Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO 0758840958 / 0785687900

Kigogo TBC amruka Tido Mhando

$
0
0
Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Clement Mshana, amedai mahakamani kwamba Mei 28, 2012 alishangaa kupokea taarifa ya usuluhishi kutoka Channel 2 Group Corporation (BV1) ya Uingereza kwa madai ya kuisababishia hasara.

Mshana alitoa madai hayo jana wakati akitoa ushahidi dhidi ya mtangulizi wake katika nafasi hiyo, Tido Mhando, anayekabiliwa na mashtaka ya matumizi mabaya ya madaraka ikiwamo kuisababishia serikali hasara ya Sh. Milioni 887.1.

Kigogo huyo ambaye ni shahidi wa tatu wa Jamhuri, alitoa ushahidi wake mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi anayesikiliza kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.

Akiongozwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi Leonard Swai, shahidi huyo alidai kuwa kampuni hiyo iliwaahidi kuwapatia kazi ya kuhamisha urushaji wa matangazo kutoka mfumo wa analogia kwenda digitali katika televisheni.

Mshana ambaye alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TBC mwaka 2011 hadi 2016 alidai kuwa alishangaa na kushtuka kwa sababu walipelekewa madai ya pesa nyingi na walipewa siku 28 kuwa lazima TBC iwe imejibu madai hayo.

Alidai kuwa aliwasiliana na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya TBC iwapo analifahamu suala hilo au waliwahi kutoa baraka kwa sababu ndio wasimamizi wakuu wa shirika.

Hata hivyo, alidai kuwa mwenyekiti wa bodi alieleza kwamba hakufahamu mkataba huo ulioingiwa kati ya Tido na Channel 2 Group Corporation (BV1).

"Mwenyekiti wa bodi alinielekeza niandike barua kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo labda analifahamu suala hilo...Wizara ya Habari, ilimwandikia Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) kuliangalia hilo suala na kutoa ushauri wa kisheria na maelekezo"alidai shahidi na kuongeza.

"Katika kumbukumbu zangu Wizara ilitoa maelekezo kwa bodi ya wakurugenzi ya TBC iitishe kikao cha kujadili na kutoa mapendekezo kwa sababu ilitaka kujua zaidi kuhusu mkataba huo...mbali na wizara na AG, Msajili wa Hazina naye alifahamishwa kwa sababu yeye ndiye amepewa dhamana na mali za shirika pamoja na Wizara ya Fedha ambayo ni mtoa fedha," alidai Mshana.

Alidai kuwa katika taarifa ya usuluhishi aliyoipokea, Channel 2 Group Corporation alidai kuwa TBC imewasababishia kukosa faida ambayo wangeipata iwapo wangewekeza katika kuhamisha urushaji wa matangazo ya televisheni kutoka mfumo wa analojia kwenda digital.

Aidha, bosi huyo wa zamani wa TBC aliomba mahakama kupokea nyaraka za mkataba unaodaiwa kuingiwa kati ya Tido na Channel 2 Group Corporation, mikataba ya nyongeza na barua mbalimbali zinazoonyesha uwepo wa Mawasiliano kati ya TBC, AG, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo, Wizara ya Fedha na TCRA juu ya suala hilo na kuomba kuzitoa mahakamani kama vielelezo kwa upande wa Jamhuri katika kesi hiyo.

Wakili wa utetezi, Ramadhani Maleta hakuwa na pingamizi na Mahakama ikavipokea.

Kesi imeahirishwa hadi Mei 18,mwaka huu mashahidi wa upande wa Jamhuri wataendelea kutoa ushahidi dhidi ya Tido.

Katika kesi ya msingi ilidaiwa kuwa Juni 16, 2008, akiwa Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Tido kwa makusudi alitumia madaraka yake vibaya kwa kutia saini mkataba wa kuendesha na utangazaji wa vipindi vya televisheni kati ya TBC na Channel 2 Group Corporation (BV1) bila kupitisha zabuni, kitu ambacho ni kinyume cha Sheria ya Ununuzi wa Umma na kuinufaisha BVl.

Katika shtaka la pili, Tido ilidaiwa kutumia vibaya madaraka yake Juni 20, 2008 alipotia saini makubaliano kwa utangazaji wa digitali duniani kati ya TBC na BVl.

