Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kutana na Mtaalam wa Kutafsri Ndoto Yoyote...Anasafisha Nyota na Kutoa Mikosi

$
0
0
SHEIKH SHARIF OMARY
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
 
SHEIKH SHARIF ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)
 
SHEIKH SHARIF ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
 
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)
Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
 
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
 
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.
 
Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone SHEIKH SHARIF Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
SHEIKH SHARIF Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
 
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.
 
ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
 
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..
 
Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
 
Mawasiliano ..+255 743 203 171

Prof. Jay: Nimeshafanya Kolabo na Diamond, Bado Alikiba

$
0
0
Mwanamuziki mkongwe na mmoja kati ya waanzilishi wa muziki wa Bongo fleva, Joseph Haule au maarufu kama Profesa Jay ambaye pia ni Mbunge wa Mikumi amekiri kuwakubali Diamond, Alikiba na mpango wake kwa sasa ni  kufanya Kolabo na Ali Kiba.

Huwezi kutaja wasanii wakali wakongwe Bongo ukamuacha Prof. Jay mchango wake ni mkubwa sana na michano yake mpaka leo bado ikipigwa lazima mtu utoe saluti.

Siku ya jana Professor Jay alifanya Interview na The Playlist ya Times Fm na alifunguka kuhusu wasanii anaowakubali kwa hivi sasa na Kwanza alimtaja Diamond na kusema kuwa anavutiwa sana na wimbo wake wa African beauty:

"African beauty ni wimbo ambao nimeupenda kwa sababu amemshirikisha Omarion halafu ameimba Kiswahili alafu mimi napenda kiwanja shabiki wa kuona wasanii International wanaimba kwa lugha yetu na kuitangaza nchi yetu”.

Lakini pia Profesa Jay ameongelea kuhusu kolabo aliyofanya ya ‘kIPI sijasikia’ ya Diamond na mipango yake ya kufanya na Alikiba:

"Kusema kweli nimeshafanya ngoma na Diamond na ni naona ulikuwa wimbo bora wa mwaka 2015 Kupitia tuzo za Kili awards lakini na Ali Kiba ni time tu haijafika kwa sababu juzi tu nilikuwa naongea na Tundaman akaniambia kuna kolabo tutafanya na Alikiba kwaiyo hiyo inakuja”.

Prof. Jay amesema alikuwa ana mpango wa kufanya naye Kolabo kwa muda mrefu na hana tatizo na Alikiba na anamkubali pia.

Barakah The Prince aweka wazi sababu ya bifu lake na Nay Wamitego

$
0
0
Mwanamuziki wa Bongo fleva Barakah The Prince amefunguka na kuweka wazi kilicho sababisha kuwepo kwa ugomvi  kati yake na msanii mwenzake Ney wa Mitego.

Sakata hilo lilianza baada ya Nay wa Mitego kumchana Barakah kwenye wimbo wake uitwao ‘Moto’ aliouachia  mwaka jana mwezi Julai ambapo kwenye wimbo huo Nay aliimba; Itafika hatua tuchangishane elfu hamsini tuwarudishe wadogo zetu Mwanza akamtaja Barakah the Prince.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Jembe Fm, Barakah amefunguka na kusema kisa cha Nay kumuimba vile ni baada ya yeye kumchana na kumwambia kipaji chake cha kurap ni kidogo:

"Nay wa Mitego mimi nilishawahi kumwambia studio kwake kwamba wewe sio rapa mkali .Nilitoka studio nikamkuta [Nay] anadiss kuhusu Godzilla, mimi nikamwangalia nikamwambia huyu jamaa mbona kipaji chake kidogo sana.

"Ujue Godzilla ni rapa sasa wewe Nay Wamitego unarap kitu gani? Haumfikii Godzilla hata kidogo, wewe ni msanii unaunga unga. Hapo ndipo alipopaniki akaamua kwenda kuniimba, siwezi kumjibu mtu ambaye hana kipaji”.

BASATA Yakanusha Kuzifungulia Nyimbo Mbili za Diamond

$
0
0
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), limesema nyimbo mbili za Diamond, hazijafunguliwa kama inavyodhaniwa.

Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Godfrey Mngereza amesema nyimbo za Wakawaka na Hallelujah hazijafunguliwa na jambo hilo halina ukweli wowote na kuwataka wananchi kulipuuza.

