Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota, Mvuto wa Biashara na Mapenzi

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. 

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
 
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
 
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi 

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Yanayosumbua Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume, Kisukari,

$
0
0
BABU MADUHU NI BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU YANAYOSUMBUA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI, MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:

KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni NYASOSE MIX, Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1. MKEBE NO.1 Hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo la kwanza bila kuchoka naitakufanya uwe na hamu ya kuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

MHESHA POWER
MKEBE NO 2 ni dawa ya kuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,

KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ITINYA,
Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake, humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa pia ana pete za bahati ambazo zimetajilisha wengi.

SUPER POWER,
Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL/KANISANI

SIMU NO 0652 102 152/0755 684 297/0788 330 105.

HUDUMA HII UNAWEZA KUIPATA/KULETEWA MAHALI POPOTE NCHINI

Kesi Ya Babu Tale Yaahirishwa, Arudishwa Mahabusu

$
0
0
Mkurugenzi wa Kampuni ya Tip Top Connection ya jijini Dar es Salaam, Hamis Taletale maarufu Babu Tale, leo Mei 23, 2018 saa 6 mchana amefikishwa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kusikiliza kesi inayomkabili, akiwa chini ya ulinzi wa polisi.

Babu Tale, ambaye pia ni meneja wa mwanamuziki maarufu wa 'Bongo Fleva' Diamond Platnumz, alikamatwa kufuatia amri iliyotolewa Februari 16, 2018 na Naibu Msajili wa Mahakama Kuu Kanda Maalum, Wilbard Mashauri iliyoelekeza kukamatwa mtuhumiwa huyo na ndugu yake, Idd Taletale.

Amri hiyo pia, ilielekeza watakapokamatwa wapelekwe Gereza la Ukonga wakiwa wafungwa wa kesi ya madai, hadi hapo mahakama hiyo itakapotoa maelekezo mengine.

Hata hivyo, Babu Tale hakuweza kupatikana na ndipo mahakama hiyo ikatoa amri nyingine kama hiyo Aprili 4 mwaka huu. Tangu hapo wamekuwa wakitafutwa bila mafanikio hadi jana alipokamatwa.

Mahakama hiyo iliwaamuru kumlipa Mhadhiri wa Dini ya Kiislamu, Sheikh Hashim Mbonde kiasi cha Sh250 milioni, baada ya kupatikana na makosa ya ukiukwaji wa haki za hakimiliki kwa kutumia masomo yake kibiashara bila ridhaa yake kinyume cha Sheria ya Hakimiliki na Hakishiriki.

Leo baada ya kufika mahakamani mbele ya Naibu Msajili, Ruth Massam, amewapa muda wa dakika 10 pande zote wajadiliane namna ya kulimaliza suala hilo.

Baada ya majadiliano hayo pande zote zilirudisha majibu kwamba hazikufikia maelewano yoyote.   Hivyo Naibu Msajili, Ruth Massam alichukua uamuzi wa kuiahirisha tena kesi hiyo na Babu Tale kurudishwa mahabusu Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam.

Katika kesi ya msingi, Sheikh Mbonde alikuwa akidai kuwa aliingia mkataba na kampuni ya kina Babu Tale (Tiptop Connection) ili wamrekodi mahubiri yake kisha wayauze na kugawana mapato.

Hata hivyo baada ya kurekodi masomo saba, walimkatia mawasiliano na alipowatafuta na kukutana nao wakamweleza kuwa wameamua kuachana na mpango huo.

Sheikh Mbonde alidai kuwa akiwa kwenye mahubiri Dodoma ndipo akakutana na mikanda ya video katika mfumo wa DVD yenye mahubiri yake huku kukiwa na namba za simu za viongozi hao wa Tiptop.

Sheikh Mbonde alidai baada ya kufanya uchunguzi alibaini kuwa DVD hizo zilikuwa zikiuzwa katika mikoa mbalimbali, ndipo akawafungulia kesi ya madai ya fidia kutokana ukiukwaji wa Sheria ya Hakimiliki na Hakishiriki.

Msukuma: Profesa Lipumba na Sakaya ni Mabingwa wa Kuvuruga Vyama vya Siasa

$
0
0
Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Msukuma amefunguka na kudai kufarakana kwa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na CUF kimesababishwa na mzimu wa Profesa Lipumba na wala sio kitu kingine ambacho watu wanafikilia.

Musukuma ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza na  EATV baada ya kuulizwa ni kiongozi gani wa upinzani anayemvutia.

"Mwanasiana wa upinzani anayenivutia ni Profesa Lipumba anajua hesabu za kuvuruga vyama nampenda sana, Lipumba yeye na Sakaya ni mabingwa wa kutibua siasa anajua kupiga hesabu za kuchekecha vyama, hata kufarakana kwa CHADEMA na CUF ni mzimu wa Lipumba huo", Musukuma.

