Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Babu Seya na Mwanaye Wametaja Sababu za Kushindwa Kwenda Kwao Congo

$
0
0
Wasanii wa muziki wa dansi, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ wameshindwa kwenda nyumbani kwao Congo kwaajili ya shughuli za kimila.

Wawili hao baada ya kusamehewa kifungo chao mwishoni mwaka jana, waliahidi kwenda nyumbani kwao kwa ajili kutembelea kaburi la mama yao mzazi.

Babu Seya amedai hawawezi kwenda nyumbani kwao kwa sasa kwa kuwa bado hawajapata pesa.

“Unajua ukienda nyumbani unatakiwa kuwa na pesa, sisi bado tupo kwenye mihangaiko ya pesa, mambo yakitulia tutaenda,” alisema Babu Seya.

Katika hatua nyingine muimbaji huyo amewaomba wadau wa muziki kuidhamini show yake ya kurudi rasmi kwenye muziki baada ya misukosuko ya muda mrefu ya gerezani.

Breaking News: Lulu Michael Yupo Huru......Kabadilishiwa Adhabu na Kupewa Kifungo Cha Nje

$
0
0
Mcheza filamu, Elizabeth Michael maarufu Lulu amebadilishwa kifungo na sasa atatumikia adhabu hiyo akiwa nje yaani ‘kifungo cha nje’.

Lulu, alishtakiwa kwa kesi ya kumuua bila kukusudia, aliyekuwa muigizaji maarufu wa filamu nchini na nje ya nchi, Steven Kanumba ambaye pia alikuwa mpenzi wake.
 
Ofisa Habari wa Jeshi la Magereza, Lucas Mboje amesema Lulu amebadilishiwa adhabu  na atatumikia kifungo cha nje kwa amri ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Dar es Salaam.

“Lulu amebadilishiwa adhabu na ameachiwa juzi Jumamosi kati ya saa 2 hadi 3 asubuhi. Hii si kwamba ameachiwa huru, bali amebadilishiwa adhabu na atatumikia kifungo chake nje, kitaalamu tunaita ‘community service’” amesema Mboje

Mkuu wa Wilaya ya Temeke aibiwa gari nyumbani kwake

$
0
0
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Felix Lyaviva, ameibiwa gari lake na watu wanaosadikiwa majambazi, nyumbani kwake Toangoma, jijini Dar es Salaam.

Lyaviva amesema ameshangazwa na wezi hao kupata ujasiri wa kwenda kuiba nyumbani kwake bila kujali nafasi yake ya uongozi ikiwamo ya   mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya.

”Yaani hata hawajaogopa kuja kuiba nyumbani kwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama na pia kulikuwa na walinzi wawili,’ alisema.

Akizungumzia tukio hilo, Lyaniva alisema wezi hao waliingia nyumbani kwake usiku wa kuamkia juzi kwa kukata uzio na walichukua gari aina ya Toyota IST lenye namba za usajili T 920 DMQ.

“Wakati wezi hao wanaingia sikuwapo, nilikuwa safari ya kikazi mkoani Dodoma lakini kulikuwa na watu nyumbani kwangu. Hata walinzi walikuwapo lakini wamesema hawajasikia,” alisema.

”Ninao walinzi wawili na wameniambia hawakusikia chochote lakini Kamanda (wa Polisi Mkoa wa Temeke) analifanyia kazi tukio hilo maana hata mimi sielewi vizuri. Ijumaa (juzi) nilipoingia nyumbani ndipo nikapatiwa hizo taarifa,” alisema.

Dr Slaa afunguka kuhusu sakata la sh. 1.5 trilioni

$
0
0
Aliyewahi kuwa Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dkt. Wilbroad Slaa ambaye sasa ni Balozi wa Tanzania nchini Sweden amesema kuwa mjadala wa kuonekana au kutoonekana kwa sh 1.5 trilioni lililoibuka baada ya kuwasilishwa kwa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) limetokana na udhaifu wa mfumo uliopo wa upitishaji wa bajeti.

Ameeleza kuwa hali hiyo inatokana na mfumo wa Bunge ambao unaruhusu wabunge kupitisha bajeti ambayo fedha zake hazipo tayari.

Dkt. Slaa amefafanua kuwa wabunge wamekuwa wakipitisha bajeti kabla ya fungu halisi kupatikana, ikiwa ni nadharia inayosubiri fungu hilo kupatikana kupitia kwa wafadhili au michakato mingine ya ukusanyaji.

