Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Serikali Yakiri Ubovu Mashine Za EFD

$
0
0
Serikali imesema mashine za kielektroniki za (EFD) hazifanyi kazi kwa sasa nchi nzima ambapo imesambaza wataalamu nchi nzima kutatua ttaizo hilo.

Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji alipokuwa akijibu mwongozo wa spika ulioombwa na Mbunge wa Sumve, Richard Ndassa aliyetaka kujua serikali imejipangaje kwa kuwa uharibifu wa mashine hizo unalipotezea taifa mapato na kwamba linaweza kuwa ni tatizo lililotengenezwa na baadhi ya watu kwa ajili ya kuhujumu mapato ya serikali.

Akijibu swali hilo Dk. Kijaji amesema mashine hizo zilianza kutofanya kazi kuanzia Mei 11, mwaka huu na baadaye likatatuliwa.

“Wiki moja baada ya kutatuliwa tatizo likajirudia hadi leo, lakini serikali imepeleka wataalamu wa ICT katika Ofisi za Mamlaka ya Mapato (TRA) kwa ajili ya kutatua tatizo hilo ambalo naamini litatatuliwa ndani ya muda mfupi ujao,” amesema.

Saa 7 za Mkononi Ambazo Haziingii Maji ziko hapa

$
0
0
Ebwana eeh najua ni mara nyingi umekuwa ukijiuliza ni vipi saa ina uwezo wa kuzuia maji yasiingie ndani yake basi leo nakuletea saa 7 ambazo ni water resistant 

Saa hizi zimewekewa mpira maalumu ambao unazuia maji kuingia ndani kati ya 30meter(hizi kwa ajili ya maji ya kawaida kama mvua) hadi 50meter(hizi ogea nazo au kuogelea nazo..

Mtandao huu sasa hivi unakupa uwezo wa kuagiza hapa kupitia mtandao na utalipa baada ya saa(mzigo) kufika kizungu cash on delivery ...Kuagiza bofya view product baada ya hapo add to cart kisha check out kwa kutupa taarifa uko wapi ili tukuletee. 

UTALIPA MZIGO UKIFIKA mikoa ifuatayo dar ,arusha,moshi,dodoma,mwanza,mbeya,tanga,zanzbar, na morogoro tu

Waziri Mkuu: Nitazindua Kampeni Ya Kupima VVU .....Lengo Ni Kuhamasisha Wanaume Wapime Afya Zao, Wajue Hali Zao

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mwezi ujao, atazindua kampeni maalum ya upimaji wa virusi vya UKIMWI (VVU) ambayo imelenga kuwahamasisha wanaume wapime afya zao na kutambua hali zao.

“Serikali tumeandaa kampeni maalum ya kuhamasisha upimaji wa VVU na kuanza matumizi ya dawa za kufubaza VVU mara moja (Test and Treat), hasa kwa wanaume. Kampeni hii itazinduliwa rasmi na mimi mwenyewe jijini Dodoma tarehe 19 Juni 2018,” amesema.

Ametoa kauli hiyo leo (Jumatano, Mei 30, 2018) wakati akizindua maadhimisho ya miaka 15 tangu kuanzishwa kwa Mfuko wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kupambana na Kudhibiti Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (PEPFAR) kwenye ukumbi wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam.

“Takwimu zinaonyesha watu ambao wako tayari kupima kwa hiyari yao siku zote ni wanawake. Akinababa wakiambiwa hutoa sababu mara hiki, mara kile. Nitoe wito kwa wanaume wote, tubadilike! Ni vema tushiriki kampeni ya wanaume kujitambua na kupima ili tujue hali zetu,” amesema.

Amewataka wadau wote wanaohusika na masuala ya UKIMWI washiriki kikamilifu katika kampeni hiyo baada ya uzinduzi, na pia akawataka Wakuu wa Mikoa mikoa yote nchini wasimamie kampeni hizo muhimu katika mikoa yao hadi ngazi ya vijiji.

Waziri Mkuu amesema ujio wa PEPFAR umeleta mafanikio makubwa katika vita dhidi ya UKIMWI na kupitia shughuli zake, elimu ya kinga na ufahamu kuhusu UKIMWI ilitolewa kwa watu wa rika na makundi mbalimbali ya jamii.

Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema Tanzania bado inakabiliwa na changamoto kadhaa zikiwemo ukubwa wa viwango vya maambukizi na kuongezeka kwa idadi ya watu wanaoambukizwa VVU katika baadhi ya mikoa nchini.

