Hali si nzuri mkoani Morogoro leo hii ambapo madereva daladala wamegoma kutoa huduma kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kupinga kukamatwa ovyo na na kutozwa faini kubwa na mamlaka za usalama barabarani mkoani humo
Wanafunzi
wa shule mbalimbali za Manispaa ya Morogoro wakisubiri usafiri wa
kwenda shule bila mafanikio katika kituo cha mabasi kilichopo Mkoani
Morogoro
Athari za Mgomo wa Daladala Mkoani Morogoro....Wananchi wamelazimika kutumia magari ya kawaida kama pick up, Canter na mengine kuwahi waendako
↧
↧
Ndugu na jamaa wa abiria waliopotea na ndege ya Malaysia waishutumu Serikali....watishia kugoma kula
Ndugu na jamaa wa abiria wa China waliokuwa kwenye ndege ya
Malaysia iliyopotea kimaajabu March 8 mwaka huu, wametishia kugoma kula
ikiwa hawatapata taarifa kamili kuhusu ndege hiyo kutoka kwa maafisa wa
Malaysia.
Watu hao wameonesha hasira zao muda mfupi baada ya
kufanya mkutano na maafsia wa shirika la ndege hiyo huko Beijing,
China.
Ikiwa ni siku ya 12 leo tangu nchi 26
↧
CCM yaukana Waraka wa siri unaohusu mchanganuo wa matumizi ya Sh Milioni 560 katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Kalenga.
Katibu
mkuu wa CCM Mkoa wa Iringa,Ndugu Hassani Mtenga akizungumza na
wanahabari wa Iringa katika ofisi za chama hicho mapema leo.
Katibu
mkuu wa CCM Mkoa wa Iringa,Ndugu Hassani Mtenga akizungumza na
wanahabari wa Iringa katika ofisi za chama hicho mapema leo.
Sahihi halali ya Mwigulu Nchemba ambayo iko tofauti ya waraka uliosambazwa.
*******************
Na
↧
Ridhiwani Kikwete aahidi Trekta kwa kila kijiji cha jimbo la Chalinze endapo wananchi watamchagua kuwa Mbunge wao
MGOMBEA wa Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye Jimbo la
Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, Ridhiwani Kikwete ameahidi
kuhakikisha vijiji vyote kwenye jimbo hilo vinakuwa na matrekta ili
kuboresha kilimo kiwe na tija.
Alitoa ahadi hiyo wakati wa mikutano ya kampeni kwenye vijiji vya
Mindukene, Msigi, Kisanga vyote vikiwa kwenye kata ya Talawanda.
Kikwete alisema
↧
CCM yazindua kampeni zake kwa kishindo Chalinze.....Maelfu ya Wananchi wahudhuria uzinduzi huo
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akicheza ngoma ya asili.
Mama Salma Kikwete akimlaki kijana wake,ambaye ni Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Kikwete.
Msanii
wa Muziki wa Kizazi Kipya,Sam wa Ukeli a.k.a Mwana wa Chalinze akitoa
burudani kwa Wana Chalinze waliofika kwa kwenye Uzinduzi wa Kampeni
↧
↧
Shabiki afariki dunia wakati akishangilia bao la Yanga Uwanja wa Taifa
Shabiki wa Timu ya Yanga SC,
Deodatus Isaya Lusinde, mkazi wa Kipunguni A, amefariki dunia jana jioni baada
ya kuanguka ghafla wakati akishangilia bao la Yanga lililofungwa na
Didier Kavumbagu katika dakika ya 14 kipindi cha kwanza.
Marehemu amepoteza maisha akiwa
chumba cha matibabu mara baada ya kuwekewa mashine ya oksijeni na
taarifa kuhusu kifo cha shabiki huyo zimethibitishwa
↧
Mbinu za kumhujumu Rais Kikwete zafichuliwa.....Sitta atoa onyo kali kwa wataothubutu kumzomea Rais....
BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wamewaonya wenzao ambao wamepanga kumzomea Rais Jakaya Kikwete wakati akitarajiwa kulihutubia bunge hilo kesho.
Onyo hilo walilitoa jana mjini Dodoma wakati wa semina maalum ya kupitia kanuni za bunge hilo, iliyofanyikia katika ukumbi wa Bunge.
Akichangia katika semina hiyo mmoja wa wajumbe hao, James Mbatia, alionya taarifa za kuwepo kwa
↧
Watu wawili wafariki dunia, saba wajeruhiwa katika ajali ya basi na bodaboda mkoani Lindi
Watu
wawili wamefariki dunia baada ya bodaboda yenye usajili namba T 293
ARM kugongwa na basi la abiria la kampuni ya Maning Nice lenye usajili
namba T624 CQD ambalo nalo lilipinduka baada ya ajali hiyo katika kijiji
cha Ngongo mkoani Lindi na abiria saba walijeruhiwa. Majina ya
marehemu na ya majeruhi hayakuweza kupatikana mara moja. Picha na
Abdulaziz Video.<!-- adsense -->
↧
Taarifa kwa umma kuhusu ukaguzi wa leseni za biashara.....
Afisa
Habari wa Wizara ya Viwanda na Uchukuzi, Nicodemas Mushi (kulia)
akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo
jijini Dar es Salaam kuelezea tamko la serikali kuanza ukaguzi wa
leseni za biashara. Pembeni yake ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya
Uhamasishaji Biashara na Masoko, Mashingo Christopher.
Mkurugenzi
Msaidizi wa Idara ya Uhamasishaji Biashara
↧
↧
Serikali kuhamia Dodoma Kesho....Hotuba ya Rais Kikwete yasubiriwa kwa hamu...Marais wastaafu na Mawaziri wakuu wastaafu, wataambatana naye bungeni
UONGOZI wa juu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kesho utahamia katika Makao
Makuu ya Tanzania, Dodoma, kushuhudia hotuba ya kihistoria itakayotolewa
na Rais Jakaya Kikwete mbele ya Bunge Maalumu la Katiba.
Hotuba hiyo ya Rais inasubiriwa kwa hamu na Watanzania, kutoa dira
kwa wajumbe wa Bunge hilo Maalumu la Katiba, wakati
↧
Mwanafunzi wa UDOM ajirusha toka Ghorofa ya Pili hadi chini....
Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Mwanafunzi mmoja wa Chuo Kikuu Dodoma – UDOM aliyefahamika kwa jina la
KAMUGISHA S/O ISACK, Miaka 24, Mhaya, Mwaka wa Tatu, Kitivo cha Sayansi
ya Jamii (Social Science) anayeishi Block Namba 11, chumba Namba 62,
alijitupa kutoka ghorofa ya pili hadi chini na kusababisha majeraha
sehemu za mdomoni, shingoni na paji la uso.
Kamanda wa
↧
Mabaki ya ndege ya Malaysia iliyopotea siku 13 zilizopita yaonekana umbali wa kilomita 2500 kusini Magharibi mwa pwani ya Australia
Msemaji wa masuala ya usalama wa safari za ndege Australia, John Young, akiongea na waandishi wa habari.
Mabaki
ya ndege pichani ambayo kimoja kina ukubwa wa mita 24, yameonekana
umbali wa kilomita 2500 kusini Magharibi mwa pwani ya Australia.
*********
Waziri mkuu wa Australia amesema kuwa mitambo ya satelite ya nchi
hiyo imenasa picha za vitu vinavyoonekana kama mabaki ambavyo
↧
Biashara ya Mastaa kujiuza nje ya nchi: Shumileta adaiwa kumuuza Lungi kwa mwanaume aishie nchini India.
Lungi Maulanga.
