Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Viongozi Wakuu CHADEMA Waripoti tena Polisi

$
0
0
Viongozi wanne wa Chadema wamewasili Kituo Kikuu cha Polisi wakiongozwa na Katibu Mkuu Dk  vicenti Mashinji.

Viongozi hao ambao  wamewasili Polisi kwa ajili ya kuitikia wito ni pamoja na manaibu katibu John Mnyika na Salum Mwalimu pamoja na Mwenyekiti wa Kanda ya Serengeti John Heche.

 Wakili wao Fredrick Khiwelo amesema wengine wako njiani akiwamo Mwenyekiti wa Chadema Freeman Aikaeli Mbowe.

Awali Mbowe  ambaye pia ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Hai kwa Taifa Leo tarehe 22 Machi 2018, ametoa waraka wa kuitwa Polisi yeye na viongozi wenzake.

Katika waraka huo Mbowe amesema kwamba kuna taarifa pia ya  kumuunganisha  Peter Msigwa,  Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa (Rukwa, Songwe, Mbeya, Njombe na Iringa) na Mjumbe wa Kamati Kuu katika shauri hili.

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

SILYA: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0785 234 837  au 0656 551 093  au 0746473974

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE; 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO 0754372325/ 0689013109/ 0620806813 

HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Okoa Ndoa Yako, Biashara Yako, Kazi Yak,o Mpenzi Wako..... Onana Na Dr Mfaume Mzee Mwenye Uwezo Wa Kukutatulia Magonjwa Na Matatizo

$
0
0
Je unaupungufu wa nguvu za kiume au maumbile madogo ya kiume?

 SHAFTI POWER; ni dawa itokanayo na mizizi na magamba ya mitishamba. Hutibu matatizo matatu kwa pamoja
 1 kushindwa kurudia tendo na mwili kuchoka 
2 kuwahi kufika kileleni kabla ya mpenzi au mke wako
3 kulegea kwa misuli na uume kusinyaa na mda mwingi uume kuanguka ukiwa bado unaendelea na tendo, DAWA HII ITAKUPA UWEZO WA KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA TATU NA UTACHELEWA KUFIKA KILELENI

MWIMALA MIX NO 2 ;ni dawa ambayo hurefusha uume saiz upendayo ...inch 5 , 6,7,8 na unene sm 1-5 .Dawa hizi zipo za kupaka na kunywa na hadhina madhara yoyote

NINI KINACHOCHANGIA KUWA NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO?
 1 kufanyia tohara ukiwa na umri mkubwa
3 msongo wa mawazo 
4 ngiri na korodani kuvimba 
5 vidonda vya tumbo 
6 maumivu ya mgongo na kiuno 
7 mfumo wa mahisha 
8 presha, kisukali na magonjwa ya moyo 

TUNATO TIBA YA KISUKALI,KORODANI KUVIMBA VIDONDA VYA TUMBO UZAZI KWA WANAWAKE NA WAUME .Tunarudisha Mali iliyoibiwa, kudhibiti jini chuma ulete kwa wanaopata pesa na ujui ziendako.
 
KWA SHIDA NA MAGONJWA WASILIANA NAMI .Ofisi ipo mbagara Zakhemu .Kwa wateja wa mikoani mtatumiwa huduma utakayo pia tunatibu kwa njia ya simu au piga simu no 0789234653 .WOTE MNAKARIBISHWA

Ni Dr. Chief Malunde Pekee Anaetibu Nguvu Za Kiume Na Kumtuliza Umpendae Kwa Kutumia Dawa Za Asili

$
0
0
"NI DR. CHIEF MALUNDE PEKEE ANAETIBU NGUVU ZA KIUME NA KUMTULIZA UMPENDAE KWA KUTUMIA DAWA ZA ASILI"
-baada ya kujichimbia katika nchi za kiarabu kwa zaidi ya miaka (10)sasa amewasili nchini na dawa za tiba asilia.
 
1/NGOLO 3 POWER-ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, ina ubora wa hali ya juu wa kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kwa wasiojiweza kufanya tendo la ndoa, inaimarisha misuli iliyolegea na kusinyaa, inarutubisha mbegu za kiume na kukufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15-25 kuwa na hamu na tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila kuchoka, inarefusha uume inchi 5-8 na kunenepesha hadi cm 4 kwa wenye maumbile madogo, dawa hii imeboreshwa na hutibu matatizo haya kwa muda mfupi tu.
 