Kadhalika, Mngereza ametoa ufafanuzi kwa nini msanii Diamond amekutana na Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe na Naibu wake, Juliana Shonza na sio wasanii wengine.

Mngereza ametoa ufafanuzi huo baada ya kusambaa kwa taarifa iliyoeleza msanii huyo kakutana na mawaziri hao.

Baada ya taarifa hizo, kulizuka gumzo mitandaoni ambapo watu walihoji kwa nini wakutane na msanii huyo wakati kuna waliofungiwa nyimbo zao kama yeye na wengine kufungiwa kufanya muziki kwa miezi sita.

Mngereza amesema hatua hiyo imetokana na majibizano yaliyokuwa yanaendelea kati ya Diamond na naibu waziri Shonza na ndio sababu iliyowafanya wawili hao wakutanishwe meza moja ili kuyamaliza.

Akihojiwa katika kituo cha Redio Times FM, Diamond alisikika akimrushia maneno moja kwa moja Shonza kuwa amekuwa akiwafungia wasanii nyimbo zao na kuwafungia wasifanye kazi kwa lengo la kutafuta  umaarufu na kuogopa kutumbuliwa.

Hata hivyo, kwa upande wake Shonza alisema hayupo tayari kujibizana na msanii huyo mitandaoni kwa kuwa aliyemfungia si yeye, bali ni serikali na kumtaka kufuata taratibu kama anaona ameonewa ikiwemo kufika Basata, Wizarani au kuandika barua, jambo ambalo Diamond alilitekeleza siku ya Ijumaa.

Akizungumzia hilo, Mngereza alitaka wananchi waelewe kwamba malumbano hayo ndicho chanzo cha Diamond kukutana na mawaziri hao na kuwataka kuondoa dhana kama mtu aliyepewa upendeleo katika sakata la kufungia nyimbo.

Alipoulizwa kuhusu kukutana na wasanii wengine wenye malalamiko amesema mpaka sasa hajapata barua yoyote ya wasanii hao kutaka kuonana nao.

Takukuru Yawaburuza Mahakamani Wafanyakazi Ncca kwa kuisababishia serikalli Hasara ya Milioni 79

$
0
0
WAFANYAKAZI watano wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) jana walifikishwa mahakamani kwa kosa la kuisababishia hasara serikali ya dola za Kimarekani 35,500 (sawa na Sh. milioni 79).

Watuhumiwa waliofikishwa kizimbani na kusomewa mashtaka ni Joseph Mtwala (36), John Mlambo (42), Mwahu Yunus (38), Mery Njau (38) na Catherine Edward (33).

Watuhumiwa kwa pamoja walisomewa shtaka moja na Mwendesha Mashtaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (Takukuru), Adamu Kilongozi akisaidiwa na Hamidu Simbano na Richard Jacopiyo alidai kuwa walitenda kosa hilo kati ya Desemba 25, mwaka 2013 na Juni 6, mwaka 2014.

Kilongozi alidai kuwa watuhumiwa hao wakiwa katika lango la Nabi mkoani Mara na lango kuu la Loduare mkoani Arusha walisababishia serikali kiasi hicho cha hasara wakiwa watumishi wa NCAA.

Mwendesha mashtaka huyo alisoma shtaka hilo mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, Bernard Nganga, na kudai kuwa walifanya kosa hilo wakijua ni kinyume cha sheria.

Kilongozi aliiambia mahakama kuwa ushahidi wa kesi hiyo umekamilika na kuomba ipangiwe tarehe ya kuanza usikilizwaji wa awali.

Watuhumiwa wote walikana shtaka hilo na walipewa masharti ya dhamana ya kila mmoja kuwa na wadhamini wawili kila mmoja Sh. milioni 7.9 au mali isiyohamishika yenye thamani hiyo.

Hata hivyo, wadhamini hawakukamilisha masharti hayo jana, hivyo washtakiwa kupelekwa mahabusu hadi Aprili 10, mwaka huu.

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Mgeni Rasmi Harambee Lindi

$
0
0
RAIS mstaafu, Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika harambee ya kukusanya fedha kiasi cha Sh. bilioni moja, kwa ajili ya ukarabati wa Shule ya Sekondari Lindi iliyoungua Julai 2016.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi alisema harambee hiyo itafanyika kesho jijini Dar es Salaam.

