Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Vladimir Putin Ashinda Tena Urais wa Urusi kwa Asilimia 76

$
0
0
Rais wa Urusi, Vladimir Putin ameibuka mshindi kuliongoza taifa hilo kwa muhula mwingine ujao wa miaka sita baada ya kujipatia ushindi mkubwa wa zaidi ya asilimia 76 katika Uchaguzi Mkuu uliomalizika jana Jumapili, Machi 18 nchini humo.

Akizungumza katika mkutano wa kutangazwa mshindi, Putin alisema ushindi wake ni matokeo ya hatua kubwa ya mafanikio aliyoyafikia katika uongozi wake huku akieleza kuwa huo ni uthibitisho wa kukubalika kwa sera zake na kwamba hana mpango wowote wa kufanya marekebisho ya katiba na kusisitiza umoja na mshikamano.

“Hadi hapa sina mpango wowote wa kufanya marekebisho yoyote ya katiba, kuhusiana na unyekiti na serikali kwa ujumla. Nilikwisha sema awali kwamba nafikiria suala hilo. Lakini kuanzia leo naanza kufikiria kwa undani, kwa sababu nilipaswa kusubiria matokeo ya uchaguzi kwanza,” alisema Putin.

Akijibu maswali kutoka kwa waandishi wa habari Putin alikwepa swali alilotakiwa kueleza kama atagombea katika muhula ujao pia.

“Kwangu kile mnachotaka kuniuliza inakuwa kama mizaha Fulani hivi, hebu tuhesabu, ina maana nitasalia madarakani hadi nikiwa na miaka 100? Hapana hapana hapana.”

Ushindi huu mkubwa ambao ulitarajiwa, umekuwa na ongezeko la kura ikilinganishwa na ushindi wa asilimia 64 mwaka 2012. Ambapo mpinzani wa karibu wa Putin milionea Pavel Grudinin alipata asimilia 12.

Taesa yatoa ufafanuzi jinsi ya kujisajili ajira 10,000 bomba la mafuta Hoima

$
0
0
Kufuatia Mradi wa Ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi  “East Africa Crude Oil Pipeline (EACOP)”  kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani, Tanga nchini Tanzania, Taesa imetoa ufafanuzi namna ya kujisajili na ajira hiyo ili kuweza kutambulika.

Mradi huo ambao ujenzi wake unatarajiwa kuchukua kati ya miezi 24 hadi 36, unategemewa kuzalisha fursa za ajira takribani 10,000 wakati wa ujenzi na ajira zaidi ya 1,000 wakati wa uendeshaji wake.

Hivyo Watanzania wote wenye taaluma na ujuzi katika Sekta ya Mafuta na Gesi  wanatakiwa kujisajili TaESA kwa kuingiza taarifa zao lengo likiwa kuiwezesha Serikali kubaini idadi halisi ya Watanzania walio na sifa zinazohitajika na walio tayari kuajiriwa kwenye mradi huo.

Zoezi la usajili limekwishaanza na linatarajiwa kukamilika tarehe 30/03/2018, na usajili unafanyika kwa kujaza fomu maalumu inayopatikana katika tovuti ya www.taesa.go.tz, au kwa kufika kwenye ofisi zao za kanda zilizoko Dar es Salaam, Arusha, Dodoma na Mwanza.

Fomu zilizojazwa zinaweza kuwasilishwa kwenye ofisi zao za kanda au kwa barua pepe: eacop@taesa.go.tz. Kwa maelezo zaidi wasaliana nao kupitia namba zifuatazo: 0736 551 055; 0739 221 022; 0735 221 022; 0735 551 055 na 0282 541 840/1.

Mradi huu ni moja ya miradi mikubwa kutekelezwa nchini, unaotegemea kugharimu Dola za kimarekani 3.5 sawa na bilioni 8 za kitanzania

Bomba hilo litakuwa na urefu wa wa kilometa 1,445 ambapo ujenzi wa kilometa 1,115 za bomba hilo utafanyika nchini Tanzania. 

Jumla ya wilaya 24 na vijiji 184 hapa nchini vinategemewa kupitiwa na bomba hilo katika mikoa 8 ya Kagera, Geita, Shinyanga, Tabora, Singida, Dodoma, Manyara na Tanga.

Makonda kutengeneza ajira vikundi vya kukimbia (jogging club)

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda, ametangaza mpango kabambe wa kuviwezesha vikundi vya mazoezi ya kukimbia (jogging club) kwa kuweka utaratibu wa mashindano ya kila mwisho wa mwezi.

Ambapo kikundi kitakachoshinda kitapatiwa kiasi cha shilingi milioni 10 kama mtaji wa kufanya shughuli za kujikwamua kiuchumi.