2/MAGOYE MVUTO- dawa hii ina uwezo mkubwa sana kumvuta na kumtuliza aliekuacha awe mpenzi, mme/mke itamfanya akutafute mwenyewe ndani ya masaa 3tu na kukutimizia mahitaji yako kwa haraka na kumfunga asiwe na mtu mwingine.
 
3/SUPER LUBEJA- ni dawa ya kushepu umbo no.8 mguu wa bia, kuongeza hips, na makalio kwa muda wa siku 5tu unapata saizi uipendayo, kuondoa makovu, chunusi, harufu mbaya ya mwili michirizi, kupunguza tumbo na maziwa kwa siku 6tu.
 
4/NG'WESHI MIX- ni dawa ya biashara ya kupata wateja wengi, kusafisha nyota, kurudishwa kazini na kupandishwa cheo, kurudisha mali iliyoibiwa au kudhurumiwa.
 
PIA TUNATIBU MAGONJWA SUGU KAMA: vidonda vya tumbo, ngiri, chango na uzazi kwa kina mama: (dawa zote hazina madhara kwa mtumiaji) HUDUMA HIZI UTAZIPATA POPOTE ULIPO: TUNAPATIKANA DSM BUGURUNI SHELI AU PIGA SIM NO_ 0763-181099.

Mmiliki wa Facebook ameomba radhi kwa watumiaji wote wa mtandao huo

$
0
0
Mwanzilishi wa mtandao maarufu duniani wa Facebook, Mark Zuckerberg, kwa mara ya kwanza tangu kuzuka kwa kashfa ya Cambridge Analytica, inayotuhumiwa kuingilia data za watumiaji milioni 50 wa  mtandao huo, ameibuka na kudai kwamba wamefanya makosa.

Katika ujumbe wake kupitia ukurasa wake wa Facebook, Zuckerberg bila kuomba radhi kwa kile kilichotokea, amesema kitendo hicho kimewavunjia uaminifu. Hivyo kutokana na hali hiyo ameahidi kufanyika mabadiliko kadhaa ili kutoingiliwa wala kudukuliwa kwa taarifa za watumiaji wake.

“Tuna wajibu wa kuzilinda taarifa zenu na kama tukishindwa kuzilinda hatuna sifa ya kuwahudumia, mimi ndiye niliyeanzisha mtandao huu wa Facebook, mwisho wa siku ninawajibika kwa chochote kinachotokea katika mtandao wetu,” amesema Zuckerberg.

Katika kufuatilia matatizo ya sasa na ya zamani amesema atafanya mambo yafuatayo;
  1.  Kuchunguza mitandao yote ambayo inashirikiana na uga wa Facebook kabla ya kufanyiwa mabadiliko ya mwaka 2014 ya namna ya kuweza kupata taarifa ya watumiaji.
  2. Kufanyia uchunguzi kazi za programu za kimitandao zinazotiliwa shaka.
  3. Kupiga marufuku mwanzilishi wa programu yoyote ambayo inagoma ama haitoi ushirikiano katika uchunguzi pamoja na hatua nyingine ambazo wanaona zitafanya Facebook kuwa mahali salama.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Trump ajipanga kuiwekea vikwazo China

$
0
0
Rais wa Marekani, Donald Trump anajipanga kuiwekea vikwazo nchi ya China mara baada ya kugundua kuwa nchi hiyo imekuwa ikiiba utaalam na ubunifu wa biashara za Marekani.

Ikulu ya Marekani imesema kuwa hatua hiyo imefikiwa mara baada ya kufanyika mazungumzo ya muda mrefu bila kufikia muafaka kuhusu jambo hilo.

Aidha, Mpango huo umezua hofu kubwa kuhusu vita vya kibiashara kati ya nchi hizo kwani vikwazo hivyo vitashirikisha ushuru na masharti mengine.

Vilevile huenda Marekani ikawasilisha malalamiko yake kwa Shirika la Biashara Duniani WTO, kulingana na maafisa wa biashara.

Hata hivyo, Bunge la Congress pia linapanga kupitisha sheria ambayo itaipatia serikali uwezo wa kubadilisha mikataba ya biashara za kigeni kutokana na vitisho vya China kununua viwanda vya Marekani.

 Afisa wa biashara nchini Marekani ambaye alizungumza na wanahabari alisema kuwa Marekani ina ushahidi kwamba China inataka kampuni za Marekani kuingia katika ushirikiano na kampuni za China ili kuingia katika soko la taifa hilo kwa lengo la kuzishinikiza kampuni hizo kuhamisha teknolojia yao.

Marekani pia iligundua kwamba China inawekeza katika kampuni muhimu za Marekani na kufanya mashambulio ya mitandao.

