadamu. Majini hawa  wa  kisheitwani  wakisha  weka  makazi  hayo   kwenye  sehemu  hizo  kuu  tatu  ndani  ya  mwili  wa mwanadamu humsababishia  mwanadamu  huyo  maradhi  ya  nguvu za  kiume  na  hufanya  hivyo  kwa  kutengeneza  sababu  za  kumuhalalishia  mtu  huyo  maradhi  ya nguvu  za  kiume.

Kwa ufupi  wachawi  wana  maarifa  makubwa  sana  juu  ya  miti  yenye  kukaliwa  na  masheitwani  wabaya  na  namna  inavyo  tumika  kuwatesa  wanadamu.

Unacho  takiwa kufanya  ni  kuifahamu  miti  inayo  kaliwa  na  majini  na  malaika  wazuri  ambayo  itakusaidia  kujilinda, kujikinga  na  kupambana  dhidi  ya  shari  hii  ya  wachawi.

Miti  hii  ipo  mingi  sana  na  utapata kuifahamu miti  yote  pamoja  na shari  zote  za  kichawi  itakayo  kukinga  nazo.

 Kwa  mfano  Kuna mti mmoja (jina lake linahifadhiwa ) unapatikana porini, mti huo ukikomaa, urefu wake hauzidi wa mtoto wa miaka saba, una magamba kwa mbali na rangi yake ni nyeupe

Mti huu ukikauka ukausaga unga wake huwa mweupe kama kama mti wenyewe.

Ukichukua unga wa mti huu halafu ukajipaka usoni unakuwa na uwezo wa kuwaona wachawi.

Ukijipaka unga wa mti huu usoni halafu ukatembea mtaani wakati wa mchana, unaweza kuona mambo yote yanayofanyika katika siri kubwa kama vile wachawi wakiwa wanawanga au wanafanya shughuli zao wakiwa uchi.

Dawa hii itakupa pia uwezo wa kuwaona misukule.

Vilevile mti huu una uwezo wa kukimbiza nyoka mfano ukiwa na kipande cha mti huu mfukoni halafu ukawa unatembea, kama mbele yako kuna nyoka atakimbia kabla hujafika.

Hata ukikaa mahali kama kuna nyoka hawezi kukaa hapo, atakimbia tu.

JIANDAE  KUSOMA  KITABU  CHANGU  KINACHOITWA “ MAMBO  TISA  YANAYO  UNDA  NYOTA  YA MWANADAMU  NA  UHUSIANO  KATI  YA  NYOTA  YA  MTU  NA  MAFANIKIO  YAKE  KATIKA  MAISHA “

Kitabu  hiki  kitatoka  hivi  karibuni  na  utafahamishwa  kitakapo  kuwa  mtaani.

Ndani  ya  kitabu  hiki  utapata  kuyafahamu  kwa  kina  mambo  yote  yaliyo  elezewa  kwenye  makala  haya.

Pamoja  na  mambo  mengine  mengi, ndani  ya  kitabu  hiki  cha  kipekee  kabisa, utapata  kufahamu  kuhusu  mambo  yafuatayo :

1.     MAMBO  TISA  YANAYO  UNDA  NYOTA  YA MTU.

2.     MITI  YOTE  INAYO  TAWALA  SIKU  ZOTE  SABA  ZA  JUMA  KUANZIA  SIKU  NURU  (  SIKU  YA  KWANZA  )  HADI  SIKU  YA  KUSTAREHESHWA  (SIKU  YA  SABA  ).  UTAPATA  KUFAHAMU  NI  MITI  GANI  HUTAWALA  USIKU  NA  MITI  GANI  HUTAWALA  MCHANA  KATIKA  SIKU  HIZO  SABA  ZA  JUMA.

3.     MAJINI  NA  MALAIKA  WANAO  TAWALA  SIKU  ZOTE   SABA  ZA  JUMA  KUANZIA SIKU  YA  NURU  ( SIKU  YA  KWANZA  )  HADI  SIKU  YA  KUSTAREHESHWA (  SIKU  YA  SABA )

4.     MAJINI  NA  MALAIKA  WANAO  TAWALA  KILA  MTI  NA  KILA  MMEA  KATIKA  KILA  SIKU  YA  JUMA  KUANZIA  SIKU  YA  KWANZA  HADI  SIKU  YA  SABA.

