Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mwenyekiti wa Bavicha Mbeya akamatwa

$
0
0
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) Mkoa wa Mbeya, George Titho amekamatwa na polisi usiku wa manane nyumbani kwake kijijini Kyimo wilayani Rungwe.

Hata hivyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Mussa Taibu alipoulizwa  kuhusu kukamatwa kiongozi huyo, amesema hana taarifa.

"Sina taarifa hizo, labda nifuatilie lakini jua tu kwamba hali Mbeya ni shwari," amesema Kamanda Taibu.

Katibu wa Chadema Mkoa wa Mbeya, Boid Mwabulanga amesema Titho alikamatwa usiku wa kuamkia Aprili 26, 2018.

Mwabulanga amesema hawajaambiwa sababu za kukamatwa kwa Titho na jitihada za kumwekea dhamana zimegonga mwamba.

"Walikwenda nyumbani kwake saa nane usiku na kuvunja mlango, wakachukua simu zake kisha wakamchukua kwenda naye kituo cha polisi Tukuyu. Tumekwenda kumwekea dhamana lakini walikataa,” amesema.

Historia Imeandikwa......Rais Kim Jong-Un Avuka Mpaka na Kuingia Korea Kusini

$
0
0
Rais Kim Jong-Un wa Korea Kaskazini amekuwa kiongozi wa kwanza wa taifa hilo kuvuka mpaka wa kijeshi uliowekwa kuzitenganisha nchi hizo mbili baada ya vita ya mataifa hayo mawili mwaka 1953. Akiwa ni mwenye tabasamu rais Korea kusini Moon Jae-in amempokea mgeni wake katika eneo la mpakani.

Ni miaka 65 hadi sasa kwa kiongozi wa Korea Kaskazini kuwahi kuvuka mpaka wa kijeshi uliowekwa kuzitenganisha Korea Kaskazini na Korea Kusini tangu kumalizika kwa vita vya mataifa hayo mawili mwaka 1953.

Eneo la mpaka huo aliouvuka Kim Jong Un wakati akielekea Korea kusini ni lenye kilomita 250 na upana wa kilomita nne,ambapo mara baada ya kuuvuka tu watu walipiga makofi kwa kuandikwa kwa historia.

Mkutano huo wa tatu baada ya mkutano wa mwaka 2000 na 2007 ni matokeo ya jitihada zilizofanyika miezi kadhaa kuimarisha mahusiano kati ya Korea hizi mbili na kufungua milango ya mkutano kati ya Kim na Rais wa Marekani Donald Trump.

Kim alitangaza juma lililopita kuwa angesitisha zoezi la majaribio ya silaha za nuklia kwa sasa.Hatua hiyo ilikaribishwa na Marekani na Korea Kusini kama hatua nzuri,ingawa watafiti wa China wameonyesha kuwa eneo linakofanyika jaribio la nuklia la Korea Kaskazini huenda lisitumike tena baada ya mwamba kuporomoka baada ya jaribio la mwisho la mwezi Septemba.

Korea Kusini na Marekani zimesema zinasitisha mazoezi ya kijeshi kwa siku moja kupisha mkutano huo.

Kim ameongozana na maafisa tisa, akiwemo dada yake, Kim Yo-jong,aliyeongoza ujumbe wa Korea Kaskazini kwenye michuano ya Olimpiki nchini Korea Kusini mapema mwaka huu.Mkutano huu pia utawahusisha maafisa wa juu wa kijeshi na wanadiplomasia.

Boti Yapinduka Ziwa Victoria na Kuua Wawili

$
0
0
Watu wawili wamefariki dunia baada ya boti waliyokuwa wakitumia kusafiria kupinduka. Ilipokumbwa na dhoruba kali katika ziwa Victoria, Sengerema jijini Mwanza.

Akizungumza  kuthibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza Ahmed Msangi, amesema boti hiyo ilikuwa na jumla ya watu watano ambao walikuwa wa wakisafiri kutoka Sengerema kuja Mwanza, na ndipo ilipokumbwa na dhoruba wakiwa njiani, na kusababisha boti hiyo kupinduka na watu hao kufariki.