Amesema kuna mikoa 14 ambayo kiwango cha maambukizi kiko juu ya wastani wa kitaifa wa asilimia 4.7 na akaitaja mikoa hiyo kuwa ni Njombe wenye asilimia 11.4, Iringa (asilimia 11.3), Mbeya (asilimia 9.3), Mwanza (asilimia 7.2), Kagera (asilimia 6.5) na Katavi (asilimia 5.9). Mikoa mingine ni Shinyanga (asilimia 5.9), Songwe (asilimia 5.8) Ruvuma (asilimia 5.6) Pwani (asilimia 5.5) Tabora (asilimia 5.1) pamoja na Tanga, Dodoma na Geita ambayo yote ina asilimia 5.0 ya maambukizi.

Waziri Mkuu ameitaja mikoa mingine sita ambayo ina ongezeko kubwa la watu wanaoishi na VVU kuwa ni Iringa (asilimia 11.3), Mwanza (asilimia 7.2), Kagera (asilimia 6.5), Tanga (asilimia 5.0), Dodoma (asilimia 5.0) na Manyara (asilimia 2.3).

Amesema takwimu hizo zinaonesha kuwa nguvu na jitihada zaidi zinahitajika katika kuzuia maambukizi mapya ya VVU kwa kuweka utaratibu thabiti na endelevu wa kutoa elimu na hamasa ya kutumia huduma zilizopo za kupambana na UKIMWI nchini. “Kwa hiyo, programu za kinga zinapaswa kuwa endelevu kwenye mikoa yote nchini, hususan mikoa yenye kiwango cha juu cha maambukizi. Pia huduma za ARVs ziendelee kupewa kipaumbele katika mipango yetu,” amesisitiza.

Mapema, akimkaribisha Waziri Mkuu kuzungumza na washiriki wa hafla hiyo, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Bi. Ummy Mwalimu alisema Tanzania kwa sasa ina watu karibu milioni moja ambao wako kwenye matibabu ya kufubaza VVU.

“Kutokana na mpango wa PEPFAR, Tanzania imekwishapokea sh. trilioni 10 tangu mfuko huu uanzishwe mwaka 2003 na matumizi ya dawa za kufubaza VVU yamesaidia kupunguza idadi ya vifo vitokanavyo na UKIMWI kwa asilimia 70, yaani kutoka vifo 110,000 mwaka 2003 hadi kufikia 33,000 mwaka 2016,” alisema.

Alisema kutokana na matumizi ya dawa hizo, maambukizi mapya kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto nayo pia yamepungua kutoka asilimia 12 na kufikia asilimia 4.9 hivi sasa.

Kwa upande wake, Kaimu Balozi wa Marekani, Bi Inmi Patterson alisema kati ya sasa na Septemba 2019, PEPFAR inatarajia kutumia zaidi ya sh. trilioni moja (dola za Marekani milioni 512) katika kuboresha huduma za kuzuia maambukizi ya VVU, upimaji na matibabu hapa nchini.

Alisema wanapoendelea na utekelezaji wa kazi za mfuko huo na maadhimisho ya miaka 15 ya PEPFAR, kampeni yao itaendelea kwa mwaka wote wa 2018 na imelenga kupunguza unyanyapaa na tabia ya kuwatenga watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI.

“Kampeni ya PEPFAR15 inalenga kupunguza unyanyapaa, kuongeza upatikanaji na matumizi ya huduma zitolewazo za kukabiliana na VVU. Kila mtu atakayepimwa na kugundulika kuwa ana maambukizi ya VVU, ataanzishiwa matibabu mara moja. Tutafanya kazi na watu wanaoishi na VVU nchini kote ili kusimulia habari nzuri (positive stories) za watu wanaoishi na VVU ambao waliwahi kuwa dhaifu ama wagonjwa lakini sasa wana nguvu na afya; habari za akinamama wanaoishi na VVU na wanapata matibabu ili kuwalinda watoto wao,” alisema.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Waziri Mkuu Aipongeza Benki Ya Nmb Kuchangia Huduma Za Kijamii

$
0
0

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameipongeza Benki ya NMB kwa kuchangia huduma mbalimbali za kijamii zikiwemo elimu, afya na michezo.

Ametoa pongezi hizo leo (Jumatano, Mei 30, 2018) wakati akizungumza Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mtendaji Mkuu wa benki hiyo, Bi. Ineke Bussemaker ofisini kwake Magogoni jijini Dra es Salaam.

Amesema katika jitihada za Serikali za kufufua ushirika na hasa kwenye mazao makuu matano, wakulima wamehamasishwa wafungue akaunti ili malipo ya fedha zao yafanywe moja kwa moja kweye akaunti zao.

“Tumehamasisha wakulima wote wafungue akaunti ili malipo ya mazao yao yafanywe mojamoja katika akaunti zao jambo ambalo litaepusha wizi au kunyang’anywa fedha wawapo mitaani, na kupitia mawakala walioko vijijini, wataweza kupokea fedha hizo,” amesema.