Pamoja na hayo, Musukuma ameendelea kwa kusema "Lipumba nampenda kwa sababu ni mvurugaji wa hivi vyama vidogo vidogo, anaifanyia kazi nzuri sana CCM, yule ni 'master' wa kuvuruga".

Kwa upande mwingine, Joseph Msukuma amesema katika maisha yake anatamani awe fundi wa hesabu za siasa za kuvuruga vyama kama alivyo Prof. Lipumba.

Mwanaume Wa Miaka 47 Atiwa Mbaroni Kwa Kulawiti Watoto Watatu

$
0
0
Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Mohamedi Kaisi Hamisi mwenye miaka 47 mkazi wa kijiji cha Kawawa mkoani Mtwara, anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani humo kwa tuhuma za ulawiti.

Kamanda wa Polisi mkoani Mtwara Lucas Mkondya amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, na kusema kwamba mwanaume huyo anatuhumiwa kulawiti watoto watatu wenye miaka 13, 14 na 15, wa shule ya msingi Kawawa, walipokuwa wanatafuta Nazi kwenye minazi iliyopo vichakani baada ya kutoka

Kamanda Mkondya amesema kwamba baada ya kuwakuta watoto hao mtuhumiwa aliwatishia maisha kabla ya kufanya kitendo hicho cha kinyama katika eneo la Nambonde.

Hata hivyo baadhi ya wananchi waliokuwepo baada ya mtuhumiwa kukamatwa kwa masikitiko makubwa wameiomba serikali ichukue hatua kali kwa mtuhumiwa ili iwe fundisho kwa wengine.

Mbunge Musukuma adai wabunge wengi wanavuta bangi

$
0
0
Mbunge wa jimbo la Geita vijijini Joseph Kasheku (Musukuma) bado anakazia kauli yake ya kuitaka serikali  iruhusu biashara ya bangi na mirungi.

Musukuma amesema kuwa bangi ni nzuri kuliko pombe kwani mtu akivuta ana kuwa na nguvu za kufanya shughuli zake huku akidai kuwa hata bungeni kuna viongozi wakubwa wanatumia bangi.

“Mule ndani (bungeni) kuna viongozi wakubwa tu wanavuta bangi, na wakija mule wanakuja na mizuka yao, nilimuomba Spika niwataje akanikataza,” amesema Musukuma kwenye kipindi cha Kikaangoni cha EATV.

Watumishi wa Ofisi ya RC Arusha wabadilishiwa mashtaka Mahakamani

$
0
0
Ofisa Itifaki wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha, Swalehe Mwidadi na mfanyakazi wa Masijala Amina Mshana leo May 23, 2018 wamepanda kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Arusha na kusomewa shtaka la unyang’anyi wa kutumia silaha.

Akisoma hati ya mashtaka Wakili wa serikali Sabina Silayo mbele ya Hakimu Mkazi Patricia Kisinda, amedai kuwa watuhumiwa hao kwa pamoja wanashtakiwa kwa makosa mawili.

Amedai kuwa kosa la kwanza, wametenda mnamo May 13, 2018 eneo la Sakina washtakiwa hao walimwibia Mwandishi wa Habari wa kujitegemea Lucas Myovela simu aina ya Tekno  C7 ya thamani ya Sh.300,000,  simu aina ya Sumsung yenye thamani ya Sh.50,000 na walifanya unyang”anyi huo kwa kutumia panga na mkanda wa plastiki.

Aliendelea kutaja kuwa vitu vingine walivyoiba ni pamoja na fedha taslimu Sh.75,000 na walijihamishia fedha Sh.9,500 za Mpesa na kadi ya ATM ya benki ya CRDB, huku wakijuwa kufanya hivyo ni kosa kisheria.

Silayo alidai kuwa kosa la pili was wanashtakiwa kuwa mnamo May 13, 2018, eneo la Sakina kwa pamoja walifanya kitenfo cha ukatili na udhalilishaji kwa kumvua Lucas Myovela nguo zake na kumchukua picha akiwa uchi.

Alidai kuwa kufanya hivyo ni kosa kisheria na kufunguliwa kesi hiyo namba 153/2018.

Washtakiwa walikana mashtaka hayo na Wakili Silayo amedai upelelezi haujakamilika na kuomba mahakama kupanga tarehe nyingine ya kutajwa.

Hakimu Kisinda amedai kesi hiyo haina dhamana na shtaka la kwanza halina dhamana hivyo alipanga kutajwa tena June 5 mwaka huu.

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mwenyekiti Wa Bodi Ya Wakurugenzi Ya Chai Na Mkurugenzi Taasisi Ya Utafiti Wa Kilimo


Serikali Yasisitiza Matumizi Ya Nishati Mbadala Ili Kuhifadhi Mazingira

$
0
0
Na Fatma Salum (MAELEZO)
Serikali imewasisitiza wananchi kuacha matumizi ya mkaa na badala yake watumie nishati nyingine ili kuepuka changamoto za uharibifu mkubwa wa mazingira unaoendelea kote nchini kutokana na matumizi ya mkaa.