Matokeo hayo yanatoka katika uchunguzi ulioagizwa na rais Trump mwezi Agosti kwa jina 301.

Katika kipengee cha 301 cha sheria ya biashara, serikali imejipatia uwezo wa kuwekea vikwazo mataifa ambayo inahisi hayafanyi biashara kwa usawa.

Bwana Trump mara kwa mara amekuwa akilalamika kuhusu ukosefu wa usawa kibiashara kati ya Marekani na China.
Je hatua hiyo inaungwa mkono na wengi?

Kuna wasiwasi mkubwa nchini Marekani kwamba China inatafuta teknolojia ambayo wanaweza kuitumia kijeshi. 


Lakini wanasiasa na viwanda ikiwemo watumiaji wameonyesha wasiwasi kwamba huenda China ikalipiza kisasi.

Bwana Lighthizer amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa wa China ikalipiza kisasi akidai kwamba Kilimo cha Marekani huenda kikaathiriwa , lakini akasisitiza kwamba hatua hiyo haitaizuia Marekani kuchukua hatua.

Iwapo watalipiza kisasi basi Marekani italazimika kuwalinda wakulima wake.


Pia alisema kuwa anatumai kwamba Marekani itapunguza masharti kuhusu bidhaa za kiteknolojia zinazoingia China.


Credit:BBC

Diamond aiponza Times FM, TCRA yawalima barua

$
0
0
Kituo cha Redio Times cha jijini Dar es Salaam kimetakiwa kuwasilisha kipindi cha mahojiano waliyofanya na mwanamuziki Diamond Platinumz kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa ajili ya uchunguzi zaidi.

Mkurugenzi wa Times FM, Amani Misana amesema kuwa amepokea barua ya kuwataka wawasilishe kipindi hicho kilichorushwa Machi, 19, 2018 na kwamba leo wametekeleza agizo hilo.

“Tumepokea barua na tumefanya yale tuliyoagizwa ikiwamo kuwasilisha kipindi chote,” amesema kwa ufupi Misana.

Kaimu Meneja Mawasiliano wa TCRA, Semu Mwakyanjala amesema suala la kituo hicho kupewa barua ni la kiutawala zaidi na mamlaka hiyo haipo kwenye kitengo chake isipokuwa kama tayari barua imefika, wakati wa kutolewa uamuzi vyombo vya habari vitaalikwa.

Mwanamuziki Diamond alizua mjadala baada ya kuzungumzia suala la nyimbo za wasanii kufungiwa akimlalamikia Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza kutowatendea haki wasanii.

Diamond hakuishia katika mahojiano hayo yaliyoongoza na mtangazaji Omary Tambwe, Machi 20 kupitia mtandao wa Twitter alimjibu naibu waziri huyo akisema ametumia njia hizo kumjibu kwa kuwa naye alitumia hizo hizo.

Hata hivyo, jana mamlaka za Serikali ikiwamo Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) na Waziri wa wizara hiyo, Dk Harrison Mwakyembe walimshukia mwanamuziki huyo wakisema amefanya makosa kumshambulia naibu waziri kwa kuwa uamuzi anaotoa siyo wake binafsi.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FULL POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Lipumba Aunga Mkono Juhudi za Rais Magufuli....Ataka Wafanyabiasahara Watozwe Kodi Halisia

$
0
0
Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Prof. Ibrahim Lipumba amesema anaunga mkono jitihada za serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Magufuli katika mpango wa ukusanyaji kodi, huku akitaka utekelezaji huo uzingatie uhalisia

Prof. Lipumba ametoa kauli hiyo leo wakati alivyokuwa anazungumza na waandishi wa habari baada ya ukimya wake wa muda mrefu na kusema Baraza kuu la Chama cha Wananchi CUF linaitaka mamlaka inayohusika na masuala ya ukusaji wa kodi kwa wafanyabiashara wawe wanatoa makadirio mazuri ili kuweza kuwapa fursa wateja zao kulipa kodi vizuri.

"Baadhi ya makampuni na wafanyabiashara wanakadiriwa kodi kubwa kuliko wanachouza na hatimaye biashara zao zinafungwa. 

"Baraza kuu la Chama cha Wananchi CUF linaitika serikali ifanye makadirio ya kodi ambayo yatakuwa yanazingatia hali halisi, Mamlaka ya kodi isiwakamue wafanyabiashara mpaka biashara kufungwa na kusababisha kupata hasara", amesema Prof. Lipumba.

Pamoja na hayo, Prof. Ibrahim Lipumba ameendelea kwa kusema "tunaunga mkono katika ukusanyaji wa kodi lakini utekelezaji wake uzingatie hali halisi, tusije tukawakamua watu wanaofanya biashara, wenye makampuni ambao wanatoa ajira mpaka biashara na shughuli zao kupelekea kuzifunga".