Hatua hiyo imekuja baada ya Makonda kubaini idadi kubwa ya vijana hao wakimaliza mazoezi asubuhi hawana shughuli ya kufanya hivyo wanakaa vijiweni.

”Vijana wengi wa ‘Jogging Club’ hizo wanafanya mazoezi asubuhi halafu hawana kazi za kufanya wanarudi vijiweni, hiyo si salama maana unaweza ukashangaa wakajikuta wameanza kuwa na ‘speed’ kubwa na matokeo yake wakapita na mikoba ya wakina mama kama hawana kazi za kufanya.

Ameongezea ”Kwa hiyo sisi tunaratibu na kupitia hadhara hii niwaambie wananchi kwamba tunapanga mipango kwa kila mwisho wa mwezi kuwepo na mashindano ‘Jogging Club”, amesema Makonda.

Amesema kitendo cha kukaa kijiweni kinaweza kuwasababishia kushawishika kufanya vitendo vya uhalifu hivyo kwa kuwapatia mtaji itawawezesha kufanya shughuli za uzalishaji mali utakaowakwamua kiuchumi.

Amesema mashindano hayo yataanza rasmi mwezi ujao, na kwa kuanzia shindano hilo litaanzia wilaya ya Temeke kwa kuwa ndiyo inayoongoza kwa Jogging Club, kwa Dar es salaam, hivyo amezitaka jogging club zote za mkoa kukutana Temeke.

Rais Magufuli kuzindua ukuta wa mererani mwezi Aprili

$
0
0
Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila  amekutana na wajumbe wa kamati ya maandalizi ya uzinduzi wa ukuta unaozunguka machimbo ya madini ya Tanzanite  Mererani, Wilayani Simanjiro. Ukuta huo unatarajiwa  kuzinduliwa na rais John Magufuli mapema mwezi Aprili.

Kikao hicho kilichoanyika jana Machi 18, 2018 kiliudhuriwa na  Watumishi kutoka Wizara ya Madini, Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa na Makamanda kutoka Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)

Akizungumza katika kikao hicho Prof. Msanjila amelipongeza Jeshi kwa ujenzi wa kasi wa ukuta huo  na kuongeza kuwa ilikuwa ni kazi ya kujitolea na jeshi limeisimamia vizuri.

Kwa upande wake, Naibu Kamanda wa Oparesheni ya ujenzi wa ukuta huo, Luteni Kanali Rashidi Kanole amesema kuwa, siri ya  ujenzi wa ukuta kuchukua muda mfupi tofauti na muda wa utekelezaji wake,  pamoja na mambo mengine umetokana na  kufanya kazi kwa kuzingatia utamaduni wa jeshi unaohusisha kiapo na uzalendo na kutafuta mbinu za changamoto bila kusubiri viongozi wa juu kwenda kutatua changamoto hizo.

Ujenzi wa ukuta huo ulipangwa kutekelezwa kwa kipindi cha miezi sita lakini umekamilika ndani ya kipindi cha miezi 3.

Sambamba na kikao hicho,  pia, Prof. Msanjila amekutana na wadau wa madini wilayani humo kujadili masuala mbalimbali kuhusu  biashara ya madini hayo mara baada ya ukuta wa kuzinduliwa.

Miongoni mwa yaliyojadiliwa ni pamoja na ulinzi shirikishi wa ukuta huo, biashara ya Tanzanite, uwazi wa biashara na suala la vitambulisho vya Taifa.

Kuhusu vitambulisho Prof. Msanjila amesema kuwa atakayeingia  ndani ya ukuta huo ni yule tu atakayekuwa na kitambulisho cha Taifa.

Aidha, pande zote mbili Serikali na  wadau wamekubaliana kukutana tena ili kujadili kwa kina  suala la biashara ya madini hayo mara baada ya ukuta kuzinduliwa.

Zitto Kabwe Kupeleka Mpango Mbadala wa Bajeti Bungeni

$
0
0
Kiongozi  wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema amejipanga kupeleka bungeni mpango mbadala kuhusu sera za kibajeti akidai mpango wa bajeti ya serikali umejikita kwenye maendeleo ya vitu badala ya maendeleo ya watu.

Zitto (41), ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Mjini aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam alipozungumza na waandishi wa habari juu ya mrejesho wa ziara yake aliyoifanya katika kata zinazoongozwa na chama chake, nchini kote.

Alisema mpango wake huo umelenga kuunda mpango mwingine mpya utakaosimamia masuala ya uchumi shirikishi unaozalisha ajira pamoja na kuhakikisha kilimo na viwanda vinavyoongeza mnyororo wa thamani ya mazao ya kilimo vinapewa kipaumbele.