Katika shtaka la tatu, ilidaiwa Agosti 11, 2008 na Septemba 2008 akiwa Dubai, Tido alitumia vibaya madaraka yake kutia saini mkataba wa makubaliano kwa ununuzi, usambazaji kufunga vifaa vya usambazaji na mnara wa utangazaji kati ya TBC na BVI na kuifaidisha BVI.

Katika shtaka la nne, ilidaiwa kuwa Novemba 16, 2008 akiwa Dubai, Tido alitumia vibaya madaraka yake kutia saini mkataba wa makubaliano kwa kuendesha miundombinu ya utangazaji (DTT Broadcast Infrastructure) kati ya TBC na BVI na kuinufaisha BVI.

Katika shtaka la mwisho, ilidaiwa kuwa kati ya Juni 16 na Novemba 16, 2008 akiwa UAE, Tido aliisababishia TBC hasara ya Sh.887,122,219.19.

Kama Dalili Hizi Unazo Upo Kwenye Hatari Ya Kuishiwa Nguvu Za Kiume Kabisa

$
0
0
Una dalili zifuatazo?
1: Kushindwa kurudia tendo la ndoa
2: Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa
3: Maumivu ya kiuno mgongo
4: Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
5: Uume kusinyaa, kuingia ndani na kuwa mdogo au mfupi
6: Korodani moja kuvimba

KAMA DALILI HIZI UNAZO UPO KWENYE HATARI YA KUISHIWA NGUVU ZA KIUME KABISA

Kwa matibabu tumia OZYMIX POWER-dawa bora ya nguvu za kiume ya miti shamba ambayo haina kemikali ambayo itakuwezesha kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha.
Pia tunatoa huduma hizi:>

1.Dawa ya Kuondoa michirizi
2.Kumrudisha mwanaume aliyekuacha 
 
Tunapatikana KAWE UKWAMANI karibu na kituo cha mabasi.
KWA MAWASILIANO ZAIDI ; 0716096205 /0756726865 FIKA OFISIN AU PIGA SIMU NA UTALETEWA DAWA POPOTE ULIPO DAR ES SAALAM NA KWA MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA MABASI.

TEMBELEA KATIKA BLOG YETU HAPA>>>;

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upungufu Wa Nguvu Za Kiume, Maumbile Mdogo, Busha Bila Kupasua

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO : Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliohangaika sehemu mbalimbali bila mafanikio.

Mabula Clinic ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya jeshini. Je unaupungufu wa nguvu za kiume au uume wako mdogo na mwembamba? 

Mapro pawer no 2 ndio tiba, kwa sasa hutibu matatizo matatu kwa pamoja 1. itakufanya uchelewe kufika kileleni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2. Huimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa hasa kwa wale walio athirika na upigaji punyeto 3. itakufanya upate hamu ya kurudia tendo zaidi ya mara tatu :Kwa nini ujione mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo 

Makakanua mix ni dawa iliyochanganywa na miti shamba 9 na kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 kwa urefu na unene sentimita 1-5, dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona

 Zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke kwa masaa matatu tu ,mvuto wa biashara, kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu.

Tunatibu ngiri, miguu, mgongo na kiuno kuumwa, kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa 

Tiba na ushauli muone Dr Mabula au piga simu no 0743362017.Huduma zangu utazipata popote ulipo kama uwezi kufika ofisini

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE; 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO 0754372325/ 0689013109/ 0620806813 

HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, (TMA) Yatoa Tahadhari ya Mvua Kubwa

$
0
0
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, (TMA) imetoa tahadhari kwa wakazi wa maeneo ya Ukanda wa Pwani kwani mvua kubwa zinatarajiwa kunyesha kuanzia leo.

Taarifa ya TMA imesema maeneo yanayotarajiwa kupata mvua kubwa ni Dar es Salaam, Pwani, Tanga na Visiwa vya Unguja na Pemba.

Utabiri huo uliotolewa jana, Mei 11 umeonyesha kuwa kesho, Mei 13 kutakuwa na ongezeko la mvua maeneo ya Ukanda wa Pwani ya Kaskazini.

Forbes yatangaza watu 10 wenye ushawishi zaidi Duniani

$
0
0
Kiongozi wa China Xi Jinping ndiye mtu mwenye ushawishi Zaidi duniani, kwa mujibu wa jarida la Forbes. Amechukua nafasi hiyo baada ya bunge China kumpa mamlaka zaidi na kuondoa kikomo cha muhula wa rais.

Jingping amechukua nafasi hiyo kutoka kwa Rais Vladimir Putin wa Urusi ambaye kwa sasa anashika nafasi ya pili.