Msisitizo huo umetolewa leo Jijini Dar es Salaam na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Makamba wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yanayotarajiwa kufanyika Juni 5 mwaka huu.

Waziri Makamba alisema kuwa maadhimisho hayo kitaifa yatafanyika Jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuwapa fursa wananchi wa Jiji la Da re Salaam kuelimishwa na kuhamasishwa kupambana na changamoto za uharibifu wa mazingira unaolikumba jiji hilo ikiwemo mafuriko, uchafuzi wa mazingira utokanao na plastiki, kubomoka kwa kuta za fukwe za Bahari ya Hindi pamoja na utumiaji wa kiasi kikubwa cha nishati ya mkaa.

“Nasisitiza kwamba, sote tuna jukumu la kuanza kubadilika kutoka kwenye matumizi ya mkaa na kuanza kutumia nishati mbadala wa mkaa. Tukumbuke kwamba suala la kuhifadhi mazingira ni jukumu letu sote na tunapaswa kulitekeleza kwa vitendo,” alisema Makamba.

Waziri Makamba alieleza kuwa matumizi makubwa ya mkaa hayapo tu katika Jiji la Dar es Salaam bali pia yapo katika maeneo mengine ya nchi, hivyo kutokana na matumizi makubwa ya nishati hiyo, maadhimisho ya kitaifa yataongozwa na Kaulimbiu inayosema; “Mkaa Gharama; Tumia Nishati Mbadala”.

Alibainisha kuwa takwimu zinaonyesha kwamba mpaka mwaka 2017 kiasi cha hekta 46,942 za misitu huharibiwa kila mwaka kwa ajili ya kupata mkaa ambapo matumizi makubwa yako katika miji mikubwa ikiwemo Dar es Salaam, ambako wastani wa tani 500,000 za mkaa hutumiwa kila mwaka.

Waziri Makamba alieleza kuwa uharibifu wa misitu unasababisha kuwepo kwa changamoto nyingine za mazingira kama vile ukame, majangwa, uharibifu wa ardhi, upotevu wa mimea asilia, upotevu wa viumbe hai mbalimbali, upungufu wa upatikanaji wa maji na upungufu wa uzalishaji kwenye kilimo.

“Kutokana na changamoto hizo, wakati wa wiki ya maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani, kutakuwepo maonesho ya nishati mbadala wa mkaa na teknolojia zake. Maonesho haya yatafanyika katika viwanja vya mnazi mmoja kuanzia Mei 31 hadi tarehe Juni 5, 2018,” alisema Makamba.

Alieleza kuwa maadhimisho ya mwaka huu yataambatana na Kongamano la Mazingira, Mabadiliko ya Tabianchi na Uchumi litakalofanyika Juni 1, 2018, Kongamano la viongozi wa madhehebu ya dini mbalimbali litakalofanyika Juni 2, 2018 pamoja na kongamano la wananchi wa Mkoa wa Da res Salaam litakalofanyika tarehe 3 Juni, 2018 katika viwanja vya Zakhem Mbagala. 

Aidha Waziri Makamba alitoa wito kwa mikoa mingine yote nchini kushiriki kikamilifu katika maadhimisho hayo kwa kuhamasishana, kelimishana masuala yahusuyo hifadhi ya mazingira.

Tarehe 5 Juni, 2018 watanzania wataungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani. Maadhimisho ya Siku ya Mazingira yaliamuliwa mwaka 1972, katika mji wa Stockholm nchini Sweden, kwenye mkutano wa kwanza wa Umoja wa Mataifa uliohusu Mazingira.

Mwaka huu maadhimisho hayo kimataifa yatafanyika nchini India katika mji wa New Delhi. Kaulimbiu inayoongoza maadhimisho hayo ni “Beat Plastic Pollution” ambayo inahimiza jamii kuepuka uchafuzi wa mazingira utokanao na plastiki.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya May 24

Lukuvi, Mengi Wakutana Kujadili Fursa za Uwekezaji

$
0
0
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi amekutana na Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Dkt. Reginald Mengi ili kuzungumza na kutambua fursa zinazopatikana za uwekezaji katika sekta ya Ardhi nchini.

Dkt. Mengi amekutana jana na Mhe. Lukuvi ofisini kwake kanda ya Dar es salaam ambapo walijadili mambo mbalimbali ambayo Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeyafanya katika sekta ya ardhi  na kutoa fursa  kwa wawekezaji wa ndani kuwekeza kwa urahisi.

