Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya April 14


Serikali Yafafanua Mkataba Starmedia, Ruzuku Viwanda Vidogo

$
0
0
Dodoma, April 13, 2018:
Serikali imefafanua hatua zilizochukuliwa kuhakikisha Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) linafaidika na kampuni ya ubia ya StarMedia, huku ikisisitiza kuwa uongozi wa sasa chini ya Rais John Pombe Magufuli umefanya mageuzi makubwa na ya kihistoria katika kuwawezesha wajasiriamali wadogo na wa kati.

Wakizungumza mjini hapa jana katika mfululizo wa mawaziri kufafanua utekelezaji wa hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Dkt. Harrison Mwakyembe, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mhe. Charles Mwijage, Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, wamesisitiza ripoti ya CAG ni nyenzo muhimu kwao.

Dkt.Mwakyembe: TBC Sasa Kufaidika na StarMedia
Akizungumzia hoja ya CAG kuhusu mkataba wa StarMedia, Waziri Mwakyembe amewaambia waandishi wa habari kuwa changamoto kubwa iliyosababisha kampuni hiyo kutozalisha faida kwa miaka saba sasa ni udhaifu katika uendeshaji wa kampuni na baadhi ya watendaji wa zamani wa TBC waliotarajiwa kusimamia maslahi ya Taifa kususa, kujiuzulu na kuuacha uendeshaji chini ya wabia kutoka China.

Hata hivyo Waziri Mwakyembe ameongeza kuwa baada ya Serikali kumwagiza CAG kufanya ukaguzi ikiwemo pia yeye binafsi Kuunda Kamati Maalum ya Waziri kuchunguza mkataba wa StarMedia, sasa makubaliano yamefikiwa ili kuondoa dosari zote.

“Baada ya majadiliano ya muda mrefu na wenzetu wa StarTimes Group (kampuni mama yenye hisa nyingi katika ubia wa StarMedia), wenzetu hatimaye wamekubali taarifa ya CAG na mapendekezo yake yote,” alisema Waziri Mwakyembe.

Aliyataja baadhi ya makubaliano yaliyosainiwa ili kuigeuza StarMedia kujiendesha kwa ufanisi zaidi kuwa ni pamoja na: kufanyiakazi hoja zote za CAG, kuongeza wafanyakazi zaidi wa Kitanzania katika menejimenti, uwazi zaidi katika uendeshaji wa kampuni na kuanzia sasa Bodi ya ubia inayoongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa TBC kuwa ndio chombo cha juu cha uamuzi badala ya kusubiriwa maelekezo kutoka Beijing, China.

Aidha, Waziri Mwakyembe ameeleza kuwa, kwa kuwa kampuni hiyo haikuwa kutoa gawio kwa wanahisa wake, kuanzia mwaka huu, wakati kasoro zote zilizobainishwa na CAG na Kamati ya Waziri zikifanyiwakazi, StarMedia itatoa ruzuku ya Shilingi Bilioni tatu (3) kwa TBC.

“Kwa niaba ya Serikali, Wizara yangu itafuatilia kwa karibu utekelezaji na haitasita kuchukua hatua kali za kisheria na kinidhamu kwa mtendaji wa upande wowote atakayekuwa kikwazo katika uendeshaji wa kampuni,” alisema.

Waziri Mwijage: Tumeongeza Bajeti Kuinua Wajasiriamali
Kwa upande wake, Waziri Mwijage, akifafanua hoja mbalimbali zilizoelekezwa katika Wizara yake alisema ameshaagiza hatua za haraka zichukuliwe kwa taasisi zote zilizo chini ya wizara yake kutekeleza hoja mahsusi za CAG. 

Kwa upande wa hoja ya mchango mdogo wa Sekta ya Wajasiriamali Wadogo na wa Kati nchini, Waziri Mwijage amefafanua kuwa wakati lengo kuu ni ifikapo 2025 sekta hiyo kuchangia Pato la Taifa kwa asilimia 40, tayari kwa ushirikiano wa Serikali na sekta binafsi, inachangia asilimia 35, ambazo ni kubwa ikilinganishwa na nchi jirani.

“Kwa kulinganisha mchango wa sekta hii kwa Tanzania katika pato la taifa na nchi nyingine bado nchi yetu inafanya vizuri. Kwa Kenya sekta hiyo inachangia takribani asilimia 25; Uganda asilimia 20; Afrika ya Kusini asilimia 36; India asilimia 40 na Malaysia 40,” alisema.

