Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0766340868

Rais Magufuli Ateua Majaji 10 wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Viongoz Wengine Wanne

0
0
Rais Magufuli leo amefanya uteuzi wa Majaji 10 wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Naibu Mkuu wa Serikali, Naibu Mkurugenzi wa Mashitaka, Wakili Mkuu wa Serikali na Naibu Wakili Mkuu wa Serikali

Zari Amtukana Diamond Kwa Kushindwa Kuwajali Watoto

0
0
Aliyekuwa mpenzi wa Diamond Platinumz ambaye ni mama wa watoto wawili wa msanii huyo, Zari The Boss Lady ameshindwa kuficha hasira zake na kumshambulia kwa matusi mtandaoni.

Mashambulizi ya Zari aliyoyatoa kupitia snapchat, muda mfupi kabla hajaelekea kanisani yalionekana yakihusishwa na ujumbe ambao Diamond aliuandika kwenye Instagram kuhusu wanawake akipigia debe tukio linalofywa leo na Zamaradi Mketema.

“Ikiwa Mama yangu alinilea Pekee hadi kufika hapa…Naamini Mwanamke ni Kiongozi bora Mwenye kuweza kuleta Maendeleo na Furaha ya Kweli Ulimwenguni….Please Tag wanake wote Wapambanaji na Wapenda Maendeleo waambie @zamaradimketemaKawaandalia jambo Kesho [leo],” aliandika Diamond.

Dakika chache baadaye, Zari aliweka ujumbe wake uliojaa hasira akitumia maneno makali na kumuita Diamond ‘mjinga’. Ingawa hakumtaja jina, kitendo cha kumkosoa kwa kushindwa kuwaona watoto wake kwa muda mrefu kinaonesha kuwa anayezungumziwa ni baba Tifah.
Baadaye, Zari aliweka picha inayomuonesha akiwa mbele ya kioo na nguo nyingi na kuandika ujumbe kuwa ni muda wa kanisani.

Mkurugenzi Halmashauri ya Kongwa afariki dunia
Mange Kimambi kuwaburuza mahakamani ndugu zake
“Some manages need to do quality assurance  before their artist alter nonsense for public whatever… when last did you see your kids I believe they forgot all about you dummy… Think before you caption. Idiot. Mxuiiii,” aliandika.

Kwa tafsiri isiyo rasmi, “Mameneja wengine wanapaswa kuhakikisha ubora kabla wasanii wao hawajaweka upuuzi kwenye mitandao ya kijamii kwa kupata kiki kivyovyote… hivi ni lini mara ya mwisho umewaona wanao.. Nina amini wamesahau yote kuhusu wewe mpuuzi…. fikiria kabla ya kuandika kwenye picha. Mjinga.”

Zari alitangaza kuachana na Diamond, akaiachia rasmi funguo za ikulu ya WCB ya Madale na kuhamia nchini Afrika Kusini.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya April 16

Wanafunzi 9 washikiliwa kwa tuhuma za kumkashifu Rais John Magufuli na kuhamasisha maandamano

0
0
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara, linawashikilia wanafunzi tisa wa Chuo Kikuu cha Stella Maris na Daktari wa Hospitali ya Mission Nanyamba kwa tuhuma za kumkashifu Rais John Magufuli na kuhamasisha maandamano ya Aprili 26.

Akizungumza na waandishi wa habari Jumamosi, Kamanda wa Polisi mkoani humo, Lucas Mkondya, alisema watuhumiwa hao kwa nyakati tofauti wamekuwa wakitumia mtandao wa kijamii wa WhatsApp na Telegram kumkashifu Rais na kuhamasisha maandamano hayo.

Kamanda Mkondya bila kutaja majina ya watuhumiwa hao kwa madai ya sababu za kiupelelezi, alisema daktari huyo ni kutoka Halmashauri ya mji wa Nanyamba.

“Ninatoa onyo watu wajiepusha kutumia mitandao ya kijamii vibaya na kusababisha uvunjifu wa sheria za nchi. Watuhumiwa wote tunawashikilia kwa upelelezi zaidi,” alisema.

Katika tukio lingine, Kamanda Mkondya alisema wanawashikilia wahamiaji haramu 23 waliokutwa katika nyumba ya kulala wageni eneo la Chikongola, Wilaya ya Mtwara.

“Wahamiaji hawa wanatoka nchi tatu tofauti, 13 kutoka nchi ya Demokrasia ya Congo, saba kutoka Rwanda na wawili kutoka Burundi, katika mahojiano wamesema walikuwa wakielekea Ufaransa kwa kupitia visiwa vya Comoro,” alisema.