Kiwanda Cha Nyama Chapigwa Faini Ya Milion 5 Dodoma Kwa Kushindwa Kukidhi Vigezo Vya Usafi Wa Mazingira

$
0
0
Kiwanda cha nyama cha Tanzania (TMC) kimepigwa faini ya Milion 5 baada ya kukiuka kanuni za uhifadhi wa mazingira na kuchelewa kutekeleza agizo walilopewa kuhakikisha wanafanyiakazi maagizo waliyopewa juu ya kufanyiakazi kanuni za utunzaji wa mazingira ikiwemo kufanya tathmini mazingira kabla ya kuanza kazi.

Akizungumza wakati akikagua machinjio hayo na kiwanda hicho cha nyama Naibu waziri wa nchi Ofisi ya makamu wa Rais Muungano na Mazingira Kangi Lugola  Ameelezea kutoridhishwa na hali ya mazingira kiwandani hapo.

Akitoa tamko hilo ,Naibu waziri Lugola alisema kuwa kulingana na sheria za usimamizi na usafi wa mazingira ni sharti kiwanda hicho kitozwe faini ili iwe fundisho kwa viwanda vingine kufuata taratibu ikiwa ni pamoja na kufanya tathmini ya mazingira kabla ya kuanza shughuli za uzalishaji.

Pamoja na mambo mengine  Lugola alikiagiza kiwanda hicho kuelekeza taka ngumu kwenye dampo la jiji lililopo Chidaya -Ntyuka ili kuepuka madampo yasiyo rasmi yanayozagaa katikati ya jiji na kukuta mizoga ya nyama ikiwa imezagaa maeneo mbali mbali.

Awali akisoma taarifa kwa naibu waziri Lugola,Mtendaji  Mkuu wa kiwanda hicho Aron Luziga alizungumzia changamoto zilizopo  kiwandani hapo kuwa ni pamoja na mfumo wa maji taka usio rasmi kutokana na gharama kubwa ya ujenzi pamoja na upatikanaji wa umeme wa uhakika hali inayokwamisha shughuli za uzalishaji .

Alisema,hali ya kukatika katika kwa umeme kiwandani hapo inakwamisha shughuli za uzalishaji hivyo kuiomba serikali kuangalia namna ya kuboresha miundombinu ya umeme ili kukidhi mahitaji .

"Lengo la kiwanda hiki ni kuwa kinara katika uzalishaji wa nyama na kusafirisha nchi nyingi zaidi duniani hii ikiwa ni pamoja na uchakataji wenye kiwango kuendana na soko La kimataifa," alisema Luziga.

Wakati huo huo  Naibu waziri  Kangi Lugola  ameliagiza Baraza la usimamizi wa mazingira la Taifa (NEMC) kushirikiana na uongozi wa jiji la Dodoma kukagua kwa undani mifumo ya maji taka ya kiwanda cha kukamua mafuta ya alizeti cha Sunshine kilichopo katika kijiji cha Zuzu.

Hatua hiyo imekuja kutokana na kushindwa kuibaini mifumo ya majitaka kiwandani hapo kutokana na kuwa kiwanda kimesitisha uzalishaji kutokana uhaba wa malighafi kiwandani hapo.

Kutokana na hayo Naibu waziri Lugola emeutaka uongozi wa kiwanda hicho kuingia mkataba na wakulima ili waweze kupata malighafi ambazo zitawezesha kiwanda hicho  kuwa na uzalishaji wakati wote.

"Ni kweli tunahitaji Tanzania ya viwanda,lakini viwanda hivyo  vije kwa kuzingatia sheria za mazingira ili kuyahifadhi na kwa manufaa ya vizazi vijavyo," alisema.

Hata hivyo alisema viwanda vinapaswa kuchochea wananchi kuondokana na umaskini hivyo ni wajibu kushirikiana na wananchi bega kwa bega kupata solo la uhakika.

Kama Dalili Hizi Unazo Upo Kwenye Hatari Ya Kuishiwa Nguvu Za Kiume Kabisa

$
0
0
Una dalili zifuatazo?
1: Kushindwa kurudia tendo la ndoa
2: Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa
3: Maumivu ya kiuno mgongo
4: Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
5: Uume kusinyaa, kuingia ndani na kuwa mdogo au mfupi
6: Korodani moja kuvimba

KAMA DALILI HIZI UNAZO UPO KWENYE HATARI YA KUISHIWA NGUVU ZA KIUME KABISA

Kwa matibabu tumia OZYMIX POWER-dawa bora ya nguvu za kiume ya miti shamba ambayo haina kemikali ambayo itakuwezesha kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha.
Pia tunatoa huduma hizi:>

1.Dawa ya Kuondoa michirizi
2.Kumrudisha mwanaume aliyekuacha 
 
Tunapatikana KAWE UKWAMANI karibu na kituo cha mabasi.
KWA MAWASILIANO ZAIDI ; 0716096205 /0756726865 FIKA OFISIN AU PIGA SIMU NA UTALETEWA DAWA POPOTE ULIPO DAR ES SAALAM NA KWA MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA MABASI.

TEMBELEA KATIKA BLOG YETU HAPA>>>;

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota, Mvuto wa Biashara na Mapenzi

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. 

