Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Watumishi Wa Afya Nchini Wanatakiwa Kuchunguza Watoto Saratani Ya Macho Kila Wanapohudhuria Kliniki

0
0
WATUMISHI wa Afya wa ngazi ya Jamii,Zahanati , Vituo vya afya vya na Hospitali za Kliniki za Mama na Mtoto za Wilaya zinatakiwa kuchunguza Uakisi wa mwanga kwenye mboni za watoto kila wanapoenda kucheki ukuaji wa watoto hao ili kupunguza uwepo wa saratani ya macho kwa watoto.

Hayo yamesemwa na Mganga Mkuu wa Serikali ambaye ni Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Mohammed Bakari Kambi wakati akitoa tamko la saratani ya macho kwa watoto kwa niaba ya Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu katika ofisi ndogo za Wizara Jijini Dar es salaam.

“Iwapo mtoa huduma za afya unahisi kuwa mtoto ana tatizo kwenye jicho usimrudishe nyumbani hadi uhakikishe mtoto huyo ameonwa na mtaalamu wa macho ili kugundua kama ana tatizo kwenye macho yake” alisema Prof. Kambi.

Aidha Prof. Kambi amesema kuwa katika kuboresha huduma hizo Wizara imeandaa mwongozo ambao utasaidia kuinua uelewa wa wataalamu wa afya ili waweze kuwatambua watoto wenye tatizo hilo na kuwapa rufaa mapema.

Kwa Mujibu wa Prof. Kambi amesema kuwa takwimu za hapa nchini zinaonesha kuwa watoto137 wenye saratani hii walionwa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya kwa mwaka 2017 na watoto 80 hadi 100 hupewa rufaa na kufika kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na wengine hutibiwa KCMC Moshi.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi  wa mpango wa Macho wizara ya Afya Dkt. Benadertha Shilio amesema kuwa anawashukuru wadau wote wa macho ambao wamekuwa bega kwa began a Serikali ya Tanzania katika kufanikisha kuboresha huduma za Macho kwa watoto.

“Tunawashukuru Rotary Club ya Dar es salaam Oysterbay wakishirikiana na Rotary Club ya Chelsea nchini Uingereza ambao wametoa msaada wa vifaa mbalimbali vya kutibu Saratani ya macho vinavyogharimu kiasi cha Dola za Kimarekani 65,000 na Kampuni ya Pricewaterhouse ya Tanzania ambayo imetoa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 25 ambavyo vimesambazwa Muhimbili na Mloganzila” alisema Dkt. Shilio.

Maadhimisho ya Wiki ya sarani ya Macho kwa watoto kwa mawaka 2018 imebeba kauli mbiu isemayo “MBONI NYEUPE KWENYE JICHO LA MTOTO INAWEZA KUWA SARATANI YA MACHO”.

Nkurunziza ‘huenda akaongoza’ Burundi hadi 2034

0
0
Nchi ya Burundi leo inapiga kura ya maoni kufanya marekebisho ya katiba ambayo yanaweza kumuweka Rais wa sasa Pierre Nkurunziza madarakani mpaka mwaka 2034

Kwa mujibu wa BBC Kura hiyo itapigwa ya ndiyo au hapana ili kuongeza muda wa Rais kukaa madarakani kutoka miaka mitano mpaka saba katika awamu moja.

Katiba ya sasa imeweka ukomo kwa Rais aliyepo madarakani kuhudumu kwa kipindi cha awamu mbili, kwa mujibu wa mabadiriko yatakayofanywa yatampa uhuru Rais Nkurunziza kugombea tena katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 akiwa kama mgombea mpya na hivyo huenda akatawala mpaka mwaka 2034.

Chama tawala CNDD-FDD kinachoongozwa na Nkurunziza ndicho kinaendesha kampeni ya kuunga mkono upigwaji wa kura ya ndiyo huku kiongozi wa upinzani Agaton Rwasa chini ya mwamvuli wa muunganiko wa vyama vya upinzani ujulikanao kama Amizero y’Abarundi wakihamasisha kura ya hapana.

Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Yanayosumbua Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume, Kisukari,

0
0
BABU MADUHU NI BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU YANAYOSUMBUA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI, MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:

KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni NYASOSE MIX, Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1. MKEBE NO.1 Hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo la kwanza bila kuchoka naitakufanya uwe na hamu ya kuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

MHESHA POWER
MKEBE NO 2 ni dawa ya kuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,

KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ITINYA,
Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake, humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa pia ana pete za bahati ambazo zimetajilisha wengi.

SUPER POWER,
Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL/KANISANI

SIMU NO 0652 102 152/0755 684 297/0788 330 105.

HUDUMA HII UNAWEZA KUIPATA/KULETEWA MAHALI POPOTE NCHINI

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO 0758840958 / 0785687900

Waziri Mkuu: Ajira za wageni zinazotolewa nchini ni za kitaalamu ambazo Watanzania hawana uwezo

0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa ajira zinazotolewa kwa wageni ni zile Kitaalum tu ambazo Watanzania hawana uwezo nazo.

Waziri Mkuu ameyasema hayo leo Mei 17, wakati wa kipindi cha maswali na majibu kwa Waziri Mkuu ambapo pamoja na hayo ameelza kuwa wataendelea kusimamia na kuhakikisha kwamba Watanzania wanapata fursa namba moja ya kuajiriwa.

“Serikali imeratibu vizuri sana suala la ajira nchini, na imetoa kipaumbele kwa Watanzania kupata ajira kwenye sekta zote nchini, wageni wanazo fursa lakini kwa masharti, ajira za wageni zote nchini ni nafasi za kitaalamu tu ambazo Watanzania hawana uwezo nazo,” amesema Waziri Mkuu.

Aidha ameongeza kuwa serikali itaendela tutaendelea suala la ajira na kuhakikisha kwamba Wtanzania wanakuwa namba moja katika kuajiriwa katika sekta zote ndani ya nchi.

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upungufu Wa Nguvu Za Kiume, Maumbile Mdogo, Busha Bila Kupasua

0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO : Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliohangaika sehemu mbalimbali bila mafanikio.

Mabula Clinic ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya jeshini. Je unaupungufu wa nguvu za kiume au uume wako mdogo na mwembamba? 

Mapro pawer no 2 ndio tiba, kwa sasa hutibu matatizo matatu kwa pamoja 1. itakufanya uchelewe kufika kileleni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2. Huimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa hasa kwa wale walio athirika na upigaji punyeto 3. itakufanya upate hamu ya kurudia tendo zaidi ya mara tatu :Kwa nini ujione mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo 

Makakanua mix ni dawa iliyochanganywa na miti shamba 9 na kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 kwa urefu na unene sentimita 1-5, dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona

 Zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke kwa masaa matatu tu ,mvuto wa biashara, kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu.

Tunatibu ngiri, miguu, mgongo na kiuno kuumwa, kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa 

Tiba na ushauli muone Dr Mabula au piga simu no 0743362017.Huduma zangu utazipata popote ulipo kama uwezi kufika ofisini

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

0
0
MAKANGA 3 POWER; DAWA BORA NGUVU ZA KIUME
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.
 
Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.
 
Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.
 
Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.
 
Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.
 
Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.
 
Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.
 
Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.

Alicholazimishwa Sugu kufanya akiwa gerezani

0
0
Mbunge wa Mbeya kupitia CHADEMA Joseph Mbilinyi maarufu kwa jina la Sugu, amesema alishangazwa na kitendo cha kusikia imepigwa simu kutoka juu, na kueleza kwamba ni lazima yeye na Masonga wavae sare za jela

Akizungumzia suala hilo Sugu amesema kwamba kitendo hicho kilimshangaza kwani kulikuwa kuna watu wengine wengi walikuwa hawana sare na wamefungwa mule muda mrefu lakini walikosa sare, hivyo kitendo cha kulazimishwa yeye ambaye yuko kwa muda mfupi kilikuwa kinamshangaza.