“Kama fedha nyingi zinatumika bila kupitishwa na Bunge kwa sababu ndiyo mfumo wetu, unawezaje kuhoji fedha hizo zilitumikaje?” Dkt. Slaa anakaririwa na Mwananchi waliofanya naye mahojiano maalum.

Aliongeza kuwa kwa kawaida, huwezi kupata takwimu halisi za miradi mikubwa ya Serikali ndani ya kipindi cha mwaka wa fedha husika kwani miradi hiyo huwa katika hatua za utekelezaji.

Balozi Slaa ambaye aliwahi kuwa mbunge wa Karatu kwa tiketi ya Chadema alisema kuwa kinachofanyika hivi sasa bungeni, wabunge wengi hawajadili hoja na badala yake wamekuwa watu wa kufanya ushabiki na kuhitimisha hoja tu.

Alisema kuwa wakati alipokuwa bungeni, alikuwa anafanya utafiti wa kutosha kuhusu masuala ya ufisadi na kuhakikisha anapata nyaraka zote husika kabla ya kuliwasilisha.

“Ndio maana unaona wakati huo niliweza kuwachachafya Mawaziri kwakuwa nilikuwa sikurupuki,” alisema.

Sakata la sh 1.5 trilioni liliibuliwa na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe na baadaye kujibiwa na Serikali pamoja na Chama Cha Mapinduzi.

Kauli ya Steve Nyerere Baada ya Lulu Michael Kuachiwa Huru

$
0
0
Taarifa za muigizaji maarufu nchini Elizabeth Michael”Lulu” kuachiwa huru siku ya leo May 14,2018 zimewafurahisha wengi baada ya kubadilishiwa adhabu na kumalizia adhabu yake nje ya gereza.

Mchekeshaji Steve Nyerere ambaye pia ni msemaji mkuu katika kitengo cha waigizaji (Bongo Movie) ni mmoja wa watu waliofurahishwa na taarifa hizo na kuonesha furaha yake kupitia ukurasa wake wa instagram.

“Lulu ni jambo la kushukuru sana kwani kila pito naamini Mungu supo pamoja nawe, nichukue nafasi hii kwa dhati kabisa kumshukuru  Rais John Pombe Magufuli kwa msamaha huu naamini umefanya jambo jema sana Rais wangu. Nipongeze mahakama pia na wadau wote mliokuwa mnamuombea mwenzetu kutoka familia njoo Lulu tujenge tasnia yetu sasa”

Taarifa Rasmi ya Jeshi la Magereza Kuhusu Lulu Michael Kutoka Gerezani

Shamsa Ford : Harmonize Kaniumiza Sana

$
0
0
Muigizaji wa Filamu Bongo, Shamsa Ford amekiri kuumizwa na kitendo cha Harmonize kumuhusisha mume wake katika ugomvi wake na ex-girl friend wake, Wolper.

Utakumbuka wiki iliyopitia katika kurushiana maneno kati ya Harmonize na Wolper, mume wa Shamsa Ford, Chid Mapenzi alitajwa na Harmonize katika orodha ya wanaume 12 aliodai wametoka kimapenzi na Wolper.

Sasa Shamsa amesema si kwa mume wake pekee bali hata mtu wake wa karibu anapozungumzwa kwa ubaya huwa anaumia.

“Lazima uumie ukiwa kama binadamu hasa kwa mtu ambaye unampenda sio lazima kwa mume kwa mtu yeyote ambaye unampenda, yupo katika sehemu ya maisha yako lazima ujisikie vibaya,” amesema Shamsa.

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upungufu Wa Nguvu Za Kiume, Maumbile Mdogo, Busha Bila Kupasua

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO : Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliohangaika sehemu mbalimbali bila mafanikio.

Mabula Clinic ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya jeshini. Je unaupungufu wa nguvu za kiume au uume wako mdogo na mwembamba? 

Mapro pawer no 2 ndio tiba, kwa sasa hutibu matatizo matatu kwa pamoja 1. itakufanya uchelewe kufika kileleni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2. Huimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa hasa kwa wale walio athirika na upigaji punyeto 3. itakufanya upate hamu ya kurudia tendo zaidi ya mara tatu :Kwa nini ujione mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo 

Makakanua mix ni dawa iliyochanganywa na miti shamba 9 na kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 kwa urefu na unene sentimita 1-5, dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona

 Zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke kwa masaa matatu tu ,mvuto wa biashara, kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu.