Pia alisema wanawashikilia watu 13 ambao wanajihusisha na mtandao wa wizi wa pikipiki katika kijiji cha Chikongo, wilayani Tandahimba.

Kamanda Mkondya alidai kuwa mtandao wa wezi hao unaongozwa na Mohamed Juma (simba).

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya April 15

Hili Hapa Dude Jipya la Harmonize Ft Diamond Platnumz.....KWANGWARU. Litazame

0
0
Kutoka ndani ya WCB, Harmonize ameachia video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Kwangwaru ambao amemshirikisha mwanamuziki Diamond Platnumz.

Itazame video hiyo hapa chini;

DC Kasesela atoa ujumbe mzito kwa Vijana

0
0
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini, Richard Kasesela amewataka vijana kuchangamkia fursa mbalimbali zilizopo ili ziweze kuwanufaisha.

Ameyasema katika Tamasha la Amka Vijana la Wasanii wa filamu nchini lililofanyika katika viwanja vya Mwembe Togwa mkoani humo.

Msanii wa muziki wa singeli, Dulla Makabila alikuwa mmoja kati ya wasanii waliofanya vizuri hali iliyomfanya DC. Kasesela kuinuka na kuanza kuonyesha uwezo wake wakucheza singeli jukwaani.

Katika tamasha hilo lililofanyika hapo jana lilikuwa na lengo la kuhamasisha vijana kujishughulisha na shughuli mbalimbali za maendeleo ili wawewze kujipatia kipato.

Aidha, Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini, Richard Kasesela amewataka vijana kuchangamkia fursa mbalimbali zilizopo za kimaendeleo.

Gwajima Asimulia Alivyoabishwa na Muumini wake Mbele ya Ndugu Zake

0
0
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ameeleza namna alivyonyang’anywa samani na muumini wake siku chache baada ya kumkabidhi.

Akitoa mahubiri katika ibada jana Aprili 15,2018 kanisani kwake, Ubungo jijini Dar es Salaam, Askofu  Gwajima alisema aliamua kumrudishia muumini huyo na kukubali kuaibika.

Akisimulia kisa hicho mbele ya mamia ya waumini, Askofu Gwajima alisema wakati anaanza maisha na kazi ya kuendesha kanisa hilo, alipanga chumba kimoja katika eneo la Ubungo Msewe.

“Katika chumba nilichokuwa nimepanga kitu cha thamani nilichokuwa nacho ilikuwa ni carpet (zuria) la plastiki,” alisema.

Alisema wakati akiendelea kuishi katika chumba hicho, alitembelewa na muumini wake aliyemtaja kwa jina moja la Ester.

“Ester baada ya kuona mazingira ya chumba kile, akaniambia mchungaji hapa panahitajika stuli kwa ajili ya kukalia, nitazileta,” alisema.

Askofu Gwajima alisema kweli muumini huyo alimpelekea stuli nne na yeye akamshukuru kwa msaada huo.

“Baadaye muumini huyo akawa anatamba kanisani akiwaeleza waumini wenzake kwamba stuli zilizoko kwa mchungaji zimepelekwa na yeye,” alisema.

Gwajima alisema muumini huyo akawa anataka waumini wenzake wathamini mchango ambao anautoa kwa mchungaji.

“Baada ya kusikia hilo  tulimwita na kumuonya asiwatishe waumini kwa kutumia kigezo cha msaada huo,” alisema.

Aliongeza, “siku moja nilitembelewa na ndugu zangu akiwemo mjomba, wakakaa kwenye stuli zile. baada ya muda mfupi Ester akaingia na kudai stuli zake mbele ya ndugu zangu.”

“Nikamtoa nje ili tuzungumze lakini msimamo wake ukawa uleule apewe stuli zake, ndugu zangu wakawa wanashangaa hawaamini kinachotokea,” alisema.

“Mjomba wangu akanieleza kwamba ina maana Gwajima huna hata stuli kwenye chumba chako.

“Nikamwambia stuli hizo si mali yangu ni za muumini hivyo nikawataka wageni wale wakae  kwenye zuria, nikampa stuli zake.”

Amewataka waumini hao wasiogope kuaibishwa na mtu kwa sababu hatima ya maisha yao ipo palepale.

“Ni kweli niliaibishwa mbele ya ndugu zangu lakini sikukata tamaa na hatima ya maisha yangu ilikuwa palepale kama mnavyoniona leo,” alisema.