Kwa upande mwingine, Prof. Lipumba amedai Baraza kuu limepata kuwepo kwa malalamiko ya hali ya maisha kuwa magumu kupitiliza na kuiomba serikali iongeze mzunguko wa pesa ili kuweza kuinua maisha ya watanzania wa hali ya chini.

Rais Magufuli Akutana Na Kufanya Mazungumzo Na Waziri Wa Ulinzi Wa Israel Ikulu

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 22 Machi, 2018 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Ulinzi wa Israel Mhe. Avigdor Lieberman Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Mazungumzo hayo yamehudhuriwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Balozi wa Israel hapa nchini Mhe. Noah Gal Gendler, viongozi wakuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Polisi.

Katika mazungumzo hayo Mhe. Rais Magufuli amemshukuru Mhe. Lieberman kwa kuitembelea Tanzania na amemhakikishia kuwa Serikali ya Awamu ya Tano ina dhamira ya dhati ya kuukuza zaidi na kuuimarisha uhusiano na ushirikiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na Israel.

Mhe. Rais Magufuli ametaka makubaliano ya ushirikiano kati ya Tanzania na Israel katika maeneo mbalimbali yakiwemo ulinzi na usalama, mafunzo na masuala ya kiuchumi yatiwe saini haraka ili utekelezaji uanze mara moja.

“Tanzania na Israel ni marafiki wa miaka mingi, nataka kuona urafiki wetu unakuwa zaidi, nawakaribisha wawekezaji kutoka Israel kuja kuwekeza katika kilimo, madini na gesi na pia kuwepo ndege za moja kwa moja kutoka Israel hadi Dar es Salaam na Kilimanjaro ili kukuza utalii” amesema Mhe. Rais Magufuli.

Aidha, Mhe. Rais Magufuli amemuomba Mhe. Lieberman kumfikishia ujumbe Waziri Mkuu wa Israel Mhe. Benjamin Netanyahu wa kumualika kutembelea Tanzania na pia kuanzisha ofisi ya ubalozi hapa nchini badala ya kutumia ofisi za ubalozi zilizopo Nairobi nchini Kenya.

Kwa upande wake Mhe. Avigdor Lieberman amemshukuru Mhe. Rais Magufuli kwa kumkaribisha na kufanya nae mazungumzo na pia amemhakikishia kuwa Israel imejipanga kuongeza uhusiano na ushirikiano wake na Tanzania katika maeneo yote ya makubaliano pamoja na kusaidia kilimo na usindikaji wa chakula.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
22 Machi, 2018

Mahakama ya Haki za Binadamu Yaibuka na Babu ....Hukumu Yao Kusomwa Kesho

$
0
0
Wakati mwanamuziki Nguza Viking (Babu Seya) na mwanawe Johnson Nguza (Papii Kocha) wakiwa nje kwa msamaha wa rais, Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR), imeahirisha kutoa hukumu ya maombi waliyofungua kupinga kifungo cha maisha jela.

Babu Seya na Papii Kocha waliachiwa kwa msamaha wa rais Desemba 9, mwaka jana kutokana na kifungo cha maisha jela walichohukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam Juni mwaka 2004 baada ya kumkuta na hatia ya kunajisi na kulawiti watoto 10 ambapo walikata rufaa Mahakama za juu na kugonga mwamba na hivyo kulazimika kukimbilia AfCHPR wakidai haki zao zilivunjwa.

Akiahirisha kesi hiyo Rais wa AfCHPR, Jaji Sylvaine Ore kutoka nchini Ivory Cost, amesema wamelazimika kuahirisha kusoma hukumu hiyo hadi Ijumaa Machi 23, kutokana na upande wa waomba maombi kutofika mahakamani.

Katika shauri hilo Jamhuri iliwakilishwa na Mwanasheria wa Serikali Mkuu Sara Mwaipopo akisaidiana na Mwanasheria wa Serikali Mkuu Nkasori Sarakikya.

Hata hivyo, mwanasheria Daniel Kalasha akitoa maoni yake kuhusiana na hukumu hiyo amesema vyovyote itakavyokuwa hukumu hiyo haiwezi kuathiri msamaha wa rais waliopata waomba maombi hao lakini walipaswa kuitaarifu mahakama kuachana na kesi hiyo kutokana na sababu hizo.