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
 
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
 
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi 

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Waziri Mkuu: Tanzania Inahitaji Wawekezaji ili Kupata fursa ya mitaji na teknolojia za kisasa

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tanzania bado inahitaji wawekezaji na kupitia kwenye uwekezaji, inapata fursa ya mitaji na teknolojia za kisasa.

Ametoa kauli hiyo jana (Jumatano, Mei 23, 2018) wakati akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Canada, Bw. Alfayo Kidata ambaye alifika kumuaga kwenye makazi yake jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu amemtaka Balozi Kidata atumie fursa ya uwepo wake nchini Canada kuangalia namna ya kuisadia nchi kuimarisha sekta za kilimo, madini na utalii.

“Tukiimarisha sekta hizi, uchumi ndani ya nchi unakua lakini pia tunategemea kutumia nchi rafiki kukuza uchumi wetu wa ndani kwa maana ya kukuza mitaji na kupata teknolojia za kisasa,” amesema.

“Ukienda huko mkakati wako mkubwa uwe ni kuzingatia mpango wa Taifa wa maendeleo wa miaka mitano lakini zaidi mkakati wetu wa kukuza uchumi wa viwanda,” amesisitiza.

Amemtaka Balozi huyo akasimamie pia suala la upatikanaji wa masoko kwa ajili ya mazao yanayozalishwa nchini ili wafanyabiashara na wakulima wa Tanzania waweze kuuza bidhaa zao nje ya nchi.

“Hapa nyumbani tuna mazao matano ambayo tumeazimia kuyafufua lakini masoko ya ndani hayatoshi, kwa hiyo kazi yako mojawapo ukiwa huko ni kututafutia masoko,” amesema.

Waziri Mkuu amemweleza Balozi Kidata azingatie pia suala zima la kuongeza idadi ya watalii. “Tunataka ukasaidie kutangaza nchi yetu ili watalii waje kuona vivutio vyetu. Tunataka kuongeza idadi ya watalii kutoka milioni mbili ya sasa hadi kufikia milioni tano ifikapo mwaka 2020,” amesema.

Alimtaka Balozi huyo akafuatiilie pia fursa za masomo kwa ajili ya Watanzania wanaotaka kusoma Canada na Cuba. 

“Nilipoongea na Makamu wa Rais wa Cuba, aliahidi kuongeza idadi ya Watanzania wanaotaka kusomea udaktari. Kwa hiyo, ukifika itabidi ufuatilie ahadi hiyo,” ameongeza.

Waziri Mkuu pia alimsisitizia Balozi Kidata akifika huko awatambue na kuwaunganisha Watanzania waishio Canada na awahamasishe wafanye kazi ili waweze kuwekeza nyumbani.

Kwa upande wake, akizungumza baada ya kuagana na Waziri Mkuu, Balozi Kidata alisema atahakikisha anayafanyia kazi maelekezo yote aliyopewa na Waziri Mkuu.

Alisema anatambua kwamba Canada ina idadi ya watu zaidi ya milioni 40 na atafanya juhudi zaidi za kuitangaza Tanzania ili waje kuona vivutio vilivyopo nchini. Pia atafuatilia fursa za mafunzo kwa wanafunzi wa Kitanzania.

“Kwenye suala la uchumi wa viwanda, tunahitaji kuwa na uzalishaji wa mazao ya kutosha. Kwa hiyo tunahitaji kuwana kilimo cha uhakika na cha muda wote kuliko. Tunahitaji kupata utaalamu na mitaji kwa ajili ya mashamba ya umwagiliaji,” alisema.

Alisema kuwepo kwa kilimo cha umwagiliaji, kutasaidia kuwe na uhakika wa upatikanaji wa malighafi zitazakotumika kwenye viwanda.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU


Jeshi La Polisi Nchini Linatarajia Kuanza Leo Usaili Kwa Vijana Wa JKT/JKU Waliomba Kujiunga

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO 0758840958 / 0785687900

Pete Za Masonic Immoring Hazina Uhusiano Wowote Na Kuabudu Masheitwani

$
0
0
Imeandikwa na: Dokta  Mungwa  Kabili -0744  000  473.
 Maneno yaliyo  zagaa   mitaani  kwamba  eti   watu  wanao vaa  pete za  Masonic  Immoring  ni  waabudu  sheitwani  hayana  ukweli  wowote.

Ikitokea mtu  maarufu  ameonekana  akiwa  amevaa  pete  hizo  basi  moja  kwa  moja  watu  wataanza kumuhusisha  na  habari  za  kuabudu  masheitwani.

Maneno  hayo  ni  uzushi  mtupu  na ambao  hauna  mashiko  yoyote katika  ulimwengu  wa kiroho.

Watu  wanao  eneza  uzushi  huo  ni  watu wenye  ufahamu  mdogo  sana  kuhusu  imani za jadi, imani  za  siri, imani za  kale  na  ulimwengu  usio  onekana  ( ulimwengu   wa  kiroho )  kwa  ujumla.