Amesema uwepo wa mawakala wa benki hadi vijijini, umesaidia kuwafanya Watanzania wasiweke fedha ndani ya nyumba zao.

Akizungumzia mchango wa Benki hiyo kwenye huduma za jamii, Waziri Mkuu amesema benki hiyo imekuwa mstari wa mbele kuchangia vitabu, madawati na michezo ambapo imetoa mchango wa sh.milioni kwa timu ya soka ya Namungo iliyoko wilayani Ruangwa.

“Tumeona Benki ya NMB ikifadhili timu mbalimbali za ligi kuu kama vile AZAM, na sasa wameanza kuchangia timu za daraja la kwanza kwa kuichangia timu ya Namungo shilingi milioni 10. Pia walichangia sh.milioni kwenye ujenzi wa uwanja wa kisasa kule Ruangwa, tunawashukuru sana,” amesema.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa NMB, Bi. Bussemaker alisema wamefurahi kupata fursa ya kuichangia timu ya Namungo na kwamba wataifuatilia kwa karibu kuona ushiriki wake ukoje kwenye ligi hiyo. “Pia tunaitakia kila la kheri kwenye ushiriki wao wa ligi daraja la kwanza,” alisema.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Mbunge wa Morogoro Alia na JWTZ Migogoro ya Ardhi na Wananchi, Wazri Mwinyi Amtuliza

$
0
0
Mbunge wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulaziz Mohamed Abood ameiomba Serikali kutumia ramani ya mwaka 1970 kuwapatia haki yao ya ardhi wananchi wa Kata ya Kauzeni na Luhogo mkoani Morogoro ambao maeneo yao yameingiliwa na mipaka ya kambi ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ).

Abood ametoa kauli hiyo bungeni mjini Dodoma leo Jumatano Mei 30, 2018 wakati akiuliza swali la nyongeza kufuatia  majibu ya Serikali kuwa wananchi wa eneo hilo hawana mgogoro na JWTZ baada ya upimaji wa mwaka 2002.

“Wananchi wa maeneo hayo walianza kuishi hapo mwaka 1969 na ilipofika mwaka 1970 Serikali iliwapimia eneo hilo lakini cha kushangaza kila wakati wanaambiwa wamevamia ni kwa nini mipaka ya mwaka 1970 isitumike ili wabaki na maeneo yao,” amehoji Abood.

Katika swali lake la msingi, mbunge huyo amesema ni lini Serikali itawarudishia wananchi maeneo yao ya kilimo, kuhoji kwanini isichukue hatua kwa kuruhusu wananchi wamiliki maeneo hayo kwa kuwa  JWTZ imewakuta.

Katika majibu yake, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk Hussein Mwinyi amesema ufumbuzi  wa mgogoro wa mipaka ulishafanyika kwa kushirikiana na halmashauri ya Manispaa ya Morogoro hivyo jeshi  halina mgogoro na wananchi wa maeneo hayo.

Amesema manung’uniko yaliyopo yanatokana na uamuzi wa JWTZ kusitisha utaratibu wa kuwaruhusu kwa muda baadhi ya wananchi kulima mashamba ndani ya mipaka yake kwa sababu za kiulinzi na usalama.

“Haitakuwa vyema kwa JWTZ kuondoka katika maeneo yaliyochaguliwa kistratejia za ulinzi, kuondoka katika maeneo haya kutaligharimu Taifa hivyo wananchi waelimishwe juu ya jambo hili,” amesema Mwinyi.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya May 31

Dkt. Kijaji Aitaka Benki Ya Abc Kupeleka Huduma Vijijini Kuchochea Sekta Ya Kilimo Na Viwanda

$
0
0
Na Benny Mwaipaja, WFM, Dodoma
SERIKALI imelipa madeni ya wakandarasi na watoa huduma mbalimbali yanayofikia zaidi ya shilingi trilioni 1.2 katika mwaka huu wa fedha hatua iliyochangia kuongeza ukwasi wa fedha katika jamii ikiwa ni hatua ya Serikali ya kuhakikisha kuwa uchumi wa nchi unakua kwa haraka.

Hayo yamesemwa Jijini Dodoma, na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji, wakati akifungua rasmi tawi la benki ya ABC, lililoanzisha huduma zake za kibenki mkoani humo tangu Januari mwaka huu.

Alisema kuwa hatua hiyo imechukuliwa ili kuwaongezea uwezo wajasiriamali na wafanyabiashara waliotoa huduma Serikalini ili waongeze mzunguko wa fedha katika uchumi.

Ametoa rai kwa wakazi wa mkoa wa Dodoma kuchangamkia fursa za mikopo inayotolewa na Benki hiyo ambayo riba yake haizidi asilimia 17 ili waweze   kuendeleza shughuli  za uzalishaji mali na huduma za jamii kwa kuwekeza katika miradi inayochochea kasi ya ukuaji wa uchumi.