World Most #PowerfulPeople List of @Forbes #forbes

1. Xi Jinping
2. Vladimir Putin
3. @realDonaldTrump
4. Angela Merkel
5 @JeffBezos @amazon
6. Pope Francis
7. @BillGates
8. Mohammed bin Salman Al Saud
9. @narendramodi
10. Larry Page @Google


Zari: Nilimpenda Sana Diamond Ila Alizidisha Dharau Nikaamua Kumtema

$
0
0
Aliyekuwa Baby Mama wa Diamond Platnumz, Zari The Boss Lady amesema alimpenda sana muimbaji huyo na kila mtu alifahamu hilo ila dharau zilizidi, ndipo akaamua kuvunja mahusiano yao.

Zari katika mahojiano na Kiss FM nchini Kenya amesema kwa kawaida mwanaume anaweza kuchepuka ila kwa Diamond dharau zilizidi na alihisi kama utu wake umeshushwa.

Ameendelea kwa kusema kuwa Diamond alikuwa akimkosea heshima katika mitandao ya kijamii na hakuwa na heshima kwa wanawake kitu kilichopelekea hata watoto wake kutukanwa na ukizingatia hawana baba hivyo hakuona sababu ya kuendelea na mahusiano hayo.

“I loved diamond so much. God blessed us with two beautiful kids. But I decided to leave because he kept disrespecting me.

"When a man keeps disrespecting you, it’s time to move on. Diamond kept on repeating the same mistakes he had done. I kept asking myself ‘why do I have to settle for less?’. I then decided to call it quits.

"When you get insults from trolls, even your kids feel it as well. I have all grown boys and couldn’t stay anymore.  For the sake of the children, I think it was the right time to go. I ‘m raising my sons to respect women."
- Zari

February 14 mwaka huu  Zari alitangaza kuvunja rasmi mahusiano yake na Diamond Platnumz. Kwa sasa Zari yupo nchini Kenya kwa ajili ya event yake ‘The Colour Purple’ itakayofanyika weekend hii Uhuru Gardens.

Pole Sana Aisee.... Aliyetaka Kumuhonga Zari Range Rova Apigwa Kibuti

$
0
0
Zari The Boss Lady amesema hamfahamu Ringtone Apoko ambaye ni msanii wa muziki wa Injili kutoka nchini Kenya aliyetangaza kumnunulia mrembo huyo gari aina ya Range Rover Sport ya mwaka 2017.

Hapo jana Ringtone Apoko aliweka wazi kuwa amenunua gari hilo baada ya kusikia Zari atawasili nchini humo kwa ajili ya event yake, pia kipindi cha nyuma msanii huyo alipopata taarifa za Zari kuachana na Diamond alijitokeza na kueleza ana nia ya kumuoa.

 Zari akiwa nchini Kenya amehojiwa na kituo cha Radio, Kiss FM na kueleza kuwa hamfahamu msanii huyo.

“I don’t know ringtone and I have never met him. This is actually news to me. I have over 3.9 million followers on instagram and I wouldn’t know who follows me,” Zari  said.

“Simfahamu huyo Ringtone na sijawahi kukutana naye, ndio mara ya kwanza kusikia kitu kama hicho. Nina watu zaidi ya milioni 3.9 katika mtandao wa Instagram ambao wananifuatilia, siwezi kujua nani kunifuata na kwa wakati upi,” amesema Zari.

Zari yupo nchini Kenya kwa ajili ya event yake ‘The Colour Purple’ itakayofanyika weekend hii Uhuru Gardens.

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo dawa na PETE za bahati zenye uwezo mkubwa wakuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.
 
Kutana na Sharif Al_noor. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. -SHARIF ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA- Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na inje ya nchi.
 
Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.
 
Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudisha  alipotea(MSUKULE), kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, kutoa ndagu, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMA, GARI..), Kesi mahakamani, Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET) Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa nambari ya simu
 
+255 746 426 604

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
MAKANGA 3 POWER; DAWA BORA NGUVU ZA KIUME
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.
 
Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.
 
Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.
 
Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.
 
Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.
 
Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.
 
Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.
 
Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.

Waziri Ummy Mwalimu apewa tuzo ya heshima

$
0
0
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (CCM), amepewa tuzo ya heshima na klabu ya soka ya Coastal Union ya jijini Tanga.

Coastal Union wametoa tuzo hiyo kwa Ummy, ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wake ambao ulifanikisha harakati zao za kurejea ligi kuu kuanzia msimu ujao baada ya kufanikiwa kuwa miongoni mwa timu sita zilizopanda msimu huu.