“Kuna boti ilikuwa inatoka Sengerema kuja huku Mwanza, ilikuwa imebeba mkaa pamoja na udaga, walivyokwenda kama robo safari yao hali ya hewa ikawa mbaya kukawa na dhoruba, wakiwa wanageuza wanarudi ikawa shida ikapinduka, ndani ya hiyo boti kulikwa na watu watano, wanaume wanne mwanamke mmoja, watatu waliweza kuogelea lakini hawa wawili walishindwa, mwanamke na mwanaume mmoja, majina bado sijayapata”, amesema Kamanda Msangi.

Kamanda Msangi amesema miili ya watu hao imepatikana, na wanafanya utaratibu wa kuihifadhi hospitali, ili ndugu waweze kuitambua na kuichukua kwenda kuzika.

Majonzi Yatawala, Kuagwa Kwa Mwili Wa Mtoto Aliyechomwa Kisu Na Dada Yake

$
0
0
Mtotro Joshua Michael (2) aliyeuawa na dada yake Delta Kalambo (19) kwa kuchomwa kisu kwenye kitovu na mwili wake kufichwa uvunguni unazikwa leo Sengerema mkoani Mwanza.

Simanzi ilitawala watu waliojitokeza kuuaga mwili wa mtoto huyo nyumbani kwao Kigamboni jana huku baadhi wakieleza kuumizwa na unyama uliofanyika kwa mtoto huyo.

Tukio la kuuliwa kwa mtoto huyo lilitokea Jumatatu katika eneo la Tungi Mwembepoa, Kigamboni jijini Dar es Salaam wakati mama wa mtoto ambaye ni muuguzi wa Hospitali ya Mkuranga, Magreth Kasedi, akiwa kazini.

Msemaji wa familia ambaye ni baba mkubwa wa marehemu, Deus Philipo, jana alisema marehemu huyo atazikwa leo mkoani Mwanza.

Alisema mazishi yatafanyika katika kijiji cha Nyabila endapo wasingekutana na changamoto barabarani.

"Nashindwa kusema tutazika kesho (leo) kwa sababu hatujui huko njiani safari itakuwaje ila tukifika mapema tutazika," alisema.

Kasedi alisema  juzi kuwa Jumatatu aliamka asubuhi kama kawaida na kumuacha mtoto wake na Delta ambaye ni mtoto wa dada yake.

Alisema aliporudi alishangaa kukuta mwanawe wala Delta hawapo nyumbani na ndipo "Nikaingaika kumtafuta mtoto... kila sehemu".

"Kwa majirani... hayupo. Nikahangaika kupiga simu yake haipatikani, lakini wakati nipo kazini nilipata ujumbe mfupi kutoka kwa Delta kuwa nimpigie mtu fulani lakini ujumbe huo sikuuelewa anamaanisha nini."

Alisema kuwa alimpeleka Delta kwenye mafunzo ya ufundi cherehani hivyo alipoona msichana huyo na mtoto hawaonekani nyumbani aliamua kumpigia simu fundi mwalimu wake kujua kama amemuachia mtoto wake.

"Nilimuuliza kama kaachiwa mtoto wangu akaniambia Delta kaja majira ya saa tatu asubuhi bila mtoto," alisema na kueleza zaidi:

"Lakini nilipofika nyumbani kuingia ndani nikakuta ndoo ya bafuni iko sebleni ikiwa na brashi ndani. Nikaenda mezani nikakuta ujumbe mrefu sana.

"Sehemu ya ujumbe huo ulisema mama naomba unisamehe mimi nimekuwa mkaidi, umenionya mara nyingi sana kwa hiyo naomba unisamehe... naenda nyumbani.

"Yaani kaandika mengi nikashindwa kuendelea, nikaamua kutoka nje kumtafuta mtoto kwa majirani kwa kudhani kuwa huenda atakuwa kamuacha kwasababu kaandika anataka kwenda kwao."