Vitu vingine ambavyo alisema vinapaswa kupewa kipaumbele ni usalama wa chakula na lishe pamoja na huduma bora za kijamii hususani maji, elimu na afya.

"Juzi serikali imeainisha vipaumbele vya kibajeti kwa mwaka 2018/19. Masuala ya watu hususani kilimo, maji hayamo kwenye vipaumbele hivyo," Zitto alisema na kufafanua zaidi:

"Ni rai yetu kwa serikali ijitazame katika eneo hilo, ikae chini na kuja na mpango mpya utakaojikita katika masuala ya watu na siyo kama mpango huu wa sasa unaojikita kwenye vitu tu.

"ACT-Wazalendo tutahakikisha tunaupinga bungeni mpango huu wa bajeti wa sasa ili uandaliwe upya kwa sababu huu uliopo unawaacha kando kwa asilimia 70 Watanzania, tunataka tuwe na 'balance' (uwiano) ya vipaumbele vya kujenga nchi na vya kujenga taifa ili tuhakikishe vitu vya muhimu kama elimu, kilimo, afya na vitu vingine vinavyowahusu watu moja kwa moja vinaguswa na kupewa kipaumbele."

Wiki iliyopita serikali kupitia kwa Waziri wa Fedha na Mipango, Dk, Philip Mpango iliwasilisha kwa wabunge mapendekezo yake kuhusu ukomo wa bajeti na Mpango wa Maendeleo ya Taifa kwa mwaka 2018/19.

Dk. Mpango alisema bajeti ijayo ambayo itakuwa ya tatu kwa serikali ya awamu ya tano inatarajia kuwa Sh. trilioni 32.476. Kati yake, Sh. trilioni 20.468 ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida, sawa na asilimia 63 ya bajeti na Sh. trilioni 12.007 zitatumika kwa shughuli za maendeleo, sawa na asilimia 37 ya bajeti.

Waziri huyo alisema miradi kielelezo itakayopewa msukumo ni pamoja na ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha standard gauge kiasi cha Sh. trilioni 1.4, kukamilisha malipo ya ununuzi wa ndege ya pili aina ya Dreamliner-Boeing 787, ununuzi wa ndege moja mpya aina ya Bombadier Dash 8 Q400 na kuanza uendeshaji wa ndege mpya Boeing 787 na Bombardier CS 300, zikitengewa Sh. bilioni 495.6.

Pia alisema Sh. bilioni 700 ambazo ni fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa kambi na ofisi za wafanyakazi, ujenzi wa bwawa na ujenzi wa njia kuu za kupitishia maji katika mradi wa Stieglers' Gorge.

Katika mkutano wake na waaandishi wa habari jana, Zitto ambaye aliwahi kuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), pia aliiomba serikali kuitisha mkutano wa kitaifa wa maridhiano ya kisiasa kama jukwaa la kuzijadili changamoto za uendeshaji wa siasa nchini.

Alisema mkutano huo utasaidia kuondoa uadui unaoendelea kukua kwa sasa kati ya serikali na wananchi, viongozi wa dini, mashirika yasiyo ya kiserikali, taasisi za wanafunzi pamoja na vyama vya upinzani na anaamini mazungumzo ya kitaifa ndiyo jambo sahihi la utatuzi wa suala hilo.

Kiongozi wa ACT-Wazalendo huyo pia alipendekeza kuundwa kwa tume huru ya kuchunguza matukio ya mauaji, utekwaji na kupotea kwa wafanyabiashara, viongozi wa kisiasa, waandishi wa habari pamoja na wananchi wengine.

Shindano la MO Margarine Star kutoa zawadi ya mil 4.2 kwa wanafunzi 10 nchini

$
0
0

Kampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL Group) imeandaa shindano la kuimba wimbo wa MO Margarine kwa wanafunzi wa elimu ya msingi na sekondali, linalokwenda kwa jina la ‘MO Margarine Star’.

Akizungumza kuhusu shindano hilo, Mkurugenzi wa Masoko wa MeTL Group, Fatema Dewji ametoa masharti ya shindano hilo, kwamba kabla ya mwanafunzi kushiriki shindano hilo anatakiwa apate ridhaa kutoka kwa wazazi ama walezi wake.

Ameeleza kuwa, ili kushiriki shindano hilo, mwanafunzi anatakiwa ajirekodi video akiimba wimbo huo, na kuposti katika akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Instagram au Facebook kisha kuishirikisha akaunti ya METL inayopatikana na kuweka hashtag ya #MoMargarineStar.

Dewji alisema zawadi kwa washindi ni Sh. 700,000 kwa mshindi wa kwanza, Sh. 600,000 kwa mshindi wa pili, Sh. 500,000 kwa mshindi wa tatu na kuanzia mshindi wa nne hadi 10 watapewa Sh. 400,000 kwa kila mmoja.