Aidha, Waziri Mwijage amesisitiza kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imefanya mageuzi makubwa katika utoaji wa mtaji kwa Mfuko wa Kuendeleza Wajasiriamali (NEDF) na Shirika la Kuendeleza Viwanda Vidogo (SIDO) ambapo mwaka jana Mfuko huo ulipewa Bajeti ya Shilingi bilioni tano (5), mwaka huu Bajeti iliongezwa hadi shilingi bilioni saba (7.8).

Bajeti ya SIDO imeongezeka mpaka shilingi bilioni 26.8; kiasi ambacho ni cha kihistoria kwani hakijapata kutolewa na Serikali kabla ya kuingia Awamu ya Tano.

“Kama CAG alivyobaini, sekta hii ni uti wa mgongo wa Taifa kulingana na uchangiaji wake katika pato la Taifa na ajira. Kutokana na nafasi ya sekta hii katika kujenga taifa la uchumi wa kati, ni mpango wa Wizara kuendelea kuiongezea rasilimali zaidi,” alisema.

Katika mfululizo wa Mawaziri wa Serikali ya Awamu ya Tano kufafanua utekelezaji wa hoja mbalimbali za CAG, Jumatatu ijayo itakuwa zamu ya Wizara ya Kilimo na Wizara ya Mifugo.

Kigwangala azionya halmashauri

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangala, amezitaka halmashauri zote nchini kuacha kupora maeneo ya hifadhi za misitu kwa kisingizio cha kilimo.

Rai hiyo aliitoa jana wakati akifungua mkutano wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Wakala wa huduma za misitu Tanzania, uliofanyika mkoani hapa jana.

Dk. Kigwangala alisema halmashauri zote nchini zinatakiwa kuacha mara moja kuvamia na kupora maeneo ya hifadhi ya misitu kwa kisingizio cha uhitaji wa maeneo ya kilimo.

“Kuna baadhi ya halmashauri za mikoa ya Pwani zimewapa wawakezaji eneo la kilimo ndani ya msitu wa hifadhi na matokeo yake mwekezaji amekuwa akivuna misitu yetu,” alisema Dk. Kigwangala.

Aliagiza wakala wa huduma za misitu nchini kuhakikisha wanalisimamia agizo hilo.

Hata hivyo, alisema matumizi ya mkaa na kuni ni changamoto kubwa kwa uharibifu wa misitu nchini kutokana na watu wengi kutegemea nishati hiyo kwa matumizi ya nyumbani.

Kutokana na matumizi ya mkaa na kuni, inakadiriwa kuwa hekta 400,000 hadi 1,000,000 zinateketea kila mwaka.

Dk. Kigwangala alisema mabaraza ya wafanyakazi yanasaidia kuleta tija kwa watumishi wake mahali pa kazi na kupitia kikao hicho, waangalie mambo muhimu ya kujadiliana ili kupata majibu ya changamoto za kiofisi.

Aidha, aliwataka wakala wa misitu nchini kuhakikisha wanasimamia kujua idadi ya miti inayopandwa katika maneo mbalimbali.

“Hivi katika kampeni hizi za upandaji miti zilizoanzishwa na Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, mnaijua idadi yake kweli, mnajua miti mingapi ilikufa na iliyobaki ni mingapi? Naomba mhakikishe mnakuwa na hizo takwimu,” alisisitza Dk. Kigwangala.

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Profesa Dosantos Silayo, alisema jumla ya misitu 11 itahifadhiwa katika mwaka huu wa fedha katika wilaya za Chunya, Singida, Chamwino na Handeni.

Alizitaja wilaya zingine kuwa ni Nyasa, Buhigwe, Tunduru na Mkinga, lengo likiwa ni kuhifadhi bioanuai na mapito ya wanyama pori na hifadhi za maji.

Hata hivyo, alisema watumishi wa wakala huduma za misitu wanakabiliwa na changamoto za kujeruhiwa na wengine kupoteza maisha kutokana na kushambuliwa na majangili wanapokuwa kwenye doria za kutekeleza majukumu yao.

Alisema, kuna vijiji 228 vilivyoingia katika maeneo ya hifadhi nchini, lakini wanaendelea kuzungumza na wahusika ili kutatua migogoro hiyo.

Prof. Silaya alizitaja changamoto zingine kuwa ni uvamizi wa misitu kwa shughuli mbalimbali za kibinadamu pamoja na usafirishaji haramu wa mazao ya misitu unatishia uwepo wa rasilimali hiyo kwa vizazi vijavyo.

