HII NDO RASIMU YA KATIBA MPYA KWA AJILI YETU WATANZANIA.....MAMBO YOTE YAKO HUMU.....
↧
↧
MSHIRIKI WA TANZANIA ( FEZA KESSY) KATIKA BIG BROTHER YUKO HATARINI KUTOLEWA...KURA ZAKO ZINAHITAJIKA
Kama hisia za wengi zilivyokuwa kuhusiana na Betty kulipiza kisasi, mambo yameenda hivyo.. Betty ambaye ni Head of House wa Diamond house amemuokoa Bolt na kumuweka kikaangoni Feza..
Katika Ruby house, Selly ambaye ni Head of house huko, naye ametumia
ukuu wake wa kaya kumuokoa Biguesas na kumtia kitanzini Koketso.. Wiki hii Feza, Dillish, Hakeem, LK4 na Koketso wako kikaangoni..
↧
SIMULIZI: MZEE WA MIAKA 80 ATENDEWA UNYAMA WA KUTISHA...... FAMILIA YAKE YATUPWA NJE NA KUBEBEWA VITU VYOTE
MAISHA ya familia ya mzee Athumani Mwenda, 80, ni ya mateso makali baada ya nyumba yao kubomolewa ikiwa na vitu ndani.
Mzee huyo na familia yake sasa wamekuwa wakiishi nje huku wakikabiliwa na njaa pamoja na maradhi mbalimbali.
Tukio la kuvunjiwa nyumba lilitokea Mei 24, mwaka huu katika Kitongoji
cha Mvuti, Ilala, Dar na inadaiwa kuwa ubomoaji huo ulifanyika chini ya
mtu
↧
MWILI WA ALBERT MANGWEA UKISUBIRIWA KUPOKELEWA HIVI SASA
↧
ALBERT NGWEA APOKELEWA KWA HUZUNI KUBWA, MWILI WAKE UMEPELEKWA HOSPITALI YA MUHIMBILI
↧
↧
"SITANYAMAZA KUSHAMBULIWA KWANGU.NI LAZIMA JAMII IJUE"...HII NI KAULI YA KIBANDA BAADA YA KURUDU TANZANIA
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda (wa tatu kulia) akiwasili jana.
MWENYEKITI
wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda amerejea chini
jana kutoka Afrika Kusini alikokuwa akitibiwa na kusisitiza kwamba
hatanyamaza kuzungumzia janga la kushambuliwa kwake.
Akizungumza
na waandishi wa habari mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege
↧
MWANADADA WA KITANZANIA ANAYETARAJIWA KUNYONGWA IJUMAA HII NCHINI MISRI BAADA YA KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA
Kuna hizi habari ambazo zimeanza kusambaa kwa kasi siku ya jana katika mitandao ya kijamii.....
Taarifa hizo zinamuonesha msichana ( pichani) wa kitanzania ambaye anadaiwa kunyongwa ijumaa ya wiki hii baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya....
Mtandao huu bado haujathibitisha ukweli ama undani wa habari hizo....
LAKINI kwa tahadhari, tunaomba kama
↧
MUONEKANO WA JUKWAA NA SEHEMU YA KUUAGA MWILI WA ALBERT NGWEA NDANI YA VIWANJA VYA LEADERS CLUB
Sehemu hii ndipo mwili wa marehemu Albert Mangweha utawekwa hapa tayari ya kuanza zoezi zima la kumuaga.
Kwa
wale mashabiki wa EAST Cost nadhani watakuwa wanamfahamu msanii huyu
anajulikana kwa jina la PUFF G nae amekuja japo apate picha ya ukumbusho
kidogo maana baadae patakuwa na msongamano wa watu wengi sana.
DjChoka
<!-- adsense -->
↧
MWILI WA ALBERT MANGWEA UMESHAWASILI VIWANJA VYA LEADERS CLUB KWA AJILI YA KUAGWA
↧
↧
MAMBO 10 KUHUSU DIAMOND LIKIWEMO LA KUMILIKI ZAIDI YA BILIONI MOJA KATIKA ACCOUNT YAKE
1. Ana utajiri unaozidi shilingi bilioni 1.
2. Yupo kwenye mazungumzo na promoter wa Rwanda kufanya show moja ya
uwanjani ambayo anaweza kulipwa dola 120,000 ambazo ni zaidi ya shilingi
milioni 190.
3. Malipo ambayo hupokea kwa show zake nyingi za nje ya nchi hayashuki chini ya dola 25,000.
4. Tangia mwaka 2011 mwishoni akaunti yake haijawahi kushuka chini ya shilingi milioni 100
↧
VIDEO YA MATEKA AKING'OLEWA MENO KIKATILI...NI UNYAMA ULIOPITILIZA
Pengine umewahi kusisimka mwili kwa kusoma habari ama kuhadithiwa taarifa za watu kufanyiwa ukatili wa kupigwa, kutobolewa macho, kung'olewa kucha, kupigwa viwiko vya viungo vya mwili na pengine maumivu makali kuliko yote, ni yale ya jino, halafu ling'olewe bila ya kutumia dawa ya aina yoyote ile ya ganzi.