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE; 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO 0754372325/ 0689013109/ 0620806813 

HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Okoa Ndoa Yako Na Afya Yako Sasa Kwa Kutumia Tiba Asilia Itokanayo Na Mizizi Na Magamba Ya Miti Shamba:

$
0
0
Kwa utafiti mkubwa uliobainika wanaume asilimia 70 wanaupungufu wa nguvu za kiume NA maumbile madogo 

NA ndio chazo kikubwa kinachosababisha ndoa au mahusiano mengi kuvunjika .Mwanaume anatakiwa awe na uume mrefu kuazia nchi 5,6,7,au 8 vinginevyo mwanaume huyo atakuwa na upungufu  wa vichocheo hivi HORMONES ZA GETROGEN

Tumia dawa YA MWIMALA huboresha uume wako saizi upendayo

SHAFTI POWER ni dawa ya nguvu za kiume hutibu matatizo matatu kwa pamoja;
1 kushindwa kurudia tendo na mwili kuchoka 
2 kuwahi kufika kileleni 
3 kulegea kwa misuli na uume, kusinyaa 

Tunatibu presha, fangasi, busha bila kupasua, vidonda vya tumbo, kisukar,i kutopata choo, magonjwa ya moyo, kupooza viungo, ngiri,

Tunapatika mbagara karibu na amana benki kwa wateja wa mwanza na mikoa jirani yupo wakala wetu au wasiliana nami DR MFAUME SIMU NO 0789234653. HUDUMA IZI UTAZIPATA POPOTE ULIPO

Rais Magufuli Apokea Kero za Wafanyabiashara

$
0
0
Wafanyabiashara na wawekezaji nchini wameeleza kero na changamoto wanazokutana nazo katika uendeshaji wa shughuli zao, huku wakibainisha kuwa zimekuwa zikirudisha nyuma dhamira ya Serikali katika kukuza sekta binafsi nchini.

Wametoa kauli hizo leo Jumatatu Machi 19, 2018 Ikulu Dar es Salaam katika mkutano wa 11 wa Baraza la Taifa la Biashara, huku hoja zao zikichukuliwa na mwenyekiti wa baraza hilo, Rais John Magufuli.

Kabla ya kuanza majadiliano hayo, Rais Magufuli  amesema leo  utafanyika mjadala wa kuleta mabadiliko ambapo kila mfanyabiashara atasimama na kueleza kero na changamoto zinazomkabili, zitapatiwa majibu na watendaji wa Serikali, wakiwemo mawaziri.

“Leo kuna watu kama 13 kutoka Tume ya Mipango, nataka tuzungumze leo kwa uwazi, mimi hata tungezungumza leo na kesho sawa tu tuendelee , nataka mseme kwa uwazi, dakika tatu kila mmoja atazungumza , nataka tu-solve problem sio kila mara tunakutana hapa tunajadili mambo yaleyale,”amesema Rais Magufuli.

Mfanyabiashara Mwita Gachuma kutoka Mwanza ndiye ameanza kufungua mjadala huo akitoa kero mbili ikiwamo tozo kubwa zinazotozwa nchini ikilinganishwa na nchi jirani kama Kenya.

 “Kwa nchi za jirani wanatoza kuanzia asilimia 11, 13, sisi (Tanzania) tunatozwa asilimia 33, asilimia 15 tunatakiwa kurudishiwa lakini hata hivyo haturudishiwi hiyo asilimia 15, hatua hiyo inaathiri hata mzunguko wetu wa fedha,”amesema.

Mfanyabiashara mwingine kutoka Geita aliyejitambulisha kwa jina moja la Sospeter amezungumzia pia kero ya kodi katika usafirishaji wa bidhaa.

Amesema TRA imekuwa ikikadiria kodi kubwa tofauti na kiwango cha mzigo.

“Kwa mfano gunia la kilo 100 unaambiwa ni zaidi ya kilo 100. Kwa hivyo inaathiri sana na matokeo yake unajikuta mfanyabiashara unabeba mzigo kidogo, kwa hiyo tunaomba ulitazame hilo,”amesema.

Alikiba, Darassa, Diamond na Vanessa Wang’aa Kwa Tuzo Nchini Uganda

$
0
0
Wanamuziki wakali wa Bongo fleva kama Diamond, Ali kiba, Vanessa Mdee na Darassa wameng’aa kimataifa zaidi baada ya kila mmoja kujishindia tuzo za Hippo nchini Uganda.

Tuzo hizo zilifanyika usiku wa jana nchini Uganda ambapo baadhi ya wasanii waliopata Tuzo kutoka Tanzania ni kama vile Diamond, Ali Kiba, Vanessa Mdee na Darassa.