Zambi alisema maandalizi yote kwa ajili ya harambee hiyo yamekamilika na inatarajia kuhudhuriwa na wadau wa sekta ya elimu nchini.

Alisema harambee hiyo imepanga kukusanya Sh. bilioni moja ikiwa ni karibu nusu ya mahitaji ya Sh. bilioni mbili zinazotakiwa kwa ajili ya ukarabati wa shule hiyo kongwe.

“Kutokana na fedha tutakazokusanya, tumepanga ujenzi uanze wakati wowote. Zoezi hili litakwenda sambamba na mpango wa mkoa kuboresha mfumo mzima wa masuala ya elimu toka ngazi ya awali,” alisema Zambi.

Mkuu wa mkoa huyo alikiri kuwa mkoa wake ni mmoja kati ya inayofanya vibaya kwenye matokeo ya mitihani ya kitaifa, lakini akasema hatua zimechukuliwa kurekebisha, ikiwamo kupima uwezo wa walimu.

Kwa upande wake, Ofisa Elimu wa Mkoa huo, Emmy Mchuchuri, alitaja changamoto zinazoukabili mkoa huo katika kutoa elimu kuwa ni miundombinu mibovu, uzembe wa walimu, utoro na kutokuwapo kwa chakula cha mchana shuleni.

Alisema ofisi yake imeanza kutekeleza maazimio ya wadau juu ya namna bora ya kuboresha elimu ndani ya mkoa huo, ikiwamo utoaji wa chakula cha mchana shuleni na mafunzo kwa walimu, ili kujenga uwezo wao wa ufundishaji.Alisema walimu watakaobainika kuwa na viwango vidogo vya ufundishaji watashushwa madaraja yao.

Mahakama Yaamuru mmiliki wa IPTL Akatibiwe Muhimbili

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru mmiliki wa IPTL, Harbinder  Sethi akatibiwe katika Hospital ya Taifa Muhimbili baada ya mshtakiwa huyo kulalamika afya yake imearibika sana.

Mbali ya Sethi, mshtakiwa mwingine ni mfanyabiashara James Rugemarila ambapo kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka 12 ya uhujumu uchumi, utakatisha fedha na kuisababisha Serikali hasara ya USD 22, 198,544.60 na Bilioni 309.

Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU, Leornad Swai amemueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi leo March 28, 2018 kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika na pia wanafatilia vielelezo vya upelelezi nje ya nchi.

Baada ya kueleza hayo, Seth alisimama na kumueleza Hakimu Shaidi kuwa; 'Afya yangu imearibika sana, nahitaji kupelekwa hospitali.'

Kutokana na maelezo hayo, Hakimu Shaidi amesema ni dhahiri afya ya mshtakiwa ikiangaliwa hata kwa macho inaonekana ni dhahifu.

“Naamuru mshtakiwa akatibiwe katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ili afya yake iwe njema,” amesema Hakimu Shaidi na kuahirisha kesi hiyo hadi April 11,2018.

Washtakiwa wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka 12 ya uhujumu uchumi, kutakatisha fedha na kuisababisha Serikali hasara ya Dola za kimarekani 22, 198,544.60 na Sh, bilion 309.

Peter Lujuakali, Susan Kiwanga na Wafuasi 55 CHADEMA Mahakamani Tena Leo

$
0
0
Wabunge wa Chadema, Susan Kiwanga (Mlimba) na Peter Lijualikali wa Kilombero na wafuasi wengine 55 wa chama hicho wamefika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro kusikiliza kesi inayowakabili.

Huku wakiwa na wakili wao, Fred Kalonga wabunge hao wamefika mahakamani hapo leo asubuhi Machi 28, 2018.

Kwa pamoja wanakabiliwa na na mashtaka manane  ikiwemo kuharibu mali katika uchaguzi mdogo wa marudio wa udiwani kata ya Sofi, Novemba 26, 2017 katika Wilaya ya Malinyi mkoani humo

Mchungaji akamatwa na Polisi akijaribu kumfufua Marehemu

$
0
0
Mchungaji mmoja  nchini  Msumbiji amejikuta akiishia  mikononi mwa polisi baada ya kujaribu kumfufua mwanamume mmoja eneo la kati la Msumbiji bila mafanikio.