Pete  za  Masonic  Immoring  ni  pete  ambazo  zimekuwa  zikitumiwa  na  wanadamu  toka  enzi  na  enzi .

Kwa  wewe  ambae  bado  una shikilia  imani kwamba  Masonic  Immoring  ni  pete  za  kisheitwani, nakushauri  ufanye  utafiti  wako  vizuri.

Ukifanya  utafiti  wako  vizuri  utagundua  kwamba  pete  hizi  zilikuwa  zikivaliwa  hadi  na  wafalme  wenye  kuheshimika sana   katika  vitabu  vyote  vitakatifu.

Watu  wanao  dai kwamba  wavaaji  wa  pete  za  Masonic  Immoring  ni  waabudu  shetani, wana toa  hoja  dhaifu  kwamba  watu  wote  wanao  jihusisha  na  uvaaji  wa pete  za  Masonic Immoring  huwa  ni watu  wenye  mafanikio makubwa  sana  katika  maisha  ikilinganishwa  na  watu  wanao  fanya  kitu  kile  kile  kinacho  fanywa  na  watu  wenye  kuvaa pete hizo za  Masonic  Immoring.

 Kwamba  kama  ni  mwanamuziki  basi  anakuwa  juu  sana  kuliko  wana  muziki  wenzake  wanao  fanya  aina  ya  muziki  ule  ule  anao  ufanya  yeye, kama  ni  mfanya  biashara  basi  biashara  yake  inapata  mafanikio  makubwa  sana  kuliko  wafanya  biashara  wenzake  ambao  wanafanya  biashara  kama  ile  ile  anayo  ifanya . Mifano  ipo  mingi  sana.

Hata  hivyo  hoja  hii  ni dhaifu  sana  kwa  sababu  mali  na  mafanikio  vyote  vinatoka  kwa  Mungu  kwa sababu  yeye  ndio  ameumba   Dhahabu, Almasi,Fedha  na vitu  vyote  vinavyo  onekana  na  visivyo  onekana.

Ina  maana  gani  kuwapa  utukufu  masheitwani  kwa  kazi  ambayo imefanywa  na  Mungu mwenyewe. Kwani  ina  maana  Mungu  hawezi  kumfanya  mtu  awe  tajiri au  apate  mafanikio ?

SIRI  YA   PETE   MASONIC  IMMORING  NI  MOJA  TU :  Pete  za  Masonic  Immoring zimetengezwa  kwa  madini  na  vito  vinavyo  kaliwa  na  majini  wazito  wazito, wajini  wakubwa, majini watukufu na  walio  katika daraja za  juu  kabisa katika  ufalme  wa  kijini, majini  wa  kifalme.

Unapo  ivaa  pete  ya Masonic  Immoring unakuwa  umeunganisha  nyota  yako  na  nguvu ya  majini  wanao  kalia madini ,mawe na  vito  vilivyo  tumika  kutengeneza  Masonic  Immoring.

Hivyo  unapokuwa  umevaa  pete  ya  Masonic  Immoring unakuwa  umeingia  katika  agano  rasmi  la  kiroho  la  kuunganisha  nafsi/nyota  yako  na  nguvu  ya  majini  hao kwa  kuwaingiza  majini  hao  katika  mfumo  wa  nyota  yako  na  maisha  yako  kwa  ujumla.

Nyota yako  inaanza  kusafiri  kwa  kufuata  kasi  ya   mkondo  wa  nyota  za  majini  hawa  wa  kifalme kwa  sababu  tayari  nyota  yako  inakuwa  imeunganishwa  na  nyota  ya  majini  hawa na  kuwa  kitu  kimoja.

Katika  hili  la  nyota  yako  kusafiri  katika  mkondo  wa  nyota  ya  majini  hawa  watukufu  mfanano  wake  ni  rahisi  sana.  Yani  ni  kama  vile wewe  kijana  ambae  umezaliwa  na  kukulia  kijijini  kwenye  maisha  ya  tabu halafu  ghafla  ukapata  bahati  ya  kuajiriwa  na  mwanamuziki  mkubwa  anae  safari  sana  katika  nchi  mbalimbali  duniani .

Nchi  ambazo  hujawahi  kuota  kufika.  Utaanza  kusafiri  na  mwanamuziki huyo  katika  nchi  hizo.

 Kilicho  fanya  wewe  ufike  katika  nchi  hizo  ni  nyota  ya  mwanamuziki  huyo.

 Kwamba  kwa  sababu  yeye  ni  mwanamuziki mkubwa  na  anae  pata  mialiko  ya  kutumbuiza  kwenye  nchi  mbalimbali,  na  kwa  sababu  wewe  labda  umepata  kazi  ya  kuwa  mpiga  picha  wake, au  mwandishi  wake, basi  utakuwa na  wewe  unasafiri  katika  nchi  hizo  na  mwanamuziki  huyo.