**
Huku kukiwepo na madai ya baadhi ya mastaa wa Bongo kwenda nchi za
nje kufanya biashara ya kujiuza, siri imevuja kuwa, staa wa filamu
aliyepotea kwenye soko la filamu Bongo, Jennifer Mwaipaja ‘Shumileta’
amedaiwa kumuuza msanii mwenzake wa kike, Lungi Maulanga kwa mwanaume
aishie nchini India.
Kwa mujibu wa chanzo makini, mchongo huo ulifanyika kupitia mtandao
wa
↧
↧
"Sijaona mwanaume mwenye vigezo vya kunizalisha, Walio wengi na matapeli...." Maya
Msanii mahiri wa filamu za hapa Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’
amefunguka kuwa katika pitapita zake zote bado hajaona mwanaume ambaye
anaweza kuwa naye na kumzalia mtoto kwani wote anawaona ni tapeli wa mapenzi.
Akizungumza nasi hivi karibuni Maya alisema kuwa hakuna kitu
anachokitamani kama kupata mtoto lakini kila akifikiria mtu anayeweza
kupata naye mtoto ndipo ugumu unapokuja.
<!--
↧
Kishindo kikuu chasubiriwa Dodoma leo....Wengi wataka hotuba ya Rais Kikwete itulize upepo mbaya
Ile
hofu ya kuviziana na mbinu za kuteka Bunge Maalum la Katiba, leo ama
itaendelea kutawala mchakato wa kutunga katiba hiyo au utafikia mwisho
kutegemeana na maudhui ya hotuba ya Rais Jakaya Kikwete,atakayowasilisha
bungeni mjini Dodoma leo saa kumi jioni.
Rais Kikwete atahutubia Bunge hilo leo likiwa tayari kwa kuanza kazi ya
kuchambua Rasimu ya Katiba ambayo iliwasilishwa na
↧
Walimu wapya waahidiwa kuishi Kifalme mkoani Kigoma....Watapokelewa katika vituo vya mabasi na Reli kwa mabango.....Wavuvi kila siku kuwaletea Samaki nyumbani kwao
KATIKA utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Halmashauri ya Wilaya Kigoma, imeamua kuwapokea walimu wapya 430, kwa mbinu ya pekee ili wabaki katika vituo vyao vya kazi. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kigoma, Miriam Mbaga, alitangaza mbinu hizo jana wakati alipozungumza kwenye kikao cha maandalizi ya mapokezi hayo.
Alisema pamoja na maandalizi mengine,
↧
Taarifa muhimu kwa wajumbe wa bunge maalumu la katiba
Katibu wa Bunge Maalum Bwana Yahaya Khamis
Hamad anawatangazia Wajumbe wote wa Bunge Maalum kuwa wafike kwenye viwanja vya
Bunge leo saa 8:45 mchana ili kushiriki kikao cha Bunge Maalum kitakachoanza
saa 9:00 mchana na kufuatiwa na hutuba ya ufunguzi wa Bunge Maalum
itakayotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya
Mrisho Kikwete saa 10 jioni. Kwa maelezo zaidi piga
↧
↧
Kigogo wa CHADEMA apinga maamuzi ya chama hicho kumvua madaraka
MWENYEKITI wa CHADEMA Wilaya ya Ngorongoro, Revocatus Parapara, amepinga vikali hatua ya uongozi wa chama hicho ngazi ya mkoa kumvua madaraka ya uenyekiti.
Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Arusha, Parapara alisema kuwa hatua ya kuvuliwa kwa wadhifa huo ni mbinu chafu na za kupikwa zilizofanywa na uongozi wa chama hicho ngazi ya mkoa kwa lengo la kumharibia.
Alisema kuwa
↧
Picolo Beach Hoteli iliyopo Kawe, Dar es Salaam yateketea kwa moto
↧
Ajali mbaya iliyohusisha magari 6 yatokea Ubungo jijini Dar katika lango kuu la kuingilia mabasi
↧
More Pages to Explore .....