Makamu wa Rais kumwakilisha Rais Magufuli katika Mkutano wa Wakuu wa Serikali wa Jumuiya ya Madola (CHOGM) London

0
0
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameondoka nchini jana kwenda London, Uingereza kushiriki kwenye Mkutano wa Wakuu wa Serikali wa Jumuiya ya Madola (CHOGM) unaotarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 16 hadi 20 Aprili, mwaka huu akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Mkutano huo ambao Kaulimbiu yake ni “Kuelekea Mustakabali wa Pamoja” utafanyika chini ya Uenyekiti wa Waziri Mkuu wa Uingereza, Mheshimiwa Theresa May na utafunguliwa na Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza.

Majadiliano ya Mkutano wa CHOGM 2018 yatajikita kwenye maeneo manne makuu ya kipaumbele ambayo yatajadili namna Jumuiya ya Madola inaweza kufikia mustakabali wenye ustawi zaidi; mustakabali endelevu zaidi; mustakabali wenye haki zaidi; na mustakabali wenye usawa zaidi.

Mijadala katika maeneo hayo ya kipaumbele itahusisha masuala mbalimbali ikiwemo, kukuza zaidi biashara na uwekezaji baina ya nchi za Jumuiya ya Madola kwa manufaa ya nchi wanachama na Jumuiya nzima; kukuza na kuendeleza misingi ya demokrasia; ajenda ya mabadiliko ya tabia nchi na maendeleo endelevu pamoja na masuala ya uhalifu wa kimataifa kama vile ugaidi, uhalifu wa kimtandao na usafirishaji wa binadamu.

Jumuiya ya Madola ilianzishwa mwaka 1949 kupitia Tamko la London ambalo lilikuwa ni matokeo ya Mkutano wa Mawaziri Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Madola.  Jumuiya ya Madola ina wanachama 53 ambapo kati ya hizo, nchi 19 ni za Afrika, 7 ni kutoka Asia, 13 ni kutoka nchi za Carribean na Mabara ya Amerika, 11 ni kutoka eneo la Pacific na nchi 3 ni kutoka Ulaya.

Ujumbe wa Makamu wa Rais unajumuisha Mheshimiwa Dkt. Balozi Augustine Mahiga (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki pamoja na viongozi wengine waandamizi kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirkiano wa Afrika Mashariki.

Makamu wa Rais na ujumbe wake wanatarajia kurejea nchini Aprili 22, mwaka huu.

Imetolewa na:
Ofisi ya Makamu wa Rais
Dar es salaam
15/4/2018

TRA Yasajili Wafanyabiashara Wapya 600 Mkoani Geita

0
0
Na Veronica Kazimoto,Geita,
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesajili jumla ya wafanyabiashara wapya 600 katika kampeni maalum ya utoaji huduma na elimu kwa mlipakodi iliyofanyika mkoani Geita ikiwa na lengo la kutoa elimu kuhusu masuala mbalimbali ya kodi pamoja na kusikiliza malalamiko, changamoto na maoni kutoka kwa wafanyabiashara hao.

Akizungumza mara baada ya kukamilika kwa kampeni hiyo mwishoni mwa wiki, Menenja wa TRA mkoani hapa James Jilala ameishukuru Idara ya Huduma na Elimu kwa Mlipakodi kwa kufika mkoani Geita hususani katika maeneo ambayo hakuna ofisi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania na kufanikiwa kusajili wafanyabiashara wengi ndani ya wiki moja.

"Nianze kwa kuishukuru Idara ya Huduma na Elimu kwa Mlipakodi kwa hatua ambayo mmeifanya ya kufika katika Mkoa wetu wa Geita hasa maeneo ambayo hatuna ofisi ya TRA na  kufanikiwa kusajili wafanyabiashara wengi kwa muda mfupi kitu ambacho kimekuwa historia kwetu," alisema Jilala.

Jilala alisema kuwa, baadhi ya wafanyabiashara walishindwa kusajiliwa na kupatiwa  Namba ya Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) kwa wakati, kwasababu walitakiwa kusafiri zaidi ya kilomita 100 kwenda Geita mjini kwa ajili ya kupata huduma hiyo. Hivyo, zoezi hili limewarahisishia wafayabiashara kusajiliwa na kupatiwa TIN.

Naye Meneja wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi kutoka TRA Makao Makuu  Gabriel Mwangosi alisema kuwa , pamoja na usajili wa wafanyabiashara hao, shughuli mbalimbali zimefanyika katika kampeni hiyo ikiwa ni pamoja na utoaji wa elimu kwa wafanyabiashara kuhusu masuala mbalimbali ya kodi kupitia semina na kuwatembelea katika sehemu zao za biashara.