Kama Dalili Hizi Unazo Upo Kwenye Hatari Ya Kuishiwa Nguvu Za Kiume Kabisa

$
0
0
Una dalili zifuatazo?
1: Kushindwa kurudia tendo la ndoa
2: Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa
3: Maumivu ya kiuno mgongo
4: Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
5: Uume kusinyaa, kuingia ndani na kuwa mdogo au mfupi
6: Korodani moja kuvimba

KAMA DALILI HIZI UNAZO UPO KWENYE HATARI YA KUISHIWA NGUVU ZA KIUME KABISA

Kwa matibabu tumia OZYMIX POWER-dawa bora ya nguvu za kiume ya miti shamba ambayo haina kemikali ambayo itakuwezesha kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha.
Pia tunatoa huduma hizi:>

1.Dawa ya Kuondoa michirizi
2.Kumrudisha mwanaume aliyekuacha 
 
Tunapatikana KAWE UKWAMANI karibu na kituo cha mabasi.
KWA MAWASILIANO ZAIDI ; 0716096205 /0756726865 FIKA OFISIN AU PIGA SIMU NA UTALETEWA DAWA POPOTE ULIPO DAR ES SAALAM NA KWA MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA MABASI.

TEMBELEA KATIKA BLOG YETU HAPA>>>;

Okoa Ndoa Yako Sasa : Je Umepungukiwa Na Nguvu Za Kiume Au maumbile Au Mpenzi Wako Hakutimizii Utakacho?

$
0
0
Acha kujiona mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kwa sabubu ya kutokuwa na nguvu za kiume au uume wako mdogo dawa YA MAPRO POWERA ndio dawa sahihi na tiba tosha kwa sasa kutibu tatizo na kuponesha kabisa tatizo LA;
 1 KUWAI KUFIKA KILELENI KABLA YA MWENZI WAKO
2 KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA NA MWILI KUCHOKA 
3 UUME KUSINYAA NA KUWA LEGELEGE 
4 KUUMWA NA TUMBO WAKATI UNAPOMALIZA KUFANYA TENDO

MAKAKANUA; HII NI dawa ya maumbili madogo...hufusha na kunenepesha saizi upendayo saiz 5-6-7-8 na unene sm 3-4-5

Tunarudisha mke au mpenzi ndani ya masaa matatu tu zipo dawa za presha kisukali vidonda vya tumbo korodani iliyovimba, dawa za uzaz,Mi tunapunguza matiti makubwa kitambi na mwili mkubwa dawa zipo 

FIKA OFISINI KWANGU MBAGALA ZAKHEMU. KWA WATEJA AMBAO AMTAKUWA NA NAFASI YA KUJA OFISINI AU MLIO MKOANI MTALETEWA. piga simu 0743362017. 0789234653 DR AGU

Mapadri Watatu Wafariki Dunia Ghafla

$
0
0

Mapadri watatu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Same, wamefariki dunia ndani ya saa 72. Kanisa limesema vifo vya aina hiyo havijawahi kutokea.

Waliofariki wametajwa kuwa ni Padre Ubaldus Kidavuri, Padre Arbogast Mndeme na Michael Kiraghenja, wote wa jimbo hilo. Wawili kati ya hao walifariki ghafla usingizini.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya kanisa hilo, padre mmoja ndiye aliyekuwa akiumwa na alifariki akiwa katika Hospitali ya KCMC.

Taarifa ya vifo vyao ilitolewa jana na Askofu wa Jimbo la Same, Mhashamu Rogath Kimario.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mapadri hao wanatarajiwa kuzikwa Aprili 17, katika Makaburi ya Mapadri Jimbo la Same.

Taarifa ilisema haijawahi kutokea vifo vitatu vilivyopishana kwa saa 24 katika jimbo moja. 

“Jana nilionana na Padri Kidavuri na alikuwa akijiandaa kwa safari ya kwenda kuzika wenzie na nikampa pole pale St. Joseph, alikuwa mzima wa afya. Wapumzike kwa amani, amina,” alisema Padre Kimario.

Akithibitisha vifo hivyo jana, Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padre Raymond Saba, alisema kanisa limepokea kwa mshtuko mkubwa kufuatia vifo hivyo vya ghafla.

“Vifo vimetushtua sana maana vimekuwa vya ghafla mno, tulikuwa nao na walikuwa wazima kabisa,” alisema Padre Saba.

Alisema wanatarajia mazishi yatafanyika Jumanne ijayo, Same.

Kilichomfanya mbunge akapiga magoti bungeni

$
0
0
Mbunge wa Ileje (CCM) Janeth Mbene amepiga magoti bungeni na kumshukuru Rais John Magufuli kwa kupeleka maendeleo kwenye wilaya yake anayodai ilisahaulika.

Mbene amefanya kitendo hicho jana bungeni Aprili 13, wakati akichangia bajeti ya ofisi ya Rais kwa mwaka wa fedha 2018/19.