Tunatibu ngiri, miguu, mgongo na kiuno kuumwa, kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa 

Tiba na ushauli muone Dr Mabula au piga simu no 0743362017.Huduma zangu utazipata popote ulipo kama uwezi kufika ofisini

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo dawa na PETE za bahati zenye uwezo mkubwa wakuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.
 
Kutana na Sharif Al_noor. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. -SHARIF ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA- Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na inje ya nchi.
 
Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.
 
Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudisha  alipotea(MSUKULE), kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, kutoa ndagu, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMA, GARI..), Kesi mahakamani, Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET) Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa nambari ya simu
 
+255 746 426 604

Tanzania yatinga hatua ya fainali kombe la Dunia

$
0
0
Timu ya Wasichana ya Tanzania inayoundwa na Watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu wa Kituo cha TSC Mwanza wamefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Dunia la Watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu baada ya kuifunga Uingereza magoli 2-1.

Mchezo huo uliyopigwa kwenye dimba la klabu ya Lokomotive mjini Moscow nchini Urusi Tanzania iliibuka na ushindi huo mnono kupitia kwa wachezaji wake, Mastura Fadhili na Mshambuliaji Asha Omari.

Kwa upande mwingine timu ya Brazili imetinga hatua ya fainali baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1 – 0 dhidi ya  Ufilipino.

Tanzania ambayo ndiyo mabingwa watetezi baada ya kulitwaa kombe hilo mwaka 2014, itaikabili Brazil kwenye mchezo wa fainali unaotarajiwa kupigwa kesho kutwa huku mpaka sasa ikiwa imeruhusu wavu wake kutikiswa mara moja tu.

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
MAKANGA 3 POWER; DAWA BORA NGUVU ZA KIUME
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.
 
Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.
 
Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.
 
Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.
 
Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.
 
Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.
 
Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.
 
Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.

Sita wana kesi ya kujibu mauaji ya Bilionea Msuya

$
0
0
Mahakama Kuu Kanda ya Moshi, imewaona washitakiwa sita kati ya saba katika kesi ya mauaji ya mfanyabiashara Erasto Msuya kuwa wana kesi ya kujibu.

Mshitakiwa wa nne, Jalila Zuber ameachiwa huru baada ya uamuzi wa Jaji Salma Maghimbi, kueleza kuwa ushahidi uliotolewa na mashahidi wa upande wa mashitaka haukumgusa kiasi cha kufanya awe na kesi ya kujibu. Jaji Maghimbi ametoa uamuzi huo leo Mei 14.

Washitakiwa ambao wameonekana wana kesi ya kujibu ni mshitakiwa wa kwanza, Sharifu Mohamed, mshitakiwa wa pili, Shaibu Jumanne, mshitakiwa wa tatu, Mussa Mangu, mshitakiwa wa tano, Karim Kihundwa, mshitakiwa wa sita, Sadick Jabir na mshitakiwa wa saba, Ally Majeshi.

Waziri Nchemba atoa agizo kwa jeshi la Polisi kuhusu Vibali vya Mikutano

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza jeshi la Polisi nchini kuruhusu Taasisi za dini kufanya mikutano yao watakapoomba kibali.

Aidha, amesema ni lazima kuheshimu uhuru wa kuabudu wa kila dini uzingatiwe kwa kuruhusu wanafunzi na wafanyakazi kwenda sehemu zao za kuabudu kama ilivyopangwa.

Akizungumza katika kongamano lililoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato jijini Mwanza, Dkt. Mwigulu alisema kuwa mafundisho yanatotolewa na taasisi za dini yanasaidia kuwa na jamii yenye raia wema.

Alisema kwa kuwa Wizara hiyo ndiyo yenye mamlaka ya kusimamia uhuru wa kuabudu, watahakikisha wanazungumza na mashirika n ahata shule ambazo zinawazuia wanafunzi na wafanyakazi kuhudhuria kwenye ibada siku za jumamosi.

‘’Nimeagiza jeshi la Polisi wawape uhuru wa kuabudu kwa sababu mnatengeneza jamii iliyobora lakini pia tutazungumza na wahusika kwenye taasisi za elimu na ajira ili tutoe maamuzi yatakayotolewa yasilete doa kwani kazi hii inasaidia kunyoosha nchi,’’ alisema Dk Mwigulu.