Kasedi alisema alihangaika kwa majirani lakini hakuweza kumpata mtoto na ndipo waliposhauriana na majirani waende kutoa taarifa kituo polisi.

Alisema baada ya kutoka polisi walikwenda Stendi ya Steven, eneo la Kisiwani kwa ajili ya kumtafuta kijana anayejulikana kwa jina la Chasii Manyanya ambaye ana mahusiano ya kimapenzi na msichana huyo.

"Huyu kijana alikuwa akipigiwa simu anapokea na kuiacha hewani, ndipo tulipoenda kuhangaika kumtafuta hadi tukafanikiwa kuonyeshwa nyumba anayoishi," alisema mama huyo katika mazungumzo.

"Nilikaa hapo mpaka saa 4:45 usiku ndipo alipokuja huyo kijana, nikamuambia mimi ninachotaka ni mtoto wangu, sina haja na huyo msichana. Akaniambia mama sijaletewa mtoto."

Aliendelea kusimulia kuwa baada ya kuona hivyo alilazimika kutoa taarifa polisi na kijana huyo kushikiliwa huku wakifanya jitihada mbalimbali za kumtafuta Delta ili aeleze mtoto alipo.

Alisema ilipofika asubuhi ya Jumanne aliwahi kituo cha polisi wakasema wanamuangalia kwenye mitandao wajue alipo na ilivyofika saa nne aliiwasha simu ikiwa inaonyesha yupo eneo la Mikadi, Kigamboni.

"Kumbe mimi nahangaika kutafuta mtoto kumbe yuko chini ya uvungu wangu wa kitanda, yaani hakuna damu iliyomwagika," alisema mzazi huyo. "Baada ya kumchoma kisu kwenye kitovu akamlaza kifudifudi na kumfunika vizuri (uvunguni)."

Aidha, alisema mtuhumiwa huyo baada ya kuwasha simu yake majira ya nne aliwasiliana na fundi cherehani ambapo alipomuuliza alipo mtoto alimjibu kuwa amemuacha chumbani.

"Fundi aliwasiliana naye akamuelekeza alipo na kumuambia hataki mtu ajue ndipo fundi akachukua bodaboda kumfuata ili amuelekeze sehemu mtoto alipo," alisema.

"Na mimi nikamtumia ujumbe kwenye simu nikamuambia Delta sijawahi kukufanyia ubaya wowote katika maisha yako, naomba uniambie mtoto wangu alipo.

"Akanijubu kuwa Joshua yupo uvunguni."

Alisema alipopata huo ujumbe alimjulisha baba wa mtoto ausome kwa kuwa yeye alikuwa ameshindwa kuuelewa na ndipo walipofuatilia na kukuta mtoto yuko uvunguni mwa kitanda.

"Polisi walikuja na kuuchukua mwili wa mtoto lakini niliomba nimuangalie nijue... ndipo nikaona kamchoma na kisu kwenye kitovu na utumbo ulikuwa unatoka," alisema Kasedi.

"Hakuna jirani ambaye alisikia kelele za kulia kwa huyo mtoto, nasikia alifungulia mziki sauti kubwa."

Aliendelea kusimulia kuwa Delta alikamatwa baada ya mpenzi wake kuambiwa ampigie simu wakutane kwa ajili ya kumtafutia sehemu ya kuishi, kwasababu ametoroka nyumbani.

"Basi akamjibu yule kijana yuko tayari akamuelekeza alipo na ndipo polisi walipoongozana naye na kumkamata na kwa sasa yuko polisi."

Aidha, alisema hakuweza kuamini kama mtoto huyo ambaye alikuwa akimchukulia kama wake wa kwanza angeweza kufanya tukio hilo.

Alisema hakuwahi kugombana naye na kikubwa alikuwa akimuonya kitendo cha kumuingiza mpenzi wake ndani kwake kwani ni ukosefu wa maadili.