5.     DUA  ZIPI  ZA KUOMBA  KATIKA  KILA  SIKU  YA  JUMA  KUANZIA  SIKU  YA  KWANZA  HADI  SIKU  YA  SABA.

6.      DUA  ZA  KUOMBA  ILI  KUUNGANISHA  NYOTA  YAKO  NA  NYOTA  ZA  MAJINI  NA  MALAIKA  WANAO  TAWALA  KATIKA  KILA  SIKU  KUPITIA  MIMEA  WANAYO  IKALIA.

7.     UHUSIANO  KATI  YA  NYOTA  YAKO  ( NYOTA  YA  SIKU  ULIYOZALIWA )  NA  MAFANIKIO  KATIKA  MAISHA  YAKO.

8.     UTAFAHAMU  KUJUA  NAMNA  YA  KUSOMA  NYOTA  YAKO  MWENYEWE  KWA   KUTAZAMA  SIKU  ULIYO  ZALIWA.

9.     UTAZIJUA  TABIA ,SIFA  NA  NGUVU  HALISI  YA  NYOTA  YAKO  HALISI  AMBAYO  INAJULIKANA  KWA  KUTAZAMA  SIKU  ULIYO  ZALIWA.

10.  JINSI  UZINZI  NAKUJAMIIANA  VINAVYO  WEZA  KUSABABISHA  KUHARIBU, KUZIMA  AU  KUUA  NYOTA  YAKO  NA  JINSI  YA  KUJIEPUSHA.

11.    JINSI  TENDO  LA  NDOA  LINAVYO  WEZA  KUTUMIKA  KUPANDISHA  NYOTA YAKO.

12.  MBINU  ZOTE  WANAZO  TUMIA  WACHAWI  KATIKA  KUHARIBU  NA  KUZIMA  NYOTA ZA  WATU.

13.   JINSI  YA  KUSOMA  NA  KUTAFSIRI  CHALE  ZA  WACHAWI  NA  NAMNA  YA  KUJIKINGA  NA  KUJIEPUSHA  NA  MADHARA  YAKE.

14.  SEHEMU  TATU  NDANI  YA  MWILI  WA  MWANADAMU  AMBAZO  HUWEKWA  MAJINI  WA  KISHEITWANI  KWA  AJILI  YA  KUWAHALALISHIA  WANAUME  MARADHI  YA  NGUVU  ZA  KIUME

15.   MAABARA  ZA  KICHAWI : JINSI WACHAWI  WANAVYO  TENGENEZA  MAGONJWA  MBALIMBALI  YA  KICHAWI  KUANZIA  KIHARUSI, KIFAFA, UCHIZI, UZIWI, UGOMBA, UKOJOZI, UKHANITHI  NAKADHALIKA.

16.  MITI  NA  MIMEA  MBALIMBALI  INAYO TUMIWA  NA  WACHAWI  KUWATESA  WATU, JINSI  WANAVYO  ITUMIA  NA  JINSI UNAVYO WEZA  KUJIKINGA  NA  SHARI  HIYO.

17.  MITI  MBALIMBALI  INAYO  TIBU  NA  KUPONYESHA  MARADHI  YOOTE  YANAYO  MSUMBUA  MWANADAMU  KAMA  VILE :  UDHAIFU KATIKA NGUVU  ZA  KIUME,  KIFAFA, KIHARUS,I, KUPANDISHA  CD 4, KISUKARI, VIDONDA  VYA  TUMBO, BAWAZIRI, UGUMBA  NAKADHALIKA.