"Katika zoezi hili tumefanya shughuli nyingi sana ikiwa ni pamoja na kuwatembelea wafanyabiashara mahali wanapofanyia biashara zao, tumesajili wafanyabiashara wapya na tumetoa semina mbalimbali  ambazo tunaamini kabisa  zitakuwa zimebadilisha mtizamo, utendaji na mwenendo mzima wa ulipaji kodi katika Mkoa huu wa Geita," alieleza Mwangosi.

Kampeni ya huduma na elimu kwa mlipakodi ni moja ya mikakati ambayo Mamlaka ya Mapato Tanzania imejiwekea katika kuhakikisha kuwa inasajili wafanyabiashara 1,000,000 katika mwaka huu wa Fedha wa 2017/18. 

MWISHO.

Watu 7 wafariki kwa mafuriko Dar es salaam

0
0
Watu saba wamefariki dunia kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es salaam.

Kamanda wa polisi kanda maalum jiini Dar es salaam Lazaro Mambosasa amethibitisha vifo hivyo, na kueleza kwamba mwili mmoja umekutwa ukielea kuelekea maeneo ya Jangwani jijini Dar es salaam.

Sambamba na hilo Kamanda Mambosasa amesema maeneo mengi jijini Dar es salaam yamejaa maji, na kuwataka watu kuwa makini wanapotumia barabara hasa sehemu zenye makorongo, na kuwaangalia zaidi watoto ambao wanapita mara kwa mara wakienda shule au wakiwa wanarudi kutoka shule.

“Watu wasijaribu maji, ukijaribu maji ujue utaondoka nayo, kwa hiyo watoto wetu wanapokwenda shuleni tuwasindikize, sehemu nyingi zenye makorongo kwa mfano kule Kinyerezi, kule Goba kule Makongo, zile shortcut zote maji yamejaa, watu wajiepushe kutumia njia hizo, watapoteza watoto wakiwa wanaenda au kutoka shule”, amesema Kamanda Mambosasa.

Jeshi la Polisi limesema litaendelea kutoa taarifa za sehemu mbali mbali kuhusu hali ya mvua, ambayo inaendelea kuathiri sehemu kubwa ya nchi.

VIDEO: Diamond, Hamisa Wakipeana Mahaba Motomoto Kitandani

0
0
Staa wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz amerudi upyaa Kwenye headlines baada ya video zake za mahaba na Baby mama wake msanii Hamisa Mobetto kusambaa mtandaoni siku ya jana.

Jana Diamond na Hamisa wameonekana pamoja katika chumba kimoja huku wakikumbatiana na kushikana kitendo kilichoibua maswali mengi kwani kiukweli haijajulikana kama wapo pamoja au ni kiki.

Hii imetokea ikiwa ni wiki mbili tangu wawili hao walipokutana live kwenye Tuzo za SZIFF pale Mliamni City Dar ambapo Diamond alimkumbatia mwanamama huyo na kupigana mabusu motomoto mbele ya umati uliofika kushuhudia tukio la tuzo hizo.

Hizi ni baadhi tu ya video zinazowaonyesha wakiwa pamoja:


Na hii

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

SILYA: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0785 234 837  au 0656 551 093  au 0746473974

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218,0789289945. TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya musanga

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO 0758840958 / 0785687900

Leo ni Birthday ya Lulu Michael Akiwa Gerezani.....Majizzo Amwandikia Ujumbe Mzito

0
0
Leo April 16  ni siku ya kuzaliwa watu wengi duniani ambao ni maarufu na wengine sio maarufu ila kwa upande wa waigizaji ni siku ya kuzaliwa ya Elizabeth Michael “Lulu” ambaye kwa sasa yupo gerezani akitumikia kifungo chake cha miaka miwili.

Mpenzi wake Elizabeth Michael ambaye ni Majizzo hakutaka siku hii ipite bila kuandika maneno ambayo ni ya muhimu kwa mpenzi wake katika siku hii ya kuzaliwa kwake ingawa yupo gerezani na maneno hayo ameyaandika kupitia ukurasa wake wa instagram.