“ Nisiite kujisikia vibaya niite kushangaa, ni siku ambayo maagizo kutoka juu, ilipigwa simu kwamba lazima Sugu avae uniform na Masonga, unaweza ukaona kwamba zaidi ya wafungwa 600 hawana uniform, Sugu yuko pale mmemfunga kwa miezi mitano, anatakiwa kutumikia kama miezi mitatu, lakini unamlazimisha avae uniform, lakini kuna wafungwa pale wamefungwa maisha mamia kwa mamia hawana uniform, kwa nini usiangalie namna ya kuwapatia wale uniform unahangaika na mtu ambaye anapita tu!?”, amesema Sugu.

Sugu ameendelea kwa kusema kwamba kitendo cha yeye kulazimishwa kuvaa sare hakikumkwaza kwani aliona inamsaidia kuhifadhi nguo zake.

“Zilitafutwa siku hiyo hiyo uniform, wakaja wakatuletea uniform ambazo zimevaliwa tukagoma, tukakataa kwa sababu hatuwezi kuvaa nguo ambazo hatujui zimevaliwa na nani, wakaenda kuhangaika kila kona sijui walitoa Segerea, lakini walitumia nguvu kuhakikisha wanatuvalisha uniform, wao walidhani wakimvalisha Sugu uniform ataathirika kisaikolojia, lakini we umeshanifunga kuvaa nguo ni kitu gani, kwanza utanisaidia kutunza nguo zangu", amesema Sugu.

Sugu aliachiwa huru mapema wiki iliyopita kwa msamaha wa Rais baada ya kutumikia kwa muda mfupi kifungo chake cha miezi mitano katika gereza la Ruanda mkoani Mbeya, akiwa na mwenzake Emmanuel Masonga

Naibu Spika amzuia Waziri Mkuu kujibu maswali ya wabunge wa Chadema

0
0
Wabunge wawili wa Chadema leo Mei 17, 2018 wamejikuta njia panda baada ya Naibu Spika, Dk Tulia Ackson kumzuia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kujibu maswali yao  kwa madai kuwa si ya kisera.

Waliomuuliza Waziri Mkuu maswali bungeni leo katika kipindi cha maswali ya papo kwa hapo  kiongozi huyo wa shughuli za Serikali bungeni  ni mbunge wa Tunduma, Frank Mwakajoka , Pauline Gekul (Babati Mjini).

Gekul alimuuliza Waziri Mkuu  kuhusu sera ya Serikali ya mwaka 1996 ya kushusha madaraka katika halmashauri na lengo likiwa ni kuzipa halmashauri nguvu, kubuni vyanzo vya mapato na kutumia.

“Stendi ya mabasi ya babati ilipokonywa kwa madai kuwa ni agizo la Rais na Rais amesema hahusiki bali ni viongozi wa Manyara, nini kauli ya serikali,” amehoji Gekul.

Baada ya swali hilo, Dk Tulia amesema si la kisera na linaweza kujibiwa na waziri hivyo kumtaka kukaa na kutafuta swali jingine.

Hata pale Gekul alipopewa fursa ya kuuliza jingine bado amesema ,”ni swali la kisera, “ jambo lililomfanya Dk Tulia kumtaka aketi.

Kwa upande wake Mwakajoka amesema kumekuwa na migogoro katika halmashauri mbalimbali nchini kati ya wakuu wa wilaya na madiwani, kutolea mfano Gairo, Malinyi na Mbeya Mjini.

Amesema katika Halmashauri ya Tunduma kuna mgogoro ambao umesababisha baraza la madiwani kutokaa kikao tangu Agosti 2017, kwamba licha ya maelekezo kadhaa ya waziri ila mkuu wa mkoa na wilaya wanagoma kufanyika kwa kikao hicho.

Kama ilivyokuwa kwa Gekul, Dk Tulia pia alipangua swali hilo na kubainisha kuwa linaweza kujibiwa na waziri mwenye dhamana.

Mara baada ya kipindi cha maswali na majibu kumalizika, Gekul amesimama kuomba mwongozo akitumia kanuni ya 68(7) akizungumzia swali lake lilizozuiwa akisema ni swali la kisera,  “Lakini lina maslahi kwa umma kwa watu wa Babati na Naibu Spika hili swali limekwisha kufikishwa kwa Waziri Mkuu na nyaraka tulishampatia, hili jambo limekuwa likisingiziwa Rais.”