Amesema utaratibu ulivyo wao ndiyo walifungua hiyo kesi baada ya kuona wamepata msamaha wa rais walikuwa wanapaswa waiandikie barua mahakama kwamba wameshapata msamaha huo hivyo wanaomba mahakama isitoe hukumu.

“Lakini kama hawakufanya hivyo mahakama itaendelea na kazi yake kama kawaida na aidha itawakuta na hatia au isiwakute na hatia kwamba jambo lao limeshapata msamaha na msamaha wa rais huwezi kuuhoji popote, hakuna mwenye mamlaka ya kuhoji kwa sababu kile kifungo kimeshabatilishwa tayari.

“Kesi ingekuwa bado inaendelea msamaha ukatoka basi wakili ndiyo alikuwa na wajibu wa kuiambia mahakama hatuna nia tena ya kuendelea na rufaa yetu kwa hiyo kesi inakuwa imekufa.

“Lakini hata hivyo halina uzito tena hata kama wakikutwa na hatia tayari wameshapata msamaha wa rais ambao uko kwa mujibu wa katiba,” amesema Kalasha.

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 55 na 56 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA  

Nikanyanyuka huku nikiwa nimeushika mkono wa mama Mariam, nikasogea taratibu hadi sehemu alipo simama mama Mariam, neneja huyo akanitazama kwa macho ya dharau huku akinipandisha na kunishusha na macho yake.
“Na wewe dada mzima unamtongoza jimama kama hili, unataka mukasaganeee eheee?”
Nikashusha pumzi nyingi huku nikimtazama meneja huyu.
“Nakuuliza usinikodolee macho kama umechomekwa mbo** ya mkund………”
Sikumruhusu kumalizia sentensi yake, nikamtandika ngumi ya pua, iliyo muangusha chini mzima mzima na kutoa kishindo kizito hadi wapishi wwalipo jikoni wakatoa kushangaa ni kitu gani kinacho endelea huku nje.
  
ENDELEA
“Uwe na adamu na wanawake unao waona, pumbavu wewe”
Nilizungumza kwa sauti ya kike ila yenye kijiujazo kwa mbali hadi mama Mariam akanitazama usoni mwangu. Meneja huyo akajizoa zoa na kunanyuka huku akijifuta futa vumbi kililo jaa kwenye suti yake, hakuna mtu aliye msemesha zaidi ya kubaki kumuangalia, taratibu akaondoka akiwa apole kama sio yeye aliye kuja akitukana matusi mfululizo kwetu.
“Asante sana binti ila mimi kwangu kibarua ndio kimekwenda na maji”
“Usjali, hakuna jambo kama hilo”
“Mmmm”
“Yaa niamini mimi”
Nikjitahi kuzungumza kwa sauti ya kike ili mama Mariam asinifahamu kabisa kwa maana kunifahamu kwake inaweza ikawa ni tatizo jingine kwa maana bado siweza kumuamini mara moja isitoshe nipo kwenye tatizo kubwa kama hili la kutafutwa nchi nzima kama gaidi.

“Naomba unitengenezee juisi na uniletee katika chumba changu”
“Juisi gani?”
“Juisi ya parachichini lililo changanywa na pensheni.”
Nikamtajia namba ya chumba mama Marimu kisha nikampa shiling elfu hamsini.
“Ya nini hii?”
“Kwa ajili ya usumbufu wa kuniletea juisi hiyo chumbani kwangu, nahitaji jagi zima”
“Sawa binti”
Nikaondokea huku nikitamani kuangalia nyuma kumuangalia mama Mariam ila nikashindwa, nikapanda gorofani kwa kutumia lfti, nilipo fika katika mlango wa chumba changu nikabisha hodi, Monica akanifungulia mlango na nikaingia ndani.
“Mbona umechelewa honey?”
“Nilikuwa natoa maelekezo kwa wapishi”
“Ahaa sawa”

Nikapanda kitandani huku nikiwa nimeshika rimoti ya Tv, niliyo ichukua mkononi mwa Monica, nikaanza kubadilisha chaneli moja baada ya nyingine, kuangalia ni kitu gani ambacho kinaendelea. Hapakuwa na jambo jipya zaidi ya picha yangu kutangazwa. Mlio wa simu ya Monica ndio ulio nifanya niweze kumgeukia na kumtazama, akanitazama machoni kisha akaipokesa simu yake.
“Halooo”
“Nini?”
“Ohooo Mungu wangu, jamanii”
“Ok ok”
Monica alizungumza huku akiwa amebadilika na kuchanganykiwa, wala sikufahamu ni jambo gani ambalo linamsumbua. Akakata simu na kuiweka pembeni na kuanza kumwagika na machozi, ikanibidi kumvuta karibu yangu na kumkumbatia
“Honey kuna kitu gani kilicho tokea”
“Ni mdogo wangu ohoooo Mungu wanguu jamani weeee”
“Mdogo wako amepatwa na nini?”