Kwa  lugha  nyingine  utakuwa  una  safiria  nyota  ya  mwanamuziki  huyo.

Vivyo    kuhusu  pete  ya  Masonic  Immoring. Unapo  vaa  pete  ya  Masonic  Immoring  basi  unaanza  kusafiria  nyota  ya  majini  wanaokaa  kwenye  madini, mawe  na  vito  vilivyo  tumika  kutengeneza  Immo  Ring.

Kiuhalisia kabisa  wewe hukustahili  kusafiri  katika  nchi  hizo  lakini  umestahilishishwa  kwa  sababu  ya  agano  lako  na  mtu  anae  stahili kusafiri  katika  nchi  hizo.

Majini  hawa  wana  sifa  moja  kuu, kwanza  huwa  hawakai  na  kitu  chochote  kichafu  kama  majini  wa  baharini, kwa  hiyo  kama  utakuwa  na  kitu  chochote  kichafu  ndani  ya  mwili  wako,uwe  umetupiwa  uchawi,  majini /mapepo wachafu/mizimu mibaya, kijicho  au  kifungo  chochote  kile  cha  kichawi ndani  ya  mwili  wako, vitu  vyote  hivyo  vitafukuzwa  ndani  ya  mwili  wako  kwa  sababu  majini  wanao  kaa  kwenye  vito,madini na mawe  yaliyo tumika  kutengeneza  Masonic  Immoring   huwa  hawakai  na  kitu  kichafu.

Majini  hawa  watafukuza  shari zote  ndani  ya  mwili  wako  na kuvuta  heri  zote katika  maisha  yako  sambamba  na  kuzuia  shari yoyote  ile iliyo elekezwa  kuja  kwenye  mwili  wako.

Majini  wanao  kaa ndani  ya  vito na  madini  yaliyo  tumika  kutengeneza  Masonic  Immoring hawapendi  uchafu  na  hawakai  na  vitu  vichafu.

Ndio  maana  basi  mtu  anae  vaa  pete  hii, huwa  haruhusiwi  kunywa  pombe  huku  pete  ikiwa  kidoleni,  au  pombe  ikiwa  mwilini.

Haruhusiwi  kufanya  zinaa  huku  akiwa  ameivaa  pete  hii  tukufu  na  haruhusiwi  kujisafisha   baada  ya  kumaliza  haja  kubwa   huku  pete  ikiwa  kidoleni  kwa  sababu  pete  hii  huvaliwa  mkono  wa  kushoto.

Ilhali  mwanamke  haruhusiwi  kuvaa  pete  hii  akiwa  kwenye  siku zake.

Na  mtu yoyote  Yule  awe  mwanamke  au  mwanaume  baada  ya  jimai  anatakiwa  kukoga  kwanza  kabla  ya  kuivaa  tena  pete  hii.

Pete  zote  za  Immoring  zina alama  kama  inavyo  onekana  hapo  juu, kwa  hiyo kwa  mtu  yoyote  Yule  atakae  hitaji  pete  ya  Masonic Immoring , kitu  cha  kwanza  anacho  takiwa  kukitazama  ni  alama ya  pete  hiyo  kama inavyo  onekana  pichani.

Na  kama  unahitaji  pete  ya  Masonic  Immoring, basi  wasiliana  na  Dokta  Mungwa  Kabili  kwa  simu  namba  0744  000  473.

Iran yaendelea kupinga masharti ya Marekani

$
0
0
Iran imeendelea kupinga masharti kutoka Marekani ya kufanyia mabadiliko sera yake ya kigeni na mpango wake wa nyuklia huku mshirika wake Syria, ikitupilia mbali wito wa Marekani kuviondoa vikosi vya Iran nchini humo.

Ufaransa, mmoja ya mataifa yenye nguvu barani Ulaya, iliosikitishwa na hatua ya Marekani kujiondoa katika mkataba wa nyuklia uliyotiwa saini mwaka 2015, imesema hatua ya Marekani ya kuiongezea vikwazo zaidi Iran, itawaimarisha zaidi wanasiasa wenye msimamo mkali nchini Iran.

Jumatatu wiki hii waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani Mike Pompeo aliitishia iran kuwa itakabiliwa na vikwazo zaidi katika historia iwapo haitaachana na ushawishi wake wa kikanda, akiishutumu nchi hiyo kuunga mkono makundi ya silaha katika mataifa kama vile Syria Lebanon na Yemen.

Pompeo aliyasema haya wiki mbili baada ya rais Trump kujiondoa katika mpango wa kimataifa wa nyuklia wa Iran, uliopelekea taifa hilo kuondolewa vikwazo kufuatia hatua yake ya kukubali kusitisha uendelezaji wa mpango huo. 