"Ni matarajio yangu kuwa sehemu kubwa ya mikopo itakayotolewa na Benki yetu ya ABC, itaelekezwa kwenye sekta ya kilimo na ujenzi wa viwanda vidogo vidogo, vya kati, mifugo, uvuvi na kuongeza thamani ya mazao ya kilimo na misitu" alisema Dkt. Kijaji

Dkt. Kijaji alisisitiza umuhimu wa uwepo wa sekta imara ya fedha itakayochochea ujenzi wa viwanda vitakavyo saidia kuongeza thamani ya bidhaa za kilimo pamoja na kukuza ajira kwa vijana.

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo ya ABC Bw. Imani John, alieleza kuwa Benki yake yenye mtaji wa zaidi ya shilingi bilioni 67 imeendelea na jitihada zake za kupanua huduma zake ili kukidhi mahitaji ya kibenki ya wananchi.

Alisema kuwa benki yake imeanzisha huduma zake katika Jiji la Dodoma kufuatia utafiti uliofanyika hivi karibuni unaoonesha kuwa asilimia 13 pekee ya wakazi wa mkoa huo wanafikiwa na huduma za kipenki, pamoja na uamuzi wa benki hiyo wa kuunga mkono hatua ya Serikali ya kuufanya mkoa wa Dodoma kuwa Makao Makuu ya nchi.

Kwa upande wake Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge, Kazi, Vijana na Walemavu, Mhe. Anthony Mavunde, ameishukuru Benki ya ABC kwa kupeleka huduma za kibenki karibu na wananchi wa Jiji la Dodoma na kuwataka wananchi wa mkoa huo kuchangamkia fursa za mikopo ili waweze kujikwamua kiuchumi na kujiletea maendeleo.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge, pamoja na kuipongeza Benki ya ABC kwa hatua yake ya kusogeza huduma za kibenki kwa wakazi wa Jiji la Dodoma, amezitaka taasisi nyingine kuwekeza katika sekta hiyo pamoja na huduma nyingine kama vile ujenzi wa Hoteli za kisasa kwa kuwa mkoa huo una fursa nyingi ikiwemo ardhi yenye rutuba.

Benki ya ABC inafanya huduma zake hapa nchini kwa zaidi ya miaka 20 na inamilikiwa na wanahisa  akiwemo TDFC ambaye ni mbia wa ABC Holding Ltd, anayemiliki asilimia 14.7, kati ya asilimia hizo 14.7, asilimia 68 zinamilikiwa na ABC Holding ltd, na asilimia 32 zinamilikiwa na Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina.

Dkt. Ashatu Kijaji Azipongeza Benki Kushusha Riba Za Mikopo

$
0
0
Na Benny Mwaipaja, WFM, Dodoma
Uamuzi wa Serikali wa kupunguza kiwango cha chini cha amana kinachotakiwa kuwekwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na benki za biashara  nchini, umechochea taasisi za fedha yakiwemo mabenki kuanza kupunguza viwango vya riba ya mikopo hatua itakayochochea ukuaji wa uchumi.

Hayo yalisemwa Jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji wakati wa kufunga warsha ya wadau wa Sekta ya Fedha uliowashirikisha wabunge, washirika wa Maendeleo, wakuu wa Taasisi za fedha na Wizara ya Fedha na Mipango.

Dkt. Kijaji, alisema kuwa Serikali kupitia Benki Kuu imeshusha riba ya mikopo kwa taasisi za fedha kutoka asilimia 16.0 hadi  asilimia 9.0 na  kupunguza kiwango cha chini cha amana kinachotakiwa kuwekwa katika Benki hiyo na benki za biashara kutoka asilimia 10.0 hadi asilimia 8.0  kuanzia mwezi Aprili 2017, jambo ambalo limeleta matokeo chanya katika kuimarisha uwezo wa taasisi kukopesha wateja wao.

Miongoni mwa Benki zilizoshusha viwango vyao vya riba za mikopo ni CRDB ambayo imetangaza kushusha riba kutoka asilimia 22 hadi 16 na kuongeza kiasi cha kukopa kwa wafanyakazi kutoka Sh. milioni 50 hadi Sh. milioni 100 huku muda wa kurejesha ukiongezwa kutoka miaka mitano hadi saba.

Benki  nyingine ni NMB ambayo imeongeza muda wa marejesho ya mikopo kwa wafanyakazi, wajasiriamali wadogo na wakubwa kutoka miezi 60 hadi 72, na  imepunguza riba ya mikopo kwa wafanyakazi kutoka asilimia 21 hadi 19 na wajasiriamali wadogo kutoka asilimia 23 hadi 21.