18.  MITI  MAALUMU YA  KITABIBU INAYO  PATIKANA KATIKA  KILA  WILAYA  YA   TANZANIA  BARA  NA  VISIWANI : Katika  utabibu  wa  jadi, karibu  katika  kila  wilaya  ya  Tanzania  bara  na  visiwani  inasifika  kwa  kutoa  dawa  moja  yenye  uwezo  wa  kutibu  kwa  ufasaha  na usahihi  kabisa  maradhi Fulani  yanayo  mkabili  mwanadamu. Mfano  katika  wilaya  ya  kisarawe  kuna  kijiji  kimoja  ambako  unapatikana  mme mmoja  unaoota  kwa  kutambaa  chini.  Mmea  huo ni  tabia  ya  uhakika  na  sahihi kabisa  kwa  watu  wanao  taka kupandisha  CD4. Mmea  huo  unapandisha  CD4  kwa  namna  ya  kipekee  sana.  Katika tafiti  zangu  za  kitabibu  mmea  huu  kwa  Tanzania  bara  nimeuona  katika  kijiji  hicho  tu  na  huko  visiwani  Zanzibar  kwenye  msitu  mmoja  unao  patikana  katika  kisiwa  cha  Tumbatu.

Pia  huko  wilayani  Handeni  Tanga  kuna  mti  mmoja  ambao  mimi  ninautambua  kama  mti  pekee  wenye  uwezo  mkubwa  sana  wa  kuwasadia  watu  wanao  taka kupungua  mwili. Mti  huu  unapukutisha  mwili  kwa  kasi  ya  ajabu  sana.  Kwa umbo  mti  huu  ni  mwembamba  sana  na  wachawi  walikuwa  wanautumia  kuwasababishia  watu  maradhi  ya  kukonda  sana  na  kuwafanya  waonekane  kama  waathirika  wa  Ukimwi  kwa kuwanywesha kimiminika  cha  mti  huu  kupita kikomo  bila mhusika  kujua.  Mmea  huu  unatumika mara  mbili  tu  kwa  wiki  mbili tu.  Yaani  unaanza  siku  ya  kwanza  unachemsha  unakunywa  robo  glasi, halafu  baada  ya  wiki  moja  unatumia  tena  robo  glasi.  Utapungua  sana  mwili.

 Katika  ulimwengu  wa  kitabibu  tuna  imani  moja, kwamba  unapotaka  kutumia  mmea  au  mti  Fulani  kwa  ajili  ya  tiba  maana  yake  ni kwamba  unakuwa  unakula  kile  ambacho  mmea  au  mti huo  unakila. Ndio  maana  huwezi  kuwa  mwembamba  kwa  kutumia  mti  ambao  sio  mwembamba.  Mti  unakupa  kile  unachokila  wenyewe.

19. UCHAWI  NA  ULOZI  UNAO  SIFIKA  KUTOKA KATIKA  KILA  KONA  YA  TANZANIA  NA  NCHI  JIRANI  PAMOJA  NA  NAMNA  YA  KUJIKINGA  NAO.

20. UCHAWI  NA  ULOZI  WA  MAPENZI  WA  AINA  ZOTE, JINSI  UNAVYO  TENGENEZWA, MADHARA  YAKE , JINSI  UNAVYO  WEZA  KUMZINDUA  MTU  ALIE  LISHWA  AU  KUTUPIWA  UCHAWI  NA  ULOZI  WA  MAPENZI.

21.   PETE  MBALIMBALI  ZA  KIJINI  NA  MATUMIZI  YAKE . FAIDA  NA  HASARA  ZAKE.

22. UTAJIRI  WA  KUKU  KUDONOA  MCHELE

23.  MISUKULE   WA  KILA  AINA NA  JINSI  YA  KUJIZUIA  USICHUKULIWE  MSUKULE.

PAMOJA   NA  MAMBO  MENGINE  MENGI  AMBAYO  NITAYABAINISHA .

Makala  haya  yameandaliwa  na  DOKTA.  MUNGWA  KABILI.  ANAPATIKANA  KWA  SIMU  NAMBA  0744 000  473.

KUPATA  UPDATES  KUHUSU  KITABU  HIKI, TEMBELEA  KILA  SIKU :

www.mungwakabhili.blogspot.com
PIA  UNAWEZA  KUNIPATA  KWENYE  MTANDAO  WA  FACEBOOK  KUPITIA  :www.facebook.com/MungwaKabhili

Sasha: Nitaendelea Kupiga Picha Za Utupu

$
0
0
Video vixen alijizolea umaarufu Kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuanika picha za utupu siku za nyuma  Sasha  Kassim ameibuka tena  na kukiri kuwa  ataendelea kuweka picha zake za utupu mitandaoni.