Vanessa Mdee ameibuka na tuzo ya heshima katika kipengele cha ‘East Africa Best Female Artist’ na Alikiba akiibuka na tuzo ya kipengele cha ‘Song of the Year Tanzania’ kupitia wimbo wake wa Seduce Me.

Diamond Platnumz ameshinda tuzo mbili mbili kwenye vipengele vya ‘Africa Song of The Year’ kupitia wimbo wake wa ‘Marry U’ aliomshirikisha Ne-Yo na ‘Best East Africa Video’ kupitia wimbo wa Eneka.

Darassa ameibuka kidedea kwenye kipengele cha ‘East African Super Hit’ na wimbo wake wa Muziki ambao amemshirikisha Ben Pol.

Vigogo TPDC wamekabidhi hati za kusafiria Mahakamani

$
0
0
Vigogo watano wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC) wanaokabiliwa na shtaka la matumizi mabaya ya madaraka, leo Machi 19, 2018  wamewasilisha hati zao za kusafiria katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Hati hizo zimewasilishwa mbele ya hakimu mkazi mkuu, Wilbard Mashauri huku upande wa mashtaka ukiwakilishwa na wakili wa Serikali, Emmanuel Jacob.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Aprili 18, 2018 kwa ajili ya kutajwa.

Washtakiwa wanaokabiliwa na kesi hiyo ni aliyekuwa mkurugenzi mtendaji, James Mataragio,  kaimu meneja wa uvumbuzi, George Seni, mkuu wa kitengo cha ununuzi na utawala, Wellington Hudson, mkurugenzi wa mkondo wa juu, Kelvin Komba na Edwin Riwa ambaye ni kaimu mkurugenzi wa mipango.

Jeshi La Magereza Kuja Na Mkakati Wa Kulisha Wafungwa

$
0
0
Mkuu wa Magereza nchini, Kamishna Jenerali Dk. Juma Malewa, amesema Jeshi hilo limeanza kufanyia kazi agizo la Rais John Magufuli la kuhakikisha wanajitosheleza kwa chakula na kulisha wafungwa.

Amesema hatua hiyo itaondoa utaratibu wa wafungwa kupelekewa chakula kutoka nje, kwa kuwa watakuwa wanakula wanachokizalisha wakiwa magerezani.

Dk. Malewa alisema hayo katika mkutano wa maafisa waandamizi wa Jeshi la Magereza kutoka maeneo mbalimbali kuweka mkakati wa namna ya kufanikisha agizo hilo la Rais alilolitoa akiwa mkoani Dodoma hivi karibuni.

Rais Magufuli alilitaka jeshi hilo kuhakikisha linawatumia wafungwa kuzalisha chakula kwa ajili ya kuwalisha badala ya kutegemea ruzuku ya serikali kwa chakula.

Alisema kwa sasa Jeshi hilo lina uwezo wa kujitosheleza kwa chakula kwa asilimia 30, kutokana na vifaa vichache vilivyopo, lakini wanatarajia kupokea na kuongeza vifaa zaidi yakiwamo matrekta ili kuongeza nguvu zaidi ya uzalishaji na kufikia asilimia 100 ya kujitosheleza kwa chakula.

“Zoezi hili halitawezekana kutekelezwa kwa haraka sana, itatuchukua kama miaka miwili hadi mitatu kulifanikisha, lakini kwa kutumia nguvu kazi tuliyonayo na vifaa, tutamudu kulitekeleza,” alisema Kamishna Jenerali wa Magereza.

Malewa alibainisha mkakati wa kuhakikisha Magereza inatumika kama chuo cha mafunzo kwa kuwafundisha wafungwa mbinu mbalimbali za kilimo ili wote watumike vyema na kwa ufanisi katika kuboresha sekta ya kilimo.

Hata hivyo, alikiri kuwapo changamoto ya nguvu kazi kama baadhi ya wafungwa wakiwamo waliohukumiwa kunyongwa na mahabusu ambao kisheria hawapaswi kuwa nje ya Magereza, ingawa wanakula magerezani.

Kuhusu agizo la Rais la kuitaka Magereza kuwa sehemu ya ukuzaji wa uchumi kupitia sekta ya viwanda, alisema hilo wameanza kulitekeleza kivitendo kwa kuanzisha kiwanda cha sukari katika Gereza la Mbigiri, kinachojengwa kwa ubia kwa kushirikiana na mashirika ya Hifadhi za taifa ya NSSF na PPF pamoja na kiwanda cha viatu kilichopo Magereza Karanga mkoani Kilimanjaro na kwamba kinajengwa kingine hivyo kuwa viwili eneo moja.

