Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kikwete afunguka kuuwawa mdogo wa Heche na polisi

$
0
0
Mbunge wa jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mh. Ridhiwani Kikwete amefunguka na kusema kitendo cha polisi mwenye namba E1156 Koplo William Marwa ambaye anadaiwa kufanya mauaji kwa mdogo wa Heche kimemsikitisha sana.

Ridhiwani amefunguka hayo baada ya Jeshi la Polisi kanda Maalum ya Tarime na Rorya kudai kuwa linamshikilia polisi huyo kwa tuhuma za kumchoma kisu Bwana Chacha Heche Suguta ambaye ni mdogo wa Mbunge wa Tarime Vijijini John Heche.

"Kitendo kilichotokea sio tu kimesikitisha ukoo wa Bwana Heche lakini kwangu binafsi. Jeshi letu limetengenezwa kulinda watu na mali zao sio kuumiza wasio na hatia. Ni imani yangu Serikali itasimamia haki kwa familia ya Heche. Poleni sana kwa msiba. Mungu awape subira John Heche" alisema Ridhiwani

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Polisi Tarime Rorya, Henry Mwaibambe amethibitisha kumshikilia askari wake mwenye namba E1156 Koplo William Marwa kwa tuhuma za kusababisha kifo cha kijana Saguta Chacha mwenye umri wa miaka 26 mkazi wa Sirari wilayani Tarime mkoani Mara kwa kumchoma Kisu.

Kama Dalili Hizi Unazo Upo Kwenye Hatari Ya Kuishiwa Nguvu Za Kiume Kabisa

$
0
0
Una dalili zifuatazo?
1: Kushindwa kurudia tendo la ndoa
2: Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa
3: Maumivu ya kiuno mgongo
4: Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
5: Uume kusinyaa, kuingia ndani na kuwa mdogo au mfupi
6: Korodani moja kuvimba

KAMA DALILI HIZI UNAZO UPO KWENYE HATARI YA KUISHIWA NGUVU ZA KIUME KABISA

Kwa matibabu tumia OZYMIX POWER-dawa bora ya nguvu za kiume ya miti shamba ambayo haina kemikali ambayo itakuwezesha kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha.
Pia tunatoa huduma hizi:>

1.Dawa ya Kuondoa michirizi
2.Kumrudisha mwanaume aliyekuacha 
 
Tunapatikana KAWE UKWAMANI karibu na kituo cha mabasi.
KWA MAWASILIANO ZAIDI ; 0716096205 /0756726865 FIKA OFISIN AU PIGA SIMU NA UTALETEWA DAWA POPOTE ULIPO DAR ES SAALAM NA KWA MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA MABASI.

TEMBELEA KATIKA BLOG YETU HAPA>>>;

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne

$
0
0
Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne
 
Kutana Maajabu ya Mtabibu MAALIM MOHAMEDI MASUDI Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania
Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..
MAALIM MOHAMEDI MASUDI ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
 
Je unasumbulia na Mapenzi..?
(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.
Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Kwa Majibu ya Maswali yako..

Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)
KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA.

Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.
Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.
Wasiliana nae kwa namba
0655516982
0688856265
0621898709(Whatsapp)

Okoa Ndoa Yako Sasa : Je Umepungukiwa Na Nguvu Za Kiume Au maumbile Au Mpenzi Wako Hakutimizii Utakacho?

$
0
0
Acha kujiona mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kwa sabubu ya kutokuwa na nguvu za kiume au uume wako mdogo dawa YA MAPRO POWERA ndio dawa sahihi na tiba tosha kwa sasa kutibu tatizo na kuponesha kabisa tatizo LA;
 1 KUWAI KUFIKA KILELENI KABLA YA MWENZI WAKO
2 KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA NA MWILI KUCHOKA 
3 UUME KUSINYAA NA KUWA LEGELEGE 
4 KUUMWA NA TUMBO WAKATI UNAPOMALIZA KUFANYA TENDO

MAKAKANUA; HII NI dawa ya maumbili madogo...hufusha na kunenepesha saizi upendayo saiz 5-6-7-8 na unene sm 3-4-5

Tunarudisha mke au mpenzi ndani ya masaa matatu tu zipo dawa za presha kisukali vidonda vya tumbo korodani iliyovimba, dawa za uzaz,Mi tunapunguza matiti makubwa kitambi na mwili mkubwa dawa zipo 

FIKA OFISINI KWANGU MBAGALA ZAKHEMU. KWA WATEJA AMBAO AMTAKUWA NA NAFASI YA KUJA OFISINI AU MLIO MKOANI MTALETEWA. piga simu 0743362017. 0789234653 DR AGU

Wakili Albert Msando Apewa Shavu Jingine na Makonda

$
0
0
Wakili Albert Msando ataongoza kamati iliyoundwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda kwa ajili ya kushughulikia kesi zote na changamoto zilizojitokeza katika zoezi la kutafuta haki za watoto waliotelekezwa na wazazi wao.