“Waziri Mkuu ni msimamizi wa shughuli za Serikali na Rais kajivua hahusiki na mimi nimeuliza, nashindwa kuelewa, wabunge wengine wanauliza suala la jimboni na anajibiwa, nikuombe mwongozo wako, suala hili litaendelea hadi lini na suala la dhuruma mwisho hukurudia. Kwa nini meza isimwache waziri mkuu ajibu maswali yetu badala ya kumchagulia?”

Akijibu mwongozo huo, Dk Tulia amesema utaratibu waliojiwekea, kwamba maswali atakayoulizwa Waziri Mkuu yana utaratibu wake na ya mawaziri yana nafasi yake, “kama waziri mkuu analijua au halijui hilo si lenye mamlaka yangu.”

“Maswali ya majimbo yanaulizwa kwa mawaziri, maswali ya kisera ambayo mawaziri hawawezi kujibu ndio anaulizwa Waziri Mkuu. Kanuni zetu zimesema wazi maswali ya kisera au ya kijamii, kijamii si barabara ya jimbo lako.”

Amesisitiza, “ Si swali la Gekul pekee hata la Mwakajoka limezuiwa, swali la Tunduma waziri mkuu analijuaje. Niwasihi maswali kwa Waziri Mkuu tujielekeze katika maswali ya kisera.”

Mbunge Chadema augua ghafla, kesi inayomkabili Yapigwa Kalenda

0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro imeahirisha kesi ya tuhuma za kuchoma ofisi ya Serikali ya Kijiji cha Sofi baada ya mshtakiwa wa kwanza, Suzan Kiwanga kuugua ghafla.

Kabla ya kuhairishwa kwa kesi hiyo leo Alhamisi Mei 17, 2018, upande wa mashtaka ukiongozwa na Wakili wa Serikali,  Sunday Hyera ulionekana kutokubaliana na taarifa hizo za ugonjwa.

Hali hiyo ilimfanya hakimu anayesikiliza kesi hiyo, Ivan Msack kumtaka mdhamini pamoja na wakili wa upande wa utetezi, Barthelomew Tarimo kuwasilisha taarifa ya daktari itakayothibitisha taarifa hizo za ugonjwa.

Wakili Tarimo na mdhamini wa Kiwanga walitoka na kwenda kuchukua taarifa hiyo ya daktari wa kituo cha afya cha Aga khan iliyoeleza kuwa Kiwanga anasumbuliwa na kichwa na maumivu ya mwili na kuiwasilisha mahakamani.

Katika taarifa hiyo ya daktari ilieleza kuwa Kiwanga amepumzishwa kwa saa sita na hivyo Mahakama iliahirisha kesi hiyo hadi Mei 18 mwaka huu.

Waziri Mkuu: Serikali Inasimamia Elimu, Nidhamu

0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inasimamia kwa karibu miundombinu ya elimu nchini, malezi na nidhamu ili kuhakikisha kunakuwa na usawa katika ngazi zote.

Ametoa kauli hiyo leo asubuhi (Alhamisi, Mei 17, 2018) Bungeni mjini Dodoma katika kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu wakati akijibu swali la Mbunge wa Muheza, Balozi Adadi Rajab aliyetaka kujua Serikali imechukua hatua gani kudhibiti ubora wa elimu inayotolewa kwenye shule binafsi ikiwemo nidhamu na malezi.

Waziri Mkuu amesema licha ya kuwa Serikali imetoa fursa ya uwekezaji kwenye sekta ya elimu na kuruhusu watu binafsi waweze kuendesha shule au vyuo, haina maana kuwa kila mtu ana uwezo wa kuendesha shule kadri apendavyo.

Amesema Serikali inasimamia kwa karibu miundombinu ili kuona kama inakidhi mahitaji ya taasisi iliyokusudiwa; inachunguza kama imesajiliwa; inafanya ukaguzi wa mazingira ya mahali taasisi ilipo, iloi kubaini kama ina eneo la kutosha na mazingira hayo yanaruhusu kutolea taaluma.