Tuzo hizo ambazo zimetolewa na baraza la wazee wa timu hiyo chini ya Mwenyekiti Salimu Bawaziri pia amekabidhiwa Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Pangani pamoja na wadau wengine.

Ummy alijitolea kugharamia kambi za timu hiyo wakati wa michezo ya ligi daraja la kwanza pamoja na kulipa mishahara na posho za viongozi na wachezaji jambo ambalo liliongeza hamasa kwa wachezaji.

Coastal Union ni miongoni mwa timu sita zilizopnda ligi kuu msimu ujao. Nyingine ni Alliance Schools, Biashara Mara, KMC, African Lyon na JKT Tanzania ambazo zitachukua nafasi za Ndanda FC na Majimaji FC huku zingine zikiongeza idadi ya timu kutoka 16 hadi 20.

Waziri Mkuu Azuiwa Kusafiri

$
0
0
Waziri Mkuu wa zamani Najib Razak na mkewe Rosmah Mansor wamezuiwa kuondoka nchini, Idara ya Uhamiaji imesema Jumamosi.

Taarifa ya Idara ya Uhamiaji ilitolewa muda mfupi baada ya kiongozi huyo wa zamani mwenye kashfa ya ufisadi kuandika katika Facebook kwamba yeye na familia yake wanatarajiwa kwenda ughaibuni kwa mapumziko kuanzia Jumamosi na watarejea wiki ijayo.

Katika akaunti ya Twitter Najib amesema ataheshimu amri ya kuzuiwa iliyotolewa na serikali kumtaka asiondoke nchini.

"Nimetaarifiwa kwamba Idara ya Uhamiaji imenizuia mimi na familia yangu kusafiri nje ya nchi. Naheshimu amri na nitabaki nchini na familia yangu,” ameandika Najib.

Waziri mkuu huyo aliyeondolewa kupitia sanduku la kura sasa anachunguzwa na Serikali juu ya tuhuma za ufisadi wa fedha za uwekezaji ambazo maofisa wanadaiwa kuiba zaidi ya dola za Marekani 4.5bilioni.

Inadaiwa kiasi kingine cha fedha kiliishia kwenye akaunti binafsi ya Najib katika benki.

Najib amekanusha kufanya kosa lolote na anasema fedha hizo zilitolewa na familia ya kifalme ya Saudi Arabia na kwamba alikwisharejesha.

Ushauri wa January Makamba wampa nguvu Flaviana Matata

$
0
0
Mwanamitindo wa kimataifa kutoka Bongo, Flaviana Matata ameukumbuka ushauri aliowahi kupewa na Waziri wa nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Januari Makamba.

Flaviana amesema kuwa kuna kiongozi alimkwaza miaka michache iliyopita alitaka kulipuka akakumbuka ushauri wa waziri huyo aliowahi kumshauri kuwa asishiriki katika mizozo isiyo ya muhimu.

Kuna kiongozi alinikwaza sana miaka michache ilopita nkataka kulipuka nae Ila Kaka yangu @JMakamba akanambia “Choose your battles wisely Mdogo wangu” #ElimikaWikiendi,” ameandika Flavian Matata katika ukurasa wake wa kijamii.

Naye, Makanda alimjibu kwa kuandika “Si unaona heshima yako kwenye jamii bado ipo juu.”

Hata hivyo tofauti na Uana Mitindo Falviana Matata aliwahi kuwa Miss Universe 2007, hivi sasa Mjasiriamali wa bidhaa za kucha ziitwazo Lavy product.

Wema Sepetu Akanusha kuhusu lipstick zake

$
0
0
Mrembo Wema Sepetu amekanushaa taarifa zilidodai kuwa bidhaa zake mpya za lipstick zinafanana na zile za mwanzo.

Wema amesema hilo halina ukweli wowote zaidi ya watu walioamua kuzusha hilo.

“Kiss by Wema sio Wema Sepetu Liquid Matte, Kiss by Wema ilikuwa na mafuta, hii ya pili ni kavu, hazina mafuta and zipo kwenye package tofauti na zina ubora zaidi kuliko zile za mwanzo,” Amesema Wema Sepetu.

September 2017 Meneja wa Wema Sepetu, Happy Shame alikanusha taarifa zilizodai kuwa lipstick za ‘Kiss by Wema’ zilipigwa maarufu na Mamlaka ya Chakula na Dawa Nchini (TFDA) kwa kueleza kuwa bidhaa hizo hazikuwepo tena sokoni kwa wakati huo.