Zoezi hilo lilifungwa hapo jana April 27, 2018 ambapo wananchi 17,000 walijitokeza, kati yao 7,184 walisikilizwa, huku 270 wakipimwa DNA.

RC Makonda ameunda Kamati ya Wataalamu 15 wakiwemo Wanasheria, Maafisa Ustawi wa Jamii, Jeshi la Polisi Dawati la jinsia na Asasi za kiraia itakayofanya kazi ya kupitia mapungufu ya kisheria na Changamoto zilizojitokeza.

Kamati hiyo ambayo itaanza kazi rasmi May 05, 2018 chini ya Wakili Albert Msando ambaye ndiye Mwenyekiti wake itatoa mapendekezo kwaajili ya kufikishwa kwa mamlaka husika ili kufanyiwa maboresho.

Utakumbuka December 20, 2017 Wakili Albert Msando aliteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli katika tume itakayokuwa na jukumu la kufuatilia mali za Chama cha Mapinduzi (CCM).

Kabla ya kuteuliwa na Rais Magufuli, September 26, 2017 Wakili Msando aliteuliwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrion Mwakyembe kuwa Mjumbe wa kamati ya kupitia sheria ya Hakimiliki za kazi za wasanii.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO 0758840958 / 0785687900

Heche atoa ya moyoni baada ya kifo cha Mdogo wake

$
0
0
Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche amefunguka kuwa mpaka sasa haelewi ni kwa vipi mtu anaweza kuuwawa na polisi kwa kuchomwa kisu tena akiwa amefungwa pingu huku akikumbushia tukio la mdogo wake mwingine kujeruhiwa vibaya na polisi ambapo alisababishiwa ulemavu mwaka jana.

Mbunge Heche amesema kwamba mtu kuchomwa kisu mgongoni ni kudhamiria kuua kwasababu mtu huyo hakuwa anapambana.

"Mpaka sasa sielewi ni kwa vipi mtu anaweza kuuawa na polisi kwa kuchomwa kisu tena akiwa amefungwa. Kuchoma mtu kisu mgongoni ni kudhamiria kuua kwasababu hakua hata anapambana.Nilijua mikononi mwa polisi ni sehemu salama.

"Wiki mbili zilizopita kijana Allen alikufa katika maizingira tata kule Mbeya.

"Leo ni kwangu mdogo wangu ameuwawa kikatili sana mikononi mwa polisi.Maisha yangu yote nimeyatoa kupigania haki ili watu wasionewe, mtuhumiwa  asifanywe mkosaji na kuhukumiwa kabla ya vyombo vya sheria kumhukumu.

"Mwaka jana mdogo wangu mwingine aliumizwa vibaya sana na polisi. IGP Mangu na RPC aliyekua Tarime walilipa uzito suala hilo lakini alipoondolewa, suala liligeuzwa kisiasa na wale vijana waliokua wamemjeruhi mdogo wangu ambae mapaka sasa sikio moja halisikii, wakarudishwa kazini kinyemera na kuhamishwa Tarime kama kunikomoa.

"Mimi nimewahi kutishiwa kuuawa kituo cha polisi, najisikia maumivu makubwa mno lazima Watanzania wakatae hali hii. Waziri yuko kimya, wangapi wanakufa na kuumizwa mikononi mwa polisi bila matukio kujulikana wala kutangazwa? Nitazungumza mda ukifika." Amesema John Heche,

Muleba: Watoto 2 wapoteza maisha baada ya kugongwa na Basi, wengine 20 wajeruhiwa

$
0
0
Watoto wawili wamefariki kwa kugongwa na basi lenye namba za usajili T720 EEV ambalo linafanya safari zake Bukoba kwenda Mwanza na kisha basi hilo kupinduka na kusababisha majeruhi ya watu 20 waliokuwa kwenye basi hilo.

Ajali hiyo imetoka katika Kitongoji cha Katongo kjiji cha Rulanda kata ya Rulanda Wilayani Muleba Mkoani Kagera na gali hilo likapinduka na kusababisha majeruhi ya watu watatu.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Rulanda, Evart Erenest amesema kuwa tukio hilo limetokea leo majira ya asubuhi ambapo watoto hao walikuwa wanavuka barabara wakielekea msikitini.