TANGA RAHA- Sehemu ya Thelathini na Saba ( 37 )

$
0
0
AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA

Nilizungumza kwa sauti ya kujiminya kwani mfuniko ulituzidi nguvu,Mzee ngoda akajiingiza katikati yetu na kutusaidia kuufungua mfuniko na kwa pamoja tukafanikiwa kuufungua.Gafla tukastukia kumuona Mzee Ngoda akirushuwa juu kama kifaranga kilicho nyakukiliwa na Mwewe mwenye njaa kali na kitendo cha kutua chini hakuwa na kichwa na damu nyingi zikawa zinaruka kila sehemu na kumfanya Rahma kupiga ukulele mkali

ENDELEA
Nikabaki nikiutazama mwili wa mzee Ngoda jinsi unavyo rusha rusha miguu,Sauti kali nikaisikia kwenye masikio yangu ikiniambia
“Mmoja wenu ni lazima afee”
Nikayakumbuka yalikuwa ni maneno ya bibi,kwa haraka nikamuwahi kumziba mdomo Rahma.
“Shiii nyamaza”
Nikaendelea kumziba mdomo Rahma kwa nguvu kwa kutumia kiganja cha mkono.Tukayashuhudia majini yakitoka na kulizunguka eneo tulilopo sisi huku wakiwa wanaelea elea angani.Nikakitoa kifimbo mfukoni na kuwanyooshea majini yaliyojaribu kwenda mbali,

“RUDINI HAPA”
Nilizungumza kwa sauti ya ukali na majini hayo yakatii,hadi na mimi nikaanza kushangaa.Rahma akanikumbatia kwa nyuma,mwili mzima ukiwa unamtetemeka mithili kama amepigwa shoti ya umeme.Eneoa la anga zima katika eneo tulilopo limefunikwa na majini haya ambayo ni mengi sana na yana sura za kila aina
“Tunakushukuru sana kwa kututoa”
Niliisikia sauti kwenye masikio yangu ambayo ni tofauti sana usikiaji wake kama tulivyo sisi wanadamu,Kwani sauti niliisikia ndani ya masikio yangu na si kama ile inayo ingia kwenye masikia yangu.Nikawatazama kwa umakini na kuwashuhudia wakiwa akatika makindi tofauti tofauti,Wazee sana,wazee kiasi,vijna na watoto
“Munataka nini?”
“Tulikuwa tunauhitaji uhuru,tumeupata kutoka kwako asante sana,tupo tayari kukusikiliza wewe kwa kila kitu”
Hata jini ambaye ananijibu simjui ni yupi kati ya kundi kubwa ambalo limetuzingira mimi na Rahma

“Kwa leo tunakuomba tutoke tukatafute japo kitu cha kula,kisha saa kumi na mbili tutakuwa tumerudi”
“Eddy ukiwaruhusu hawa huko kwengine mambo yatakuwa si mazuri”
Rahma aliniambia
“Kumbe hata wewe unawasikia?”
“Ndio”
“Sasa munaniahidi nini nikiwaruhusu kwenda kuchukua chakula?”
“Amani itakuwa juu yetu”
“Hamuto wadhuru wanadamu wengine kama huyu?”
“Hatuwezi fanya hivyo,tunakuahidi”
Nafsi moja inaniambia niwaruhusu na nyingine inaniambia nisiwaruhusu.Nikamtazama Rahma akatingisha kichwa nisiwaruhusu.
“Acha wakatafute kitu cha kula,unadhani hapa wakikaa watakula nini?”
“Haya kama umeoamua hivyo”
“Haya nendeni ila saa kumi na mbili jioni nawahitaji hapa”
“Turuhusu tuanze na mwili huu.”
“Khaaa”

 

Updates: Mbowe, Mwalimu Wameachiwa Kwa Dhamana......, Heche na Mnyika washikiliwa, Mdee na Matiko wanasakwa..

$
0
0
Viongozi watatu  wa Chadema walioripoti Kituo Kikuu cha Polisi wakiongozwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Vicent Mashinji wameachiwa kwa dhamana huku wawili wakitakiwa kubaki.

Viongozi walioachiwa ni Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar), Salum Mwalimu na Dk Mashinji.

Mwalimu amesema Naibu Katibu Mkuu (Bara), John Mnyika na Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Serengeti, John Heche wamebaki polisi kwa maelezo kuwa wamekuwa wakikwepa taratibu za dhamana.