Mwezi uliopita Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza alitangaza vita na wasichana wote ambao wanaanika picha zao za utupu mitandaoni na kuahidi kuwafungia kazi zao za sanaa endapo wataanika picha hizo.

Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu hatimaye Sasha  Kassim amefunguka kuwa ataendelea  kupiga picha za nusu uchi.

Kwenye mahojiano  na Gazeti la Amani, Sasha alisema kuwa anajiandaa kupiga picha nyingine ambazo kama ni nguo za ndani zitaonekana nadhifu na zenye kuvutia na pia zitapungua ‘ukali’.

"Nilipotea kwa sababu niliibiwa akaunti yangu ya Instagram, si unajua ilikuwa na picha nyingi sana ila sasa hivi najiandaa kupiga picha nyingine mpya zitakuwa zikinionyesha sehemu zangu za mwili lakini zitakuwa zenye kujistiri kidogo”.

Mbunge Ahoji Ujenzi wa Reli ya Kisasa Makotopora– Kigoma hadi Mpanda

$
0
0
Mbunge wa Geita Mjini (CCM), Constantine Kanyasu ameitaka Serikali kulieleza Bunge ni lini itajenga reli kipande cha Makotopora– Kigoma hadi Mpanda na baadaye kipande cha Isaka hadi Kigali.

Kanyasu ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Juni 1, 2018 wakati akiuliza swali la nyongeza huku akitaja pia ujenzi wa reli ya kisasa katika mikoa ya Geita na Kagera.

Akijibu swali hilo Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Atashasta Nditiye amesema kwa sasa Serikali imeshakamilisha taratibu za ujenzi wa reli ya kisasa kutoka Dar es Salaam- Morogoro hadi Makotopora (Dodoma).

“Kuhusu ujenzi wa kipande cha Geita – Kagera hadi Uganda, mchakato bado unaendelea na mara fedha zitakapopatikana mbunge atajulishwa,” amesema Nditiye.

Amesema Serikali inatambua kila nchi ina wajibu wa kutekeleza mradi wa kujenga reli hiyo katika sehemu yake, kwamba ni wajibu wa kila nchi kukamilisha mradi huo ili kuchochea maendeleo yanayotokana na ujenzi wa reli hiyo.

Kuhusu kipande cha reli ya Isaka kupitia Kabanga hadi Rusumo na Kigali nchini Rwanda, amesema Serikali inakamilisha maandalizi ya ujenzi wake na mkataba na usanifu na matayarisho ya zabuni umesainiwa na kazi itaanza Juni 2018.

Mbunge Bashe afiwa na mama yake

$
0
0
Mbunge wa Nzega, Hussein Bashe amefiwa na Mama yake Mzazi, Zainab Abdi aliyekuwa anapatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete jijini Dar es salaam.

Bashe amethibitisha hilo kupitia ukurasa wake wa Twitter kwa kutoa taarifa hiyo.

"Ndugu zangu nimeondokewa na mama yangu mpendwa.
Inna lillahi wa inna ilayhi raji’un"

Naye, Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amempa pole Mbunge huyo kwa kuandika “Inna lilah waina ilaih raajiun. Mola akupe subra ndugu yangu @HusseinBashe katika mtihani huu mkubwa wa kufiwa na mama yako mzazi.”

Zitto ameongeza kwa kuandika “Inna lilah waina ilaih raajiun. Mola akupe subra ndugu yangu Hussein Bashe katika mtihani huu mkubwa wa kufiwa na mama yako mzazi. Poleni sana Sheikh Mohammed, Ibrahim Mohamed Bashe, Abubakar, Kauthar na ndugu na jamaa huko Nzega. Tupo pamoja nanyi na Mola awape nguvu.”

Wananchi Waiomba Serikali Iwagawie Shamba La Sumaye

$
0
0
Wananchi  wa kijiji na Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wamehoji juu ya shamba lenye ekari 326 lililofutiwa hatimiliki na Rais, kurudi kwa mmiliki wa awali.

Walisema wanashangazwa kuona shamba hilo lililokuwa likimilikiwa na Esther Sumaye – mke wa Waziri Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye, likiendelezwa kwa kilimo, kuchimbwa visiki na kukodishwa kwa wananchi, huku viongozi wakiwa kimya bila kutoa taarifa yoyote ya mabadiliko ya umiliki wake.