Naye, Katibu Mkuu wa Kanisa hilo Kanda ya Nyanza Kusini, Steven Swita alisema kuwa kumekuwa na changamoto ya waumini wa kanisa hilo kuzuiliwa kwenda kuabudu siku ya jumamosi kulingana na imani zao.

‘’Kumekuwa na utaratibu wa kupangwa masomo ya ziada na mitihani siku ya jumamosi pamoja na udahili wa wafanyakazi na wasipohudhuria huadhibiwa kwa viboko kwa wanafunzi wa shule za msingi na wale wa elimu ya juu wanafukuzwa shule,’’ alisema Swita

Naibu Waziri: Wahandishi wa maji wanyooke na asiyekubali kunyooka tutamnyoosha

$
0
0
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso amewatahadharisha watumishi wote waliokuwa chini ya Tamisemi katika miradi ya maji ambao wamehamia Wizara ya Maji kwamba wanatakiwa kunyooka vinginevyo watanyooshwa.

“Nimshukuru sana Mheshimiwa Rais John Magufuli kwa kutoa agizo la watumishi wote wa sekta ya maji kuwa chini ya Wizara yetu, nawatahadharisha kuwa lazima waje wakiwa wamenyooka na kama watashindwa sisi tutawanyoosha,’ amesema Aweso.

Aweso alikuwa akijibu swali la Mbunge wa Mbarala, Haroon Mulla Pirmohamed bungeni leo Mei 14.

Pirmohamed alitaka kujua ni lini Serikali itamaliza kujenga skimu za umwagiliaji Ipatagwa, Kongoro/Mswiswi, Motombaya na skimu mpya ya Mhwela mpaka Kilambo.

Naibu Waziri amesema katika mwaka wa fedha 2017/18, Serikali kupitia halmashauri ya Mbarali ilitumia kiasi cha Sh 20 Milioni kwa ajili ya kufanya ukarabati mdogo wa banio la Igumbilo lililopo Kata ya Chimala ili kuwawezesha wakulima kuendelea kutumia banio hilo kwa shughuli za umwagiliaji kwa muda.

Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Yanayosumbua Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume, Kisukari,

$
0
0
BABU MADUHU NI BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU YANAYOSUMBUA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI, MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:

KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni NYASOSE MIX, Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1. MKEBE NO.1 Hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo la kwanza bila kuchoka naitakufanya uwe na hamu ya kuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

MHESHA POWER
MKEBE NO 2 ni dawa ya kuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,

KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ITINYA,
Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake, humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa pia ana pete za bahati ambazo zimetajilisha wengi.

SUPER POWER,
Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL/KANISANI

SIMU NO 0652 102 152/0755 684 297/0788 330 105.

HUDUMA HII UNAWEZA KUIPATA/KULETEWA MAHALI POPOTE NCHINI

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE; 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO 0754372325/ 0689013109/ 0620806813 

HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume....Huna Sababu ya Kuaibika Tena

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MALUNA:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUPER MORISIS:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr LALIMBO mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR LALIMBO ATAKUSAIDIA SM NO :- 0653182109, 0744391089.

Mbunge aonya wanasiasa kuitumia kisiasa JWTZ

$
0
0
Mbunge wa Rombo (Chadema), Joseph Selasini amewaonya viongozi wa kisiasa kutolitumia Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kwa shughuli za siasa.

Selasini ameshauri JWTZ kutumia kitengo chake cha upelelezi kulisaidia Jeshi la Polisi ambalo amedai limeshindwa kubaini matukio ya ajabu yanayoiaibisha nchi.

Hayo ameyasema leo Mei 14, 2018 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ya mwaka 2017/18 huku akiwapongeza Waziri wa Wizara hiyo, Dk Hussein Mwinyi na Mkuu wa Majeshi, Venance Mabeyo kwa uongozi mzuri.

“Mimi nishauri tu, jeshi letu linaheshima katika majeshi ya Afrika, heshima yake inatokana na misingi yake na hili ni jeshi letu, ninaomba wanasiasa na viongozi wetu tusilichafue jeshi hili kama tulivyolichafua jeshi la polisi,” amesema Selasini na kuongeza:

“Leo katika nchi yetu, ikitokea ajali ya polisi, watu wanauliza wamekufa wangapi.”