Mara baada ya kuruhusiwa kuchangia bajeti hiyo, Mbene alisema wilaya ya Ileje ni ya miaka mingi lakini ilikuwa haina barabara ya lami lakini katika Serikali Awamu ya Tano, barabara imejengwa.

Katika kuonyesha kuwa jambo hilo limemfurahisha, mbunge huyo alipiga magoti, pembeni ya kiti anachoketi bungeni akimshukuru Rais Magufuli.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO 0758840958 / 0785687900

Hukumu ya Nabii Tito Kutolewa April 20

$
0
0
Hukumu ya kesi ya Tito Machibya (maarufu Nabii Tito), ambayo ilikuwa itolewe uamuzi jana, iliahirishwa hadi Aprili 20, mwaka huu kutokana na hakimu anayehusika na kesi hiyo kuwa na dharura.

Akitoa maelezo mahakamani hapo, Mwanasheria wa Serikali Judith Mwakyusa, mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya, Godfrey Pius, alisema kesi hiyo ilikuja mahakamani hapo kwa ajili ya kutolewa uamuzi mdogo.

Mwakyusa alisema kesi hiyo ilikuwa itolewe uamuzi jana mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Dodoma, James Karayemaha, lakini amepata dharura.

“Mheshimiwa Hakimu shauri hili limeletwa kwako kwa ajili ya kuahirishwa kutokana na Karayemaha kuwa na dharura,” alisema.Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Godfrey Pius, aliahirisha kesi hiyo hadi Aprili 20, mwaka huu itakapoletwa tena kwa ajili ya uamuzi.

Pius alisema mtuhumiwa atarudishwa rumande hadi tarehe hiyo.

Aprili 5, mwaka huu Hakimu Karayemaha alisema wamepokea taarifa ya kitabibu kutoka taasisi ya magonjwa ya akili ya Isanga inayomhusu Mchibya na uamuzi ungetolewa jana.

Nabii Tito alidai ana matatizo ya akili yaliyosababisha kutaka kujiua na kuiomba mahakama kuamuru akachukuliwe vipimo ili kupata uhakika wa afya yake ya akili.

Katika kesi hiyo, anashtakiwa kwa kosa la kutaka kujiua kwa kujikata na wembe na kujijeruhi kwenye maeneo ya tumbo, Januari 25, mwaka huu katika mtaa huo wa Ng’ong’ona alipokwenda kukamatwa na polisi.

Marekani na washirika wake waishambulia Syria

$
0
0
Marekani, Ufaransa na Uingereza zimefanya shambulizi nchini Syria kumuadhibu rais wa nchi hiyo, Bashar al-Assad kwa shambulio la silaha za sumu dhidi ya raia na kuzuia kufanya hivyo tena.

Televisheni ya taifa nchini Syria imeripoti kuwamba vifaa vya ulinzi wa anga vya Syria, vilijibu shambulio hilo baada ya shambulio la Marekani na washirika wake kutulia.

Hatua hiyo ilijiri kufuatia tuhuma kwamba utawala wa rais Bashar al-Assad wa Syria, ulitumia gesi ya sumu kuwashambulia na kuwaua raia wake, wakiwemo watoto wachanga.

Katika hotuba yake kutoka White House jana Ijumaa mwendo wa saa tatu usiku saa za ukanda wa wa Mashariki mwa Marekani, Rais Trump alisema kuwa nchi hizo tatu zimeamua kuchukua hatua hiyo kama njia ya kuzima uwezekano ya mashambulizi mengine ya kutumia gesi ya sumu.

"Muda mfupi uliopita nimeamuru jeshi la Marekani kushambulia maeneo yaliyohusika na shambulizi la silaha za kemikali lililotekelezwa na utawala wa Bashar al-Assad," alisema Trump.

"Hatutakubali mashambulizi ya kemikali," aliongeza.

Trump aidha alilizishutumu Urusi na Iran kwa kile alichokiita "kushirikiana na uongozi wa Syria kufanya mashambulizi kwa raia wa Syria ambayo hayakubaliki."

Na akihutubia waandishi wa habari kwenye makao makuu ya kijeshi ya Marekani, Pentagon, waziri wa ulinzi Jenerali Jim Mattis alitoa maelezo zaidi kuhusu mashambulizi hayo, na kusema kuwa yalilenga vituo vitatu, kikiwemo kimoja cha utafiti na kingine cha kuhifadhi gesi ya sumu.

"Mashambulizi hayo ni makubwa zaidi ya mara mbili na yale tuliyoyafanya nchini Syria mwaka jana...na ni makubwa," alisema Mattis.

Kituo cha televisheni cha CNN kiliripoti Ijumaa usiku kwamba milipuko mikubwa ilisikika mjini Damascus punde baada ya rais Trump kutoa hotuba yake.