"Huyo mwanaume wake nimemfumania ndani kwangu mara mbili, nikamuonya maana huyu ni kama mwanangu... mtoto wa dada yako hana tofauti na mtoto wako."

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Emmanuel Lukula, alithibitisha kutokea kwa tukio na kueleza kuwa wanamshikilia msichana huyo kwa ajili ya mahojiano ili sheria ichukue mkondo wake.

"Huyu msichana baada ya kufanya huu unyama aliuweka mwili chini ya uvungu wa kitanda na kwenda kujificha na tulipofanikiwa kumkamata tulimuambia atuonyeshe alipo mtoto akasema yuko chini ya uvungu wa kitanda wanapolala wazazi wa mtoto," alisema Kamanda Lukula.

Diamond, Nandy, Monalisa Watinga Bungeni

$
0
0
Wanamuziki Diamond, Nandy na Mwenyekiti wa CUF anayetambulika na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba ni miongoni mwa wageni waliohudhuria kikao cha Bunge leo,  Aprili 27,  mjini Dodoma.

Wanamuziki hao pamoja na Lipumba walishangiliwa na wabunge baada ya kutambulishwa na mwenyekiti wa Bunge, Musa Azzan Zungu.

Mbali na wasanii hao na Lipumba, wengine waliotambuliwa ni mwanamuziki Mrisho Mpoto na msanii wa filamu Monalisa.

Zungu amesema wote ni wageni wa Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo. Bajeti ya wizara hiyo mwaka 2018/19 inasomwa leo.

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne

$
0
0
Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne
 
Kutana Maajabu ya Mtabibu MAALIM MOHAMEDI MASUDI Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania
Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..
MAALIM MOHAMEDI MASUDI ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
 
Je unasumbulia na Mapenzi..?
(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.
Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Kwa Majibu ya Maswali yako..

Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)
KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA.

Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.
Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.
Wasiliana nae kwa namba
0655516982
0688856265
0621898709(Whatsapp)

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO 0758840958 / 0785687900

Tunda: Huwa Sipigi Picha za Uchi

$
0
0
Video vixen Bongo, Tunda amedai yeye huwa hapigi picha za utupu bali watu wanavyomuona ndio mtindo wake wa maisha.

Tunda amesema picha za utupu ni pale mtu anapoenda studio na kupiga picha lakini zile anazopiga akiwa nyumbani kwake ni zinapaswa kueleweka ni picha za kawaida.

“Unajua kuna picha za utupu kwamba ile mtu unaenda studio unaamua kuwa wazi na kupiga picha, na kuna jinsi mtu anavyovaa kama ni nguo fupi yaani kawaida ya yeye kuvaa yapo si utupu kuna tofauti, mimi sipigi picha za utupu, no!,” amesema.

Tunda anametokea kwenye video za wasanii kama Young Dee, Chege na Temba na wengineo. Kwa sasa mrembo huyo katika mahusiano na mtangazaji wa Clouds TV, Casto Dickson.

John Heche Awatuhumu Polisi Kumchoma Visu Mdogo wake Hadi Kifo

$
0
0
Mdogo wa Mbunge wa Tarime Vijijini John Heche anayejulikana kwa jina la Suguta, ameuawa kwa kuchomwa kisu.

Kwa mujibu wa John Heche mdogo wake amechomwa kisu na polisi wa kituo cha Sirari Tarime, huku akiwa na pingu mikononi, waliomkamata baada ya kumkuta bar akinywa pombe.

"Ni kweli kwamba mdogo wangu ameuawa na polisi, na ameuawa akiwa mikononi mwa polisi, jana usiku polisi walimkamata akiwa kwenye bar alikuwa na wenzake wanakunywa pombe, sasa wakamkamata, wameenda naye mpaka kituo cha polisi akiwa mzima wamemfunga pingu, askari mmoja akatoa kisu akamchoma eneo la mgongo kikaenda mpaka kikagusa chembe ya moyo, wamemchoma kisu akiwa wamemfunga pingu tena akiwa kituo cha polisi", amesema John Heche.