Jaribu kuvuta taswira ya watanzania waliowahi tekwa na kunyofolewa macho
↧
UPDATES TOKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB KATIKA SALAMU ZA MWISHO KWA ALBERT NGWEA
Gari
lililobeba Mwili wa Marehemu Albert Mangwea likiwa limeshawasili katika
viwanja vya leaders tayari kwa wakazi wa jiji la Dar kutoa Heshima zao
Za Mwisho Kabla ya Mwili Kusafirisha Mkoani Morogoro kwaajili ya Mazishi
Baadhi
ya Ndugu, Jamaa na Marafiki pamoja na wana kamati wakijiandaa
kuteremsha jeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Albert Mangwea katika
viwanja vya Leaders muda
↧
KIJANA ANUSURIKA KUUAWA BAADA YA KUNASWA AKIMBAKA BINTI WA MIAKA 10 MKOANI IRINGA
Mkazi mmoja wa Mwangata katika Manispaa ya Iringa amenusurika kuuwawa na wananchi baada ya kukutwa akimbaka binti wa miaka kumi.
Tukio
hilo linaelezwa kutokea jana saa nane mchana, pale ambapo mazazi wa binti
huyo alipomsikia mwanaye akilia kwa uchungu, na aliposogea kujua
kulikoni, alimshuudia kijana huyo akiendelea na ubakaji jambo
lililosababisha apige kelele kuomba msaada wa
↧
↧
PICHA TOKA MOROGORO AMBAKO ALBERT MANGWEA ATAZIKWA BAADA YA KUAGWA VIWANJA VYA LEADERS CLUB
↧
MAELFU YA WATU WAJITOKEZA KUMUAGA ALBERT NGWEA.....SALAMU ZA MWISHO ZIMEANZA KUTOLEWA
Diamond Platnumz akipita mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu Albert Mangwea kutoa heshima zake za mwisho.
Rais wa Chama cha Wanamuziki Nchini.
Mwili wa marhemu Albert Mangwea ukiwa kwenye jeneza tayari kwa watu kutoa heshima za mwisho
Umati
wa watu wakiwa wamepanga mstari tayari kwa kwenda kuaga huku kikosi cha
msalaba mwekundu na polisi kikiwa stand by
↧
MTANZANIA MWENZETU ANATARAJIWA KUNYONGWA IJUMAA HII HUKO MISRI.....HII NI VIDEO YA TUKIO ZIMA
Asubuhi tuliripoti juu ya kuwepo kwa mtanzania mwenzetu anayetarajiwa kunyongwa ijumaa hii ( bado hatuna uhakika ).....
Tumefanikiwa kuinasa video wakati akikamatwa na madawa ya kulevya...
Hizi ndo picha za huyo msichana anayetajwa kuwa ni Fatma aka Brown Berry wa
Ilala Dar es Salaam ambae amekamatwa akisafirisha madawa ya kulevya au
nchini Misri.
Pia
↧
ANASA ZA DUNIA NA UVIVU WAMFANYA MR. NICE ATIMULIWE NA GRANDPA RECORDS YA KENYA
Mambo yamwendea mlama msanii kutoka Tanzania Mr.Nice ambae
alikuwa ameula katika nchi jirani ya
Kenya kwa kusaini mkataba mnomo na familia kubwa ya Muziki ya GrandPa Records
inayowapeleka mbele sana wasanii kadhaa akiwemo DNA, Ng’ang’a wa TPF na
wengine.
Mr. Nice amepigwa chini na Familia hiyo ambayo tayari
ilikuwa imeshampigisha hatua kadhaa ikiwa ni pamoja na kumuandalia tour ya
↧
↧
PICHA TOKA MOROGORO AMBAKO MWILI WA ALBERT NGWEA UMEPOKELEWA TAYARI KWA MAZISHI
↧
"UMASIKINI WA AKILI YA VIONGOZI NDO SABABU INAYOWAFANYA WAINGIE MIKATABA MIBOVU"...REGINALD MENGI
↧
MUME WA KHADIJA KOPA AFARIKI DUNIA
Khadija Omar Kopa akiwa na mumewe Jaffari Ally enzi za uhai wake.Mume
wa Malkia wa Mipasho Afrika Mashariki, Khadija Omar Kopa, aitwaye
Jaffari Ally amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Marehemu alikuwa
anasumbuliwa na matatizo katika mfumo wa upumuaji na mpaka mauti
yanamfika alikuwa amelazwa katika hospitali ya wilaya Bagamoyo.
Mungu
ailaze roho ya marehemu mahali
↧
More Pages to Explore .....