Katika hotuba yake, Trump aidha alieleza masikitiko yake kwamba licha ya rais wa Urus Vladmir Putin kuahidi kuchukua hatua za kuangamiza uwezo wa Syria wa kutumia silaha za kemikali, Russia bado haijafanya hivyo.

"Ni sharti Urusi iamue kama itaendelea kwenye barabara hiyo au itajiunga na nchi zinazotafuta amani," alisema rais huyo.

Tundu Lisuu Aiaga TLS

$
0
0
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Tundu Lissu anayemaliza muda wake amewaaga wanachama wa chama hicho huku Jaji Kiongozi, Ferdinand Wambali akieleza kuwa wanafanya kila linalowezekana kukomesha rushwa kwenye mfumo wa sheria.

Jaji Wambali akifungua mkutano mkuu wa TLS jana, alisema rushwa inawanyima haki wananchi. 

Aliwataka wanasheria kujitathmini kama malengo ya kuanzishwa taasisi hiyo yanaakisi shughuli zao sasa kulinganisha na idadi kubwa iliyopo ya wanasheria.

Alisema katika kuharakisha huduma za kisheria, mfumo wa Mahakama umeboresha utendaji kazi kwa kutumia teknolojia ya habari na mawasiliano (Tehama) ili kusaidia upatikanaji wa haki kwa haraka.

Lissu akiwa nchini Ubelgiji anakoendelea na matibabu, aliwaandikia wanachama wenzake barua ya kuwaaga akisema; “Jioni ya Machi 18 mwaka jana, nilisimama mbele yenu na kutoa hotuba yangu nikiwa rais mpya. Juni 30, 2017 nilizungumza nanyi tena Dar es Salaam katika mkutano wa dharura wa TLS, lakini leo nazungumza nikiwa katika kitanda cha Hospitali ya Ubelgiji nikiuguza majeraha kama mnavyojua.” 

Katika salamu hizo zenye kurasa 10, Lissu ameelezea tukio la Septemba 7 mwaka jana, aliposhambuliwa na watu wasiojulikana kwa risasi zaidi ya 38 akiwa nyumbani kwake mjini Dodoma kisha kusafirishwa kwenda Hospitali ya Nairobi kabla ya kwenda Ubelgiji.

“Mlinipa nafasi ya kuwahudumia kwa kipindi cha mwaka mmoja lakini kipindi hicho kilikatishwa miezi saba,” alisema Lissu huku akielezea kwa ufupi mafanikio aliyoyafanya kwa muda huo.

Lissu ambaye pia ni mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) amezungumzia masuala mbalimbali huku akiwataka wanasheria hao kupigania utawala wa sheria kwani bila kufanya hivyo hali itakuwa mbaya na hakuna atakayekuwa salama.

Makonda: Hata kama mtoto kazaliwa na ‘housegirl’ Ni Lazima Ahudumiwe na Sheria Inamlinda

$
0
0
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema matatizo ya wanandoa hayatakiwi kumuathiri mtoto kiasi cha kumnyima haki zake.

Amesema, hata kama mtoto amezaliwa nje ya ndoa, ana haki sawa na ndiyo maana sheria ya mtoto (ya mwaka 2009) haijasema ni mtoto yupi, bali inamgusa kila mtoto.

“Haijalishi mtoto amezaliwa na ‘house girl, sheria haibagui mtoto inawalinda watoto wote,” amesema

Ameyasema hayo leo Aprili 14, katika mahojiano maalumu yanayorushwa mubashara na televisheni ya TBC.

“Ajenda kuu tunayoizingatia ni haki ya mtoto. Watoto wote wa ndani na nje ya ndoa wana haki sawa,” amesema.

Kadhalika, amewataka viongozi wa dini kutoa mafunzo ya malezi na wajibu wa wazazi kwa watoto kabla ya kufikia hatua ya kufunga ndoa.

“Mapungufu yaliyopo katika sheria yanawafanya maofisa wa ustawi wa jamii waonekane hawafanyi kazi. Mapungufu haya ya kisheria yanawanyima kufanya kazi kwa ufanisi.” Amesema

Rayc Awatolea Povu Wote Waliomkejeli Wakati ni Kibonge

$
0
0
Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Rehema Chalamila maarufu kama Rayc amewatolea povu zito watu wote ambao waliowahi kumsema kuhusu  ubonge wake siku za nyuma.

Rayc ni moja kati ya wasanii wa kike ambao miaka kama kumi iliyopita enzi za ustaa wake alikuwa anavutia sana hadi kufikia hatua ya kuitwa kiuno bila mfupa.