Baadhi ya Wananchi wa Kata ya Sirari wamejikusanya kituo hicho cha polisi kutaka maelezo zaidi

Kamanda wa Polisi Tarime hakupatikana kuongelea tukio hilo

Serikali kuvifungia vyuo vikuu visivyozingatia kanuni

$
0
0
Serikali imesema itaendelea kuvifuatilia na kuvifungia vyuo vikuu vinavyotoa elimu bila kuzingatia miongozo, kanuni na sheria zilizowekwa.

Kauli hiyo imetolewa leo Aprili 27, 2018 na Naibu Waziri wa Elimu, William Ole Nasha wakati akijibu swali la nyongeza Mbunge wa Viti Maalumu, Ester Mmasi lililoulizwa kwa niaba yake na mbunge wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi.

Katika swali hilo la nyongeza, Shangazi aliuliza udhibiti wa Serikali katika vyuo vinavyotoa elimu bila kufuata miongozo.

Akijibu swali hilo Ole Nasha amesema mwaka huu Serikali imevifungia vyuo 19, kusitisha programu 75 za vyuo 19.

“ Tumekuwa tukiielekeza tume ya vyuo vikuu kudhibiti ubora wa  elimu ili kuhakikisha taratibu zote zinafuatwa. Pia Serikali tumekuwa tukizingatia uhuru wa vyuo hivi lakini tumekuwa tukivifuatilia kuhakikisha kuwa utendaji wake unazingatia taratibu tulizoziweka,” amesema.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma abainisha ubadhirifu mradi wa maji

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk Binilith Mahenge amesema kuna ubadhirifu wa Sh1.5 bilioni kwenye mradi wa maji katika wilaya za Kondoa na Chemba ambao unasuasua.

Dk Mahenge amesema hayo leo Aprili 27 Kondoa, Dodoma wakati wa hafla ya uzinduzi wa barabara ya Kondoa – Babati yenye urefu wa kilomita 251 inayozinduliwa na Rais John Magufuli.

Mkuu huyo wa mkoa amesema mradi huo ulitengewa Sh2.8 bilioni kwa ajili ya wilaya hizo lakini kulitokea ubadhirifu wa Sh1.5 bilioni. Amebainisha kwamba vyombo vya dola vinaendelea na uchunguzi wa ubadhirifu huo.

“Tayari vyombo vya dola vinafanya uchunguzi wa ubadhirifu wa fedha hizo. Dhamira ya Serikali iko pale pale kuhakikisha kwamba maji yanapatikana katika mkoa wa Dodoma,” amesema mkuu huyo wa mkoa.

Dk Mahenge amesema Serikali imetenga Sh70 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu katika mkoa huo. Amesema kwenye sekta ya maji, Serikali imeanza ujenzi wa visima vitano ambavyo vitasaidia kukidhi mahitaji ya maji katika mkoa huo.

Serikali Yagoma Kupeleka Vipimo vya CT SCAN Hospitali za Rufaa Ngazi ya Mkoa

$
0
0

Serikali ya awamu ya tano kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto nchini imesema haina mpango wa kuweka vifaa vya CT SCAN katika hospitali za ngazi ya rufaa kwenye mikoa kutokana na vifaa hivyo kuwa na gharama kubwa pamoja na kutokuwepo kwa wataalam wa kuvitumia

Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa wizara hiyo Dkt. Faustine Ndugulile leo Aprili 27, 2018 Bungeni Jijini Dodoma kwenye kikao cha 18 mkutano wa 11 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati akijibu la nyongeza la Mbunge kiza Hussein Mayeye aliyetaka kufahamu ni lini serikali itaweza kupeleka vifaa vya CT SCAN pamoja na vile vya kupimia saratani ya shingo ya kizazi katika hospitali ya Maweni iliyopo mkoani Kigoma.