Mataifa yenye nguvu barani Ulaya yanauona mkataba huo kama nafasi nzuri ya kuizuwia Iran kutengeneza silaha za nyuklia.

Kwa upande wake Waziri wa Mambo ya nchi za nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema Pompeo amerejelea shutuma za zamani dhidi ya nchi yake ila safari hii shutuma hizo zimetolewa kwa ukali zaidi.

Naye afisa wa ngazi ya juu wa jeshi la Iran Meja jenerali Mohammad Bagheri, amesema Iran haitaisujudia Marekani katika shinikizo lake la kudhibiti shughuli zake za kijeshi. 

Mjini Paris, Waziri wa Mambo ya nchi za nje wa Ufaransa Jean-Yves Le Drian amesema hatua ya Marekani kujiondoa katika mkataba huo wa nyuklia na kuiwekea Iran vikwazo itazidisha misimamo mikali na kuhatarisha eneo hilo.

Le Drian amesema Ufaransa itaendelea kutekeleza makubaliano ya mkataba huo hata kama inakubaliana na Marekani kwamba shughuli za nyuklia za Iran pamoja na makombora  zinapaswa kudhibitiwa.

Huku hayo yakiarifiwa Syria imetupilia mbali wito wa Marekani wa kuviondoa vikosi vya Iran nchini humo. Katika vita vya Syria vilivyodumu miaka 7, Iran imekuwa ikitoa msaada muhimu kwa  jeshi la serikali ya Bashar al Assad.

Facebook Yaendelea Kuomba Msamaha

$
0
0
Mkurugenzi wa Facebook Mark Zuckerberg ameomba msamaha kwenye Bunge la Ulaya kutokana na madhara yaliyosababishwa na kuvuja kwa data za watumiaji wa mtandao huo na pia kwa kushindwa kupambana na habari za uongo/ feki.

Mkurugenzi Mtendaji wa Facebook Mark Zuckerberg aliomba msamaha kwa watumiaji wa Ulaya wa mitandao ya kijamii na kuahidi kupambana na habari feki za uongo  na vile vile ameahidi kwamba data za watumiaji hao zitalindwa vyema.

Zuckerberg alifika mbele ya viongozi wa makundi ya kisiasa wa Bunge la Ulaya baada ya Facebook kukubali kwamba ilitoa taarifa binafsi za watumiaji wapatao milioni 87 kwa kampuni ya Cambridge Analytica ya nchini Uingereza, zikiwemo zile za watumiaji karibu milioni 2.7 kutoka kwenye nchi za Umoja wa Ulaya. Facebook ilikubali kwamba ilitoa taarifa hizo binafsi kwa njia isiyo sawa.

Hata hivyo Zuckerberg aliyakwepa baadhi ya maswali magumu aliyoulizwa na wabunge hao, na kisha kuomba msamaha kutokana na sera za Facebook zilizorahisisha kuenea kwa habari feki wakati wa uchaguzi wa rais wa Marekani wa 2016 na pia katika matokeo ya kura ya maoni juu ya Uingereza kujiondoa kutoka Umoja wa Ulaya.

Baadhi ya wabunge wa Umoja wa Ulaya hata hivyo wamelalamika kwamba Zuckerberg hakutoa majibu halisi juu ya matumizi mabaya ya data za mamilioni ya watumiaji wa mtandao huo. 

Jan Philipp Albrecht, mjumbe maalum wa Umoja wa Ulaya anayeshughulikia ulinzi wa data za Umoja huo (GDPR) amesema ipo haja ya kuwepo ulinzi mkubwa.

Mjumbe huyo maalum anayeshughulikia masuala ya ulinzi wa data katika Umoja wa Ulaya amesema pia uangalizi unahitajika zaidi kwenye shughuli za mtandao huo wa Facebook, kwa mfano katika kuitenganisha Facebook na WhatsApp au Facebook Messenger ambapo hatua kama hiyo sasa itakuwa ni chaguo la mtu binafsi . Bwana Albrecht amesema hilo ni moja kati ya maswali ambapo Mark Zuckerberg hakutoa majibu ya kina.

Zuckerberg ameomba msamaha kwa niaba ya kampuni yake kwa kushindwa kuzuia kutumiwa vibaya baadhi ya mifumo yake ya internet huku wengi wa wabunge waliokuwepo katika mahojiano hayo wakisema bilionea huyo wa Facebook alishindwa kutoa majibu yaliyoweza kuwatoa wasiwasi walio nao.

Mfumo wa kujibu maswali ulimruhusu Zuckerberg kujibu maswali hayo mwishoni, na hivyo kuwaacha wabunge wakiwa wamekata tamaa kutokana kushindwa kupata majibu ya moja kwa moja kwa maswali yao.

Rais wa Bunge la Ulaya Antonio Tajani alimwambia Zuckerberg kwamba kufika kwake kumetoa ishara muhimu ya heshima  yake kwa Bunge hilo pamoja na wananchi wa Ulaya.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images