Selasini amesema, “Hata katika operesheni  ya Ukuta (Umoja wa Kupambana na Udikteta Tanzania), wanajeshi walionekana wanafanya mazoezi, jeshi linalinda usalama wa mipaka, kwa nini tunalishughulisha na mambo yanayofanywa na polisi.”

Kuhusu upelelezi, Selasini amesema Mkuu wa Majeshi namshukuru atumie kitengo chake cha upelelezi.

“Ili haya matukio ya aibu, iko hofu, watu wanasema kuna maeneo nyeti nchini sasa yanalindwa na askari kutoka nchi hususan Rwanda, sasa hofu hiyo ya watu wasiojulikana inatia hofu.”

Abdul Nondo Amkataa Hakimu

$
0
0
Mshtakiwa katika kesi ya kujiteka na kusambaza taarifa za uongo katika mitandao ya kijamii, Abdul Nondo ameandika barua ya kumkataa Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mkoa wa Iringa, John Mpitanjia, anayesikiliza kesi   hiyo kwa madai ya kuwa karibu na Mkuu wa Upelelezi wa  Polisi Mkoa wa Iringa.

Wakili anayemtetea Nondo,  Jebra Kambole ametoa sababu  tano za mteja wake kuandika barua hiyo tangu Mei 11,  mwaka huu za kumkataa hakimu huyo ikiwamo hakimu huyo kuonekana akiingia katika gari la Mkuu wa Upelelezi na kwenda sehemu isiyojulikana, ambapo kutokana na hali hiyo, mteja wake ameona haki haitatendeka.

Amedai sababu nyingine ni hakimu huyo kukutwa amekaa na Paul Kisapo ambae ni shahidi wa tatu katika kesi hiyo.

Kwa upande wake Wakili Upande wa Jamhuri, Abel  Mwandalama amedai pamoja na kupokea barua ya mshtakiwa kumkataa hakimu lakini ameona hayana msingi katika  kesi  hiyo.

“Tunasema hayo kwa kuwa Aprili 19, shahidi wa tatu katika shauri hilo alitoa  ushahidi wake na mshitakiwa  hakuandika barua yoyote na hata kesi hiyo ilipokuja tena Mei 10, mwaka huu hakuna barua iliyoandikwa iweje barua hiyo  kuandikwa Mei 11, baada ya mahakama hiyo kukubali vielelezo vilivyotolewa na upande  wa jamhuri  kutumika kama  ushahidi,” amedai Wakili Mwandalama.

Baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili, Hakimu Mpitanjia alisema uamuzi wa kujitoa ama kuendelea na kesi hiyo  utatolewa Mei 16, mwaka huu.

Nondo anakabiliwa na mashtaka mawili ambayo ni kusambaza taarifa za uongo akiwa Ubungo jijini Dar es Salaam, na kutoa taarifa za uongo akiwa mjini Mafinga kwa askari Polisi kituo cha Mafinga Wilayani Mufindi.

Wema Sepetu aeleza sababu za kushindwa kufika kwenye uzinduzi wa filamu ya Aunt Ezekiel

$
0
0
Msanii Kiwango wa filamu Bongo, Wema Sepetu ameeleza sababu ya kushindwa kuhudhuria kwenye uzinduzi wa filamu fupi ya dakika 20 ‘MAMA’ ya Aunt Ezekiel iliyofanyika usiku wa jana (Jumapili) Mlimani City jijini Dar es Salaam.

Madam Sepenga ametoa taarifa hiyo kupitia kwenye mtandao wa Instagram akidai kuwa alichelewa kutokana na Mama yake ndio alimchelewesha na kujikuta ameshindwa kufika kwenye uzinduzi huo.

“I was soooo Ready for MAMA Short Film But My MAMA Took my Time aswell… Nikachelewa…😩😩😩,” ameandika Wema kwenye mtandao huo.

Hata hivyo Aunt Ezekiel alipohojiwa na Mwananchi Digital sababu za Wema Sepetu kushindwa kufika katika uzinduzi huo alisema ni kutokana na gauni la mrembo huyo alilotakiwa kuvaa kwenye uzinduzi huo lilikuwa bado lipo kwa fundi halijamalizika kwa sababu ya kukatika kwa umeme.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images