“Jambo jingine ambalo tunasisitiza ni kwamba; kama mwekezaji huyo amekubali kuwekeza kwenye elimu ya msingi, sekondari au chuo, atalazimika kufuata mitaala ya kiserikali; ili afundishe mtaala ambao pia unafundishwa kwenye shule za Serikali na watoto wote wapate elimu inayofanana,” amesema Waziri Mkuu.

Amesema Serikali inafanya ukaguzi wa mara kwa mara ili kubaini kama elimu inayotolewa na taasisi husika ina kiwango sawa na taasisi nyingine kwa sababu mwishoni kuna mitihani inayotolewa na Baraza la Mitihani la Taifa ili kupima kama elimu waliyoipata inafuata mtaala mmoja na kama ina viwango vinavyotakiwa.

Akitoa ufafanuzi kuhusu suala la malezi na nidhamu, Waziri Mkuu amesema suala hilo linawekewa msisitizo kwa sababu ndilo linajenga vijana ambao watakuwa viongozi wa baadaye. “Lengo letu ni kuona elimu inaboreshwa, inawiana kote nchini na wawekezaji wanakaguliwa ili kutotofautisha viwango na ubora wa elimu inayotolewa nchini,” amesema.

(mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Waziri Mkuu Akemea Uharibifu wa Miundo Mbinu

0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekemea uharibifu wa makusudi wa miundombinu ya barabara na majengo unaofanywa na baadhi ya wananchi na kuwataka waache tabia hiyo mara moja.

Ametoa kauli hiyo leo asubuhi (Alhamisi, Mei 17, 2018) Bungeni mjini Dodoma katika kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu wakati akijibu swali la Mbunge wa Magu, Bw. Kiswaga Destery aliyetaka kujua Serikali inachukua hatua gani dhidi ya wananchi wanaoharibu miundombinu ili wakauze kama vyuma chakavu kwa vile Serikali inatumia fedha nyingi kujenga miundombinu hiyo.

Waziri Mkuu amesema Serikali inatumia fedha nyingi sana kuboresha miundombinu mbalimbali nchini na kwamba kila Mtanzania anao wajibu wa kulinda miundombinu hiyo.

“Serikali inatumia fedha nyingi kujenga miundombinu ya barabara na majengo ili kutolea huduma, Watanzania wote tunao wajibu wa kuilinda na endapo itatokea mtu anaihujumu miundombinu hii, Serikali hatuwezi kukaa kimya, lazima tutachukua hatua,” ameonya.

Amesema jukumu la ulinzi ni la Watanzania wote, na kila Mtanzania anayo dhamana ya ulinzi na usalama wa ndani ya nchi ikiwemo kuilinda miundombinu. “Juzi niliona kwenye televisheni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mheshimiwa Jaffo akishirikiana na Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani Shinyanga, wamekamata Fuso lililojazwa vyuma vilivyong’olewa kwenye barabara, ni vile ambavyo vinawekwa kwenye daraja na kingo za barabara,” amesema.

“Huu ni uharibifu ambao hatuwezi kuvumilia, na katika hili Watanzania lazima tuungane pamoja tukemee tabia hii. Tunatumia fedha nyingi kujenga kingo za barabara, kuashiria maeneo yenye hatari lakini Watanzania wengine wanakuja kung’oa kwa matumizi yao. Mimi naamini Mkoa wa Shinyanga utakuwa umechukua hatua kali dhidi yao,” amesema.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Rais Magufuli: " Unadaiwa na Jeshi hulipi ??!!, hizo ni dharau...Natoa Mwezi Mmoja"

0
0
Rais John Magufuli ametoa  mwezi mmoja kwa taasisi za  Serikali na watu binafsi wanaodaiwa Sh 41.4 billioni na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuhakikisha wanalipa fedha hizo.

Magufuli ametoa maagizo hayo leo Alhamisi Mei 17, 2018 alipokuwa akizindua kituo cha uwekezaji  cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), jijini Dar es Salaam.

Ametoa maagizo hayo baada ya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Venance Mabeyo kumuomba kiongozi mkuu huyo wa nchi kusaidia kulipwa kwa madeni hayo.

Awali,  Mabeyo alimueleza Rais kuwa changamoto waliyonayo ni kutolipwa madeni na watu wanaofanya nao kazi.