Dkt. Kijaji amezipongeza benki zilizoshusha viwango vya riba  na ameitaja hatua hiyo kuwa ni muhimu katika kuifikisha Tanzania kuwa nchi ya viwanda hata kabla ya mwaka 2025 na kutoa wito kwa taasisi hizo za fedha kuitupia jicho sekta ya kilimo kutokana na umuhimu wake katika kutimiza malengo ya kukuza viwanda.

Aidha, Dkt. Kijaji alisema kuwa Serikali imekamilisha andiko “Blue Print” ambalo lengo lake ni  kuboresha mazingira ya kufanya biashara nchini ili kuleta tija kwa wafanyabiashara na Sekta ya Fedha kwa ujumla

Alisema Serikali imeendelea kulipa malimbikizo ya madai mbalimbali yaliyohakikiwa ya watumishi, wakandarasi na watoa huduma wengine  yaliyohakikiwa ili kuongeza ukwasi katika jamii na kwa kwamba uhakiki uliofanyika umeokoa kiasi kikubwa cha fedha za Serikali ambazo zingelipwa wakati madai hayakuwa sahihi.

Naibu Waziri huyo aliipongeza Mifuko ya Hifadhi ya Jamii kwa kushiriki kwa vitengo katika utekelezaji wa Mpango huo kwa kutekeleza miradi ya kimkakati ya kilimo cha miwa na uzalishaji wa sukari katika eneo la Mkulazi na Mbigiri - Morogoro na  mradi wa ujenzi wa machinjio ya kisasa ya nyama eneo la Makunganya  mkoani  humo.

Naye Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Khatibu Kazungu, alieleza kuwa warsha hiyo iikuwa na manufaa makubwa na kwamba Wizara inaandaa mkakati wa utekelezaji wa Sekta ya Fedha wa Miaka kumi ambao utakujumuisha pia mawazo ya wadau hao.

Kwa upande wake Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mzumbe Prof. Honest Ngowi,  amepongeza hatua ya Serikali ya kuwa na majadiliano na Sekta ya fedha kwa kuwa ina mchango mkubwa katika kutekeleza Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano.

Akitoa tathimini yake kuhusu utekelezaji wa Mpango huo, Prof. Ngowi, alisema kuwa sehemu ya miradi kumi ya kipaumbele, ikiwemo ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR), ufufuaji wa Shirika la Ndege na Ujenzi wa Kiwanda cha Sukari Mkulazi mkoani Morogoro, ni baadhi ya miradi muhimu inayotekelezwa.

Kwa Upande wao,  Mbunge wa Muheza Mhe. Adadi Rajab na Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Maria Kangoye, wamezishauri Sekta za Fedha nchini kuiwezesha zaidi sekta ya kilimo ili ikue haraka na kuishauri pia Wizara ya Fedha na Mipango, kufanya mikutano ya namna hiyo na wadau kabla ya Bunge la Bajeti kuanza ii manufaa yake yaweze kuwa makubwa zaidi.

Mwisho

Zitto atangaza ushirikiano na Chadema Jimbo la Buyungu

$
0
0
Jana Jumatano Mei 30, 2018, Zitto kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii ameeleza kuwa yeye na mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe wamekubaliana kuwa watashawishi kuwepo na ushirikiano wa vyama vya upinzani katika uchaguzi huo.
 
Uchaguzi wa Buyungu utafanyika baadaye mwaka huu baada ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Kasuku Bilago kufariki dunia Mei 26, 2018.
 
“Kwa heshima ya mwalimu Bilago mimi na Mbowe tumekubaliana kuwa tutashawishi kuwepo na democratic front (ushirikiano wa kidemokrasia) katika Jimbo la Buyungu,”amesema Zitto.
 
“Ama ACT itaunga mkono mgombea wa Chadema au Chadema itaunga mkono mgombea wa ACT Wazalendo. Tunataka kuweka mgombea mmoja anayekubalika na wananchi wa Buyungu na kufanya kampeni kwa pamoja mpaka ushindi.”
 
Amesema huo ni mwanzo wa harakati za kuwa na ushirikiano imara wa kidemokrasia dhidi ya ukandamizaji wa demokrasia nchini na hali mbaya ya maisha ya wananchi.
 
“Umoja wa zaidi ya vyama vya siasa ukihusisha vyama vya wafanyakazi, vyama vya wakulima, vyama vya wafanyabiashara na wananchi wengine,” amesisitiza mbunge huyo.

Chemical: Nilitongozwa Sana Baada ya Kutamka Hadharani Kwamba Mimi ni Bikra

$
0
0
Msanii wa muziki nchini, Claudia Lubao, maarufu kama Chemical amesema kwamba kitendo cha msichana kuwa bikra sio kitu kibaya cha kuonea aibu bali ni jambo zuri na inategemea mtu amekulia katika mazingira gani.