Lakini alinenepa sana miaka ya hivi karibuni baada ya kuacha kutumia madawa ya kulevya kupelekea watu kumkejeli alipokuwa anashindwa kukata mauno kama zamani kutokana na mwili mkubwa.

Lakini saivi  Rayc amepunguza kilo nyingi tu na kupitia ukurasa wake wa Instagram ameweka picha yake inayomuonyesha akiwa mwembamba kupita kiasi ambapo ameweka picha hiyo na kusindika kwa maneno haya: Wale wote walionikejeli nilivyonenepa mat.. yenu!”.

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218,0789289945. TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya musanga

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE; 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO 0754372325/ 0689013109/ 0620806813 

HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Vodacom M-pesa Yapewa Tuzo Na Kutambuliwa Na Gsma Kwa Huduma Zilizotukuka

$
0
0

Kampuni ya Simu ya Vodacom Tanzania kupitia huduma yake ya M-PESA imetambuliwa nakupatiwa cheti kutambua ubora uliotukuka wahuduma za kifedha. 


Tuzo hii imetolewa jana jijini Abidjan, Côte d’Ivoire kutambua usalama na uhakika pamoja na nia thabiti ya M-Pesa katika kulinda haki ya mteja.

Tuzo hii imetolewa bada ya Vodacom Mpesa kufiika vigezo vilivyowekwa na GSMA ambavyo ni viwango vya juu vya kulinda amana ya mteja, usalama wa huduma, usiri na kulinda taarifa za mteja, kupambana na utakatishaji fedha, kupambana na wanaogharamia vikundi vya ugaidi, na pia kupambana na mbinu zote za udanganyifu.


Ian Ferrao, Mkurugenzi Mtendaj iwa Vodacom anasema“Utambuzi na cheti hiki vinathibitisha nia na utendaji wa Vodacom Tanzania katika kuhudumia na kulinda haki za mteja katika eneo lote la biashara ya MPesa, tukiwa ni mtandao unaoongoza kwa huduma ya pesa cheti hiki kitatupatia nafasi ya kuaminika zaidi nakutuongezea ari yakiutendaji ili kuwaridhisha wateja wetu ambao  wametufanya kuwa kampuni ya simu ya kwanza nchini kupata utambulisho huu baada ya kufikia vigezo," alisema Ian Ferrao, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom.
 

Chetihiki cha GSMA kimekuja wakati ambapo Vodacom Mpesa inatimiza miaka 10 ya M-pesa Tanzania.

Kwa takribani miaka 10 sasa M-pesa imeweza kubadilisha maisha nakuipandisha Tanzania kiuchumi kupitia huduma za kutuma na kutoa fedha,malipo ya  bili,akaunti za kutunza fedha,mikopo na mengineyo mengi.

M-pesa leo ina zaidi ya wateja milioni 8,wakala 106,000,biashara za kawaida zaidi ya 2000,wafanyabiashara wakubwa zaidi ya 15,000,benki zilizounganishwa zaidi ya 30.

Kupitiahudumazake M-pesa imewezesha wakazi wakitanzania wa mijini na vijijini kuwa sehemu ya mfumo mzima wakiuchumi unaotambulika,pamoja na ongezeko kubwa la kiuchumi katika jamii nyingi za kitanzania.

Mfumo huu rasm inchini Tanzania umekuza uchumi kwa mwaka 2017 hadi kufikia 65% kutokea 58% mwaka 2013 na 44% kwa mwaka 2009 Mwaka mmoja baada ya M-pesa kufunguliwa rasmi nchini Tanzania.

TAMISEMI Yaendelea Kuwabaini Watoto Wenye Mahitaji Maalum

$
0
0
Mratibu wa Sehemu ya Elimu Maalum Ofisi ya Rais TAMISEMI, Julius Migea amesema Serikali imeanzisha Mpango wa stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kwa watoto wenye mahitaji maalum ili kuwabaini na kuwawezesha kumudu stadi hizo muhimu kwa maendeleo yao na Taifa.

Migea aliyasema mjini Dodoma wakati wa kuanza rasmi kwa zoezi hilo lenye lengo la kuwabaini watoto wenye mahitaji maalum kama uoni hafifu, viungo vya mwili, kutosikia, kushindwa kuongea na matatizo mengine.

“Mpango huu wa kukuza stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) ulianzishwa kwa lengo la kukabiliana na kiwango duni cha kumudu stadi hizo za msingi kilichobainika miongoni mwa wanafunzi wa shule za msingi nchini, na watoto waliolengwa ni wenye umri kati ya miaka mine hadi sita”

Migea alisema kuwa uendeshaji wa uchunguzi wa nchi nzima kwa watoto wenye umri wa miaka 4 hadi 6 ni kwa ajili ya kuwabaini watoto wenye mahitaji maalum ili waweze kupatiwa afua stahiki ikiwa ni pamoja na kuwaandikisha shule stahiki. Kwa hivi sasa, tayari timu za maafisa waliopewa mafunzo maalum zimekwisha kwenda katika mikoa na halmashauri zote nchini na wameanza kuwabaini watoto hao wenye mahitaji maalum wanaoishi katika kata, vijiji, vitongoji na mitaa.