“Tumeshapata oda za ndani na nje ya nchi, na tukishafunga mashine zaidi za kisasa, tutazalisha viatu kwa wingi sana,” Alisema Dk. Malewa.

Mkuu wa Magereza Mkoa wa Morogoro, Mzee Ramadhani Nyamka, alisema wamejipanga kutekeleza agizo la Rais kwa kuzalisha kwa wingi, kwani Morogoro ina Magereza 12 na mengi yanajihusisha na uzalishaji wa mazao ya kilimo.

Nyamka alisema kutokana na kuwa na ardhi yenye rutuba, maji mengi na miundombinu yote muhimu ya kilimo, wanaamini wataweza kufanikiwa.

“Katika Magereza ya Morogoro niseme nguvu kazi inajitosheleza, kwani hatuna wafungwa waliohukumiwa kunyongwa, kwa hiyo tutatumia fursa ya Morogoro kama ghala la Taifa la chakula kulima kwa bidii tujitosheleze na ziada tuhudumie maeneo mengine, yakiwamo mashule,” alisema Nyamka.

Mrakibu Mwandamizi wa Magereza, Ramadhani Mkele ambaye ni Mkuu wa Gereza Kuu la Arusha, alisema pamoja na changamoto hiyo ya wafungwa waliohukumiwa kunyongwa kuathiri nguvu kazi, bado wakipata vitendea kazi watafanya makubwa zaidi kwenye sekta ya kilimo.

Diamond: “Hakuna Mwanamke Aliyeniliza Kama Wema Sepetu”

$
0
0
Mapenzi ni matamu kuzidi asali, lakini ukitendwa huwa machungu zaidi ya shubiri. Diamond Platnumz amemtaja mrembo ambaye amewahi kumtoa chozi wakat wapo kwenye mahusiano.

Diamond amefunguka na kueleza ya moyoni mwake ambapo amekiri kuwa hakuna mwanamke ambaye alikuwa kumliza kwenye mapenzi kama Wema Sepetu.

Diamond amefunguka hayo kwenye mahojiano aliyofanya nchini Kenya na Citizen Radio na Willy .M. Tuva, ambapo amedai Wema ni mwanamke ambaye alimtambulisha sana machozi.

"Mara ya mwisho kulia kwa sababu ya mapenzi ni nilivyokuwa na uhusiano na Wema Sepetu dah yule mwanamke ameniliza sana hadi nakumbuka kuna siku nilikuwa pale home nipo gym babu Tale akawa ameona kuna maambo mabaya mabaya mtandaoni akaniambia mdogo wangu si uachane naye? Mi nakumbuka nikamwambia yaani sikudanyi bosi yule mwanamke nikiwa naye najisikia kama niko peponi  kwaiyo hata tulivoachana alikuwa haamini”.

Lakini pia Diamond amesisitiza kuwa ni kweli amemwagana na Zari na wala sio kiki kama watu wengi wanavyodai ila amesema kwa sasa hataki kumuongelea Zari kwani ameelekeza nguvu zake kwenye kuitangaza albamu yake iliyotoka siku chache zilizopita.

Ngara: Kijana Amuua Mama Mkwe Wake na Kumjeruhi Mke wake Kwa Mapanga

$
0
0

Kijana aliyefahamika kwa majina ya Joseph Medardi (32) mkazi wa Nyakahanga Wilaya ya Ngara mkoani Kagera amemuuwa mama mkwe wake Elizabeth Simon (70) kwa kumkata kata mapanga na kumjeruhi mkewe Elice Joseph (28) kisha na yeye kujimwagia petroleum.

Kijana huyo amefanya tukio hilo kwa kile kilichoelezwa kuwa alikuwa na matatizo na mkewe kuhusu suala la unyumba jambo ambalo lilimpelekea kumrudisha mkewe huyo nyumbani kwa mama yake, ambapo amekaa huko takribani wiki tatu, siku moja kabla ya kikao cha kuwasuluhisha wanandoa hao ndipo kijana huyo ametekeleza mauaji hayo.

Mtoto wa marehemu Elizabeth Simon (70) ambaye ni Mchungaji Ezekia Simon amesimulia jambo hilo kwa undani zaidi na kusema kuwa chanzo cha yote hayo kuwa ni matatizo ya unyumba na kudai kuwa kijana huyo ambaye yeye ni shemeji yake alionekana amekuja na kusudio la kuwauwa wote yaani mama yake pamoja na mdogo wake huyo ambaye amejeruhiwa tu.