"Kwa mujibu wa mpango wa serikali na aina ya huduma ambazo zinazotolewa sasa hivi katika hospitali ngazi za rufaa za mikoa hatuna mpango wa kuweka CT SCAN kwasababu vifaa hivyo kuwa na gharama kubwa pamoja na kuhitaji utalaamu wa hali ya juu ambapo ngazi za rufaa za mikoa hawana", amesema Dkt. Ndugulile.

Pamoja na hayo, Dkt. Ndugulile ameendelea kwa kusema "sasa hivi katika mikakati yetu mashine za CT SCAN zitapatikana kuanzia ngazi ya rufaa za kanda lakini vipimo kwa ajili ya dalili za awali za saratani ya shingo ya kizazi vifaa hivi vyote vinapatikana hadi katika ngazi ya vituo vya afya na nitoe rai kwa wananchi na Wabunge kuwa huduma hizi zinatolewa zaidi ya vituo 1,000 ndani ya nchi ya Tanzania".

Kwa upande mwingine, Dkt. Faustine Ndugulile amesema wizara yake inaendelea kushirikiana na mamlaka katika ngazi za mkoa na halmashauri kuhakikisha kwamba mikakati yote waliyoiweka katika kutokomeza ugonjwa wa kipindupindu inaendelea kufanyika kwa maana kutolewa kwa elimu pamoja na vipimo na dawa.

Okoa Ndoa Yako Sasa : Je Umepungukiwa Na Nguvu Za Kiume Au maumbile Au Mpenzi Wako Hakutimizii Utakacho?

$
0
0
Acha kujiona mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kwa sabubu ya kutokuwa na nguvu za kiume au uume wako mdogo dawa YA MAPRO POWERA ndio dawa sahihi na tiba tosha kwa sasa kutibu tatizo na kuponesha kabisa tatizo LA;
 1 KUWAI KUFIKA KILELENI KABLA YA MWENZI WAKO
2 KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA NA MWILI KUCHOKA 
3 UUME KUSINYAA NA KUWA LEGELEGE 
4 KUUMWA NA TUMBO WAKATI UNAPOMALIZA KUFANYA TENDO

MAKAKANUA; HII NI dawa ya maumbili madogo...hufusha na kunenepesha saizi upendayo saiz 5-6-7-8 na unene sm 3-4-5

Tunarudisha mke au mpenzi ndani ya masaa matatu tu zipo dawa za presha kisukali vidonda vya tumbo korodani iliyovimba, dawa za uzaz,Mi tunapunguza matiti makubwa kitambi na mwili mkubwa dawa zipo 

FIKA OFISINI KWANGU MBAGALA ZAKHEMU. KWA WATEJA AMBAO AMTAKUWA NA NAFASI YA KUJA OFISINI AU MLIO MKOANI MTALETEWA. piga simu 0743362017. 0789234653 DR AGU

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0753471612, 0623386305, 0655283534 -DR KUZENZA

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Rais Magufuli amtaka mkuu wa mkoa kuchagua moja

$
0
0
Rais John Magufuli amemtaka Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Isaac Kamwelwe na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk Binilith Mahenge kufuatilia ubadhirifu wa fedha za mradi wa maji katika Mkoa wa Dodoma na kuhakikisha wahusika wanakamatwa au maji yanatoka.

Rais Magufuli ameyasema hayo leo Aprili 27, wilayani Kondoa wakati wa hafla ya uzinduzi wa barabara ya Dodoma – Babati yenye urefu wa kilomita 251 ambayo ni sehemu ya barabara kuu inayotoka Capetown, Afrika Kusini mpaka Cairo, Misri.

Ameagiza vyombo vya dola kuwatafuta wahusika wa ubadhirifu wa fedha hizo ambazo amesema ni zaidi ya Sh2 bilioni.

Amesema ni lazima wahusika wachukuliwe hatua kwa sababu hizo ni fedha za wananchi, na ni vyema ziwaletee maendeleo.

“Haiwezekani tukawa tunaimba maji kila siku halafu maji hayatoki. Vyombo vya dola vihakikishe wahusika wote wanakamatwa au maji yanatoka. Tukibembelezana hivi hatutafika, hata hii barabara tusingebana, isingekamilika,” amesema Rais Magufuli.