Heche na Mnyika hawakuripoti polisi Machi 16, 2018 huku chama hicho kikieleza kuwa moja ya sababu ya wabunge hao kutoripoti ni kutokana na kuhudhuria vikao vya kamati za Bunge mjini Dodoma.

Dk Mashinji ameeleza kuwa viongozi wengine wa chama hicho waliotakiwa kuripoti polisi leo akiwemo mbunge wa Kawe, Halima Mdee wamepata dharura.

Hata hivyo,  Jeshi la Polisi limetoa amri kuwa Wabunge hao, Halima Mdee na Ester Matiko wakamatwe popote walipo na kufikishwa Polisi kwa mahojiano.

Hatimaye upelelezi kesi ya Aveva na Kaburu umekamilika.......Kesi Kuanza Kusikilizwa Aprili 5

$
0
0
Upelelezi katika kesi ya utakatishaji fedha, dola za Marekani 300,000 inayomkabili Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva na Makamu wake Godfrey Nyange, maarufu kama Kaburu, umekamilika na itaanza kusikilizwa Aprili 5 mwaka huu.

Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga ameeleza hayo leo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba kesi hiyo ilipokuja kwa kutajwa. 

 Katuga aliiambia Mahakama kuwa mshtakiwa Aveva hayupo mahakamani hapo kwa kuwa ni mgonjwa amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Baada ya taarifa hiyo, Wakili anayewatetea washtakiwa hao,Steven Mwakibolwa aliiambia Mahakama kuwa wapo tayari kuendelea na kwamba hali ya Aveva inaimarika ila siyo nzuri sana.

Hakimu Simba, amesema kama hali ya Aveva itakuwa imetengemaa kesi hiyo wataisikiliza mfululizo na kuongeza, kesi ilifunguliwa Juni 26, mwaka jana  na wajitahidi isikilizwe na kumalizika ndani ya miezi 12.

Washitakiwa hao wanakabiliwa na mashitaka matano ya kutakatisha fedha na kughushi ambayo wanadaiwa kuwa kati ya Machi 15 na Juni 29,mwaka 2016 Dar es Salaam Aveva na Nyange kwa pamoja walikula njama ya kutakatisha fedha kwa kupata Dola za Marekani 300,000 wakati wakijua ni zao la uhalifu.

Update2: John Mnyika na John Heche Nao Wameachiwa Kwa Dhamana

$
0
0
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Bara), John Mnyika na Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Serengeti, John Heche wameachiwa kwa dhamana baada ya kuhojiwa kwa zaidi ya saa mbili katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam.

Mara baada ya kuachiwa, Heche ambaye ni mbunge wa Tarime Vijijini amesema kitendo cha viongozi wa Chadema kuripoti polisi na kukaa kwa saa tano bila kuhojiwa chochote na kutakiwa kuripoti siku nyingine ni sawa na kifungo cha nje.

“Hii ni mara ya tano ninaripoti polisi. Polisi Tanzania ni kama wametuhukumu kifungo cha nje, kila baada ya siku mbili wanataka turipoti kituo kikuu cha Polisi Dar es Salaam bila kujali unaishi wapi, gharama unazotumia kuja na kurudi Dar es Salaam na  majukumu yako mengine ya kikazi unayoshindwa kuyatekeleza. Kuna wakati inabidi kukataa uonevu huu,” amesema Heche 
 
Leo Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe; Katibu Mkuu, Dk Vicent Mashinji; naibu makatibu wakuu, John Mnyika (Bara) na Salum Mwalimu (Zanzibar) pamoja na Heche waliripoti kituoni hapo kwa ajili ya mahojiano.

Hata hivyo, mbunge huyo wa Tarime Vijijini na Mnyika waliendelea kuhojiwa huku wenzao wakiachiwa kwa dhamana, sababu ya wao kubaki kituoni hapo ikielezwa kuwa ni kitendo chao cha kutoripoti  Machi 16, 2018.

Mara baada ya kuachiwa viongozi hao wametakiwa kuripoti tena kituoni hapo Machi 27, 2018.

Heche amesema kitendo wanachofanyiwa si sahihi kwa maelezo kuwa baadhi yao ni wabunge na kwa sasa wanapaswa kushiriki vikao vya kamati za chombo hicho.

“Mimi napaswa kuwa katika vikao vya kamati za Bunge Dodoma. Mbali na hilo nikiwa jimboni kwangu, kutoka huko mpaka Dar es Salaam natumia nauli zaidi ya Sh1milioni. Hivi kwa nini hawalioni hili,” amehoji Heche.