Chemical amesema hayo jana  Mei 30, 2018 wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha Kikaangoni cha   EATV, ampapo aliongeza  kuwa kitendo cha msichana kuwa bikra au kutokuwa bikra ni uamuzi binafsi.

“Kuna wasichana mpaka leo hii wanaenda kuolewa bado wapo bikra na ni wazuri, kwahiyo kuwa na ubikra sio ushamba, kutokuwa na bikra sio ushamba inategemea umekulia wapi, kwahiyo kila mtu yupo vile alivyo kutokana na alikopitia” amesema Chemical

Chemical ameongeza kuwa alifuatwa na wanaume wengi wakitaka kuanzisha uhusiano wa kimapenzi tangu aliposema hadharani kwanba yeye ni bikra.

"Mimi nilitongozwa sana niliposema kwamba ni bikra, nilifuatwa sana na watu wazima, kusema ukweli nilitongozwa sana nikaona kumbe kuwa na bikra ni dili”.

Msanii huyo amedai kwamba aliamua kuwa bikra kwa wakati ule kwasababu haukuwa muda sahihi kwake kuingia katika mahusiano ya kimapenzi.

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo dawa na PETE za bahati zenye uwezo mkubwa wakuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.
 
Kutana na Sharif Al_noor. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. -SHARIF ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA- Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na inje ya nchi.
 
Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.
 
Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudisha  alipotea(MSUKULE), kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, kutoa ndagu, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMA, GARI..), Kesi mahakamani, Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET) Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa nambari ya simu
 
+255 746 426 604

Kama Dalili Hizi Unazo Upo Kwenye Hatari Ya Kuishiwa Nguvu Za Kiume Kabisa

$
0
0
Una dalili zifuatazo?
1: Kushindwa kurudia tendo la ndoa
2: Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa
3: Maumivu ya kiuno mgongo
4: Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
5: Uume kusinyaa, kuingia ndani na kuwa mdogo au mfupi
6: Korodani moja kuvimba

KAMA DALILI HIZI UNAZO UPO KWENYE HATARI YA KUISHIWA NGUVU ZA KIUME KABISA

Kwa matibabu tumia OZYMIX POWER-dawa bora ya nguvu za kiume ya miti shamba ambayo haina kemikali ambayo itakuwezesha kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha.
Pia tunatoa huduma hizi:>

1.Dawa ya Kuondoa michirizi
2.Kumrudisha mwanaume aliyekuacha 
 
Tunapatikana KAWE UKWAMANI karibu na kituo cha mabasi.
KWA MAWASILIANO ZAIDI ; 0716096205 /0756726865 FIKA OFISIN AU PIGA SIMU NA UTALETEWA DAWA POPOTE ULIPO DAR ES SAALAM NA KWA MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA MABASI.

TEMBELEA KATIKA BLOG YETU HAPA>>>;

Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Yanayosumbua Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume, Kisukari,

$
0
0
BABU MADUHU NI BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU YANAYOSUMBUA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI, MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:

KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni NYASOSE MIX, Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1. MKEBE NO.1 Hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo la kwanza bila kuchoka naitakufanya uwe na hamu ya kuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

MHESHA POWER
MKEBE NO 2 ni dawa ya kuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,

KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ITINYA,
Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake, humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa pia ana pete za bahati ambazo zimetajilisha wengi.

SUPER POWER,
Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL/KANISANI

SIMU NO 0652 102 152/0755 684 297/0788 330 105.

HUDUMA HII UNAWEZA KUIPATA/KULETEWA MAHALI POPOTE NCHINI

Amber Lulu Aanika Orodha Ya Mastaa Aliowahi Kubanjuka Nao

$
0
0
Video vixen maarufu nchini Amber Lulu ambaye hivi karibuni amepenya Kwenye tasnia ya Bongo fleva na anafanya vizuri na ngoma yake ya ‘Jini kisirani’ ameweka hadharani majina ya wanaume wote aliowahi kubanjuka nao.

Kwenye mahojiano na Clouds Tv, Amber Lulu aliulizwa listi ya wanaume mastaa ambao amesha wahi kubanjuka nao na akawataja hawa: "Barnaba, Aslay, Rammy Galis na Young Dee lakini Young Dee sio sana, hao wanatosha, hao wengine hapana”.

"Aslay nilishatoka naye ila alikuwa ni mtu fulani muelewa, yuko poa, ana heshimu mwanamke. Yuko noma, yuko vizuri, Aslay kiboko kabisa”.Amber Lulu ameiambia Clouds TV.

Amber Lulu alipoulizwa kuhusu Prezzo aliweka wazi  kuwa ni mume wake na anampenda lakini pia Amber Lulu  aliweka wazi kuwa kutokana na video iliyovuja kati yake na Nuh Mziwanda imesababisha yeye Kutoswa na Prezzo.