Mchungaji huyo alidai kuwa roho mtakatifu alimwambia asafiri hadi katika hospitali inayofahamika kwa jina Chimoio iliyopo katika jimbo la Manica, ili akafanye muujiza ambao alidai ana uwezo wa kufanya na alipowashawishi Maafisa wa hospitali walimruhusu aingie ndani ya chumba cha kuhifadhi maiti ili atekeleze muujiza huo.

Hata hivyo baada ya siku mbili za maombi, hakuweza kurejesha uhai wa marehemu na familia hiyo haikushangazwa na kushindwa kwake.

Dada wa marehemu  ambaye hakutaka jina lake litajwe aliwaambia waandishi wa habari kuwa “Kasisi aliomba, akaomba na kuomba hadi akanena kwa lugha. Alizungusha kichwa cha marehemu huku na kule huku akiomba.

“Lakini hakuna hata sehemu ya marehemu kaka yangu iliyoweza kutikisika. Wakati mmoja kasisi alipaza sauti akisema, ‘amka, kijana wa Mungu!, Hatukuamini angefanya mwujiza wowote. Hii ni kwa sababu hakuwahi, hata wakati mmoja, kuthibitisha uwezo wake wa kumrejeshea mfu uhai wake.

“Tangu wakati huo kasisi alikamatwa na yuko mikononi mwa polisi akishtakiwa kwa kosa la kumkosea heshima mfu."
Alisema  Dada wa Marehemu

Kilichoendelea Leo Mahakamani Katika Kesi Inayomkabili Tido Mhando

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Aprili 24 na 25, 2018 itaanza kusikiliza ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashtaka katika kesi inayomkabili Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando.

Tido anakabiliwa na mashtaka manne ya kutumia madaraka vibaya na moja la kuisababishia Serikali hasara ya Sh887.1 milioni.

Mwendesha Mashtaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Leonard Swai leo Machi 28, ameieleza kwa Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi kuwa kesi hiyo ilipangwa kwa ajili ya kusikilizwa kwa ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashtaka.

Ameieleza kuwa kesi hiyo ilikuwa inasikilizwa na Hakimu Victoria Nongwa ila kwa sasa imepangwa kusikilizwa mbele yake.

Baada ya kutolewa kwa maelezo hayo, Hakimu Shaidi ameipanga kuisikiliza kesi hiyo Aprili 24 na 25, 2018 ambapo upande wa mashtaka umedai utaita mashahidi wawili Aprili 24 na mashahidi  wengine wawili Aprili 25,2018.

Inadaiwa kuwa Juni 16, 2008 akiwa  Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Tido ambaye alikuwa mkurugenzi wa TBC, kwa makusudi alitumia madaraka yake vibaya kwa kusaini mkataba wa kuendesha na utangazaji wa vipindi vya televisheni kati ya TBC na Channel 2 Group Corporation (BV1) bila ya kupitisha zabuni jambo ambalo ni kinyume na Sheria ya Manunuzi ya Umma na kuinufaisha BVl.

Katika shtaka la pili, Tido anadaiwa kutumia vibaya madaraka yake Juni 20, 2008 aliposaini makubaliano kwa utangazaji wa dijitali duniani kati ya TBC na BVl.

Katika shtaka la tatu, anadaiwa Agosti 11, 2008 na Septemba 2008 akiwa Dubai, Tido alitumia vibaya madaraka yake kusaini mkataba wa makubaliano kwa ununuzi, usambazaji kufunga vifaa vya usambazaji na mnara wa utangazaji kati ya TBC na BVI na kuifaidisha BVI.

Katika shtaka la nne, anadaiwa kuwa  Novemba 16, 2008 akiwa Dubai, Tido alitumia vibaya madaraka yake kusaini mkataba wa makubaliano kwa kuendesha miundombinu ya utangazaji (DTT Broadcast Infrastructure) kati ya TBC na BVI na kuinufaisha BVI.

Katika shtaka la mwisho, anadaiwa kuwa kati ya Juni 16 na Novemba 16, 2008 akiwa UAE, Tido aliisababishia TBC hasara ya Sh887.1 milioni.