"Kisa cha kifo cha mama kimetokana na Mume wa dada kutoelewana katika habari za unyumba. Walikuwa na mgogoro kwa maana hiyo ikapelekea kumfukuza mkewe hivyo alikuja hapa yapata kama takribani wiki tatu yuko hapa nyumbani na baada ya hapo mimi kama Mkuu wa familia nilijaribu kutafuta njia ya kuwasuluhisha hivyo tarehe ambayo tulipanga kukutana ilikuwa jana ingawa hatukufanikiwa kukutana baada ya mzazi wa kijana kusema hakupata taarifa, matokeo yake yule kijana ndiyo amekuja akawashambulia mama pamoja na dada na kusababisha mauti ya mama" Alisema Mchungaji Simon  na kuendelea;

"Yule kijana alikuja kwa lengo la kuuwa wale na yeye kujiuwa kwa sababu alipowashambulia na kuwajeruhi yeye alijimwagia Petroleum na kujichoma moto ndani ya nyumba hii hii"

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Ni Dr. Chief Malunde Pekee Anaetibu Nguvu Za Kiume Na Kumtuliza Umpendae Kwa Kutumia Dawa Za Asili

$
0
0
"NI DR. CHIEF MALUNDE PEKEE ANAETIBU NGUVU ZA KIUME NA KUMTULIZA UMPENDAE KWA KUTUMIA DAWA ZA ASILI"
-baada ya kujichimbia katika nchi za kiarabu kwa zaidi ya miaka (10)sasa amewasili nchini na dawa za tiba asilia.
 
1/NGOLO 3 POWER-ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, ina ubora wa hali ya juu wa kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kwa wasiojiweza kufanya tendo la ndoa, inaimarisha misuli iliyolegea na kusinyaa, inarutubisha mbegu za kiume na kukufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15-25 kuwa na hamu na tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila kuchoka, inarefusha uume inchi 5-8 na kunenepesha hadi cm 4 kwa wenye maumbile madogo, dawa hii imeboreshwa na hutibu matatizo haya kwa muda mfupi tu.
 
2/MAGOYE MVUTO- dawa hii ina uwezo mkubwa sana kumvuta na kumtuliza aliekuacha awe mpenzi, mme/mke itamfanya akutafute mwenyewe ndani ya masaa 3tu na kukutimizia mahitaji yako kwa haraka na kumfunga asiwe na mtu mwingine.
 
3/SUPER LUBEJA- ni dawa ya kushepu umbo no.8 mguu wa bia, kuongeza hips, na makalio kwa muda wa siku 5tu unapata saizi uipendayo, kuondoa makovu, chunusi, harufu mbaya ya mwili michirizi, kupunguza tumbo na maziwa kwa siku 6tu.
 
4/NG'WESHI MIX- ni dawa ya biashara ya kupata wateja wengi, kusafisha nyota, kurudishwa kazini na kupandishwa cheo, kurudisha mali iliyoibiwa au kudhurumiwa.
 
PIA TUNATIBU MAGONJWA SUGU KAMA: vidonda vya tumbo, ngiri, chango na uzazi kwa kina mama: (dawa zote hazina madhara kwa mtumiaji) HUDUMA HIZI UTAZIPATA POPOTE ULIPO: TUNAPATIKANA DSM BUGURUNI SHELI AU PIGA SIM NO_ 0763-181099.

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

SILYA: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0785 234 837  au 0656 551 093  au 0746473974

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

TPDC yawataka wananchi kupuuza taarifa zinazosambaa juu ya kufungwa kwa kiwanda cha saruji cha Dangote

$
0
0
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanania (TPDC) linawataka Wananchi kupuuza taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba, kiwanda cha saruji cha Dangote mkoani Mtwara kimefungwa kutokana na Sababu mbalimbali ikiwemo, kushindwa kwa makubaliano ya mauzo ya gesi asilia baina ya kiwanda cha Dangote na TPDC. 

TPDC inawataarifu wananchi kwamba, imetimiza makubaliano yote ikiwemo mauzo ya gesi asilia pamoja na ujenzi wa mitambo ya kusafirishia gesi asilia hadi kwenye mitambo ya kuzalisha umeme ya kiwanda cha Dangote, tangu 2017. 

Aidha taarifa inayosambazwa katika mitando ya kijamii ya mwaka 2016 imepitwa na wakati

Hivi sasa kiwanda cha saruji cha Dangote kinaendela na zoezi la usimikaji wa mitambo yake ya kuzalisha umeme kwa gesi asilia. Kazi hii inatarajiwa kukamilika mwezi ujao(Aprili 2018)

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ,
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 49 na 50 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA  

Nikaichukua simu na kuiweka mfukoni mwangu.
“Ila kaka Dany na huo upara huko kichwani mmmmm”
“Una nini?”
“Ahaaa sijazungumza mimi”
Nikakumbatiana nao wote watatu, kisha nikaingia kwenye gari, nikafunga mkanda na kufungua kioo kidogo. Mama akanifwata na kuinama kidogo.
“Hakikisha unarudi na kichwa cha K2 hapa sawa”
Maneno ya mama yakanifanya nimtumbulie macho, akanikazia macho na kunifanya nimjibu bila kupenda kwa kutingisha kichwa.
  