Amewataja watoto waliofariki ni Muhajiri Abdumajidi mwenye umri wa miaka 6 ambaye ni mkazi wa kata ya Gwanseli pamoja na Abdallah Alidi mwenye umri wa miaka 7 ambaye naye ni mkazi wa kata ya Rulanda.

Aidha abiria waliojeruhiwa wameokolewa na wenzao na wamepelekwa katika hospitali ya Rubya wilayani Muleba mkoani humo.

Hata hivyo, mashuhuda wamesema kuwa sababu kubwa ya ajali hiyo ni hali mbaya ya hewa katika eneo hilo iliyosababishwa mvua zinazoendelea kunyesha.

Rais Magufuli amlilia Abbas Kandoro

$
0
0
Rais John Magufuli ametuma salamu za rambirambi za kifo cha mkuu wa mkoa mstaafu, Abbas Kandoro akisema Taifa limepoteza mtu muhimu ambaye mchango wake hautasahaulika.

Taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu, Gerson Msigwa aliyoitoa leo Aprili 28, 2018 amesema Rais Magufuli Kandoro alikuwa kiongozi shupavu, aliyejiamini na kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia sheria na taratibu, aliwapenda watu aliowaongoza na alidhirisha uzalendo wa kweli.

“Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Mkuu wa Mkoa mstaafu Abbas Kandoro, nawapa pole wana familia, ndugu, jamaa na marafiki wote walioguswa na msiba huu,” amesema Rais Magufuli na kuongeza:

“Tumempoteza mtu muhimu ambaye mchango wake katika utumishi kwa umma katika nyadhifa mbalimbali zikiwemo mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na mkurugenzi wa halmashauri hautasahaulika.”

Rais Magufuli amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza kufikisha salamu hizo kwa familia ya marehemu, ndugu, jamaa, marafiki na wote walioguswa na msiba huo.

“Nimesikitishwa sana na kifo chake, nawaombea wafiwa wote wawe na moyo wa subira, uvumilivu na ustahilivu katika kipindi hiki cha majonzi na pia namuombea marehemu Abbas Kandoro apumzike mahali pema peponi, Amina,” amesema Rais Magufuli

Enzi za utumishi wake, Kandoro amehudumu mikoa ya Tabora, Arusha, Dar es Salaam, Mwanza na Mbeya.

Kandoro alifariki jana Aprili 27, 2018 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) na anatarajiwa kuzikwa kesho Aprili 29, 2018 mkoani Iringa.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0753471612, 0623386305, 0715249530 -DR KUZENZA

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE; 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO 0754372325/ 0689013109/ 0620806813 

HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0766340868

Muhimbili Kupandikiza Figo Wagonjwa 200 Kwa Mwaka

$
0
0
Hospitali ya Taifa Muhimbili  (MNH) imeweka mipango ya muda mrefu na muda mfupi ili kuhakikisha huduma ya upandikizaji figo inakuwa endelevu, na imedhamiria kupandikiza figo kwa wagonjwa zaidi 200 kwa mwaka.

Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dare es Salaam na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Umma na Huduma kwa Wateja wa MNH, Aminiel Aligaesha wakati akizungumza na waandishi wa habari  mara baada ya kuruhusiwa wagonjwa wawili ambao wamepandikizwa figo Aprili mwaka huu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Amesema katika  mpango wa muda mfupi, kila mwezi hospitali hiyo itapandikiza figo wagonjwa watano, hivyo kwa mwaka itakuwa imefanikiwa kupandikiza figo wagonjwa 60.

“Mipango ya muda mrefu ni kuwa na sehemu maalum ya upandikizaji figo na hivi karibuni MNH itaanza ujenzi wa jengo jipya la ghorofa saba na katika jengo hilo tutatenga sehemu maalum ya upandikizaji figo , kila siku mgonjwa mmoja atapandikizwa figo, kwa wiki tutakuwa tumepandikiza figo wagonjwa watano, kwa mwezi wagonjwa 20 na kwa mwaka tutafanikiwa kupandikiza figo wagonjwa 240,’’ amesema Aminiel.

Kwa upande wake Mkuu wa kitengo cha Magonjwa ya Figo  Muhimbili , Dkt. Jacqueline Shoo amesema tukio hilo ni la kihisoria kwani mwaka jana  hospitali ilifanikiwa kupandikiza figo mgonjwa mmoja  na Aprili mwaka huu hospitali hiyo imepandikiza figo wagonjwa wanne kwa mfululizo.