Pius Msekwa: Kazi ya Upinzani ni Kuikosoa Serikali na Kuja na Mawazo Mbadala

$
0
0
Spika wa bunge wa zamani Pius Msekwa amesema kuwa kazi ya upinzani ni kukosoa na kuisaidia serikali katika kufikia maendeleo kama Katiba inavyoelekeza.

Msekwa ametoa kauli hiyo kupitia kipindi cha East Africa BreakFast kinachoruhwa na East Africa Radio kuwa utaratibu wa uendeshaji wa bunge la vyama vingi umeainishwa kwenye kanuni za Bunge.

“Wakati tunahama kutoka bunge la chama kimoja na kwenda bunge la vyama vingi tuliandaa kanuni mpya kwa lengo la kuhakikisha upinzani utakapokuwa bungeni utekeleze jukumu lake kikatiba ambalo ni kuikosoa serikali” amesema Msekwa

Msekwa ameongeza kuwa jukumu la upinzani haliishii kukosoa tu bali kuleta mawazo mbadala pia ili kuisaidia serikali kuu katika kutimiza wajibu wake.

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE; 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO 0754372325/  0658920640
 
HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Zungu Aitaka NHC Iache Kupandisha Kodi Kiholela

$
0
0
Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amelitaka Shirika la nyumba la Taifa (NHC) kuacha tabia ya kuongeza kodi mara kwa mara kwa wananchi ambao ni wapangaji katika nyumba hizo.

Zungu amesema hayo jana Mei 30, 2018 Bungeni Jijini Dodoma, baaada ya kupitishwa kwa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi kwa mwaka wa fedha 2018/2019 na kuongeza kuwa wapangaji katika nyumba hizo wengi ni maskini hawana uwezo wa kulipa kodi zinazopanda kila kukicha.

“Mkurugenzi wa shirika la nyumba, maagizo ya Waziri Mkuu umeyasikia, kaa na kamati ya wapangaji, mimi shida kwangu ni nyumba ndiyo ajenda zangu za Ubunge na Waziri Mkuu amesema muachane na haya mambo ya kupandisha kodi kiholela, hawa ni watanzania hawana uwezo huo” alisema Zungu

Kwa upande mwingine mwenyekiti huyo aliipongeza Wizara hiyo kwa kuleta mabadiriko ya kiutendaji na kusaidia kupunguza migogoro ya ardhi nchini.

Jana Mei 30 2018, Bunge lilikubali kupitisha makadirio ya Bajeti ya Wizara ya ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi kwa mwaka wa fedha 2018/2019 na jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 73.07 imeidhinishwa

Chemical: Sipendi Kutumia kinga (kondomu)

$
0
0
Mwanamuziki anayefanya poa na ngoma zake , Chemical ameweka wazi kuwa yeye siyo muumini wa kutumia kinga (kondomu) ndiyo maana mara nyingi anapenda kuwa kwenye mahusiano na mtu ambaye ni muaminifu.

Kupitia kipindi cha Kikaangoni  kinachorushwa na EATV, Chemical amesema hayo wakati alipoulizwa na mtangazaji wa kipindi hicho mara yake ya mwisho kutumia kinga.

"Mara ya mwisho kutumia kinga wakati nafanya mapenzi ni muda kidogo, ila kiukweli mimi sio shabiki wa kinga kabisa. Mambo ya kinga kinga mimi hapana ndiyo maana napenda sana kuwa na mtu aliyetulia."-  Chemical

Pamoja na hayo Msanii  huyo ameweka wazi kwa sasa hayupo kwenye mahusiano na mtu yoyote kwa kuwa ameamua kuchagua kutengeneza maisha yake na kuhofia kuumizwa moyo wake

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

$
0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za Kupandisha nyota , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Mambo 6 Yakuzingatia Wakati wa Kuchagua na Kusajili Jina la Website yako au ya Kampuni yako

$
0
0
Je umeshawahi kufikiria ni jinsi gani watu wananyohangaika kufika mtaani kwenu kama huo mtaa jina lake halieleweki?

Majina ya Website ama kwa kingereza wanaita "Domain Names", kama ilivyo anuani za mitaa au nyumba zina maana kubwa sana kwenye ulimwengu wa Website. 

Uchaguzi wake ni moja ya vitu muhimu sana katika maisha ya website, jina lisiloeleweka, siyo tu litaweza kumpa faida mpinzani wako, bali kuwachanganya wateja na hivyo kupunguza kasi ya ukuaji wako kwenye mtandao.

Kabla hatujaendelea, lazima tujue ni kwa nini kuna majina ya website?