Mmoja wa Waratibu wa kazi ya kubaini watoto wenye mahitaji maalum Stephen Mwendi amesema zoezi la kubaini watoto wenye mahitaji maalum mkoani Dodoma linaendelea vizuri katika wilaya ya Kondoa Mji na Halmashauri ya Kondoa, baada ya kumaliza Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma na baada ya hapo watakwenda katika halmashauri nyingine za mkoa wa Dodoma.

“sisi tunaendelea vizuri na zoezi la kuwabaini watoto wenye mahitaji maalum katika Halmashauri ya Mji Kondoa na Halmashauri ya wilaya ya Kondoa na tunatarajia zoezi litakamilika kwa wakati kwani vituo karibu vyote vinafikika”

Mwendi pia amezitaja baadhi ya changamoto zinazowakabili katika zoezi hilo kuwa ni za kawaida lakini wanatarajia taarifa ya mwisho itawasilishwa Serikalini ili kuifanyia kazi kwa wakati katika sekta hiyo muhimu.

“muda wanaofika walengwa wakati mwingine wanafika tukiwa tumeondoka na kutulazimu kuwarudia tena, pia mahitaji yaliyoanishwa katika ubanishaji ni miaka 4 hadi 6 lakini tunakutana na watoto wengi wa umri zaidi ya miaka 10, 18 ijapokuwa kwa kuwaangalia wanakuwa na maumbo madogo kama watoto na vile vile wengi wa wazazi wanafikiria kuwa zoezi hilo ni kwa ajili ya kuwapatia misaada jambo ambalo si kweli na hivyo tunaendelea kuwaelimisha”

Mmoja wa wazazi walioleta watoto katika Halmashauri ya Kondoa Mji, mama wa Abubakari Hussein amesema mwanaye alipata ulemavu wa viungo alipokuwa na miaka 4 hadi sasa ambapo ana miaka 16 anapatanaye shida sana na anaoimba Serikali imsaidie kumsomesha mtoto huyo na kumpatia mahitaji madogo madogo kwani anaishi katika nyumba ya kupanga, lakini pia Serikali iwajengee shule maalum kwa ajili ya watoto wa aina hiyo ambao wamevuka umri wa kuandikishwa wa miaka 4 hadi 6.

Katika Halmashauri ya wilaya ya Kondoa kata ya Mnenia, mmoja wa wazazi, Mussa Dudu amesema mjukuu wake Haji Twalib ambaye anatatizo la kichwa kikubwa, kutokuongea vizuri na tumbo kuwa kubwa amepata ushauri wa kitaalam ikiwa ni pamoja na kujaza fomu ya kumwona daktari na fomu ya kujiunga na shule na ametoa maoni kwa Serikali kufanya utafiti zaidi kwani kuna baadhi ya wazazi wanaficha watoto wao wenye ulemavu (mahitaji maalum) majumbani.

“nashukuru juhudi za Serikali kwa zoezi hili zuri kwani kijana wangu (mjukuu) hakuwahi kupata uchunguzi wowote, nimepata fomu ya ubainishaji ili niende hospitali na kupeleka shuleni, Serikali pia itupe msaada ili kuweza kuwahudumia watoto hawa na pia Serikali ifanye uchunguzi kamili kwani kuna watoto wanafichwa tu na wazazi hawahamasiki wanasema huyu ni mlemavu tampeleka wapi. Pia natoa wito kwa Serikali kuwatumia Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji ili kuweza kuwafichua wototo kama hao”  

Ubainishaji wa kundi la watoto wa aina hii kawaida unatakiwa kufanyika kabla ya zoezi la uandikishaji ili wapatiwe afuastahiki, kwani awali zoezi hili lilikuwa halifanyiki kabla ya kuanza masomo na kupelekea watoto wenye changamoto za kujifunza kutokuwa na maendeleo mazuri ya kitaaluma, kuacha masomo, kutopenda masomo na kukosa haki yao ya msingi kutokana na kuwa katika mazingira yasiyo rafiki ya kusomea.