ENDELEA
Mama akanishika shavu lango na kulifinya kidogo kisha akasimama akiwa na sura iliyo jaa tabasamu. Asma akainama pale alipo kuwa ameinama mama na kunibusu mdomoni mwangu.
“Mwanao nitahakikisha anakua katika mazingira mazuri ya kupendeza”
“Asante mke wangu”
“Kuwa makini lakini”
“Usijali katika hilo”
Asma akanibusu tena. Diana akanipungia mkono, taratibu nikafunga kioo cha gari langu, na taratibu nikaanza kuondoka katika eneo la nyumba hili huku nikiwatizama kupitia kioo cha pembeni jinsi wanavyo nitazama. Ramani iliyopo kwenye tv ndogo ya hili gari, inaaniongoza njia za kupita kwa kutumia kijimshale maalumu cha kunielekezea. Mwendo wa masaa mawili nikawa nimefanikiwa kutoka msituni na kuingia kwenye kijiji kimoja ambacho sikukifahamu kinaitwaje. Ni kijiji kilicho jaa watu wengi pamoja na nyumba za udongo.

Nikaendelea kuifwatisha ramani hiyo hadi nikatokea mji mmoja unao itwa Soni. Sikuhitaji kusimama sehemu yoyote zaidi ya kuendelea na safari yangu ambayo ni ndefu sana bado sijafahamu huko mbele nitakutana na changanoto gani.
    Kutokana sio mara yangu ya kwanza kupita kwenye hii barabara ya Soni kuelekea Mombo, nikawa makini sana kwenye kuhakikisha kona zote ninazipita kiusalama, hata mwendo wangu wa gari nikawa nimeupunguza kwa kiasi kikubwa. Nikiwa katikati ya kona, nikakutana na foleni kubwa za magari yaliyo simama, jambo ambalo si la kawaida kwa njia hii kuwa na foleni kubwa kiasi hichi. Ikanibidi na mimi kuweza kusimamisha gari langu huku nikiwa na wasiwasi mkubwa sana. Nikataka kushuka ila roho yangu ikasita kidogo.
Nikiwa nimetulia huku nikisubiria foleni hiyo kwenda mbele, nikaona watoto wawili wakiwa wanatembea kwa miguu wakitokea huko ilipo foleni, taratibu nikafungua kioo cha gari ili niweze kuwauliza kitu.
“Nyie watoto kuna nini huko chini?”
Wakanitazama pasipo kujibu kitu chochote, akilini mwangu nikajiuliza hawaelewi Kiswahili au ndio ukimya.
“Eti watoto wazuri kuna kitu gani kinacho endelea huko chini?”

“Weshu tutonge”  
Mmoja alizungumza huku akimvuta mwenzake mkono, kwa haraka haraka nikatambua kwamba neno alilo lizungumza linamsisitizia mwenzake waondoke. Wakaondoka pasipo kunijibu kitu cha aina yoyote, taratibu nikafunga kioo cha gari na kuendelea kusubiria magari yasogee taratibu. Taratibu magari yakaanza kusegea.
Kwa mbali kidogo nikaona askari wa usalama barabarani, wakikagua gari moja baada ya jengine, hapo ndipo wasiwasi ulipo anza kunipanda. Mapigo ya moyo yakanienda mbio sana, kwa maana sikuhitaji kukamatwa mapema kiasi hichi wakati nina jukumu  zito mbele yangu. Kutokana gari zimesimama tena nikashuka kwenye gari na kuzunguka kwenye buti la gari, nikalifungua. Begi lenye pesa nikalifungua taratibu pasipo mtu wa gar lililopo nyuma yangu kuweza kuona chochote. Nikachukua kibunda kimoja cha dola za kimarekani, nikalifunga na kurudi ndani ya gari.

Taratibu magari yakaanza kusonga mbele, na mimi nikafika kwenye sehemu ya kukaguliwa. Akanifwata askari wa kike aliye valia sare zake vizuri na kupendeza. Nikafungua kioo cha gar taratibu huku nikiwa nimeandaa noti tano za dola mia. Askari huyo akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akatabasamu.
“Naomba leseni yako”
Nikajifanya ninajipapasa huku kibunda cha noti za kimarekani nikikiweka kwenye siti ya pembeni. Nikamuona askari huyo anavyo tupia jicho lake kwenye kibunda cha pesa hizo.

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images