Tido anatetewa na Wakili Ramadhani Maleta na yupo nje kwa dhamana.

Nape Nnauye Atamani Bunge Lifute Sheria Za Ovyo

$
0
0
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maliasili na Utalii, Nape Nnauye amesema anatamani bunge lisiwe la kutunga sheria tu bali pia lifute sheria za hovyo au kuzirekebisha.

Pia Nape ameiagiza Wizara ya Maliasili na Utalii kufanya uchambuzi wa sheria zake na kuangalia namna ya kuondoa sheria kandamizi katika sekta ya utalii ili taifa linufaike na rasilimali zilizopo katika sekta hiyo.

Akizungumza katika kikao cha kamati hiyo Mjini Dodoma leo Jumatano Machi 28, Nape amesema zipo sheria ambazo ni kandamizi hivyo wizara inapaswa kuzichambua na kupeleka bungeni ili ziondolewe au zifanyiwe marekebisho.

“Fanyeni uchambuzi wa sheria kandamizi, mi natamani bunge lisiwe la kutunga Sheria tu ,bali pia lifute Sheria za hovyo au kuzirekebisha,” amesema Nape.

Aidha, ameitaka wizara hiyo kuongeza vigezo vya kupima madhara ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika sekta ya utalii lakini pia kutoa taarifa ya uchambuzi wa kodi mbali mbali katika wizara hiyo.

“Naomba tusijpe muda mrefu wa kupima madhara ya VAT, wenzetu Kenya wameshafuta hiyo, sasa hadi wamefuta wao si wajinga,” ameeleza.

Upelelezi Kesi ya Malinzi Wakamilika

$
0
0
Hatimaye upelelezi wa kesi ya utakatishaji fedha wa USD 375,418 inayomkabili aliyekuwa Rais wa TFF, Jamal Malinzi na wenzake umekamilika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU, Leonard Swai amemueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri Leo March 28, 2018  kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekamilika.

Baada ya kueleza hayo, Swai aliiomba mahakama kupanga tarehe nyingine kwa ajili ya washtakiwa hao kusomewa maelezo ya awali (Ph).

Baada ya kueleza, Hakimu Mashauri ameahirisha kesi hiyo hadi April 11, 2018 kwa ajili ya washtakiwa kusomewa maelezo ya awali.

Mbali ya Malinzi, washtakiwa wengine ni Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Selestine na Mhasibu wa TFF, Nsiande Mwanga.

Washtakiwa hao walipandishwa  kizimbani kwa mara ya kwanza June 29,2017, wakikabiliwa na mashtaka 28 ya kughushi na kutakatisha fedha USD 375,418. 7

Mahakama yawafutia mashtaka watuhumiwa 44....., Suzan, Lijuakali na wengine 11 kusomewa maelezo ya awali Aprili 24

$
0
0
Washtakiwa 44 kati ya 57 wa kesi ya kuchoma moto ofisi ya Serikali ya kijiji cha Sofi wilayani Malinyi mkoani Morogoro wamefutiwa mashtaka na kuwa huru, huku wabunge wa Chadema Suzan Kiwanga (Mlimba) na Peter Lijualikali wa Kilombero na wenzao 11, ikielezwa watasomewa maelezo ya awali Aprili 24, 2018.

Upande wa mashtaka ukiongozwa na wakili wa Serikali, Sunday Hyera uliwasilisha ombi la kuwafutia mashtaka washtakiwa hao 44 kwa kile walichodai kuwa hawana ushahidi wa nguvu utakaowatia hatiani washtakiwa hao.

Hakimu aliyesikiliza kesi hiyo, Ivan Msack ameridhia ombi la kuwafutia mashtaka washtakiwa hao na hivyo kuhairisha kesi hadi Aprili 24 ambako washtakiwa 13, wakiwemo wabunge hao kesi yao itaanza kusikilizwa kwa maelezo ya awali.

Nje ya mahakama mmoja wa mawakili wanaowatetea washtakiwa hao, Fredy Kalonga amedai kuwa kwa sasa wanajiandaa kukabiliana na ushahidi utakaotolewa na upande wa mashtaka dhidi ya wabunge hao na wengine 11.