 Inteneti ni netiwoki ya kompyuta ambazo zimeunganishwa na zina uwezo wa kuwasiliana kwa kutumia kanuni za inteneti ( Intenet Protocol ) .

Ili mashine hizi ziwasiliane zinatakiwa zijuane, sawa na sisi tunavyojuana huko mitaani. Kwa machine hizi zinatumia namba zinazoitwa IP (mfano: 123.12.121.11) kama utambulishi wa mashine kwenye intaneti. Kwakuwa ni ngumu sana kukumbuka lundo la hizi namba, hapo ndipo majina ya website yalipoibuka.

Majina haya ni herufi zinazosomeka zikiwa ni njia mbadala wa kuwasilisha IP. 

Kwa mfano, mtu unapoandika mpekuzihuru.com, website inawasiliana na mahali hii domain ilipofunguliwa ili kuulizia IP yake, hivyo kwa mashine, zao zinatumia IP ila sisi binadamu tunatumia majina wya website. Kwa maneno mengi, majina haya ni kwa ajili ya kurahisisha matumizi kwa binadamu na siyo kwa ajili ya mashine.

Baada ya kuona historia fupi ya majina haya, hebu tuangalie ni vitu gani unatakiwa kuzingatia wakati unachagua majina ya website.
 
1.Liwe na Mvuto.
Mvuto wa jina ni kitu cha kwanza kabisa, jaribu jina litakalokueleza moja kwa moja. Kwa mfano, wewe unafanya biashara ya nguo, ukiwa na webiste yenye jina la nguobomba.com au nguonzuri.com ni dhahiri kuwa mtu akifika tu anajua hii ni website ya nguo tena zilizo bomba.

Hakuna kujiuliza mara mbili utakuwa umeua ndege wawili kwa pamoja, umetangaza biashara ya nguo na umejipa taswira ya nguo bomba na hicho nicho kitu cha muhimu kwenye biashara za mtandaoni. Ingawa majina mengi mazuri tayari yameshachukuliwa, lakini unaweza kufanya utafiti zaidi.
 
2. Lisilochanganya herufi, uwingi na pia linatamkika kiurahisi.
Epuka kutumia uwingi, kwa mfano kwakuwa ciscotechnology.com limeshachukulia, ukaja na jina kama ciscotechnologies.com ni dhahiri kwa wengi wataishia kwenye umoja na hii ndiyo hulka ya binadamu. Kama jina unalolitaka limeshachukuliwa, usijaribu kulazimisha kwa kuongeza maneno au uwingi. Umiza kichwa njoo na jina la kipekee na lenye mvuto.
 
3. Liwe fupi na lisilo na mkanganyiko wa maneno.
Je ushawahi kuona majina kama businessssimplewaytanzania.com, na walengwa wake ni Watanzania? Jina kama hili siyo tu ni refu mno, bali pia lina mkanganyiko wa maneno mengi mno. Jina kama hili halikumbukiki kiurahisi, na pia ni ngumu kukaririka. 
 
4.Liilinde brandi yako
Hii imeshawahi kutokea mara nyingi sana, jina la website liwe linaloweza kusimama na kuelezea brandi yako. Siyo lazima jina la website liwe sawa na jina la kampuni, kwa mfano, Huawei Technologies kama wangetumia huaweitechnologies.com basi ingekuwa ni ngumu sana ao kukumbukika

Angalia pia watu kama Google, Yahoo! na Facebook. Wamefanikiwa na majina ya website zao zinawakilisha brand yao moja kwa moja.
 
5. Tumia viendelezo husika
Ingawa .com, .co.tz na .net ni moja ya majina ambayo yanatumika sanasana, ila kuna viendelezo vingine vingi ambavyo unaweza kutumia. 

Kitu cha msingi ni kuwa, hakikisha unajua website yako inaangukia kwenye kundi gani, website ya shule inapendeza wakatumia .ac.tz badala ya .co.tz. Kwakuwa .com ni kiendelezo kinachotumika kwa wingi, hivyo hakikisha website yako inamiliki .com. 

6.Hakikisha unanunua toka kwa kampuni inayoeleweka
Hakikisha kampuni unayonunua jina inaeleweka na ina picha nzuri kwa jamii inayoihudumia. Kwa kufanya makosa kwenye jina kunaweza kukugharimu kiasi kikubwa na hata kusababisha website isiwe hewani kwa miezi. Siyo kila muuza jina ni wa kumuamini. Akiwa ndiye mtu anayehifadhi jina lako, hakikisha unawafahamu vyema na unajua utendaji wao.

Kama una ndoto ya kumiliki website, nakushauri utumie Hostigator....Ni kampuni inayojielewa na bei zao ni nzuri

<<INGIA HAPA>>  Uanze kumiliki website yako Leo
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images