"There are many days passing in life, but today is very important. First it explains that you are a very important person in your life, and second; You continue to be the most important person to me. You are a Woman and a half. I love you so much, Mama G. Happy birthday. "

Kwa Tafsiri isiyo rasmi, kasema;“Kuna siku yingi zinapita katika maisha ila leo ni siku muhimu, cha kwanza inaelezea kuwa wewe ni mtu muhimu kwenye maisha yako na pili endelea kuwa mtu muhimu kwangu, Nakupenda sana Mama G, Heri ya siku ya kuzaliwa”

Mbowe Ampongeza Fatuma Karume Kwa Kuchaguliwa Kuwa Rais wa TLS

0
0
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Kiongozi wa kambi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowet amempongeza Fatma Karume kwa kuchaguliwa kuwa Rais mpya wa TLS.

“Ushindi wako umetuma ujumbe kuwa mawakili wa Tanganyika wanajua msimamo wako na wanaamini kwa dhati kuwa kwa kushirikiana na viongozi wenzako mliochaguliwa kuongoza TLS utawavusha katika kipindi hiki ambacho Taifa linapitia na kushuhudia majaribu mengi ya uvunjifu wa Katiba, sheria na kanuni mbalimbali.

"Umepokea kijiti katika wakati ambao mtangulizi wako (Tundu Lissu) yuko hospitalini baada ya jaribio la shambulizi lililolenga kumuua kushindikana.

 “Tukutie moyo kuwa CHADEMA kama taasisi ya kisiasa tukiwa wadau wa masuala ya haki, sheria na utawala bora tuko nawe na tutaendelea kukupa ushirikiano wakati wote wa uongozi wako, wewe na wenzako wote.” -Mbowe 

Naibu Spika, Tulia Ackson Awatetea Mawaziri kwa Kumjibu CAG

0
0

 Naibu Spika, Tulia Ackson amewatetea mawaziri ambao wanashutumiwa kwa kutumia vyombo vya habari kujibu hoja za ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali wiki iliyopita.

Tangu Alhamisi ya wiki iliyopita, mawaziri wanne akiwamo wa Habari, Utamaduni na Michezo; waziri wa Fedha na Mipango na waziri wa Viwanda na Biashara walijumuika na kufanya mkutano na wanahabari wakijibu hoja za ripoti ya CAG.

Kitendo cha mawaziri hao kilikosolewa na wengi akiwamo Mbunge wa Kigoma Mjini, (ACT-Wazalendo) Zitto Kabwe.

Akizungumza bungeni leo Aprili 16, Dk Ackson amesema  mawaziri hao walikuwa wakitoa maoni yao kwa vyombo vya habari na si kujibu ripoti ya CAG.

“Kama ambavyo sheria isivyozuia CAG kuzungumza na vyombo vya habari, hivyo hivyo sheria haiwazuii mawaziri kutoa maoni yao kwa vyombo vya habari kuhusu ripoti ya CAG,” amesema Dk Ackson.

Hata hivyo amesema ni wajibu wa maofisa masuhuli kujibu ripoti ya CAG na kuwa hayo yanatakiwa kufanywa na mchakato wa Bunge.

Kilichoongelewa Leo Bungeni Kuhusu Watanzania Kulazimishwa kutumia dola badala ya shilingi ya Tanzania.

0
0

Mbunge wa Viti Maalumu Chadema, Devotha Minja ameitaka Serikali kutoa majibu ina mpango gani kuchukua hatua ili kulinda thamani ya shilingi kama nchi nyingine zinavyolinda fedha zao.

Mbunge huyo amesema licha ya kuwepo kwa matamko mengi lakini bado maeneo mengi Watanzania wanalazimishwa kutumia dola badala ya shilingi ya Tanzania.

Akijibu swali hilo bungeni leo Jumatatu, Aprili 16, Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Ashatu Kijaji amesema matumizi ya fedha za kigeni sambamba na shilingi ya Tanzania yanasimamiwa na Sheria ya Matumizi kwa Fedha za Kigeni ya 1992.

Dk Kijaji amesema Desemba 2017 waziri wa fedha alitoa tamko kwa umma kuwa ifikapo Januari Mosi, 2018, matumizi ya fedha za kigeni yazingatie mambo halisi yaliyopo na ikiwemo bei zote kutangazwa kwa shilingi ya Tanzania.

Kuhusu utitiri wa maduka ya kubadilisha fedha,  amesema hadi sasa Serikali imeshafungia jumla ya maduka 92 na itaendelea kufungia kwa watakaokiuka sheria ili kulinda shilingi ya Tanzania.

"Mkazi yeyote wa Tanzania asilazimishwe kulipia bidhaa au huduma yoyote hapa nchini kwa fedha za kigeni na vyombo vya dola viwachukukie hatua za kisheria wale wote watakaobainika kukiuka maagizo ya Serikali," amesema Kijaji
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images