Miongoni mwa waliofutiwa mashtaka ni pamoja na diwani wa Mkula, Clement Mjami aliyedai Jamhuri imeonyesha udhaifu mkubwa kwa kukosa ushahidi dhidi yake.

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota, Mvuto wa Biashara na Mapenzi

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. 

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
 
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
 
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi 

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Ni Dr. Chief Malunde Pekee Anaetibu Nguvu Za Kiume Na Kumtuliza Umpendae Kwa Kutumia Dawa Za Asili

$
0
0
"NI DR. CHIEF MALUNDE PEKEE ANAETIBU NGUVU ZA KIUME NA KUMTULIZA UMPENDAE KWA KUTUMIA DAWA ZA ASILI"
-baada ya kujichimbia katika nchi za kiarabu kwa zaidi ya miaka (10)sasa amewasili nchini na dawa za tiba asilia.
 
1/NGOLO 3 POWER-ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, ina ubora wa hali ya juu wa kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kwa wasiojiweza kufanya tendo la ndoa, inaimarisha misuli iliyolegea na kusinyaa, inarutubisha mbegu za kiume na kukufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15-25 kuwa na hamu na tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila kuchoka, inarefusha uume inchi 5-8 na kunenepesha hadi cm 4 kwa wenye maumbile madogo, dawa hii imeboreshwa na hutibu matatizo haya kwa muda mfupi tu.
 
2/MAGOYE MVUTO- dawa hii ina uwezo mkubwa sana kumvuta na kumtuliza aliekuacha awe mpenzi, mme/mke itamfanya akutafute mwenyewe ndani ya masaa 3tu na kukutimizia mahitaji yako kwa haraka na kumfunga asiwe na mtu mwingine.
 
3/SUPER LUBEJA- ni dawa ya kushepu umbo no.8 mguu wa bia, kuongeza hips, na makalio kwa muda wa siku 5tu unapata saizi uipendayo, kuondoa makovu, chunusi, harufu mbaya ya mwili michirizi, kupunguza tumbo na maziwa kwa siku 6tu.
 
4/NG'WESHI MIX- ni dawa ya biashara ya kupata wateja wengi, kusafisha nyota, kurudishwa kazini na kupandishwa cheo, kurudisha mali iliyoibiwa au kudhurumiwa.
 
PIA TUNATIBU MAGONJWA SUGU KAMA: vidonda vya tumbo, ngiri, chango na uzazi kwa kina mama: (dawa zote hazina madhara kwa mtumiaji) HUDUMA HIZI UTAZIPATA POPOTE ULIPO: TUNAPATIKANA DSM BUGURUNI SHELI AU PIGA SIM NO_ 0763-181099.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE; 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO 0754372325/ 0689013109/ 0620806813 

HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Zari The Boss Lady Asaini Mkataba Mnono Dar

$
0
0
Aliyekuwa Baby Mama wa Diamond Platnumz, Zari The Boss Lady ametua nchini Tanzania kimya kimya Jumanne hii kwaajili ya kusaini dili nono na kampuni moja ya nepi za watato huku akiwazidi kete mastaa wa kike Tanzania.

Mapema asubuhi leo (March 28 2018) mrembo huyo aliutaarifu Umma wa Tanzania kwamba yupo nchini Tanzania kwaajili ya kusaini dili hilo.

Muda mchache baadaye Zari alionekana katika mitandao ya kijamii akisaini dili hilo ambalo bado halijajulika thamani yake huku wadau wa mambo wakidai huwenda dili hilo ni nono kutokana na mrembo huyo kuwa na umaarufu Afrika Mashariki.

Zari mapema mwaka 2017 alisaini mkataba mzito na kampuni ya Danube ambayo inamiliki maduka makubwa ya nguo nchini Tanzania.

Zari akiwa nchini Tanzania ameonekana kuwa na mbunifu wa mavazi Noel, huku akimtosa Diamond ambaye kwa sasa amekorofishana naye.

Mbunifu huyo wa mavazi amekuwa akitoa taarifa mbalimbali juu ya mrembo huyo hata taarifa ya dili hilo alilitoa yeye kupitia Instagram.

“Done deal she is official,” alindika Noel.

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

SILYA: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0785 234 837  au 0656 551 093  au 0746473974

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FULL POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images