Awali kabla ya Rais Magufuli kuzungumza, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk Binilith Mahenge alisema kuna ubadhirifu wa Sh1.5 bilioni kwenye mradi wa maji katika wilaya za Kondoa na Chemba ambao mpaka sasa  unasuasa.

Mkuu huyo wa mkoa alisema mradi huo ulitengewa  Sh2.8 bilioni kwa ajili ya wilaya hizo, lakini kulitokea ubadhirifu wa Sh1.5 bilioni.

Amebainisha kwamba vyombo vya dola vinaendelea na uchunguzi wa ubadhirifu huo.

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0766340868

Godbless Lema akamatwa na polisi

$
0
0
Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Godbless Lema leo April 27, 2018 amekamatwa na polisi na kufunguliwa kesi mpya kuhusu uchochezi kwa ndoto aliyowahi kuota kuhusu Rais Dkt. John Pombe Magufuli miaka miwili iliyopita.

Mkurugenzi wa Itikadi, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema amethibitisha hilo na kusema kuwa Lema leo alihudhuria Mahakamani kwa ajili ya kesi iliyokuwa ikimkabili kuhusiana na ndoto alizoota miaka miwili iliyopita.

"Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limemkamata Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kwa kile kinachodaiwa "uchochezi". Dhidi ya Mh Rais kuhusiana na ndoto aliyowahi kuota. Lema alihudhuria Mahakamani siku ya leo kwa ajili ya kesi iliyokua ikimkabili kuhusiana na ndoto alizoota miaka 2 iliyopita. Baada ya Mahakama kufuta kesi hiyo leo na kuachiwa...Polisi walimkamata tena na kumfungulia kesi upya kwa mashtaka yale yale" alisema John Mrema

Kesi hii ni mwendelezo wa kesi iliyokua ikimkabili Mh Godbless Lema na ambayo ilimsotesha Mahabusu (Magereza) kwa zaidi ya miezi 4 mwaka juzi kabla ya kuachiwa kwa dhamana mapema mwaka jana.

RPC athibitisha mdogo wake Heche kuuawa na Polisi

$
0
0
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Polisi Tarime Rorya Henry Mwaibambe amethibitisha kuuawa kwa Bwana Chacha Heche Suguta ambaye ni mdogo wa Mbunge wa Tarime Vijijini John Heche, kwa kuchomwa kisu na Polisi.

Kamanda Mwaibambe amesema marehemu alikuwa na mgogoro na mmoja ya askari waliokuwa wamemkamata, na kufikia hatua ya kutaka kushikana (kupigana) ndipo askari aliposhindwa kujizuia na kumchoma kisu.

“Tukio ni la kweli limetokea na huyo askari tunamshikilia, huyo kijana alikamatwa usiku sasa wakati wapo kwenye gari wakielekea kituo cha polisi, ukatokea mzozo kati ya huyu askari na huyu marehemu, mzozo kama wanataka kupigana, mwenzake akaingilia kuamua, lakini ni kweli askari amemjeruhi huyu mgongoni, mwili wa marehemu umefanyiwa uchunguzi leo saa 6 mbele ya ndugu zake, kweli umekutwa na jeraha la hicho kisu mgongoni na mtuhumiwa alikuwa hajavalishwa pingu, ila hatujui nini waliambiana mpaka kufikia hivyo”, amesema Kamanda Mwaibambe.

Sambamba na hilo Kamanda Mwaibambe amesema hali ya kituoni hapo kwa sasa imetulia baada ya wananchi kufurika kulalamikia mauaji hayo, na kwamba amezungumza na ndugu wa familia kuwaeleza jinsi tukio lilivyokuwa.

Pia Kamanda Mwaibambe amewataka watu kutochukulia tukio hilo kisiasa, isipokuwa ni kama tukio lingine la mauaji, ingawa sio jambo zuri kwa mtu yeyote.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images