Naye Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Figo MNH, Dkt. Onesmo Kisanga amesema takribani wagonjwa 800 nchini wanasubiri huduma ya upandikizaji figo na kati ya hao 50 tayari wameandaliwa.

Kwa upande wao wagonjwa waliopandikizwa figo na kuruhusiwa leo, Bi. Suzana John na Bi. Asha Athuman Kisebengo wameishukuru Hospitali ya Taifa Muhimbii  pamoja na waaalam wake kwa kuwapatia matibabu ya ubingwa wa juu ambayo awali hayakuwepo nchini.

Aliyejiuzulu udiwani Chadema, avuliwa uanachama

$
0
0
Katibu wa Chadema, Kanda ya Iringa Mjini, Suzana Mgonokulima, ametangaza kumvua uanachama  aliyekuwa diwani wa chama hicho, Kata ya Gangilonga, Dady Igogo. Igogo pia alikuwa Naibu Meya wa Manispaa ya Iringa.

Katika taarifa iliyotolewa leo Aprili 28, imeelezwa kuwa Igogo amevuliwa uanachama kwa kuwa alikisaliti chama kwa kujivua nafasi ya unaibu meya na baadaye udiwani.

“Ndugu Igogo kwa muda mrefu amekuwa na mwenendo usioendana na itikadi, falsafa, madhumuni, kanuni, maadili na sera za chama,” imesema taarifa hiyo.

Taarifa hiyo imesema kamati tendaji ya jimbo katika kikao chake cha dharura kilichoketi Aprili 24 mwaka huu kiliadhimia Igogo avuliwe ujumbe wa kamati tendaji ya jimbo, kwa kwenda kinyume na katiba ya chama kanuni na maadili.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa Igogo amevuliwa uanachama kuanzia leo Aprili 28 kama ilivyokubaliwa na wajumbe wa kamati.

Amber Lulu: Sina mpango wa mtoto kwa sasa

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo na Video Vixen, Amber Lulu amefunguka mipango yake ya kuitwa mama.

Muimbaji huyo anayefanya vizuri na ngoma ‘Jini Kisirani’ ameiambia XXL ya Clouds FM kuwa bado anajipanga kwa ajili ya suala hilo ila kwa sasa hana mpango.

“Kwa kweli kwa sasa hivi sijatarajia bado, vitu vyangu vingi bado sijakamilisha,” amesema.

“Sio Gigy Money amepata mtoto na mimi nipate, no! unajua unapopata mtoto kuwe na maandalizi yake. Labda yeye rafiki yangu kajiandaa mtoto lazima aje kwenye mazingira mazuri,” ameongeza.

Gigy Money ambaye yupo katika mahusiano na Mtangazaji wa Choice FM, M o J alijifungua mtoto wa kike usiku wa kuamkia jana April 27, 2017 na amempa mwanae jina Mayra.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya April 29

Kama Dalili Hizi Unazo Upo Kwenye Hatari Ya Kuishiwa Nguvu Za Kiume Kabisa

$
0
0
Una dalili zifuatazo?
1: Kushindwa kurudia tendo la ndoa
2: Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa
3: Maumivu ya kiuno mgongo
4: Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
5: Uume kusinyaa, kuingia ndani na kuwa mdogo au mfupi
6: Korodani moja kuvimba

KAMA DALILI HIZI UNAZO UPO KWENYE HATARI YA KUISHIWA NGUVU ZA KIUME KABISA

Kwa matibabu tumia OZYMIX POWER-dawa bora ya nguvu za kiume ya miti shamba ambayo haina kemikali ambayo itakuwezesha kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha.
Pia tunatoa huduma hizi:>

1.Dawa ya Kuondoa michirizi
2.Kumrudisha mwanaume aliyekuacha 
 
Tunapatikana KAWE UKWAMANI karibu na kituo cha mabasi.
KWA MAWASILIANO ZAIDI ; 0716096205 /0756726865 FIKA OFISIN AU PIGA SIMU NA UTALETEWA DAWA POPOTE ULIPO DAR ES SAALAM NA KWA MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA MABASI.

TEMBELEA KATIKA BLOG YETU HAPA>>>;

Gwanda, Mtikila, Fatma Karume watunukiwa tuzo haki za binadamu

$
0
0
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), umewapa tuzo mwandishi wa habari wa kujitegemea wa Mwananchi aliyetoweka, Azory Gwanda na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha DP, Christopher Mtikila kutokana na mchango wao katika utetezi wa haki za binadamu.