Amesema kwa hali ilivyo ni vyema wakaelezwa hatima yao kwa maelezo kuwa mbali na kupoteza fedha, pia wanashindwa kushiriki shughuli za kibunge.

“Mfano wanataka turejee tena Jumanne ijayo (Machi 27, 2018). Hapa ninaondoka nakwenda Dodoma kushiriki vikao vya kamati, nitalazimika kuondoka jumatatu ili kuwahi. Sasa huu ni usumbufu kwa kweli. Katika hili sitakubali nitafanya kitu,” amesema Heche.

Wakili wa viongozi hao, Frederick kihwelo amesema Mnyika na Heche walizuiwa kuondoka na  kutakiwa kuandika maelezo.

"Baada ya kufika,  polisi waliwataka Heche na Mnyika ambao hawakufika Machi 16 . Walitaka wabaki baada ya wenzao kuondoka na kuwaagiza kuandika ahadi ya maandishi kuwa Jumanne ijayo watakuwepo,”amesema.

TANESCO Yakanusha......"Hakuna Tatizo Lolote Katika Mfumo wa LUKU"

$
0
0
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco)limekanusha taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii  inayodai kutakuwa na tatizo katika mfumo wa manunuzi ya LUKU kuanzia Machi 25 hadi Aprili 5 mwaka huu.

Taarifa hiyo ya kutunga inadai kutokana na hali hiyo wateja wanunue umeme wa kutosha katika kipindi hicho.

Tanesco kupitia Ofisi ya Uhusiano imesema taarifa hizo si za kweli na uzushi wenye nia ya kupotosha umma kwani haijatokea taarifa yoyote kuhusu hitilafu katika mifumo ya manunuzi ya LUKU.

"Ikumbukwe kwamba taarifa kutoka Tanesco hazitolewi na mtu binafsi bali ofisi ya uhusiano iliyo chini idara ya Mkurugenzi Mtendaji ambayo ni msimamizi wa utoaji taarifa za shirika hili,"imesema taarifa ya Tanesco.

Imewaomba wateja wote wa Tanesco waipuuze taarifa hiyo kwani haina ukweli wowote ."Wateja wote mnaombwa kuendelea kutumia huduma za umeme kama kawaida."

Ni Dr. Chief Malunde Pekee Anaetibu Nguvu Za Kiume Na Kumtuliza Umpendae Kwa Kutumia Dawa Za Asili

$
0
0
"NI DR. CHIEF MALUNDE PEKEE ANAETIBU NGUVU ZA KIUME NA KUMTULIZA UMPENDAE KWA KUTUMIA DAWA ZA ASILI"
-baada ya kujichimbia katika nchi za kiarabu kwa zaidi ya miaka (10)sasa amewasili nchini na dawa za tiba asilia.
 
1/NGOLO 3 POWER-ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, ina ubora wa hali ya juu wa kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kwa wasiojiweza kufanya tendo la ndoa, inaimarisha misuli iliyolegea na kusinyaa, inarutubisha mbegu za kiume na kukufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15-25 kuwa na hamu na tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila kuchoka, inarefusha uume inchi 5-8 na kunenepesha hadi cm 4 kwa wenye maumbile madogo, dawa hii imeboreshwa na hutibu matatizo haya kwa muda mfupi tu.
 
2/MAGOYE MVUTO- dawa hii ina uwezo mkubwa sana kumvuta na kumtuliza aliekuacha awe mpenzi, mme/mke itamfanya akutafute mwenyewe ndani ya masaa 3tu na kukutimizia mahitaji yako kwa haraka na kumfunga asiwe na mtu mwingine.
 
3/SUPER LUBEJA- ni dawa ya kushepu umbo no.8 mguu wa bia, kuongeza hips, na makalio kwa muda wa siku 5tu unapata saizi uipendayo, kuondoa makovu, chunusi, harufu mbaya ya mwili michirizi, kupunguza tumbo na maziwa kwa siku 6tu.
 
4/NG'WESHI MIX- ni dawa ya biashara ya kupata wateja wengi, kusafisha nyota, kurudishwa kazini na kupandishwa cheo, kurudisha mali iliyoibiwa au kudhurumiwa.
 
PIA TUNATIBU MAGONJWA SUGU KAMA: vidonda vya tumbo, ngiri, chango na uzazi kwa kina mama: (dawa zote hazina madhara kwa mtumiaji) HUDUMA HIZI UTAZIPATA POPOTE ULIPO: TUNAPATIKANA DSM BUGURUNI SHELI AU PIGA SIM NO_ 0763-181099.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images