Katarina Amvaa Ebitoke

$
0
0
Mchekeshaji wa kike Bongo aliyejizolea umaarufu mpaka nje ya nchi Katarina Karatu, amesema kauli ya Ebitoke kwamba Tanzania hakuna wachekeshaji wa kike, amekosea kwani wako wengi sana.

Katarina amesema licha ya kwamba hajisikii kumuongelea Ebitoke, lakini kauli aliyoitoa haileti maana na inavunja moyo, kwani wachekeshaji wapo wengi isipokuwa mashabiki ndio wanaamua nani ni mkali zaidi.

“Yule ni mtu mzima anajua anachofanya kwa hiyo kuanza kumuongelea sijisikii kwanza, nahisi sifanyi kitu sahihi, kuhusu wachekeshaji wa kike kwanza anakosea, wapo wengi tu kuna watu wanafanya vizuri, ni mashabiki wanaamua nani ni bora na nani anavamia fani, ila kuhusu yeye sihitaji kumuongelea sana kwa sababu zangu binafsi”, amesema Katarina.

Mchekeshaji huyo ameendelea kwa kusema kwamba ili kuthibitisha kuwa wachekeshaji wazuri Tanzania wapo, hivi karibuni amepata mwaliko nchini Kenya ambapo atapanda jukwaa moja na wachekeshaji kutoka nchi nyingine za Afrika Mashariki, Anne Kansiime wa Uganda, Idirs Sultan wa Tanzania na wengine wa Kenya.

Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume....Huna Sababu ya Kuaibika Tena

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MALUNA:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUPER MORISIS:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr LALIMBO mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR LALIMBO ATAKUSAIDIA SM NO :- 0653182109, 0744391089.

Ray C: Nikifanya Hivyo Nitapelekwa jela na Rais Magufuli

$
0
0
Muimbaji mwenye sauti aina yake kutoka Bongo, Ray C amesema ukali wa Rais Magufuli umepelekea wasanii waliokuwa na tabia ya kupiga picha za utupu kuacha.

Ray C akiwa nchini Kenya amesema tabia hiyo kipindi cha nyuma ilishamiri ila kwa sasa inaenda ikipungua.

“I don’t know lakini inakuwa too much inaenda inakuwa too much ndio maana Rais Magufuli kakataza, siunajua Baba yetu mkali kidogo. It was too much ilikuwa inaanza kwenda mbali, unajua watoto wanaangalia,” Ray C ameiambia Citizen TV.

Alipoulizwa kwanini yeye hafanyi hivyo alijibu; “Sinitapelekwa jela na Rais Magufuli, yeah!, is not allowed,”.

Mapema January mwaka huu Serikali ilimuita msanii Gigy Money na Mwanamitindo Sanchoka kwa mahojiano maalumu kuhusu kazi zao ambazo zilionekana zipo kinyume na maadili hususani kwenye mavazi wanayovaa.

Sugu Kurudi Bungeni Baada ya Afya ya Mama Yake Kuimarika

$
0
0
Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema) Joseph Mbilinyi  maarufu Sugu ambaye tangu juzi yupo uraiani baada ya kutoka gerezani kwa msamaha wa Rais John Magufuli, amesema ataanza kushiriki vikao vya Bunge la bajeti mjini Dodoma baada ya kujua maendeleo ya afya ya mama yake mzazi.

“Nasubiri ripoti ya daktari kuhusu hali ya mama ndipo niweze kwenda bungeni.  Ripoti hiyo huenda ikatolewa Jumapili (kesho),” amesema Sugu ambaye alikuwa akitumikia kifungo cha miezi mitano jela pamoja na na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyasa, Emmanuel Masonga

Bunge la bajeti lilianza Aprili 3, 2018 na linatarajiwa kumalizika Juni 30,

Sugu na Masonga walitiwa hatiani na kuhukumiwa kifungo cha miezi mitano jela Februari 26 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya kwa kutoa lugha ya fedheha dhidi ya Rais John Magufuli kwenye mkutano wa hadhara walioufanya Desemba 30 mwaka jana eneo la Shule ya Msingi Mwenge jijini Mbeya.

Wawili hao wameshatumikia adhabu hiyo kwa siku 73 ikiwa ni zaidi ya robo ya kifungo chao.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images