Amesema kupitia Suma JKT walitengeneza na kukopesha watu mbalimbali na matrekta yenye thamani ya Sh40bilioni na zilizolipwa ni Sh2 bilioni na kubaki deni la Sh 38bilioni.

Ameeleza pia Suma JKT wanaolinda taasisi za Serikali wanadai  Sh 3.4 billion,  hivyo kufanya madeni hayo kwa Sh 41.4 billioni.

 "Tunaomba utusaidie kutia msukumo katika hili kwa sababu taasisi za Serikali zina lugha ya tutalipa tu endeleeni na ulinzi tu" amesema Mabeyo.

Mabeyo amesema kuwa kutokana na hali hiyo wanashindwa kuwalipa pamoja na gharama nyingine za kujikimu.

 "Waziri wa Ulinzi,  Katibu mkuu wa wizara ya Ulinzi waandikieni barua na mnitumie nakala ili niwe nafuatilia watakapokuwa wameanza kulipa.  Nataka fedha hizo zipatikane ili ziweze kutumika kujenga viwanda vingine ."amesema Magufuli akijibu maombi ya Mabeyo.

"Mtu anaanzaje kuacha kulipa fedha ya jeshi,  hii  ni  dharau kubwa,  raia wadharauliwe na Jeshi pia?”

“Niwaombe wote wanaodaiwa madeni kwa kuchukua matrekta, mimi niwape mwezi mmoja. ndani ya mwezi mmoja wawe wamelipa, baada ya mwezi mmoja vyombo vyote vya ulinzi na usalama vianze kuwasaka wote.” 

Katika hatua nyingine; Magufuli ameagiza kuwa apelekewe majina ya maofisa waandamizi wa jeshi wastaafu ili awateue kwenye bodi mbali mbali.

"Nileteeni majina yao kwani napata shida kuteua viongozi wa bodi kutokana na tatizo la uadilifu wao. Lakini hawa bado wana uadilifu na nidhamu ya kutosha na bado vijana ambao sidhani kama yupo atakayekataa nikimteua atusaidie,” amesema.

Miguna Miguna apewa shavu la uongozi

0
0
Gavana wa Mji Mkuu wa Kenya Nairobi Mike Mbuvi Sonko amependekeza mwanasaisa wa upinzani anayekumbwa na utata Miguna Miguna kuwa Naibu Gavana.

Sonko ametoa tangazo hilo ambalo halikutarajiwa siku ya (jana) Jumatano jioni kwa njia ya barua kwa Spika wa bunge la kaunti ya Nairobi, akisema Miguna Miguna ametimiza matakwa yote yanayohitajika kikatiba.

Barua hiyo imekuwa ikisambaa kwenye mitandao ya kijamii na kuzua maoni mengi kutoka kwa Wakenya, kutokana na kuwa uteuzi wake umekuja wakati ambao haukutarajiwa kwa kuwa Bw Miguna amekuwa mkosoaji mkuu wa Gavana huyo na kabla ya uchaguzi kwa kudai Sonko hana sifa zozote za uongozi na hawezi kuongoza jiji la Nairobi.

Miguna alitarajiwa kurudi nchini Kenya siku ya jana kutoka Canada baada ya kutimuliwa na serikali, lakini akaahirisha safari yake akisema kuwa idara ya uhamiaji huikumpa pasipoti halali jinsi ilivyoagizwa na mahakama.

Spika wa Bunge la Kaunti ya Nairobi Beatrice Elachi amesema Bw. Miguna atahitajika kutatua masuala kuhusu uraia wake na serikali ya Kenya kabla ya kuhojiwa na wabunge wa jimbo hilo.

Bw Miguna anahitaji kuidhinishwa na bunge hilo kabla ya kuchukua wadhifa huo.

Hata hivyo Miguna mpaka sasa bado hajazungumzia chochote kuhusu barua hiyo.

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

SILYA: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0785 234 837  au 0656 551 093  au 0746473974

Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume....Huna Sababu ya Kuaibika Tena

0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MALUNA:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUPER MORISIS:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr LALIMBO mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR LALIMBO ATAKUSAIDIA SM NO :- 0653182109, 0744391089.