Akizungumza jana, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Kijoja, Ally Saleh, alisema wameshtushwa na taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Mohamed Utali kuwa shamba hilo limerudi kwa mmiliki wake wa mwanzo, Esther kutokana na uamuzi uliotolewa na mahakama baada ya kukata rufaa na kushinda kwa mujibu wa sheria.

“Tunashangaa kusikia kwamba eti shamba ambalo liko katikati ya kijiji na lilirudishwa kwa wananchi na Rais, barua tulipewa, lakini kwa sasa tunaambiwa kijuujuu tu kuwa limerudi kwa Esther Sumaye bila uthibitisho wowote,” alisema Saleh.

Nao wananchi wa kijiji hicho, Said Ally, Said Kibeku na Maila Suteli, walisema wanalitegemea eneo la shamba hilo kwa maendeleo ya kijiji, ikiwamo ujenzi wa makazi, viwanda, shule na zahanati kutokana na kuchukua eneo kubwa.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Utali, alisema halmashauri ilikuwa katika harakati za kutaka kuligawa shamba hilo kwa wananchi kama maelekezo ya Serikali yalivyotaka, lakini ilishindikana baada ya kupokea barua ya kuwa shamba limerudi kwa Esther.

“Tulipokea barua iliyoambatana na hukumu kutoka kwa mwanasheria wa Esther Sumaye kuwa mahakama imempa ushindi Esther Sumaye katika kesi namba 25 ya mwaka 2016, hivyo hatuwezi kukurupuka na kuingilia eneo ambalo lina hukumu ya mahakama,” alisema Utali.

OFA: Jipatie Saa Kali Msimu huu wa Ramadhani...Zote Ni Original na Haziingii Maji

$
0
0
Msimu huu radhaman usikose ofa ya saa hizi kali. Agiza na lipa mzigo ukifika, zote haziingi maji  na ni original 


Ukiagiza utalipa mzigo ukifika ndani ya mikoa hii dar, arusha ,mwanza,moshi,tanga ,dodoma, mbeya na zanzbar ....bofya buy now kuagiza jaza details zako tutakupigia



Kubenea Amtaka Kabudi Kulieleza Bunge Mazungumzo Ya Makinikia

$
0
0
Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea (Chadema), amemtaka Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi alieleze bunge juu ya mazungumzo kuhusu mchanga wa makinikia yalikofikia.

Amesema pamoja na kwamba Waziri wa Madini, Angellah Kairuki hakugusia suala hilo, katika kitabu cha bajeti ya wizara hiyo kuna haja Profesa Kabudi kulieleza bunge juu ya mchanga huo kwa sababu wananchi wanata kujua kinachoendelea.

Kubenea ametoa hoja hiyo bungeni leo alipokuwa akichangia bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2018/19.

“Sisi tulitegemea Bunge letu tupewe taarifa ya kina kuhusu mazungumzo kati ya Serikali na Acacia. Tuelezwe Sh424 trilioni ambazo ni Dola bilioni 190 tungepata lakini Bajeti nzima imekuja haijazungumzia na ripoti ya waziri hakuna kokote,” amesema Kubenea

“Kwa kuwa mmoja wa wajumbe ni Profesa Kabudi atuambie makinikia imefikia wapi, mchanga uliozuiwa bandarini upo, utakuwapo hadi lini, mchanga unasafirisha? Kiwanda cha kuchenjua kitajengwa lini?” amehoji

Kubenea amesema fedha hizo Sh424 trilioni zinapaswa kila Mtanzania apate matibabu, kuishi maisha mazuri kwa fedha hizo zinapatijkana lini?

 “Suala hili ni muhimu kuelezwa makinikia yako wapi. Mazungumzo yamefikia wapi, fedha zinapatikana lini ili tuipate. Tutajua kila wilaya, kata kitapata kituo cha afya, bajeti ya miaka kumi.”

“Fedha hizi ni nyingi sana na kama tumeibiwa, Serikali ijiangalie vizuri na ili kufikia malengo tusipige danadana tuimalishe Stamico itakayosimamia madini yetu,”amesema.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images