Serikali imekuwa ikitekeleza Mipango mbalimbali katika sekta ya elimu, ambapo kwa hivi sasa kupitia Mpango wa Kukuza stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (Literacy and Numeracy Education Support – LANES) inatekeleza mikakati ya kuhakikisha wanafunzi wote walioandikishwa shule za Msingi wanapata stadi za KKK ambazo ni msingi muhimu wa maendeleo ya kitaaluma katika ngazi zingine za Elimu.

Jeshi La Polisi Lakamata Silaha,watuhumiwa Wa Uhalifu 368

$
0
0
Na. Jeshi la Polisi.
Jeshi la Polisi nchini limefanikiwa kukamata Silaha mbalimbali na watuhumiwa 368 katika Oparesheni Maalum inayoendelea katika Ukanda wa Kusini unaojumuisha mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.

Akizungumza mkoani Mtwara, Mkuu wa Operesheni Maalum za Polisi, Naibu Kamishna wa Polisi Liberatus Sabas alisema kati ya watuhumiwa 368, 13 tayari wamefikishwa Mahakamani, 152 wamekabidhiwa Idara ya Uhamiaji kwa hatua zaidi, tisa wapo chini ya Upelelezi na 194 wapo chini ya uangalizi wa Polisi (Police Supervisee).

Sabas amezitaja Silaha zilizokamatwa kuwa ni pamoja na SMG mbili, Pistol tano, Shotgun moja na risasi 145,  Visu 96, Makoti ya Sare za Jeshi la Msumbiji mawili, Raba za Jeshi la Msumbiji jozi mbili pamoja na vifaa vya kutengenezea milipuko.

“Baadhi ya watuhumiwa ni wale waliokimbia katika Operesheni yetu ya Mkoa wa Kipolisi Rufiji baada ya kuwazidi nguvu na sasa nawaambia tu wajisalimishe kwani hatuna mchezo hata wakimbilie wapi mana tumepata taarifa kuwa wamejificha nchini Msumbiji lakini kule napo wameanzisha operesheni kama hii“. Alisema Sabas.

Aidha Kamanda Sabas amesema Operesheni hiyo  ni endelevu na inashirikisha vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama hivyo ametoa wito kwa raia wema kuendelea kutoa taarifa za siri ili kuendeleza amani na usalama hapa nchini.

Hivi karibuni Mkuu wa Jeshi la Polisi la nchini Msumbiji alikutana na IGP Simon Sirro jijini Dar es Salaam kwa lengo kuboresha ushirikiano katika mapambano ya uhalifu unaovuka mipaka ambayo ndio imekuwa changamoto katika nchi mbalimbali.

Makonda: Sina mpango wa Kugombea Urais...Lengo Langu ni Kumsaidia Magufuli

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema hana mpango wa kuwa Rais ila anapenda kumsaidia Rais John Magufuli katika utekelezaji wa shughuli zake.

Makonda ameyasema hayo leo alipoulizwa na mwandishi wa Azam TV Baruan Muhuza wakati wa mahojiano yake akielezea tathmini ya siku tano za kusikiliza malalamiko ya wanawake waliotelekezwa na wenza wao.

Muhuza aliuliza: “Hao wote uliowasaidia wanakuona shujaa na mtu wao wa muhimu sana, unatamani kuwa rais wa nchi hii siku moja."

Makonda amejibu,“Hapana ila natamani kumsaidia Rais Magufuli atimize azma yake kwa wananchi hasa kwa malengo aliyonipa kwa mkoa wa Dar, hiyo ndiyo shauku yangu."

Kuhusu madai ya kuwachafua watu maarufu kupitia zoezi hilo amesema, "Huchafuliwi kwa kuwa una mtoto, matendo yako uliyoyafanya ndiyo yanayokuchafua,"

"Si kweli kwamba eti nililenga kuwachafua wanasiasa ndiyo sababu kuna DNA. Kama kuna mtu anafikiri ni zoezi la mtu fulani anakosea, namna pekee ya kuepuka kuitwa kwa RC mtafute mtoto wako umlee,"

Amesema shauku yetu kubwa ni kuona kila mtoto anapata haki yake.

Zitto ampa pole RC Gambo kufuatia kifo cha mama yake

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe ametoa salamu za pole kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo baada ya kufiwa ya mama yake mzazi usiku wa kuamkia jana.

Zitto amesema kuwa anajua uchungu wa kupotelewa na mama huku akieleza kuwa hakuna faraja kama kumuuguza na kumsitiri mzazi.

"Pole sana kwa Msiba huu mkubwa ndugu Mrisho Gambo. Najua uchungu wa kupotelewa na mama. Hakuna faraja kama kumuuguza na kumsitiri mzazi. Mola akupe subira wewe na ndugu zako. Inna lilah waina ilaih raajiun ameandika Zitto kwenye mitandao yake ya kijamii."-Zitto Kabwe
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images