Gwanda ambaye kituo chake cha kazi ni Kibiti mkoani Pwani alitoweka tangu Novemba, 2017 ilhali Mtikila alifariki dunia kwa ajali ya gari katika Kijiji cha Msolwa mkoani Pwani Oktoba 4, 2015.

Mke wa Gwanda, Anna Pinoni ndiye aliyepokea tuzo hiyo kwa niaba ya mumewe, huku ya Mtikila ikipokewa na mkewe Georgia.

Wengine waliopewa tuzo na THRDC ni Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Fatma Karume na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi (TSN), Abdul Nondo. Tuzo hizo zilitolewa katika kuadhimisha miaka mitano ya mtandao huo.

Akizungumza mara baada ya kupokea tuzo hiyo, Anna alisema ingawa inamhuzunisha, lakini inatia moyo kwa sababu inadhihirisha kuna watu wanatambua mchango wa mumewe.

“Nashukuru mtandao huu kwa kuthamini kazi ya mume wangu, ninajivunia kupata tuzo hii ingawa mpaka leo sijui mume wangu yupo wapi. Ninatamani angekuwapo apokee tuzo hii, lakini naamini ipo siku atarudi na kupokea tuzo,” alisema Penina.

Kwa upande wake, mke wa Mtikila, Georgia alisema alimfahamu mumewe akiwa tayari ni mwanaharakati wa masuala ya sheria.

“Mume wangu siku zote alikuwa akiamini kuwa Katiba ni sheria mama, hakuwa adui wa Serikali, bali alipingana na Serikali kuhakikisha wananchi wanapata haki yao hasa kuhakikisha wananchi wanapata Katiba,” alisema.

Aliongeza, “Suala la kamatakamata, hasa kwa wanasiasa, kwetu sisi yalikuwa ndiyo maisha yetu. Mtikila alikuwa anakamatwa mara nyingi, wakati mwingine anawekwa (gereza la) Keko kama mahabusu kwa mwezi mzima.”

Akizungumza baada ya kupokea tuzo, Nondo ambaye pia ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) alisema imemtia hamasa.

“Sikati tamaa kwa sababu nchi yoyote duniani hasa za Afrika unapotetea haki za wanyonge unakuwa adui, changamoto zinakuwa nyingi,” alisema na kuongeza: “Kukata tamaa ni kusaliti. Aluta kontinua.”

Pia aliwashukuru viongozi wenzake wa TSN kwa ushirikiano wanaompa.

Hata hivyo, Fatma hakuwapo kupokea tuzo yake na ilipokewa na ofisa wa THRDC kwa niaba yake.

Prof. Jay awachana Viongozi wanaopiga picha na wasanii

$
0
0
Mbunge wa Mikumi kupitia CHADEMA ambaye pia ni msanii mkongwe wa hip hop Bongo, Joseph Haule maarufu kwa jina la Profesa Jay, amesema kwamba kitendo cha baadhi ya viongozi kuita wasanii na kupiga nao picha bada ya kuwasaidia matatizo yao si sahihi, kwani wasanii hao wana matatizo makubwa

Akizungumza Bungeni Prof Jay amesema serikali haiwezi kuwa inachukua kodi kwa wasanii bila kuwatengenezea mazingira mazuri ya kazi zao na kutatua changamoto zao, na kuitaka kuweka bajeti maalum kwa ajili yao ili kutatua matatizo yao na sio kuishia kupiga nao picha.

“Huwezi ukamkamua ng'ombe kabla hujamlisha majani, niwaambie serikali wekeni bajeti kwa wasanii, wana matatizo makubwa kuliko hayo mnayodhani, maana mnadhani kuwasaidia wasanii wa Tanzania ni kuwaalika sehemu za maofisini kwenu na kupiga nao picha, kupiga selfie na vitu vingine.

"Wasanii wa Tanzania wana matatizo makubwa, hawahitaji kula ubwabwa na nyinyi, wanahitaji muwasaidie masuala ya kazi zao zinazoibiwa, wanahitaji wasaidiwe wasuala ya masoko, wanahitaji wasadiwe mitaji”, mesema Prof. Jay

Sambamba na hilo Prof. Jay ameitaka BASATA kuwajibika kwenye kuwaelimisha wasanii kama ilivyopewa mamlaka yake, na sio kuwa sehemu ya kutoa hukumu tu pale wanapokosea.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images