Mgogoro wa CUF unavyowaathiri wabunge wake

0
0
Mbunge wa Jimbo la Temeke (CUF), Abdallah Mtolea amefunguka na kuweka wazi kuwa mgogoro uliopo ndani ya Chama chake umekuwa ukiathiri utendaji wa viongozi (Wabunge) waliopatikana kwa chama hicho kwa namna mbalimbali ikiwepo namna ya utendaji.

Mtolea amesema kwamba mgogoro wa chama chake wakati mwingine unakuwa unawanyima fursa wananchi kuweza kufahamu viongozi wao wanafanya kazi gani kwani mtandao waliokuwa wanautumia kufikisha habari unakuwa umekatika.

"Mgogoro wa chama unatuathiri kwa namna mbalimbali. Kwa mfano sisi wabunge mtandao wa chama unakuwa umekatika. Wananchi wanakuwa wamekatika/wamegawanyika. Mbunge unakuwa umefanya mambo mengi lakini wa kuyasemea kwa wanachi anakuwa hayupo  kwa kuwa ule mtandao tu ule mtandao tuliokuwa tunautumia unakuwa umekatika. Kwa sasa mnasimama nyie wenyewe tofauti na ilivyokuwa awali" Mtolea.

Aidha, ameongeza kwamba "Kuwepo kwa mgogoro kuwafanya mnakuwa hamfanyi kazi za chama zaidi ya kushughulikia migogoro inayoendelea".

Mbali na hayo Kiongozi huyo amesema mgawanyiko ndani ya chama umepelekea mzigo mkubwa wa ujenzi wa chama umehamia kwa Wabunge ingawa pamoja na michango ambayo watakuwa wanaichangia bado maendeleo ya chama hayataweza kwenda kwa kasi kama jinsi ambavyo wangekuwa wanapata ruzuku.

Mgogoro wa Chama cha Wananchi CUF unasadikika kuanza pale ambapo Mwenyekiti Prof. Ibrahim Lipumba alipotaka kurejea kwenye nafasi yake ikiwa ni muda baada ya kujiuzulu kipindi cha Uchaguzi mkuu 2015 kitendo ambacho kilisababisha wanachama kugawanyika huku upande mmoja ukimuunga mkono Katibu wa Chama Maalim Seif Sharif Hamad na wengine wakimuunga mkono Lipumba.

Ex wa Ali Kiba Sabby Angel Amtolea Povu Zito Staa Huyo

0
0
Muigizaji wa Bongo movie Sabby Angel ameibuka na kumtolea povu zito Staa wa Muziki wa Bongo fleva Ali Kiba baada ya kauli tata aliyoitoa kuhusu warembo wa Bongo.

Sabby Angel ambaye alishawahi kukiri kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Ali Kiba siku za nyuma kidogo ameshindwa kuvumilia na kumpa ukweli Staa Huyo aliyeoa hivi karibuni.

Hivi karibuni Kwenye mahojiano aliyofanya na Clouds Fm, Ali Kiba alifunguka kuwa sababu ya yeye kuwaacha warembo wote wa Bongo na kwenda kuoa Kenya ni kwa sababu wasichana wengi wakibongo wanaendekeza vigodoro na wengi sio wasomi.

Sabby Angel ameonekana kukasirishwa na kauli hiyo kutoka kwa mpenzi wake wa zamani na ameandika ujumbe huu:

"Ni jambo la Kheri kwa Ali K kuoa lakini sijapenda comment yake eti kusema eti Tanzania hakuna wanawake wasomi wa kuoa.

"Binafsi kama mtu umeamua kuoa we oa tu kwa manufaa yako lakini sio kukashifu wanawake wote. Kwani hapo wakati anatoka na hao wanawake wa Kitanzania haukuona hayo mapungufu? Kwani watu wanaoa vyeti? Wanaoa kukimu mahitaji yao binafsi na kuzaana?.

"Hiyo ni kumaanisha hata wazazi wetu wa kike na hata mama yake ni wale wale it is very immature”.

Ali Kiba alifunga ndoa na binti kutoka Mombasa Kenya wiki chache zilizopita.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya May 18

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images